Podcasts about uchaguzi mkuu

  • 15PODCASTS
  • 99EPISODES
  • 19mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • Nov 6, 2024LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about uchaguzi mkuu

Latest podcast episodes about uchaguzi mkuu

Habari za UN
Guterres ampongeza Donald J. Trump kwa kuchaguliwa Rais wa Marekani

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 6, 2024 1:14


Kufuatia Donald J Trump kutangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa Rais wa Marekani uliofanyika Jumanne Novemba 5,  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa salamu za pongezi. Taarifa iliyotolewa Jumatano asubuhi jijini New York, Marekani na msemaji wa Umoja wa Mataifa, imemnukuu Guterres akisema napongeza wananchi wa Marekani kwa ushiriki wao katika mchakato wa demokorasia.Kisha akasema nampongeza Rais Mteule Donald J. Trump na ninarejelea imani yangu kwamba ushirikiano kati ya Marekani na Umoja wa Mataifa ni nguzo muhimu ya uhusiano wa kimataifa.Guterres amesema Umoja wa Mataiifa uko tayari kufanya kazi kwa kina na serikali ijayo ya Marekani il ikutatua changamoto kubwa zinazokabili dunia hivi sasa.Trump ambaye anawakilisha chama cha Repablikani, anakuwa Rais wa 47 wa Marekani.Amemshinda Makamu wa Rais Kamala Harris ambaye alikuwa anagombea kiti cha urais kupitia chama cha Demokrati.Hii ni mara ya pili Trump ataongoza Marekani kwani alikuwa Rais wa  45 wa Marekani kuanzia Januari 20, 2017 hadi Januari 20, 2021 baada ya kushinda uchaguzi wa mwaka 2016.

Jioni - Voice of America
Yanayoangaziwa mkesha wa uchaguzi mkuu Marekani - Novemba 04, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 4, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

marekani afrika mashariki novemba uchaguzi mkuu
VOA Express - Voice of America
Wakaazi wa jimbo la Maryland nchini Marekani wanatoa maoni yao siku moja kuelekea uchaguzi mkuu wa urais Marekani wenye ushindani mkali. - Novemba 04, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 4, 2024 30:00


VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.

Jioni - Voice of America
Wa-Afrika waliopo mji wa Washington DC nchini Marekani wanaeleza mtazamo na nafasi zao kuelekea uchaguzi mkuu Marekani hapo Novemba 5. - Oktoba 29, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 29, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Kwa Undani - Voice of America
Utaratibu unaotumika kupata kura 270 ambazo zinahitajika kwa mgombea urais Marekani kuweza kushinda uchaguzi mkuu wa Novemba 5 mwaka huu. - Oktoba 15, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 15, 2024 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

kura mwaka marekani oktoba urais novemba kushinda uchaguzi mkuu
Sepetuko
Kumbukumbu ya Hatua za Kinidhamu na Maswali ya Hatima

Sepetuko

Play Episode Listen Later Jul 30, 2024 4:22


Chama cha ODM kimeendelea kutoa msimamo kinzani kuhusu hatua ya viongozi wake wakuu kujumuishwa serikalini, na kuibua kumbukumbu ya hatua za kinidhamu zilizochukuliwa dhidi ya Wabunge wake waliotangaza msimamo wao wa kushirikiana na serikali baada ya Uchaguzi Mkuu uliopita. Je, viongozi hawa wakuu wa chama hiki watachukuliwa hatua zozote. Kama sivyo, basi tusihadaiwe zaidi. 

chama kama odm hatua maswali uchaguzi mkuu
Kwa Undani - Voice of America
Rais Paul Kagame wa Rwanda amefanya mabadiliko ya uongozi katika utawala wake kuelekea uchaguzi mkuu wa Julai 15. - Juni 13, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 13, 2024 29:58


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Wimbi la Siasa
Rwanda yaanza maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Julai 15 kumchagua rais na wabunge

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jun 12, 2024 10:17


Wananchi wa Rwanda wanajiandaa kupiga kura tarehe 15 mwezi Julai kumchagua rais na wabunge.Wiki iiyopita, Tume ya Uchaguzi ilitangaza orodha ya awali ya wagombea urais ambao ni rais Paul Kagame ambaye amekuwa madarakani tangu mwaka 1994, Frank Habineza kutoka chama cha Democratic Green na Philippe Mpayimana mgombea binafsi.Mwanasiasa na mpinzani wa Kagame, Diane Rwigara, kutoka chama cha People Salvation Movement, ombi lake lilikataliwa. Tunachambua maandalizi ya uchaguzi nchini Rwanda. Wachambuzi wetu ni Edwin Kegoli akiwa Nairobi na Mali Ali akiwa jijini Paris

Kwa Undani - Voice of America
Uchaguzi mkuu Afrika kusini - Mei 29, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later May 29, 2024 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

afrika uchaguzi mkuu
Jioni - Voice of America
Shinkizo la kutaka mabadiliko ya sheria za uchaguzi Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu 2025 - Mei 10, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later May 10, 2024 59:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Sepetuko
Masomo kwa Kenya Kutoka kwa Ufanisi wa Diomaye Faye, Rais Mpya Wa Senegal

Sepetuko

Play Episode Listen Later Apr 3, 2024 4:25


Rais mpya wa Senegal Bassirou Diomaye Faye ameapishwa rasmi kuiongoza nchi hiyo. Faye, mwenye umri wa miaka 44 anakuwa Rais wa tano wa taifa hilo na Rais mchanga zaidi kuongoza taifa hilo la Afrika Magharibi. Ushindi wake katika uchaguzi mkuu uliopita ni wa kihistoria kutokana na kuwa yeye si mtu maarufu mno katika siasa nchini humo, na aliondoka jela siku tisa tu kuelekea Uchaguzi Mkuu. Tunajifunza nini kutokana na hadithi ya ufanisi wa Faye? Kenya inaweza kujifundisha nini?

