POPULARITY
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema katika Litania ya Bikira Maria huwa tuna maana gani tunaposema Bikira Maria Mnara wa Daudi, Bikira Maria mnara wa pembe, Bikira Maria nyumba ya dhahabu na Bikira Maria […] L'articolo Je, kuna tofauti gani kati ya Bikira Maria Mnara wa Daudi na Mnara wa Pembe? proviene da Radio Maria.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina na tunaelekea nchini Kenya kuangazia moja ya ukiukwaji Mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya wanawake, jinamizi la ukeketaji na jitihada zinazochukuliwa na UNFPA na wadau mbalimbali. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani inayotupeleka nchini Namibia.Baada ya serikali ya Bashar Al-Assad kupinduliwa na kuibuka kwa taarifa za baadhi ya nchi duniani kuanza kusitisha mchakato wa kushughulikia maombi ya Wasyria waliokuwa wameomba hifadhi kuokoa usalama wa maisha yao pindi hali ilipokuwa tete nchini mwao, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) linaendelea kutoa wito kwa mataifa yote kufungua milango, kuwapa hifadhi na ulinzi raia wa Syria wanaotafuta usalama. UNHCR imeahidi pia mara tu hali ya Syria itakapokuwa wazi zaidi, itatoa mwongozo kuhusu mahitaji ya ulinzi kwa Wasyria walioko hatarini.Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limekaribisha mchango wa dola za Marekani milioni 22 kutoka shirika la Korea Kusini la Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa (KOICA) ili kuimarisha mnepo kwa tabianchi na uhakika wa chakula kwa wakulima wadogo, wafugaji na makundi yaliyoko pembezoni nchini Kenya, Somalia na Sudan Kusini. Vituo vya utabiri wa hali ya hewa vinatabiri hali ya La Niña mashariki mwa Pembe ya Afrika na uwezekano wa kupunguza mvua katika kipindi hikiNa walinda amani wa kikosi cha 11 cha Tanzania -TANZBATT-11 kinachohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC, MONUSCO jimboni Kivu Kaskazini wametunukiwa nishani ya umoja wa mataifa ikiwa ni alama ya kufanya kazi kwa utii,uhodari na uaminifu. Miongoni mwao ni Private Selina Kisemvule.Katika mashinani ikiwa ni siku ya mwisho ya maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, fursa ni yake Rais Nangolo Mbumba wa Namibia ambaye kupitia ukurasa wa X wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu, UNFPA anawahimiza wananchi na dunia nzima kwa jumla kusimama kidete ili kutokomeza unyanyasaji wa kijinsia.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Alain De Botton'dan Aşk Dersleri, Nassim Taleb'in Siyah Kuğu'su, F.Jak İçöz'ün Kendin Olmanın Dayanılmaz Hafifliği kitaplarından notlar eşliğinde karışık bir bölüm :)
Doğal seslerin insan üzerindeki etkilerini irdelemeye ve örnekler dinlemeye devam ediyoruz.
Beyaz, pembe, kahverengi ve mavi ses (ya da gürültü) nedir? Yağmur, gök gürültüsü ya da akan su sesinin etkileri nelerdir? Psikolojik, bilişsel ve fizyolojik olarak neden bize iyi gelirler? Nasıl yararlanabiliriz?
Geçmişi aşırı özlemek üzerine
Kobraların gündeminde bu hafta; Nemo'nun kazandığı Eurovision, İsrail protestoları ve yarışmayı anbean aktaran Devlet Bahçeli. değerini fark etmek için kendini ikna kümesine kapatan Çağla Şikel, baş parmak paylaşımıyla Lyon Başkonsolosu, gizli ajandalar arayan Müsavat Dervişoğlu, Cennet Koyu'na yapılan 128 odalı otel, sonunda seçilebilen yargıtay başkanı ve ilk yorumlar, taslağı şimdiden tartışılan 9.yargı paketi, kararı açıklanan Kobani Davası, bütün detaylarıyla kamuda tasarruf paketi ve ekonomistlerin yorumları var. Cumhurbaşkanı köşesinde ise; Ankara'ya gelen Miçotakis ve yaşanan Hamas anlaşmazlığı, Ayhan Bora Kaplan soruşturmasındaki kukla ve kuklacılar, hedefinden kopmayan il başkanları ve dinlenmeye alınacak olanlar var. Haftanın bütün gündemini konuştuğumuz yepyeni bölüm yayında! http://kreosus.com/kobrakobrapodcast Twitter: http://twitter.com/kobrapod Instagram: http://instagram.com/kobrakobrapodcast
Kobraların gündeminde bu hafta; Nemo'nun kazandığı Eurovision, İsrail protestoları ve yarışmayı anbean aktaran Devlet Bahçeli. değerini fark etmek için kendini ikna kümesine kapatan Çağla Şikel, baş parmak paylaşımıyla Lyon Başkonsolosu, gizli ajandalar arayan Müsavat Dervişoğlu, Cennet Koyu'na yapılan 128 odalı otel, sonunda seçilebilen Yargıtay başkanı ve ilk yorumlar, taslağı şimdiden tartışılan 9.yargı paketi, kararı açıklanan Kobani Davası, bütün detaylarıyla kamuda tasarruf paketi ve ekonomistlerin yorumları var. Cumhurbaşkanı köşesinde ise; Ankara'ya gelen Miçotakis ve yaşanan Hamas anlaşmazlığı, Ayhan Bora Kaplan soruşturmasındaki kukla ve kuklacılar, hedefinden kopmayan il başkanları ve dinlenmeye alınacak olanlar var. Haftanın bütün gündemini konuştuğumuz yepyeni bölüm yayında! http://kreosus.com/kobrakobrapodcast Twitter: http://twitter.com/kobrapod Instagram: http://instagram.com/kobrakobrapodcast #nemo #devletbahçeli #çağlaşikel
Afisi ya Wizara ya Fedha ya Marekani inayohusika na Udhibiti wa Mali za Kigeni (OFAC), Jumatatu imeyawekea vikwazo mashirika 16 na watu binafsi, ambao inasema wanahusika katika mtandao mpana wa biashara unaozunguka Pembe ya Afrika, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Cyprus.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
İnsanın görme duyusu neden kuşlar ve sürüngenler kadar gelişmiş değil?Herkül'ün köpeği Lübnan sahilinde deniz salyangozunu ısırınca ne oldu?Pembe neden dünyanın en eski rengi olabilir?Görme duyumuz içinde bulunduğumuz kültürden nasıl etkileniyor?Nesnelerin gerçekte bir rengi var mı?İnsan tarihte önce hangi renkleri kullanmaya başladı?Bu bölümde renklerin hikayesini ve insanın görme duyusunun gelişimini anlattım. Buyurun dinlemeye...Bir de "Olsun, O Da İyi" isminde bir podcast hazırlamaya başladım. Orada kişisel, komik hikayelerim üzerinden hayata dair konuşuyoruz."Olsun, O Da İyi" podcast'ini Poddy üzerinden ücretsiz olarak dinleyebilirsiniz. Poddy'yi ücretsiz olarak buradan indirebilirsiniz.Patreon'a özel bölümleri dinlemek ve Yeni Halller'e destek olmak için:www.patreon.com/yenihallerYeni Haller'in bir de Buy Me A Coffee hesabı var artık. Buradan destek olmak çoook daha kolay. Patreon'da sorun yaşayanlar için açtım efendim. Buyurun:https://www.buymeacoffee.com/yenihallerEray Özer'e ulaşmak için:https://www.instagram.com/eray_ozerhttps://twitter.com/ErayOzeryenihallerpodcast@gmail.com
3+3'ün 116. bölümünde konuğum Pembe İzler Kadın Kanserleri Derneği Başkanı Arzu Karataş.
SKANDAL KADIN..PEMBE ODA İFTİRACISI..DİLİ YALAN VİCDANI TAŞ..VEKİL KÜRSÜDE ÖLÜRKEN O OHH ÇEKTİ.. İrfan Galip Dumlu ile SAKLI HAYATLAR... - KADIN DÜŞMANI KADIN VEKİL - VEKİL ÖLÜRKEN OH ÇEKEN KADIN - SARAY'IN SÜRÜSÜ KADIN ÇOBANA EMANET! - 2013 SONUNDA YÖRÜNGEDEN ÇIKTI - 17/25 ARALIK SONRASI BOŞANDI - MESELE İSTANBUL SÖZLEŞMESİ DEĞİL - ONURSUZ AHLAKSIZ BİR AÇIKLAMA - PEMBE ODA İFTİRACISI... - AKP'DEN ÖNCE KADIN YOKTU!
