POPULARITY
Categories
Benki ya Dunia inasema hata katika nchi zenye sheria za kisasa kuhusu usawa kazini, nchi hizo zimeshindwa kuzitekeleza, hadi sasa hakuna nchi iliyofikia kiwango cha juu cha usawa kazini, n ani asilimia kidogo tu ya wanawake wanaishi kwenye nchi zenye angalau sheria bora, huku mataifa 70 ikiwemo Misri, Madagascra na Somalia zikipiga hatua katika kuboresha mazingira ya usawa kati yam waka 2023 na 2025.
Benki ya Dunia inasema hata katika nchi zenye sheria za kisasa kuhusu usawa kazini, nchi hizo zimeshindwa kuzitekeleza, hadi sasa hakuna nchi iliyofikia kiwango cha juu cha usawa kazini, n ani asilimia kidogo tu ya wanawake wanaishi kwenye nchi zenye angalau sheria bora, huku mataifa 70 ikiwemo Misri, Madagascra na Somalia zikipiga hatua katika kuboresha mazingira ya usawa kati yam waka 2023 na 2025.
Bismillah,04. MERAIH KELEZATAN DUNIA | KAJIAN SERIAL RAMADHAN | Ustadz Muhammad Nuzul Dzikri
Asal-Usul Dunia. Di kelas ini Sayadaw Kheminda menjelaskan universalitas kebajikan moral yang ada dalam Aggaññasutta dan Komentarnya
Radio Elshinta mengadakan HUT puncak HUT ke-26 Elshinta News and Talk yang berlangsung di Studio Podcast MT Haryono Jakarta, yang akan membahas Dunia otomotif Tanah air e Bersama Influencer Otomotif Fitra Eri
Ketegangan geopolitik global kembali meningkat. Konflik bersenjata di berbagai kawasan, rivalitas kekuatan besar, hingga perang proksi yang melibatkan kepentingan ekonomi dan energi dunia, menjadi sorotan serius banyak negara — termasuk Indonesia. Presiden RI menaruh perhatian khusus terhadap dinamika peperangan dunia yang kian kompleks dan berdampak langsung pada stabilitas kawasan, ketahanan nasional, hingga arah kebijakan luar negeri Indonesia.Dalam konteks itulah, kita akan mengupas secara mendalam bagaimana membaca peta konflik global hari ini, bagaimana posisi strategis Indonesia di tengah rivalitas kekuatan dunia, serta langkah antisipatif apa yang perlu disiapkan bangsa ini.Bersama Ace Hasan Syadzily, Gubernur Lembaga Ketahanan Nasional Republik Indonesia, kita akan membedah perspektif ketahanan nasional, geopolitik, serta proyeksi risiko global ke depan.Perbincangan ini akan dipandu oleh Pemimpin Redaksi Elshinta, Haryo Ristamaji.
Nani Rubiyani, ibunda dari Wali Kota Bandung Muhammad Farhan, meninggal dunia pada Selasa malam di Kota Bogor. Almarhumah disemayamkan di kediaman keluarga di Jalan Penggalang, Kota Bogor, Jawa Barat.
The Lunar New Year has begun with vibrant celebrations welcoming the Year of the Horse, from fireworks in Vietnam and bustling Hong Kong markets to festive streets in Malaysia and Peru. - Tahun Baru Imlek telah dimulai dengan perayaan meriah menyambut Tahun Kuda, mulai dari kembang api di Vietnam dan pasar Hong Kong yang ramai hingga jalanan meriah di Malaysia dan Peru.
Dunia inapokabiliwa na mgogoro wa mabadiliko ya tabianchi na changamoto zingine za kimazingira, je redio imekuwa na mchango gani katika kuhakikisha jamii zinapata taarifa na habari wanazohitaji kufanya maamuzi muhimu kuhusu mazingira yao.
