Podcasts about asema

  • 67PODCASTS
  • 143EPISODES
  • 33mAVG DURATION
  • 1EPISODE EVERY OTHER WEEK
  • Jun 8, 2026LATEST

POPULARITY

20192020202120222023202420252026


Best podcasts about asema

Latest podcast episodes about asema

Puheenaihe
Räsäsen asianajaja: "Valitamme Euroopan ihmisoikeustuomioistuimeen" (Matti Sankamo) | Puheenaihe 670

Puheenaihe

Play Episode Listen Later Jun 8, 2026 119:44


✨ Keyless-ominaisuus maksutta koodilla PUHEENAIHE: https://gomore.fi/puheenaihe

Maailmanpolitiikan arkipäivää
Horjuuko Hizbollahin asema Libanonissa sodan keskellä?

Maailmanpolitiikan arkipäivää

Play Episode Listen Later Jun 6, 2026 24:39


Libanon on joutunut vaikean humanitaarisen kriisin keskelle, Israelin käydessä sotaa Hizbollahia vastaan. Maan väestöstä jopa viidennes on joutunut maan sisäisiksi pakolaisiksi. Osa majoittuu teltoissa pääkaupungissa Beirutissa. Libanonissa nähdään jo merkkejä Hizbollahin tuen horjumisesta sodan tuhojen keskellä. Ohjelmassa haastateltava libanonilaisprofessori arvioi, että Libanonin hallitus ei kuitenkaan kykene riisumaan Hizbollahia aseista, koska sisällissodan riski on olemassa. Ohjelmassa jututetaan myös tunnettua kristittyä libanonilaistoimittajaa, jota Hizbollah on yrittänyt surmata. Hän uskoo, että menossa on Hizbollahin viimeinen taisto. Israel on tällä viikolla edennyt joukkoineen syvemmälle Libanoniin sitten vuoden 2000 ja vallannut strategisesti tärkeän Beaufortin linnan. Israelilainen ulkopolitiikan kommentaattori arvioi, että pääministeri Benjamin Netanjahua motivoi moni asia operaatioon, esimerkiksi halu sabotoida Iranin ja Yhdysvaltain rauhanneuvottelut. Yhdysvaltalaisasiantuntijan mukaan Yhdysvaltain presidentin Donald Trumpin ja Netanjahun välille on syntynyt railo suhtautumisessa rauhaan. Maailmanpolitiikan arkipäivää -ohjelman ovat toimittaneet Antti Kuronen ja Paula Vilén. Äänitarkkailijana on Matias Puumala. Tunnusmusiikki: Petri Alanko, kuva: Tuuli Laukkanen/Yle.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari: Chama cha Liberal hakifai fuata mwongozo wa chama cha One Nation Andrew McLachlan asema

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 19, 2026 13:22


Mbunge wa chama cha Liberal Andrew McLachlan anasema Upinzani wa Mseto haufai kutafuta mwongozo kutoka kwa chama cha One Nation kuhusu maendeleo ya sera zao, huku akiendelea kupinga pendekezo la Angus Taylor la kupunguza malipo ya ustawi wa jamii kwa watu ambao si raia.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari:Mweka Hazina asema bajeti ijayo ina malengo, akiba na mageuzi makubwa kuliko kawaida

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 12, 2026 13:15


Mweka Hazina wa taifa, Jim Chalmers, ameelezea bajeti inayokuja kama ile yenye malengo makubwa zaidi ya serikali ya Labor kufikia sasa, ikiwa na kile anachokiita akiba na mageuzi makubwa kuliko kawaida.

Habari za UN
Lenga nyota ili ukizikosa uupate mwezi asema Alinda Mashiku, Mhandisi NASA

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 28, 2026 28:18


Anold Kayanda wa Idhaa hii anazungumza na Dkt. Alinda Mashiku, Mhandisi wa masuala ya anga katika moja ya Vituo vya masuala ya anga za mbali nchini Marekani, NASA. Kwa kuzingatia kuwa Umoja wa Mataifa unapigia chepuo wasichana na wanawake kupata fursa katika sayansi na teknolojia, swali la kwanza la Anold Kayanda kwa Alinda Mashiku ni ameipokeaje hatua ya hivi karibuni ambapo kwa mara ya kwanza mwanamke Christina Cochameshiriki katika timu ya wana-anga waliosafiri na kufanikiwa kuuzunguka mwezi katika eneo mbali zaidi katika anga ya mbali ambako kulikuwa hakujawahi kufikiwa na  wanadamu?

interview nasa umoja kwa asema mwezi dkt mataifa marekani
Habari za UN
Epukeni kutumia droni, asema Mwakilishi wa Katibu Mkuu DR Congo baada ya kuwasili Goma

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 24, 2026 2:55


James Swan, ambaye ni Mwakilishi Maalum mpya wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, leo Ijumaa amewasili huko Goma, mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kwanza ya kuendeleza juhudi za amani kwenye eneo hilo la mashariki mwa nchi lililogubikwa na vita. Assumpta Massoi na taarifa kamili

congo drc goma umoja droni drcongo baada asema mataifa jamhuri mkuu kidemokrasia
Habari za UN
Vijana lazima tubadili fikra ili kuleta mabadiliko chanya asema Mary Teye kutoka Ghana - CSW70

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 16, 2026 3:00


Sauti za vijana zinaendelea kusikika kwa nguvu katika wiki ya pili ya kikao cha 70 cha Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani kinachofanyika hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani ambapo wanaharakati, watunga sera na wadau kutoka sehemu mbalimbali za dunia wamekusanyika kujadili namna ya kuendeleza haki , haki za kisheria na fursa kwa wanawake na wasichana. Flora Nducha amepata fursa ya kuzungumza na mmoja wa vijana washiriki kutoka Ghana na kutuandalia taarifa hii

ghana umoja asema sauti vijana wanawake mataifa fikra
SBS Swahili - SBS Swahili
Makala leo: 'Punguza uchochezi' Waziri Mkuu asema baada ya ongezeko ya vitisho dhidi ya wabunge

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 27, 2026 9:08


Kuondolewa kwa dharura kwa Waziri Mkuu kutoka nyumbani kwake mjini Canberra kwa sababu ya tisho la bomu lililolengwa, kumesababisha maonyo ya kuongezeka kwa mazingira ya usalama, ambapo uadui mtandaoni unazidi kujitokeza kama vitisho vya kimwili vyenye madhara makubwa.

canberra makala baada asema waziri mkuu
Habari za UN
“Tuwekeeni mazingira sahihi ili nasi tuoneshe uwezo wetu,” asema Msichana mwenye ulemavu wa kuona.

