Podcasts about Dunia

  • 1,964PODCASTS
  • 6,814EPISODES
  • 27mAVG DURATION
  • 2DAILY NEW EPISODES
  • May 30, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024

Categories



Best podcasts about Dunia

Show all podcasts related to dunia

Latest podcast episodes about Dunia

Habari za UN
30 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 30, 2025 9:58


Hii leo jaridani tunaangazia hali ya elimu kwa watoto mashariki mwa DRC na Mkutano wa pili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT unaofunga pazia leo jijini Nairobi Kenya. Makala inaturejesha nchini DRC na mashinani inatupeleka katika bonde la Ziwa Victoria, kulikoni?Wakati ghasia zinazoendelea huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC zinaripotiwa kusababisha zaidi ya watoto milioni 1.8 kutokuweko shuleni, shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF nchini humo linajitahidi kwa udi na uvumba kuhakikisha watoto wanapata elimu kwani ni haki yao ya msingi.Mkutano wa pili wa siku mbili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT leo unafunga pazia jijini Nairobi Kenya. Baraza hilo linalofanyika kila baada ya miaka minne ni chombo cha juu kabisa duniani cha kufanya maamuzi kuhusu maendeleo ya miji endelevu na limewaleta pamoja wawakilishi kutoka nchi zote 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa pamoja na wadau mbalimbali wa amendeleo ya miji.Makala inakupeleka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC hususan jimboni Kivu Kaskazini katika kitongoji cha Mavivi kuwasikia walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania,kikosi cha 11, TANZBATT11, wanaohudumu katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wakielezea sio tu majukumu yao, bali pia wanajivunia kile wanachofanya kwa kuzingatia Mei 29 imeadhimishwa siku ya kimataifa ya walinda amani.Na katika fursa ni yake Mhandisi Coletha Ruhamya, Naibu Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria, Mradi unaofanikishwa na Benki ya Dunia ambao unakabiliana na masuala ya usafi wa mazingira katika ziwa hilo. Anaeleza umuhimu wa usimamizi endelevu wa bonde hilo kote nchini Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda na Burundi chini ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Habari za UN
Mifuko iliyojazwa mchanga  yafanikisha Barabara kupitika nchini Kenya

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 21, 2025 1:46


Nchini Kenya, katika kaunti ya Meru hatua rahisi iliyochukuliwa inaleta mabadiliko makubwa na dhahiri kwani maeneo ambako awali barabara zilikuwa hazipitiki na hakuna mawasiliano, ubunifu wa kijapani umerejesha matumaini. Kulikoni? Assumpta Massoi anasimulia kupitia video ya Benki ya Dunia.

METRO TV
Indonesia Gelar Pameran Kopi Terbesar di Dunia - Headline News Edisi News MetroTV 5459

METRO TV

Play Episode Listen Later May 16, 2025 1:57


Indonesia menjadi negara produsen kopi pertama yang menyelenggarakan pameran kopi terbesar di dunia yang digelar oleh Specialty Coffee Association.

GSKI City Blessing Semarang
Daily Devotion || Berani Berbeda Dari Dunia || Ps. Steven Liem

GSKI City Blessing Semarang

Play Episode Listen Later May 16, 2025 4:48


Daily Devotion || Berani Berbeda Dari Dunia || Ps. Steven Liem

GSKI City Blessing Semarang
Renungan Malam || Penolakan Dunia Tidak Mengubah Kasih Allah || Ps. Steven Liem

GSKI City Blessing Semarang

Play Episode Listen Later May 15, 2025 2:32


Renungan Malam || Penolakan Dunia Tidak Mengubah Kasih Allah || Ps. Steven Liem

GSKI City Blessing Semarang
Renungan Malam || Ketika Dunia Membuangku || Ps. Steven Liem

GSKI City Blessing Semarang

Play Episode Listen Later May 13, 2025 2:26


Renungan Malam || Ketika Dunia Membuangku || Ps. Steven Liem

Podcast Radio Penyiaran Polimedia
MOVIEPEDIA Eps.. Joko Anwar Kembali Mengguncang Dunia Perfilman: Apa Sih Yang Terjadi di Bukit Duri?

Podcast Radio Penyiaran Polimedia

Play Episode Listen Later May 12, 2025 9:10


Hai hai sobat kreatif!! Di episode Moviepedia kali ini, kita akan membedah film terbaru karya Joko Anwar, "Pengepungan di Bukit Duri" mulai dari ketegangan, atmosfer mencekam, sampai ke pesan sosial yang terselubung akan kita bahas disini. Pokoknya film ini bukan sekedar cerita pengepungan biasa deh sobat kreatif! Daripada sobat kreatif penasaran, yuk langsung dengerin aja! Penyiar: Prajna Candra P. W Bintang Tamu: Nayla Cahaya Operator & Md: Muhammad Rakha Fahreizy & Nadya Afiyah Editor: R. Revanza Fakhri Hasyim Abid Jangan lupa follow kitaa yaaa!! Instagram: @polimedia_radio Tiktok: @radio penyiaran polimedia

AWR Indonesian - Daily Devotional

Mereka haus akan kehangatan sentuhan kita, pelukan kita, dan melalui kita, Tuhan ingin menunjukkan kasih-Nya kepada dunia.

