POPULARITY
Categories
Narudi Nyumbani mambo ya Dunia ni ubatili, Kisa cha nabii Eliya
Melejitnya pemakaian kecerdasan buatan di AS, mulai dari sekolah, seni hingga media sosial, menjadi sorotan. Ariadne Budianto dan Rivan Dwiastono mengantarkan berbagai liputannya, juga sejumlah liputan terkait pelestarian lingkungan dalam rangka National Birdfeeding Month di AS selama Februari.
Dari The Plaza, sentra belanja dan bisnis berarsitektur unik di Kansas City, Missouri, Ariadne Budianto dan Rivan Dwiastono mengantarkan berbagai liputan menarik. Mulai dari satu-satunya restoran Indonesia di sini, hingga menikmati dan melihat pembuatan alat musik khas The Plains dan Selatan AS.
Kwa ambao wanafuatilia mpira hapa nyumbani wanamjua mchezaji huyu mahiri wa Simba Queens lakini ambao wanafuatilla soka la wanawake hawa watakua wanaelewa uwezo binafsi na uhodari wake wa kucheza namba tofauti tofauti uwanjani ila ukimkuta kaikamata mbavu ya kulia aidha kwa Simba au timu ya Taifa ya Tanzania. Fatuma Issa ni mtu na nusu, hakuna mpenzi wa mpira au kocha yoyote wa mpira anaweza akamuacha kwenye benchi wakati team inatafuta matokeo au inataka kuwaonyesha walofika kuwaangalia vipaji ambavyo wanavyo kwenye kikosi chao. Kwa yoyote yule na kwa vyovyote vile, Fetty Densa, ni lazima AANZE. Ananikumbusha sana mimi na rafiki zangu wakati tunakua, tulikua chizi michezo hasa baada ya kufika shule ya Sekondari, ilikua kama lazima kila mmoja kuwa na uwezo wa kucheza zaidi ya mchezo mmoja ili tuwe na vikosi imara inapotokea kwenda kufanya uwakilishi wa shule, mkoa au nchi. Binafsi nilikua na uwezo wa kucheza Basketball na table tennis tu ila nina marafikia kama kina Kalova na Mboni Mntambo ambao wao walikua wanacheza Basketball, Netball, Volleyball na chochote kitakajokuja mbele ambacho kinatumia mpira kucheza lol, na tena VIZURI, sio kujazia namba tu uwanjani. Naye Fetty ni kama wanangu hao kutokana na maongezi yetu. Ananiambia hata shuleni mwalimu na wanafunzi wote katika shule yao walikua wakifahamu na kujivunia yeye sana. Akiwa anakua huko Morogoro Fetty ni ‘mtoto wa Bibi' zaidi, yeye ndo alomlea na kumtunzia siri zake zote, na ndo alomfundisha kupika na kumkumbusha kwamba yeye ni mtoto wa kike kwahiyo alihakikisha pia mjukuu wake kwenye masuala ya kupika na usafi wake na wa nyumba pia haachi kujifunza. Bibi pia ndo alipewa ahadi ya kwamba kuna siku mjukuu atakuja kuwa mchezaji hodari kuwahi kutokea hapa nyumbani na so far, so good. Babu yake nae hakua nyuma kwenye kumsifia mjukuu wake pale anapofanya vizuri jikoni kwasababu pengine kuna umuhimu wa kufanya hivyo ili ampe moyo mjukuu wake. Fatuma anatuambia humu kwenye maongezi yetu jinsi ambavyo alihangaika mkoani Morogoro kupata team ya kucheza na jinsi ambavyo alijutuma toka siku ya kwanza kuhakikisha ndoto zake zinatimia. Ukimsikiliza kwa makini utagundua kama ni mtu mwenye mawazo ya mbele kuliko hata umri wake, hiyo inamsaidia pia inapofika wakati wa kufanya maamuzi anapokua ndani na nje ya uwanja. Unaweza ukajiuliza kwa kipaji chake na ujuzi wake kwanini hachezi nje ya nchi? Kwanini amekua Simba huu msimu wake wa nne na amekua akicheza kwa kiwango cha juu sana? Densa anatupa majibu ya swali hilo ambalo nina uhakika wengi wao wamekua wakijiuliza. Mahusioano