Podcasts about tayari

American writer (born 1970)

  • 57PODCASTS
  • 100EPISODES
  • 24mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • Apr 14, 2025LATEST
tayari

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about tayari

Latest podcast episodes about tayari

Habari za UN
Vita Sudan yamsababishia Walaa tatizo la afya ya akili

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 14, 2025 3:46


Tarehe 15 mwezi April imwaka 2023 wananchi wa Sudan hususan mji mkuu Khartoum waliamshwa na mapigano kati ya jeshi la serikali SAF na wanamgambo wa kikosi cha msaada wa haraka RSF. Hadi leo hii mapigano hayo yanazidi kushika kasi na raia wanafurushwa makwao. Miongoni mwao ni watoto ambao zahma wanayokutana nayo sio tu kufurushwa bali pia changamoto ya afya ya akili. Tayari shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limeona shida hiyo na limeanza kuchukua hatua kama anavyosimulia Assumpta Massoi kwenye makala hii. 

Habari za UN
Mtoto aliyebakwa na kutiwa ujauzito DRC asema "siko tayari kuwa mama"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 11, 2025 1:58


Mtoto mmoja alibakwa katika kila nusu saa huko Mashariki mwa Jamhuri ya ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wakati mapigano yaliposhika kasi mwanzoni mwa mwaka huu kati ya jeshi la serikali FARDC na waasi wa M23, katikati ya ufadhili finyu wa kifedha, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF. Anold Kayanda na maelezo zaidi.

Bible Bard
swahili_BB-79 Kibiblia Wageni Tayari Wapo Hapa

Bible Bard

Play Episode Listen Later Mar 18, 2025 29:05


swahili_BB-79 Kibiblia Wageni Tayari Wapo Hapa

Mufti Tariq Masood
Amad E Ramzan Aur Uski Tayari|Mufti Tariq Masood Speeches

Mufti Tariq Masood

Play Episode Listen Later Feb 28, 2025 85:22


(0:00) Intro(0:57) Qur'ani Aayat, Hadis(1:21) Ramadan 2023(1:32) Ramazan K Rozy Kab Farz Huay?(2:53) Roza: Jism ki Zakaat(3:10) Roza: Rooh ki Zakaat(4:10) Khahishat ki Bhook (Neend, Khana Peena, Jinsi Khahish, Luxury Life)(8:20) Jismani Bhook ka Ehsas(11:07) Chai, Coffee, Cigarette Addiction(14:00) Mufti sb Ny Jab Cigarette Piya?(14:46) Drugs Addiction Se Mind Fresh Hota Hai?(16:47) Ramazan ki Pabndiyon Se Faida(19:39) Kamyabi: Islam ki Pabndiyon mn(22:56) Who is Depressed?(24:15) Ziddi Bachy?(25:39) Mtm's Relative Saying (Oopr Tly Bachon k Msail)(28:38) Bachon ki Nafsiyat(30:03) Khany mn Bachon k Nakhron ka Ilaj(33:03) Is Clip ki Wzahat (Bachon ko Cheeni Khilana)(35:34) Khahishat ka Barrier(37:03) Rooh ki Khushi Kis mn Hai? (Halal ki Barkat)(43:09) Musalmano mn Khud Kushi Na Hony ki Wja(45:47) Mehngai K Bavjood

ISLAMIC HUB.
Ramadan Ki Sabse Badi Tayari Molana Tariq Jameel Latest Bayan

ISLAMIC HUB.

Play Episode Listen Later Feb 27, 2025 12:06


Ramadan Ki Sabse Badi Tayari Molana Tariq Jameel Latest Bayan--------------------------

Alfajiri - Voice of America
Rais wa Uturuki Reccep Tayip Erdogan asema kwamba yupo tayari kuongoza mazungumzo ya amani ya Sudan - Desemba 18, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 18, 2024 29:58


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Zaidi wa wamarekani milioni 15 tayari wamepiga kura za mapema wiki mbilli kabla ya siku ya uchaguzi kufika. - Oktoba 23, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 23, 2024 29:57


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Jioni - Voice of America
Waalimu wa KUPPET nchini Kenya wamesitisha mgomo wao ulioanza Jumatatu wiki iliyopita na wapo tayari kufanya mazungumzo mapana na serikali. - Septemba 02, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Sep 2, 2024 29:58


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Habari RFI-Ki
Sudan : Kiongozi wa kijeshi asema yuko tayari kwa vita na hatashiriki mazungumzo ya amani

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Aug 26, 2024 9:44


Katika makala haya tunajadili  hatua ya kiongozi wa kijeshi nchini Sudan, kusema hataki mazungumzo yoyote yatayohusisha wapiganaji wa RSF, akisema jeshi liko tayari kupigana hata kwa miaka 100. Matamshi yake yamekuja wakati huu Marekani ikiongoza juhudi za kupata mwafaka wa mani kati yake na vikosi vya RSF.

Habari RFI-Ki
Sudan : Kiongozi wa kijeshi asema yuko tayari kwa vita na hatashiriki mazungumzo ya amani

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Aug 26, 2024 9:44


Katika makala haya tunajadili  hatua ya kiongozi wa kijeshi nchini Sudan, kusema hataki mazungumzo yoyote yatayohusisha wapiganaji wa RSF, akisema jeshi liko tayari kupigana hata kwa miaka 100. Matamshi yake yamekuja wakati huu Marekani ikiongoza juhudi za kupata mwafaka wa mani kati yake na vikosi vya RSF.

Jukwaa la Michezo
Timu ya Kenya yaanza kuwasili Miramas, Ufaransa tayari kwa Olimpiki

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Jul 13, 2024 23:54


Tuliyokuandalia ni pamoja na droo ya hatua ya awali kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika msimu ujao, matokeo ya Monaco Diamond League, Team Kenya yaanza kuwasili Ufaransa tayari kwa Olimpiki, matokeo ya CECAFA Kagame Cup na tetes iza uhamisho pamoja na uchambuzi wa fainali ya EURO, Copa America na fainali za tenisi kwenye Wimbledon.

Jioni - Voice of America
Serikali ya Kenya yasema ipo tayari kufanya maandamano na waandamanaji. - Juni 23, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 23, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Kwa Undani - Voice of America
Mazungumzo kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas hayana mwelekeo mwafaka. SADC tayari kupambana vilivyo na M23 - Mei 06, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later May 6, 2024 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Sepetuko
Je, Nairobi Iko Tayari Kukabiliana na Mvua Kubwa?

Sepetuko

Play Episode Listen Later Mar 26, 2024 4:34


Mvua iliyonyesha usiku wa Jumapili imesababisha mauti na uharibifu mkubwa jijini Nairobi. Mvua hiyo imeonesha wazi jinsi miundomsingi iliyopo haina uwezo wa kustahimili mvua kubwa, hivyo kuna haja ya uekezaji wa kumaanisha katika miundomsingi ya ukusanyaji maji taka (drainage) ili kuwaepushia wakazi madhara.

Sumersingh Show
Shaadi ki Tayari ( Whats Going On Series )

Sumersingh Show

Play Episode Listen Later Mar 15, 2024 10:03


Shaadi ki Tayari ( Whats Going On Series ) --- Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sumersingh/support

Mufti Tariq Masood
Amad E Ramzan Aur Uski Tayari|Mufti Tariq Masood Speeches

Mufti Tariq Masood

Play Episode Listen Later Mar 7, 2024 85:22


Amad E Ramzan Aur Uski Tayari|Mufti Tariq Masood Speeches

Kwa Undani - Voice of America
Wachambuzi watoa maoni kuhusu kauli ya Rais Samia kulitaka jeshi kuwa tayari kwa kusimamia usalama wakati wa uchaguzi - Januari 23, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 23, 2024 29:59


Gubbaare
# 245 Sir Walter Ki Tayari

Gubbaare

Play Episode Listen Later Dec 1, 2023 10:15


An inspirational story of precision, patience  and meticulous planning in life.

Jioni - Voice of America
Rais Ruto asema yuko tayari kutekeleza mapendekezo ya ripoti ya maridhiano ya kisiasa kati yake na Odinga - Novemba 27, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 27, 2023 29:59


Kwa Undani - Voice of America
Maoni ya mchambuzi baada ya Rais Ruto kusema serikali yake iko tayari kubinafsisha kampuni 35 za serikali - Novemba 23, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 23, 2023 29:58


Hindustan Daily News Wrap
Bharat ko laga bada jhakta, Asia Cup ke pahle do match nahi khelenge KL Rahul | Sham ki Khabrein

Hindustan Daily News Wrap

Play Episode Listen Later Aug 29, 2023 4:37


Is episode me suniye, Bharat ko laga bada jhakta, Asia Cup ke pahle do match nahi khelenge KL Rahul, Chedkhani ke virodh par dasvi ke chatr ki peeth peeth kar hatya, school se ghar laut rahe the bhai bahen, LPG Cylinder 200 rupye sasta karne ki tayari, kabhi bhi ho sakta hai elaan

Hindustan Daily News Wrap
Karnataka me BJP ko lagegein aur jhatke, kai vidhayakon ko todne ki tayari me Congress | Sham ki Khabrein

Hindustan Daily News Wrap

Play Episode Listen Later Aug 18, 2023 14:46


Is episode me suniye, Karnataka me BJP ko lagegein aur jhatke, kai vidhayakon ko todne ki tayari me Congress, Seema Haider par kyun bhadk gai Sachin ko lappu jhingur kehne wali mahila, UP me do din hongi musladhar barish, Bihar ke liye bhi Alert

Kwa Undani - Voice of America
Viongozi wa mapinduzi nchini Niger hawako tayari kulegeza msimamo wao, asema mchambuzi - Agosti 08, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 8, 2023 29:59


Habari za UN
Je unafahamu kuwa kuna fursa ya ufadhili katika nishati safi na salama Tanzania?

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 31, 2023 0:05


Kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la mfuko wa maendeleo ya mitaji UNCDF wakizingatia Utafiti wa Bajeti ya Kaya Tanzania Bara (2017/18), upatikanaji wa nishati safi na teknolojia ya kupikia ni asilimia 17.1 tu ya wakazi wa mijini na asilimia 2 ya wakazi wa vijijini. Kuongezeka kwa mahitaji ya nishati ya kuni kunatokana na ukuaji wa haraka wa miji, bei ya juu, na upatikanaji mdogo wa nishati mbadala. Ili kuondokana na changamoto hizi, Programu ya CookFund ambayo inatekelezwa chini ya UNCDF kwa kushirikiana na Wizara ya Nishati nchini Tanzania, ina nia kuongeza idadi ya watu kwa kutumia suluhu endelevu za nishati safi ya kupikia katika maeneo ya mijini. Tayari awamu ya kwanza ya ufadhili imeenda kwa makampuni 16 kama anavyosimulia Anold Kayanda katika makala hii. 

