Podcasts about unfpa

  • 204PODCASTS
  • 572EPISODES
  • 31mAVG DURATION
  • 1WEEKLY EPISODE
  • Jul 9, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about unfpa

Latest podcast episodes about unfpa

Habari za UN
09 JULAI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 9, 2025 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia ziara ya Katibu Mkuu wa UN Amina J. Mohammed akiwa barani Afrika; na Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Viongozi kuhusu Upashanaji wa Taarifa duniani. Makala tunakwenda nchini Burundi na mashinanitunasalia hapa makao makuu, kulikoni?Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina J. Mohammed akiwa ziarani barani Afrika ambapo juzi tarehe 7 aliingia nchini Gambia, kwa njia ya mtandao wa X ameonesha namna ziara yake ilivyokuwa ya mafanikio kwa kukutana na viongozi na wadau mbalimbali nchini humo katika harakati za kufanikisha Malengo ya Umoja wa Mataifa ya Maendeleo Endelevu.Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Viongozi kuhusu Upashanaji wa Taarifa duniani, (WSIS) ukiingia siku ya 3 hii leo huko Geneva, Uswisi, washiriki wanapazia sauti umuhimu wa kila mtu kokote pale aliko afikiwe na teknolojia inayomwezesha kupokea taarifa kwa urahisi, usahihi na kwa haraka.Katika makala shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA), kwa kushirikiana na serikali ya Burundi, limekuwa mstari wa mbele katika kuwasaidia vijana wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), walioko kwenye kambi ya Musenyi, mkoani Rutana huko Burundi. Kupitia michezo, tamaduni, na shughuli za elimu ya afya ya uzazi, vijana hawa wamepata matumaini mapya na fursa ya kujenga maisha yao upya. Mradi huu unaangazia umuhimu wa kuwekeza kwa vijana walioko katika mazingira magumu ili kuwasaidia kufikia ndoto zao.Na katika mashinani fursa ni yake Dkt. Natalia Kanem, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi UNFPA ambaye katika mahojiano maalum na Idhaa ya Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa kila msichana anahitaji huduma muhimu za afya uzazi ili waweze kuendelea na elimu, akitaja mfano wa kazi zao nchini Kenya.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Habari za UN
Mradi wa UNFPA wa michezo na elimu warejesha matumaini kwa vijana wakimbizi wa DRC nchini Burundi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 9, 2025 3:11


Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA), kwa kushirikiana na serikali ya Burundi, limekuwa mstari wa mbele katika kuwasaidia vijana wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), walioko kwenye kambi ya Musenyi, mkoani Rutana huko Burundi. Kupitia michezo, tamaduni, na shughuli za elimu ya afya ya uzazi, vijana hawa wamepata matumaini mapya na fursa ya kujenga maisha yao upya. Mradi huu unaangazia umuhimu wa kuwekeza kwa vijana walioko katika mazingira magumu ili kuwasaidia kufikia ndoto zao.

ONU Info

Au menu de l'actualité :L'ONU juge inacceptable le transfert forcé de la population de GazaLa cheffe de l'UNFPA rappelle le rôle crucial de son agence pour défendre les droits des femmesL'UIT fête ses 160 ans avec pour mission l'utilisation des technologies pour la paix dans le monde Présentation : Jérôme Bernard

La mañana de Andalucía con Jesús Vigorra
Francisco Ramón entrevista a Susana Sottoli, Directora Regional para América Latina y el Caribe del UNFPA, Fondo de Población de las Naciones Unidas

La mañana de Andalucía con Jesús Vigorra

Play Episode Listen Later Jun 30, 2025


Habari za UN
19 JUNI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 19, 2025 10:44


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina, ikiwa kesho tarehe 20 mwezi Juni ni siku ya kimataifa ya wakimbizi maudhui yakiwa Mshikamano na Wakimbizi, tunakupeleka kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma iliyoko kaunti ya Turkana, kaskazini-magharibi mwa Kenya.Uwekezaji wa moja kwa moja kutoka nje FDI umeshuka kwa mwaka wa pili mfululizo, ukihatarisha mustakabali wa maendeleo katika nchi zinazoendelea, kwa mujibu wa wa ripoti iliyotolewa leo na kamati ya Umoja wa Mataifa ya biashara na maendeleo UNCTAD. ikionya kuwa pengo la mitaji linaongezeka huku sekta muhimu kama nishati safi na miundombinu zikikosa ufadhili wa muda mrefu.Katika siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili wa kingono kwenye mizozo, Umoja wa Mataifa umetoa onyo kuwa ukatili wa kingono unazidi kutumika kama silaha ya vita huku wanawake na wasichana wakiathirika zaidi. Kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi UNFPA "Huu si uharibifu wa bahati mbaya  ni uhalifu wa kivita. Na waathirika lazima wawe kiini cha amani, haki, na urejeshwaji wa maisha."Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa  Duniani (WHO) leo limezindua mwongozo wake wa kwanza wa kimataifa wa kudhibiti ugonjwa wa seli mundu (sickle cell) wakati wa ujauzito, ukilenga kupunguza hatari za maisha kwa mama na mtoto. WHO inasema wanawake wenye ugonjwa huu wana hatari hadi mara 11 zaidi ya kufariki dunia wakati wa ujauzito. Hivyo huduma bora za afya zinaweza kuokoa maisha, lakini visa vya seli mundu vinaongezeka duniani, huku Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara ikichangia asilimia 80.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "KIHORO!.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Interviews
Sudan: ‘I survived rape, but I do not know how to survive life after it'

Interviews

Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 14:07


Over two years after civil war erupted between the Sudanese Armed Forces (SAF) and their former allies-turned rival militia, the RSF, Sudan is now the world's largest humanitarian crisis, with nearly 13 million displaced.  Rape used as a weapon of war, together with other sexual violence, has disproportionately shattered the lives of women and girls. Today, gender agency UN Women estimates that 12.1 million people – 25 per cent of the population – is at risk.  Just ahead of the International Day for the Elimination of Sexual Violence in Conflict, UN News's Emma Trager-Lewis spoke to Esméralda Alabre, who leads the UN reproductive health agency UNFPA's work to counter gender based-violence in Sudan.  

Afternoon Drive with John Maytham
Plan B with Rebecca Davies

Afternoon Drive with John Maytham

Play Episode Listen Later Jun 12, 2025 9:35


Rebecca Davis joins The Afternoon Drive each week to reflect on just how strange the news can be. From the most important to the very strange, John and Rebecca offer their view of what is happening in our world that makes it at times infuriating, at times inspirational but always fascinating. Presenter John Maytham is an actor and author-turned-talk radio veteran and seasoned journalist. His show serves a round-up of local and international news coupled with the latest in business, sport, traffic and weather. The host’s eclectic interests mean the program often surprises the audience with intriguing book reviews and inspiring interviews profiling artists. A daily highlight is Rapid Fire, just after 5:30pm. CapeTalk fans call in, to stump the presenter with their general knowledge questions. Another firm favourite is the humorous Thursday crossing with award-winning journalist Rebecca Davis, called “Plan B”. Thank you for listening to a podcast from Afternoon Drive with John Maytham Listen live on Primedia+ weekdays from 15:00 and 18:00 (SA Time) to Afternoon Drive with John Maytham broadcast on CapeTalk https://buff.ly/NnFM3Nk For more from the show go to https://buff.ly/BSFy4Cn or find all the catch-up podcasts here https://buff.ly/n8nWt4x Subscribe to the CapeTalk Daily and Weekly Newsletters https://buff.ly/sbvVZD5 Follow us on social media: CapeTalk on Facebook: https://www.facebook.com/CapeTalk CapeTalk on TikTok: https://www.tiktok.com/@capetalk CapeTalk on Instagram: https://www.instagram.com/ CapeTalk on X: https://x.com/CapeTalk CapeTalk on YouTube: https://www.youtube.com/@CapeTalk567 See omnystudio.com/listener for privacy information.

