Podcasts about kifo

  • 38PODCASTS
  • 117EPISODES
  • 21mAVG DURATION
  • 1EPISODE EVERY OTHER WEEK
  • Mar 3, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about kifo

Latest podcast episodes about kifo

Podcast UiB
Sosiopodden - Episode 15, Rosetogene paradokser - Tiden rett etter 22.juli

Podcast UiB

Play Episode Listen Later Mar 3, 2025 26:02


I denne episoden møter programleder Ivar Brakstad forsker Tore Witsø Rafoss fra KIFO for en spennende samtale om hans nye bok Rosetogenes paradokser. Sammen går de i dybden på hvordan 22. juli skapte et spontant fellesskap, og hvilken rolle nasjonalromantikk, roser og fortellinger spilte i denne prosessen. Hvorfor søkte nordmenn trøst i fellesskapet etter sjokket? Hva sier dette om oss som samfunn? Til slutt ser de på hvordan sosiologiske klassikere fortsatt kan gi oss verdifulle innsikter i dag.   Link til boken: Fagbokforlaget  

Dj Joe Mfalme
The Double Trouble Mixxtape 2025 Volume 99 Kifo Cha Mende Edition

Dj Joe Mfalme

Play Episode Listen Later Feb 6, 2025 57:41


Is Gengetone back? DJ Joe Mfalme Presents: The Double Trouble Volume 99: New Year, New mix ! #KifoChaMende a special mixtape featuring some of the biggest hits charting the airwaves in Kenya! Filmed by Actionpac Media at the iconic Sk8City located at Diamond Plaza II 12th Floor. This mixtape is a celebration of new songs from your favorite artists and new artist. Hit play, turn up the volume, and let's begin the year with a Bang! Don't forget to like, share, and subscribe for more epic mixes from DJ Joe Mfalme. You can listen to any of my other mixes here

Dj Joe Mfalme
The Double Trouble Mixxtape 2025 Volume 99 Kifo Cha Mende Edition

Dj Joe Mfalme

Play Episode Listen Later Feb 6, 2025 57:41


Is Gengetone back? DJ Joe Mfalme Presents: The Double Trouble Volume 99: New Year, New mix ! #KifoChaMende a special mixtape featuring some of the biggest hits charting the airwaves in Kenya! Filmed by Actionpac Media at the iconic Sk8City located at Diamond Plaza II 12th Floor. This mixtape is a celebration of new songs from your favorite artists and new artist. Hit play, turn up the volume, and let's begin the year with a Bang! Don't forget to like, share, and subscribe for more epic mixes from DJ Joe Mfalme. You can listen to any of my other mixes here

Tore & Tarjei
Kristen presidentinnsettelse, bremset avkristning og kritisk tenkning på kristne skoler

Tore & Tarjei

Play Episode Listen Later Jan 23, 2025 34:30


Starten på Donald Trumps andre presidentperioder ble preget av mye forbønn, mange religiøse referanser og en omdiskutert preken. Hva forteller det om dagens USA og om oss? Vi snakker også om ferske tall fra KIFO om status for kristen tro i Norge og om en fersk doktorgrad om kristne skoler. Sofie Braut er med som gjest. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.

Jioni - Voice of America
Wamarekani wanaendelea kuomboleza kifo cha Rais wa zamani Jimmy Carter aliyefariki Jumapili akiwa na umri wa miaka 100. - Desemba 31, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 31, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Ziara ya rais Joe Biden huko Angola, watano wahukumiwa kifo huko DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Dec 7, 2024 20:18


Habari kuu wiki hii ni pamoja na mkutano kati ya rais wa Marekani anayejiandaa kuondoka madarakani Joe Biden na viongozi wa Afrika huko Lobito Angola, mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini kuanza tena baada ya miezi minne, maafisa 20 wa Kenya waliopelekwa Haiti wajiuzulu, rais wa DRC Felix Tshisekedi kukutana na rais wa Rwanda Paul Kagame desemba 15, yaliyojiri Sudan uchaguzi nchini Ghana, na wabunge wa Ufaransa walivyoiangusha serikali ya Michel Barnier lakini pia kanisa kubwa la Notre Dame lafunguliwa jijini Paris Ufaransa, Israel yaendeleza mashambulizi Gaza 

Radio Maria Tanzania
Kwanini tunakiita kifo cha Yesu kuwa ni sadaka Takatifu ?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Dec 6, 2024 26:38


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, ukiwa nami Frateri Cassian Lebba, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea nikijibu swali la Msikilizaji Linalosema Kwanini tunakiita kifo cha Yesu kuwa ni sadaka Takatifu wakati Maandiko Matakatifu yanasema amelaaniwa Mtu aliyeangikwa mtini L'articolo Kwanini tunakiita kifo cha Yesu kuwa ni sadaka Takatifu ? proviene da Radio Maria.