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 9, 2026 2:37


Nchini Vietnam taifa lililoko kusini-mashariki mwa Asia, mwanafunzi mmoja wa Chuo Kikuu mwenye ulemavu wa kutoona anajitahidi kuhakikisha anatimiza ndoto yake ya kuwa mtaalamu wa mawasiliano licha ya vikwazo anavyokumbana navyo kila uchao, na hii ni kwa sababu si kwamba njia ni rahisi bali kwa sababu dhamira yake ni kubwa zaidi. Assumpta Massoi anasimulia zaidi kupitia video ya shirika la Umoja wa Mataifa la kazi duniani, ILO.

vietnam nasi ilo umoja asema mataifa mazingira chuo kikuu
Pyöreä pöytä
Silmienvenyttelygaten lopputulos - Ekologinen hyvinvointivaltio? - Joulusaarnan asema

Pyöreä pöytä

Play Episode Listen Later Dec 17, 2025 29:53


Suoraa puhetta johtaa Maria Pettersson. Keskustelijoina Kaarina Hazard, Juha Itkonen ja Mika Pantzar. Kaarina Hazard haluaa kuulla ritarien ennustuksia siitä, mihin silmienvenyttelykuvista alkanut kohu lopulta johtaa. Jos tämä joulunalus jostain muistetaan, niin siitä, että maailma tuntee Suomen nyt valtiona, jossa toimitaan rasistisesti aasialaisia kohtaan. Pyöreän pöydän lähetystä seuraavana päivänä perussuomalaisten eduskuntaryhmä käsittelee asiaa sisäisesti. Rankaisevatko perussuomalaiset lopulta omiaan? Ja jos ei, niin saammeko hallituskriisin vielä ennen joulua? Juha Itkonen pohtii hyvinvointivaltion ympäristövaikutusta. Kansanedustaja Anna Kontula kirjoitti Helsingin Sanomissa, että hyvinvointivaltio olisi lähestymässä loppuaan ja törmäämässä ekologisiin rajoihin. Itkosen mielestä ylikulutus on kuitenkin vielä enemmän voimissaan esimerkiksi Yhdysvalloissa. Onko hyvinvointivaltio siis jotenkin erityisellä tavalla ekokriisiä kiihdyttävää ja pitäisikö sitä sen vuoksi alkaa purkamaan? Mika Pantzar pohtii saarnan asemaa nykypäivänä, vaikka kumpikaan Pyöreän pöydän pastorijäsenistä ei ole paikalla. Joulusaarnalla halutaan yleensä nostaa esiin yhteiskunnallinen ongelma tai muu asia, johon toivotaan muutosta. Ovatko nykyihmiset johdateltavissa toisenlaiseen käytökseen? Millaisen joulusaarnan kanssakeskustelijat haluaisivat kuulla tänä vuonna?

jos onko suomen py ovatko yhdysvalloissa millaisen asema suoraa helsingin sanomissa maria pettersson juha itkonen mika pantzar
The Earth Station DCU Podcast
The Earth Station DCU Episode 428 – A Man Is Only as Good as His Bird

The Earth Station DCU Podcast

Play Episode Listen Later Dec 8, 2025 38:49


This Week on Earth Station DCU! Drew Leiter and Cletus Jacobs are given the bird as they review the second episode of Peacemaker Season 2. In Detective Comics #1094–1096, ("Mercy of the Father" arc) follows Batman and Damian as they uncover the truth behind Asema's murders, confront revelations about Joe Chill's role in the Wayne murders, and culminate in Batman facing Scarlett Scott—Joe Chill's daughter. In Wonder Woman #18 & 19, Diana marches toward the White House to confront the Sovereign, brushing aside every obstacle, and ultimately delivers a long-awaited face-to-face showdown that brings the conflict to its conclusion. All this plus, DC News, Shout Outs, and much, much more! ------------------------ Table of Contents 0:00:00 Show Open 0:01:00 DC News 0:09:58 Detective Comics #1094, 1095, 1096 0:15:50 Wonder Woman #18 & 19 0:22:00 Peacemaker S2 Episode 2 - A Man Is Only as Good as His Bird 0:32:08 Show Close   Links Detective Comics #1094 Detective Comics #1095 Detective Comics #1096 Wonder Woman #18 Wonder Woman #19 Forever Evil (Cletus's Read More Comics Pick) Superman: American Alien (Cletus's Read More Comics Pick) BatChums (Drew's Shout Out) Earth Station DCU Website The ESO Network Earth Station DCU/BatChums Patreon If you would like to leave feedback, comment on the show, or would like us to give you a shout out, please call the ESDCU feedback line at (317) 455-8411 or feel free to email us @ earthstationdcu@gmail.com

ESO Network – The ESO Network
The Earth Station DCU Episode 428 – A Man Is Only as Good as His Bird

ESO Network – The ESO Network

Play Episode Listen Later Dec 8, 2025 38:48


This Week on Earth Station DCU! Drew Leiter and Cletus Jacobs are given the bird as they review the second episode of Peacemaker Season 2. In Detective Comics #1094–1096, (“Mercy of the Father” arc) follows Batman and Damian as they uncover the truth behind Asema's murders, confront revelations about Joe Chill's role in the Wayne […] The post The Earth Station DCU Episode 428 – A Man Is Only as Good as His Bird appeared first on The ESO Network.

Een Uur Cultuur
Xillan Macrooy (schrijver en muzikant)

Een Uur Cultuur

Play Episode Listen Later Sep 21, 2025 52:44


In deze aflevering ontvangt Eva Koreman schrijver en muzikant Xillan Macrooy (https://www.instagram.com/xil_lan/). Zijn debuutroman Mensen als zonnen en mensen als manen (https://www.uitgeverijblauwgras.nl/boeken/mensen-als-zonnen-en-mensen-als-manen) is net verschenen. Hij deelt zijn cultuurtips met Eva en de luisteraar.     De tips van Xillan:     Film op streaming: Asema (https://www.filmfestival.nl/film/asema)  Boek: Erasure (https://www.goodreads.com/book/show/355862.Erasure)  Dans: Mijn Wayang en ik   (https://rumah-afra.com/) Festival: What You See   (https://whatyouseefestival.nl/) Muziek: CLEAR 2: Soft Life EP (https://open.spotify.com/album/034Q9kY3buGcizT3Xpj9Re?si=1RM6soilRxyHOc7nnxCvPA)   Concert: FLO (https://www.flolikethis.com/)  Serie: Abbott Elementary (https://www.imdb.com/title/tt14218830/)  Toneel: Meer dan Bauxiet (https://www.silbersee.com/producties/meer-dan-bauxiet)  Docu: Moeder Suriname/Mama Sranan (https://npo.nl/start/serie/2doc/seizoen-11_1/2doc-moeder-suriname)  Tentoonstelling: Tapsei (https://www.foam.org/events/tapsei)  Podcast: MOMENT/OPNAME (https://open.spotify.com/show/5SadjjQvQeTr7O7ZtLLTD8?si=a16a68379e984839)  Club/uitgaansavond: Pon Di Pride  (https://www.instagram.com/pon.dipride/?hl=en) Een andere culturele favoriet: mensenzeggendingen (https://mensenzeggendingen.nl/)      Heb je cultuurtips die we niet mogen missen? Mail de redactie: eenuurcultuur@vpro.nl   

Kulttuuriykkönen
Antiikin Kreikassa ja Roomassa vaikutti filosofinaisia, vaikka naisen asema olikin huono