Women Leaders
The hidden crisis behind global fertility rates with Birgit Van Hout (UNFPA)

Women Leaders

Play Episode Listen Later Jun 12, 2025 38:42


In a world of kinetic wars and increasing expenditure on defence and security - coupled with the culture wars so exacerbated by the extremes of left and right - we often forget, or probably ignore, the wider context of bombs and ideologies: people. And in many parts of the world humans are diminishing in numbers, rapidly - apart from most parts of Africa, no continent any longer attains the 2.1 replacement rate of fertility.The United Nations Population Fund just released an important report on this reality. The Fertility Fallacy presents fascinating insights on the roles of income, expectation and the inadequacy of policies seeking to either boost fertility or blame one of the genders (usually women). At base, it suggests people are not irrational: if they feel insecure, and the choice is in their hands, they will have less babies.The core problem is, of course, the future: who will work to pay for the aging populations? Who will inhabit the earth? How can we deal with these issues and changes better? Birgit van Hout is very well placed to provide a comprehensive picture: as Director of the UNFPA Representation Office to the European Union she not only deals with these issues daily, but also sits in the continent with the lowest overall fertility rate.An important and lively discussion on the underpinning realities of our lives and societies, in the most basic and crucial sense.This episode was recorded on 12 June 2025ChaptersCan women really have it all?Why are women having fewer children than they want?The real crisis behind the demographic declineHow COVID, war and media affect younger generationsThe backlash against women's rights and rolesWhat is comprehensive sexuality education — and why it matters?What solutions are there to the fertility crisis?MentionsNew York Times article on the reportEU Work-life balance directiveEU youth checkGiles Merritt TimebombFollowBirgit Van Hout LinkedIn X/Twitter@women_leaders_podcastEuropean Leadership Network Twitter, LinkedIn, websiteIlana Bet-ElCreditsProduction: Florence FerrandoMusic: Let Good Times Roll, RA from UppbeatContribute to the conversation with a comment & a 5-⭐️Reach us on our Instagram and follow for updates @women_leaders_podcast Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.

Habari za UN
10 JUNI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 10, 2025 10:50


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika ukanda wa Gaza, huko mashariki ya Kati kwenye eneo la Palestina lialokaliwa kimabavu na Israeli ambapo vinazidi kuibua changamoto mpya kila uchao.Changamoto ya uzazi duniani si kuhusu watu kukataa kuwa wazazi ni kuhusu kunyimwa fursa ya kuchagua kuwa mzazi imesema ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi UNFPA iliyotolewa leo na kuonesha kuwa kuwa matatizo ya kiuchumi, ukosefu wa usawa wa kijinsia, na hofu kuhusu maisha ya baadaye vinawazuia mamilioni ya watu kupata familia wanazotamani.Tishio la baa la njaa linaendelea kuiandama Sudan iliyoharibiwa vibaya na vita, limeonya leo Shirika laUmoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP, likitoa wito wa dharura kwa jamii ya kimataifa kusaidia kukidhi mahitaji yanayoongezeka na kuzuia maafa zaidi ya kibinadamu.Kwa mara ya kwanza dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya Mazungumzo baina ya Ustaarabu tofauti yenye lengo la kuchagiza amani, maelewano na mshikamano katika ulimwengu wa sasa uliogubikwa na chuki na mizozo.Na katika mashinani fursa ni yake Maria “Mãezinha” Sábado de Horta Fidalgo, Rais wa Ushirika wa wavuvi wadogo wa samaki katika kijiji cha Rincão kilichoko kisiwa cha Santiano nchini Cabo Verde barani Afrika anaelezea jinsi wanakabiliana na uhaba wa samaki kwenye eneo lao, na hii ni kutokana na mradi wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs unaotekelezwa na mashirka ya Umoja wa Mataifa.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Government Of Saint Lucia
Gender-Based Violence, Gender Mainstreaming and Social Inclusion in Emergency Contexts Training

Government Of Saint Lucia

Play Episode Listen Later Jun 5, 2025 4:34


In a bold step to strengthen national emergency preparedness and gender-based violence (GBV) response, Saint Lucia hosted a pivotal two-day training workshop on May 26 and 27, 2025, at the Harbor Club in Rodney Bay. The Gender-Based Violence in Emergencies (GBViE) training brought together key representatives from government agencies, civil society, and healthcare institutions. The event was co-convened by UNFPA, UN Women, and the Government of Saint Lucia, in collaboration with the Caribbean Development Bank. The workshop aimed to build national capacity on Gender Equality, Social Inclusion, and Gender-Based Violence, particularly in the context of emergencies and climate-related disasters. A key milestone of the training was the official validation of Saint Lucia's Clinical Management of Rape Protocol signaling a significant improvement in coordinated survivor support services.

Habari za UN
27 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 27, 2025 9:56


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kuangazia siku ya familia iliyokutanisha wadau wakimulika pamoja na mambo mengine nafasi ya vyombo vya habari katika kuimarisha malezi na makuzi ya mtoto.Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura OCHA hii leo imesema wakati mpango tata wa Israeli wa kugawa misaada kwenye eneo la Palestina la Gaza linalokaliwa kimabavu na Israeli ukiendelea, Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena umesihi mamlaka za Israeli kuruhusu ongezeko la kiwango cha misaada ya kufikia walengwa kwenye eneo hilo lililozingirwa ili kuepusha uhaba wa chakula..Kadiri nchi zinavyokumbwa zaidi na majanga ya asili, gharama halisi za majanga ni mara 10 zaidi ya ilivyodhaniwa hapo awali, zikiwa na athari mbaya zaidi katika sekta za afya, makazi, elimu na ajira, imesema Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kupunguza hatari za majanga katika ripoti iliyochapishwa Jumanne.Nchini Namibia, makazi yaliyojengwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi, UNFPA kwa ajili ya wajawazito wanaoishi maeneo ya mbali kusubiria ili kujifungua kwa usalama, yamesaidia kupunguza vifo vya wajawazito na watoto wachanga.Na katika mashinani, kupitia video iliyoandaliwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani Sudan Kusini UNMISS, tunakutana na Mary Aban Akon, mkazi wa kijiji cha Hai Matar huko Sudan Kusini. Yeye ni miongoni mwa wakimbizi waliorejea nyumbani baada ya kupatiwa makazi mapya yaliyojengwa kwa msaada wa mashirika ya kibinadamu chini ya mradi uliofadhiliwa na Umoja wa Mataifa na wadau wake.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

ONU News
A cada ano, mundo tem entre 50 mil a 100 mil mulheres com fístula obstétrica

ONU News

Play Episode Listen Later May 22, 2025 1:33


Sintomas aparecem após o parto; situação pode ser prevenida e tratada; paciente sem complicações podem ser submetidas à cirurgia que custa US$ 600; agência da ONU, Unfpa, lidera campanha global para acabar com fístula.

