Podcasts about Sasa

  • 376PODCASTS
  • 850EPISODES
  • 38mAVG DURATION
  • 1WEEKLY EPISODE
  • Jun 20, 2026LATEST

POPULARITY

20192020202120222023202420252026


Best podcasts about Sasa

Latest podcast episodes about Sasa

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
DRC na kombe la dunia, pia ebola,Gen z kuandamana juni 25 Kenya,hali ya sasa Iran

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jun 20, 2026 20:01


Ni wiki ambayo imegubikwa na michuano ya kombe la dunia 2026 huko Marekani, wiki hii eneo hili la Afrika mashariki na kati lilichangamka baada ya timu ya DRC Leopards kutoka sare na Ureno, virusi vya ebola na juhudi za kikanda kuudhibiti, kukamatwa kwa wakili Erias Lukwago kule Kampala Uganda, lakini pia mashambulio ya kigaidi kwenye uwanja wa ndege wa mjini Niamey huko Niger, na mkutano wa G7 jijini Paris Ufaransa, na hali kadhalika kusainiwa kwa mkataba kati ya Marekani na Iran

CruxCasts
Central Asia Metals (LSE:CAML) - Proposed Cygnus Acquisition Fills Missing Piece In Strategy

CruxCasts

Play Episode Listen Later Jun 17, 2026 28:20


Interview with Gavin Ferrar, CEO of Central Asia MetalsOur previous interview: https://www.cruxinvestor.com/posts/central-asia-metals-lsecaml-beats-cash-forecasts-pays-dividends-9808Recording date: 12th June 2026Central Asia Metals (CAML) has announced the proposed acquisition of ASX-listed Cygnus Metals in an all-share transaction aimed at strengthening its project pipeline and adding a development-stage asset to its portfolio. The deal, expected to complete in September, will see Cygnus shareholders receive approximately 0.06 CAML shares per share, resulting in ownership of about 30% of the combined entity, with existing CAML shareholders retaining 70%. The structure preserves CAML's debt-free balance sheet and allows continued funding of operations, exploration, and dividends.The acquisition centers on the Chibougamau copper-gold project in Quebec, Canada, a brownfield asset comprising five deposits and an existing processing facility. Under Cygnus's ownership, the project's measured and indicated resource increased by 78% to 6.4 million tonnes at roughly 3% copper equivalent, with over 8 million tonnes of inferred resources and significant exploration potential across an 18-kilometre strike length. Existing infrastructure, including an idle mill and permitted tailings facilities, is expected to reduce development costs and timelines compared to a greenfield project.CAML plans to advance the project through an updated preliminary economic assessment followed by a feasibility study, targeting a construction decision within four to five years. The company intends to leverage its operational and tailings management expertise from its Sasa mine, while retaining Cygnus's local management team and community relationships to support permitting and development.Strategically, the acquisition fills a long-standing gap between CAML's exploration assets and producing operations in Kazakhstan and North Macedonia. These existing mines are performing strongly, supporting ongoing dividends of 30–50% of free cash flow. The transaction also reflects a broader industry trend of larger, cash-generative miners acquiring development-stage assets from smaller explorers to unlock value and accelerate project timelines.Learn more: https://www.cruxinvestor.com/companies/central-asia-metalsSign up for Crux Investor: https://cruxinvestor.com

Habari za UN
05 JUNI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 5, 2026 9:38


Jaridani tunakuletea mada kwa kina. Hii leo dunia inaadhimisha Siku ya Mazingira Duniani huku maadhimisho ya kimataifa yakifanyika jijini Baku nchini Azerbaijan. Maudhui ya mwaka huu ni "Sasa kwa ajili ya Tabianchi", yakiweka msisitizo mkubwa wa kuchukua hatua dhidi ya za uhifadhi wa mifumo ya ikolojia na hatua za kukabili tabianchi.Hivi karibuni, Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria pamoja na wadau, iliwasilisha Ripoti ya Hali ya Ziwa hilo ikionesha uwepo wa kemikali hatarishi, taka ngumu, plastiki, pamoja na majitaka vitu ambavyo ni hatari kwa viumbe wa majini na mazingira. Rashid Malekela wa Idhaa hii ametembelea mwalo wa Luchelele, uliopo mkoani Mwanza, kaskazini-magharibi mwa Tanzania, kufahamu jinsi wakazi wa eneo hilo wanavyochukua hatua dhidi ya Tabianchi. Anaanza na uongozi wa Kikundi cha Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi, BMU.Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwemo za ... Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Smart Software with SmartLogic
The State of Code Quality with Saša Jurić

Smart Software with SmartLogic

Play Episode Listen Later May 28, 2026 55:33


In this episode of Elixir Wizards, hosts Charles Suggs and Emma Whamond sit down with Saša Jurić, Elixir mentor and author of Elixir in Action, to discuss software craftsmanship in the age of AI. As AI coding tools become increasingly capable, Saša argues that the real challenge isn't generating code, it's maintaining quality, clarity, and shared understanding within a codebase. We explore the difference between correct code and good code, and why code is more than a set of instructions for a machine to execute. Code is also documentation, communication, and a long-term investment that future developers must be able to understand and maintain. Saša shares his concerns about the growing "theater of pull requests," where teams go through the motions of code review without creating meaningful opportunities for learning, feedback, or knowledge sharing. The hosts and Saša talk about practical ways to work effectively with AI, including taking smaller steps, carefully reviewing AI-generated code, and using AI as a collaborative tool rather than an autonomous developer. Throughout the discussion, Saša challenges the industry's obsession with speed and makes the case that the principles of good software development (incremental progress, clear communication, and human judgment) remain important in the age of AI. Key Topics Discussed The difference between correct code and good code Code as communication, documentation, and shared understanding The "theater of pull requests" and ineffective review practices How AI is changing software development workflows Using AI as a collaborator rather than a replacement Why smaller, incremental changes lead to better outcomes Human oversight in AI-assisted development Balancing development speed with maintainability Pull request size and review effectiveness Commit history as a tool for storytelling and context The risks of accumulating technical debt faster with AI Testing and validating AI-generated code Refactoring AI-generated solutions for clarity Applying agile principles to AI-assisted workflows The role of experience and judgment in software design Why software craftsmanship still matters in the age of AI Links mentioned Code Complete by Steve McConnell https://khmerbamboo.wordpress.com/wp-content/uploads/2014/09/code-complete-2nd-edition-v413hav.pdf Harness AI for DevOps, Testing, and AppSec https://www.harness.io/ Claude Code https://claude.com/product/claude-code Claude Code GitHub https://github.com/anthropics/claude-code Pull Request for Oban https://github.com/oban-bg/oban/pull/331 SMPP https://en.wikipedia.org/wiki/Short_Message_Peer-to-Peer OpenAI Codex https://chatgpt.com/codex/ Opus AI https://opus.ai/ Tidewave https://tidewave.ai/ Credo Static Code Analysis https://github.com/rrrene/credo https://smartlogic.io/podcast/elixir-wizards/s11-e09-static-code-analyzer-elixir-credo-ruby-rubocop/ Link to Sasa's X post https://x.com/sasajuric/status/2029522378196238503 Saša Jurić “Tell Me A Story” at Goatmire https://www.youtube.com/watch?v=GOrKfCs-mr0 https://meks.quest/blogs/the-theatre-of-pull-requests-and-code-review Looks Good to Me: Constructive Code Reviews by Adrienne Braganza https://www.manning.com/books/looks-good-to-me Towards Maintainable Elixir: Testing https://medium.com/very-big-things/towards-maintainable-elixir-testing-b32ac0604b99 TDD, Where Did It All Go Wrong (Ian Cooper) https://youtu.be/EZ05e7EMOLMSpecial Guest: Saša Jurić.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Waathiriwa wa maandamano wakataa mapendekezo ya sasa ya kuhusu fidia nchini Kenya

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 23, 2026 5:26


Waziri Mkuu Anthony Albanese amepuuza matarajio ya vikwazo vikali vya mafuta, kabla ya mkutano wa kitaifa wa baraza la mawaziri leo [[Alhamisi Aprili 23]].

SBS Samoan - SBS Samoan
Filemū e auala i le feutaga'i ae lē o le osofa'i

SBS Samoan - SBS Samoan

Play Episode Listen Later Apr 17, 2026 5:43


Ua vala'au le failautusi aoao o malo ‘aufa'atasi, Antonio Guterres, i le sa'ilia o se filemū i le taua i Sasa'e i Totonu e auala i feutaga'iga ae lē o osofa'iga. Na ia saunoa e leai se tali fa'amilitari o le fa'afitauli lenei.

