POPULARITY
Mjumbe Maalum wa Umoja wa Mataifa kwa Syria Geir O. Pedersen bado yuko nchini Syria alikowasili jana Jumapili ikiwa ni wiki moja baada ya wapiganaji wa Hayʼat Tahrir al-Sham (HTS) walioko kwenye orodha ya vikundi vya kigaidi kutwaa mji mkuu Damascus na kusababisha Rais Bashar Al-Assad kukimbia nchi. Ikiwa ni sehemu ya juhudi za Umoja wa Mataifa kuhakikisha mabadiliko ya utawala nchini Syria yanafanyika kwa amani na kuisaidia Syria kutokuingia kwenye mgogoro zaidi, Bwana Pederson aliyewasili jana Damascus hadi sasa ameshakutana na Kamanda wa Utawala Mpya Ahmed al-Sharaa na Waziri Mkuu wa Serikali ya Muda Mohammed al-Bashir.Taarifa iliyotolewa leo na Ofisi yake inasema Pederson ameeleza muhtasari wa matokeo ya Mkutano wa Kimataifa wa Aqaba kuhusu Syria uliofanyika tarehe 14 ya mwezi huu wa Desemba akisisitiza haja ya kuwepo kwa mpito wa kisiasa unaoaminika na unaoongozwa na kumilikiwa na Wasyria wenyewe kama kanuni za azimio 2254 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (2015) zilivyopendekeza. Aidha Mjumbe huyo maalum amesisitiza azma ya Umoja wa Mataifa ya kutoa usaidizi wa kina kwa watu wa Syria.Taarifa imedokeza kuwa Bwana Pedersen ana shughuli nyingi zilizopangwa siku zijazo katika harakati za kusaka suluhu ya amani nchini Syria.
In deze aflevering praat onze make-up artist Liesbeth Huys met Eva Kamanda, actrice, presentatrice en auteur van het boek 'Een verzwegen leven'. Op 10 juni is ze ook co-host van onze Generation WOW conference! In alles wat ze doet, gaat ze op zoek naar de verhalen achter de mensen, naar wat hen beweegt en naar hoe échte connecties ontstaan. Ze deelt haar verhaal graag met ons, in de make-up stoel van onze make-up artist Liesbeth Huys.Echte schoonheid komt van binnenuit. Maar de kracht van een mooie make-up look kan je niet onderschatten. Daarom nodigden we samen met Mylène, 4 vrouwen uit in de make-upstoel van WOW make-up artist Liesbeth Huys. Liesbeth gaat met hen in gesprek over hun missie, hoe make-up hen een extra boost geeft en wat inner en outer beauty voor hen betekent.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
On the 68th episode of Multi Racial Session Kamanda hosts Raidmusiq A-SIDE tracklist: 1.Kamanda ft Man Q - Malopo 2.Like Mike, Cornelius SA, Candy Man SA - XXX 3.TekniQ - Seeds Of Life 4.Karyendasoul & Miči - Fragile 5.Atmos Blaq & Masšh - Dogon (Part 1) 6.TekniQ - Kibuka 7.Kamanda - Common Ground 8.Yass, Syon, FNX OMAR, Vanetty - Stars At Night(Original Mix) 9.London Grammar - Baby It's You (Dot Major Remix) [Extended] 10.Darksidevinyl & Betoko - Forever (Original Mix) 11.Safar (FR) ft. LeCloarec - Scandalosa B-SIDE mix 1.Sun-EL Musician, Fka Mash, & Ami Faku - Makwande 2.Kenza - All Mine (feat. Vinnie Mak) 3.Karyendasoul & Msaki - Jacaranda 4.Swedish House Mafia - Moth To A Flame (Moojo Remix) 5.WhoMadeWho & Rampa - Everyday (Shimza Remix) 6.Kususa & Argento Dust - Asanda (feat. Zakes Bantwini) 7.Citizen Deep, Mzux Maen, Yasmin Levy - Hayii (Citizen Deep Remix) 8.Karyendasoul & Jordan Arts - Something More 9.DJ Merlon & Enoo Napa - Two Zulu Men In Ibiza (Original Mix) 10.DJ Vitoto - Kshubile (feat. Dee Cee & Mthunzi) 11.Quentin Harris, Leela James - My Joy (Mpho.Wav Cover) 12.MÖRDA & Vanco - Xele (feat. Xelimpilo) SOCIAL MEDIA @multiracialrec @Kamanda.t FACEBOOK : raidmusiq INSTAGRAM :@raidmusiq TWITTER :@raidmusiq
Eva Kamanda (1991) is actrice, ze speelt theater, is te zien in de reeks Dansaertvlamingen, speelt in de reeks Liefdestips aan mezelf en was reporter voor Jan Jaap Van der Wal op televisie. Ik sprak haar thuis in het appartement in Jette waar ze woont met haar vriend, journalist Kristof Bohez, en hun kat, die op de dag van mijn bezoek twee jaar oud werd. Eva had speciaal voor mijn komst de boekenkast opgeruimd. Bij haar eerste boek vertelt ze hoe haar vriend haar exemplaar in een uitleenkastje had gestoken, terwijl ze het als 13-14-jarige cadeau kreeg en eraan verslingerd was. Het gaat over hun eigen boek Een verzwegen leven, dat ze met haar vriend samen schreef over de geschiedenis van haar familie. En op het einde van ons gesprek belt haar vriend zelf aan, omdat hij niet binnengeraakt. Een wraakactie van Eva omdat hij haar favoriete boek had weggedaan? Je hoort het in deze aflevering van drie boeken. Alle boeken en auteurs uit deze aflevering vind je in de shownotes op wimoosterlinck.be Wil je de nieuwsbrief in je mailbox? wimoosterlinck.substack.com Wil je de podcast steunen? Bestel je boeken dan steeds via de link op wimoosterlinck.be! Merci. De drie boeken van Eva Kamanda zijn: 1. Annelies Verbeke: Slaap! 2. James McBride: The Color of Water 3. Sally Rooney: Normale Mensen Luister ook naar de drie boeken van: Imke Courtois, Roos Van Acker, Ish Ait Hamou, Wim Opbrouck, Evi Hanssen, Stijn Meuris, Michèle Cuvelier, Lara Chedraoui, Johan Braeckman, Sophie Dutordoir, Freek de Jonge en vele anderen.
