POPULARITY
Az IDDQD podcastjének 11x03-as (összesen 221.) adása Grathtel és Stökivel. Vendégek: Sasa és Mazur, régi harcostársaink, plusz a háttérben kb. százfős közönség. Az adást március 28-án vettük fel az Enter Barban. Téma: részben a Checkpoint elmúlt tíz éve, részben egy új adástípus 1980. első negyedévének híreivel. Kísérőposzt linkekkel: https://iddqd.blog.hu/2025/05/05/checkpoint_11x03_10_szuletesnapi_elo_adas_checkpoint_idoregesz
Attorney Martin Hood joined Clarence Ford on air for a chat on why several private security industry bodies have challenged the new proposed changes to Firearms Regulations. Views and News with Clarence Ford is the mid-morning show on CapeTalk. This 3-hour long programme shares and reflects a broad array of perspectives. It is inspirational, passionate and positive. Host Clarence Ford’s gentle curiosity and dapper demeanour leave listeners feeling motivated and empowered. Known for his love of jazz and golf, Clarrie covers a range of themes including relationships, heritage and philosophy. Popular segments include Barbs’ Wire at 9:30am (Mon-Thurs) and The Naked Scientist at 9:30 on Fridays. Listen live – Views and News with Clarence Ford is broadcast weekdays between 09:00 and 12:00 (SA Time) https://www.primediaplus.com/station/capetalk Find all the catch-up podcasts here https://www.primediaplus.com/capetalk/views-and-news-with-clarence-ford/audio-podcasts/views-and-news-with-clarence-ford/ Subscribe to the CapeTalk daily and weekly newsletters https://www.primediaplus.com/competitions/newsletter-subscription/ Follow us on social media: CapeTalk on Facebook: www.facebook.com/CapeTalk CapeTalk on TikTok: www.tiktok.com/@capetalk CapeTalk on Instagram: www.instagram.com/capetalkza CapeTalk on X: www.x.com/CapeTalk CapeTalk on YouTube: www.youtube.com/@CapeTalk56See omnystudio.com/listener for privacy information.
Zambia inaendelea kuwahifadhi zaidi ya wakimbizi 106,000, wengi wao wakiwa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, Burundi, pamoja na wakimbizi wa zamani kutoka Rwanda na Angola, kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR, ambalo limesema kwa kuzingatia sera yake jumuishi, nchi hiyo inakuza mshikamano na wakimbizi na kuwawezesha kujitegemea kupitia makazi maalum na ushirikiano na jamii za wenyeji. Flora Nducha na taarifa zaidi Shirika hilo la wakimbizi limesema katika makazi kama Mayukwayukwa na Maheba ambayo ni moja ya kambi kubwa zaidi ya wakimbizi nchini Zambia familia za wakimbizi zilizolazimika kukimbia makwao zinajumuishwa ili ziweze kujikimu na kuishi kwa utangamano na wenyeji wanaowahifadhi. Moulid Hujale, ni afisa habari msaidizi wa UNHCR anasema “Selikali ya Zambia inajumuisha wakimbizi katika huduma za kitaifa kama vile elimu na hata programu za msaada wa kilimo ili kuongeza uzalishaji” Amebainisha kuwa kwa kufanya hivyo Zambia imeonesha mshikamano wa dhati kwa jamii hizo za wakimbizi kwa kuhakikisha kuwa wanapata fursa ya kujenga upya maisha yao, kujikwamua kiuchumi na kuishi kwa heshima.Hata hivyo, UNHCR inasema nchi hiyo ya Kusini mwa Afrika pamoja na ukarimu wake bado inakumbwa na athari za ukame mkali uliotishia uhakika wa chakula na kuyumbisha uchumi na katika hatua za kukabiliana na hali hiyo, Moulid ansema “UNHCR inashirikiana na serikali ya Zambia kuunganisha makazi ya wakimbizi kwenye gridi ya taifa ya umeme. Tunajua muundo huu wa ujumuishwaji na maisha endelevu vinagharimu fedha, Lakini hiki ndicho hasa wakimbizi wanachokihitaji, hivyo tunahitaji msaada wako ili kufanikisha hili”. Licha ya mafanikio yaliyopatikana hadi sasa Zambia katika kuwakirimu wakimbizi, UNHCR imeonya kuwa uhaba wa fedha inaokabiliwa nao unatishia kuathiri mafanikio hayo na hasa utoaji wa huduma muhimu kwa familia hizo zilizolazimika kufungasha virago na kusaka usalama Zambia. Sasa limetoa ombi la msaada wa haraka wa kimataifa ili kuendelea kufanikisha huduma za kuokoa maisha zinazohitajika sana na wakimbizi hao.
Države, javni servisi, kompozitori, izvođači ili specijalni efekti? Ko su zapravo glavni konkurenti sredinom maja u švicarskom Bazelu? Šta jedna pjesma u svakom slučaju mora ponuditi kako bi dobro prošla? Postoji li recept za prvo mjesto? Nego, kako stvari stoje s balkanskom ili skandinavskom "konekcijom"? Zbilja malo ko raspolaže s toliko pozadinskog znanja o Evroviziji kao naš Saša Bojić? Skeptična Maja Marić također zna svašta i nudi neočekivane spoznaje iz nešto drugačije perspektive. Von Sasa Bojic.
Leo ni Siku ya Afya Duniani ambayo mwaka huu inangazia suala muhimu kwa afya ya dunia, changamoto maalum wanazokumbana nazo wanawake na wasichana lakini pia vifo vya watoto wachanga, na ili kuhakikisha changamoto hizo zinashughulikiwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani WHO limezindua kampeni ya mwaka mzima ya “Mwanzo wenye afya ni mustakbali wenye matumaini”. Flora Nducha anafafanua zaidi.
SCP-7545 is Sanctum Eleven, an underground bunker complex located in [REDACTED] and privately owned by O5-11 from 1919 up until his death in 1998...Content Warnings: Suicide, bereavement, mentions of wartime violence, and mentions of systemic injustice.TranscriptPatronsNovember 11-18 Patrons!Director Isaak Uriarte, Tyler Noder, H Bomb, Katie Smith, FortyOneVultures, Dominick Smothers, Zerkus_Circus, Aster, 348lion, Brandon Johnson, okaythankgoodness, Moxxie and Millie, Celestial Warlock, JURG, James Johnson, Fayt Godsend, Conner Roark, Cain Cecil, Olomorn, Cynthia Ramey, Sasa, Breaker O'Day, and Vee Lu G. Cast & Crew SCP Archives was created by Pacific S. Obadiah & Jon GrilzSCP-7545 was written by Ralliston and RounderhouseScript by Kevin WhitlockNarrator - Jon GrilzO5-11 - Giancarlo HerreraO5-1 - Damon AlumsSCP-7545-A1 through A4 - Giancarlo HerreraAdministrator - Katrina PecinaTejani - Sean BabapulleArt by Eduardo Valdés-HeviaDialogue Editing by Daisy McNamaraTheme Song by Matt Roi BergerSound Designer - Derrick ValenShowrunner - Daisy McNamaraCreative Director - Pacific S. ObadiahExecutive Producers - Tom Owen & Brad Miska Presented by Bloody FMwww.Bloody-Disgusting.comwww.SCParchives.com Patreon: https://www.patreon.com/scp_podStore: https://store.dftba.com/collections/scp-archivesInstagram: https://www.instagram.com/scp_pod/Bluesky: https://bsky.app/profile/scparchives.bsky.socialDiscord: https://discord.gg/tJEeNUzeZXTikTok: https://www.tiktok.com/@scppodYouTube: https://www.youtube.com/c/scparchives
Interview with Gavin Ferrar, CEO of Central Asia Metals PLCOur previous interview: https://www.cruxinvestor.com/posts/central-asia-metals-lsecaml-plugging-into-profits-and-growth-in-the-base-metals-sector-6334Recording date: 1st April 2025Central Asia Metals PLC (CAML), an AIM-listed base metals producer with operations in Kazakhstan and North Macedonia, has reported strong financial results for 2024. The company generated $214 million in revenue and nearly $102 million in EBITDA, achieving an impressive 47% EBITDA margin that CEO Gavin Ferrar described as "super respectable" for a mining company.CAML ended the year with approximately $68 million in cash after generating just under $66 million in free cash flow. This strong financial position enabled the company to pay a generous full-year dividend of 18 pence per share, representing about 63% of free cash flow—significantly exceeding their stated policy of 30-50%. Ferrar explained this generous distribution as compensation to shareholders for the lack of completed M&A transactions.Despite actively pursuing acquisition opportunities (with 13 NDAs and 6 site visits last year), CAML remains selective in its M&A strategy, focusing on base metals assets that would generate at least $50 million in EBITDA. The company's strong balance sheet provides flexibility for future acquisitions without necessarily requiring shareholder dilution.Operationally, CAML has made significant progress at the Sasa mine in North Macedonia, where its paste backfill plant successfully operated for the full year in 2024, placing 240,000 tons of tailings back underground—approximately one-third of the total produced. The company is also completing a dry stack tailings plant, which will handle another 30-40% of tailings, eliminating the need for additional wet tailings facilities.In Kazakhstan, the Kounrad operation continues to outperform expectations. The Eastern dumps, which according to the original 2012 plan should have ceased production years ago, contributed approximately 27% of the company's copper last year. With production costs of 80 cents per pound against a copper price around $5, the operation maintains impressive margins.CAML has developed significant expertise in its operating regions, with Ferrar strongly defending Kazakhstan as an investment-grade country with increasing Western capital inflows. The company's established presence provides strategic advantages in navigating permitting processes and accessing regional opportunities.Beyond operational efficiency, CAML maintains a strong commitment to ESG initiatives, particularly in community engagement. The company operates its own foundation in Kazakhstan, making targeted investments including a center for disabled children, a facility for victims of domestic violence, and a recently refurbished youth center.As CAML continues to seek transformative M&A opportunities, it remains focused on maximizing returns from existing assets, controlling costs, and maintaining operational efficiency to remain profitable throughout market cycles.View Central Asia Metals' company profile: https://www.cruxinvestor.com/companies/central-asia-metalsSign up for Crux Investor: https://cruxinvestor.com