Asal-Usul Dunia. Di kelas ini Sayadaw Kheminda menjelaskan terbentuknya sirkel kelas masyarakat yang ada dalam Aggaññasutta dan Komentarnya
Bismillah,Di Balik Fasilitas Dunia, Ada Ujian Besar(Behind worldly facilities, there are big trials)Ustadz Muhammad Nuzul Dzikri -Hafizhahullah-Video Pendek dari Kajian Tadzkiratus Saami' No. 237“Banyak Nikmat = Banyak Bersabar”
Asal-Usul Dunia. Di kelas ini Sayadaw Kheminda menjelaskan Penampakan Gender Feminim dan Maskulin yang ada dalam Aggaññasutta dan Komentarnya
Dunia pemasaran telah berubah drastis. Jika Anda masih terpaku pada metode konvensional, bisnis Anda berisiko kehilangan relevansi di mata konsumen modern. Di episode kali ini, kami akan membedah mengapa konsep klasik AIDA kini perlu diperbarui agar tetap efektif di era digital.Sesuai dengan filosofi SLC Marketing, Inc. bahwa kesuksesan sebuah perusahaan bergantung pada jaringan yang kuat antar stakeholder, kami akan berbagi insight strategis tentang bagaimana membangun koneksi yang kuat antara Company dan Customer melalui Online Branding yang tepat
Menteri Agama RI Nasaruddin Umar Menyatakan, Ekonomi Syariah Indonesia Sangat Menjanjikan dan Memiliki Fondasi Kuat untuk Menjadi Pusat Ekonomi Syariah Dunia.
MetroTV, Harga emas dunia terus bertahan di level 5.000 dolar Amerika Serikat per troy ounce. Walau sempat terkoreksi ke bawah 5.000 dolar dalam beberapa hari terakhir, kini harga kembali bertengger di atas level tersebut. Kondisi ini dipicu oleh situasi global yang masih diselimuti ketidakpastian.
MQZMUR 46:1-12
Asal-Usul Dunia (4). Di kelas ini Sayadaw Kheminda menjelaskan Hancurnya Dunia yang ada dalam Aggaññasutta dan Komentarnya.
Pembawa Renungan : RP Siprianus Smakur Tukan, SSCC Paroki Santo Stefanus Dirung Lingkin Tanah Siang Selatan – Palangka Raya Mat. 5:13-16
#DiskusiInteraktif Bagaimana mempertahankan performa timnas Futsal Indonesia yang sukses cetak sejarah pada turnamen Piala Asia 2026 agar bisa masuk Piala Dunia Futsal 2028?[TALK] Pemerhati Olahraga, Mantan Wartawan Olahraga Kompas, Jimmy S. Harianto&Pengamat Futsal, M. Wildan
Mkutano wa siku tatu wa Serikali za Dunia mwaka 2026 huko Dubai umesisitiza kuhusu udhibiti wa Akili Mnemba, AI, mageuzi ya kidijitali, uchumi endelevu na thabiti duniani. Viongozi mbalimbali wametoa wito wa kuwepo ushirikiano thabiti wa kimataifa na mifumo mipya ya utawala inayoweza kutazamia changamoto za siku zijazo lakini pia kushughulikia masuala ya pamoja kama vile mabadiliko ya hali ya hewa, usalama wa mtandao na ukosefu wa usawa wa kiuchumi. Ni mkutano ulioandaliwa kutoka Februari 3-5, 2026. #WorldGovernmentsSummit
Mkutano wa siku tatu wa Serikali za Dunia mwaka 2026 huko Dubai umesisitiza kuhusu udhibiti wa Akili Mnemba, AI, mageuzi ya kidijitali, uchumi endelevu na thabiti duniani. Viongozi mbalimbali wametoa wito wa kuwepo ushirikiano thabiti wa kimataifa na mifumo mipya ya utawala inayoweza kutazamia changamoto za siku zijazo lakini pia kushughulikia masuala ya pamoja kama vile mabadiliko ya hali ya hewa, usalama wa mtandao na ukosefu wa usawa wa kiuchumi. Ni mkutano ulioandaliwa kutoka Februari 3-5, 2026. #WorldGovernmentsSummit
Asal-Usul Dunia. Di kelas ini Sayadaw Kheminda menjelaskan munculnya Sari Bumi yang ada dalam Aggaññasutta dan Komentarnya
Kasus wafatnya siswa SD di Nusa Tenggara Timur (NTT), diduga akibat tidak mampu membeli buku dan alat tulis, menuai keprihatinan luas. Kasus tersebut dinilai menjadi gambaran buruk pemenuhan hak dasar anak di dunia pendidikan. Bagaimana merespon kejadian tersebut, agar tak terulang? Talk bersama Direktur Eksekutif Arus Survei Indonesia dan Dosen FISIP UIN Syarif Hidayatullah Jakarta, Ali Rif'an.