GSKI City Blessing Semarang
Renungan Pagi || Melawan Jerat Dunia || Ps. Steven Liem

GSKI City Blessing Semarang

Play Episode Listen Later May 9, 2025 10:39


Renungan Pagi || Melawan Jerat Dunia || Ps. Steven Liem

AWR in Indonesian - Renungan Harian

Mereka haus akan kehangatan sentuhan kita, pelukan kita, dan melalui kita, Tuhan ingin menunjukkan kasih-Nya kepada dunia.

Habari RFI-Ki
Je kuna hofu ya kutokea kwa vita vya tatu vya dunia

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 8, 2025 10:00


Katika makala haya  tunajadili athari ya vita vya ukraine na Urusi na sasa tishio la vita nyingine kati ya India na Pakistan. Je ni shara ya kutokea kwa vita vya pili vya dunia ? ndilo swali tumekuuliza. Skiza baadhi ya maoni ya waskilizaji.

Habari RFI-Ki
Je kuna hofu ya kutokea kwa vita vya tatu vya dunia

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 8, 2025 10:00


Katika makala haya  tunajadili athari ya vita vya ukraine na Urusi na sasa tishio la vita nyingine kati ya India na Pakistan. Je ni shara ya kutokea kwa vita vya pili vya dunia ? ndilo swali tumekuuliza. Skiza baadhi ya maoni ya waskilizaji.

METRO TV
Keterlibatan Perempuan Dalam Perdamaian Dunia - Headline News Edisi News MetroTV 5388

METRO TV

Play Episode Listen Later May 7, 2025 1:59


Wakil Menteri Luar Negeri Norwegia, Andreas Motzfeldt Kravik, menyoroti pentingnya keterlibatan perempuan dalam upaya menciptakan perdamaian dan keamanan global.

Radio Elshinta
Indonesia akan menjadi salah satu negara lokasi uji coba vaksin tuberkulosis (TBC) yang tengah dikembangkan pendiri Microsoft dan tokoh filantropi dunia, Bill Gates

Radio Elshinta

Play Episode Listen Later May 7, 2025 21:24


Presiden Republik Indonesia Prabowo Subianto menyatakan, Indonesia akan menjadi salah satu negara lokasi uji coba vaksin tuberkulosis (TBC) yang tengah dikembangkan pendiri Microsoft dan tokoh filantropi dunia, Bill Gates. Prabowo menyoroti tingginya angka kematian akibat TBC di Indonesia, yang menurutnya mencapai hampir 100.000 jiwa setiap tahun.Bagaimana menyoroti tingginya angka kematian akibat TBC di Indonesia?Narasumber : Ketua Majelis Kehormatan Perhimpunan Dokter Paru Indonesia - Prof Tjandra Yoga Aditama

TanadiSantosoBWI
Podcast #74 - Bagaimana Memotivasi Gen Z di Dunia Kerja

TanadiSantosoBWI

Play Episode Listen Later May 6, 2025 26:17


Produktivitas Gen Z seringkali naik-turun drastis, hari ini super semangat, besoknya bisa drop total. Episode podcast ini akan membahas fenomena ini berdasarkan pengalaman nyata dan pendekatan berbasis teori engagement seperti Gallup Q12. Engagement di dunia kerja bukan soal generasi, tapi soal pendekatan.Apa yang berhasil untuk Gen X atau Y belum tentu cocok untuk Gen Z. Maka dari itu, penting bagi para pemimpin dan profesional HR untuk memahami bahwa kuncinya bukan mengganti teorinya, tapi menyesuaikan cara penyampaian dan interaksinya. Gen Z itu kritis, penuh ide, tapi mudah kehilangan arah. Kalau Anda bisa memancing keterlibatan mereka secara emosional dan profesional, hasilnya luar biasa. Episode ini membahas bagaimana menciptakan lingkungan kerja yang membuat mereka merasa dihargai, berkembang, dan punya makna. Selain membahas teori engagement, episode ini menghadirkan pengalaman, cerita, refleksi, dan pendekatan-pendekatan praktis yang bisa langsung Anda terapkan di tim Anda.

Kumpulan Dakwah Sunnah
Ustadz Firdaus Sanusi, M.A. - Memilih Dunia atau Negeri Akhirat

Kumpulan Dakwah Sunnah

Play Episode Listen Later May 5, 2025 79:22


Ustadz Firdaus Sanusi, M.A. - Memilih Dunia atau Negeri Akhirat

Habari RFI-Ki
Dunia uhuru wa vyombo vya habari na wanahabari

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 5, 2025 9:36


Leo mada yetu inajikita kwa siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari, ambapo  Umoja wa Mataifa umesema licha ya baadhi ya nchi kupiga hatua katika ulinzi wa wanahabari, hofu ya uhuru wa habari kuendelea kuminywa inaendelea kutanda. Mwaka jana jumla ya wanahabari 82 walipoteza maisha wakitekeleza majukumu yao. Tuambie nchini mwako vyombo vya habari viko huru? Haya hapa baadhi ya maoni yako, skiza makala.

Habari RFI-Ki
Dunia uhuru wa vyombo vya habari na wanahabari

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 5, 2025 9:36


Leo mada yetu inajikita kwa siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari, ambapo  Umoja wa Mataifa umesema licha ya baadhi ya nchi kupiga hatua katika ulinzi wa wanahabari, hofu ya uhuru wa habari kuendelea kuminywa inaendelea kutanda. Mwaka jana jumla ya wanahabari 82 walipoteza maisha wakitekeleza majukumu yao. Tuambie nchini mwako vyombo vya habari viko huru? Haya hapa baadhi ya maoni yako, skiza makala.