Habari za UN
Dkt. Tedros: Kifo cha ghafla cha Dkt. Faustine Ndungulile kimenishtua na kunisikitisha

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 27, 2024 1:58


Mkurugenzi mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa  la Afya Duniani WHO, amesema amestushwa na kusikitishwa na kifo cha aliyetarajiwa kushika wadhifa wa mkurugenzi mkuu wa WHO Kanda y Afrika Dkt. Faustine Engelbert Ndungulile kutoka nchini Tanzania. Flora Nducha na taarifa zaidi.

Jioni - Voice of America
Shambulio la Israel kusini mwa Beirut linasababisha kifo cha mkuu wa mawasiliano wa Hezbollah - Novemba 17, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 17, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

VOA Express - Voice of America
Vijana na mashabiki wa muziki wanaelezea walivyoguswa na kifo cha King Kiki, gwiji wa muziki wa Rumba huko Tanzania na Afrika Mashariki. - Novemba 15, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 15, 2024 29:59


VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.

Radio Maria Tanzania
Je, kuna hukumu baada ya kifo?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Nov 14, 2024 30:02


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tukiungana na Frater Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, akijibu swali hili,  Kadiri ya waraka Waebrania 9:27 “Mwanadamu baada ya kufa anapewa hukumu”  Je, Hukumu hiyo ni ipi? L'articolo Je, kuna hukumu baada ya kifo? proviene da Radio Maria.

Habari za UN
UN Ripoti: Uwezekano wa kifo cha Dag Hammarskjöld kuwa ni hila unaongezeka kutokana na taarifa mpya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 18, 2024 2:02


Ripoti nyingine mpya ya tathimini ya uchunguzi wa hali na mazingira ya kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa mwaka 1961 Dag Hammarskjöld imetolewa leo ikiwa na vipengele vinne vipya vikiongeza uwezekano kwamba kifo hicho cha ajali ya ndege kilikuwa ni hila. Asante Anold kwanza ikumbukwe kuwa hii sio ripoti ya kwanza na huenda isiwe ya mwisho ya kutathimini hali na mazingira yliyochangia ajali ya ndege iliyokatili maisha ya Dag Hammarskjöld tarehe 17 Septemba 1961 akiwa njia kuelekea Congo ambayo sasa ni Jamhuri ya Kidemokrasia ya Cngo DRC, kujadili usitishwaji wa uhasama ila ni ripoti ya karibuni zaidiRipoti inasema mwenyekiti wa jopo la tathimini ya uchunguzi jaji mkuu wa zamani wa Tanzania Mohamed Chande Othman amepokea taarifa mpya muhimu kutoka kwa nchi wanachama ambazo zinajumuisha maeneo haya Mosi:  uingiliaji unaowezekana wa Nchi Wanachama wa mawasiliano husika.Pili: Uwezo wa wanajeshi wa Katanga, au wengine, wa kufanya shambulio linalowezekana kwenye ndege ya SE-BDY,Tatu: kuwepo kwa askari wa kigeni na wafanyakazi wa kijasusi katika eneo hilo la tukioNa nne: Taarifa zaidi mpya zinazohusiana na muktadha na matukio yanayozunguka kifo hicho mwaka 1961.Jaji Othman amemkabidi Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ripoti hii ya tathimini ambaye naye ameiwasilisha kwa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.Na kufuatiia tathimini hii Guterres amesema anaizingatia ingawa kihistoria kumekuwa na nadharia nyingi zilizotolewa kama sababu inayowezekana ya ajali hiyo, na anazichukulia nadharia hizo nyingi kuwa zisizo na uthibitisho.Hata hivyo mwenyekiti wa jopo la tathimini anasema  nadharia nyingine ambayo inabaki na inakubalika ni kwamba shambulio la nje au tishio lilikuwa sababu ya ajali.Pia amesema kuwa dhana mbadala zinazoonekana kuwepo ni kwamba ajali hiyo ilitokana na hujuma, au makosa ya kibinadamu yasiyokusudiwa.Katibu mkuu amekaribisha ushirikiano uliotolewa na baadhi ya nchi wanachama katika tathimini hiyo lakini bado jopo la tathimini linaaminikuna baadhi ya nchi wanachama wana taarifa muhimu ambazo hawajataka kuzitoa.

