Podcasts about Raia

  • 245PODCASTS
  • 620EPISODES
  • 34mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • Sep 10, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about Raia

Latest podcast episodes about Raia

Habari RFI-Ki
Raia wa nchi za Afrika wapendekeza watu wazima kupewa fursa ya kusoma na kuandika

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Sep 10, 2025 9:59


Kila mwaka tarehe 8 Septemba ulimwengu husherehekea maendeleo katika ujuzi wa kusoma na kuandika katika ngazi ya kimataifa, kikanda na kitaifa. Mwaka huu imekuwa ni fursa ya kutafakari kwa kina kuhusu maana ya kusoma na kuandika katika enzi hii ya kidijitali.

Habari za UN
Lacroix: Heko MONUSCO na FARDC kwa kulinda raia na kupunguza ghasia za makundi yenye silaha

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 8, 2025 2:36


Huko Bunia, jimboni Ituri Mashariki Mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC,  Mkuu wa Operesheni za Ulinzi wa Amani za Umoja wa Mataifa, Jean-Pierre Lacroix, amepongeza juhudi za pamoja za walinda amani wa Mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO na jeshi la serikali ya Congo, FARDC, katika juhudi za kulinda raia na kupunguza ghasia za makundi yenye silaha.Akizungumza wakati wa ziara yake iliyoanza Septemba 6, Mashariki mwa DRC katika jimbo la Ituri Lacroix amesema ushirikiano na kuaminiana kati ya mamlaka za jimbo la Ituri na vikosi vya Umoja wa Mataifa ni msingi muhimu wa kurejesha amani.Anasema “Nipo katika eneo liitwalo Fataki, katika jimbo la Ituri, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, na hapa kuna kambi ya MONUSCO yenye kikosi cha Nepal, pamoja na kambi ya wakimbizi wa ndani. Maelfu ya watu wanalindwa hapa na wenzetu wa MONUSCO, na wanapatiwa msaada wa kibinadamu pamoja na ulinzi.”Gavana wa Ituri, Jenerali Johnny Luboya, alikaribisha msaada wa MONUSCO katika operesheni za kijeshi na mazungumzo ya amani, yakiwemo dhidi ya kundi la CRP katika eneo la Djugu Ituri ambako mamia ya maelfu ya wakimbizi wa ndani sasa wananufaika na ulinzi wa pamoja wa FARDC na walinda amani wa Umoja wa Mataifa. Lacroix amesema “Katika jimbo la Ituri pekee kuna makambi kadhaa ya wakimbizi wa ndani, ambayo yanalindwa na MONUSCO, ambapo makumi ya maelfu kwa hakika mamia ya maelfu ya watu wanalindwa na wenzetu wa MONUSCO na wanapatiwa msaada.”Mkuu huyo wa operesheni za ulinzi wa amani ameohitimisha kwa kusema ziara hii ni muhimu sana kwani “Nipo hapa kuonyesha kile ambacho MONUSCO hufanya kila siku, tofauti ambayo MONUSCO inaleta katika kuwalinda raia hawa, tofauti kati ya kuwa salama au kuwa katika hatari kubwa, na nilitaka pia kutoa shukrani zangu kwa wenzetu wa MONUSCO. Aidha, nilitaka kuwasikiliza wananchi, hawa wakimbizi wa ndani, pamoja na jamii, na kuona namna ambavyo tunaweza kushirikiana nao zaidi ili kuboresha hali na kupiga hatua katika kukabiliana na ghasia ambazo bado zinaendelea katika eneo hilo.”Baada ya zira yake jimboni Itari Lacrix ameelekea katika mji Mkuu Kinshasa ambako amekutana na na kuzungumza na maafisa wa serikali.

Global Questions
Trailblazers: Joshua Dario Hasenstab

Global Questions

Play Episode Listen Later Sep 8, 2025 45:50


Dario holds a Master's in International Relations from the Hertie School in Berlin and is one of the co-founders of the youth-led international relations think tank RAIA, where he has been actively involved for the past seven years and has served as Managing Director for the last four. RAIA is a youth-focused global think tank dedicated to making international affairs more accessible by simplifying complex ideas, using visual storytelling, and exploring leaders' motives without fueling division. Currently based in Berlin, Dario shares why he started RAIA, discusses his latest venture, the podcast The Western Bubble, co-founded with his former Professor Balder Hageraats, and reflects on his career journey so far. We hope you enjoy this conversation with a passionate international relations specialist and youth organization leader.

