MAELEZO PODCASTS

Follow MAELEZO PODCASTS
Share on
Copy link to clipboard

Sikiliza MAELEZO PODCASTS (Podcasts za Kiswahili kutoka Idara ya Habari MAELEZO, Tanzania) kupata taarifa na matukio mbalimbali nchini Tanzania. Idara ya Habari (MAELEZO) ipo chini ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ikiwa na jukumu la kutoa taarifa kuhusu utekelezaji wa Sera, Mipango na Miradi ya Maendeleo vinavyotekelezwa na Serikali kwa wananchi, kusimamia vyombo vya habari hasa magazeti na machapisho na kuishauri Serikali juu ya sera na sheria za habari.

Tanzania Information Services Department, Habari-MAELEZO


    • May 26, 2022 LATEST EPISODE
    • monthly NEW EPISODES
    • 17m AVG DURATION
    • 37 EPISODES


    Search for episodes from MAELEZO PODCASTS with a specific topic:

    Latest episodes from MAELEZO PODCASTS

    Maelezo Podcasts S2EP9: Ifahamu Dhahabu Nyeupe, 'Pamba'

    Play Episode Listen Later May 26, 2022 5:02


    Hospitali ya Benjamin Mkapa Yaendeleza Miujiza (Julai 15, 2020)

    Play Episode Listen Later May 26, 2022 12:40


    Zao la Chikichi lilivyokua dili Tanzania

    Play Episode Listen Later Mar 3, 2022 22:51


    Watanzania kwa ujumla tuanze kupanda miche ya kisasa ya Michikichi kutokana  na nchi kutumia gharama kubwa kuagiza mafuta ya mawese yatokanayo na zao hilo kutoka mataifa mengine duniani.

    Tabora Waonja Maji ya Ziwa Viktoria!

    Play Episode Listen Later Mar 3, 2022 13:47


    Sikiliza simulizi za Daraja la Sibiti katika mpaka wa Singida-Simiyu!

    Play Episode Listen Later Mar 3, 2022 11:54


    Ufahamu zaidi Mradi wa Kuendeleza Utalii Kusini mwa Tanzania - REGROW

    Play Episode Listen Later Feb 28, 2022 12:29


    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii inatekeleza mradi wa kukuza utalii kusini mwa Tanzania (REGROW). Mradi wa REGROW ni mkopo kutoka Benki ya Dunia na lengo kuu la mradi huu ni kuboresha maeneo yenye vivutio vya utalii katika ukanda wa kusini mwa Tanzania.Hii ni pamoja na kuboresha usimamizi wa maliasili na kuimarisha fursa za kiuchumi kwa wananchi wanaozunguka hifadhi ili kuongeza mchango wa sekta ya utalii katika maendeleo ya kiuchumi nchini . Serikali inadhamiria mradi huu uwe wa mfano katika kuleta maendeleo kwa kufungua fursa za kiuchumi kwa jamii na taifa kwa ujumla.

    Taarifa ya Wiki ya Msemaji Mkuu wa Serikali Mkoani Singida

    Play Episode Listen Later Sep 26, 2021 96:35


    Mkutano wa Mkurugenzi wa Idara ya Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa na Waandishi wa Habari mkoani Singida, Septemba 26, 2021 #Kaziiendelee

    Ndui, Polio, Yote Yalipita...Tukachanje! na Hili Litapita.

    Play Episode Listen Later Aug 25, 2021 8:25


    Tuache Upotoshaji!

    Play Episode Listen Later Aug 3, 2021 3:41


    Maelezo ya Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO juu ya Upotoshaji unaoendelea mitandaoni kuhusu Chanjo ya UVIKO-19

    UMITASHUMTA, UMISSETA 2021 Kuzinduliwa Juni 8 Mtwara

    Play Episode Listen Later Jun 1, 2021 18:46


    Natamani sana wanahabari tuwe chachu ya kuleta mabadiliko - Gerson Msigwa, Msemaji Mkuu wa Serikali

    Play Episode Listen Later Apr 16, 2021 14:54


    Hayasahauliki

    Play Episode Listen Later Mar 22, 2021 7:03


    Wimbo huu ni zawadi kwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. JPM  alikua baba wa wanyonge, mtetezi wa masikini na mzalendo wa kweli. JPM anaishi na ataishi ndani yetu milele.