Noticias ONU
La ONU en Minutos 5 de mayo de 2025

Noticias ONU

Play Episode Listen Later May 5, 2025 3:54


Muere un bebé por desnutrición en Gaza tras dos meses de bloqueo israelí.  La Corte Internacional cierra el caso de la demanda de Sudán contra Emiratos por genocidio. Guterres llama a India y Pakistán a evitar una guerra tras ataque en Cachemira. UNFPA advierte que los recortes dejan sin apoyo a miles de matronas en zonas de crisis

Inside Geneva
Women, girls and cuts to humanitarian aid

Inside Geneva

Play Episode Listen Later Apr 29, 2025 45:10 Transcription Available


Send us a textOn Inside Geneva this week, aid agencies count the costs of funding cuts. “I am most sad for all the millions of people living with HIV and affected by HIV whose lives have been upended. They have lost access to life-saving medication. They have showed up at clinics for support, only to find no one there to help them,” says Angeli Achrekar, Deputy Executive Director for the Programme Branch at the Joint United Nations (UN) Programme on HIV/AIDS (UNAIDS). The cuts are hitting women and girls especially hard.“Right now, a woman dies from a preventable form of maternal mortality every two minutes. That's unacceptable. One of the grants that the United States has just cut supports the training and salaries of midwives,” says Sarah Craven, Director of the Washington Office of UNFPA, the UN Population Fund. What will happen to local NGOs in crisis zones that relied on UN support?“I have to have hope. I am the leader of the Sudanese Red Crescent Society. I have staff and 12,000 volunteers behind me. So, I always have to be really strong and give hope to everyone to continue serving Sudan,” says Aida Al-Sayed Abdullah, Secretary General of the Sudanese Red Crescent Society.But could the cuts bring much-needed reform?“Sure, the humanitarian system isn't perfect. It can be inefficient and a little bit colonialistic at times. But it was delivering results. We were seeing actual progress. Now, in just a few months, decades of progress will be erased,” says Dorian Burkhalter, SWI swissinfo.ch journalist.Or will the cuts cost lives and cause more crisis?“We're so close to ending AIDS, full stop. Now, we could very well be turning back completely. All those years of work, dedication and progress,” says Achrekar.Get in touch! Email us at insidegeneva@swissinfo.ch Twitter: @ImogenFoulkes and @swissinfo_en Thank you for listening! If you like what we do, please leave a review or subscribe to our newsletter. For more stories on the international Geneva please visit www.swissinfo.ch/Host: Imogen FoulkesProduction assitant: Claire-Marie GermainDistribution: Sara PasinoMarketing: Xin Zhang

Interviews
Sudan: Reproductive health agency decries devastating impact of war on women and girls

Interviews

Play Episode Listen Later Mar 26, 2025 16:59


Around a third of the 12 million Sudanese displaced following nearly three years of brutal conflict are women and girls of reproductive age, according to data from the UN sexual and reproductive health agency (UNFPA).Aside from the brutality of rape, coupled with other physical and mental traumas, some of the 300,000 pregnant women who are running for safety “end up giving birth on the roadside”.That's according to UNFPA's Representative ad interim in the country, Argentina Matavel Piccin, who told UN News's Khaled Mohamed that more support is urgently needed to curb the impact of gender-based violence.

Habari za UN
Ukraine: Mwakilishi wa UNFPA Ukraine Uller Muller na hali ya wanawake wajawazito nchini humo

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 7, 2025 1:49


Zikiwa zimesalia siku mbili ya leo na kesho kufika tarehe 8 Machi Siku ya Kimataifa ya Wanawake, tunaendelea kuangazia hali ya wanawake duniani. Sharon Jebiichi anatupeleka Ukraine kutukutanisha na Mwakilishi wa muda wa Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu UNFPA nchini humo ambaye anaangazia madhila wanayokutana nayo wanawake wajawazito wa Ukraine.Ni Ulla Muller, Mwakilishi wa muda wa Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu UNFPA nchini Ukraine, akieleza kuhusu changamoto zinazowakumba wanawake wajawazito wa Ukraine.Anasema, “ninaweza kukuambia hadithi nyingi ambazo zimebaki nami kwa sababu nakutana na wanawake hawa kila mara, na mapenzi yangu kwao hayana mipaka.”Uller Muller anasimulia kisa cha mwanamke mmoja akisema,"Kuna mwanamke anayeitwa Ira ana umri wa miaka 31, na tayari anamlea mtoto mvulana wa umri wa miaka sita. Hivi karibuni aligundua kuwa ni mjamzito tena na anatarajia mapacha watatu. Ni hali ya kutisha na kuchanganya."Bi. Muller anaendelea kueleza kuwa mwanamke huyo alikuwa njiapanda asijue abaki alee ujauzito katika hali hiyo ya mabomu kila mahali au andoke? Hatimaye aliamua kubaki na kwa usaidizi wa UNFPA akafanikiwa kujifungua lakini kabla ya wakati. Uller Muller, anaitathimini hali hiyo akisema,"Faraja yake ya kuweza kujifungua salama iliakisi uthabiti wa akina mama wengi wa Kiukraine ambao wanaamua kutoondoka. Wanaamua kuwa bado wanapaswa kujenga mustakabali wa maisha yao. Bado wanapaswa kuishi maisha yaliyo karibu na hali ya kawaida kadri wawezavyo. Na hilo linajumuisha kuleta uhai katika hali ya vita."

ONU Info

En République démocratique du Congo, une femme est violée toutes les quatre minutes.Dans l'est du pays, le viol est utilisé comme arme de guerre par les différents groupes armés. La prise de Goma par le groupe M23 soutenu par le Rwanda fin janvier n'a pas fait exception.En l'espace d'un mois, plus de 895 viols ont été rapportés dans les structures sanitaires en fonctionnement de la principale ville de la province du Nord-Kivu.Le véritable chiffre serait donc bien plus élevé, car il ne s'agit là que des femmes et filles qui sont parvenues à chercher des soins médicaux dans un contexte de guerre et d'accalmie tendue, sous occupation.Pour en savoir plus sur ce qu'ont vécu ces femmes et filles et le dur chemin de récupération qui les attend désormais pour survivre, nous avons joint le Représentant de l'agence des Nations Unies pour la santé sexuelle et reproductive (UNFPA) en RDC, Mady Biaye.« C'est bien de dire que elles sont fortes, mais elles auraient préféré ne pas passer par cette épreuve là pour montrer leur force ou leur résilience », partage-t-il.(Interview : Mady Biaye, Représentant de l'UNFPA en RDC ; propos recueillis par Cristina Silveiro)

Interviews
Ukrainian war means that for many, life begins in an air-raid shelter

Interviews

Play Episode Listen Later Mar 7, 2025 12:14


Dangerously high stress levels and widespread mental health challenges continue to take a devastating toll on civilians in Ukraine, particularly on women and girls, UN humanitarians warned on Friday.“It's a terrifying dilemma: do we decide to stay and endure this pregnancy during this constant shelling, or do we uproot our entire life and leave?” says Ulla Muller from the UN sexual and reproductive health agency (UNFPA) in Ukraine, highlighting the situation confronting many women there today.To mark International Women's Day on 8 March, Ms. Muller talks to UN News's Nathalie Minard about the “super women” of Ukraine who have been forced to give birth amid shelling – and to support their families and the wider economy – three years since the Russian full-scale invasion began.

