Podcasts about Turkana

  • 110PODCASTS
  • 194EPISODES
  • 24mAVG DURATION
  • 1WEEKLY EPISODE
  • May 22, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about Turkana

Latest podcast episodes about Turkana

Unknown Nations Podcast
To the Ends of the Earth: A Missionary's Journey to Northern Kenya

Unknown Nations Podcast

Play Episode Listen Later May 22, 2025 32:36


You may never have heard of the Daasanach—but God hasn't forgotten them. In this episode of the Unknown Nations Podcast, hosts Greg Kelley and Ruth Kramer sit down with Levi, a missionary serving in northern Kenya, and Jerry Smith, Director of International Training. Together, they unpack what it takes to bring the gospel to the Turkana and Daasanach peoples—navigating decades of conflict, extreme terrain, and communities with and without access to Scripture. Levi shares powerful firsthand stories from the field, offering a glimpse into both the hardships and breakthroughs of ministry at the ends of the Earth. Don't miss this eye-opening conversation and discover how you can help bring the gospel to places where Jesus is still unknown. Visit UnknownNations.com for more.

Adeshkah Sankhan
How to make Allah happy with you - mufti menk

Adeshkah Sankhan

Play Episode Listen Later May 11, 2025 45:49


Help Us Bring Water and Relief to Northern Kenya & Gaza Planet Da'wah Foundation is a grassroots charity with a simple but urgent mission: Bring clean water and relief food to the forgotten corners of Northern Kenya, and share that blessing with Gaza. In Marsabit, Mandera, Wajir, Turkana — entire communities go days without clean water or enough food. Children drink from muddy wells. Mothers walk miles with empty containers. I've seen it. I grew up there. This is not just a project. It's personal. We're raising funds to: Build or restore clean water sources in arid areas Provide emergency food relief for families in hunger Support Gaza with half of every donation — because our brothers and sisters there are suffering in ways we can't ignore Even if I have nothing, I believe Allah will put barakah in every coin you give. No amount is too small. Your sadaqah could save a child from thirst or hunger. > “The best of people are those who bring the most benefit to others.” Let's be those people. Donate. Share. Make du'a. Together, we bring water. We bring life. https://gofund.me/5994afa9 PayPal adan.hassan.1080@gmail.com

RTL Matin
TÉLÉ - "Rendez-vous en terre inconnue" fête ses 20 ans avec Kendji Girac

RTL Matin

Play Episode Listen Later Apr 29, 2025 6:14


La destination, Kendji l'ignore comme toujours : la tribu nomade des Turkana, installée sur les rives du plus grand lac salé de la planète, le lac Turkana. C'est au Kenya, mais pas le Kenya touristique : celui d'un immense désert où la sécheresse a été telle durant 6 ans que les Turkana ont vu mourir leurs centaines de bêtes (chèvres, dromadaires, ânes). Pour survivre, les éleveurs sont devenus pêcheurs, mais le poisson se raréfie... Ecoutez L'invité de RTL Midi avec Eric Brunet et Céline Landreau du 29 avril 2025.Distribué par Audiomeans. Visitez audiomeans.fr/politique-de-confidentialite pour plus d'informations.

L'invité de RTL
TÉLÉ - "Rendez-vous en terre inconnue" fête ses 20 ans avec Kendji Girac

L'invité de RTL

Play Episode Listen Later Apr 29, 2025 6:14


La destination, Kendji l'ignore comme toujours : la tribu nomade des Turkana, installée sur les rives du plus grand lac salé de la planète, le lac Turkana. C'est au Kenya, mais pas le Kenya touristique : celui d'un immense désert où la sécheresse a été telle durant 6 ans que les Turkana ont vu mourir leurs centaines de bêtes (chèvres, dromadaires, ânes). Pour survivre, les éleveurs sont devenus pêcheurs, mais le poisson se raréfie... Ecoutez L'invité de RTL Midi avec Eric Brunet et Céline Landreau du 29 avril 2025.Distribué par Audiomeans. Visitez audiomeans.fr/politique-de-confidentialite pour plus d'informations.

C à vous
20 ans de voyages en terre inconnue

C à vous

Play Episode Listen Later Apr 29, 2025 17:21


Frédéric Lopez reprend du service. Il a repris les rênes exceptionnellement de "rendez-vous en terre inconnue" l'émission qu'il a créé...il y a 20 ans. Le voyageur pour cette émission est Kendji Girac et on sait déjà que c'est Laury Thilleman qui animera les futures émissions. Ils sont tous les 3 nos invités pour l'émission : “Rendez-vous en terre inconnue avec Kendji Girac chez les Turkana”, diffusée ce soir à 21h10 sur France 2. Pour nous, Kendji Girac interprète “Je vis pour elle”. Il sera en tournée dans toute la France à partir de Janvier 2026 dont le 14 Mars à l'Accor arena paris. Pour retrouver autrement Laury Thilleman vous pouvez écouter son podcast « Comment tu fais ? » disponible sur toutes les plateformes. Frédéric Lopez passe lui chaque semaine « Un dimanche à la campagne » à 16h sur France 2.Tous les soirs, du lundi au vendredi à 20h sur France 5, Anne-Elisabeth Lemoine et toute son équipe accueillent les personnalités et artistes qui font l'actualité.

C à vous
L'intégrale de C à Vous, la suite - 29/04/25  

C à vous

Play Episode Listen Later Apr 29, 2025 55:47


Nos invités de la deuxième partie de C à Vous: Théâtre avec Laure calamy qui joue« Peau d'homme » au théâtre Montparnasse depuis le 23 janvier. Télévision: Frédéric Lopez, Laury Thilleman & Kendji Girac et l'émission les 20 ans « Rendez-vous en terre inconnue avec Kendji Girac chez Turkana » ce mardi 29 avril à 21h sur France 2.Avec comme chaque soir également l'œil de Pierre, le "Pas vu pas pris" de Mohamed Bouhafsi et bien entendu l'ABC de Bertrand Chameroy.Tous les soirs, du lundi au vendredi à 20h sur France 5, Anne-Elisabeth Lemoine et toute son équipe accueillent les personnalités et artistes qui font l'actualité.

Habari za UN
09 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 9, 2025 12:09


Hii leo jaridani tunaangazia hali ya kibinadamu katika katika jimbo la Upper Nile nchini Sudan, na haki za binadamu na watu kutoweka kwa wingi nchini Sudan. Makala inatupeleka nchini Kenya na Mashinani tunakwenda Gaza, kulikoni?Nchini Sudan Kusini, familia zilizo kwenye hali duni katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ziko katika hali tete sana huku mapigano yakizidi kuongezeka na njaa ikikaribia kufikia viwango vya juu kabisa, limeonya leo Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP).Wakati hofu ikiendelea kuhusu watu kutoweka kwa wingi nchini Sudan, Mtaalam maalum wa Umoja wa Mataifa aliyeteuliwa na Ofisi ya Haki za Binadamu OHCHR anayehusika na haki za binadamu nchini humo Radhouane Nouicer ametoa wito wa dharura kuhusu hali ya raia waliokwama katika vita kubwa nchini humo.Katika inatupeleka nchini Kenya kufuatilia simulizi ya Shalyne Kaputa, mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 16 kutoka kaunti ya Turkana ambaye tofauti na shangazi yake ambaye hakuweza kuendelea na elimu  yake kutokana na kukosa karo, yeye anasoma elimu ya sekondari sasa ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwa mwandishi wa habari. Yote yanawezekana kutokana na mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF kwa msaada wa shirika la Norway la Maendeleo NORAD na wadau wengine.Na mashinani fursa ni yake Lama, mtoto mwenye umri wa miaka 10 kutoka Gaza eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli ambaye anasimulia maumivu na juhudi za kila siku za kutafuta maji mapigano yakiwa ni mwaka mmoja na nusu sasa. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) linatoa msaada mkubwa kwa familia na watoto wa Gaza kwa kusambaza maji salama.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!  

Habari za UN
UNICEF na wadau Kenya waelekea kufanikisha ndoto ya Sharlyne kuwa mwandishi wa habari

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 9, 2025 4:24


Kutana na Shalyne Kaputa, mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 16 kutoka kaunti ya Turkana, Kaskazini-Magharibi mwa Kenya. Tofauti na shangazi yake, ambaye hakuweza kuendelea na elimu  yake kutokana na kukosa karo, yeye anasoma elimu ya sekondari sasa ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwa mwandishi wa habari. Yote yanawezekana kutokana na mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF kwa msaada wa shirika la Norway la Maendeleo NORAD na wadau wengine. Je ni usaidizi gani wanapatiwa? Ungana na Assumpta Massoi.

Somewhere on Earth: The Global Tech Podcast
Can tech reduce Kenya's blood desert?

Somewhere on Earth: The Global Tech Podcast

Play Episode Listen Later Apr 8, 2025 31:17


Kenya has a blood deficit and it's especially urgent in places like the northwestern region of Turkana, where malaria, anaemia and violence are rife, driving up the demand for blood transfusions. The Ministry of Health is now planning to roll out technology to modernise blood transfusion services, extending the shelf life of blood and being able to automate the entire process. The most detailed computer model of the brain ever built The most detailed computer simulation of the human brain to date has been created. The model illustrates how the brain uses and stores energy. So far they've found that diet, exercise, and supplements may help mitigate the effects of aging on our brains. While the connection between physical health and brain health is not a novel concept, the depth of analysis regarding brain cell interactions, blood circulation, and blood chemistry provided by this model is unparalleled. This research has been published in Frontiers in Science, the leading open-access journal from Frontiers. The principal investigator, Dr. Polina Shichkova, tells Gareth more about the project. GPS jamming on the up…again! If you are a regular subscriber you might recall our show from last October discussing GPS jamming and spoofing. Recently, countries have been reporting an increase in the number of attempted disruptions to the radio signals used – these can impact aircraft operations, shipping, logistics, power grids, and any other sectors that depend on location or timing signals from satellites. Now the International Telecommunication Union has issued a joint statement urging countries to improve the security of these systems. The programme is presented by Gareth Mitchell and the studio expert is Ania Lichtarowicz. More on this week's stories: Kenya's Blood Automation Plan Modelling metabolism in the aging brain Can we keep the brain energized as it ages? To hear more from the authors, register for the complimentary virtual seminar:  https://events.frontiersin.org/aging-brain/fsci Protect satellite navigation from interference, UN agencies urge Production Manager: Liz Tuohy Editor: Ania Lichtarowicz For the PodExtra version of the show please subscribe via this link: https://somewhere-on-earth-the-global-tech-podcast-the-podextra-edition.pod.fan/ Follow us on the socials: Join our Facebook group Instagram BlueSky If you like Somewhere on Earth, please rate and review it on Apple Podcasts or Spotify Contact us by email: hello@somewhereonearth.co Send us a voice note: via WhatsApp: +44 7486 329 484 Find a Story + Make it News = Change the World Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

The Lowdown Show - By ADVRider
He Took a Chance And it Changed His Life

The Lowdown Show - By ADVRider

Play Episode Listen Later Apr 4, 2025 59:58


Michnus Olivier had a good life working in the insurance business in Johannesburg. That is until his partner Elsebie goaded him into take a chance on taking a chance. There was no looking back. They hit the road to points unknown and, in the process, developed South African designed-and-made touring gear via their Turkana brand.