    PAMBA, Dhahabu nyeupe!

    Play Episode Listen Later Mar 9, 2021 4:48


    Serengeti Music Festival Dodoma!

    Play Episode Listen Later Feb 20, 2021 36:44


    UHURU, Sikiliza hapa!

    Play Episode Listen Later Dec 5, 2020 19:46


    Neno Uzalendo kwa Ufupi Kabisa!

    Play Episode Listen Later Nov 26, 2020 19:52


    Uzalendo ni hali ya mtu kuipenda, kuithamini na kujitoa kwa ajili ya nchi yake. Mzalendo wa kweli daima anaweka maslahi ya nchi mbele na ya kwake binafsi nyuma. Kwa maana hiyo hapo juu, mzalendo ni mtu yeyote mzawa na mwenye kuipenda na kujitoa mhanga na saa nyingine ikibidi kufa kwa ajili ya nchi yake. Uzalendo unabeba dhana nyingi sana ikianzia asili, utamaduni, lugha, siasa, historia, nk. Dhana zote zikifungwa kwenye dhana kuu ya utaifa

    MIAKA MITANO YA KAZI NA DKT.JOHN POMBE MAGUFULI

    Play Episode Listen Later Aug 10, 2020 41:44


    Mzee Mkapa Aacha Alama Kwenye Mioyo ya Watu

    Play Episode Listen Later Jul 28, 2020 35:33


    Buriana Mwana Diplomasia Mahiri, Benjamin William Mkapa

    Play Episode Listen Later Jul 25, 2020 24:56


    Mawese Yatakua Dili Tanzania!

    Play Episode Listen Later Jul 22, 2020 22:36


    Watanzania kwa Ujumla Tuanze Kupanda Miche ya Kisasa ya Michikichi Kutokana na Nchi Kutumia Gharama Kubwa Kuagiza Mafuta ya Mawese Yatokanayo na Zao Hilo Kutoka Mataifa Mengine - Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Majina Yametoka JKT, Twende Tukajenge Uzalendo!

    Play Episode Listen Later Jul 18, 2020 25:05


    Hospitali ya Benjamin Mkapa Yaendeleza Miujiza.

    Play Episode Listen Later Jul 15, 2020 21:53


    Hili nalo litapita!

    Play Episode Listen Later May 15, 2020 4:16


    DKt Abbasi: Tanzania Iko Mstari wa Mbele Mapambano ya Covid-19

    Play Episode Listen Later May 13, 2020 3:59


    Tupunguze hofu, tuchukue tahadhari!

    Play Episode Listen Later May 8, 2020 12:14


    Tanzania: The Soul of Africa & the Island of Peace!

    Play Episode Listen Later May 5, 2020 5:19


    From the high snowy peaks of Mount Kilimanjaro to the palm tree fringed Indian Ocean islands of Zanzibar and Pemba, Tanzania simply has it all. Whether it’s the mega herds of Selous, Ruaha and Katavi; the habituated chimpanzees of Mahale and Gombe Stream; the wildebeest migration of the Serengeti; the giant tuskers of Tarangire; or the whale sharks swimming around Mafia Island, the variety and quality of wildlife safari experiences in Tanzania is unrivalled. Tanzania is unquestionably a remarkable and an incomparable African travel destination.

    Mwenendo wa Ugonjwa wa Corona Nchini-Waziri Mkuu (29-Aprili 2020)

    Play Episode Listen Later Apr 29, 2020 5:05


    Muungano wa Kipekee Zaidi Duniani!