yake na Mama yake ambaye alikua mmoja kati ya wanenguaji wazuri miaka iliyopita na ndo alimfanya pia mwanae naye atake kuwa Densa (ndo jina la Fetty Densa lilikotokea). Wana mahusiono ya aina gani? Mama alilichukuliaje suala la Binti yake kuchagua soka? Na Mzee wake nae yuko wapi? Nafasi yake kwenye team yake? Team ya Taifa je? Experience ambayo waliipata Morocco wakati Simba ilipoenda kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa barani Africa? Vipi kuhusu mpira wa miguu wa wanawake hapa nyumbani? Pesa ipo? Muelekeo je? Haya maongezi ni moja ya maongezi bora ambayo nimeshawahi kufanya na natumai yatafungua milango kwa watoto wa kike na wazazi wao wengi kuelewa na kuipambania fursa hii ambayo Dunia nzima imeanza kuielewa. Tafadhali enjoy. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
Shirika la Umoja wa MAtaifa la afya ulimwenguni, WHO, limesema mataifa mengi zaidi duniani yametokomeza magonywa ya kitropiki yaliyosahaulika, au NTDs huku ikisema bado uwekezaji zaidi unahitajika kusongesha maendeleo hayo dhidi ya magonjwa hayo kama vile ukoma, vikope na kung'atwa na nyoka.Kauli hiyo ya WHO imetolewa leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya kuhamasisha dhidi ya magonjwa hayo ya kitropiki yaliyosahaulika, NTDs na shirika limeweka hayo bayana kwenye ripoti mpya iitwayo Ripoti ya Dunia kuhusu NTDs kwa mwaka 2023. Ripoti imetaja mafanikio na changamoto ya kutibu NTDs duniani kote wakati huu ambapo matibabu yalivurugwa na mlipuko wa COVID-19. Mafanikio ni pamoja na idadi ya wagonjwa kupungua kwa milioni 80 kati ya mwaka 2020 na 2021 huku nchi 8 zikithibitishwa kutokomeza moja ya magonjwa hayo mwaka 2022 pekee na kufanya idadi ya nchi zisokuwa na NTDs duniani kote hadi mwezi Desemba mwaka jana kufikia 47.Hata hivyo ripoti inasisitiza uwekezaji zaidi kuchagiza kasi ya kutokomeza magonjwa hayo yanayoathiri maskini zaidi ili kufikia malengo ifikapo mwaka 2030.Mathalani uwekezaji unaopatia uwezo taifa kumiliki na kuwajibika na tiba na ufadhili wa uhakika.NTDs inaathiri zaidi jamii maskini hasa kwenye maeneo ambako huduma za maji safi na kujisafi ni haba, halikadhalika huduma za afya.Mkurugenzi Mkuu wa WHO Dkt. Tedros Ghebreyesus akizungumzia ripoti hiyo amesema duniani kote mamilioni ya watu wamekombolowe kutoka katika mzigo wa magonjwa hayo ambayo yanawatumbukiza kwenye mzunguko wa umaskini na unyanyapaa.Amesema “ingawa kuna hatua zaidi zinahitajika, lakini habari njema ni kwamba tuna mbinu na ufahamu wa sio tu kuokoa maisha na kuzuia machungu, bali pia kuokoa jamii nzima na mataifa yote dhidi ya ugonjwa huu. Wakati wa kuchukua hatua ni sasa, tuwekeze kwenye NTDs.”
Dari Washington DC, Ariadne Budianto dan Virginia Gunawan mengantarkan liputan tentang advokasi seni jalanan untuk merayakan Musim Anti-Kekerasan 30 Januari-4 April, juga suka-duka diaspora Asia di AS. Jangan lewatkan sejumlah inovasi ramah lingkungan seiring Hari Pengurangan Emisi CO2 Sedunia.
Dari Chinatown di Washington DC, Ariadne Budianto dan Rivan Dwiastono mengantarkan liputan komunitas keturunan Asia di AS bersiap merayakan Tahun Baru Kelinci, juga bagaimana warga California melestarikan bahasa Kanton. Jangan lewatkan laporan Rendy Wicaksana dari Miss Universe 2023 di New Orleans.