Kulttuuriykkönen

Play Episode Listen Later Sep 1, 2025 52:01


Kouluissa opetetaan antiikin historiaa, joka on perinteisesti hyvin miehinen. Me tunnemme kuitenkin nimeltään antiikin jumalattaret kuten Afroditen, Heran ja Artemiksen. Uusimmassa antiikin tutkimuksessa on keskitytty enemmän naisten historiaan. Mitä uutta tietoa naisnäkökulmasta käsin on löytynyt antiikin hyvin miehisestä ja sankaruuteen keskittyvästä tutkimuksesta? Mitä uusi suomalainen antiikintutkimus nostaa esille naisten kohdalla? Mitkä ovat ne uudet kulmat suomalaisessa antiikin naistutkimuksessa? Malin Grahn-Wilder on tutkinut antiikin alkuperäistekstejä ja lähestynyt niitä feministisillä metodeilla. Millaisia yllättäviä havaintoja hän on tehnyt tutkiessaan kolmen merkittävän naisen Diotiman, Hipparkhian ja Marcian elämää? Marja-Leena Hänninen on tutkinut naisten asemaa roomalaisessa uskonnossa. Mitä tiedetään naisten asemasta mysteerikulteissa? Elina Pyy on tutkinut sukupuolta ja väkivaltaa antiikin mytologiassa. Kreikkalaisia myyttejä leimaa seksuaalinen väkivalta, millä tavalla se eroaa aikamme väkivallasta? Vieraina ovat antiikintutkijat Malin Grahn-Wilder, Marja-Leena Hänninen ja Elina Pyy. Ohjelman juontajana on Pia-Maria Lehtola.

mit mitk heran millaisia vaikka vieraina ohjelman naisen huono asema marcian uusimmassa kreikassa
Habari za UN
Baa la njaa kuthibitishwa Gaza, Guterres asema, huku ni kushindwa kwa ubinadamu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 22, 2025 1:58


Zaidi ya nusu milioni ya watu huko Gaza wameripotiwa kukumbwa na baa la njaa, hali ambayo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameielezea kuwa “janga lililosababishwa na mwanadamu, shutuma ya kimaadili na kushindwa kwa ubinadamu.”Flora Nducha na taarifa zaidi

Ykkösaamu
Suomen puolustusteollisuuden asema kansainvälisessä kilpailussa

Ykkösaamu

Play Episode Listen Later Aug 11, 2025 49:59


Israelin hallituksen turvallisuuskabinetti on päättänyt Gazan kaupungin haltuunotosta. Mistä operaatiossa on kyse? Keskustelemassa Puolustusvoimien tutkimuslaitoksen osastopäällikkö, everstiluutnantti Juha Mäkelä ja Lähi-idän tutkimuksen professori Hannu Juusola Helsingin yliopistosta. Euroopan maat kasvattavat puolustusbudjettejaan ja asehankintojaan. Mikä on Suomen puolustusteollisuuden asema tässä kilpailussa? Vierainamme puolustus- ja ilmailuteollisuusalan etujärjestö PIA:n pääsihteeri Tuija Karanko ja puolustusalan erityisasiantuntija Markus Ranne Business Finlandista. Tänä kesänä monet vedet ovat lämmenneet niin paljon, että Metsähallitus on lopettanut paikoin kalastuslupien myymisen, koska kalojen olot ovat olleet niin tukalat. Miten harvinaista tämä on? Juontaja Seija Vaaherkumpu, tuottaja Anna-Maria Haarala.

Nyumba ya Sanaa
Msanii Real Jofu asema amejifunza kuwa mvumilivu baada ya kuondoka jela

Nyumba ya Sanaa

Play Episode Listen Later Jun 7, 2025 20:11


Mara baada ya kutoka Jela Msanii Real Jofu anasema amejifunza kuwa mvumilivu ili kufikia malengo,Ungana na Steven Mumbi kaktika Makala ya Nyumba ya Sanaa akizungumza na Msanii huyo.

sanaa makala kuwa baada asema nyumba ungana steven mumbi
The Earth Station DCU Podcast
The Earth Station DCU Episode 413 – When the Lights Come On

The Earth Station DCU Podcast

Play Episode Listen Later May 26, 2025 46:27


This Week on Earth Station DCU! Drew Leiter and Cletus Jacobs stumble through the dark until the lights come on. It's the match of the millennium to determine who is the single greatest hand-to-hand fighter in the Universe...Black Canary or the deadly Lady Shiva in Black Canary: Best of the Best #1, 2, and 3. Batman and Robin investigate a mysterious blood-draining killer named Asema, while Bruce also continues to take a youth serum to enhance his abilities in Detective Comics #1092 & 1093. Batman investigates the murder of Mayor Nakano seemingly at the hands of Jim Gordon, while the Court of Owls manipulate events behind the scenes, and Commander Star fuels unrest in the city in Batman #155, 156, 157. All this plus, DC News, Shout Outs, and much, much more! ------------------------ Table of Contents 0:00:00 Show Open 0:01:00 DC News 0:06:42 Black Canary: Best of the Best #1, 2, 3 0:12:17 Detective Comics #1092 & 1093 0:16:00 Batman #155, 156, 157 0:26:30 Superman & Lois S4 Ep6 – When the Lights Come On 0:42:56 Show Close   Links Black Canary: Best of the Best #1 Black Canary: Best of the Best #2 Black Canary: Best of the Best #3 Detective Comics #1092 Detective Comics #1093 Batman #155 Batman #156 Batman #157 Superman vs. Muhammad Ali Flash #86 (Drew's Read More Comics Pick) Earth Station DCU Website The ESO Network If you would like to leave feedback, comment on the show, or would like us to give you a shout out, please call the ESDCU feedback line at (317) 455-8411 or feel free to email us @ earthstationdcu@gmail.com  

Mighty Finland Podcast
Jalkaväkimiinat takaisin ja Suomen asema muuttuvassa turvallisuustilanteessa - Henri Vanhanen

Mighty Finland Podcast

Play Episode Listen Later May 13, 2025 88:39


Maailmalla myllertää ja jalkaväkimiinat tulevat takaisin! Millainen prosessi niiden palauttamisnen on, miksi Ottawan sopimukseen alkujaan liityttiin ja kuinka Suomen tulee toimia pärjätäkseen maailmantilanteen ja turvallisuusen myllerryksessä?Vieraana asiantuntija Henri Vanhanen!Meidän vedenkestävä Taistelijan vihko on asevelvollisen paras kaveri:https://www.varusteleka.com/fi/product/mighty-finland-modestone-taistelijanlehtio/81749Meitä maanpuolustuksen etulinjassa tukee yhteistyökumppanit:Savox - Kriittisen kommunikaation kärkiosaaja - savox.comSavotta - Huikeita kantojärjestelmiä ja muita varusteita maanpuolustukseen ja ulkonaliikkumiseen - Savotta.fiVarusteleka - Reserviläisen karkkikauppa ja meidän luotettu huoltopiste jo vuosien ajan - Varusteleka.fiHaluatko mainostaa podcästissä? Lähettää palautetta? Jopa kehua? Aiheideoita? Laita yhteyskokeilu osoitteeseenInfo@mightyfinland.fi Instagram: @mighty_finland_

security military nato suomen vieraana millainen meid laita takaisin jopa maailmalla asema ottawan henri vanhanen puolustusvoimat
SBS Swahili - SBS Swahili
Adam Bandt akubali kushindwa, asema chama cha Greens kili feli ku kwea mlima Everest

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 9, 2025 8:19


Adam Bandt amekubali ameshindwa nakupoteza kiti chake cha Melbourne bungeni, katika matokeo ambayo yame acha chama cha Greens bila kiongozi.