CruxCasts
Central Asia Metals (LSE:CAML) - Beats Cash Forecasts, Pays Dividends

CruxCasts

Play Episode Listen Later Apr 9, 2026 38:10


Interview with Gavin Ferrar, CEO of Central Asia Metals Our previous interview: https://www.cruxinvestor.com/posts/central-asia-metals-lsecaml-kazakhstan-copper-producer-reports-solid-financial-performance-6938Recording date: 31st March 2026Central Asia Metals PLC, an AIM-listed base metals producer with a $400 million market capitalization, delivered robust 2025 financial results while navigating a critical transition from mature assets to new growth opportunities.The company reported $230 million in revenue and $103 million in EBITDA, generating $56 million in free cash flow. This enabled a 12 pence per share dividend representing a 7% yield—paid at the maximum end of its 30-50% free cash flow distribution policy. The company also completed a $10 million share buyback before market weakness reduced valuations by 20-30% across the mining sector.Central Asia Metals' financial backbone remains the Kounrad copper operation in Kazakhstan, which operates at exceptional 75% EBITDA margins. The facility processes 600 million tons of Soviet-era waste dumps through heap leaching, producing 13,300 tons of copper cathode in 2025. While production guidance moderates to 12,000-13,000 tons for 2026 as leach curves naturally decline after 14 years of operation, the site has consistently outperformed expectations with 13-14% higher copper recovery than forecast. This track record supports management's pursuit of license extension beyond the current 2034 expiration date.The company's SASA lead-zinc mine in North Macedonia faced significant challenges in 2024 due to unexpected geological complexity at depth. Management implemented comprehensive restructuring including an 11% workforce reduction, enhanced geological monitoring, new mining methods, and strategic hedging of 50% of zinc production. Fourth quarter 2025 showed marked improvement, enabling raised guidance for 2026.Looking forward, Central Asia Metals pursues dual-track growth through early-stage exploration across six Kazakhstan licenses and acquisition of pre-feasibility stage development assets trading at 0.25x net asset value. CEO Gavin Ferrar emphasized the company's proven construction and operational expertise as competitive advantages in advancing acquired projects while maintaining financial flexibility through a clean balance sheet and disciplined capital allocation.Learn more: https://www.cruxinvestor.com/companies/central-asia-metalsSign up for Crux Investor: https://cruxinvestor.com

Yeni Şafak Podcast
İbrahim Karagül - Her idamın bedelini bir İsrailli ödemeli. Artık “kısasa kısas” dönemine geçilmeli. İsrail'e karşı önleyici saldırılar başlamalı…

Yeni Şafak Podcast

Play Episode Listen Later Apr 7, 2026 14:34


Önce soykırıma uğratıldılar. Evleri, şehirleri, mezarları, yaşama dair ellerinde ne varsa yok edildi. Babaları, oğulları, anaları ve özellikle bebekleri sistematik olarak şehit edildi. 21. yüzyılın en vahşi, en barbar saldırılarına maruz kaldılar. Evleri mezarlara döndü. Çocukları toprağa döndü.

The Everygirl Podcast
What the Beauty Industry Doesn't Want You to Know: The Truth About Skincare, Celebrities, & Botox

The Everygirl Podcast

Play Episode Listen Later Apr 2, 2026 79:16


#272: Josie sits down with the hosts of The Glow Job Podcast, Julia & Sasa, to pull back the curtain on the business, psychology, and economics behind the beauty industry. They dive into the surprising truths about the products we use every day: how pricing really works, why buzzwords like “clinically proven” and “dermatologist tested” might not mean what you think, and how influencer marketing and luxury packaging shape what ends up in our routines. But this conversation goes deeper than skincare. They also explore the cultural and economic power of beauty—from the “pink tax” to the way appearance impacts women's careers—and why beauty deserves to be taken just as seriously as industries like sports, tech, or finance. This episode will completely change how you think about the beauty aisle and the products sitting on your bathroom counter.You'll learn:Shocking truths about the beauty industry and the products sitting on your shelfThe pink tax and the economics of products marketed to womenHow beauty intersects with confidence, power, and gender inequalityThe history of beauty trendsBeauty hacks that are completely freeThe honest truth about celebrity beauty procedures and Snapchat filters that every woman needs to hearFor Detailed Show Notes visit theeverygirlpodcast.com Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Manufaa ya ardhi oevu ya Ondiri kwa jamii ya kikuyu

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Play Episode Listen Later Apr 1, 2026 10:00


Katika awamu ya kwanza tuliangazia uluhimu wa maeneo ya ardhi poevu katika mazingira, ikiwa ni pamoja na kutumika kama makazi ya aina tofauti ya spishi ya viumbe hai lakini pia ni mazalia ya samaki. Sasa ardhioevu ya Ondiri ni nyumbani kwa zaidi ya spishi 90 za ndege, Kwa mfano, tulifanikiwa kumuona ndege aina ya Korongo ambao mara nyingi wao hutoroka katika ardhioevu ambayo mazingira yake yamechafuliwa. 

Habari za UN
Somalia: FAO na EU warejesha matumaini kwa wakulima kupitia kilimo cha umwagiliaji

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 27, 2026 2:28


Shirika la Umoja wa Mataifa Chakula na Kilimo (FAO) kwa ufadhili wa Muungano wa Ulaya (EU) kupitia mradi wa Maisha Himilivu kwa Mabadiliko ya Tabianchi CLIMB unaolenga kuongeza uzalishaji wa chakula na kuimarisha lishe, limeanza kubadilisha maisha ya wakulima nchini Somalia, hasa katika maeneo ya Kismayo, Marka na Jowhar yaliyokuwa yameathiriwa kwa muda mrefu na ukame na mvua zisizotabirika. FAO imekarabati zaidi ya kilomita 300 za mifereji ya umwagiliaji ili kurejesha upatikanaji wa maji katika mashamba na kwa jamii, hatua inayolenga kuongeza uzalishaji wa chakula na kuimarisha ustahimilivu wa wakazi wa maeneo haya kame nchini Somalia. Wakulima wanasema wameanza kuona matumaini mapya kwani mradi huu wa CLIMB umeboresha maisha yao. Nuur Mukhtar Mohamed ni mmoja wao, anasema uhaba wa maji katika Mto Jordan ulikuwa umeathiri vibaya shughuli za kilimo.Akifafanua anasema, “hapo awali tulikumbana na changamoto kubwa kwa sababu Mto Juba uko chini kuliko mashamba yetu, hali iliyofanya umwagiliaji kuwa mgumu sana. Hata hivyo, mfereji mpya ulioinuliwa umeleta mabadiliko makubwa katika maisha yetu.”Kwa mujibu wa wakulima wengine, maboresho hayo yameleta unafuu mkubwa katika shughuli za kilimo na maisha ya kila siku. Akiwa shambani, Sadiyo Sheikh Ali, mkulima kutoka kijiji cha Bulo Bartire, anaeleza kwamba,“Kabla ya mfereji huu, maji yalikuwa haba sana kiasi cha kusababisha migogoro baina ya wakulima. Sasa hali imeimarika na tuna matumaini mapya. Tumeanza kupata utulivu wa akili.”Mbali na ukarabati wa mifereji, FAO pia inawapatia wakulima mbegu bora na kuwawezesha kuanzisha vikundi vya Akiba na Mikopo vya Kijiji (VSLA), vinavyosaidia kukuza kipato na kuimarisha mshikamano wa kijamii.Akizungumzia umuhimu wa vikundi hivyo, Yusuf Abdisalam Yusuf, Mkuu wa Kikundi cha Midinimo kutoka Goobweyn, amesema “tumeunda kikundi hiki ili kushirikiana na kusaidiana katika shughuli za kilimo na maisha kwa ujumla, bila kujali ukubwa wa msaada.”Mifereji iliyokarabatiwa sasa inaendelea kufufua matumaini na kuleta fursa mpya za kipato katika eneo la Jubaland. Hata hivyo, wakulima wanasisitiza kuwa bado kuna haja ya kuongezewa pembejeo, msaada wa kifedha na mafunzo endelevu ili kuhakikisha jamii zinaendelea kustawi. 

european union climb somalia fao marka hata sasa umoja kwa akiba mbali na eu kabla mataifa mkuu shirika kismayo jubaland
Habari za UN
JIFUNZE KISWAHILI - NENO: NYAPANYAPA

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 26, 2026 0:49


Sasa umewadia wasaa wa kujifunza Kiswahili hii leo, mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana ya neno "NYAPANYAPA" katika muktadha wa uwindaji.Bwana Sigalla anasema "nyapanyapa ni tabia ya mwindaji ambayo anatembea kwa kunyata sana, pole pole ili asisikike wakati anawinda.Anakuwa ananyemelea. Lengo ni kuhakikisha anamsogelea mnyama ama kumshika au kuweza kuwinda mnyama vizuri."

Habari za UN
Meli zilizokuwa zikipita Hormuz zilikuwa 129 kwa siku, sasa ni 2 hadi 7 kwa siku: UNCTAD