Jioni - Voice of America
Mahakama ya DRC imetoa hukumu ya kifo kwa washtakiwa 26 wanaoshutumiwa kuwa kundi la waasi la M23 - Agosti 09, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 9, 2024 59:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Alfajiri - Voice of America
Katibu mkuu wa UN aonya juu ya kuongezeka kwa taharuki Mashariki ya Kati kufuatia kifo cha kiongozi wa Hamas - Agosti 01, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 1, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Mwendesha mashtaka nchini DRC awaombea hukumu ya kifo watu 25 wanaotuhumiwa kuwa wafuasi wa M23 - Julai 30, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 30, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Kwa Undani - Voice of America
Nani atachaguliwa kuwa rais wa Iran kufuatia kifo cha Ebrahim Raisi? - Juni 17, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 17, 2024 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Radio Maria Tanzania
Je, Kifo ni adhabu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 24, 2024


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateri Maurus Msigwa, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea, Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema Mwanadamu hufa, je kifo ni adhabu?na je mbona mtu akitambua makosa yake akaona anastahili kufa, kwanini huwa hafi?  L'articolo Je, Kifo ni adhabu? proviene da Radio Maria.

Jioni - Voice of America
Viongozi wa dunia waomboleza kifo cha Rais wa Iran Ebrahim Raisi - Mei 20, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later May 20, 2024 29:59


Kwa Undani - Voice of America
Serikali kadhaa zatoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Rais wa Iran Ebrahim Raisi - Mei 20, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later May 20, 2024 29:59


Pakistan imetangaza siku moja ya maombolezo, nayo Lebanon imetangaza siku tatu za maombolezo, huku serikali kadhaa zikitoa salamu za rambirambi kwa Iran baada ya kifo cha Rais Ebrahim Raisi na waziri wa mambo ya nje Hossein Amirabdollahian katika ajali ya helikopta.

Sepetuko
Kifo cha CDF Ogolla Kimezua Maswali Mengi; Wakenya Wadai Majibu

Sepetuko

Play Episode Listen Later Apr 22, 2024 4:10


Kweli ajali haina kinga. Hata hivyo tukio la Jenerali wa Jeshi la Nchi kufariki kwenye ajali ya ndege, akiwa ndani mwa nchi yake, ni jambo ambalo lazima lichunguzwe. Je, kunao waliolala kazini kiasi cha kuruhusu tukio hili kutokea au ni ajali tu kama ajali nyingine? Lazima pafanyike uchunguzi wa kina kubaini kilichojiri.

Radio Maria Tanzania
Je, Marehemu akifanyiwa maombi anaweza kusamehewa dhambi zake pasipo yeye kutubu kabla ya kifo chake?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 22, 2024 23:11


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani na Frateli Caspary Nyiihwil, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo kuu la Songea Swali la Msikilizaji linalojibiwa linasema Ni halali kufanya ibada ya wafu na Je marehemu akifanyiwa maombi anaweza kusamehewa dhambi zake pasipo yeye kutubu kabla ya kifo chake? L'articolo Je, Marehemu akifanyiwa maombi anaweza kusamehewa dhambi zake pasipo yeye kutubu kabla ya kifo chake? proviene da Radio Maria.

Kwa Undani - Voice of America
Meza ya waandishi wa habari kuhusu kifo cha mkuu wa jeshi wa Kenya, na mafuriko yanayoendelea Afrika Mashariki. - Aprili 19, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 19, 2024 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Alfajiri - Voice of America
Kwa nini kifo cha OJ Simpson kimeibua mjadala kuhusu mahusiano ya rangi Marekani? - Aprili 12, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 12, 2024 29:59


Nyota wa zamani wa Ligi ya Mpira wa Marekani NFL na mcheza filamu ambaye alifutiwa mashtaka ya mauaji ya mkewe na rafiki yake wa kiume katika kesi iliyoteka Marekani na dunia amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Rais Museveni amteua mwanae kuwa mkuu wa majeshi, kifo cha okende kilipangwa

