Podcasts about kuishi

  • 32PODCASTS
  • 117EPISODES
  • 17mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • Feb 18, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about kuishi

Latest podcast episodes about kuishi

SBS Swahili - SBS Swahili
Uchomaji wakitamaduni: kutumia moto kulinda dhidi ya moto na kufufua Nchi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 18, 2025 15:34


Kuishi katika mazingira yenye moto kama Australia, wengi wetu hupata ugumu waku ona moto kama kitu kingine zaidi yakuwa tisho.

Alfajiri - Voice of America
Kenya yarahisisha upatikanaji wa vibali vya kufanya kazi na kuishi kwa raia kutoka mataifa ya Jumuia ya Afrika Mashariki. - Januari 02, 2025

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 2, 2025 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Habari za UN
UNICEF - Maadhimisho ya kimataifa ya siku ya mtoto duniani yafanyika Denmark

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 20, 2024 1:50


Leo ikiwa ni siku ya watoto duniani ikirejelea tarehe 20 Novemba mwaka 1954 kwa mara ya kwanza kabisa ilipoanzishwa na Umoja wa Mataifa ili kusongesha umoja na kujitambua miongoni mwa watoto duniani. Kisha siku hii ikaongezwa nguvu na Azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu Watoto duniani mwaka 1959 na hatimaye mwaka 1989 Baraza hilo lililopitisha Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto, CRC. Mkataba unatambua haki kuu nne za msingi za mtoto: Kuishi, Kuendelezwa, Kulindwa na Kushirikishwa. Hii leo shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limefanya maadhimisho ya kimataifa huko Copenhagen Denmark, na Madina Jubilate, Mchechemu wa UNICEF Tanzania kwa Tabianchi anaelezea alivyoshiriki.

Habari za UN
COP29 Georgina Magesa: Watoto wana haki ya kuishi katika mazingira salama

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 20, 2024 4:01


Mkutano wa 29 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi, COP29 unaoendelea huko Baku Azerbaijan umeleta pia watoto na vijana wanaharakati wa mazingiria kutoka kote ulimwenguni na kuwapatia fursa kuketi katika meza moja na viongozi ili kuhakikisha mustakabali wao umewekwa katika ajenda ya mkataba huo. Jukumu lao kama wachechemuzi wa mabadiliko chanya na hitaji la mazungumzo na ushirikiano kati ya vizazi lilitambuliwa rasmi katika matokeo ya Mkutano wa Zama Zijazo, SOTF mnamo Septemba 2024.Georgina Magesa, msichana mwenye umri wa miaka tisa na mwanaharakati wa mazingira, ambaye amewakilisha watoto wenzake kutoka Tanzania katika Mkutano wa 29 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi, COP29 huko Baku, Azerbaijan. Anatoa ujumbe mahsusi akianza kwa kusistiza kuwa watoto pia wana mchango katika kutatua changamoto za mabadiliko ya tabianchi.“Watoto wenzangu duniani kote, nyie pia mnaweza kuleta mabadiliko chanya. Anza na hatua ndogo pia muwe na ndoto kubwa. Panda miti. Hifadhi maji. Jifunze kuhusu mazingira yetu. Kwa Pamoja vitendo vyetu vidogo vitageuka mabadiliko makubwa”Katika mwaka huu wa 2024 ambao viwango vya joto duniani vimevunja rekodi duniani, watoto na vijana wanaendelea kupaza sauti zao wakihimiza viongozi wa dunia kuchukua hatua za haraka zinazohitajika ili kushughulikia janga la mabadiliko ya tabianchi. Georgina anasema Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF liko mstari wa mbele, lakini sasa ni wakati wa mshikamano kwa ajili ya mazingira bora kwa watoto wa leo, na wa zama zijazo..“Kwa viongozi wa dunia walioko hapa leo, hii si kazi ya UNICEF pekee. UNICEF inafanya kazi nzuri na sisi watoto, lakini tunahitaji msaada wako ili kujenga ulimwengu wa kesho ambapo hakuna mtoto anayepaswa kuchagua kati ya afya na elimu yake; ambapo hakuna mtoto anayekunywa maji yasiyo salama; hakuna mtoto anayekosa shule kwa sababu ya masuala yanayohusiana na mabadiliko ya tabianchi; na ambapo kila mtoto ana nafasi ya kuwa na afya bora na elimu bora.”Georgina anatamatisha kwa kusisitiza kuwa janga la mabadiliko ya tabianchi limenyima watoto haki zao hivyo kwa kila mtu...“Kumbuka unapolinda mazingira unalinda afya, elimu na ndoto za watoto. Mtoto mwenye afya bora na elimu bora anaweza kubadilisha ulimwengu.”Ama kweli watoto wana haki ya kuishi katika mazingira salama!