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 25, 2026 3:07


Tangu kuanza kwa vita huko Mashariki ya Kati baada ya Israel na Marekani kuishambulia Iran mnamo tarehe 28 Februari na kisha Iran kujibu mashambulizi, wasiwasi umekuwa ukiongezeka kuhusu kupanda kwa bei za mafuta na bidhaa nyingine. Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo na Biashara UNCTAD linafuatilia kwa karibu hali inayoendelea na kutoa takwimu na uchambuzi ili kuzisaidia serikali na wadau wengine waweze kujipanga na kuratibu vyema mambo yao hususan yanayohusiana na usafiri wa baharini.Katikati ya vita hii inayoendelea Mashariki ya Kati kuna suala la mlango bahari wa Hormuz, hili ni eneo muhimu sana lililopo Iran ambako takriban robo ya mafuta yote duniani, meli zake hupita hapo. Bidhaa nyingine muhimu zinazopita hapo ni gesi asilia na mbolea. Ingawa mlango bahari wa Hormuz haujafungwa rasmi, lakini umewekewa vikwazo vikali, huku kukiwa na mashambulizi mengi ya Iran dhidi ya meli tangu vita vilipozuka siku 26 zilizopita. Akizungumza na Idhaa ya Umoja wa Mataifa, Mkuu wa Kitengo cha Masuala ya Uchumi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo na Biashara UNCTAD Frida Youssef anaanza kwa kutueleza hali ilivyokuwa kabla ya vita.“Kabla tu ya mzozo, tunapoangalia wastani wa idadi ya meli kwa siku zilizokuwa zikipitia Hormuz, ilikuwa karibu meli 129, 130 na katika wiki mbili zilizopita, ilikuwa karibu meli mbili hadi saba kwa siku.”Kwa lugha nyingine upungufu ni takriban asilimia 95. Je ni maeneo gani yameathirika zaidi? “Usafirishaji wa mbolea unaathirika pamoja na bei ya uzalishaji, kwa mfano, mbolea za nitrojeni ambazo hutegemea sana gesi. Kwa hivyo, hii inabadilisha tena kuwa ni athari kwenye kilimo ambayo baadaye itaonekana kwenye kupanda kwa bei ya chakula.” UN News/Daniel DickinsonKufungwa kwa mlangobahari wa Hormuz kunaathiri biashara kwa kiwango cha kimataifa.Akiendea na tathmini yake Mkuu huyo wa Kitengo cha Masuala ya Uchumi wa UNCTAD anasema hivi sasa bei za mafuta zimepanda.“Tumeona bei ya mafuta yanayotumika katika vyombo vya usafiri baharini ikiongezeka maradufu. Hii pia inaathiri gharama ya usafiri, si tu kwasababu bei ya mafuta imepanda bali pia bei, kwa mfano, ya bima. Malipo ya bima ya vita yameongezeka, katika baadhi ya maeneo imeongezeka mara nne.”UNCTAD inaendelea kufuatilia na kutoa taarifa kwa serikali na wadau kwani vita hii inayoendelea inaathari kwa kila mtu lakini nchi zenye uchumi mdogo ndio zitakazo athirika zaidi kwani zinauwezo mdogo zaidi wa kuvumilia mshtuko huu wa kiuchumi na ndio zitakazohisi athari zake kwa nguvu zaidi. “Inaathiri usafiri, inaathiri nishati, inaathiri chakula na pia inaongeza gharama na upatikanaji ni mgumu. Kwa hivyo, haya yote kwa pamoja yanakuwa na athari kwenye uchumi wa umma katika nchi, pamoja na gharama za maisha kwa kaya.” 

israel iran hormuz hadi meli sasa umoja hii kwa unctad siku mataifa kabla maendeleo mkuu marekani shirika mashariki
SBS Samoan - SBS Samoan
15 tausaga le sunami i Iapani

SBS Samoan - SBS Samoan

Play Episode Listen Later Mar 13, 2026 8:23


I le kuata i le 3 i le aoauli o le Aso 11 o Mati 2011, na to ai se mafui'e na fuaina i le 9 le malosi i le fua mafui'e i le gataifale i Matu i Sasa'e o le motu o Honshu i Iapani.

RNZ: Afternoons with Jesse Mulligan
We put the spotlight on the only living bear in NZ

RNZ: Afternoons with Jesse Mulligan

Play Episode Listen Later Mar 13, 2026 7:05


The only bear in New Zealand lives at Wellington Zoo. Her name is Sasa and she's not a panda, brown, or polar bear, but the smallest of the eight bear species: a Sun Bear.

Habari za UN
Mpango wa MEMKWA Tanzania wampa fursa ya elimu mtoto Sanita

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 9, 2026 2:40


UNICEF: Mradi wa Elimu Kwa Waliokosa warejesha matumaini kwa mtoto wa kikeNchini Tanzania Mpango wa Elimu Kwa Waliokosa au MEMKWA umemwezesha msichana mmoja kuweza kupata haki yake ya msingi ya elimu na kisha kuwa na matumiani ya kutimiza ndoto yake ya kuwa nesi au muuguzi. Simulizi ya Assumpta Massoi inafafanua kisa hicho kupitia video ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF nchini humo.(Taarifa ya Assumpta Massoi)Nats.. 00'00 – 00'14” (Kwa majina naitwa…. Wanaenda shule)Tupo wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, kaskazini-magharibi mwa Tanzania Sanita huyo alishindwa kuendelea na masomo kwa kukosa vifaa vya shule.(Sauti ya Sanita)Amerejea shuleni kupitia mradi wa MEMKWA uliotambua kuwa zaidi ya watoto milioni 2 wenye umri wa kuwa shule ya msingi nchini Tanzania hawako shuleni hivyo serikali kwa kushirikiana na wadau UNICEF na serikali ya Qatar wakafanikisha MEMKWA.Tangu mwaka 2022 zaidi ya watoto elfu 98 katika mikoa 3 ya Tanzania ikiwemo Kigoma, wamenufaika na MEMKWA.Nats…(Darasani) 0'30-0'36” (Shikamoo mwalimu…….la mstatili)Sasa tumo darasani na Sanita ni miongoni mwa wanafunzi. Rashid, mwalimu wa Sanita anaelezea.(Sauti ya Rashid- Mwalimu wa Sanita)Sanita anakwenda ubaoni kujibu swali. Mwalimu anauliza..Nats.. 1'00” – 1'03” (Ameweza, haya tumpigie makofi….fx makofi)Sanita anafunguka..(Sauti ya Sanita)Kitendo cha Sanita kupata haki ya elimu kinamwezesha hata Rhoedesia ambaye ni mama mzazi wa Sanita kuwaza mustakabali wa binti yake.(Sauti ya Rhoedesia) 1'11” -1'20” (NInavyomuona mwanangu anaenda…. ili apate kazi)Mwalimu Rashid anatamatisha na tathmini ya mradi wa MEMKWA na ombi mahsusi.(Sauti ya Mwalimu Rashid)

Reportage International
Dans le nord d'Israël, les habitants pris entre les feux iranien et libanais

Reportage International

Play Episode Listen Later Mar 8, 2026 2:39


Israël et les États-Unis poursuivent leur guerre contre l'Iran. L'armée israélienne mène aussi une offensive dans le sud-Liban, contre le Hezbollah, allié du régime de Téhéran. Des dizaines de milliers de Libanais ont dû fuir les combats. De l'autre côté de la frontière, les Israéliens se retrouvent eux aussi, encore une fois, en première ligne, deux ans après la dernière guerre avec le Liban. Notre envoyé spécial en Israël est allé à leur rencontre, à quelques kilomètres du front. De notre envoyé spécial en Israël, Johanna nous emmène dans son sous-sol. Un abri y a été aménagé. Son mamad – nom donné à ce genre d'abri – est devenu l'une des pièces principales de la maison. « Ici, dorment mon mari et mon fils », montre Johanna. Nous sommes à Ma'alot, une petite ville à seulement sept kilomètres de la frontière. La menace est très proche. Les alertes aériennes sonnent plusieurs fois par jour. « On a celle des tirs qui viennent du Liban et là, on a une alerte directement et il faut tout de suite se mettre à l'abri. Le délai, c'est zéro seconde. Et on a les alertes des tirs qui viennent d'Iran. Et là, on a un avertissement. » Une guerre pour « finir le travail » Prise entre deux feux, cette professeure d'hébreu, mère de quatre enfants, en a vu d'autres : « Il y a une espèce de sensation "encore une fois", et en même temps, on est peut-être plus à même de réagir correctement. On est moins dans la panique, on fait tout de suite ce qu'il faut. Les enfants, ils le prennent, ils le gèrent mieux. » Mieux préparée mais aussi plus inquiète pour l'avenir, Johanna soutient quand même la guerre pour « finir le travail ». « Je ne crois pas qu'il n'y ait aucune intervention extérieure qui ait jamais été faite que par des motivations très altruistes, etc. Mais on ne peut pas nier quand même que ça soit nécessaire de le faire. Et là tout de suite, je soutiens entièrement ce qui est en train d'être fait », appuie-t-elle. À lire aussiEn Iran, un quotidien rythmé par les bombes et une répression toujours aussi brutale À quelques collines de la frontière, le danger est omniprésent À 20 minutes de route, la journée est encore calme au kibboutz de Sasa, 250 habitants. Le front n'est plus qu'à trois kilomètres. On y retrouve Yaëlle dans la grande salle commune, totalement vide. « La salle à manger joue un très grand rôle dans notre vie sociale. On y rencontre des gens », explique-t-elle. Yaëlle a quitté la France pour s'installer ici, il y a 50 ans. Déplacée pendant la dernière guerre, elle ne repartira plus. Elle ne se fait plus d'illusions :  « On a pensé ça après chaque opération, après chaque guerre qu'il y a eu. Et malheureusement, ça ne se passe pas vraiment comme on espérait. Je ne suis pas très optimiste. C'est notre vie, je pense : angoissante et qui ne nous rend pas très optimistes. » Quelques collines nous séparent désormais de la frontière. Dans les hauteurs de Kyriat Shmona, le danger est omniprésent. La guerre pourrait durer encore plusieurs semaines, prévient le gouvernement israélien. Les habitants du nord d'Israël sont prêts à tenir encore, angoissés mais résignés, sans savoir quand ils pourront retrouver une vie normale. À lire aussi«On en ressortira plus forts»: en Israël, une déplacée raconte le bombardement de son habitation

Habari za UN
04 MACHI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 4, 2026 13:06


Miongoni mwa utakayo yasikia hii leo jaridani ni mzozo huko Mashariki ya Kati baada ya Israel na Marekani kuishambulia Iran na kisha Iran kujibu mashambulizi. Sasa nchi jirani nazo zimeathirika ikiwemo Lebanon ambapo sasa UNHCR inatoa msaada kwa wananchi. Zikiwa ni siku chache kabla ya Siku ya wanawake duniani tarehe 08 Machi, leo utasikilia simulizi ya mwanamke aliyekuwa akifanyiwa ukatili na mume wake na msaada aliopokea kutoka WLAC. Katika masuala hayo hayo ya wanawake tutasikia wanawake wa Masrabit wanavyoelimisha wenzao kukataa ukeketaji kupitia mradi wa UNFPA nchini Kenya

Habari za UN
Komesha FGM SASA: Mradi wa kupambana na ukeketaji waleta nuru nchini Kenya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 4, 2026 4:15


Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya watu na Afya ya Uzazi UNFPA nchini Kenya kwa kushirikiana na Muungano wa Ulaya wanatekeleza mradi wa kukomesha ukeketaji ambapo waathirika wanatumika kutoa elimu kwa mabinti na jamii ili kuondokana na mila hiyo potofu. Kaunti ya Marsabit , iliyoko Kaskazini mwa nchi ya Kenya, iko mpakani na nchi ya Ethiopia. Kaunti hii ambayo ni ya pili kwa ukubwa nchini Kenya baada ya ile ya Turkana wakazi wake wengi ni wafugaji, na mbali na changamoto za mabadiliko ya tabianchi wanawake wa hapa wamepitia masahibu ya ukeketaji au kwa lugha ya kiingerza Female genital mutilation (FGM). Audio fileShirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi, (UNFPA) chini ya Ufadhili kutoka Muungano wa Ulaya nchini Kenya wanatekeleza mradi uitwao Komesha FGM SASA Kila muathirika wa ukeketaji anayo hadithi ya kusimulia na ndio maana kwa namna ya kipekee mradi huu unawatumia waathirika hao, kuwaelimisha wanajamii wenzao ili kuondokana na tamaduni ya ukeketaji. Prisca Lekuraki ni mmoja wao. “Mimi nilipitia magumu sana, baada ya kukeketwa nilipata shida sana, ni Mungu ndio amenisaidia mpaka nimefika hapa. Nilipoenda kujifungua mtoto wangu wa kwanza nilipata shida sana, kila nikienda kuzaa nikawa napitia shida sana, sasa hivi nina watoto watatu na nikajifunga nisizae tena. Niliona vile nimeumia nikasema siwezi kukubali binti yangu naye aumie hivyo. Na hiyo ndio ilinifanya niamke niungane na wengine kuhamasisha kukataa ukeketaji.”Ameongeza kuwa katika tamaduni zao wanamila nyingi nzuri sana na wanaweza kuziendeleza na kuachana na hii mila moja ya ukeketaji kwani ni mbaya na inamadhara. Prisca amepongeza mradi wa Komesha FGM SASA wa UNFPA kwa kuwasaidia kuwafikia wale ambao awali ilikuwa ni vigumu kuzungumza nao.“Kuna mahali wametufikisha na tumeona mafanikio, hapo awali tulikuwa tunaweza kwenda kwa wamama, vijana na watoto ila wale watu ambao ilikuwa inatushinda kuwafikia ilikuwa ni wazee. Lakini hii kukutana na wazee, wamama na wanakijiji kwa ujumla imesaidia, kwasababu nilikutana na wakina mama wakaniambia ile kitu mlikuwa mnasema tumeona ni uhalisia na tumeona inaweza kufanyika.”Mwingine aliyeathirika na ukeketaji ni Nasarai Learo anasema ukeketaji umechukua nguvu zake.“Mimi sina nguvu kama yule mama ambaye hajakeketwa, nilienda kuwaambia wamama wasikekete watoto wao, lakini wakaniambia wananifahamu na nilipoolewa nilkuwa mdogo sana na wao ndio walionishika nikatetetwe nikiwa mdogo. Lakini mimi niliwaeleza mimi sikuwa najua hiki kitu ni kibaya lakini sasa hivi nimekuwa na elimu na nimejua ubaya wake.”Nasarai anaamini kuwa iwapo jamii itapata elimu basi itabadilika“Jamii yetu sanasana haina elimu, tukiona jamii yetu watu wachache ndio wamesoma na wengi wakisoma watapata hiyo elimu zaidi na watakuja kuikomesha FGM. Mimi naamini kwamba miaka 10 inayokuja mambo ya kukeketa wasichana hatutasikia tena.” Elimu ya kutokomeza ukeketaji inatolewa katika maeneo mbalimbali ikiwemo masokoni, katika vikao vya jumuiya na mashuleni. 

Sake On Air
Songs of Sake for Koto and Shamisen with Bobby Griffin

Sake On Air

Play Episode Listen Later Feb 27, 2026 47:05


Frank visited the multi-instrumentalist Bobby Griffin at his home and studio to talk about how sake is treated in traditional Japanese music. In particular they talked about Sasa no Tsuyu, a piece for shamisen, koto, and voice. It was arranged in the 1800s and the lyrics are all about the power and pleasure of sake. We also filmed our visit, and you can check out the video here on youtube: https://youtu.be/8anultw4rFY If you are in Japan and want to learn how to play Sasa no Tsuyu, check out Bobby’s school! As always, if you have questions or comments, please do share them with us at questions@sakeonair.com or send us a message on our Instagram, Facebook, or Substack!We'll be back very soon with plenty more Sake On Air. Until then, kampai! Sake On Air is made possible with the generous support of the Japan Sake & Shochu Makers Association and is broadcast from the Japan Sake & Shochu Information Center in Tokyo. Sake on Air was created by Potts K Productions and is produced by Export Japan. Our theme, “Younger Today Than Tomorrow,” was composed byforSomethingNew for Sake On Air.

Sake On Air
Songs of Sake for Koto and Shamisen with Bobby Griffin

Sake On Air

Play Episode Listen Later Feb 27, 2026 47:05


Frank visited the multi-instrumentalist Bobby Griffin at his home and studio to talk about how sake is treated in traditional Japanese music. In particular they talked about Sasa no Tsuyu, a piece for shamisen, koto, and voice. It was arranged in the 1800s and the lyrics are all about the power and pleasure of sake. We also filmed our visit, and you can check out the video here on youtube: https://youtu.be/8anultw4rFY If you are in Japan and want to learn how to play Sasa no Tsuyu, check out Bobby’s school! As always, if you have questions or comments, please do share them with us at questions@sakeonair.com or send us a message on our Instagram, Facebook, or Substack!We'll be back very soon with plenty more Sake On Air. Until then, kampai! Sake On Air is made possible with the generous support of the Japan Sake & Shochu Makers Association and is broadcast from the Japan Sake & Shochu Information Center in Tokyo. Sake on Air was created by Potts K Productions and is produced by Export Japan. Our theme, “Younger Today Than Tomorrow,” was composed byforSomethingNew for Sake On Air.

The 4&3 Podcast
Media Ignore Disturbing Christian Genocide, Teachers Union Makes Shocking Admission, 2 Timothy 3

The 4&3 Podcast

Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 21:04


Help Persecuted Christians TODAY: https://csi-usa.org/ Christian Solidarity International On today's Quick Start podcast: NEWS: A massive avalanche buries backcountry skiers in California's Sierra Nevada, leaving 10 missing as rescuers battle whiteout conditions. Plus, New York City's socialist promises meet a $5.4 billion deficit — and middle-class taxpayers may foot the bill. FOCUS STORY: In a stunning move, San Francisco's teachers union urged parents not to homeschool during a strike — fearing students might thrive without the system. When education becomes leverage, who really holds the power? MAIN THING: Myanmar's hidden humanitarian disaster — churches burned, pastors arrested, believers displaced. Dr. Sasa joins us with firsthand accounts of the “systematic” persecution of Christians that much of the world is ignoring — and why action matters now. LAST THING: 2 Timothy 3:12 — A reminder that those who seek to live a godly life in Christ Jesus will face persecution — but they are not alone. PRAY WITH US! Faithwire.substack.com SHOW LINKS Faith in Culture: https://cbn.com/news/faith-culture Heaven Meets Earth PODCAST: https://cbn.com/lp/heaven-meets-earth NEWSMAKERS POD: https://podcasts.apple.com/us/podcast/newsmakers/id1724061454 Navigating Trump 2.0: https://podcasts.apple.com/us/podcast/navigating-trump-2-0/id1691121630

Lets talk about real estate with Lisa B
124: 127+ Sales in 12 Months | Discipline, Prospecting, and Real Results with Sasa Peci

Lets talk about real estate with Lisa B

Play Episode Listen Later Feb 4, 2026 29:54


In this episode of the Let's Talk About Real Estate podcast, I'm joined by Sasa Peci from All Properties Group in Browns Plains, Queensland. Sasa arrived in Australia as a refugee in 1998 with nothing but a strong work ethic and a determination to build a life. Seven years into his real estate career, he is now one of Logan's top performing agents. In just his second year in real estate, Sasa achieved $940,000 in GCI. According to REA data, he sold 127 properties in the past 12 months, with an average of just 13 days on market. What truly sets Sasa apart is his people-first mindset. His success is built on discipline, consistency, and mastering the fundamentals, even when no one is watching. In this conversation, we cover: What agents misunderstand about working in competitive and non-glamour markets What really separates top performers from the rest How Sasa stays disciplined on the days motivation is low The habits and systems he protects as volume increases How his prospecting and follow-up have evolved over time What actually wins listings before sitting at the table How he handles rejection, setbacks, and high-pressure moments The advice he would give agents who feel stuck or are questioning the industry This episode is a must-listen for real estate agents who want real insight into what it actually takes to build sustainable success in this business.

Habari za UN
Waliofurushwa na mafuriko Msumbiji sasa wafikia 400,000- UNHCR

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 30, 2026 2:24


Idadi ya watu waliofurushwa makwao nchini Msumbiji kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizoanza kunyesha katikati ya mwezi uliopita wa Desemba inakaribia 400,000 hali inayoongeza hatari kubwa katika fursa ya kuwapatia ulinzi na huduma zinazohitajika. Limesema shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi, UNHCR kama anavyosimulia Flora Nducha.

unhcr sasa umoja mataifa desemba
The Mercy Minute
"Me na gladi. Me na bluff."

The Mercy Minute

Play Episode Listen Later Jan 27, 2026 1:01


In rural Sierra Leone, Sasa works endlessly to provide for her family.