Kendine has tarzı ile Avrupa'da büyük soygunlar yapan, Yugoslavya'nın dağılmasından beri aktif olan ve tam olarak yakalanamayan bir oluşum ile karşınızdayız. İsimleri Pembe Panter olarak konan bu hırsızlık çetesini ele aldığımız bölümümüz yayında!Support the showBize ulaşmak için: Twitter @hkbu_podcast İnstagram @hkbu.podcast Facebook hkbupodcast.com hkbu.podcast@gmail.com Bizimle yolculuğa devam ettiğin için teşekkürler!
“İdeal” vulva algımızı neler şekillendiriyor? Vulvalarımızın nasıl görünmesi gerektiğine kim karar verdi? Pembe vulva takıntısının kökeninde neler var? Mental Klitoris'in bu bölümünde, Jinekolog Irmak Saraç, Dermatolog Bengisu Özarslan, Psikiyatrist ve Cinsel Terapist Seven Kaptan ve Akademisyen Gizem Sivri'den aldığım görüşlerle pembe am takıntısını ve son dönemlerde popülerliği gittikçe artan vulva ağartma uygulamalarını konuştuk.------- Podbee Sunar -------Bu podcast, Cambly hakkında reklam içerir. Cambly'de yılın en büyük indirimi %60'dan podcast6 koduyla faydalanmak için tıklayınız. Bu podcast, TAKK hakkında reklam içerir. TAKK hakkında daha detaylı bilgi almak için tıklayınız. See Privacy Policy at https://art19.com/privacy and California Privacy Notice at https://art19.com/privacy#do-not-sell-my-info.
Trend Spor'da bu hafta A Milli Erkek Futbol Takımı'nın son durumunu ve Türkiye Futbol Federasyonu'nun Play-off anketini konuştuk. Milli takım gündemine ek olarak da Fenerbahçe'nin muhtemel Andre Gomes transferine ve Novak Djokovic'in Amerika Açık'ı kazanmasına değindik. Keyifli dinlemeler!Konuk: Niko YenibayrakSee Privacy Policy at https://art19.com/privacy and California Privacy Notice at https://art19.com/privacy#do-not-sell-my-info.
Fidiro Kahvesi bu bölümünde yıl boyu tartışmalara konu olan Kızılcık Şerbeti dizisinin ilk 18 bölümündeki olayları ele alıyor. Pembe'nin manipülasyonlarını, Abdullah'ın çıldırtıcı bahanelerini, Ömer'in hadsizliğini ve Nursema ile Umut'un aşkını konuştuğumuz bu bölüm müdavimlerimizi dizinin anlatısını kabul etmek ve tartışmaya açmak arasında bir ikileme sürüklüyor. Nursema karakteri nasıl geliştirilebilirdi? Amerika'da okuyan zengin muhafazakar kadınlar nasıl sosyalleşir? Fatihleri anlamak zorunda mıyız? Erkeklik krizleri dizide nasıl tezahür ediyor? Kıvılcım özür dilemeli mi? Pembe biz genç kadınları neden çıldırtıyor?Bu ve birçok soruyu samimiyetle kovaladığımız muhabbetimize sizler de buyrun ve dinledikten sonra yorumlarınızı bizimle paylaşmayı unutmayın!Support the show
Türkiye'den Melbourne'a 4 ay önce dil kursu için gelen Göktuğ Can, yeni öğrencilere işverenler tarafından uygun görülen muamele karşısında yaşadığı hayal kırıklığını anlattı.
Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambaye pia ni Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS), Nicholas Haysom ametahadharisha kwamba muda unazidi kuyoyoma kuelekea Sudan Kusini kufanya uchaguzi mkuu unaotarajiwa mwezi Desemba mwaka ujao wa 2024 lakini bado masuala muhimu ya kuufanya uchaguzi huo uende kama ulivyopangwa bila kuchelewa hayajakamilika."Ikiwa imesalia miezi 17 tu kwenye ratiba ya kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024, narudia kile nilichokisema katika mkutano wa awali na waandishi wa habari, kwamba mwaka 2023 ni mwaka wa 'kutengeneza au kuvunja'," amesema Bwana Haysom mapema leo Agosti pili alipozungumza na vyombo vya Habari mjini Juba ambao ni mji mkuu wa nchi hiyo changa zaidi duniani. Ghasia miongoni mwa jamii za Sudan Kusini zinaendelea kuongezeka pamoja na shinikizo la kuongezeka kwa ufinyu wa rasilimali huku maelfu ya watu wakiendelea kuingia nchini humo wakikimbia mapigano katika nchi jirani ya Sudan. Kwa mujibu wa Bwana Haysom, miongoni mwa hatua muhimu ambazo inabidi zichukuliwe ni pamoja na hitaji la kuunda upya vyombo vitatu muhimu, ambavyo ni, Tume ya Kitaifa ya Marekebisho ya Katiba, Tume ya Kitaifa ya Uchaguzi, na Baraza la Vyama vya Kisiasa; kukamilisha mipango ya mpito ya usalama; kuendeleza mchakato wa kudumu wa kutengeneza katiba; na kuunda nafasi za kiraia na kisiasa ambapo kila raia ana uhuru wa kujadili na kujihusisha na uchaguzi wa kisiasa na kikatiba bila woga. "Kufanya uchaguzi tu hakutoshi - uaminifu, uwazi na ushirikishwaji wa mchakato ndio unaoleta uhalali. Hii ni pamoja na kwamba vyama vya siasa lazima viweze kujiandikisha na kufanya kampeni kwa uhuru; asasi ya kiraia kwa ajili ya elimu ya uraia na kuwa waangalizi wa mchakato. Inajumuisha vyombo vya habari vinavyoweza kuripoti kuhusu mchakato huo na kutoa nafasi kwa sauti na maoni mbalimbali kwa wapiga kura kufanya uamuzi sahihi,” amesema Mwakilishi huyo wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini. Aidha Bwana Haysom amesisitiza kuwa UNMISS itaendelea kuiunga mkono Sudan Kusini katika michakato ya uchaguzi na uundaji wa katiba kwa kushirikiana na wadau wa kikanda kama vile Muungano wa Afrika (AU) na mamlaka ya pamoja ya kitaifa kwa ajili ya maendeleo kwenye eneo la Pembe ya Afrika (IGAD).
Hii leo jijini New York Marekani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kwakushirikiana na nchi saba wanachama wa UN wanaendesha tukio la uchangishaji fedha lengo likiwa ni kukusanya dola bilioni 7 kwa ajili ya usaidizi wa kibinadamu kwa nchi zilizopo pembe ya Afrika. Kwa miongo kadhaa pembe ya Afrika imekuwa ikikabiliwa na ukame mkali hali iliyofanya takriban watu milioni 43.3 kuhitaji usaidizi wa kuokoa maisha na kustahimili changamoto zinazo wakabali hususan katika nchi za Kenya, Somalia na Ethiopia.Ukame umeleta njaa, kutokuwa na uhakika wa upatikanaji wa chakula na shida ya maji ambayo inachangia katika kuleta magonjwa.Hivi karibuni mvua zimeanza kunyesha, wananchi wamekuwa wakitarajia zitasaidia kupunguza changamoto zao lakini kama waswahili wasemavyo ‘ngombe wa masikini hazai' ndicho kilichotokea kwa nchi hizo kwani mvua kubwa zimeleta mafuriko na kwa mujibu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura, OCHA zaidi ya watu 900,000 wameathiriwa na mvua hizo.Mmoja wa watu hao ni Abdirahaman Ali Sheikh kutoka nchini Somalia, “Angalia hali ilivyo sasa, maji yametapakaa kwenye nyumba yangu yote na watoto wangu.”Bi. Qiyaas Axmed Farax amelazimika kuyakimbia makazi yake sababu ya mafuriko na sasa anahitaji msaada wa kibinadamu.“Tunahitaji chakula, malazi na maji, hatuna kitu, nguo zetu, vyakula na vingine vyote vimesombwa na maji. Watoto wangu walikuwa hatarini lakini namshukuru Mungu kwasasa tupo salama.”Mkutano huu wa ngazi za juu unaofanyika hapa jijini New York Marekani unatarajia kusaidia zaidi ya watu milioni 32 ikiwemo hawa waliathirika na mafuriko.Nchi saba zinazoshirikiana na Katibu Mkuu Guterres katika kendesha tukio hilo la ahadi ni Marekani, Uingereza, Qatar, Italia pamoja na nchi ambazo zinauhitaji wa haraka wa misaada hiyo ambazo ni Ethiopia, Somalia na Kenya.