The Cats Roundtable
Christopher Raia | 09-07-25

The Cats Roundtable

Play Episode Listen Later Sep 7, 2025 11:45


Christopher Raia | 09-07-25 Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

PODDELAS
MaterniDelas - Jéssica Ellen com Tata e Cláudia Raia

PODDELAS

Play Episode Listen Later Sep 3, 2025 47:56


A culpa materna acompanha muitas mulheres, trazendo questionamentos como: “Será que estou dando conta? Estou fazendo certo? Estou sendo suficiente?” Afinal, sempre nos venderam a ideia da mãe perfeita, mas a verdade é que esse ideal não existe.No episódio de hoje, recebemos Jéssica Ellen, mãe da Máli Dayó, que compartilha como tem vivido a maternidade com afeto, liberdade e verdade, conciliando também carreira e vida pessoal.Um papo necessário sobre quebrar expectativas e encontrar o próprio jeito de maternar.____________________________________________Aeroglós é a revolução no cuidado com a pele do bebê, o primeiro antiassaduras em formato de spray do Brasil.Desenvolvido para acabar com a "meleca" e a dificuldade das pomadas tradicionais, Aeroglós oferece uma aplicação rápida, higiênica e sem toque. Sua tecnologia exclusiva em spray cria uma camada protetora fina e uniforme, que hidrata e protege a pele delicada do bebê, sem acumular excesso e permitindo a aplicação até mesmo com a criança em pé.Sua fórmula é enriquecida com Vitaminas A e E e Óleo de Amêndoas, ingredientes conhecidos por seu alto poder de hidratação e cuidado. E a dica de ouro: por ser super hidratante, as mães também podem usar Aeroglós na barriga durante a gestação para ajudar na prevenção de estrias!Aeroglós é o aliado indispensável na rotina da maternidade moderna, trazendo mais praticidade para você e proteção para o seu bebê.✨ Cupom Exclusivo Maternidelas! ✨ Use o código MATERNIDELAS e ganhe 10% de desconto em sua compra no site oficial:➡ https://loja.aeroglos.com.br/?utm_source=maternidelas&utm_medium=podcast&utm_campaign=maternidelas

PODDELAS
MaterniDelas - Thaeme com Tata e Cláudia Raia

PODDELAS

Play Episode Listen Later Aug 27, 2025 56:47


A maternidade pode ser um caminho cheio de descobertas, mas também de desafios difíceis de imaginar. A incompatibilidade genética é uma condição que pode causar perdas gestacionais sucessivas e, muitas vezes, só é investigada depois de muito sofrimento.Nossa convidada de hoje sabe bem o que isso significa: Thaeme, que passou por seis abortos espontâneos antes de descobrir o diagnóstico. Hoje, mãe da Ivy e da Liz, ela compartilha sua história para apoiar outras mulheres e mostrar que a dor também pode se transformar em esperança.____________________________________________Aeroglós é a revolução no cuidado com a pele do bebê, o primeiro antiassaduras em formato de spray do Brasil.Desenvolvido para acabar com a "meleca" e a dificuldade das pomadas tradicionais, Aeroglós oferece uma aplicação rápida, higiênica e sem toque. Sua tecnologia exclusiva em spray cria uma camada protetora fina e uniforme, que hidrata e protege a pele delicada do bebê, sem acumular excesso e permitindo a aplicação até mesmo com a criança em pé.Sua fórmula é enriquecida com Vitaminas A e E e Óleo de Amêndoas, ingredientes conhecidos por seu alto poder de hidratação e cuidado. E a dica de ouro: por ser super hidratante, as mães também podem usar Aeroglós na barriga durante a gestação para ajudar na prevenção de estrias!Aeroglós é o aliado indispensável na rotina da maternidade moderna, trazendo mais praticidade para você e proteção para o seu bebê.✨ Cupom Exclusivo Maternidelas! ✨ Use o código MATERNIDELAS e ganhe 10% de desconto em sua compra no site oficial:➡ https://loja.aeroglos.com.br/?utm_source=maternidelas&utm_medium=podcast&utm_campaign=maternidelas

