Podcasts about Agosti

  • 76PODCASTS
  • 630EPISODES
  • 24mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • Mar 3, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about Agosti

Latest podcast episodes about Agosti

Habari za UN
Napenda sana maabara na imenihamasisha kusoma sayansi - Zamzam

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 3, 2025 2:34


Nchini Kenya, shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) na wadau wengine wanafanikisha mpango wa kuhamasisha wasichana kuingia katika masomo ya STEM yaani Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati. Baadhi ya wasichana wakimbizi katika kambi ya Dadaab nchini Kenya ni wanufaika wa mpango huu. Sharon Jebiichi na maelezo zaidi.Zamzam Hussein,aliyekuwa mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Hagadera. Ni mkimbizi mwenye asili ya Somalia na sasa anaishi katika kambi ya wakimbizi ya Daadab nchini Kenya akiwa na ndoto ya kuwa daktari. Kupitia mpango huu ambao ni sehemu ya programu ya PROSPECTS ambao ni ushirikiano wa kimataifa unaojumuisha mashirika kadhaa ya Umoja wa Mataifa ukilenga kuboresha upatikanaji wa elimu, ulinzi wa jamii, na ajira yenye hadhi kwa jamii zinazowakaribisha wakimbizi na watu waliolazimika kuhama makazi yao Zamzam Hussein ameweza kukumbatia sayansi.“Nilikuwa mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Hagadera na nikamaliza elimu yangu mwaka wa 2024. Nilijiunga na shule hiyo Agosti 2021. Nilichopenda zaidi nikiwa shuleni ni maktaba, maabara ya sayansi na maabara ya kompyuta. Napenda kuwashauri wasichana wadogo wanaosoma shuleni  na walio wakimbizi wafanye kazi kwa bidii bila kujali changamoto wanazokabiliana nazo. Watatimiza ndoto zao na waweze kufanikiwa katika siku za usoni. Nataka kuwa daktari kwa sababu nilipokuwa shule ya upili nilijifunza mambo mengi kuhusiana na matibabu. Ningependa kuwashukuru wafadhili wetu kwa sababu bila wao nisingekuwa hapa.”Mpango huu wa STEM umetoa msaada wa rasilimali kama vile kuajiri walimu zaidi wa sayansi, kutoa mafunzo kwa walimu, kutoa vifaa vya sayansi kwa ajili ya maabara ya shule na kuanzisha programu ya maabara ya mtandaoni (virtual lab) ambapo wanafunzi wanaweza kufanya majaribio ya sayansi  kwenye mtandao wa intaneti. Kupitia video iliyorekodiwa na UNICEF, Patrick Njogu, Mwalimu Mkuu wa shule  ya Sekondari ya Hagadera anasema,“Nimemfundisha Zamzam na wasichana wengine ili waweze kutimiza ndoto na malengo yao. Wasichana wamekuwa wakikabiliana na changamoto kama vile ndoa za mapema. UNICEF imekuwa ya manufaa zaidi kwao. Kwa sasa walimu wawili zaidi wa sayansi  wameajiriwa. Mbali na hayo imekuwa ikiendesha mafunzo ya walimu, imetoa vifaa vya sayansi kwa ajili ya maabara ya shule na kuanzisha  programu ya maabara ya mtandaoni (virtual lab). Programu hii ya mtandao (virtual lab) imetengeneza  uhusiano nzuri wa wanafunzi katika masomo ya sayansi.” 

Jukwaa la Michezo
Droo ya CHAN 2024: Kenya yapangwa kundi gumu zaidi, mashindano ya Agosti 2025