TanadiSantosoBWI
3 Skill Karyawan Berkembang dan Menang

TanadiSantosoBWI

Play Episode Listen Later May 2, 2025 12:45


Dunia kerja berubah lebih cepat dari yang kita kira dan perubahan ini bukan hanya sekadar teknologi, tetapi juga keterampilan yang harus kita kuasai. Di episode terbaru podcast "3 Skill Karyawan Berkembang dan Menang", kita akan membahas keterampilan apa saja yang akan membuat Anda tetap relevan, bahkan jadi pemenang di tengah derasnya perubahan. Episode ini akan membahas tiga skill utama, seperti bagaimana membangun kemampuan analytical thinking, memanfaatkan teknologi untuk produktivitas, hingga memperkuat resilience dan stress tolerance. Skill ini bisa menjadi bekal Anda agar menjadikan Anda menjadi selangkah lebih maju dari perubahan zaman dan juga diperlukan dalam perusahaan.

Podcast Radio Penyiaran Polimedia
BASIC Eps.. Ada Yang Balik dan Guncang Dunia?!?

Podcast Radio Penyiaran Polimedia

Play Episode Listen Later May 2, 2025 15:45


Hai Hai Hai!! Sobat Asik!! Udah lama ga nyapa Sobat Asik nih, Kangen ga nih? Ada event tahunan terbesar yang balik dan siap menggetarkan dunia music!! Episode kali ini, gw Laura dan Harsya bakal spill hot news dari dunia musik dan pastinya bareng playlist asik yang ga kalah ngehits!!Pengen ga ketinggalan musik jaman now? Makanya, dengerin podcast BASIC di Radio Penyiaran Polimedia!! Penyiar : Laura & HarsyaEditor : RevanJangan lupa follow kita ya!!Instagram : @polimedia_radioTiktok : @radio penyiaran polimedia

Couch Safari
Frauenpower in der Serengeti (Live aus dem Dunia Camp)

Couch Safari

Play Episode Listen Later May 1, 2025 17:15


Marion und Paddy melden sich aus dem Dunia Camp – einem ganz besonderen Ort, der nicht nur durch seine Lage besticht, sondern auch durch sein Team: Das einzige Safari-Camp in Tansania, das vollständig von Frauen geführt wird.In dieser Folge sprechen wir über unsere ersten Stunden in der Serengeti, über Gänsehautmomente, starke Frauen – und warum dieses Camp mehr ist als nur eine Unterkunft. Ach ja und stecken geblieben sind wir auch.Während Marions Stimme langsam schwindet, übernimmt Paddy die Sichtungen und erzählt von der Magie dieser Region.Jetzt reinhören – und für einen Moment abtauchen.

Lifehouse Jakarta
Diutus Mewarnai Dunia

Lifehouse Jakarta

Play Episode Listen Later Apr 30, 2025 5:20


Pdt. Ellya Makarawung (TB) Yohanes 9 : 6-7 9:6 Setelah Ia mengatakan semuanya itu, Ia meludah ke tanah, dan mengaduk ludahnya itu dengan tanah, lalu mengoleskannya pada mata orang buta tadi 9:7 dan berkata kepadanya: "Pergilah, basuhlah dirimu dalam kolam Siloam. " Siloam artinya: "Yang diutus." Maka pergilah orang itu, ia membasuh dirinya lalu kembali dengan matanya sudah melek. 

Jukwaa la Michezo
Riadha: Ni nani atashinda mbio za London Marathon mwaka 2025?

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Apr 26, 2025 24:06


Leo tumeangazia michuano ya klabu bingwa kufuzu fainali, riadha za Diamond League, Boston na London Marathon, Cameroon yafuzu Kombe la Dunia la U17, uchaguzi wa kamati ya Olimpiki nchini Kenya watibuka, Gor Mahia yanuia kujenga uwanja wao, uchambuzi wa debi ya El Clasico huku Carlos Alcaraz akijiondoa kwenye mashindano ya Madrid Open.

METRO TV
Saya Sih Ga Kaget Ya Kalau Ada Kasus-Kasus Dokter Cabul – Si Paling Kontroversi Edisi 024

