Podcasts about Wote

Town in Makueni County, Kenya

  • 49PODCASTS
  • 115EPISODES
  • 30mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • May 28, 2024LATEST
Wote

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about Wote

Latest podcast episodes about Wote

Africa Climate Conversations
How WhatsApp transformed 70-year-old Kenyan woman's beaded basket sales

Africa Climate Conversations

Play Episode Listen Later May 28, 2024 15:24


This week, I was visiting a town in Makueni County, located in the southeastern part of Kenya. About an hour's drive from Makueni's capital town Wote, I met a 70-year-old lady who, after a severe three-year drought hit the village, learned how to weave beaded baskets. She is relying on WhatsApp, her family, and Facebook to make sales. Have a listen to our conversation.

Jioni - Voice of America
Serekali ya DRC yamuagiza gavana wa Ituri kuwafurusha na kuwarudisha kwao raia wote wa China wanaochimba migodi kinyume cha sheria - Mei 02, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later May 2, 2024 29:59


Alfajiri - Voice of America
Serikali ya Kenya yakosa kutimiza ahadi kwamba wanafunzi wote wa shule za msingi wangeingia sekondari - Januari 30, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 30, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

The WorldView in 5 Minutes
Kenyan bishop opposes Pope on blessing homosexual couples, Texas vs. Biden on abortion, 100 million more devices downloaded YouVersion Bible app

The WorldView in 5 Minutes

Play Episode Listen Later Jan 4, 2024 5:52


It's Thursday, January 4th, A.D. 2024. This is The Worldview in 5 Minutes heard at www.TheWorldview.com. I'm Adam McManus. (Adam@TheWorldview.com) By Jonathan Clark Nicaraguan authorities arrested 14 priests Authorities in Nicaragua have arrested at least 14 priests, two seminarians, and a bishop in recent days. Some priests face arrest simply for publicly praying for imprisoned bishop Rolando Alvarez. He is a leading critic of the country's president, Daniel Ortega.  Ortega's regime has been cracking down on descent, especially from priests who voice religious liberty concerns.  The U.S. Commission on International Religious Freedom noted that the uptick in persecution in recent years comes “despite the high level of persecution against Catholic leaders since protests in 2018. Now, 2022 was the first year in which the government imprisoned members of the clergy.”  Kenyan bishop opposes Pope on blessing homosexual couples Meanwhile in Africa, a Kenyan bishop has prohibited blessings for people living in vile passions. Paul Kariuki Njiru is the first bishop of the newly created Diocese of Wote. He called out the Pope for a recent declaration that authorizes some kind of blessing for same-sex couples.  Njiru wrote, “The Declaration … should be rejected in totality, and we faithfully uphold the Gospel teachings … on marriage and sexuality.  … We bishops, like Saints Peter and John, will say, ‘Judge for yourselves whether it is right in God's sight for us to obey you rather than God' (Acts 4:19–20). … For pastoral reasons, I therefore exhort my priests to invite those couples to a life of conversion by the words of the Gospel: ‘Repent and believe in the Gospel' (Mark 1:14–15).” World grew by 75 million people in 2023 The world's population grew by 75 million people last year, according to the U.S. Census Bureau.  This brings the total number of people to over eight billion. The worldwide population growth rate was 1%. Every second, there are an estimated 4.3 births and two deaths globally.  The U.S. grew by only half a percent, adding 1.7 million people for a total population of 335.8 million. The U.S. is on track for one of its slowest decades on record for population growth. Texas vs. Biden on abortion Yesterday, a U.S. federal appeals court sided with Texas against the Biden administration in an abortion case. After the U.S. Supreme Court overturned Roe v. Wade in 2022, the Biden administration issued a directive to force hospitals and emergency rooms to offer abortions. The state of Texas challenged the abortion mandate along with the American Association of Pro-Life Obstetricians and Gynecologists and the Christian Medical and Dental Associations. Ryan Bangert with Alliance Defending Freedom told Life News, “Hospitals—especially emergency rooms—are centers for preserving life. The government has no business transforming them into abortion clinics.” 510 bills oppose homosexuality State legislators introduced a record 510 bills last year that oppose sexually perverted lifestyles. This according to the pro-homosexual American Civil Liberties Union. The number of such measures is up from 180 in 2022. Of the 500 plus bills, 84 are now law across 23 states. Tennessee and North Dakota tied for passing the most bills. The bills included bans on public shows of sexually perverted lifestyles as well as the accommodation of people pretending to be the opposite sex through sports or bathrooms. 100 million more devices downloaded YouVersion Bible app YouVersion.com reports people downloaded and used its Bible apps at the highest rate ever last year. Downloads increased by 100 million devices, and daily usage increased by 20%. Most of the downloads take place outside the U.S. like in India, Africa, and Latin America. Once again, the verse that people engaged with the most last year was Isaiah 41:10. It says, “So do not fear, for I am with you; do not be dismayed, for I am your God. I will strengthen you and help you; I will uphold you with my righteous right hand." Bobby Gruenewald, the founder of YouVersion.com, said, “More than ever before, we are seeing the global Church unify around God's Word.” Anniversary of church leader's birth And finally, today marks the birth of church leader and scholar James Ussher on January 4, 1581. He was the Church of Ireland's Archbishop of Armagh and supported the Protestant Reformation in his country during the early 1600s. Ussher is particularly known for his massive work, The Annals of the Old Testament. His chronology of the Bible dated creation to October 23, 4004 B.C.  Close And that's The Worldview in 5 Minutes on this Thursday, January 4th in the year of our Lord 2024. Subscribe by iTunes or email to our unique Christian newscast at www.TheWorldview.com. Or get the Generations app through Google Play or The App Store. I'm Adam McManus (Adam@TheWorldview.com). Seize the day for Jesus Christ.

VOA Express - Voice of America
Bima ya afya kwa wote Tanzania wanaharakati watoa wito kwa maboresho zaidi - Desemba 05, 2023

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 5, 2023 29:59


Bima ya afya kwa wote Tanzania wanaharakati watoa wito kwa maboresho zaidi

Radio Maria Tanzania
Ifahamu sherehe ya kanisa ya Watakatifu wote.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Nov 29, 2023 27:37


Ungana na Mtangazaji Martin Joseph katika Kipindi cha Maswali ya Imani mada inayo zungumziwa ni juu ya Maana ya Watakatifu  katika Kanisa, Mwezeshaji Frateri Emilian S. Mahinya Kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino- Peramiho, Jimbo kuu la Songea. L'articolo Ifahamu sherehe ya kanisa ya Watakatifu wote. proviene da Radio Maria.

Jioni - Voice of America
Rais William Ruto wa Kenya anasema serikali yake inapanga kuzindua huduma ya afya kwa wote hapo Januari Mosi mwaka 2024. - Novemba 23, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 23, 2023 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Siha Njema
Mpango wa afya kwa wote barani Afrika

Siha Njema

Play Episode Listen Later Nov 21, 2023 10:19


Mataifa mengi yana matamanio ya kuhakikisha raia wake wanapata huduma bora za afya kwa bei nafuu,safari hii ikiwa bado ina panda shuka kwa mataifa mengi. Huduma za afya barani Afrika  zina mfungamano na hali ya kisiasa,uchumi  na pia utawala bora.

Radio Maria Tanzania
Je, waifahamu huruma ya Mungu kwa Marehemu wote?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Nov 10, 2023 56:15


Karibu katika Kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi na Padre Dominic Mavula, C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania ambapo leo anafundisha juu ya Huruma ya Mungu kwa Marehemu wote. L'articolo Je, waifahamu huruma ya Mungu kwa Marehemu wote? proviene da Radio Maria.