Kwa Undani - Voice of America
Meza ya waandishi wa habari ikiangazia matukio muhimu ya wiki, miongoni ukiwemo uchaguzi mkuu wa Senegal. - Machi 22, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 22, 2024 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

senegal wiki meza machi habari miongoni uchaguzi mkuu
Jioni - Voice of America
Mjadala wa Live Talk kuhusu siasa za Marekani kuelelekea kwenye uchaguzi mkuu mwishoni mwa mwaka. - Februari 23, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Feb 23, 2024 59:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Wanasiasa wa upinzani wa Senegal waanza kampeni zao licha ya kutokuwa na tarehe iliotangazwa ya kufanyika uchaguzi mkuu. - Februari 21, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Feb 21, 2024 30:00


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

senegal afrika mashariki uchaguzi mkuu kampeni
Jioni - Voice of America
Rais wa muda wa Namibia, Nangolo Mbumba anasema hatowania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu baadae mwaka huu. - Februari 05, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Feb 5, 2024 30:00


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Kwa Undani - Voice of America
Kampeni za uchaguzi mkuu Marekani zashika kasi mapema, mchambuzi aeleza kwa nini - Januari 31, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 31, 2024 29:59


kasi nini mkuu marekani uchaguzi mkuu kampeni
Alfajiri - Voice of America
Wachambuzi watoa maoni yao kufutia amri ya rais wa Tanzanzia kwamba vyombo vya usalama vijiweke sawa kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao. - Januari 24, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 24, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

rais sawa amri mkuu uchaguzi mkuu
Alfajiri - Voice of America
Kadinali Fridolin Ambongo wa DRC ametumia misa ya Jumapili jioni kuelezea mazingira yaliyokuwepo katika uchaguzi mkuu wa wiki iliyopita. - Desemba 25, 2023

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 25, 2023 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

wiki misa katika fridolin mkuu mazingira jumapili desemba uchaguzi mkuu
Jioni - Voice of America
Wakongomani wasubiri matokeo ya uchaguzi mkuu - Desemba 22, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 22, 2023 59:58


Wapiga kura katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wanasubiri matokeo ya uchaguzi mkuu, baada ya zoezi hilo kuongezewa muda, wa siku moja, ambao haukutarajiwa, na ambao uliwafanya baadhi ya wagombea wa upinzani kulalamika, wakidai kwamba hiyo ilikuwa ni njama ya kuiba kura.

kongo jamhuri mkuu kidemokrasia desemba uchaguzi mkuu
Kwa Undani - Voice of America
DRC: Kampeni za mwisho mwisho kwelekea kwa uchaguzi mkuu Jumatano - Desemba 18, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 18, 2023 29:59


Kampeni za mwisho mwisho zilifanyika Jumatatu kwelekea kwa uchaguzi mkuu Jumatano huku kukiwa na wasiwasi kama zoezi hilo litakuwa la haki na salama.

mkuu desemba uchaguzi mkuu kampeni
Jioni - Voice of America
Human Rights Watch inasema Demokrasia katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imekuwa ikirudi nyuma kuelekea uchaguzi mkuu wa Disemba 20. - Desemba 16, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 16, 2023 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
LIve Talk: Hali ni ya wasi wasi DRC wiki mbili kabla ya uchaguzi mkuu kutokana na ukosefu wa usalama na upungufu wa vifaa vya uchaguzi - Desemba 08, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 8, 2023 59:57


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Kwa Undani - Voice of America
Mdahalo wa kwanza wa chama cha Republican kuwania uteuzi wa chama kuelekea uchaguzi mkuu 2024 Marekani - Agosti 24, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 24, 2023 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Jioni - Voice of America
Maoni ya wachambuzi na wasikilizaji kuhusu uchaguzi mkuu wa Zimbabwe unaofanyika Agosti 23 - Agosti 18, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 18, 2023 59:59


zimbabwe agosti mkuu uchaguzi mkuu wasikilizaji
Habari za UN
Nicholas Haysom: Hatua inahitajika sasa kwa ajili ya uchaguzi kwa wakati na wa huru na haki nchini Sudan Kusini

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 2, 2023 0:02


Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambaye pia ni Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS), Nicholas Haysom ametahadharisha kwamba muda unazidi kuyoyoma kuelekea Sudan Kusini kufanya uchaguzi mkuu unaotarajiwa mwezi Desemba mwaka ujao wa 2024 lakini bado masuala muhimu ya kuufanya uchaguzi huo uende kama ulivyopangwa bila kuchelewa hayajakamilika."Ikiwa imesalia miezi 17 tu kwenye ratiba ya kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024, narudia kile nilichokisema katika mkutano wa awali na waandishi wa habari, kwamba mwaka 2023 ni mwaka wa 'kutengeneza au kuvunja'," amesema Bwana Haysom mapema leo Agosti pili alipozungumza na vyombo vya Habari mjini Juba ambao ni mji mkuu wa nchi hiyo changa zaidi duniani.    Ghasia miongoni mwa jamii za Sudan Kusini zinaendelea kuongezeka pamoja na shinikizo la kuongezeka kwa ufinyu wa rasilimali huku maelfu ya watu wakiendelea kuingia nchini humo wakikimbia mapigano katika nchi jirani ya Sudan.  Kwa mujibu wa Bwana Haysom, miongoni mwa hatua muhimu ambazo inabidi zichukuliwe ni pamoja na hitaji la kuunda upya vyombo vitatu muhimu, ambavyo ni, Tume ya Kitaifa ya Marekebisho ya Katiba, Tume ya Kitaifa ya Uchaguzi, na Baraza la Vyama vya Kisiasa; kukamilisha mipango ya mpito ya usalama; kuendeleza mchakato wa kudumu wa kutengeneza katiba; na kuunda nafasi za kiraia na kisiasa ambapo kila raia ana uhuru wa kujadili na kujihusisha na uchaguzi wa kisiasa na kikatiba bila woga.  "Kufanya uchaguzi tu hakutoshi - uaminifu, uwazi na ushirikishwaji wa mchakato ndio unaoleta uhalali. Hii ni pamoja na kwamba vyama vya siasa lazima viweze kujiandikisha na kufanya kampeni kwa uhuru; asasi ya kiraia kwa ajili ya elimu ya uraia na kuwa waangalizi wa mchakato. Inajumuisha vyombo vya habari vinavyoweza kuripoti kuhusu mchakato huo na kutoa nafasi kwa sauti na maoni mbalimbali kwa wapiga kura kufanya uamuzi sahihi,” amesema Mwakilishi huyo wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini.  Aidha Bwana Haysom amesisitiza kuwa UNMISS itaendelea kuiunga mkono Sudan Kusini katika michakato ya uchaguzi na uundaji wa katiba kwa kushirikiana na wadau wa kikanda kama vile Muungano wa Afrika (AU) na mamlaka ya pamoja ya kitaifa kwa ajili ya maendeleo kwenye eneo la Pembe ya Afrika (IGAD).  