Hii leo ni siku ya Kimataifa ya Kutokomeza Fistula na jaridani kama ilivyo ada ya kila Jumanne leo tunakuletea mada kwa kina ikimulika juhudi za kutokomeza Fistula zinazofanywa na Hospitali ya CCBRT nchini Tanzania. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo za utapiamlo kwa watoto katika Pembe ya Afrika na msaada wa kibinadamu nchini Myanmar. Mashinani tunakuletea ujumbe kuhusu hatua zinapaswa kuchukuliwa ili kuzuia fistula itokanayo na uzazi. Fistula ya uzazi ni shimo kati ya njia ya uzazi na kibofu cha mkojo au rektamu, inayosababishwa na uchungu wa kujifungua wa muda mrefu, bila kupata matibabu ya wakati, na ya hali ya juu. Maudhui ya mwaka huu ni “Miaka 20 ya vita dhidi ya ugonjwa huu kuna maendeleo lakini hayatishi, hivyo hatua zhitajika sasa kutokomeza Fistula ifikapo 2030”. Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF limeonya kwamba Watoto zaidi ya milioni 7 wa umri wa chini ya miaka mitano katika Pembe ya Afrika wana utapiamlo na wanahitaji msaada wa haraka wa lishe huku wengine zaidi ya milioni 1.9 wakiwa katika hatari ya kifo kutokana na unyafuzi.Na jumuiya ya kimataifa nchini Myanmar leo imezindua ombi la dola milioni 333 ili kuwasaidia watu millioni 1.6 walioathirika na kimbunga Mocha kilichoikumba nchi hiyo Mei 14.Katika mashinani tunajiunga na mshauri wa kanda ya Afrika katika masuala ya afya ya jinsia na uzazi kufahamu ni hatua gani zinapaswa kuchukuliwa ili kuzuia fistula itokanayo na uzazi.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, Karibu!
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambapo tunamulika juhudi za wanawake wa jamii ya kifugaji mkoani Arusha ambao wameamua kujihusisha na ufugaji nyuki. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo za siku za UN, msaada wa kibinadamu nchini Sudan na ulizi wa amani nchini DRC. Na katika jifunze lugha ya tunakuletea maana ya methali JINO LA PEMBE SI DAWA YA PENGO, karibu!.Hii leo ni siku ya kimataifa ya wanawake katika sekta ya usafirishaji baharini ambapo Katibu Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la usafirishaji baharini, IMO, Kitack Lim ametoa ujumbe ambao pamoja na mambo mengine unatambua mchango wa wafanyakazi hao baharini na nje ya bahari katika kusaidia mpito wa kupunguza utoaji wa hewa ya ukaa, matumizi ya dijitali na mustakabli endelevu wa tasnia hiyo. Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani, WFP limefikishia jumla ya watu 54,000 msaada wa dharura wa chakula kwenye vituo viwili vya mpakani huko Aswan na Misri wakati huu ambapo familia zinazidi kuingia Misri zikikimbia mapigano nchini Sudan.Na huko Bukavu, jimboni Kivu Kusini, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo unaendesha mafunzo kwa polisi wa DRC juu ya ulinzi wa raia ambacho ni kipaumbele muhimu cha kupatia polisi hao usaidizi muhimu wa kuongeza uelewa wa jukumu hilo kuelekea mpito wa MONUSCO kuondoka nchini humo.Na katikajJifunze Kiswahili Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mkuu wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anachambua methali Jino la Pembe si dawa ya pengo.Mwenyeji wako ni Anold Kyanda, Karibu!
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mkuu wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anachambua methali, "Jino la Pembe si dawa ya pengo".
Katika siku ya pili na ya mwisho ya ziara yake nchini Somalia Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewapongeza watu wa Somalia akisema licha ya changamoto lukuki zinazowaandama wameendelea kuwa imara na kuonyesha mnepo wa hali ya juu, akiwataka kuendelea kufanya hivyo kwa ajili ya kizazi hiki na kijacho. Flora Nducha na tarifa zaidiAntonio Guterres ametoa pongezi hizo katika mkutano na waandishi wa habari wa kuhitimisha zira yake ya mshikamano mjini Moghadishu akisema tangu alipofika mara ya mwisho nchini humo miaka sita iliyopita kuna mabadiliko kwani sasa Somalia hatua kubwa zimepigwa katika mchakato wa amani , usalama na maendeleo endelevu.Amempongeza pia Rais wa taifa hilo la Pembe ya Afrika Hassan Sheikh Mohamud kwa juhudi zake za kusongesha mchakato wa amani na usalama na kuainisha umuhimu wa kuwa na ushirikiano imara sio tun a Umoja wa Mataifa bali nan chi wanachama wa serikali ya shirikisho ili kushughulikia tishio la magaidi wa Al-Shabaab.Katibu Mkuu amewahakikishia Wasomali dhamira ya Umoja wa Mataifa kulisaidia juhudi za taifa hilo na za kikanda katika kulinda haki za binadamu na kupambana na ugaidi na uhalifu wa itikadi kali ikiwemo kupitia mpango wa muungano wa Afrika nchini humo.Guterres ameongeza kuwa “Ziara yangu ya mwisho mwaka 2017 ilikuwa wakati wa operesheni kubwa ya kuepusha baa la njaa. Leo hii hali kwa mara nyingie ni ya kutia hofu, kwani mabadiliko ya tabianchi yameleta zahma kubwa, misimu 5 isiyo na mvua ambayo si kawaida na ukame tayari umeshakatili Maisha ya watu 43,000 2022 pekee na kutawanya watu wengine milioni 1.4 huku asilimia 80 wakiwa ni wanawake na Watoto.”Amesem changamoto hizo na ukiongeza na mfumuko wa bei ya chakulaumezifanya jamii za masikini kusukumwa kwenye ukingo wa njaa akikadiria kwamba kati ya sasa na Juni Wasomali milioni 6.5 watakabiliwa na viwango vya juu vya kutokuwa na uhakika wa chakula hali inayodhihirisha kwamba baa la njaa bado linanyemelea.Amesisitiza kuwa hatua lazima zichukuliwe sasa kuepusha janga kubwa Zaidi hasa akiwasihi wahisani kunyoosha mkono Zaidi kwani ombi la kibinadamu kwa ajili ya Somalia 2023 ambalo n idola bilioni 2.6 zimefadhiliwa kwa asilimia 15 pekee hadi sasa. Hata hivyo Katibu Mkuu katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani amewapa matumaini Wasomali kwa ahadi ya Umoja wa Mataifa kushikamana nao katika kusongesha amani na usalama, maendeleo endelevu, haki za binadamu na ujenzi wa mustakbali bora kwa Wasomali wote.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambapo tutaangazia jitihada za serikali na wadau nchini Kenya kupambana na saratani. Pia tunakuletea habari kwa ufupi kutoka Somalia, Ethiopia, Hatay na Kahramanmaraş. Na mashinani tunakwenda nchini Syria, kulikoni?Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres aliyeko Somalia kwa ziara ya mshikamano na taifa hilo wakati huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ametoa wito kwa wahiasani na jamii ya kimataifa nao kuonesha mshikamano wao kwa kufanikisha ombi la usaidizi wa kiutu Somalia kwa mwaka huu wa 2023 ambalo limefadhiliwa kwa asilimia 15 pekee.Tukisalia na Pembe ya Afrika, msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR huko Geneva Uswisi Olga Sarrado amesema uhamishaji wa wakimbizi wapya waliowasili kwenye mkoa wa Somali nchini Ethiopia baada ya kukimbia mapigano mji wa Lascanood nchini Somalia tayari ambapo wakimbizi 1,036 walio hatarini zaidi wamehamishwa kutoka maeneo ya mipakani kwenye maeneo ya ndani zaidi katika siku tatu zilizopita.Na katika jitihada za kulinda urithi wa kitamaduni nchini Uturuki ambao hauwezi kupatiakna tena kufuatia matetemeko ya ardhi nchini humo, shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo duniani, UNDP limefikisha shehena ya kwanza ya kontena 20 kwenye makumbusho ya malikale huko Hatay na Kahramanmaraş.Na katika mashini tutakupeleka Aleppo Hatay na Kahramanmaraş katika hospitali kuu ambayo inatoa huduma mbalimbali zikiwemo za watoto na wamama wajawazito ambao pia ni waathirika wa tetemeko la ardhi.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, Karibu!