Siha Njema
Mpango wa afya kwa wote nchini Kenya ambapo wafanyikazi watachangia 2.75 ya mishahara

Siha Njema

Play Episode Listen Later Oct 24, 2023 10:18


Kenya katika sherehe za hivi karibuni za mashujaa ,imezindua mpango wa afya kwa wote. Mpango huu wa afya unazingatia raia kupata huduma bora kuanzia vituo vya afya vya daraja la kwanza hadi hospitali kubwa bila malipo .

Radio Maria Tanzania
Mama Maria Mama wa wote.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 25, 2023 56:38


Ungana na Mtangazaji Fredy William katika kipindi cha Katekisimu Katolilki    Mada iliyopo ni juu ya Mama Maria Mama wa wote, Mwezeshaji Padre Dominic Mavula  Mkurungezi wa Matangazo ya Radio Maria Tanzania. L'articolo Mama Maria Mama wa wote. proviene da Radio Maria.

The d20 Syndicate: A D&D Podcast
Wote's Goin' On | 2.102

The d20 Syndicate: A D&D Podcast

Play Episode Listen Later Aug 24, 2023 110:07


In today's episode: While Kan and Phe meet some long lost relatives, Gil and Nez meet someone unlike anything they've seen before. The d20 Syndicate is an actual play D&D 5E Podcast, where five childhood friends go on adventures so you don't have to! Into the Yonder Void sees a new cast of characters set a course into the great blue unknown — with more seafaring, surprises, and nautical puns than you can shake your landlubbin' dice at!   Use our Syndicode — D20Syndicate — at Kraken Dice to get 15% OFF your entire order! https://www.krakendice.com/ (must have an active account at Kraken Dice to claim discount) SUPPORT US ON PATREON: www.patreon.com/d20_syndicate JOIN US ON DISCORD: https://discord.gg/dp8Q8wmk CHECK OUT OUR D&D THEMED MERCHANDISE: http://tee.pub/lic/q173rw1xTBE   — SPECIAL THANKS TO OUR EXECUTIVE PRODUCERS! — Andrew K Blix BraeBae666 Porfo   — SPECIAL THANKS TO OUR ASSOCIATE PRODUCERS! — Dboe LucasThePurple   — OUR CAST — Nezrah Kaziel (Billy) - Dragonborn Wizard/Warlock Ophelia Rai Midori (Lindsey) - Elf Warlock/Sorcerer Kanak Anga (Michaela) - Halfling Druid Gildebrand Molani (Tomas) - Hexblood Ranger/Rogue Seth McDuffee — Dungeon Master   — JOIN THE D20 SYNDICATE — Website Instagram Twitter Facebook YouTube Email   The d20 Syndicate Main Theme courtesy of The d20 Syndicate. Background Music courtesy of Adrian Von Ziegler. ©2018–2023 by The d20 Syndicate

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu kwanini Masister mda wote huvaa kilemba cheupe Kichwani?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 26, 2023 27:00


Ungana na Frank Kashonde katika Kipindi cha Maswali ya Imani, na swali linalojibiwa linahoji juu ya kwanini Masister wanavaa kilemba cheupe kichwani muda mwingi. Mwezeshaji   Frateri Fanco Abeli Ubamba,  kutoka Parokia ya Mtakatifu  Boniface Shahidi Madubila – Jimbo Katoliki Iringa. L'articolo Je, unafahamu kwanini Masister mda wote huvaa kilemba cheupe Kichwani? proviene da Radio Maria.

Habari za UN
Watumishi wa umma wanachangia ujenzi wa mustakbali bora kwa wote: Guterres

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 23, 2023 0:01


Leo ni siku ya Umoja wa Mataifa ya watumishi wa umma, ambapo katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema mchango wao ni muhimu sana katika ufanikishaji wa malengo ya maendeleo endelevu na kuhakikisha mustakbali bora kwa wote.Antonio Guterres katika ujumbe wake wa siku hii amesema lengo lake ni kuwaenzi wanawake na wanaume kote duniani ambao huwajibika kwa jukumu muhimu zaidi la kutoa huduma kwa umaa.Amesema maadhimisho ya siku ya mwaka huu yanakuja wakati Dunia iko katikati ya  kuelekea ukomo wa ajenda ya mwaka 2030 ya maendeleo endelevu na hivyo amesisitiza kuwa “ Watumishi wa umma na taasisi wanazoziunga mkono zitakuwa muhimu zaidi huku ulimwengu ukiharakisha hatua za kufikia Malengo ya Maendeleo Endelevu, ambayo yako yanakwenda kombo.”Ameichagiza dunia kwamba ili kutimiza malengo hayo “ Teknolojia lazima iwe kiini cha kuongeza kasi hii ya utekelezaji. Kila siku, teknolojia mpya zinaibuka ambazo zinashikilia uwezo wa kubadilisha jinsi tunavyoishi na kufanya kazi. Inapotumiwa na utumishi wa umma wenye ujuzi, uliowezeshwa na wenye vifaa, teknolojia inaweza kuboresha ufikiaji na ufanisi wa huduma za umma, huku ikisukuma maendeleo kuelekea utimizaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu.”Amehitimisha ujumbe wake kwa wito kwamba “Wakati tukiadimisha siku hii muhimu hebu tusherehekee sio tu kazi ya utumishi wa umma kote duniani lakini tutafute njia mpya za kutumia ubunifu katika kazi zetu na kuenzi uwajibikaji wa watumishi hao wa kufanyakazi kwa ushirikiano ili kujenga mustakbali bora kwa watu wote.”

Habari za UN
Watoto Tanzania wapaza sauti yao katika maadhimisho dhidi ya utumikishaji watoto

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 12, 2023 0:01


Ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa dhidi ya Ajira au Utumikishaji wa Watoto ambayo inakusudia kutumika kama kichocheo cha kuongeza harakati za kimataifa dhidi ya ajira au utumikishwaji kwa watoto na ikisisitiza uhusiano kati ya haki za kijamii na ajira kwa watoto, kama ilivyo kwa nchi nyingine wanachama wa Umoja wa Mataifa, Tanzania nayo imeungana na mataifa mengine kuadhimisha siku hii ambapo maadhimisho hayo yamefanyika Kitaifa katika kijiji cha Gua, Kata ya Gua katika Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Mkoani Songwe. Kupitia siku hii muhimu kwa Watoto ulimwenguni kote, baadhi ya watoto kutoka Shule ya Msingi Gua wametoa maoni yao kuhusu umuhimu wa maadhimisho haya, miongoni mwao ni, Grace yeye ni muelimishaji jamii kuhusu utumikishwaji wa mtoto kwenye mashamba ya tumbaku, hapa anazungumzia hali ya utumikishwaji ilivyo kwa sasa, Kwa upande wake Innocent David Pesa amewashauri wazazi na walezi juu ya athari za utumikishwaji wa mtoto, Maadhimisho ya mwaka huu yanaenda Sambamba na kauli mbiu isemayo “Haki za Jamii kwa Wote, Tokomeza utumikishwaji wa Mtoto” 

Smiley Morning Show
Will Wote an Owiginal Song for Fishers!

Smiley Morning Show

Play Episode Listen Later Apr 14, 2023 2:20


To honor our winning burb, Producer Will wrote a badass pop/punk song!See omnystudio.com/listener for privacy information.