Habari za UN
26 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 26, 2025 11:13


Hii leo jaridani tunaangazia hali ya kibinadamu nchini Somalia na huduma zaa faya kwa wakimbizi wajawazito nchini Chad. Makala inatupeleka nchini Kenya na mashinani nchini Uganda, kulikoni?Watu milioni 4.4 nchini Somalia wako hatarini kukumbwa na njaa ifikapo mwezi Aprili mwaka huu wa 2025, kutokana na ukame mkali, mizozo na ongezeko kubwa la bei za vyakula.Nchini Chad, taifa lililoko kaskazini-kati mwa Afrika mkunga mmoja amehamia kwa muda katika kambi ya wakimbizi ili kuhakikisha wajawazito wanapata huduma bora kabla na baada ya kujifungua kama njia mojawapo ya kuepusha vifo vya wajawazito na watoto wachanga.Makala inatupeleka nchini Kenya kumulika mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO, wa kulinda lishe ya wasiojiweza unavyoleta mabadiliko katika  jamii kuanzia kaunti ya Turkana hadi kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma.Katika mashinani fursa ni yake Dkt Annett Alenyo Ngabirano kutoka Uganda akisema juhudi za Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani WHO na Wizara ya Afya ya Uganda zimeweza kudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini humo, WHO ikitoa msaada wa vifaa vya matumizi, dawa ya hospitali, msaada wa kiufundi na kuratibu wadau katika idara hiyo.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

Habari za UN
Mradi wa FAO wa kulinda lishe ya wasiojiweza umekuwa mkombozi Turkana nchini Kenya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 26, 2025 4:00


Mradi unaoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO, wa kulinda lishe ya wasiojiweza wakiwemo wajasiriamali wa bishara ndogodogo na za kati, wakulima wadogo wa matunda na mbogamboga, wafugaji  na wachuuzi wa samaki kama sehemu ya jitihada za kujikwamua baada ya janga la COVID-19 umeleta nuru kwa jamii mbalimbali ikiwemo katika kaunti ya Turkana Kaskazini Magharibi mwa Kenya na katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma. Je unawanufaisha vipi wakulima na kwa nini ni muhimu? Ungana na Flora Nducha katika makala hii kwa undani zaidi

Game Changer - the game theory podcast
How to achieve cooperation: Learnings from fieldwork with the Turkana people | with Sarah Mathew

Game Changer - the game theory podcast

Play Episode Listen Later Feb 24, 2025 44:15 Transcription Available


In this episode we are speaking with Sarah Mathew about cooperation – especially how cooperation is achieved in the absence of institutions. Sarah gives some theoretical background, shares the concept of free rider problems and the relationship to punishment. She then illustrates the background based on her fieldwork: She has studied how the Turkana people achieve cooperation when going on raids with possibly even deadly consequences for individual warriors.   Sarah Mathew is Associate Professor at the School of Human Evolution and Social Change at Arizona State University. Her research is focused on studying why humans cooperate and how the evolution of this unique form of cooperation is tied to the origins of moral sentiments, cultural norms, and warfare. To address these issues, she combines formal modelling of the evolution of cooperation with fieldwork.

Habari za UN
10 JANUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 10, 2025 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia moto wa nyika mjini California Marekani, na waathirika wa kimbunga Chido nchini Msumbiji. Makala tunasikia kijana Paul Siniga kutoka Tanzania na mashinani tunakupeleka nchini Kenya, kulikoni?Shirika la Umoja wa Mataifa la hali ya hewa duniani (WMO) leo hii likiwa limeutangaza mwaka jana 2024 kuwa mwaka uliokuwa na joto zaidi kuwahi kurekodiwa, leo pia WMO imeendelea kusisitiza umuhimu wa tahadhari za mapema kuhusu majanga ya tabianchi ili kuokoa maisha ya watu. WMO imeeleza kwamba tahadhari za mapema zilizotolewa na Idara ya Hali ya Hewa ya Taifa la Marekani  zimesaidia kwa kiasi fulani kuokoa maisha ya watu katika moto wa nyika uliosambaa na kuteketeza maeneo makubwa mji wa Los Angels katika jimbo la California.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR linaendelea kusambaza msaada wa kibinadamu ili kurejesha matumaini ya waathirika wa kimbunga Chido kilichotokea tarehe 15 Desemba mwaka jana nchini Msumbiji na kuziacha taabani jamii za majimbo ya Cabo Delgado, Nampula na Niassa.Katika makala Assumpta Massoi wa Idhaa hii ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa anazungumza na kijana Paul Siniga kutoka Tanzania ili kufahamu safari yake hadi kuweza kufika makao makuu ya Umoja wa MAtaifa, New York, Marekani.Na mashinani Nur Bashir kutoka jamii ya wfugaji katika kaunti ya Turkana nchini Kenya ambaye kupitia video ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji anaeleza jinsi jamii zake zinavyoathiriwa na mabadiliko ya tabianchi.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

Mediterráneo
Mediterráneo - Mariposas Negras. Avisando la llegada de refugiadas climáticas - 29/12/24

Mediterráneo

Play Episode Listen Later Dec 29, 2024 60:14


Las Mariposas Negras avisan de que algo no va bien en la zona en la que aparecen en grupo, anuncian un fenómeno extremo apunto de aparecer. Así es como el director de cine David Baute ha querido titular a su película de animación para adultos que viene a presentar al programa. El Mediterráneo es uno de esos lugares de riesgo climático, igual que lo es la casa de Tanit, Valeria y Shaila, en la isla de Ghoramara, a punto de desaparecer por la crecida del mar en India, en la isla de San Martín en El Caribe acosada por huracanes cada vez más frecuentes y devastadores, en la zona de Turkana, al norte de Kenia en desertificación extrema. Mientras hablamos de todos esos lugares escuchamos la música de: SARAZINO+ SIERRA LEONE’S REFUGEE ALL STARS- Vagaré; RUBEN BLADES- Mariposas Negras; DJ CLICK+ VALENTINA CASULA- Ma Facut; MAKADEM + TOMBO- Ban Piende; TITI ROBIN + GULABI SAPERA- Pundela; ARIJIY SINGH - Satranga; DAUDI KABAKA- Pole Musa; SACHIN-JIGAR- Aaj ki Raat; Makadem- Salaam.Escuchar audio

Afrique Économie
Au Kenya, de la production à la vente, Keep IT Cool garde les marchandises au frais

Afrique Économie

Play Episode Listen Later Nov 24, 2024 2:15


Permettre aux pêcheurs dans des régions reculées du Kenya de garder leurs poissons frais et les connecter aux acheteurs dans la capitale, c'est le pari de Keep IT Cool, une start-up kényane spécialisée dans la vente et la livraison de poissons et de poulets. Sa plateforme, Markiti – « marché » en swahili – connecte l'offre et la demande. Avec un objectif : limiter les pertes pour les pêcheurs et producteurs. De notre correspondante à Nairobi,Keep IT Cool a son entrepôt en bordure de Nairobi. Ce matin-là, des caisses de poissons sont en train d'être déchargées d'un camion. Ce sont des tilapias, en provenance de la rive ougandaise du lac Victoria. Une fois réceptionnés, les poissons suivent un parcours bien précis, sous la supervision de Brenda Abucheli, responsable du contrôle qualité. « Une fois que les poissons sont déchargés, on les pèse, puis on s'occupe de leur préparation, décrit-elle. On commence par l'écaillage, puis on les vide et enfin, on les lave. Une fois que tout ça a été fait, on les trie par taille puis ils sont empaquetés et partent dans notre entrepôt de stockage où ils sont gardés au frais avant la vente. »En plus des tilapias, Keep IT Cool reçoit aussi des perches du Nil du lac Turkana, au nord-ouest du Kenya. La start-up réceptionne en moyenne entre 15 et 20 tonnes de poissons par semaine, et une à deux tonnes de poulets. Ils partent ensuite vers des hôtels, restaurants ou même chez des particuliers de Nairobi. À travers sa plateforme en ligne, Markiti, l'entreprise souhaite mieux connecter l'offre avec la demande. « On commence par analyser la demande, principalement dans les zones urbaines, puis on va voir les pêcheurs et on leur commande exactement ce dont nous avons besoin. Ça permet d'éviter la surpêche et les pertes », explique Francis Nderitu, son directeur. À lire aussi Nutrition : comment conserver les aliments correctement à la maison ?Connecter les petits producteurs aux marchésUne fois que c'est fait, des camions partent récupérer les commandes auprès des pêcheurs organisés en coopératives. « Nous les avons équipées de machines à fabriquer de la glace et de glacières, ce qui permet aux pêcheurs de respecter la chaîne du froid. Ensuite, nous récupérons le poisson et le vendons », poursuit-il.Keep IT Cool est née en 2020. Cette année-là, la pandémie de Covid-19 a perturbé les chaînes logistiques. Venant d'une famille d'agriculteurs, Francis Nderitu dit en avoir vu les conséquences. Les producteurs peinaient à vendre leurs produits : « Dans les régions rurales du Kenya, c'est un véritable problème. Même les “bons jours” les producteurs peuvent perdre jusqu'à 40 % de leurs récoltes, ce qui engendre par conséquence une perte de 40 % de leurs revenus. C'est ce problème que nous tentons de résoudre. En introduisant non seulement un système de réfrigération abordable pour les producteurs, mais aussi en leur donnant accès à des marchés. »La start-up vient de remporter un des prix Earthshot qui récompense chaque année des lauréats pour leurs initiatives dans le secteur de l'environnement. Keep IT Cool a été récompensée pour sa lutte contre le gaspillage et recevra un million de livres sterling. La start-up compte aujourd'hui une centaine d'employés. Elle ambitionne de voir l'offre s'agrandir à d'autres produits et de toucher d'autres marchés de la région.À lire aussi Environnement : deux lauréats africains figurent au palmarès 2024 des prix Earthshot du prince William