Good Morning Liberty
Permanently Defund the United Nations Population Fund w/ Aidan Grogan || EP 1490

Good Morning Liberty

Play Episode Listen Later Feb 16, 2025 32:12


Aidan Grogan joins Josh to discuss Trump once again cutting off funds to the United Nations Population Fund (UNFPA).  They discuss the economics and immorality of funding organizations like the UNFPA and some of the disastrous policies they have supported over the years.   Aidan's article in The Daily Wire:   https://www.dailywire.com/news/why-president-trump-must-defund-this-u-n-agency-once-again   Follow Aidan on X, and at The Daily Economy:   https://x.com/aidangrogan?s=21&t=S8JoQpY3m4n6bFrTo8tLrg https://thedailyeconomy.org/   Follow Aidan at Young Voices:   https://www.joinyv.org/talent/aidan-grogan   Links:   https://gml.bio.link/   YOUTUBE:   https://bit.ly/3UwsRiv   RUMBLE:   https://rumble.com/c/GML   Check out Martens Minute!   https://martensminute.podbean.com/   Follow Josh Martens on X:   https://twitter.com/joshmartens13   Join the private discord & chat during the show!   joingml.com   Bank on Yourself bankonyourself.com/gml   Get FACTOR Today! FACTORMEALS.com/gml50off   Good Morning Liberty is sponsored by BetterHelp! Rediscover your curiosity today by visiting Betterhelp.com/GML (Get 10% off your first month)     Protect your privacy and unlock the full potential of your streaming services with ExpressVPN. Get 3 more months absolutely FREE by using our link EXPRESSVPN.com/GML

Noticias ONU
La ONU en Minutos 14 de febrero de 2025

Noticias ONU

Play Episode Listen Later Feb 14, 2025 4:30


Un ataque con dron impacta en una estructura de contención de la central de Chernóbil. Los rebeldes del M23 capturan un aeropuerto clave en RD Congo. El ejército israelí utilizó un centro de salud de la UNRWA como lugar de detención.En San Valentín, UNFPA insta a decir “no quiero” al matrimonio infantil.

Habari za UN
14 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 14, 2025 11:25


Hii leo jaridani tunaangazia machafuko na hali ya wakimbizi wa ndani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC. Makala inaturejesha hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa na mashinani inatupeleka nchini  Jamhuri ya Africa ya Kati (CAR), kulikoni?Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR, lina wasiwasi mkubwa kuhusu janga la kibinadamu linalozidi kuwa baya tena kwa kasi kubwa huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kwani kushindwa kufikia wahitaji kumekwamisha ufikishaji misaada ya haraka inahoyitajika..Katika kitongoji cha Komanda jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, doria za pamoja zinazoendeshwa na walinda amani wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO na jeshi la serikali FARDC zimeimarisha usalama kwenye maeneo ya raia.Makala leo inaturejesha hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa kwenye mkutano wa 63 wa Baraza la Kiuchumi na Kijamii ECOSOC kuhusu maendeleo ya jamii. Flora Nducha amepata fursa ya kuzungumza na mmoja wa washiriki wa mkutano huo kutoka Kenya.Na mashinani fursa ni yake Albertine Yantijba ,manusurawa ukatili wa kijinsia kutoka Sango CAR , ambaye anatueleza jinsi Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya watu na Afya ya Uzazi (UNFPA) limeletamabadiliko baada ya kuanzishwa kwa maeneo salama ya wasichana kujieleza na kuhudumiwa”Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

Habari za UN
10 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 10, 2025 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia hali ya wahamiaji na wakimbizi nchini Libya, na wakimbizi wajasiriamali katika makazi ya wakimbizi ya Kakuma nchini Kenya. Makala inatupeleka Jerusalemu Mashariki, na mashinani nchini Chad, kulikoni?Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji, IOM, limeeleza mshtuko mkubwa na wasiwasi wake kufuatia kugunduliwa kwa makaburi mawili nchini Libya walimozikwa wahamiaji kadhaa, baadhi yao wakiwa na majeraha ya risasi.Katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma, kutokana na ufadhili wa shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), kundi la vijana wanajishughulisha na ufugaji wa wadudu nyenje (Crickets) ili kukabiliana na changamoto ya utapiamlo miongoni mwa watoto wachanga.Katika makala Sharon Jebichii anakupeleka Mashariki ya Kati kumulika ziara aliyofanya Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Dharura, OCHA huko Ukingo wa Magharibi na Gaza ili kujionea hali halisi ya raia.Na mashinani kupitia video ya shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu, UNFPA, nampisha  Daralssalam, kutoka Sudan ambaye alikuwa Mhadhiri Chuo Kikuu lakini sasa mkimbizi nchini  Chad akieleza changamoto alizopitia na kuomba jamii ya kimataifa isaidie wanawake wa Sudan.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

Rush To Reason
HR3 Aidan Grogan: UNFPA's Support of Coercive Population Control Policies. 2026 Election. 1-28-25

Rush To Reason

Play Episode Listen Later Feb 8, 2025 52:59


HR3 Aidan Grogan: UNFPA's Support of Coercive Population Control Policies. 2026 Election. 1-28-25 by John Rush

Habari za UN
04 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 4, 2025 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kushuhudia sintofahamu na maombi ya wakazi wa Goma baada ya waasi wa M23 kutwaa mji huo. Mashinani tunakwenda Somalia na pia tunakuletea muhutasari wa habari.Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Bruno Lemarquis, ametoa wito wa kufunguliwa haraka kwa Uwanja wa Ndege wa Goma. Amesema uwanja huu uliofungwa kutokana na mapigano kati ya vikosi vya jeshi la DRC na waasi wa M23 ni muhimu kwa usafirishaji wa misaada ya kibinadamu. Hospitali zimejaa na maelfu ya raia hawana msaada wa dharura.Mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la idadi ya watu na afya ya uzazi, (UNFPA), na la misaada ya kibinadamu na dharura (OCHA) leo yamesisitiza kuwa kusitishwa kwa ufadhili wa Marekani kunawaacha mamilioni 'hatarini'. Hayo yakijiri tayari imefahamika kuwa Rais Donald Trump anaiondoa Marekani katika Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu na pia kuacha kulifadhili shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina.Na ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa ya Saratani, Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) limeeleza kiasi takwimu kuhusu ugonjwa huo kwamba mathalani  kwa mwaka 2020 saratani ilisababisha vifo karibu milioni 10 sawa na kifo kimoja kati ya sita duniani. Aidha WHO imebainisha kuwa saratani zinazojitokeza zaidi ni saratani ya matiti, mapafu na utumbo mpana.Na katika mashinani  fursa ni yake Safiya Jeylaani, mkazi wa Barawe katika Jimbo la Kusini Magharibi mwa Somalia ambye baada ya kuhudhuria hafla ya kujadili umuhimu wa upatikanaji wa huduma za afya kwa Wasomali wote katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu iliyoandaliwa na Umoja wa Mataifa anasema jamii wanapaswa kuelimishwa kuhusu afya kutumia lugha mama.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!  