Verônica é uma jovem vidente tentando tomar as rédeas do próprio destino. Para isso, precisa arrumar novos clientes e acertar o aluguel atrasado antes seja obrigada a voltar para a casa da mãe. Seu plano é comprar uma estrela e usá-la como propaganda do seu trabalho nos céus da internet, mas sua fiel amiga Cocota sente que não é uma boa ideia: likes dão engajamento, mas não pagam os boletos.De repente, uma série de lapsos no espaço-tempo mergulha a bruxa desempregada numa arrepiante dimensão paralela. Em sua jornada através das frestas do universo, ela terá a companhia de um alienígena mal disfarçado e de um gato preto misterioso, que se revela uma aterradora ameaça intergaláctica e deve ser contido antes que destrua todos os móveis da casa.Agradecimento: a querida Dunia, do @bibliotecadadu, que me presenteou com esse livro lindo. Livro: https://amzn.to/4r3cYwUTwitter e insta: @termineicast
Kita sering kali merasa seperti musafir yang dipaksa berjalan di atas pasir yang terus bergeser. Dunia hari ini bukan lagi sebuah jam dinding yang berdetak dengan pasti, melainkan sebuah turbulensi yang oleh para pemikir disebut TUNA—Turbulence, Uncertainty, Novelty, dan Ambiguity. Di sini, "kebaruan" (novelty) hadir bukan sebagai kado yang manis, melainkan sebagai guncangan yang belum pernah tercatat dalam buku sejarah mana pun. Mempelajari TUNA bukan berarti mencari jimat untuk menghentikan badai, melainkan upaya untuk mengenali arah angin ketika kompas tua kita tak lagi bisa menunjuk kutub yang benar. Di tengah gejolak itu, ada "Kompleksitas" yang menjerat seperti akar pohon di hutan purba. Kita harus belajar bahwa dunia bukan lagi sekadar susunan sebab-akibat yang sederhana; satu kepakan sayap di sebuah pasar modal bisa merobohkan tatanan sosial di benua lain. Memahami kompleksitas adalah sebuah undangan untuk menanggalkan kesombongan bahwa kita bisa mengontrol segalanya. Ini adalah ilmu tentang keterhubungan, tentang bagaimana bagian-bagian kecil yang tampak sepele sebenarnya memegang kunci bagi keselamatan seluruh sistem yang kita tinggali. Mempelajari kerumitan ini pada akhirnya adalah sebuah perjalanan menuju kebijakan. Kita diajak untuk tidak lagi mencari jawaban-jawaban instan yang sering kali menipu, melainkan belajar untuk hidup dengan pertanyaan-pertanyaan yang berani. Di tengah ambiguitas yang pekat, mereka yang bersedia menyelami kedalaman TUNA dan Kompleksitas adalah mereka yang akan menemukan kelenturan batin—seperti seorang pemusik jazz yang mampu mengubah kebisingan menjadi harmoni. Mari kita masuk ke dalam labirin ini, bukan dengan rasa takut, melainkan dengan rasa ingin tahu yang tak kunjung padam.