Jaridani leo tunaangazia Afya na elimu. Makala tunasalia hapa makao makuu kufuatilia kazi ya vijana katika kutafuta suluhisho endelevu la upatikanaji wa maji barani Afrika na mashinani tutaelekeanchini Tanzania, kulikoni?Mashirika manne ya kimataifa yakiwemo matatu ya Umoja wa Mataifa yanayotekeleza mpango wa kimataifa wa ‘Afya Moja' au ‘One Health', hii leo yametoa wito wa ushirikiano wa kimataifa ili kujenga mifumo imara ya afya kufanikisha kukabiliana na changamoto ngumu za kiafya zinazoukabili ulimwengu.Ukame unaoendelea Pembe ya Afrika umeathiri shule zaidi ya 100 katika kaunti ya Turkana Kenya na kusababisha watoto wengi kuacha shule. Sasa shirika la umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF nchini Kenya kwa ushirikiano na mradi wa Educate a child wanaisaidia serikali kusajili watoto shuleni na kuhakikisha waliosajiliwa wanasalia shuleni.Katika makala Assumpta Massoi wa Idhaa hii ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa anazungumza na Lauriel Kivuyo, Mwanaharakati kijana huyu wa tabianchi kutoka Tanzania ambaye alishiriki mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Maji.Na katika mashinani tunaelekea nchini Tanzania kusikiliza shairi ambalo limeandikwa na kukaririwa kwa ajili ya kutetea haki za watoto hususani wasichana.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Ukame unaoendelea Pembe ya Afrika umeathiri shule zaidi ya 100 katika kaunti ya Turkana Kenya na kusababisha watoto wengi kuacha shule. Sasa shirika la umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF nchini Kenya kwa ushirikiano na mradi wa Educate a Child wanaisaidia serikali kusajili watoto shuleni na kuhakikisha waliosajiliwa wanasalia shuleni."Niliacha shule nikaenda mitaani, Maisha mitaani yalikuwa magumu sana, njaa kila siku na nilikosa mahali pa kula na kulala.”Huyo ni Emmanuel Ekiru mwenye umri wa miaka 10 mmoja wa wanafunzi walioathirika katika kaunti hii ya turkana na kulazimika kuacha shule, ambapo takwimu za UNICEF zinaonyesha kwamba zaidi ya wanafunzi 22,200 wameathirika na ukame huo na karibu shule 40 hivi sasa hazina huduma za kutosha za maji safi na salama.Ukame huo pia umesababisha hali ngumu ya maisha na kushindwa kujikimu kwa familia nyingi, Teresa Asinyen ni mama wa Emanuel anasema ili kukidhi mahitaji ya familia “ Imeniladhimu kusenya kuni na kuuza na pia kufanyakazi za ndani kwenye nyumba za watu. Natumia fedha ninazopata kulisha watoto wangu . Kulikuwa na ukame mbaya wati wa janga la COVID-19, na shule zilizpofungwa watoto walikwenda kusaka chakula, nilihaha kulisha watoto wangu na mara nyingi walijilisha wenyewe.”Lakini sasa UNICEF kwa kushirikiana na mradi wa Educate a child au elimisha mtoto wanaisaidia serikali kurejesha shuleni watoto kama Emmanuel na kusajili wapya huku pia wakiwapa mlo shuleni . Hadi kufikia sasa Watoto 157,000 wamefaidika na mradi huo akiwemo Emmanuel. Mwalimu Mary Ikay kutoka shule ya msingi ya Nakwamekwi ndiye aliyeenda kuzungumza naye, “Niliweza kukutana na Emmanuel nikajaribu kuzungumza naye kama mwanangu , nikamuuliza shida ilikuwa ni nini , ndipo nikaweza kumleta shuleni na mwalimu mkuu alichukua hatua kumsaidia, kuzungumza naye na kumpatia mahitaji ambayo hakuwa nayo ili aweze kuendelea na masomo na pia kumuingiza kwenye program yam lo shuleni.”UNICEF inasema lengo ni kufikia watoto 48,000 walioacha shule na kuwarejesha shuleni katika kaunti nne ikiwemo Turkama, West Pokot, Baringo na Samburu.Lakini kwa Emmanuel sasa mambo yamebadilika hata ana ndoto, “Nikienda shule sasa nafurahia masomo , nikiwa mkubwa nataka kuwa daktari"
Hii leo jaridani mada kwa kina ambayo leo inatupeleka Kenya kuangazia umuhimu na faida za lugha mama. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo ukame Pembe ua Afrika, wakimbizi nchini Somalia na watoto waathirika wa tetemeko la ardhi nchini Uturuki . Mashinani tutakupeleka nchini Yemen, kulikoni?.Ukanda wa Pembe ya Afrika ukiingia msimu wa sita bila mvua, ukimbizi wa ndani unazidi kushamiri kwa kuwa mamilioni ya watu kutoka Somalia, Ethiopia na Kenya wanaendela kuhaha katikati ya uhaba wa maji, njaa, ukosefu wa usalama na mizozo, amesema Olga Sarrado, msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR akizungumza na waandishi wa habari hii leo huko Geneva, Uswisi.Tukisalia Pembe ya Afrika, hususan Somalia, shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji, IOM limesema idadi ya wakimbizi wa ndani nchini Somalia ikifikia kiwango cha juu cha watu milioni 3.8, shirika hilo linategemea uwekezaji wa wahisani kwenye majawabu ya kuepusha zaidi ukimbizi wa ndani na kushughulikia mazingira duni ya maisha kwa mamilioni ya walioathiriwa na ukame na mzozo unaoendelea nchini humo.Na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF, Catherine Russell amehitimisha ziara yake ya siku mbili nchini Uturuki na kusema watoto milioni 2.5 wanahitaji msaada wa dharura kufuatia matetemeko makubwa ya ardhi yaliyokuba kusini-mashariki mwa nchi hiyo na kaskazini mwa Syria mapema mwezi huu.Na katika mashinani tutaelekea Aden nchini Yemen ambako huko Bi. Fatima Muhammed Saeed mkimbizi wa ndani mwenye umri wa miaka 35 na mama wa watoto 9 anasema hapo awali kabla ya kukimbia vita maisha yalikuwa mazuri lakini sasa wanaishi maisha ya aibu na magumu mpaka hata kupata utapiamlo.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Nchini Kenya, mfululizo wa misimu mitano bila mvua umeathiri maisha ya jamii zilizo hatarini. Vyanzo vya maji vimekuwa mbali, mimea imekauka, mifugo nayo imekufa. Mambo yote haya yamesababisha watu kutokuwa na uhakika wa kupata chakula, halikadhalika kupungua kwa uzalishaji wa maziwa, bei za vyakula zimepanda, bei za nishati huku uwezo wa watu kununua bidhaa umeporomoka.Watoto nao hali zao za lishe zimezidi kudorora ambapo hadi mwezi Juni mwaka 2022 kitaifa asilimia 26 ya watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano nchini Kenya, au tuseme watoto milioni 1.5, walikuwa na utapiamlo mkali au unyafuzi. Sekta binafsi kwa ushirika na Umoja wa Mataifa imechukua hatua kuhakikisha watoto hao wanapona unyafuzi na miongoni mwao ni kiwanda cha Insta kinachozalisha chakula lishe ambacho ki tayari kuliwa na mtoto na kina virutubisho au kwa kifupi kiingereza RUTF. Makala hii inakuletea kwa kina kuhusu kiwanda hicho na kauli ya UNICEF. Msimulizi wako ni Thelma Mwadzaya.
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO linasema idadi ya milipuko ya magonjwa iliyoripotiwa na pia dharura za kiafya zinazohusiana na tabianchi katika Ukanda wa Pembe ya Afrika zimefikia kiwango cha juu zaidi kuwahi kutokea karne hii, na hivyo kuzidisha janga la kiafya katika eneo ambalo watu milioni 47 tayari wanakabiliwa na njaa kali. Mfano wa hivi karibuni ni katika maeneo kadhaa ya Pembe ya Afrika kama Somalia.WHO na mashirika mengine ya Umoja wa Mataifa likiwemo la uhamiaji, IOM na wadau wengine wanashirikiana kuwasaidia watu waliko katika hatari zaidi kwenye maeneo mbalimbali ya somalia wakiwemo waliofurushwa katika maeneo ya viunga vya mji wa Baidoa. Makala hii iliyoandaliwa na WHO inasimuliwa kwa kina na Anold Kayanda.
Ukame katika ukanda wa Pembe ya Afrika umeleta madhara makubwa kwa ustawi wanadamu na ikolojia nzima katika eneo hilo. Madhara ya moja kwa moja yaliyoshuhudiwa na watu wa ukanda huo zikiwemo nchi za Somalia, Kenya, Ethiopia na maeneo ya kaskazini mwa Uganda ni ukosefu wa chakula na hivyo kusababisha utapiamlo hasa utapiamlo mkali kwa watoto.Mashirika ya Umoja wa Mataifa likiwemo la Afya Ulimwenguni, WHO na wadau wake, wameingilia kati ili kupunguza makali ya tatizo hilo kama si kulimaliza kabisa. Anold Kayanda ameangazia hatua hizo na kutuandalia makala ifuatayo.