In this episode of The E-Spot with Camille, host Camille Kauer interviews Sandra and Mia, founders of Sasa Swim, a swimwear company inspired by their late father, Sasa (pronounced Sasha). The sisters discuss their journey from launching in 2018, managing family dynamics in their business, and the importance of evolving their brand to mirror their life stages. They delve into their design process, emphasizing the importance of user feedback, particularly for their nursing and maternity swimwear. Sandra and Mia also share advice for aspiring business owners and discuss their plans to expand Sasa Swim into a broader fashion brand while maintaining functionality and inclusivity in their designs.Learn more Sasa Swim at:https://sasaswim.com/
Il sexy-pop dei Jemel e il mistero delle cuffiette di Sasa V. Tutto questo nella puntata di oggi Vergine in onda tutti i lunedì dalle 15:00 alle 16:00 su radio.uniroma3.it
This week we explore the limits and possibilities of love with Sasa Hawk as we talk about her debut YA romantasy, UNLOCK THE DARKFollow SasaFollow OTSMap of Indie BooksellersGet UNLOCK THE DARKParnassus The BookShelf Odyssey BookshopQuail Ridge Books
Katika kuelekea siku ya kimataifa ya wanawake ambayo huadhimishwa kila mwaka Machi 8 leo hapa katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa kunafanyika hafla maalum ya kuadhimisha siku hiyo ambayo mwaka huu imebeba maudhui “Kwa wanawake na wasichana wote: haki, usawa, uwezeshaji.” Akizungumza kwenye hafla hiyo Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya wanawake UN Women Sima Bahous amesema ni wakati wa kutekeleza kwa vitendo ndoto ya azimio la Beijing miaka 30 iliyopita la kufanya usawa wa kijinsi kuwa hali halisiKwa upande wake Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres pamoja na kupongeza mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kusongesha usawa wa kijinsia duniani amesemaNatts….“Hata hivyo, mafanikio haya yaliyopatikana kwa jitihada kubwa bado ni dhaifu na hayatoshi kabisa.Mateso ya muda mrefu, ukatili, ubaguzi na ukosefu wa usawa wa kiuchumi bado vinaathiri jamii zetu.Kila baada ya dakika kumi, mwanamke huuawa na mwenzi wake au mwanafamilia.”Ameongeza kuwa wanawake na wasichana milioni 612 wanaishi chini ya kivuli cha migogoro ya silaha ambapo haki zao mara nyingi huchukuliwa kama zisizo na thamani.Akitaja takwimu amesema chini ya theluthi mbili ya wanawake duniani wanashiriki katika soko la ajira na wale wanaoshiriki hulipwa mishahara ya chini kuliko wanaume.Hivyo ameonya kwamba“Kwa kasi hii, itachukua miaka 130 kutokomeza umasikini uliokithiri kwa wanawake na wasichana.Amemesema badala ya kuingiza usawa wa haki kama jambo la kawaida, dunia inashuhudia kuenea kwa ubabe na chuki dhidi ya wanawake.Kwa muktadha huo amesistiza kwamba “Hatuwezi kukaa kimya wakati maendeleo yanaporudishwa nyuma. Lazima tupambane.”Akizungumzia sauti za vijana kushiriki katika harakati za usawa na haki za wanawake, kwenye hafla iliyofanyika mjini Geneva Uswisi kuadhimisha siku ya wanawake mwanafunzi kutoka Kenya James Mumo Nyumu amesisitiza kuwa hakuna nchi yoyote iliyotekeleza ahadi yao ya dunia isiyo na ukatili dhidi ya wanawake.Amesema “Maono ya Beijing yalikuwa ramani ya siku zijazo ambazo bado hatujazifikia kikamilifu,” alisema akiongeza kuwa “Nguvu kwa wanawake si tishio ni zawadi kwa jamii.”Hivyo amesisitiza kwamba“Kizazi changu kinadai hatua zaidi,” akitoa wito wa kuchukua hatua zaidi ya Beijing kwani“Kazi yetu haijakamilika.”
Lapata'iga mo le taunu'u o le afa o Alfred i laufanua o Brisbane ma pitonu'u o Saute i Sasa'e o Queensland.
Hali ya kibinadamu ikiendelea kuzorota mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mtaalamu Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na hali ya watetezi wa haki za binadamu, Mary Lawlor leo ametoa wito wa msaada wa dharura na wa vitendo kwa watetezi wa haki za binadamu katika eneo hilo. Anold Kayanda na taarifa zaidi. (Taarifa ya Anold Kayanda)Mary Lawlor akizungumza leo jijini Geneva-Uswisi amesema, "watetezi wa haki za binadamu mashariki mwa DRC wako hatarini sana kulengwa na kulipiziwa kisasi kwa kazi yao ya kutetea haki za binadamu. Wanahitaji msaada sasa, ikiwa ni pamoja na usaidizi wa kuhamishwa kwa muda pamoja na familia zao.”Kundi la waasi la M23, limeendelea kusonga mbele katika eneo hilo la mashariki mwa DRC tangu lilipoanza mashambulizi yake mapema mwaka huu, na wale waliorekodi na kufichua ukiukwaji wa haki zao wamekuwa wakilengwa moja kwa moja, amesisitiza Bi. Lawlor."Katika wiki za hivi karibuni nimepokea taarifa nyingi za tahadhari zinazohitaji msaada na nimezungumza moja kwa moja na watetezi walioko mashinani," amesema Lawlor na kuongeza kuwa watu hao wanaishi kwa hofu na hatari ni halisi na kwama hivi karibuni, mtetezi mmoja alimpa taarifa kuwa waasi wa M23 wameandaa orodha ya watetezi wa haki za binadamu watakaokamatwa katika maeneo waliyoyadhibiti.Mtaalamu huyo amesema amepokea ripoti za kuaminika za watetezi wa haki za binadamu kushikiliwa bila mawasiliano, kutoweshwa kwa nguvu, na kuteswa huko Rutshuru na Masisi, Kivu Kaskazini, huku takribani watetezi sita wa haki za binadamu wakiripotiwa kutoweka baada ya kujaribu kutoroka Goma baada ya jiji hilo kuchukuliwa na M23."Baadhi ya watetezi wa haki za binadamu hawakuwa na chaguo jingine ila kukimbia makazi yao. Wale wanaofanikisha kufika katika miji mingine wanakosa rasilimali za kupata malazi au kukidhi mahitaji yao ya kila siku," amesema na kwamba, "wengine wamebaki katika maeneo yanayodhibitiwa na waasi lakini wana hofu kubwa kuhusu usalama wao. Mtetezi mmoja alimuuliza jinsi wanavyoweza kuendelea kujificha huku M23 ikianza kufanya ukaguzi huko Goma.Tangu magereza yalipovunjwa huko Goma, Kalehe, Bukavu, na Uvira, maelfu ya wafungwa, wakiwemo wahalifu wakatili na viongozi wa makundi yenye silaha waliohukumiwa kwa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaofikia uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu, walitoroka na kuingia mitaani. Baadhi yao wanawatishia watetezi wa haki za binadamu waliotoa msaada wa matibabu, kisaikolojia na msaada wa kisheria kwa waathiriwa na mashahidi waliotoa ushahidi wakati wa kesi hizo. Na wakati huo huo watetezi wa haki za binadamu wakikabiliwa na vitisho na hofu ya kulipiziwa kisasi, waathiriwa hawana wa kuwategemea, ameeleza mtaalamu huyo.Katika mazingira ambayo tayari ni magumu kwa watetezi wa haki za binadamu, Mtaalamu huyo maalumu wa Umoja wa Mataifa anasisitiza hatari kubwa ya ukatili wa kingono inayowakabili watetezi wa haki wa kike."Tunajua kuwa ukatili wa kingono unaohusiana na migogoro mashariki mwa DRC ni wa kiwango cha juu, na kwamba wanawake wanaopinga ukiukwaji wa haki za binadamu katika muktadha huu, na wanaojitokeza kwa kazi yao, mara nyingi ndio wanaoathirika zaidi," Lawlor amesema akiongeza kuwa ni jambo la kusikitisha kufikiria kwamba miaka 25 tangu kupitishwa kwa azimio la kihistoria la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu wanawake, amani na usalama, matukio haya yanatokea mbele ya ulimwengu unaoonekana kutokuwa na msimamo thabiti.Mtaalamu huyo pia ameelekeza umakini kwa hatari wanazokabiliana nazo watetezi wa haki za binadamu katika maeneo ya vijijini na yaliyojitenga, ikiwa ni pamoja na mauaji, kutoweshwa kwa nguvu, na utekaji nyara, na akaangazia athari za kisaikolojia zinazowakumba wale walioko mashinani."Watetezi tayari walikuwa wakikabiliwa na vitisho katika eneo hilo – kutoka kwa serikali na makundi yenye silaha lakini kama alivyonieleza mtetezi mmoja wa haki za binadamu wa…
20250303 - TKS - Zelensky/Trump, Dr Sasa, Kramer by That KEVIN Show
Send us a textThank you to author Sasa Hawk for joining me to talk about her debut young adult romantasy novel Unlock the Dark. Links:Purchase Unlock the DarkListen to the Unlock the Dark audiobookFollow Sasa on Instagram Follow Sasa on ThreadsSasa's websiteBooks mentioned:Road of Bones by Demi WintersGirl who fell Beneath the Sea by Axie OhSorcery of Thrones by Margaret RogersonFor links to the books discussed in this episode, click the link here to take you to the Google Doc to view the list. For episode feedback, future reading and author recommendations, you can text the podcast by clicking the "Send us a message button" above. For more, follow along on Instagram @whereileftoffpod.