Radio Maria Tanzania
Fahamu namna ya kuishi vyema Imani na kumtumikia Mungu.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 16, 2024 20:56


Karibu uungane nami Elizabeth Masanja , katika kipindi cha Tafakari Nasi leo studio tupo naye Padre Wilbold Matembo  kutoka Jimbo katoliki Musoma, akituongoza kutafakari kuishi vyema imani na kuishi namna ya kutumikia Mungu.   L'articolo Fahamu namna ya kuishi vyema Imani na kumtumikia Mungu. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu namna ya kuishi na Mtoto mwenye changamoto ya afya ya akili.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 4, 2024 40:28


Ungana nami Judith Mpalanzi  katika kipindi cha Malezi na makuzi ya Vijana, Mwezeshaji ni Sister Theresia Karugaa, anayefanya utume wake katika  Jimbo Katoliki Zanzibar akitufundisha juu ya Afya ya Akili kwa Watoto. L'articolo Fahamu namna ya kuishi na Mtoto mwenye changamoto ya afya ya akili. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ifahamu haki ya Mtu kuchagua maisha mazuri ya kuishi.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 14, 2024 54:20


  Karibu uungane nami Mtangazaji wako Martin Joseph, katika kipindi cha maadili yetu, leo nipo na Frateri Erick Kimario, Frateri Paschal Kasona na Frateri Daudi Mwamonje, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Paulo Kipalapala, Jimbo Kuu la Tabora, wakizungumzia haki ya Mtu kuchagua hali ya kuishi anayoipenda zaidi. L'articolo Ifahamu haki ya Mtu kuchagua maisha mazuri ya kuishi. proviene da Radio Maria.

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Mtukuzeni Mungu wa Mbinguni, Kuishi kwa hofu siyo mpango wa Mungu

AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni

Mtukuzeni Mungu wa Mbinguni, Kuishi kwa hofu siyo mpango wa Mungu

VOA Express - Voice of America
Vijana waeleza iwapo mitandao ya kijamii imesababisha baadhi yao kuishi maisha feki, ila hali wanateseka. - Aprili 29, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 29, 2024 29:59


VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.

Binti Wa Yesu
EP 3: Christian Single Woman Must Haves | PURPOSE.

Binti Wa Yesu

Play Episode Listen Later Aug 22, 2023 8:54


Kujua KUSUDI lako ndio mwanzo wa kuishi. Kuishi maisha ya KUSUDI ni kuleta maana katika maisha yako. Happy listening

Laughs and Lessons
KUISHI MAISHA MAREFU|| Living a long life!

Laughs and Lessons

Play Episode Listen Later Jun 28, 2023 47:51


Lets dive into reasons and practices for the Japanese and why their country has a higher life expectancy than any other country at 84 years average! How does this help us change our life styles? Enjoy episode!!

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Ujumbe wa Mungu kwetu ni uleule aliompa Yoshua: "Ni yako. Sasa inuka uende ukaichukue!"

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Joyce anafundisha kwamba ni lazima tuweke kwanza kumpendeza Mungu kuliko kuwapendeza watu.