Syed Sarfraz Ahmad Shah
Book 05 Arzang-e-Faqeer - Session 05 - Rohani Kaifiyat Aur Bunyadon Ki Tayari

Syed Sarfraz Ahmad Shah

Play Episode Listen Later Jul 16, 2023 36:17


Book 05 Arzang-e-Faqeer - Session 05 - Rohani Kaifiyat Aur Bunyadon Ki Tayari

Habari za UN
Watu wanaoikimbia Sudan kuingia Sudan Kusini waendelea kupata msaada wa kibinadamu: WFP

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 5, 2023 0:02


Maelfu ya watu wamevuka na kuingia Sudan Kusini wakikimbia mzozo unaoendelea nchini Sudan. Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) liko linawasaidia wanaowasili lakini mzigo huu wa ziada unaweka shinikizo katika shughuli za shirika hilo ambazo tayari ziko katika hali mbaya ya ufadhili.Video iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) inatupeleka katika Kaunti ya Renk iliyoko kaskazinimashariki mwa nchi ya Sudan Kusini inakopakana na Sudan.  Hapa ni kila mtu anajaribu kukumbatia kile alichofanikiwa kutoroka nacho akikwepa mabaya ambayo yangemkumba ikiwa angesalia Sudan ambako tangu tarehe 15 mwezi jana Aprili kunafukuta mapigano makali. Wanaobahatika wanabebwa na magari ya Umoja wa Mataifa, wengine punda na wengine wametembea mwendo mrefu kufika hapa.  Kwa mujibu wa WFP, zaidi ya watu 30,000 hadi sasa wamevuka mpaka kutoka Sudan na kuingia Sudan Kusini. Wengi wao ni waliorejea kwani walikimbia madhila hapa Sudan Kusini lakini nako ugenini Sudan kumechafuka, wamerejea.  Naimat Khamis, ni mmoja wa waliorejea anasema, "Tulilazimika kuja hapa kwa sababu ya mapigano ya Khartoum…tulilazimika kukimbia haraka iwezekanavyo kwa sababu ya vita…ilikuwa safari ngumu…tunataka kubaki na jamaa zetu hapa kwa sababu tumeteseka sana.” Hassan Abdallaziz, kijana mwenye umri wa miaka 17 huyu yeye ni raia wa Sudan kwa hiyo kwa Sudan Kusini yuko ukimbizi anasema, “Hali ya nchi ilinilazimu kuja hapa. Hakuna kitu kizuri kilichobaki nchini, hakuna kazi, ni machafuko. Mtu yeyote anaweza kupora mali yako, ni kama msitu." WFP tayari inawasaidia waliowasili na wanaowasili ikiwa ni pamoja na kuwapa chakula, kuwapima watoto, wajawazito na wanaonyonyesha, lakini mzigo huu wa ziada unaongeza chumvi kwenye kidonda. Mary-Ellen McGroarty ni Mkurugenzi wa WFP nchini Sudan Kusini akiwa mjini Juba anasema,  "Mgogoro huu umekuja katika wakati mbaya zaidi. Unajua nchini Sudan Kusini tunaingia katika msimu wa muambo na msimu wa mvua. Tayari tuna watu milioni 7.4 wanaohitaji msaada wa chakula. Hatuwezi kuwafikia wote kwa sababu ya changamoto za rasilimali. Tumelazimika kupunguza programu zetu kwa sababu ya vikwazo vikali vya ufadhili. Na sasa tena tunalazimika kuweka vipaumbele upya kati ya watu wenye njaa, hawa wapya wanaowasili, ambao wako hatarini sana.”  

Habari za UN
Jukwaa la vijana limetukutanisha na watunga sera za mataifa mbalimbali

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 26, 2023 0:03


Tayari tangu jana Aprili 25, Jukwaa la Vijana la Baraza la Umoja wa Mataifa la Kiuchumi na Kijamii (ECOSOC) la mwaka 2023 limeng'oa nanga ambapo maelfu ya viongozi vijana kutoka duniani kote wanakusanyika katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York kujadili pamoja na mambo mengine, masuala yanayolenga kuharakisha kujikwamua kutoka janga la COVID-19 na utekelezaji kamili wa Ajenda ya 2030 ya Malengo ya Maendeleo Endelevu. Jukwaa la Vijana ndilo jukwaa kuu la vijana kuchangia mijadala ya sera katika Umoja wa Mataifa, ambapo wanaweza kutoa maoni yao, wasiwasi wao, na kuzingatia suluhu zao za kibunifu ili kukabiliana na changamoto zinazokabili ulimwengu.Mmoja wa vijana wanaohudhuria Jukwaa hili ni Gibson Kawago anayechakata betri chakavu za kompyuta na kuzirejesha katika matumizi mengine ya uzalishaji nishati. Flora Nducha wa Idhaa hii ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa amezungumza na kijana huyu.  .

Habari za UN
Mada kwa kina: Chanjo dhidi ya Kipindupindu yaendelea Kivu Kaskazini, DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 31, 2023 0:05


Kampeni ya utoaji wa chanjo dhidi ya ugonjwa wa kipindupindu  iliyoanza tarehe 25 mwezi huu huko Kivu Kaskazini nchini jamhuri ya Kidemokraia ya Congo, DRC imekunja jamvi jana Jumanne ya tarehe 30 mwezi hu uwa Januari ambapo shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO lilizindua kampeni hiyo ya chanjo kwa wakimbizi wa ndani katika kambi ya wakimbizi hao ya Kanyaruchinya wilayani nyiragongo katika mji wa Goma jimboni Kivu Kaskazini.Mwandishi wetu wa DRC Byobe Malenga ambaye ameshuhudia uzinduzi huo amesema uliongozwa na Gavana wa jimbo la Kivu Kaskazini Jenerali Ndima Constant, na Mwakilishi wa shirika WHO nchini DRC kwa lengo la kuokoa mamia ya familia hususan za wakimbizi wa ndani ambao tayari makumi kwa makumi wameripotiwa kupata ugonjwa huo na wengine wamefariki dunia.Jean Bruno, ni Mkuu wa Ofisi ya WHO Kivu Kaskazini na anasema ameridhishwa na shauku ya siku ya kwanza na zaidi ya yote amesema,« Tumewalenga watu 364,127 ambao ni wakimbizi wa ndani, pamoja na familia zinazowapokea. Tayari tumepokea dozi 364,150 ambazo zipo na zitatumika. chanjo itafanyika kwa awamu ya dozi moja na tutafanya hivyo kupitia kampeni ya nyumba kwa nyumba kwenye maeneo haya . Tumeridhika na ukweli ni kwamba kumekuwa na dhamira muhimu kwa upande wa serikali kwenye ngazi ya taifa na mkoa, lakini pia tumekuwa na hakikisho kutoka kwa jamii ya watu na wakimbizi wa ndani ambayo imekubali chanjo hiyo ambayo itafanyika kwa wakati».Eneo la Nyiragongo lilipokea idadi kubwa ya watu waliokimbia makazi yao kutokana na mashambulizi yanayofanywa na waaasi wa M23 huku watu 233 elfu waliokimbia makazi yao, zaidi ya 95% yao wamelundikana kwenye makanisa, shule, viwanja vya michezo na maeneo yasio salama kwa afya yao.Gavana wa Kivu Kaskazini, Jenerali Ndima Constant, anakiri kwamba janga la kipindupindu linaathiri sana eneo la Nyiragongo akisema kwamba hadi Jumanne ya Januari 24  wagonjwa 3706 wa kipindupindu walisajiliwa huku kukiwa na vifo 16 na ili kupunguza mlolongo wa maambukizi amewasihi raia kupata chanjo akishukuru WHO kwa msaada wao.« Madhumuni ya kampeni hii  ya chanjo ni kulinda idadi ya watu dhidi ya kipindupindu katika jimbo la Kivu Kaskazini na hasa katika maeneo ya watu waliofurushwa ili kupunguza vifo. Mabibi na mabwana, wageni mashuhuri, ili kufunga maoni yangu, ningependa kuwakumbusha kuwa pamoja na chanjo utakayopokea, kufuata hatua za kuzuia maambukizi ni muhimu..”Ametaja njia za kujikunga kuwa ni pamoja na kunawa mikono mara kwa mara kwa maji safi na sabuni au majivu, kunywa maji yaliyotakasishwa tu au yaliyochemshwa. Kupika na kufunika milo yetu, matumizi sahihi ya vyoo huku tukiwa wasafi na kuweka usafi kwenye maeneo yetu ya makazi  kila wakati.Waliokimbia makazi yao wanafahamu tishio hilo kwa sababu janga hilo limeathiri zaidi ya 89% ya waliokimbia makazi katika miezi ya hivi karibuni na chanjo inatekelezwa nyumba kwa nyumba.Watu waliohamishwa wanasubiri dozi zao nyumbani. Damaseni Butera ni miongoni mwa watu wa kwanza kupata dozi moja dhidi ya kipindupindu na anashukuru mpango huu wa WHO na anasema, «chanjo ni muhimu sana katika mapambano dhidi ya magonjwa kama kipindupindu, malaria na mengine.Tumejifunza habari kuhusu chanjo hiyo, tumefurahi sana kwa sababu tutakuwa na kinga, asante sana kwa shirika la WHO ambalo lilitufikiria. Asante sana»Kando na hilo, Mweze Shemba, aliyekimbia kutoka kijiji cha Kiwanja, pia alinufaika na chanjo hii. Licha ya njaa,yeye anapendelea kujilinda pamoja na familia yake dhidi ya janga hili akisema, «kilichonifanya nipate chanjo ya leo hapa katika kambi ya wakimbizi ni kwa sababu tunapatwa na magonjwa ya taabu. kama vile kuharana kutapika hasa tunapokunywa maji machafu. Lakini wakati tunapata hii chanjo tunaona kama vile ni kinga kwetu tunashukuru sana »Katika juhudi za kuepusha msongamano wa wagonjwa wa janga hili , WHO ilijenga vitalu 3 kama kitengo cha matibabu ya wagonjwa wa Kipindupindu (UTC) katika eneo la Bushagara na…

