POPULARITY
Categories
Lionel Messi amekuwa mfungaji bora wa muda wote wa Kombe la Dunia, akifunga mara mbili nakusaidia Argentina kuishinda Austria 2-0 mjini Dallas, na kujihakikishia nafasi ya kwanza katika Kundi J, pamoja na nafasi katika hatua ya mchujo.
Khutbah Jum'at - Ustadz Dr. Syafiq Riza Basalamah, Lc., MA. hafizhahullahu.Judul : Syahwat Dunia.Sumber : YouTube.
Spanyol kembali meraih kemenangan dan memimpin Grup H, sementara Tanjung Verde mencetak sejarah dengan mencetak gol pertama mereka di Piala Dunia FIFA dalam hasil imbang yang tak terlupakan melawan Uruguay. Belgia dan Iran berbagi poin di Grup G, sementara Mesir bangkit dari ketertinggalan untuk mengalahkan Selandia Baru dengan penampilan dominan di babak kedua.Dengarkan SBS Indonesian setiap hari Senin, Rabu, Jumat, dan Minggu jam 3 sore.Ikuti kami di Facebook dan Instagram, serta jangan lewatkan podcast kami.
Ni wiki ambayo imegubikwa na michuano ya kombe la dunia 2026 huko Marekani, wiki hii eneo hili la Afrika mashariki na kati lilichangamka baada ya timu ya DRC Leopards kutoka sare na Ureno, virusi vya ebola na juhudi za kikanda kuudhibiti, kukamatwa kwa wakili Erias Lukwago kule Kampala Uganda, lakini pia mashambulio ya kigaidi kwenye uwanja wa ndege wa mjini Niamey huko Niger, na mkutano wa G7 jijini Paris Ufaransa, na hali kadhalika kusainiwa kwa mkataba kati ya Marekani na Iran
#pestabola #pialadunia #dosendipecat #selathormuz
Leo tumeangazia kwa undani matukio na matokeo yote ya wiki ya kwanza michuano ya Kombe la Dunia 2026 - Mbappe, Messi waweka historia wakati Cape Verde na DRC zikihangaisha miamba wa soka wa ulaya, Tunisia yamfuta kazi kocha, uchambuzi wa mechi za leo. Aidha ni mwaka mmoja kuelekea Kombe la Mataifa ya Africa 2027, matokeo ya tenisi kombe la Davis Cup, Police fc ya Rwanda yamfuta kazi kocha wake, matokeo ya Cecafa U17 kwa kina dada pamoja na tetesi za uhamisho ulaya.
Mafanikio ya awali ya Socceroos katika Kombe la Dunia, yameangazia tena hadithi za mafanikio za Australia yenye tamaduni nyingi.
Mexico ime ingia katika hatua ya mchujo, baada ya kuishinda Jamhuri ya Korea katika siku ambayo iliadhimishwa na jeraha kubwa nchini Canada.
Mashabiki wa soka wana endelea kupata burudani kupitia Kombe la Dunia la FIFA 2026 linalo andaliwa nchini, Canada, Marekani na Mexico.
"Tamu @aungsyahrul" Buat kalean yang pengen pemanggilan barang2 goib macam Kasus Penculikan Aktipis 98, Emas2 Pak Karno, Batu Delima Tomi Suharto, atau bahkan Tusuk Konde Bu Megawati bisa banget minta tolong ke tamu kita kali ini. Ato pengen cek Khodam Siliwangi juga bisacokh!1!1!1 Xixixixixxi.----------● Join grup persekutuan SOBAT TIDAK TERLIHAT di WA gratesss. WA Grup: https://bit.ly/SobatTidakTerlihat
Dunia menaruh nilai kehidupan pada pencapaian.Namun sesungguhnya, semua itu menjadi kerugian besar setelah mengenal satu pribadi ini. Simak obrolannya yang asyik bersama narasumber kita yang luar biasa Bpk. Benny Benediktus Tan hanya di OASIS (Obrolan Asyik Seputar Injil Surgawi).