Habari za UN
Nimejifunza watu wenye Down Syndrome wanaweza kuishi maisha ya kawaida wakijumuishwa – Elly Kitaly

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 5, 2023 0:03


Hivi karibuni katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa umefanyika mkutano wa Siku ya Kimataifa ya Down Syndrome. Mkutano huo uliokuwa na kauli mbiu “Pamoja nasi, kwa ajili yetu” uliandaliwa na taasisi ya Down Syndrome International (DSI) kwa kushirikiana na taasisi ya The International Disability Alliance (IDA), Uwakilishi wa kudumu katika Umoja wa Mataifa wa Brazil, Japan na Poland.  Mmoja wa waliohudhuria mkutano huo ni Elly Kitaly, Mkurugenzi na Mwanzilishi wa asasi ya kijamii iitwayo Chadron's Hope Foundation inayohusika na kujenga mazingira bora kwa watu wenye hali ya Down Syndrome nchini Tanzania anaeleza aliyojifunza katika mkutao huo.  

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Mungu ana jambo muhimu kwa kila mmoja wetu kufanya, lakini ni lazima tuishi kwa ujasiri ili kutimiza hatima hiyo.

Habari za UN
Hakikisho la maji safi na salama lachochea jamii kuishi na utangamano Mkoani Kigoma nchini Tanzania

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 29, 2023 0:05


Ufumbuzi wa ubunifu wa maji unaotumia teknolojia ya nishati ya jua ambao unafanikishwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF kwa kushirikiana na wadau wake ukiwemo ule wa utekelezaji, Water Mission, na ule wa kutoa msaada wa fedha Grundfos Foundation kutoka nchini Denmark umesaidia serikali ya Tanzania kubuni suluhisho la msingi na la kudumu la maji katika jamii 15 za mkoa wa Kigoma ulioko magharibi mwa taifa hilo la Afrika Mashariki. Lengo lao kubwa ni kuhakikisha upatikanaji wa maji safi na salama kwa watu 99,107 mkoani humo ifikapo Machi 2024. Miongoni mwa wanufaika ni jamii, wanafunzi na wahudumu wa afya katika hospitali, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakikumbwa na changamoto za ukosefu wa maji na migogoro kati yao inayotokea mara kwa mara wakati kundi kubwa la watu linapokutana katika mto moja ulioko mbali kuteka maji. Hali ilikuwa vipi kabla na baaannoda ya mradi huo? Ungana basi na Selina Jerobon katika makala hii iliyofanikishwa na UNICEF. 

Habari za UN
Makaburi ya wayahudi mjini Fez nchini Morocco, ushahidi wa jamii tofauti kuishi pamoja kwa amani

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 18, 2023 0:03


Umoja wa Mataifa unasema robo tatu ya migogoro mikuu ya ulimwengu ina uhusiano na masuala ya kitamaduni na kwa hivyo kuziba pengo kati ya tamaduni ni jambo la haraka na la lazima kwa ajili ya amani, utulivu na maendeleo. Makaburi ya Kiyahudi huko Fez, Morocco ni ushuhuda wa utamaduni tofauti kuishi pamoja kwa amani.Wakiwa katika safari ya kikazi huko Fez, kuangazia Mkutano wa tisa wa Jukwaa la Umoja wa Mataifa la Muungano wa Ustaarabu, UNAOC, May Yacoub na Alban Mendes De Leon kutoka Timu ya Mawasiliano ya Umoja wa Mataifa walikutana na Johanna Devico Ohana, mzaliwa wa Fez, ambaye anatunza makaburi haya yenye umri wa miaka 200, akiheshimu jina la marehemu babake ambaye mwenyewe alikuwa msimamizi wa utunzaji wa makabuli haya hadi  alipoaga dunia miezi michache iliyopita. Anold Kayanda anasimulia makala hii kwa lugha ya Kiswahili.