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Jan 18, 2025 23:53


Kipindi cha leo kimeangazia pakubwa droo ya mashindano ya CHAN 2024; adhari ya kuahirishwa kwa kipute na uchambuzi wa makundi. Pia tumetupia jicho raundi ya sita hatua ya makundi mechi za klabu bingwa Afrika, fainali ya mashindano mapya ya wasichana U17, Shujaa yataja kikosi chake cha mkondo wa Perth 7s, Kipchoge akilenga taji la tano la London Marathon, Tyson Fury astaafu ndondi kwa mara ya pili pamoja na mashindano ya tenisi ya Australian Open yakiingia hatua ya robo fainali. Kulingana na droo iliyofanyika Jumatano usiku katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Kenyatta (KICC) jijini Nairobi nchini Kenya, Harambee Stars imepangwa katika 'kundi la kifo' ambapo itamenyana na mabingwa mara mbili Morocco (2018 na 2020) na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (2009 na 2016)."Tuko kwenye kundi la kifo," Mariga alikiri, akibainisha uimara wa wapinzani wao."Hizo ni timu kubwa na inamaanisha lazima tuweke juhudi zaidi katika maandalizi."“Wapinzani wetu ni wagumu, tutashiriki mashindano haya kwa mara ya kwanza lakini haijalishi. Tuna wachezaji wazuri ambao wanaweza kutoa changamoto,” alijibu Kenneth Muguna, mmoja wa wachezaji muhimu katika kikosi cha sasa cha Harambee Stars.Pia katika Kundi A kuna Zambia na Angola. Kenya itakuwa mwenyeji wa mashindano haya yanayofanyika kila baada ya miaka miwili kwa wachezaji wa nyumbani pamoja na Tanzania na Uganda.Wenyeji wenza Tanzania wako katika Kundi B ambapo watamenyana na Madagascar, Mauritania, Burkina Faso na Jamhuri ya Afrika ya Kati.“Tusichukulie kundi hili kama jepesi, sisi kama wenyeji lazima tujitayarishe vyema ili tupite awamu ya makundi na hata kushinda kombe, “ alisema rais wa shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) Wallace Karia.Uganda wataongoza Kundi C ambapo watamenyana na Niger na nchi mbili ambazo zitatinga hatua ya mwisho ya mchujo. Mabingwa watetezi Senegal wataanzisha tena uhasama na Nigeria katika kundi D, ambayo pia ina Sudan na Kongo.“Tumecheza dhidi ya Guinea na Niger mara kadhaa, tunajua wanavyocheza. Tumefuzu mara ya nane mashindano haya, na hatujawahi kuaga mashindano kwenye makundi,” alieleza kwa msisimko Moses Magogo, rais wa shirikisho la soka (FUFA) nchini Uganda. Michuano hiyo yenye timu 19 ambayo awali ilipangwa kufanyika Februari 1 hadi 28, iliahirishwa hadi Agosti mwaka huu. Wasaidizi wa droo hiyo walikuwa wachezaji wa zamani - McDonald Mariga wa Kenya, Mrisho Ngasa wa Tanzania na Hassan Wasswa wa Uganda huku mkurugenzi wa mashindano wa CAF, Samson Adamu akisimamia mchakato wa droo.Katika ujumbe wake wa video kabla ya droo hiyo, rais wa CAF Patrice Motsepe alitoa shukrani zake kwa marais William Ruto (Kenya), Samia Suluhu Hassan (Tanzania) na Yoweri Museveni (Uganda) kwa ushirikiano wao kuhakikisha mashindano hayo yanafanyika kwa mafanikio."Ukarabati wa viwanja, viwanja vya kufanyia mazoezi, miundombinu, hoteli na hospitali katika nchi hizo tatu unaonyesha maendeleo makubwa na motisha, iliyodhihirika wakati wa ziara yangu," ujumbe wake Motsepe ulibainisha."Lengo lilikuwa kuunganisha mataifa matatu ya Afrika Mashariki, pamoja na mengine kutoka sehemu mbalimbali za Afrika."Waziri wa Michezo nchini Kenya Salim Mvurya alipamba hafla hiyo pamoja na wenzake kutoka Uganda na Tanzania, Peter Ogwang na profesa Palamagamba John Aidan Mwaluko.Droo KamiliKundi A: Kenya, Morocco, Angola, DR Kongo, ZambiaKundi B: Tanzania, Madagascar, Mauritania, Burkina Faso, Jamhuri ya Afrika ya KatiKundi C: Uganda, Niger, Guinea, Q2, Q1Kundi D: Senegal, Kongo, Sudan, Nigeria

Un Jour dans l'Histoire
De l'organisation des loisirs ouvriers à la culture pour tous

