Podcasts about Akili

village in Khuzestan, Iran

  • 198PODCASTS
  • 488EPISODES
  • 40mAVG DURATION
  • 1EPISODE EVERY OTHER WEEK
  • Jun 6, 2026LATEST
Akili

POPULARITY

20192020202120222023202420252026


Best podcasts about Akili

Show all podcasts related to akili

Latest podcast episodes about Akili

Siha Njema
Majanga yanaweza kusababisha matatizo ya afya ya akili miongoni mwa watoto

Siha Njema

Play Episode Listen Later Jun 6, 2026 9:43


Mataifa ya Afrika yameshuhudia mafuriko katika miaka ya hivi karibuni ,hali ambayo imesababisha wananchi wengi kulazimika kuhama makazi yao Nchini Kenya ,ukanda wa magharibi ,katika eneo la Busia,mafuriko hayo yamevuruga kalenda za wanafunzi wa shule ,watoto wengi wakishindwa kuendelea na shule au kukubaliana na msongamano kwenye shule chache ambazo ziko maeneo salama Hali hii imewasababisha changamoto za afya ya akili anavyoeleza mwaandishi wetu Petronila Ogalo.

kenya afrika akili afya watoto elimu mataifa busia miongoni
The Homecoming Podcast with Dr. Thema
Episode #252 Healing and Justice Work with Yolo Akili Robinson

The Homecoming Podcast with Dr. Thema

Play Episode Listen Later May 31, 2026 34:08


Founder and Executive Director of BEAM (Black Emotional and Mental Health Collective), Yolo, joins Dr. Thema and shares his thoughtful insights on womanist and anti-patriarchal therapy. Yolo also reflects on his homecoming journey and the context of identity and expectations for boys and men. For over two decades, Yolo Akili Robinson has served as a counselor, organizer, facilitator, and community healer working at the intersections of mental health, womanism, spirituality, and collective care. A Ford Foundation Global Fellow and Robert Wood Johnson Foundation Health Equity Award recipient, Yolo is the founder of the Black Emotional and Mental Health Collective (BEAM)—a national grantmaker for healing justice and mental health organizations that has designed evidence-based interventions centering radical wellness and collective care. His work bridges clinical, community, and movement spaces, with experience spanning Men Stopping Violence, NYU Langone Medical Center, and national initiatives with the CDC and NIH—helping to design and implement community-based mental health and wellness interventions nationwide. Recognized by U.S. Surgeon General Dr. Vivek Murthy for his leadership in advancing emotional well-being and social connection, Yolo's areas of specialization include anti-patriarchal counseling and healing work with Black men and boys, collective and community-based curricula and interventions, mental health and HIV/AIDS in Black queer communities, and body-centered healing practices. Don't forget to like, share, and subscribe. Mixed & Edited by Next Day Podcast info@nextdaypodcast.com

First Things First With Dominique DiPrima
The LA City Council Ends Pretextual Traffic Stops + Open Phones & Hot Topics

First Things First With Dominique DiPrima

Play Episode Listen Later May 12, 2026 36:23 Transcription Available


Miles Low, Akili and Dominique go in on national and international headlines: is it a big deal the LA City Council voted to end pretextual traffic stops? Are we mad at Killer Mike? Do our votes still count with the new Republican maps and more.

Habari za UN
Akili Mnemba au AI haiwezi kuchukua nafasi ya kuwa mama

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 11, 2026 3:03


Je Akili mnemba AI inaweza kuchukua ajira yako? Ingawa kila uchwao AI inaandika upya sheria za kazi, ubunifu na kubadili vile tunavyoishi lakini kuna kazi moja ambayo bado watu wanasema hiyo ni ya watu maalum sana na kwamba AI haiwezi kuichukua. Hapo jana jumapili tarehe 10 Mei dunia iliadhimisha siku ya wakina mama duniani, shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya Uzazi UNFPA lilitembelea viunga vya New York Marekani na kuzungumza na wanawake. Tuungane na Leah Mushi kusikia wamesema nini kuhusu AI.

ai mama umoja akili kuwa wanawake mataifa teknolojia
I AM GPH
EP182 Fast-Track to Impact: Navigating the 4+1 Program with Nehanda Akili and Anthony Escamilla

I AM GPH

Play Episode Listen Later May 7, 2026 25:06


In this episode, we explore the power of the 4+1 Program at NYU GPH, an accelerated pathway that allows students to earn both their undergraduate and master's degrees in just five years. We are joined by Nehanda Akili, an MS Biostatistics student, and Anthony Escamilla, an MPH Community Health Science and Practice student and pre-PA track junior, to discuss how this program provides a competitive edge for future healthcare leaders. Nehanda shares her journey from NYU Gallatin's individualized study—where she concentrated on the intersection of fascism and public health—to mastering data science and R coding. She discusses the importance of GPH's flexibility, which allowed her to balance 18-credit semesters while serving as President of the Black Women's Health Collective. Anthony, an EMT and psychology major, explains how the program allows him to bridge the gap between social theory and clinical practice. He highlights the financial benefits of the "plus one" year and how GPH's location in the NYC epicenter offers valuable opportunities for culturally competent public health intervention. From navigating the application process to utilizing the ecosystem of faculty support, Nehanda and Anthony offer a roadmap for students looking to maximize their time at NYU. This conversation highlights how the 4+1 Program turns academic ambition into real-world impact. To learn more about the NYU School of Global Public Health, and how our innovative programs are training the next generation of public health leaders, visit http://www.publichealth.nyu.edu.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Ripoti mpya yataka mkakati wa kitaifa kuhusu Akili Bandia mahali pa kazi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 1, 2026 10:28


Ripoti mpya inasema kwamba Australia haina mkakati wa kitaifa wa kudhibiti kuenea kwa akili bandia mahali pa kazi.