Men. Men. Men. - The Podcast -
Parenting from a distance

Men. Men. Men. - The Podcast -

Play Episode Listen Later Nov 10, 2022 78:23


Jambo la kutafuta kwa ajili ya kuangalia na kuhudumia familia yako ni jambo ambalo halikwepeki kwa mwanaume, tena ikiwa ni mwanaume anaewajibika katika majukumu yake. Lakini, kwenye kutafuta wanaume wengi sana wamejikuta ikiwabidi kwenda kuishi mbali na familia zoo ili waweze kuzihudumia na pia waweze kutimiza ndoto walizonazo juu ya familia zao. Kuishi mbali na familia kunakuja na changamoto nyingi sana ambazo labda jamii haizitambui. Wanaume wengi wanateseka na namna ya kulea watoto wao, lakini pia hata namna ya kuboresha mahusiano na wenzi wao huku wakikabiliana na umbali uliopo kati yao. Philip Changala alihamia Dar es Salaam kutoka Dodoma mwaka 2016, akaacha familia yake Dodoma yenye mtoto mdogo kabisa. Leo hii ameamua kuzungumza na sisi namna maisha ya kuwa mbali na familia, hususani familia changa inavyoweza kuwa na changamoto nyingi sana kwa mwanaume, na namna ambavyo inaweza kuwa chanzo kikubwa cha changamoto ya afya ya akili kwa mwanaume. Nadia anaelezea namna ambavyo mwanaume anaweza akapambana na hali hiyo, lakini pia ni hatua zipi za kuchukua ili kuhakikisha nafasi yako kama baba na kama mume bado inabaki hata kama maisha yamekupeleka mbali na familią yako

Habari za UN
Wanafunzi wapatiwa elimu ya namna ya kuishi na watu wenye ualbino

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 30, 2022 0:03


Mtoto umleavyo ndio akuavyo ni methali unaofundisha jamii kuhakikisha iwapo inataka watoto wawe na tabia fulani basi ni vyema waanze kuwafundisha wangali wadogo. Na ndicho kinachofanywa nchini Tanzania na Chama cha watu wenye ualbino TAS mkoa wa Morogoro, mashariki mwa taifa hilo.  Chama hicho kinaendelesha programu ya kutoa elimu kwa wanafunzi na kimetembelea shule ya msingi kilakala iliyopo Manispaa ya Morogoro na kutoa elimu kwa wanafunzi wa darasa la sita na la saba juu ualbino na namna ya kuishi nao katika Jamii. Miongoni mwa kilichowasukumua kutoa elimu kwa wanafunzi hao ni kuwa wanatumaini pindi wanfunzi watakapopata elimu hiyo wataenda kuwaelimisha na wengine na hii inaweza kuleta uelewa zaidi kwa Jamii hasa kwa watoto wenyewe kwa wenyewe wakikutana. Tuungane na Sure Ndereka wa Redio washirika Mviwata fm aliyeshuhudia wanafunzi hao wakipatiwa mafunzo na kutuandalia makala hii

Habari za UN
Wanafunzi wapatiwa elimu ya namna ya kuishi na watu wenye ualbino

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 30, 2022 0:03


Mtoto umleavyo ndio akuavyo ni methali unaofundisha jamii kuhakikisha iwapo inataka watoto wawe na tabia fulani basi ni vyema waanze kuwafundisha wangali wadogo. Na ndicho kinachofanywa nchini Tanzania na Chama cha watu wenye ualbino TAS mkoa wa Morogoro, mashariki mwa taifa hilo.  Chama hicho kinaendelesha programu ya kutoa elimu kwa wanafunzi na kimetembelea shule ya msingi kilakala iliyopo Manispaa ya Morogoro na kutoa elimu kwa wanafunzi wa darasa la sita na la saba juu ualbino na namna ya kuishi nao katika Jamii. Miongoni mwa kilichowasukumua kutoa elimu kwa wanafunzi hao ni kuwa wanatumaini pindi wanfunzi watakapopata elimu hiyo wataenda kuwaelimisha na wengine na hii inaweza kuleta uelewa zaidi kwa Jamii hasa kwa watoto wenyewe kwa wenyewe wakikutana. Tuungane na Sure Ndereka wa Redio washirika Mviwata fm aliyeshuhudia wanafunzi hao wakipatiwa mafunzo na kutuandalia makala hii

Alfajiri - Voice of America
WHO: Umri wa kuishi barani Afrika waongezeka - Agosti 05, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 5, 2022 30:00


Takwimu mpya katika ripoti ya WHO ya Alhamisi zaonyesha kuwa umri wa kuishi barani Afrika umeongezeka kwa karibu miaka 10 kati ya mwaka wa 2000 na 2019. Kinachoonekana zaidi katika ripoti hiyo ni kuongezeka kwa umri wa kuishi kutoka miaka 46 mwaka wa 2000 hadi miaka 56 mwaka wa 2019.

