POPULARITY
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tukiungana na Frater Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, akijibu swali hili, Kadiri ya waraka Waebrania 9:27 “Mwanadamu baada ya kufa anapewa hukumu” Je, Hukumu hiyo ni ipi? L'articolo Je, kuna hukumu baada ya kifo? proviene da Radio Maria.
Takwimu kutoka tume ya uchaguzi ya Marekani, zina onesha watu wengi zaidi wame piga kura mwaka huu 3wa 2024 kuliko katika chaguzi zingine katika historia ya nchi hiyo.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Kila kazi italetwa hukumuni
Hukumu ya Mwanadamu
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Uganda imepitisha sheria kali dhidi ya kundi la watu wanao jitambua kama LGBTIQ+, hatua ambayo imevutia ukosoaji mkali kutoka mataifa ya magharibi pamoja wana harakati barani Africa.
Familia moja ya Kenya inajiandaa kuelekea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kukata rufaa dhidi ya hukumu ya kifo inayomkabili mtoto aliyekutwa na hatia ya kumwua mwanajeshi wa Congo mwaka uliopita.
Kubwa katika makala hii ni kuhusu maandamano ya upinzani nchini Kenya, ziara ya makamu wa rais wa Marekani Kamala Harris nchini Tanzania, wiki hii wanajeshi wa Uganda waliwasili kwenye mji wa Bunagana mashariki mwa DRC, lakini pia muswada wa sharia unaohusu uraia kwa mtu anayetakiwa kuwa kwenye wadhifa wa rais kuzua hisia mseto. Hukumu dhidi ya kiongozi wa upinzani nchini Senegal; Ziara ya mfalme Charles wa 3 wa Uingereza huko Ujerumani, na mambo mengine...
Kazi unayoifanya italetwa hukumuni
Kazi unayoifanya italetwa hukumuni
Kazi unayoifanya italetwa hukumuni
Kazi unayoifanya italetwa hukumuni
Hukumu katika mahakama kuu ya Mungu atahukumu kila tendo kwa haki
Hukumu katika mahakama kuu ya Mungu atahukumu kila tendo kwa haki
Wakili wetu yupo tayari kututetea
Wakili wetu yupo tayari kututetea
Mungu anataka kutufanyia mengi kuliko kutuzuia kuenda kuzimu. Anataka tuishi maisha yanayotimiza upendo na huduma ndani yake.
KACOU 151: Hukumu juu ya mataifa by Prophète Kacou Philippe
Hukumu ya Mungu
Kazi unayoifanya italetwa Hukumuni
Kazi unayoifanya italetwa Hukumuni
Kuokoka ni jambo la lazima sana kwa kila anayehitaji uzima wa milele. Kuokoka kuanza na kumpokea YESU KRISTO kama Mwokozi kisha unaishi ukilitii Neno la MUNGU. Kwanini ni muhimu sana kuokoka? Biblia inasema baada ya kifo hukumu. Waebrania 9:27 ''Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;'' Anayetenda dhambi akifa na dhambi zake anaenda kuzimu. Mteule wa KRISTO mtakatifu akifa anaenda mbinguni. Wanadamu wengi wakionywa kwamba waache dhambi husema wanahukumiwa na hutoa sababu kwamba anayeweza kuwahukumu ni MUNGU tu. Hukumu ni Siku ya mwisho tu ila sasa ni maonyo tu na maonyo hayo yanaletwa na Neno la MUNGU kupitia watumishi, hivyo watumishi wakati mwingine huonekana kama wanahukumu kumbe wanawasaidia watu. Hakuna mwanadamu anayetakiwa kumhukumu mwanadamu mwenzeke. Nikisema acha uzinzi na usaliti wa ndoa maana ni dhambi sio nakuhukumu