Un Jour dans l'Histoire

Play Episode Listen Later Jan 4, 2025 35:23


Nous sommes le 1er avril 1919, en Hainaut. Ce jour-là, la Députation permanente du Conseil provincial décide de nommer une commission chargée d'étudier la question des loisirs ouvriers et cela, alors que le projet de la loi dites des « huit heures » (huit heures de travail, huit heures de loisirs, huit heures de repos) est déposé à la Chambre. Une loi qui sera promulguée le 14 juin 1921. L'extension du droit de vote et une conscience sociale en pleine mutation, dans cet Après-Guerre, font de la culture un enjeu de progrès pour l'ensemble de la société. Alphonse Parent, Paul Pastur, Jules Destrée, Joseph Wauters et beaucoup d'autres vont se faire les porte-paroles de la lutte pour l'émancipation des masses laborieuses par l'art dans ses formes les plus diverses. L'art et la beauté qui toucheraient toutes les activités humaines, même celles qui semblent les plus triviales. Dans son discours-programme, à la séance d'installation de la Commission, le 4 mai 1919, Paul Pastur, député permanent, dira : « Nous sommes au temps du renouveau, c'est l'époque où l'on sème. Les hommes auxquels incombe la responsabilité d'organiser et de diriger l'évolution, doivent se rendre un compte exact de la situation et abandonner la routine d'autrefois, pour préparer le monde qui doit sortir le meilleur, et ne plus s'obstiner dans les conceptions arriérées, incompatibles avec la forme que la production revêtira demain (…). Aussi généreux qu'il soit, le programme envisagé ne fait pas l'économie d'un franc paternalisme qui n'évacue pas les idées reçues concernant des ouvriers qui ne sauraient quoi faire de leur temps libre, ou qui l'utilisent mal. Que reste-t-il de ces vœux d'éducation populaire ? Se sont-ils transformés en politiques culturelles ? Invités : Michel Host et Roland de Bodt, auteurs, avec Béatrice Agosti, Raoul Piérard et Daisy Vansteene, de : « 100 ans d'épopée culturelle en Province de Hainaut » aux éditions Cerisier. Coll. Place publique. Sujets traités : loisirs ,ouvriers, culture, Alphonse Parent, Paul Pastur, Jules Destrée, Joseph Wauters, commission, éducation, Merci pour votre écoute Un Jour dans l'Histoire, c'est également en direct tous les jours de la semaine de 13h15 à 14h30 sur www.rtbf.be/lapremiere Retrouvez tous les épisodes d'Un Jour dans l'Histoire sur notre plateforme Auvio.be :https://auvio.rtbf.be/emission/5936 Intéressés par l'histoire ? Vous pourriez également aimer nos autres podcasts : L'Histoire Continue: https://audmns.com/kSbpELwL'heure H : https://audmns.com/YagLLiKEt sa version à écouter en famille : La Mini Heure H https://audmns.com/YagLLiKAinsi que nos séries historiques :Chili, le Pays de mes Histoires : https://audmns.com/XHbnevhD-Day : https://audmns.com/JWRdPYIJoséphine Baker : https://audmns.com/wCfhoEwLa folle histoire de l'aviation : https://audmns.com/xAWjyWCLes Jeux Olympiques, l'étonnant miroir de notre Histoire : https://audmns.com/ZEIihzZMarguerite, la Voix d'une Résistante : https://audmns.com/zFDehnENapoléon, le crépuscule de l'Aigle : https://audmns.com/DcdnIUnUn Jour dans le Sport : https://audmns.com/xXlkHMHSous le sable des Pyramides : https://audmns.com/rXfVppvN'oubliez pas de vous y abonner pour ne rien manquer.Et si vous avez apprécié ce podcast, n'hésitez pas à nous donner des étoiles ou des commentaires, cela nous aide à le faire connaître plus largement.

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Dampo la Nkumba- Tishio kwa ziwa Victoria na maisha ya jamii za Uganda

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Play Episode Listen Later Dec 26, 2024 10:01


Makala haya yanazungumzia jinsi dampo la Taka la Nkumba nchini Uganda limekuwa tishio la kimazingira  kwa ziwa victoria ambalo ndilo chanzo kuu cha mto Nile.Baada ya dampo la Kiteezi jijini Uganda kuporomoka Agosti 9 mwaka wa 2024 na kuwauwa watu kadhaa,serikali nchini humo ilitoa amri taka zote kutoka Kampala ielekezwe Nkumba karibu na ziwa  ,hatua hiyo ikiongeza uchafuzi zaidi wa mazingira .

Il Volo del Mattino
Il nuovo libro di poesie di Silavano Agosti

Il Volo del Mattino

Play Episode Listen Later Dec 13, 2024 3:53


Breaking News Italia - Ultime Notizie
Lucilla Agosti, Vita Privata: Chi È Il Compagno Famoso!

Breaking News Italia - Ultime Notizie

Play Episode Listen Later Nov 29, 2024 2:27


Lucilla Agosti, Vita Privata: Chi È Il Compagno Famoso!Scopri la storia di Lucilla Agosti: carrier, vita privata e il suo famoso compagno.#breakingnews #ultimenotizie #notiziedelgiorno #notizie #cronaca #attrice #chi #compagno #elodie #famoso #latalpa #lucillaagosti #radio #roccosiffredi #vitaprivata

Habari za UN
07 NOVEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 7, 2024 11:21