Today, we cover a South Asian Students Association collaboration event at Coffee Club, Elena Kagan's speech at Alumni Day, and a tribute to Maggie, a retiring service dog. ***https://www.dailyprincetonian.com/article/2025/02/princeton-news-alumni-day-supreme-court-justice-elena-kagan-woodrow-wilson-award-david-card-james-madison-medal
Baada ya waasi wa M23 jimboni Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kupatia wakimbizi waliokuwa wamesaka hifadhi kambini mjini Goma, wawe wamerejea makwao ndani ya saa 72 kuanzia juzi jumatatu, mamia wameanza kutii amri hiyo.Miongoni mwao ni Kibira Bakulu, baba wa watoto 5, aliyekimbia mapigano eneo la Saké, mwezi Februari mwaka jana, takriban kilomita 10 kutoka Goma.Akiwa katika harakati za kubomoa kibanda chake katika kambi ya nane ya CEPAC Mugunga huko Goma, Bwana Bakulu anasema walishangaa, bila kuwa tayari, kuambiwa warudi walikotoka."Tumepatiwa saa 72 tuwe tumeondoka na kurejea Saké, kwani vita vimeisha. Sisi hatua uhakika kamili kwa sababu tuliondoka Saké kutokana na vita. Kama inabidi kusukumwa tuondoke, hatuna la kuchagua,” amesema Bwana Bakulu.Ana hofu ya kurejea Saké, akisema, “kule tulikuwa tunaishi Sake na tukirejea tutaishi vipi? Tunaomba viongozi wajitahidi watusaidie ili watuhakikishia usalama.Alipoeleza hali halisi amesema, “ hii siku ya leo hapa unaniona, watu wamepita hapa wakifanya vurugu, wananyang'anya kila kitu ulichonacho, iwe simu wanabeba. Sasa tunashindwa kufahamu amani iko katika kiwango gani?”Kwa mujibu wa Bwana Bakulu, walishaamua kuwa hawataweza kurudi na kama ni kufa basi watafia Goma, lakini sasa wamelazimishwa kurejea Saké.
Vita inayoendelea Sudan kwa zaidi ya miezi 18 sasa inaongeza wimbi la wakimbizi ndani na nje ya nchi kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi UNFPA. Shirika hilo linasema takriban wakimbizi 18,000 waliokimbia vita Sudan hivi sasa wanaishi katika kambi ya wakimbizi ya Korsi katika eneo la Birao, jimbo la Vakaga Katikati Mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR ambako UNFFPA inawapatia huduma muhimu zikiwemo za aya ya uzazi. Flora Nducha anatujuza zaidi katika makala hii
Hali ya usalama inavyo zidi kudorora katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ndivyo serikali ya Rais Tshisekedi inavyo zidi kuwa chini ya shinikizo kubwa.
Sam and Andy come together to breakdown Oregon State's wins over Pepperdine & Santa Clara, preview the upcoming Gonzaga game, and of course bring up the Jay John era. Follow The Payton Years on X @YearsPayton
Az IDDQD podcastjének 11x01-es (összesen 219.) adása Grathtel és Stökivel. Vendég: Sasa, "videojáték-szakértő" és Mazur, a Gamestar egykori góréja. Téma: 2025 várható játékai, kristálygömbbe nézés, a tavalyi jóslatok értékelése és megszégyenülésünk. Kísérőposzt linkekkel: https://iddqd.blog.hu/2025/01/19/checkpoint_11x01_mit_varunk_2025-tol
O le Aso Kerisimasi a le Ekalesia Kerisiano i Sasa'e, le Orthodox Church e faia i le 12 aso e soso'o ma le Kerisimasi i atunuu o Europa i Sisifo, Amerika ma atunuu o le Pasefika.
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linaisaidia serikali ya Burundi katika kuunganisha taarifa za watu katika mifumo inayosomana ya kiraia na ya huduma ya afya. Euphrasie Butoyi mama akiwa amembeba mtoto wake mchanga, amekuja katika ofisi za msajili za eneo la Busoni jimboni Kirundo kaskazini mwa Burundi, anasema,“kabla ilikuwa vigumu kumwandikisha mtoto. Umbali ulikuwa mrefu. Tulikuwa tunalazimika kulipia tiketi ya safari kwa ajili yetu na mashahidi. Tulikuwa tunaweza kwenda kule hata mara mbili bila kupata cheti cha kuzaliwa.” Damien Ndayisenga ni msajili wa kijamii anathibitisha hilo kwa kusema, “ukweli kabla ya hatua hii, ofisi ya usajili wa raia ya Busoni ilikuwa imezidiwa na idadi kubwa ya watu wanaokuja kusajili watoto wao ili kupata vyeti vya kuzaliwa. Lakini huduma hii imerahisisha.” Hakika mradi huu umekuwa mkombozi kama anavyoendelea kueleza Euphrasie Butoyi. Anaposema faranga elfu 10 fedha ya Burundi hiyo ni takribani dola nne za kimarekani, “leo tofauti ni kuwa kituo cha afya kiko karibu na sisi kwa hiyo si lazima tena kulipa nauli kwa ajili ya mashahidi. Sasa ni rahisi kwetu kusajili watoto wetu baada tu ya kuzaliwa. Hata mume wangu hajui kama niko naandikisha hapa wakati huu. Anadhani nitapata tu chanjo ya mtoto lakini nitakapomuonesha cheti cha kuzaliwa cha mtoto wetu, atafurahi sana. Hatalazimika tena kwenye ofisi za serikali na kulipa faranga za Burundi 10,000 kwa ajili ya usafiri. Ni faida kwetu.” UNICEF pia inasaidia katika kuandikisha watoto ambao walichelewa kusajiliwa katika umri mdogo na hiyo imesaidia sana watoto walio katika mazingira magumu kupata huduma za msingi za kijamii ambazo hapo awali walikuwa nazikosa kwa kuwa hawana utambulisho wowote unaotambuliwa kiserikali. Katika mkoa wa Bugabira jimboni Kirundo kaskazini mwa Burundi, tunakutana na Jean Baptiste Mutaniyonka baba wa mtoto mwanafunzi Karerwa Olivier anaeleza changamoto walizokuwa wanakumbana nazo hapo awali kabla ya huduma ya usajili kuletwa karibu. “Mara ya kwanza nilipoenda kwenye ofisi za mkoa kusajili ilikuwa imefungwa kwa sababu ya sikukuu. Mara ya pili, mashahidi walitutaka kuwapatia faranga za Burundi elfu kumi nila mmoja. Sikuwa na fedha hiyo kwa hiyo ilibidi tuahirishe hiyo miadi ili tutafute pesa.” Mzazi huyu ili kuonesha namna cheti cha kuzaliwa kilivyo na umuhimu mkubwa katika maisha ya mtoto nchini Burundi anasema, “bila cheti cha kuzaliwa mtoto hana haki ya kupata kupata huduma ya bure katika hospitali. Tulikuwa tunaondoka bila bila kupata matibabu. Na katika hali kama hiyo tuligeukia katika tiba za asili au katika maduka ya dawa. Ilikuwa hivyo hivyo katika shule. Watoto wangu walikuwa wanarejeshwa nyumbani kwa kukosa cheti cha kuzaliwa.” Huyo ni Olivier Karerwa mwenyewe, mtoto wa Jean Mutaniyonka. Olivier amesajiliwa kupitia mradi huu wa UNICEF na anasema anataka kuwa mwalimu atakapohitimu masomo yake. Anne Rwasa ni bibi anazungumzia ilivyo rahisi sasa kumuhudumia mjukuu wake akisema, lakini leo mtoto awe na homa au kuumwa tumbo tunakimbia katika kituo cha afya ambako anapata huduma ya bure ya afya.” Mradi huu wa UNICEF Burundi wa kuunganisha taarifa za watoto za serikali ili ziweze kusomeka pia katika taasisi nyingine kama vile vituo vya afya umepata pia usaidizi kutoka kwa kamati ya UNICEF ya Uingereza.