Gurudumu la Uchumi
Akili unde na mustakabali wa uchumi wa Afrika: Fursa mpya kwa vijana wabunifu

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Apr 22, 2026 10:01


Katika kipindi ambacho Afrika inaendelea kukabiliana na changamoto za kiuchumi na kijamii, teknolojia ya Akili Unde (AI) inaibuka kama nyenzo muhimu ya kuleta mabadiliko. Kutoka kilimo hadi afya, na kutoka elimu hadi utawala bora, ubunifu wa kidijitali unaanza kubadilisha namna matatizo ya muda mrefu yanavyotatuliwa.Katika makala hii, tunazungumza na Kevin Obote kijana mbunifu wa teknolojia ambaye anatumia AI kuunda suluhisho zinazolenga mazingira halisi ya Afrika.

Gurudumu la Uchumi
Akili unde na mustakabali wa uchumi wa Afrika: Fursa mpya kwa vijana wabunifu

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Apr 22, 2026 10:01


Katika kipindi ambacho Afrika inaendelea kukabiliana na changamoto za kiuchumi na kijamii, teknolojia ya Akili Unde (AI) inaibuka kama nyenzo muhimu ya kuleta mabadiliko. Kutoka kilimo hadi afya, na kutoka elimu hadi utawala bora, ubunifu wa kidijitali unaanza kubadilisha namna matatizo ya muda mrefu yanavyotatuliwa.Katika makala hii, tunazungumza na Kevin Obote kijana mbunifu wa teknolojia ambaye anatumia AI kuunda suluhisho zinazolenga mazingira halisi ya Afrika.

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Mauaji ya Kiongozi Mkuu wa Iran Yalifanikiwa Kwa Sababu ya Matumizi ya AI - Akili Unde

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Mar 6, 2026 4:45


Ikiwa hujakuwa ukifuatilia vita vya Marekani pamoja na Israeli dhidi ya Iran, huwenda usijue matukio ya kipekee ambayo yametokea kwenye vita hivi. Kwa mara ya kwanza, akili unde ambayo tunaitumia kila kuchao, ilitumika kufanya mashambulizi dhidi ya Iran. Tazama video hii ujue mengi

iran israelis unde kwa akili marekani mkuu kiongozi matumizi ikiwa
Siha Njema
Madhara ya afya ya akili yanayotokana na matumizi ya kupitiliza ya simu

Siha Njema

Play Episode Listen Later Mar 3, 2026 10:05


Ripoti ya afya akili  duniani ,inaonya kuhusu madhara yanayotokana na matumizi ya simu za mkononi miongoni mwa vijana wenye umri wa kati ya miaka 18 na 34 Katika mataifa ya Afrika ambapo matumizi ya simu hizi huanza kwa kuchelewa ,vijana walionekana kuwa afadhali ikilinganishwa na mataifa kama Finland ambapo watoto huanza kutumia simu katika umri mdogo mno.   Katika mataifa yaliyozingatia maswala ya dini na muunganiko wa familia na jamii walionekana pia kuwa na ahueni.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: Wito wa mabadiliko makubwa watolewa baada ya wagonjwa wa afya ya akili kutoroka Sydney

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 21, 2026 11:53


Serikali ya New South Wales inachunguza mazingira yaliyozunguka kutoroka kwa wagonjwa wawili kutoka hospitali moja, ambao siku chache baadaye walidaiwa kuhusika katika matukio tofauti ambapo watu watatu walifariki.

Habari za UN
Watengeneza maudhui kupoteza mapato kutokana na kasi ya maendeleo ya Akili Mnemba

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 18, 2026 3:43


Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO, limesema wabunifu wa maudhui duniani kwa lugha ya kiingereza content creators wanakabiliwa na hatari ya kupoteza hadi asilimia 24 ya mapato yao ifikapo mwaka 2028 kutokana na kasi ya maendeleo ya Akili Mnemba, au AI. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi.

ai unesco kasi umoja akili elimu mataifa maendeleo shirika teknolojia
Habari za UN
12 FEBRUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 12, 2026 11:24


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina kesho Ijumaa tarehe 13 Februari ikiwa ni ni siku ya Redio Duniani mwaka huu ikijikita  katika Redio na Akili tunakupeleka mashariki mwa DRC, kwa George Musubao kutoka Televishen na Radio washirika Canal Victoire Du People Kasindi.Leo tarehe 12 Februari ni siku ya Kimataifa ya Kuzuia Itikadi Kali Zinazochochea Ugaidi, ikiwa ni maadhimisho ya nne tangu kuanzishwa kwake na mwaka huu kauli mbiu inasema “Kuzuia ugaidi wa kikatili katika enzi ya teknolojia mpya na zinazoibuka”. Ugaidi na itikadi kali vinaendelea kuwa tishio kubwa kwa amani na usalama wa dunia, huku vikigusa watu wa rika, dini na tamaduni mbalimbali na ndio maana Umoja wa Mataifa unasema ingawa teknolojia kama akili mnemba au AI, mitandao ya kijamii na majukwaa ya kidijitali inaweza kusaidia juhudi za kuzuia misimamo mikali, pia inatumiwa na magaidi kueneza chuki, upotoshaji na kuhamasisha vurugu ndio maana shirika hilo linahimiza ushirikiano wa kimataifa, matumizi ya teknolojia kwa uwajibikaji na suluhisho shirikishi zinazoheshimu haki za binadamu ili kuzuia kuenea kwa itikadi kali.Barani Ulaya ambapo Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, ametoa tamko kali akilaani mashambulizi ya mfululizo yanayofanywa na nchi ya Urusi dhidi ya mifumo ya nishati nchini Ukraine. Taarifa iliyotolewa leo kutoka Geneva, Uswisi, imeeleza kuwa mashambulizi hayo yanawanyima raia mahitaji muhimu ikiwemo mifumo ya kupasha joto, maji, na umeme katikati ya msimu wa baridi kali uliopitiliza.Kuelekea kuanza kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani hapo wiki ijayo, katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametuma ujumbe akisema kuwa “Katika zama hizi ngumu na za mgawanyiko, hebu tuitikie wito wa stahmala wa Ramadhani. Kuziba pengo la mgawanyiko. Kufikisha msaada na matumaini kwa wale wanaoumini. Na kulinda haki na utu wa kila mtu…..Hebu Mwezi huu Mtukufu ututie hamasa ya kufanya kazi pamoja ili kujenga dunia yenye amani zaidi, ukarimu na haki kwa watu wote.  Ramadhani njema.”Na Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "UNGUKA"Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