Sepanjang Januari warga AS diajak melakukan mentoring, terutama untuk anak dan remaja. Dari Arlington, Virginia, Ariadne Budianto & Virginia Gunawan membawakan liputan jalur pembinaan olah raga musim dingin oleh atlet Asia Amerika, dan imigran yang mengubah hidupnya lewat musik tradisional Meksiko.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema dunia haiwezi kutatua changamoto kubwa inazokabiliwa nazo hivi sasa kuanzia mabadiliko ya tabianchi, vita ya Ukraine, mdororo wa uchumi na athari zinazoendelea za janga la COVID-19 katikia hali ya sasa ya mgawanyiko na kutokuwa na mshikamano hivyo wakati wa kufumbia macho changamoto hizi umepita na wanaochangia wawajibishwe.Katibu Mkuu Guterres ameyasema hayo mjini Davos Uswis katika hotuba yake kuhusu hali ya dunia kwenye siku ya pili ya jukwaa la uchumi duniani akibainisha kwamba wakati dunia inahitaji ushirikiano zaidi katika masuala ya mabadiliko ya tabianchi , upunguzaji wa mzigo wa madeni na afya uya kimataifa kuna mgawanyiko na changamoto inaongezeka linapokuja suala ya vita ya Ukraine akisema "Hasa uvamizi wa Urusi kwa Ukraine sio tu kwa sababu ya mateso yasiyoelezeka kwa watu wa Ukraine, lakini kwa sababu ya athari zake kubwa za kimataifa kwa bei ya chakula na nishati, kwenye minyororo ya biashara na usambazaji na maswala ya usalama wa nyuklia, kwa misingi hiyo hiyo ya sheria za kimataifa”. Akisisitioza kuhusu suala la mabadiliko ya tabianchi amelaani makampuni makubwa ya mafuta kwa kupuuza sayansi kuhusu mabadiliko ya tabianchi, na kushutumu sekta ya mafuta na gesi kwa kutafuta kupanua zaidi wigo wa uzalishaji licha ya kujua kwamba kwamba mtindo wao wa biashara hauendani na maisha ya binadamu. Amesema"Baadhi ya makampuni makubwa ya mafuta wanadanganya kwa kiasi kikubwa na kama vile ilivyo kwa sekta ya tumbaku, wale wanaohusika kuchochea mabadiliko ya tabianchi lazima wawajibishwe." Pia amezungumzia migawanyiko ikiwemo baina ya Mashariki na Magharibi hasa Marekani na Uchina hususan katika suala la haki za binadamu na usalama wa kikanda na Kaskazini na Kusini ambao amesema hashawishiki kwamba Kaskazini inatambua kiwango cha madhila yanayowakabili watu wa Kusini hasa linapokuja suala la afya kuhusu usawa wa usambazaji wa chanjo. Amehitimisha hotuba yake kwa kutoa wito kwa serikali zote, sekta binafsi na wadau wote kuunda njia za ushirikiano zaidi, ikisisitiza haja ya kuziba pengo la migawanyiko yote kwa kurekebisha na kujenga usawa katika mfumo wa fedha wa kimataifa, Kuchukua hatua za maana dhidi ya mabadiliko ya tabianchi, Kurekebisha muundo wa biashara na mazoea ili kuendeleza malengo ya maendeleo endelevu, kuongoza njia ya kufikia fursa za kiuchumi kwa wanawake, na kufikia lengo la uhakika wa chakula duniani . Hivyo amesisitiza kwamba “Sasakuliko wakati mwingine wowote, ni wakati wa kutengeneza njia za ushirikiano katika dunia yetu lililogawanyika kwani dunia haiwezi kusubiri."