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka huko Havana Cuba kwenye Kongamano la kimataifa la Kiswahili kusikia kutoka kwa waziziri Zanzibar kuhusu faida za kiplomasia na kiuchumi. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na ujumbe kuhusu Kiswahili.Fedha kwa ajili ya mipango ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, ni jambo lililopatiwa kipaumbele katika ripoti mpya ya leo ya shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira, UNEP wakati huu ambapo kiwango cha joto kinazidi kuongezeka kila uchao na kuleta zahma duniani kote.Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO linasema hii leo watoto 6 wa kipalestina, wamesafirishwa kutoka Gaza kwenye Romania kwa matibabu mahsusi ; watatu wakiwa wanaugua saratani, wawili magonjwa ya  damu na mmoja majeraha. Wameambatana na jumla ya waangalizi 15.Na huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO umezindua mfumo wa uthibitishaji, kama sehemu ya mchakato wa Luanda wenye lengo la kufuatilia makubaliano ya sitisho la mapigano kati ya Rwanda na DRC yaliyoanza kutekelezwa tarehe 4 mwezi Agosti mwaka huu mashariki mwa taifa hilo la Maziwa Makuu.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunasalia huko huko Havana Cuba, kwenye kongamano la Kiswahili la Kimataifa ambako Dkt. Kisembo Ronex Tendo mshiriki kutoka taasisi ya vijana ya Afrika Mashriki Fest Uganda anaeleza cha kufanya kusongesha Kiswahili nchini Uganda.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu! 

Habari za UN
Awamu ya 2 ya chanjo dhidi ya Polio Gaza yaanza licha mashambulizi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 14, 2024 3:28


Mashambulizi yakiendelea kurindima kutoka pande hasimu, jeshi la Israeli na wanamgambo wa Hamas huko Gaza, na Hezbollah huko kusini mwa Lebanon, mashirika ya Umoja wa Mataifa yameendelea na awamu ya pili ya chanjo dhidi ya Polio  Ukanda wa Gaza, huku huko Lebanon ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura ikisihi raia wasilengwe. Naanzia eneo la kati mwa ukanda wa Gaza ambako asubuhi ya leo Jumatatu awamu ya pili ya chanjo dhidi ya polio imeanza ikilenga watoto 591 700 wenye umri wa chini ya miaka 10,  watakaopatiwa dozi ya pili ya chanjo hiyo kufuatia kuthibitishwa kwa polio Gaza mwezi Agosti mwaka huu.Chanjo inatolewa licha ya ripoti za makombora kurushwa kwenye shule moja iliyogeuzwa makazi ya wakimbizi huko Nuseirat na katika hospitali moja huko Deir Al-Balah ambako mahema kadhaa yaliteketezwa kwa moto wakati watu wamelala.Msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina, UNRWA, Louise Wateridge akihojiwa na Idhaa ya Umoja wa Mataifa amesema, “nimekuwa kwenye simu na mfanyakazi mwenzangu tangu saa 9 alfajiri ya leo. Alikuwa amejihifadhi kwenye hospitali ya Al Aqsa. Ni mmoja wa watu wengi ambao wamepoteza kila kitu. Hema lao limeteketezwa. Tumeona picha na video, inaonekana makazi ya familia nyingi yameteketezwa kwenye moto huu mkubwa, na yeye amenaswa kwenye zahma na mashambulizi. Inatia kiwewe hata kusikiliza hali anayokumbana nayo.”Picha za mnato pamoja na video kutoka UNRWA zinaonesha wafanyakazi wa uokoaji wakisaka manusura kwenye eneo la hospitali ya Al Aqsa, huku mahema yakiwa yanateketea na nondo zimesambaratika. Maiti walioteketezwa kwa moto walikuwa wamefunikwa kwa blankenti.Na nikigeukia Lebanon, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura, OCHA kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa X, zamani Twitter inasema chuki kati ya Israeli na wanamgambo wa Hezbollah, inaendelea kusababisha vifo, majeruhi na ukimbizi.Mashambulizi yanayoripotiwa kulenga makazi ya watu ambako wakimbizi wamesaka hifadhi. Inataka pande kinzani ziheshimu sheria za kimataifa za kibinadamu na kwamba raia na miundombinu ya kiraia isilengwe.Naye Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR, Filippo Grandi akizungumza Geneva, Uswisi hii leo amesema kwa mara nyingine tena suala la kutofautisha kati ya raia na wapiganaji limekuwa halina maana, akimulika jinsi raia wanavyokimbia mashambulizi ya angani kutoka jeshi la Israeli huko Lebanon.