Habari za UN
Wafugaji wa Somaliland wanufaika na mradi wa kuvuna maji ya mvua

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 11, 2023 0:02


Katika kusaidia jamii hususan za vijijini kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO nchini Somalia linatekeleza mradi wa kisasa wa kuvuna na kuhifadhi maji ili kuweza kuwasaidia wananchi wa vijiji vitatu ambao wanajishughulisha na kilimo na ufugaji.wakulima na wafugaliKatika kusaidia jamii hususan za vijijini kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO nchini Somalia linatekeleza mradi wa kisasa wa kuvuna na kuhifadhi maji ili uweza kuwasaidia wananchi wa vijiji vitatu ambao wanajishughulisha na kilimo na ufugaji.Wakulima na wafugaji wa maeneo ya Qardho, Puntland na Xabaale huko Somaliland kwa miaka mingi walikuwa wakitegemea maji kutoka visimaji ili kuweza kuendeleza shughuli za kilimo na ufugaji lakini gharama kubwa za kuvuta maji kisimani kwakutumia jenereta ziliwawia vigumu kuendesha shughuli zao za kuwapatia kipato hususan wakati wa kiangazi.Ni kutokana na changamoto hiyo, FAO nchini Somalia chini ya ufadhili wa Muungano wa Ulaya ikaanzisha programu ya usimamizi wa maji na ardhi ijulikanayo kama SWALIM- yani Somalia Water and Land Management ambapo kwa kushirikiana na viongozi wa maeneo hayo matatu, watunga será na wadau wa taasisi nyingine wakaanzisha mradi wa kuvuna maji ya mvua na kuyahifadhi katika mabwawa madogo yaliyochimba pamoja na matanki ya maji na ili kupunguza gharama, utuaji wa maji hayo sasa utafanyika kwa nishati ya jua, yani umeme wa Sola. FAO pia imetoa mafunzo ya ukulima bora unaozingatia mabadiliko ya tabianchi na matumizi bora ya maji kwa wana jamii na kisha kutoa vifaa vya umwagiliaji kwa kaya 4700 ambazo sasa zipo tayari kuboresha maisha yao kama anavyoeleza Nasma Baadri Aw Mohamed, mkulima huko XabaaleNasma Baadri Aw Mohamed- Mkulima wa Xabaale anasema, “Tunasubiria kwa hamu mradi huo wa kuvuna maji ukamilike. Tutaweza kumwagilia mashamba yetu, kupanda mboga za majani katika mashamba yetu na pia maji yakiwa yanapatikana katika maeneo yetu mifugo yetu itapata maji ya kutosha, kitu ambacho walikuwa wanakosa hapo awali”Mbali na kuwawezesha wananchi, Afisa rasiliamli ardhi wa FAO Ali Ismail Ibrahim anasema Ali Ismail Ibrahim, Afisa rasiliamli ardhi wa FAO anasema, “Malengo ya mradi huu ni kuwajengea uwezo watendaji wa serikali kwenye maeneo ya ardhi na maji na pia tumeanzisha kituo cha usimamizi wa taarifa”Tayari vituo viwili vimeanzishwa huko Puntland na Somaliland na vina wafanyakazi wa kujitolea waliopewa mafunzo na FAO ili kusaidia usimamizi bora wa rasilimali za ardhi na maji.Mkurugenzi wa kituo cha Puntland Abdinur Ali Jama anasema …Abdinur Ali Jama, Mkurugenzi wa kituo cha Puntland anasema, “Kituoni hapa tunatoa taarifa zihusianazo na utabiri wa mvua, ukame na usimamiz wa taarifa za ukame katika eneo hili“.

Habari za UN
WFP na GEP kwa kufanikisha mlo shuleni Burundi tayari inaonesha matokeo – UNICEF

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 6, 2023 0:01


Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF linaripoti kuwa huduma ya chakula katika baadhi ya shule za msingi nchini Burundi tayari inaonesha matokeo chanya kuanzia mahudhurio shuleni na katika upande wa taaluma.Burundi, nchi yenye udongo mzuri wenye rutuba ambayo kama si mabadiliko ya tabianchi kuathiri baadhi ya maeneo, changamoto ya kukosekana kwa chakula ingekuwa simulizi tu za kufikirika.Lakini kama anavyoeleza Leandre Nkuzimana ambaye ni Mkurugenzi wa elimu katika eneo la Kirundo ni kuwa mabadiliko ya tabianchi ni kitu halisi na mfano halisi ni athari kwa mavuno ya eneo la Kirundo na hivyo kufanya wakati mwingine watoto kutoenda shule na wengine wakienda kufanya kazi za vibarua katika maeneo mengine ya mbali yenye mavuno.UNICEF inatoa shukrani kwa msaada wa Ubia wa Kimataifa kwa ajili ya Elimu (GEP) kwa kushirikiana na shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani (WFP) wamefanikisha mlo katika baadhi ya shule nchini Burundi na watoto zaidi ya elfu thelathini katika shule takribani 40 wamefaidika na mradi huu wa mlo shuleni.Fabrice Ntirandekura ni mwanafunzi wa darasa la nne wa shule ya msingi Kibonde ni shuhuda, “Tunapata chakula katika kantini ya shule. Hii inatufanya tuwe na ari ya kwenda shule kwa sababu bila chakula wanafunzi wengi wanaacha shule na wanasalia watoto wachache sana.”

Habari za UN
Lengo la ujumuishi kwenye elimu na kutomwacha mtu yeyote nyuma ladhihirika Tanzania

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 19, 2022 0:05


Umoja wa Mataifa unatambua kuwa elimu ina uwezo mkubwa wa kumuinua mtu kiuchumi na kijamii, kwa maana ya kwamba ni silaha mujarabu ya kuondokana na umaskini. Kupitai malengo ya maendeleo endelevu, SDGs, hususan lengo namba 4, Umoja wa Mataifa unataka elimu bora tena isiyomwacha mtu yeyote nyuma, kwa misingi ya rangi, eneo aliko au hali ya mwili wake. Tayari nchi na mashirika ya kimataifa na yasiyo ya kiserikali yanafanikisha lengo hilo, mfano humo nchini Tanzania katika mkoa wa Morogoro ulioko mashariki mwa taifa hilo la Afrika. Shirika moja kutoka Korea Kusini  kwa ushirikiano na shirika la SAWA Tanzania wamefanikisha uwekaji wa vifaa kwenye maktaba ya mtandao au eLibray katika shule ya awali na msingi ambayo ni jumuishi na sasa walimu, wazazi na wanafunzi wameona nuru. Nini kimefanyika? Basi shuhuda wetu ni Hamad Rashid wa Radio WAshirika MVIWATA FM kutoka Morogoro nchini Tanzania. 

Habari za UN
Changamoto la uhaba wa maji Turkana nchini Kenya laanza kupatiwa majawabu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 9, 2022 0:04


Janga litokanalo na mabadiliko ya tabianchi ni janga pia la haki za watoto, linasema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto duniani, UNICEF. Shirika hilo linasema mabadiliko ya tabianchi yanajidhihirisha kwenye ukame, vimbunga, mikondo joto, mafuriko na magonjwa Vyote hivyo vinaathiri zaidi watoto. Tayari nchini Kenya, katika kaunti ya Turkana, UNICEF na wadau wametambua changamoto hiyo na wamechukua hatua kurejesha tabasamu si tu kwa watoto bali pia kwa familia zao kupitia miradi mbalimbali, huku shirika hilo likitoa wito kwa serikali ya Kenya kuendelea kupatia kipaumbele huduma za nishati ya kufanikisha huduma za maji, nishati kama vle ya jua na upepo. Thelma Mwadzaya anamulika kwa kina kilichofanyika katika Makala hii iliyoandaliwa na UNICEF. 

Habari za UN
Mradi wa vyoo unaofadhiliwa na UNICEF wasaidia kupunguza kipindupindu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 21, 2022 0:02


Nchini Kenya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya watoto UNICEF kwakushirikiana na wadau wake wameanzisha mradi wakujenga vyoo uitwao Fresh Life lengo ni kusaidia kuhakikisha wananchi wanapata ufikiaji wa vyoo safi, salama pamoja na usafi wa mazingira na matokeo yake ni kupunguza ugonjwa wa Kipindipindu kwa kiingereza Cholera.Tayari mradi huo umewanufaisha zaidi wa wakazi 120,000 wa mijini akiwemo mama huyu mwenye nyumba yenye wapangaji zaidi ya 32 ambaye ameishi bila choo kwa zaidi ya miaka 10. Anaanza kwa kijitambulisha.....

Habari za UN
20 OKTOBA 2022

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 20, 2022 0:11


Hii leo katika Jarida la Umoja wa Mataifa tuna Mada kwa Kina ikimulika harakati za kutokomeza ujinga wa kutokujua kusoma na kuandika kupitia elimu ya watu wazima au ngumbaru huko nchini  Kenya. Tayari wanufaika wameanza kuona matunda. Thelma Mwadzaya anakupitisha katika mtaa wa mabanda wa Kiambiu, huko Eastleigh jijini Nairobi. Habari kwa ufupi inamulika usaidizi wa WFP kwa Somalia, ziara ya Priyanka Chopra-Jonas, balozi mwema wa UNICEF huko Turkana nchini Kenya, halikadhalika ziara ya Katibu Mkuu wa UN nchini India, Antonio Guterres alikozindua mtindo bora wa maisha wa kuwezesha kuhifadhi sayari dunia. Na leo kujifunza kiswahili tunakuletea methali isemayo,  Paka hakubali kulala chali, mchambuzi ni Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa BAKIZA, Zanzibar nchini Tanzania. Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Song Exploder
Book Exploder: Tayari Jones - An American Marriage

Song Exploder

Play Episode Listen Later Sep 28, 2022 18:26


Tayari Jones is the author of four novels. She won the 2019 Women's Prize for Fiction, and received a Lifetime Achievement Award in Fine Arts from the Congressional Black Caucus. Her novel An American Marriage was an Oprah's Book Club Selection, and was longlisted for the National Book Award. She won the NAACP Image Award for Outstanding Literary Work in Fiction. An American Marriage tells the story of Celestial and Roy, a Black middle-class couple living in Atlanta. Their lives are torn apart after Roy is wrongfully convicted of a crime he did not commit, and the middle of the book takes the form of letters they send each other while he's in prison. In her discussion with Susan, Tayari discusses the letter Celestial sends to Roy to tell him she is leaving him. For more, visit bookexploder.com/episodes/tayari-jones.

VOA Express - Voice of America
Zuma asema yuko tayari kurudi kwenye siasa licha ya tuhuma za rushwa - Septemba 27, 2022

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Sep 27, 2022 29:56


Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma, ambaye anakabiliwa na mashtaka ya rushwa na kutumikia kifungo cha muda mfupi gerezani, amesema yuko tayari kurejea katika siasa akibaki na chama tawala cha ANC.

Jukwaa la Michezo
Kuelekea kombe la dunia nchini Qatar, mataifa mbalimbali yajiweka tayari

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Sep 24, 2022 23:50


Baadhi ya matukio tunayoangazia hivi leo ni pamoja na mechi za kirafiki katika mchezo  wa soka. Mashindano ya Shule za sekondari kwa mataifa ya Afrika Mashariki, miongoni mwa mengine.

SBS Swahili - SBS Swahili
Wafanyakazi wako tayari kuwasili Australia kujaza mapengo ya ajira

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Sep 4, 2022 7:57


Serikali ya shirikisho imesema ita harakisha ujio wa wafanyakazi kutoka visiwa vya Pasifiki nchini Australia, kwa ajili yaku shughulikia uhaba mkubwa wa wafanyakazi katika sekta ya kilimo.