Habari za UN
Asante walinda amani wa UN kutoka Tanzania kwa kutupima afya zetu- Wakazi Beni, DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 7, 2023 0:04


Leo ni siku ya afya duniani ujumbe ukiwa ni Afya kwa Wote ambapo walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC, MONUSCO, wametumia siku hii kuwapima magonjwa yasiyo ya kuambukiza, NCDs, wakazi wa Beni-Mavivi jimboni Kivu. Taarifa zaidi na Afisa habari wa kikundi hich cha tatu cha kikosi cha Tanzania cha kutoa msaada wa haraka, TANZ-QRF-3 ndani ya MONUSCO, Luteni Abubakar Muna.Mganga Mkuu wa TANZQRF-3 Luteni Hussen Sinda amesema “tumeona tuadhimishe siku hii kwa kuwapima afya ndugu zetu wa Nzuma na kuwashauri kuhusu magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama vile shinikizo la damu, kisukari na saratani mbalimbali. Magonjwa haya hayaambukizi kutoka mtu mmoja kwenda kwa mwingine, lakini ni magonjwa tunayapata kulingana na namna tunavyoishi maisha yetu.” Tunawashukuru waliobuni siku hii Jusue Kapisa ambaye ni Chifu wa Kata ya Nzuma eneo la Beni-Mavivi anasema ushirikiano kati ya walinda amani wa UN kutoka Tanzania na eneo lao umekuwa ni mzuri tangu kuanza kuweko kwa walinda amani hao. Na zaidi ya yote, tunashukuru viongozi wa afya ulimwenguni kwa kuwazia na kupanga siku ya leo ya kuzungumzia siku ya afya. Sasa hawa viongozi wa afya duniani waone jinsi ya kuendelea kufanya utafiti ili magonjwa yaliyoko duniani na hayana tiba, yapate tiba na wakazi wa dunia waone mambo ya afya yanasonga mbele.” Upatikanaji wa dawa ni shida, waasi wanatukwamisha  Alphonsine Muhindi, mkazi wa kata ya Nzuma ameshiriki pia huduma hii ya kupima afya na baada ya kupata huduma hiyo anafunguka kuhusu changamoto akisema, “tunapitia shida ya afya hapa Nzuma kwa sababu kwenye afya hatuna dawa kwa kuwa hatuna fedha. Ukisema ulime ili upate fedha, sasa ukiwa shambani unasikia waasi wamefika shambani. Hii inaleta dhiki kwa jamaa kwanza, njaa na magonjwa yanazidi kusambaa kwa kuwa hatuna dawa.” Ameshukuru kuweko kwa huduma hii kwa sababu angalau akishapima atajua hali ya afya yao inakuwa ni rahisi kwenda kupata dawa kwani tayari wanafahamu hali yao ya afya na pia kushughulikia watoto. Hoja ya wananchi yajibiwa na TANZ-QRF-3 Kwa Luteni Martha Mapunda, mtaalamu wa masuala ya saikolojia ndani ya TANZ -QRF -3 ombi lake ni kwa MONUSCO kuongeza idadi ya maafisa wa Jinsia zote wenye taaluma ya saikolojia ili waweze kuwasaidia wakazi wa Beni jimboni Kivu kaskazini. Hoja ya uhaba wa dawa unaokabili wakazi wa kata ya Nzuma ikajibiwa na Kapteni Damasi Khaza, Afisa Uhusiano wa TANZ-QRF -3 kwa niaba ya kamanda kikosi Luteni Kanali Adson Mwashifungwe ambapo amesema, utaratibu wa ugawaji dawa utafanyika kwa kuzipeleka kwenye vituo vya afya na hospitali ili zipatiwe wakazi hao.  Taarifa hii imeandaliwa kwa pamoja na Luteni Abubakar Muna Afisa Habari TANZ-QRF -3 na George Musubao 

Habari za UN
Kuwa na wanawanake na wasichana wengi katika nyanja ya sayansi ni faida kwa wote: UN

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 10, 2023 0:02


Uwepo wa idadi kubwa ya wanawake na wasichana katika sekta ya sayansi ni faida kuwa kwa sekta ya sayansi na jamii kwa ujumla amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akihimiza kuchagiza wanawake na wasicha kuingia zaidi katika sekta hiyo.Antonio Guterres katika ujumbe wake wa siku ya kimataifa ya wanawake na wasichana katika sayansi ambayo huadhimishwa kila mwaka Februari 11 amesima siku hii ni ya kutanabaisha hesabu rahisi kabisa kwamba “Wanawake na wasichana zaidi katika sayansi ni sawa na sayansi bora. Wanawake na wasichana huleta utofauti katika utafiti, kupanua wigo wa kundi la wataalamu wa sayansi, na kutoa mitazamo mipya kwa sayansi na teknolojia, ikinufaisha kila mtu.”Ujumbe wake umeendelea kueleza kuwa kuna ushahidi unaoongezeka kwamba upendeleo wa kijinsia katika sayansi unasababisha matokeo mabaya zaidi, kuanzia kwenye majaribio ya dawa za ambayo huchukulia mwili wa mwanamke kama wa hali isiyo ya kawaida, kutafuta kanuni zinazoendeleza upendeleo na ubaguzi. Hata hivyo Guterres ameongeza kuwa katika maeneo mengi sana duniani, upatikanaji wa elimu kwa wanawake na wasichana ni mdogo au unakataliwa kabisa.Wanawake wanapotazamia maendeleo katika taaluma za kisayansi, ukosefu wa usawa na ubaguzi unaendelea kuzuia uwezo wao. Kana kwamba hiyo haitoshi ameongeza kuwa “Wanawake ni chini ya theluthi moja ya wafanyikazi katika sekta ya sayansi, teknolojia, uhandisi, na hesabu na kidogo zaidi katika nyanja za kisasa. Mtaalamu mmoja tu kati ya watano wanaofanya kazi kwenye akili bandia ni mwanamke. Ni lazima na tunaweza kufanya juhudi zaidi kuchagiza wanasayansi wanawake na wasichana kupitia ufadhili, mafunzo kwa vitendo na program za mafunzo ambazo zinatoa jukwaa la kufanikiwa.” Katibu Mkuu amehitimisha ujumbe wake akisema kupitia mfumo maalum, vivutio vya kuwafanya wabaki, na programu za ushauri ambazo huwasaidia wanawake kushinda vikwazo vilivyopo na kujenga taaluma vitasaidia sana. Na muhimu zaidi, ameongeza ni kwa kuzsisitiza haki za wanawake na kuvunja mila potofu, upendeleo, na vizuizi vya kimuundo. Na wito wake ni kwamba “Sote tunaweza kufanya sehemu yetu kuibua talanta kubwa sana ya ulimwengu ambayo haijatumiwa tukianza na kujaza madarasa, maabara na vyumba vya bodi na wanasayansi wanawake.” 