ONU News
Milhões de pessoas “em perigo” após pausa de ajuda dos EUA, dizem agências 

ONU News

Play Episode Listen Later Feb 4, 2025 1:45


Unfpa suspendeu serviços financiados pelos subsídios norte-americanos; país cobriu quase metade dos apelos humanitários globais no ano passado; chefe da ONU defende relacionamento “de confiança” com novo governo de Donald Trump.

Habari za UN
03 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 3, 2025 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia machafuko nchini Jamhuri ya Kidemocrasia ya Congo DRC, na ujumbe wa Katibu Mkuu wa UN kuhusu Siku ya Kimataifa ya Udugu wa Kibinadamu. Makala inatupeleka nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR na mashinani tunarejea DRC, kulikoni?Ikiwa ni wiki moja sasa tangu waasi wa M23 watangaze kutwaa Goma, jimboni Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, na kisha serikali kutangaza Beni kuwa mji mkuu wa sasa wa jimbo hilo, hii leo Jumatatu Februari 3, maandamano makubwa ya amani yamefanyika mjini Beni, yakiongozwa na mashirika ya kiraia na wananchi.Ikiwa kesho Februari 4 ni Siku ya Kimataifa ya Udugu wa Kibinadamu, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres,kupitia ujumbe mahususi kwa ajili ya siku hii ametoa wito wa kuimarisha umoja, usawa, na kuheshimiana katika kipindi hiki cha ongezeko la ubaguzi na kutovumiliana duniani.Makala inatupeleka Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, kwenye kambi ya wakimbizi ya Korsi inayohifadhi zaidi ya wakimbizi 18,000 kutoka Sudan wengi wakiwa ni wanawake na watoto na shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi UNFPA linawasaidia.Na katika mashinani  Lodja Salizre, Mkimbizi wa ndani katika kambi ya Loda jimboni Ituri kaskazini magharibi mwa Jamhuri ya Kidemocrasia ya Congo DRC akileleza ni kwa jinsi gani vita inayoendelea vimeameathiri yeye na familia yake na jinsi ambavyo uwepo wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo inavyosaidia maisha ya kila siku ya wakazi wake.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

Habari za UN
UNFPA - Wakimbizi zaidi ya 18,000 wa Sudan sasa wanaishi katika kambi ya Korsi CAR

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 3, 2025 0:17


Vita inayoendelea Sudan kwa zaidi ya miezi 18 sasa inaongeza wimbi la wakimbizi ndani na nje ya nchi kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi UNFPA. Shirika hilo linasema takriban wakimbizi 18,000 waliokimbia vita Sudan hivi sasa wanaishi katika kambi ya wakimbizi ya Korsi katika eneo la Birao, jimbo la Vakaga Katikati Mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR ambako UNFFPA inawapatia huduma muhimu zikiwemo za aya ya uzazi. Flora Nducha anatujuza zaidi katika makala hii

Habari za UN
07 JANUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 7, 2025 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini DRC katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Bulengo kushuhudia jinsi Umoja wa Mataifa unavyowasaidia wanawake waathrika wa ukatili wa kingoni kuweza kujitegemea na kumudu mahitaji ya familia zao.Kwa mujibu wa takwimu zilizothibitishwa na Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa, takriban watu 5,601 waliuawa nchini Haiti mwaka 2024 kutokana na ghasia za magenge, likiwa ni ongezeko la zaidi ya mauaji 1,000 ya mwaka 2023. Katika moja ya matukio mabaya zaidi na ya kushtua mwaka jana, takriban watu 207 waliuawa mapema Desemba kwenye mauaji yaliyoratibiwa na kiongozi wa genge lenye nguvu la Wharf Jérémie katika eneo la Cité Soleil huko Port-au-Prince. Wengi wa waliouawa walikuwa wazee walioshutumiwa kusababisha kifo cha mtoto wa kiongozi huyo kwa njia ya uchawi.Leo, Umoja wa Mataifa na Serikali ya Lebanon wametoa ombi la nyongeza ya dola milioni 371.4 za kimarekani, zikilenga kutoa msaada wa kuokoa maisha ya walioathiriwa na mzozo wa hivi karibuni na janga la kibinadamu linaloendelea nchini humo.Na Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Volker Türk leo ameeleza kusikitishwa sana na ongezeko kubwa la watu walionyongwa nchini Iran mwaka jana. Takriban watu 901 wameripotiwa kunyongwa katika mwaka 2024, arobaini wakiwa wamenyongwa katika wiki moja tu ya mwezi Desemba.Mashinani kupitia video ya Shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi, UNFPA tunamsikia Zubaida AbouBaker, mama mkimbizi wa ndani katika kambi ya Tawila iliyoko Darfur Kaskazini nchini Sudan akisimulia machungu yaliyomkumba kufuatia migogoro inayoendelea nchini humo.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!

Radio SKOVORODA
Менталочка – S4Е12 – Пошук сенсу життя

Radio SKOVORODA

Play Episode Listen Later Jan 6, 2025 44:31


«Що робить нас цілісними?» – питання, яке закрило четвертий сезон подкасту «Менталочки». Це був шлях через роки рефлексій, відкриттів і чесних розмов. У фінальному дванадцятому епізоді говоримо про екзистенційність: кризи, пошуки сенсу та ту глибину, яка формує особистість. Наші ведучі Яна Пекун – експертка з гендерної рівності, соціальної інклюзії та майбутня психологиня, і Олексій Удовенко – психолог-практик, який спеціалізується на кризовій психології. Що таке екзистенційні кризи і як вони впливають на наші вибори? Чи можна бути «цілісним», коли світ довкола руйнується? Чи допомагає релігія долати страх смерті? Як прийняття абсурдності дає нам свободу? Та чи маємо ми вибір у житті або це лише ілюзія? Цей сезон – це більше ніж подкаст. Це довгий діалог про нас усіх. Дякуємо, що були з нами. Слухайте усі 4 сезони «Менталочки» на подкаст-платформах Radio SKOVORODA і рефлексуйте разом із нами. Проєкт реалізовується МолоДвіжЦентром із мережі молодіжних просторів ТВОРИ! в рамках гуманітарного реагування UNFPA, Фонду ООН в галузі народонаселення в Україні.

Habari za UN
24 DESEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 24, 2024 12:51


Hii leo jaridani tunakuletea mad akwa kina inayotupeleka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kumulika harakati za kusaidia manusura wa ukatili wa kingono na kijinsia kwenye mizozo. Pia tunakuletea muhtasari wa había za Sudan, Uganda na Tanzania, Mashinani tunarejea Sudan.Ripoti ya Kamati ya Tathmini ya Viwango vya Njaa (IPC) iliyotolewa leo inaeleza kwamba imegundua kuwa kuna maeneo matano zaidi nchini Sudan ambayo yanakabiliwa na baa la njaa kati ya mwezi huu wa Desemba na Mei mwaka ujao wa 2025. Ripoti hiyo imeyataja maeneo hayo kuwa ni ya Darfur Kaskazini yaani Um Kadadah, Melit, El Fasher, Twawisha, na Al Lait.Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limekaribisha mchango wa EURO milioni 1 kutoka serikali ya Ujerumani ili kusaidia shughuli za lishe na ustawi kwa zaidi ya wakimbizi na wasaka hifadhi 254,000 nchini Uganda ambayo inawahifadhi wakimbizi milioni 1.7.Na Kikosi cha 7 cha Walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania, TANBAT 7 kilichokuwa kinahudumu katika Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kuleta Utulivu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR (MINUSCA) kimerejea nyumbani Tanzania kikijivunia kuwa kikosi cha kwanza cha nchi hiyo kupokea barua ya pongezi kutoka Umoja wa Mataifa.Mashinani fursa ni yake Najwa Mohamed, mama mjamzito kutoka Jabal Moya nchini Sudan ambaye amepoteza makazi yake kufuatia vurugu zinazoendelea nchini humo na kulieleza Shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi,  UNFPA kwamba hali ni ngumu hasa kwa wanawake wajawazito.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!   