METRO TV

Play Episode Listen Later Apr 25, 2025 59:01


Dunia kedokteran Indonesia sepertinya tidak sedang baik-baik saja. Beberapa kasus mencuat belakangan ini, dengan pelaku utama adalah seorang dokter. Bukan dokter umum, tapi dokter yang sedang menempuh pendidikan spesialis hingga yang sudah sah bergelar dokter spesialis.Di Bandung, seorang peserta Program Pendidikan Dokter Spesialis (PPDS) diduga memperkosa keluarga pasien. Pelaku yang sedang mengambil spesialisasi dokter anastesi itu, memperdaya korbannya dengan membius lalu memperkosanya.Kemudian, di Garut, Jawa Barat, seorang dokter spesialis kandungan melelecehkan pasiennya di ruang pemeriksaan. Kedua kasus itu melibatkan calon dokter spesialis hingga dokter spesialis. Karena itu, publik pun kembali teringat dengan sejumlah berita kelam tentang kehidupan pendidikan dokter spesialis yang keras dan berat. Bahkan, pada 2024 lalu ada peserta PPDS di Undip Semarang yang bunuh diri akibat tidak tahan lagi menjadi korban bullying hingga beban kerja yang sangat berat.Memang seberat apa sih pendidikan menjadi seorang dokter spesialis itu?Nah, SI PALING KONTROVERSI mengundang Marcelius Patria Prabaniswara, seorang dokter yang memilih untuk meninggalkan pendidikan spesialisnya, akibat beragam kekerasan yang ia alami. “Mulai dari yang paling konyol buat mengurusi keperluan pribadi senior, caci-maki, hukuman fisik, hinggga ancaman. Dan, tidak ada jalur untuk mengadu,” kata Dokter Marcelius.Untuk melengkapi pengakuan-pengakuannya, hadir juga drg. Arianti Anaya, yang kini menjabat Ketua Konsil Kesehatan Indonesia (KKI), lembaga resmi yang bertugas buat mengatur, mengawasi, dan membina profesi tenaga kesehatan di Indonesia.Apa saja pengakuan mereka tentang sisi hitam dunia kedokteran Indonesia?

SPESIAL DIALOG CLASSY FM
THE ART OF LEADERSHIP - Area Manager Communication Relations & CSR Pertamina Patra Niaga Regional Sumbagut Subholding Pertamina Commercial & Trading

SPESIAL DIALOG CLASSY FM

Play Episode Listen Later Apr 24, 2025 40:13


Dunia terus bergerak, dan begitu pula cara kita memaknai kepemimpinan. Hari ini, pemimpin bukan hanya tentang siapa yang paling depan, tapi siapa yang mampu menciptakan ruang kolaboratif, mengangkat potensi tim, dan tetap relevan di tengah perubahan.Cermati obrolan menarik bersama Susanto August Satria, Area Manager Communication Relations & CSR Pertamina Patra Niaga Regional Sumbagut Subholding Pertamina Commercial & Trading dalam program The Art of Leadership.

Mojok Podcast
PROF. AL MAKIN: MENYELAMI SEJARAH PERADABAN DUNIA UNTUK MENGHADAPI KRISIS INDONESIA GELAP

Mojok Podcast

Play Episode Listen Later Apr 24, 2025 66:49


Episode ini Kepala Suku Mojok berbincang dengan Prof. Al Makin, seorang dosen, akademisi, dan eks rektor UIN Sunan Kalijaga. Obrolan ini mengeksplorasi akar sejarah peradaban, termasuk pengaruh tradisi Yunani dan Mesopotamia terhadap bahasa, hukum, dan struktur berpikir dalam bernegara.

Radio Rodja 756 AM
Wanita Shalihah Perhiasan Terbaik Dunia

Radio Rodja 756 AM

Play Episode Listen Later Apr 23, 2025 42:06


Wanita Shalihah Perhiasan Terbaik Dunia adalah bagian dari ceramah agama dan kajian Islam ilmiah dengan pembahasan Al-Bayan Min Qashashil Qur’an. Pembahasan ini disampaikan oleh Ustadz Abu Ya’la Kurnaedi, Lc. pada Senin, 21 April 2025 M / 22 Syawwal 1446 H. Kajian sebelumnya: Sabar Menghadapi Ujian, Akhlak Para Nabi Kajian Tentang Wanita Shalihah Perhiasan Terbaik Dunia Pelajaran ketiga dari […] Tulisan Wanita Shalihah Perhiasan Terbaik Dunia ditampilkan di Radio Rodja 756 AM.

Kenny And Friends
Strugglenya Dunia EO ft. Perpi of Groovy EO

Kenny And Friends

Play Episode Listen Later Apr 18, 2025 15:58


EO ini adalah yang pertama hire gue jadi MC! Kalo ga ada mereka mungkin gue ga bakal kaya sekarang. Groovy EO adalah tempat gue belajar dan latihan banyak hal. Always grateful for them :) Di balik acara yang megah dan meriah, ada cerita tentang pressure, loss, dan cara buat bertahan. Bareng @perpiryan, CEO of Groovy EO, kita ngobrolin realita industri EO yang nggak selalu se-“groovy” kelihatannya. Dan ternyata jadi CEO itu bukan cuma soal bikin keputusan besar, tapi juga belajar buat nggak nyerah sama keadaan

Habari za UN
Tume huru ya UN ya kusaka ukweli kuhusu Sudan imelaani vikali mauaji ya watu zaidi ya 100