Checkpoint
Checkpoint 12x01 - Mit várunk 2026-tól?

Checkpoint

Play Episode Listen Later Jan 22, 2026 135:00


Az IDDQD podcastjének 12x01-es (összesen 228.) adása Grathtel és Stökivel. Vendég: Sasa és Mazur, "videojáték-szakértők". Téma: 2026 várható játékai, kristálygömbbe nézés, a tavalyi jóslatok értékelése és megszégyenülésünk. Kísérőposzt linkekkel: https://iddqd.blog.hu/2026/01/23/checkpoint_12x01_mit_varunk_2026-tol

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo:Je,uangalizi wa ndege ni jambo maarufu miongoni mwa vijana sasa hivi?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 12, 2026 6:39


Mnapofikiria kutazama ndege, labda mnawazia wastaafu. Lakini kizazi kipya kinaanza kutumia darubini na kujihusisha na burudani hii. Kile kilichokuwa kimbilio kutoka ulimwengu wa mtandaoni sasa kinafufuka tena mtandaoni.

sasa jambo kile makala hivi lakini vijana miongoni
Checkpoint
Checkpoint 11x09 - 2025 legjobb videojátékai

Checkpoint

Play Episode Listen Later Dec 31, 2025 135:49


Az IDDQD podcastjének 11x09-es (összesen 227.) adása Grathtel és Stökivel. Vendég: Sasa és Mazur, "videojáték-szakértők". Téma: 2025 legjobb - vagy legalábbis számunkra kedvenc - videojátékai. Kísérőposzt linkekkel: https://iddqd.blog.hu/2025/12/31/checkpoint_11x09_2025_legjobb_videojatekai_szerintunk

Checkpoint
Checkpoint 11x08 - Ilyen volt a játékipac 10, 20, 30, 40 (és még több) éve

Checkpoint

Play Episode Listen Later Dec 30, 2025 123:00


Az IDDQD podcastjének 11x08-as (összesen 226.) adása Grathtel és Stökivel. Vendég: Sasa, "videojáték-szakértő". Téma: visszatekintés a játékpiac 10, 20, 30, 40 és még több kerek évvel ezelőtti helyzetére. Kísérőposzt linkekkel: https://iddqd.blog.hu/2025/12/30/checkpoint_11x08_ilyen_volt_a_jatekpiac_10_20_30_40_es_meg_tobb_eve

Buchkritik - Deutschlandfunk Kultur
Saša Stanišić - Die schönsten Reden und eine Ermutigung

Buchkritik - Deutschlandfunk Kultur

Play Episode Listen Later Dec 24, 2025 18:45


Saša Stanišić hatte viele Anlässe, Reden zu halten, vor allem Dankesreden nach verliehenen Literaturpreisen. In seinem neuen Buch beschreibt er, wie er in Reden mit Überraschungen arbeitet, und warum er in Graz über Thomas Bernhard sprechen möchte. Stanisic, Sasa www.deutschlandfunkkultur.de, Lesart

Lesart - das Literaturmagazin - Deutschlandfunk Kultur
Saša Stanišić - Die schönsten Reden und eine Ermutigung

Lesart - das Literaturmagazin - Deutschlandfunk Kultur

Play Episode Listen Later Dec 24, 2025 18:45


Saša Stanišić hatte viele Anlässe, Reden zu halten, vor allem Dankesreden nach verliehenen Literaturpreisen. In seinem neuen Buch beschreibt er, wie er in Reden mit Überraschungen arbeitet, und warum er in Graz über Thomas Bernhard sprechen möchte. Stanisic, Sasa www.deutschlandfunkkultur.de, Lesart

Kultur heute Beiträge - Deutschlandfunk
Stas Zhyrkov inszeniert "Herkunft" nach Sasa Stanisić am Berliner Ensemble

Kultur heute Beiträge - Deutschlandfunk

Play Episode Listen Later Nov 14, 2025 5:16


Spreng, Eberhard www.deutschlandfunk.de, Kultur heute

Fazit - Kultur vom Tage - Deutschlandfunk Kultur
Stas Zyrkov bringt Sasa Stanisićs Roman "Herkunft" ins Berliner Ensemble

Fazit - Kultur vom Tage - Deutschlandfunk Kultur

Play Episode Listen Later Nov 13, 2025 7:45


Mumot, André www.deutschlandfunkkultur.de, Fazit

The Mercy Minute
"I Look Good Now!"

The Mercy Minute

Play Episode Listen Later Oct 31, 2025 1:01


Sasa never imagined she'd see Freetown, the capital of Sierra Leone.

Habari za UN
Wagonjwa wanaohitaji tiba zaidi Gaza wasafirishwa kupata tiba zaidi Afrika Kusini na kwingineko

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 29, 2025 3:24


Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni, WHO, limeongoza uhamishwaji wa wagonjwa kutoka Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israeli, ikiwa ni  mara ya kwanza tangu kuanza kwa awamu mpya ya kusitishwa kwa mapigano kwenye  ukanda huo.Katika muda wa siku mbili, wagonjwa 41 waliokuwa katika hali mbaya pamoja na familia zao 145 wamehamishwa kutoka eneo la mgogoro, kuelekea Afrika Kusini, Uswisi na kwingineko, huku maelfu zaidi wakiendelea kusubiri matibabu ya dharura.Katika hospital iliyojengwa kwa mahema  katika eneo la AL-MAWASI, RAFAH kwenye Ukanda wa Gaza wagonjwa wakihudumiwa kila kona watoto kwa wakubwa Miongoni mwao ni Ibrahim Abu Ashiba, mkurugenzi wa filamu ambaye maisha yake yamebadilika ghafla. Anakumbuka wakati alipojeruhiwa. Anasema, "Nilipigwa risasi mara kadhaa, mara moja kwenye kifua, mara moja kwenye bega, mara mbili mkononi. Risasi hizo mbili zilikata mishipa ya neva ya mkono wangu. Sasa siwezi kushika kamera wala kunyoosha mkono wangu kawaida. Ghafla, maisha yangu yote yalisimama."Safari ya kupona kwa Ibrahim inaanzia Afrika Kusini, ambapo amekubaliwa kwenda kupokea matibabu maalum ambapo anasema "Maisha yangu yote yalikuwa yamesimama baada ya kujeruhiwa hadi waliponipigia simu na kunijulishakwamba nitasafiri kwenda Afrika Kusini kwa matibabu. Ilionekana kama nimezaliwa upya."Mgonjwa mwingine katika hospitali hii ni, Maria Al-Shaer, alijeruhiwa vibaya katika mashambulizi yaliyokuwa yakiendelea Gaza, huku akipoteza ndugu zake. Mama yake, Raghda Ahmed Al Shaer, anaelezea mateso hayo. "Maria amepoteza baba yake na ndugu zake wote. Alijeruhiwa na kuvunjika mguu, mifupa na kupoteza nyama. Anahitaji upasuaji wa kuwekewa viungo bandia. Maisha yake yamegeuka, hawezi kutembea, na hali yake ya kisaikolojia imeathirika sana."Uhamishwaji huu umeratibiwa na Shirikisho la Chama cha Msalaba Mwekundu Palestina, kwa msaada wa WHO. Dkt. Luca Pigozzi, Mratibu wa Timu ya Dharura ya WHO, anafafanua umuhimu wake."Huu ni uhamishaji wa kwanza wa matibabu tangu kusitishwa kwa mapigano Oktoba 10. Tumejizatiti kuongeza uwezo wetu kusaidia na kuratibu uhamishaji kwa ajili ya matibabu, kwa ushirikiano wa karibu na Shirikisho la chama cha Msalaba Mwekundu la Palestina."Raghda anaeleza matumaini kwa ajili ya binti yake wanapohama kwenda Uswisi. "Wametupigia kutuarifu kwamba Maria amekubaliwa kusafiri kwenda Uswisi kwa matibabu. Tumefurahi sana kwamba atatembea tena, na hali yake ya kisaikolojia itaboreka. Atarudi kuwa Maria wa kawaida kama tuliyemjua."WHO inasisitiza kuwa wagonjwa takriban 15,000 bado wanangojea idhini ya kupata matibabu nje ya Gaza na inatoa wito kwa nchi zote kufungua milango yote za dharura kwa ajili ya uokoaji wa wagonjwa.

