POPULARITY
Waziri wa Ajira na mahusiano ya kazini, Murray Watt, ame kosoa ahadi ya upinzani yaku futa baadhi ya mageuzi ya mahusiano ya viwanda ya Serikali ya Labor.
Uchoraji ni Ajira ,Wasanii wa sanaa hii Zanzibar wananeemeka na kazi zao, Ungana na Steven Mumbi akizungumza na Obedience na Muki kutoka Zanzibar.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Hii leo jaridani Mada kwa kina ambayo itatupeleka Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Umoja wa Mataifa kupitia ujumbe wake wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO ulikabidhi wiki iliyopita kwa serikali ya jimbo la Kivu Kaskazini miradi ya kusaidia jamii kiuchumi ikilenga wapiganaji wa zamani, vijana walio katika hatari na wanawake walio katika mazingira magumu. Mradi huu uliogharimu zaidi ya dola za Kimarekani 99,582, kupitia kitengo cha MONUSCO cha kuwezesha wapiganaji kujisalimisha, kupokonywa silaha na kuwajumuisha kwenye jamii, au DDR na ulitekelezwa kwa miezi 6. Pia tunakuletea habari kwa ufupi na ufafanuzi wa maana ya neno “UKONAVI AU JAZUA”. Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Katika makala haya tunajadili kinachoendelea katika mataifa mengi ya Afrika kuendelea kushuhudia ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana, hii likichangia kwa kiasi kikubwa uhalifu. Je Wewe unafanya nini ili kupata riziki ya kila siku ?Ndilo swali tumekuulizaHaya hapa baadhi ya maoni yako.
Katika makala haya tunajadili kinachoendelea katika mataifa mengi ya Afrika kuendelea kushuhudia ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana, hii likichangia kwa kiasi kikubwa uhalifu. Je Wewe unafanya nini ili kupata riziki ya kila siku ?Ndilo swali tumekuulizaHaya hapa baadhi ya maoni yako.
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.
Kwa wastani, wanawake hufanya angalau mara mbili na nusu zaidi ya kazi za nyumbani zisizo na malipo kuliko wanaume. Zaidi ya hayo, wanawake hutumia saa 4 na dakika 30 kwa siku kwa kazi ya matunzo bila malipo, ikilinganishwa na saa 1 dakika 20 kwa wanaume katika nchi zinazoendelea.Makala ya Gurudumu la uchumi wiki hii tunajikita kule mashariki mwa nchi ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambako baadhi ya wanawake kwenye mji wa Goma, sasa wanalazimika kuponda mawe kujikimu na familia zao.
Kwa wastani, wanawake hufanya angalau mara mbili na nusu zaidi ya kazi za nyumbani zisizo na malipo kuliko wanaume. Zaidi ya hayo, wanawake hutumia saa 4 na dakika 30 kwa siku kwa kazi ya matunzo bila malipo, ikilinganishwa na saa 1 dakika 20 kwa wanaume katika nchi zinazoendelea.Makala ya Gurudumu la uchumi wiki hii tunajikita kule mashariki mwa nchi ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambako baadhi ya wanawake kwenye mji wa Goma, sasa wanalazimika kuponda mawe kujikimu na familia zao.
Wasicahana waaswa kuchangamkia fursa za ajira melini
Msikilizaji asilimia 70 ya watu katika mataifa ya Afrika yaliyoko Kusini mwa Jangwa la Sahara wana umri wa chini ya miaka 30, hata hivyo ni hatari ikiwa mataifa yatashindwa kuhakikisha vijana wana nafasi nzuri za maisha, kwakuwa Vijana wana haki sio tu ya afya bora, lishe bora na elimu, lakini fursa za uhuru na kazi nzuri.Kuzungumzia mada hii hivi leo, kwa njia ya simu nimemualika Ali Mkimo, mtaalamu na mchambuzi wa masuala ya uchumi na biashara akiwa nchini Tanzania.