Mabalozi wawili wa shirika la Umoja wa Mataifa la maendeleo ya kilimo duniani, IFAD, Sabrina Dhowre Elba na mumewe Idris Elba wamepatiwa tuzo ya mwaka 2023 iitwayo Crystal Award kutokana na uongozi wao wa kupaza sauti kwa niaba ya mamilioni ya wakulima wadogo maskini duniani kote ambao hufanya kazi kila siku kuzalisha theluthi moja ya chakula chote duniani.Makofi katika ukumbi wakati Idris na mkewe Sabrina wakipokea tuzo hiyo kwenye hafla iliyofanyika mjini Davos, nchini Uswisi kunakofanyika ya Jukwaa la uchumi duniani, WEF, Tuzo hii ya WEF hupatiwa wasanii na viongozi wa kitamaduni ambao mchango wao muhimu kwa jamii umeleta mabadiliko chanya katika kuboresha hali ya dunia. Tangu kuteuliwa kuwa mabalozi wema, Sabrina na Idris wamekuwa wachechemuzi wakubwa wa uwekezaji kwenye maendeleo ya kilimo na vijiji hasa Afrika ambako majanga na mizozo vimeacha wakulima taabani. Pamoja na mikutano na viongozi na taasisi mbalimbali, walitembelea miradi inayofadhiliwa na IFAD, mathalani Sierra Leone, Zambia na Kenya na kushuhudia changamoto za wakulima na kile wanachohitaji. Idris anasema, “Masikini wa dunia hii hawatafuti misaada bali wanataka uwekezaji. Uwekezaji kwa watu, mazingira, ugunduzi na ubia. Tukiweza kupata fedha zaidi, masoko, rasilimali, teknolojia, ufahamu na watu, tunaweza kuwa na mustakabali tofauti.” Sabrina akatoa tathmini ya alichoona na kinachopaswa kufaniyka akisema “Mara nyingi kwa wakulima wadogo, janga moja, au msimu mmoja wa mafuriko au ukame au kutokuvuna msimu mmoja kunawalazimu kuuza rasilimali zao ili waweze kujilisha. Jamii za vijijini zimesheheni vijana wenye vipaji, masoko na uwezo. Tumejionea wenyewe. Si kwamba wanaweza tu kujilisha wenyewe, bali wanaweza na wasaidiwe ili walishe dunia.”
En esta oportunidad converso con Dunia de Morales. ¿Quieres más bienestar para este 2023? hoy te damos algunos consejos y herramientas para vivir un año más simple, práctico y divertido.Para ponerse en contacto con Dunia: https://www.facebook.com/profile.php?id=100064020608775
Apply These 3 and Enjoy the Dunia and Akhira! | Fajr Khatira | Ustadh Mohamad Baajour
Aneka inisiatif meluncur di 2023, dari kiat AS berswadaya semikonduktor hingga pasar karbon sekuestrasi yang menguntungkan lingkungan dan petani. Juga pemugaran bangunan ikonik baik karena faktor lingkungan atau pemeliharaan. Dibawakan oleh Ariadne Budianto dan Rivan Dwiastono dari Washington DC.
The post DUNIA YANG LAIN appeared first on Truth Voice.
Double pivot andalan anda ditemani Gara gara Bola membahas kaleidoskop dunia 2022
Selamat Tahun Baru! Karena kadang Resolusi tidak berbuah, tak ada salahnya memulai 2023 dengan hal-hal kecil pembawa kebahagiaan, seperti membantu sesama. Dari The Wharf, Washington DC, Ariadne Budianto dan Virginia Gunawan membawakan liputan kegiatan filantropi, info lotre Green Card dan lainnya.
Pandangan kita harus lurus ke depan. Teropongan kita harus jauh. Kita menghadapi krisis ekonomi global, konflik antarbangsa dan berbagai ketegangannya, menghadapi ekosistem bumi yang tidak menjanjikan, kejahatan yang bertambah-tambah. Moral manusia semakin rusak, kehidupan makin tidak ideal. Kita hidup di bumi yang makin tidak menjadi tempat yang baik. Kita menyongsong dunia yang makin parah. Tetapi... Continue reading → The post Patah Hati dengan Dunia appeared first on Truth Voice.
This past year, as the world began to emerge out of the worst of the pandemic, the international community was rocked by war and inspired by sporting achievements. - Setahun terakhir ini, ketika dunia mulai keluar dari pandemi terburuk, komunitas internasional diguncang oleh perang dan terinspirasi oleh prestasi olahraga.
Setahun terakhir ini, ketika dunia mulai keluar dari pandemi terburuk, komunitas internasional diguncang oleh perang dan terinspirasi oleh prestasi olahraga.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
The post TERBAWA SPIRIT DUNIA appeared first on Truth Voice.