Habari za UN
Shehena ya nafaka kutoka Ukraine yawasili Djibouti

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 31, 2022 2:08


Hatimaye meli iliyokodiwa na Umoja wa Mataifa iliyokuwa imepakia tani 23,000 za ngano kutoka Ukraine inayopeleka kwa mamilioni ya watu wenye uhitaji wa chakula nchini Ethiopia ilitia nanga katika nchi jirani ya Djibouti. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi Ukame mkali kwa zaidi ya misimu minne mfululizo umewaacha watu milioni 22 kutoka nchi za pembe ya Afrika ambazo ni Ethiopia, Kenya na Somalia katika uhitaji mkubwa wa misaada ya kibinadamu.  Vita ya Ukraine na Urusi ilifanya hali kuwa mbaya zaidi kwa mataifa haya kwakuwa wanategemea nafaka kutoka Ukraine kwa ajili ya msaada wa chakula. Lakini sasa Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula duniani WFP kanda ya Afrika Mashariki Mike Dunford anasema meli yenye shehena ya tani 23,000 za ngano imetia nanga katika bandari ya nchi jirani ya Djibouti tayari kusafirishwa kuingia Ethiopia. Dunford anasema “Chakula kilicholetwa na meli hii ya kamanda shujaa kitalisha watu milioni 1.5 kwa mwezi mmoja nchini Ethiopia. Hii italeta utofauti mkubwa sana kwa watu ambao kwa sasa hawana chochote. Na sasa WFP itaweza kuwapatia mahitaji yao ya kimsingi.” Tangu Umoja wa Mataifa kufanikisha kusainiwa makubaliano ya Mpango wa Nafaka wa Bahari Nyeusi ulioruhusu meli ya Ukraine kusafirisha nafaka, tayari meli takriban 114 zilizobeba shehena ya tani milioni 1.2 za chakula zimesafirishwa katika soko la kimataifa na maeneo ya misaada kama hii ilitoleta nafaka Ethiopia na Mkuu huyo wa Kanda wa WFP anasema...  "Tayari tumeona bei ya ngano imepungua kwa asilimia 15 duniani kote tangu mpango wa Bahari Nyeusi kuanza. Tunachotaka kuona ni chakula kinatiririka zaidi. Tunahitaji, kwa mtazamo wa WFP, mamilioni ya tani katika eneo hili. Nchini Ethiopia pekee, robo tatu ya kila kitu tulichokuwa tukisambaza kilitoka Ukraine na Urusi.”

Habari za UN
Wakimbizi wa Burundi wapewa vyeti vya kuzaliwa Tanzania

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 29, 2022 2:01


Asante Tanzania mwanangu sasa atajulikana alipozaliwa :Mkimbizi Evangeline  Familia za wakimbizi wa Burundi wanaoishi kwenye kambi ya Nyarugusu mkoani Kigoma nchini Tanzania wameishuru serikali ya taifa hilo la Afrika Mashariki kwa kuwapatia nyaraka muhimu za watoto wao, vyeti vya kuzaliwa wakati wa ziara ya Kamisha Mkuu wa wakimbizi Filippo Grandi iliyokamilika mwishoni mwa wiki. Happiness PPalangyo na taarifa zaidi (TAARIFA YA HAPINESS PALANGYO) Katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu Kigoma familia hizi za wakimbizi zinafurahia kitu ambacho wengi wanakiona cha kawaida kabisa na hawakitilii maanani, vyeti vya kuzaliwa . Miongoni mwa waliokabidhiwa vyeti hivyo na kamishina mkuu wa wakimbizi Filippo Grandi wakati wa ziara yake Kigoma ni Evangeline mkimbizi kutoka Burundi ambaye anasema   “Nyaraka hizi zitanisaidia kuonyesha wapi watoto wangu walipozaliwa na pia zitawasaidia kupata msaada”  Wakati wa ziara yake kambini hapo Grandi na wazazi hao wamekaribisha hatua hiyo ya Tanzania ya kuwasaidia kupata nyaraka muhimu ili waweze kupata huduma za msingi nchini humo, na siku moja watakaporejea nyumbani . Angelene anasema hadi sasa  “Tayari nimeshapokea vyeti viwili vya kuzaliwa vya watoto wangu na nasubiri cha mtoto wa tatu.”  Kwa upande wake Grandi amesisitiza kuwa “Kwa watoto wanaozaliwa ukimbizini kutokuwa na cheti cha kuzaliwa kunaweza kuwatumbukiza katika janga la kutokuwa na utaifa wakikua. Pia katika hali ya kusafirishwa hiki ni kitu kimoja muhimu. Ni muhimu sana wao kurejea nyumbani na kuwa na kitu kinachothibitisha utambulisho wao.”  Tanzania imekuwa ikikaribisha na kukikirimu wakimbizi kwa miongo mingi na hivi sasa inahifadhi zaidi ya wakimbizi na waomba hifadhi 240,000 wengi wakiwa ni kutoka Burundi na Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo DRC. 

Jioni - Voice of America
IEBC yasema ipo tayari kwa uchaguzi wa Kenya - Agosti 01, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 1, 2022 29:59


Tume ya uchaguzi ya Kenya, imesema kwamba maandalizi ya uchaguzi mkuu wa wiki ijayo yamekamilika. UN yataka uchunguzi kufanyika wa mauaji ya walinda amani wa MONUSCO, Kivu Kaskazini. Tanzania yaunda kamati kuchunguza utoaji wa mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu.

Alfajiri - Voice of America
China inasema iko tayari kuzisaidia nchi za eneo la Pembe ya Afrika kupata amani na kuondokana na kile ilichokiita uingiliaji wa nje - Juni 21, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 21, 2022 29:59


Mjumbe maalum wa China kwa Pembe ya Afrika Xue Bing alitoa maoni kwenye mkutano wa kwanza wa China juu ya utawala na maendeleo katika pembe ya Afrika unaofanyika nchini Ethiopia kwamba machafuko, mgawanyiko wa kikanda unaongezeka huku amani na maendeleo yanakabiliwa na upinzani

Well-Read Black Girl with Glory Edim
Tayari Jones Writes to Heal Her Readers

Well-Read Black Girl with Glory Edim

Play Episode Listen Later May 17, 2022 37:03


Glory speaks with author Tayari Jones about her award-winning novel An American Marriage. In this episode, the women talk about the healing power of Tayari's work, her long writing process, and the value of sisterhood in her life. Glory also talks about a heartfelt memento she received from the author that she keeps close by on her own writing desk.  See omnystudio.com/listener for privacy information.

Habari za UN
27 Aprili 2022

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 27, 2022 13:57


Jaridani Aprili 27, 2022 na Leah Mushi kwanza ni habari kwa ufupi- Takriban dola bilioni 1.4 zimeahidiwa na wafadhili kwa ajili ya kusaidia nchi zilizoko katika pembe ya Afrika zinazokabiliwa na ukame mkali kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka 40. Ahadi hizo zimetolewa jijini Geneva, Uswisi katika mkutano wa ngazi za juu ulioandaliwa na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya dharura -OCHA na Shirika la Muungano wa Ulaya la Ulinzi la Kiraia na Operesheni za Misaada ya Kibinadamu -ECHO, na kuhudhuriwa na wawakilishi wa serikali wa nchi zilizoathiriwa na ukame za Somalia, Kenya na Ethiopia. Ahadi hizo za fedha zitasaidia mashirika ya kibinadamu kutoa chakula cha dharura, lishe, fedha taslimu na usaidizi wa kiafya, pamoja na malisho na dawa ili kuweka mifugo hai. Tayari watu milioni 1 wameyakimbia makazi yao kutokana na ukosefu wa maji au malisho, na mifugo isiyopungua milioni 3 imekufa.   =====================================  Leo Aprili  27, Uingereza imetarifu Shirika la afya la Umoja wa Mataifa, WHO kuhusu kundi la wagonjwa wenye maambukizi ya Salmonella Typhimurium. Uchunguzi ulihusisha mlipuko huo na chokoleti inayotengenezwa nchini Ubelgiji, ambayo imesambazwa kwa angalau nchi 113. Tahadhari ya kimataifa ilitolewa na INFOSAN tarehe 10 Aprili, na kuanzisha mkakati wa kimataifa wa kurejeshwa kwa bidhaa. Kufikia sasa, jumla ya wagonjwa 151 wanaohusishwa na genetiki zinazoshukiwa kuhusishwa na ulaji wa bidhaa za chokoleti husika wameripotiwa  kutoka nchi 11. Hatari ya kuenea katika kanda ya Ulaya ya WHO na kimataifa inatathminiwa kuwa ya wastani hadi taarifa zipatikane juu ya urejeshaji kamili wa bidhaa hizo.    ============================= Na Binti mfalme Basma bint Ali wa Jordan leo ameteuliwa kuwa balozi mwema wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na kilimo, FAO kwa Mashariki ya Karibu na Kaskazini mwa Afrika.  Katika jukumu lake jipya Binti mfalme atasaidia FAO kuongeza ufahamu kuhusu umuhimu wa kubadilisha mifumo ya kilimo cha chakula duniani, ili kuondokana na changamoto za kuendelea na kukua kwa njaa.  Mkurugenzi Mkuu wa FAO QU Dongyu amesema kuwa Binti Mfalme amekuwa muungaji mkono wa muda mrefu wa FAO na mtetezi na mjuzi wa uhifadhi wa bayoanuai duniani kote na kusema, "Ufalme wake umeongeza ufahamu kwa watu wa Jordan na watu wote wa Mashariki ya Karibu. na Afrika Kaskazini  kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mimea asilia na mifumo ikolojia na kukuza utafiti wa bayoanuai na ujifunzaji wa mazingira, ambayo ni msingi wa kuhakikisha mifumo endelevu ya chakula cha kilimo na kuboresha uhakika wa chakula.  Katika mada kwa kina  tutapata ujumbe kutoka kwa washiriki kutoka Burundi kwenye mkutano wa jukwaa la kudumu la watu wa asili ulioanza wiki hii. Na katika mashinani ni ujumbe wa rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu ufunguzi wa jukwaa la kudumu la watu wa asili.

Truth Lies Shenanigans™
Ep 29: Dr. Tayari Kuanda. Plus, Patrick Lyoya, Cam Newton, and Ukraine.