Msikilizaji asilimia 70 ya watu katika mataifa ya Afrika yaliyoko Kusini mwa Jangwa la Sahara wana umri wa chini ya miaka 30, hata hivyo ni hatari ikiwa mataifa yatashindwa kuhakikisha vijana wana nafasi nzuri za maisha, kwakuwa Vijana wana haki sio tu ya afya bora, lishe bora na elimu, lakini fursa za uhuru na kazi nzuri.Kuzungumzia mada hii hivi leo, kwa njia ya simu nimemualika Ali Mkimo, mtaalamu na mchambuzi wa masuala ya uchumi na biashara akiwa nchini Tanzania.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Hujambo msikilizaji wa rfikiswahili popote pale unapotegea sikio matangazo yetu nikukaribishe katika makala ya Gurudumu la Uchumi, na hivi leo tunaangazia ukanda wa Afrika Mashariki, eneo lililojaa nguvu kazi ya vijana pamoja na ari ya ujasiriamali, lakini bado linakabiliwa na tatizo la ukosefu wa ajira. Takwimu za hivi karibuni za benki ya dunia zinaonesha uhalisia wa tatizo, takwimu zikitofautiana baina ya nchi na nchi, lakini kiujumla ni kuanzia kati ya asilimia 4 hadi 19 ya vijana hawana ajira, huku wanawake walioko vijijini wakiwa waathirika wakubwa. Katika makala haya hivi leo, tutaangazia kwa kina namna gani bora ya kukabiliana na tatizo la ajira na kuongeza wajasiriamali wengi zaidi kwenye ukanda. Kwenye line ya simu nimewaalika, Ali Mkimo, yeye ni mchambuzi wa masuala ya Uchumi pamoja na Emmanuel Cosmas, kijana mbunifu wa masuala teknolojia na nibalozi wa UNICEF, wote hawa wakiwa nchini Tanzania.
Hujambo msikilizaji wa rfikiswahili popote pale unapotegea sikio matangazo yetu nikukaribishe katika makala ya Gurudumu la Uchumi, na hivi leo tunaangazia ukanda wa Afrika Mashariki, eneo lililojaa nguvu kazi ya vijana pamoja na ari ya ujasiriamali, lakini bado linakabiliwa na tatizo la ukosefu wa ajira. Takwimu za hivi karibuni za benki ya dunia zinaonesha uhalisia wa tatizo, takwimu zikitofautiana baina ya nchi na nchi, lakini kiujumla ni kuanzia kati ya asilimia 4 hadi 19 ya vijana hawana ajira, huku wanawake walioko vijijini wakiwa waathirika wakubwa. Katika makala haya hivi leo, tutaangazia kwa kina namna gani bora ya kukabiliana na tatizo la ajira na kuongeza wajasiriamali wengi zaidi kwenye ukanda. Kwenye line ya simu nimewaalika, Ali Mkimo, yeye ni mchambuzi wa masuala ya Uchumi pamoja na Emmanuel Cosmas, kijana mbunifu wa masuala teknolojia na nibalozi wa UNICEF, wote hawa wakiwa nchini Tanzania.
Serikali ya Kenya inaendesha uchuguzi kuhusiana na madai ya baadhi ya wafanyakazi wake kumiliki vyeti ghushi, walivyotumia kupata ajira. Unafaikiri mtu anapaswa kuajiriwa kutokana na vyeti vyake au ujuzi wa kazi ?Nchini mwako ajira hutolewa vipi ?Haya hapa baadhi ya maoni yako.