Kesepakatan damai antara Amerika Serikat dan Iran yang disebut memasuki tahap finalisasi disambut positif oleh pasar global. Harga minyak dunia mulai melemah dan muncul harapan normalisasi pasokan energi melalui Selat Hormuz, salah satu jalur distribusi minyak terpenting di dunia. Namun, bagaimana prospek keberlanjutan kesepakatan yang rencananya ditandatangani pada 19 Juni mendatang?Dalam episode ini, Elshinta membahas dampak geopolitik dan ekonomi dari perkembangan hubungan Iran-AS, termasuk pengaruhnya terhadap harga minyak dunia, stabilitas pasokan energi, serta implikasinya bagi perekonomian Indonesia.Bersama:
Mshtuko wa kwanza mkubwa wa Kombe la Dunia la FIFA umeshuhudiwa, baada ya timu ambayo inadhaniwa ina nafasi kubwa yakushinda michuano hiyo, kunyimwa ushindi na Cabo Verde wanao shiriki katika michuano hiyo kwa mara yao ya kwanza.
Ujerumani umeanza vyema kampeni yao ya Kombe la Dunia la 2026, ikiwashinda Curaçao inayo shiriki katika michuano hiyo kwa mara ya kwanza kwa mabao 7-1 katika Kundi E katika Uwanja wa Houston, Marekani.
Tidak kekurangan gol dan kejutan di hari ke-4 Piala Dunia FIFA 2026, dengan Jerman dan Swedia meraih kemenangan besar, sementara Jepang berjuang di menit-menit akhir demi mendapatkan hasil imbang 2-2 dengan Belanda.Dengarkan SBS Indonesian setiap hari Senin, Rabu, Jumat, dan Minggu jam 3 sore.Ikuti kami di Facebook dan Instagram, serta jangan lewatkan podcast kami.
Dua pemain muda Socceroos, Nestier Irankunda dan Connor Metcalfe, memeriahkan stadion Vancouver B-C Place dengan kemenangan 2-0 melawan Turki.
Ustadz Ammi Nur Baits S.T. B.A - Menjadi Pedagang Sukses Dunia Akhirat Ustadz Ammi Nur Baits
Ustadz Abu Yahya Badrusalam - Ingin Selamat Dunia Akhirat Ini
Ustadz Ammi Nur Baits - Kiat Semangat Ibadah Dan Zuhud Terhadap Dunia
Ustadz Najmi Umar Bakkar - Sudahkah Engkau Mendapat Surga Di Dunia
Ni wiki ambayo imegubikwa na maandamano kadhaa nchini huko Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, huko Nanyuki nchini Kenya, na watu kutoka nchi kadhaa za Afrika kuihama Afrika Kusini kutokana na ongezeko la chuki dhidi ya wageni, lakini kubwa kabisa wiki hii lililotikisa ulimwengu ni michuano ya kombe la dunia ya mwaka wa 2026 iliyong'oa nanga huko Marekani, Mexico na Canada, bila kuisahau ziara ya Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Leo wa Kumi na nne huko Uhispania.-Naitwa Ruben Lukumbuka,
Ustadz Firanda Andirja - Jangan Tertipu Dunia
Tumeangazia Kombe la Dunia 2026 kuanza kwa vikwazo kadhaa, raia wa Afrika waiunga mkono Mexico dhidi ya Afrika Kusini, uchambuzi wa mechi ya leo Brazili dhidi ya Morocco, DRC wakijiandaa kupambana na Ureno wiki ijayo, maandalizi ya mbio za Kigali Marathon zakamilika, klabu ya Gor Mahia nchini Kenya yaamrishwa kufanya uchaguzi upya,
Ustadz Erwandi Tarmizi - Laba Di Dunia Dan Akhirat
Kurma Ajwa Madinah tidak hanya menjadi salah satu oleh-oleh favorit jemaah haji Indonesia, tetapi juga telah menjadi komoditas ekspor yang menjangkau puluhan negara di dunia. Salah satu produsen kurma Ajwa terbesar di Madinah, Castle Farms, menyebut Indonesia sebagai salah satu pasar utama untuk produk kurma merekaBEH/MCH2026)#ElshintaHaji2026 #LiputanHaji2026 #Haji2026 #HajiRamahLansia #TriSuksesHaji #KemenhajRI
Kwa zaidi ya karne mbili, maelezo ya Newton ndiyo yaliyotawala sayansi. Kisha mwaka 1915, Albert Einstein akaja na wazo lililobadilisha kila kitu: gravity si nguvu ya kuvutana — ni kupinda kwa nafasi na wakati (space-time).