Truth Lies Shenanigans™

Play Episode Listen Later Apr 19, 2022 63:39


Guest: Dr. Tayari Kuanda, Professor and Entrepreneur, will share his road to success and talk about some of his projects, including his efforts toward racial equality. Topics: The murder of Patrick Lyoya and the policing of minor violations, Cam Newton's misogynistic comments, and the war in Ukraine. -------------------------------------Find out more about Dr. Kuanda:  https://linktr.ee/DrKuanda-------------------------------------Follow your Hosts: Gianni Storm- https://www.instagram.com/giannistormmm/RobBRoK - https://www.youtube.com/channel/UCn9HEd6jqKwM9SZe4YEDajwLiz-E- https://www.facebook.com/lize.enders.3Nio Nyx - https://www.tiktok.com/nio_nyx------------------------------------Check Out the After Show: www.TLSfans.comSupport the show (https://www.paypal.com/donate?hosted_button_id=52QR3YKJZ4PAS)

Beauty Talk with Denise & Janice Tunnell
Beauty Talk with Barber Tayari "Groomcity" Edwards

Beauty Talk with Denise & Janice Tunnell

Play Episode Listen Later Mar 14, 2022 74:00


We are Excited about this Sunday night's show.  Join us LIVE at 9pm EDT/6pm PDT for Beauty Talk.  We are speaking with Tayari "GroomCity" Edwards, a Professional Barber perfecting the game! Tayari joins us to talk about his career as a Barber, What its like to groom some of Hollywood's finest, and his work on The Fresh Prince of Belair reboot, Bel-Air.  This is one that you are not going to want to miss. Please tell a friend and join us for Beauty Talk, the Hottest Beauty Conversation Online.  

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Hatupaswi kungojea Mungu atupe nguvu. Tayari tunayo. Jifunze jinsi ujuzi huo unaweza kutusaidia kushinda changamoto tunazokabiliana nazo.

mungu tayari jifunze mamlaka
Habari za UN
Wakimbizi kutoka DRC walioko Zambia waamua kurejea nyumbani kwa hiari

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 21, 2021 2:28


Takribani wakimbizi 5,000 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambao walikimbilia nchi jiraniya Zambia miaka minne iliyopita kutokana na machafuko nchini wao wameamua kwa hiari kurejea nyumbani. Anold Kayanda anafafanua zaidi. Msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR jijni Geneva, Uswisi, Babar Baloch amewaeleza waandishi wa habari hii leo kuwa awamu ya kwanza ya wakimbizi 100 inaanza kuondoka leo Jumanne huku wengine katika siku zijazo. Wakimbizi hao wanasafiri kutoka  makazi ya wakimbizi ya Mantapala jimboni Luapula nchini Zambia kuelelea mji wa Pweto jimbo la Haut-Katanga nchini DRC kufuatia hali ya usalama kuimarika na wanasafiri katika mazingira salama na ya kiutu. Mwezi Oktoba mwaka huu, UNHCR ilifanya utafiti miongoni mwa wakimbizi kuhusu kurejea nyumbani ambapo 4,774 walisema wako tayari kurejea kwa hiari kupitia makubaliano ya utatu  yam waka 2006 ya kurejesha nyumbani wakimbizi kwa hiari baina ya UNHCR, serikali za Zambia na DRC. Tayari wakimbizi wengine 20,000 walisharejea jimboni Haut-Katanga tangu mwaka 2018 kutoakana na  hali ya usalama kuimaika. Bwana Baloch amesema UNHCR inashirikiana na mamlaka za DRC na wadau wa maendeleo kama vile CARITAS kusongesha miradi ya kufanikisha wakimbizi kutangamana vyema kwenye jamii zao, miradi kama vile ya kilimo, elimu na afya. Takribani wakimbizi 18,000 kutoka DRC wanaishi sambamba na wazambia wakitegemea shughuli za kilimo kwenye makazi ya Mantapala huko Zambia, makazi yaliyoanzishwa mwaka 2018 kuhifadhi wakimbizi hao waliokimbia mapigano ya kikabila na mapigano kati ya vikosi vya usalama DRC na waasi kusini mashariki mwa DRC mwaka 2017. Usafiri wa wakimbizi na virago vyao umetolewa na UNHCR na shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani, WFP na wakifika DRC watapatiwa kiasi cha fedha kuanza upya maisha yao. Katika kituo cha mapokezi wilayani Chiengi, UNICEF imeandaa malazi kwa wakimbizi wanaorejea wakisubiri mchakato wa uhamiaji kabla ya kufika nyumbani huku huduma za kupima virusi vya Corona au COVID-19 nazo zikilitolewa na kwenye makazi ya Mantapala kabla ya kuanza safari. Zambia inahifadhi wakimbizi na wasaka hifadhi 103,028 ambapo kati yao hao 63,681 wanatoka DRC.  

SBS Swahili - SBS Swahili
Navazu Ozegbe tayari kutengeza historia katika uchaguzi wama diwani wa Fairfield New South Wales

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 1, 2021 17:23


Kampeni za uchaguzi wa udiwani katika halmashauri ya jiji la Fairfield, NSW zina endelea kwa kina siku chache zikiwa zinasalia kwa wapiga kura kutoa hukumu yao.

Delco Nerd Network
HALO 3 ODST #19: Tayari Plaza & Uplift Reserve | DNN Re3

Delco Nerd Network

Play Episode Listen Later Oct 13, 2021 35:21


Hosts: Anthony Ragucci & Chris Trio Guest Host: Chris Geddes Join our community! https://discord.gg/JwK9RDXXFm Check us out on your favorite podcast app! Apple Podcasts- https://apple.co/356utFa Spotify- https://spoti.fi/2XcfDZd Watch us live on twitch at twitch.tv/delconerdnetwork! Follow Us! https://www.flow.page/delconerds Intro and Outro Music by F1NG3RS http://F1NG3RS.com https://youtube.com/user/F1NG3RSMUSIC https://twitter.com/F1NG3RSMUSIC https://facebook.com/f1ng3rsmusic

Sepetuko
Sepetuko Podcast; Nani yu tayari kuiga njia aliyofuata Dkt John Pombe Magufuli?

Sepetuko

Play Episode Listen Later Oct 13, 2021 5:37


Viongozi wa One Kenya Alliance waashiria kutaka kujenga uadilifu kwenye siasa za nchi na kwenye utumishi wa umma. Kwenye kampeni zao Makueni wamezungumzia uaminifu. Je watafanikiwa katika nchi inayoathirika kwa utumbili usungura na ufisi?

Habari za UN
WHO na wadau wataka hatua zaidi kukabili homa ya uti wa mgongo

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 28, 2021 2:17


WHO na wadau wataka hatua zaidi kukabili homa ya uti wa mgongo Hii leo shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO na wadau wake wamezindua mkakati wa kwanza wa aina yake wa kutokomeza ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo, ugonjwa ambao unaua mamia ya maelfu ya watu kila mwaka. Mkakati huo, kwa mujibu wa WHO utaokoa maisha ya zaidi ya watu 200,000 kila mwaka. (Taarifa ya Flora Nducha) WHO kupitia taarifa yake iliyotolewa leo mjini Geneva, Uswisi inasema mkakati huo wa kutokomeza homa ya uti wa mgongo hususan ile inayosababisha na vimelea, itapunguza vifo kwa asilimia 70 na kupunguza kwa asilimia 50 wagonjwa. Ukipatiwa jina, Mpango wa kimataifa wa kutokomeza homa ya uti wa mgongo ifikapo mwaka 2030, mkakati huo unalenga kuzuia maambukizi na kuboresha tiba na uchunguzi kwa wale ambao tayari wameambukizwa. Akizungumzia ugonjwa huo, Mkurugenzi Mkuu wa WHO Dk. Tedros Ghebreyesus amesema “popote pale ugonjwa huo unapotokea, unaweza kusababisha ulemavu au kifo. Unaingia haraka, una madhara makubwa kiafya, kiuchumi na kijamii na unasababisha mlipuko wenye madhara makubwa. Ni wakati wa kukabili homa ya uti wa mgongo duniani na kuitokomeza kwa kupanua wigo wa upatikanaji wa chanjo, kusongesha tafiti na ubunifu, kubaini na kutibu aina zote za homa hii na kuimarisha huduma za usaidizi kwa wale waliougua ugonjwa huu.” Katika kipindi cha miaka 10 iliyopita, milipuko ya homa ya uti wa mgongo imeripotiwa katika kanda zote za dunia ingawa eneo lijulikanalo kama Ukanda wa Homa ya Uti wa Mgongo linalosambaa katika nchi 26 za Afrika zilizo kusini mwa jangwa la Sahari ndiko ulishamiri zaidi. Mlipuko hautabiriki na unaweza kuathiri mfumo wa afya na kusababisha umaskini. Tayari kuna chanjo kadhaa za kukinga dhidi ya homa ya uti wa mgongo lakini si jamii zote zenye uwezo wa kupata chanjo hizo na katika nchi nyingine bado chanjo hizo hazijajumuishwa katika programu za chanjo za kitaifa. WHO na wadau wake wamesema watasaidia nchi kutekeleza mkakati huu ikiwemo kuandaa mipango ya kitaifa na kikanda ambayo itasaidia nchi kufikia malengo yao. Homa ya uti wa mgongo ni ugonjwa hatari unaosababisha kuvimba kwa ngozi zinazonguka ubongo na uti wa mgongo na husababishwa na maambukizi yanayosababisha na vimelea na virusi. TAGS: WHO, Homa ya Uti wa Mgongo  

Discussions with Devin Nash
Twitch's New BRAND RISK Score

Discussions with Devin Nash

Play Episode Listen Later Sep 15, 2021 35:39


The Twitch API was recently updated via Amazon's ad portal VAES for their automated ad system. Discovered via community members Tayari and Saysera, it was found that Twitch added several qualifiers to their ad targeting system including brand safety score, ban history, games played, automod enable, and manual ratings from Twitch staff. This sparked a popular Reddit thread where people surmised that Twitch was implementing a safety score for all its broadcasters. Of course the issue is more nuanced. In this video we discuss the Twitch ad system, how streamers make money, if Twitch can determine how much money you make, what CPMs are, and how Twitch interacts with CPMs. Is XQC a brand risk? Is TrainwrecksTV a brand risk? Are other streamers brand risks? Will a brand score effect how much money streamers get from ads? Many broadcasters believed this was the beginning of Twitch determining how much money streamers should make from advertising, but in reality this is a simple update to Twitch's ad system to better target.