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 14, 2025 2:02


Vita ya sasa ya Sudan ikielekea kuingia mwaka wa tatu, Tume Huru ya Umoja wa Mataifa ya kusaka ukweli kuhusu Sudan imelaani vikali mauaji ya watu zaidi ya 100 yaliyotokea wikiendi hii katika kambi za wakimbizi wa ndani Darfur, ikionya kwamba hali inaweza kuwa mbaya zaidi. Anold Kayanda na taarifa zaidi.(Taarifa ya Anold Kayanda)Shukrani LeahTangu kuanza kwa vita kati ya Jeshi la Sudan (SAF) na kikosi cha waasi cha RSF mnamo tarehe 15 Aprili mwaka 2023, maelfu ya watu wamepoteza maisha, huku mamilioni wakikumbwa na njaa, ubakaji, na ufurushwaji. Kambi kama ya Zamzam, yenye wakazi zaidi ya laki saba – nusu yao wakiwa watoto – zinaripotiwa kuzingirwa, wakazi wake wakikosa chakula, dawa, na maji, imeeleza Tume Huru ya Umoja wa Mataifa ya kusaka ukweli kuhusu Sudan.Mwenyekiti wa tume hiyo, Mohamed Chande Othman, ananukuliwa akisema, “Dunia imeshuhudia miaka miwili ya mzozo usio na huruma ambao umewanasa mamilioni ya raia katika mazingira ya kutisha, wakiwekwa katika hali ya ukatili bila matumaini ya mwisho.”Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, Catherine Russell kuhusu tukio hili la hivi karibuni ni kwamba watoto takriban 23 na wahudumu 9 wa misaada wameripotiwa kuuawa katika mfululizo wa mashambulizi katika eneo la Darfur Kaskazini, katika kipindi cha siku tatu zilizopita.Jana Jumapili, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesisitiza kuwa mashambulizi yanayolenga raia ni marufuku kabisa chini ya sheria ya kimataifa ya kibinadamu. Wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu na wafanyakazi wa afya wanapaswa kuheshimiwa na kulindwa,anasema.Kesho Jumanne huko London Uingereza, mataifa takriban 20 yanatarajiwa kujadili hali ya kibinadamu nchini Sudan. Umoja wa Mataifa unatoa wito wa hatua za haraka kulinda raia, kusitisha uungwaji mkono kwa pande zinazopigana, na kuhakikisha haki na uwajibikaji kwa uhalifu wa kivita.

Lifehouse Jakarta
Iman Yang Mengalahkan Dunia

Lifehouse Jakarta

Play Episode Listen Later Apr 13, 2025 4:53


Pdm. Handoyo Salim (TB) 1 Yohanes 5:4 "Sebab semua yang lahir dari Allah, mengalahkan dunia. Dan inilah kemenangan yang mengalahkan dunia: iman kita." 

Daily Fresh Juice
Fresh Juice 13 April 2025 – Luk. 22:14- 23:56 : Sengsara Tuhan Kita Yesus Kristus, Menyelamatkan Dunia

Daily Fresh Juice

Play Episode Listen Later Apr 12, 2025 14:04


Pembawa Renungan : RP Siprianus Smakur Tukan, SSCC Paroki Santo Stefanus Dirung Lingkin Tanah Siang Selatan Palangka Raya Hari Minggu Palma Luk. 22:14- 23:56

Habari za UN
07 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 7, 2025 11:47


Hii leo jaridani tunaangazia makumbusho ya mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi nchini Rwanda mwaka 1994, na Siku ya Afya Duniani. Makala inamulika nafasi ya michezo katika kusongesha amani na maendeleo, na mashinani tunakwenda nchini Kenya, kulikoni?Dunia inapokumbuka miaka 31 tangu mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi nchini Rwanda mwaka 1994, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametuma ujumbe mzito wa maombolezo na onyo, akitaka mshikamano wa kimataifa kupambana na ongezeko la chuki, mgawanyiko, na misimamo mikali kupitia mifumo ya kidijitali.Leo ni Siku ya Afya Duniani ambayo mwaka huu inangazia suala muhimu kwa afya ya dunia, changamoto maalum wanazokumbana nazo wanawake na wasichana lakini pia vifo vya watoto wachanga, na ili kuhakikisha changamoto hizo zinashughulikiwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani WHO limezindua  kampeni ya mwaka mzima ya “Mwanzo wenye afya ni mustakbali wenye matumaini”..Makala inamulika nafasi ya michezo katika kusongesha amani na maendeleo, ambapo Assumpta Massoi amezungumza na Rosemary Mwaipopo, Muasisi na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la kiraia la DaySpring Foundation nchini Tanzania. Yeye alikuwa ni miongoni mwa washiriki wa Mkutano wa 69 wa Hali ya Wanawake duniani, CSW69 uliofanyika hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa mwezi uliopita wa Machi.Na mashinanileo ikiwa leo ni siku ya afya duniani, kupitia mahojiano yaliyofanikishwa na washirika wetu Radio Domus, fursa ni yake Padri Thaddeus Mukaya wa kanisa la katoliki la Parokia ya Embulbul ambalo pamoja na wadau wengine waliandaa huduma za bure za matibabu kwa wenyeji wa eneo hilo ili kusaidia jamii ambazo haziwezi kujimudu kimaisha.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Habari za UN
Kwibuka2025: Katibu Mkuu UN ahimiza mshikamano wa kimataifa dhidi ya chuki

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 7, 2025 2:12


Dunia inapokumbuka miaka 31 tangu mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi nchini Rwanda mwaka 1994, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametuma ujumbe mzito wa maombolezo na onyo, akitaka mshikamano wa kimataifa kupambana na ongezeko la chuki, mgawanyiko, na misimamo mikali kupitia mifumo ya kidijitali. Anold Kayanda na maelezo zaidi.

