POPULARITY
Categories
Vita ya sasa ya Sudan ikielekea kuingia mwaka wa tatu, Tume Huru ya Umoja wa Mataifa ya kusaka ukweli kuhusu Sudan imelaani vikali mauaji ya watu zaidi ya 100 yaliyotokea wikiendi hii katika kambi za wakimbizi wa ndani Darfur, ikionya kwamba hali inaweza kuwa mbaya zaidi. Anold Kayanda na taarifa zaidi.(Taarifa ya Anold Kayanda)Shukrani LeahTangu kuanza kwa vita kati ya Jeshi la Sudan (SAF) na kikosi cha waasi cha RSF mnamo tarehe 15 Aprili mwaka 2023, maelfu ya watu wamepoteza maisha, huku mamilioni wakikumbwa na njaa, ubakaji, na ufurushwaji. Kambi kama ya Zamzam, yenye wakazi zaidi ya laki saba – nusu yao wakiwa watoto – zinaripotiwa kuzingirwa, wakazi wake wakikosa chakula, dawa, na maji, imeeleza Tume Huru ya Umoja wa Mataifa ya kusaka ukweli kuhusu Sudan.Mwenyekiti wa tume hiyo, Mohamed Chande Othman, ananukuliwa akisema, “Dunia imeshuhudia miaka miwili ya mzozo usio na huruma ambao umewanasa mamilioni ya raia katika mazingira ya kutisha, wakiwekwa katika hali ya ukatili bila matumaini ya mwisho.”Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, Catherine Russell kuhusu tukio hili la hivi karibuni ni kwamba watoto takriban 23 na wahudumu 9 wa misaada wameripotiwa kuuawa katika mfululizo wa mashambulizi katika eneo la Darfur Kaskazini, katika kipindi cha siku tatu zilizopita.Jana Jumapili, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesisitiza kuwa mashambulizi yanayolenga raia ni marufuku kabisa chini ya sheria ya kimataifa ya kibinadamu. Wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu na wafanyakazi wa afya wanapaswa kuheshimiwa na kulindwa,anasema.Kesho Jumanne huko London Uingereza, mataifa takriban 20 yanatarajiwa kujadili hali ya kibinadamu nchini Sudan. Umoja wa Mataifa unatoa wito wa hatua za haraka kulinda raia, kusitisha uungwaji mkono kwa pande zinazopigana, na kuhakikisha haki na uwajibikaji kwa uhalifu wa kivita.
Hii leo jaridani tunaangazia makumbusho ya mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi nchini Rwanda mwaka 1994, na Siku ya Afya Duniani. Makala inamulika nafasi ya michezo katika kusongesha amani na maendeleo, na mashinani tunakwenda nchini Kenya, kulikoni?Dunia inapokumbuka miaka 31 tangu mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi nchini Rwanda mwaka 1994, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametuma ujumbe mzito wa maombolezo na onyo, akitaka mshikamano wa kimataifa kupambana na ongezeko la chuki, mgawanyiko, na misimamo mikali kupitia mifumo ya kidijitali.Leo ni Siku ya Afya Duniani ambayo mwaka huu inangazia suala muhimu kwa afya ya dunia, changamoto maalum wanazokumbana nazo wanawake na wasichana lakini pia vifo vya watoto wachanga, na ili kuhakikisha changamoto hizo zinashughulikiwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani WHO limezindua kampeni ya mwaka mzima ya “Mwanzo wenye afya ni mustakbali wenye matumaini”..Makala inamulika nafasi ya michezo katika kusongesha amani na maendeleo, ambapo Assumpta Massoi amezungumza na Rosemary Mwaipopo, Muasisi na Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la kiraia la DaySpring Foundation nchini Tanzania. Yeye alikuwa ni miongoni mwa washiriki wa Mkutano wa 69 wa Hali ya Wanawake duniani, CSW69 uliofanyika hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa mwezi uliopita wa Machi.Na mashinanileo ikiwa leo ni siku ya afya duniani, kupitia mahojiano yaliyofanikishwa na washirika wetu Radio Domus, fursa ni yake Padri Thaddeus Mukaya wa kanisa la katoliki la Parokia ya Embulbul ambalo pamoja na wadau wengine waliandaa huduma za bure za matibabu kwa wenyeji wa eneo hilo ili kusaidia jamii ambazo haziwezi kujimudu kimaisha.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Dunia inapokumbuka miaka 31 tangu mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi nchini Rwanda mwaka 1994, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametuma ujumbe mzito wa maombolezo na onyo, akitaka mshikamano wa kimataifa kupambana na ongezeko la chuki, mgawanyiko, na misimamo mikali kupitia mifumo ya kidijitali. Anold Kayanda na maelezo zaidi.