Serikali ya Kenya inaendesha uchuguzi kuhusiana na madai ya baadhi ya wafanyakazi wake kumiliki vyeti ghushi, walivyotumia kupata ajira. Unafaikiri mtu anapaswa kuajiriwa kutokana na vyeti vyake au ujuzi wa kazi ?Nchini mwako ajira hutolewa vipi ?Haya hapa baadhi ya maoni yako.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Umoja wa Mataifa juzi umetoa orodha ya mataifa yenye furaha zaidi duniani. Finland kwa mara nyingine tena imeibuka nafasi ya kwanza, kutokana na huduma bora wananchi wa taifa hilo wanapata kutoka kwa serikali. Kenya iko katika nafasi ya 114 duniani. Sepetuko inakiri kuwa Wakenya wengi hawana furaha kutokana na ugumu wanaopitia, huku serikali ya siku ikionekana kutojali. Wakenya watafurahi vipi wakati madaktari wanaendelea na mgomo, nafasi za ajira hazipo nchini, ufisadi umesheni serikalini, fedha za kufadhili elimu zinacheleweshwa miongoni mwa masaibu mengine.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Kenya yasema inajadili kuhusu nafasi za ajira 310,000 kwa raia wake nje ya nchi
Viongozi wa jumuiya ya Kokwet wali wa andalia wanachama wao hafla maalum, ambako walichangia vyakula, walifanya maonesho ya mitindo nakumaliza sherehe kwa miziki ya asili yao.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Hii leo jaridani tunaangazia ajira kwa watoto na wakimbizi nchini Jordan. Makala tunakupeleka nchini CAR na mashinani nchini Kenya, kulikoni?Ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa dhidi ya Ajira au Utumikishaji wa Watoto ambayo inakusudia kutumika kama kichocheo cha kuongeza harakati za kimataifa dhidi ya ajira au utumikishwaji kwa watoto na ikisisitiza uhusiano kati ya haki za kijamii na ajira kwa watoto, kama ilivyo kwa nchi nyingine wanachama wa Umoja wa Mataifa, Tanzania nayo imeungana na mataifa mengine kuadhimisha siku hii ambapo maadhimisho hayo yamefanyika Kitaifa katika kijiji cha Gua.Katika kambi ya wakimbizi ya Za'atari iliyoko nchini Jordan, roho ya ubunifu ya mtu mmoja na dhamira yake isiyoyumba imebadilisha vitu mbalimbali vinavyotupwa na kuonekana havifai tena kuwa nyenzo muhimu za urembo.Katika makala leo Afisa Habari wa Kikosi cha 6 cha walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania, TANBAT 6 wanaohudumu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, anatupeleka katika ziara ya walinda amani hao kukagua miradi ambayo wameianzisha kwa ajili ya wananchi.Na mashinani tutakupeleka kijinini Kareman katika kaunti ya Turkana nchini Kenya kushuhudia jinsi ambavyo wenyeji wanajitolea kuhakikisha wanawake na watoto wanaweza kufikia huduma za afya licha ya ukame ambao umezikumba jamii za kaunti hiyo kwa muda mrefu.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, Karibu!
Ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa dhidi ya Ajira au Utumikishaji wa Watoto ambayo inakusudia kutumika kama kichocheo cha kuongeza harakati za kimataifa dhidi ya ajira au utumikishwaji kwa watoto na ikisisitiza uhusiano kati ya haki za kijamii na ajira kwa watoto, kama ilivyo kwa nchi nyingine wanachama wa Umoja wa Mataifa, Tanzania nayo imeungana na mataifa mengine kuadhimisha siku hii ambapo maadhimisho hayo yamefanyika Kitaifa katika kijiji cha Gua, Kata ya Gua katika Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Mkoani Songwe. Kupitia siku hii muhimu kwa Watoto ulimwenguni kote, baadhi ya watoto kutoka Shule ya Msingi Gua wametoa maoni yao kuhusu umuhimu wa maadhimisho haya, miongoni mwao ni, Grace yeye ni muelimishaji jamii kuhusu utumikishwaji wa mtoto kwenye mashamba ya tumbaku, hapa anazungumzia hali ya utumikishwaji ilivyo kwa sasa, Kwa upande wake Innocent David Pesa amewashauri wazazi na walezi juu ya athari za utumikishwaji wa mtoto, Maadhimisho ya mwaka huu yanaenda Sambamba na kauli mbiu isemayo “Haki za Jamii kwa Wote, Tokomeza utumikishwaji wa Mtoto”