Habari za UN
UNHCR yatoa ombi la dharura la dola milioni 21.4 kukabili mpox miongoni mwa wakimbizi barani Afrika

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 11, 2024 2:07


Ugonjwa wa homa ya nyani au mpox ukisalia kuwa dharura ya afya ya umma duniani, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR linasaka zaidi ya dola milioni 21 zitakazotumika hadi mwishoni mwa mwaka huu kuongeza harakati dhidi ya ugonjwa huo miongoni mwa wakimbizi katika nchi zilizokumbwa na dharura ya ugonjwa huo, hususan Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC. Assumpta Massoi anafafanua zaidi.UNHCR imetangaza ombi hilo leo la dola milioni 21.4, fedha zinazolenga kusaidia watu milioni 9.9 waliolazimika kukimbia makwao kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo vita. Watu hao wako kwenye nchi 35 barani Afrika.Hatua hii ya UNHCR inakuja baada ya wagonjwa 88 wa mpox kuwa ni wakimbizi na kati yao hao 68 wako DR Congo, taifa ambalo limeripoti idadi kubwa zaidi ya wagonjwa wa mpox duniani. Wagonjwa pia wameripotiwa Jamhuri ya Congo au Congo-Brazaville na vile vile Rwanda.Taarifa ya UNHCR kutoka Geneva, USwisi inasema, ingawa mpox ni ugonjwa wa muda mrefu barani Afrika, ongezeko la wagojwa hasa wenye mnyumbuliko mpya wa mpox yaani Clade 1b umefanya shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO kutangaza tarehe 14 mwezi Agosti kuwa mpox ni dharura ya afya ya umma duniani. Na tangu wakati huo watu 20,000 barani Afrika wameshukiwa kuwa na ugonjwa huo.Allen Maina, Mkuu wa Afya ya Umma UNHCR anasema kwa mazingira ya sasa walio hatarini kuambukizwa zaidi ni wakimbizi wanaoishi kwenye mazingira magumu bila maji, wala sabuni na lishe bora.Sasa wanahitaji kusaidia serikali na wadau katika hatua dhidi ya mpox kuhakikisha hakuna anayeachwa nyuma. Hivyo fedha zitaimarisha mifumo ya afya, maji na huduma za kujisafi na kuhakikisha wakimbizi wanajengewa mnepo sasa na siku za usoni.UNHCR inatoa wito kwa wahisani kuonesha ukarimu wao kwa kuwa fedha hizo zitawezesha ujumuishaji wa wakimbizi kwenye mipango ya serikali katika nchi husika ya kujiandaa na kujikinga dhidi ya mpox kwa mujibu wa Mpango wa Afrika dhidi ya mpox ulioandaliwa na kituo cha Afrika cha kudhibiti na kuzuia magonjwa, CDC na WHO.

Jioni - Voice of America
JiGabon yasheherekea mwaka mmoja tangu mapinduzi ya kijeshi nchini humo - Agosti 31, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 31, 2024 29:59


Gabon yasheherekea mwaka mmoja tangu mapinduzi ya kijeshi nchini humo

Habari za UN
MONUSCO yachukua hatua kudhibiti waasi wa CODECO huko Ituri, DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 30, 2024 1:47


Afya ya mlinda amani wa Umoja wa Mataifa aliyejeruhiwa katika shambulizi lilitekelezwa na kundi la waasi, CODECO juzi Agosti 28 huko Bali, kaskazini mashariki mwa Djugu jimboni Ituri, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inaendelea vizuri. Anold Kayanda na maelezo zaidi. Stéphane Dujarric, Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amewaeleza waandishi wa habari jana Agosti 29 katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani kuhusu tukio hilo la kushambuliwa kwa walinda amani wa Umoja wa Mataifa wakiwa katika shughuli zao za kuwahakikishia usalama raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.“Walinda amani walizuia shambulio hilo, na kuwalazimisha wanamgambo kuondoka. Hata hivyo, tunasikitika kuripoti kwamba mlinda amani mmoja alijeruhiwa.” Anaeleza Dujarric lakini akiwaondolea wasiwasi waandishi waliokuwa wakimsikiliza kwamba mlinda amani huyo aliyejeruhiwa sasa yuko katika hali nzuri.Licha ya kushambuliwa, walinda amani wanaohudumu nchini DRC katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO wameendelea na shughuli za ulinzi si tu kaskazini mashariki mwa Djugu, bali pia kusini mashariki mwa eneo hilo jimboni Ituri ambako CODECO wameweka kambi katika maeneo mawili. Msemaji wa Katibu Mkuu anaeleza kwamba walinda amani walifanikiwa kusaidia raia wa kawaida kuweza kutoka eneo moja kwenda jingine.Mashambulizi haya yanatokea ikiwa imesalia miezi michache kufika Desemba 31 mwaka huu ambayo ni tarehe iliyoridhiwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwamba uwe mwisho wa MONUSCO kutokana na ombi la serikali ya DRC lilioomba MONUSCO iondoke katika nchi hiyo iliyogubikwa na vita kwa miaka mingi.  