*Get a FREE 7 day trial to Patreon to "try it out.""Who Are These Free Beers?" is on Patreon! Sign up here to access the show! Plus, get access to 11 weekly bonus episodes, including "The Ben and Eric Patreon Podcast" and "Who Are These Zanes?"HelloFresh! is a key sponsor of the EZSP. You must try this. OMG...eat like a king! Your family will love you! Go to HelloFresh dot com slash zane16 and use code zane16 for 16 free meals plus free shipping! Do it!*Watch the show live, daily at 8AM EST on Twitch! Please click here to follow the page.Email the show on the Shoreliners Striping inbox: eric@ericzaneshow.comTopics: Yo-Yo...a bit of housekeeping...Excuse the mic during the first third of this show. I had a "gremlin" in the system. It wasn't THAT bad, but def sounded a bit wonky for a portion. Also, I had a huge blow-up on Amanda and Kenney (Kamanda) today. Most of the blame is on Amanda, but these two morons AGAIN were having a GD personal conversation about stupid shit, cluttering up the chat, AGAIN...which caused Mt. St Zane to ERUPT like a mother fucker. People ask if I'm really pissed at these moments...YES! I'd rather not be yelling on my podcast and having fun...but at the same time, for some reason, these moments are funny and entertaining, or so I'm told. But fuck, was I pissed. I still am! You see, I have only ONE way of interacting with audience during my live show...the chat. Despite telling these two 8 million times to not clutter up the chat with stupid shit, they will not stop. It's so absurd, that I'm starting to think that they conspire to do this. As crazy as it sounds, it's more logical than for it to be accidental. FML.*I filed a "whistleblower claim" with the SBA/ Inspector General of the United States to rat out someone I suspect of stealing PPP loan cash for personal use. If you suspect someone of PPP loan abuse, report it, HERE.*A bat was in Jackie and Justin's home. That ignited an eventful night for them and your old pal, EZ. Vid of Jackie scaring the hell out of Justin while searching for the bat.*Image of the bat here.*While discussing the latest Bruce backyard breakout, I was AGAIN reminded of how Kamanda cannot help themselves and MUST make this show all about them. That led to an epic banning/ beatdown.*Ex government official blows whistle on UFO's, says we have them in our possession and the government is lying about it.*Dear Meathead brought to you by Baldwin Ace Hardware!*Asshole of the Day BTYB TC PaintballSponsors:TC Paintball, Johnson Carpet One Floor and Home Discount Outlet, Ervine's Auto Repair Grand Rapids Hybrid and EV, Berlin Raceway, Baldwin Ace Hardware, A&E Heating and Cooling, The Mario Flores Lakeshore Team of VanDyk Mortgage, Shoreliners Striping, Kent County Health Department, Serra Honda GrandvilleInterested in advertising? Email eric@ericzaneshow.com and let me design a marketing plan for you.Contact: Shoreliners Striping inbox eric@ericzaneshow.comDiscord LinkEZSP TikTokSubscribe to my YouTube channelHire me on Cameo!Tshirts available herePlease subscribe, rate & write a review on Apple Podcastspatreon.com/ericzaneInstagram: ericzaneshowTwitterOur Sponsors:* Check out Factor 75 and use my code zane50 for a great deal: https://www.factor75.com/Support this podcast at — https://redcircle.com/the-eric-zane-show-podcast/donationsAdvertising Inquiries: https://redcircle.com/brandsPrivacy & Opt-Out: https://redcircle.com/privacy
Eva Kamanda is als actrice te zien in ‘Liefdestips aan mezelf' en 'Dansaertvlamingen', maar ze schreef ook een boek waarin ze het verzwegen leven blootlegde van haar overgrootvader François. Een Congolees die in 1930 als ‘boy' naar België kwam en zich opwerkte tot eerste zwarte kapper van Brussel. Maar hoe moet het verder? Hoe voelt het om metis te zijn? En wat heeft ze met Dolly Parton? Luister naar 'Touché' met Eva Kamanda!
Eva Kamanda kiest voor The Color of Water - A Black Man's Tribute to his White Mother van James Mc Bride.
Kikosi cha 9 cha walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania wanaohudumu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kupitia Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo - MONUSCO wamehitimisha kampeni yao ya Afya na Amani iliyoanza tarehe 3 mwezi huu wa January ambapo wamekabidhi jengo kwa ajili ya mahali pa wagonjwa na wahudumu wa afya kula chakula katika Kituo cha Afya cha Mavivi, mjini Beni, Jimboni Kivu Kaskazini mashariki mwa DRC.Akikabidhi jengo hilo Kamanda wa kikosi cha tisa cha Ulinzi wa Amani kutoka Tanzania Luteni Kanali Barakael Mley amesema jengo hilo litabaki kuwa kumbukumbu ya uhusiano mzuri baina ya walinda Amani wa kikundi cha Tisa na wananchi wa maeneo ya Mavivi na maeneo jirani,Akiongea kwa niaba ya Maganga mkuu wa hospital ya Oicha na wananchi wa maeneo ya Mavivi Dr Kasereka Nzala amewapongeza walinda Amani hao wa Tanzania wanaohudumu chini ya mwamvuli wa MONUSCO wamekuwa wakifanya jitihada mbalimbali katika kutatua changamoto za wananchi katika maeneo yao ya uwajibikaji,Kwa upande wake afisa Mahusiano wa kikosi cha tisa cha Ulinzi wa Amani kutoka Tanzania Kepteni Paul Mwesongo amebainisha kuwa hali ya uhusiano baina ya wananchi na walinda Amani hao,Naye bi Kavathama Clarice, mwenyekiti wa kamati ya Afya katika kituo cha afya cha Mavivi amesema,
Kikosi cha 9, TANZBATT 9 cha wanajeshi walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania wanaohudumu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC chini ya Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo DRC-MONUSCO, wameendelea na kampeni yao ya Afya na Amani ambapo hadi tarehe 13 mwezi huu wa Januari watakuwa wakiendelea kutoa misaada kwa jamii inayoishi katika eneo lao la kazi, kaskazini mashariki mwa nchi.Walianza na Kituo cha afya cha Mavivi na sasa ilikuwa zamu ya Hospitali ya Oicha katika mji wa Beni jimboni Kivu Kaskazini.Taarifa ya Kapteni Denisia Lihaya ambaye ni Afisa habari wa Kikosi hicho inaanza na maelezo ya Meja Frank Mtwanzi aliyekabidhi msaada huo kwa niaba ya Kamanda wa Kikosi.Akikabidhi dawa hizo kwa niaba ya Kamanda kikosi cha TANZBATT 09 Meja Frank Mtwanzi amesema lengo kuu kampeni na kukabidhi dawa hizo katika Hospitali ya Oicha ni kuendeleza uhusiano ulipo baina ya walinda Amani kutoka Tanzania na wananchi katika eneo la uwajibikaji.Naye Fabrice Maboko' mfamasia Hospitali ya Oicha, akipokea dawa hizo amesema,Kwa upande wake Mfamasia wa Kikosi cha tisa cha Ulinzi wa Amani kutoka Tanzania Kopolo Victoria Riwa amesisitiza kuwa dawa hizo zitasaidia jamii ya wanawake na watoto kwani ndio waathirika wakubwa katika maeneo yenye changamoto za kiusalama.Akitoa maoni yake kuhusu msaada huo mtaalamu wa Saikolojia wa kituo Afya cha Mavivi, Mama Augene amesema,TAGS: TANZBATT 9, DRC, MONUSCO, Beni, FIB MONUSCO
Mkuu wa operesheni za ulinzi wa amani za Umoja wa Mataifa Jean-Pierre Lacroix amekamilisha ziara yake nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR ambapo alikutana na walinda amani na kufanya mikutano na viongozi wa kijeshi. Taarifa iliyoandaliwa na ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani CAR, MINUSCA..UpsoundNisalamu za kijeshi…… pamoja na gwaride maalum…… ikiwa ni kumkaribisha Mkuu wa operesheni za ulinzi wa amani za Umoja wa Mataifa Jean-Pierre Lacroix nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR.Katika ziara hiyo Bwana Lacroix ameambatana na Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini CAR, Valentine Rugwabiza, ambaye pia ni Mkuu wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani CAR, MINUSCA.Bwana Lacroix amesema kilichompeleka nchini humo ni kukutana na walinda amani Anasema …. “Nimekuja kuona wenzetu wapo mashinani wanavyofanya kazi, kuona maendeleo yaliyofikiwa katika kuboresha kambi, kujenga kambi mpya, kuhakikisha wafanyakazi wetu wanaume na wanawake wanakuwa na hali bora ya maisha, na pia kukutana na kikosi cha Ureno na Bhutan na kuwashukuru kwa kazi yao, kuwapongeza kwa yote wanayofanya, na kuwatakia mafanikio mema na, mwisho wa mwaka, wenye kheri na kuwaombe mema katika mwaka ujao, kwao na familia zao.”Maafisa wengine walioambatana na Lacroix ni Jenerali Birame Diop, Jenerali Daniel Sidiki Traore na naibu wake Jenerali Pedro Miguel Alves Gonçalves Soares, pamoja na Kamanda wa Kikosi Jumuishi cha Bangui, Brigedia Jenerali Alognime Takougnadi.
Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na Walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania wameendelea kuhamasishana kuimarisha ushirikiano kati yao ili kufikia lengo kuu la kuleta amani nchini humo. Anayetuletea taarifa hii kwa kina ni Kapteni Denisia Lihaya ambaye ni Afisa Habari wa Kikundi cha 9 cha walinda amani kutoka Tanzania, TANZBATT 9 wanaohudumu kwenye kikosi cha kujibu mashambulizi, FIB na kile cha utayari QRF chini ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini DRC, MONUSCO. Ashantie Sengemoja ni mmoja wa wananchi wa eneo la Beni, Mavivi kaskazini mashariki mwa DRC, yeye ni miongoni mwa wanaotoa wito kwa wananchi wenzake wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kushirikiana na majeshi ya wananchi wa Tanzania walioko katika jukumu la ulinzi wa amani katika eneo la Beni. “Wananchi wa DRC tushikamane na hawa askari wa Tanzania. Sisi sote ni ndugu tusifanye ubaguzi kwa askrai wa Tanzania. Sisi sote tuko vizuri kabisa.” Anasema Bi. Sengemoja. Naye Koplo Janet Mbinda mmoja wa walinda amani kutoka Tanzania anasema, “ujumbe wangu kwa wananchi wa DRC tushirikiane vizuri ili kufanikisha jukumu letu lililotuleta mahali hapa. Na sisi tunaahidi kwamba tutafanya kazi vile ipasavyo.” Luteni Kanali Barakaeli Jackson Mley ni Mkuu wa Kikundi cha 9 cha ulinzi wa amani kutoka Tanzania, TANZBATT 9 anasema mpango wao ni kwamba wana mpango mkakati kwa kushirikiana pamoja na “majeshi rafiki kwa maana ya Jeshi la Jmahuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC (FRDC) na MONUSCO, tumejipanga vizuri na moja ya kazi ya majeshi ni kufanya mafunzo na mafunzo tunayoyafanya pamoja na operesheni tunazozifanya ni za pamoja. Kwa hiyo tutaendelea kushirikiana.” Kamanda huyo anaeleza zaidi kwamba hawana mpango wa kukata tamaa kuhusu mpango wao wa kuleta kutimiza lengo lililowapeleka nchini humo kwani, “Jeshini hakuna kukata tamaa, tutahakikisha mpaka nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inapata amani.”
Eva Kamanda heeft samen met Kristof Bohez een boek geschreven over haar overgrootvader François Kamanda. Tijdens hun zoektocht naar zijn levensverhaal, kwamen ze ook een vergeten pagina in de Brusselse geschiedenis tegen. Heel wat Congolese Brusselaars zijn samen al vroeg in de Tweede Wereldoorlog in het verzet gegaan tegen de Duitse bezetter.'Een verzwegen leven' luidt de titel van het boek. De auteurs zijn tijdens hun drie jaar durende onderzoek naar eigen zeggen "van de ene verrassing in de andere getuimeld." Zelfs de eigen familie heeft al die tijd over de heldendaden van de Congolese Brusselaars gezwegen, omdat ze er weinig of niks van wisten."Dat hij als 'Sujet Congolais' zijn leven heeft gewaagd", zegt Eva Kamanda in A La Carte, "is een zotte verrassing en iets dat bij het grote publiek nog steeds volslagen onbekend is." Tijdens de Duitse bezetting had François Kamanda zijn eigen kapperszaak in Etterbeek. Mogelijk diende die als 'brievenbus' tijdens het verzet. In elk geval wierp Kamanda's boezemvriend Isidore Bataboudila zich in die jaren op als officieuze burgemeester van de zwarte vrienden in Brussel in hun verzet tegen de Duitse bezetter.
Amanda aka Kamanda aka Not Skinny But Not Fat is back in hell! She talks about what it was really like to meet the Kardashians, how she got them on her podcast, and how her life and mental health has changed since motherhood! Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
Eva Kamanda en Kristof Bohez gingen voor hun boek 'Een verzwegen leven' op zoek naar het verhaal van Eva's overgrootvader François Kamanda. Wie was hij en hoe belandde hij hier? Wat doet zijn portret in het AfricaMuseum? Wat deed hij op twéé Wereldtentoonstellingen op de Heizel? Waarom kent niemand in Eva's familie dit verhaal? En wat had François te maken met het verzet tegen de Duitse bezetter? De zoektocht legt een stuk onvertelde Belgische geschiedenis bloot.
Ali Biko Sulaiman Kamanda is an award-winning filmmaker and social entrepreneur from Sierra Leone, West Africa. He runs BIKO Studios, a cross-cultural film production company and is the President of Salone Rising, a non-profit organization that provides micro-financing and mentoring resources to small business owners in rural Sierra Leone.Jorge (pronounced George) Redmond graduated in 2000 with a degree in Communication Studies, he played soccer professionally in France and Cameroon before returning to the Asheville, North Carolina area as a coach and teacher, including at his alma mater when the Rams won the state title in 2002. In 2008, Jorge decided that he wanted to be an attorney. He attended John Marshall Law School in Atlanta, graduated and passed the Georgia bar in 2011. Jorge currently works in the Buncombe County District Attorney's office as an Assistant District Attorney, and as an adjunct professor in South College's Legal Department. Ali and Jorge are college friends, and BLACK BOY, BLACK BOY is their debut book.Purchase Black Boy, Black Boy here.Connect with Charnaie online in the following places:Blog: http://hereweeread.comPersonal Website: charnaiegordon.comPodcast Email Address: hereweereadpodcast@gmail.comFind Charnaie on the following social media platforms under the username @hereweeread: Instagram, Facebook, Twitter, Pinterest.Feel free to share this podcast on your social media platforms to help spread the word to others. Thanks for listening!