In this podcast episode, Gayatri Kalyanaraman is in conversation with Sat (Sathyanarayanan) Vijayaraghavan, Founder and CEO at Adept Labz AKA "Ajira.Tech" and CASA Retail AISat started dabbling with computers at the age of 11 and started keenly interested in problem solvingSat also shares his interests in computers while also sharing his earlier thoughts of following his fathers business and gently moved towards software technologyJoined Cognizant as one of the earlier employees and moved to back to US and showed early interest in the field of product development and consulting. At this time (late 90s), Building a web page was a cutting edge and started building a product in work flow development. Sat shares his learnings of nuts and bolts of problem solvingHis next experience was with Diamond cluster consulting that sharpened his strategy consulting skills for about 5.5 years and built the first marketplace Sat later talks about his decisions of location from India to US to across the globe and his love for problem solvingSat covers the initial set of vision that started in a Tea shop Mangalambika and conceptualized the company Sat shares his stories of creating a brand new firm Ajira in 2016. He also shares the struggles and wiggles that he had to ride out ofSat has sold off his first venture and building the next set of venturesWhat is the impact that we are leaving behind in the workplace that we are in. Sat shares some profound ideas from his experience and links it to general happiness and financial freedomDifferences between being a executive and Founder and risks and struggles of being an entrepreneur Sat shares how as a start up first question to answer is there a person out there who will be ready to pay for it and ensure that you build fault tolerance from the get go.Sathyanarayanan (SAT for his friends) did his bachelor engineering in Venkateshwara college in Chennai and post grad in Cincinnati college. Started working for Cognizant. Moved on the Diamond Cluster and later to Wpro. He became the General manager and the vertical head for Retail in ThoughtWorks.Sat has about 23 years of overall IT management and delivery experience with 4 years in management (P&L responsibility, operations etc), 6 years in technology strategy and 9 years in global software sourcing; 8+ years in US working with ‘C' level executives of Fortune 500 firmsHe has been a Founder and CEO of Ajira, General Manager of Chennai at ThoughtWorks, Retail practice development at Wipro and created Retail practice at ThoughtWorksSat shares a passion for enterprise architecture having architected some of the largest online and trading platforms for Fortune 500 customers. He has also defined strategic enterprise architectures for several Fortune 100 customersHe is a true Thought leader with international publications in global retailing, customer experience, cross channel retailing, supply chain and eCommerceSat can be contacted at https://www.linkedin.com/in/satvijayaraghavan/
Shirika la Umoja wa Mataifa la kazi duniani, ILO limetoa ripoti hii leo ikisema ukosefu wa ajira na ukosefu wa usawa vyote vitaendelea kuongezeka duniani kutokana na majanga lukuki yanayoingiliana ya kiuchumi na kisiasa na hivyo kutishia kukwamuka kwa soko la ajira duniani. Leah Mushi na ripoti kamili.Ripoti hiyo iliyotolewa leo mjini Geneva, Uswisi inaonesha kuwa mwelekeo wa soko la ajira duniani umekuwa mbaya zaidi katika miezi ya karibuni na mwelekeo wa nafasi za ajira utapungua sambamba na kiwango cha ukuaji wa ajira duniani kwenye robo ya mwisho ya mwaka huu wa 2022 iliyoanza mwezi huu wa Oktoba.Ikipatiwa jina la Ufuatiliaji wa Sekta ya Ajira duniani, ripoti inasema vita ya Ukraine, pamoja na ongezeko la mfumuko wa bei vinasababisha kuporomoka kwa viwango halisia vya ujira kwenye nchi nyingi duniani, na hii inaambatana na kuporomoka kwa ujira kwa kiasi kikubwa wakati wa janga la COVID-19, ambalo limeathiri zaidi makundi ya kipato cha chini.Ukosefu wa ajira unadhihirika zaidi madhara yake kwenye ongezeko la bei za vyakula na nishati, uchumi unadorora na fursa za maboresho ya kisera zinapungua.Mkurugenzi Mkuu wa ILO Gilbert Houngbo anasema majawabu ya kutatua hali ya sasa ya ajira na kuepusha hali kuwa mbaya zaidi kutahitaji sera za kina na zinazoingiliana na ambazo pia zina mizania kitaifa na kimataifa.Amesema “tunahitaji utekelezaji wa sera nyingi nap ana ikiwemo será za kuingilia kati kupunguza bei za vyakula, kugawana vema mapato ambayo hayakutarajiwa, kuimarisha hifadhi ya jamii na sera mahsusi za kulenga watu walio hatarini zaidi.