First Things First With Dominique DiPrima
Conservative DA Nathan Hochman Met with Black Lives Matter LA - Here's What Happened

First Things First With Dominique DiPrima

Play Episode Listen Later Jan 6, 2026 42:36


Black Lives Matter Grassroots - Los Angeles met this week with L.A.'s conservative District Attorney Nathan Hochman. They invited other community advocacy organizations and church leaders. They demanded the DA not drop charges against the cops who killed Christopher Deandre Mitchell. On this podcast we take you inside that meeting, what happened and what comes next. Akili is the National Field Director for Black Lives Matter Grassroots and a Lead Organizer with BLMLA. https://www.instagram.com/diprimaradio/ https://www.instagram.com/blmgrassroots/ https://www.instagram.com/blmlosangeles/

conservatives akili lead organizer national field director nathan hochman black lives matter la
First Things First With Dominique DiPrima
Conservative DA Nathan Hochman Met with Black Lives Matter LA - Here's What Happened

First Things First With Dominique DiPrima

Play Episode Listen Later Jan 6, 2026 43:09 Transcription Available


Black Lives Matter Grassroots - Los Angeles met this week with L.A.'s conservative District Attorney Nathan Hochman. They invited other community advocacy organizations and church leaders. They demanded the DA not drop charges against the cops who killed Christopher Deandre Mitchell. On this podcast we take you inside that meeting, what happened and what comes next. Akili is the National Field Director for Black Lives Matter Grassroots and a Lead Organizer with BLMLA.https://www.instagram.com/diprimaradio/ https://www.instagram.com/blmgrassroots/ https://www.instagram.com/blmlosangeles/

conservatives akili lead organizer national field director nathan hochman black lives matter la
Bible Bard
swahili_BB-91_Akili ya Mwili na Roho

Bible Bard

Play Episode Listen Later Jan 5, 2026 13:18


swahili_BB-91_Akili ya Mwili na Roho (BB "Mind of the Flesh-Spirit")

Habari za UN
Mkutano wa kupambana na rushwa waanza kwa wito wa kutumia Akili Mnemba (AI)

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 15, 2025 2:13


Mkutano mkubwa zaidi duniani wa kupambana na rushwa au ufisadi umeanza leo Desemba 15 mjini Doha nchini Qatar kwa wito wa kutumia teknolojia zinazoibuka katika mapambano dhidi ya rushwa na kushughulikia uhusiano wake na uhalifu wa kupangwa na makosa mengine ya kifedha. Selina Jerobon na maelezo zaidi.

qatar doha akili mkutano desemba uhalifu
SBS Swahili - SBS Swahili
Australia yafafanuliwa:Afya ya akili katika ujauzito na baada ya kujifungua

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Nov 24, 2025 9:51


Karibu mmoja kati ya Waustralia wanne hawatafuti msaada wanapopata matatizo ya afya ya akili wakati wa ujauzito au baada ya kujifungua. Wataalamu wanasema kwamba taarifa zilizotolewa na Gidget Foundation zinaonyesha ukosefu wa kuelewa dalili na ishara, pamoja na unyanyapaa unaoendelea kuhusu suala hili.

SBS Swahili - SBS Swahili
Afya ya akili:kupata usaidizi kama mhamiaji

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Nov 10, 2025 8:03


Wahamiaji wengi wanakumbana na matatizo tofauti wanapojaribu kupata msaada wa afya ya akili. Umoja wa Mataifa unasema kwamba upatikanaji wa huduma za afya ya akili ni haki ya msingi kwa kila mtu , ikiwemo wahamiaji na wakimbizi. Umoja wa Mataifa unasisitiza kwamba wahamiaji mara nyingi wanakabiliwa na changamoto nyingi kama vile msongo wa mawazo, huzuni, kiwewe na ata upweke kutokana na mazingira mapya. Mtaalamu wa Afya ya Akili Terry Kiguru anatueleza jinsi ya kupata msaada huo na kwanini.

First Things First With Dominique DiPrima
How to Slow Down an Authoritarian Regime with BLM Grassroots' Akili

First Things First With Dominique DiPrima

Play Episode Listen Later Nov 4, 2025 41:04 Transcription Available


On this pod we break down what's happening on the national landscape. When will SNAP benefits return? Why is Trump threatening Nigeria? What happens next with the government shutdown? What's the real story behind the DOJ investigation of Black Lives Matter? How do we pushback on racist AI? And what about redistricting?https://www.instagram.com/blmgrassroots/ https://www.instagram.com/akili4thepeople/ https://www.instagram.com/diprimaradio/

Baskin & Phelps
Akili Smith says Shedeur has starter-level tape, but needs time to develop

Baskin & Phelps

Play Episode Listen Later Aug 29, 2025 12:09


Baskin and Phelps react to former NFL quarterback Akili Smith saying Shedeur Sanders needs more time developing, but has the tape to be a strong NFL starter.