Best friends Jorge and Ali have always connected over a shared passion: raising their Black sons with pride and self-love. As a district attorney fighting the “pipeline to prison,” Jorge wanted a way to help show Black boys their worth in society. Meanwhile, as the owner of a nonprofit that helps startups in West Africa, Ali wanted to teach Black youth that they can achieve anything they set their minds to. So, they wrote a picture book! Black Boy, Black Boy is a brand-new picture book that was just published in August of 2022 by Sourcebooks. It's an inspiring and powerful anthem of Black joy and an ode to remarkable moments in Black History. From athlete and activist Colin Kaepernick to musician Sam Cooke, inventor Elijah McCoy and writer Chinua Achebe, there are so many inspirational men in Black history. This lyrical, rhythmic text encourages boys to imagine everything they can be and the great things they can do, drawing on the strength of people throughout history that paved the way for Black boys today. Black Boy, Black Boy tells today's boys: you have the courage, you are the light. It's a new day! Be inspired and motivated by drawing on the history of the role models that came before you. About the Authors: ALI BIKO SULAIMAN KAMANDA is an award-winning filmmaker from Sierra Leone, West Africa. He is the President of Salone Rising, a not-for-profit organization that provides micro-financing and mentoring resources to small business owners in rural Sierra Leone. JORGE REDMOND works in the Buncombe County District Attorney's office as an Assistant District Attorney, and as an adjunct professor in South College's Legal Department. KEN DALEY is an award-winning artist/illustrator from Cambridge, Ontario, Canada. Ken's passion lies with stories that reflect his heritage as the child of immigrants, his connection to the Caribbean, and the richness and expanse of the African diaspora. He believes that diverse stories are essential to creating a more just and equitable world and this is something he is deeply committed to manifesting through his art. Buy Link: https://www.amazon.com/Black-Boy-Ali-Kamanda/dp/1728250641/ref=sr_1_1?crid=2I5E02ZP8E0YS&keywords=black+boy+black+boy&qid=1662602498&sprefix=black+boy+black+boy%2Caps%2C106&sr=8-1
Best friends Jorge and Ali have always connected over a shared passion: raising their Black sons with pride and self-love. As a district attorney fighting the “pipeline to prison,” Jorge wanted a way to help show Black boys their worth in society. Meanwhile, as the owner of a nonprofit that helps startups in West Africa, Ali wanted to teach Black youth that they can achieve anything they set their minds to. So, they wrote a picture book! Black Boy, Black Boy is a brand-new picture book that was just published in August of 2022 by Sourcebooks. It's an inspiring and powerful anthem of Black joy and an ode to remarkable moments in Black History. From athlete and activist Colin Kaepernick to musician Sam Cooke, inventor Elijah McCoy and writer Chinua Achebe, there are so many inspirational men in Black history. This lyrical, rhythmic text encourages boys to imagine everything they can be and the great things they can do, drawing on the strength of people throughout history that paved the way for Black boys today. Black Boy, Black Boy tells today's boys: you have the courage, you are the light. It's a new day! Be inspired and motivated by drawing on the history of the role models that came before you. About the Authors: ALI BIKO SULAIMAN KAMANDA is an award-winning filmmaker from Sierra Leone, West Africa. He is the President of Salone Rising, a not-for-profit organization that provides micro-financing and mentoring resources to small business owners in rural Sierra Leone. JORGE REDMOND works in the Buncombe County District Attorney's office as an Assistant District Attorney, and as an adjunct professor in South College's Legal Department. KEN DALEY is an award-winning artist/illustrator from Cambridge, Ontario, Canada. Ken's passion lies with stories that reflect his heritage as the child of immigrants, his connection to the Caribbean, and the richness and expanse of the African diaspora. He believes that diverse stories are essential to creating a more just and equitable world and this is something he is deeply committed to manifesting through his art. Buy Link: https://www.amazon.com/Black-Boy-Ali-Kamanda/dp/1728250641/ref=sr_1_1?crid=2I5E02ZP8E0YS&keywords=black+boy+black+boy&qid=1662602498&sprefix=black+boy+black+boy%2Caps%2C106&sr=8-1
Lugha ya Kiswahili hivi sasa ni lugha ya kimataifa ikiwa imetengewa siku yake mahsusi ya kuadhimishwa ambayo ni tarehe 7 Julai kila mwaka. Wakati wa maadhimisho ya mwaka huu, Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na utamaduni, UNESCO, Audrey Azoulay alisema uamuzi wa Baraza Kuu la UNESCO kutambua lugha ya kiswahili kimataifa ulizingatia mambo kadhaa ya msingi ikiwemo nafasi ya lugha hiyo katika kusongesha amani. Na hilo linafanyika tayari huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kama anavyoelezea Kamanda wa Kikundi cha tisa cha walinda amani kutoka Tanzania, TANZBATT-9 kinachohudumu kwenye kikosi cha kujibu mashambulizi, FIB chini ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini DRC, MONUSCO. Kamanda anaanza kwa kujitambulisha katika makala hii iliyofanikishwa na Denisia Lihaya wa TANZBATT-9 na kusimuliwa na Assumpta Massoi.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Becca chats with pop culture expert and IG Story queen Amanda Hirsch this week! In their discussion, Amanda breaks down her evolution from Amanda into “Kamanda” and shares what it was like to interview not one but TWO Kardashians on her podcast, “NotSkinnyButNotFat.” Then, as she explains how deep her love of all things Bachelor goes, Amanda reveals who from Bachelor Nation she would want to double date with, why she is nervous for Gabby and Rachel's season of “The Bachelorette,” and which season from the franchise she recommends that everyone watch at least once. Don't forget to rate and subscribe so you never miss an episode. Thanks to our sponsor: Upstart: Upstart.com/Bachelor See Privacy Policy at https://art19.com/privacy and California Privacy Notice at https://art19.com/privacy#do-not-sell-my-info.
THE Kim Kardashian and I, Kamanda, discuss her first date with Pete, her divorce from Kanye, the reaction from the fanbases, her SNL hosting gig, the infamous "work" comment, what's happening to her brands, and more. Not bad for a girl with a small following!! This episode is brought to you by Shopify. Start selling on Shopify today: Go to Shopify.com/notskinny Produced by Dear Media
Nchini Uganda, wakimbizi katika makazi yao ya Kyangwali mjini Hoima, wameadhimisha siku ya wanawake duniani kwa maandamano, shughuli za kitamaduni huku vyote vikimulika umuhimu wa ushiriki wa wanawake katika juhudi za kudhibiti mabadiliko ya tabianchi sambamba na athari za mabadiliko hayo kwao hasa wakimbizi nchini Uganda. John Kibego mwandishi wetu Uganda ndio alikuwa shuhuda. Maandamano yaliongozwa na bendi kutoka Maratatu B hadi Maratatu A katika makazi ya wakimbizi ya kyangwali. Wanajeshi na askari polisi wameshiriki pamoja na vikundi vya wakimbizi kutoka nchi mbalimbali. Mgeni wa rasmi amekyuwa ni Kamanda wa polisi wa wilaya ya Kikuube, ASP Richard Asiimwe. Harakati hii iliondaliwa na shirika la Care International Uganda linatekelezwa chini ya kauli mbinu ya siku ya leo ya wanawake duniani, Usawa wa kijinsia leo kwa ajili ya kesho endelevu na kuongeza kutambua umuhimu wa wanawake katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi nchini Uganda. Santa Lamunu ni afisa wa masaual ya ukatili wa kijinsia kwneye shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi, UNHCR Hoima, na akachagiza ulinzi wa wakimbizi dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi. Kila bada ya hotuba moja, nyimbo na densi ya kitamaduni vilikuwa vikitamalaki vikibeba jumbe za kukemea ukatili wa kijinsia na uchafuzi wa mazingira. Hilo ni kundi la wanawake na Nyakatehe katika jamii jirani ya kambi hii ya wakimbizi ya Kyangwali. Unajisi wa wasichana na ubakanji wa wanawake wakati wa kusaka kuni vichakani mbali na nyumbani na kutokuwa na uhakika wa chakula ni miongoni mw amasuala yanayohusisha mabadiliko ya tabiannchi na wanawake. Bi. Noreen Nampewo, ni afisa wa ukatili wa kijinsia na ulinzi wa wakimbizi katika shirika la Care Internaitonal Uganda akasisitiza umuhimu wa ulinzi wa wakimbizi na kubainisha kuwa umuhimu wa mchango wa wanawake katika suala zima la maendeleo endelevu. Kamanda wa polisi wa wialya ya Kikuube ASP Asiimwe ameelezea uhusiano kati ya wanausalama na masuala ya mendeleo akisema vyote hivyo vinakwenda pamoja huku akiwahakishia wakimbizi kuwapatia ulinzi kwa kukabiliana na wote wanaokiuka haki za binadamu.