Habari za UN
02 AGOSTI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 2, 2023 0:11


Hii leo jaridani tunaangazia hali ya usalama nchini Sudan Kusini na mradi wa maji nchini Rwanda. Makala tunasalia huko huko Sudan Kusini na Mashinani tunakupeleka nchini Zimbabwe, kulikoni?  Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambaye pia ni Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS), Nicholas Haysom ametahadharisha kwamba muda unazidi kuyoyoma kuelekea Sudan Kusini kufanya uchaguzi mkuu unaotarajiwa mwezi Desemba mwaka ujao wa 2024 lakini bado masuala muhimu ya kuufanya uchaguzi huo uende kama ulivyopangwa bila kuchelewa hayajakamilika.Balozi mwema wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia watoto UNICEF Vanessa Nakate amefanya ziara nchini Rwanda kujionea namna mradi wa pampu ya kuvutia maji inayotumia nishati ya umeme wa jua au Sola ilivyoleta manufaa kwa wanawake na wasichana barubaru 11,000 waliokuwa wakitembea umbali mrefu kusaka hmaji.Katika makala Assumpta Massoi anafuatilia ziara ya wakuu wa mashirika matatu ya Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini.Na tunakupeleka nchini Zimbabwe ambako vijana wameweza sio tu kijikwamua kiuchumi na kuondokana na umaskini bali pia kuhifadhi mazingira na tutasikia kutoka kwa mmoja wao.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Kwa Undani - Voice of America
Trump anaendelea kupuuza mashtaka dhidi yake na kuendelea kufanya kampeni kuwa rais katika uchaguzi mkuu wa 2024 - Juni 14, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 14, 2023 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Habari za UN
Kuna haja ya kusaka amani kwa njia ya majadiliano, lasema Baraza la usalama la UN wakiwa ziarani nchini DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 10, 2023 0:02


Ujumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa umewasili nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC , ikiwa ni sehemu ya ziara ya kikazi ya kutathmini hali ya usalama na utekelezaji wa majukumu ya vikosi vya umoja wa mataifa vya kulinda mamani nchini humo MONUSCO. Mara tu baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa jijini Kinshasa, bwana Nicolas de Rivière, Balozi wa kudumu wa Ufaransa kwenye Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa makundi yenye silaha, vyovyote vile yalivyo, lazima yasitishe operesheni zao ili kushiriki katika mchakato wa amani, “Ni wakati muhimu wakuchukua hatua na kwamba vikundi vyote vyenye silaha, kwa hali yao lazima visitishe shughuli zao na washiriki katika mchakato wa kisiasa. Naomba makundi ya kigeni yajiondoe na makundi yanayoungwa mkono na mataifa ya kigeni pia yajiondoe ili hatimaye amani irejee katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo”.Ujumbe huo umekuja nchini DRC wakati kukitarajiwa kuwa na uchaguzi mkuu wa raisi pamoja na wabunge mwezi decembe mwaka huu huku bwana Michel Xavier Biang Balozi wa Gabon kwenye Umoja wa Mataifa akisisitiza lazima uchaguzi huo uwe wa haki, wa uwazi na salama, “ Tuko katika mwaka ambao utakuwa mwaka wa uchaguzi, ujumbe wetu ni wakuhimiza wanasiasa wa pande zote kushiriki katika mchakato wa uchaguzi ambao ni wa uwazi, na wa kuaminika kwa mujibu wa Katiba ya DRC na sheria ya uchaguzi. Tuko hapa kuunga mkono hatua ya MONUSCO na kukumbusha kwamba MONUSCO ni sehemu ya fursa ya suluhu”.Wajumbe hao watakutana na watu kutoka tabaka mbali mbali ikiwemo mashirika ya kiraia na Rais wa DRC Félix Tshisekedi jijini Kinshasa na baadae watakwenda mjini Goma jimboni Kivu Kaskazini, ambako mapigano yamezidi kurindima kwa miezi kadhaa sasa kati ya jeshi la serikali na kundi la wanamkambo wa M23. 

Alfajiri - Voice of America
Je, Rais wa Afrika kusini ataepuka mawimbi ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2024? - Desemba 20, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 20, 2022 13:47


Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa anayekabiliwa na kashfa ya utakatishaji wa fedha amechaguliwa kuwa kiongozi wa chama cha ANC. Je safari yake ya kisiasa itakumbana na vizingiti? Kennes Bwire amaefanya mazungumzo na mchambuzi wa siasa za Afrika kusini Peter Bigenda, akiwa Johannesburg.

Jioni - Voice of America
Je, Rais wa Afrika kusini ataepuka mawimbi ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2024? - Desemba 20, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 20, 2022 13:47


Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa anayekabiliwa na kashfa ya utakatishaji wa fedha amechaguliwa kuwa kiongozi wa chama cha ANC. Je safari yake ya kisiasa itakumbana na vizingiti? Kennes Bwire amaefanya mazungumzo na mchambuzi wa siasa za Afrika kusini Peter Bigenda, akiwa Johannesburg.

Kwa Undani - Voice of America
Je, Rais wa Afrika kusini ataepuka mawimbi ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu 2024? - Desemba 20, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 20, 2022 13:47


Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa anayekabiliwa na kashfa ya utakatishaji wa fedha amechaguliwa kuwa kiongozi wa chama cha ANC. Je safari yake ya kisiasa itakumbana na vizingiti? Kennes Bwire amaefanya mazungumzo na mchambuzi wa siasa za Afrika kusini Peter Bigenda, akiwa Johannesburg.

Kwa Undani - Voice of America
Wahanga wa uchaguzi mkuu wa Zanzibar wa 2020 wapanga kuwasilisha mashtaka mahakamani ili haki itendeke na walipwe fidia - Desemba 05, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 5, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

zanzibar haki mkuu desemba fidia uchaguzi mkuu
Habari za UN
UN yapongeza Kenya kwa kutumia sheria ya kimataifa kushtaki watuhumiwa wa uhalifu baada ya uchaguzi mkuu 2017