Habari za UN
Tunataka kuwafikia waathirika wote wa tetemeko la ardhi licha ukosefu wa usalama katika baadhi ya maeneo: WFP Syria

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 10, 2023 0:02


Mashirika ya Umoja wa Mataifa yanaendelea kupeleka na kusambaza misaada nchini Uturuki au Türkiye na Syria ili kusaidia walioathiriwa na matetemeko makubwa ya ardhi yaliyotokea Jumatatu wiki hii na kujeruhi, kuua maelfu na kuharibu miundombinu. Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) lina lengo la kuwafikia watu nusu milioni katika nchi zote mbili ijapokuwa kuna changamoto za kiusalama katika baadhi ya maeneo.Si Jindires, si Allepo, kote ni milio ya magari ya wagonjwa, majengo yameporoka, ni magofu, vilio, buludoza, harakati za uokozi na juhudi za kusambaza misaada zikiendelea.  WFP inasema kufikia mwishoni mwa wiki hii itakuwa imewapa wadau wake chakula cha kutosha wiki nzima kwa watu 125,000. Hali hii ya matetemeko imeikuta WFP tayari ikiwa na mzigo wa kuwahudumia  watu milioni 1.4 kila mwezi Kaskazini Magharibi mwa Syria pekee. Kenny Crossley, ni Mkurugenzi wa WFP nchini Syria, akiwa katika mji mkuu wa Syria, Damascus anasema,  "Siku chache zilizopita, tetemeko la ardhi la kutisha lilitokea hapa nchini Syria na Uturuki. Mamia pengine maelfu ya waliokufa, maelfu kujeruhiwa, makumi, pengine maelfu ya watu waliokimbia makazi yao, kupoteza makazi yao, watu hawawezi kurejea katika maeneo ambayo huwa wanalala, sasa wanalala mitaani wakijibana kwenye vibanda. Kwa WFP bila shaka, kwetu ni muhimu, kwamba watu lazima wale. Saa chache tu baada ya tetemeko la ardhi, tulikuwa tukifanya kazi na wadau wetu wa eneo hilo watu walikuwa wakila chakula cha moto katika makazi ya muda waliyokuwa wakiishi.” Pamoja na juhudi za WFP, shirika hilo la Umoja wa Mataifa linasema matetemeko ya ardhi yamezidisha ugumu uliopo wa kufika Kaskazini Magharibi mwa Syria kutokana na migogoro na hivyo kusababisha uhitaji zaidi kama anavyofafanua Kenny Crosseley, "Moja ya changamoto zetu kubwa kwa sasa sio usafiri, sio chakula, ni ufikiaji wa maeneo. Baadhi ya watu ambao ni vigumu kuwafikia wako katika maeneo ambayo kuna migogoro inayoendelea. Tunahitaji kuwa na uwezo wa kufikia watu ambao wako katika maeneo haya ambayo kuna migogoro inayoendelea." Mjini Aleppo, WFP kwa haraka kupitia majiko ya wadau wake imetoa chakula cha moto kwa watu 4,000 walioathirika katika makazi ya muda. Usaidizi utaendelea hadi kesho tarehe 11 mwezi huu Februari, kulingana na tathmini zinazoendelea za mahitaji. WFP pia kupitia wadau inasambaza milo iliyo tayari kuliwa inayotosha watu 5,000 walioathirika. 

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية
Adui mbaya kuliko wote Duniani

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Play Episode Listen Later Dec 20, 2022 29:00


Shetani ni adui mbaya kuliko wote je alitoka wapi

AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni
Adui mbaya kuliko wote Duniani

AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni

Play Episode Listen Later Dec 20, 2022 29:00


Shetani ni adui mbaya kuliko wote je alitoka wapi

Habari za UN
Mradi wa PLEAD wawezesha huduma za mahamaka kupatikana muda wote nchini Kenya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 16, 2022 0:03


Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya madawa na uhalifu UNDOC kanda ya Afrika Mashariki kwa kushirikiana na sekta ya mahakama nchini kenya wamepanga kuanza kutekeleza awamu ya pili ya mradi wa uwekaji umeme wa sola katika mahakama na magereza nchini humo baada ya awamu ya kwanza kuonesha mafanikio.Kupitia mradi ujulikanao kama PLEAD unaofadhiliwa na Muungano wa Ulaya UNODC na sekta ya mahakama nchini Kenya wamefanikiwa kutekeleza mradi wa awamu ya kwanza katika mahakama mbili zilizoko Mombasa ambazo zilikuwa zikishindwa kuendesha shughuli zake pindi umeme unapokatika.

Here, There, and Everywhere: A Beatles Podcast
Ep. 37 - Joel Cassady (Walk off the Earth)

Here, There, and Everywhere: A Beatles Podcast

Play Episode Listen Later Dec 14, 2022 63:44


Joel Cassady is a member of the band Walk off the Earth - well known for their covers of popular music on YouTube, as well as their original songs. WOTE's YouTube channel has over 4.35 million subscribers and their videos have over 1 billions views. In February of 2020, the band released a video of them performing a live medley of Beatles hits in chronological order, spanning from 1962-1970. In this episode, Jack and Joel discuss the magic of Ringo Starr's drumming, why George Harrison's songs were so special, and how a certain Beatle is interested in future NFT and Web3 projects.   Check out Joel and Walk off the Earth's YouTube channel: https://www.youtube.com/@walkofftheearth/featured Follow Joel on Twitter: @joel_cassady   If you like this episode, be sure to subscribe to this podcast! Follow us on Twitter and Instagram. Or click here for more information: Linktr.ee/BeatlesEarth   ----- The Beatles were an English rock band, formed in Liverpool in 1960, that comprised John Lennon, Paul McCartney, George Harrison and Ringo Starr. They are regarded as the most influential band of all timeand were integral to the development of 1960s counterculture and popular music's recognition as an art form. Rooted in skiffle, beat and 1950s rock 'n' roll, their sound incorporated elements of classical music and traditional pop in innovative ways; the band later explored music styles ranging from ballads and Indian music to psychedelia and hard rock. As pioneers in recording, songwriting and artistic presentation, the Beatles revolutionised many aspects of the music industry and were often publicised as leaders of the era's youth and sociocultural movements. Led by primary songwriters Lennon and McCartney, the Beatles evolved from Lennon's previous group, the Quarrymen, and built their reputation playing clubs in Liverpool and Hamburg over three years from 1960, initially with Stuart Sutcliffe playing bass. The core trio of Lennon, McCartney and Harrison, together since 1958, went through a succession of drummers, including Pete Best, before asking Starr to join them in 1962. Manager Brian Epstein moulded them into a professional act, and producer George Martin guided and developed their recordings, greatly expanding their domestic success after signing to EMI Records and achieving their first hit, "Love Me Do", in late 1962.   Lennon, McCartney, Harrison and Starr all released solo albums in 1970. Their solo records sometimes involved one or more of the others; Starr's Ringo (1973) was the only album to include compositions and performances by all four ex-Beatles, albeit on separate songs. With Starr's participation, Harrison staged the Concert for Bangladesh in New York City in August 1971. Other than an unreleased jam session in 1974, later bootlegged as A Toot and a Snore in '74, Lennon and McCartney never recorded together again. Two double-LP sets of the Beatles' greatest hits, compiled by Klein, 1962–1966 and 1967–1970, were released in 1973, at first under the Apple Records imprint. Commonly known as the "Red Album" and "Blue Album", respectively, each has earned a Multi-Platinum certification in the US and a Platinum certification in the UK. Between 1976 and 1982, EMI/Capitol released a wave of compilation albums without input from the ex-Beatles, starting with the double-disc compilation Rock 'n' Roll Music. The only one to feature previously unreleased material was The Beatles at the Hollywood Bowl (1977); the first officially issued concert recordings by the group, it contained selections from two shows they played during their 1964 and 1965 US tours. The music and enduring fame of the Beatles were commercially exploited in various other ways, again often outside their creative control. In April 1974, the musical John, Paul, George, Ringo ... and Bert, written by Willy Russell and featuring singer Barbara Dickson, opened in London. It included, with permission from Northern Songs, eleven Lennon-McCartney compositions and one by Harrison, "Here Comes the Sun". Displeased with the production's use of his song, Harrison withdrew his permission to use it.Later that year, the off-Broadway musical Sgt. Pepper's Lonely Hearts Club Band on the Road opened. All This and World War II (1976) was an unorthodox nonfiction film that combined newsreel footage with covers of Beatles songs by performers ranging from Elton John and Keith Moon to the London Symphony Orchestra. The Broadway musical Beatlemania, an unauthorised nostalgia revue, opened in early 1977 and proved popular, spinning off five separate touring productions. In 1979, the band sued the producers, settling for several million dollars in damages. Sgt. Pepper's Lonely Hearts Club Band (1978), a musical film starring the Bee Gees and Peter Frampton, was a commercial failure and an "artistic fiasco", according to Ingham. Accompanying the wave of Beatles nostalgia and persistent reunion rumours in the US during the 1970s, several entrepreneurs made public offers to the Beatles for a reunion concert.Promoter Bill Sargent first offered the Beatles $10 million for a reunion concert in 1974. He raised his offer to $30 million in January 1976 and then to $50 million the following month. On 24 April 1976, during a broadcast of Saturday Night Live, producer Lorne Michaels jokingly offered the Beatles $3,000 to reunite on the show. Lennon and McCartney were watching the live broadcast at Lennon's apartment at the Dakota in New York, which was within driving distance of the NBC studio where the show was being broadcast. The former bandmates briefly entertained the idea of going to the studio and surprising Michaels by accepting his offer, but decided not to.