Luteni Jenerali Shailesh Tinaikar raia wa India ambaye anastaafu wadhifa wake kama Kamanda wa Kikosi cha Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudan Kusini, UNMISS amewashukuru askari walinda amani waliokuwa chini yake hususani wanawake ambao anasema wanafanya kazi katika mazingira yenye changamoto zaidi. John Kibego anaeleza zaidi. Ni Luteni Jenerali Shailesh Tinaikar akikagua gwaride la wanajeshi walinda amani wa Umoja wa Mataifa waliosimama kikakamavu. Luteni Jenerali Shailes Tinakar anasema ingawa alijiunga jeshini kinyume na mapenzi ya wazazi wake, lakini hakuwahi kuwaza kingine zaidi ya kuwa mwanajeshi na kupitia jeshini ameihudumia dunia kwa ngazi mbalimbali jeshini nchini mwake akipanda vyeo vya juu, kanali, Brigedia, Meja Jenerali na baadaye kuhudumu katika Umoja wa Mataifa kama Mkuu wa Kikosi UNMISS akiwa Luteni Jenerali. Katika miaka yake ya kuhudumu kwenye UNMISS, Kamanda wa Kikosi Tinaikar amejenga uhusiano wa kuaminiana na watu wa Sudan Kusini, akizishinda changamoto zinazoletwa vurugu na hata ugonjwa wa Covid-19 ukimlazimisha kubadili kwa kiasi fulani utaratibu wa kawaida wa operesheni za UNMISS. "Kuna watu walikufa hapa, na miili yao haikuweza kurejeshwa kwa wakati. Kwa hivyo, mtu ulihisi hali ya huzuni katika kipindi hiki. Lakini katika hayo yote naweza kuwa na furaha sana kwamba hatukuwahi kuyumba katika mamlaka yetu na walinda amani waliendelea, bila kuleta matatizo yao ya kibinafsi, yanayoathiri kazi yao na tulitekeleza wajibu ambao tumetumwa hapa na Baraza la Usalama." Anasema Tinakar Kamanda Tinaikar akifahamika pia kwa sifa yake ya utetezi wa usawa wa kijinsia hapo ndipo anapomwaga sifa kwa wanawake ambao walikuwa wanahudumu katika kikosi chini yake akisema, "walinda amani wetu wanawake wanafanya kazi ya ajabu katika mazingira magumu sana, mara nyingi bila kitu chochote ambacho kinapaswa kuwepo kwa ajili yao. Lakini bado wanajitolea kufanya kazi ngumu na kusonga bega kwa bega na walinda amani wa kiume, na kimsingi wafanya mengi zaidi.” Anapohitimisha ziara yake ya kazi katika UNMISS, Luteni Jenerali Tinaikar pia atastaafu katika jeshi la India. Anasema anashukuru kwa fursa hiyo ya kuweza kuhudumu katika kutetea nchi yake na watu kote ulimwenguni kwa miaka 42.
Kamanda katches you up on the latest! Olivia Munn and John Mulaney are playing house, Adele postpones her show, a new funny Hollywood couple makes waves, Demi Lovato shocks again, Kanye's coming for Netflix, MGKMF take Lake Como, and my fave: Letters of Admission. Produced by Dear Media
Miongoni mwa tuliyonayo katika habari za Umoja wa Mataifa Familia za wakimbizi wa ndani pamoja na zile zilizowakaribisha wakimbizi hao katika ukanda wa mashariki ya kati kwa sasa zinakabiliana na baridi kali kutokana na kuanguka kwa theluji wakati huu wanaishi kwenye mahema. Msimu wa upanzi wakati wa majira ya chipukizi ukiwa unakaribia huko nchini Afghanistan, shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo, FAO limepatia wakulima mgao wa mbegu bora za ngano ili kuepusha njaa ilIyowakumba mwaka jana kutokana na kuchelewa kupanda mbegu bora wakati wa msimu wa baridi kali. Luteni Jenerali Shailesh Tinaikar raia wa India ambaye anastaafu wadhifa wake kama Kamanda wa Kikosi cha Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudan Kusini, UNMISS amewashukuru askari walinda amani waliokuwa chini yake hususani wanawake ambao anasema wanafanya kazi katika mazingira yenye changamoto zaidi. Na mashinani tunakwenda nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kusikia jinsi wanajamii walijitolea kuhakikisha wanatokomeza Ebola.
Mbali na jukumu la ulinzi wa amani nchini Jamhuri ya Africa ya Kati CAR, kikosi cha ulinzi wa amani kutoka Tanzania TANBAT 4 kinachohudumu chini ya mpango wa Umoja wa Mataifa ujulikanao kama MINUSCA nchini humo , kimeweka mikakati ya kusaidia na kuinua wananchi wa CAR kielimu kupitia shughuli mbalimbali. Luteni Noela Julius Nyaisangah afisa habrari wa kisoki hicho anafafanua zaidi katika taarifa hii Natsss….. Katika mkoa wa wa Mambere Kadei wilaya ya Berberati, sambamba na kutoa ulinzi kwa wananchi TANBAT 4 imekuwa mdau mkubwa wa kusaidia wananchi katika shughuli za kijamii na hivi karibuni wamejenga na kukabidhi vyumba viwili vya madarasa na vifaa vya kufundishia ikiwemo ubao kwa kila darasa na madawati 100. Vifaa hivyo na madarasa vimekabidhiwa katika shule ya msingi ya kikatoliki ya Secret Heart of Jesus mkoani humo. TANBAT4 inasema kukamilika kwa madarasa hayo kama sehemu ya maendeleo ya miundombinu nchini CAR yatasaidia shule kuongeza wanafunzi 100 zaidi kwa kila muhula. Hafla ya kukabidhi madarasa hayo na vifaa ilihudhuriwa na Kamanda wa kikosi cha MINUSCA Luteni Jenerali Daniel Sidiki Traore, Balozi wa Tanzania nchini CAR Luteni Jenerali mstaafu Paul Ignace Mella, Askofu wa Dayosisi ya Berberati, askofu Dennis Kofi Agbenyadzi pamoja na mamlaka za utawala wa mkoa wa Mambere Kadei. Kamanda kikosi wa MINUSCA aliwapongeza TANBAT4 kwa juhudi zao kwenye kufanikisha ujenzi huo Naye Balozi wa Tanzania Luteni Jenerali mstaafu Paul Ignace Mella aliongezea kwa kusema Mwasham Askofu pamoja na mamlaka za utawala wa mkoa wa Mambere Kadei walitoa shukrani zao za dhati kwa TANBAT4 na MINUSCA kwa ujumla kwa mchango wao wa kuinua elimu nchini CAR.