Habari za UN
Sawa Wanawake Tanzania lasongesha haki za mtoto Morogoro, Tanzania 

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 1, 2022 4:09


Nchini Tanzania mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali yanaendelea kuunga mkono juhudi za Umoja wa Mataifa za kufanikisha mikataba ya kimataifa ikiwemo ule wa haki ya mtoto unaotaja haki kuu nne za msingi za mtoto ambazo ni Kuishi, Kuendelezwa, kulindwa na kushirikishwa.  Miongoni mwa mashirika hayo ni SAWA Wanawake Tanzania ambalo linatambua umuhimu wa mtoto kuendelezwa kwa kupatiwa elimu na wakati huo huo kulindwa dihdi ya vitendo vya ukatili. Harakati za hivi karibuni zaidi za shirika hilo ni katika wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro ambako shirika hilo liliandaa bonanza kuelimisha jamii kuhusu haki na ulinzi wa mtoto, ikisisitizwa kuweka mbele suala la malezi bora kwa wtoto, kuwalinda na ukatili ikiwemo wa kingono ili awewe kuhitimu masomo yake na kutimiza Ndoto kwani kata ya Dakawa inahitaji msaada kuwanusuru watoto.  Nini kilifanyika? Hamad Rashid wa Radio washirika Kids Time FM nchini humo ameshuhudia bonanza hilo na kuandaa Makala hii. 

SBS Swahili - SBS Swahili
Wapangaji wakabiliana na ongezeko ya shinikizo kupata nakuendelea kuishi ndani ya nyumba

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jul 10, 2022 12:20


Takwimu mpya zina onesha watu wanao kodi nyumba, wako chini ya ongezeko ya shinikizo kupata nakubaki ndani ya nyumba za bei nafuu. 

Le Livre du Prophète Kacou Philippe Version audio)

KUISHI HAPA CHINI by Prophète Kacou Philippe

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Usijaribu kuwa vile watu wengine walivyo. Gundua kile neema ya Mungu imekujalia kufanya.

Bible Bard
Swahili BB-22 Kuishi Maisha Mazuri

Bible Bard

Play Episode Listen Later Feb 4, 2022 10:36


Biblia inasema nini kuhusu kuishi maisha mazuri. (What the Bible says about living a good life.)

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Je! Unajua ya kwamba Mungu anataka yaliyo bora kwako na kwamba ni sawa kwetu kwenda kwake na kila hitaji letu, haijalishi kama ni hitaji kubwa au ndogo?

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Mkutano wa Balozi na Watanzania wanaoishi na kufanya biashara nchini China

Tanzania Embassy Beijing Podcast

Play Episode Listen Later Aug 8, 2021 34:51


Hotuba ya Balozi Mbelwa Kairuki katika Mkutano na Watanzania wanaofanya Biashara na Kuishi nchini China uliofanyika tarehe 8 Agosti 2021

Radio Uhai Broadcast
Maombi Ni Pumzi Ya Kuishi Kwa Aliyeokoka (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Jul 22, 2021 61:00


Habari za UN
Mzazi aishukuru WHO kwa kupatiwa mafunzo ya kuishi na mtoto wake mwenye usonji

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 14, 2021 2:38


Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO kwa kushirikiana na shirika la PANAACEA wanatoa mafunzo nchini Argentina ya kuwezesha watoto wenye usonji kukabiliana na changamoto za ulemavu zinazowakabili ikiwemo kuchelewa kuzungumza.  (Taarifa ya Leah Mushi)   Nchini Argentina, mtoto Gabriel na nduguze wawili wakicheza mezani wakiwa na mama  yao. 