Habari za UN
Jinsi usawa wa kijinsia na rika katika umiliki wa ardhi unavyochochea ukulima na uhakika wa chakula Kenya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 21, 2024 5:05


Mpango wa Usimamizi wa Ardhi (Land Governance program) uliopatiwa jina "Kusaidia kufikia Ajenda 2030 kupitia mageuzi chanya ya ugatuzi wa ardhi (land reforms) katika maeneo ya ardhi za jamii nchini Kenya" umeboresha uhakika wa kupatikana kwa chakula na lishe kupitia upatikanaji wa ardhi kwa wote nchini Kenya. Programu hii imezinduliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kilimo na chakula FAO kwa kushirikiana na Muungano wa Ulaya (EU) katika kaunti 9 ikilenga kuimarisha sekta ya kilimo, ufugaji na uvuvi na umeimarisha usimamizi wa ardhi kwa ajili ya maisha bora na maendeleo ya kijamii na kiuchumi katika kaunti zote zinazotekeleza. Kupitia video iliyoandaliwa na FAO, Cecily Kariuki anaeleza matokeo yake.Mpango wa Usimamizi wa Ardhi (Land Governance program) uuliopatiwa jina "Kusaidia kufikia Ajenda 2030 kupitia mageuzi chanya ya ugatuzi wa ardhi (land reforms) katika maeneo ya ardhi za jamii nchini Kenya" umeboresha uhakika wa kupatikana kwa chakula na lishe kupitia upatikanaji wa ardhi kwa wote nchini Kenya. Programu hii imezinduliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kilimo na chakula FAO kwa kushirikiana na Muungano wa Ulaya (EU) katika kaunti 9 ikilenga kuimarisha sekta ya kilimo, ufugaji na uvuvi na umeimarisha usimamizi wa ardhi kwa ajili ya maisha bora na maendeleo ya kijamii na kiuchumi katika kaunti zote zinazotekeleza. Kupitia video iliyoandaliwa na FAO, Selina Jerobon anaeleza matokeo yake katika makala hii..…Wazee wa jamii za kijiji cha Maiyanat iliyoko katika kaunti ya Turkana kaskazini-magharibi mwa Kenya wanafanya kikao cha pamoja hapa, wakiwa wamevalia mavazi yao ya kitamaduni, watoto wakiwa pembeni wakifuatilia kinachoendelea. Wanajadili matumizi mazuri ya mashamba ya jamii zao kwa kuzingatia usawa wa kijinsia na marika yote.Je, awali umiliki wa ardhi ulizingatia usawa huu? Ratinui Macharia ni mwenyekiti wa ardhi ya jamii ya Maiyanat, anasema,“Awali, wanawake na vijana hawakuruhusiwa kushiriki au hata kuchaguliwa kwenye kamati ya ardhi lakini sasa imetuleta sote pamoja.”Lois Kimere ni mwanamke mwanachama wa kamati ya ardhi Maiyanat.“Kulingana na jamii za Maiyanat, wanawake hawakuwa wanaonekana kama watu wenye uwezo wa kuchangia maendeleo ya kijamii. Tulihamasisha wanawake kuhusu mambo ya ardhi, uongozi katika vijijini na katika ngazi za kitaifa hususani serikali, na katika bishara.”Kwa msingi wa dharura, awamu ya kwanza na ya majaribio ya mpango huu ilitekelezwa katika kaunti za Laikipia, Nandi, Pokot magharibi, Baringo, Vihiga, Marsabit, Kajiado, Samburu, Tana River na Turkana.Asha Lekudere ni mwanachama wa ardhi ya jamii ya sereolipi, anasema FAO imeimarisha mtazamo wao.“Zamani tulikuwa na shamba la kikundi. Kisha FAO ikatupeleka kwenye mafunzo kadhaa. Niliweza kujifunza maana ya umiliki wa ardhi kwa jamii yetu ya samburu, uwezo wetu na haki za wanawake.”Chini ya ajenda ya ardhi ya jamii, programu iliwezesha mila shirikishi na jumuishi katika usimamizi wa ardhi kwa njia ya usawa wa jinsia na rika zote.Na hatua gani zinaweza kuchukuliwa mizozo inapotokea? Mpango wa usimamizi wa ardhi umekuza mfumo mbadala wa mahakama, wa kupigania haki za kibinadamu unaojulikana kama AJS, njia bora ya kusuluhisha kesi mashinani na kuachilia ardhi itumike kwa ajili ya jamii zote haraka iwezekanavyo.Jonathan Osewu, Msajili wa ardhi  katika kaunti ya Kajiado anasema,“Katika utamaduni wetu wa kimasai tunazo njia nyingi sana za kutatua mizozo. Kwa hivyo AJS ilipoletwa, ilikuwa ni njia bora ya kuimarisha utaratibu wetu wa jadi wa kutatua kesi.”Na isitoshe, njia za teknolojia za kutoa ramani ya ardhi na rasilimali yote kwa muonekano wa anga, GIS ili kusaidia kufanya maamuzi ya kesi haraka, pia imechangia utangamano katika jamii husika. Vituo hivi vimetekelezwa katika sehemu nyingi ikiwemo kaunti ya Vihiga. Wilber Ottichilo, Gavana wa mkoa wa Vihiga anatoa shukrani kwa FAO.“Kama kaunti ya Vihiga,…

Habari za UN
21 OKTOBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 21, 2024 9:58


Hii leo jaridani tunaangazia mkutano wa COP16 katika mji wa Santiago de Cali au Cali huko nchini Colombia na ufugaji nyuki Turakana nchini Kenya. Pia tunakupeleka nchini Somalia kufutilia programu wa WFP wa mlo shuleni na mashinani inatupeleka nchini Lebanon.Mkutano wa 16 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Kimataifa wa bayonuai (COP16) umeng'oa nanga leo katika mji wa Santiago de Cali au Cali huko nchini Colombia ambapo mataifa 196 yatajadili jinsi ya kusitisha na kubadili mwelekeo wa kudorora kwa ulimwengu wa asili.Kila siku, mamilioni ya watoto kote ulimwenguni huenda shule wakiwa na njaa, wengi wao wakiteseka na utapiamlo sugu ambao huathiri ukuaji wa kiakili na utendaji wao katika masomo. Wanaobahatika huweza tu kumaliza masomo yao na kufanikiwa maishani kutokana na programu ya ‘mlo ya shuleni' inayoendeshwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula Duniani (WFP). Mfano wa wanufaika hao ni El-Khidir Daloum, Mkurugenzi wa sasa wa WFP nchini Somalia.Makala inatupeleka Kaunti ya Turkana Kaskazini mwa Kenya moja ya maeneo kame ambako mradi wa ufugaji nyuki wa WFP umekuwa mkombozi kwa wakulima walioathirika na mabadiliko ya tabianchi.Mashinani fursa ni yake Waffiyah Diyah kutoka Lebanon ambaye ni muathirika wa vita vilivyolazimisha maelfu ya watu kufangasha viragoanaelezea hali ya familia yake baada ya kukimbia mashambulizi na kupoteza kila kitu, lakini sasa anapokea msaada kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM).Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari za UN
Nadipo: Asante WFP kwa mradi wa mizinga ya nyuki sasa familia yangu inatabasamu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 21, 2024 3:20


Kaunti ya Turkana Kaskazini mwa Kenya moja ya maeneo kame mradi wa ufugaji nyuki wa WFP umekuwa mkombozi kwa wakulima walioathirika na mabadiliko ya tabianchi.Katika kaunti hii vumbi linalotimuka katika eneo tambarare lisilo na miti linakufanya kujiuliza je Nini kizuri kinaweza kufanyika hapa kwenye ukame uliotamalaki? Lakini cha kustaajabisha ni kwamba kwa kuwezeshwa mengi yanawezekana ikiwemo njia bora za kuhakikisha uhakika wa chakula na hata kubadili maisha ya watu kama anavyosema mkulima wa nyuki Nadipo Lotelei mnufaika wa mradi wa mizinga ya nyuki kutoka shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP. “Hatua iliyochukuliwa na WFP kutupatia mizinga ya nyuki imekuja kama nyota ya jaha kwangu kwa sababu  siwezi kutembea umbali mrefu kutokana na ajali niliyopata. Mradi huu umenisaidia sana mimi ili kuweza kusaidia watoto wangu na mke wangu. Mke wangu ameweza kuanzisha biashara ya duka kutokana na faida niliyopata ambayo sasa inatumika kama chnzo cha kipato cha mahitaji ya kaya yetu.”Nadipo ni miongoni mwa wafuga nyuki 1,900 katika kaunti ya Turkana ambao wamepewa mafunzo ya ufugaji nyuki na vifaa kupitia mradi wa WFP kwa ushirikiano na shirika binafsi la HIVE ambalo mwenyekiti mtendaji wake ni Christopher Nzuki. “Tunahusika katika ufungaji na usambazaji wa vifaa. Na wakati huohuo tunatoa mafunzo kwa wafugaji nyuki na kisha kuwapatia masoko. Tunachukua kila kitu wanachozalisha.”Ufugaji wa nyuki wa kisasa si kazi kubwa, na pia unatumia nafasi ndogo na maji kidogo. Nyuki huchavusha asilimia 80 ya miti ya maua ikiwemo mazao ya chakula. Huzalisha asali, nta, mafuta na sumu, bidhaa ambazo huuzwa kwa gharama kubwa sokoni. Kwa sasa WFP inasaidia karibu wafugaji wa nyuki 5,000 katika kaunti 9 nchini Kenya lakini lengo ni kuwafikia wengi zaidi na mradi huu kama anavyosema afisa wa WFP Timothy Koskei. “Dhamira yetu mwisho wa yote ni kuwafikia wastani wa wafuga nyuki 10,000 katika kaunti 9 na kuvuna takriban tani 600 za asali.” Kwa mujibu wa WFP nyuki wana uwezo mkubwa na wanaweza kutoa mavuno mengi ambayo ni neema kwa familia sisizojiweza katika maeneo haya kame. Mkurugenzi wa WFP nchini Kenya Lauren Landis anasema mradi umezaa matunda. “Hivi sasa tunasikia kutoka miongoni mwa wanaufaika ambao awali walikuwa wakipokea msaada wa chakula ,ambao sasa sio tu wanazalisha asali  kwa ajili ya faida bali pia wanafikiria kuongeza ununuzi wa pembejeo zaidi kutoka kwa Hive. Hivyo tunachokishuhudia ni mchakato ulio wazi ambapo mtu anatoka kuwa mpokea msaada na kuwa mteja, kuwa mpokeaji wa faida na si mpokeaji wa msaada wa chakula.”Kwa mafanikio haya WFP inasema itaendelea kupanua wigo wa mradi huu ili kunufaisha familia nyingi zaidi.