Salam Fest 2025 was held in Melbourne and celebrated the diverse traditions of Muslims around the world. - Salam Fest 2025 diselenggarakan di Melbourne dan ikut merayakan tradisi umat muslim yang beragam di dunia.
As the global economy reels in the aftermath of U-S President Donald Trump's sweeping tariff announcements, Mr Trump claims more than 50 nations have reached out to try and negotiate deals with the U-S. - Saat ekonomi global terpuruk akibat pengumuman tarif besar-besaran Presiden AS Donald Trump, Presiden Trump mengklaim lebih dari 50 negara telah berusaha keras untuk menegosiasikan kesepakatan dengan AS.
Kitab Kejadian menjabarkan bagaimana dunia kita turun ke dalam kekacauan yang penuh dosa. Hampir setiap konsep kunci yang disebutkan dalam Wahyu, ada di pasal-pasal pembuka Alkitab.
Kitab Kejadian menjabarkan bagaimana dunia kita turun ke dalam kekacauan yang penuh dosa. Hampir setiap konsep kunci yang disebutkan dalam Wahyu, ada di pasal-pasal pembuka Alkitab.
Par Rafael Wolf et Noémie Desarzens Lire Lolita à Téhéran dʹEran Riklis, avec Golshifteh Farahani, Zar Amir. Black Dog de Guan Hu. Good One dʹIndia Donaldson, avec Lily Collias, James LeGros. Les conseils : Folle à tuer (1975) dʹYves Boisset, avec Marlène Jobert, Thomas Milian, Michael Lonsdale, (en DVD, BluRay et sur certaines plateformes.) Dunia (2005) de Jocelyne Saab, (à voir sur la plateforme filmingo.ch.)
Iman Yang Mengalahkan Dunia - Pdt. Irvan Yonathan - 30 Maret 2025 - GBI Sariwangi
Miongoni tuliyokuandalia ni pamoja na matokeo ya raga mkondo wa HongKong 7s, sakata la upangaji mchezaji dhidi ya golikipa wa Kenya Patrick Matasi, maandalizi ya debi ya Mashemeji, Misri yapewa haki za kuandaa AFCON U20 huku CAF ikiifungulia uwanja wa Benjamin Mkapa, tuzo nono kwa washindi wa Kombe la Dunia la vilabu, kocha wa Brazil atimuliwa naye Djokovic akikaribia kushinda taji lake la 100.