Jioni - Voice of America
Mawaziri wote waliyoteuliwa nchini Kenya waidhinishwa na bunge ili kuunda baraza jipya kwenye serikali ya rais William Ruto. - Oktoba 26, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 26, 2022 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Habari za UN
Siku ya kutokomeza Umasikini, dunia bado inachangamoto nyingi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 17, 2022 0:02


Tunakabiliwa na ukweli mchungu ya kwamba dunia inarudi nyuma badala ya kusonga mbele wakati huu ambapo hii leo tunaadhimisha siku ya kimataifa ya kutokomeza umaskini duniani, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres katika ujumbe wake wa siku hii yenye maudhui, Utu kwa Wote kivitendo. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.    (Taarifa ya Assumpta Massoi)  Katibu Mkuu amesema dunia inarejea nyuma kwa kuwa janga la COVID-19 limetumbukiza mamilioni ya watu kwenye umaskini na kurudisha nyuma maendeleo yaliyopatikana kwa tabu kwa kipindi cha miaka minne. Pengo la ukosefu wa usawa linazidi kuongezeka, uchumi wa kitaifa na wa kaya unadumazwa na kupotea kwa ajira, kuongezeka kwa bei za vyakula na nishati na wingu zito la mdororo wa uchumi likitanda.  Katibu Mkuu amesema wakati huo huo, janga la tabianchi nalo limejikita, mizozo nayo kwa Pamoja vinasababisha machungu makubwa huku walio maskini zaidi ndio wakibeba mzigo mkubwa.  “Nchi zinazoendelea  zinazidi kukaukiwa, zikinyimwa fursa ya rasilimali na msamaha wa madeni ili kuweza kuwekeza kwenye harakati za kujikwamua,” amesema Katibu Mkuu.  Ndoto ya kufikia malengo ya maendeleo endelevu, SDG mwaka 2030 nayo inafifia.  Hivyo amesema siku ya kimataifa ya kutokomeza umaskini ni kengele ya kuamsha dunia na kwamba maudhui ya mwaka huu Utu katika vitendo vyote lazima yawe kilio cha hatua za dharura duniani.  Hatua kuwekeza kwa majawabu yanayotambua watu kama kitovu cha suluhisho- kuanzia afya, ajira zenye staha, usawa, hifadhi ya jamii na marekebisho ya mifumo ya chakula na afya.  Halikadhalika hatua za kurekebisha mfumo wa fedha duniani uliomomonyoka kimaadili na kuhakikisha nchi zote zina uwezo na fursa ya kupata fedha na msaada wa madeni.  Hatua pia kusaidia nchi zinazoendelea wakati huu zinahaha kuhama kutoka nishati inayoharibu mazingira kwenda kwenye nishati salama itakayochochea ajira zisizoharibu mazingira.  Bila kusahau hatua za kumaliza vita, na kuponya mgawanyiko wa kijiografia na kusongesha amani.  Na hatimaye ni hatua za kufanikisha SDGs, na kwa mantiki hiyo ametaka siku hii ya leo “hebu turejelee ahadi yetu ya kuwa na dunia bora kwa wote. Hebu na tupeleke umaskini kwenye vitabu vya historia.”   

Habari za UN
WHO yatoa rai huduma za macho zilizo bora zipatikane kwa watu wote

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 14, 2022 0:02


Shirika la afya duniani WHO limetoa rai ya kuhakikisha fursa ya huduma za macho zilizo bora, jumuishi na kwa wote zinapatikana wakati huu ambapo takriban watu bilioni 2.2 kote duniani wanaishi na changamoto ya uoni hafifu au upofu. zaidi inasomwa na Happiness Pallangyo wa Radio washirika Uhai FM.  Kwa mujibu wa WHO ambayo leo inaadhimisha siku ya uoni duniani,nchi za Kusini Msashariki mwa Asia ndizo zilizoathirika zaidi na matatizo ya uoni hafifu au upofu zikibeba asilimia 30 ya watu wote bilioni 2.2 walio na matatizo ya uoni.  Limezitaka nchi hizo kuongeza juhudi ili kuhakikisha kwamba kila mtu, kila mahali anapata ufikiaji sawa wa huduma za afya ya macho za viwango vya juu, na za kina, kulingana na mpango mpya wa utekelezaji wa kikanda wa mwaka 2022-2030 uliopitishwa kwa ajili ya huduma ya macho inayotoa kipaumbele kwa watu.   Shirika hilo limeongeza kuwa angalau visa bilioni 1 vya ulemavu wa kuona vingeweza kuzuiwa au bado havijashughulikiwa. Shirika hilo la WHO limesisitiza kwamba matatizo ya macho yanaathiri watu wa aina zote za maisha , hata hivyo “Watoto wadogo na wazee ndio walio hatarini zaidi. Pia wanawake, watu wa vijijini na makundi ya walio wachache wana uwezekano mkubwa kuliko makundi mengine kuwa na uoni hafufu na ni nadra kwao kupata huduma zinazostahili za macho.”  Takwimu za shirika hilo la afya duniani zinaonyesha kuwa "Mwaka 2020 makadirio ya hasara za kiuchumi zilizotokana na uoni hafifu au upofu duniani kote zilifikia dola bilioni 411, huku idadi ya watu wenye matatizo ya kutoona karibu ikitarajiwa kuongezeka kutoka watu bilioni 1.8 mwaka 2015 hadi kufikia watu bilioni 2.1 ifikapo mwaka 2030. " Ili kusongesha haraka mchakato wa kukabiliana na changamoto hiyo ya macho WHO imependekeza mambo matatu ya kuzingatia, "Mosi kujumuisha huduma za macho katika huduma zilizopo za afya, pili kuimarisha nguvukazi ya wahudumu wa afya ya macho,  na tatu kuongeza fursa ya upatikanaji wa vifaa vya msaada, teknolojia mpya na kuchagiza utafiti. " Siku ya uoni duniani huadhimishwa kila mwaka Alhamisi ya pili ya mwezi Oktoba na ilipitishwa kwa lengo la kutanabaisha kuhusu afya ya macho na upofu duniani. 