In this episode, I got to chat with an old time friend on how she has found success on YouTube and OnlyFans.
We got so many DMs after we talked about pop culture on the podcast, so we had to invite THE QUEEN of pop culture on the show today. And here's a hint: she knew about the impending Kravis engagement before anyone else! That's right, hear it for yourself right here, because we have Amanda Hirsch or “Kamanda”, the host of “Not Skinny But Not Fat,” a celebrity based podcast and the mastermind behind the binge worthy Instagram account @notskinnybutnotfat joining us on Confident Collective. We have been fans of hers for a while and love her insight, news and commentary on the hot celeb gossip. We do a deep dive into celebrity and pop culture in this episode. Amanda has so many opinions that she's not afraid to share which we find so refreshing! If you have thoughts on these topics, send us a DM. Let's chat. What We Talk About: Raeann's latest Amazon purchase to limit screen time Kristina shares her feelings about therapy What got Amanda into pop culture How Amanda has developed her 6th sense about celebrity news & knows what's up before anyone else If Amanda gets anxiety about celebrities blocking her/What celeb she loved who blocked her As the ultimate Kravis stan, is she into Kourtney's new edgy look? Where the hell did MGK and Megan Fox come from? Amanda explains. “The Scott Effect” If Amanda could be a cast member on any reality show… The downside to being on reality television We play some fun games with Amanda Ask away segment: What to do when you and your partner, who you believe is your soulmate, aren't aligned on having kids New podcast episodes of Confident Collective drop every Tuesday. Resources: The Amazon case Raeann ordered Follow Amanda: @notskinnybutnotfat Listen to the Not Skinny But Not Fat podcast Follow the podcast for news and updates: @confidentcollective Follow the Hosts/Founders: @kristinazias & @raeannlangas Learn more: https://www.theconfidentcollective.com/ Stay in the know with our newsletter!
On the 64th episode of Multi-Racial Sessions Kamanda hosts Chrisprior Music who will be handling the B_SIDE with a soulful house mix. A-SIDE Tracklist by Kamanda: 1.Lucien (AR) - Hogar (Original Mix) 2.Sangeet - Another Day 3.Daniel Helmstedt - Lee (Haen Isle of Skye Remix) 4.Laroz - Tutiman (feat. Balkan Witch) [Spaniol Remix] 5.Caymane - Nuar (Extended Mix) 6.Lost Desert & Amand - Open Form feat. Reigan 7. Makebo - Good Morning 8. Shunus - Behind Eyes 9.Vooz Brothers - Emotional Intelligence 10.Be Svendsen - Nemrut (Edit) www.multi-racial.co.za @multiracialrec on all social media platforms @Kamanda.t on instagram @KamandaT on twitter @donsichris on instagram
Major news and details on why I now go by Kamanda + Travis Barker gets on plane (with Kourt obvi) for first time since deadly crash 13 years ago, Kylie swim & 24th bday, Jlo & Arod updates + celeb pregnancy + birth confirmed! Produced by Dear Media
This week we feature "This Night" by Playing With Fireworks, ""Stuck In The Spotlight" by Kamanda, "Meet Me Halfway" by Bouji Bailey, "Better" by Randolph Reid, and "A Cold One" by Kay Mott ---------------------- Songs in this episode that were not available on the streaming services at the time of publishing are: Meet Me Halfway by Bouji Bailey: https://www.musicxray.com/xrays/2592280 A Cold One by Kay Mott: https://www.musicxray.com/xrays/2516051 ---------------------- Show link: http://hookblast.com/the-hookblast-podcast-episode-72/ Vote for your favorite hook here: http://hookblast.com/the-hookblast-podcast-episode-72/ Rate and review the show: http://ratethispodcast.com/hookblast/ Submit a song for consideration here: https://www.musicxray.com/interactions/65626/submissions/new The Hookblast Podcast is a weekly, ten-minute show where we discover a few new catchy songs together. You add the ones you love to your own streaming playlists or subscribe to mine here: http://hookblast.com/category/playlists/ I only play the hooks (you know, the catchy parts) so you never have to sit through an entire song if you're not loving it. The Hookblast Podcast uses Music Xray to source the featured songs. Music Xray combines music analysis software, machine learning, and the crowd-sourcing of industry professionals & fans to identify high potential songs & talent. Show written by: Mike McCready Contributing writer: Shlomi Hoss & Steve North Curated by Courtney Minor Edited for audio & video by Jesse McCoy Legal: John Benemerito Opening Song: Jiggle Wiggle Party by Lance Published: June 21, 2021
KONYAGI FEKI ZA KAMATWA ARUSHA KAMANDA MKOA WA ARUSHA ATHIBITISHA HILI..
Kamanda wa zamani wa kundi la waasi wa Lords Resistance Army nchini Uganda, LRA Dominic Ongwen amekutwa na hatia ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinaadamu.