Habari za UN
Mtoto aliyebakwa na kutiwa ujauzito DRC asema "siko tayari kuwa mama"

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 11, 2025 1:58


Mtoto mmoja alibakwa katika kila nusu saa huko Mashariki mwa Jamhuri ya ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wakati mapigano yaliposhika kasi mwanzoni mwa mwaka huu kati ya jeshi la serikali FARDC na waasi wa M23, katikati ya ufadhili finyu wa kifedha, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF. Anold Kayanda na maelezo zaidi.

mama congo unicef drc m23 umoja watoto kuwa siko tayari asema jamhuri mataifa mashariki kidemokrasia fardc
Alfajiri - Voice of America
Trump asema kwamba Marekani bado ingependa kuichukua Greeland kutokana na sababu za kiusalama. - Machi 28, 2025

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 28, 2025 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

donald trump machi asema marekani
X is for Podcast: An Uncanny X-Men Experience
Reviewing X-Men, Women Of Marvel, Justice League Unlimited, Detective Comics!

X is for Podcast: An Uncanny X-Men Experience

Play Episode Listen Later Feb 27, 2025 75:19


The Action Pack is back and they got A LOT of comics. First, catch up on all the Main Team X-Titles with Exceptional X-Men, Uncanny X-Men, and today's X-Men 12. Then, take a look at the She-Devils of Marvel in an all new Women of Marvel title before hopping over to DC for a double dose of catching up – first with Justice League Unlimited to find out what's going on with Air Wave and then to Detective Comics for more on Asema! It's X-Men 12, Uncanny X-Men 10, Exceptional X-Men 6, Women Of Marvel: She-Devils, Justice League Unlimited 4, & Detective Comics 1094 – all this and more on an all new X Is For Podcast! X IS FOR SHOW is a talk show for your favorite media, the same way THE OFFICE was a documentary about a paper company. Every week, THE ACTION PACK gathers to discuss a wide range of entertainment media and news, from film & TV to comics to gaming, music, and beyond. Led by NICO (@NicoAction) and TK (@TKAccidental) with producer KEVO (@KevoReally), as well as a variety of friends and special guests, these LIVE discussions are not to be missed - so be sure to tune in and join us for all the fun!

Habari za UN
Akibomoa kibanda chake Goma DRC, mkimbizi asema ana hofu kurejea Saké

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 12, 2025 1:45


Baada ya waasi wa M23 jimboni Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kupatia wakimbizi waliokuwa wamesaka hifadhi kambini mjini Goma, wawe wamerejea makwao ndani ya saa 72 kuanzia juzi jumatatu, mamia wameanza kutii amri hiyo.Miongoni mwao ni Kibira Bakulu, baba wa watoto 5, aliyekimbia mapigano eneo la Saké, mwezi Februari mwaka jana, takriban kilomita 10 kutoka Goma.Akiwa katika harakati za kubomoa kibanda chake katika kambi ya nane ya CEPAC Mugunga huko Goma, Bwana Bakulu anasema walishangaa, bila kuwa tayari, kuambiwa warudi walikotoka."Tumepatiwa saa 72 tuwe tumeondoka na kurejea Saké, kwani vita vimeisha. Sisi hatua uhakika kamili kwa sababu tuliondoka Saké kutokana na vita. Kama inabidi kusukumwa tuondoke, hatuna la kuchagua,” amesema Bwana Bakulu.Ana hofu ya kurejea Saké, akisema, “kule tulikuwa tunaishi Sake na tukirejea tutaishi vipi? Tunaomba viongozi wajitahidi watusaidie ili watuhakikishia usalama.Alipoeleza hali halisi amesema, “ hii siku ya leo hapa unaniona, watu wamepita hapa wakifanya vurugu, wananyang'anya kila kitu ulichonacho, iwe simu wanabeba. Sasa tunashindwa kufahamu amani iko katika kiwango gani?”Kwa mujibu wa Bwana Bakulu, walishaamua kuwa hawataweza kurudi na kama ni kufa basi watafia Goma, lakini sasa wamelazimishwa kurejea Saké.

sake congo sisi drc kama goma sak m23 sasa kwa ituri baada asema jamhuri mashariki miongoni kidemokrasia
The Bat-Pod
ep #175 Gotham Currents: Dick Saves the Teddies & Asema Strikes Again!

The Bat-Pod

Play Episode Listen Later Jan 30, 2025 45:10


Bill and John discuss Detective Comics #1092, Nightwing #121, Batman & Robin #3 & Catwoman #71Support the show

The Bat-Pod
ep #175 Gotham Currents: Dick Saves the Teddies & Asema Strikes Again!

The Bat-Pod

Play Episode Listen Later Jan 30, 2025 45:10


Bill and John discuss Detective Comics #1092, Nightwing #121, Batman & Robin #3 & Catwoman #71

Jioni - Voice of America
Russia ni tishio kubwa kwa usalama wa EU, asema waziri mkuu wa Italy - Desemba 22, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 22, 2024 29:59


russia italy european union asema desemba waziri mkuu
Alfajiri - Voice of America
Rais wa Uturuki Reccep Tayip Erdogan asema kwamba yupo tayari kuongoza mazungumzo ya amani ya Sudan - Desemba 18, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 18, 2024 29:58


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Habari za UN
Baada ya kunusuriwa na programu ya IOM, mhamiaji kutoka nchini Ethiopia asema katu hatorudi Yemen

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 11, 2024 4:15


Janga la kibinadamu likizidi kushika kasi nchini Yemen, shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji, IOM linaongeza kasi ya mpango wake wa kurejesha wahamiaji nyumbani kwa hiari, VHR. Mradi huu hupatia wahamiaji waliokwama njia salama ya kurejea nyumbani kwao. Kupanuliwa kwa mradi huu kunafuatia idadi ya wahamiaji nchini Yemen kuongezeka na kufikia 6,300 mwezi Oktoba mwaka huu, kwa mujibu wa mfuko wa IOM wa  Ufuatiliaji wa wahamiaji.Mwaka huu wa 2024, IOM imeshafanya safari 30 za ndege kupitia mradi huo wa VHR ikiwemo ya tarehe 5 mwezi huu waDesemba ambapo wahamiaji 175 wa Ethiopia walirejeshwa Yemen kutoka uwanja wa ndege wa Aden. Makala hii inafuatilia miongoni mwa wahamiaji hao yaliyowasibu hadi kukubali kurejea nyumbani kwa hiari. Msimulizi wako ni Assumpta Massoi.