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 28, 2022 0:01


Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu Volker Türk ameipongeza serikali ya Kenya kwa kile alichoeleza ni hatua muhimu ya kuelekea uwajibikaji kwa ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu nchini Kenya, kufuatia uamuzi wake wa wa kutumia Sheria ya Uhalifu wa Kimataifa kuwafungulia mashitaka maafisa wakuu wa polisi kwa mauaji, ubakaji na utesaji kama uhalifu dhidi ya ubinadamu kufuatia vurugu zilizotokea wakati wa uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo mwaka 2017. Leah Mushi anataarifa zaidi.Taarifa iliyotolewa hii leo huko Geneva, Uswisi na ofisi ya Umoja wa Mataifa ya haki za binadamu imemnukuu Kamishna Mkuu wa Umoja wa Matifa wa Haki za binadamu Volter Turk akipongeza Kenya na kusema hii ni mara ya kwanza kwa Kenya kutumia Sheria ya Kimataifa ya Uhalifu kushtaki uhalifu dhidi ya ubinadamu katika mahakama zake za ndani.Kwa mujibu wa taarifa hiyo, wakati wa uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka 2017, Tume ya Taifa  ya Haki za Kibinadamu ilirekodi vifo 94 na matukio 201 yakihusiana na unyanyasaji wa kingono na zaidi ya majeruhi 300 wengi wao wakieleza kufanyiwa vitendo hivyo na vikosi vya usalama.Bwana Turk amesema “Uamuzi uliochukuliwa leo na Kenya ni wa msingi, ni hatua nzuri kuelekea haki na uwajibikaji kwa waathirika na familia za waathirika, wa ghasia za uchaguzi, na inaweza kuimarisha na kuzuia ukiukaji wa haki za binadamu kwa siku zijazo.”Amebainisha kuwa uamuzi huo wa Kenya unatokana na maendeleo ya hivi karibuni ya taasisi za Kenya  zinazoungwa mkono na Ofisi yake ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Kibinadamu katika kuimarisha uwajibikaji kwa ukiukaji wa haki za binadamu.Kamishna Mkuu Türk amesema ofisi yake itaendelea kujitolea kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali ya Kenya kuendeleza uwajibikaji kwa ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na kushughulikia mauaji ya kiholela na kulazimisha watu kutoweka.

Kwa Undani - Voice of America
Angola: Upinzani waelekea mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu - Agosti 30, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 30, 2022 29:53


Chama kikuu cha Upinzani cha Angola, UNITA, kimeliambia shirika la habari la AFP kwamba kitapinga matokeo ya uchaguzi mahakamani baada ya tume ya uchaguzi kutangaza chama cha rais aliye mamlakani kama kilichoshinda uchaguzi wa wiki jana kwa asili mia 51 ya kura.

SBS Swahili - SBS Swahili
Je! Azimio One Kenya watafanikiwa kubatilisha matokeo ya uchaguzi mkuu?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 23, 2022 7:38


Mrengo wakisiasa wa Azimio One Kenya unajiandaa kuwasilisha ombi lakubatilisha matokeo ya uchaguzi mkuu nchini humo.

kenya mkuu azimio uchaguzi mkuu
Jioni - Voice of America
Raia wa Angola wajiandaa kwa uchaguzi mkuu kesho - Agosti 23, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 23, 2022 29:59


Wagombea urais nchini Angola Jumatatu walihitimisha kampeni za mwezi mzima kabla ya uchaguzi wa Jumatano ambao huenda ukashuhudia ushindani mkali kati ya chama tawala, kilicho madarakani kwa miongo kadhaa, na upinzani unaozidi kuongeza mvuto miongoni mwa vijana.

angola raia agosti mkuu kesho uchaguzi mkuu
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! nini kitafuata baada ya Raila kushindwa tena katika uchaguzi mkuu?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 18, 2022 22:51


Kinara wa mrengo wa Azimio One Kenya Raila Odinga, amewania urais mara tano bila mafanikio.

SBS Swahili - SBS Swahili
Wakenya wasifu uwazi wa uchaguzi mkuu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 15, 2022 10:50


Ni nadra kwa tume ya uchaguzi ya Kenya, kusifiwa kwa jinsi ilivyo simamia uchaguzi mkuu.

kenya mkuu uchaguzi mkuu
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! IEBC itakomboa sifa yake baada ya utata ilio zua katika uchaguzi mkuu wa 2017 wa Kenya?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 11, 2022 11:35


Tume huru ya uchaguzi wa Kenya IEBC, kwa mara nyingine inasimamia uchaguzi mkuu miaka mitano baada ya uchaguzi mkuu wa 2017 ulio paka tume hilo tope lakuganda.

Jioni - Voice of America
Jioni: Matangazo maalum kuhusu uchaguzi mkuu wa Kenya - Agosti 10, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 10, 2022 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Alfajiri - Voice of America
Wakenya wajitokeza wa wingi ili kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi mkuu. - Agosti 09, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 9, 2022 29:59


Abdushakur Aboud wa VOA ambaye yuko Nairobi aelezea hali ilivyokuwa asubuhi na mapema , wakati wapiga kura wakianza kumininika, pamoja na waangalizi wa kimataifa waliopo nchini humo.

nairobi kura voa agosti mkuu kupiga uchaguzi mkuu
Jioni - Voice of America
Matangazo maalum ya saa nzima kuhusu maandalizi ya uchaguzi mkuu Kenya - Agosti 08, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 8, 2022 29:59


Tunapata ripoti mbalimbali na kuzungumza mubashara na waandishi wetu waliokita kambi maeneo tofauti tofauti ya Kenya kuhusu maandalizi ya uchaguzi mkuu wa Jumanne Agosti 9, 2022.

kenya agosti mkuu uchaguzi mkuu
Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Tunaangazia ziara ya Blinken Afrika, Uchaguzi mkuu wa Kenya - Agosti 08, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 8, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Jioni - Voice of America
Raila, Ruto wahutubia mikutano ya mwisho ya kampeni kabla ya uchaguzi mkuu - Agosti 06, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 6, 2022 29:59


Odinga anayepeperusha bendera ya muungano wa Azimio la Umoja One Kenya na viongozi wa mrengo huo pamoja na wafuasi wao, walikusanyika katika uwanja wa michezo wa Kasarani huku Ruto, anayewania kwa tiketi ya chama cha UDA chini ya muungano wa Kenya Kwanza akijiunga na wenzake kwenye uwanja wa Nyayo.

uda ruto agosti odinga kabla mkuu azimio uchaguzi mkuu kampeni
Jioni - Voice of America
Jioni: Mjadala kuhusu uchaguzi mkuu wa Kenya wenye ushindani mkali kati ya William Ruto na Raila Odinga - Agosti 05, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 5, 2022 59:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

VOA Express - Voice of America
VOA Express: Habari za uongo kuhusu wagombea katika uchaguzi mkuu wa Kenya zinasambazwa kwa kasi, wanasiasa maarufu wanachunguzwa - Agosti 04, 2022

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 4, 2022 29:59


VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo. VOA Express

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Matayarisho ya uchaguzi mkuu Kenya, siasa za miungano ya vyama - Agosti 01, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 1, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

kenya agosti mkuu uchaguzi mkuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Tume ya umoja wa mataifa DRC Monusco yashambuliwa, Kuelekea uchaguzi mkuu nchini Kenya