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Akili Unde Na Masomo

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Aug 2, 2025 25:44


Je, AI inaharibu au kuboresha elimu ya juu? Mojawapo ya sekta zilizoathirika zaidi na ujio wa Artificial Intelligence (AI) ni sekta ya elimu, haswa katika vyuo vikuu. Kila siku, matumizi ya AI katika kufanya assignments, utafiti, na kujifunza yanazidi kuongezeka. Lakini hii ina maana gani kwa walimu, wanafunzi, na mfumo mzima wa elimu? Sikiliza podcast hii ili ujue mawazo yangu kisha ushiriki maoni yako.

Packet Pushers - Full Podcast Feed
PP072: Mobile Device Threat Management

Packet Pushers - Full Podcast Feed

Play Episode Listen Later Jul 29, 2025 47:13


Mobile devices blur the boundaries between personal and work devices and are packed with sensitive information, making them popular targets for malware, spyware, and data collection. On today’s Packet Protector we dig into strategies for managing threats to mobile devices with guest Akili Akridge. Akili started his career pulling burner phones off suspects as a... Read more »

Packet Pushers - Fat Pipe
PP072: Mobile Device Threat Management

Packet Pushers - Fat Pipe

Play Episode Listen Later Jul 29, 2025 47:13


Mobile devices blur the boundaries between personal and work devices and are packed with sensitive information, making them popular targets for malware, spyware, and data collection. On today’s Packet Protector we dig into strategies for managing threats to mobile devices with guest Akili Akridge. Akili started his career pulling burner phones off suspects as a... Read more »

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Akili Unde Na Kazi

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Jul 25, 2025 15:46


Je, hatima ya kazi zetu katika enzi hii mpya ya Akili unde ni ipi? Sikiliza podcast hii ili uwezekujua manoi yangu.

Habari za UN
Akili mnemba na watu wenye ulemavu ni moja ya ajenda za COSP18 tutakazozingatia Tazania: Mpanju

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 16, 2025 2:51


Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa 18 COSP18 wa mkataba wa watu wenye ulemavu CRPD, uliokunja jamvi mwishoni mwa wiki kwenye Makao Mkuu ya Umoja wa Mataifa ulijadili ajenda mbalimbali za kuhakikisha watu wenye ulemavu wanajumuisha, kushirikishwa na kutoachwa nyumba. Amon Anastaz Mpanju Naibu Katibu Mkuu wizara ya Maendeleo ya jamii, jinsia, wanawake na makundi maalum nchini Tanzania alikuwa miongoni mwa washiriki wa mkutano huo na aliketi chini na kuzungumza na Flora Nducha wa Idhaa hii ambaye alitaka kufahamu  ni nini kikubwa anachoondoka nacho kwenye mkutano huo kitakachofanyiwa kazi Tanzania na kuleta tija kwa watu wenye ulemavu.

ai tanzania moja umoja akili makala watu crpd mataifa maendeleo mkutano
Habari za UN
Akili Mnemba (AI) au teknolojia inaweza kuwasaidia watu wenye ulemavu – Bongani Simphiwe Makama

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 11, 2025 3:49


Kikao cha 18 cha Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu Wenye Ulemavu – COSP18 – kinaendelea hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani ikiangazia juhudi za kimataifa za kuhakikisha usawa na ujumuishaji kwa watu wenye ulemavu. Miongoni mwa washiriki ni Bongani Simphiwe Makama mwakilishi wa watu wenye ulemavu kutoka Ufalme wa Eswatini, ambaye amepata nafasi ya kuzungumza na Idhaa ya Kiswahili kuhusu uzoefu wake, yale aliyojifunza, na changamoto zinazowakabili watu wenye ulemavu nchini kwake. Sharon Jebichii na Makala zaidi.

Manga Machinations
550 - Twiple Dip 14 - MUJINA INTO THE DEEP 2, Welcome Back, Alice 2, Vampeerz 2

Manga Machinations

Play Episode Listen Later Jun 1, 2025 119:38


Morgana may be out this week, but it doesn't stop the boys from having a hilariously good time! They look at the 2nd volumes of MUJINA INTO THE DEEP, Welcome Back, Alice, and Vampeerz! dakazu also talks in-depth about finally reading SOIL!!! Send us emails! mangamachinations@gmail.com  Follow us on Twitter! @mangamacpodcast Check out our website! https://mangamachinations.com Support us on Ko-fi! https://ko-fi.com/mangamac  Check out our YouTube channel! https://www.youtube.com/mangamactv Check out our new gaming channel! https://www.youtube.com/@NakayoshiGaming/  Timestamps: Intro - 00:00:00 Elden Ring Nightreign - 00:02:08 SOIL - 00:12:25 *SPOILERS* SOIL - 00:18:04 Next Episode Preview - 00:25:47 Vampeerz 2 - 00:30:54 Welcome Back, Alice 2 - 00:52:10 MUJINA INTO THE DEEP 2 - 01:13:01 Our Rankings - 01:49:11 Outro - 01:57:27 Song Credits: “Hopscotch” by Louis Adrien “Jiggin the Jig” by Bless & the Professionals “Green Light” by Emily Lewis “Tasty Bites” by ZISO

Habari za UN
Akili mnemba au AI ni sawa na upanga wenye makali pande mbili - Guterres

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 2, 2025 1:50


Kuelekea siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari Mei 3, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema waandishi wa habari wanakabiliwa na hatari kila uchao huku teknolojia mpya ya akili mnemba au AI ingawa licha ya manufaa nayo pia inaibua hatari mpya kwenye uhuru wa kujieleza. Assumpta Massoi na taarifa zaidi.