Habari za UN
Sasa Pooja Durga si ibada tu ya kidini bali inasongesha SDGs

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 10, 2025 4:09


Mnamo mwaka wa 2021, Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) liliongeza kwenye orodha ya turathi za dunia za tamaduni zisizoshikika au kugusika, Pooja Durga ambayo ni sherehe kubwa ya kihindu ya ushindi wa mungu wa kike aitwaye Durga dhidi ya jini Mahishasura, ikiwa ni ishara ya ushindi wa mema dhidi ya maovu. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.

bali sdgs pooja durga sasa umoja elimu ibada mataifa shirika
Habari za UN
UN Tanzania yatoa elimu ya amani na utangamano kwa wanafunzi kuelekea

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 19, 2025 2:30


Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Amani, hapo Jumapili tarehe 21 mwezi Septemba 2025, Umoja wa Mataifa nchini Tanzania kwa kushirikiana na baadhi ya wadau nchini humo, umeendesha warsha ya siku moja ya kutoa elimu kwa wanafunzi wa shule ya msingi Hazina jijini Dar es Salaam kuhusu ya umuhimu wa kuishi kwa amani na kuchukua hatua sasa katika kuidumisha. Warsha hiyo imeongozwa na kauli mbiu  “Chukua hatua Sasa, kwa ajili ya Dunia yenye Amani.” Katika warsha hiyo, baadhi ya wanafunzi wameeleza walichojifunza na namna elimu hiyo inavyoweza kuwanufaisha katika maisha yao ya kila siku. Shuhuda wetu katika mafunzo ni Sabrina Saidi anatupasha ilivyokuwa

dar tanzania dunia salaam sasa umoja katika siku elimu mataifa kimataifa jumapili septemba
Habari za UN
19 SEPTEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 19, 2025 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia wakimbizi wa ndani wa Palestina Gaza, na ujumbe wa mwakilishi wa kudumu wa Kenya kwenye Umoja wa Mataifa Balozi Ekitela Lokaale kuhusu mchango wa Afrika katika kazi za Umoja wa Mataifa. Pia tunakwenda Tanzania kumulika amani.Baada ya amri iliyotolewa na jeshi la Israel la kuwataka Wapalestina walioko katika eneo la mji wa Gaza huko Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel kuondoka eneo hilo kwani linataka kufanya mashambulizi, hali imekuwa mbaya kwa wananchi hususan wazee ambao sasa wanafunga safari kilometa nyingi kuondoka eneo hilo.Ilikuwa miezi, wiki na sasa imesalia siku tatu tu kabla ya mjada mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA80 kun'goa nanga hapa kwenye Makao Makuu jijini New York Marekani ambapo viongozi wa Dunia na wakilishi mbalimbali watashiriki kwenye mkutano wa 80 wa Baraza Kuu. Mada mbalimbali zitajadiliwa ikiwemo maadhimisho ya miaka 80 ya Umoja wa Mataifa.Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Amani, hapo Jumapili tarehe 21 mwezi Septemba 2025, Umoja wa Mataifa nchini Tanzania kwa kushirikiana na baadhi ya wadau nchini humo, umeendesha warsha ya siku moja ya kutoa elimu kwa wanafunzi wa shule ya msingi Hazina jijini Dar es Salaam kuhusu ya umuhimu wa kuishi kwa amani na kuchukua hatua sasa katika kuidumisha. Warsha hiyo imeongozwa na kauli mbiu  “Chukua hatua Sasa, kwa ajili ya Dunia yenye Amani.”Mwenyeji wako ni Assumpta, karibu!

Habari za UN
UNICEF yahimiza Taliban kuruhusu wasichana Afghanistan kuendelea na masomo

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 17, 2025 2:42


Tarehe kama ya leo, 18 Septemba mwaka 2021 dunia ilishitushwa na kuhuzunishwa na tangazo lililotolewa la uongozi wa Taliban nchini Afghanistan la kukataza wasichana barubaru kuendelea na masomo na kwamba darasa la sita ndio mwisho wa elimu yao. Sasa ni miaka minne na katazo hilo bado limesimama kitu ambacho Umoja wa Mataifa umeeleza kuwa ni “moja ya dhulma kubwa za wakati wetu.”  Leah Mushi na taarifa zaidi.

Habari za UN
17 SEPTEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 17, 2025 9:59


Jaridani leo jaridani tunaangazia haki ya elimu kwa wasichana na wanawake nchini Afghanistan, na kuzorota kwa huduma za afya katika ukanda wa Gaza. Pia tunakwenda nchini Zambia kumulika mradi wa wakulima wadogo.Tarehe kama ya leo, 18 Septemba mwaka 2021 dunia ilishitushwa na kuhuzunishwa na tangazo lililotolewa la uongozi wa Taliban nchini Afghanistan la kukataza wasichana barubaru kuendelea na masomo na kwamba darasa la sita ndio mwisho wa elimu yao. Sasa ni miaka minne na katazo hilo bado limesimama kitu ambacho Umoja wa Mataifa umeeleza kuwa ni “moja ya dhulma kubwa za wakati wetu.”Wakati Israeli ikiwa imetoa amri mpya ya watu kuhama kutoka jiji la Gaza katika eneo inalokalia kimabavu la Palestina, na kuelekea eneo ililotenga na kuliita ukanda wa kibinadamu kusini mwa Ukanda wa Gaza, shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO limesikitishwa na agizo hilo jipya ikisema eneo halina ukubwa wala huduma za kutosha kusaidia wale walioko tayari huko, sembuse wale watakaowasili. Huduma za afya ni tete.Kupitia mradi wa SCRALA uliowezeshwa na  shirika la Umoja wa Mataifa  la mpango wa maendeleo, UNDP, wakulima wadogo nchini Zambia sasa wanaweza kulima mwaka mzima kwa kutumia miundombinu inayostahimili mabadiliko ya tabianchi kama vile mifumo ya umwagiliaji na vituo vya ukusanyaji mazao, jambo linalochangia kuongezeka kwa tija na upatikanaji wa masoko.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Habari za UN
Asante UNMISS sasa kesi za miaka 10 zinaenda kusikilizwa

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 15, 2025 3:05


Nchini Sudan Kusini ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo UNMISS unaendelea kuimarisha mfumo wa mahakama ili kuhakikisha haki inapatikana kwa wote hata maeneo yote ya nchi hiyo. Leah Mushi na taarifa zaidi

asante sasa umoja kesi miaka mataifa unmiss sudan kusini
Habari za UN
UNICEF yawawezesha vijana kwenye kilimo nchini Kenya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 12, 2025 3:09


Kaunti ya Kirinyaga, iliyoko katikati mwa nchi ya Kenya kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Nairobi, inashuhudia mageuzi mapya katika sekta ya kilimo kupitia mradi wa kuwahusisha vijana  katika kilimo na lishe unaojulikana kama EKYAN. Mradi huu unatekelezwa kwa ushirikiano kati ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF, na wadau nchini humo.  Karibu Sabrina Saidi utupe taarifa zaidi.....(TAARIFA YA SABRINA SAIDI)Mradi wa EKYAN ni mfano wa ujasiriamali wa kilimo unaoongozwa na vijana, ukiwa na lengo la kutengeneza fursa za ajira, kuwanufaisha na kubadilisha maisha ya vijana walioko vijijini, kupitia mbinu bora za kilimo na lishe, ukitekelezwa kwa ushirikiano kati ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF, serikali ya kaunti ya Kirinyaga na shirika linalotoa mafunzo, elimu ya biashara ndogo ndogo na uwezeshaji barani Afrika KUZA Biashara.Felista Nyakio Mutungi kijana mkulima wa kaunti ya Kirinyaga, ni mmoja wa wanufaika wa mafunzo kupitia mradi huo. Na hapa anasema....CUT 2- Sauti ya Felista Nyakio Mutungi“Kabla ya kuanza kilimo, nilikuwa nauza barabarani viazi vya kukaanga au chipsi,  na mihogo, pamoja na nafaka. Haikuwa vizuri sana, lakini ndiyo nafasi pekee niliyokuwa nayo wakati huo. Kupitia serikali ya kaunti ya Kirinyaga, tulisajiliwa kama vijana wanaopenda kilimo na tukapata mafunzo kupitia KUZA na UNICEF. Sasa mimi ni mkulima na mjasiriamali.”Felista anasema awali alikuwa akilima robo ekari ya mpunga na kuvuna magunia manne hadi matano pekee. Lakini baada ya mradi wa EKYAN, kwa robo ekari hiyo hiyo sasa anapata hadi magunia saba. Aidha, shamba lake limepanuka hadi ekari nne katika eneo la 'mradi wa umwagiliaji wa Bura.Felista hakutaka kuwa mchoyo wa manufaa aliyopata, hivyo ameamua kueneza ujuzi wa kilimo cha kibiashara kwa kuwafundisha baadhi ya wakulima wengine mbinu na maarifa ya kilimo hiki.CUT- Sauti ya Felista  Nyakio Mutungi“Sasa si tu kwamba nalima, bali pia nawafundisha wakulima wengine kuongeza thamani katika mazao yao. Wanapata ujuzi wa kufanya biashara kupitia kilimo. Na kwa kweli tunawashukuru wahisani na UNICEF kwa kutuwezesha. Bila mpango huu, nisingekuwa hapa nilipo leo.”Kwa upande wake mtaalamu wa ubunifu wa UNICEF nchini Kenya Lilian Njoro, anaeleza kwa nini mradi huo ni muhimu kwa vijana.CUT- Sauti ya Lilian Njoro."Ni asilimia 10 pekee ya vijana wanaojihusisha na sekta ya kilimo. Kwa hivyo, kupitia mradi wa EKYAN, tulitaka kuona jinsi ya kuwahusisha vijana wengi zaidi katika kilimo na kuwavutia ili waweze kuanza kupata maisha yenye utulivu na ajira bora kupitia sekta hii.”Njoro anasisitiza kuwa teknolojia mpya zinafungua njia kwa kilimo cha kisasa tofauti na enzi za wazazi na mababu zao.Namna kilimo kinavyofanyika nyakati hizi ni tofauti na zamani,hii ni kwa sababu ya uwepo wa teknolojia bunifu, majukwaa ya kidijitali, na fursa nyingi.Kwa sasa, mradi wa EKYAN umeendelea kuwajengea vijana ujuzi, kuwapatia nafasi ya ajira, na kubadilisha mtazamo wao kuhusu kilimo, kutoka shughuli ya kizamani hadi kuwa biashara yenye faida.Link: https://youtu.be/hv17nk-2l5kTAGS:UNICEF Kenya/Kilimo/Biashara na ujasiriamali