Tatizo la ajira hususan kwa vijana ni suala linaloumiza vichwa kuanzia ngazi ya familia, kitaifa mpaka kimataifa. Nchini kenya katika kusaka suluhu ya tatizo hili Serikali ya Kenya imeanzisha mradi wa Ajira na Fursa kwa vijana au KYEOP unaofadhiliwa na Benki ya Dunia ukilenga vijana wenye umri wa kati ya miaka 18 mpaka 29 ambao wanapatiwa fursa ya elimu ili waweze kuajirika au wakishahitimu na kufungua biashara zao waweze kutengeneza fursa za ajira kwao na kwa wengine. Msichana Esther Karisa ni mnufaika wa mradi wa KYEOP lakini yeye baada ya kujiunga na programu hiyo aliamua kusomea ufundi stadi wa kuchomelea vyuma au welding kwa lugha ya kiingereza, taaluma ambayo inaaminika ni ya wanaume pekee. Tusikie akisimulizi safari yake.
Kamisaa wa Sensa Kitaifa huko Tanzania Anna Makinda amewataka vijana wasomi kujitengenezea uchumi wao binafsi kupitia fursa zilizoko kwenye maeneo wanayoishi kuliko kutegemea ajira kutoka serikalini au sekta binafsi
Shirika la fedha duniani IMF kupitia taarifa yake kuhusu mapato ya serikali na maendeleo ya kifedha iliyotolewa leo limeonya kwamba uchumi wa dunia unazorota wakati huu ambapo mazingira ya kifedha kote duniani yanaendelea kuwa magumu. Taarifa zaidi inasomwa na Happiness Palangyo wa redio washirika Uhai FM ya Mkoani Tabora Tanzania. (TAARIFA YA HAPPINESS PALANGYO) Akizungumzia hali hiyo mkutrugenzi wa idara ya masuala ya mapato ya serikali na fedha wa IMF mjini Washington DC Victor Gaspar amesema kushuka kwa kasi kwa uchumi kunaweza kuzidisha ubadilishanaji kati ya vipaumbele shindani vya usimamizi wa mahitaji, uimarishaji wa madeni, ulinzi wa watu walio katika mazingira magumu, na uwekezaji kwa siku zijazo. Ameongeza kuwa "Mkurugenzi mkuu ameeleza kwamba tunaishi katika ulimwengu dhaifu na wenye mshtuko. Taarifa ya mapato ya serikali inachunguza kwa kina jinsi sera za fedha zinavyoweza kuchangia katika jamii zenye mnepo ambapo watu wanaweza kurudi kujikwamua tena.” Taarifa hiyo imeendelea kusema kwamba deni la serikali la kimataifa linakadiriwa kuwa asilimia 91 ya pato la taifa mwaka 2022, ambayo ni asilimia 7½ juu ya viwango vya kabla ya janga la COVID-19, licha ya kupungua kwa uwiano wa hivi karibuni kwa nchi nyingi. Imeongeza kuwa madeni yalipungua kwa sababu ya kupunguza pengo lililokuwepo, kuimarika kwa uchumi, na majanga ya mfumuko wa bei. Bwana Victor akaenda mbali zaidi na kuweka bayana kwamba “Hatari kubwa inayosisitizwa katika taarifa hiyo ya mapato ya serikali ni madeni. Maendeleo ya hivi karibuni ya soko yanaonyesha kuongezeka kwa unyeti hadi kwa msingi dhaifu au kuzorota kwa misingi ambayo inaongeza hali ya mara kwa mara ya mizozo au kusambaa kwa matatizo yakifedha.” Mkurugenzi huyo amesisitiza kwamba kufafanua mfumo thabiti wa sera za muda wa kati kwa ulimwengu wa baada ya janga la COVID-19 ni muhimu. Pia amesema kutegemea mshangao wa mfumuko wa bei unaorudiwa ili kupunguza deni la umma sio mkakati mzuri na itasababisha shinikizo la matumizi kwa mfano, mishahara na gharama ya huduma. Mbali ya hayo amesema kupunguza pengo kama vile masoko mengi ya juu na yanayoibukia kunatarajiwa kuleta mabadiliko, na ni muhimu ili kusaidia kukabiliana na mfumuko wa bei na kushughulikia udhaifu wa madeni. "Taarifa ya ufuatiliaji wa mapato ya serikali inapendekeza utozwaji wa kodi kwa msingi wa haki. Mifumo dhabiti na mipana ya hifadhi ya jamii, kujenga akiba ya fedha, na kurejea kwa sheria za fedha,”
Wengi wao hata hivyo wanasema kwamba wanahitaji kuwezeshwa katika kujifunza lugha za wenyeji , pamoja na kusaidiwa kwenye program kama za uangalizi wa watoto, wakati wakitafuta ajira.