Nchini Bangladesh, mradi wa kuimarisha stadi na kufungua fursa za kiuchumi, ISEC miongoni mwa wanawake na vijana, umewezesha wasichana kuvunja mwiko na kuingia kwenye tasnia ambazo zimezoeleka kuwa ni za wanaume, mathalani ufundi bomba. Mradi huo unaolenga wanufaika 24,000 wenye umri kati ya miaka 18 na 35 unatekelezwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi duniani, ILO kwa kushirikiana na serikali ya Bangladesh.Video ya ILO hapa Cox's Bazaar inamleta kwako mmoja wa wanufaika hao ambaye hata hivyo jina lake halikutajwa, akiwa ameshikilia vifaa vya ufundi bomba anasema, awali sikufahamu kuhusu hii kozi hadi nilipofahamu kupitia Idara ya Maendeleo ya Vijana. Hii ni mara ya kwanza fursa hii imetufikia katika shule ya sekondari ya juu ya Moheshkhali. Tunajifunza stadi badala ya kupoteza muda nyumbani itanisaidia maisha yangu ya baadaye.Nikihitimu masomo naungana na kaka kwenye duka lakeAnakiri kuwa kabla ya kushiriki mafunzo haya hakuwa anafahamu kabisa ufundi bomba ni kitu gani. Lakini sasa amejifunza kuhusu vifaa mbalimbali ikiwemo msumeno wa mabomba, spana na kadhalika.ILOMradi wa kuimarisha stadi na kufungua fursa za kiuchumi, ISEC miongoni mwa wanawake na vijana, umewezesha wasichana Cox's Bazaar nchini Bangladesh.Na ndoto yake ni kwamba nikihitimu masomo nitakwenda kuungana na kaka yangu kwenye duka lake linalounza vifaa vya ujenzi. Nataka niwe mjasiriamali kama yeye, nijitegemee na nisaidie familia yangu. Siku hizi kwenye nyingi zilizoendelea na hata hapa Bangladesh wasichana wanafanya aina zote za kazi.Wanaweza kufanya kazi ngumu kama wanaume, nami nataka kuwa hivyo.Video ya ILO inamalizika mnufaika huyu amekamilisha kufunga bomba na sasa maji yanatoka, na mkufunzi anatumia maji hayo kunawa mikono.Malengo namba 4, 5, na 8 ya SDGs yanatekelezwaMradi huu ulizinduliwa mwezi Septemba mwaka 2023 ukifadhiliwa na…
Az IDDQD podcastjének 10x14-es (összesen 218.) adása Grathtel és Stökivel. Vendég: Sasa, "videojáték-szakértő" és Mazur, a Gamestar egykori góréja. Téma: 2024 legjobb - vagy legalábbis számunkra kedvenc - videojátékai. Kísérőposzt linkekkel: https://iddqd.blog.hu/2025/01/07/checkpoint_10x14_2024_legjobb_videojatekai_szerintunk
Kijana Mtanzania Gibson Kawago hivi karibuni kupitia kampuni yake ya WAGA inayoshughulika na uvumbuzi wa teknolojia zinazolenga kupambana na uchafuzi wa mazingira ya ulimwengu, ametangaza kuanzisha vifaa vinavyotumika kuchaji magari ya umeme lengo likiwa ni kuwasaidia watu wa eneo lake, Afrika Mashariki kupata huduma ya kuchaji magari yao ili wahame kutoka katika matumizi ya mafuta ya kisukuku kama petroli na dizeli. Lakini je ana majibu gani kwa wale ambao bado hawaoni faida ya ya magari ya umeme kwa mazingira ikiwa bado vyanzo vya umeme ni chafuzi? Katika mazungumzo haya na Anold Kayanda wa Idhaa hii, Gibson anafafanua.
Az IDDQD podcastjének 10x12-es (összesen 216.) adása Grathtel és Stökivel. Vendég: Sasa, "videojáték-szakértő". Téma: visszatekintés a játékpiac 10, 20, 30, 40 és még több kerek évvel ezelőtti helyzetére. Kísérőposzt linkekkel: https://iddqd.blog.hu/2024/12/30/checkpoint_10x12_ilyen_volt_a_jatekpiac_10_20_30_40_es_meg_tobb_eve
Kupitia mradi wa Pamoja wa Kigoma, KJP, awamu ya Pili, Shule ya Msingi Buhigwe, iliyoko wilayani Buhigwe, mkoa wa Kigoma, ilipatiwa mafunzo kupitia Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), likishirikiana na asasi isiyo ya kiserikali RECODA. Mafunzo haya yalilenga mbinu bora za kilimo ambapo wanafunzi waliweza kuanzisha bustani za mboga kupitia somo la Elimu ya Kujitegemea. Mradi umeanza kutekelezwa na matunda yanaanza kuonekana kama asimuliavyo Assumpta Massoi kwenye makala hii.
Peter Rutzler returns to the Thursday Club, fresh from his move from The Athletic to The Times, to talk all things Fulham with us. We start with a last look back at the hard-fought point that the Whites earned against Arsenal on Sunday, including a deep dive on the formation shift that served Fulham well in nullifying Arsenal's dangerous right hand side, and some love for the new midfield shield of Sander and Sasa. Then it's onto Liverpool, who we face on Saturday, and who slightly underwhelmed in their Champions League outing against Girona in midweek. We chat about the ways Fulham might set up to similarly nullify top-class opponents, try to find some weaknesses in the Reds' seemingly inpenetrable armour, and ponder whether a game like this might call for Emile Smith-Rowe to be rested in favour of a more dynamic No. 10. We finish with a little look ahead to the Transfer Window, with Peter giving his thoughts on where (if anywhere) Fulham might look to strengthen in January. -- SHOW-LINKS: If you enjoy Fulhamish, please consider contributing a small amount monthly to help pay our costs. As a bonus, you receive access to our exclusive Telegram group chats where you can chat with fellow FFC fans and Fulhamish listeners ➼ https://levellr.com/communities/fulhamish EXCLUSIVE NordVPN Deal. Try it risk-free now with a 30-day money-back guarantee ➼ http://nordvpn.com/fulhamish -- GUESTS: Jack Collins ➼ https://www.x.com/@jackjcollins Peter Rutzler ➼ https://www.x.com/@PeterRutzler Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices
Interview with Gavin Ferrar, CEO of Central Asia Metals PLCRecording date: 4th December 2024Central Asia Metals (LSE:CAML) offers investors a compelling opportunity in the base metals space. The company owns two low-cost, cash-generating assets: the Kounrad dump leach copper project in Kazakhstan and the Sasa lead-zinc mine in North Macedonia.Kounrad is a unique operation that reprocesses old Soviet-era waste dumps to extract copper. This allows CAML to produce copper at industry-leading costs, with a remarkable 72% EBITDA margin. The asset is expected to continue producing 13,000-14,000 tonnes of copper cathode annually until 2034.In 2017, CAML diversified its portfolio by acquiring the Sasa underground mine for $400 million. Sasa provides a steady stream of lead and zinc production, with the concentrates sold to nearby European smelters. This geographic advantage reduces logistics risks and costs compared to mines selling to Asian markets.CAML's strong financial position is a key differentiator. The company has $56.3 million in cash, no debt, and generates free cash flow around $30 million for the first half of the year. This allows CAML to fund growth initiatives while returning cash to shareholders through a generous dividend policy. The current dividend yield stands at an attractive 12%.Management is focused on growth through disciplined acquisitions. CEO Gavin Ferrar and his team are actively seeking opportunities to add assets that can contribute $50 million in EBITDA. While they have reviewed numerous projects, they remain selective to ensure any deal meets their strict investment criteria. CAML's technical expertise and strong industry relationships give them an edge in identifying and executing on the right growth opportunity. With a supportive shareholder base and ample financial firepower, the company is well-positioned to create value through accretive acquisitions.Operationally, CAML is implementing initiatives to future-proof its assets and maintain its cost advantages. At Sasa, new mining methods and tailings management practices are being introduced to improve efficiency and reduce environmental risks. Kounrad continues to deliver steady, low-cost production.The outlook for base metals, particularly copper and zinc, remains favorable. Copper is a critical component in the global transition to clean energy, while zinc benefits from steady demand in the steel and construction industries. CAML's portfolio provides direct exposure to these positive demand drivers.In summary, Central Asia Metals presents a balanced investment proposition. The company's existing assets generate strong cash flows and industry-leading margins. Management's disciplined growth strategy and operational excellence initiatives offer additional upside potential. With an attractive dividend yield and exposure to key base metals, CAML is a compelling consideration for investors seeking both income and growth in the mining sector.