Habari za UN
30 AGOSTI 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 30, 2024 9:56


Hii leo jaridani mwenyeji wako ni Cecily Kariuki akikupatia yaliyojiri kutoka huko Paris, Ufaransa. Anamulika usalama wa walinda amani wa Umoja wa Mataifa huko DRC; Mradi wa WFP Tanzania kwa vijana wakulima; makala ni ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa UN Sudan na mashinani ni afya Tanzania.Afya ya mlinda amani wa Umoja wa Mataifa aliyejeruhiwa katika shambulizi lilitekelezwa na kundi la waasi, CODECO juzi Agosti 28 huko Bali, kaskazini mashariki mwa Djugu jimboni Ituri, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inaendelea vizuri, amesema msemaji wa Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Taarifa ya Anold Kayanda inaeleza zaidi.Mradi wa Vijana Kilimo Biashara (VKB), unaotekelezwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani (WFP) nchini Tanzania, unawapatia vijana wakulima wadogo ujuzi na rasilimali zinazohitajika, ili kuboresha uzalishaji wa chakula na kujenga uchumi endelevu wakati huu ambao madhara ya El niño [EL NINYO] yanayosabisha ukame na mafuriko yamekuwa dhahiri. Bosco Cosmas na maelezo zaidi.Makala, Evarist Mapesa anatupeleka Sudan kusikia ziara ya ujumbe mzito wa Umoja wa Mataifa nchini humo ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina J. Mohammed. Mashinani, tunakwenda nchini Tanzania ambako nampisha Daktari bingwa wa ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi, akihimiza wananchi wa taifa hilo la Afrika Mashariki kusaka huduma dhidi ya ugonjwa huo.

Alfajiri - Voice of America
Waalimu katika jimbo la Kivu Kusini watishia kuanzisha mgomo Septemba 2 - Agosti 30, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 30, 2024 29:58


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Jioni - Voice of America
Mgomo wa waalimu Kenya bado unaendelea huku baadhi ya wazazi wakiomba serikali kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo. - Agosti 30, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 30, 2024 59:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Habari za UN
29 AGOSTI 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 29, 2024 11:01


Yaliyomo kwenye Jarida la Habari za UN hii leo ni pamoja na ziara ya Katibu Mkuu wa UN huko Timor-Leste; maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kupinga majaribio ya nyuklia na kauli ya Mkurugenzi Mteule wa WHO kanda ya Afrika, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuteuliwa. Mada kwa kina ni Morogoro Tanzania. Na pia kuna kujifunza lugha ya kiswahili. Karibu na mwenyeji wako ni Anold Kayanda.Nchini Tanzania katika mkoa wa Morogoro, ulioko mashariki mwa nchi hiyo, wakulima 50 kutoka skimu za umwagiliaji za Ifakara Dakawa mkoani humo na Mbarali mkoa wa Mbeya, kusini magharibi mwa Tanzania wamepatiwa ujuzi wa kutumia zana bora za kisasa za Kilimo cha mpunga ikiwemo zana za kusawazisha mashamba, kupanda mbegu na kuvuna. Lengo ni kuongeza thamani katika uzalishaji wa zao la mpunga. Mafunzo yaliyotolewa na Taasisis ya Utafiti wa Kilimo TARI kwa usimamizi wa shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO huku zana zikiwezeshwa na shirika la Korea Kusini la ushirikiano wa maendeleo, KOICA. Hamad Rashid wa Redio washirika Tanzania Kids Time FM mkoani Morogoro alifika kwenye skimu hiyo kuzungumza na wakulima walionufaika. Je wajua neno la kiingereza LINK tafsiri yake ni ipi kwa lugha ya Kiswahili? Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania anafafanua.

Alfajiri - Voice of America
Alfajiri - Agosti 29, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 29, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Habari za UN
28 AGOSTI 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 28, 2024 9:59


Karibu kusikiliza jarida linaloletwa kwako hii leo na Leah Mushi ambapo miongoni mwa utakayo yasikia ni wito uliotolewa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu michuano ya watu wenye ulemavu. Kutoka barani Afrika hii leo utasikia MONUSCO na msaada wao kwa jamii huko Mashariki ya Kati nchini DRC. Makala yetu hii leo inatoka Gaza, utamsikia mzazi wa mtoto aliyeugua Polio na mashinani itatoka nchini Tanzania. 