Tangazo hilo lilifanywa na rais mpya wa Kenya William Ruto muda mfupi baada ya kuapishwa, wakati vijana kwenye mitaa ya wakisema kwamba wana matumaini mapya ya kupata ajira.
Serikali ya shirikisho imesema ita harakisha ujio wa wafanyakazi kutoka visiwa vya Pasifiki nchini Australia, kwa ajili yaku shughulikia uhaba mkubwa wa wafanyakazi katika sekta ya kilimo.
Kutana na Priscilla Lecomte, mtaalamu wa mawasiliano wa UN-CBi, mpango unaoratibiwa na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura, OCHA na shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa maendeleo duniani, UNDP kushirikisha sekta binafsi katika kujiandaa kukabliana na majanga na hata kurejea katika hali nzuri baada ya majanga. Bi. Lacomte ni mzaliwa na raia wa Ufaransa ambaye anaamini lugha zina mchango mkubwa katika kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu akitolea mfano lugha aanayoipenda, Kiswahili ambayo alianza kujifunza akiwa kwao Ufaransa kabla ya kubobea aliposafri na kuishi Afrika Mashariki na baadaye kupata kazi katika Umoja wa Mataifa ambako alitumia na anaendelea kutumia Kiswahili katika kazi zake.
Afya, Jinsi ya kujiajiri
Afya, Jinsi ya kujiajiri binafsi
Ikiwa leo wakuu wa nchi na wanachama wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kazi duniani wanakutana katika mkutano wa 110 wa Kimataifa wa wanachama wa shirika hilo kujadili hatua za haraka zinazoweza kuchukuliwa ili kukabiliana na athari za ajira na kijamii za migogoro mingi iliyoibuka duniani nchini Guatemala wadau wamehimiza sekta zote kujumuishwa ili kutatua tatizo la ajira kwa watoto.
Afya, Jinsi ya kujiajiri
Katika jarida la Jumatatu Mei 16, 2022 na Leah Mushi Mradi wa mafunzo wa ILO wawainua wafanyabiashara Turkana magharibi, Kenya UNMAS yaendelea kunusuru maisha ya watu Sudan Kusini kwa kutegua mabomu ya kutegwa ardhini Makala ni kutoka Dar es Salaam Tanzania ambako Philbert Alexander wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa ameingia katika mitaa ya Dar es Salaam kuzungumza na baadhi ya wasichana na wanawake kuhusu namna wanavyouelewa usawa wa kijinsia. Mashinani tutakuwepo Ukraine kuangazia athari za vita kwa wakulima na Umoja wa Mataifa unavyowasaidia.