Habari za UN
Mshikamano wa nchi zinazoendelea kuchagiza SDGs

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 12, 2025 2:46


Leo ni siku ya kimataifa ya ushirikiano baina ya nchi zinazoendelea zikijulikana pia kama nchi za kusini ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ametoa tamko lenye msukumo mkubwa likitambua ustahimilivu, ubunifu, na ushawishi unaoongezeka wa nchi zinazoendelea katika kuleta maendeleo ya kimataifa. Assumpta Massoi anatoa maelezo zaidi.(Taarifa ya Assumpta Massoi)Kwanza kabisa ni vema kufahamu kuwa nchi hizi zinaitwa za kusini, kwa maana kwamba bado ziko nyuma kimaendeleo zikilinganishwa na zile za kaskazini, (ingawa si kijiografia) ambazo zinaonekana kuwa zina maendeleo kiuchumi.Maudhui ya siku hii ni – fursa mpya na ubunifu kupitia ushirikiano wa kusini-kusini na ushirikiano wa pembetatu, ikimaanisha ushirikiano kati ya nchi zinazoendelea, na vile vile mashirika ya kimataifa na nchi zilizoendelea.Sasa katika siku hii ya leo iliyopitishwa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa tarehe 22 mwezi Desemba mwaka 2003 kwa lengo la kusongesha ushirikiano wa kiufundi baina ya nchi zinazoendelea Guterres anasema “katika dunia inayozidi kuwa na nguvu nyingi za ushawishi, nchi zinazoendelea zinaonesha ustahimilivu wa kipekee na ubunifu wa hali ya juu. Sio tu katika kukabiliana na migogoro, bali pia katika kusukuma mbele mageuzi.”Mathalani nchi hizo zinabuni na kubadilishana majawabu bunifu katika maeneo muhimu kama vile kilimo kinachozingatia mabadiliko ya tabianchi, teknolojia rafiki kwa mazingira, fedha za kidijitali, na ubunifu katika sekta ya afya.Amesisitiza kuwa mafanikio haya yanajengwa juu ya misingi ya kuheshimu pande zote, kujifunza kwa pamoja, na lengo la pamoja—ambayo ndiyo misingi ya ushirikiano wa Kusini-Kusini na ule wa pembetatu.Hata hivyo amesisitiza kuwa ushirikiano huu si ishara tu ya mshikamano, bali pia ni nguvu kuu ya maendeleo inayohitajika kufanikisha Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs).Amepongeza juhudi za nchi za Kusini katika kuendeleza Ajenda ya 2030, licha ya changamoto zinazoendelea kama vile ukosefu wa usawa wa kiuchumi na mabadiliko ya tabianchi.Vilevile, ametoa wito kwa nchi zilizoendelea kutambua na kutekeleza wajibu wao katika kusaidia juhudi za maendeleo duniani.Katibu Mkuu anasema kuwa “tunatambua pia wajibu wa nchi zilizoendelea katika kushughulikia ukosefu wa usawa unaozidi kuongezeka na kuendeleza maendeleo endelevu.”Katika hitimisho la ujumbe wake, Guterres amehimiza jumuiya ya kimataifa kukumbatia ushirikiano wa nchi za kusini kama kichocheo cha kuhuisha ushirikiano wa kimataifa, akisisitiza haja ya kuchukua hatua kwa pamoja kujenga dunia iliyo jumuishi, yenye usawa, na endelevu kwa wote.Akizungumzia siku hii, , Mkurugenzi wa  Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na masuala ya ushirikiano wa nchi za kusini, UNOSSC, Dima Khatib, amesisitiza kuwa nchi za Kusini zinamiliki "uwezo mkubwa wa kuendeleza maendeleo," kwani ndiko makazi ya asilimia 80 ya watu wote duniani na ni chanzo cha ustahimilivu, ubunifu, pamoja na rasilimali watu na asili ambazo hazijatumika kikamilifu.Katika mahojiano mahsusi na Idhaa ya  Umoja wa Mataifa, Bi. Khatib amesema kwamba katikati ya hali ya kisiasa ya kimataifa iliyojaa mvutano ambayo dunia inashuhudia leo, ushirikiano kati ya nchi za kusini unaweza kuwa injini ya kufufua na kuimarisha mfumo wa ushirikiano wa kimataifa.Amepigia chepuo ushirikiano kati ya nchi za kusini na zile za kaskazini akisema, “hakuwezi kuweko na mgawanyiok wa nchi kati ya zile za kaskazini zilizoendelea na zile za kusini zinazohaha kuendelea. Badala yake “lazima tujenge madaraja. Umoja wa Mataifa una uwezo wa kubeba jukumu hili kwa kuwa ni mfumo muhimu ambao unahudumia nchi zote kwa usawa.

Habari za UN
Kengele ya amani yagongwa UN kuikumbusha dunia wakati wa kuchua hatua kuidumisha ni sasa: Guterres

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 12, 2025 3:18


Leo hapa katika makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani hafla maalum imefanyika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Amani ambayo kwa kawaida huwa kila mwaka tarehe 21 Septemba. Katibu Mkuu António Guterres katika hafla hiyo ameisihi dunia ambayo imeghubikwa na vita na machafuko kila kona kuwa wakati ni sasa kuchukua hatua na kutimiza ndoto ya amani iliyoanza mwaka 1945 baada ya vita vya pili vya dunia. Flora Nducha amefuatilia hafla hiyo na kutuandalia taarifa hii. Karibu Flora(TAARIFA YA FLORA NDUCHA)Natts --bellLeo, mlio mzito wa Kengele ya Amani umesikika kwenye Makao Makuu ya Umoja wakati wa hafla hiyo iliyoambatana na na burudani ya muziki wa allaNatts........Kisha Katibu Mkuu Guterres akawageukia washiriki na kusema “miaka ni themanini iliyopita Umoja wa Mataifa kuzaliwakutoka kwenye majivu ya vita ili kusaka amani”, akatoa ujumbe ulio wazi,sasa  jukumu la amani duniani ni la dharura kuliko wakati mwingine wowote.Wakati migogoro ikienea na mamilioni ya raia wakiendelea kunaswa kwenye mzunguko wa ghasia, Katibu Mkuu ametahadharisha kwa onyo kali “Amani imo hatarini.”Amesema haki za binadamu na sheria za kimataifa zinakanyagwa, na kuacha nyuma kile alichokiita “mandhari yanayodhalilisha ubinadamu wetu wa pamoja.”Ameongeza kuwa kauli mbiu ya mwaka huu  ya siku ya Amani “Tuchukue Hatua Sasa kwa Dunia yenye Amanisi maneno ya kupita tu, bali ni wito wa dhati wa kuchukua hatua. Guterres amewakumbusha wanachama wa Umoja wa Mataifa na raia kila mahali kwamba amani haiji kwa bahati. Inajengwa hatua kwa hatua, kwa maelewano, ujasiri, na vitendo.“Ni lazima tuchukue hatua kunyamazisha bunduki na kukuza diplomasia. Ni lazima tuchukue hatua kuwalinda raia na kutetea Mkataba wa Umoja wa Mataifa. Ni lazima tuchukue hatua kushughulikia chanzo cha migogoro kuanzia ukosefu wa usawa na kutengwa, hadi kauli za chuki, na janga la tabianchi.”Katibu Mkuu amesisitiza kwamba amani bado iko ndani ya uwezo wa binadamu lakini ni iwapo tu tutaichagua. Ameiitaja kama nguvu kubwa zaidi kwa mustakabali bora, na kuwataka watu wote kuwaunga mkono wale wanaojenga amani, hususan wanawake na vijana walioko mstari wa mbele wa matumaini.Natts kengele.....muzukiKengele ya Amani ilipopigwa  iliyotengenezwa miongo kadhaa iliyopita kutokana na sarafu na medali zilizotolewa na watu wa kawaida kote duniani Guterres amewakumbusha hwashiriki wa hafla hiyo ishara yake “Hata katika dunia iliyogawanyika, bado tunaweza kuungana na kuiacha amani ishike hatamu.”Amehitimisha kwa kusema Katika Siku ya Kimataifa ya Amani, mlio wa kengele unatoa si tu wito wa kimya cha tafakuri, bali pia wito wa kuchukua hatua kwa viongozi, kwa raia, na kwa vizazi vijavyo.Natts muziki..

dunia guterres hata sasa umoja siku wakati hatua mataifa kimataifa septemba
Habari za UN
UNICEF: Mateso kwa watoto wa Gaza ni bayana

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 5, 2025 2:27


Sasa twende Gaza, hii ni hadithi ya maisha, ya watoto wa Gaza wanaokabiliana na baa la njaa, hofu, na kuporomoka kwa kila kitu kinachowaweka hai. Ni hadithi inayoelezwa kupitia macho ya wale wanaoshuhudia mateso kila siku wakiwemo madaktari, akina mama, na wahudumu wa kibinadamu wanaopiga kengele ya tahadhari. Miongoni mwa wahudumu hao ni Tess Ingram afisa mawasiliano wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF ofisi ya Kanda ya Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini. Flora Nducha anasimulia alichokishudia(TAARIFA YA FLORA NDUCHA)Tess aliyefunga safari na kushuhudia hali halisi Gaza akizungumza na waandishi wa habari kutoka mji wa Al Mawasi amesema mwenye macho haambiwi tazama na alichokishuhudia ni cha kutisha kwani jiji hilo sasa linazidi kuzama kwenye lindi la baa la njaa, vituo vya lishe vimefungwa, familia zinalia na kuhaha na watoto wanakufa kila uchao bila msaada.(Tess Ingram- Sheillah)“Jiji la Gaza, kimbilio la mwisho kwa familia za Kaskazini, linakuwa mahali ambapo utoto hauwezi kuishi. Ni jiji la hofu, wakimbizi na mazishi.”Anasema zaidi ya nusu ya vituo vya lishe vya watoto vimefungwa na kina mama wanapofika hospitalini wakiwa wamebeba watoto wao unaoweza kuhesabu mbavu sababu ya kukonda wanaambulia patupu kwani msaada ni haba na kwengine hakuna kabisa.(Tess Ingram 2-Sheilah):“Kilichokuwa hakifikiriki si jambo lijalo ni hali ambayo iko hapa tayari. Kuanguka kwa huduma muhimu na kunawaacha watoto wasiojiweza Gaza wakihaha kusalia uhai.”Tess anasema ukiingia katika vituo vya msaada ndio utatambua wanachokipitia watoto wa Gaza kwani, mateso yanaonekana bayana(Tess Ingram 3-Sheillah)“Saa moja tu ndani ya kliniki ya lishe inatosha kuondoa shaka na shuku yoyote uliyonayo ya endapo Gaza kuna baa la njaa.”UNICEF inasisitiza wito wake kuwa raia walindwe, msaada wa chakula na dawa upelekwe kwa wahitaji bila vizuizi. Kwa sababu watoto wa Gaza bado wako hai na dunia ina uwezo wa kuamua endapo wasalie hai.