La Porta | Renungan Harian Katolik - Daily Meditation according to Catholic Church liturgy
Dibawakan oleh Hanolan Modestus Jemuru dan Veronika Retno Wijayanti dari Paroki Kristus Raja Baciro Yogyakarta di Keuskupan Agung Semarang, Indonesia. 2 Samuel 7: 18-19.24-29; Mazmur tg 132: 1-2.3-5.11.12.13-14; Markus 4: 21-25.CAHAYA PELITA Renungan kita pada hari ini bertema: Cahaya Pelita. Padazaman Yesus, belum ada listrik. Orang-orang memakai pelita atau obor untukpenerangan di rumah dan di perjalanan. Tetapi pada zaman kita, pelita hampirtidak digunakan karena listrik sudah menjadi penerangan bagi penduduk bumi padasaat ini. Penyebutan pelita di dalam kitab suci dan ajaran Tuhan Yesus tetaprelevan dengan kita saat ini, yaitu lebih memberikan penekanan pada pesanrohaninya. Di dalam suasana gelap karena listrik mati, orang-orangbergantung pada penerangan yang ada di tangan mereka, misalnya hp, tablet, ataulampu senter. Namun jika tidak ada satu pun alat-alat listrik-elektronik yangtersedia, salah satu penerangan yang diandalkan ialah pelita. Lilin yangdibakar, obor minyak tanah, atau pembakaran kayu dapat disejajarkan denganlampu pelita yang dengan muda disediakan di rumah-rumah kita. Tuhan Yesus memakai simbol cahaya pelita untuk mengajarkankita tentang peran setiap orang beriman sebagai lampu yang memiliki nyalaapinya. Roh Kudus yang ada pada kita sejak pembaptisan selalu menyalakanapi-Nya sehingga pikiran kita terbuka kepada firman yang disampaikan kepadakita dan berelasi dengan semua kenyataan hidup yang kita alami. Api Roh Kudusjuga membakar dan menyemangati hati kita, sehingga kita senantiasa memilikipengharapan setiap kali ada kesulitan dan sakit yang menyusahkan kita. Setiap orang memiliki pelita dan api di dalam dirinya,karena Tuhan bermaksud untuk menjadikan dirinya sebagai rekan kerja-Nya. Parapengikut Kristus secara sah mengambil bagian dalam perutusan Yesus Kristus.Maka mereka adalah rekan kerja Tuhan di dalam dunia ini. Fungsi pelita atau apidi dalam diri setiap orang yang diutus oleh Tuhan pada umumnya ada dua, yaitusebagai penerang jalan kepada Tuhan dan penerang kehidupan di dalam dunia. Jalan kepada Tuhan tidak selalu mulus dan gampang. Yesussendiri bahkan mengatakan bahwa jalannya sangat sempit. Raja Daud sendirimembutuhkan terang Ilahi supaya dapat mengerti dan menjalani kepercayaan Allahkepadanya. Perjalanan hidup yang panjang sering dihalangi oleh aneka bentukkegelapan. Maka pelita di dalam diri setiap orang sangat berguna dalammenerangi dan membimbing dirinya, bahwa jalan kepada Tuhan adalah jalan YesusKristus. Dunia dengan segala keadaannya sering menjadi gelap karenasegala kekurangannya seperti kebodohan, diskriminasi, kebohongan, kekerasan dankematian. Perutusan kita sebagai pengikut Kristus mewajibkan kita menjadipelita dengan cahaya yang menerangi, membimbing, dan mencerahkan dunia ini.Semoga pelita kita tetap bernyala sampai hidup kita di dunia ini berakhir. Marilah kita berdoa. Dalam nama Bapa ... Ya Yesus, penuhilahselalu diri kami dengan terang Roh-Mu agar kami semakin mantap menjadisaksi-saksi-Mu bagi kebaikan dan keselamatan di dunia ini. Salam Maria, penuhrahmat ... Dalam nama Bapa ...