Habari za UN
28 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 28, 2025 10:39


Hii leo jaridani tunaangazia siku ya Kimataifa ya Usalama na Afya Kazini, na juhudi za Umoja wa Mataifa za kusaidia wakulima Sudan Kusini kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Makala tunasalia na usalama kazini na mashinani tunakwenda nchini Kenya, kulikoni?Leo ni Siku ya Kimataifa ya Usalama na Afya Kazini mwaka huu ikibeba maudhui “Mapinduzi ya usalama na afya Kazini: Nafasi ya Akili mnemba na teknnolojia ya kidijitali mahala pa kazi” lengo likiwa kudhihirisha nguvu ya AI na teknolojia zinapotumika vyema zinaweza kuleta mabadiliko kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kazi duniani ILO.Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP nchini Sudan Kusini chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Korea KOICA wanaendesha mradi wa kusaidia wananchi katika kilimo ili kujenga ustahimilivu na kupambana na utapiamlo. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Evarist Mapesa.Makala tunabisha hodi nchini Indonesia, taifa hili la Kusini-Mashariki mwa bara la Asia, kubwa hasa ni kumulika ni kwa vipi sekta ya uvuvi nchini humu inatekeleza kivitendo wito wa shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi, ILO kuhusu usalama na afya Kazini.  Na katika mashinani fursa ni yake Abdikani Haji Hassan kutoka kambi ya wakimbizi ya Daadab iliyoko katika kaunti ya Garissa nchini Kenya ambaye  kupitia Mpango wa Prospects unaoungwa mkono na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF amejikwamua kimaisha na sasa ana ndoto ya kuenda ng'ambo ili kuendeleza ujuzi wake wa kupiga picha.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

ai indonesia kenya prospects unicef ilo kazi umoja hii akili makala siku mataifa aprili maendeleo garissa shirika kimataifa sudan kusini
Habari za UN
AI na teknolojia za kidijitali zaweza kuwa chachu ya kuhakikisha afya na usalama kazini - ILO

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 28, 2025 2:58


Leo ni Siku ya Kimataifa ya Usalama na Afya Kazini mwaka huu ikibeba maudhui “Mapinduzi ya usalama na afya Kazini: Nafasi ya Akili mnemba na teknnolojia ya kidijitali mahala pa kazi” lengo likiwa kudhihirisha nguvu ya AI na teknolojia zinapotumika vyema zinaweza kuleta mabadiliko kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kazi duniani ILO. Flora Nducha na taarifa zaidi.

ai ilo umoja akili siku afya kuwa mataifa kimataifa teknolojia
Habari za UN
Vita Sudan yamsababishia Walaa tatizo la afya ya akili

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 14, 2025 3:46


Tarehe 15 mwezi April imwaka 2023 wananchi wa Sudan hususan mji mkuu Khartoum waliamshwa na mapigano kati ya jeshi la serikali SAF na wanamgambo wa kikosi cha msaada wa haraka RSF. Hadi leo hii mapigano hayo yanazidi kushika kasi na raia wanafurushwa makwao. Miongoni mwao ni watoto ambao zahma wanayokutana nayo sio tu kufurushwa bali pia changamoto ya afya ya akili. Tayari shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limeona shida hiyo na limeanza kuchukua hatua kama anavyosimulia Assumpta Massoi kwenye makala hii. 

SBS Swahili - SBS Swahili
Uchaguzi wa AI: Je akili ya bandia ita shawishi jinsi wa Australia wata piga kura?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 11, 2025 10:42


Akili ya bandia ni teknolojia mpya ambayo watu wanajaribu kuelewa. Watafiti waki jumuishwa.

Cultural Manifesto
A conversation with R&B vocalist and actor Akili Ni Mali

Cultural Manifesto

Play Episode Listen Later Mar 5, 2025 40:10


Listen to an interview with the vocalist and actor Akili Ni Mali, one of four featured artists at Art & Soul, the Indy Arts Council's annual celebration of Black artists in Central Indiana. Plus, hear a 2023 interview with neo soul vocalist Brandon Lott. Brandon is also a featured artist at Art & Soul 2025.

Cultural Manifesto
A conversation with R&B vocalist and actor Akili Ni Mali

Cultural Manifesto

Play Episode Listen Later Mar 5, 2025 40:10


Listen to an interview with the vocalist and actor Akili Ni Mali, one of four featured artists at Art & Soul, the Indy Arts Council's annual celebration of Black artists in Central Indiana.  Akili has been attracting attention for her unique music, a soulful blend of R&B, pop, jazz and classic hip-hop. She's also earned praise for her work onstage; Akili recently portrayed the legendary musician Nina Simone in the Indiana Repertory Theatre's production of “Four Women”.  Plus, hear a 2023 interview with neo soul vocalist Brandon Lott. Brandon is also a featured artist at Art & Soul 2025.

SBS Swahili - SBS Swahili
The AI Election: Will artificial intelligence influence how Australia votes? - Uchaguzi wa AI: Je akili ya bandia ita shawishi jinsi wa Australia wata piga kura?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 5, 2025 7:04


Experts say AI could have significant impacts on democracy and trust. - Watalaam wanasema AI inaweza kuwa na madhara makubwa kwa demokrasia na uaminifu.