Umoja wa Mataifa na wadau wake wa masuala ya kibinadamu nchini Kenya wameomba dola milioni 472.6 kusaidia watu milioni 4.3 walioathiriwa na ukame, ili kuunga mkono mwitikio unaoongozwa na Serikali, huku janga hilo likitarajiwa kuwa mbaya zaidi. Hali katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo katika Pembe ya Afrika, ni mbaya. Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua anaeleza kuwa mzigo huu wa janga la mabadiliko ya tabianchi ni mkubwa kwa nchi yake na kwa hivyo ni muhimu jumuiya ya kimataifa ikasaidia lengo hilo la Umoja wa Mataifa kwani hali ya wananchi inazidi kuwa mbaya. Mfano mmoja ni katika Kaunti ya Garissa ambako video iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa Mazingira, UNEP, inaonesha hali ya wananchi kuwa maisha yako hatarini. Kutoka Kenya, Mwadishi wetu Thelma Mwadzaya anaeleza zaidi kupitia makala hii.
Hii leo katika Habari za UN tunakuletea Mada kwa Kina, Habari kwa Ufupi na Methali ni mwanzo kokochi, mwisho nazi. Mada kwa Kina: Inajikita Rwanda ambako Flora Nducha wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa alishiriki Umuganda ambao ni mradi wa kijamii wa uhifadhi wa mazingira na kupambana na mabadiliko ya tabianchi. Shughuli ilifanyika Kigali, mji mkuu wa Rwanda.Habari kwa Ufupi: Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limesema miezi miwili tangu mafuriko yakumbe Pakistani, watoto zaidi ya milioni 2 hawajaweza kwenda shule kwa sababu shule zao haziingiliki baada ya mafuriko kuharibu takribani shule elfu 27 nchini humo.Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula duniani, WFP Kanda ya Pembe ya Afrika Michael Dunford amezungumza na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa na kusema kwa kipind icha miezi sita ijayo, watahitaji dola bilioni 2.1 kukidhi mahitaji ya kibinadamu ya wakazi wa eneo hilo waliokumbwa na ukame uliodumu kwa miongo minne sasa.Na Umoja wa Mataifa umeonya hii leo kuwa njaa na utapiamlo vinaongezeka katika maeneo yote yaliyokumbwa na mafuriko, ukame na mizozo nchini Sudan Kusini huku naadhi ya jamii zikiwa hatarini kukumbwa na njaa iwapo misaada ya kibinadamu haitakuwa endelevu, halikadhalika mikakati ya kukabili madhara ya mabadiliko ya tabianchi haitaimarishwa.Methali: Mwanzo kokochi, mwisho nazi na mchambuzi ni Josephat Gitonga, Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya, kitengo cha Utafsiri na Ukalimani. Karibu na mwenyeji wako ni Assumpta Massoi.
Ukame uliolighubika eneo la Pembe ya Afrika kwa miongo minne mfululizo umesababisha changamoto kubwa kwa mamilioni ya raia wa Kenya, Ethiopia na Somalia nchi ambayo maeneo mengi yanakabiliwa na kutokuwa na uhakika wa chakula na hatihati ya kutumbukia kwenye baa la njaa. Mashirika ya misaada ya kibinadamu likiwepo la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP yako mstari wa mbele kuwasaidia watu wenye uhitaji hususani wa chakula. Flora Nducha na maelezo zaidi!Akizungumza na UN News Mkurugenzi wa WFP Pembe ya Afrika Michael Dunford amesema hofu ya baa la njaa bado ni mtihani mkubwa hasa nchini Somalia.Amesema, “kwa bahati mbaya bado baa la njaa bado ni tishio nchini Somalia, tathimini inaendelea na tunaweza kushuhudia kabla ya mwisho wa mwaka huu au pengine mapema mwakani kutangazwa kwa hali ya baa la njaa katika badhi ya shehemu Somalia, kinachoniogopesha zaidi ni kwa sababu hadi wakati huo tuna tatizo kubwa la mvua, ukame utaendelea na huenda tunashuhudia hali hiyo ikitokea pia katika baadhi ya nchi za jirani.” Hali hiyo imesababisha kupanda kwa gharama za chakula Ukanda mzima na bwana Dunford alipoulizwa endapo mradi wa bahari Nyeusi wa kusafirisha nafaka umesaidia chochote kupunguza gharama hizo za chakula katika Pembe ya Afrika amesema, “bila shaka umekuwa na tija ndio maana ni muhimu saba ukaendelea, sio tu kwa upatikanaji wa bidhaa lakini pia mbolea. Unajua kwamba ukanda huo ni mzalishaji mkubwa wa mbolea na kiasi kikubwa kinapelekwa kwenye pembe ya Afrika. Kupungua kwa bei ya mbolea kunamaanisha kuongezeka kwa mazao kwa wakulima na hatimaye kuongeza uhakika wa chakula. Hivyo sababu zote zinahitaji kutiliwa maanani na wafanya maamuzi. Kwa hakina hatutaki kuona kwamba baada ya majadiliano mengi mradi huo unaruhusiwa kuteleza”
Hii leo katika Habari za UN Assumpta Massoi anamulika masuala yafuatayo:1. Ukame uliolighubika eneo la Pembe ya Afrika kwa miongo minne mfululizo umesababisha changamoto kubwa kwa mamilioni ya raia wa hilo ikiwemo Kenya, Ethiopia na zaidi Somalia ambako maeneo mengi yanakabiliwa na kutokuwa na uhakika wa chakula na hatihati ya kutumbukia kwenye baa la njaa. Mashirika ya misaada ya kibinadamu likiwepo la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP yako msitari wa mbele kuwasaidia watu wenye uhitaji hususani wa chakula.2. Takriban watoto milioni 3 wenye umri wa chini ya miaka mitano nchini Sudan, wanakabiliwa na utapiamlo, ambapo kati yao 650,000 wanakabiliwa na utapiamlo mkali sana. Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF linafanya kila juhudi ili kuwasaidia watoto hawa kama anavyosimulia.3.Makala: Ttunakwenda Arusha nchini Tanzania kusikia wanufaika wa mafunzo yaliyoandaliwa na Umoja wa Mataifa kwa lengo la kuimarisha matumizi ya eneo huru la biashara barani Afrika.4. Mashinani: Ttunabisha hodi jimbo la Kusini mwa Rwanda katika wilaya ya Huye kwake Vital Migabo mbaye ni mkuu wa tarafa ya Tumba akieleza kwa nini ameona umuhimu wa kujifunza lugha ya Kiswahili. Karibu!