"Dunia digital menjadi alat praktis bagi remaja yang mencari dan membentuk identitas diri. Bagaimana media sosial memainkan peran dalam perjalanan ini? Kita bahas bersama dalam audio ini, yaa!
Leo kwenye kipindi tumeangazia uchambuzi wa mashindano ya AFCON 2025, vilabu vya Afrika Mashariki vinatafuta tiketi ya mchujo mechi za klabu bingwa, Kinshasa kuandaa Kombe la Mataifa ya Afrika ya Voliboli mwaka huu, wachezaji kadhaa wa ligi ya NBA waonesha nia kuiwakilisha Nigeria kwenye Olimpiki ya 2028, mashindano ya Afrika ya handboli inayoendelea Kigali, Uganda yapata kocha mpya wa basketboli, mfumo mpya wa mashabiki kupata visa mapema kuelekea Kombe la Dunia wafunguliwa rasmi
Sudan e Sud Sudan, le città che rischiano di tornare campi di battagliaLe città africane tra le più vulnerabili di fronte ai cambiamenti climatici A Zanzibar nasce Dunia, la città digitale Street food africano, storia urbana di necessità e creatività Questo e molto altro nel Notiziario Africa di Radio Bullets a cura di Elena L. Pasquini
Lihatlah, Ia datang dengan awan-awan dan setiap mata akan melihat Dia, juga mereka yang telah menikam Dia. Dan semua bangsa di bumi akan meratapi Dia. Ya, amin.
Katika muktadha wa kupungua kwa muda mrefu kwa maji ya chini ya ardhi, matumizi kupita kiasi ya rasilimali za maji, uharibifu wa ardhi na mmomonyoko wa udongo, ukataji miti, pamoja na uchafuzi wa mazingira, Chuo Kikuu cha Umoja wa Mataifa UNU kimetoa ripoti inayotangaza kuingia katika“zama za kufilisika kwa maji duniani” na kutoa wito kwa viongozi wa dunia kuendana na uhalisia huu mpya kwa kuzingatia ushahidi wa kisayansi.Kulikoni ? Flora Nducha anaeleza kwa kina ripoti hiyo.
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, baada ya ziara yake ya siku tano nchini Sudan, ametahadharisha kuhusu kuongezeka kwa hali mbaya zaidi ya ukikukwaji wa haki za binadamu na ongezeko la janga la kibinadamu nchini humo.Rashid Malekela na taarifa zaidi.
Chef Marinka: from MasterChef Judge to Writing a Fiction Storybook "Lilinka & The Opal Castle". - Chef Marinka dari Juri Masterchef hingga menulis Buku Cerita Fiksi berjudul Lilinka & The Opal Caslte.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika Chata iliyoanzisha Umoja wa Mataifa miaka 80 iliyopita baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia na kukutanisha mataifa 50 San Francisco hapa Marekani na kupitisha Chata hiyo, ikilengaa kuzuia vita na kujenga uhusiano mwema baina ya mataifa. Operesheni ya kijeshi iliyofanywa na Marekani tarehe 3Januari nchini Venezuela ambayo ilimchukua Rais wa nchi hiyo Nicolàs Madura na hapo jana walimfikisha mahakamani jijini New York Marekani. Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya masuala ya haki za binadamu OHCHR kupitia msemaji wake Revina Shamdasani akizungumza na waandishi wa habari jijini Geneva Uswisi amewaeleza kuwa kitendo hicho ni uvunjaji wa sheria za kimataifa na wala kisingizio cha haki za binadamu kisitumike.Tukisalia na Venezuela, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya masuala ya Kiutu OCHA imeeleza inaendelea kuwasaidia wenye uhitaji nchini humo na mwaka jana ili ainisha zaidi ya wahitaji milioni 8. Msemaji wa OCHA Jens Laerke amewaambia waandishi wa habari jijini Geneva kuwa “Kati ya hao watu milioni nane, "900,000 wamewekwa katika makundi ya juu sana ya wenye uhitaji wa sekta mbalimbali ... kama vile chakula, lishe, elimu, na huduma za afya, kimsingi mambo yote ambayo nchi ya Venezuela halijaweza kutoa kwa raia wake kwa miaka mingi”.Msemaji wa Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres anafuatilia akiwa na wasiwasi mkubwa maandamano yanayoendelea nchini Iran. Guterres amesikitishwa na ripoti za vifo na majeruhi kutokana na mapigano kati ya vikosi vya usalama na waandamanaji, akitaka mamlaka zizingatie haki ya kuandamanana na kukusanyika kwa amani.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Miaka 80 iliyopita baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia, mataifa 50 yalikutana huko San Francisco hapa nchini Marekani na kupitisha Chata iliyoanzisha Umoja wa Mataifa. Miongoni mwa malengo ni kuzuia vita na kujenga uhusiano mwema baina ya mataifa. Mathalani kuepusha nchi moja kuvamia nchi nyingine na kulinda haki za binadamu. Leo hii Chata hiyo imeendelea kusiginwa na kilichoibua mjadala zaidi ni tukio la Januari 3 la Vikosi Maalum vya Marekani kuingia Venezuela na kumtwaa Rais wa nchi hiyo Nicolas Maduro pamoja na mkewe kwa madai ya kwamba wanatakiwa wajibu tuhuma nchini MArekani za uhalifu mkubwa ikiwemo usafirishaji wa dawa za kulevya. Je Chata hiyo inasema nini? Assumpta Massoi na Rashid Malekela wanapitia baadhi ya vifungu pamoja na yaliyojiri baada ya hatua ya Marekani.
Pernyataan PM Jepang Sanae Takaichi membuat tensi Taiwan memanas. Saatnya Prabowo mencegah krisis besar?
Doctor Anggi Cantika continue to provide essential healthcare, prioritizing patient safety above personal interests, with her unwavering dedication. - Dengan dedikasi tinggi, Dokter Anggi Cantika tetap memberikan pelayanan kesehatan optimal, mengutamakan keselamatan pasien di atas kepentingan pribadinya.
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesema ukosefu wa chakula utaendelea kuwa katika viwango vya kutisha katika mwaka ujao wa 2026, huku mamilioni ya watu wakikabiliwa na njaa kali duniani. Leah Mushi na maelezo zaidi.
The UN has officially declared Jakarta the world's most populous city with 42 million people, surpassing Tokyo. A demographer discusses the implications and whether the Indonesian diaspora should think twice about returning home. - Jakarta kini resmi menjadi kota terpadat di dunia dengan 42 juta jiwa, menggeser Tokyo, menurut PBB. Ahli demografi menjelaskan dampaknya dan apakah diaspora Indonesia perlu berpikir ulang untuk pulang.