Ustadz Najmi Umar Bakkar - Bahagia Dunia Dan Akhirat Dengan Akhlak Yang Mulia
Ribuan orang memadati kawasan Sagrada Familia di Barcelona, Spanyol, untuk menyaksikan pemberkatan Menara Yesus Kristus yang kini menjadi menara tertinggi di gereja ikonik tersebut; misa dan peresmian dipimpin oleh Paus Leo XIV, dihadiri Raja Felipe VI dan Ratu Letizia; menara setinggi 172,5 meter ini dimahkoti salib keramik raksasa berlapis lima tingkat, menjadi menara utama dari delapan belas menara yang direncanakan dalam proyek pembangunan Sagrada Familia, sekaligus memperingati 100 tahun wafat Antoni Gaudi, sang arsitek legendaris.
Ustadz Ammi Nur Baits S.T. B.A - Hal-hal Bermanfaat Dalam Urusan Dunia, Ustadz Ammi Nur Baits @Amalkansunnah
Ustadz Maududi Abdullah - Mencari Dunia Dengan Amalan Akhirat
Ustadz Maududi Abdullah - Lelah Mengejar Dunia
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Mkutano wa 19 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu Wenye Ulemavu CRPD, umetamatishwa leo katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Idhaa hii imepata fursa ya kuzungumza na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya mkutano huu muhimu, Mtanzania Zuleikha Tambwe. Pia tunakuletea muhtasari wa habari kama zifuatazo..Hatari ya Ebola wakati wa Kombe la Dunia la Soka 2026 ni ndogo na hakuna sababu ya mashabiki kubadili mipango yao ya safari kuelekea Canada, Mexico na Marekani, limesema Shirika la Afya Duniani WHO kombe hilo liking'oa nanga leo. Mkurugenzi wa WHO Kanda ya Ulaya, Hans Henri P. Kluge, amesema hakuna wagonjwa wa Ebola katika nchi hizo wala Ulaya na amesisitiza, “Safirini kama kawaida na furahieni mashindano hayo.” WHO imefafanua kuwa Ebola haisambai kwa njia ya hewa na visa vingi vipo katika maeneo ya mbali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Annalena Baerbock, amehitimisha ziara ya siku mbili jijini Nairobi nchini Kenya, ambapo amesisitiza nafasi muhimu ya Umoja wa Mataifa katika kuendeleza maendeleo, amani na ushirikiano barani Afrika. "Kila siku Umoja wa Mataifa na washirika wake huokoa maisha. Bila UN, mamilioni ya watoto wasingepata elimu kupitia UNICEF wala chanjo muhimu kupitia WHOna tusingekuwa na ushirikiano kama huu."Mkutano wa 19 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu Wenye Ulemavu CRPD, uliokuwa unafanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani umefikia tamati leo. Kaulimbiu ya mwaka huu ni “kuadhimisha miaka 20 ya mkataba huo na kuimarisha utekelezaji wake katika dunia inayobadilika.” Kibaya Laibuta, Jaji wa Mahakama ya Rufani nchini Kenya, ambaye pia ni mlemavu aliyeoona au kipofu, ameshiriki na anaeleza alivyouona mkutano huu.Mwenyeji wako ni Rashid Malekela, karibu!
Kipute cha kombe la dunia kinaanza leo, huku Afrika Kusini ikipambana dhidi ya Mexico mwenyeji. Je, unazungumziaje timu za Afrika zinazoshiriki mashindano ya huu? Skiza makala haya.
