Podcasts about tunajadili

  • 7PODCASTS
  • 53EPISODES
  • 18mAVG DURATION
  • 1EPISODE EVERY OTHER WEEK
  • Apr 2, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about tunajadili

Latest podcast episodes about tunajadili

Wimbi la Siasa
Mkuu wa majeshi nchini Kenya akemea wanaomtaka rais Ruto aondoke

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Apr 2, 2025 10:03


Mkuu wa Majeshi nchini Kenya, Jenerali  Jenerali Charles Kahariri na Mkuu wa idara ya ujasusi Noordin Haji, wameonya dhidi ya kampeni inayoendelea kwenye mitandao ya kijamii na mikutano ya hadhara ya –Ruto Must Go- au Ruto lazima aondoke, inatishia hali ya kisiasa nchini Kenya na ni lazima, ikome.Je, jeshi la Kenya linaingilia siasa ? Tunajadili…

Habari RFI-Ki
Kenya : Kanisa katoliki latangaza marufuku kwa wanasiasa

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Mar 19, 2025 10:00


Tunajadili  hatua ya Kanisa la Anglikana nchini Kenya, kwa mara nyingine limesisitiza marufuku ya kuwazuia wanasiasa kuzungumza kanisani katika juhudi za kuzuia wanasiasa kufanya siasa kanisani. Je unazungumziaje hatua hii ya kanisa Anglikana nchini Kenya? Skiza makala haya kuskia baadhi ya maoni ya waskilizaji wetu.

Habari RFI-Ki
Kenya : Kanisa katoliki latangaza marufuku kwa wanasiasa

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Mar 19, 2025 10:00


Tunajadili  hatua ya Kanisa la Anglikana nchini Kenya, kwa mara nyingine limesisitiza marufuku ya kuwazuia wanasiasa kuzungumza kanisani katika juhudi za kuzuia wanasiasa kufanya siasa kanisani. Je unazungumziaje hatua hii ya kanisa Anglikana nchini Kenya? Skiza makala haya kuskia baadhi ya maoni ya waskilizaji wetu.

Habari RFI-Ki
Watu zaidi ya milioni 6 duniani watakosa mahali pakuishi

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Mar 17, 2025 10:01


Tunajadili hatua ya bazara la wakikimbizi la Denmark, kuchachapisha ripoti inayoonesha kuwa, watu zaidi ya milioni 6 duniani watakosa mahali pakuishi ifikapo mwishoni mwa mwaka ujao, kutokana na mizozo, mabadiliko ya tabia nchi na kusitishwa kwa misaada toka Marekani. Unazungumziaje hatua hii? ndilo swali tumeuliza, skiza makala haya kufahamu mengi.

Habari RFI-Ki
Watu zaidi ya milioni 6 duniani watakosa mahali pakuishi

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Mar 17, 2025 10:01


Tunajadili hatua ya bazara la wakikimbizi la Denmark, kuchachapisha ripoti inayoonesha kuwa, watu zaidi ya milioni 6 duniani watakosa mahali pakuishi ifikapo mwishoni mwa mwaka ujao, kutokana na mizozo, mabadiliko ya tabia nchi na kusitishwa kwa misaada toka Marekani. Unazungumziaje hatua hii? ndilo swali tumeuliza, skiza makala haya kufahamu mengi.

Wimbi la Siasa
Serikali ya umoja wa kitaifa itasuluhisha mzozo wa DRC ?

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Mar 12, 2025 10:12


Wakati huu serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, inapoendelea kukabiliwa na changamoto ya usalama Mashariki mwa nchi hiyo, baada ya waasi wa M23 kuingia katika miji ya Bukavu na Goma, rais Felix Tshisekedi ametangaza mpango wa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa kwa kuwashirikisha wanasiasa wa upinzani.Tunajadili iwapo hatua hii itasaidia kutatua mzozo wa mashariki mwa DRC.

Wimbi la Siasa
Nini hatima ya Afrika baada ya Trump kusitisha misaada ?