Legenda sepak bola Brasil, Pele, meninggal dunia pada usia delapan puluh dua tahun. Dia diagnosa kanker usus tiga tahun lalu. Pele mengantarkan tim nasional Brasil memenangi tiga Piala Dunia dan dianggap sebagai salah satu pemain terhebat sepanjang masa.
Italia menjadi negara Eropa pertama yang mewajibkan tes Covid bagi pengunjung dari China, menyusul kekhawatiran yang semakin mendalam terkait lonjakan kasus Covid di negara itu. Sebelumnya, Taiwan mengatakan akan menerapkan langkah serupa. Jepang dan India telah memerintahkan agar pelancong dari China diawasi. Banyak negara khawatir varian baru Covid dapat berkembang di China dan menyebar ke luar negeri, ketika negara itu kembali mengizinkan warga negaranya bepergian. Meskipun bukti menunjukkan bahwa rumah sakit-rumah sakit di China kewalahan menangani lonjakan kasus, pihak berwenang mengumumkan hanya tiga kematian di seluruh negara itu pada Rabu. Sementara itu, pemerintah Indonesia mengatakan tidak menetapkan syarat khusus bagi pelancong asal China. Akan tetapi ahli kesehatan memperingatkan agar pemerintah memberi pantauan 14 hari terhadap pelancong dari China sebagai langkah antisipasi.
Pemerintah Indonesia sedang mendiskusikan penempatan pengungsi Rohingya di lokasi khusus menyusul adanya suara penolakan dari sebagian masyarakat Aceh yang mengaku terganggu dengan keberadaan mereka. Apalagi baru-baru ini, ada dua kapal yang mengangkut lebih dari 230 orang Rohingya, terdampar di Kabupaten Aceh Besar dan Kabupaten Pidie. Perwakilan UNHCR di Indonesia mengatakan pihaknya menyerahkan sepenuhnya kepada pemerintah Indonesia soal penentuan lokasi khusus itu.
VOA This Morning Podcast - Voice of America | Bahasa Indonesia
Sebuah badai salju kuat telah melumpuhkan New York barat pada akhir pekan Natal serta menewaskan sedikitnya 25 orang. Sementara itu, seiring dengan membaiknya kondisi pandemi COVID-19, sektor penerbangan Indonesia secara berangsur pulih.
Perahu yang membawa lebih dari 180 pencari suaka Rohingya yang telah terkatung-katung di Laut Andaman, diizinkan mendarat di Aceh. Sebagian dari mereka dalam kondisi buruk. Perahu itu berlayar dari Bangladesh satu bulan lalu dan terapung-apung di lautan India. Angkatan Laut India menarik perahu itu menuju perairan Indonesia setelah memberikan makanan dan air minum untuk penumpangnya. Badan pengungsi PBB mengatakan pihaknya khawatir banyak penumpang meninggal dunia di perahu lain yang terapung-apung di Laut India.
Situasi penularan Covid-19 yang melandai membuat pemerintah Indonesia berencana mencabut Pemberlakuan Pembatasan Kegiatan Masyarakat, PPKM, pada Januari mendatang. Satgas Penanganan Covid-19 mengatakan akan ada aturan baru yang nantinya tidak lagi membatasi aktivitas masyarakat, termasuk melonggarkan kewajiban menggunakan masker. Namun, pencabutan PPKM itu dikhawatirkan akan menurunkan kewaspadaan masyarakat terhadap ancaman pandemi yang masih mengintai. Satgas Covid pun berjanji upaya pengendalian kasus akan tetap dilakukan meski PPKM telah dicabut.
Selamat Natal dari tim VOA Indonesia! Dari Alexandria, Virginia, Ariadne Budianto dan Virginia Gunawan mengantarkan liputan suasana jelang Natal dan tahun baru di AS yang walau diwarnai inflasi, tapi tidak mempengaruhi semangat warga dalam beramal, mendekorasi rumah dan lingkungan, juga berwisata.
Hidup di dunia ini singkat. Ketika kita lupa diri, lalu kita menikmati hidup dalam kenyamanan, maka kita menjadi tidak waspada, sehingga Iblis akan membelenggu, mengikat pikiran kita. Kemudian, tanpa sadar kita akan menjadi orang yang memiliki standar seperti manusia lain. Di dalam hati kita, ada banyak ikatan yang tidak sesuai kehendak Allah. Ikatan-ikatan dunia; percintaan... Continue reading → The post Terpapar Dunia appeared first on Truth Voice.