Radio SKOVORODA
Менталочка – S4Е11 – Зцілення від насильства

Radio SKOVORODA

Play Episode Listen Later Dec 23, 2024 53:15


Чи можна зцілитися від травми, якщо біль здається нескінченним? Що важче: пробачити кривднику чи себе? І як навчитися жити далі, коли тягар минулого тисне щодня? В одинадцятому епізоді четвертого сезону подкасту «Менталочка» ведучі Яна Пекун – експертка з гендерної рівності, соціальної інклюзії та майбутня психологиня, і Олексій Удовенко – психолог-практик, який спеціалізується на кризовій психології, обговорюють зцілення від насильства. Поговорили про таке: – Як усвідомлення травми стає першим кроком до зцілення; – Чому психоедукація допомагає постраждалим зрозуміти себе; – Яку роль відіграє сором і як навчитися з ним жити; – Домашнє насильство: як розпізнати та що робити, коли ви опинились у небезпеці? – Та чи можна зрозуміти кривдника, не виправдовуючи його дій? Залишайте коментарі та поділіться своїм досвідом та враженнями. Слухайте або дивіться новий епізод на YouTube-каналі «Менталочка» і на подкаст-платформах Radio SKOVORODA. Проєкт реалізовується МолоДвіжЦентром із мережі молодіжних просторів ТВОРИ! в рамках гуманітарного реагування UNFPA, Фонду ООН в галузі народонаселення в Україні.

Habari za UN
13 DESEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 13, 2024 9:46


Hii leo jaridani tunaangazia hali nchini Syria, na msaada wa kibinadamu kw awakimbizi nchini Chad. Makala inatupeleka nchini Tanzania na mashinani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC, kulikoni?Ofisi ya mjumbe Maalum wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Syria (OSE) imesema wakati huu ikifuatilia kwa karibu hali na maendeleo nchini Syria ni muhimu kuhakikisha kwamba Wasyria wanashika usukani wa mustakbali wao na kwamba kuna ujumbe wa pamoja na mshikamono kuhusu hilo kutoka kwenye jumuiya ya kimataifa.Kutokana na idadi kubwa ya wakimbizi wanaoingia Chad wakitoka Sudan kuwa ni wanawake na watoto, Shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi,  UNFPA limeimarisha huduma za afya ya wanawake na watoto.Katika makala Assumpta Massoi anakupeleka Tanzania kusikia jinsi wanafunzi wananufaika na mradi wa Umoja wa Mataifa shuleni na majumbani.Na mashinani fursa ni yake Aline kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC ambaye ni mnufaika wa mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP wa kuwezesha wanawake na wasichana kusoma na kuandika ili waweze kujimudu kimaisha na kuondokana na unyanyasaji wa kijinsia, akisema JHARDEE anamaanisha bustani, na LEGYUME ni maharage.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

Habari za UN
UNFPA yasambaza huduma muhimu ya ukunga kwa wakimbizi wa Sudan nchini Chad

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 13, 2024 1:58


Kutokana na idadi kubwa ya wakimbizi wanaoingia Chad wakitoka Sudan kuwa ni wanawake na watoto, Shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi,  UNFPA limeimarisha huduma za afya ya wanawake na watoto kama anavyosimulia Selina Jerobon.

rePROs Fight Back
The Prospect of Global Human Rights Under the Trump Administration

rePROs Fight Back

Play Episode Listen Later Dec 10, 2024 43:58 Transcription Available


The incoming Trump administration won't just devastate sexual and reproductive health in the United States—the harm will absolutely ripple abroad. Rachel Clement, Senior Director of Government Strategy at PAI, sits down to talk with us about the prospect of global human rights under the incoming administration and potential harmful policy to come.Already, less than 1% of the U.S. budget goes to foreign assistance. And, under the Trump administration, it's incredibly likely that UNFPA will be defunded, in tandem with cutting funding in other UN spaces like the WHO, UNESCO, and UN Women. During the last Trump administration, the Geneva Consensus Declaration was created to undermine the United Nations and multilateralism in general, while the Commission on Unalienable Rights, out of the State Department, sought to re-define human rights; these tools and others like them might reemerge. In all, attacks to gender and sexual and reproductive health and rights around the world will be enormous, especially with the probable reintroduction of the expanded Global Gag Rule. Support the showFollow Us on Social: Twitter: @rePROsFightBack Instagram: @reprosfbFacebook: rePROs Fight Back Email us: jennie@reprosfightback.comRate and Review on Apple PodcastThanks for listening & keep fighting back!

Habari za UN
UNFPA: Elimu ndio ufunguo wa kutokomeza FGM Kenya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 10, 2024 5:31


Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya haki za binadamu tunaelekea Kenya kuangazia moja ya ukiukwaji Mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya wanawake, jinamizi la ukeketaji na jitihada zinazochukuliwa na wadau mbalimbali ikiwa ni pamoja na shirika la Umoja wa Mataifa  ya idadi ya watu na afya ya uzazi UNFPA kutokomeza janga hilo. Mwandishi wetu wa Nairobi Thelma Mwadzaya amefuatilia kuhusu suala hilo na kwa undani zaidi ungana naye ..

Habari za UN
10 DESEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 10, 2024 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina na tunaelekea nchini Kenya kuangazia moja ya ukiukwaji Mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya wanawake, jinamizi la ukeketaji na jitihada zinazochukuliwa na UNFPA na wadau mbalimbali. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani inayotupeleka nchini Namibia.Baada ya serikali ya Bashar Al-Assad kupinduliwa na kuibuka kwa taarifa za baadhi ya nchi duniani kuanza kusitisha mchakato wa kushughulikia maombi ya Wasyria waliokuwa wameomba hifadhi kuokoa usalama wa maisha yao pindi hali ilipokuwa tete nchini mwao, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) linaendelea kutoa wito kwa mataifa yote kufungua milango, kuwapa hifadhi na ulinzi raia wa Syria wanaotafuta usalama. UNHCR imeahidi pia mara tu hali ya Syria itakapokuwa wazi zaidi, itatoa mwongozo kuhusu mahitaji ya ulinzi kwa Wasyria walioko hatarini.Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limekaribisha mchango wa dola za Marekani milioni 22 kutoka shirika la Korea Kusini la Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa (KOICA) ili kuimarisha mnepo kwa tabianchi na uhakika wa chakula kwa wakulima wadogo, wafugaji na makundi yaliyoko pembezoni nchini Kenya, Somalia na Sudan Kusini. Vituo vya utabiri wa hali ya hewa vinatabiri hali ya La Niña mashariki mwa Pembe ya Afrika na uwezekano wa kupunguza mvua katika kipindi hikiNa walinda amani wa kikosi cha 11 cha Tanzania -TANZBATT-11 kinachohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC, MONUSCO jimboni Kivu Kaskazini wametunukiwa nishani ya umoja wa mataifa ikiwa ni alama ya kufanya kazi  kwa utii,uhodari na uaminifu. Miongoni mwao ni Private Selina Kisemvule.Katika mashinani ikiwa ni siku ya mwisho ya maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, fursa ni yake Rais Nangolo Mbumba wa Namibia ambaye kupitia ukurasa wa X wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu, UNFPA anawahimiza wananchi na dunia nzima kwa jumla kusimama kidete ili  kutokomeza unyanyasaji wa kijinsia.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Radio SKOVORODA
Менталочка – S4Е10 – Побудова здорових міжособистісних стосунків