gaza unicef sasa umoja kanda kwa watoto mataifa mashariki miongoni
Habari za UN
Afrika bado inaathirika kwa kiwango kikubwa, na kwa sasa inakumbwa na Ugaidi - Guterres

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 22, 2025 3:24


Tarehe 18 Agosti mwaka 2025 siku ya Jumatano, wajumbe 15 wa Baraza la Usalama walikutana kujadili Ripoti ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kikundi cha kigaidi cha ISIL/Da'esh.Walikabidhiwa ripoti hiyo ya 21 ikimulika vitisho vinavyotokana na kikundi hicho ambacho kirefu chake ni Islamic State in Iraq and the Levant au pia Da'esh. Ripoti ikigusia tishio la kikundi hicho katika maeneo mbalimbali duniani, lakini makala hii initajikita zaidi barani Afrika!

Habari za UN
Kutoka kufanya kazi za ndani hadi kumiliki kampuni ya usafi wa mazingira

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 15, 2025 4:01


Kutana na Godlove Makunge, kijana huyu wa kitanzania ambaye safari ya maisha  yake imedhihirisha kuwa chochote unachoweka nia na utashi kitafanikiwa. Godlove ambaye elimu yake ni ya kidato cha nne, hakuweza kuendelea na masomo zaidi. Alichukuliwa na mtu mmoja afanye kazi za ndani kutoka Morogoro hadi Lindi na kisha akaishia Mtwara, kusini-mashariki mwa Tanzania ambako huko aliona fursa ya kujipatia kipato kutokana na taka zilizokuwa zinasambaa mitaani. Aliasisi kampuni ya usafi na mazingira iitwayo Shikamana Investment. Sasa kampuni yao ya ubia imeajiri vijana 6. Alishiriki mafunzo ya uchumi rejeleshi yaliyoandaliwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo, UNDP mkoani Mtwara. Sawiche Wamunza, Sawiche Wamunza Mtaalamu wa Mawasiliano ya Kimkakati UNDP alizungumza na Bwana Makunge baada ya mafunzo hayo ili afahamu amejifunza nini.

tanzania god love hadi undp sasa kazi umoja biashara mataifa maendeleo mazingira kutana
Habari za UN
30 JULAI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 30, 2025 9:58


Hii leo jaridani tunaangazia hatua za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi nchini Tanzania, na biashara ndogondogo kwa wananchi wa Rwanda. Makala tunakupeleka nchini Kenya ma Mashinani tunakwenda Geneva Uswisi, kulikoni?Tanzania, kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO), iko mbioni kuzindua mpango wa “Beat the Heat” yaani “Lishinde Joto”, mpango wenye lengo la kukabiliana na joto kali na hatari za kimazingira katika sehemu za kazi na kwenye matukio makubwa ya kijamii. Anold Kayanda anafafanua zaidi taarifa iliyochapishwa leo na WHO jijini Dar es Salaam, Tanzania.Katika kijiji kimoja nchini Rwanda, ndoto ya muda mrefu ya Chantal Uwizeyimana imegeuka kuwa njia ya kujikwamua kiuchumi. Kupitia mradi wa STARLIT unaotekelezwa na Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Kilimo – IFAD, wakulima wadogo kama Chantal wamepata mafunzo, pembejeo na maarifa ya kubadili kilimo kuwa chanzo cha mapato ya uhakika. Sasa si tu kwamba mavuno yameongezeka, bali pia maisha yamebadilika kwa namna isiyotarajiwa. Makala inakupeleka Kenya kwake Kevin Keitany wa Radio washirika Radio Domus akimulika siku ya kimataifa ya urafiki inayoadhimishwa leo Julai 30, ikimulika urafiki katika ngazi ya mtu mmoja mmoja, baina ya watu zaidi ya mmoja, jamii, tamaduni na hata mataifa na mchango wake katika amani na utulivu duniani. Kelvin anamulika urafiki kati ya watu wawili.Na katika mashinani tuelekee jijini Geneva, Uswisi ambako unafanyika Mkutano wa Sita wa Spika wa Mabunge Duniani kumsikia Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani akitoa wito kwa viongozi wenzake kuutetea Umoja wa Mataifa.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

What's Your Problem Podcast
Feeding Hope w/ Frank and Sasa Georgalos :: Ep 251 The Mostly Middle Tennessee Business Podcast

What's Your Problem Podcast

Play Episode Listen Later Jul 25, 2025 79:44


Podcast Episode Title:"Feeding Hope w/ Frank and Sasa Georgalos"Show Description:Join host Jim as he sits down with Frank and Sasa Georgalos, owners of Grecian Family Restaurant and Bakery in Spring Hill, Tennessee. Discover how this Greek-American couple has become a beloved community cornerstone through their authentic cuisine, incredible Thanksgiving meal program, and unwavering commitment to helping those in need. Hear their inspiring journey from New York to Florida to Tennessee, their passion for scratch-made food, and how they've built a restaurant that's so much more than just a place to eat. Learn about their challenges, triumphs, and the deep love that keeps their family business thriving for over a decade.Episode Highlights:Authentic Greek cuisine and family recipesAnnual Thanksgiving meal program serving 2,200+ mealsCommunity support and giving backOvercoming restaurant industry challengesPersonal health struggles and family resilienceFrank and Sasa Georgalos remind us that success isn't just about profits, but about the lives you touch and the community you serve. Tune in to be inspired, entertained, and maybe even plan your next meal at Grecian Family Restaurant.Follow Frank and Sasahttps://www.facebook.com/GrecianRestaurantBakery_____________________________________________________________________****SUBSCRIBE/RATE/FOLLOW the Mostly Middle Tennessee Business Podcast:www.mmtbp.comwww.instagram.com/mostlymiddletnbusinespodcastwww.instagram.com/jimmccarthyvosTiktok: @jimmccarthyvos    __________________________________________________________Shoutout to Matt Wilson for lending his voice to the new intro of MMTBP.Follow him and his podcast from which I may have borrowed the *mostly* concept:https://linktr.ee/mamwmw___________________________________________________________If you like Jim's Boston Scallys, click here to shop and order yours!https://www.bostonscally.com/a/refer-a-friend/redeem/mqgpwi3u0zgm89vaxnv5crzvlolevo82rvcygsn5/1668 ___________________________________________________________***You hear Jim mention it on almost every episode, ME vs. WE and how 2023 will be 1943 all over again….order “PENDULUM:How Past Generations Shape Our Present and Predict Our Future”:https://a.co/d/7oKK7Ip_________________________________________________________________The co-author of Pendulum wrote a myriad of other books and started a non-profit 21st Century Non-Traditional Business School that you should really check out: Wizard Academy - www.wizardacademy.org______________________________________________________________________Curious about podcasting? This podcast (and many others) is produced by www.itsyourshow.co

SCP Archives
SCP-7545: “The Dying of the Wolf”

SCP Archives

Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 45:50


SCP-7545 is Sanctum Eleven, an underground bunker complex located in [REDACTED] and privately owned by O5-11 from 1919 up until his death in 1998...Content Warnings:  Suicide, bereavement, mentions of wartime violence, and mentions of systemic injustice.TranscriptPatronsNovember 11-18 Patrons!Director Isaak Uriarte, Tyler Noder, H Bomb, Katie Smith, FortyOneVultures, Dominick Smothers, Zerkus_Circus, Aster, 348lion, Brandon Johnson, okaythankgoodness, Moxxie and Millie, Celestial Warlock, JURG, James Johnson, Fayt Godsend, Conner Roark, Cain Cecil, Olomorn, Cynthia Ramey, Sasa, Breaker O'Day, and Vee Lu G. Cast & Crew SCP Archives was created by Pacific S. Obadiah & Jon GrilzSCP-7545  was written by Ralliston and RounderhouseScript by Kevin WhitlockNarrator - Jon GrilzO5-11 - Giancarlo HerreraO5-1 - Damon AlumsSCP-7545-A1 through A4 - Giancarlo HerreraAdministrator - Katrina PecinaTejani - Sean BabapulleArt by Eduardo Valdés-HeviaDialogue Editing by Daisy McNamaraTheme Song by Matt Roi BergerSound Designer - Derrick ValenShowrunner - Daisy McNamaraCreative Director - Pacific S. ObadiahExecutive Producers - Tom Owen & Brad Miska Presented by Bloody FMwww.Bloody-Disgusting.comwww.SCParchives.com Patreon: https://www.patreon.com/scp_podStore: https://store.dftba.com/collections/scp-archivesInstagram: https://www.instagram.com/scp_pod/Bluesky: https://bsky.app/profile/scparchives.bsky.socialDiscord: https://discord.gg/tJEeNUzeZXTikTok: https://www.tiktok.com/@scppodYouTube: https://www.youtube.com/c/scparchives