RISE Urban Nation
Dr. William Tayari Howard - Award-winning Broadcast Journalist | Media Luminary | Philanthropist | Motivational Speaker | Author

RISE Urban Nation

Play Episode Listen Later Sep 13, 2021 60:24


Guest ProfileName: Dr. William Tayari HowardWhat They do:  Longtime radio personality William “Tayari” Howard has been sharing community stories on the air for the past 50 years. Tayari Howard is known to many in San Diego not only for his love of playing smooth jazz over the airwaves but also for his contributions to San Diego's nonprofit organizations and the city's under-served communities.Company: Legacy Media Publishing, Promotions, and Production, Inc.Noteworthy:  Dr. Howard has 50 years of telling San Diego's stories on the radio. He spent 16 years at XHRM-FM Magic 92.5, and 16 years at Smooth Jazz KIFM 98.1. He has supported causes targeting homelessness, poverty, the educational needs of Black children and military veterans.He also organized many events and festivals in southeastern San Diego. He collaborated with the Coast Guard to fly a Black Santa Claus in a helicopter to southeastern San Diego events for several years.He has raised about $1.8 million for more than 30 nonprofit organizations. You can read more about his accomplishments in the article from the San Diego Union Tribune: https://www.sandiegouniontribune.com/communities/san-diego/story/2020-11-29/after-50-years-of-telling-san-diegos-stories-on-the-radio-william-tayari-howard-retires-to-share-his-ownBioDr. William Tayari Howard is an award-winning broadcast journalist and media luminary. He has worked in radio, television and newsprint for the past fifty years. Accumulating over 50,000 hours on radio and television he has also spent a significant amount of time in the newsprint profession. Today, he specializes in Media Relations, Digital Internet Radio Programming, Public Relations, Special Event Promotions, Nonprofit Organizational Development, Authoring, STEM mentoring, and Public speaking.He is the second of three generations of his family spanning ninety-one years in the business of broadcasting. His mother is credited as one of the first black female radio personalities and producers in the United States. His father spent twenty-one years in radio and is credited for breaking such acts as James Brown and Diana Ross, He has two grown daughters that have also worked in the broadcast industry.Dr. Howard has received numerous awards including "William Tayari Howard Day" in the city of San Diego and acknowledgments by two US Presidents, George Bush, Jr., and a "Lifetime Achievement Award" for philanthropy and volunteerism from Barack Obama.The new corporation, Legacy Publishing, Promotions, and Production centers around his life and times in the business of broadcasting, his family's legacy, TedX Talks, other speaking engagements and the writing and production of movies made for prime tv and on-demand services.Connect with Dr. William Tayari Howard! Twitter: https://twitter.com/tayarihoward?lang=enLinkedIn: https://www.linkedin.com/in/tayarihoward/Facebook: https://www.facebook.com/williamtayarihoward/

Habari za UN
JULY 02, 2021

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 2, 2021 9:56


Karibu usikilize Jarida ambapo leo utasikia kuhusu kurejea kwa operesheni za WFP za kusambaza chakula jimboni Tigray nchini Ethiopia baada ya kusitisha wiki iliyopita kutokana na mashambulizi kutoka jeshi la nchi hiyo. Tayari shirika hilo limepatia msaada wa chakula takriban Watu 10,000 katika eneo la Adi Nebried. WFP inatarajia kuwafikia watu 30,000 mpaka mwishoni mwa wiki hi. 

The Swade Soul Show
Interview with Tayari Howard

The Swade Soul Show

Play Episode Listen Later May 6, 2021 40:20


Radio Industry Legend Tayari Howard stops by and fills us in on his life story and his impact on Southern California Black History. --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app --- Send in a voice message: https://anchor.fm/swadesoul/message

TIMIZA MALENGO YAKO
Uwe Tayari Kusubiri

TIMIZA MALENGO YAKO

Play Episode Listen Later Apr 4, 2021 6:10


Follow me onInstagram@joelnanauka_Youtube: Joel NanaukaFacebook@jnanaukaTwitter@jnanauka

SIRI ZA BIBLIA
HERI WAFU WAFAO KATIKA BWANA/KAA TAYARI

SIRI ZA BIBLIA

Play Episode Listen Later Mar 25, 2021 1:12


1 Wathesalonike 4:13-18 BHN Ndugu, twataka mjue ukweli kuhusu wale ambao wamekwisha fariki dunia, ili msipatwe na huzuni kama watu wengine wasio na matumaini. Sisi tunaamini kwamba Yesu alikufa, akafufuka; na hivyo sisi tunaamini kwamba Mungu atawaleta pamoja na Yesu wale wote waliofariki wakiwa wanamwamini. Hili tunalowaambieni ni fundisho la Bwana, kwamba sisi tulio hai, ambao tutakuwa tumebaki wakati Bwana atakapokuja, hakika hatutawatangulia wale waliokwisha fariki dunia. Maana patatolewa amri, sauti ya malaika mkuu, sauti ya tarumbeta ya Mungu, naye Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni. Ndipo wale waliokufa wakiwa wanamwamini Kristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai wakati huo tutakusanywa pamoja nao katika mawingu kumlaki Bwana hewani. Na hivyo tutakuwa daima pamoja na Bwana. Basi, farijianeni kwa maneno haya. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/siri-za-biblia/message

DMPL Podcast
7 Questions with AViD Author Tayari Jones

DMPL Podcast

Play Episode Listen Later Mar 24, 2021 20:44


AViD author Tayari Jones takes part in the DMPL Podcast ahead of her virtual visit this coming Saturday. She talks about her favorite story growing up, the scene she considered toughest in her award-winning novel An American Marriage, and when she thinks she writes best.  Tayari Jones will be taking part in AViD on Saturday, March 27, at 3:00 PM as part of the DSM Book Festival. You can register for the event on our AViD page. Show Notes Tayari Jones' Books An American Marriage (2018) Silver Sparrow (2011) The Untelling (2005) Leaving Atlanta (2002) Tayari Jones on the Web Tayari Jones | Website Tayari Jones | Facebook Tayari Jones | Instagram Tayari Jones | Twitter Tayari's Recommendations "Trees" by Joyce Kilmer Mercy, by Lucille Clifton The Tradition, by Jericho Brown The Street, by Ann Petry All the Devils are Here, by Louise Penny The Kindest Lie, by Nancy Johnson A Promised Land, by Barack Obama

SIRI ZA BIBLIA
REV:ANDULILE MBWILE: KUFA UTAKUFA TU,UWE TAYARI WAKATI UNAOFAA NA USIOFAA 01

SIRI ZA BIBLIA

Play Episode Listen Later Mar 22, 2021 18:28


Mafundisho ya neno la Mungu kutoka kwa mtumishi wa Mungu Mwinjilisti Andulile,katika kipindi cha maombolezo ya kitaifa kwa taifa la Tanzania. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/siri-za-biblia/message

SIRI ZA BIBLIA
Je uko tayari? Tambua wakati na kusudi la maisha yako

SIRI ZA BIBLIA

Play Episode Listen Later Feb 9, 2021 5:58


Kila kitu kwenye maisha ya mwanadamu kimebebwa na WAKATI. KUSUDI la wewe kuwa duniani limebebwa na WAKATI. Ni TIMELINE ya maisha yako mpaka siku ya mwisho. Timeline maana yake ni MUDA => TUKIO. 1965 => KUZALIWA 2007 => KUFA KUZALIWA na KUFA, hayo ni MATUKIO mawili makubwa yaliyopo kwenye timeline ya kila mwenye PUMZI. KATIKATI hapo kuna matukio mengine, yaliyoambatana na muda kulingana na KUSUDI na mapenzi ya MUNGU kwenye maisha yako. Kama vile ambavyo matukio mbalimbali yametokea na kubadilika kwenye maisha yako, yani ulizaliwa, ukakua na sasa uko hivyo jinsi ulivyo; hiyo ni timeline yako inazidi kusogea, sasa hatujui kama timeline yako na ya MUNGU juu yako zinafanana au uliamua kutengeneza ya kwako, sasa hilo ni somo la siku nyingine. BASI uwe na UHAKIKA kabisa kuna MWISHO wa WEWE kuwa hapa duniani. Baada ya MWISHO au KIFO hakuna kingine kinachofuata bali ni HUKUMU (Waebrania 9:27) HUKUMU ni TAMKO ambalo kila mmoja atapokea kama IJARA ya mambo aliyotenda akiwa duniani, kwa kadiri alivyotenda, kwamba ni MEMA au MABAYA(2Wakorintho5:10). HIYO siku hakutakuwa na nafasi ya kujitetea. Hakuna kusema nilikuwa sijui, kwasababu kila mwenye pumzi lazima aisikie INJILI, ni yeye mwenyewe kuamua kuamini au kutoamini. Hiyo siku hakutakuwa na KUKATA RUFAA. Hukumu ikitoka imetoka. Wala pesa hazitafanya kazi kwako. Hakutakuwa na rushwa. Wala hakutakuwa na MATABAKA, kwamba huyu alikuwa raisi, waziri, celebrity, bongo movie maarufu, huyu alikuwa na followers milioni 8, huyu alikuwa miss Tanzania, huyu alikuwa na tuzo lukuki, huyu alikuwa mfanya biashara maarufu. Hakutakuwa na “wakili msomi” wa kukutetea, kwasababu hata yeye atasimama kwenye kiti cha hukumu ahukumiwe, kama alidhurumu watu basi hiyo siku itajulikana. Hapo ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno. “Ndivyo itakavyokuwa katika mwisho wa dunia; malaika watatokea, watawatenga waovu mbali na wenye haki, na kuwatupa katika tanuru ya moto; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno” (Mathayo 13:49-50) MUNGU ANASISITIZA KUGEUKA kwa wanadamu na kusisitiza juu ya NYAKATI za mwisho. Na kila mmoja AKAIONE neema ya MUNGU na UPENDO WAKE ili asiangamie siku ya mwisho. ENDELEA KWENYE POST INAYOFUATA --- Send in a voice message: https://anchor.fm/siri-za-biblia/message

Radio Uhai Broadcast
Mkioana Tayari Soko Lenu Limeisha (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Feb 8, 2021 64:00


SBS Swahili - SBS Swahili
Serikali ya taifa yasema iko tayari kwa utoaji wa chanjo za coronavirus

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 7, 2021 7:12


Serikali ya shirikisho imetangaza kuwa vyeti vitatolewa, kwa watu ambao watakuwa wame chanjwa, iwapo thibitisho itahitajika kwa ajili ya safari au kazi.

Keep It Daygo
San Diego radio legend, William "Tayari" Howard, drops industry wisdom and more.

Keep It Daygo

Play Episode Listen Later Jan 16, 2021 31:15


San Diego radio legend, William "Tayari" Howard, speaks on three generations of radio and drops nuggets of wisdom for today's music artists. --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app --- Send in a voice message: https://anchor.fm/robert-wood91/message

SBS Swahili - SBS Swahili
Jitayarishe: Vidokezo rahisi ili kujiweka tayari na nyumba yako kwa msimu wa moto wa vichaka

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 22, 2020 8:26


Kusimamia hatari ya moto wa vichaka kwa nyumba yako na familia kunamaanisha, kuwa tayari. Wataalam wanashauri kwamba watu ambao wanaishi katika maeneo yanayokabiliwa na moto wa msitu wanahitaji mpango wa dharura. Mtayarishaji wetu Frank Mtao anafafanua zaidi.