Radio SKOVORODA

Play Episode Listen Later Dec 9, 2024 41:39


«Ми всі різні. Але саме це – наша суперсила, а не проблема». Чому сварки – це нормально? Чи завжди стереотипи отруюють стосунки? І як зрозуміти, що ваш партнер або партнерка просто не може читати думки? У десятому епізоді четвертого сезону подкасту «Менталочка» разом із психологом Олексієм Удовенко та експерткою з гендерної рівності Яною Пекун ми досліджуємо: – Як упередження можуть перетворитися на мову ненависті? – Чому важливо приймати себе, щоб приймати інших? – Як говорити про свої потреби, не боячись осуду? – Чи можлива справжня емоційна близькість у роботі чи дружбі? – Що робити, якщо ваші стосунки здаються занадто «складними»? Це той епізод не дасть простих рецептів, але точно змусить задуматися. Пишіть нам у коментарях про свої роздуми, діліться враженнями та слухайте або дивіться новий епізод на YouTube-каналі «Менталочка» і на подкаст-платформах Radio SKOVORODA. Проєкт реалізовується МолоДвіжЦентром із мережі молодіжних просторів ТВОРИ! в рамках гуманітарного реагування UNFPA, Фонду ООН в галузі народонаселення в Україні.

Habari za UN
06 DESEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 6, 2024 9:58


Hii leo jaridani tunaangazia Mkataba wa Kampala wa Ulinzi na Usaidizi wa Wakimbizi wa Ndani barani Afrika, na siku ya kimataifa ya kujitolea inayotupeleka nchini DRC. Makala tunakwenda nchini Kenya na mashinani nchini Zambia, kulikoni?Katika kuadhimisha miaka 15 tangu kupitishwa kwa Mkataba wa Kampala wa Ulinzi na Usaidizi wa Wakimbizi wa Ndani barani Afrika chini Muungano wa Afrika, Kamishna Mkuu Msaidizi wa Ulinzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR, Ruven Menikdiwela NA Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu za Wakimbizi wa ndani Paula Gaviria Betancur wametoa kauli ya pamoja ya kupongeza Muungano wa Afrika kwa maono haya ya mbali na pia kuzisihi nchi zote barani Afrika kuutekeleza mkataba huo muhimu.Dunia ikiwa imeadhimisha siku ya kimataifa ya kujitolea kwa ajili ya amani na maendeleo, tunakupeleka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambako mmoja wa wafanyakazi wa kujiolea wa Umoja wa Mataifa anaelezea uzoefu wake na ni kwa nini anajivunia kufanya kazi hiyo.Makala leo inatupeleka Kakamega Magharibi mwa Kenya kwa mkulima mdogo wa mahindi Catherine Wanjala aiyeathirika vibaya na magugu yajulikanayo kama Kichawi au Witchweed, na hata kuilamisha familia yake kulaa njaa wakati mwingine kwa kukosa mavuno, lakini ahuweni ilimwijiia pale mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP wa kusambaza dawa za kupambana na magugu hayo ulipomfikia.Katika mashinani wakati huu ambao Dunia inaadhimisha siku 16 ya kupinga ukatili wa kijinsia, fursa ni yake Mheshimiwa Rais Hakainde Hichilema wa Zambia, ambaye kupitia mtandao wa X wa shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu, UNFPA anasisitiza mchango wa wanaume kwa kutokomeza unyanyasaji wa kijinsia.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

ONU News
Unfpa apoia esforços para baixar mortes maternas na província moçambicana do Niassa

ONU News

Play Episode Listen Later Dec 6, 2024 3:55


Nova iniciativa é implementada na área onde mais de metade das meninas entre os 15 e 19 anos engravida ou já tem um filho; área registra uma média aproximada de sete filhos por mulher.

Habari za UN
05 DESEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 5, 2024 9:59


Hii leo jaridani mada kwa kina inayotupeleka katika makazi ya wakimbizi ya Kyangwali nchini Uganda kumulika hali ya ukatili dhidi ya wanawake kwa watu hao waliokimbia vita jinsi inavyoshughulikiwa. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchambuzi wa neno.Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu, UNFPA leo limezindua ombi lake la kimataifa la mwaka 2025, likitafuta dola bilioni 1.4 ili kutoa huduma za afya ya uzazi zinazookoa maisha na programu muhimu za kuzuia unyanyasaji wa kijinsia kwa zaidi ya wanawake, wasichana na vijana milioni 45 kote duniani katika nchi  57 zilizoathiriwa na majanga.Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) leo jijini Geneva, Uswisi limetangaza kutoa idhini ya awali kwa kipimo kinachoitwa Xpert® MTB/RIF Ultra dhidi ya ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB). Kipimo hiki pia kinaweza kupima uwezekano wa kuathiriwa kwa viuavijasumu ambacho kinakidhi viwango vya WHO.Biashara ya kimataifa inatazamiwa kufikia dola trilioni 33 mwaka 2024, kulingana na Taarifa mpya ya Biashara ya Kimataifa iliyotolewa leo na Shirika la Umoja wa Mataifa la Biashara na Maendeleo (UNCTAD). Ongezeko hili la dola trilioni 1, linaloakisi ukuaji wa mwaka wa asilimia 3.3, linaonesha uthabiti katika biashara ya kimataifa licha ya changamoto zinazoendelea.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya maneno “MBUKU NA MSUNUNU.”Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

Radio SKOVORODA
Менталочка – S4Е9 – Навички ефективного спілкування

Radio SKOVORODA

Play Episode Listen Later Nov 26, 2024 46:57


Як розуміти себе, чути інших і не загубити щирість? У дев'ятому епізоді 4 сезону подкасту «Менталочка» говоримо про навички ефективного спілкування. Чому ефективне спілкування – це не просто вміння, а важлива навичка, яку варто розвивати? Як уникнути пасток маніпуляцій у стосунках? Чому щирість і емпатія стають основою здорових комунікацій? Як дитячі травми впливають на наші взаємини? Чому емоційна близькість залишається цінною навіть у світі індивідуалізму? І як навчитися чути себе, не проєктуючи свої емоції на інших? Відповіді дадуть ведучі подкасту: Яна Пекун – експертка з гендерної рівності, соціальної інклюзії та майбутня психологиня. Олексій Удовенко – практикуючий психолог із тонким почуттям гумору та великим досвідом у роботі з людьми. Прокачайте свої навички ефективного спілкування разом із нами! Дивіться новий епізод на YouTube-каналі «Менталочка» та слухайте на улюблених подкаст-платформах. Проєкт реалізовується МолоДвіжЦентром із мережі молодіжних просторів ТВОРИ! в рамках гуманітарного реагування UNFPA, Фонду ООН в галузі народонаселення в Україні.