Mwaka 2025 umeelezwa kuwa mwaka wa kihistoria kwa sekta ya afya duniani. Hayo ni kwa mujibu wa ujumbe uliotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani WHO,Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus, wakati akitoa tathmini yake ya mwisho ya mwaka 2025. Taarifa zaidi na Sabrina Saidi. Karibu Sabrina..(TAARIFA YA SABRINA SAIDI) Asante Flora,Akizungumza kutokea makao makuu ya WHO mjini Geneva, Uswisi, Dkt. Tedros amesema mwaka 2025 umekuwa na mafanikio makubwa pamoja na changamoto nzito kwa afya ya dunia, huku akisisitiza kwamba dunia bado inahitaji uwepo wa WHO. (Clip 1-Sauti ya Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus)“Kweli mwaka 2025 umekuwa mwaka wa mafanikio makubwa na changamoto nyingi kwa afya ya dunia na kwa WHO. Mafanikio makubwa zaidi yalikuwa kupitishwa kwa Mkataba wa WHO wa kukabiliana na milipuko ya magonjwa, ambao ni mfano wa nguvu ya ushirikiano wa kimataifa pale nchi zinapochagua kushirikiana badala ya kugawanyika. Pia, mwaka huu WHO imethibitisha nchi 13 kufanikiwa kutokomeza magonjwa, ikatoa miongozo kuhusu tiba mpya kama Lenacapavir kwa kinga dhidi ya VVU na matibabu ya GLP-1 kwa utipwatipwa,na ikachukua hatua dhidi ya majanga 48 katika nchi na maeneo 79, ikiwemo Gaza, Sudan na Ukraine.”Akizungumzia changamoto, Dkt. Tedros amesema kupunguzwa kwa misaada ya kimataifa na bajeti kumeathiri sekta ya afya duniani, lakini ameeleza kuwa hali hiyo pia inaleta fursa mpya.(Clip 2- Sauti ya Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus)“Lakini ndani ya changamoto hizi pia kuna fursa. Ni fursa kwa nchi kuondokana na utegemezi wa misaada na kujenga mifumo ya afya inayojitegemea, na ni fursa kwa WHO kuwa taasisi imara zaidi na inayojipanga kwa siku zijazo. Dunia bado inahitaji WHO, na WHO itaendelea kushikilia maono yake ya msingi kuhakikisha kiwango cha juu kabisa cha afya kinapatikana kwa wote, si kama upendeleo wa wachache, bali kama haki ya kila mtu.”Dkt. Tedros amehitimisha ujumbe wake kwa kusema kuwa WHO itaendelea kushirikiana na nchi wanachama ili kukabiliana na changamoto za sasa na zijazo za afya duniani.
Pembawa Renungan : Sandy Kusuma Tangerang Mat. 2:13-15,19-23.
Pastor Samuel Parabak sharing the meaning of Christmas to Brunswick Indonesian Uniting Church and life changing good news. - Pendeta Samuel Parabak membagikan makna natal kepada jemaat Brunswick Indonesian Uniting Church dan kabar sukacita yang mengubah hidup.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Sudan Kusini kufuatilia mradi wa kilimo cha mpunga ulivyoleta ustawi kwa jamii ya katikati mwa Sudan unaofanikishwa kwa msaada wa mafunzo wa walinda amani wa UN kutoka Korea Kusini wanaohudumu katika UNMISS kupitia wanasayansi na wakulima wa eneo la Bor katika. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na ufafanuzi wa methali.Mapigano makali mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yamesababisha vifo vya zaidi ya raia 70, kuwafurusha watu zaidi ya 200,000, na kusitisha msaada wa chakula kwa maelfu. Umoja wa Mataifa unasema hali katika Kivu Kusini imezorota kwa kasi, huku msaada wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula WFP ukisimama na shule zaidi ya 30 zikigeuzwa makazi ya dharura. Katika taarifa yake, Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa, Farhan Haq, amesema hali imefikia kiwango cha hatari, akionya: “Familia zinazoishi kwa njaa sasa zinagawana chakula chao cha mwisho na watu waliokimbia makazi. Hii ni dharura inayovuka mipaka.” UN inazitaka pande zote kusitisha mapigano mara moja na kuruhusu misaada kufika kwa walio hatarini.Mkutano wa kikao cha 7 wa Baraza La Mazingira la Umoja wa Mataifa UNE-7 unaeelekea ukingoni jijini Nairobi Kenya na miongoni mwa washiriki ni kijana mwanaharakati wa mazingira kutoka asasi ya Umoja wa Mataifa YUNA nchini Tanzania Ally MwamzoraNa leo Umoja wa Mataifa unaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Milima, ukisisitiza umuhimu wa milima kama “kitovu cha maji ya dunia.” Kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO, takriban asilimia 70 ya maji safi ya Dunia yamehifadhiwa kama theluji au barafu, yakitoa mito inayosambaza maji ya kunywa, kilimo, viwanda, na umeme wa maji na takriban watu bilioni mbili, ikiwa ni pamoja na jamii nyingi za asili, wanategemea maji ya milima kwa mahitaji yao ya kila siku, maisha, na tamaduni zao. Wataalamu wanasisitiza kuwa kulinda mazingira ya milima ni muhimu ili kuhakikisha upatikanaji wa maji kwa vizazi vijavyo.Katika kujifunza lugha Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya, kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali "“MWENDAWAZIMU HAPEWI UPANGA"Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Less than two years after entering the music business, entrepreneur and saxophonist Ivan Paulus won his first music award. - Kurang dari dua tahun sejak mendalami dunia musik, pengusaha dan pemain saksofon Ivan Paulus memenangkan penghargaan musik pertamanya.