Radio Uhai Broadcast
Huyo Ana Dhambi Tayari ,Anajaribu Kuificha Tu (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Nov 10, 2020 30:00


Bookclub
Tayari Jones - An American Marriage

Bookclub

Play Episode Listen Later Nov 1, 2020 29:53


Tayari Jones discusses An American Marriage, which won the Women's Prize for Fiction 2019. The novel tells the story of Roy and Celestial, a newly wed and successful African-American couple in Atlanta whose marriage is tested when the husband is imprisoned for a crime he didn't commit. The book tackles the shadow cast by the judicial system over many African-American lives. Tayari tells Bookclub how the novel was inspired by an exchange she overheard between a man and a woman at a shopping mall. "The woman said - Roy, you wouldn't have waited on me for seven years. And he said, This wouldn't have happened to you in the first place." Presented by James Naughtie and including questions from this month's group of readers. To take part in future Bookclubs, email bookclub@bbc.co.uk December's Bookclub Choice : Legend of a Suicide by David Vann (2009) Presenter : James Naughtie Interviewed Guest : Tayari Jones Producer : Dymphna Flynn Studio Manager : Emma Harth

Hush
Episode 35: Secrets We Keep

Hush

Play Episode Listen Later Oct 5, 2020 30:34


Can you keep a secret? This week's theme is all about secrets spilling over. Unearth some of our hosts' secrets as they tell you about books in which the secrets just can't stay secret. The Bookmark podcast is your place to find your next great book. Each week, join readers Miranda Ericsson, Chris Blocker and Autumn Friedli along with other librarians as they discuss all the books you'll want to add to your reading list.

Habari za UN
Yemi Alade: Niko tayari kujitolea kwa nguvu zangu zote kufanikisha malengo ya UNDP

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 25, 2020 1:46


Mwanamuziki Yemi Alade, raia wa Nigeria ambaye hivi karibuni ametangazwa kuwa Balozi mwema wa shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa maendeleo UNDP amesema malengo ya UNDP yanaendana na malengo yake kwa hivyo atajitolea kwa uwezo wake wote.  Assumpta Massoi na maelezo zaidi.

Habari za UN
Umoja wa Mataifa una fursa nyingi, muhimu vijana tuwe tayari na tuwe na moyo wa kujitolea-Hilda Phoya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 21, 2020 3:07


“Umoja wa Mataifa una fursa nyingi ambazo ikiwa vijana tutakuwa na moyo wa kujitolea na bidii ya kazi, tunaweza kunufaika nazo,” hayo ni maoni ya Hilda Phoya, mwanafunzi ambaye hivi karibuni amehitimisha mafunzo kwa vitendo katika Kituo cha habari za Umoja wa Mataifa UNIC Dar es Salaam Tanzania.  Katika mahojiano haya yaliyofanywa na Ahimidiwe Olotu wa Kituo hicho, Hilda anaanza kwa kueleza kilichomvutia kuchagua kwenda katika kituo hicho ili kukamilisha masomo yake ya elimu ya juu. 

Habari za UN
Lebanon yaomboleza, UNIFIL iko tayari kusaidia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 5, 2020 1:35


Nchini Lebanon, taifa hilo la Mashariki ya Kati liko katika siku ya maombolezo kufuatia mlipuko mkubwa wa jana katika mji mkuu Beirut uliosababisha vifo vya watu wapatao 100 huku zaidi ya 4000 wakijeruhiwa. 

It's All About Evolving
The InstaGrad2020 Movement With Dr. Tayari Kuanda

It's All About Evolving

Play Episode Listen Later Jun 17, 2020 22:50


Dr. Tayari Kuanda was born in Detroit MI. He is the sixth of seven children (four boys and three girls). Though he grew up in poverty in Detroit, he credits the love of family and divine blessings for enabling him to transcend the troubles of the inner city. At the age of 15, he chose to accompany his mother and youngest sister to South Central Los Angeles as they sought a new life. Again, it was blessings and the love of family that enabled him to navigate through the violence, poverty, homelessness, and detriments of another of America’s most challenging cities. As a result, he was the first of his family to graduate high school. He graduated from Los Angeles Crenshaw High School in 1989.In this episode, Dr. Tayari spoke about his new movement called Instagrad2020, he shared in detail what it's about and why he started it.Connect with Tayari on Social Media @instagrad2020 Website: www.instagrad2020.netContact Us at itsallaboutevolving@gmail.comSocial media platforms:@itsallaboutevolving Tweet us: @allabtevolving YouTube Channel: It's All About Evolving Learn More About Our Life Coaching Services: https://calendly.com/itsallaboutevolvingpodcast/discovery-call

Death, Sex & Money
A Weekend Homework Assignment From Tayari Jones

Death, Sex & Money

Play Episode Listen Later Apr 10, 2020 9:09


When I checked in with writer Tayari Jones recently, we talked about how the past few weeks of isolation have been a time of self-discovery for her. "I feel that I'm living more for myself," she told me. "I think that is the positive thing that I'm learning about who I am." One of the central things Tayari has learned is mastering different forms of connection, from how to teach her college students over Zoom to sending money to friends in need. The simplest way she's connecting? Greeting cards! "People love to receive cards and I have so many of them and I just imagined that if people are at home alone feeling isolated, wouldn't it be nice to get a card even if it's the wrong holiday?" In that spirit, this weekend we're asking you to send a greeting card to someone in your life. Send us pictures, record a voice memos and emails about what happened and send it to deathsexmoney@wnyc.org. Tayari Jones first joined us on the show in 2018 and returned in 2019 to interview Carrie Mae Weems for our Maternity Leave Lineup.  

Bay Area Book Festival Podcast
A Conversation with Tayari Jones

Bay Area Book Festival Podcast

Play Episode Listen Later Feb 27, 2020 70:11


Tayari Jones can “touch us soul to soul with her words,” said Oprah, who dubbed Jones’ newest novel a Book Club pick for 2018. In her work, Jones takes the scars of the American South, including traumas around wrongful incarceration, and rubs them raw. She is interviewed by Brooke Warner of She Writes Press. Sponsored by She Writes Press; also with the support of Women Lit members.

Elia Bennet Podcast
IRENE UWOYA: "NIKO TAYARI KWA NDOA YA 3, SIKUWAHI KUBADILI DINI

Elia Bennet Podcast

Play Episode Listen Later Feb 17, 2020 37:03


#ONAIRWITHMILLARDAYO #IRENEUWOYA

FREEDOM ACADEMY
18-Hujui unataka nini, kwani tayari mwezi unaisha leo 29th. |makavu live

FREEDOM ACADEMY

Play Episode Listen Later Jan 28, 2020 10:51


#Breakthrough2020 mwishoni mwa mwezi malengo uliweka je mangapi umetimiza leo ama kupiga hatua? Kama bado tambua wewe ni muhanga sijuwi ukitakacho ndani ya biashara yako jifunze

Girls in the Garden
EPISODE 010: Happy Ending

Girls in the Garden

Play Episode Listen Later Dec 31, 2019 52:47


2019 has been a year of many things, some good, some bad and some unfortunately ugly. Your best friends in your head are going to wrap this year up high school style! It’s time for some superlatives! Resources: “Reunion Part 2” Married to Medicine of Atlanta. Season 7, Episode 17. Bravo. 2019. https://www.bravotv.com/married-to-medicine/season-7/reunion-part-2 “A Whine of a Time” The Real Housewives of Atlanta. Season 12, Episode 9. Bravo. 2019. https://www.bravotv.com/the-real-housewives-of-atlanta/season-12/ep-9-a-whine-of-a-time “The Missed Opportunity of Love Is” Hannah Giorgis, The Atlantic 2019. https://www.theatlantic.com/entertainment/archive/2019/01/revisiting-love-after-salim-akil-allegations/579277/ All The SmokePodcast. Showtime Basketball. Episode 9. Dec.19,2019. Dwyane Wade | Ep 9 | Big 3, Zaire, Retirement | ALL THE SMOKE Full Podcast Books: Hosseini, Khaled. The Kite Runner, Riverhead Books, 2003. Hosseini, Khaled. A Thousand Splendid Suns, Riverhead Books, 2007. Jones, Tayari. An American Marriage. Oneworld Publications, 2018. Jones, Tayari. Silver Sparrow. OneWorld Publications, 2011. Music: “Something on October 16th” Kenny Waller, (2019). Official Instagram: @_girlsinthegarden Email: girlsinthegardenpodcast@gmail.com Associated Hashtag: #yourbestfriendsinyourhead

Girls in the Garden
EPISODE 009: Manifesting 2020

Girls in the Garden

Play Episode Listen Later Dec 18, 2019 29:53


As 2019 draws to a close, your best friends in your head sit down to discuss all 2020 has to offer, the peaks and valleys of 2019 and a few positive words of affirmation from the good book. Remember, a friend is one who can encourage and challenge you. So, how are you manifesting YOUR greatness in 2020? References: Exodus 14:14 - “The Lord will fight for you; you need only to be still.”” ‭‭Exodus‬ ‭14:14‬ ‭NIV‬‬ https://www.bible.com/bible/111/exo.14.14.niv Luke 1:45 - “Blessed is she who has believed that the Lord would fulfill his promises to her!”” ‭‭Luke‬ ‭1:45‬ ‭NIV‬‬ https://www.bible.com/bible/111/luk.1.45.niv Psalm 46:1-11 - “God is our refuge and strength, an ever-present help in trouble.” ‭‭Psalms‬ ‭46:1‬ ‭NIV‬‬ https://www.bible.com/bible/111/psa.46.1.niv Books: Jones, Tayari. An American Marriage. Oneworld Publications, 2018. Jones, Tayari. Silver Sparrow. OneWorld Publications, 2011. Music: “Something on October 16th” Kenny Waller, (2019). Instagram: @_girlsinthegarden Email: girlsinthegardenpodcast@gmail.com #yourbestfriendsinyourhead #girlsinthegardenpodcast

SBS Swahili - SBS Swahili
Burundian youth in Queensland embrance leadership responsibilities - Vijana wa jamii yawarundi wa Queensland tayari kuchukua fursa za uongozi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Oct 29, 2019 12:17


Queensland is home to a young growing and vibrant Burundian community. - Queensland ni nyumbani kwa jamii yawarundi ambayo ni changa lakini pia ni jamii mahiri.

Bay Area Book Festival Podcast
Writer to Writer: Esi Edugyan and Tayari Jones

Bay Area Book Festival Podcast

Play Episode Listen Later Jul 18, 2019 74:48


These novelists have received considerable praise, including a top ten nod from the New York Times and an Oprah’s Book Club pick. Edugyan’s magical realism explores slavery and freedom, and Jones depicts a modern marriage wrenched apart by a discriminatory American justice system. With the support of the Consulate General of Canada, San Francisco/Silicon Valley, She Writes Press and Zoetic Press.