SBS Indonesian - SBS Bahasa Indonesia
World leaders' reaction on new a slate of new tariffs imposed by Donald Trump - Reaksi para pemimpin dunia terhadap serangkaian tarif baru yang diberlakukan oleh Donald Trump

SBS Indonesian - SBS Bahasa Indonesia

Play Episode Listen Later Apr 7, 2025 11:08


As the global economy reels in the aftermath of U-S President Donald Trump's sweeping tariff announcements, Mr Trump claims more than 50 nations have reached out to try and negotiate deals with the U-S. - Saat ekonomi global terpuruk akibat pengumuman tarif besar-besaran Presiden AS Donald Trump, Presiden Trump mengklaim lebih dari 50 negara telah berusaha keras untuk menegosiasikan kesepakatan dengan AS.

SBS Indonesian - SBS Bahasa Indonesia
The diverse Muslim traditions of communities around the world highlights Salam Fest 2025 - Keragaman Tradisi Muslim Berbagai Komunitas di Dunia Jadi Sorotan Salam Fest 2025

SBS Indonesian - SBS Bahasa Indonesia

Play Episode Listen Later Apr 7, 2025 4:44


Salam Fest 2025 was held in Melbourne and celebrated the diverse traditions of Muslims around the world. - Salam Fest 2025 diselenggarakan di Melbourne dan ikut merayakan tradisi umat muslim yang beragam di dunia.

Habari za UN
Chad: Wanakikundi watumia faida ya biashara yao kuanzisha shule

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 26, 2025 3:33


Nchini Chad, wanawake wanakikundi cha kutengeneza sabuni na mafuta ya kupata mwilini wameamua kuchukua hatua ili umamuma wa kutokujua kusoma na kuandika ambao umewakumba wao, usiwakumbe pia watoto wao wa kike. Wanakikundi hao wa APROFiCA wanaopata ufadhili kutoka Benki ya Dunia wameona ni vema kuchukua hatua hiyo ili kufanikisha lengo namba 4 la Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs la Umoja wa Mataifa kuhusu elimu, kwani elimu ni mkombozi kwa binadamu. Je wamefanya nini? Assumpta Massoi anafafanua kupitia video ya Benki ya Dunia.

Kencan Dengan Tuhan
Edisi Hari Kamis, 27 Maret 2025 - Percayalah! Dia sanggup menolongmu

Kencan Dengan Tuhan

Play Episode Listen Later Mar 26, 2025 6:50


Kencan Dengan Tuhan - Kamis, 27 Maret 2025Bacaan: "Sebab itu janganlah kamu takut, karena kamu lebih berharga dari pada banyak burung pipit." (Matius 10:31) Renungan: Tempat terdalam di bumi yang ditemukan ialah Palung Mariana dan pertama kali diteliti pada tahun 1951. Palung Mariana adalah jurang yang terletak di dasar laut, tepatnya di sebelah timur Pulau Mariana barat Samudera Pasifik dan dekat Pulau Guam. Titik terdalam Palung Mariana yang disebut Challenger Deep, mencapai 11 kilometer. Jika diukur memanjang, kedalaman Palung Mariana lebih panjang dibandingkan dengan tingginya Gunung Everest, yang menjulang hingga 8.8 kilometer dari permukaan air laut, yang merupakan puncak tertinggi di muka bumi. Menariknya, Palung Mariana diperkirakan terbentuk sekitar 180 juta tahun yang lalu di mana terjadi akibat tubrukan hebat antara lempeng tektonik Pasifik dan lempeng Filipina sehingga menyebabkan retakan yang dalam. Karena begitu dalamnya dasar di palung ini, maka cahaya matahari tak bisa menembus. Meski Palung Mariana adalah jurang terdalam di bumi tetapi ternyata bukanlah titik terdekat dengan inti Bumi. Palung ini kalah dekat dengan inti bumi dibanding jurang laut di Samudra Atlantik. Salah satu orang yang berhasil mencapai kedalaman Palung Mariana dengan menggunakan sebuah kapal selam mini Deepsea Challenger; pada tahun 2012 ialah James Cameron. Menurutnya, titik terdalam bumi ternyata mirip permukaan bulan yang paling terpencil. "Sangat mirip bulan, tempat yang sangat terpencil, sangat terisolasi, "jelas Cameron sang sutradara film Titanic dan Avatar. Selain menjadi tempat berbahaya karena tekanan airnya 1000 kali lebih kuat dari tekanan air dasar lautan lain, ternyata ada tanda kehidupan di sana. Pada ekspedisi tahun 2012, ditemukan beberapa jenis makhluk hidup di sana, yakni amuba raksasa, udang tak bercangkang, dan teripang kerdil. Di awal tahun 2016, para peneliti dunia laut dari AS menemukan spesies ubur-ubur kecil yang memiliki bagian kepala yang bisa bersinar. Karena nyaris tidak terdapat makanan di bawah sana, makhluk hidup tersebut mengandalkan zat kimia, seperti metan dan sulfur untuk membuat makanan. Makhluk hidup di bawah samudra ini, tidak dapat hidup di lingkungan yang berbeda. Dunia ini diciptakan Tuhan dengan segala keindahan dan keunikan, termasuk Palung Mariana. Jelaslah, la sebagai desainer yang agung telah merancang dan menciptakan segala sesuatu dengan ajaib dan dahsyat. Bahkan pemeliharaan-Nya yang sempurna bukan hanya terhadap makhluk hidup di udara dan darat, tetapi juga di dasar laut sekalipun. Pantaskah kita khawatir dengan kebutuhan pangan, sandang, dan papan? Percayalah, di lembah jurang terdalam sekalipun, Tuhan sanggup menolong kita. Jika kita bekerja dan mengandalkan Tuhan, ketahuilah la yang akan memelihara dan memberkati kita. Tuhan Yesus memberkati.Doa:Tuhan Yesus, ajarilah aku untuk tidak khawatir dan selalu mengandalkan Engkau dalam setiap langkah hidupku. Aku percaya, bersama Engkau semua akan baik-baik saja. Amin. (Dod).