Katika Jarida la Ijumaa Mei 6, 2022 na Leah Mushi Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa, WHO limezindua ripoti ya kwanza kabisa ya kimataifa kuhusu njia ya vitendo, yenye msingi wa ushahidi wa kulinda wagonjwa na wahudumu wa afya wasidhuriwe na maambukizi yanayoweza kuepukika. Kuzuia na Kudhibiti Maambukizi. kupitia taarifa yake iliyotolewa hii leo jijini Geneva, Uswisi, WHO imesema janga la COVID-19 na milipuko mingine mikubwa ya maonjwa ya hivi karibuni imeonesha kiwango ambacho mipangilio ya huduma za afya inaweza kuchangia kuenea kwa maambukizi, kuwadhuru wagonjwa, wahudumu wa afya na wageni, ikiwa tahadhari ya kutosha haitaelekezwa katika kuzuia na kudhibiti maambukizi (IPC). Pia ripoti hiyo mpya inaonesha kuwa pale ambapo usafi mzuri wa mikono na taratibu nyingine za gharama nafuu zinafuatwa, asilimia 70 ya maambukizi hayo yanaweza kuzuilika. =================================================================================== Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO, katika ripoti yake ya hali ya bei ya vyakula duniani iliyotolewa mjini Roma, Italia leo, limesema bei za bidhaa za chakula duniani zilipungua mwezi Aprili baada ya kupanda kwa kiwango kikubwa mwezi wa Machi, ushukaji huu ukiongozwa na kushuka kidogo kwa bei ya mafuta ya mboga na nafaka, huku bei ya mchele, nyama, maziwa na sukari ikiongezeka kidogo na matarajio ya biashara ya kimataifa yakififia. Mchumi Mkuu wa FAO Máximo Torero Cullen amesema, "kupungua kidogo kwa bei ni afueni inayokaribishwa, hasa kwa nchi za kipato cha chini zenye upungufu wa chakula, lakini bado bei za vyakula zinasalia kuwa karibu na viwango vya juu vya hivi karibuni, jambo linaloakisi mkwamo wa soko na kuleta changamoto kwa uhakika wa chakula duniani kwa walio hatarini zaidi.” ===================================================================================== Na Shirika la posta duniani, UPU, limezindua njia ya ziada kwa ajili ya kutoa usaidizi kwa Posta ya Ukraine, (Ukrposhta) kupitia Mfuko wake wa Ubora wa Huduma. Ukrposhta imeendelea kuwasilisha misaada ya kibinadamu, malipo ya pensheni na huduma nyingine za posta katika muda wote wa mzozo huo, licha ya kupoteza maisha na kujeruhiwa kwa wafanyakazi wa posta, pamoja na uharibifu wa mali na miundombinu ya Posta. Taarifa iliyotolewa mjini Bern, Switzerland imemnukuu Mkurugenzi Mkuu wa UPU, Masahiko Metoki akisema, "mshikamano ni kanuni ya msingi ya UPU. Wenzetu katika Ukrposhta wameomba msaada wetu na lazima tujibu ili kuhakikisha watu na jamii zinaendelea kupokea misaada ya kibinadamu na huduma nyingine muhimu zinazotolewa na Posta. Kwa hivyo natoa wito kwa familia yetu ya posta kusaidia wenzetu nchini Ukraine kwa njia yoyote iwezekanayo, ikijumuisha kupitia njia hii mpya.” ======= Katika mada kwa kina ni kijana aliyegeukia ubunifu baada ya kukosa kazi licha ya kuhitimu kutoka chuo kikuu nchini Tanzania. Katika neno la wiki inachambuliwa methali “KOSA MOJA HALIMWACHI MKE”
Serikali nchini Tanzania imeshauriwa kuboresha Sekretarieti ya mfumo wa uombaji ajira kwa njia ya mtandao maarufu kama Ajira Portal ili uweze kuwatambua watu wenye ulemavu na hivyo kumiza matakwa ya sera ya ajira ambayo ina kipengele mahususi kinacholenga kuwajumuisha watu wenye ulemavu. Ushauri huo umetolewa na Shega Mboya wa Morogoro, Tanzania ambaye pamoja na kuwa na elimu ya juu ya digrii mbili, hajaweza kupata ajira ingawa anaamini pamoja na vigezo vingine ambavyo anaamini anavyo, laiti mfumo wa kidijitali ungeweza kutambua watu wenye ulemavu, ingekuwa rahisi kwake na kwa wengine. Hamad Rashid ni Mwandishi wa Habari wa Redio washirika Tanzania Kids time fm kutoka Morogoro amezungumza na msichana huyo na ameandaa makala ifuatayo.