Kwa Undani - Voice of America
Dunia inaadhimisha siku ya afya ya akili kwa kauli mbiu isemayo "Fanya afya ya akili na ustawi kwa wote kuwa kipaumbele cha kimataifa". - Oktoba 10, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 10, 2022 29:59


Wataalamu katika sekta ya afya ya akili na waathirika wa tatizo hili wanazungumzia baadhi ya sababu zinazoibua afya ya akili kwa binadamu, changamoto zilizopo kwa jamii na nini kifanyike kusitisha tatizo la afya ya akili kwa umma

Ikulu Tanzania
KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 25 (SILVER JUBILEE) YA MFUKO WA FURSA SAWA KWA WOTE (EOTF)

Ikulu Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 28, 2022 27:30


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa Maadhimisho ya Miaka 25 (Silver Jubilee) ya Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF) katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC).

Ikulu Tanzania
KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 25 (SILVER JUBILEE) YA MFUKO WA FURSA SAWA KWA WOTE (EOTF)

Ikulu Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 28, 2022 27:30


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa Maadhimisho ya Miaka 25 (Silver Jubilee) ya Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF) katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC).

VOA Express - Voice of America
Wanaharakati waitaka serikali ya Tanzania kuuharakisha mchakato wa Bima kwa Wote - Juni 09, 2022

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 9, 2022 30:00


Wanaharakati wa kutetea haki za wanawake na watoto wa Tanzania wanaema kwamba bima ya afya kwa wote itwasaidia sana wafanya kazi wa sekta ya bodaboda na wafanyabiashara ndogondogo.

Habari za UN
Kwa hali ya sasa ufikiaji wa SDG7 la nishati kwa wote linasuasua-Ripoti

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 1, 2022 3:17


Ripoti mpya kuhusu maendeleo ya nishati iliyotolewa leo na Umoja wa Mataifa imesema janga la COVID-19 limezorotesha mchakato wa kuelekea upatikanaji wa nishati kwa wote, huku vita inayoendelea nchini Ukraine huenda ikaudumaza zaidi mchakato huo.

Tobin Tonight
Joel Cassady: Walk Off This Podcast

Tobin Tonight

Play Episode Listen Later May 25, 2022 55:36


Tobin chats with Walk off the Earth (WOTE) drummer, Joel Cassady. Joel explains how he joined the band and how social media like YouTube helped the band garner interest in the beginning and how new platforms like TikTok and Instagram have created a new following. Joel also tells us more about the cross-over wave that's happening in the world where now anyone can have their hands in many jars such as WOTE being nominated for a children's album at this year's Juno Awards. Joel also talks about his bandmate, Mike Taylor, and his Mother's passing affected his outlook on life. Check It Out Here Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

Thinking Twice
#104 Kreislaufwirtschaft - Interview mit Britta von WOTE

Thinking Twice

Play Episode Listen Later Apr 25, 2022 28:28


In der heutigen Folge dreht sich alles um das Thema Kreislaufwirtschaft. Ihr könnt mich gerne über Instagram kontaktieren: https://www.instagram.com/sophias_happyplace/ oder schreibt mir eine E-Mail an [thinkingtwicepodcast@gmail.com] Wote findet ihr unter: https://www.instagram.com/the.wote/ https://the-wote.com/collections/second-life-produkte https://the-wote.com/pages/second-life Die erwähnte Studie findet ihr hier: https://www.retail-week.com/sustainability/data-primark-and-amazon-rank-among-most-sustainable-retailers-in-new-consumer-poll/7041463.article?authent=1 Quellen: [https://www.circularfutures.at/themen/kreislaufwirtschaft/](https://www.circularfutures.at/themen/kreislaufwirtschaft/) (https://www.umweltbundesamt.de/daten/ressourcen-abfall/abfall-kreislaufwirtschaft) [https://www.nabu.de/umwelt-und-ressourcen/abfall-und-recycling/kreislaufwirtschaft/29818.html](https://www.nabu.de/umwelt-und-ressourcen/abfall-und-recycling/kreislaufwirtschaft/29818.html) [https://www.europarl.europa.eu/news/de/headlines/economy/20151201STO05603/kreislaufwirtschaft-definition-und-vorteile](https://www.europarl.europa.eu/news/de/headlines/economy/20151201STO05603/kreislaufwirtschaft-definition-und-vorteile) [https://www.nabu.de/umwelt-und-ressourcen/abfall-und-recycling/kreislaufwirtschaft/index.html](https://www.nabu.de/umwelt-und-ressourcen/abfall-und-recycling/kreislaufwirtschaft/index.html) [https://www.bmwk.de/Redaktion/DE/Textsammlungen/Industrie/entsorgungs-und-kreislaufwirtschaft.html](https://www.bmwk.de/Redaktion/DE/Textsammlungen/Industrie/entsorgungs-und-kreislaufwirtschaft.html) [https://gabi.sphera.com/deutsch/loesungen/kreislaufwirtschaft/](https://gabi.sphera.com/deutsch/loesungen/kreislaufwirtschaft/)

Desert Tiger Podcast
Walk off the Earth & Romeo Eats on their 2022 JUNO Award Nomination, Bet On Me, & more!

Desert Tiger Podcast

Play Episode Listen Later Apr 13, 2022 17:31


Sarah Blackwood & Gianni Luminati of Walk off the Earth, and their son Romeo of 'Romeo Eats', join the show to discuss their 2022 JUNO Award Nomination for Children's Album of the Year! Gianni, along with Romeo's mom, fellow Walk Off The Earth lead singer Sarah Blackwood, discovered Romeo had an insatiable appetite for all things divine. The pair decided to share Romeo's love of healthy food with their global fanbase with the hashtag #RomeoEats, which quickly became a viral hit. As Romeo and Gianni explore a new food every episode on Romeo Eats, an original song produced by Walk Off The Earth is also featured about the particular food. With tracks like “The Sushi Song” and “The Durian Fruit Song”, Romeo Eats Vol. 1 includes a charming collection of sing-along hits.  Not only do we discuss this educational and fun show, but also WotE's recent track 'Bet On Me', an upcoming tour, and much more!   Watch the video version:     Connect with Walk Off The Earth & Romeo Eats! - - -  Listen to ‘Bet On Me'!   Official Website:   FaceBook:   Twitter:   Instagram:   TikTok: @walkofftheearth  - - -    Support Colton Gee and Desert Tiger ----- Check out our webstore @ Follow Colton Gee and Desert Tiger   -----

Mein Leben als Filmemacher
26.000 € in einem Monat verdient als Videograf | Maximilian Wote im Interview

Mein Leben als Filmemacher

Play Episode Listen Later Apr 11, 2022 11:44


Heute spreche ich mit Maximilian Wote über seine Erfolge bei mir im Coaching! ▶ Kostenloses Beratungsgespräch vereinbaren: http://walterweber.de Hier sind die Key-Learnings von Max: 1. Positionierung auf eine Zielgruppe 2. Angebotsentwicklung sowie Vertrieb & Marketing erlernt 3. Höchster Umsatz erzielt (26.000 € Netto in einem Monat) Mehr zu Maximilian Wote: Web: https://erfolgs-video.de/LinkedIn: https://www.linkedin.com/in/maximilian-wote-b844861a9/ *Dieses Video is nicht gesponsert *Werbung da Verlinkung

SBS Swahili - SBS Swahili
Ni kwa nini ujuzi wakuogelea ni mhimu kwa wa Australia wote?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 6, 2022 12:34


Kujifunza kuogelea huenda haitakuwa kipaumbele unapo anza maisha yako Australia.