Habari za UN
Esneda kutoka jamii ya Yukpa asema haogopi vitisho kutetea eneo la jamii yao ya asili nchini Colombia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 15, 2024 3:39


Jamii ya asili ya Yukpa nchini Colombia imevumilia miongo kadhaa ya migogoro na watu kutawanywa inayosababishwa sio tu na mabadiliko ya tabianchi mila kandamizi bali pia kupotea kwa viumbe hai na hivyo kutishia maisha yao. Esneda Saveedra, Kiongozi wa jamii ya asili ya Yukpa nchini Colombia akiwa anazungumza akiketi ndani ya msitu na kando ya mto Maracas., anasema hana hofu ya kutetea ardhi hii.Ardhi anayozungumzia ni eneo hilo la mto Maracas anayotetea dhidi ya vitisho kutoka kwa waharibifu wa mazingira kufuatia yale yaliyojadiliwa katika mkutano wa 16 wa nchi wanachama wa mkataba wa kimataifa wa bayonuai, COP16 uliomalizika Ijumaa iliyopita huko mjini Cali nchini Colombia."Sina hofu ya kutetea ardhi hii. Yale niliyopitia kama mtoto, changamoto zote hizo, yalinipa nguvu, yalinipa ujasiri, na yakaondoa hofu yangu."Video ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR inatupatia taswira ya juu ya eneo la makazi ya jamii ya Yukpa, msitu mnene na kisha kwenye mto Maracas, shughuli zinaendelea, wengine wakiogelea, wengine wakivua samaki, mama mmoja akisafisha kuku aliyemaliza kumchuna.Esneda anaeleza umuhimu wa mto huu kwa maisha ya jamii yake na anaendelea kujitahidi ili kulinda mazingira hayo."Huu ni mto Maracas, ambapo watu wetu, mababu zangu, walivua samaki kwa ajili ya chakula kila siku. Waliharibu mazingira kwa kukata miti yote, na matokeo yake, mto ulianza kukauka. Leo, mto Maracas hauna mtiririko wa maji kama ulivyokuwa zaidi ya miaka 20 iliyopita."Katika juhudi zake, Esneda ameanzisha mazungumzo na maafisa wa serikali katika manispaa ya Becerril, akijaribu kuleta mabadiliko na uelewa juu ya umuhimu wa kuhifadhi ardhi na utamaduni wa watu wa Yukpa."Kumekuwa na uratibu, kazi ya pamoja, na jambo muhimu zaidi kwangu kama mwanamke wa Yukpa imekuwa kuleta ufahamu kuhusu watu wa Yukpa na ardhi yetu. Mabadiliko ya tabianchi yametufikisha kwenye tatizo kubwa zaidi, ambalo ni upotevu wa mazao na ukosefu wa chakula. Leo hatuna chakula cha kutosha katika jamii zetu. Tunaendelea kupambana, lakini pia tuko hapa kusaidia dunia nzima kuendelea kupambana na kulinda mazingira, ardhi, na hewa. Na kusema: 'Tupo hapa kuchangia kwa ajili ya ubinadamu, kwa ulimwengu mzima.'"Harakati zake zimekumbwa na vitisho.“Walinitishia hapa kwa kuzungumza, na kwa kusema ukweli. Mama yangu alikuwa kiongozi thabiti—na bado ni kiongozi thabiti. Na nilipokuwa mdogo, nilimsindikiza kwenye michakato yake yote ya harakati, mipango na uongozi. Niliendeleza njia hiyo ya uongozi kwa sababu niliona ni muhimu. Ilikuwa ni wajibu wangu. Nilijiambia, ‘mimi ni mwanamke ambaye nimezaliwa kutetea eneo hili.”Kwa Esneda, kulinda ardhi ya Yukpa ni zaidi ya wajibu; ni dhamira ya kuhifadhi urithi wa mababu zake. Katika changamoto za kila siku, Esneda anabaki imara kwa matumaini kuwa jamii yake na mchango wao katika kuhifadhi mazingira utatambuliwa ulimwenguni.

Habari za UN
Mwaka 1 wa vita Mashariki ya Kati: Ni wakati wa amani Gaza, asema Guterres

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 7, 2024 2:14


Leo ni mwaka mmoja tangu vita ianze huko Gaza, Mashariki ya Kati baada ya wanamgambo wa kipalestina, Hamas kushambulia Israeli na kuua waisraeli 1250 pamoja na wageni, kisha Israeli kujibu mashambulizi yaliyoripotiwa kuua hadi sasa zaidi ya wapalestina 41,000 ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa pamoja na wakuu wa mashirika mbali mbali ya chombo hicho wametoa wito kutaka kukoma kwa vita hiyo. Assumpta Massoi na maelezo zaidi. Antonio Guterres huyu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kupitia ujumbe wake kwa njia ya video leo ikiwa in mwaka mmoja, anasema hii ni siku kwa jamii ya kimataifa kurejelea tena kwa sauti kubwa zaidi kulaani kwetu kwa vitendo vya kuchukiza vya Hamas ikiwemo utekaji nyara wa siku ile.Hamas waliteka nyara zaidi ya watu 250. Guterres amesema katika kipindi cha mwaka mmoja amezungumza na familia ambazo ndugu zao wanashikiliwa mateka hadi sasa. Amezungumzia pia machungu yaliyoibuka baada ya vita kuanza. Sasa anasema ni wakati wa kuachilia huru mateka. Wakati wa kunyamazisha bunduki. Wakati wa kukomesha machungu yaliyogubika ukanda huo. Wakati wa amani, sheria ya kimataifa na haki. Umoja wa Matiafa umejizatiti kufanikisha malengo hayo. Pisha nikupishe za manusura, magari ya wagonjwa na viwewe ni hali ya kawaida Gaza kwa mwaka mmoja sasa.Mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la afya ulimwenguni, WHO, pamoja na kusaidia waathiriwa wa vita, linashirikiana na mashirika ya kiraia kusaidia wale wanaosaidia manusura, mathalani madereva wa magari ya wagonjwa, wahudumu wa afya ambao waliathiriwa na kile walichokiona wakati wakisafirisha mahututi au kutambua maiti kwenye vifusi.Lile la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina, UNRWA limemnukuu Abu Majdi mpalestina mwenye umri wa miaka 80 akisema baada ya mwaka mmoja wa ukimbizi, joto kali na baridi kali, hadi lini tutaendelea kuhimili ukimbizi huu? Hadi lini tutapata haki na maisha yetu?Naye Kaimu Mkuu wa Ofisi ya UN ya kuratibu misaada ya dharura, OCHA  Joyce Msuya anasema hakuna takwimu zinazoweza kueleza bayana madhila ya kimwili, kiakili na kijamii ya vita hiyo.