Grup A menjadi pintu pembuka perjalanan Piala Dunia FIFA 2026, turnamen terbesar dalam sejarah sepak bola dunia yang untuk pertama kalinya diikuti 48 negara. Grup ini menghadirkan persaingan menarik antara tuan rumah Meksiko, Korea Selatan, Republik Ceko, dan Afrika Selatan.Meksiko datang dengan status unggulan. El Tri akan menjalani penampilan ke-18 mereka di putaran final Piala Dunia dan memiliki keuntungan besar karena tampil di hadapan pendukung sendiri. Pengalaman panjang serta dukungan publik diprediksi menjadi modal utama pasukan Javier Aguirre untuk memimpin klasemen grup.Korea Selatan hadir sebagai wakil Asia paling berpengalaman di Grup A. Taeguk Warriors tercatat telah tampil 12 kali di Piala Dunia dengan prestasi terbaik mencapai semifinal pada tahun 2002. Kehadiran Son Heung-min sebagai kapten sekaligus pemain kunci menjadi harapan utama Korea Selatan untuk kembali mencatat sejarah.Sementara itu Republik Ceko kembali ke panggung Piala Dunia setelah absen selama 20 tahun. Dipimpin Tomas Soucek dan Patrik Schick, Ceko membawa ambisi besar untuk menghidupkan kembali tradisi sepak bola mereka di level dunia.Afrika Selatan melengkapi persaingan Grup A. Bafana Bafana memang menjadi tim dengan pengalaman paling sedikit di grup ini, namun kecepatan dan permainan kolektif mereka berpotensi menghadirkan kejutan bagi tim-tim unggulan.Menurut pengamat sepak bola M. Wildan, laga pembuka antara Meksiko dan Afrika Selatan akan menjadi kunci arah persaingan grup. Kemenangan Meksiko pada pertandingan pertama dapat membuka jalan menuju babak berikutnya dan mengurangi tekanan sebagai tuan rumah... Tunggu ulasan lainnya hanya Spotify Radio Elshinta
Kipute cha kombe la dunia kinaanza leo, huku Afrika Kusini ikipambana dhidi ya Mexico mwenyeji. Je, unazungumziaje timu za Afrika zinazoshiriki mashindano ya huu? Skiza makala haya.
Ustadz Abu Haidar As Sundawy - Menjadi Orang Tua Yang Bahagia Dunia Akhirat - Ustadz Abu Haidar As Sundawy
Ustadz Ammi Nur Baits - Barisan Orang Yang Tertipu Dengan Dunia
News summary related to the FIFA World Cup 2026. - Berita terkait dengan piala dunia FIFA 2026.
Kencan Dengan Tuhan - Jumat, 5 Juni 2026Bacaan: Tetapi la berkata: "Yang berbahagia ialah mereka yang mendengarkan firman Allah dan yang memeliharanya." (Lukas 11:28)Renungan: Biksu Matthieu Ricard disebut oleh beberapa ilmuwan dari Universitas Wisconsin, Amerika Serikat, sebagai orang yang paling bahagia yang pernah mereka uji. Rahasianya terletak pada meditasi. Meditasi adalah kunci untuk melatih otak. Ricard mengatakan bahwa orang yang berbahagia adalah orang yang melatih otaknya. Lalu, apa yang dipikirkan Ricard saat bermeditasi? Hasil scan otak menunjukkan bahwa ketika Ricard merenungkan kasih sayang, otaknya menghasilkan gelombang gamma. Gelombang ini erat kaitannya dengan kesadaran, perhatian, pembelajaran, dan memori. Gelombang inilah yang memicu seseorang merasakan kebahagiaan dan mengurangi kecenderungan terhadap hal negatif. Para peneliti menyebutnya sebagai neuroplastisitas dan mereka menganggap hal ini sungguh luar biasa. Dunia mengakui bahwa kebahagiaan bisa diraih dengan meditasi, dengan merenungkan kasih sayang, menenangkan diri, dsb. Bagaimana kata firman Tuhan mengenai kebahagiaan? Alkitab kaya sekali dengan kata "berbahagia". Salah satunya yang Tuhan Yesus katakan bahwa orang yang berbahagia adalah orang yang mendengarkan firman Allah dan memeliharanya. Meditasi bagi orang Kristen adalah sarana merenungkan firman Tuhan, bukan jalan untuk memperoleh kebahagiaan. Sedangkan kebahagiaan itu sendiri akan diperoleh ketika kita mampu menjaga keseimbangan antara merenungkan firman-Nya dan menerapkannya dalam kehidupan sehari-hari. Demikianlah, merenungkan firman Tuhan saja belumlah cukup, karena firman itu harus dilakukan agar utuh dan sempurna. Tuhan Yesus berfirman bahwa orang yang berbahagia bukanlah orang yang sekadar mendengarkan firman, tetapi juga yang mau melakukannya dengan taat dan setia. Apakah hidup kita sudah bahagia? Apakah kita sudah pantas disebut sebagai orang paling bahagia di dunia ini? Jika belum, marilah kita hari ini memperhatikan dan melakukan sabda-Nya dengan taat dan setia. Tuhan Yesus memberkati. Doa:Tuhan Yesus, terima kasih untuk setiap firman yang boleh aku baca setiap hari. Bantulah aku agar firman yang kubaca dapat ku laksanakan dalam hidupku sehari-hari, sehingga sukacita-Mu dapat tinggal di dalam hatiku. Amin. (Dod).