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Feb 5, 2025 10:19


Rais wa Marekani Donald Trump, baada ya kurejea madarakani Januari 20, ametangaza hatua ya serikali yake, kusitisha misaada hasa ya kifedha kwa nchi za kigeni, kupitia Shirika la  Misaada ya Kimataifa (USAID).Hatua hii inamaanisha nini hasa kwa mataifa ya Afrika ? Tunajadili hili kwa akina na Suba Churchil, rais wa kituo cha taifa cha mashirika ya kiraia akiwa jijini Arusha Tanzania.

Habari RFI-Ki
Kenya : Polisi watuhumiwa kuwateka raia

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 18, 2024 9:58


Tunajadili visa vya watu kutekwa nyara kuendelea kuripotiwa katika ya  mataifa yetu ya Africa hivi karibuni visa kama hivi vikiripoti kwa wingi nchini Kenya, vyombo vya usalama vikituhumiwa kwa utekaji huo. Je nchini mwako kuna visa kama hivyo ? ndio baadhi ya maswali tumeuuliza karibu Haya hapa baadhi ya maoni yako.

Habari RFI-Ki
Kenya : Polisi watuhumiwa kuwateka raia

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 18, 2024 9:58


Tunajadili visa vya watu kutekwa nyara kuendelea kuripotiwa katika ya  mataifa yetu ya Africa hivi karibuni visa kama hivi vikiripoti kwa wingi nchini Kenya, vyombo vya usalama vikituhumiwa kwa utekaji huo. Je nchini mwako kuna visa kama hivyo ? ndio baadhi ya maswali tumeuuliza karibu Haya hapa baadhi ya maoni yako.

Jioni - Voice of America
LIVETALK: Tunajadili uchaguzi wa Rwanda utakaofanyika Jumatatu - Julai 12, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 12, 2024 59:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Habari RFI-Ki
AFCON : Ubashiri wa mashabiki kuhusu mechi za leo

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Feb 7, 2024 9:39


Tunajadili ubashiri wako kwa mechi za leo za  kuwania ubingwa wa kombe la Afrika, Afcon ambazo zitagarazazwa leo, ikiwa NI nusu fainali DRC ikipiga dhidi ya Ivory Coast nayo Nigeria ikichuana na Afrika Kusini.  Nani atatambaa kwenye mechi za leo?Haya hapa baadhi ya maoni yenu?     

Habari RFI-Ki
AFCON : Ubashiri wa mashabiki kuhusu mechi za leo

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Feb 7, 2024 9:39


Tunajadili ubashiri wako kwa mechi za leo za  kuwania ubingwa wa kombe la Afrika, Afcon ambazo zitagarazazwa leo, ikiwa NI nusu fainali DRC ikipiga dhidi ya Ivory Coast nayo Nigeria ikichuana na Afrika Kusini.  Nani atatambaa kwenye mechi za leo?Haya hapa baadhi ya maoni yenu?     

Jioni - Voice of America
LIVETAK: Tunajadili michuano ya mpira wa miguu AFCON inayoanza Jumamosi nchini Ivory Coast - Januari 12, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 12, 2024 59:59


LIVETAK: Tunajadili michuano ya mpira wa miguu AFCON inayoanza Jumamosi nchini Ivory Coast

Jioni - Voice of America
LIVETALK: Uhusiano kati ya nchi za Afrika Mashariki na watawala wao wa zamani wa kikoloni - Novemba 03, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 3, 2023 59:55


Tunajadili ziara za Mfalme Charles nchini Kenya na Rais Steinmeier nchini Tanzania na uhusiano kati ya nchi za Afrika Mashariki na watawala wao wa zamani wa kikoloni

Wimbi la Siasa
Kipimo cha Demokrasia nchini Zimbabwe, huku wananchi wakipiga kura

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Aug 24, 2023 10:14


Wananchi wa Zimbabwe, wanapiga kura kumchagua rais na wabunge. Rais Emmerson Dambudzo Mnangagwa 80, anapambana na mgombea wake mkuu Nelson Chamisa, 45. Nini hatima ya demokrasia nchini Zimbabwe ? Tunajadili kipimo cha demokrasia katika taifa hilo la Kusini mwa Afrika.