*Merch is back *!* T shirts, long sleeve, short sleeve, different blends, many colors, many styles, coffee mugs, bumper stickers. Check out the merch *HERE* ( https://www.teepublic.com/user/the-eric-zane-show-podcast ) *! Topics: * *Yesterday featured yet another trip to the vets. This time for Bruce. Upon further review, I learned that Bruce has some issues! *This morning featured quite a dramatic discovery....this is yet another pet related story. My gosh, it's like we have 4 dogs or something. *Zaniac / sponsor Jacob Bennett from *Bennett Flooring Installation* ( https://bennettflooringinstallation.com/ ) ** dropped by yesterday with a special gift for The NFK. *I'm recording with the " *Shitty Song of the Week Podcast* ( https://www.podchaser.com/podcasts/shitty-song-of-the-week-992144 ) *"* today. It'll be available for download on Friday 5/14. *My pal, Karl from " *Who Are These Podcasts* ( https://whoarethese.com/ ) *?"* dropped your old pal, Eric's name on " *The Chrissie Mayr Podcast* ( https://chrissiemayr.libsyn.com/ )." *The odd case of the *Tiger getting loose* ( https://ericzaneshow.com/tiger-gets-loose-in-houston-neighborhood-owner-accused-of-unrelated-murder-tiger-missing/ ) in a Houston neighborhood and his handler who's accused of a murder! Tiger missing. *The Jacksonville Jaguars sign Tebow. Him making a comeback as a tight end would not be his most impressive feat, thought. My thoughts. *Adam Thielen of the Minnesota Vikings talked shit about Lambeau Field, fans lose minds. *Boring Dean was assaulted at a store...you'll hear from him how it all unfolded. *Emails of the Day. *Asshole of the Day BTYB *JM Synthetics* ( https://jmsynthetics.myamsoil.com/ ) / *TC Paintball* ( https://www.tcpaintballgr.com/ ) * * *Also, Kenney pissed me off. It appears he's trying to earn back the name, "Kamanda." * Sponsors:* *Gift of Life Michigan* ( https://www.giftoflifemichigan.org/become-donor?tag=ericzane ) , *Cornhole America* ( https://www.cornholeamerica.com/ ) , *JM Synthetics* ( https://jmsynthetics.myamsoil.com/ ) , *Bennett Flooring Installation* ( https://bennettflooringinstallation.com/ ) , *BK Guns N Stuff* ( https://www.facebook.com/bkgunsnstuffllc/ ) , *Shoreliners striping* ( https://www.shorelinersstriping.com/ ) *,* *VanDyk Mortgage Mario Flores Lakeshore Team* ( https://marioflores.vandykmortgage.com/ ) *,* *Blue Frost IT* ( https://www.bluefrostit.com/ ) *,* *A&E Heating and Cooling* ( https://www.aeheatingcooling.net/ ) *,* *Prince Arming* ( https://www.facebook.com/PrinceArming/ ) *,* *Baldwin Ace Hardware* ( https://www.acehardware.com/store-details/10975 ) *,* *ForeverLawn West Michigan* ( https://www.foreverlawn.com/wmi ) * Take a look at the* *official Eric Zane Show Podcast Cornhole Boards from Cornhole America* ( https://www.cornholeamerica.com/products/the-eric-zane-show-podcast-cornhole-boards?fbclid=IwAR2kRz8GRHcEpiRsgSNNgGFQ4s091lyI1qn3XI8zpYo471gDphs1v9AZMSU ) * Hey! Business owner! email eric@ericzaneshow.com and let me design a marketing plan for you. It's easy and FREE. * * * *TikTok* ( https://www.tiktok.com/@ericzaneshowpodcast ) * * *YouTube* ( https://www.youtube.com/channel/UCJowaD7rKmHzN0cAIgU4jrw?view_as=subscriber ) * * *Hire me on Cameo!* ( https://www.cameo.com/ericzane ) * Please subscribe, rate & write a review on Apple Podcasts* ** ( http://patreon.com/ericzane ) *patreon.com/ericzane ( http://patreon.com/ericzane )* * Instagram: ericzaneshow* *Twitter: @ericzaneshow* ** ( http://facebook.com/ericzanefanpage ) *Facebook.com/ericzanefanpage ( http://Facebook.com/ericzanefanpage )*
It's a bird! It's a plane! Wait... It's Kamanda comin' in hot! Or.... Aliens man. Just some light Reddit readings to surprise us both! --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app
On the 66th episode of Multi-Racial Sessions Kamanda hosts Kususa who will be taking care of the B-SIDE mix. A-SIDE track list by Kamanda: 1.Archaellum - Reflections (Original Mix) 2.Doppel - Blue Mosaic 3.Roald Velden - Papilio 4. Evren Ulusoy - Ada (Original Mix) 5.DJ Zombi & Guy Davidov - Free My World (Amata Remix) 6.Jochen Pash feat. Shahd - Ya 3omri (Yamil Remix) 7.Pambouk - Forest Language (Original Mix) 8.Made in Paris - Elysian 9.Balata - Smile To Me 10.Timo Maas feat. Rottler - Utopie (Original Mix) 11.Auggie - Imperfecto 12. Kamanda - Talama[Unreleased] Contact us: www.multi-racial.co.za @KususaOfficial on all platforms @Kamanda.t on instagram @kamandaT on twitter @multiracialrec on all platforms
On the 65th episode of Multi-Racial Sessions Kamanda hosts Lemon & Herb who will be taking care of the B-SIDE mix. A-SIDE tracklist by Kamanda: 1.Matthias Vogt - Like Gigi 2.Mono Electric Orchestra - Antarctica 3.Frost - Overtones (Extended Mix) 4.Tama Skafar - Farewell Gift(Original Mix) 5.Radical Fantasy & Amir Telem - Eunoia (Original Mix) 6.Oliver Koletzki, Niko Schwind - Lights Of Denebola (Original Mix) 7.Jaffer - BeforeI Forget (Orginal Mix) 8.MoBlack feat. Stevo Atambire - Nogre Soor 9.AGMA - Hurricane (Original Mix) 10.Oliver Koletzki, Niko Schwind - Acceptance (Original Mix) 11.Mehill - Crowed Get in touch www.multi-racial.co.za @multiracialrec on all platforms @Lemonnherb on instagram @Kamanda.t on instagram
On the 64th episode of Multi-Racial Sessions Kamanda hosts Coy formerly know as Josh Singer a super friend of MRS. A-SIDE tracklist by Kamanda: 1.Soul of Zoo, SEVN (CA) & Ben Eager - Baglama Rising (Original Mix) 2.N'Pot - Arsayan (Original Mix) 3.Nacho Varela & Cruz Vittor - Chilled Moon (Original Mix) 4.Death On The Balcony, Flowers on Monday - Crystal 5.Double Touch - Greatest Day feat. Reigan (Lost Desert Remix) 6.Fur Coat, Running Pine - Hurricane (Tim Green Remix) 7.Double Touch - Hope 8.Hoj USA, Newman(I Love) - Nothing Else 9.Elfenberg - Mozambique 10.Kamanda- Mosaic(Original Mix) Contact us : www.multi-racial.co.za @multircialrec on all social media platforms @Kamanda.t on instagram @KamandaT on twitter @_Coymusic on instagram
on the 63rd episode of Multi-Racial Sessions, Kamanda hosts Ralph Khann, who will be taking care of the second hour mix. A-Side tracklist: 1.Kamanda - Mosaic(Laminin Music Remix) 2.Advent - Pagoda 3.Beckford - Revolution of Your Mind 4.Toni Teskera - Like A Creme 5.Andrey Djackonda, Minube - Night Walker 6.Dave Mayer, Kapala - Chicago Jazz (Stripped Mix) 7.Mr. Fowks - Unknown Name (Original Mix) 8.C++ - Angie's Fucked (Original Mix) 9.Ruben Biaz - We Have A Problem (Original Mix) Get in touch, follow us on: @multiracialrec @Kamanda.t on instagram @KamandaT on twitter @Ralph_Khann on instagram
On the 63rd episode of Multi-Racial Sessions Kamanda hosts Ralph Khann who's making his second appearance on the show. A-SIDE tracklist by Kamanda: 1.Kamanda - Mosaic(Lamini music Remix) 2.Advent - pagoda 3.Neither - Momentum (Original Mix) 4.Beckford - Revolution of Your Mind 5.Toni Teskera - Like A Creme 6.Andrey Djackonda, Minube - Night Walker 7.Dave Mayer, Kapal - Chicago Jazz (Stripped Mix) 8.Mr. Fowks - Unknown Name (Original Mix) 9.C++ - Angie's Fucked (Original Mix) 10.Ruben Biaz - We Have A Problem (Original Mix) Get in touch: @multiracialrec on all social media platforms @Kamanda.t on instagram @KamandaT on twitter @Ralph_Khann on instagram
Singer-Songwriter & Music Educator Julia Jordan Kamanda shares how she works to reclaim her own creative impulses while raising two kids during the pandemic & working from home. Julia talks openly about her 9-year-old's new feelings of anxiety, emerging since the murder of George Floyd, and how she and her husband encourage their kids to find healthy outlets to process big feelings. Julia shares how connecting with our creative selves makes us more engaged parents and how the arts provides a powerful educational tool to the young girls she and her husband, Ali Biko Kamanda, empower through their Creative Arts Initiative in Sierra Leonne. www.themusicmommy.com How do you balance caring for your loved ones and staying connected to your creative self? Questions and comments may be shared on Julia Adolphe's YouTube Channel.