REFORMING LIFE
Pengetahuan yang Sia-sia menurut Kitab Pengkhotbah

REFORMING LIFE

Play Episode Listen Later Mar 23, 2025 76:58


Dunia melihat hikmat dalam pengertian yang sempit hanya karena berusaha melihat hikmat dalam cara yang pragmatis. Namun, Kitab Pengkhotbah mengajarkan bahwa hikmat juga adalah kemampuan untuk menjalani hidup dengan benar.

Lifehouse Jakarta
Sukses Dunia vs Suksesnya Allah

Lifehouse Jakarta

Play Episode Listen Later Mar 17, 2025 4:47


Jessica Wahyu - Matius 11:11 (TB) Aku berkata kepadamu: Sesungguhnya di antara mereka yang dilahirkan oleh perempuan tidak pernah tampil seorang yang lebih besar dari pada Yohanes Pembaptis, namun yang terkecil dalam Kerajaan Sorga lebih besar dari padanya.

AWR Indonesian - Bahasa Indonesia
"SEKILAS INFO" - "JEMBATAN SURGA"

AWR Indonesian - Bahasa Indonesia

Play Episode Listen Later Mar 16, 2025 29:00


Daun sirih Cina memiliki senyawa aktif yang dapat membantu mengurangi penyerapan kolestrol dari makanan. // Dunia tercerai dari surga antara jurang yang memisahkan, dan melalui Kristus dunia kembali dijembatani dengan surga.

Dunia Kita - Voice of America | Bahasa Indonesia
Dunia Kita "Our World, My Story": Museum Musisi Hall of Fame di Amerika! - Maret 12, 2025

Dunia Kita - Voice of America | Bahasa Indonesia

Play Episode Listen Later Mar 11, 2025 20:30


Di episode kali ini, ikuti pertualangan Gandira di Musicians Hall of Fame Museum yang legendaris di kota Nashville untuk mempelajari sejarah musik di Amerika Serikat dari berbagai genre musik seperti The Beatles, Elvis Presley hingga Jimi Hendrix.

Habari za UN
07 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 7, 2025 11:50


Hii leo jaridani tunaangazia maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake, na hali ya wanawake wajawaito nchini Ukraine. Makala tunakwenda nchini Tanzania na mashinani tunakupeleka nchini Kenya, kulikoni?Kuelekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake Machi 8, tathmini mpya ya Umoja wa Mataifa iliyowekwa wazi leo ikiangazia haki za wanawake miaka 30 baada ya Azimio la Beijing inaonesha uwepo wa maendeleo katika usawa wa kijinsia, kama vile sheria dhidi ya ubaguzi na sera jumuishi za kijinsia. Hata hivyo, ripoti hiyo inaeleza uwepo bado wa ubaguzi wa kijinsia uliojikita katika jamii, ukiendelea kuwazuia wanawake na wasichana kupata fursa.Zikiwa zimesalia siku mbili ya leo na kesho kufika tarehe 8 Machi Siku ya Kimataifa ya Wanawake, tunaendelea kuangazia hali ya wanawake duniani. Sharon Jebiichi anatupeleka Ukraine kutukutanisha na Mwakilishi wa muda wa Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu UNFPA nchini humo ambaye anaangazia madhila wanayokutana nayo wanawake wajawazito wa Ukraine.Katika makala Assumpta Massoi anakupeleka kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake kwenye mkoa mmoja ulioko katikati mwa Tanzania.Na mashinani kesho Dunia ikiadhimisa siku ya kimataifa ya wanawake duniani tunakwenda nchini Kenya kusikia ujumbe wa mwanaharakati wa wanawake kuhusu uswa wa kijinsia.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

Daily Fresh Juice
Fresh Juice 6 Maret 2025 – Luk. 9:22-25 : Memperoleh seluruh dunia, tapi binasa?

Daily Fresh Juice

Play Episode Listen Later Mar 5, 2025 11:28


Pembawa Renungan : Linda WahjudiDenpasar Bali Luk. 9:22-25

tapi dunia maret fresh juice
Dunia Kita - Voice of America | Bahasa Indonesia
Dunia Kita "Our World, My Story": Ngobrol Santai Bersama Aktris, Model & Penyanyi, Karenina Anderson - Maret 06, 2025

Dunia Kita - Voice of America | Bahasa Indonesia

Play Episode Listen Later Mar 5, 2025 20:16


Di episode kali ini, ikuti obrolan Naratama bersama Karenina tentang kehidupan dan lagu baru. Dan, ikuti perjalanan Gandira di sebuah acara di KBRI DC.

Ozarks at Large
Tracking a family member through the rabbit hole — Dunia Elvir

Ozarks at Large

Play Episode Listen Later Mar 5, 2025 54:59


A new podcast highlights a family member's immersion into conspiracy rabbit holes. On today's show, we hear what lessons can be learned from watching such happen as Zach Mack discusses his podcast “Alternate Realities." Also, Dunia Elvir, a TV anchor in Los Angeles and president of the National Association of Hispanic Journalists, shares lessons from thirty years of journalism. Plus, Becca Martin Brown takes "The Other Way" to Cane Hill.