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania Kaskazini mwa taifa hilo la Afrika Mashariki, ambako Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro inaendelea kuwa mfano wa jinsi binadamu, wanyamapori na urithi wa kitamaduni vinavyoweza kuishi pamoja huku vikichangia maendeleo ya utalii endelevu na ulinzi wa mazingira. Je nini kinafanyika kuhakikisha uhifadhi, utamaduni, mazingira na utalii vinakutana kwa mustakabali endelevu? Ili kupata majawabu Flora Nducha wa Idhaa hii amezungumza na Kamishna wa Hifadhi ya Ngorongoro, Abdul-Razaq Badru.Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus ameendelea kusisitiza umuhimu wa ugunduzi wa mapema kwani hatua zikichukuliwa haraka wagonjwa wa Ebola wanapona. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Geneva Usiswi baada kurejea kutoka ziarani mashariki mwa DRC amesema, Kufikia sasa, watu sita wamepona nchini DRC na wawili nchini Uganda, jambo linaloonesha kuwa watu wanaweza kupona Ebola iwapo watapata huduma za afya na kwenda vituo vya afya mara tu wanapoanza kuonyesha dalili za ugonjwa huo.Kuelekea kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la FIFA wiki ijayo hapa Marekani na katika nchi jirani, Canada na Mexico, Shirika la Afya la Nchi za Amerika (PAHO) limetoa wito kwa nchi za bara la Amerika kuimarisha ufuatiliaji wa ugonjwa wa surua na Rubella kufuatia mikusanyiko mikubwa inayotarajiwa na milipuko inayoendelea ya surua na ongezeko la safari za kimataifa vinaweza kuongeza kasi ya kuenea kwa ugonjwa huo. Shirika hilo linazitaka mamlaka za afya kubaini maeneo yaliyo katika hatari kubwa na kuimarisha hatua za kukabiliana haraka ili kuzuia maambukizi zaidi. Na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa asubuhi hii kwa saa za New York, Marekani wanachagua wanachama watano wapya wasio wa kudumu wa Baraza la Usalama kwa muhula kipindi cha miaka miwili kuanzia tarehe 1 Januari 2027 hadi 31 Desemba 2028. Kutoka Barani Afrika mgombea mmoja ni Zimbabwe ambaye hata hivyo anatarajiwa kupita kwani hana mpinzani katika nafasi hiyo. Nchi zitakazochaguliwa zinachukua nafasi za Somalia, Pakistan, Panama, Denmark na Ugiriki, ambazo mihula yao itaisha mwishoni mwa mwaka huu 2026.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Leo asubui Mwalimu wa timu ya taifa ya Australia Tony Popovic ametangaza kikosi chake cha wachezaji 26, cha Socceroos watakao cheza katika Kombe la Dunia la FIFA la 2026.
Sheila Chebii alikuwa nchini Australia chini ya miezi mbili, alipo aga dunia katika mazingira yakutatanisha.
KATA PEMRED #34PinterPolitik.comDi sebuah ruang kerja di Singapura, sebuah laptop menyala lewat tengah malam. Tidak ada serdadu di pintu, tidak ada bendera di dinding. Hanya layar berpendar biru, kopi yang mendingin, dan jari seorang insinyur yang bergerak pelan di atas papan ketik. Di luar jendela, kapal masih masuk pelabuhan, pesawat masih turun ke landasan, uang masih berbelok dari satu rekening ke rekening lain. Dunia tampak masih percaya bahwa segala sesuatu bisa berpindah.Tetapi tidak semua yang bergerak masih diizinkan pergi.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina maalumu ambapo tunamwangazia mmoja wa maafisa waandamizi wa Umoja wa Mataifa, Joyce Msuya. Mwisho wa wiki hii, Joyce, raia wa Tanzania ambaye pia amewahi kuhudumu katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo, UNEP na pia Benki ya Dunia anahitimisha utumishi wake katika Umoja wa Mataifa akiwa Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya kibinadamu na pia Naibu wa Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu (OCHA). Katika mazungumzo haya na Anold Kayanda wa Idhaa hii, Joyce Msuya anaanza kwa kuitafari miaka minne aliyohudumu katika nafasi hii.Jamhuri ya Kidemokrasia Congo DRC inakumbwa na ugonjwa wa Ebola