Alfajiri - Voice of America
Marekani yayataka mataifa ya kigeni kutochochea vita vya Sudan - Agosti 28, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 28, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Habari za UN
27 AGOSTI 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 27, 2024 11:08


Kati Jarida la Habari za UN hii leo: Juhudi za WHO kudhibiti Mpox kwa wakimbizi wa ndani mshariki mwa DRC. WHO inasema kugundulika kwa maambukizi ya mpox katika kambi ya wakimbizi wa ndani karibu na Goma kunatia wasiwasi kwani msongamano mkubwa wa watu unaweza kusababisha kuenea zaidi kwa ugonjwa, na mienendo ya watu inaweza kutatiza juhudi za kukabiliana na ugonjwa huo ndio maana shirika hilo kwa kushirikiana na wadau linachukua kila hatua inayowezekana ili kuudhibiti ugonjwa. Kutoka DRC, George Musubao anaeleza zaidi kupitia video iliyoandaliwa na WHO siku chache zilizopita katika Hospitali Kuu ya Nyiragongo, Kivu kaskazini.Leo mashinani tunakwenda kambi ya wakimbizi ya Nduta mkoani Kigoma nchini Tanzania. Karibu! 

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 27 Agosti 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 27, 2024 17:40


Kampuni ya ndege ya Singapore Airlines itakuwa kampuni ya kimataifa ya kwanza kutumia uwanja mpya wa ndege wa Magharibi Sydney. Qantas ime ahidi tayari kutumia uwanja huo wa ndege, unao tarajiwa kufunguliwa mwisho wa 2026.

Alfajiri - Voice of America
Alfajiri - Agosti 27, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 27, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Habari za UN
26 AGOSTI 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 26, 2024 9:43


Hii leo jaridani tunamulika kupelekwa kwa chanjo dhidi ya polio huko Gaza; mkimbizi wa Burundi aliyerejea nyumbani kutoka Tanzania ainuliwa kiuchumi; makala ni mkimbizi wa Sudan aliyeko ugenini naye awezeshwa kijasiriamali na mashinani tunabisha hodi nchini Rwanda kumulika usawa wa kijinsia kwenye michezo.Hatimaye shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF linapeleka Gaza huko Mashairki ya Kati dozi milioni 1.2 za chanjo dhidi ya ugonjwa wa polio aina ya 2, wakati huu ambapo ugonjwa huo hatari umethibitishwa kuweko eneo hilo. Anold Kayanda na maelezo zaidi.Kwa wakimbizi, kurejea nyumbani ni jambo moja na kuanza upya ni jambo lingine. Wengi wao hawana chaguo lingine isipokuwa kuanza maisha yao upya. Mkoani Makamba, nchini Burundi, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) kwa kushirikiana na Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Korea (KOICA) wanawawezesha waliorejea nyumbani kujijenga upya na kwa tija. Miongoni mwao ni Emelyne Kabura kama anavyosimulia Bosco CosmasKatika makala Evarist Mapesa anatuletea simulizi ya mkimbizi wa Sudan ambaye sasa anaishi Sudan Kusini. Baada ya kupitia madhila lukuki amewezeshwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa na sasa anajishughulisha na ujasiriamali.Na sasa ni mashinani  Christelle Umuhoza, Mkurugenzi wa Programu wa Rwanda katika shirika la Shooting Touch, kupitia video ya shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni UNESCO nchini humo, anaeleza umuhimu wa michezo katika kuondoa vikwazo vya kijinsia.

Alfajiri - Voice of America
Wadau wa elimu DRC waitaka serekali kuboresha maslahi ya waalimu - Agosti 26, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 26, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 23 Agosti 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 23, 2024 16:16


Mamlaka yasiyo ya kawaida yanayo ruhusu jeshi la polisi, kusimamisha ghafla nakufanya msako kwa watu jimboni Queensland yame ongezwa.

Alfajiri - Voice of America
Kamala Harris aelezea vipaumbele vyake baada ya kukubali rasmi uteuzi wa chama chake kuwania urais Novemba 5 - Agosti 23, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 23, 2024 29:58


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 22 Agosti 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 22, 2024 6:07


Wazazi wapya hivi karibuni wataweza anza pokea malipo yao ya uzeeni juu ya malipo ya likizo ya wazazi yanayo wekezwa na serikali, sheria ziki tarajiwa kuwasilishwa ndani ya bunge la shirikisho hii leo Alhamis 22 Agosti.

agosti habari wazazi alhamis
Alfajiri - Voice of America
Rais Biden na Waziri Mkuu Netanyahu wafanya mazungumzo - Agosti 22, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 22, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Wajumbe wa chama cha democratic waidhinisha uteuzi wa Kamala Harris na mgombea mwenza Tim Walz kwenye uchaguzi wa Novemba - Agosti 21, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 21, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 20 Agosti 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 20, 2024 19:44


Kiongozi wa chama cha Greens Adam Bandt amesema utafiti mpya ulio agizwa na chama chake una onesha kuwa wa Australia wanao fanya kazi za kawaida hawa wezi mudu kununua nyumba zao wenyewe.