il posto delle parole
Giorgio Manzi "Antenati"

il posto delle parole

Play Episode Listen Later Feb 5, 2024 23:06


Giorgio Manzi"Antenati"Lucy e altri racconti dal tempo profondoEdizioni il Mulinowww.mulino.itUn tuffo nell'archivio della storia prima della storia. Capire chi siamo attraverso i racconti di un grande paleoantropologo.Ancora una volta Giorgio Manzi ci regala un racconto avvincente, per spiegarci da un lato come la scienza sia in grado di ricostruire e interpretare la nostra storia nel tempo profondo e, dall'altro, come questo racconto consenta di comprendere meglio chi siamo e quale sia il nostro posto nella natura. Così, nel libro, incontriamo i protagonisti di un lontanissimo passato, messi a confronto con quelli del presente e del futuro. Ispirato da Richard Dawkins («Il gene egoista», 1976), Manzi immagina che figure aliene sbarchino sulla Terra per valutare se gli abitanti del nostro pianeta abbiano consapevolezza di sé e delle proprie origini, in base a un unico parametro: aver compreso il fenomeno dell'evoluzione. Le risposte vengono da alcuni manoscritti rinvenuti fra macerie pericolanti, nei quali compaiono il piccolo scheletro di australopiteco che tutti conosciamo come Lucy, e poi il ragazzo del Turkana, gli «hobbit» dell'isola di Flores, l'uomo di Ceprano, i Neanderthal del Circeo e di Altamura, la mummia rinvenuta fra i ghiacci in Tirolo.Giorgio Manzi è professore ordinario di Antropologia alla Sapienza Università di Roma, accademico dei Lincei e accademico delle Scienze (o dei XL). La sua produzione scientifica internazionale spazia dai temi dell'evoluzione umana a quelli della bioarcheologia. Editorialista di «Le Scienze», collabora con quotidiani, periodici, trasmissioni radio e tv. Fra i numerosi libri per il Mulino: «Ultime notizie sull'evoluzione umana» (2017), «Il grande racconto dell'evoluzione umana» (2013 e 2018), «L'ultimo Neanderthal racconta» (2021).IL POSTO DELLE PAROLEascoltare fa pensarewww.ilpostodelleparole.itDiventa un supporter di questo podcast: https://www.spreaker.com/podcast/il-posto-delle-parole--1487855/support.

All For Nothing
Ron Bauer #67

All For Nothing

Play Episode Listen Later Jan 4, 2024 59:39


Ron Bauer is a venture capitalist and entrepreneur with over 20 years of financing businesses. He is focused on the Life Sciences, Technology, EdTech, and Natural Resources sectors. Ron has a track record of nurturing innovative concepts and supporting dynamic entrepreneurs and scientists, consulting them from early-stage angel and seed funding all the way through to public mergers, RTOs, or IPOs as well as trade sales with larger companies, both public and private, as well as SPACs. He is experienced in the M&A and Corporate Finance aspects of business and seasoned in the Capital Markets. He has been a major shareholder and principal investor in many companies that trade on leading senior exchanges in the USA, Canada, and the UK. He was the Co-Founder and Director of Turkana Energy, which merged with Africa Oil (TSX: AOI) in July 2009. The company went on to have a peak market value of over $3 Billion CAD, having raised more than $1 Billion of equity after Tullow Oil successfully drilled Turkana's oil concession, Block 10BB. Ron is the principal and founding investor in many biotech, tech, and natural resources companies. He has a proven track record of raising capital across all sectors and all geographies in ever-changing market conditions. By far Ron's greatest personal quality is his ability to adapt himself to changing economic climates and diversifying sectors. He holds a Master of Business Administration degree from the University of Cambridge. More about him: https://www.instagram.com/ronbauer888 https://thescapital.com/who . . TIMESTAMPS: 00:00 - Highlights 00:48 - Real Estate in The United States 08:51 - Venture Capital & Ron's Background 25:45 - Concerns With Electric Vehicles 29:39 - Market Changes and How to be Prepared for it 38:38 - Antisemitism in the UK 40:18 - Being Jewish 45:12 - War in Israel 54:33 - Digital Economy . .

Reporters
Les peuples autochtones face au changement climatique : être Turkana quand la sécheresse tue (1/4)

Reporters

Play Episode Listen Later Oct 20, 2023 16:51


France 24 vous raconte l'histoire de celles et ceux qui sont en première ligne face au dérèglement climatique. Du Kenya au Panama, en passant par le Groenland et l'Australie, nos reporters James André et Achraf Abid sont allés à la rencontre des peuples autochtones qui vivent en harmonie avec la nature et voient leur quotidien bouleversé par le réchauffement climatique. Une série de quatre grands reportages. Premier épisode : le Kenya.

Reporters
Indigenous people and climate change: With Kenya's Turkana people when drought kills (1/4)

Reporters

Play Episode Listen Later Oct 20, 2023 17:02


FRANCE 24 brings you the stories of the people who are on the frontlines of climate change. From Kenya to Panama, via Greenland and Australia, our reporters James André and Achraf Abid went to meet the Indigenous people who live in harmony with nature and whose daily lives are being turned upside down by global warming. Don't miss our series of four special reports. In this first episode, we take you to Kenya.

Electronic Beats Podcast
Turkana on queer culture in Uganda, Bandcamp, Greenwashing Ban

Electronic Beats Podcast

Play Episode Listen Later Oct 5, 2023 28:48


While West-African music is celebrating new milestones globally, the electronic music scene is still underrepresented. The Nyege Nyege festival in Uganda and its community have been a centerpoint for highlighting dance music and queer culture from East Africa. In this episode Kikelomo talks to Turkana, who's part of the experimental Anti-Mass collective from Kumpala. She opens up about the danger of building safer spaces in a country where being queer is a crime and the troubles of getting working visas as African artists in Europe. Plus: Bandcamp being sold – again, grassroots music venues under threat, cable-free studio monitors, and the EU to ban generic environmental claims. The Week is a production by Telekom Electronic Beats and ACB Stories.Host: KikelomoWriters for this episode: Aaron Gonsher, Carlos Steurer and KikelomoEdit and sound design: Marc ÜbelLead Producer: Isabel WoopFollow Kikelomo.Follow Turkana. Check out the recommended multimedia project “Union Black – Sounds Of A Nation”.Read more on the challenges African artists have to face when applying for visa. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.

Emergence Magazine Podcast
A Whale in the Desert: Tracing Paths of Migration in Turkana – Tristan McConnell

Emergence Magazine Podcast

Play Episode Listen Later Sep 12, 2023 53:37


 In a world rapidly spiraling into climate turmoil, will we reorient to welcome migration not only as a right, but a necessary human adaptation? In this week's essay, writer Tristan McConnell ventures across Turkana in northwest Kenya, home of the Great Rift Valley: a place where some of our earliest ancestors emerged millions of years ago before dispersing in waves first across, and then out of the continent. As he discovers how deeply human movement, landscape, and survival are entwined, he wonders what such a place might remind us about who we truly are, and have always been. Read this story. Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

Habari za UN
Mradi wa "Njoo shuleni" nchini Kenya warejesha matumaini kwa familia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 31, 2023 0:02


Elimu ni moja ya nyenzo zenye nguvu zaidi za kuleta mabadiliko kwa watu binafsi na jamii na ndio maana katika miongo miwili iliyopita, serikali ya Kenya imefanya mageuzi mengi ili elimu ya msingi iwe bure na ya lazima kwa watoto wote walio katika umri wa kwenda shule. Hata hivyo, watoto wengi bado hawako shuleni kutokana na umaskini, miundombinu duni, kutelekezwa na wazazi na matatizo ya kiafya hasa katika maeneo masikini. Sasa shirika la Umoja la kuhudumia watoto UNICEF limeamua kuingilia kati kwa kushirikiana na wadau kusaidia. Flora Nducha na maelezo zaidi.Katika Kaunti ya Dandora jijini Nairobi ambako wakazi wengi ni walala hoi, watoto kwenda shule ni mtihani unaoanzia kwa wazazi kama Wambui Kahiga mama wa Octavia mtoto mwenye umri wa miaka 10.Wambui anasema, “shida zangu kubwa sasa hivi ni chakula, mavazi , kulipa gharama za shule na ghara za kulipia nyumba. Kibarua ninachopata wakati huu ni cha kufua nguo na hakiaminiki kuna wakati napata na kuna wakati nakosa. Najihisi vibaya kwani ingekuwa mapenzi yangu , Octavia angekuwa alianza shule kitambo.”Kwa mujibu wa UNICEF umasikini ndio sababu kubwa inayowafanya wazazi kushindwa kuwapeleka watoto shule na sasa shirika hilo linashirikiana na wakfu wa Elimisha mtoto (EAC) na wanaendesha programu ya elimu zaidi ya yote kupitia mradi wa “Njoo shuleni” ili kuwafikia watoto wote kama Octavia na kuhakikisha wanapata haki ya elimu.Elizabeth Waitha ni afisa elimu wa UNICEF Kenya anasema “mara tunapobaini watoto ambao hawana fursa ya elimu, tunawasajili na tunaweza kuwasaidia na vifaa vya shule ambavyo vinapunguza mzigo kwa wazazi kuweza kuwasaidia watoto wao kwa ajili ya kusoma”.Na hii inaleta faja na matumaini kwa watoto na wazazi kama kwa mama wa Octavia akisema, “Octavia yuko shuleni , na sasa ambavyo anasoma naona maisha yake yatabadilika , yatakuwa maziri hata mimi atakuja kuniinua.”Kwa UNICEF “Elimu ni haki ya msingi ya binadamu na kila mtoto anapaswa na anahitaji fursa ya kupata elimu na uelimishaji mkubwa unahitajika kuhakikisha kwamba kila mtoto anasoma.”Kulingana na takwimu za Educate A Child (EAC) kuna watoto milioni 1.3 wa umri wa kati ya miaka 6 hadi 13 ambao hawasomi nchini Kenya.Mradi huu unafadhiliwa na mfuko kwa ajili ya maendeleo wa serikali ya Qatar na unatekelezwa katika kaunti 16 nchini Kenya ambazo ni Baringo, Bungoma, Garissa, Isiolo, Kajiado, Kilifi, Kwale, Mandera, Marsabit, Narok, Samburu, Tana River, Turkana, Wajir, West Pokot, na katika makazi yasiyo rasmi ya jijini Nairobi.