ambapo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani WHO, Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amefika huko na anaeleza sababu. ‘Nimefika hapa kuzieleza jamii za Ituri, Kivu Kaskazini na Kivu kusini kuwa hawako pekeyao, na kwamba tupo hapa kuwaunga mkono, na tunaelewa machungu yao, lakini pia tunafahamu wana nguvu na yote yanayohitajika kukomesha hili. Ninatumia fursa hii kuziomba jumuiya za kimataifa kuongeza usaidizi wao ili wahudumu wa afya waweze kupata vifaa tiba na vya kujilinda na maambukizi.'Kupigwa marufuku watoto kutumia mitandao ya kijamii, si suluhisho la mara moja kwa suala mtambuka lenye sura nyingi, ndio maana hii leo Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Volker Türk ametaka hatua kali zichukuliwe na kila nchi, pamoja na makampuni ya teknolojia, ili kufanya mitandao ya kijamii kuwa salama zaidi kwa watoto, akisisitiza udhibiti, usimamizi na uwajibikaji unaofaa. Kamishna Türk amesema "Kuimarisha ulinzi wa watoto mtandaoni ni kipaumbele cha dharura ambacho tunahitaji kuhakikisha sio tu kwamba kinafanyika, bali pia kinafanyika ipasavyo,".Na ukatili wa kingono kwenye maeneo yenye migogoro ulifurutu ada mwaka 2025, hii inamanisha kuna ongezeko kubwa la ukatili wa kingono huku wanawake na wasichana ndio idadi kubwa ya waliokumbwa na madhila hayo yaliyohusisha pia waathirika hao kuuawa baada ya kubakwa. Haya yamebainika kwenye ripoti ya ukatili wa kijinsia unaohusiana na migogoro iliyotolewa na Umoja wa Mataifa leo ambayo pia imeonya kuwa kuongezeka kwa matumizi ya kijeshi duniani na kupungua kwa bajeti za misaada ya kibinadamu kulidhoofisha uwezo wa serikali na taasisi kuzuia na kuchunguza ukatili huo wa kingono. Ripoti hiyo imetoa wito wa kuchukuliwa hatua madhubuti zaidi za kimataifa pamoja na kuhakikisha upatikanaji endelevu wa fedha ili kulinda raia, na kuwasaidia manusura wa ukatili wa kingono unaohusiana na migogoro.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Pergumulan orang Kristen mengerti apa yang harus dikerjakan di dunia ini.
Hii leo jaridani tunaangazia ziara ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres nchini Kenya, Akili Mnemba katika nafas iza ajira, na nafasi ya mama katika jamii ikiturejesha nchini Kenya kusikiliza simulizi za wamama.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres yuko ziarani nchini Kenya kushuhudia uwekezaji mkubwa wa Umoja wa Mataifa wenye thamani ya karibu dola milioni 340 katika makao yake makuu jijini Nairobi. Uwekezaji huo unaelezwa kuwa moja ya miradi mikubwa zaidi ya miundombinu ambayo Umoja wa Mataifa umewahi kufanya barani Afrika.Je Akili Mnemba, AI inaweza kuchukua ajira yako? Ingawa kila uchwao AI inaandika upya sheria za kazi, ubunifu na kubadili vile tunavyoishi lakini kuna kazi moja ambayo bado watu wanasema hiyo ni ya watu maalum sana na kwamba AI haiwezi kuichukua. Hapo jana jumapili tarehe 10 Mei dunia iliadhimisha siku ya wakina mama duniani, shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya Uzazi UNFPA lilitembelea viunga vya New York Marekani na kuzungumza na wanawake.Je wajua nafasi ya mama katika jamii? Dunia ikiwa imeadhimisha siku ya mama Jumapili Mei 10, tunakupeleka kaunti ya Kajiado nchini Kenya ambako nafasi mama ya katika kusongesha haki za kijamii hususan za watoto wao imewekwa bayana. Feissal Kirwa anafafanua kwenye taarifa hii itokanayo na video iliyoandalaliwa na Redio washirika wetu Domus.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Je wajua nafasi ya mama katika jamii? Dunia ikiwa imeadhimisha siku ya mama Jumapili Mei 10, tunakupeleka kaunti ya Kajiado nchini Kenya ambako nafasi mama ya katika kusongesha haki za kijamii hususan za watoto wao imewekwa bayana. Feissal Kirwa anafafanua kwenye taarifa hii itokanayo na video iliyoandalaliwa na Redio washirika wetu Domus.