Bali nakuambia kweli ya MUNGU. Nikisema acha dhambi na okoka sasa ni kwa lengo la kukusaidia wewe. Ni mhimu sana kumpokea YESU na kuanza kuishi katika kusudi la MUNGU la wokovu. Baada ya kuokoka naomba utambue kwamba wewe umekuwa mtumishi wa MUNGU wa kuwasaidia na wengine ili waje kwenye wokovu. Biblia inasema kuhusu aliyeokoka kwamba; ''Kwa maana MMEOKOLEWA kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha MUNGU;-Waefeso 2:8'' Biblia inasema tuliompokea YESU kama Mwokozi tumeokolewa. Kuna watu hudai hakuna kuokoka duniani lakini Neno la MUNGU ndio kweli na kweli hiyo inasema kawmba tuliompokea YESU tumeokolewa na sio tutaokolewa bali tumeokolewa tayari. Kama hujaokolewa basi nakusihi okolewa leo kwa kumpokea YESU KRISTO kama Mwokozi wako na kuanza kuishi maisha matakatifu ya wokovu wa KRISTO ulio wa thamani sana. Baada ya kuokolewa naomba ujue mambo 7 muhimu haya yafuatayo. Hiki ndicho kiini cha somo langu la Leo kwamba ''Tumeokoka ili?'' @siri za biblia www.sirizabiblia.com +255 758 708 804 --- Send in a voice message: https://anchor.fm/siri-za-biblia/message
Mwishoni mwa juma lililopita mahakama nchini DRC imewahukumu kunyongwa hadi kufa watu 29 waliodaiwa kuhusika katika vurugu za ibada ya kumalizika kwa mwezi mtukufu wa ramadhani, ambapo polisi mmoja aliuawa na watu wengine kadhaa kujeruhiwa. Ni hukumu iliyoibua maswali na hisia mseto nchini humo. Wewe una mtazamo gani kuhusu hukumu hii? haya hapa baadhi ya maoni yako.
Kamanda wa zamani wa kundi la waasi wa Lords Resistance Army nchini Uganda, LRA Dominic Ongwen amekutwa na hatia ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinaadamu.
Mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai, ICC imemhukumu kifungo cha miaka 25 jela kamanda wa zamani wa kikundi cha waasi cha Lord’s Resistance Army, LRA nchini Uganda, Dominic Ongwen. Hukumu hiyo imetolewa leo huko The Hague Uholanzi kufuatia kamanda huyo wa zamani kupatikana na hatia ya makosa 61tarehe 4 mwezi Februari mwaka huu. Flora Nducha na maelezo zaidi.
Kila kitu kwenye maisha ya mwanadamu kimebebwa na WAKATI. KUSUDI la wewe kuwa duniani limebebwa na WAKATI. Ni TIMELINE ya maisha yako mpaka siku ya mwisho. Timeline maana yake ni MUDA => TUKIO. 1965 => KUZALIWA 2007 => KUFA KUZALIWA na KUFA, hayo ni MATUKIO mawili makubwa yaliyopo kwenye timeline ya kila mwenye PUMZI. KATIKATI hapo kuna matukio mengine, yaliyoambatana na muda kulingana na KUSUDI na mapenzi ya MUNGU kwenye maisha yako. Kama vile ambavyo matukio mbalimbali yametokea na kubadilika kwenye maisha yako, yani ulizaliwa, ukakua na sasa uko hivyo jinsi ulivyo; hiyo ni timeline yako inazidi kusogea, sasa hatujui kama timeline yako na ya MUNGU juu yako zinafanana au uliamua kutengeneza ya kwako, sasa hilo ni somo la siku nyingine. BASI uwe na UHAKIKA kabisa kuna MWISHO wa WEWE kuwa hapa duniani. Baada ya MWISHO au KIFO hakuna kingine kinachofuata bali ni HUKUMU (Waebrania 9:27) HUKUMU ni TAMKO ambalo kila mmoja atapokea kama IJARA ya mambo