Habari za UN
28 JULAI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 28, 2023 0:10


Hii leo jaridani tunaangazia afya na hali ya usalama na msaada wa kibinadamu nchini Burkina Faso. Makala tnamulika harakati za kufanikisha SDGs na mashinani tunakupeleka nchini Kenya, kulikoni? Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR, leo limetoa mwongozo mpya juu ya ulinzi wa watu wanaokimbia Burkina Faso, na wito wa haraka kwa mataifa yote kuacha kuwarudisha kwa nguvu watu wote wanaotoka katika ukanda huo ulioathiriwa zaidi na mgogoro unaoendelea nchini humo na badala yake kuwaruhusu raia wanaokimbia Burkina Faso kuingia katika mipaka yao.Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni (WHO) Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus kupitia ujumbe wake kwa Siku ya Kimataifa ya Homa ya Ini inayoadhimishwa kila Julai 28, amesema kwa kuwa wanadamu tunaishi mara moja na tuna ini moja, WHO imejitolea kushirikiana na nchi zote na wadau wote ili kutimiza maono ya pamoja ya kutokomeza virusi vya homa ya ini ifikapo 2030.Katika makala Assumpta Massoi anaangazia harakati za kufanikisha malengo ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo endelevu, SDGs hususan kutokomeza umaskini na kujiinua kiuchumi.Na mashinani tutaelekea kaunti ya Turkana nchini Kenya kusikia ni kwa jinsi gani ukame umeathiri utoaji wa huduma za afya ya uzazi kwa wanawake na wasichana.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Habari za UN
17 JULAI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 17, 2023 0:11


Hii leo katika jarida la Habar iza UN, mwenyeji wako Leah Mushi anamulika haki za binadamu za watu wa jamii ya asili, haki ya elimu kwa watoto wakimbizi, saratani ya shingo ya kizazi na hatimaye jinsi kampeni ya boma kwa boma inasongesha utoaji chanjo kwa jamii ya wamasai nchini Tanzania.Watu wa jamii ya asili wanaweza kutuongoza katika harakati za kukabiliana na misukosuko na majanga yanayokabili zama zetu hivi sasa, amesema hii leo  huko mjini Geneva, Uswisi, Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu Volker Türk akihutubia mkutano wa 16 wa wataalamu wa haki za watu wa jamii ya asili.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linashirikiana na wadau kuisaidia serikali ya Kenya katika kaunti ya Turkana kuhakikisha elimu ya awali inawafikia watoto wote hususan kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma.Katika makala, Anold Kayanda anatupeleka nchini Tanzania ambako Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni (WHO) kwa kushirikiana na serikali nchini Tanzania linafanya juhudi za kutoa elimu ya uchunguzi wa mapema ili kuzuia saratani ya shingo ya kizazi kwa wanawake nchini humo.Na mashinani, Edward Ngobei, Mzee kiongozi wa kimasai wilayani Monduli mkoani Arusha nchini Tanzania, anaeleza jinsi yeye pamoja na jamii za eneo hilo wamepokea chanjo mbalimbali kupitia kampeni ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani WHO na wadau wake inayopeleka huduma za chanjo mashinani. Karibu!

Habari za UN
UNICEF na wadau wafanikisha elimu kwa watoto wakimibizi Kakuma nchini Kenya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 17, 2023 0:03


Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linashirikiana na wadau kuisaidia serikali ya Kenya katika kaunti ya Turkana kuhakikisha elimu ya awali inawafikia watoto wote hususan kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma. Flora Nducha anatupasha zaidi katika taarifa hii.Asubuhi mapema katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma, ni wakati wa watoto kwenda shule tayari kuanza siku kwa masomo darasani “Mimi jina langu ni Nyota Plamedy Baraka nina miaka sita, napenda kusoma, napenda wageni , napenda vitabu na nawapenda marafiki zangu.”Nyota ni miongoni mwa mamia ya watoto wakimbizi kutoka nchi mbalimbali walioko katika kambi hii na baba yake Baraka Munange mkimbizi mwenye watoto watano anasema elimu hii ni ya muhimu na ndio tegemeo pekee la mustakbali bora kwa watoto wao “Watoto wangu wanasoma shule ya msingi ya Morning Star , na shule ya chekechea ni nzuri sana kwa mwanzo wa mtoto kwa sababu inamfanya mtoto ajue kuongea, ajifunze kuandika na zaidi.”Kambini hapa kuna shule nyingi ambazo kwa msaada wa ufadhili kutoka kwa kanisa la Jesus Christ of the Latter-day Saints Charities, UNICEF inaweza kuhakikisha elimu inatolewa ikiwepo katika shule ya msingi ya Kalemchuch “Jina langu ni Joyce Lotenga niña umri wa miaka 8, nasoma katika shule ya Kalemchuch.”Joyce ni mmoja kati ya watoto tisa wa Francis Lomoi “Mimi ni babaye Joyce, Joyce yuko darasa la pili katika shule ya Kalemchuch kwa sababu tunakubali watoto wakimbizi kusoma pamoja na wengine, ili wote waweze kusoma kwenye shule pamoja ndio maana watoto wamekuwa wengi”Watoto hawa wanafaidika na elimu chini ya program inayoendeshwa na serikali ya “Kujifunza Maisha yote” na mbali ya elimu pia wanashiriki shughuli mbalimbali za michezo ikiwemo kuimba.Kwa mujibu wa serikali ya kaunti ya Turkana, ukame umekuwa changamoto kubwa kwa watoto hawa wanaotoka mataifa mbalimbali kupata elimu lakini jitihada zinafanyika.Afisa wa elimu wa UNICEF Kenya Sarah Musengya paul anasela licha ya changamoto hizo “Hatua kubwa zimepigwa katika elimu ya awali kwenye kaunti ya Turkana, katika usaili wa watoto sasa ikiwa imefikia asilimia 166 ambayo ni juu ya kiwango cha wastan cha serikali, pili tumepiga hatua katika vifaa vya kusomea kama madawati na viti na vifaa vingine ambavyo vimewafanya wanafunzi kufurahia kuendelea kusoma. Lakini bado kuna changamoto katika kaunti ya Turkana ikiwemo mlo shuleni katika shule zinazotoa mlo kiwango bado ni kidogo hakikidhi mahitaji ya watoto hata wa chekechea.”Kwa wazazi elimu hii inayotolewa ni baraka na matumaini kwa watoto wao “Mimi mzazi nikishakuja nyumbani nawakuta watoto wanazungumza walichofundishwa shuleni ni kiytu kimoja ambacho kinanifurahisha sana na kuonyesha kwamba watoto wanasoma vizuri.”UNICEF limeahidi kuongeza juhudi zaidi hasa za kupata wafadhili ili kuhakikisha changamoto hizo zinatatuliwa.

Autour de la question
Qui sont les héritiers d'Yves Coppens?

Autour de la question

Play Episode Listen Later Jul 4, 2023 48:29


Comment les découvertes d‘Yves Coppens ont inspiré des générations de préhistoriens et préhistoriennes, archéologues et paléontologues venus d'Afrique, d'Asie, d'Amérique et d'Europe ? Pourquoi sommes-nous tous héritiers de Lucy ?  Rendons hommage à Yves Coppens, découvreur de Lucy, le plus visionnaire et le plus généreux de nos préhistoriens... Décédé, il y a juste un an, ses travaux (les formidables découvertes sur le terrain dan le rift africain) ont inspiré et continuent d'inspirer des générations d'archéologues et de paléontologues sur tous les continents. Venus d'Afrique, Amérique, Asie et d'Europe, ces préhistoriens et préhistoriennes de renom ont tous répondu présent à l'invitation du professeur Jean-Jacques Hublin pour participer au colloque hommage à Yves Coppens. Qui sont ces héritiers et ces héritières de Lucy et de Yves Coppens ?Retour sur le colloque en hommage à Yves Coppens : les Héritiers de Lucy qui s'est tenu au Collège de France en juin avec Jean-Jacques Hublin, paléoanthropologue, professeur au Collège de France et Hélène Roche, archéologue. Elle a travaillé dans plusieurs pays d'Afrique, et a notamment dirigé pendant plus de 25 ans un programme de recherche au bord du lac Turkana, dans le nord du Kenya. 

