POPULARITY
Wanasema ndoa ni ndoto, lakini vipi ikiwa inageuka kuwa ndoto mbaya... na unaamka mahakamani?
Ingawa kiswahili ni lugha ya tatu yenye wazungumzaji wengi Afrika, matumizi yake yanazidi kudidimia nchini Kenya. Sikiliza makala haya ujue mengi.
Makala haya yanaangazia jinsi imani ya laana inavyoathiri maisha yetu, chanzo chake, na njia za kujikomboa kutoka kwa imani hii potovu. Sikiliza makala haya na yatakusaidia kuelewa vyema suala hili na kukupatia mtazamo mpya.
Vasectomy ni njia ya kupanga uzazi ambayo inahusisha upasuaji wa mshipa unaopitisha mbegu za kiume, ili mme asiweze kumpachika mke mimba. Ni njia ya upangaji uzazi ya milele.Na pengine unajiuliza hili linafanyiikaje na ina athari gani kwenyen afya ya mwanaume ?Sikiliza makala haya
karibu katika kipindi cha Tafakari Nasi, Mwezeshaji ni Padre John Bosco kutoka Jimbo Kuu la Dar es salaam, leo anatutafakarisha juu ya Injili ya Luka 19:1-10. L'articolo Sikiliza tafakari ya Injili ilivyoandikwa na Luka 19:1-10. proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Jinsia na maendeleo katika kipindi hiki tutasikiliza shuhuda za wananchi juu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia pamoja na madhara ya kutumia nishati chafu. L'articolo Sikiliza shuhuda za matumizi ya Nishati safi ya kupikia. proviene da Radio Maria.
Katika Kipindi hiki, Esther Mwikali kutoka Biblia Husema Radio anamhoji Wanjiru Ng'ang'a ambaye ni mratibu wa Project Priscilla chini ya ACFAR Kenya. Esther anammuuliza Wanjiru baadhi ya maswali yakiwemo jinsi ambavyo wakristo wanaweza kutambua mafunzo potovu na vile ambavyo wanafaa kufanya baada ya kutambua ya kwamba wamekua wakifuata manabii au makanisa ya uongo. Sikiliza kipindi hiki ili uweze kuelewa jinsi ambavyo utambuzi wa kibiblia ni dawa dhidi ya udanganyifu.
Nafsi Yangu Ina Amani Katika dunia ambayo inashangalia ukamilifu wa mwanaume, dunia ambayo bado haiko tayari kuzungumzia kwa kina juu ya afya ya akili ya mwanaume, dunia ambayo mwanaume anayepitia changamoto za afya ya akili bado anatengwa na kuonekana mtu asiyefaa kushirikishwa na jamii yake, Sunday Kapesi anapambana kubadilisha hayo. Toka safari yake ya kuondokewa na baba yake mzazi, kuanza kuingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya na kupata urahibu, kuweza kumuangalia mama yake na ndugu zake usoni na kukiri kwamba anahitaji msaada, na kuamua kwenda “rehab” ili aweze kupambana na urahibu huo, Sunday haachi simulizi yeyote kwenye mazungumzo haya. Kama baba, kama mtoto, kama kaka, na kama mtu ambaye ana ndoto za kuisaidia na kuiokoa jamii yake, Sunday anaongea na sisi ni namna gani ni rahisi mno kwa mtu yeyote, hususani mwanaume kuingia kwenye urahibu, lakini pia anatutia moyo kwamba kila tatizo bado linauwezo wa kutatuliwa. Ilimchukua muda kiasi gani kwa Sunday kupambania afya yake ya akili mpaka kufikia hatua ya kuweza kupata “amani kwenye nafsi yake”? Sikiliza kiundani mazungumzo haya ili na wewe uweze kufahamu kwamba haijalishi unapitia magumu kiasi gani, siku zote kuna suluhisho la unayopitia, na linaweza kuwa suluhisho bora ambalo litajenga zaidi afya yako ya akili na kukufanya uwe bora zaidi ya jana. Pambana kuipa nafsi yako amani
Baada ya kuzungumza naye katika sehemu ya kwanza, Bwana Ng'winula Kingamkono au maarufu zaidi kama #Unu wa Tunzaa anarejea tena katika Podcast yetu kwa sehemu ya pili na ya mwisho kwa sasa. Safari hii Unu anaendelea kutupa ujuzi na uzoefu wake katika kuanzisha, kusimamia na kuendesha biashara ya “StartUp” yake Tunzaa. Kumbuka, Unu hakuanzia hapa. Anaongea na Michael Baruti na Nadia Ahmed kuhusu maana ya mafanikio, maumivu aliyopitia, kitu anachojivunia na namna pia kwa upande mwingine kuwa baba kumekuja kuwa jambo bora na funzo bora sana kwake kama mwanaume, kaka, mtoto wa kwanza na zaidi ya yote kama mfanyabiashara. Na swala ambalo bado analilisitiza kwetu sote ni kuijua sifuri yetu. Je, wewe unaijua sifuri yako? Unajua ulipoanzia? Unajivunia safari yako? Sikiliza mazungumzo haya yenye mafunzo ya kutosha kwetu sote.
karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. Huduma zetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160 . Karibu kuagiza chakula ambacho kimepikwa kwa kuzingatia muongozo wa sayansi ya mapishi, chakula hiki kinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza chakula kwa kupiga simu namba 0787 999 994 . Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Karibu usikilize Kipindi cha Ujumbe wa Biblia na Padre Tutus Amigu Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Jimbo Kuu la Mwanza, ambapo katika Kipindi hiki anaendelea kufafanua juu ya Sakramenti ya Daraja Takatifu ya Upadre, katika mada Kuu ya “kukoseana na kusameheana”. Mtangazaji ni Agatha Kisimba. L'articolo Sikiliza ufafanuzi wa Padre Amigu kuhusu Daraja ya Upadre. proviene da Radio Maria.
Kipindi hiki kitakupa tafsiri ya misamiati ya rangi kutoka kwenye lugha ya kimombo kuja kwenye lugha ya kiswahili. Sikiliza ili ujifunze mengi. Natumai kipindi hiki kitakufaa. Asante!
Ugonjwa unaofahamika kama Utindio wa ubongo au Cerebral Palsy kwa lugha ya kimombo ni ugonjwa unaoathiri ubongo, namara nyingi unatokea kwa watoto na husababishwa wakati damu inapovuja kwenye ubongo au hakuna hewa yakutosha.Unaweza kutokea wakati Mtoto anapoanza kupoteza fahamu punde baada ya kuzaliwa au mwezi wa kwanza wa kuzaliwa.Vilevile Jeraha kwenye ubongo linaweza kusababisha matatizo ya kuongea na ugumu wa kufahamu mambo.Sikiliza makala haya kutambua zaidi kuhusu ugonjwa huu.
Mataifa mengi kama Tanzania, Burundi na DRC yamekabiliwa na athari za matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii kuanzia kwa taarifa za uongo hadi jumbe za chuki hasa nyakati za uchaguzi.Na leo kwenye makala yetu tulitaka kujua iwapo unadhani mitandao ya kijamii inatumika kueneza propaganda? na nini kifanyike ili kuzuia matukio kama haya?Sikiliza
Mataifa mengi kama Tanzania, Burundi na DRC yamekabiliwa na athari za matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii kuanzia kwa taarifa za uongo hadi jumbe za chuki hasa nyakati za uchaguzi.Na leo kwenye makala yetu tulitaka kujua iwapo unadhani mitandao ya kijamii inatumika kueneza propaganda? na nini kifanyike ili kuzuia matukio kama haya?Sikiliza
Viongozi wa nchi za Afrika Magharibi, wametoa masharti kwa nchi ya Niger kumuachia huru Rais Bazoum na kuindolea vikwazo nchi hiyo baada ya kukutana jijini Abiuja nchini Nigeria.Na kwenye makala yetu ya leo tulikuuliza iwapo Unadhani ECOWAS iko sahihi kuendelea kuweka vikwazo dhidi ya Niger, Mali na Burkina Faso?Sikiliza maoni ya baadhi ya wasiikilizaji wetu
Viongozi wa nchi za Afrika Magharibi, wametoa masharti kwa nchi ya Niger kumuachia huru Rais Bazoum na kuindolea vikwazo nchi hiyo baada ya kukutana jijini Abiuja nchini Nigeria.Na kwenye makala yetu ya leo tulikuuliza iwapo Unadhani ECOWAS iko sahihi kuendelea kuweka vikwazo dhidi ya Niger, Mali na Burkina Faso?Sikiliza maoni ya baadhi ya wasiikilizaji wetu
Wakati huu wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakitazamiwa kukutana juma lijalo, Jumuiya hiyo imeonekana kuendelea kushindwa kutatua mizozo inayoikumba nchi wanachama.Na kwenye makala yetu tumejadili mengi ikiwemo nini cha ziada kifanyike kuboresha utendakazi jumuiya hiyo.Sikiliza.