Hanya dengan meluangkan waktu belajar dan menikmati, kita bisa membantu menjaga budaya dan lingkungan. Dari Georgetown, kawasan di Washington DC yang kaya sejarah, Rivan Dwiastono dan Ariadne Budianto membawakan aneka liputan kontribusi komunitas dalam upaya pelestarian alam dan tradisi masyarakat.
Menjelang perayaan Natal dan Tahun Baru di Indonesia, potensi ancaman aksi terorisme dinilai tetap ada walau diperkirakan kecil.
Amerika Serikat mengatakan akan menyediakan peralatan canggih berupa sistem pertahanan rudal Patriot untuk Ukraina.
Jika kita mengamati perubahan-perubahan yang terjadi dewasa ini, pasti kita menemukan bahwa perubahan-perubahan yang terjadi dalam kehidupan manusia, dalam budaya, sosial, interaksi antarmanusia, bukan bertambah menjadi baik. Misalnya dulu kita mengenal prinsip gotong royong, dan itu menjadi kebanggaan bagi bangsa Indonesia. Tetapi, apakah filosofi gotong royong masih seperti 50 tahun yang lalu? Faktanya, kita melihat... Continue reading → The post Berjuang Agar Tidak Terbawa Dunia appeared first on Truth Voice.
Pemerintah Indonesia diminta meminta pendapat para ahli sejarah, terkait permintaan maaf Belanda atas praktik perbudakan di masa kolonial.
Pengamat mengatakan, korupsi di Mahkamah Agung terjadi karena kewenangan hakim yang sangat besar sedangkan pengawasannya sangat kecil.
Argentina are world champions for the third time after winning the greatest World Cup final of all time, beating France in a penalty shootout. - Argentina meraih juara dunia untuk ketiga kalinya setelah di final Piala Dunia terbesar mengalahkan Prancis dalam drama adu penalti.
On the eve of the World Cup final between France and Argentina, the President of FIFA has declared this year's tournament in Qatar to be the “best ever”. - Menjelang final Piala Dunia antara Prancis dan Argentina, Presiden FIFA telah menyatakan turnamen tahun ini di Qatar sebagai "yang terbaik".
Argentina menjuarai Piala Dunia untuk ketiga kalinya, setelah secara dramatis mengalahkan juara bertahan Prancis melalui adu penalti.
Croatia has claimed third place at the World Cup in Qatar after beating Morocco, two goals to one. - Kroasia sukses meraih juara ketiga di Piala Dunia Qatar 2022 setelah mengalahkan Maroko dengan skor 2-1.
Radio Sin Radio es presentado por Banreservas… El Banco de todos los Dominicanos!Carlos Almánzar se encuentra ¨Fuera de Todo Sin Desperdicios y en esta ocasión, analiza sobre la caída en la producción de espermatozoides en los hombres. Nos informa además, de la devolución de artículos de valor histórico a Rep. Dominicana por parte del FBI (2:03).Dunia de Windt nos dice ¨Las Cosas como Son Sin Reservas¨ y nos comenta sobre la grave situación en Perú, luego del auto golpe de su hoy expresidente Pedro Castillo (13:36).Carlos Almánzar nos proyecta a blanco y negro la película ¨ El faro¨ (24:29). Nos invita al Cine Sin Taquilla donde exhibe el relato sobre Rita Moreno y la discriminación de la que ha sido objeto con el pasar de los años en el mundo del cine (27:08).Claire Valerio nos recuerda con algunas de sus notas curiosas… Que ¨No hay que Ver para Creer¨ (12:12) (22:46) (34:08).Carlos Rizik nos da ¨La Ñapa sin Pedirla¨ y nos regala esta semana Las promesas o resoluciones del nuevo año que luego pocos cumplen (35:41).Síguenos en Facebook: https://www.facebook.com/Radio-sin-Radio-106160794652275?locale=es_ESInstagram: https://www.instagram.com/radiosinradio/Twitter: https://twitter.com/RadiosinRadio1
Setelah 73 tahun mengudara - baik dari London maupun Jakarta - BBC News Indonesia akan undur diri dari gelombang radio mulai 30 Desember mendatang. Ini adalah bagian dari upaya BBC News Indonesia untuk fokus dalam memberikan layanan digital secara penuh. Adaptasi atas kemajuan teknologi sudah kami lakukan semenjak BBC News Indonesia, yang dulu bernama BBC Siaran Indonesia, mengudara pertama kali pada 30 Oktober 1949, lima tahun setelah Indonesia merdeka. Meskipun kami undur diri dari gelombang radio, tapi berbagai artikel dan video menarik Khas BBC News Indonesia, tetap dapat Anda simak pada layar ponsel dan komputer Anda di situs BBC Indonesia dot com dan sejumlah platform media sosial.