Di liga pertandingan antara indonesia vs australia indonesia kalah telak nih dari australia, para fans bola ikut geram karena selalu disandingkan dengan perbedaan pelatih sebelumnya, kali ini iam bakal bahas tentang pertandingan kemarin langsung aja dengerin ya!!Penyiar : Ilham Bintang tamu : Vincent Operator & Md : oji dan asa Editor : Daffa Jangan lupa follow kita ya!!Instagram : @polimedia_radioTiktok : @radio penyiaran polimedia
Buku "Seri Kristen Abad XXI (Dunia): Misi Harus Diwujudkan" (John Stott & Tim Chester)
teddy menceritakan tentang kisah horornya ketika sedang mensurvei sebuah sekolah sekolah yang nantinya dia akan mengajar karena program kuliah.namun diperjalanan teddy dan temanya mengalami gangguan yang dimana teddy memasuki sebuahportal ghaib disebuah kota dijogjaBagaimana kisah selengkapnya?Simak video berikut, jangan lupa berikan like dan komentarnyaCopyright 2024, Lentera Malam
Nchini Chad, wanawake wanakikundi cha kutengeneza sabuni na mafuta ya kupata mwilini wameamua kuchukua hatua ili umamuma wa kutokujua kusoma na kuandika ambao umewakumba wao, usiwakumbe pia watoto wao wa kike. Wanakikundi hao wa APROFiCA wanaopata ufadhili kutoka Benki ya Dunia wameona ni vema kuchukua hatua hiyo ili kufanikisha lengo namba 4 la Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs la Umoja wa Mataifa kuhusu elimu, kwani elimu ni mkombozi kwa binadamu. Je wamefanya nini? Assumpta Massoi anafafanua kupitia video ya Benki ya Dunia.
Kencan Dengan Tuhan - Kamis, 27 Maret 2025Bacaan: "Sebab itu janganlah kamu takut, karena kamu lebih berharga dari pada banyak burung pipit." (Matius 10:31) Renungan: Tempat terdalam di bumi yang ditemukan ialah Palung Mariana dan pertama kali diteliti pada tahun 1951. Palung Mariana adalah jurang yang terletak di dasar laut, tepatnya di sebelah timur Pulau Mariana barat Samudera Pasifik dan dekat Pulau Guam. Titik terdalam Palung Mariana yang disebut Challenger Deep, mencapai 11 kilometer. Jika diukur memanjang, kedalaman Palung Mariana lebih panjang dibandingkan dengan tingginya Gunung Everest, yang menjulang hingga 8.8 kilometer dari permukaan air laut, yang merupakan puncak tertinggi di muka bumi. Menariknya, Palung Mariana diperkirakan terbentuk sekitar 180 juta tahun yang lalu di mana terjadi akibat tubrukan hebat antara lempeng tektonik Pasifik dan lempeng Filipina sehingga menyebabkan retakan yang dalam. Karena begitu dalamnya dasar di palung ini, maka cahaya matahari tak bisa menembus. Meski Palung Mariana adalah jurang terdalam di bumi tetapi ternyata bukanlah titik terdekat dengan inti Bumi. Palung ini kalah dekat dengan inti bumi dibanding jurang laut di Samudra Atlantik. Salah satu orang yang berhasil mencapai kedalaman Palung Mariana dengan menggunakan sebuah kapal selam mini Deepsea Challenger; pada tahun 2012 ialah James Cameron. Menurutnya, titik terdalam bumi ternyata mirip permukaan bulan yang paling terpencil. "Sangat mirip bulan, tempat yang sangat terpencil, sangat terisolasi, "jelas Cameron sang sutradara film Titanic dan Avatar. Selain menjadi tempat berbahaya karena tekanan airnya 1000 kali lebih kuat dari tekanan air dasar lautan lain, ternyata ada tanda kehidupan di sana. Pada ekspedisi tahun 2012, ditemukan beberapa jenis makhluk hidup di sana, yakni amuba raksasa, udang tak bercangkang, dan teripang kerdil. Di awal tahun 2016, para peneliti dunia laut dari AS menemukan spesies ubur-ubur kecil yang memiliki bagian kepala yang bisa bersinar. Karena nyaris tidak terdapat makanan di bawah sana, makhluk hidup tersebut mengandalkan zat kimia, seperti metan dan sulfur untuk membuat makanan. Makhluk hidup di bawah samudra ini, tidak dapat hidup di lingkungan yang berbeda. Dunia ini diciptakan Tuhan dengan segala keindahan dan keunikan, termasuk Palung Mariana. Jelaslah, la sebagai desainer yang agung telah merancang dan menciptakan segala sesuatu dengan ajaib dan dahsyat. Bahkan pemeliharaan-Nya yang sempurna bukan hanya terhadap makhluk hidup di udara dan darat, tetapi juga di dasar laut sekalipun. Pantaskah kita khawatir dengan kebutuhan pangan, sandang, dan papan? Percayalah, di lembah jurang terdalam sekalipun, Tuhan sanggup menolong kita. Jika kita bekerja dan mengandalkan Tuhan, ketahuilah la yang akan memelihara dan memberkati kita. Tuhan Yesus memberkati.Doa:Tuhan Yesus, ajarilah aku untuk tidak khawatir dan selalu mengandalkan Engkau dalam setiap langkah hidupku. Aku percaya, bersama Engkau semua akan baik-baik saja. Amin. (Dod).