Alfajiri - Voice of America
Kikosi cha SADC kimeshindwa kutekeleza majukumu yake katika mzozo wa mashariki mwa DRC, asema mchambuzi - Oktoba 03, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 3, 2024 29:58


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

sadc katika yake asema oktoba mashariki
Alfajiri - Voice of America
Rais Biden asema wakati umefika kukabidhi mwenge kwa kizazi kipya - Julai 25, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 25, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Jioni - Voice of America
Kiongozi wa upinzani Kenya asema kuwa haki inahitajika kabla ya mazungumzo na serikali - Julai 21, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 21, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

kenya haki kuwa julai asema kabla serikali kiongozi afrika mashariki
Alfajiri - Voice of America
Katibu mkuu mpya wa Jumuia ya Afrika Mashariki anakabiliwa na kibaruwa kigumu, mchambuzi asema - Juni 11, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 11, 2024 30:00


asema mkuu afrika mashariki
Utelias mieli
Miten naisen asema on muuttunut Kiinassa?

Utelias mieli

Play Episode Listen Later Dec 13, 2023 32:50


Ensimmäinen sana, jonka tutkija Tiina Airaksinen aikoinaan oppi kiinaksi, oli 'suhteet'. Sanan painoarvo kertoo verkostojen merkityksestä Kiinassa. Airaksinen on Aasian tutkimuksen vanhempi yliopistonlehtori, ja hän on tutkinut kiinalaisia identiteettejä ja naisten toimijuutta 1990-luvulta lähtien. Millaisiin verkostoihin naiset esimerkiksi kuuluvat ja mistä naisten asemaan ja oikeuksiin liittyvistä kysymyksistä Kiinassa keskustellaan juuri nyt? Entä miten Kiinan sensuurikoneisto vaikuttaa suomalaisen Kiinan-tutkijan työhön? Utelias mieli on Helsingin yliopiston podcast, joka puhuu tieteestä tunteella.

Jioni - Voice of America
Rais Ruto asema yuko tayari kutekeleza mapendekezo ya ripoti ya maridhiano ya kisiasa kati yake na Odinga - Novemba 27, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 27, 2023 29:59


rais yuko ruto odinga yake tayari asema novemba ripoti
Futucast
Leevi Leivo | Puheenaihe, podcastien asema mediakentässä #397

Futucast

Play Episode Listen Later Oct 31, 2023 66:50


Leevi Leivo on Puheenaihe-podcastin toinen juontaja, joka on ollut näissä yhteiskunnallisissa podaushommissa lähes yhtä kauan kuin me. Ohjelmamme ovat kehittyneet vähän eri suuntiin, mutta moni perusperiaate, ja ennen kaikkea rakkaus alaa kohtaan, on todella samaistuttava. Tässä jaksossa avaamme toisillemme periaatteitamme, metodeitamme ja muita havaintoja yhteiskunnallisesta keskustelusta. --- ▶️ Jaksot videon kera Youtubesta: http://www.youtube.com/c/Futucastpodcast

tiktok asema jaksot leevi leivo
Alfajiri - Voice of America
Baraza la Usalama la UM limekutana wakati mapigano yanaongezeka kwenye Ukanda wa Gaza na Netanyahu asema hakuna usitishaji mapigano - Oktoba 31, 2023

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 31, 2023 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

The Lovecraft Tapes | Actual-Play Call Of Cthulhu Podcast
Case 16 Tape 5: Little Old Asema From Pasadena

The Lovecraft Tapes | Actual-Play Call Of Cthulhu Podcast

Play Episode Listen Later Sep 5, 2023 46:00


In This Episode: Every teenager must pass through the painful gauntlet of puberty, a necessary but sometimes confusing rite of passage, where new emotions alter a previously unshakeable perspective of the world, clouding judgment yet opening new vistas through which to view the universe...   This Episode's Sponsors: The Audio Book   Recommendos: Screambox Redragon #ad Deathloop #ad Wall World   The Lovecraft Tapes is a Call of Cthulhu RPG real-play/actual-play podcast with episodes available on all major podcast platforms   Original music provided by composer-in-residence Chris Parker   Find us everywhere at https://linktr.ee/lovecrafttapes

tape pasadena asema call of cthulhu rpg
Alfajiri - Voice of America
Putin asema kampuni inayomilikiwa na Prigozhin itafanyiwa uchunguzi - Juni 28, 2023

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 28, 2023 29:59


Katika hotuba iliyopeperushwa na kituo cha telvisheni cha serikali Jumanne, kati ya mengine Putin alisema kampuni ya upishi inayomilikiwa na kiongozi wa kundi la mamluki, yevgney Prigozhin ililipwa fedha ambazo matumizi yake huenda yanatiliwa shaka.

Alfajiri - Voice of America
Putin asema waliopanga jaribio la uasi mwishoni mwa wiki ni wasaliti - Juni 27, 2023

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 27, 2023 29:59


Rais wa Russia Jumatatu alikemea wale walioshiriki katika jaribio la uasi mwishoni mwa wiki na kuwaita wasaliti, lakini bila kulitaja jina la kiongoizi wa kundi la mamluki la Wagner, Yevgeny Prigozhin.

SBS Swahili - SBS Swahili
Lidia Thorpe asema alinyanyaswa na Seneta David Van ambaye amekana madai hayo

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 18, 2023 7:46


Shutma za unyanyasaji wakijinsia za Seneta Lidia Thorpe za 2021, dhidi ya Seneta mwenza David Van, zime zua dhoruba Bungeni.

Alfajiri - Voice of America
Ramaphosa asema viongozi wa Afrika watajadili na Putin hatma ya mpango wa kusafirisha nafaka. - Juni 16, 2023

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 16, 2023 29:59


Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema viongozi wa Afrika watajadili na Rais Vladmir Putin wa Russia juu ya hatma ya mpango wa kusafirisha nafaka kupitia bahari ya Black Sea.

Habari za UN
Naibu Meya wa Musanze asema teknolojia ya kusafisha maji itatuokoa Rwanda