Prancis akan melawan Argentina di final Piala Dunia 2022, setelah mengalahkan Maroko 2-0 di babak semifinal.
- KPU menetapkan 17 partai politik sebagai peserta pemilu 2024, meski dibayang-bayangi penolakan partai yang tidak lolos. - Prancis melangkah ke final Piala Dunia 2022 setelah mengalahkan Maroko 2-0. - Wali Kota Istanbul dijatuhi hukuman penjara yang membuatnya tidak memenuhi syarat maju dalam pemilihan presiden.
- Pemerintah Indonesia berencana membuka kembali keran pengiriman buruh migran ke Arab Saudi, setelah dihentikan lebih dari sepuluh tahun lalu. - China dan India saling menyalahkan atas bentrokan militer paling serius dalam tempo dua tahun di wilayah perbatasan yang diperebutkan. - Timnas Argentina memastikan langkah melaju ke final Piala Dunia setelah mengalahkan Kroasia 3-0.
Charlotte Fatuma na Neema Cenga ni wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na sasa wanaishi ukimbizini nchini Msumbiji katika jimbo la Nampula. Kwa sasa Charlotte ni mjasiriamali mwenye mafanikio makubwa, akiendesha biashara ya duka kwenye makazi ya wakimbizi ya Coranne huku Neema naye akijitahidi kulea na kusomesha watoto wake. Wanawake wote hawa wawili ni wanufaika wa mradi wa kusambaza umeme unaofanikishwa kwa ubia kati ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR, Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika, AfDB na serikali ya Msumbiji Mradi unalenga kusambaza umeme kwa wakimbizi wa ndani walioko kambini na wakati huo huo kunufaisha pia wenyeji. Hapa ni sawa na kuua ndege wawili kwa jiwe moja! Kwa kina basi Assumpta Massoi anasimulia kwenye Makala hii iliyoandaliwa na UNHCR.
Kali ini Virginia Gunawan dan Supriyono mengajak ke Arizona, negara bagian ke-6 terbesar di AS, melihat berbagai liputan menarik. Selain mencicipi sirup kaktus langsung di pabrik, ikuti latihan gamelan Bali bersama warga Amerika di Gamelan Dewi Malam dan mampir ke penginapan nuansa Bali di Tucson.
Michuano ya kombe la dunia ilipoanza, bara zote za dunia zilikuwa na wawakilishi.
Matumaini ya mashabiki wa timu ya taifa ya Australia inayo julikana kwa jina la "Socceroos" kucheza katika robo fainali, yame gonga mlinda lango wa Argentina Emiliano Martinez.
Hampir 2.000 orang mengungsi setelah Gunung Semeru di Jawa Timur meletus, menyemburkan awan panas dan lahar. Status Gunung Semeru sudah dinaikkan menjadi "awas".
Ari Diaconis knew a bright future lay ahead of him. He was a gifted athlete with a well-paying job at a Wall Street law firm, and a partner, Dunia, with whom he shared a deep connection. But a neurological illness shifted his vision for the path ahead and shined a spotlight on the present — snuggles in bed and time spent in their apartment — a life raft from the city downstairs.In 2018, Ari died. After we hear his story, we chat with Ari's younger sister, Alix, about their 3,000-mile bike trip across the country and on learning to protect someone who once protected us.Today's Story:“She Was My World, but We Couldn't Marry,” Ari DiaconisThis website memorializing Ari Diaconis was made by his sister, Alix Diaconis