Wakati huu wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakitazamiwa kukutana juma lijalo, Jumuiya hiyo imeonekana kuendelea kushindwa kutatua mizozo inayoikumba nchi wanachama.Na kwenye makala yetu tumejadili mengi ikiwemo nini cha ziada kifanyike kuboresha utendakazi jumuiya hiyo.Sikiliza.
Yoga ni mazoezi ya mwili yanayoongeza nguvu kwa misuli na kunyoosha mifupa lakini pia yoga inalenga kuunganisha mwili, ufahamu, na akili kwa pamoja. Hivyo ni tofauti kabisa na aina nyingine za mazoezi.Sikiliza makala haya kwa ufahamu zaidi.
Sikiliza hii podcast ili iweze kujifunza tafsiri ya neno 'climate'. Asante
Mrembo, ni kwa namna gani unapima ubora wa hali unazoruhusu katika maisha yako, au ni ubora upi unazingatia juu ya aina ya watu unaowapa nafasi (access) katika maisha yako kwa ukaribu? Je, unazingatia viwango vya ubora wanaobeba watu hawa au bora liende? Je, unatafakari juu ya athari/matokeo ya kuvumilia/kuruhusu hali (experiences) hizo au watu hao katika maisha yako? Unajua kwanini unahitaji kuwa na viwango kama mrembo wa Kristo? Sikiliza episode hii kujua. Happy listening
Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
As a human being tunapitia maumivu ya aina mbalimbali ikiwamo yale ya kihisia & kiakili. Kupitia episode hii, nitakujuza kwanini ni muhimu kupona maumivu haya na unaweza kuchukua hatua ya kupona. Pia ninayo ofa maalum kwaajili yako mrembo wa Kristo
Sikiliza makala haya yalioandaliwa naye Steve Mumbi
Ili kupata GETFINE DHEA wasiliana nasi kwa simu namba 0787 030 160 Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +255787 999 994 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
katika epsod hii, utajifunza kuhusu umuhimu wa kutumia xylitol, bidaa inayopatikana kwa Dr. Boaz Kitchen inayomfaa mtu yoyote mwenye m,agonjwa ya lishe katika mapishi mbalimbali Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
katika epsodi hii utajifunza juu ya sababu ya mwanamke kushindwa kubeba ujauzito japokuwa anapata hedhi kila mwezi Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Je mishipa yako ya damu imeziba na damu haipiiti vizuri. tumia GET FINE OMEGA 3 ndio suluhisho lako. Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Katika Episode hii utajifunza kuhusu umuhimu wa kula tunda kama lilivyo bila kutengeza juisi yake. Kwa matibabu na ushauri WASILIANA NASI SIMU +255767 074 124 +225787 999 994 +255767 030 160 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Utambulisho wako kama mrembo wa Kristo unatokana na nini? Je, ni uzuri na urembo wako? Ni ujuzi wako? Ni familia uliyozaliwa? Ni hadhi ya kielimu, kifedha? Sikiliza episode hii kujua hasa UTAMBULISHO wako unatokana na nini na kwanini ni muhimu ukafahamu chanzo cha UTAMBULISHO wako. Happy Listening ☺️ --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/bintiwayesu/message
Katika Episode hii utajifunza kuhusu hatua za ugonjwa wa kisukari na dalili zake. Kwa matibabu na ushauri WASILIANA NASI SIMU +255767 074 124 +225787 999 994 +255767 030 160 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Juma hili Ali Bilali yupo kwenye usukani kukuletea Makala Muziki Ijumaa.
Juma hili Ali Bilali yupo kwenye usukani kukuletea Makala Muziki Ijumaa.
Ukijifunza kuona bila macho utaweza kuona makubwa zaidi. Sikiliza mpaka mwisho.