Sadick Ali ni mchekeshaji, muigizaji, mfanyabiashara... na zaidi ya yote—ni baba. Sasa, kama wanaume wengi duniani, wazo la kuwa baba kwa mara ya kwanza lilimjia kama mshangao wa mitihani ya darasa la saba: hauko tayari, lakini unajidanganya kuwa utaweza! Na kama ulivyotegemea, Sadick alijikuta akikabiliana na mchanganyiko wa hisia—uoga, shauku, na sintofahamu isiyokuwa na GPS. Lakini kubwa zaidi, aligundua ukweli mchungu: hata uki-google kila kitu, hakuna njia ya kujiandaa kikamilifu kwa "daddy duties." Na ukifikiri unajua, mtoto wako atakutengenezea changamoto mpya—au diapers zitakutengenezea! Karibu katika Men Men Men The Podcast, ambapo Michael, Sadick, na Nadia wanazama kwa kina (na kwa vicheko) kwenye changamoto na baraka za kuwa baba kwa mara ya kwanza. Hii ni safari inayochanganya furaha, machungu, na maswali kama: “Mbona mtoto hajalala bado?”
Nchini Sudan ambako vita na njanga la njaa vinaendelea kuwa mwiba kwa raia sasa wahudumu wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wanaonya juu ya tishio lingine kubwa la milipuko ya magonja ya kipindupindu na homa ya kidingapopo huku mfumo mzima wa afya ukiwa taabani. Asante Assumpta kwa mujibu ya taarifa iliyotolewa leo mjini Geneva Uswisi na mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la kuratibu misaada ya kibinadamu na masuala ya dharura OCHA na lile la afya duniani WHO, hali inazidi kuwa mbaya Sudan ambako katikati ya vita majanga mingine ya kiafya yanazuka.OCHA imeripoti zaidi ya wagonjwa 28,000 wa kipindupindu na vifo vimefikia 836 katika majimbo 11 kati ya 22 Julai na 28 Oktoba mwaka huu huku likihofia kwamba idadi kamili ya wagonjwa huenda ni kubwa zaidi.Pia shirika hilo limeonya juu ya kuendelea kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa wa homa ya kidingapopo na mvua zinazonyesha na kusababisha mafuriko makubwa zimeongeza hatari ya kusambaa kwa magonjwa hayo.Nalo shirika la WHO linasema milipuko hii imezuka wakati mfumo wa huduma ya afya nchini Sudan umzidiwa uwezo, huku hospitali nyingi hazifanyi kazi au zimefungwa kabisa kutokana na usambazaji mdogo wa vifaa na uhaba wa mafuta. Shirika hilo linasema hadi asilimia 80 ya vituo vya afya katika maeneo yenye migogoro ikiwa ni pamoja na Al Jazirah, Kordofan, Darfur na Khartoum aidha havifanyi kazi au vimefungwa.Na linaonya kwamba "Kuporomoka huku kwa mfumo wa afya kunazuia mipango ya chanjo ya watoto, kuongeza kasi ya kuenea kwa magonjwa yanayozuilika, na kuzua wasiwasi kuhusu uwezekano wa milipuko mikubwa zaidi ya magonjwa."Kwa sasa mashirika hayo yamesema majimbo yaliyoathirika zaidi na kipindupindu ni Kassala Gedaref, Al Jazirah, na Northern wakati homa ya kidingapopo imeghubika zaidi majimbo ya Kassala na Khartoum.Pia changamoto nyingine kubwa ya kutoa huduma za afya katikati ya milipuko hii mashirika hayo yanasema ni mashambulizi dhidi ya vituo vya afya ambayo tangu kuanza kwa vita 15 Aprili mwaka jana yamefikia 116 na kusababisha vifo 188 na majeruhi 140.
Kikosi cha muda cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon, UNIFIL, ambapo, katikati ya mvutano unaoongezeka kati ya Lebanon na Israel, walinda amani walioko katika makao makuu ya UNIFIL huko Naqoura wamekuwa wakivumilia mazingira magumu. Ushuhuda wa hivi karibuni kutoka kwa walinda amani hao unaonesha ukubwa wa changamoto wanazokabiliana nazo, ikiwemo vitisho vilivyoongezeka kutoka kwa shughuli za kijeshi za Israel zilizo karibu na eneo hilo, vizuizi vya kusafiri, na changamoto za uendeshaji wa shughuli. Kupitia video ya Kikosi hicho cha muda cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon, UNIFIL, tunaona picha ya makao makuu yake huko Naqoura, Lebanon. Hapa tunaona ofisi za walinda amani hao, karibu na ofisi hii kuna mnara wa ulinzi, sehemu yake ikiwa imeharibiwa na mlipuko. Meja Kalpani Fernando anaelekeza kwenye mnara huo akieleza kilichotokea.“Ghafla, tuliona, na kusikia mlipuko. Kisha tukaona vumbi kubwa likitokea na moshi mweusi. Tulikimbia ndani ya ofisi, na ndani ya sekunde chache, mlipuko wa pili ulitokea. Kisha wanajeshi wawili kati ya kikosi changu walijeruhiwa walipokuwa wakifanya kazi katika Kituo cha Uangalizi cha 6. Walikuwa nje ya Kituo cha Uangalizi wakati huo, na walijeruhiwa kutokana na mlipuko wakati huo. Kisha nikafunga lango, na tukawapeleka hospitalini ndani ya muda wa dakika mbili hadi tatu.”Ingawa mzozo huu umesababisha madhara kwa afya ya walinda amani hawa, huku baadhi yao wakipata upasuaji kutokana na majeraha, bado wanaendelea kuwa na dhamira ya kuhudumu katika ujumbe wa kulinda amani. Mmoja wao ni Koplo Wickramage akisema….‘‘Wakati nilipokuwa kwenye zamu katika Kituo cha Uangalizi cha 6, kulitokea mlipuko na nikajeruhiwa kwenye sehemu ya nyuma ya bega langu. Nilihamishwa haraka kwenye hospitali ya UNIFIL. Nimefanyiwa upasuaji, na ninaendelea na matibabu. Sasa, ninapata nafuu na natumai kuungana na walinda amani wa Sri Lanka hivi karibuni ili kurudi kuhudumu katika UNIFIL.”Mbali na majukumu yao ya kawaida, wafanyakazi wa afya wa UNIFIL wamekuwa wakifanya kazi kwa bidii, wakitoa huduma si tu kwa walinda amani waliojeruhiwa bali pia kwa raia walionaswa katikati mwa mapigano hao kama anayoeleza Luteni Kanali Shilpi Mankotia,“Mbali na huduma za kawaida za matibabu, siku hizi tunatoa msaada na huduma kwa majeruhi na manusura waliolengwa kimakosa, ikiwa ni pamoja na raia na wahudumu wa kibinadamu. Nilikuwa kwenye likizo niliposikia kuhusu mzozo unaoendelea kwa sasa. Nilirudi kazini mara moja kutoka India. Nilifika Beirut usiku wa manane na baada ya kupambana kwa siku saba, hatimaye niliweza kurudi kwenye kituo changu cha kazi.”