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 24, 2023 0:04


Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu maji ukifikia tamati kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa huku moja ya mikakati ni kuhakikisha kunakuweko matumizi endelevu ya maji, mmoja wa washiriki kutoka Rwanda amezungumzia vile ambavyo teknolojia ya kusafisha maji taka ili yaweze kutumika tena na tena inaweza kuwa mkombozi kwenye eneo lao. Mshiriki huyo Andrew Mpuhwe Rucyahana ambaye ni Naibu Meya wa wilaya ya Musanze katika jimbo la Kaskazini nchini Rwanda amesema hayo akihojiwa na Assumpta Massoi wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa. Bwana Rucyahana anasema kule Musanze anakotoka ni eneo lenye shughuli nyingi za kitalii na likipokea wageni wengi wanaofika hivyo ni lazima kuwe na kiasi kikubwa cha maji tena maji safi. “Ushiriki wangu kwenye huu mkutano utaniwezesha kukutana na watu wengine na kufahamu ni vipi tunaweza kufanikisha wilaya ya Musanze iwe na maji safi na salama hasa kwa kuzingatia eneo letu liko milimani na tunapokea watalii wengi,” amesema Naibu Meya huyu wa Musanze. Hapa kwenye mkutano tunaweza kubadilishana mawazo ni vipi watu wanajenga miundombinu ya maji. Tuna maji mengi lakini hayatoshi, tungali na kazi kubwa ya kufanya ili tufikishe maji safi kwa watu wote, anasema Bwana Rucyahana akitaja changamoto ni uhaba wa fedha za kuwezesha kujenga miundombinu ya kufikisha maji milimani.  “Tunahitaij kupata maji yaliyo safi. Mfano tupate teknolojia ya kupeleka maji milimani ambako kuna hoteli zinazopokea wageni wengi. Tuna malengo ya kufikisha maji kwa wakazi wote wa wilaya ya Musanze ifikapo mwaka 2024.” Hoja ya kutumia maji tena na tena ilitajwa na Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Csaba Kőrösi, ambaye alisema teknolojia hiyo ni moja ya mambo muhimu ya kuepusha kupoteza maji. “Tunatakiwa kukomesha haraka upotevu wa maji. Kuwa na mzungumko wa matumizi ya maji, yaani kuyatumia tena na tena badala ya kuchimba mengine, huo ndio unapaswa kuwa mwelekeo,”  Naibu Meya huyu wa Musanze anasema katika eneo lao watu wanatumia maji mara moja tu “unaona maji mengi yanaharibika. Lakini tayari kuna teknolojia ya kusafisha maji ili yatumike tena na tena mara mbili au tatu. Teknolojia hii ni gharama kubwa Afrika. Kwa Musanze teknolojia hiyo inatumika kwenye hotel za gharama ya juu . Lakini si katika hoteli za bei ya gharama ya chini au kwenye makazi ya watu wenye uwezo mdogo ambao ni wengi.” Ni kwa mantiki hiyo anaamini kuwa kupitia mkutano wa maji anaweza kupata watu wenye teknolojia wanaweza kuipeleka na kuiuza huko Musanze. Lakini juu ya yote wito wake ni kwa watu kutambua kuwa maji ni maisha yetu, kukosa maji ni kukosa maisha. Watu wote tusaidiane ili tuwe na maji safi na mengi barani Afrika. 

Habari za UN
Mkutano wa CSW67 yafungua pazia, Mwenyekiti asema hitimisho litakuwa la kijasiri

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 6, 2023 0:02


Mkutano wa 67 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW umeanza leo kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani ukileta pamoja wawakilishi kutoka serikali, mashirika ya kiraia yanayotambuliwa na Baraza la Kiuchumi na Kijamii la Umoja wa Mataifa ECOSOC pamoja na vijana.Mwenyekiti wa mkutano huo Balozi Mathu Joyini ambaye ni Mwakilishi wa kudumu wa Afrika Kusini kwenye Umoja wa Mataifa amewaambia waandishi wa habari kuwa washiriki ni wanawake kutoka kona mbali mbali za dunia pamoja na vijana na zaidi ya yote na maudhui ni mabadiliko ya ugunduzi na teknolojia na nafasi yake katika zama hizi za kidijitali ili kufanikisha usawa wa jinsia na uwezeshaji wanawake na maudhui amesema yamekuja wakati muafaka.. "Teknolojia za kidijitali zinaleta fursa za kipekee katika kuwezesha wanawake na wasichana. Lakini vilevile  zinaleta changamoto mpya kubwa kwa haki za wanawake na wasichana. Teknolojia inaenda kwa kasi lakini mfumo wa maadili duniani bado haujarekebishwa."  Hivyo amesema, "Tunatumaini kuwa na hitimisho la kijasiri ambalo linaweka maadili na viwango vya kusongesha mbele ili kuhakikisha wanawake wanawakilishwa kwenye nyanja ya teknolojia. Elimu pia ambayo inawaruhusu kushiriki katika ubunifu na mifumo anuai iliyoko, na kwamba wanawake na wasichana wanapatiwa fursa ya kubuni, kuendeleza na kutumia teknolojia." Mkutano huo ulioanza leo tarehe 6 Machi utamalizika tarehe 17 mwezi huu wa Machi ambapo pia wajumbe watatathmini changamoto na fursa za kufikia usawa wa kijinsia kwa wanawake na wasichana wa vijijini, maudhui yatokanayo na mkutano wa 62 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW62. 

new york csw machi umoja baraza asema lakini wanawake elimu mataifa marekani mkutano teknolojia
Habari za UN
Bado baa la njaa lanyemelea Somalia, asema Michael Dunford Mkurugenzi wa WFP Pembe ya Afrika

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 2, 2022 0:02


Ukame uliolighubika eneo la Pembe ya Afrika kwa miongo minne mfululizo umesababisha changamoto kubwa kwa mamilioni ya raia wa Kenya, Ethiopia na Somalia nchi ambayo maeneo mengi yanakabiliwa na kutokuwa na uhakika wa chakula na hatihati ya kutumbukia kwenye baa la njaa. Mashirika ya misaada ya kibinadamu likiwepo la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP yako mstari wa mbele kuwasaidia watu wenye uhitaji hususani wa chakula. Flora Nducha na maelezo zaidi!Akizungumza na UN News Mkurugenzi wa WFP Pembe ya Afrika Michael Dunford amesema hofu ya baa la njaa bado ni mtihani mkubwa hasa nchini Somalia.Amesema, “kwa bahati mbaya bado baa la njaa bado ni tishio nchini Somalia, tathimini inaendelea na tunaweza kushuhudia kabla ya mwisho wa mwaka huu au pengine mapema mwakani kutangazwa kwa hali ya baa la njaa katika badhi ya shehemu Somalia, kinachoniogopesha zaidi ni kwa sababu hadi wakati huo tuna tatizo kubwa la mvua, ukame utaendelea na huenda tunashuhudia hali hiyo ikitokea pia katika baadhi ya nchi za jirani.” Hali hiyo imesababisha kupanda kwa gharama za chakula Ukanda mzima na bwana Dunford alipoulizwa endapo mradi wa bahari Nyeusi wa kusafirisha nafaka umesaidia chochote kupunguza gharama hizo za chakula katika Pembe ya Afrika amesema, “bila shaka umekuwa na tija ndio maana ni muhimu saba ukaendelea, sio tu kwa upatikanaji wa bidhaa lakini pia mbolea. Unajua kwamba ukanda huo ni mzalishaji mkubwa wa mbolea na kiasi kikubwa kinapelekwa kwenye pembe ya Afrika. Kupungua kwa bei ya mbolea kunamaanisha kuongezeka kwa mazao kwa wakulima na hatimaye kuongeza uhakika wa chakula. Hivyo sababu zote zinahitaji kutiliwa maanani na wafanya maamuzi. Kwa hakina hatutaki kuona kwamba baada ya majadiliano mengi mradi huo unaruhusiwa kuteleza”

Habari za UN
Sasa ni wakati wa kutekeleza maneno yetu kwa vitendo, asema Emmanuel Msoka akiwa UNGA77