DrauzioCast
Hipertensão arterial - DrauzioCast #236

DrauzioCast

Play Episode Listen Later Aug 26, 2025 39:11


A hipertensão arterial é um dos principais desafios de saúde pública no Brasil e no mundo. Segundo o Ministério da Saúde, mais de 30% da população adulta brasileira tem pressão alta – muitas vezes sem saber. O problema pode ficar silencioso por anos, mas aumenta o risco de complicações graves, como AVC, infarto e insuficiência renal.Neste episódio do DrauzioCast, Drauzio conversa com a cardiologista dra. Carolina Ferrari sobre como identificar os sinais de alerta, os principais fatores de risco e, sobretudo, como prevenir e controlar a hipertensão com mudanças simples na rotina e acompanhamento médico regular.Conteúdo produzido em parceria com RD Saúde, Drogasil e Raia.Veja também: Por que a hipertensão é mais comum em pessoas negras? | Animação #23

PODDELAS
MaterniDelas - Rafa Kalimann com Tata e Cláudia Raia

PODDELAS

Play Episode Listen Later Aug 20, 2025 47:53


A maternidade não tem manual; é cheia de dúvidas, descobertas e capítulos inesperados. Por isso, ouvir experiências reais faz tanta diferença nesse processo.Hoje recebemos Rafa Kalimann, que anunciou recentemente a gravidez e tem compartilhado de forma sincera os sentimentos e aprendizados dessa nova fase.Um papo aberto sobre expectativas, realidades e o que significa viver, de verdade, o começo dessa jornada.----------------------------------------------------------Aeroglós é a revolução no cuidado com a pele do bebê, o primeiro antiassaduras em formato de spray do Brasil.Desenvolvido para acabar com a "meleca" e a dificuldade das pomadas tradicionais, Aeroglós oferece uma aplicação rápida, higiênica e sem toque. Sua tecnologia exclusiva em spray cria uma camada protetora fina e uniforme, que hidrata e protege a pele delicada do bebê, sem acumular excesso e permitindo a aplicação até mesmo com a criança em pé.Sua fórmula é enriquecida com Vitaminas A e E e Óleo de Amêndoas, ingredientes conhecidos por seu alto poder de hidratação e cuidado. E a dica de ouro: por ser super hidratante, as mães também podem usar Aeroglós na barriga durante a gestação para ajudar na prevenção de estrias!Aeroglós é o aliado indispensável na rotina da maternidade moderna, trazendo mais praticidade para você e proteção para o seu bebê.✨ Cupom Exclusivo Maternidelas! ✨ Use o código MATERNIDELAS e ganhe 10% de desconto em sua compra no site oficial:➡ https://loja.aeroglos.com.br/?utm_source=maternidelas&utm_medium=podcast&utm_campaign=maternidelas

PODDELAS
MaterniDelas - Heloísa e Luisa Périssé com Tata e Cláudia Raia

PODDELAS

Play Episode Listen Later Aug 7, 2025 62:35


No episódio de hoje recebemos Heloísa Perissé e Luisa Perissé para um papo sobre nepobabies um patrocinio de Uma Sexta-Feira Mais Louca Ainda que estreia nos cinemas amanhã#UmaSextaFeiraMaisLoucaAinda #Publicidade-Aeroglós é a revolução no cuidado com a pele do bebê, o primeiro antiassaduras em formato de spray do Brasil.Desenvolvido para acabar com a "meleca" e a dificuldade das pomadas tradicionais, Aeroglós oferece uma aplicação rápida, higiênica e sem toque. Sua tecnologia exclusiva em spray cria uma camada protetora fina e uniforme, que hidrata e protege a pele delicada do bebê, sem acumular excesso e permitindo a aplicação até mesmo com a criança em pé.Sua fórmula é enriquecida com Vitaminas A e E e Óleo de Amêndoas, ingredientes conhecidos por seu alto poder de hidratação e cuidado. E a dica de ouro: por ser super hidratante, as mães também podem usar Aeroglós na barriga durante a gestação para ajudar na prevenção de estrias!Aeroglós é o aliado indispensável na rotina da maternidade moderna, trazendo mais praticidade para você e proteção para o seu bebê.✨ Cupom Exclusivo Maternidelas! ✨ Use o código MATERNIDELAS e ganhe 10% de desconto em sua compra no site oficial:➡️ https://loja.aeroglos.com.br/?utm_source=maternidelas&utm_medium=podcast&utm_campaign=maternidelas

Genial Podcast

Quer saber tudo que aconteceu no mercado financeiro, nacional e internacional? Acompanhe o nosso Fechamento de Mercado e confira com quais as ações que mais mexeram com a B3, movimentação do câmbio e dos juros e muito mais! O Fechamento de Mercado da Genial é transmitido de segunda a sexta, às 17h30. Ative as notificações do programa e acompanhe ao vivo!