İlk Cinayet Evet, acaba dört yaşında var mıydım? Ondan evvel hiçbir şey bilmiyorum. Tolstoy, daha dokuz aylık bir çocukken kendisinin banyoya sokulduğunu hatırlıyor. İlk duygusu bir haz! Benimki müthiş bir ıstırap ile başladı. Ben kendimi ilk defa şirket vapurunda hatırlıyorum. Hâlâ gözümün önünde: Sanki dünyaya o anda doğmuşum, annemin kucağındayım. Gürültülü bir kadın kalabalığı... Annem, yanındaki sarı saçlı genç bir hanımla gülüşerek konuşuyor. Mevsim galiba yaz. Çok aydınlık, güneşli bir hava... Annem konuşurken mavi tüylü bir yelpazeyi yavaş yavaş sallıyor. Ben kucağından kayıyorum. Beni kollarımdan tutarak yanına oturtuyor. Gümüş maşacığın halkasına parmağımı takıyor, annem görmeden ucunu ağzıma sokuyor, dişlerimle ısırıyorum. Konuştuğu sarı saçlı hanımın elbisesi mavi. Ben beyazlar giymişim. Başım açık. Saçlarım çok. Hem galiba dağılmış. Annem bunları düzeltirken başımı yukarı kaldırıyorum. Güneşten kum kum parlayan tentenin kenarında el kadar bir gölge kımıldıyor. – Bak, bak, diyorum. Annem de başını kaldırıyor: Kuş konmuş, diyor. Bu kuşu isteyince: – Tutulmaz, diyor. Ben yine istiyorum. Annem şemsiyesiyle bu gölgenin altına vuruyor. Fakat gölgede hareket yok. Yine yanındaki hanıma dönüyor. – Aa, kaçmadı. – Niçin acaba? – Yavru olmalı mutlaka. – ... – Anne, ben kuşu isterim, diye tutturuyorum. O zaman annem yelpazesini bırakıp ayağa kalkıyor, beni koltuklarımın altından tutup küçük bir top gibi yukarıya kaldırırken diyor ki: – Birdenbire tut ha! Başım ketenin hizasını aşınca, gözlerim kamaşıyor, ellerimi uzatıyorum. Tutuveriyorum. Bu beyaz bir kuş. Annem alıyor elimden, öpüyor, sarı saçlı hanım da öpüyor, ben de öpüyorum. – A zavallı daha yavru. – Martı yavrusu. – Uçamıyor olmalı. – Denize düşerse boğulur. – ... Öteki kadınlar da lafa karışıyor, “yaşamaz!” diyorlar. Annem beyaz kuşu, – A zavallı, a zavallı, diye uzun uzun okşadıktan sonra benim kucağıma veriyor. – Eve götürelim, belki yaşar, diyor, amma sakın sıkma yavrum. – Sıkmam. – Böyle tut işte. Annem, yanındaki hanımla yine lafa dalıyor. Kuşcağızın tüyleri o kadar beyaz ki... Dokunuyorum... Kanatlarının kemikleri belli oluyor. Ayakları kırmızı. Kaçmak için hiç çırpınmıyor, şaşırmış. Gözleri yusyuvarlak. Kırmızı gagasının kenarında sanki sarı bir şey yemiş de bulaşığı kalmış gibi sarı bir iz var. Boynunu uzatarak etrafa bakmaya çalışıyor. Ben o sırada anneme bakıyorum. Yanındaki hanımla gülüşerek konuşuyorlar. Benimle meşgul değil. Sonra beyaz kuşun uzanan ince boynunu yavaşça elimle tutuyorum. Bütün kuvvetimle sıkmaya başlıyorum. Kanatlarını açmak istiyor. Öteki elimle onları da tutuyorum. Mercan ayakları dizlerime batıyor. Sıkıyorum, sıkıyorum, sıkıyorum. Dişlerimi, kırılacak gibi sıkıyorum, gık diyemiyorum. Sarı kenarlı gagacığı titreyerek açılıp kapanıyor. Pembe sivri dili dışarı çıkıyor. Yuvarlak gözleri önce büyüyor. Sonra küçülüyor, sonra sönüyor... Birdenbire kasılmış ellerimi açıyorum. Beyaz kuşcağızın ölüsü “pat” diye düşüyor yere. ... Annem dönüyor, eğiliyor. Yerden bu henüz sıcak cesedi alıyor: – A... A... Ölmüş... dedikten sonra bana dik dik bakıyor: – Ne yaptın? – ... – Sıktın mı? – ... – Söyle bakayım? – ... Cevap vermiyor, avazım çıktığı kadar ağlamaya başlıyorum. Annemin elinden beyaz kuşun ölüsünü sarı saçlı hanım alıyor: – Ah ne günah! – Zavallıcık. Başka kadınlar da lafa karışıyor. Karşımızda oturan şişman, ihtiyar bir kadın cinayetimi haber veriyor: – Boğdu. Gördüm vallahi, ne hain çocuk... Annem sapsarı kesilmiş, sesi titriyor: – Ah insafsız, diye bana tekrar acı acı bakıyor. Daha beter ağlıyorum. O kadar ağlıyorum ki... Beni artık susturamıyorlar. Ne vakit, nerde, nasıl sustuğumu bugün hatırlayamıyorum. Sanki ebediyen ağlıyorum. Kendimi bilir bilmez yaptığım bu cinayetin üzerinden işte otuz seneden fazla zaman geçti. Şimdi şirket vapurlarının güvertelerinde otururken ne zaman bir martı görsem, birdenbire, neşemi kaybederim. Bir çocuk feryadıyla ağlamak isterim. Kalbimin içinde derin bir sızı büyür. Göğsümü acıtır. – Ah insafsız, diye beni azarlayan anneciğimin ezelî azarlayışını duyar gibi olurum. Ömer SEYFETTİN
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF leo limemteua na kumtangaza mwanaharakati wa mazingira kutoka nchini Uganda Vanessa Nakate kuwa balozi mwema mpya wa shirika hilo. Vanessa Nakate, Balozi mwema wa UNICEF, akiwa ziarani Turkana nchini Kenya alitembelea hospitali ya rufaa ya Lodwar na hapo anazungumza na mtoto Eunice Asukuku ambaye alifikishwa hospitali kwa tatizo la utapiamlo mkali, kuvimba mwili na ukosefu wa damu. Chanzo cha matatizo ni uhaba wa chakula utokanao na ukame uliosababishwa na mabadiliko ya tabianchi. Uteuzi wa Vanessa, mwenye umri wa miaka 25 unafuatia ziara yake kwenye Pembeme ya Afrika ambako alishuhudia jinsi gani mabadiliko ya tabianchi yalivyochangia athari mbaya kwa maisha ya watoto nchini Kenya kutokana na ukame unaoendelea. Pia uteuzi huo ni kuthibitisha ushirikiano wake na shirika la UNICEF na kutambua utetezi wake bora wa kimataifa wa haki za kimazingira kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Vanessa alisafiri wiki iliyopita na UNICEF hadi Kaunti ya Turkana Kaskazini Magharibi mwa Kenya ili kujionea athari za uhaba wa maji na chakula unaosababishwa na ukame mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika Pembe ya Afrika katika kipindi cha miaka 40. Katika safari yake ya kwanza na UNICEF, alikutana na jamii zilizo katika kitovu cha athari za mabadiliko ya tabianchi ikiwa ni pamoja na kinamama na watoto wanaopata matibabu ya kuokoa maisha kutokana na utapiamlo mkali na familia zinazonufaika na mifumo ya usambazaji wa maji inayotumia nishati ya jua kwa msaada wa UNICEF. Nitahakikisha sauti za watoto zinasikika Baada ya kuteuliwa kwake Bi. Nakate amesema "Kama balozi mwema wa UNICEF, itakuwa jukumu langu la kwanza kuwasilisha sauti za watoto na watu waliotengwa katika mazungumzo ambayo awali hawakujumuishwa. Jukumu hili na UNICEF litanipa fursa zaidi za kukutana na watoto na vijana katika maeneo yaliyoathiriwa zaidi na mabadiliko ya tabianchi na jukwaa lililopanuliwa la kutetea kwa niaba yao. Nchini Kenya, watu niliokutana nao waliniambia kuhusu athari za mabadiliko ya tabianchi na ukame katika maisha yao, huku misimu minne ya mvua iliyofeli mfululizo ikiwanyima watoto haki zao za msingi.” Ameongeza kuwa moja ya jamii alizokutana nazo imemweleza kuwa haijashuhudia mvua kwa zaidi ya miaka miwili. “Hii ni zaidi ya shida ya chakula na lishe, ni mwelekeo mwingine wa changamoto yetu ya mabadiliko ya tabianchi inayozidi kuwa mbaya.” Ombi la UNICEF la kuboresha na kusaidia maisha ya mamilioni ya watu walioathirika na ukame na kuwajengea mnepo kwa muda mrefu kwenye Pembe ya Afrika na kuzuia athari za ukame kwa miaka ijayo zinagonga mwamba kwani hadi sasa ombi hilo limefadhiliwa kwa asilimia 3% pekee. Akiwa Sopel, kaunti ya Turkana nchini Kenya, Vanessa Nakate alitembelea shule ya msingi na kuzungumza na wanafunzi kuhusu changamoto wanazozipata kutokana na janga la ukame kwenye eneo hilo la Afrika Mashariki. Safari ya uanaharakati ya Vanessa Nakate Vanessa alianza harakati zake Januari 2019 kwa maandamano na ndugu zake na binamu zake katika mitaa ya jiji la Kampala, nchini Uganda, maandamano yaliyochochewa na mwanaharakati mwingine nyota wa mabadiliko ya tabianchi na mazingira Greta Thunberg. Aliendelea kuandamana kila wiki, na kuwa sura inayojulikana katika harakati ya vijana kupiga mabadiliko ya tabianchi duniani kote. Mwaka 2020 alijulikana zaidi ulimwenguni wakati alipoondolewa kwenye picha ya habari aliyokuwemo pamoja na Thunberg na wanaharakati wengine weupe wa mabadiliko ya tabianchi. Kufuatia tukio hilo alochosema Vanessa ni kwamba chombo hicho cha habari "hakikufuta picha tu, bali kilifuta bara zima", kauli ambayo iligonga vichwa vya habari vya kimataifa. Vanessa amesema safari yake haikuwa rahisi “Kama mwanamke mwanaharakati mchanga wa Kiafrika, imenibidi kupigana ili kusikilizwa na vyombo vya habari na watoa maamuzi. Wakati nina bahati ya kuwa na jukwaa sasa, ninakusudia kuendelea kupigania wengine. Watoto walio katika kitovu cha athari za mabadiliko ya tabianchi, kama wale niliokutana nao Turkana, Kenya, ni watu ambao nitapigania katika jukumu langu jipya na UNICEF,” amesema Nakate. Tangu wakati huo Vanessa ametumia jukwaa lake kutetea haki ya masuala ya mabadiliko ya tabianchi kujumuisha kila jamii, haswa wale kutoka sehemu zilizoathiriwa zaidi. Alianzisha Rise Up Movement, jukwaa la kupaza sauti za wanaharakati wa mabadiliko ya tabianchi wa Afrika, pamoja na mradi wa kufunga paneli za sola katika shule za vijijini za Uganda. Amehutubia viongozi wa dunia katika mikutano ya mabadiliko ya tabianchi ya COP25 na COP26 na alionekana na hadithi yake kuchapishwa kwenye jarida la TIME.