Alfajiri - Voice of America
Masuala ya uchumi, demokrasia, haki ya utoaji mimba yagubika ufunguzi wa kongamano la Wademocrats - Agosti 20, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 20, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Blinken ziarani nchini Israel kushinikiza sitisho la mapigano huko Gaza - Agosti 19, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 19, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 16 Agosti 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 16, 2024 16:26


Kiongozi wa upinzani Peter Dutton ame shtumiwa kwa ubaguzi na kuchochea mgawanyiko na baadhi ya wabunge ambao wame kosoa wito waku wazuia wa Palestina ambao wame kwama Gaza kuingia Australia.

SBS Swahili - SBS Swahili
Nzovu "Miaka ishirini inapita na kabila la Wanyamurenge bado halijapata haki yao"

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 16, 2024 9:59


Usiku wa 13 Agosti 2004 takriban watu 166 wali uawa kikatili, na mamia kujeruhiwa ndani ya kambi ya wakimbizi ya Gatumba, Burundi.

Alfajiri - Voice of America
Alfajiri - Agosti 16, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 16, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Alfajiri - Agosti 15, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 15, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Viongozi wa Chadema waachiliwa kwa dhamana - Agosti 14, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 14, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 13 Agosti 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 13, 2024 15:46


Viongozi wa Marekani na Uingereza wanaweza jiondoa katika makubaliano ya manowari yaliyofanywa na Australia chini ya mpangilio wa AUKUS, kwa kutoa onyo la mwaka mmoja tu kulingana na hati mpya ya ushirikiano huo.

Alfajiri - Voice of America
Idadi ya waliopoteza maisha kwenye tukio la Dampo jijini Kampala yaongezeka - Agosti 13, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 13, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Alfajiri - Agosti 12, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 12, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 9 Agosti 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 9, 2024 19:02


Kiongozi wa upinzani Peter Dutton amesema chama chake kina endelea ku unga mkono makubaliano ya AUKUS, yaliyo tiwa saini chini ya serikali ya Morrison ila, ana hoji kwa nini serikali ya Albanese ina pinga nishati ya nyuklia.

Alfajiri - Voice of America
Rais Emmerson Mnagangwa atoa ahadi ya kuondoka madarakani baada ya mihula yake miwili kumalizika - Agosti 09, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 9, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 8 Agosti 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 8, 2024 5:47


Wafanyakazi wa huduma ya malezi ya watoto kote nchini Australia, wana tarajiwa kuongezewa mishahara, iwapo sehemu zao za kazi zita kubali kuto ongeza ada kwa zaidi ya asilimia 4.4 katika mwaka ujao.

Alfajiri - Voice of America
Israel yaapa kumuangamiza kiongozi mpya wa Hamas - Agosti 08, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 8, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Niger yavunja uhusiano na Ukraine siku chache baada ya Mali kuchukua hatua kama hiyo - Agosti 07, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 7, 2024 29:58


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 6 Agosti 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 6, 2024 18:00


Australia imeongeza kiwango cha tisho la ugaidi kitaifa kutoka uwezekano hadi kuwezekana. Serikali imesema kuongezeka kwa itikadi kali katika wigo wa kisiasa na kiitikadi uko nyuma ya marekebisho hayo.

Alfajiri - Voice of America
Marekani inafanya juhudi kuepusha vita kulipuka katika eneo zima la Mashariki ya Kati - Agosti 06, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 6, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Marekani na washirika wake wa nchi za Magharibi zinawaomba raia wao kuondoka Lebanon - Agosti 05, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 5, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 2 Agosti 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 2, 2024 16:25


Waziri Mkuu amesema maoni ya watu wanao ishi na ulemavu yanasikizwa, kufuatia ukosoaji ulio ibuka kufuatia jibu la serikali kwa tume yakifalme kwa ulemavu.

agosti habari waziri mkuu
Alfajiri - Voice of America
Wanigeria waandamana kulalamikia hali ngumu ya maisha - Agosti 02, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 2, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Katibu mkuu wa UN aonya juu ya kuongezeka kwa taharuki Mashariki ya Kati kufuatia kifo cha kiongozi wa Hamas - Agosti 01, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 1, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.