Olivier Kamanda is currently a Product Manager at Facebook. He steers development of products used by billions of Facebook users. He's a Princeton grad with a Law degree from Pennsylvania Law School. Olivier discusses his latest venture, https://www.ProudandBlack.com (ProudandBlack.com).
Dans le rendez-vous culture de RFI, chaque jour qui marque un anniversaire des indépendances africaines, nous vous racontons l'histoire d'un « tube » de l'époque. Le 30 juin 1960, il y a 60 ans, c'est l'indépendance du Congo, qui s'émancipe de la Belgique. Dans ce jeune pays qui allait devenir le Zaïre puis la RDC, ce jour-là, résonne cette rumba : « Indépendance Cha Cha ». Indépendance Cha Cha, c'est l'histoire en musique et en détail, des négociations de l'indépendance du Congo belge. L'African Jazz, de Joseph Kabasele, est arrivé à Bruxelles fin janvier 1960, à la demande expresse de Patrice Lumumba, le père de l'indépendance, fan de l'orchestre devant l'Éternel. Parmi les musiciens, le batteur Yantula Bobina Pierre Elengesa dit « Petit Pierre ». Il est le dernier survivant de l'African Jazz. Au micro de Kamanda wa Kamanda Muzembe, il se souvient du premier public d'Independance Cha Cha : « On était invités à l’hôtel Plazza, le jour d’ouverture de la table ronde. Un monde fou. Il y avait d’abord les leaders congolais, il y avait aussi des étudiants belges, qui étaient là, à l’ouverture de la table ronde. Donc, c’était la première fois qu’on a chanté cette chanson-là en public. » On entend trois des langues majoritaires du Congo Succès fulgurant d'Independance Cha Cha. Florent Mazzoleni, producteur, photographe, auteur du livre Afro Pop : « Ce qui est assez fort dans Independance Cha Cha, qu’on entend trois des langues majoritaires du Congo : le lingala, le kikongo, le ciluba. Donc, cela parle à toutes les minorités, tous les grands hommes politiques de l’époque sont mentionnés. Et c’est une sorte de chronique en direct, puisque, je pense qu’ils ont écrit les paroles en une journée. Dès le lendemain, ils sont entrés en studio pour enregistrer. Il y a deux morceaux qui font explicitement référence à cette indépendance à venir du Congo belge : Table ronde et cette fameuse Independance Cha Cha, mais je pense que c’est plus Independance Cha Cha qui a marqué les esprits, parce que c’est devenu le premier tube panafricain. » Le 30 juin 1960, jour de l'indépendance, l'African Jazz se produit devant un parterre de dignitaires du monde entier à Léopoldville, future Kinshasa. « Petit Pierre », le batteur, se souvient : « J’étais très ému, parce qu’on n’avait pas encore l’hymne national. C’est Independance Cha Cha qui a “remplacé” l’hymne nationale le jour après la déclaration de l’indépendance. Ce jour, je ne le pourrai jamais oublier, parce que tout le monde était émotionné. » L'histoire continue Independance cha cha continuera d'écrire l'histoire : le morceau sera joué dans de nombreux pays bientôt indépendants, eux aussi, en juillet/août 1960.
On the 61st episode of Multi-Racial Sessions Kamanda hosts Losby Deep who will be handling the B-SIDE mix. A-SIDE trackless by Kamanda 1. Erdi Irmak - Slow Motion Town(Original Mix) 2.Shai T - The Song Of Dolores(Original Mix) 3.Mind Against - Walking Away (Original Mix) 4.Vernon Bara - Lift Your Spirit(Original Mix) 5.Adriatique Delhia De France Marino Canal - Home(Original Mix) 6.Ben Bohmer, Malou - Lost In Mind (Volen Sentir Extended Vision)[Track of the week] 7.Clavis - Tascame(Original Mix) 8.Hraach - Promises(Original Mix) 9.SHVRE - Heliopolis(Original Mix) Follow us on social media @multiracialrec @KamandaT on twitter @Kamanda.t on instagram @Lehlogonolo_losbydeep
60th episode of Multi-Racial Sessions Kamanda hosts BYOOK who will be handing the B-SIDE mix. A-SIDE trackless by Kamanda: 1.Emil Berliner - Pantar(Original Mix) 2.Catching Flies - Opals (Andhim Remix) 3.Nilseus - Night Vale(Original Mix) 4.Rowee Robbie Akbal - Armon feat. KnowKontrol(Original Mix) 5.Tim Engelhardt - Light The Fire(Original Mix) 6.UNDERHER Felix Raphael - Into The Night(Space Food Remix) 7.Fadi Boghdadi - Zenith(Original Mix) 8.Cornelius SA - Diamonds(Extended Mix) 9.Cornucopia - Orion 10.Booka Shade - Red Medina(Original Mix) Contact us: www.multi-racial.co.za @multiracialrec on Twitter, Facebook & Instagram @Kamanda.t on Instagram @KamandaT on twitter @Dube DJByook on Facebook
Deep House music mix selected and mixed by Kamanda with tracks from Sam Goku, Luka Sambe, BNinjas to mention a few
On the 58th Episode of Multi-Racial Sessions Kamanda hosts Mat-Elle. A-SIDE tracklist by Kamanda 1.Modd - Ruanda 2.The Vinyl Depreciation Society - Phoenix (Original Mix 3.Modd - Baskunchak(Original Mix) 4.Tomahawk Bang - Indigetronic 5.Pablo Fierro - Kalimera 6.Nhar - Mediolanum 7.Kito Jempere - Gas Station (2019 Edit) 8.Tantum - Bonsai(Original Mix) 9.Never More - Paradise(David Orin Remix) 10.Henzach - Sahanna(Novakk Remix) contact us www.multi-racial.co.za @kamanda.t on instagram @kamandaT on twitter @multiracialrec on twitter & instagram @mat_elle on instagram
Buy Links: Andik'funi on Beatport Andik’funi is a Xhosa word directly translating to “I don’t want you” here the artist expresses how unconnected and how she’s not accepting the proposed love or rather affair. This single is a deep house release with hints of minimal and deep tech house music, as the feels are emphasized by the remixers Tahir Jones & Avi Subban and of course inspired by the original mix from Kamanda featuring Inathi on the Vocals. Delivered by Label Worx on behalf of Multi-Racial Records
Hey Change Nation! We are back with our series featuring the ‘Best of SCN'! This series is focused on taking you back to some of our early days in podcasting and sharing the inspiring and challenging stories of our earl --- Support this podcast: https://anchor.fm/dollaranddifference/support