Habari za UN
Raia wanaendelea kuuawa katika ukanda wa Gaza wakihaha kusaka chakula

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 4, 2025 2:03


Simulizi za huzuni, majonzi na kukata tamaa zinaendelea kila uchao huko Ukanda wa Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel hasa wakati huu ambapo raia wanaokwenda kusaka chakula wanakumbwa na mashambulizi yanayosababisha vifo. Ijumaa iliyopita Umoja wa Mataifa uliripoti kuwa zaidi ya watu 100 waliuawa na mamia kadhaa walijeruhiwa katika siku mbili pekee Wakisaka chakula. Simulizi zaidi anayo Assumpta Massoi.

Habari za UN
Mauaji ya raia Komanda, Ituri, MONUSCO yalaani waasi wa ADF

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 28, 2025 1:47


 MONUSCO, ambao ni Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, imelaani vikali shambulio lililoanza usiku wa juzi tarehe 26 hadi jana 27 Julai 2025 huko Komanda eneo la Irumu, takribani kilomita 60 kusini-magharibi mwa Bunia mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa nchi. Anold Kayanda ameifuatilia taarifa hiyo na anatujuza zaidi.Taarifa iliyotolewa na MONUSCO jijini katika mji mkuu wa DRC, Kinshasa imeeleza kwamba kwa mujibu wa taarifa za uhakika, shambulio hilo lililofanywa na wapiganaji wa kundi la waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) limesababisha vifo vya raia wasiopungua 43 (wanawake 19, wanaume 15 na watoto 9).Inaripotiwa kuwa waathirika wengi waliuawa kwa kutumia silaha za jadi wakiwa ndani ya nyumba ya ibada. Watu kadhaa walitekwa nyara. Nyumba na maduka pia yalichomwa moto, jambo ambalo limezidisha zaidi hali mbaya ya mazingira ya kibinadamu ambayo tayari ni ya kutisha katika jimbo hilo.Naibu Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa Masuala ya Ulinzi na Operesheni ambaye pia ndiye Kaimu Mkuu wa MONUSCO, Vivian van de Perre, amenukuliwa akisema, “mashambulizi haya ya kulenga raia wasio na hatia, hasa ndani ya nyumba za ibada, ni ya kushtusha na ni kinyume kabisa na viwango vyote vya haki za binadamu na sheria ya kimataifa ya kibinadamu. MONUSCO itaendelea kushirikiana kwa karibu na mamlaka za DRC ili kuwalinda raia kwa mujibu wa mamlaka yake.”Kwa kushirikiana na mamlaka za eneo, MONUSCO imetoa msaada kwa hatua za awali, ikiwemo kuratibu shughuli za maziko na kutoa huduma za matibabu kwa majeruhi. Wakati huohuo, MONUSCO imeongeza juhudi za kiusalama ndani na nje ya eneo la Komanda kwa kuongeza idadi ya doria katika eneo hilo.MONUSCO imeweka wazi kuwa inasalia na dhamira thabiti ya kushirikiana na mamlaka za DRC na jamii za wenyeji kusaidia kuzuia mashambulizi mengine, kuwalinda raia, kupunguza mvutano, na kuchangia katika kuimarisha utulivu katika maeneo yaliyoathiriwa na machafuko ya kivita.Ujumbe huo wa Umoja wa Mataifa umeeleza masikitiko na ghadhabu kubwa juu ya vitendo hivi vya kikatili, ambavyo ni ukiukaji mkubwa wa sheria ya kimataifa ya kibinadamu na haki za binadamu. Ujumbe huu unatoa rambirambi zake za dhati kwa familia na jamii zilizoathirika na unasisitiza mshikamano wake na wakazi wa maeneo hayo. MONUSCO pia inazitaka mamlaka za DRC kufanya uchunguzi wa kina kuhusu mauaji haya na kuwafikisha wahusika mbele ya sheria.Aidha, MONUSCO imeurudia wito wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa makundi yote ya waasi kutoka nchi za nje kuweka silaha chini bila masharti na kurejea katika nchi zao za asili.