Edge of NFT Podcast
Joel Cassady And Ross Venokur Of HolidayVerse Bring Us Global Holiday Spirit, Plus: Crypto Grow, Squirrelly Squirrels, WOTE Performance, And More...

Edge of NFT Podcast

Play Episode Listen Later Feb 16, 2022 72:31


There are so many cultural festivals and holidays around the world that not everyone can witness. But with the HolidayVerse, that may be possible. Join Jeff Kelley, Eathan Janney, Josh Kriger as they talk to Joel Cassady And Ross Venokur Of HolidayVerse. Joel is a member of the band, Walk Off The Earth and Ross is the co-founder of EDH Animation. Together they are bringing the first-ever film funded by NFTs, one frame at a time. Discover how they plan to show it in the HolidayVerse, a self-sustaining digital ecosystem. People get to share the holiday spirit with other people from around the world. Learn more about these ornamints and how the NFT community can help create the film. Plus, more about Crypto Grow, Squirrelly Squirrels, and a WOTE Performance. Embrace the holidays today in this episode of The Edge of NTFs.More from Edge of NFT:

Edge of NFT Podcast
Joel Cassady And Ross Venokur Of HolidayVerse Bring Us Global Holiday Spirit, Plus: Crypto Grow, Squirrelly Squirrels, WOTE Performance, And More...

Edge of NFT Podcast

Play Episode Listen Later Feb 16, 2022 72:31


There are so many cultural festivals and holidays around the world that not everyone can witness. But with the HolidayVerse, that may be possible. Join Jeff Kelley, Eathan Janney, Josh Kriger as they talk to Joel Cassady And Ross Venokur Of HolidayVerse. Joel is a member of the band, Walk Off The Earth and Ross is the co-founder of EDH Animation. Together they are bringing the first-ever film funded by NFTs, one frame at a time. Discover how they plan to show it in the HolidayVerse, a self-sustaining digital ecosystem. People get to share the holiday spirit with other people from around the world. Learn more about these ornamints and how the NFT community can help create the film. Plus, more about Crypto Grow, Squirrelly Squirrels, and a WOTE Performance. Embrace the holidays today in this episode of The Edge of NTFs.

Habari za UN
31 DESEMBA 2021

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 31, 2021 12:07


Katika jarida la matukio ya mwaka la Umoja wa Mataifa hii leo Assumpta Massoi anakuletea -Wanajeshi watatu wa kulinda amani kutoka Tanzania wanaohudumu kwenye mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati MINUSCA, wamejeruhiwa na mmoja vibaya sana baada ya msafara wao kukanyaga vilipuzi. Wote wanatibiwa hospitalini mjini Bangui -Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limesema mwaka huu umekuwa wa machungu na ukiukwaji mkubwa wa haki za watoto katika mizozo ya muda mrefu na ile mipya.  -Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP limesitisha opetresheni zake jimboni Darfur Kaskaini nchini Sudan baada ya mabohari yake matatu kuporwa mjini El Fasher hali ambayo itaathiri watu milioni 2 wanaohitaji msaada nchini humo mwaka 2022 -Mada kwa kina leo inamulika matukio makubwa yaliyojiri mwaka 2021 -Na katika kujifunza Kiswahili leo tuko Kenya kwa mtalam wetu Josephat Gitonga akifafanua methali ""IMARA YA JEMBE KAINGOJE SHAMBANI"

Habari za UN
Watu wote wa hapa kijijini tunakula majani ya madungusi kakati : Madagascar

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 4, 2021 2:48


Wakati mkutano wa mabadiliko ya tabianchi ungali ukiendelea huko Glasgow, Scotland, ukame unazidi kushika kasi kusini mwa Madagascar na watu wakiingia mwaka wa tano bila ya mvua hali inayowalazimu wananchi kula dungusi kakati kwa kuwa ndio mmea pekee unaoota kwenye maeneo yao. (Taarifa ya Leah Mushi) Mito! Ardhi Kame! Vumbi na watu wakisaka maji kwenye eneo kavu! Ni taswira kutoka angani kupitia video ya shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula duniani WFP ya kijiji cha Marofanony kilichoko kusini mwa Madagascar! Ardhini timu ya WFP inalakiwa na upepo mkali ukipeperusha mchanga na mmea ulioshamiri zaidi ni Dungusi kakati. Hivi ndivyo tunavyokula, anasema Masy Celestinea ambaye amekutwa akikusanya majani ya mmea wa dungusi kakati, ambayo bado hata hayajatoa matunda. Licha ya mjukuu wake aliyekuwa na miezi 8 kufariki kutokana na kula mbegu nyingi za tunda hili Masy anasema bado hawezi kuacha kula. “Watu wote wa hapa kijijini tunakula haya majani. Kwa sababu ni miaka mitano imepita tangu mvua inyeshe. Wale waliokuwa na mifugo sasa hawana tena, kwa sababu wameuza ng'ombe zote. Angalia mazao yetu, hakuna majani yanayokua, hata moja. Unapopita kwenye barabara, unaweza kuona, ni kavu. Kuna upepo wa mchanga tu.” Ziara ya WFP katika kijiji hiki imekuja na faraja ambapo watoto wanapimwa kiwango cha utapiamlo huku wazazi nao wakipata msaada wa mahindi, mafuta, chumvi na vyakula vyenye virutubisho kwa ajili ya akina mama na watoto walioathirika na ukame. Naibu Mkurugenzi Mkazi wa WFP nchini Magadascar Arduino Mangoni anasema aliyoyaona yanahuzunisha "Kwa sababu ya ukame, kwa sababu ya dhoruba za mchanga, hili ni jambo jipya ambalo limejidhihirisha katika miaka michache iliyopita, bei ya vyakula imepanda kwa sababu ya uzalishaji duni wa kilimo na watu hawana chakula cha kutosha ... hawana. Sina pesa za kuwapatia chakula na viwango vya utapiamlo vinaongezeka. Watu hawa hawajachangia mabadiliko ya tabianchi lakini wao ndio wanalipa gharama ya  juu zaidi.” Masy anahitimisha kwa kuwaeleza viongozi walioko kwenye mkutano wa COP26 huko Glasgow kuwa “Unajua msitu una uhai wake, binadamu ana uhai wake, msitu una damu yake, na sisi wanadamu pia. Nina huzuni kwa sababu mvua hainyeshi tena, na Madagascar ni mwathirika wake. Nina huzuni kwa sababu mvua hainyeshi. Hakuna hata umande, lakini upepo mkali tu unavuma, kwa hivyo nina moyo wa huzuni. inanivunja moyo.”

Twist n Turns
WotE

Twist n Turns

Play Episode Listen Later Sep 1, 2021 749:01


wote

Habari za UN
Ripoti ya UNFPA yaonesha takribani nusu ya wanawake wote katika nchi zinazoendelea, wananyimwa uhuru wao wa mwili

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 14, 2021 4:42


Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu, UNFPA iliyotolewa leo Aprili 14, 2021, takribani nusu ya wanawake wote katika nchi 57 zinazoendelea wananyimwa haki ya kuamua kuhusu miili yao kama vile tendo la ndoa, uzazi wa mpango au kutafuta huduma za afya. Taarifa ya Anold Kayanda inaeleza kwa kina.