Kaunti ya Turkana Kaskazini mwa Kenya moja ya maeneo kame mradi wa ufugaji nyuki wa WFP umekuwa mkombozi kwa wakulima walioathirika na mabadiliko ya tabianchi.Katika kaunti hii vumbi linalotimuka katika eneo tambarare lisilo na miti linakufanya kujiuliza je Nini kizuri kinaweza kufanyika hapa kwenye ukame uliotamalaki? Lakini cha kustaajabisha ni kwamba kwa kuwezeshwa mengi yanawezekana ikiwemo njia bora za kuhakikisha uhakika wa chakula na hata kubadili maisha ya watu kama anavyosema mkulima wa nyuki Nadipo Lotelei mnufaika wa mradi wa mizinga ya nyuki kutoka shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP. “Hatua iliyochukuliwa na WFP kutupatia mizinga ya nyuki imekuja kama nyota ya jaha kwangu kwa sababu siwezi kutembea umbali mrefu kutokana na ajali niliyopata. Mradi huu umenisaidia sana mimi ili kuweza kusaidia watoto wangu na mke wangu. Mke wangu ameweza kuanzisha biashara ya duka kutokana na faida niliyopata ambayo sasa inatumika kama chnzo cha kipato cha mahitaji ya kaya yetu.”Nadipo ni miongoni mwa wafuga nyuki 1,900 katika kaunti ya Turkana ambao wamepewa mafunzo ya ufugaji nyuki na vifaa kupitia mradi wa WFP kwa ushirikiano na shirika binafsi la HIVE ambalo mwenyekiti mtendaji wake ni Christopher Nzuki. “Tunahusika katika ufungaji na usambazaji wa vifaa. Na wakati huohuo tunatoa mafunzo kwa wafugaji nyuki na kisha kuwapatia masoko. Tunachukua kila kitu wanachozalisha.”Ufugaji wa nyuki wa kisasa si kazi kubwa, na pia unatumia nafasi ndogo na maji kidogo. Nyuki huchavusha asilimia 80 ya miti ya maua ikiwemo mazao ya chakula. Huzalisha asali, nta, mafuta na sumu, bidhaa ambazo huuzwa kwa gharama kubwa sokoni. Kwa sasa WFP inasaidia karibu wafugaji wa nyuki 5,000 katika kaunti 9 nchini Kenya lakini lengo ni kuwafikia wengi zaidi na mradi huu kama anavyosema afisa wa WFP Timothy Koskei. “Dhamira yetu mwisho wa yote ni kuwafikia wastani wa wafuga nyuki 10,000 katika kaunti 9 na kuvuna takriban tani 600 za asali.” Kwa mujibu wa WFP nyuki wana uwezo mkubwa na wanaweza kutoa mavuno mengi ambayo ni neema kwa familia sisizojiweza katika maeneo haya kame. Mkurugenzi wa WFP nchini Kenya Lauren Landis anasema mradi umezaa matunda. “Hivi sasa tunasikia kutoka miongoni mwa wanaufaika ambao awali walikuwa wakipokea msaada wa chakula ,ambao sasa sio tu wanazalisha asali kwa ajili ya faida bali pia wanafikiria kuongeza ununuzi wa pembejeo zaidi kutoka kwa Hive. Hivyo tunachokishuhudia ni mchakato ulio wazi ambapo mtu anatoka kuwa mpokea msaada na kuwa mteja, kuwa mpokeaji wa faida na si mpokeaji wa msaada wa chakula.”Kwa mafanikio haya WFP inasema itaendelea kupanua wigo wa mradi huu ili kunufaisha familia nyingi zaidi.
The international break is over, and it was a pretty wild one for Fulham players - Harry Wilson shining for Wales, Raúl's resurgence for Mexico, Alex Iwobi and Calvin Bassey getting stuck in an airport, Andreas's exceptional scissor kick for Brazil, Sasa's sad injury blow, ups and downs for Sander Berge, and a delicious assist for Timmy Castagne. It's never quiet round SW6. We look back at all that, before moving ahead with a discussion of Aston Villa's visit to the Cottage on Saturday, which will prove another tricky test against a Champions League calibre side, and then we round things off with a few questions, a look at the changes to the fixture schedule (and the parking situation at the Cottage), as well as a little quiz where Sammy tests Jack and Yasmin on the pricing for the new hospitality options in the Riverside stand. -- SHOW LINKS: If you enjoy Fulhamish, please consider contributing a small amount monthly to help pay our costs. As a bonus, you receive access to our exclusive Telegram group chats where you can chat with fellow FFC fans and Fulhamish listeners ➼ https://levellr.com/communities/fulhamish EXCLUSIVE NordVPN Deal. Try it risk-free now with a 30-day money-back guarantee ➼ http://nordvpn.com/fulhamish Tickets for our Fulhamish Live Show at the Half-Moon ➼ https://tickets.halfmoon.co.uk/events/1bfd8a99-ed22-4fe0-af2d-a33c55c742f6 -- GUESTS: Sammy James ➼ https://www.x.com/@MrSammyJames Jack Collins ➼ https://www.x.com/@jackjcollins Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices
Mbali na usaidizi mkubwa kwa watu waliokimbia makazi yao kutokana na migogoro mashariki mwa DRC, shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) linatoa msaada kupitia miradi iliyo ndani ya mfumo wa kuzuia na kupunguza hatari za unyanyasaji wa kijinsia unaohusishwa na uhakika wa kupata chakula. Takriban wanawake 40 waliokimbia makazi yao wanaoishi katika kambi ya Bulengo jimboni Kivu Kaskazini, mashariki mwa DRC wamenufaika na mafunzo ya kusoma na kuandika tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa 2024. Walengwa waliojifunza kusoma na kuandika wanashuhudia kwamba yamebadilisha maisha yao. Mwandishi wetu wa habari mashariki mwa DRC, George Musubao alisafiri kutoka Beni hadi Goma katika kambi ya Bulengo kuzungumza na mmoja wao.
Leo ni mwaka mmoja tangu vita ianze huko Gaza, Mashariki ya Kati baada ya wanamgambo wa kipalestina, Hamas kushambulia Israeli na kuua waisraeli 1250 pamoja na wageni, kisha Israeli kujibu mashambulizi yaliyoripotiwa kuua hadi sasa zaidi ya wapalestina 41,000 ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa pamoja na wakuu wa mashirika mbali mbali ya chombo hicho wametoa wito kutaka kukoma kwa vita hiyo. Assumpta Massoi na maelezo zaidi. Antonio Guterres huyu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kupitia ujumbe wake kwa njia ya video leo ikiwa in mwaka mmoja, anasema hii ni siku kwa jamii ya kimataifa kurejelea tena kwa sauti kubwa zaidi kulaani kwetu kwa vitendo vya kuchukiza vya Hamas ikiwemo utekaji nyara wa siku ile.Hamas waliteka nyara zaidi ya watu 250. Guterres amesema katika kipindi cha mwaka mmoja amezungumza na familia ambazo ndugu zao wanashikiliwa mateka hadi sasa. Amezungumzia pia machungu yaliyoibuka baada ya vita kuanza. Sasa anasema ni wakati wa kuachilia huru mateka. Wakati wa kunyamazisha bunduki. Wakati wa kukomesha machungu yaliyogubika ukanda huo. Wakati wa amani, sheria ya kimataifa na haki. Umoja wa Matiafa umejizatiti kufanikisha malengo hayo. Pisha nikupishe za manusura, magari ya wagonjwa na viwewe ni hali ya kawaida Gaza kwa mwaka mmoja sasa.Mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la afya ulimwenguni, WHO, pamoja na kusaidia waathiriwa wa vita, linashirikiana na mashirika ya kiraia kusaidia wale wanaosaidia manusura, mathalani madereva wa magari ya wagonjwa, wahudumu wa afya ambao waliathiriwa na kile walichokiona wakati wakisafirisha mahututi au kutambua maiti kwenye vifusi.Lile la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina, UNRWA limemnukuu Abu Majdi mpalestina mwenye umri wa miaka 80 akisema baada ya mwaka mmoja wa ukimbizi, joto kali na baridi kali, hadi lini tutaendelea kuhimili ukimbizi huu? Hadi lini tutapata haki na maisha yetu?Naye Kaimu Mkuu wa Ofisi ya UN ya kuratibu misaada ya dharura, OCHA Joyce Msuya anasema hakuna takwimu zinazoweza kueleza bayana madhila ya kimwili, kiakili na kijamii ya vita hiyo.