Gurudumu la Uchumi
Sehemu ya II: Mfumo mbovu au mafanikio, matajiri 4 Afrika kumiliki nusu ya mali za raia wa bara hilo

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Jul 23, 2025 9:55


Bar ala Afrika ni tajiri kwa rasilimali, vipaji na uwezo, hata hivyo, mamilioni ya raia wake bado wamenasa katika lindi la umaskini, huku wachache wakilimbikiza mali zisizomithilika, Je, hii inasema nini kuhusu sera, vipaumbele na mustakabali wa bara la Afrika? Hivi leo kwenye Makala ya Gurudumu la Uchumi, tutajadili tumefikaje hapa, ina maana gani kwa maendeleo na nini kinapaswa kubadilika kujenga uchumi wa haki na shirikishi?

Gurudumu la Uchumi
Sehemu ya II: Mfumo mbovu au mafanikio, matajiri 4 Afrika kumiliki nusu ya mali za raia wa bara hilo

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Jul 23, 2025 9:55


Bar ala Afrika ni tajiri kwa rasilimali, vipaji na uwezo, hata hivyo, mamilioni ya raia wake bado wamenasa katika lindi la umaskini, huku wachache wakilimbikiza mali zisizomithilika, Je, hii inasema nini kuhusu sera, vipaumbele na mustakabali wa bara la Afrika? Hivi leo kwenye Makala ya Gurudumu la Uchumi, tutajadili tumefikaje hapa, ina maana gani kwa maendeleo na nini kinapaswa kubadilika kujenga uchumi wa haki na shirikishi?

Mix Tudo
16.07.25 - Especial Cláudia Raia e Jarbas Homem de Mello

Mix Tudo

Play Episode Listen Later Jul 16, 2025 38:20


Gurudumu la Uchumi
Sehemu ya I: Mfumo mbovu au mafanikio, matajiri 4 Afrika kumiliki nusu ya mali za raia wa bara hilo

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Jul 16, 2025 10:04


Katika bara lenye watu zaidi ya bilioni 1.4, ni watu wanne tu wanaomiliki utajiri zaidi ya nusu ya watu wote. Kulingana na ripoti mpya ya Oxfam, ukosefu huu wa usawa unaostua sio tu takwimu - ni ishara ya wazi ya ukosefu wa haki za kiuchumi uliokita mizizi, mifumo iliyovunjika na kukosekana kwa fursa. Kujadili haya yote nimewaalika Johnson Denge mtaalamu wa uchumi akiwa Nairobi na Apronius Mbilinyi yeye ni mtaalamu wa masuala ya Kodi akiwa Tanzania.

Gurudumu la Uchumi
Sehemu ya I: Mfumo mbovu au mafanikio, matajiri 4 Afrika kumiliki nusu ya mali za raia wa bara hilo

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Jul 16, 2025 10:04


Katika bara lenye watu zaidi ya bilioni 1.4, ni watu wanne tu wanaomiliki utajiri zaidi ya nusu ya watu wote. Kulingana na ripoti mpya ya Oxfam, ukosefu huu wa usawa unaostua sio tu takwimu - ni ishara ya wazi ya ukosefu wa haki za kiuchumi uliokita mizizi, mifumo iliyovunjika na kukosekana kwa fursa. Kujadili haya yote nimewaalika Johnson Denge mtaalamu wa uchumi akiwa Nairobi na Apronius Mbilinyi yeye ni mtaalamu wa masuala ya Kodi akiwa Tanzania.

Changu Chako, Chako Changu
Raia wa Ufaransa washerehekea sikukuu ya uhuru wa Ufaransa, la Bastille

Changu Chako, Chako Changu

Play Episode Listen Later Jul 13, 2025 20:14


Makala hii inaangazia historia ya mapinduzi ya Ufaransa, na pia mahojiano na mwalimu wa lugha ya kifaransa katika jiji la Nairobi nchini Kenya, lakini pia maonyesho ya muziki katika kituo cha utamaduni wa Ufaransa Alliance francaise ya Nairobi na katika muziki ni Popal Issevosi msanii aliyejikita katika kuhimiza juu ya namna ya kukinga mazingira huko DRC.Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka ambaye anazungumza na Mwanahistoria aliyebobea Benjamin Babunga Watuna akiwa Brussels Ubelgiji