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jul 30, 2022 20:09


Katika makala hii utasikia kuhusu maandamano makubwa yaliyofanyika nchini DRC kutaka tume ya umoja wa mataifa Monusco iondoke nchini, mijadala kuhusu mdahalo wa kisiasa kwa wagombea wa kiti cha urais nchini Kenya, kuelekea uchaguzi wa agosti 09, ziara ya rais wa Ufaransa Emmanuel Macron nchini Cameroon, Guinea Bissau, na Benin, lakini pia mahusiano kati ya China na Marekani. Kwa hayo na mengine mengi ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Utata unaokumba uchaguzi mkuu wa Kenya kila baada ya miaka 5. Tunamwangazia pia Dr. William Ruto - Julai 28, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 28, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Vyombo vya habari Kenya vyatuhumiwa kwa mapendeleo katika kuandika habari za kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu - Juni 27, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 27, 2022 30:00


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Jioni - Voice of America
Bunge la Kenya laahirishwa hadi uchaguzi mkuu ufanyike - Juni 09, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 9, 2022 29:59


Bunge la 12 la kitaifa la Kenya, ambalo linatajwa na wachambuzi kama lililokuwa na vituko chungu nzima, Alhamisi liliahirisha vikao vyake kwelekea kwa uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti.

kenya hadi bunge agosti mkuu uchaguzi mkuu alhamisi
Alfajiri - Voice of America
Kenya: IEBC yasema haitawazuia watuhumiwa wa ufisadi kugombea kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti - Juni 03, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 3, 2022 29:59


Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini Kenya IEBC, imesema kwamba haitawazuia watuhumiwa wa kashfa za ufisadi kugombea nafasi mbali mbali katika uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti. IEBC inaeleza kuwa ni lazima mahakama iwakute washukiwa na hatia.

Kwa Undani - Voice of America
KWA UNDANI: Tume ya kupambana na ufisadi Kenya inataka wagombea walio na kesi za ufisadi kutoshiriki uchaguzi mkuu - Juni 02, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 2, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

kenya kesi tume mkuu uchaguzi mkuu
SBS Swahili - SBS Swahili
Maeneo bunge ya Tasmania yatoa uvutio mkubwa katika uchaguzi mkuu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 17, 2022 8:13


Tasmania inatoa mvutio mwingi kwa siku ya uchaguzi mkuu, Jumamosi 21 Mei kwa watazamaji wa uchaguzi.

SBS Swahili - SBS Swahili
Wiki ya tatu ya kampeni ya uchaguzi mkuu yatawaliwa na gharama ya maisha

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 29, 2022 9:07


Wiki ya tatu ya kampeni ya uchaguzi mkuu ili tawaliwa na shinikizo za gharama za maisha, baada ya mfumuko wa bei kuongezeka kwa 5.1%.

wiki tatu maisha mkuu uchaguzi mkuu kampeni
SBS Swahili - SBS Swahili
Hoja za afya, na usalama wa mipaka zafungua wiki ya pili ya kampeni ya uchaguzi mkuu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 19, 2022 7:15


Wiki ya pili ya kampeni za uchaguzi mkuu zime tumbukia katika vita vya kampeni zakutisha kati ya vyama viwili vikubwa nchini.

wiki hoja pili afya mkuu uchaguzi mkuu kampeni
Habari RFI-Ki
Kuelekea uchaguzi mkuu wa rais nchini Ufaransa

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Apr 12, 2022 9:59


Raia wa faransa watapiga kura jumapili hii kumchagua rais wao. Jumla kuna  wagombea 12 akiwemo Rais Macron ambaye anawania kuchaguliwa tena. Kampeni za uchaguzi zinatamatika huku matamshi ya kibaguzi yakitolewa na wagombea kadhaa. Una maoni gani kuhusu uchaguzi huo?Je, Ufaransa inaweza kuanguka na kuingia katika hali ya kutovumilia?Unadhani nani atashinda uchaguzi huu?

rais raia mkuu ufaransa uchaguzi mkuu kampeni
Wimbi la Siasa
Wasiwasi wa kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu nchini DRC mwaka 2023

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Mar 23, 2022 10:05


Wiki hii tunaangazia maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2023 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Mashirika ya kiraia zaidi ya 60 za ndani na nje ya nchi hiyo, yanaonya kuwa, kuna dalilil za uchaguzi huo kucheleweshwa kama ilivyoshuhudiwa mwaka 2011 na 2018. Tunachambua na wanaharakati.

congo wiki mwaka jamhuri mkuu kidemokrasia mashirika uchaguzi mkuu
SBS Swahili - SBS Swahili
Dr William S Ruto kupeperusha bendera ya UDA katika uchaguzi mkuu - Mseto wa UDA wamtangaza Dr William S Ruto kuwa kinara wao katika uchaguzi mkuu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 17, 2022 5:29


Mseto wa United Democratic Alliance (UDA) ume mtangaza rasmi Naibu Rais wa Kenya, William Samoei Ruto kuwa kinara wake katika uchaguzi mkuu wa 9 Agosti 2022. - Mseto wa United Democratic Alliance (UDA) ume mtangaza rasmi Naibu Rais wa Kenya, William Samoei Ruto kuwa kinara wake katika uchaguzi mkuu wa 9 Agosti 2022.

Wimbi la Siasa
Kenya: Rais Uhuru Kenyatta amwidhinisha Raila Odinga

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Mar 17, 2022 10:01


Rais Uhuru Kenyatta ametangaza kumuunga mkono kiongozi wa upinzani wa muda mrefu Raila Odinga kuwa mrithi wake, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9. Hatua hii imekuja baada ya Kenyatta, kumtema naibu wake William Ruto ambaye amesema kiongozi huyo wa nchi, amemhadaa kisiasa. Tunachambua.

SBS Swahili - SBS Swahili
Uhuru amtangaza Raila kuwa kinara wa mseto wa AZIMIO LA UMOJA katika uchaguzi mkuu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 14, 2022 7:37


Joto la siasa nchini Kenya laendelea kuongezeka baada ya mseto wa Azimio kumuidhinisha Raila Odinga kuwa kinara wao katika uchaguzi mkuu 9 Agosti 2022.