In this episode, we chat with Gavin Ferrar, who is now the new CEO of Central Asia Metals, a base metals producer on the AIM market of the London Stock Exchange and has a copper operation in Kazakhstan, and a zinc and lead mine in North Macedonia. With a geology and finance background, Gavin has over 25 years of experience mainly working in the London investment banking sector focusing on debt and derivative financing for mining clients of Barclays Capital and equity and debt investments for Investec. He became the CFO of Central Asia Metals back in 2018 before stepping into the CEO's shoes just recently. Gavin talks to us about his new role, how the company has progressed during his tenure, their ESG initiatives, and their business development activities especially with their recent investment into Aberdeen Minerals. KEY TAKEAWAYS Central Asia Metals operates two key assets: the Kounrad copper processing facility in Kazakhstan and the Sasa lead-zinc mine in North Macedonia. Both operations have shown strong profitability, with Kounrad achieving a 72% margin and projected copper production of 13,000 to 14,000 tons for the year. The company is transitioning to more efficient mining methods at Sasa, including paste fill and dry stack tailings, which enhance resource extraction, improve safety, and extend the mine's life to 2039. Central Asia Metals is committed to environmental, social, and governance (ESG) practices, including a solar power project in Kazakhstan aimed at reducing greenhouse gas emissions and compliance with the Global Industry Standard on Tailings Management (GISTM). The company is actively seeking to expand its portfolio by acquiring additional cash-flowing assets and has invested in ventures like Camel X for greenfields exploration in Kazakhstan and Aberdeen Minerals, which shows promising geological potential. BEST MOMENTS "I think my elevation to the CEO is part of that continuity... two people who understand the business intimately, but are also very keen to drive Central Asia Metals into its next phase of growth." "We've achieved exceptionally high margins, and the recent results that we put out in September, the margins that we're achieving are around 72%, which is fantastic." "The benefits now is that we've got much more efficient extraction of that resource using much more selective mining techniques." "Our goal is to achieve a 50% reduction in our greenhouse gas emissions by 2030... this was part of that program in terms of getting there." VALUABLE RESOURCES Mail: rob@mining-international.org LinkedIn: https://www.linkedin.com/in/rob-tyson-3a26a68/ X: https://twitter.com/MiningRobTyson YouTube: https://www.youtube.com/c/DigDeepTheMiningPodcast Web: http://www.mining-international.org Website: https://www.centralasiametals.com/ Investor Relations Manager Richard Morgan 36 Carnaby Street London W1F 7DR +44 (0) 20 7898 9001 richard.morgan@centralasiametals.com ABOUT THE HOST Rob Tyson is the Founder and Director of Mining International Ltd, a leading global recruitment and headhunting consultancy based in the UK specialising in all areas of mining across the globe from first-world to third-world countries from Africa, Europe, the Middle East, Asia, and Australia. We source, headhunt, and discover new and top talent through a targeted approach and search methodology and have a proven track record in sourcing and positioning exceptional candidates into our clients' organisations in any mining discipline or level. Mining International provides a transparent, informative, and trusted consultancy service to our candidates and clients to help them develop their careers and business goals and objectives in this ever-changing marketplace. CONTACT METHOD rob@mining-international.org https://www.linkedin.com/in/rob-tyson-3a26a68/ Podcast Description Rob Tyson is an established recruiter in the mining and quarrying sector and decided to produce the “Dig Deep” The Mining Podcast to provide valuable and informative content around the mining industry. He has a passion and desire to promote the industry and the podcast aims to offer the mining community an insight into people's experiences and careers covering any mining discipline, giving the listeners helpful advice and guidance on industry topics.
Maelfu ya watoto katika Kaunti ya Kilifi Pwani ya Kenya kwa miaka mitatu iliyopita wamelazimika kuacha shule kutokana na umasikini na ukame na mafuriko yaliyochangiwa na mabadiliko ya tabianchi. Lakini sasa wizara ya elimu ya Kenya kwa kushirikiana na mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, wakfu wa Education Above all na wadau wengine juhudi zinafanyika kuwarejesha watoto shuleni. “Niliacha shule darasa la nne ilikuwa mwaka 2022, kwasababu shuleni walikuwa wananirejesha nyumbani nikalete ada. Sasa nikifika nyumbani wazazi wanasema hawana”Huyo ni David Tumaini kijana mwenye umri wa miaka hivi sasa 16 mmoja wa wanafunzi waliolazimiika kukatiza masomo miaka miwili iliyopita katika shule ya msingi ya Soyosoyo kutokana na umasikini. Kwa miezi kadhaa alihaha kusaka njia ya kuendelea na masomo."Nilikaa nyumbani kwa muda wa miezi mitano, wakati wenzangu wanakwenda shule na ni siku za masomo na wewe uko nyumbani. Hii inakufanya ujihisi kama wewe si mtu muhimu.”Hisia kama hizo na mustakbali wa watoto hao ndio kilicholisukuma shirika la UNICEF kuanzisha mradi wa “Elimisha mtoto” likishirikisha wizara ya elimu ya kenya na wadau wengine ili kuhakikisha watoto kama David wanarejea shuleni. Elizabeth Waitha ni afisa elimu wa UNICEF.“Tuliweza kubaini Kaunti 16 ambazo zilikuwa na watoto zaidi ya 10,000 ambao wanaendi shuleni, na hii ilikuwa ni kwa shule za msingi tu. Na tukaangalia ni jinsi gani ya kuhakikisha mazingira bora ya kusoma kwa watoto waliosajiliwa kwenye mradi. Na tumeweza kuwasaidia zaidi ya wanafunzi milioni kwa vifaa vya shule na pia kwa waalimu vifaa vya kuandikia kama chaki, kalamu na vingine.”Na ndipo David akasikia kuhusu mradi huo,“Nilipata taarifa kutoka kwa walimu ya kwamba kuna mradi ambao unawasaidia watoto walioacha shule ili warehjee shuleni kuendelea na masomo. Sasa nilipokuja shuleni nikaambiwa wewe tutakusajili katika huu mradi wa msaada , ndipo nikaweza kurejea masomoni, hadi sasa nipo shuleni kwa sababu ya msaada huu. Vitu ambavyo nilipewa ni pamoja na mkoba wa madaftari, vitabu, kalamu na vifutio.”Hii imemrejeshea David matumaini ya ndoto yake“Mimi nikimaliza kusoma nataka kuwa Daktari ili kusaidia wagonjwa. Na katika kusaidia wagonjwa mshahara nitakaolipwa ntajisaidia mwenyewe na pia kusaidia familia yangu”Kupitia mradi huu mbali ya vifaa umewezesha zaidi ya watoto 256,000 kurejea shuleni na bado wanaendelea na masomo.
Jana Jumapili ya Septemba 22 viongozi wa dunia walipitisha Mkataba wa Zama Zijazo. Mkataba huu unalenga kukabili changamoto za karne ya 21 kuanzia mizozo, mabadiliko ya tabianchi, haki za binadamu, hadi taarifa potofu na za uongo. Maeneo Matano makuu ni pamoja na maendeleo endelevu, amani na usalama duniani, sayansi na teknolojia, vijana na vizazi vijavyo na marekebisho ya usimamizi wa dunia, kipengele muhimu wakati huu ambapo taasisi za fedha za kimataifa na Umoja wa Mataifa wenyewe wameshindwa kuja na majawabu ya karne ya 21. Mkataba wa Kimataifa wa Kidijitali unaoelenga pamoja na mambo mengine usimamizi bora wa Akili Mnemba, pamoja na Azimio kwa ajili ya Vizazi Vijavyo linalotaka serikali za sasa kutilia maanani vizazi vijavyo zinapopitisha maamuzi yao ya leo, ni sehemu ya viambatanishi vya Mkataba huu wa Zama Zijazo. Assumpta Massoi ametaka kufahamu maoni ya vijana baada ya hatua hii, na ndio mada yetu kwa kina siku ya leo.
Hali inazidi kuwa si hali huko Ukanda wa Gaza kwani sasa raia wanakwepa sio tu mashambulizi na magonjwa bali pia nyoka, panya na wadudu ambao wanasambaa kutokana na mazingira machafu. Watu wanajihifadhi kwenye maeneo ya wazi bila mifumo ya majitaka au ya kuondoa maji ya mvua. Timu ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina imefika kupuliza dawa ili kulinda wananchi hao. Tuko Khan Younis, kusini mwa Ukanda wa Gaza, video ya UNRWA inaonesha wafanyakazi wa shirika hilo wamefika kwenye makazi ya muda ya wakimbizi wa ndani. Katika eneo hili majitaka yamezingira makazi ya wakimbizi kwani hakuna mifumo ya kuyaondoa.Kando kidogo, mama anaonekana akimsafisha mwanae kwa kutumia maji yaliyohifadhiwa kwenye dumu.Mama huyu ambaye jina lake halikupatikana anasema, nilifurushwa kutoka jiji la Gaza hadi hapa Khan Younis. Tumefika kwenye eneo lililokuwa wazi, kwa hiyo uwepo wa panya na wadudu unahatarisha maisha ya watoto wangu. Nina hofu kubwa ya afya ya watoto wangu kutokana na wadudu na panya.Sasa anaonekana afisa mmoja wa UNRWA akiwa na wenzake wakipita hema kwa hema wakigawa dawa za kuua wadudu hao.Afisa huyu anasema wamewapatia ushauri na mwongozo wa jinsi ya kutumia dawa hizo.Halikadhalika wamepuliza dawa za kuulia wadudu na pia kuondoa taka zilizokuweko karibu na makazi ya wakimbizi hao wa ndani.UNRWA inasema viwango vya juu vya joto, na uweko wa makazi hayo kwenye eneo la wazi ni mazingira rafiki kwa panya, nyoka na wadudu wengine.Kwa mujibu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura, OCHA, tangu vita ianze Gaza, tarehe 7 Oktoba mwaka 2023, zaidi ya watu milioni 1.9 wamefurushwa makwao.