Sirip hiu di dunia sudah tidak boleh diperjualbelikan, namun kenapa di Inodnesia masih diperjualbelikan bahkan menjadi sebuah simbol kemewahan.
Hasil laga kontra Bahrain di Stadion Gelora Bung Karno, Jakarta, Selasa malam, (25/3) sangat memengaruhi langkah timnas Indonesia di Piala Dunia 2026. Tersisa dua pertandingan yang tak kalah berat, yakni melawan China dan Jepang, yang sudah dipastikan lolos ke putaran final. Bagaimana peluang skuad Garuda ke depan? Seperti apa performa timnas di bawah asuhan Patrick Kluivert? Apa saja yang harus dibenahi?Kita akan bincangkan hal ini bersama Manajer Timnas Sepak Bola Indonesia, Sumardji dan Pengamat Sepak Bola, Kesit B. Handoyo.*Kami ingin mendengar saran dan komentar kamu terkait podcast yang baru saja kamu simak, melalui surel ke podcast@kbrprime.id
Dunia melihat hikmat dalam pengertian yang sempit hanya karena berusaha melihat hikmat dalam cara yang pragmatis. Namun, Kitab Pengkhotbah mengajarkan bahwa hikmat juga adalah kemampuan untuk menjalani hidup dengan benar.
Muchas gracias a nuestras amigas Dunia y Brenda Ruiz, quien es Autora del Best Seller Luces del Alma, certificada en psicologia positiva, numerologa emocional, por este gran programa sobre EL PODER DE DECIDIR. Gracias. =Escucha todos nuestros podcasts https://anchor.fm/sadaoilsVisítanos:YOUTUBE https://www.youtube.com/channel/UC8GxwI5hU2TUC6kX4Lmd5uwFACEBOOK https://www.facebook.com/SADA.oilsTWITTER https://twitter.com/sadaoilsINSTAGRAM https://www.instagram.com/sada.oils/TIKTOK https://www.tiktok.com/@sadamujer?_t=8XwCXc66Y82&_r=1Te Invitamos a vernos en SADA RADIO TVBAJA NUESTRA APP EN IOS Y ANDROID COMO SADA RADIO TVhttps://apps.apple.com/us/app/sada-radio-tv-oficial/id6467153513EN APPLE TV Y ROKU BUSCANOS COMO SADA RADIO TV
Bismillah,KENIKMATAN YANG PALING MAHAL DI DUNIAUstadz Muhammad Nuzul Dzikri - hafizhahumullah-Video pendek diambil dari Khutbah Jumat“Nikmat Termewah di Dunia”
Jessica Wahyu - Matius 11:11 (TB) Aku berkata kepadamu: Sesungguhnya di antara mereka yang dilahirkan oleh perempuan tidak pernah tampil seorang yang lebih besar dari pada Yohanes Pembaptis, namun yang terkecil dalam Kerajaan Sorga lebih besar dari padanya.
Daun sirih Cina memiliki senyawa aktif yang dapat membantu mengurangi penyerapan kolestrol dari makanan. // Dunia tercerai dari surga antara jurang yang memisahkan, dan melalui Kristus dunia kembali dijembatani dengan surga.
Daun sirih Cina memiliki senyawa aktif yang dapat membantu mengurangi penyerapan kolestrol dari makanan. // Dunia tercerai dari surga antara jurang yang memisahkan, dan melalui Kristus dunia kembali dijembatani dengan surga.