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres hii leo jijini New York, Marekani amezungumza na waandishi wa habari ikiwa ni kuelekea Mjadala Mkuu wa Baraza Kuu la UN unaoanza wiki ijayo akisema ujumbe wake mkuu kwa viongozi watakaoshiriki ni dhahiri ya kwamba wachukue hatua kupunguza kiwango cha joto duniani. Guterres amesema atawaeleza kuwa “msifurishe dunia leo, msiizamishe kesho,” kwa kutambua kuwa mkutano huu wa Baraza Kuu unafanyika zama za sasa zinazokabiliwa na tishio kubwa. Ametaja tishio hilo kuwa ni pamoja na mgawanyiko mkubwa wa kijiografia na kimkakati, mgawanyiko aliosema ni mkubwa kuwahi kutokea tangu zama za vita baridi. Katibu Mkuu amesema, “Mgawanyiko huu unakwamisha hatua za pamoja za kukabiliana na changamoto zinazotukabili. Dunia imekumbwa na vita, changamoto za tabianchi, chuki zimezaga, na aibu kubwa inakabili dunia kutokana na umaskini, njaa na ukosefu wa usawa.” Akifafanua kuhusu tabianchi amerejelea kile alichoshuhudia wakati wa ziara yake ya kuonesha mshikamano na Pakistani ambayo imekumbwa na mafuriko makubwa. Theluthi moja ya G20 ingalikuwa imefurika, pengine wangepunguza uchafuzi Katibu Mkuu amesema, “kinachotokea Pakistan, kinadhihirisha kutotosheleza kwa hatua za kimataifa dhidi ya janga la tabianchi ambayo kitovu chake ni ukosefu wa haki na usaliti.” Hata hivyo amesema iwe ni Pakistan, Pembe ya Afrika au Sahel, nchi za visiwa vidogo au zinazoendelea, suala ni kwamba nchi zilizo hatarini zaidi ambazo hazijasababisha janga la tabianchi ndio zinaathirika na janga lililochochewa na wachafuzi wakuu wambao ni kutoka nchi za kundi la nchi 20 au G20. “Iwapo theluthi moja ya kundi la G20 ingalikuwa imezama au imefunikwa kw amaji leo hii, kama ambavyo inaweza kuwa kesho, pengine wangaliona rahisi kupunguza viwango vya utoaji wa hewa chafuzi,” amesema Guterres. Hivyo amesema nchi zote, zile za G20 zikiongoza njia, lazima ziongeze viwango vya kitaifa vya kupunguza utoaji wa hewa chafuzi hadi pale kiwango kinachotakiwa cha nyuzijoto 1.5 katika kipimo cha Selsiyasi kitakapofikiwa. Amepatia msisitizo suala la uwekezaji katika miradi ya kuhimili na kukabili madhara ya mabadiliko ya tabianchi akisema, hatua zisipochukuliwa sasa, fedha zisipotolewa sasa, majanga yataongezeka maradufu, huku madhara yake yakidumu miaka na miaka ijayo, ikiwemo kuongeza ukosefu wa utulivu na kuchochea uhamiaji duniani kote. Ubinafsi na Uzawa vyateketeza mshikamano uliomo kwenye Chata ya UN Bwana Guterres amesema changamoto lukuki zinazokumba Dunia hivi sasa ni matokeo ya ubinafsi na uzawa, mambo ambayo amesema yanateketeza mshikamano ulioainishwa kwenye Chata ya Umoja wa Mataifa. Nchini Ukraine vita inasambaratisha nchi huku ikidororesha uchumi wa dunia. Licha ya Makubaliano ya kusafirisha nafaka kupitia baharí nyeusi, na makubaliano ya kupeleka soko la dunia chakula na mbolea kutoka Urusi, bado kuna hatari ya matukio ya uhaba wa chakula duniani mwaka huu. Gharama za maisha zinapanda na kufikia viwango vya juu, waathirika zaidi wakiwa watu maskini. Haki za wanawake na watoto wa kike ndio zinazidi kusiginwa. Nchi nyingi zinazoendelea hazina uwezo wa kifedha unaotakiwa kujikwamua baada ya janga la COVID-19. Wanasiasa wanajinufaisha na umaskini wa wananchi Mshikamano wa kwenye Chata ya UN unararuliwa na ubinafsi na uzawa,” amesema Katibu Mkuu akisema wanaofanya hivyo ni wanasiasa ambao wanatumia mazingira duni ya maskini ili kujunifaisha kisiasa. Guterres amesema hotuba yake itamulika masuala hayo sambamba na kuwasilisha mapendekezo kwani “kadri ufa unavyozidi kupanuka na imani inatoweka, lazima tuungane kuleta majawabu.” Amesema majawabu hayo ni kama yake yatakayotolewa wakati wa mkutano wa ngazi ya juu kuhusu Marekebisho ya Mfumo wa Elimu. Katibu Mkuu amesema watu wanataka kuona matokeo kwenye maisha yao ya kila siku la sivyo watapoteza imani na serikali na taasisi zao na kisha watapoteza pia imani na mustakhbali wao. Amesema Mjadala Mkuu wa mwaka huu lazima ulete matumaini na matumaini hayo yanaweza kupatikana kupitia mazungumzo yanayogusa moyo wa Umoja wa Mataifa na lazima ifanyike hivyo wiki ijayo ili kukabili migawanyiko yote.
Katika jarida la mada kwa kina hii leo kutoka Umoja wa Mataifa, Flora Nducha anakuletea -Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa Maendeleo UNDP kuhusu maendeleo ya binadamu inaonyesha kuwa maendeleo hayo ya binadamu ynashuka kwa karibu asilimia 90 ya nchi duniani -Shirika la Umoja wa Mataifa la utabiri wa hali ya hewa duniani WMO kupitiaripoti yake mpya iliyotolewa leo limesema changamoto ya maji na hatari nyingine kama vile ukame usioisha na mafuriko makubwa vinaathiri sana jamii za Kiafrika, uchumi na mifumo ya ikolojia, huku mifumo ya mvua ikitatizika, barafu inatoweka na maziwa muhimu yanapungua kina cha maji. -Kwa mujibu wa takwimu mpya za shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM zilizotolewa leo, wanawake na wasichana ndio idadi kubwa ya wahamiaji Mashariki na Pembe ya Afrika . -Mada kwa kina leo inajikita na mshindi wa tuzo ya polisi wa mwaka mwanamke wa Umoja wa Mataifa ambaye ni raia ya Burkina Faso anayehudumu kwenye mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Mali MINUSMA. -Na katika kujifunza Kiswahili tuko kwenye baraza la Kiswahili la taifa Tanzania BAKIZA kupata ufafanuzi wa neno MUHARARA
Katika Jarida la habari la Umoja wa Mataifa hii leo , Flora Nducha anakuletea -Mlipuko mpya wa Ebola wazuka Kivu Kaskazini baada ya mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 46 kufariki dunia na kuthibitishwa kuwa alikuwa na virusi vya Ebola kwa mujibu wa shirika la afya la Umoja wa Mataifa duniani WHO -Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limeonya kuwa idadi kubwa ya watoto iko hatarini kupoteza maisha kutokana na magonjwa yanayosababishwa na maji kama kuhara na kipindupindu kwa sababu ya ukame mkali unaoendelea kulikumba eneo la Pembe ya Afrika endap[o hatua hazitochukuliwa -Wiki ya maji imeanza leo ikibeba maudhui “Kuona yasiyoonekana: Thamani ya maji,” lengo likiwa kusaidia kuona maji kwa njia mpya na za kuvutia. Kuzingatia thamani ya maji, kutoka kwa mitazamo mingi tofauti ikijikita na mijadala kama vileghrama ya maji, maarifa asilia, haki za binadamu, na mengine mengi. -Mada yetu kwa kina inajikita na furaha ya Washona ambao kwa mara ya kwanza wamepata haki ya kupiga kura baada ya kupata uraia nchini Kenya -Na mashinani tunabisha hodi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kwa mfanyakazi wa kujitolea ambaye anatumia kila njia kuwafikishia watoto chanjo ya kuokoa maisha katika maeneo ya ndani nchini humo
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP limetangaza kuongeza usaidizi katika Pembe ya Afrika wakati huu ambapo kiwango cha njaa kinazidi kuongezeka baada ya ukame wa mfululizo, na tishio la njaa linazidi kutanda. Tangu kuanza kwa mwaka huu, zaidi ya watu milioni tisa wameingia katika uhaba mkubwa wa chakula kote katika nchi za Ethiopia, Kenya, na Somalia, na kuwaacha watu milioni 22 wakihangaika kupata chakula cha kutosha. Mkurugenzi Mtendaji wa WFP David Beasley siku wiki iliyopita akufanya ziara katika nchi za Pembe ya Afrika ikiwemo Somalia nchi iliyokumbwa na ukame, ambako zaidi ya watu milioni saba ambao ni takriban nusu ya wakazi wake wana uhaba wa chakula na watu 213,000 tayari wanakabiliwa na hali kama ya njaa. Tuungane na Evarist Mapesa anayetuletea yote aliyokutana nayo Mkuu huyo wa WFP.