Radio Uhai Broadcast
Kuishi Na Mke Ambaye Hujamlipia Maali (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Jul 10, 2021 65:00


Radio Maria Tanzania
NI KWA NAMNA GANI TUNAWEZA KUISHI WARAKA WA LAUDATO SI?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 6, 2021 50:44


Radio Maria Tanzania
JE! NI IPI NGUVU YA KUISHI MAAGANO YA KRISTO?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 5, 2021 58:52


Radio Uhai Broadcast
Mambo 7 Yatayokusaidia Kuishi Vyema Na Binadamu 1 (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Jun 23, 2021 30:00


Radio Uhai Broadcast
Mambo 7 Yatayokusaidia Kuishi Vyema Na Binadamu 2 (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Jun 23, 2021 98:00


Radio Maria Tanzania
Tulinde Imani yetu kwa kuishi kwa furaha

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 21, 2021 8:30


Habari za UN
Mjasiriamali Furaha: Nashukuru FAO na WFP mimi na wanangu 12 twaweza kuishi

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 20, 2021 2:16


Mradi unaoendeshwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP na la chakula na kilimo

Radio Uhai Broadcast
Kuishi Na Mlevi Ni Kazi (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Apr 8, 2021 15:00


TIMIZA MALENGO YAKO
Nini kinafanya ushindwe kuishi kwenye kusudi lako.

TIMIZA MALENGO YAKO

Play Episode Listen Later Mar 21, 2021 2:57


Follow me onInstagram@joelnanauka_Youtube: Joel NanaukaFacebook@jnanaukaTwitter@jnanauka

Dr Boaz Mkumbo
Mambo 05 yanayoweza kukugharimu juu ya afya yako. Yafahamu Uyatatue

Dr Boaz Mkumbo

Play Episode Listen Later Mar 21, 2021 61:42


MAMBO O5 YANAYO GHARIMU AFYA NA UHAI WAKO 1.Kutokuhoji Kile Unachokula na Kunywa -Mazoea -Malezi -Makundi ya marafiki -Uraibu wa vyakula (Food addictions) 2.Kuruhusu uzito mkubwa na Kupalilia Kitambi Wengi wanatembea na Kisukari Kilicho Jificha kiitwacho Pre diabetes 3. Mwili kuwa katika msongo wa sumu zinazojeruhi mwili ziitwazo Free radicals bila 4.Kujua yaani Oxidative stress. 5. Kupuuza au kuyapotezea maradhi ya Lishe mpaka yanakuletea athari kubwa zisizotibika.  "Kufa siogopi lakini Kuishi kwa mateso ya upofu au kupoteza kiungo hapa duniani sio chaguo langu"

Habari za UN
Nashukuru sasa nimepata nyaraka za kuishi Colombia- Mkimbizi kutoka Venezuela

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 9, 2021 2:57


Radio Uhai Broadcast
Wewe Unaweza Kuishi Naye Huyu (SwahilI)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Jan 9, 2021 73:00


Habari za UN
Watu wa asili wana haki ya kuishi na kulisha familia yao katika ardhi yao-IFAD

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 16, 2020 1:43


Mfuko wa kimataifa wa maendeeo ya kilimo IFAD umesema haki za watu wa jamii za asili za kuishi na kulisha familia zao kwa kutumia ardhi zao kote duniani ni suala la muhimu lisilo na mjadala na mfuko huo umezitaka serikali kote ulimwenguni kuhakikiza haki hizo zinadumishwa.

Radio Uhai Broadcast
Ukufauru Kuishi Na Huyo Maisha Umeyaweza (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Nov 26, 2020 19:00


Radio Uhai Broadcast
Kuishi Naye Ni Mateso,atawasumbua Sana (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Oct 22, 2020 8:00


Chillin With Kanji
Kuishi kwingi

Chillin With Kanji

Play Episode Listen Later Aug 25, 2020 7:35


Welcome back.baader better

Radio Uhai Broadcast
Ukitaka Kuishi Maisha Ya Ushindi Usiangalie Mazingira (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Aug 11, 2020 54:00