    Play Episode Listen Later Apr 28, 2020 17:56


    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Muungano wa Nchi huru mbili zilizojulikana kama Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya watu wa Zanzibar. Nchi hizi mbili ziliingia kwenye Mkataba wa Muungano mnamo tarehe 22 Aprili, 1964 na kuwa Dola ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia tarehe 26 Aprili, 1964. Muungano huu ni wa serikali mbili, yaani Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) inayoshughulikia mambo yote ya Muungano kama yalivyoainishwa katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya mwaka 1977 na yasiyo ya Muungano kwa upande wa Tanzania Bara na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) inayoshughulikia mambo yasiyo ya Muungano kwa upande wa Tanzania Zanzibar.Mkataba wa Muungano ulitiwa sahihi na aliyekuwa Rais wa Tanganyika, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na aliyekuwa Rais wa Zanzibar, Hayati Sheikh Abeid Amani Karume tarehe 22 Aprili, 1964 huko Zanzibar. Mkataba huo ulithibitishwa tarehe 26 Aprili, 1964 na mnamo tarehe 27 Aprili, 1964, viongozi wa nchi zote mbili walikutana katika ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam na kubadilishana hati za Muungano. Sheria za Muungano zilitoa tamko la Jamhuri ya Muungano kwamba:“Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar zitalazimika, baada ya kuungana na siku zote baada ya kuungana, kuunganishwa kuwa Dola ya Jamhuri kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar’ (Ibara ya 4 Sheria za Muungano)Jina hili la “Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar” lilibadilishwa baadae na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia sheria ya Jamhuri ya Muungano, Sheria namba 61 ya mwaka 1964.

    Tabora Waonja Maji ya Ziwa Viktoria!

    Play Episode Listen Later Apr 21, 2020 13:33


    Mradi wa Maji wa Ziwa Victoria kutoka Solwa Mkoani Shinyanga hadi Itumba Tabora umegharimu Shilingi Bilioni 605 na unawanufaisha wakazi milioni moja na laki mbili katika vijiji 102 vya Mikoa ya Shinyanga na Tabora na miji ya Nzega, Igunga, Isikizya na mji wa Tabora.Mradi huu umejengwa na miundombinu mipana ikiwemo bomba kubwa kutoka Solwa kwenda Itumba Tabora lenye urefu wa Kilomita 280 lna enye kipenyo cha Sq/m 1000 sawa na Mita 1 linalosukuma maji lita milioni 54 kwa siku.Mradi mzima katika Mkoa wa Tabora una jumla ya matanki 29 huku kubwa zaidi likiwa nje kidogo ya Mji wa Tabora katika eneo la Itumba likiwa na uwezo wa ku- hifadhi maji lita milioni 9.Hii inamaanisha watakaofikiwa na mradi watanufaika kwa asilimia mia moja.

    Wananchi wanavyoielewa Corona katika baadhi ya mikoa nchini!

    Play Episode Listen Later Apr 14, 2020 14:48


    DARAJA LA SIBITI: SIMIYU YAPATA KIUNGANISHI CHA UHAKIKA NA KANDA YA KATI!

    Play Episode Listen Later Apr 8, 2020 11:40


    Hakuna majaribio ya Kinga ya CORONA kwa Watanzania Nchini China, ni uzushi!-Mbelwa Kairuki, Balozi wa Tanzania, China.

    Play Episode Listen Later Apr 6, 2020 8:29


    MAELEZO PODCASTS Intro!

    Play Episode Listen Later Apr 6, 2020 0:14


    Jiji la Dodoma: Dodoma ya sasa sio kama ya zamani!

    Play Episode Listen Later Apr 6, 2020 8:59


    Watanzania Waandika Historia Upandikizaji wa Figo!

    Play Episode Listen Later Apr 6, 2020 12:25


    Benki ya Dunia Kuipa Tanzania Mkopo!

    Play Episode Listen Later Apr 6, 2020 11:14


    Historia ya Mama Samia Suluhu Hassan!

    Play Episode Listen Later Apr 6, 2020 25:52


    Claim MAELEZO PODCASTS

    In order to claim this podcast we'll send an email to with a verification link. Simply click the link and you will be able to edit tags, request a refresh, and other features to take control of your podcast page!

    Claim Cancel