Dibalik tembok benua antartika ada dunia lain, emang iya??Pernah ga sih, kalian ngedenger kalau ada tembok lain di balik benua antartika yang sampai detik ini belum diketahui kebenarannya atau bahkan academia belum denger berita ini?
Kita hidup di dunia simulasi? bener ga sih?!
Di episode kali ini, ikuti pertualangan Gandira di Musicians Hall of Fame Museum yang legendaris di kota Nashville untuk mempelajari sejarah musik di Amerika Serikat dari berbagai genre musik seperti The Beatles, Elvis Presley hingga Jimi Hendrix.
Hii leo jaridani tunaangazia maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake, na hali ya wanawake wajawaito nchini Ukraine. Makala tunakwenda nchini Tanzania na mashinani tunakupeleka nchini Kenya, kulikoni?Kuelekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake Machi 8, tathmini mpya ya Umoja wa Mataifa iliyowekwa wazi leo ikiangazia haki za wanawake miaka 30 baada ya Azimio la Beijing inaonesha uwepo wa maendeleo katika usawa wa kijinsia, kama vile sheria dhidi ya ubaguzi na sera jumuishi za kijinsia. Hata hivyo, ripoti hiyo inaeleza uwepo bado wa ubaguzi wa kijinsia uliojikita katika jamii, ukiendelea kuwazuia wanawake na wasichana kupata fursa.Zikiwa zimesalia siku mbili ya leo na kesho kufika tarehe 8 Machi Siku ya Kimataifa ya Wanawake, tunaendelea kuangazia hali ya wanawake duniani. Sharon Jebiichi anatupeleka Ukraine kutukutanisha na Mwakilishi wa muda wa Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu UNFPA nchini humo ambaye anaangazia madhila wanayokutana nayo wanawake wajawazito wa Ukraine.Katika makala Assumpta Massoi anakupeleka kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake kwenye mkoa mmoja ulioko katikati mwa Tanzania.Na mashinani kesho Dunia ikiadhimisa siku ya kimataifa ya wanawake duniani tunakwenda nchini Kenya kusikia ujumbe wa mwanaharakati wa wanawake kuhusu uswa wa kijinsia.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Pembawa Renungan : Linda WahjudiDenpasar Bali Luk. 9:22-25
Di episode kali ini, ikuti obrolan Naratama bersama Karenina tentang kehidupan dan lagu baru. Dan, ikuti perjalanan Gandira di sebuah acara di KBRI DC.
A new podcast highlights a family member's immersion into conspiracy rabbit holes. On today's show, we hear what lessons can be learned from watching such happen as Zach Mack discusses his podcast “Alternate Realities." Also, Dunia Elvir, a TV anchor in Los Angeles and president of the National Association of Hispanic Journalists, shares lessons from thirty years of journalism. Plus, Becca Martin Brown takes "The Other Way" to Cane Hill.
Dunia pendidikan belum sepenuhnya pulih dari dampak pandemi Covid, dan ini tercermin dari relatif tingginya jumlah siswa yang bolos. Tapi fenomena ini berbeda untuk beragam kelompok warga, dan paling parah berdampak adalah anak warga suku asli Amerika alias suku Indian.
Mengingat puasa sudah dekat, mari kita sambut dengan muhasabah bersama Gus Dit.dimeriahkan oleh manusia penuh dosa, Fadly A.K.A Batak!#PodcastBercanda
Australian pensioners could become one of the richest elderly groups in the world by 2031, according to new research by the Super Members Council. - Pensiunan Australia dapat menjadi salah satu kelompok lansia terkaya di dunia pada tahun 2031, menurut penelitian baru oleh Super Members Council.
From "Communist Kamala" to Bollywood endorsements, artificial intelligence and disinformation played a big role in some of the biggest democratic elections last year. - Dari “Kamala Komunis” hingga dukungan Bollywood, kecerdasan buatan dan disinformasi memainkan peran besar dalam beberapa pemilu demokratis terbesar tahun lalu.