Kwa Undani - Voice of America
Tunaangazia matatizo ya wakimbizi Afrika mashariki. Pia, tunajadili mpango wa kuondoa kikosi cha jeshi la Afrika nchini Somalia - Juni 22, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 22, 2023 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

somalia jeshi afrika mashariki tunaangazia tunajadili
Wimbi la Siasa
Hatima ya mswada wa fedha nchini Kenya

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jun 7, 2023 10:02


Kwanini mswada wa fedha unazua gumzo na mjadala nchini Kenya ? Tunajadili hili kwenye Makala ya Wimbi la Siasa

Wimbi la Siasa
Je, suluhu ya kisiasa itazaa matunda kuhusu mzozo wa DRC

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Mar 29, 2023 10:01


Suluhu ya kudumu kuhusu mzozo wa usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, haijapatikana mpaka sasa. Waasi wa M 23, wameendelea kupambana na wanajeshi wa serikali. Jumuiya ya Kimataifa, inasema suluhu ni ya kisiasa. Je, itawezekana ?Tunajadili hili na wachambuzi, Price Mugasalusha na Edwin Kegolu, kutoka kwenye ukumbi wa Alliance Francais jijini Nairobi. 

congo nairobi drc eac jamhuri kimataifa mashariki kidemokrasia tunajadili
Jukwaa la Michezo
Didier Deschamps kuendelea kuwa kocha wa timu ya taifa ya Ufaransa

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Jan 7, 2023 23:51


Didier Deschamps ametangaza kuwa ataendelea kuwa kocha wa timu ya taifa ya soka ya Ufaransa hadi michuano ijayo ya kombe la dunia mwaka 2026. Tunajadili hili na mengine mengi katika Makala ya leo ya Jukwaa la Michezo.

Jukwaa la Michezo
CAF klabu bingwa: Timu mbalimbali zasaka fursa za kufika hatua ya makundi

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Oct 10, 2022 23:48


Klabu za soka barani Afrika, zinachuana katika michuano ya kufuzu katika hatua ya makundi kuwania taji la klabu bingwa na Shirikisho barani.Tunajadili hili na mengine mengi.

Jioni - Voice of America
LIVETALK: Tunajadili maazimio ya mkutano wa jumuiya ya SADC - Agosti 19, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 19, 2022 59:59


Mkutano wa wiki hii wa viongozi wa nchi na serikali wanachama wa jumuiya ya maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC imepitisha maazimio kadhaa ambayo wageni wetu wa Livetalk, wakiwa ni pamoja na Wataalam na wachambuzi wa masuala ya kieneo wanayadadisi.

Jukwaa la Michezo
CAF: Michuano mipya ya ligi barani Afrika yazinduliwa

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Aug 13, 2022 23:48


Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na Shirikisho la soka barani Afrika CAF, kutangaza kuanza kwa michuano ya Super League, baina ya klabu. Tunajadili hili na mengine mengi.

afrika super league ligi miongoni tunajadili
Wimbi la Siasa
Waasi wa M 23 wauteka mji wa Bunagana baada ya makabiliano na jeshi la DRC.

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jun 15, 2022 9:55


Siku ya Jumatatu, Juni 13, waasi wa M 23 waliokuwa wanapambana na wanajeshi wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wameuteka mji wa Bunagana, ulio kwenye mpaka na Uganda. DRC inaishtumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi hao, madai ambayo Kigali inakanusha. Tunajadili.