Habari za UN
Wakimbizi Kenya: Mradi wa shiriki ni neema kwetu na jamii inayotuhifadhi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 21, 2023 0:03


Serikali ya Kenya inaendesha mradi wa “shiriki” ambao unawapa fursa wakimbizi wanaosihi katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma iliyoko katika kaunti ya Turkana nchini humo kujitegemea kwa kufanya kilimo cha mbogamboga kupitia chama cha ushirika wa wakulima. Serikali hiyo imetenga ekari 21katika kambi ya Kakuma ili kutumika katika mradi huo ambao sio tu unawapa lishe bora wakimbizi, matumaini na kipato lakini pia umekuwa neema kwa jamii za wenyeji.Katika makazi ya Kalobeyei kambini Kakuma maisha yanaendelea kama kawaida kwa maelfu ya wakimbizi yakighubikwa na pilika nyingi kikiwemo kilimo cha mchicha, Sukuma na mbogamboga zingine chini ya mradi wa shiriki. Abdulazizi Lugazo ni mkimbizi kutoka Somalia na mwenyekiti wa chama hicho cha ushirika wa wakulima anasema, Abdulazizi anasema mradi huu ulianza kidogokidogo lakini sasa umepanuka na kujumuisha wakimbizi wengi zaidi, Kenya imekuwa mwenyeji wa wakimbizi kwa zaidi ya miaka 30 na inaamini kuwapa fursa hii wakimbizi sio tu inawapa matumaini badi inawajengea uwezo. Mkimbizi kutoka Congo DRC anayeshiriki mradi huu Muhawe Selene ambaye ni mchuuzi wa mbogamboga sokoni anaafiki, Kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR mtazamo kama huu wa Kenya unapaswa kuigwa na mataifa mengine kwani unawajumuisha wakimbizi na kusaidia kuleta utangamno baina ya wakimbizi na jamii zinazowahifadhi.Kwa Abdulazizi mradi huu umemfungulia njia mpya ya matumaini akiwa mbali na nyumbani.UNHCR Imeishukuru Kenya kwa kuwapa matumaini wakimbizi hawa wakiwa mbali na nyumbani, na Kenya inasema huu ni mwanzo tu kwani iko katika mipango ya kutekeleza sera ambazo ni bunifu na jumuishi zitakazowaruhusu baadhi ya wakimbizi hao nusu milioni na waomba hifadhi nchini humo kufanya kazi na kuishi na Wakenya.

Habari za UN
21 JUNI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 21, 2023 0:13


Hii leo jaridani tunaangazia Migogoro nchini Ukraine na wakimbizi nchini Kenya. Makala tunakupeleka nchini Tanznai na mashinani tunasalia hapa hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa, kulikoni?  Mratibu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa nchini Ukraine Matthew Hollingworth amelaani vikali shambulio lililofanywa na Urusi kwenye eneo la Kherson lililoathirika vibaya na mafuriko ya bwawa la Kakhovka, na kukatili maisha ya mfanyakazi wa ukoaji na kujeruhi wengine.Serikali ya Kenya inaendesha mradi wa “shiriki” ambao unawapa fursa wakimbizi wanaosihi katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma iliyoko katika kaunti ya Turkana nchini humo kujitegemea kwa kufanya kilimo cha mbogamboga kupitia chama cha ushirika wa wakulima. Serikali hiyo imetenga ekari 21katika kambi ya Kakuma ili kutumika katika mradi huo ambao sio tu unawapa lishe bora wakimbizi, matumaini na kipato lakini pia umekuwa neema kwa jamii za wenyeji. Katika makala Mwandishi wa redio washirika wetu MVIWATA FM ya Tanzania anatupeleka visiwani Zanzibar ambako umezinduliwa mradi wa AliVE awamu ya pili unaolenga kupima stadi za maisha na maadili kwa wanafunzi Watoto wa umri wa miaka 6 hadi 12.Na mashinani leo ikiwa ni siku ya Yoda duniani      tunarejea makao makuu ya Umoja wa Mataifa kusikia ujumbe kutoka kwa Katibu Mkuu wa Umoja huo alieleza kwa nini yoga ni muhimu katika maisha ya mwanadamu.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari za UN
12 JUNI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 12, 2023 0:10


Hii leo jaridani tunaangazia ajira kwa watoto na wakimbizi nchini Jordan. Makala tunakupeleka nchini CAR na mashinani nchini Kenya, kulikoni?Ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa dhidi ya Ajira au Utumikishaji wa Watoto ambayo inakusudia kutumika kama kichocheo cha kuongeza harakati za kimataifa dhidi ya ajira au utumikishwaji kwa watoto na ikisisitiza uhusiano kati ya haki za kijamii na ajira kwa watoto, kama ilivyo kwa nchi nyingine wanachama wa Umoja wa Mataifa, Tanzania nayo imeungana na mataifa mengine kuadhimisha siku hii ambapo maadhimisho hayo yamefanyika Kitaifa katika kijiji cha Gua.Katika kambi ya wakimbizi ya Za'atari iliyoko nchini Jordan, roho ya ubunifu ya mtu mmoja na dhamira yake isiyoyumba imebadilisha vitu mbalimbali vinavyotupwa na kuonekana havifai tena kuwa nyenzo muhimu za urembo.Katika makala leo Afisa Habari wa Kikosi cha 6 cha walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania, TANBAT 6 wanaohudumu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, anatupeleka katika ziara ya walinda amani hao kukagua miradi ambayo wameianzisha kwa ajili ya wananchi.Na mashinani tutakupeleka kijinini Kareman katika kaunti ya Turkana nchini Kenya kushuhudia jinsi ambavyo wenyeji wanajitolea kuhakikisha wanawake na watoto wanaweza kufikia huduma za afya licha ya ukame ambao umezikumba jamii za kaunti hiyo kwa muda mrefu.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, Karibu!

Page Turners They Were Not
Random Trek: Legacy (TNG S4E6)

Page Turners They Were Not

Play Episode Listen Later Apr 18, 2023 32:10


On this week's episode on Random Trek, Captain Ingle and I set a course for the 24th century and the continuing voyages of the USS Enterprise-D. This time around, the Enterprise receives a distress signal from a ship in orbit of Turkana 4, the homeworld of now deceased crewmember Tasha Yar. Upon their arrival, they meet with the leader of one of the factions, who presents them with a liaison, who happens to be the sister of the late Tasha. Join us as we go boldly! --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/pageturnerstheywerenot/message

enterprise tasha yar turkana uss enterprise d random trek
Habari za UN
Ukame Turkana Umeathiri elimu, UNICEF yahaha kusadia watoto kusalia shuleni

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 27, 2023 0:02


Ukame unaoendelea Pembe ya Afrika umeathiri shule zaidi ya 100 katika kaunti ya Turkana Kenya na kusababisha watoto wengi kuacha shule. Sasa shirika la umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF nchini Kenya kwa ushirikiano na mradi wa Educate a Child wanaisaidia serikali kusajili watoto shuleni na kuhakikisha waliosajiliwa wanasalia shuleni."Niliacha shule nikaenda mitaani, Maisha mitaani yalikuwa magumu sana, njaa kila siku na nilikosa mahali pa kula na kulala.”Huyo ni Emmanuel Ekiru mwenye umri wa miaka 10 mmoja wa wanafunzi walioathirika katika kaunti hii ya turkana na kulazimika kuacha shule, ambapo takwimu za UNICEF zinaonyesha kwamba zaidi ya wanafunzi 22,200 wameathirika na ukame huo na karibu shule 40 hivi sasa hazina huduma za kutosha za maji safi na salama.Ukame huo pia umesababisha hali ngumu ya maisha na kushindwa kujikimu kwa familia nyingi, Teresa Asinyen ni mama wa Emanuel anasema ili kukidhi mahitaji ya familia “ Imeniladhimu kusenya kuni na kuuza na pia kufanyakazi za ndani kwenye nyumba za watu. Natumia fedha ninazopata kulisha watoto wangu . Kulikuwa na ukame mbaya wati wa janga la COVID-19, na shule zilizpofungwa watoto walikwenda kusaka chakula, nilihaha kulisha watoto wangu na mara nyingi walijilisha wenyewe.”Lakini sasa UNICEF kwa kushirikiana na mradi wa Educate a child au elimisha mtoto wanaisaidia serikali kurejesha shuleni watoto kama Emmanuel na kusajili wapya huku pia wakiwapa mlo shuleni . Hadi kufikia sasa Watoto 157,000 wamefaidika na mradi huo akiwemo Emmanuel. Mwalimu Mary Ikay kutoka shule ya msingi ya Nakwamekwi ndiye aliyeenda kuzungumza naye, “Niliweza kukutana na Emmanuel nikajaribu kuzungumza naye kama mwanangu , nikamuuliza shida ilikuwa ni nini , ndipo nikaweza kumleta shuleni na mwalimu mkuu alichukua hatua kumsaidia, kuzungumza naye na kumpatia mahitaji ambayo hakuwa nayo ili aweze kuendelea na masomo na pia kumuingiza kwenye program yam lo shuleni.”UNICEF inasema lengo ni kufikia watoto 48,000 walioacha shule na kuwarejesha shuleni katika kaunti nne ikiwemo Turkama, West Pokot, Baringo na Samburu.Lakini kwa Emmanuel sasa mambo yamebadilika hata ana ndoto, “Nikienda shule sasa nafurahia masomo , nikiwa mkubwa nataka kuwa daktari"

Habari za UN
27 MACHI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 27, 2023 0:13


Jaridani leo tunaangazia Afya na elimu. Makala tunasalia hapa makao makuu kufuatilia kazi ya vijana katika kutafuta suluhisho endelevu la upatikanaji wa maji barani Afrika na mashinani tutaelekeanchini Tanzania, kulikoni?Mashirika manne ya kimataifa yakiwemo matatu ya Umoja wa Mataifa yanayotekeleza mpango wa kimataifa wa ‘Afya Moja' au ‘One Health', hii leo yametoa wito wa ushirikiano wa kimataifa ili kujenga mifumo imara ya afya kufanikisha kukabiliana na changamoto ngumu za kiafya zinazoukabili ulimwengu.Ukame unaoendelea Pembe ya Afrika umeathiri shule zaidi ya 100 katika kaunti ya Turkana Kenya na kusababisha watoto wengi kuacha shule. Sasa shirika la umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF nchini Kenya kwa ushirikiano na mradi wa Educate a child wanaisaidia serikali kusajili watoto shuleni na kuhakikisha waliosajiliwa wanasalia shuleni.Katika makala Assumpta Massoi wa Idhaa hii ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa anazungumza na Lauriel Kivuyo, Mwanaharakati kijana huyu wa tabianchi kutoka Tanzania ambaye alishiriki mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Maji.Na katika mashinani tunaelekea nchini Tanzania kusikiliza shairi ambalo limeandikwa na kukaririwa kwa ajili ya kutetea haki za watoto hususani wasichana.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Washington Avenue Christian Church
Light In The Darkness | CRF (Francis Bii)