Wimbi la Siasa
Siasa za upinzani nchini Kenya kuelekea Uchaguzi Mkuu

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Feb 2, 2022 10:13


Tunaangazia harakati za chama kikuu cha upinzani nchini Kenya Orange Democratic Movement  (ODM), kutafuta uongozi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki, baada ya  uchaguzi Mkuu mwezi Agosti. Raila Odinga, kiongozi wa chama hicho kilichoundwa mwaka 2005, ameshatangaza nia ya kuwania nafasi hiyo chini ya vuguvugu la kisiasa la Azimio la Umoja. Je, chama hiki kimejiandaa vipi, kuelekea Uchaguzi wa Agosti 9, 2022 ? Mgeni wetu leo, ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Edwin Sifuna.  

kenya umoja odm raila odinga agosti mkuu afrika mashariki uchaguzi azimio uchaguzi mkuu mgeni tunaangazia
Wimbi la Siasa
Joto la kisiasa laendelea kupanda nchini Kenya kuelekea Uchaguzi wa Agosti

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jan 19, 2022 9:56


Tunaangazia joto la kisiasa, linaloendelea kupanda nchini Kenya, kuelekea Uchaguzi Mkuu mwezi Agosti mwaka huu. Wakenya watamchagua rais wao wa tano, baada ya Uhuru Kenyatta ambaye anaondoka madarakani. Kinyanganyiro kinatarajiwa kuwa kati ya kiongozi wa muda mrefu wa upinzani na aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga na naibu rais William Ruto.

kenya uhuru kenyatta agosti joto uchaguzi uchaguzi mkuu tunaangazia
Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Siasa za Tume ya Uchaguzi nchini DRC kuelekea Uchaguzi 2023

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Oct 20, 2021 9:22


Wanasiasa wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutoka muungano wa Lamuka na Ensamble wamekataa uteuzi wa Dennis Kadima kuwa Mwenyekiti mpya wa Tume ya Uchaguzi CENI kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka 2023. Itakuwaje ? Tunachambua.

congo ensamble tume jamhuri uchaguzi kidemokrasia uchaguzi mkuu
Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Sera za wanasiasa wanaotafuta urais nchini Kenya

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Oct 13, 2021 10:17


Nchini Kenya, wanasiasa wanaendelea kunadi sera zao, kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka 2022. Miongoni mwa wanasiasa hao ni Raila Odinga na William Ruto. Tunachambua.

kenya sera raila odinga urais miongoni uchaguzi mkuu
Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Baraza la vyama vya siasa nchini Tanzania kuelekea Uchaguzi 2025

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Sep 2, 2021 9:32


Wiki hii tunaangazia hatua ya vyama vya siasa nchini Tanzania kuunda Baraza la pamoja kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka 2025.

tanzania wiki baraza uchaguzi uchaguzi mkuu
Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Mvutano wa kumpata Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini DRC

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Aug 19, 2021 10:22


Viongozi wa dini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia wameshindwa kuelewana kuhusu ni nani awe Mwenyekiti mpya wa Tume ya Uchaguzi nchini humo CENI kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka 2023. Tunajadili

ceni tume jamhuri uchaguzi kidemokrasia uchaguzi mkuu tunajadili
Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Nani atapeperusha bendera ya upinzani kwenye Uchaguzi Mkuu nchini Kenya ?

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Aug 13, 2021 10:07


Wimbi la siasa wiki hii, linatupitia jicho siasa za upinzani, kumtafuta mgombea mmoja wa urais kuelekea Uchaguzi Mkuu mwezi Agosti mwaka 2022.

Mjadala wa Wiki
Siasa za vyama nchini Kenya kuelekea Uchaguzi Mkuu

Mjadala wa Wiki

Play Episode Listen Later Jul 15, 2021 10:11


Kenya inajiandaa kuwa na Uchaguzi Mkuu mwaka 2022. Vyama vya siasa vimeanza maandalizi kujiweka tayari kwa uchaguzi huo. Lakini je, vyama hivi vimejiandaa  vya kutosha ? Tunajadili.

kenya lakini mkuu uchaguzi mkuu tunajadili
Jasusi
Uchambuzi Wa Kijasusi Kuhusu Uchaguzi Mkuu Nchini Ufaransa (07.05.2017)

Jasusi

Play Episode Listen Later Feb 19, 2021 17:43


Uchambuzi Wa Kijasusi Kuhusu Uchaguzi Mkuu Nchini Ufaransa Get full access to Barua Ya Chahali at www.baruayachahali.com/subscribe

mkuu ufaransa uchaguzi mkuu
Jasusi
Uchambuzi Wa Kijasusi Kuhusu Uchaguzi Mkuu Nchini Ufaransa (07.05.2017)

Jasusi

Play Episode Listen Later Feb 19, 2021 17:43


Uchambuzi Wa Kijasusi Kuhusu Uchaguzi Mkuu Nchini Ufaransa

mkuu ufaransa uchaguzi mkuu
Habari za UN
Kuelekea uchaguzi mkuu CAR, mwamko mkubwa kwa wananchi wa CAR waonekana.

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 23, 2020 2:07


Wapiga kura nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR, wameanza kuchukua kadi zao za mpiga kura tayari kwa ajili ya uchaguzi mkuu utakaofanyika jumapili hii ya tarehe 27 mwezi Desemba.  Nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR, harakati zikiendelea mitaani huku katika vituo vya kujiandikishia, wananchi waliojiandikisha kupiga kura kwa uchaguzi mkuu jumapili wakichukua vitambulisho vyao. Ari ni kubwa ili kumaliza mgawanyo na ghasia uliogubika taifa hilo tangu mwaka 2013.

car afrika jamhuri wananchi desemba uchaguzi mkuu
SBS Swahili - SBS Swahili
Viongozi wa upinzani wakamatwa Tanzania baada yakupinga matokeo ya uchaguzi mkuu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Nov 4, 2020 8:33


Hali inaendelea kuwa tata kwa viongozi wa upinzani nchini Tanzania, wengi wao wakijipata chini ya udhibiti wa vyombo vya usalama nchini humo.

Msasaonline
MSANII PAMD-ATOA MAONI KUHUSU UCHAGUZI MKUU NA ALITUMIA VIPI NAFASI YAKE KUSHAWISHI WATU WAPIGE KURA

Msasaonline

Play Episode Listen Later Nov 2, 2020 30:00


Karibu kwa mara nyingine tena kusikiliza show yako matata una weza ku subscribe ili kuwa wakwanza kupata burudani .

Voice of Africa
Episode 14: Tanzania toward 2020 General Elections. We must elect a person who will keep the Holiness of the state house! (October 25, 2020)

Voice of Africa

Play Episode Listen Later Oct 27, 2020 53:25


(Uchaguzi Mkuu wa Tanzania, Tuchague kiongozi anayetambua kuwa, Ikulu ni Mahali Patakatifu, ikulu.)Tanzania is now on her 5th General elections since 1995. We must remember what the Founding Father reminded, which is that in every moment of General Elections, we must choose leaders who are not corrupt, not by words of mouth, or by action! One must be living the national leadership ethics and moral standards as gathered by the public. Be responsible and vote for a man who shall protect our land not mere words promises! (October 25, 2020)

Habari za UN
OHCHR imetoa wito kwa wadau kuhakikisha uchaguzi mkuu wenye amani

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 27, 2020 2:39


Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa OHCHR, leo imetoa wito kwa wadau wote nchi Tanzania kuhakikisha uchaguzi mkuu unaofanyika kesho Jumatano Oktoba 28, unakuwa wa amani, jumuishi na shirikishi, kwa watu kuweza kupiga kura zao kwa uhuru bila hofu na vitisho. 