Podcast Bercanda
Eps. 307 Akhirnya Dunia Yang Menyesatkan

Podcast Bercanda

Play Episode Listen Later Feb 28, 2025 48:48


Mengingat puasa sudah dekat, mari kita sambut dengan muhasabah bersama Gus Dit.dimeriahkan oleh manusia penuh dosa, Fadly A.K.A Batak!#PodcastBercanda

SBS Indonesian - SBS Bahasa Indonesia
Australian retirees will be the richest people in the world, according to study - Pensiunan Australia Akan Menjadi Orang Terkaya di Dunia, Menurut Studi

SBS Indonesian - SBS Bahasa Indonesia

Play Episode Listen Later Feb 28, 2025 7:06


Australian pensioners could become one of the richest elderly groups in the world by 2031, according to new research by the Super Members Council. - Pensiunan Australia dapat menjadi salah satu kelompok lansia terkaya di dunia pada tahun 2031, menurut penelitian baru oleh Super Members Council.

SBS Indonesian - SBS Bahasa Indonesia
The AI Election: How artificial intelligence impacted the world's biggest ballots - SBS Examines: Pemilu AI: Bagaimana Kecerdasan Buatan Berdampak pada Pemungutan Suara Terbesar di Dunia

SBS Indonesian - SBS Bahasa Indonesia

Play Episode Listen Later Feb 28, 2025 7:38


From "Communist Kamala" to Bollywood endorsements, artificial intelligence and disinformation played a big role in some of the biggest democratic elections last year. - Dari “Kamala Komunis” hingga dukungan Bollywood, kecerdasan buatan dan disinformasi memainkan peran besar dalam beberapa pemilu demokratis terbesar tahun lalu.

Habari za UN
24 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 24, 2025 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia miaka mitatu ya vita nchini Ukraine, machafuko nchini DRC na elimu Sudan Kusini. Makala inatupeleka katika ukanda wa Gaza kumulika harakati za chanjo ya polio, na mashinani nchini Kenya kusikia ujumbe kuhusu umuhimu wa lugha mama.Mkutano wa 58 wa Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu umeanza leo jijini Geneva, Uswisi ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amezungumzia kiza kilichotanda duniani hivi sasa kutokana na mapigano  yanayoendelea sehemu mbalimbali kuanzia Ukraine, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC  hadi Ukanda wa Gaza, yakiambatana na ukiukwaji mkubwa wa haki, akitaka kila juhudi zichukuliwe kusaka amani ya kudumu.Huko Gaza Kaskazini, kwenye eneo la wapalestina linalokaliwa na Israeli, wanafamilia zilizofurushwa makwao kutokana na vita kati ya Israeli na wanamgambo wa Hamas wanavumilia msimu wa baridi kali katika makazi ya muda ya mahema yanayopigwa na upepo na mvua usiku na mchana, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF. Nyumba zao zimeharibika na kuacha watoto kuishi katika mazingira mabaya.Katika makala Anold Kayanda wa Idhaa hii anaangazia chanjo inayoendelea katika Ukanda wa Gaza dhidi ya polio chini ya usimamizi wa Wizara ya Afya ya Palestina kwa kusaidiwa na Mashirika ya Umoja wa Mataifa.Na mashinani ikiwa hivi majuzi Dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya lugha mama, tunakwenda Kajiado nchini Kenya kusikia ujumbe kuhusu umuhimu wa lugha mamaMwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

Habari za UN
19 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 19, 2025 9:55


Hii leo jaridani tunaangazia msaada wa kibinadamu nchini DRC, na simulizi y amkimbizi wa DRC aliyekimbilia nchini Uganda. Makala inatupeleka nchini Tanzania, namashinani nchini Kenya, kulikoni?Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa likifanya kikao cha dharura jijini New York, Marekani kujadili hali ya usalama inayozidi kuzorota kila uchao huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya kibinadamu nchini humo, Bruno Lermaquis amesema kupanuka kwa mzozo huo kumezidi kugharimu maisha na mustakabali wa raia.Sina mpango tena wa kurejea nyumbani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, ni kauli yake Twagirayesu Gato, mwanafunzi huyu raia wa DRC aliyekimbia  nchini mwake mwaka jana na kuingia Uganda ambako sasa anapata hifadhi. Amesema hayo kwenye video ya shirika la Umoja wa MAtaifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR iliyochapishwa katika ukurasa wa YouTube wa shirika hilo.Makala inatupeleka nchini Tanzania ambako tunamsikiliza Brigedia Jenerali George Mwita Itang'are, Mkuu wa Kituo cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani cha Tanzania (TPTC) akitoa wito kwa Nchi Wanachama wa Umoja wa Mataifa kuendelea kuunga mkono ulinzi wa amani duniani kwa kuzikabili changamoto wanazokutana nazo walinda amani. Anold Kayanda anasimulia.Na mashinani ikiwa hivi majuzi Dunia iliadhimisha siku ya redio duniani fursa ni yake Irene munyua kutoka Kenya akieleza washirika wetu Radio Domus kuhusu umuhimu wa radio kwa jamii katika maisha ya kila siku.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!