Hii leo jaridani tunaanzia Yemen ambako shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO limepeleka misaada ya vifaa vya matibabu kwa ajili ya manusura wa mafuriko yaliyokumba taifa hilo. Kisha ni Pembe ya Afrika wanawake na watoto wakiwa katikati ya kukumbwa na janga la njaa wanakumbuka hali ilivyokuwa bora kabla ukame haujatumbukiza maisha yao kwenye hali tete. Makala tunabisha hodi mkoani Morogoro nchini Tanzania ambako huko wataalamu wanafafanua maana ya sumu kuvu na athari zake kiafya na kwenye mazao. Mashinani ni harakati za kuondokana na uraibu wa kuvuta sigara, harakati zinazochagizwa na Umoja wa Mataifa, mashuhuda wanazungumza. Karibu na mwenyeji wako ni Assumpta Massoi.
Pembe ya Afrika hali ya ukame inazidi kutishia uwezekano wa baa la njaa kwenye eneo hilo linalojumusha Kenya, Somalia na Ethiopia huku Umoja wa Mataifa ukisema takribani watu milioni 18.4 huamka kila siku bila uhakika wa mlo huku idadi hiyo ikitarajiwa kufikia milioni 20 mwezi ujao wa Septemba. Wanawake na watoto wameathirika zaidi ambapo kando ya njaa wanakumbuka kile walichokuwa wanafanya hali ilivyokuwa nzuri na wanatamani hali hiyo irejee kama anavyosimulia Anold Kayanda kwenye taarifa hii iliyoratibiwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto duniani, UNICEF. Taswira ni eneo kame, Abenyo Natiir akiwa nyumbani kwake huko Turkana, kaskazini mwa Kenya, akiwasha moto kuandaa mlo katika eneo hili ambalo ukame wa zaidi ya miongo minne unatishia baa la njaa. Abenyo anasema, “unaweza kupata mlo siku moja, na kisha ukawa huna mlo wowote kwa siku inayofuatia au siku mbili. Haya ndio maisha yetu. Tunajitahidi kuishi.” Kutoka Kenya nakupeleka Somalia, kwenye Kijiji cha Qulujeed mkoa wa Awdal, eneo ni kame na hapa akina mama wakimbizi wa ndani wamebeba watoto wao. Ni eneo la wazi lakini wanaandaa mlo. Hawo Rajab ni miongoni mwao na akiwa amebeba mtoto wake anasema, “hali inazidi kuwa mbaya, kiasi kwamba ililazimu tuache kila kitu nyumbani.” Kwa watoto nao, utoto wao umevurugika. Mathalani nchini Ethiopia, katika video hii ya UNICEF mtoto wa kike Zufan akitembea akiwa na dumu akielekea kuteka maji anasema, “naenda kuteka maji. Ni mwendo mrefu sana kufikia kisima cha maji.” Zulfan akiwa anaenda kuteka maji, mtoto mwingine Gabezech mwenye umri wa miaka 9 katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Alle nchini Ethiopia anakumbuka kile alichokuwa anajifunza shuleni wakati hali ilikuwa shwari. Anasema, “kile nilichojifunza, tulijigunza kuimba A, B, C, D, X, Y, Y. lakini sasa siendi tena shuleni.” UNICEF inasema hatma ya watoto na wazazi wao iko mashakani lakini kama msaada wa dharura unatolewa basi kutakuweko na matumaini. Ni katika matumaini hayo, kutoka Kenya kabila la wasamburu, Nakure Segelan, mama wa mtoto Mary mwenye umri wa mwaka mmoja anasema, “siku zijazo nataka mwanangu naye aende shuleni.”
Tarehe 30 mwezi Julai kila mwaka ni siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu usafirishaji haramu wa binadamu duniani. Umoja wa Mataifa unasema mwaka 2018 watu 50,000 walibainika katika 148 kuwa wamesafirishwa kiharamu. Asilimia 50 ya watu hao wanatumikishwa kingono ilhali asilimia 38 ni utumikishaji kwenye ajira. Ni kwa kutambua hilo shirika la kazi duniani, ILO linatekeleza mradi uitwao Better Regional Migration Project, yaani mradi wa kikanda wa uhamiaji bora kwa lengo la kuimarisha usimamizi bora wa uhamiaji Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika lakini pia kusaidia waliorejea nyumbani. Katika makala hii ya leo tutamulika basi simulizi za waliorejea nyumbani baada ya kuponea chupuchupu kwenye mikono ya wasafirishaji haramu na msimulizi wetu ni Anold Kayanda.
Pengo la huduma za ulinzi safari latumbukiza wakimbizi mikononi mwa wasafirishaji haramu Kuelekea sikuya kimataifa dhidi ya usafirishaji haramu wa binadamu kesoh Julai 30, shirika la umoja wa Mataifa la wakimbizi duniani, UNHCR imesema ukosefu wa huduma za ulinzi kwa wakimbizi na wahamiaji wanaofanya safari hatarishi kutoka ukanda wa Sahel na Pembe ya Afrika kwenda Afrika Kaskazini na kisha Ulaya, kunawatumbukiza katika hatari ya mikono ya wasafirishaji haramu. Leah Mushi na taarifa zaidi. Taarifa ya UNHCR iliyotolewa leo jijini Geneva ,Uswisi imenukuu ripoti yake inayomulika huduma za ulinzi kwa wasaka hifadhi, wakimbizi na wahamiaji wanapofanya safari ndefu, ripoti iliyotolewa leo mkesha wa siku ya kimataifa dhidi ya usafirishaji haramu binadamu. UNHCR inasema baadhi yao wanakufa jangwani, wengine wanakumbwa na ukatili wa mara kwa mara wa kingono na kijinsia, kutekwa nyara hadi walipe kikombozi, mateso na aina mbali mbali za unyanyasaji wa kimwili na kisaikolojia. Ripoti hiyo ya pili ya aina yake inaonesha mapengo yaliyoko kwenye huduma za ulinzi, kama vile malazi, kupata haki,kubaini manusura wa ukatili wa kijinsia na kingono, usafirishaji haramu na watoto wanaosafari bila wazazi au walezi. Nchi 12 zimemulikwa kwenye ripoti hiyo nazo ni Burkina Faso, Cameroon, Chad, Cote d'Ivoire, Djibouti, Ethiopia, Mali, Mauritania, Morocco, Niger, Somalia, na Sudan. Mjumbe maalum wa UNHCR kwa hali ya wakimbizi kwenye eneo la MEditeranea ya Kati na Magharibi Vincent Cochetel amesema, “nasikitishwa sana na manyanyaso ambayo wakimbizi na wahamiaji wanakumbana nayo wanaposafiri kupitia ukanda wa Sahel na MAshariki na Pembe ya Afrika na wakati mwingine Ulaya. Vifo vingi vinatokea kupitia njia hizi.” Bwana Cochetel amesisitiza umuhimu wa kutenga fedha zaidi kutekeleza huduma bora za ulinzi ili kuepusha usafirishaji haramu, kubaini na kusaidia manusura na kuhakikisha wanapata hifadhi sambamba na kufikisha watuhumiwa mbele ya sheria. Ripoti inapatia wakimbizi na wahamiaji huduma zilizoko sasa kwenye njia mbalimbali wanazopita. Pia inatoa maelekezo kwa wahisani ni wapi wawekeze ambako kunahitajika zaidi. Ili kusaidia manusura, ripoti inatoa wito kwa jamii ya kimataifa kuanzisha malazi ya kijamii na maeneo salama, halikadhalika huduma za kisheria na huduma tofauti tofauti kwa watoto na manusura wa kike. TAGS: UNHCR, wahamiaji na wakimbizi, usafirishaji haramu wa binadamu
This week we had the pleasure of spending time with Pembe Tokluhan. Pembe is an event specialist who handles all aspects of event production including tour management, production management, and backstage coordination. She shares her amazing story with us and brings us up to speed on her events company, Petok Productions. Petok Productions provides a directory of women, trans, and non-binary professionals to match with various backstage roles. Pembe's enthusiasm is addictive, and I'm grateful she took the time out of her busy schedule to do this interview with me. linktr.ee/Petok_Pem
Ürün sevici, penis stickerı, whatsapp grupları ve dahası...