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Mar 23, 2024 20:07


Makala hii imeangazia hatua ya rais wa Uganda Yoweri Museveni ya kumteua mwanawe kuwa mkuu wa majeshi ya nchi hiyo, mazishi ya mwanasiasa Cherubin Okende, yaliyojiri nchini Rwanda, lakini pia Sudan huko ambako wiki hii Marekani ilisema kuwa ina matumaini mazungumzo ya kumaliza mzozo wa nchi hiyo yatarejea hivi karibuni baada ya mfungo wa Ramadan, uchaguzi wa urais huko Senegal jumapili ya Marchi 24 tumeangazia yaliyojiri huko Israeli na kwengineko duniani. Ungana nami Reuben Lukumbuka

Habari RFI-Ki
DRC yarejesha adhabu ya kifo ikiwalenga wahaini

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Mar 20, 2024 10:19


Habari RFI-Ki
DRC yarejesha adhabu ya kifo ikiwalenga wahaini

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Mar 20, 2024 10:19


Radio Maria Tanzania
Je, Mtu anaokoka akiwa duniani au baada ya kifo?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Mar 15, 2024 24:56


Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki la Songea ambapo swali linalojibiwa  linasema Je, Mtu anaokoka akiwa duniani au baada ya kifo? majibu ya swali hili yanatolewa na Fratel Felix Olindula. L'articolo Je, Mtu anaokoka akiwa duniani au baada ya kifo? proviene da Radio Maria.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Kifo cha rais wa zamani wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi, hali ya usalama DRC na mengineyo

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Mar 2, 2024 20:11


Yaliyojiri wiki hii ni pamoja na kifo cha rais wa zamani wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi, na kauli za rais Felix Tshisekedi kuwa yuko tayari kwa mazungumzo na rais mwenza wa Rwanda Paul Kagame, ziara ya waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed nchini Tanzania na pia Kenya, maandamano ya chama cha upinzani cha Chadema nchini Tanzania kule Arusha, yaliyojiri nchini Rwanda, kwenye kanda ya Afrika magharibi lakini pia hali ya Israeli na kwengineko duniani.

SBS Swahili - SBS Swahili
Tanzania yaomboleza kifo cha Hayati Mwinyi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 1, 2024 7:33


Viongozi mbali mbali nchini Tanzania, wana endelea kutoma salamu za kwa jamaa na familia ya Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi, aliyefariki dunia Alhamisi wiki hii.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mashambulio mjini Sake mashariki ya DRC, hali ya Kenya, kifo cha mpinzani wa Urusi

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Feb 17, 2024 20:10


Wiki imejaa matukio ya kutamausha kwanza; wanajeshi wawili wa Afrika kusini waliuawa mashariki mwa DRC, kinara wa upinzani wa nchini Kenya Raila Odinga kuwania uwenyekiti wa tume ya Umoja wa Afrika, maandamano ya wapinzani nchini Tanzania, yaliyojiri Sudani, pia Senegal huko Afrika magharibi, kifo cha mpinzani huko Urusi Alexei Navalyn, shinikizo za kimataifa dhidi ya Israeli ikubali kusitisha vita dhidi ya Hamas,na mengineyo

Alfajiri - Voice of America
Babaka mwanariadha bingwa wa Marathon Kelvin Kiptum wa Kenya ataka uchunguzi wa kina kubaini kilichosababisha kifo chake - Februari 13, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Feb 13, 2024 29:59


Akizungumza na waandishi wa habari, babake mwanariadha bingwa wa Marathon Kelvin Kiptum wa Kenya alieleza mashaka kuhusu ripoti ya jinsi ajali ya barabarani ilivyomuua mwanawe na akataka uchunguzi wa kina kubaini kilichosababisha ajali hiyo.

Jioni - Voice of America
Tanzania imetangaza kifo cha raia wake mmoja huko Israel katika mapigano yanayoendelea kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas. - Novemba 18, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 18, 2023 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Matukio ya wiki hii, kifo cha kiongozi wa wagner, siasa za DRC, Kenya, na kwengineko

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Aug 26, 2023 19:58


Makala ya Yaliyojiri wiki hii,imeangazia kuenea kwa taarifa ya kifo cha mtu anayedaiwa kuwa kiongozi wa kundi la mamluki wa Wagner Yevgeny Prigozhin, mkutano wa Brics huko Johannesburg Afrika kusini, siasa za Kenya, DRC, matukio ya kule Uganda, uchaguzi wa Gabon, pia hali inavyoendelea Niger na kwengineko duniani