Washington Avenue Christian Church

Play Episode Listen Later Mar 12, 2023 32:54


CRF is dedicated to helping children grow up like Jesus did: intellectually, physically, spiritually, and socially. Francis Bii shares how God is working through the Jim Shelburne school in Turkana. Your support is changing children's lives! On February 6th, massive earthquakes struck across Syria and Turkey. The earthquakes caused widespread damage and collapsed over 110,000 buildings and homes.As the dust settles, we are learning that more than 47,000 people lost their lives. Tens of thousands more were severely injured, and one million people were left homeless. The economic cost of the disaster is expected to be in the tens of billions. CRF is actively working with doctors and first responders who are providing medical aid as they are clearing the debris. If you would like to donate financial assistance through a TRUSTED and DEPENDABLE organization, go to http://crf.com/disaster. Even small gifts can make a huge difference for desperate people!Do you have prayer requests? Get in touch directly with the team at WACC using thislink: https://wacconline.org/prayer-requestWe look forward to hearing from you! Want to take the next step in getting involved atWashington Avenue Christian Church? Fill out this connect card and someone willreach out to you! https://http://www.wacconline.org/connectcard Stay in touch by signing up for our weekly newsletter!https://lp.http://constantcontactpages.com/su/rhylgxq Find messages from WACC here: https://wacconline.org/media If you would like to find out more about our church,visit us at our website: https://http://www.wacconline.org Instagram: https://http://www.instagram.com/wacc.atxFacebook: https://http://www.facebook.com/wacc.atxYoutube:https://http://www.youtube.com/c/washingtonavenuechristianchurchPodcast:https://podcasts.apple.com/us/podcast/washington-avenue-christian-church/id1502459358 Everything WACC: http://linktr.ee/wacc.atx Used with Permission through our CCLI Copyright License Number 1046610 and Streaming License Number CSPL109160

Habari za UN
17 FEBRUARI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 17, 2023 0:11


Hii leo jaridani linaangazia utalii endelevu na ujenzi wa amani Sudani Kusini. Makala tunakupeleka nchini Somalia na mashinani nchini Kenya.Leo ni siku ya mnepo katika sekta ya utalii duniani, na Umoja wa Mataifa unahimiza umuhimu wa kujenga mnepo katika sekta hiyo kwa kuwa ni chanzo cha kipato na ajira kwa mamilioni ya watu lakini pia kuweza kuhimili mishtuko na majanga makubwa kama COVID-19.Katika kuhakikisha wanavutia wakimbizi wa ndani kurejea makwao, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudan Kusini UNMISS, umekarabati na kukabidhi jengo la mahakama pamoja na kujenga jengo jipya la magereza huko jimboni Equatorial Magharibi katika kaunti ya Maridi.Katika makala tunaelekea nchini Somalia kuangazia ziara ya kwanza ya Robert Piper ambaye ni Mshauri Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika kutafuta masuluhisho kwa wakimbizi wa ndani duniani.Na katika mashinani tunaelekea Turkana nchini Kenya ambapo baadhi ya watoto wanaacha shule kutokana na ukame wa muda mrefu unaosababisha ukosefu wa chakula.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Habari za UN
WHO na serikali ya Kenya wasambaza chakula tiba kwa wenye utapiamlo

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 25, 2023 0:04


Shirika la Umoja wa mataifa la Afya duniani, WHO kwa ushirikiano na serikali ya Kenya wanasambaza msaada wa chakula tiba cha dharura mahsusi kwa watoto walio na utapia mlo sugu. Watoto hao wanatokea kaunti za Samburu, Turkana na Isiolo ambako ukame na njaa vimepiga kambi. Watoto takriban 10,000 watapata chakula hicho kilicho tayari kuliwa. Thelma Mwadzaya amefuatilia operesheni hiyo na kutuandalia Makala hii. 

Habari za UN
24 JANUARI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 24, 2023 0:13


Ni Jumanne ya tarehe 24 mwezi Januari mwaka 2023 ambapo leo tunakwenda nchini Tanzania kuangalia juhudi zinavyofanyika kuhakikisha wanafunzi hususan wa vijijini wanakuwa na mazingira bora ya kuweza kujisomea  nyakati zote. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikimulika hali ya usalama DR Congo, ujumbe wa Katibu Mkuu ya siku hii ya elimu duniani na ripoti ya usafirishaji haramu wa binadamu. Katika mashinani tunakupeleka nchini Kenya.Hali ya usalama inazidi kuwa mbaya huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC hususa jimboni Ituri ambako vikundi vilivyojihami vimeendelea kuua rai ana katika wiki sita zilizopita zaidi ya raia 200 wameuawa, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi duniani, UNHCR.Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya elimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kwamba elimu ni haki ya msingi ya binadamu na hivyo kila mtu anastahili kuipata. Kupitia ujumbe wake wa siku hii inayoadhimishwa kila mwaka Januari 24 Antonio Guterres amesema “Ni msingi wa jamii, uchumi, na uwezo wa kila mtu. Lakini bila uwekezaji wa kutosha, uwezo huu utaishia kwenye mzabibu".Na ripoti mpya iliyotolewa leo na ofisi ya Umoja wa Mataifa ya madawa na uhalifu UNDOC kuhusu usafirishaji haramu wa binadamu inaelezea hofu kwamba rasilimali za kuwaokoa waathirika wa usafirishaji haramu zimeelekezwa kwenye janga la COVID-19.Na leo katika mashinani tutakwenda Turkana nchini Kenya kumsikia Gabriel Ekaale, ambaye alianza kazi yake kama mwalimu wa shule ya upili nchini Kenya, lakini baada ya muda mfupi aligundua kwamba kazi yake inaweza kuwa na manufaa kwa jamii nzima, na sasa anafanya kazi na jamii zilizoathiriwa na ukame.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Habari za UN
Changamoto la uhaba wa maji Turkana nchini Kenya laanza kupatiwa majawabu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 9, 2022 0:04


Janga litokanalo na mabadiliko ya tabianchi ni janga pia la haki za watoto, linasema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto duniani, UNICEF. Shirika hilo linasema mabadiliko ya tabianchi yanajidhihirisha kwenye ukame, vimbunga, mikondo joto, mafuriko na magonjwa Vyote hivyo vinaathiri zaidi watoto. Tayari nchini Kenya, katika kaunti ya Turkana, UNICEF na wadau wametambua changamoto hiyo na wamechukua hatua kurejesha tabasamu si tu kwa watoto bali pia kwa familia zao kupitia miradi mbalimbali, huku shirika hilo likitoa wito kwa serikali ya Kenya kuendelea kupatia kipaumbele huduma za nishati ya kufanikisha huduma za maji, nishati kama vle ya jua na upepo. Thelma Mwadzaya anamulika kwa kina kilichofanyika katika Makala hii iliyoandaliwa na UNICEF. 

Moxie Podcast
Solo series 39 / Jenny on the Road - 2022 Reflections + Joys of 2023

Moxie Podcast

Play Episode Listen Later Dec 1, 2022 16:01


Phew! We are in the last stretch of 2022 and we have so much to reflect on and get excited for 2023 as well! In this joyous spirit, we are celebrating Imani Collective's win this Giving Tuesday. They had over 600 individual donors walk alongside them to raise money for their Turkana development project and surpassed their fundraising goal! We are so excited for the great empowerment opportunities this will provide for the people of Turkana to continue creating and thriving. You can continue to be a part of this impact here We are incredibly excited for what The Moxie podcast will be in 2023. Incredible guests are lined up, exciting events happening in Mombasa, Costa Rica & the US + a book launch and we are excited for you to be part of all that. Enjoy your holidays friends! If you enjoyed this episode and you'd like to help support the podcast, please share it with friends, post about it on social media and don't forget to leave a rating and review.  While at it don't forget to subscribe to the podcast!

The Generations Radio Program
Evolutionists in Crisis

The Generations Radio Program

Play Episode Listen Later Nov 4, 2022


The fossil record touted for human evolution is evaporating, year after year, decade after decade, post-Darwin. The media hype isn't quite enough to keep the theory on life support. Neanderthal turned out to be fully human. Ardipithecus ramidus turned out to be an ape. Naledi turned out to be an ape-like creature more recently gone extinct—not the missing link everybody had hoped for. Turkana boy turned out to be fully human. Lucy was a knuckle walker after all. The evidence has gone up in smoke, and evolutionists are now in crisis. Subsequent research into fossil finds would always increase levels of skepticism concerning conclusions drawn. Significant disagreement prevailed among evolutionary paleontologists concerning the evidence itself. While consensus was illusive among the evolutionary scientific community, universities and government schools would still carry on a pretense of consensus and dogmatic assertions in the textbooks. 

Generations Radio
Evolutionists in Crisis - Evidence Gone Up in Smoke

Generations Radio

Play Episode Listen Later Nov 4, 2022 25:00


The fossil record touted for human evolution is evaporating, year after year, decade after decade, post-Darwin. The media hype isn't quite enough to keep the theory on life support. Neanderthal turned out to be fully human. Ardipithecus ramidus turned out to be an ape. Naledi turned out to be an ape-like creature more recently gone extinct-not the missing link everybody had hoped for. Turkana boy turned out to be fully human. Lucy was a knuckle walker after all. The evidence has gone up in smoke, and evolutionists are now in crisis. Subsequent research into fossil finds would always increase levels of skepticism concerning conclusions drawn. Significant disagreement prevailed among evolutionary paleontologists concerning the evidence itself. While consensus was illusive among the evolutionary scientific community, universities and government schools would still carry on a pretense of consensus and dogmatic assertions in the textbooks.