Radio Uhai Broadcast
Wote Wapo Makanisani/tumewaaribu Wenyewe (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Jan 9, 2021 28:00


The Congo Report
Tuko Bantu Wote (Bonus Episode)

The Congo Report

Play Episode Listen Later Dec 10, 2020 2:35


Here is a behind-the-scenes conversation between the hostess Muyumba and special guest Bileko Wissa. Enjoy! --- Send in a voice message: https://anchor.fm/thecongoreport/message

The Congo Report
Tuko Bantu Wote

The Congo Report

Play Episode Listen Later Dec 8, 2020 108:43


This week the podcast is in conversation with Bileko Wissa Jr. from the Bantu Boyz Podcast. We had an in depth discussion about a variety of topics ranging from comedy, podcasting, and of course Congo. Cette semaine, le podcast est en conversation avec Bileko Wissa Jr. du podcast Bantu Boyz. Nous avons eu une discussion approfondie sur une variété de sujets allant de la comédie, du podcasting et bien sûr du Congo. ⁠Wiki hii podcast iko kwenye mazungumzo na Bileko Wissa Jr. kutoka Bantu Boyz Podcast. Tulikuwa na mazungumzo ya kina juu ya mada anuwai kutoka kwa ucheshi, podcasting, na kwa kweli Kongo. CONNECT WITH ME INSTGRAM: @muyumbakalubi, @tcrlrcpodcastofficial FOLLOW THE GUEST: @bilekoazizawissajr, @bantuboyz FACEBOOK: The Congo Report, Bantu Boyz EMAIL: thecongoreport@gmail.com, bantuboyz1960@gmail.com WEBSITE: https://www.patreon.com/thecongoreport?fan_landing=true, https://lnk.bio/a3gc --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app --- Send in a voice message: https://anchor.fm/thecongoreport/message

Habari za UN
Siyo ulemavu wote unaonekana-Wataalam wa Afya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 3, 2020 3:46


Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya kimataifa ya walemavu na kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa “sio ulemavu wote unaonekana” ni bayana kuwa  watu wengi duniani wanaishi na ulemavu wa aina fulani ambao hauonekani ambao wakati mwingine unaweza kuchukuliwa kuwa labda tabia zao na hata watu hao kukumbwa na unyanyapaa katika jamii. Mara nyingi ulemavu unaozingatiwa huwa ule unaonekana kwa mfano ulemavu wa miguu, mikono au macho ingawa nao bado wanakumbana na changamoto nyingi.

Salama Na
Ep. 41 - Salama Na KALITO | THE ORIGINATOR

Salama Na

Play Episode Listen Later Nov 12, 2020 79:02


Carlos Bastos aka Kalito ni moja kati ya wale binadamu ambao hawahitaji ‘kutambulishwa' na hiyo si kwa sababu ya muonekano wake hata kidogo zaidi ni personality yake, anaongea, anachekesha, anajielewa, anajua nini cha kusema na wapi pa kusema pia. Katika watu ambao namshukuru Mungu kwa kuwafanya wawe rafiki zangu Kalito ni mmoja wapo. Jinsi ambavyo alifika Tanzania inaweza ikakufanya ujue pia yeye ni mtu wa aina gani haswa, kutoka mwenyewe familia ambayo mtoto wa kiume ni pekee, na pengine alikua na uhakika wa kupata kila anachotaka lakini aliamua kupaki begi na kuchanja mbuga kuja hapa Tanzania. Kusema za ukweli story yake ya maisha ni ya kuamsha sana. Imagine wewe leo unatoka ulikotoka ukaenda zako pa kwenda, ukajimix kwa kuhudumia watu kwa kuwapa burudani na chakula mpaka akapata upenyo wa kufanya yake. Ni wangapi kati yetu wanaweza kufanya hivyo? Najua wengi wetu hatukuzaliwa hapa Dar es Salaam ila tumekuja tukalikita na mpaka sasa Alhamdulillah mambo yanaenda. Ila si wengi wanaweza kusema hivyo. Tunajua huchukua jasho machozi na pengine damu kufikia malengo. So binafsi haswa nimejifunza au najifunza nini kutoka kwa rafiki yangu huyu kila siku? Cha kwanza ni kuwa MKWELI. Kama unayo unayo, kama unaweza kufanya/kufika utafanya hivyo, kama unaweza kutoa unatoa na kama huwezi UNASEMA. Naamini ndani ya moyo wangu, hiyo ni moja ya silaha kubwa sana kama unataka kufanikiwa, kama unataka MAENDELEO. Cha pili pia ambacho bado kinakaa kwenye UKWELI ni UAMINIFU. Ukikopa pesa RUDISHA maana hii itakupa nafasi ya kuweza kurudi na kukopa tena kama mambo yako yatakua bado sio sukari, sasa imagine hujarudisha na ukapata shida nyengine je utaweza kurudi kukopa tena? Vipi kama alokukopesha nae kashawaambia ma don wenzake kwamba wewe huwa hulipi? Utasogea kweli?... Mwisho wa siku DAWA YA DENI ni KULIPA tu. Jengine KUBWA zaidi ni kutokua na SIRI nyiiiingi. Mambo ambayo yatakufanya uwe unaweka vitu vingi ndani, ambavyo hauwezi kusema labda kwasababu ya aibu au pengine hauko huru kuviongea nalo ni TATIZO. Ni kweli sote tuna SIRI zetu, ila zikizidi ndo zinaleta msongo wa mawazo. So kuwa muangalifu na kipi unasema na kipi unaweka. Kujijazia mavitu moyoni ki afya si mpango hata kidogo. Kalito yuko HURU, anaskiliza watu na kujifunza kila siku pia kama mimi na wewe tu, pia ana shida zake ambazo kwa kiasi kikubwa ameweza kuzifanya zisiwe chanzo cha yeye kutokua na furaha au kumpa unyonge. Pengine unaweza kusema ni kwa sababu ana hela au biashara inayomuingizia kipato kila siku ndo maana ni rahisi kwake kucheka kwa yote, ila Amini nikikuambia hata yeye huwa ana kutana na mitihani mikubwa tu, lakini kwasababu yuko POSITIVE muda wote unakuta anamalizana na shida zake kwa roho safi tu. Anakubali pale anapokua kashindwa na kujifunza na anafurahia pia challenges ambazo binafsi anazishinda kwa uzuri tu. Yeye pia ni rafiki nambari MOJA wa wafanyakazi wake karibia WOTE wa Samaki Samaki na sasa Kuku Kuku wa kuwajua mmoja mmoja kwa majina yao. Mpaka mafundi wake wote hao ni familia yake. Wangu tumekuletea Kalito kwenye meza ili uone mambo kwa utofauti haswa. Ujifunze kutoka kwa watu ambao unawaangalia kila siku na ambao pengine unadhani mambo yao ni SUKARI kila siku iendayo kwa Mungu. Yangu matumaini utaokota mawili matatu humu. Maana ukiachana na biashara pia alizungumza maisha yake. Alivyoumwa, watoto wake na jinsi alivyofika Tanzania na nchi yetu hii na watu wake. Alituambia pia kuhusu mapenzi yake na Bahari na mahusiano yake na watoto wake na Mama yao ambaye hayuko nae tena sasa. Tafadhali enjoy. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support

Radio Uhai Broadcast
Sio Wote Wameoza,nawazuri Wapo Sio Wote (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Nov 10, 2020 31:00


Radio Uhai Broadcast
Wote Wanaamini Ukiishi Mjini Una Hela (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Aug 26, 2020 16:00


Radio Uhai Broadcast
Tunaishi Wote Kwa Kufanana (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Jul 2, 2020 35:00