SBS Swahili - SBS Swahili
The AI Election: How artificial intelligence impacted the world's biggest ballots - Uchaguzi wa AI: Jinsi akili bandia ilivyo athiri chaguzi kubwa duniani

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 28, 2025 7:59


From "Communist Kamala" to Bollywood endorsements, artificial intelligence and disinformation played a big role in some of the biggest democratic elections last year. - Kutoka "Kamala mkomunisti" hadi kwa uidhinishwaji wa Bollywood, akili bandia na taarifa potofu zilikuwa na nafasi kubwa katika chaguzi kubwa zaki demokrasia mwaka jana.

Women Connected In Wisdom Podcast
Being Present for Sol-Ful Wellness - Physical Wellness - with expert guest Akili Yasmine - Ep 184

Women Connected In Wisdom Podcast

Play Episode Listen Later Feb 20, 2025 60:53


Join Shannon and Christine as they chat about Physical Wellness this week with Akili Yasmine. Akili is a Beauty Model, Yoga Instructor (RYT-200), Meditation & Breathwork Facilitator, and the founder of Sol-Ful Yoga. For the past seven years, she has worked as a commercial, beauty, and lifestyle model, using her platform to promote self-love and authentic representation in the beauty industry. Her work has appeared in national commercials, television, billboards, and print campaigns across major cities.   Join us in community:  Women Connected in Wisdom Community Listen to past episodes: https://womenconnectedinwisdompodcast.com/ Glo from head to toe by joining the shealo glo glo club at www.shealoglo.com ! Stillpoint: A Self-Care Playbook for Caregivers Join Christine at an event! Book a free coaching consult with Christine here:  https://christinegautreaux.com Like & Subscribe to get notifications of when we are live: Women Connected in Wisdom Instagram Women Connected in Wisdom on Facebook Podcast Resources: The SAVE Act Could Stop Millions of Women From Voting. Here's What You Need to Know | Glamour Can't Buy My Love: How Advertising Changes the Way We Think and Feel by Jean Kilbourne, Paperback | Barnes & Noble® Meet Akili Yasmine – CanvasRebel Magazine CODEPENDENT NO MORE — Melody Beattie Devi Brown (@devibrown) • Instagram photos and videos https://akiliyasmine.com Instagram: @AKILIYASMIN.E TIKTOK: @AKILIYASMINE Why become a Connected in Wisdom Press Author Connected in Vision 2025 Women Connected in Wisdom Vision Board Party    

Homeschool Yo Kids
Teaching Through Adroit Comics.... with Homeschool Parents, Akili & Zee!!!!!

Homeschool Yo Kids

Play Episode Listen Later Feb 9, 2025 81:43


#100Join us for an inspiring look into a family's 10-year homeschooling journey with their four daughters! This episode of the Homeschool Yo Kids Podcast dives into how this creative and resourceful family is reimagining what learning looks like by crafting a personalized and empowering learning environment. From embracing a growth mindset to fostering individuality, discover how they've used art, comics, and self-led learning to simplify education and nurture student success.Special guests Akili and Zee share their unique homeschooling experience, offering insights into their passion for education, their creation of Adroit Comics, and the establishment of their Flowing Rivers Learning Center. Learn how they balance creativity, family, and faith to build a thriving homeschool community and inspire other families to do the same.Whether you're just starting your homeschool journey or looking for creative ways to simplify learning, this episode is packed with practical tips, motivation, and authentic stories of perseverance. Don't miss the chance to explore how to create an unconventional, vibrant learning space tailored to your family's needs.You can discover their comic books at https://adroitcomics.com.IG - Adroit_ComicsFB - Early Inspire Learning Akili and Zee Eil'Yudah are the creative minds behind Adroit Comics. They began their homeschool journey over twelve years ago when they realized how much their four daughters needed something different than modern schooling could offer. This journey deeply inspires their work, blending their passion for learning, creativity, and storytelling.Adroit Comics is where Mannie and Zee's artistic and storytelling talents converge. Mannie, drawing since childhood with early inspiration from comic books, brings characters to life with his vivid artwork and uses his art as a powerful medium for social commentary. Zee crafts compelling narratives, creating memorable protagonists and complex antagonists. Together, they aim to inspire young readers and artists, creating a new future of epic awesomeness in the world of comics.Whether through their comics or their virtual school, Flowing Rivers Learning Center, Akili and Zee are dedicated to inspiring, educating, and empowering the next generation of thinkers, creators, and storytellers, making a difference in the world one story and one student at a time.

Positive Talk Radio
968 | Bringing Stories to Life: Akili & Aziza Eil'Yudah on Art, Comics & Creativity!

Positive Talk Radio

Play Episode Listen Later Feb 7, 2025 61:00


Habari za UN
Akili Mnemba haikwepeki, tuiwezeshe ili ituwezeshe kwa manufaa ya walimu na wanafunzi - Walimu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 24, 2025 3:22


Akili Mnemba au AI inakuja kwa kasi kubwa sana na kubadilisha mwenendo wa walimu na wanafunzi darasani. Inaleta fursa za kipekee kama kufundisha kwa njia ya kibinafsi na upangaji wa masomo wenye ufanisi zaidi. Lakini pamoja na zana hizi, changamoto zimeibuka: kutegemea sana teknolojia hii, masuala ya kimaadili, na kupungua kwa ujuzi wa kusoma kwa kina. Walimu wanajifunza jinsi ya kuendesha mabadiliko haya, wakiwaonesha wanafunzi jinsi ya kutumia AI kama mshirika wa kufikiri badala ya njia ya mkato ya kuuliza na kunakili. Ubunifu na kufikiri kwa kina vinabaki kuwa ujuzi muhimu zaidi, ambao hakuna teknolojia inayoweza kuchukua nafasi yake. Je, walimu wana mawazo gani? Assumpta Massoi anakupeleka Paris, Ufaransa kusikia mazungumzo ya walimu wawili wakijadili mustakabali wa Akili Mnemba kwenye ufundishaji. 