VOA This Morning Podcast - Voice of America | Bahasa Indonesia
Presiden AS Donald Trump akan tawarkan "kartu emas" seharga $5 juta kepada WNA yang ingin pindah ke AS dan ciptakan lapangan kerja. Sementara di Indonesia, Presiden Prabowo optimis dengan proyeksi Goldman Sachs bahwa Indonesia akan menjadi negara dengan ekonomi terbesar keempat di dunia pada 2050.
Hii leo jaridani tunaangazia miaka mitatu ya vita nchini Ukraine, machafuko nchini DRC na elimu Sudan Kusini. Makala inatupeleka katika ukanda wa Gaza kumulika harakati za chanjo ya polio, na mashinani nchini Kenya kusikia ujumbe kuhusu umuhimu wa lugha mama.Mkutano wa 58 wa Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu umeanza leo jijini Geneva, Uswisi ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amezungumzia kiza kilichotanda duniani hivi sasa kutokana na mapigano yanayoendelea sehemu mbalimbali kuanzia Ukraine, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC hadi Ukanda wa Gaza, yakiambatana na ukiukwaji mkubwa wa haki, akitaka kila juhudi zichukuliwe kusaka amani ya kudumu.Huko Gaza Kaskazini, kwenye eneo la wapalestina linalokaliwa na Israeli, wanafamilia zilizofurushwa makwao kutokana na vita kati ya Israeli na wanamgambo wa Hamas wanavumilia msimu wa baridi kali katika makazi ya muda ya mahema yanayopigwa na upepo na mvua usiku na mchana, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF. Nyumba zao zimeharibika na kuacha watoto kuishi katika mazingira mabaya.Katika makala Anold Kayanda wa Idhaa hii anaangazia chanjo inayoendelea katika Ukanda wa Gaza dhidi ya polio chini ya usimamizi wa Wizara ya Afya ya Palestina kwa kusaidiwa na Mashirika ya Umoja wa Mataifa.Na mashinani ikiwa hivi majuzi Dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya lugha mama, tunakwenda Kajiado nchini Kenya kusikia ujumbe kuhusu umuhimu wa lugha mamaMwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Kali ini kita kedatangan sosok senior di industri kopi, yaitu Hendri Kurniawan. Ia merupakan World Coffee Certified Judge. Kita akan membahas perjuangan dia membangun industri kopi Indonesia sampai menjadi jembatan bagi para juara kompetisi kopi ke panggung dunia. Tonton video selengkapnya di #RayJansonRadio#485 INI ORANG PALING BERJASA DI DUNIA KOPI INDONESIA! WITH HENDRI KURNIAWAN | RAY JANSON RADIOEnjoy the show!Instagram:Hendri Kurniawan: www.instagram.com/thephatuncleDON'T FORGET TO LIKE AND SUBSCRIBE !Ray Janson Radio is available on:Spotify: https://spoti.fi/2lEDF01Apple Podcast: https://apple.co/2nhtizqGoogle Podcast: https://bit.ly/2laege8iAnchor App: https://anchor.fm/ray-janson-radioTikTok: https://www.tiktok.com/@rayjansonradioLet's talk some more:https://www.instagram.com/rayjanson#RayJansonRadio #FnBPodcast #Indonesia #coffeepodcast