Jukwaa la Michezo
Droo ya michuano ya mataifa ya Afrika 2023 yafanyika

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Apr 23, 2022 23:46


Shirikisho la soka barani Afrika CAF, limetangaza  droo ya michuano ya kufuzu kucheza fainali ya Afrika mwaka 2023 nchini Ivory Coast. Zimbabwe na Kenya ambazo zimefungiwa na FIFA nazo zimejumuishwa. Tunajadili.

Jukwaa la Michezo
Droo ya robo fainali kuwania taji la klabu bingwa na Shirikisho barani Afrika

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Apr 9, 2022 23:39


Shirikisho la soka barani Afrika, limetangaza droo ya hatua ya robo fainali, kuwania taji la klabu bingwa na Shirikisho barani Afrika.Tunajadili hili na mengine mengi.

Wimbi la Siasa
Maafisa wa usalama nchini Ethiopia watekeleza visa vya uhalifi wa kivita

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Apr 6, 2022 10:00


Maafisa wa usalama nchini wametekeleza visa vya uhalifu wa kivita na ukiukwaji wa haki wa binadamu dhidi ya Watigray Kaskazini mwa nchi hiyo, kwa mujibu wa ripoti ya pamoja iliyotolewa  na Mashirika mawili ya Kimataifa, Amnesty International na  Human Rights Watch. Tunajadili hili.

Jukwaa la Michezo
Droo ya kombe la dunia yawekwa wazi

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Apr 2, 2022 23:51


Droo ya michuano ya soka kuwania taji la dunia, imetolewa jijini Doha nchini Qatar. Tunajadili hili na mengine mengi.

qatar doha dunia kombe tunajadili
Jukwaa la Michezo
Urusi yafungiwa kushiriki katika mashindano mbalimbali ya Kimataifa

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Mar 7, 2022 23:51


Mashirikisho mbalimbali ya michezo, yameifungia Urusi kutoshiriki kwenye mashindano mbalimbali ya kimataifa baada ya kuivamia Ukraine. Tunajadili hili na mengine mengi, Jumamosi hii.

Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Mvutano wa kumpata Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini DRC

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Aug 19, 2021 10:22


Viongozi wa dini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia wameshindwa kuelewana kuhusu ni nani awe Mwenyekiti mpya wa Tume ya Uchaguzi nchini humo CENI kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka 2023. Tunajadili

ceni tume jamhuri uchaguzi kidemokrasia uchaguzi mkuu tunajadili
Mjadala wa Wiki
Siku 100 za Waziri Mkuu wa DRC Sama Lukonde

Mjadala wa Wiki

Play Episode Listen Later Aug 12, 2021 9:55


Tunajadili siku 100 za serikali ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Sama Lukonde.

sama siku jamhuri mkuu kidemokrasia waziri mkuu tunajadili
Jukwaa la Michezo
Jukwaa la Michezo - Michezo ya Olimpiki yaanza jijini Tokyo nchini Japan

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Jul 24, 2021 23:54


Michezo ya Olimpiki, iliyocheleweshwa kwa mwaka mmoja kutokana na janga la Covid 19, imeanza rasmi huko jijini Tokyo nchini Japan. Tunajadili nafasi ya mataifa ya Afrika Mashariki na Kati.

covid-19 japan tokyo afrika mashariki michezo jukwaa tunajadili
Mjadala wa Wiki
Siasa za vyama nchini Kenya kuelekea Uchaguzi Mkuu

Mjadala wa Wiki

Play Episode Listen Later Jul 15, 2021 10:11


Kenya inajiandaa kuwa na Uchaguzi Mkuu mwaka 2022. Vyama vya siasa vimeanza maandalizi kujiweka tayari kwa uchaguzi huo. Lakini je, vyama hivi vimejiandaa  vya kutosha ? Tunajadili.

kenya lakini mkuu uchaguzi mkuu tunajadili
Jukwaa la Michezo
Jukwaa la Michezo - Michuano ya Euro yaanza huku French Open ikifika mwisho