ai akili lakini elimu ufaransa walimu
Therapy for Black Girls
Session 395: Finding & Sustaining Community with Yolo Akili

Therapy for Black Girls

Play Episode Listen Later Jan 22, 2025 53:28 Transcription Available


2025 is already proving to be a year where community will be more important than ever before. But many may still be wondering, how do I find those I can trust and how do I maintain these relationships? Helping us to answer these questions is writer, activist, and founder of BEAM, the Black Emotional and Mental Health Collective, Yolo Akili. For over 20 years, Yolo has led and designed mental and emotional health workshops, experiences, support groups, and training. During our conversation, we unpack some of the ways that we can approach mental health practices and principles as community members to better show up for one another and curate the sort of support systems that we need for ourselves. About the Podcast The Therapy for Black Girls Podcast is a weekly conversation with Dr. Joy Harden Bradford, a licensed Psychologist in Atlanta, Georgia, about all things mental health, personal development, and all the small decisions we can make to become the best possible versions of ourselves. Resources & Announcements Grab your copy of Sisterhood Heals. Vote for Therapy for Black Girls in the Best Lifestyle/Self-Help Podcast category of the NAACP Image Awards! Where to Find Yolo Website Instagram BEAM Website Stay Connected Is there a topic you'd like covered on the podcast? Submit it at therapyforblackgirls.com/mailbox. If you're looking for a therapist in your area, check out the directory at https://www.therapyforblackgirls.com/directory. Take the info from the podcast to the next level by joining us in the Therapy for Black Girls Sister Circle community.therapyforblackgirls.com Grab your copy of our guided affirmation and other TBG Merch at therapyforblackgirls.com/shop. The hashtag for the podcast is #TBGinSession. Make sure to follow us on social media: Twitter: @therapy4bgirls Instagram: @therapyforblackgirls Facebook: @therapyforblackgirls Our Production Team Executive Producers: Dennison Bradford & Maya Cole Howard Senior Producer: Ellice Ellis Producer: Tyree RushSee omnystudio.com/listener for privacy information.

Ducks Dish Podcast
559. Former Oregon QB Akili Smith Joins the Show

Ducks Dish Podcast

Play Episode Listen Later Sep 18, 2024 31:01


On today's episode of the Ducks Dish Podcast, ScoopDuck's Max Torres sits down with legendary Oregon quarterback Akili Smith to discuss what he's seen from the Ducks through the first three games of the 2024 season. They talk Dillon Gabriel, Oregon's offensive line, approaching the bye week and so much more! Connect with our Oregon Ducks coverage on other platforms! Watch this episode on YouTube Subscribe to the ScoopDuck YouTube channel Subscribe to ScoopDuck.com Follow Max Torres on Twitter Like and follow Max Torres on Facebook Follow the Ducks Dish Podcast on Twitter Learn more about your ad choices. Visit podcastchoices.com/adchoices

Habari za UN
Guterres: Vita huharibu miili, akili na fikra za vijana na watoto

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 9, 2024 1:47


Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kulinda elimu isishambuliwe wakati wa mizozo kutokana na umuhimu wake kwa watoto na jamii, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema miaka ya karibuni imeshuhudia ongezeko kubwa la mashambulizi dhidi ya wanafunzi, walimu na shule duniani kote. Hivyo ndivyo alivyoanza ujumbe wake wa siku hii. Katibu Mkuu anasema kuanzia Gaza hadi Sudan, Myanmar, Ukraine, Colombia hadi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na kwingineko, vita inasababisha ukatili kwa binadamu, lakini kwa watoto na vijana waliokutwa katikati ya jinamizi la vita, gharama haiwezi kukokotolewa.Anasema ndio maana siku hii inatukumbusha jinsi vita inaharibu miili, akili na fikra za watoto na vijana. Kuanzia majeraha hadi vifo, kutekwa nyara, kulazimika kukimbia, ukatili wa kingono, kutumikishwa vijana na kupoteza fursa. Hatari ni kubwa sana.Anakumbusha kuwa elimu sio tu haki ya msingi ya binadamu, bali ni muhimu kwa ajili ya kutimiza haki nyingine zote za binadamu.Ni kwa mantiki hiyo anataka nchi ziwekeze kwenye elimu na zifanye juhudi zote kuhakikisha wakati wa mizozo elimu na maeneo ya kujifunza yanalindwa, zilinde wanafunzi na walimu na ziwawajibishe wale wote wanaoshambulia shule.Ametumia pia ujumbe huo kuzitaka nchi ziridhie na zitekeleze Azimio la Shule Salama, ziunge mkono Ubia wa Kimataifa wa Kuepusha Mashambulizi dhidi ya Shule na zishikamane na juhudi zote za kuhakikisha watoto na vijana wanaendelea kujifunza iwe wakati wa majanga au wakati majanga yanapokoma.Ametamatisha akisema hebu na tulishe elimu isishambuliwe, tulinde haki ya msingi ya elimu ambayo ni haki ya kila mtoto, kila mtu kokote kule.

ukraine colombia gaza congo sudan myanmar drc guterres umoja akili hatari watoto vijana shule elimu jamhuri kimataifa ikiwa kidemokrasia azimio fikra
Ducks Dish Podcast
529. Oregon QB Commit Akili Smith Jr. Joins the Show