tanzania zanzibar umoja ohchr uchaguzi uchaguzi mkuu
Habari za UN
Mkuu wa WHO afurushwa Burundi siku chache kabla ya uchaguzi mkuu, WHO yazungumza

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 14, 2020 1:52


Shirika la afya la Umoja la Umoja wa Mataifa, WHO, limesema linawasiliana na serikali ya Burundi ili kufahamu sababu ya kufukuzwa kwa mwakilishi wake nchini humo pamoja na wafanyakazi wengine watatu. Serikali ya Burundi ilitangaza jana kumfukuza mwakilishi huyo Dkt. Walter Kazadi Mulombo, ikiwa ni siku chache kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini humo.  Loise Wairimu na taarifa zaidi

Mjadala wa Wiki
Mjadala wa Wiki - Miaka minne ya rais wa Tanzania John Magufuli

Mjadala wa Wiki

Play Episode Listen Later Nov 6, 2019 15:00


Rais wa Tanzania John Magufuli, ametimiza miaka minne madarakani, je ni mafaniko gani na changamoto zipi zilizoshuhudiwa kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka 2020 ?

Mjadala wa Wiki
Mjadala wa Wiki - Hatima ya Uchaguzi Mkuu nchini Msumbiji

Mjadala wa Wiki

Play Episode Listen Later Oct 16, 2019 12:04


Wananchi wa Msumbiji, wanasubiri matokeo ya Uchaguzi Mkuu baada ya kupiga kura siku ya Jumanne. Ni uchaguzi ambao wachambuzi wa siasa wanasema ni kipimo cha demokrasia na utekelezwaji wa mkataba wa amani uliotiwa saini kati ya waasi wa Renamo na serikali, miezi miwili iliyopita. Tunajadili suala hili.

wiki renamo wananchi uchaguzi mkuu tunajadili
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Umoja wa Mataifa wasema kuna hali ya hofu nchini Burundi

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Sep 6, 2019 10:11


Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa kuhusu Burundi imebaini katika ripoti yake kwamba "hali ya hofu" inatawala katika nchi hiyo, ikiwa imesalia miezi minane kabla ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2020. Katika ripoti yake, Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa kuhusu Burundi, iliyoundwa na Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa mnamo mwaka 2016, inaelezea jinsi mamlaka nchini humo na vijana wa chama tawala, Imbonerakure, wanaendelea kuwafanyia vitisho raia kwa kuwalazimisha kujiunga, kuunga mkono au kuchangia chama tawala, CNDD-FDD. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya kwa kuzungumza na wasikilizaji wetu

SBS Swahili - SBS Swahili
Morrison leads the coalition to victory - Morrison aongoza chama cha mseto kupata ushindi wa uchaguzi mkuu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 19, 2019 32:41


Experts had given the coalition no chance of winning the federal election in favor of the Labor party. - Wataalam wengi, walikuwa hawakupa chama cha mseto matumaini yoyote, yakushinda uchaguzi mkuu wa shirikisho dhidi ya chama cha Labor.

SBS Swahili - SBS Swahili
Culturally diverse electorates could play key role - Jamii kutoka tamaduni tofauti kuamua matokeo ya uchaguzi mkuu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 13, 2019 7:30


Electorates which are culturally diverse are poised to play a key role in determining the outcome of the election. - Maeneo bunge yenye wakazi kutoka tamaduni tofauti, yatakuwa na jukumu muhimu laku amua matokeo ya uchaguzi mkuu wa shirikisho.

SBS Swahili - SBS Swahili
Election 2019: What happened this week - Uchaguzi mkuu 2019: Yaliyo jiri wiki hii

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 5, 2019 8:38


Week three of the federal election campaign began with the opening of the early voting period and the first of three leaders debates. - Wiki ya tatu ya kampeni za uchaguzi mkuu wa shirikisho ilianza kwaku funguliwa kwa vituo vyakupiga kura mapema, pamoja na mjadala wa kwanza kati ya mijadala mitatu ya viongozi kufanywa.

SBS Swahili - SBS Swahili
Election 2019: Profile of the Nationals party - Uchaguzi Mkuu 2019: Taarifa kuhusu chama cha Nationals

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 3, 2019 7:01


The Nationals take pride in representing the interests of people in regional and rural Australia and have done so for almost 100 years. - Chama cha Nationals huwa na fahari yakuwakilisha watu katika maeneo ya kanda na vijiji vya Australia, na chama hicho kime fanya hivyo kwa takriban miaka miamoja.

Mjadala wa Wiki
Mjadala wa Wiki - Kiongozi wa upinzani nchini DRC Martin Fayulu ataka maandamano dhidi ya rais Tshisekedi

Mjadala wa Wiki

Play Episode Listen Later May 2, 2019 15:18


Kiongozi wa upinzani nchini DRC Martin Fayulu, anataka maandamano yafanyike nchini humo kumshinikiza rais Felix Thisekedi aondoke madarakani kama ilivyokuwa nchini Sudan na Algeria. Fayulu anasema yeye ndiye aliyeshinda Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2018. Tunachambua hili kwa kina.

SBS Swahili - SBS Swahili
Six marginal seats up for grabs in WA - Maeneo bunge sita Magharibi Australia, tayari kunyakuliwa katika uchaguzi mkuu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 27, 2019 7:52


The Prime Minister and Opposition Leader will hold the first debate of the election campaign in Perth next week, where as many as six marginal seats are up for grabs. - Waziri Mkuu na kiongozi wa upinzani wata fanya mjadala wa kwanza katika kampeni ya uchaguzi mjini Perth wiki ijayo, ambako chama chochote kinaweza shinda takriban maeneo bunge sita.

SBS Swahili - SBS Swahili
Election 2019: Scott Morrison - Uchaguzi mkuu 2019: Scott Morrison

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 16, 2019 9:28


Scott Morrison became Australia's 30th prime minister in August last year when the Liberal Party voted him in as leader after a very public and acrimonious leadership spill. - Scott Morrison alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Australia wa thelathini Agosti mwaka jana, baada ya kura ya uongozi ndani ya chama cha Liberal, ikiwa ni baada ya machafuko ya vita vya wenyewe kwa wenyewe vya uongozi ndani chama hicho.

SBS Swahili - SBS Swahili
Election 2019: The PM names the day - Uchaguzi 2019: Waziri Mkuu achagua tarehe ya uchaguzi mkuu wa shirikisho

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 12, 2019 5:03


This year's federal election finally has a date: May the 18th 2019. - Hatimae tarehe ya uchaguzi wa shirikisho ya mwaka huu imetangazwa, uchaguzi huo utakuwa tarehe 18 Mei 2019.