Kama tulivyokujuza le oni Siku ya UKIMWI Duniani na mwaka huu inaadhimishwa kwa onyo kali kuhusu janga hilo pamoja na wito wa kuchukua hatua. Ikibeba kaulimbiu “Kukabili misukosuko, kubadili mwelekeo wa hatua za UKIMWI,” Umoja wa Mataifa unasema dunia ipo katika kipindi cha uamuzi muhimu katika vita dhidi ya VVU. Flora Nducha na taarifa zaidi
Pembawa Renungan : Sandy Kusuma Tangerang Luk. 21:29-33
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres leo ametoa ujumbe mzito kwenye Mkutano wa Muungano wa Afrika AU na Muungano wa Ulaya EU, unaofanyika mjini Luanda, Angola akionya kuwa dunia “inabadilika kwa kiwango cha kutisha,” huku janga la tabianchi, ukosefu wa usawa na mvutano wa kimataifa vikichochea misukosuko mipya duniani . Flora Nducha na taarifa zaidi
Dunia inajiandaa kuadhimisha Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia kuanzia tarehe 25 mwezi huu wa Novemba hadi tarehe 10 Disemba, kampeni inayolenga kuongeza uelewa na kutoa wito wa kuzuia na kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wasichana duniani kote. Na katika kuelekea maadhimisho hayo, Sabrina Saidi ameandaa taarifa kutokea huko nchini Ethiopia, akiangazia simulizi ya mwanamke ambaye ameamua kuvunja mzunguko wa mila zenye madhara kwa jamii yake.
Hii leo jaridani tunaangazia kesi za mauaji ya kimbari nchini Rwanda, ukatili wa kijinsia na zoezi la mahakama tembezi nchini Sudan Kusini.Mfumo wa kimataifa wa kushughulikia mabaki ya kesi za mauaji ya kimbari (IRMCT) umeamua kuwa mtuhumiwa wa mauaji ya kimbari, Félicien Kabuga, hana uwezo wa kiafya kusafiri kwenda Rwanda, uamuzi unaositisha mpango wa awali wa kumhamisha kwenda nchini Rwanda ili kuachiwa kwa muda kutokana na hali yake ya kiafya kuwa tete.Dunia inajiandaa kuadhimisha Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia kuanzia tarehe 25 mwezi huu wa Novemba hadi tarehe 10 Disemba, kampeni inayolenga kuongeza uelewa na kutoa wito wa kuzuia na kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wasichana duniani kote. Na katika kuelekea maadhimisho hayo, Sabrina Saidi ameandaa taarifa kutokea huko nchini Ethiopia, akiangazia simulizi ya mwanamke ambaye ameamua kuvunja mzunguko wa mila zenye madhara kwa jamii yake.Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudani Kusini UNMISS wakishirikiana na wizara ya haki na masuala ya katiba nchini humo wanaendeleza zoezi la mahakama tembezi nchini humo, mradi ambao unafadhiliwa na Ubalozi wa Norway ili kuhakikisha wananchi hususan wale walio na kesi mahakama wanapata haki.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!