Jinsi ya kuanza Mwaka Kwa nguvu. Fanya yafuatayo. Sikiliza hii Kabla January kuisha
Nchi za Afrika zimezidi kukopa kutoka kwa shirika la fedha duniani IMF ,vilevile Rais wa Ghana amewataka viongozi wa Afrika kuacha kuomba mikopo kutoka kwa nchi za Magharibi. Tumekuuliza Kwa nini unafikiri Afrika inahitaji mikopo zaidi? je, nini athari za mikopo hii kwa uchumi?Sikiliza makala habari rafiki kwa mengi zaidi
Nchi za Afrika zimezidi kukopa kutoka kwa shirika la fedha duniani IMF ,vilevile Rais wa Ghana amewataka viongozi wa Afrika kuacha kuomba mikopo kutoka kwa nchi za Magharibi. Tumekuuliza Kwa nini unafikiri Afrika inahitaji mikopo zaidi? je, nini athari za mikopo hii kwa uchumi?Sikiliza makala habari rafiki kwa mengi zaidi
Kwenye Makala ya leo Jumapili 18 12 2022 tunaangazia fainali ya kombe la dunia kati ya Ufaransa dhidi ya Argentina. Sikiliza hapa iwapo ulikosa kwenye radio
Karibu kwenye makala ya leo ambapo tumekupa nafasi wewe msikilizaji wetu mpendwa kuwasiliana nasi kuhusu jambo lolote ambalo limetokea nchini mwako au hata maishani mwako binafasi. Sikiliza maoni uliotutumia hapa Naitiwa Hillary Ingati
Karibu kwenye makala ya leo ambapo tumekupa nafasi wewe msikilizaji wetu mpendwa kuwasiliana nasi kuhusu jambo lolote ambalo limetokea nchini mwako au hata maishani mwako binafasi. Sikiliza maoni uliotutumia hapa Naitiwa Hillary Ingati
Bunge la Afrika Kusini hapo jana halikumuondoa Rais Ramaphosa madarakani japo anashutumiwa kwa kuficha karibu dola milioni moja katika shamba lake la kibinafsi.Tumekuuliza unadhani Rais ramaphosa anafaa kujiuzulu? na Je, unaamini kuwa Bunge la Afrika Kusini lilikuwa sahihi katika uamuzi wake?Sikiliza baadhi ya maoni ya wasikilizaji wa rfi kiswahili
Bunge la Afrika Kusini hapo jana halikumuondoa Rais Ramaphosa madarakani japo anashutumiwa kwa kuficha karibu dola milioni moja katika shamba lake la kibinafsi.Tumekuuliza unadhani Rais ramaphosa anafaa kujiuzulu? na Je, unaamini kuwa Bunge la Afrika Kusini lilikuwa sahihi katika uamuzi wake?Sikiliza baadhi ya maoni ya wasikilizaji wa rfi kiswahili
Rais wa marekani Joe Biden kukaribisha Mkutano wa pili wa Afrika huko Washington. Viongozi wa Afrika wanatarajiwa kujadiliana kuhusu ushirikiano mpya wa kiuchumi kati ya Marekani na AFRIKA na kuweka mikataba mipya.Na kwenye habari rafiki tumekuuliza msikilizaji nini matarajio yako kutoka kwa mkutano huo? Na je unaamini kuwa ushindani kati ya China/Urusi/Marekani katika biashara ya kiuchumi utazaa matunda kwa Afrika? Sikiliza habari rafiki kujua walichosema raia kutoka kwa mataifa tofauti.
Rais wa marekani Joe Biden kukaribisha Mkutano wa pili wa Afrika huko Washington. Viongozi wa Afrika wanatarajiwa kujadiliana kuhusu ushirikiano mpya wa kiuchumi kati ya Marekani na AFRIKA na kuweka mikataba mipya.Na kwenye habari rafiki tumekuuliza msikilizaji nini matarajio yako kutoka kwa mkutano huo? Na je unaamini kuwa ushindani kati ya China/Urusi/Marekani katika biashara ya kiuchumi utazaa matunda kwa Afrika? Sikiliza habari rafiki kujua walichosema raia kutoka kwa mataifa tofauti.
Sikiliza maoni ya waskilizaji kuhusu mada walizochaguwa wenyewe katika siku ya Ijumaa kama ilivyo kawaida RFI Kiswahili hutoa nafasi kwa waskilizaji wake.