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Jun 12, 2021 24:00


Michuano ya soka kuwania taji la bara Ulaya, imeanza kutifua vumbi. Mashindano ya kuwania taji la French Open katika mchezo wa Tennis, yanafika tamati jijini Paris. Tunajadili, haya na mengine mengi.

euro tennis french open huku michezo jukwaa tunajadili
Jukwaa la Michezo
Jukwaa la Michezo - Kamati kuu ya Shirikisho la soka barani Afrika yakutana jijini Kigali

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later May 15, 2021 23:45


Michuano ya mchezo wa soka, hatua ya robo fainali, kuwania taji la klabu bingwa barani Afrika zinachezwa katika mataifa mbalimbali barani Afrika. Tunajadili hili na matukio mengine yanatokea viwanjani wikiendi na wiki hii.

afrika kigali soka michezo jukwaa tunajadili
Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Rais Samia Suluhu Hassan kukutana na viongozi wa upinzani

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later May 1, 2021 10:16


Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameahidi kukutana na viongozi wa upinzani na kujadiliana nao kuhusu mustakabali wa kisiasa nchini humo baada ya baadhi yao kukimbia nchi na wengine kulalamikia kuminywa kwa misingi ya demokrasia. Je, itakuwaje ? Tunajadili

samia rais samia suluhu hassan tanzania samia suluhu hassan tunajadili
Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Kenya kutuma wanajeshi wake nchini DRC

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Apr 22, 2021 10:12


Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi amesema Kenya imekubali kutuma wanajeshi wake Mashariki mwa nchi hiyo kusaidia katika vita dhidi ya ugaidi, kauli aliyotoa baada ya ziara ya rais wa Kenya Uhuru Kenyatta jijini Kinshasa. Tunajadili.

wake kenya kinshasa rais jamhuri mashariki kidemokrasia tunajadili
Jukwaa la Michezo
Jukwaa la Michezo - Riadha: Caster Semenya ataka kushiriki michezo ya Olimpiki

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Apr 18, 2021 23:51


Bingwa mara mbili wa Michezo ya Olimpiki katika mbio za Mita 800 mwanadada Caster Semenya kutoka Afrika Kusini, anataka kufuzu katika Michezo ya mwaka huu nchini Japan kukimbia mbio za Mita 5,000. Dennis Onyango, kipa wa siku nyingi wa timu ya taifa ya soka ya Uganda, ametangaza kustaafu. Tunajadili haya na mengine mengi.

japan uganda mita caster semenya michezo jukwaa tunajadili
Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Utovu wa usalama Mashariki mwa DRC

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Apr 16, 2021 10:24


Utovu wa usalama linasalia suala tata Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Kumekuwa na maandamano ya kutaka jeshi la Umoja wa Mataifa MONUSCO kuondoka nchini humo kwa kushindwa kuwainda raia. Tunajadili

congo umoja jamhuri mashariki kidemokrasia tunajadili
Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Uhuru wa Vyombo vya Habari nchini Tanzania

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Apr 9, 2021 10:06


Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ameagiza kufunguliwa kwa Televisheni za mitandaoni zilizofungiwa. Je, analeta mwamko mpya wa uhuru wa vyombo vya Habari nchini humo ? Tunajadili kwenye Makala ya Wimbi la Siasa.

tanzania rais uhuru makala habari tanzania samia suluhu hassan tunajadili
Jukwaa la Michezo
Jukwaa la Michezo - Simba, Al Ahly zafuzu hatua ya robo fainali michuano ya klabu bingwa Afrika

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Apr 3, 2021 23:52


Klabu ya Simba SC ya Tanzania, na Al Ahly ya Misri, zimefuzu katika hatua ya robof fainali kuwania taji la klabu bingwa barani Afrika. Simba iliishinda AS Vita Club mabao 4-1 lakini Al Ahly ya Misri ilitoka sare ya mabao 2-2 na Al Al-Merrikh ya Sudan. Tunajadili hili na mengine mengi.

Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Rais mpya wa Tanzania aahidi kupambana na ufisadi

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Apr 1, 2021 10:15


Rais mpya wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amewaahidi raia wake kuwa, hatokuwa na huruma na yeyote atakayehusika na wizi wa fedha za umma. Je, atafanikiwa katika changamoto hii ? Tunajadili.

tanzania rais tanzania samia suluhu hassan tunajadili
Jukwaa la Michezo
Jukwaa la Michezo - Michuano ya kufuzu kucheza fainali ya bara Afrika mwaka 2022

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Mar 29, 2021 23:51


Timu za taifa za mchezo wa soka za Comoros na Gambia, zimefuzu katika michuano ya bara Afrika, AFCON  itakayofanyika mwaka 2022 nchini Cameroon, lakini mataifa mengine kama DRC , Kenya, Tanzania, yakishindwa kufuzu. Tunajadili hili kwa kina.

Jukwaa la Michezo
Jukwaa la Michezo - Matarajio ya wapenzi wa soka barani Afrika baada ya Patrice Motsepe kuwa rais mpya wa CAF

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Mar 15, 2021 24:00


Patrice Motsepe, ndiye rais mpya wa Shirikisho la soka barani Afrika CAF, anachukua nafasi ya Ahmed Ahmed, baada ya kuidhinishwa na wakuu wa vyama vya soka kutoka mataifa ya bara hilo. Wapenzi wa soka barani Afrika wana matarajio gani ? Tunajadili kwa kina.

Jukwaa la Michezo
Jukwaa la Michezo - Tuhuma za ukosefu wa maadili zalikumba shirikisho la soka Afrika, CAF

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Feb 18, 2020 24:32


Karibui miaka mitatu tangu Ahmad Ahmad kuchaguliwa kuwa rais wa shirikisho la kandanda barani Afrika, CAF, shirikisho hilo linakabiliwa na mshororo wa tuhuma za rushwa na matumizi mabaya ya fedha. Tunajadili katika makala ya Jukwaa la Michezo. Ungana na Fredrick Nwaka akiwa na wachambuzi wa soka Juma Mudimi na Bonface Osano

afrika soka ahmad ahmad ungana michezo jukwaa tunajadili fredrick nwaka
Jukwaa la Michezo
Jukwaa la Michezo - Rais wa Fifa apendekeza fainali za Afrika kuchezwa baada ya miaka minne

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Feb 4, 2020 16:39


Rais wa shirikisho la kandanda duniani Fifa Gian Infantino amependekeza fainali za mataifa ya Afrika kuchezw akila baada ya miaka minne badala ya miaka miwili ya sasa. Tunajadili kwa kina katika jukwaa la michezo. Ungana na Fredrick Nwaka akiwa na wachambuzi wa soka Mustapha Mtupa, Samwel John na Bonface Osano

fifa afrika rais baada miaka ungana michezo jukwaa tunajadili fredrick nwaka
Mjadala wa Wiki
Mjadala wa Wiki - Hatima ya Uchaguzi Mkuu nchini Msumbiji

Mjadala wa Wiki

Play Episode Listen Later Oct 16, 2019 12:04


Wananchi wa Msumbiji, wanasubiri matokeo ya Uchaguzi Mkuu baada ya kupiga kura siku ya Jumanne. Ni uchaguzi ambao wachambuzi wa siasa wanasema ni kipimo cha demokrasia na utekelezwaji wa mkataba wa amani uliotiwa saini kati ya waasi wa Renamo na serikali, miezi miwili iliyopita. Tunajadili suala hili.

wiki renamo wananchi uchaguzi mkuu tunajadili
Mjadala wa Wiki
Mjadala wa Wiki - Mzozo wa kisiasa nchini Venezuela

Mjadala wa Wiki

Play Episode Listen Later Jan 30, 2019 11:35


Venezuela imejikuta katika mzozo wa kisiasa na kiuchumi, kiongozi wa upinzani  Juan Guaido amejiapisha kuwa rais, huku kiongozi wa nchi hiyo Nicolas Maduro akitishia kumchukulia hatua kali. Tunajadili hili kwa kina.

Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - DRC yampata rais mpya, historia yaandikwa

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jan 26, 2019 9:45


DRC imempata rais mpya, Felix Thisekedi. Nchi hiyo ya Afrika ya Kati imeshuhudia ubadilishanaji wa madaraka kwa njia ya amani kwa mara ya kwanza tangu ilipopata uhuru mwaka 1960. Tunajadili hili kwa kina.

Mjadala wa Wiki
Mjadala wa Wiki - DRC ipo tayari kwa Uchaguzi wa Desemba 30, 2018 ?

Mjadala wa Wiki

Play Episode Listen Later Dec 26, 2018 17:07


Wananchi wa DRC, wanatarajiwa kupiga kura siku ya Jumapili kumchagua rais mpya na viongozi wengine, baada ya zoezi hilo kuahirishwa kwa wiki moja baada ya kuteketea kwa jengo la kuhifadhi vifaa vya kupigia kura jijini Kinshasa. Tunajadili hili, tukiwa na Steven Chondo, mmoja wa maafisa wa kampeni wa mgombea wa chama tawala Emmanuel Shadary, lakini pia Reubens Mikindo , Naibu Katibu Mkuu wa chama kikuu cha upinzani UDPS, ambacho mgombea wake ni Felix Tshisekedi.

wiki drc kinshasa felix tshisekedi tayari uchaguzi wananchi jumapili desemba udps tunajadili
Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Kampeni za DRC zakumbwa na vurugu

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Dec 15, 2018 9:43


Siku 10 kuelekea Uchaguzi Mkuu nchini DRC, mauaji yameripotiwa katika kampeni za siasa hasa katika mikutano ya Martin Fayulu, mgombea vya vyama upinzani lakini pia kuteketea moto kwa jengo la kuhifadhi vifaa vya kupigia kura jijini Kinshasa. Tunajadili hili kwa kina.

drc kinshasa siku martin fayulu uchaguzi mkuu kampeni tunajadili
Mjadala wa Wiki
Mjadala wa Wiki - Siasa za mashine za kupigia kura nchini DRC

Mjadala wa Wiki

Play Episode Listen Later Oct 10, 2018 14:14


Kuelekea Uchaguzi Mkuu nchini DRC, bado kuna mvutano wa matumizi ya mashine za kupigia kura. Wanasiasa wa upinzani na mashirika ya kiraia yanataka zisitumiwe kwa hofu ya wizi wa kura, lakini Tume ya Uchaguzi CENI, inasisitiza kuwa ni sharti zitumiwe. Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, wametoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo ili mwafaka kupatikana. Tunajadili hili kwa kina.

Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Rais Joseph Kabila kubadilisha Katiba kuwania tena urais ?

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jun 1, 2018 10:16


Kuna dalili kuwa rais Joseph Kabila wa DRC anapanga kuibadilisha Katiba ili kuwania urais kwa muhula wa tatu. Mabango ya picha ya rais Kabila,  yaliyo na maandishi "Huyu ndio mgombea wetu" yameonekana jijini Kinshasa. Hii inamaanisha nini ? Tunajadili.

Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Tume ya Uchaguzi nchini DRC CENI yapata mitambo ya kuwatambua wapiga kura

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Feb 24, 2018 10:04


Tume ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo CENI, imepata mitambo ya kieletroniki kuwatambua wapiga kura wakati wa Uchaguzi Mkuu mwezi Desemba. Je, mitambo hii itsaidia Uchaguzi huo kuwa huru na haki ? Tunajadili hili na mbunge wa Francois Rubota kutoka muungano unaomuunga mkono rais Joseph Kabila, Majorite Preidentielle, lakini pia Naibu Katibu Mkuu wa chama Kikuu cha upinzani UDPS Reubens Mikindo.

kura ceni joseph kabila tume jamhuri uchaguzi desemba kidemokrasia uchaguzi mkuu tunajadili