SBS Swahili - SBS Swahili
Facebook takes action ahead of federal election - Facebook yachukua hatua kabla ya uchaguzi mkuu wa shirikisho

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 9, 2019 5:39


Facebook will ban foreign political advertising and introduce fact checking during the federal election. - Shirika la Facebook litapiga marufuku matangazo yakisiasa, nakuwasilisha mchakato wakutafuta ukweli wakati wa uchaguzi mkuu wa shirikisho.

SBS Swahili - SBS Swahili
Julie Bishop to retire from parliament at upcoming federal election - Julie Bishop atastaafu uchaguzi mkuu ujao utakapo tangazwa

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 22, 2019 5:48


Former Deputy Prime Minister and high-profile Liberal M-P Julie Bishop has announced she's retiring from politics. - Naibu waziri mkuu wa zamani na mbunge maarufu wa chama cha Liberal, Julie Bishop ametangaza kuwa anastaafu kutoka siasa.

Mjadala wa Wiki
Mjadala wa Wiki - Wananchi wa DRC bado wanasubiri matokeo ya Uchaguzi Mkuu

Mjadala wa Wiki

Play Episode Listen Later Jan 9, 2019 17:01


Mamilioni ya raia wa DRC, pamoja na dunia, inasubiri Tume ya Uchaguzi kumtangaza mshindi wa Uchaguzi wa urais, baada ya wananchi kupiga kura Desemba 30 2018. Nani atashinda Uchaguzi huu na ni kwanini matokeo yamechelewa ? Tunachambua suala hili kwa kina.

wiki drc tume uchaguzi wananchi desemba uchaguzi mkuu
Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Tume ya Uchaguzi yahairisha Uchaguzi katika baadhi ya maeneo, Mashariki mwa DRC

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Dec 28, 2018 9:57


Hatimaye, Uchaguzi Mkuu wa DRC utafanyika siku ya Jumapili, lakini Tume ya Uchaguzi imeahirisha zoezi hilo katika maeneo ya Butembo, Beni na Yumbi kwa sababu za kiusalama na maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola.

ebola beni drc katika tume baadhi butembo mashariki uchaguzi jumapili uchaguzi mkuu hatimaye
SBS Swahili - SBS Swahili
Unrest in ebola-affected DRC after presidential voting suspended - Maandamano yaibuka katika maeneo yanayo athiriwa kwa ebola nchini DRC, baada ya kuahirishwa kwa uchaguzi mkuu

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 28, 2018 6:35


Protestors in the Democratic Republic of Congo have attacked a facility used to assess potential ebola cases, angry at what they perceive to be attempts to exclude them from voting in the country's presidential election - Waandamanaji nchini jamuhuri yakidemokrasia ya Congo, wame shambulia kituo kinacho tumiwa kuchunguza kesi za ebola, baada yaku kasirishwa kwa majaribo yaku watenga katika mchakato wakupiga kura katika uchaguzi wa urais nchini humo.

Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Uchaguzi Mkuu wa DRC wahairishwa

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Dec 21, 2018 9:23


Uchaguzi Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo uliokuwa umepangwa kufanyika tarehe 23 mwezi Desemba, sasa umeahirishwa hadi tarehe 30 baada ya kuteketea kwa ghala la kuhifadhi vifaa vya kupigia kura jijini Kinshasa.

congo kinshasa jamhuri kidemokrasia desemba uchaguzi mkuu
Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Kampeni za DRC zakumbwa na vurugu

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Dec 15, 2018 9:43


Siku 10 kuelekea Uchaguzi Mkuu nchini DRC, mauaji yameripotiwa katika kampeni za siasa hasa katika mikutano ya Martin Fayulu, mgombea vya vyama upinzani lakini pia kuteketea moto kwa jengo la kuhifadhi vifaa vya kupigia kura jijini Kinshasa. Tunajadili hili kwa kina.

drc kinshasa siku martin fayulu uchaguzi mkuu kampeni tunajadili
Mjadala wa Wiki
Mjadala wa Wiki - Marekani: Democratics washinda bunge la wawakilishi, Republican watawala Senate

Mjadala wa Wiki

Play Episode Listen Later Nov 7, 2018 13:13


Chama cha Republican cha rais Donald Trump, kimepata ushindi katika bunge la Senate huku kile cha Denocratic, kikirejesha udhibiti wa bunge la wawakilishi, baada ya matokeo ya Uchaguzi wa Wabunge, Maseneta na Magavana, uliofanyika siku ya Jumanne. Matokeo haya yanamaanisha nini kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020. Kujadili hili, ni Abdulkarim Atiki, mchambuzi wa siasa za Kimataifa akiwa mjini Arusha nchini Tanzania na Dokta Brian Wanyama, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kibabii mjini Bungoma nchini Kenya.

SBS Swahili - SBS Swahili
Settlement Guide: How to enrol in the Victorian state election - Mwongozo wa Makazi: Jinsi yakujisajili kushiriki katika uchaguzi mkuu wa Victoria

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Sep 25, 2018 10:05


Victorians go to the polls on 24 November 2018 - Wakazi wa Victoria, watafanya uchaguzi tarehe 24 mwezi wa kumi na moja mwaka huu wa 2018.

Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Tume ya Uchaguzi nchini DRC CENI yapata mitambo ya kuwatambua wapiga kura

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Feb 24, 2018 10:04


Tume ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo CENI, imepata mitambo ya kieletroniki kuwatambua wapiga kura wakati wa Uchaguzi Mkuu mwezi Desemba. Je, mitambo hii itsaidia Uchaguzi huo kuwa huru na haki ? Tunajadili hili na mbunge wa Francois Rubota kutoka muungano unaomuunga mkono rais Joseph Kabila, Majorite Preidentielle, lakini pia Naibu Katibu Mkuu wa chama Kikuu cha upinzani UDPS Reubens Mikindo.

kura ceni joseph kabila tume jamhuri uchaguzi kidemokrasia desemba uchaguzi mkuu tunajadili
Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Kenya yaendelea kushuhudia mzozo wa kisiasa

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jan 12, 2018 9:35


Kenya imeendelea kushuhudia mzozo wa kisiasa, baada ya Uchaguzi Mkuu mwaka uliopita. Kiongozi wa upinzani NASA Raila Odinga, amekataa kumtambua rais Uhuru Kenyatta na amesema ataapishwa kama rais wa watu tarehe 30 mwezi Januari mwaka huu. Je, kuna nafasi ya mazungumzo katika mzozo huu.