Hii leo jaridani tunaangazia msaada wa kibinadamu nchini DRC, na simulizi y amkimbizi wa DRC aliyekimbilia nchini Uganda. Makala inatupeleka nchini Tanzania, namashinani nchini Kenya, kulikoni?Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa likifanya kikao cha dharura jijini New York, Marekani kujadili hali ya usalama inayozidi kuzorota kila uchao huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya kibinadamu nchini humo, Bruno Lermaquis amesema kupanuka kwa mzozo huo kumezidi kugharimu maisha na mustakabali wa raia.Sina mpango tena wa kurejea nyumbani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, ni kauli yake Twagirayesu Gato, mwanafunzi huyu raia wa DRC aliyekimbia nchini mwake mwaka jana na kuingia Uganda ambako sasa anapata hifadhi. Amesema hayo kwenye video ya shirika la Umoja wa MAtaifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR iliyochapishwa katika ukurasa wa YouTube wa shirika hilo.Makala inatupeleka nchini Tanzania ambako tunamsikiliza Brigedia Jenerali George Mwita Itang'are, Mkuu wa Kituo cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani cha Tanzania (TPTC) akitoa wito kwa Nchi Wanachama wa Umoja wa Mataifa kuendelea kuunga mkono ulinzi wa amani duniani kwa kuzikabili changamoto wanazokutana nazo walinda amani. Anold Kayanda anasimulia.Na mashinani ikiwa hivi majuzi Dunia iliadhimisha siku ya redio duniani fursa ni yake Irene munyua kutoka Kenya akieleza washirika wetu Radio Domus kuhusu umuhimu wa radio kwa jamii katika maisha ya kila siku.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Kencan Dengan Tuhan - Sabtu, 15 Februari 2025Bacaan:"Dan hukum yang kedua, yang sama dengan itu, ialah: Kasihilah sesamamu manusia seperti dirimu sendiri."(Matius 22:39)Renungan: Ada sebuah peristiwa di tahun 2017. Seorang ibu muda bernama Cassey Fischer tinggal di Connecticut, Amerika. Suatu kali, ia menuju sebuah restoran. Saat masuk, ia melihat seorang gelandangan berdiri di pinggir jalan. Cassey mengajak gelandangan itu makan bersama dan bercakap-cakap di dalam restoran. Kemudian, tiba saatnya Cassey pergi untuk melanjutkan pekerjaan. Sebelum berpisah, gelandangan itu memberikan secarik kertas kepada Cassey. Ketika Cassey membuka kertas tersebut, ia membaca tulisan yang sangat menyentuh, "Aku akan bunuh diri hari ini, tetapi karena kamu, aku tidak jadi melakukannya. Terima kasih, cantik." Pelayanan kasih memang selalu akan menyentuh hati. Dunia ini mengajar kita untuk terus bersaing dan bertanding. Akibatnya, hati kita menjadi keras, kasar, bebal, dan jahat. Itu sebabnya, Tuhan mengajar kita untuk hidup dalam kasih. Hukum kasih bahkan menjadi hukum yang terutama. Mengapa? Karena itulah kebutuhan mendasar manusia. Semua rindu dikasihi dan, setiap pelayanan kasih akan membawa pemulihan. Jadi, mari terus menghidupi hukum kasih dan terus menerapkannya, maka kita akan melihat pemulihan hidup terjadi pada orang-orang yang kita kasihi. Tuhan Yesus memberkati.Doa:Tuhan Yesus, mampukanlah aku untuk menghidupi dan menerapkan hukum kasih-Mu, sehingga pemulihan terus terjadi di dalam diri ku dan orang-orang di sekitarku. Amin. (Dod).
Dengan berita Fantastic Four: First Steps bersetting di dunia yang bukan mainline MCU, kita jadi gatel bahas cerita-cerita dunia lain FF yang keren banget. Ga gampang, karena history FF dan dunia-dunia seperti Microverse dan Negative Zone panjang banget, but we have our top picks! Langsung aja dengerin PretelinPanel kali ini!