Books On The Go
Ep 72: Lanny by Max Porter

Books On The Go

Play Episode Listen Later Jun 27, 2019 25:27


Anna and Annie discuss the Women's Prize winner, An American Marriage by Tayari Jones.  We update on the new book by Hilary Mantel and that mysterious billboard; and the Miles Franklin longlist. Our book of the week is Lanny by Max Porter, the follow-up to his best-selling, multi award-winning Grief is the Thing With Feathers.  He says Lanny is a book about 'parenting, friendship and English myth'.  It's also been described as a 'joyously stirred cauldron of words' (The Guardian).  Next week, Anna and Amanda will be reading Deep Time Dreaming by Billy Griffiths. Follow us! Facebook: Books On The Go Email: booksonthegopodcast@gmail.com Instagram: @abailliekaras and @mr_annie Twitter: @abailliekaras and @mister_annie Litsy: @abailliekaras and mr_annie Credits Artwork: Sascha Wilkosz

SBS Swahili - SBS Swahili
Six marginal seats up for grabs in WA - Maeneo bunge sita Magharibi Australia, tayari kunyakuliwa katika uchaguzi mkuu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 27, 2019 7:52


The Prime Minister and Opposition Leader will hold the first debate of the election campaign in Perth next week, where as many as six marginal seats are up for grabs. - Waziri Mkuu na kiongozi wa upinzani wata fanya mjadala wa kwanza katika kampeni ya uchaguzi mjini Perth wiki ijayo, ambako chama chochote kinaweza shinda takriban maeneo bunge sita.

Stories Behind the Story with Better Reading

Tayari Jones, American author, joins Cheryl Akle to talk about her book An American Marriage. Together they discuss how Tayari came to be a writer, and the intricacies of human relationships. See acast.com/privacy for privacy and opt-out information.

SBS Swahili - SBS Swahili
Are men ready to share leadership roles with women in church? - Je wanaume wako tayari kuchangia uongozi na wanawake kanisani?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 17, 2019 7:31


It's rare for African women to write books on religious topics, SBS Swahili attended the launch of Sheila Matete-Owiti's book: A Royal Priesthood. Here's what some of those who attended the launch told us about the book. - Ni nadra kwa wanawake wakiAfrika, kuandika vitabu kuhusu maswala yakidini.

Urdu bayan
Maut Ki Tayari Jumma bayan 8 march 2019 Peer Zulfiqar Ahmad Naqshbandi

Urdu bayan

Play Episode Listen Later Mar 10, 2019 37:46


urdy bayan by Peer Zulfiqar Ahmad Naqshbandi on Jumma bayan 8 march 2019

Halo Podcast Evolved
Mission Debrief Ep 36 - Halo 3 ODST - Tayari Plaza

Halo Podcast Evolved

Play Episode Listen Later Feb 1, 2019 35:53


We’re playing every mission of the mainline Halo video game series in chronological order and talking about our experiences with a little lore sprinkled in along the way.  If you’d like to play along and have your thoughts read on the show, email us at PodcastEvolved@gmail.com or drop us a tweet @PodcastEvolved on Twitter. THIS EPISODE This episode, we’re debriefing the Tayari Plaza from Halo 3: ODST. Enjoy!

Halo: Mission Debrief
Halo 3: ODST - Tayari Plaza

Halo: Mission Debrief

Play Episode Listen Later Feb 1, 2019 35:53


Welcome Spartans to Mission Debrief!  We’re playing every mission of the mainline Halo video game series in chronological order and talking about our experiences with a little lore sprinkled in along the way.  If you’d like to play along and have your thoughts read on the show, email us at PodcastEvolved@gmail.com or drop us a tweet @PodcastEvolved on Twitter. This episode, we’re debriefing the Halo 3: ODST mission Tayari Plaza. Enjoy! David, Colin, Krysta

Mutiny Transmissions Podcasts
Book Club December

Mutiny Transmissions Podcasts

Play Episode Listen Later Jan 31, 2019 68:44


Jen Kolic, Byron Graham & their guest Allison Rose discuss Tayari Jones' "An American Marriage"

The Literary Life with Mitchell Kaplan
Tayari Jones. Oprah's Book Club author, award-winning writer, acclaimed essayist and much more…

The Literary Life with Mitchell Kaplan

Play Episode Listen Later Jan 5, 2019 29:07


Tayari Jones, award-winning writer, essayist and professor joins Mitchell on this new episode of The Literary Life podcast. Her latest best-selling novel, *An American Marriage,* was selected by Oprah's Book Club and is on President Obama's top 10 books list, 2018. Tayari shares what inspired her to write this acclaimed book, growing up in Atlanta, her typewriter collection, and that call from Oprah. Please listen, share and comment on our podcast landing page or on our social media: @BooksandBooks (Facebook, Instagram and Twitter) Host: Mitchell Kaplan Showrunner: Carmen Lucas Editor: Andy Stermer Links: https://booksandbooks.com/ https://www.tayarijones.com/about/ Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

Mjadala wa Wiki
Mjadala wa Wiki - DRC ipo tayari kwa Uchaguzi wa Desemba 30, 2018 ?

Mjadala wa Wiki

Play Episode Listen Later Dec 26, 2018 17:07


Wananchi wa DRC, wanatarajiwa kupiga kura siku ya Jumapili kumchagua rais mpya na viongozi wengine, baada ya zoezi hilo kuahirishwa kwa wiki moja baada ya kuteketea kwa jengo la kuhifadhi vifaa vya kupigia kura jijini Kinshasa. Tunajadili hili, tukiwa na Steven Chondo, mmoja wa maafisa wa kampeni wa mgombea wa chama tawala Emmanuel Shadary, lakini pia Reubens Mikindo , Naibu Katibu Mkuu wa chama kikuu cha upinzani UDPS, ambacho mgombea wake ni Felix Tshisekedi.

wiki drc kinshasa felix tshisekedi tayari uchaguzi wananchi jumapili desemba udps tunajadili
LA Review of Books
"Would You Have Waited for Me?" Tayari Jones' An American Marriage

LA Review of Books

Play Episode Listen Later Jun 22, 2018 40:55


Author Tayari Jones joins co-hosts Eric Newman and Medaya Ocher to talk about her latest novel, An American Marriage, that tells the story of an African-American couple that gets separated when the husband is falsely accused of a crime and receives a twelve year sentence. Tayari relates her inspiration. How she set out to research the impact of mass incarceration on families; but, fittingly, made no progress until she overheard an exchange from a couple at a mall. She realized that the key component for any novel to have a powerful political impact is having fully realized, fully human, central characters. Also, Carmen Maria Machado, author of Her Body and Other Parties, returns to recommend Anne Rivers Siddons horror novel from the 1970s, The House Next Door.

Beyond Bechdel
15: A Bit Beyond - Magical Meghan

Beyond Bechdel

Play Episode Listen Later May 23, 2018 7:37


A Bit Beyond about three amazing women - Meghan, Tayari and Cate. Meghan Markle's feminist page: https://www.royal.uk/duchess-sussex Tayari Jones on Death, Sex & Money: https://www.wnycstudios.org/story/death-sex-money-tayari-jones/ Cate Blanchett at Cannes :https://www.independent.co.uk/arts-entertainment/films/news/cannes-2018-cate-blanchett-gender-equality-speech-watch-women-march-times-up-a8350521.html

Loungin Wit Skip
Loungin Wit Skip Podcast (Episode 11) Interview with Men's Grooming Expert "Tayari Edwards"

Loungin Wit Skip

Play Episode Listen Later Apr 8, 2018 82:40


5x Award winning Barber Tayari Edwards comes through to lounge with skip and talk about his journey in the barber world. Follow Tayari on IG: @groomcity Follow Skip on IG: @skipizdaman

Better Than the Movie: A Podcast About Books
EPISODE SEVENTY-ONE: Jumping the Broom

Better Than the Movie: A Podcast About Books

Play Episode Listen Later Apr 3, 2018


We're finally talking about An American Marriage by Tayari Jones! But first, we discuss this article in The Atlantic in which Tayari talks about writing a feminist article from a man's point of view: https://www.theatlantic.com/entertainment/archive/2018/03/by-heart-tayari-jones/556010/

ORCAstrated Podcast Network
Keep Your Crown Right Ep. 4: featuring 5x Award winning Barber, Tayari Edwards

ORCAstrated Podcast Network

Play Episode Listen Later Oct 9, 2017 62:42


Keep Your Crown Right, a platform for barbers & cosmetologist hosted by Amanda Jade, featuring guest Tayari Edwards who's a 5x award winning barber, host of The Cut Game Radio show and who has worked in film & television!  @keepyourcrownright | http://bricktoyaface.com/kycr

Radio SWAHILI GRANDS LACS MEDIAS
I chose you by King Moses l download mp3

Radio SWAHILI GRANDS LACS MEDIAS

Play Episode Listen Later Dec 19, 2016 3:45


Tayari ngoma imeshaachiwa.waweza kuipakua na kuisikiliza hapa hapa. The post I chose you by King Moses l download mp3 appeared first on Swahilimedias.

Ground Level Perspective
LeRoy & TaYari Stanfield 05-14-15

Ground Level Perspective

Play Episode Listen Later May 14, 2015 60:01


The UCW Radio Show with Louis Velazquez
Martial Arts Leader Oso Tayari Casel Interview

The UCW Radio Show with Louis Velazquez

Play Episode Listen Later Oct 6, 2012 88:53


Martial Arts Leader Oso Tayari Casel speaks with Louis Velazquez

Radio D 1 | Kujifunza Kijerumani | Deutsche Welle
Tukio 05 – Mfalme Ludwig bado yu hai!

Radio D 1 | Kujifunza Kijerumani | Deutsche Welle

Play Episode Listen Later Aug 24, 2009 14:04


Paula na Ayhan wanamkaribisha mfanyikazi mwenzao mpya katika Radio D. Tayari wana jukumu muhimu la kutekeleza. Marehemu Mfalme Ludwig wa Bavaria anasemekana angali hai na kundi hilo linataka kuchunguza kadhia hiyo. Philipp anakutana na wafanyikazi wenzake wapya Paula na Ayhan, na pia Josefine ambaye anasimamia taratibu za afisini. Hapana muda wa kupoteza maana Philipp na Ayhan tayari wanajua habari yao ya kwanza. Kuna tetesi kwamba mfalme maarufu Ludwig wa Pili wa Bavaria angali hai, ingawa alisemekana alifariki kwa njia isiyoeleweka mwaka 1886. Waandishi habari hao wawili wanaelekea katika Kasri la Neuschwanstein kuchunguza na kujifahamisha. Mambo yasiyoeleweka yanazua maswali mengi. Katika tukio hili unaweza kufahamu zaidi maneno ya kuulizia maswali na majibu.

sprache lernen deutsch philipp ludwig bavaria mambo pili josefine kuna fremdsprache sprachkurs katika neuschwanstein radio d ayhan deutschkurs tayari zweitsprache mfalme tukio jemanden vorstellen sich nach personen erkundigen nach sachen fragen nach dem ort fragen nach der herkunft fragen