Generations Radio
Evolutionists in Crisis - Evidence Gone Up in Smoke

Generations Radio

Play Episode Listen Later Nov 4, 2022 32:00


The fossil record touted for human evolution is evaporating, year after year, decade after decade, post-Darwin. The media hype isn't quite enough to keep the theory on life support. Neanderthal turned out to be fully human. Ardipithecus ramidus turned out to be an ape. Naledi turned out to be an ape-like creature more recently gone extinct-not the missing link everybody had hoped for. Turkana boy turned out to be fully human. Lucy was a knuckle walker after all. The evidence has gone up in smoke, and evolutionists are now in crisis. Subsequent research into fossil finds would always increase levels of skepticism concerning conclusions drawn. Significant disagreement prevailed among evolutionary paleontologists concerning the evidence itself. While consensus was illusive among the evolutionary scientific community, universities and government schools would still carry on a pretense of consensus and dogmatic assertions in the textbooks. --This program includes- --1. The World View in 5 Minutes with Adam McManus -NPR plays audio of an abortion on air, Ohio voter stumps Democrat Senator Tim Ryan, Nigerian Muslims kidnap 40 kids and demand -70,000 ransom- --2. Generations with Kevin Swanson

Habari za UN
Mradi wa sola kambini Kalobeyei, Kenya wawezesha wakimbizi na wenyeji kujikwamua kiuchumi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 28, 2022 0:03


Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR, Filippo Grandi ambaye amezuru Kenya ameshuhudia ni kwa kiasi gani miradi inayoIenga wakimbizi na wenyeji inasaidia sio tu kuinua vipato vya pande zote bali pia kujenga utangamano, maelewano na amani kwenye makazi ya wakimbizi. Taarifa ya Thelma Mwadzaya inafafanua zaidi.Mapokezi ya Kamishna Mkuu wa UNHCR Filippo Grandi katika mtambo wa mdogo wa kuzalisha umeme kwa kutumia nishati ya sola kwenye makazi ya wakimbizi ya Kalobeyei nje kidogo ya mji wa Kakuma, kaunti ya Turkana nchini Kenya.Bwana Grandi anapatiwa maelezo kuwa mradi huu wa sola unaofanikishwa na Benki ya Dunia unawezesha wenyeji na wakimbizi kujikwamua kiuchumi na kijamii kwa kupata umeme wa uhakika kwa saa 24.Makazi ya wakimbizi ya Kalobeyei, ni mradi uliozinduliwa mwaka 2018 ili kutekeleza kivitendo azma ya kuwezesha wakimbizi kujitegemea, kujumuishwa katika huduma za kitaifa na kutumia pamoja na wenyeji huduma za kijamii.Akiwa hapa Bwana Grandi ameshuhudia kushamiri kwa biashara za wakimbizi na wenyeji.Joel, mkimbizi kutoka Burundi ana duka la kunyoa nywele na pia anauza vipodozi, “Nilifungua duka kama hili kwa sababu niliona kila siku watu wakihitaji vitu kama hivi wanaenda Kakuma. Hivyo nikafikiria nikaona nikifungua duka kama hili tutafaidika sote wakazi wa Kalobeyei, badala waende Kakuma. Ndio maana nikafungua duka hili la vipodozi vya wanawake. Stima imenisaidia sana kwa duka langu la kinyozi. Mpango wangu mwakani ni kununua vifaa vingine vikubwa vya kunyolea ili nifike kiwango ninachotaka.”Irene Kai mwenyeji mjasiriamali anaonekana akiwasha taa iliyoungwanishwa kwenye mradi wa nishati ya sola huku akiweka vinywaji kwenye jokofu anasema.“Nashukuru sana kwani tangu wakimbizi waletwe hapa tumekuwa pamoja nao, manake hili eneo awali lilikuwa ni msitu na hakuna mtu alikuwa anaishi. Sasa hivi tunafanya biashara na wakimbizi. Na tangu huu umeme uletwe, kazi yetu imekuwa rahisi. Mimi nikiwa mfanyabiashara wa vinywaji, nauza  maji, soda, ninaweza pia kukamua matunda. Ninaweza kuchaji simu, redio yangu pia inaimba, televisheni inawaka, na nyumba nzima ina umeme kwa saa 24. Tunafanya biashara na wakimbizi na tuko na amani nao.”Kamishna Mkuu Grandi baada ya kuona na kusikia akafunguka, “Mwaka 2018, Umoja wa Mataifa ulipitisha Mkataba wa kimataifa wa wakimbizi. Hii ni mbinu ambayo Umoja wa Mataifa inapatia nchi wanachama kusimamia njia bunifu, zenye kanuni na majawabu mujarabu ya mienendo mikubwa ya wakimbizi. Naweza kusema kuwa uwepo wangu wa siku nzima Kakuma na hapa Kalobeyei kaunti ya Turkana na kwa ukarimu mkubwa na uwazi wa mamlaka za hapa na ushirikiano wa wadau wote, nilichoshuhudia ni utekelezaji wa Mkataba wa kimataifa wa wakimbizi.”Akiwa Kenya, Kamishna Mkuu Grandi alikutana pia kwa mara ya kwanza na Rais William Ruto wa Kenya ambapo amesisitiza tena azma ya UNHCR ya kushirikiana na serikali mpya ya Kenya katika kulinda na kusaka majawabu kwa wakimbizi sambamba na kuhamasisha usaidizi wa maendeleo kwa jamii za wenyeji.Halikadhalika alitumia fursa hiyo kushukuru Kenya kwa kuendelea kupokea na kuhifadhi wakimbizi.

Habari za UN
20 OKTOBA 2022

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 20, 2022 0:11


Hii leo katika Jarida la Umoja wa Mataifa tuna Mada kwa Kina ikimulika harakati za kutokomeza ujinga wa kutokujua kusoma na kuandika kupitia elimu ya watu wazima au ngumbaru huko nchini  Kenya. Tayari wanufaika wameanza kuona matunda. Thelma Mwadzaya anakupitisha katika mtaa wa mabanda wa Kiambiu, huko Eastleigh jijini Nairobi. Habari kwa ufupi inamulika usaidizi wa WFP kwa Somalia, ziara ya Priyanka Chopra-Jonas, balozi mwema wa UNICEF huko Turkana nchini Kenya, halikadhalika ziara ya Katibu Mkuu wa UN nchini India, Antonio Guterres alikozindua mtindo bora wa maisha wa kuwezesha kuhifadhi sayari dunia. Na leo kujifunza kiswahili tunakuletea methali isemayo,  Paka hakubali kulala chali, mchambuzi ni Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa BAKIZA, Zanzibar nchini Tanzania. Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Heart Pocket Podcast
HPP0210 Why STS and God's Story? Part 3.

Heart Pocket Podcast

Play Episode Listen Later Oct 18, 2022 21:20


Why did Raafat, John and Patrick choose STS and God's Story tools?  Hear how one Megavoice solar audio player with God's Story leads 67 people to Christ among the Oromo. What happens when Turkana people listen to God's Story all night. Men on drugs are changed and restored with their families. Links … Simply the Story … Upcoming workshops … God's Story: From Creation to Eternity …  Moment for Eternity - Training for Evangelism Follow us on Twitter ~ Feedback ~ Facebook ~ iTunes Podcast ~ Vimeo ~ STS Youtube ~ God's Story Youtube

Habari za UN
Baada ya kunusurika kuozwa kisa ukame, mtoto 'Carol' sasa aomba asaidiwe aende shule

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 23, 2022 3:35


Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limesema watoto wengi na hususan wa kike katika jamii zilizoathirika na ukame nchini Kenya ikiwemo Turkana wako katika hatari  hasa ya kuozwa mapema kwa sababu familia nyingi zinahaha kuweka mlo mezani na suluhu ya karibu wanayoiona ni kuoza binti zao mapema ili kujikimu. Sasa shirika hilo linashirikiana na mamlaka za huduma ya ulinzi kwa watoto katika maeneo yaliyoathirika ili kuwalinda dhidi ya ajira ndoa za utotoni. Mary Kabora na maelezo zaidi. Carol , hilo si jina lake halisi ila amepewa sababu ya kulinda usalama wake, ana umri wa miaka 11 na anaishi katika Kaunti ya Turkana anasema mjomba wake aliamua kumuoza baada ya hali ya maisha kuzidi kuwa mbaya kutokana na ukame , kwani sasa hawana mbuzi tena, wala hawana chochote na matatizo yamekuwa mengi nyumbani. Lakini Caro mwenye ndoto za kusoma alikataa katakata akisema, “nilisema siwezi kukubali hata kama ni njaa basi wacha niake tu mi siwezi kukubali hicho kitu.”   Hii ni changamoto inayozikabili familia nyingi hapa Turkana, kisa ni ukame wa muda mrefu uliowafanya kupoteza uwezo wa kujikimu kimaisha, mazao yamekauka, mifugo imekufa, fedha hakuna na msaada ni changamoto. Kukosekana kwa fedha ya kulipia mtihani ndio kulimponza Carol na kisha, “Mama yangu niliporudishwa nyumbani kwenda kuleta hela ya kulipia mtihani alisema hana hela, hakunipa na hiyo likanifanya nikaacha shule. Na ndio ikafanya wanipe mzee anioe, mimi nikakataa nikasema huyo bwana siwezi kukubali.”  Ameendelea kusema kuwa mwanaume huyo mzee alikuja kumchukua na pikipiki akaondoka naye na wakiwa njiani walisimama porini na mwanaume huyo akamnajisi.  Mkurugenzi wa huduma ya ulinzi kwa watoto Turkana Julius Yator anasema “Kisa hicho kutoka Turkana South kiliripotiwa na jirani kwenye ofisi ya huduma kwa watoto ambayo ni ofisi yangu, na kuanzia hapo mchakato wa kukamata wahusika na kumuokoa mtoto ukaanza.”  UNICEF inashirikiana na ofisi hiyo ili kuwalinda watoto walioathirika na ukame na walio hatarini kama Carol, na hadi sasa watoto 1,600 katika Kaunti hiyo wameshafikiwa na kuokolewa dhidi ya ajira na ndoa za utotoni.  Mkuu wa UNICEF ofisi ya kanda ya Lodwar Laban Rotuno Kipsang anasema “kwa kawaida tunaporipoti kesi kama hizo binti huokolewa na anapewa malazi na ushauri nasaha. Ukanda wangu pia unafanya kazi kubwa ya kushirikisha jamii kupitia msaada wa UNICEF peke yetu na washirika wengine, na sasa hivi tuna kampeni inayosema baini na komesha , ili unapoona unazuia ni kama katika kesi hii mtu aliona na akaamua kuripoti na mtoto akaokolewa asiolewe.”  Na Carol baada ya kuokolewa anasema anataka kurejea ndoto yake “Nataka kusaidiwa niendelee na shule.”