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 19, 2022 2:23


Mkutano wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa kuhusu marekebisho ya mfumo wa elimu leo unakunja jamvi kwenye makao makuu ya Umoja huo jijini New York Marekani. Mkutano huo wa siku tatu umeitishwa ili kukabiliana na changamoto ya kimataifa ya elimu hasa kwa kuzingatia suala la usawa na ujumuishwaji, ubora wa elimu na umuhimu.   Wadau mbalimbali wakiwemo wakuu wa nchi na serikali, mashirika ya kimataifa na makundi mbalimbali katika jamii wamepata fursa ya kupaza sauti zao, miongoni mwao ni vijana walioshiriki kuwawakilisha mamilioni ya wanafunzi kote duniani.   Emmanuel Cosmas Msoka mchechemuzi kijana wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF kutoka nchini Tanzania ni moja wa vijana waliozungumza akiwachagiza viongozi wa dunia kuwashirikisha vijana kwa hali na mali . “Moja ya mchango ambao niliweza kuutoa ni ushirikishwaji wa vijana katika mambo yote ambayo yanaathiri mabadiliko ya kiuchumi kwa sasa na kwa baadaye , katika hilo lengo langu kubwa ni kuhakikisha kwamba vijana wanashirikishwa kuanzia katika ngazi ya chini kabisa katika kuanzishwa sheria, katika kuanzishwa kwa mitaala ya elimu, washirikishwe vijana hata katika utekelezaji pia , kwani katika nchi nyingi au katika mazingira ambayo tumetokea ni kwamba vijana wanashirikishwa katika sherehe zile ambazo ni za kuhitimisha baada ya sera au sheria kutengenezwa. Ushirikishwaji ambao mi naungalia ni kuanzia kwenye mipango, kuanzia watu wanaposema kwamba kuna kitu Fulani tunataka tukibadilishe , vilevile unapoanza kukusanya maoni tu vijana washirikishwe , katika utekelezaji wa ile mipangopia tuwashirikishe vijana na mwishoni kabisa katika kusherehekea kwamba lengo tulilojiwekea tumeweza kufanikiwa vijana pia washirikishwe. Ushirikishwaji wao ni kuanzia ngazio yaw azo mpaka kwenye kutengeneza sheria na sera na katika kusherehekea mafanikio ya sera ambazo zimetengenezwa katika nchi.”  Na kwa Tanzania anakotoka Emmanuel anasema ni wakati wa kujifunza kutoka kwa wengine  “Nimejifunza kutoka kwa vijana ambao wametokea katika nchi nyingine hapa wameweza kunielezea kwamba katika nchi zao kuna mabaraza ya vijana, mashirika ya kimataifa katika nchi zao yana mabaraza ya vijana , nchi kama nchi ina baraza la vijana . Tanzania sasa ni muda wa kurejesha lile baraza la vijana ambalo lilikuwepo na kikapotea. Ni muda ambao tunahitaji kuwashirikisha vijana  wakati dunia inawahitaji vijana. Kama nchi tunatakiwa tuonyeshe kabisa kuwa tunaelekea katika mwelekeo huo. Na katika hilo tunaamini na watu wengi sio wanasiasa viongozi tunaweza tukasema wamekuwa pia wakisema viojana ni taifa la kesho lakini ushirikishwaji huo uko wapi? Tufanye hivi vitu kwa vitendo , leo nimeweza kusema kwamba maneno yanaonekana ni bei nafuu sana lakini vitendo ni bei ghali sana kwa hiyo ni muda sasa tuweze kuvifanyiakazi tunavyovizungumzia.”   

tanzania unicef moja kama sasa umoja fulani asema wakati mataifa yetu mkutano vitendo
Habari za UN
Tuwalete UN wale walio nje ili wapeleke ujumbe wetu; asema Bi. Mohammed akimkaribisha Burna Boy

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 3, 2022 3:15


Damini Ebunoluwa Ogulu al maaruf "Burna Boy"  amefanya ziara kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani kwa mwaliko wa Naibu Katibu Mkuu, Amina J. Mohammed. Bi. Mohammed ambaye ni raia wa Nigeria amesema wakati wa ziara hiyo kuwa Burna Boy ni raia mwenzangu kutoka Nigeria na katika taifa hilo wako wanamuziki wengi mashuhuri wanaotumia sauti zao kusongesha masuala ambayo pia Umoja wa Mataifa unapigia chepuo. Sasa ni bora kuwaleta walio nje ndani ya Umoja wa Mataifa ili wapeleke ujumbe wetu nje. Hayo na mengine mengi yaliyojiri kwenye ziara hiyo utapata kwenye makala hii inayosimuliwa kwako na Assumpta Massoi.  

new york nigeria bi wale burna boy sasa umoja hayo asema elimu mataifa marekani ujumbe amina j mohammed
The Plant Spirit Podcast
Honoring Indigenous Traditional Ecological Knowledge with Dan Wahpepah

The Plant Spirit Podcast

Play Episode Listen Later Jan 27, 2022 23:51


#011 - Join us for a very powerful conversation with Dan Wahpepah of the Anishinaabe, Kickapoo and Sac & Fox tribes on Honoring Indigenous Traditional Ecological Knowledge. I'm deeply honored that Dan joined us as a guest on the Plant Spirit Podcast. And his message is so important for the times we are in!In this episode, Dan shares profound insight into what it means to decolonize the mind, particularly when working with permaculture and other land based practices. He also offers deep wisdom into:How prayer opens up a circular conduit between yourself, the Universe, the person you're praying for, and the Earth. Re-indigenizing permaculture with Traditional Ecological Knowledge (TEK). His Permaculture Foundations work with Megan Toben  at the Eco-Institute. How important it is to connect with Indigenous people who have been taking care of the land for thousands of years.  Coming back into balance with our Elder relatives and learning the stories of the landHow we're in a crossroads of prophecy at this time. The importance of having a reciprocal relationship with the plants.  And he also shares the powerful story of the first Tobacco plant Asema, and how to be in right relationship with this sacred medicine plant.   Dan Wahpepah is from the Anishinaabe, Kickapoo and Sac & Fox tribes. He grew up with his community's cultural ways and has been politically active with the American Indian Movement and spiritually active through tribal ceremonies. Dan started the Rogue Valley Pow Wow, the American Indian Cultural Center, and Red Earth Descendants. He's also a board member of Natives of One Wind Indigenous Alliance, Rogue Climate, and Pipeline Fighters. As part of his tradition, he is a Drum Keeper and Drum Chief. Dan works with Traditional Ecological Knowledge and permaculture. And his life work is focused on the preservation of this Earth for future generations. He believes that “Permaculture combined with Traditional Ecological Knowledge is a powerful pairing.  To contribute to life is what we need to feel. We are moving into a giveaway society. The best way for us to train for this new paradigm is to garden. By gardening, we contribute to life while gaining a harvest, feeding pollinators, sequestering carbon, feeding sugars and carbon to the billions of microbes and miles upon miles of mycorrhiza, connecting to community for excess giveaway, connecting with the seasons, connecting.”You can find out more about Dan's work at https://eco-institute.org/permaculture-foundations-certificate and http://www.redearthdescendants.org.For more info please visit: www.saraartemisia.com and IG @multidimensional.nature