Ducks Dish Podcast

Play Episode Listen Later Aug 9, 2024 22:12


On the latest episode of the Ducks Dish Podcast, ScoopDuck's Max Torres and Justin Hopkins are joined by 2025 Oregon quarterback commit Akili Smith Jr.! They discuss what is was like growing up around football in Southern California, who he's recruiting to join him in Eugene and so much more! Connect with our Oregon Ducks coverage on other platforms! Watch this episode on YouTube Subscribe to the ScoopDuck YouTube channel Follow Max Torres on Twitter Like and follow Max Torres on Facebook Follow the Ducks Dish Podcast on Twitter Learn more about your ad choices. Visit podcastchoices.com/adchoices

5 Year Frontier
#19: Turbocharging the mind, digital drugs, psychedelics, autonomous therapies, the neuroscience frontier, and the future of the brain w/ Neuroscape Founder Dr Adam Gazzaley

5 Year Frontier

Play Episode Listen Later Jul 9, 2024 34:17


The future of the brain. In it we cover digital therapies, psychedelics, co-evolving with AI, technologies impact on society, and re-inventing how clinical trials are run. Guiding us will be Dr Adam Gazzaley, a Distinguished Professor of Neurology, Physiology and Psychiatry at UC San Francisco and the Founder & Executive Director of Neuroscape, a neuroscience center engaged in technology creation and scientific research of novel brain assessment and optimization approaches. Adam is also co-founder of Akili, a company developing therapeutic video games, that brought the first FDA approved game to market. He is also a founder of JAZZ Venture Partners, a venture capital firm with close to $1B AUM investing in experiential technology to improve human performance. He has been a scientific advisor for dozens of companies including Apple, General Electric and PepsiCo. Adam has filed multiple patents and authored over 180 scientific articles. Subscribe for the latest episodes. Email me on danieldarling@focal.vcSee omnystudio.com/listener for privacy information.

Celeste The Therapist Podcast
Ep 456 Navigating Emotional Labor and Self-Care in Black Communities w/ Yolo Akili

Celeste The Therapist Podcast

Play Episode Listen Later Mar 26, 2024 60:04


The purpose of CelesteTheTherapist is to help shift the way you think. Many times, we get stuck in a negative cycle and struggle with getting out. Celeste will interview guests from different backgrounds who empower people in different capacities. On this episode of Celeste the Therapist Podcast, Celeste is joined by special guest Yolo Akili Robinson, the founder of the Black Emotional Mental Health Collective. They discuss their passion for empowering others and alternative healing methods beyond traditional therapy. Yolo shares insights into his upbringing in Florida and the diversity within the state. Tune in for a candid conversation about mental health, healing, and the importance of representation in the healing space. https://www.celestethetherapist.com/episode456

The Rational Hour
NFL Coverage with Akili Smith

The Rational Hour

Play Episode Listen Later Mar 8, 2024 25:10


I'm joined by former All-American QB at the University of Oregon, first-round draft pick in the 1999 NFL draft by the Cincinnati Bengals Akili Smith! We discuss the NFL combine the upcoming NFL draft, and current NFL and College football news --- Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/rationalhour/support

DealMakers
Eddie Martucci On Raising $300 Million To Treat ADHD With Video Games

DealMakers

Play Episode Listen Later Feb 2, 2024 35:01


In the dynamic world of entrepreneurship, success often comes hand in hand with overcoming challenges, building a resilient team, and staying true to a visionary goal. This insightful interview with Eddie Martucci delves into his journey – from growing up in Connecticut to founding Akili and taking it public.

The Model Health Show
TMHS 720: Improve Your Focus, Promote Neuroplasticity, & Increase Your Attention Span - with Dr. Adam Gazzaley

The Model Health Show

Play Episode Listen Later Sep 11, 2023 78:34


In our fast-paced, technology-centric society, it's easy to focus on the ways in which our devices are making us more distracted and disconnected. But what if we harnessed the power of technology for good? What if we could utilize technology in a way that could promote neuroplasticity and improve cognition?   Today's guest, Dr. Adam Gazzaley, is the founding director of Neuroscape at University of California, San Francisco and a professor in neurology, physiology, and psychiatry. He is also the chief scientific advisor and board member at Akili, a company that is dedicated to changing the landscape of cognitive medicine. In this interview, Dr. Gazzaley is sharing the details behind the first-of-its-kind treatment for ADHD—a video game experience.   In this interview, we're going to talk about the importance of harnessing your attention and how technology can impact your attention span. You'll learn about the future of experiential medicine, how to improve cognition and neuroplasticity, and so much more. I hope you enjoy this interview with the incredible Dr. Adam Gazzaley!   In this episode you'll discover: Why our attention is our most valuable asset. The challenges that our technology-driven world has created for our brains. How accessibility to technology changed our attention spans. Why humans are essentially cyborgs. The importance of disconnecting from technology. How your brain handles single-tasking vs. multitasking. Why awareness about the inefficacy of multitasking is critical. How to make single-tasking gratifying. Why technology is a double-edged sword. What neuroplasticity is, and how it occurs. The link between neuroplasticity and technology. How video games can improve cognition. Why experiences can target systems in the brain. The difference between molecular medicine and experiential medicine. Why “chemical imbalance” is an oversimplification. The history of the first FDA approved video game. What experiential medicine is. Why the placebo effect works. Other important modalities for improving mental health.   Items mentioned in this episode include: Beekeepersnaturals.com/model -- Save 20% on raw honey & other natural remedies! Foursigmatic.com/model -- Get an exclusive discount on your daily health elixirs! EatSmarterCookbook.com -- Preorder the cookbook today & claim your bonuses! EndeavorOTC EndeavorRx Akili The Distracted Mind by Adam Gazzaley Connect with Dr. Adam Gazzaley Website   Join TMHS Facebook community - Model Nation    Be sure you are subscribed to this podcast to automatically receive your episodes:  Apple Podcasts Stitcher Spotify Soundcloud