aliyotenda akiwa duniani, kwa kadiri alivyotenda, kwamba ni MEMA au MABAYA(2Wakorintho5:10). HIYO siku hakutakuwa na nafasi ya kujitetea. Hakuna kusema nilikuwa sijui, kwasababu kila mwenye pumzi lazima aisikie INJILI, ni yeye mwenyewe kuamua kuamini au kutoamini. Hiyo siku hakutakuwa na KUKATA RUFAA. Hukumu ikitoka imetoka. Wala pesa hazitafanya kazi kwako. Hakutakuwa na rushwa. Wala hakutakuwa na MATABAKA, kwamba huyu alikuwa raisi, waziri, celebrity, bongo movie maarufu, huyu alikuwa na followers milioni 8, huyu alikuwa miss Tanzania, huyu alikuwa na tuzo lukuki, huyu alikuwa mfanya biashara maarufu. Hakutakuwa na “wakili msomi” wa kukutetea, kwasababu hata yeye atasimama kwenye kiti cha hukumu ahukumiwe, kama alidhurumu watu basi hiyo siku itajulikana. Hapo ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno. “Ndivyo itakavyokuwa katika mwisho wa dunia; malaika watatokea, watawatenga waovu mbali na wenye haki, na kuwatupa katika tanuru ya moto; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno” (Mathayo 13:49-50) MUNGU ANASISITIZA KUGEUKA kwa wanadamu na kusisitiza juu ya NYAKATI za mwisho. Na kila mmoja AKAIONE neema ya MUNGU na UPENDO WAKE ili asiangamie siku ya mwisho. ENDELEA KWENYE POST INAYOFUATA --- Send in a voice message: https://anchor.fm/siri-za-biblia/message
Salama jamah mussikiliza noticiAudio. Karibuni habar za lelo kamba ezi: ▪️Watchaputo wali kutendeka vita mu Próvincia Cabo Delgado, wenguila Palma na walazimisha empresa total iwalavye wakazi. ▪️Comandante wa kazi za mapulicia mu próvincia ya Niassa beleza acamba iwapo tahazari kuhussu kwenguezeka ka uchaputhu Ku fica kule. ▪️Provincia ya Cabo Delgado: Ufalume utangaza uluere was cólera wa cólera muito distrito ya Montepuez. ▪️Hukumu ya kiyongozi wa mida ingali ikitikinissa próvincia ya Inhambane. ▪️Mariano Nhongo keleza kwimissa bunduqui ili apakanile na serikali. Landikisse uzuji wa Podcast (https://podcasts.google.com/?feed=aHR0cHM6Ly9hbmNob3IuZm0vcy83ODBmYTUwL3BvZGNhc3QvcnNz) ema ukurassa wa Telegram (https://t.me/noticiaudiokw) na WhatsApp (https://chat.whatsapp.com/Im9QVJsgk7LGijoGZE5dMq) pamodja na ukurassa wa Facebook (https://www.facebook.com/NoticiAudio/) wa NoticiAudio ili uphathe habazi za mana za inty ya Moçambiqui, kwa Kila sumana. Leia o script em Português aqui (https://telegra.ph/NoticiAudio-8-Janeiro-2021-01-07) Assante Sana, mphaka nafassi Nhenguine!
KACOU 2: Tamka hukumu ! by Prophète Kacou Philippe
Hukumu Za Zakatul Fitwir
Hukumu Ya Kulipa Swaumu Ya Ramadhan
Miongoni Mwa Hukumu Za Kisheria Katika Twahara Na Swala
Hukumu Za Talaka Katika Uislam
Hukumu Ya Kuishi Katika Miji Ya Makafiri 06
Hukumu Ya Kuishi Katika Miji Ya Makafiri 08
Hukumu Ya Kuishi Katika Miji Ya Makafiri 07
Hukumu Ya Kuishi Katika Miji Ya Makafiri 01
Hukumu Ya Kuishi Katika Miji Ya Makafiri 02
Hukumu Ya Kuishi Katika Miji Ya Makafiri 03
Hukumu Ya Kuishi Katika Miji Ya Makafiri 04
Hukumu Ya Kuishi Katika Miji Ya Makafiri 05
Iddi Ya Kuchinja Na Hukumu Zake