Radio SKOVORODA
Менталочка – S4Е9 – Творчість, що зцілює

Radio SKOVORODA

Play Episode Listen Later Nov 11, 2024 50:07


Пам'ять, творчість, єдність – це ресурси, завдяки яким ми проходимо через травми війни. Як пам'ять про втрати допомагає знайти точку внутрішньої опори, а творчість стає способом висловити все, що болить? Про це у дев'ятому епізоді «Менталочки» наші Олексій Удовенко та Яна Пекун говорять з Іриною Панчук, фронтвумен і авторкою пісень гурту Renie Cares. Чому важливо вчитися говорити про втрати? Як творчість допомагає нам залишатися стійкими? Як пам'ять про загиблих та їхні цінності стає тим, що дозволяє нам не втратити себе у важкі часи? Як через творчість можна рефлексувати біль та краще зрозуміти себе? Як війна об'єднала всіх нас, ніби частини єдиного організму? Дивіться новий епізод на YouTube-каналі «Менталочка» та слухайте на улюбленій подкаст-платформі! Проєкт реалізовується МолоДвіжЦентром із мережі молодіжних просторів ТВОРИ! в рамках гуманітарного реагування UNFPA, Фонду ООН в галузі народонаселення в Україні.

UN News
UN News Today 04 November 2024

UN News

Play Episode Listen Later Nov 4, 2024 4:30


First famine, now cholera and dengue fever surge hits war-torn SudanGaza: polio vaccination successes achieved despite deadly weekend airstrikesWest Bank: mobile health clinics provide a lifeline, says UNFPA

Radio SKOVORODA
Менталочка – S4Е8 – Незламна Менталочка: віра, яка допомагає відновитись

Radio SKOVORODA

Play Episode Listen Later Oct 28, 2024 63:54


Як духовність може допомогти на шляху до цілісності нашого «я»? І які методи підтримують внутрішню стійкість навіть у найважчі моменти життя? Поміркуємо у восьмому епізоді «Менталочки»! Цього разу Яна Пекун та Олексій Удовенко знову не самі. Наша гостя – акторка Катерина Тишкевич. Говоримо про цілісність особистості з погляду психології, соціальних впливів та навіть кармічних підходів. Чи потрібні складні життєві події для формування нашого «я»? Як приймати свої ролі та зберігати внутрішню цілісність? Соціальні установки, травми, внутрішні кризи допомагають чи заважають будувати життя? Цей епізод ми створили у співпраці з проєктом НЕЗЛАМНА МЕНТАЛОЧКА від Національного реабілітаційного центру UNBROKEN та бренду одягу Buddu. Разом вони створили футболки, кошти від продажу яких спрямують на психологічну реабілітацію ветеранів. Дивіться новий епізод на YouTube-каналі та слухайте на улюбленій подкаст-платформі! Проєкт реалізовується МолоДвіжЦентром із мережі молодіжних просторів ТВОРИ! в рамках гуманітарного реагування UNFPA, Фонду ООН в галузі народонаселення в Україні.

Radio SKOVORODA
Менталочка – S4Е7 – Незламна Менталочка: почуття, які допомагають відновитись

Radio SKOVORODA

Play Episode Listen Later Oct 14, 2024 41:58


Подкаст «Менталочка» рідко виходить із гостями. Якщо й запрошуємо, то когось виняткового. Женя та Олена – саме такі. Їхня історія кохання майже голлівудська. Він – ветеран, який переніс високу ампутацію ноги, та чекає на протез. А вона – бариста в кав'ярні, куди він приходить брати каву. Поза романтичністю історії є ще й ментальна сторона – почуття, які допомагають відновлюватись ветеранам, приймати своє нове тіло після поранень і травм, будувати нове життя. Сьомий епізод «Менталочки» особливий. Ми записали його у колаборації з проєктом НЕЗЛАМНА МЕНТАЛОЧКА Unbroken та Buddu – брендом одягу, що випустив дроп, кошти з продажу якого підуть на психологічну реабілітацію ветеранів. Яна Пекун та Олекій Удовенко ще ніколи не були так високо. Наша локація – дах реабілітаційного центру Unbroken. Покажемо все на YouTube-каналі «Менталочки». Також слухайте епізод на улюбленій подкаст-платформі! Проєкт реалізовується МолоДвіжЦентром із мережі молодіжних просторів ТВОРИ! в рамках гуманітарного реагування UNFPA, Фонду ООН в галузі народонаселення в Україні.

Radio SKOVORODA
Менталочка – S4Е6 – Я мета: як радіти індивідуальним перемогам?

Radio SKOVORODA

Play Episode Listen Later Sep 30, 2024 52:40


Третій рік поспіль «Менталочка» на Молодвіжі! Хіба це не успіх? Хтось скаже, що успіх, а хтось подумає, що можна було б і закордоном на щось націлитись. У шостому епізоді якраз розбираємось, як працює розуміння і трактування успіху. Яна Пекун та Олексій Удовенко кажуть, що ми сприймаємо успіх ззовні, а треба будувати мірило всередині. Яна розповідає про нагороду від Кабміну та власні переживання її доречності, а Олексій – як зважати в першу чергу на себе та нарешті відчепитися від всіх інших. Що таке успіх? Як він пов'язаний із цінностями та метою? Чому ми сприймаємо його, як щось конкретне, і чи завжди так має бути? Розмова, заряджена на успіх, чекає на Spotify, SoundCloud, MEGOGO Audio, Apple podcasts, а також на YouTube-каналі «Менталочки». Проєкт реалізовується МолоДвіжЦентром із мережі молодіжних просторів ТВОРИ! в рамках гуманітарного реагування UNFPA, Фонду ООН в галузі народонаселення в Україні.

rePROs Fight Back
The Largest SRHR Wins and Challenges of the Past 30 Years

rePROs Fight Back

Play Episode Listen Later Aug 27, 2024 37:39 Transcription Available


The United Nations Population Fund (UNFPA) is the United Nations sexual and reproductive health agency. The agency advocates for, provides access to, and educates on sexual and reproductive health and rights services.  Rebecca Zerzan, editor with UNFPA, sits down to talk with us about UNFPA's 2024 state of world population report, Interwoven Lives, Threads of Hope: Ending Inequalities in Sexual and Reproductive Health and Rights. Rebecca also details the ways in which global misinformation impacts access to care.UNFPA is the world's largest procurer of donated contraception, which is distributed mostly in low- and middle-income countries. UNFPA also works closely with local organizations and agencies to facilitate access to medically accurate, culturally sensitive education. UNFPA's recent report looks back over the last three decades, when the scale of maternal death was unknown, rates of adolescent births were higher, and rates of women's contraception usage was halved, and discusses global progress. The report also researches misinformation around the world and how that impacts an individual's access to comprehensive care.Support the Show.Follow Us on Social: Twitter: @rePROsFightBack Instagram: @reprosfbFacebook: rePROs Fight Back Email us: jennie@reprosfightback.comRate and Review on Apple PodcastThanks for listening & keep fighting back!