Jaridani na Flora Nducha-Kwenye habari kwa ufupi: Ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi Ulimwenguni, ILO, imebainisha kuwa mtu mmoja kati ya wanne hajisikii kuthaminiwa kazini, huku wale wanaohisi kujumuishwa wakkiwa ni wale walioko katika majukumu ya juu zaidi. Viwango vya juu vya usawa, utofauti na ushirikishwaji vinahusishwa na uvumbuzi mkubwa, tija na utendaji, uajiri na uhifadhi wa vipaji, na ustawi wa wafanyakazi lakini uchunguzi wa ripoti uligundua kuwa ni nusu tu ya waliohojiwa walisema kuwa utofauti na ushirikishwaji vilitambuliwa vya kutosha na kufadhiliwa katika utamaduni na mkakati wa maeneo yao ya kazi. “Ni theluthi moja tu ya makampuni yanayopima ushirikishwaji kwa sasa, ingawa kufanya hivyo ni muhimu kwa maendeleo.” Imeeleza taarifa ya ILO iliyotolewa hii leo mjini Geneva, Uswisi. ====================================================== Mwaka huu wa 2022, takriban watoto milioni 6.3 wenye umri wa miezi 6 hadi miezi 59 katika nchi 6 za ukanda wa Sahel wataathirika na tatizo la uzito mdogo ikilinganishwa na urefu wao na hivyo kuweka maisha ya watoto wasiopungua 900,000 hatarini, linaonya kundi la wataalamu wa kufuatilia lishe katika nchi zilizoko Afrika Magharibi na Kati. Kundi hilo la wataalamu linaloundwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa kama vile UNICEF, WFP, WHO na wadau wengine kama Concern na Save the Children, linatoa wito kwa wafadhili na washirika wao kuongeza msaada wao haraka ili kukabiliana na mahitaji ya haraka ya lishe ya watoto walioathiriwa huku wakiimarisha hatua za kuzuia ili kukabiliana na sababu kuu za utapiamlo wa watoto katika eneo hilo. Idadi ya watoto chini ya umri wa miaka 5 wanaotarajiwa kukumbwa na utapiamlo duniani mwaka huu haijawahi kuwa kubwa kiasi hicho, ikionesha ongezeko la asilimia 27 ikilinganishwa na mwaka 2021 na asilimia 62 ikilinganishwa na mwaka 2018. ======================================================= Na ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa ya Michezo kwa Maendeleo na Amani yenye kaulimbiu ‘Kupata Mustakabali Endelevu na Wenye Amani kwa Wote: Mchango wa Michezo, katika ujumbe wake kwa siku hii, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina Mohammed amesema, "Michezo ina uwezo wa kuoanisha shauku, nguvu na ari yetu kwenye jambo la pamoja. Na hapo ndipo matumaini yanaweza kusitawishwa, na uaminifu unaweza kurejeshwa. Ni katika umoja wetu, nia ya kutumia nguvu kubwa ya michezo kusaidia kujenga mustakabali bora na endelevu kwa wote." Siku ya Kimataifa ya Michezo kwa Maendeleo na Amani (IDSDP), ambayo hufanyika kila mwaka tarehe 6 Aprili, inatoa fursa ya kutambua jukumu chanya la michezo na mazoezi ya viungo katika jamii na katika maisha ya watu kote ulimwenguni. Mada kwa kina na tutaelekea nchini Tanzania kusikilia simulizi ya mjasiriamali aliyeshinda nafasi ya tatu katika tuzo za wajasiriamali wadogo katika nchi kumi na tano ulimwenguni kwenye kutekeleza lengo namba moja la malengo ya maendeleo endelevu la kutokomeza umasikini. Pia tutapata mashinani
Another Lost recap episode coming your way today as we move further into the 5th season by looking at 316, the 6th episode of season 5! Does this episode perhaps not hold up as well as it did the first time it aired? Should this episode be watched closely with the episodes around it for it to properly be appreciated? What line in this episode is a tad cringeworthy and puts the fans off a little bit? Is the acting in this episode the standout fact of it? Just what on earth did Kate do to Aaron? Do we like Jack's grandad? How good does Hurley look in denim? Why are the Ajira staff just so friendly and how badly do we want to fly with them? And once again how great is Ben? Listen through your ears and remember in your soul for another episode you won't want to miss!★ Support this podcast on Patreon ★