Pada kesempatan kali ini, kita berada di APCA Indonesia, sebuah akademi pastry dan kuliner terkemuka yang telah melahirkan juara-juara kompetisi pastry di tingkat dunia. Kita diundang oleh Chef Louis Tanuhadi, Director sekaligus Executive Chef APCA Indonesia, untuk melihat fasilitas dan mengetahui lebih dalam mengenai program-program yang disiapkan APCA untuk mempersiapkan para siswa menuju industri kuliner global. Selain itu, kami juga akan berdiskusi mengenai perkembangan kompetisi pastry dan cokelat dunia, serta upaya Chef Louis dalam memajukan pendidikan kuliner Indonesia ke level internasional. Podcast ini merupakan hasil kolaborasi antara Ray Janson Radio dan APCA Indonesia. Tonton video selengkapnya di #RayJansonRadio#482 PASTRY INDONESIA KE PANGGUNG DUNIA WITH LOUIS TANUHADI | RAY JANSON RADIOEnjoy the show!Instagram:Louis Tanuhadi: https://www.instagram.com/tanuhadilouis/APCA Indonesia: www.instagram.com/apca_indonesiaDON'T FORGET TO LIKE AND SUBSCRIBE !Ray Janson Radio is available on:Spotify: https://spoti.fi/2lEDF01Apple Podcast: https://apple.co/2nhtizqGoogle Podcast: https://bit.ly/2laege8iAnchor App: https://anchor.fm/ray-janson-radioTikTok: https://www.tiktok.com/@rayjansonradioLet's talk some more:https://www.instagram.com/rayjanson#RayJansonRadio #FnBPodcast #Indonesia #pastrychef #culinarychef #indonesianchef #pastrycompetition
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Cockatoo Island is an interesting and history-rich UNESCO World Heritage Site, located in the heart of Sydney harbour at the junction of the Parramatta River and Lane Cove River. - Cockatoo Island merupakan Situs Warisan Dunia UNESCO yang menarik dan kaya dengan sejarah, terletak di jantung Sydney harbour di persimpangan Parramatta River dan Lane Cove River.
Senegal, taifa lenye watu zaidi ya milioni 18.5 liko kwenye mwelekeo wa kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma ya umeme. Benki ya Dunia inasema kiwango cha kupata umeme kwenye taifa hilo sasa ni asilimia 84. Wakati huu ambapo asilimia zaidi ya 30 ya jamii za vijijini hazina huduma hiyo, serikali kwa kushirikiana na wadau kama vile Benki ya Dunia na sekta binafsi imechukua hatua na mabadiliko yameanza kuonekana. Je ni yapi? Assumpta Massoi anaelezea kwenye makala hii.
Katika jimbo la Kandahar nchini Afghanistan Noor Ahmen mkulima wa ngano amenufaika na mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO unaotoa mafunzo ya kilimo, kugawa mbegu na pembejeo kwa wakulima. Mradi huu ambao unafadhiliwa pia na Benk ya Dunia umezisaidia familia nyingi za wakulima sio tu kuinua kipato bali pia kuboresha lishe na kukabili changamoto ya kutokuwa na uhakika wa chakula. Bosco Cosmas anafafanua zaidi katika Makala hii
VOA This Morning Podcast - Voice of America | Bahasa Indonesia
Menlu AS Marco Rubio mengatakan prioritas kebijakan luar negerinya adalah mendorong perdamaian di seluruh dunia, namun menghindari konflik akan menjadi keputusan strategis. Sementara itu, investasi negara-negara anggota BRICS di Indonesia berpeluang naik setelah Indonesia bergabung dengan blok itu.
Di episode kali ini, Gandira berbagi pengalaman serunya saat meliput Gelar Batik Nusantara di Indonesia.Ternyata batik Indonesia sekarang makin dikenal di mata dunia, termasuk Amerika.
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, WHO, linachunguza sampuli za watu wawili kati ya wanane waliofariki dunia mkoani Kagera nchini Tanzania kubaini iwapo wamekufa kwa ugonjwa wa homa ya Marburg ambayo inashukiwa kulipuka kwenye wilaya mbili za mkoa huo ulioko kaskazini-magharibi mwa Tanzania. Selina Jerobon na maelezo zaidi.
Episod ini dibawakan khas kepada penonton dan pendengar Keluar Sekejap sempena cuti tahun baru. Episod ini akan membincangkan ramalan pentas dunia untuk tahun 2025 serta wawancara Shahril Hamdan bersama Anies Baswedan, Bekas Calon Presiden Indonesia 2024 dan Bekas Gabenor Jakarta. Bagi yang berminat menaja episod Keluar Sekejap untuk 2025, boleh hubungi +601119191783 atau emel kami di commercial@ksmedia.my