Idadi ya wanafunzi wakimataifa itapunguzwa mwaka ujao, serikali inapojaribu kupunguza uhamiaji wa ng'ambo.
The Thursday Club reconvenes as club football returns, with Sammy and Jack talking about the performances of our International Whites - including a screamer from Harry Wilson for Wales, Fulham vs Fulham as Joachim's Denmark beat Sasa's Serbia, and Josh King captaining the England U19s. We also discuss the Deadline Day activity that saw Jay Stansfield depart for Birmingham and Reiss Nelson come in on loan, as well as the club's sponsorship deal with IUX, which has been critiqued by investigative journalist Martin Calladine. Martin jumped on with our friends at Fulham Focus for a full interview, which they've kindly let us use a snippet of here, but to listen to the full podcast, which we thoroughly recommend, you can listen here. Then it's onwards to West Ham. We take a look at how the Hammers have started the season, as well as their new additions; before examining any changes Marco is likely to make ahead of this one. And finally, we finish with a couple of emails, a first This'll Catch On for Emile Smith Rowe, and a chat about the Fulham Barclaysmen of yesteryear. -- If you enjoy Fulhamish, please consider contributing a small amount monthly to help pay our costs. As a bonus, you receive access to our exclusive Telegram group chats where you can chat with fellow FFC fans and Fulhamish listeners ➼ https://levellr.com/communities/fulhamish Tickets for our Fulhamish Live Show at the Half-Moon ➼ https://tickets.halfmoon.co.uk/events/1bfd8a99-ed22-4fe0-af2d-a33c55c742f6 -- GUESTS: Sammy James ➼ https://www.x.com/@MrSammyJames Jack Collins ➼ https://www.x.com/@jackjcollins Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices
Ugonjwa wa homa ya nyani au mpox ukisalia kuwa dharura ya afya ya umma duniani, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR linasaka zaidi ya dola milioni 21 zitakazotumika hadi mwishoni mwa mwaka huu kuongeza harakati dhidi ya ugonjwa huo miongoni mwa wakimbizi katika nchi zilizokumbwa na dharura ya ugonjwa huo, hususan Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC. Assumpta Massoi anafafanua zaidi.UNHCR imetangaza ombi hilo leo la dola milioni 21.4, fedha zinazolenga kusaidia watu milioni 9.9 waliolazimika kukimbia makwao kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo vita. Watu hao wako kwenye nchi 35 barani Afrika.Hatua hii ya UNHCR inakuja baada ya wagonjwa 88 wa mpox kuwa ni wakimbizi na kati yao hao 68 wako DR Congo, taifa ambalo limeripoti idadi kubwa zaidi ya wagonjwa wa mpox duniani. Wagonjwa pia wameripotiwa Jamhuri ya Congo au Congo-Brazaville na vile vile Rwanda.Taarifa ya UNHCR kutoka Geneva, USwisi inasema, ingawa mpox ni ugonjwa wa muda mrefu barani Afrika, ongezeko la wagojwa hasa wenye mnyumbuliko mpya wa mpox yaani Clade 1b umefanya shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO kutangaza tarehe 14 mwezi Agosti kuwa mpox ni dharura ya afya ya umma duniani. Na tangu wakati huo watu 20,000 barani Afrika wameshukiwa kuwa na ugonjwa huo.Allen Maina, Mkuu wa Afya ya Umma UNHCR anasema kwa mazingira ya sasa walio hatarini kuambukizwa zaidi ni wakimbizi wanaoishi kwenye mazingira magumu bila maji, wala sabuni na lishe bora.Sasa wanahitaji kusaidia serikali na wadau katika hatua dhidi ya mpox kuhakikisha hakuna anayeachwa nyuma. Hivyo fedha zitaimarisha mifumo ya afya, maji na huduma za kujisafi na kuhakikisha wakimbizi wanajengewa mnepo sasa na siku za usoni.UNHCR inatoa wito kwa wahisani kuonesha ukarimu wao kwa kuwa fedha hizo zitawezesha ujumuishaji wa wakimbizi kwenye mipango ya serikali katika nchi husika ya kujiandaa na kujikinga dhidi ya mpox kwa mujibu wa Mpango wa Afrika dhidi ya mpox ulioandaliwa na kituo cha Afrika cha kudhibiti na kuzuia magonjwa, CDC na WHO.
Ushirikina umefanywa kwa mufa mrefu kote nchini Uganda.
Az IDDQD podcastjének 10x07-es (összesen 211.) vendéges adása Grathtel és Stökivel. Vendégek: Juhász Viktor, Sasa és Mazur, a podcast visszatérő vendégei. Téma: az 500. Checkpoint adás, visszatekintés, régi sajtószemlék. Az adást közönség előtt vettük fel az Epam Hungary Event Hallban, 2024. május 9-én. Kísérőposzt itt: https://iddqd.blog.hu/2024/08/30/checkpoint_10x07_az_500_adas_live
In this special edition of the Darden Admissions podcast, we share a recent installment in our ongoing ‘Office Hours' faculty spotlight series, a conversation with Professor Sasa Zorc. Zorc studies incentives in multi-agent systems such as health care and decentralized matching markets. Methodically, his research relies on stochastic dynamic games, search theory, mechanism design, contract theory as well as data-driven simulations of those systems. We talk with Zorc about his background, what led him to Darden, the core Decision Analysis course as well as his game theory elective, his thoughts on AI and more. For more insights, tips, and stories about the Darden experience, be sure to check out the Discover Darden Admissions blog and follow us on Instagram @dardenmba.
Your organization runs on commercial software far more than it does open source. But all you are delivered is binaries. What is your technical control to ensure that you are safe from this software? Such software is composed of: Open source libraries Proprietary code 3rd-party proprietary libraries You need to be able to see it, understand it, probe it for malware, backdoors, corruption, CVEs, KEVs, etc. Well now you can. SBOMs are just the beginning... Allan and Drew are joined by Sasa Zdjelar, Chief Trust Officer at ReversingLabs, who have spent 15 years solving this highly specific and highly challenging problem in cybersecurity. The show is not sponsored by ReversingLabs. Allan and Drew wanted the world to know that they exist, and that this capability is now in-hand... Y'all be good now!
Guest Host Anne Keala Kelly (Kanaka Maoli) speaks with Dan Taulapapa McMullin — an artist and poet from Sāmoa i Sasa'e (American Samoa) and an expert on the subject of the colonization of Pacific cultures. Keala and Dan spend time talking about American exploitation via tiki bars, a subject that Dan explored in his film, “100 Tikis.” “100 Tikis” is a 45-minute film/video appropriation art piece, part of an ongoing installation of works on the intersection of tiki kitsch and indigenous sovereignty. “100 Tikis” looks at Hollywood, colonialism, gender, militarism, and activism, through films, cartoons, songs, paintings, photographs, television shows, tourist ads, military propaganda, pornography, tiki bars, activist videos, home movies, and social media. Dan's artist book “The Healer's Wound: A Queer Theirstory of Polynesia” (2022) was published by Pu'uhonua Society and Tropic Editions of Honolulu for HT22 the Hawai'i Triennial. Their artwork has been exhibited at the Museum of Contemporary Native Art, Metropolitan Museum, De Young Museum, Musée du quai Branly, Auckland Art Gallery and Bishop Museum. Their film “Sinalela” (2001) won the 2002 Honolulu Rainbow Film Festival Best Short Film Award. “100 Tikis” was the opening night film selection of the 2016 Présence Autochtone in Montreal and was an Official Selection in the Fifo Tahiti Film Festival. Dan's art studio and writing practice is based in Muhheaconneock lands / Hudson, NY, where they live with their partner, and Lenape lands in Hopoghan Hackingh / Hoboken, NJ. More about Dan and links to his writing, films (including “100 Tikis”), paintings and sculpture/performance works: https://www.taulapapa.com/. For copies of “The Healer's Wound” (2024 2nd Edition) go to: https://tropiceditions.org/The-Healer-s-Wound-2 Production Credits: Tiokasin Ghosthorse (Lakota), Host and Executive Producer Anne Keala Kelly (Kanaka Maoli), Guest Host Liz Hill (Red Lake Ojibwe), Producer Karen Martinez (Mayan), Studio Engineer, Radio Kingston Tiokasin Ghosthorse, Audio Editor Kevin Richardson, Podcast Editor Music Selections: 1. Song Title: Tahi Roots Mix (First Voices Radio Theme Song) Artist: Moana and the Moa Hunters Album: Tahi (1993) Label: Southside Records (Australia and New Zealand) 2. Song Title: Pe A E Silva Artist: Pacific Soul CD: Pacific Soul (2012) Label: Pacific Dream Records AKANTU INTELLIGENCE Visit Akantu Intelligence, an institute that Tiokasin founded with a mission of contextualizing original wisdom for troubled times. Go to https://akantuintelligence.org to find out more and consider joining his Patreon page at https://www.patreon.com/Ghosthorse