Kwa Undani - Voice of America
Meza ya waandishi wa habari imeangazia mkutano wa BRICS, uchaguzi wa Zimbabwe na kifo cha kiongozi wa Wagner kati ya mengine. - Agosti 25, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 25, 2023 29:58


Irresistibly awful
#211 Zoombies

Irresistibly awful

Play Episode Listen Later Jul 31, 2023 52:27


This week we watched Zoombies. We talk about killer Giraffes, butt monkeys, Kifo the fake gorilla, and birds nesting inside people! --- Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/matt-mike-john-bubba/support

Alfajiri - Voice of America
Wanasiasa wa upinzani nchini DRC wanasema wanahofia usalama wao baada ya kifo cha Cherubin Okende aliyeuawa kwa kupigwa risasi huko Kinshasa - Julai 14, 2023

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 14, 2023 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Jamii ya wakenya waomboleza kifo cha ghafla cha Lydia Cheptoo

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jul 13, 2023 9:09


Kifo cha ghafla cha Lydia Cheptoo kimezua majonzi na simanzi, katika jumuiya ya wakenya nchini Australia.

SBS Swahili - SBS Swahili
Ushoga sasa waweza gharimu hukumu ya kifo Uganda

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 3, 2023 9:52


Uganda imepitisha sheria kali dhidi ya kundi la watu wanao jitambua kama LGBTIQ+, hatua ambayo imevutia ukosoaji mkali kutoka mataifa ya magharibi pamoja wana harakati barani Africa.

SBS Swahili - SBS Swahili
Kifo cha Sharon J Kigen, cha itikisa jamii yawa Kenya kote nchini

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 1, 2023 12:29


Taarifa kuhusu kifo cha Sharon J Kigen, ime waacha jamaa na marafiki wake na huzuni isiyo elezeka.

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Jinsi mwanadamu atakavyofufuliwa Yesu atakaporudi tena kuwachukua walio wake

Jioni - Voice of America
Wachambuzi wa masuala ya usalama nchini Kenya wazungumzia uchunguzi unaoendelea kutokana na kifo cha mwanahabari wa Pakistan nchini humo. - Oktoba 25, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 25, 2022 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Je! Tanganyika ilikuwa bora chini ya ulinzi wa Uingereza kuliko ukoloni wa Ujerumani?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Sep 29, 2022 9:19


Kifo cha Malkia Elizabeth II kili ibua hisia mseto kote duniani, haswa Tanzania ambako watu wa vizazi tofauti walipokea taarifa ya kifo chake katika hali tofauti.

Alfajiri - Voice of America
Viongozi wa dunia waendelea kutoa rambirambi zao kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II - Septemba 09, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Sep 9, 2022 29:56


Rais wa Marekani Joe Biden alikuwa kati ya viongozi wa kwanza wa kimataifa kutuma risala za rambirambi kwa serikali na watu wa Uingereza kufuatia kifo cha Malkia wao, Elizabeth II kilichotokea Alhamisi akiwa na umri wa miaka 96

dunia elizabeth ii rais kifo uingereza septemba alhamisi
Jioni - Voice of America
Uingereza na ulimwengu waombeleza kifo cha Malkia Elizabeth II - Septemba 09, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Sep 9, 2022 59:58


Uingereza na Ulimwengu wanaomboleza kifo cha Malkia Elizabeth wa pili ambaye alifariki dunia Alhamisi akiwa na umri wa miaka 96. Elizabeth atakumbukwa kama kiongozi aliyedumisha umoja na upendo kati ya raia wa Uingereza.

elizabeth ii kifo uingereza ulimwengu septemba alhamisi
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Udanganyifu juu ya Kifo

kifo mahubiri
Jioni - Voice of America
Rambirambi zamiminika kufuatia kifo cha rais wa tatu wa Kenya, Mwai Kibaki - Aprili 22, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 22, 2022 60:00


Katika Livetalk wiki hii tunaangazia wasifu wa rais wa zamani wa Kenya, Mwai Kibaki, aliyeaga dunia Ijumaa akiwa na umri wa miaka 90. Wanasiasa, wananchi na wachambuzi wanatazama mafanikio ya uongozi wake na dosari katika safari yake ya kisiasa.

SBS Swahili - SBS Swahili
Je! nini sababu ya kifo cha gwiji wa Cricket?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 8, 2022 6:25


Watu kote duniani wanaendelea kukabaliana na taarifa za kifo cha ghafla, cha gwiji wa mchezo wa cricket Shane Warne.