DrauzioCast
Todo mundo precisa fazer terapia? – DrauzioCast #233

DrauzioCast

Play Episode Listen Later Jul 3, 2025 33:22


Muita gente ainda tem dúvidas – e até preconceitos – quando o assunto é buscar apoio psicológico. Mas será que a terapia é necessária mesmo quando estamos “bem”?Neste episódio do DrauzioCast, o dr. Drauzio e a psicanalista Patrícia Fernandes falam sobre a terapia como uma ferramenta de autoconhecimento, prevenção e cuidado contínuo com a saúde emocional – algo que vai além dos momentos de crise e que pode (e deve) fazer parte da rotina de bem-estar, assim como o cuidado com o corpo.Conteúdo produzido em parceria com a RD Saúde, Drogasil e Raia.

Podcasts epbr
Pleito por combate a fraudes marca anúncio do aumento da mistura de biocombustíveis | comece seu dia

Podcasts epbr

Play Episode Listen Later Jun 26, 2025 3:25


NESTA EDIÇÃO. Mistura obrigatória de 30% de etanol anidro e de 15% de biodiesel entra em vigor em agosto; setor cobra fiscalização para coibir crimes. Negociação entre Shell e BP pode criar “supermajor”. Unificação dos campos do projeto Raia em análise na ANP vai elevar pagamentos de participações especiais pela Equinor. Entidades do setor elétrico pedem recomposição do orçamento da Aneel.

Siha Njema
Sera ya Kenya kuhakikisha raia wake wanafanya mazoezi kila mara

Siha Njema

Play Episode Listen Later Jun 25, 2025 10:06


Takwimu zinaonesha watu wengi kupatwa na magonjwa yasiyoambukizwa kutokana na kuishi bila kufanya mazoezi na kula vibaya Sera hii itatoa mwongozo wa  taasisi za serikali na binafsi kuweka mikakati ya kuruhusu mazoezi ya kila mara wakati wa kazi au nje ya kazi

The Western Bubble
Flooding the Zone and Bombing Iran #118

The Western Bubble

Play Episode Listen Later Jun 24, 2025 60:29


In this episode, we navigate the chaos of the past week: as Trump launches airstrikes using bunker-buster bombs, supposedly to “bring peace,” we ask: what does the U.S. gain from this? And why is Europe so eager to look the other way?We also offer two public service announcements, one on the myths surrounding Iran's nuclear program, and one on the absurdity of the West's new 5% defence spending target. Because sometimes, cutting through the noise is more important than adding to it.This podcast is published with the help of RAIA NOW gUG but is an individual project between the Director of RAIA, Dario Hasenstab, and Balder Hageraats. If you would like to get in touch with us, write us an email at thewesternbubble@gmail.com.

Habari RFI-Ki
MAONI: DRC na Rwanda zitie saini makubaliano kumaliza mauaji ya raia

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jun 20, 2025 10:02


Kila siku ya Ijumaa, hapa RFI Kiswahili, tunampa mskilizaji wetu nafasi kuzungumzia habari kuu ambazo tumekuwa nazo wiki hii au kutueleza jambo lolote ambalo limetokea nchini mwake. Wiki hii maoni mseto yameangazia, miongoni mwa taarifa zingine, tangazo kwamba Rwanda itatia saini makubaliano na DRC tarehe 27 Juni, kumaliza mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, lakini pia mashambulio baina ya Israeli na Iran.

Habari RFI-Ki
MAONI: DRC na Rwanda zitie saini makubaliano kumaliza mauaji ya raia

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jun 20, 2025 10:02


Kila siku ya Ijumaa, hapa RFI Kiswahili, tunampa mskilizaji wetu nafasi kuzungumzia habari kuu ambazo tumekuwa nazo wiki hii au kutueleza jambo lolote ambalo limetokea nchini mwake. Wiki hii maoni mseto yameangazia, miongoni mwa taarifa zingine, tangazo kwamba Rwanda itatia saini makubaliano na DRC tarehe 27 Juni, kumaliza mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, lakini pia mashambulio baina ya Israeli na Iran.

PODDELAS
MaterniDelas - Eduarda Gutierrez com Tata e Cláudia Raia

PODDELAS

Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 48:51


No episódio de hoje, recebemos Eduarda Gutierrez para uma conversa poderosa sobre maternidade, superação e a força que só uma mãe conhece.Jovem, mãe solo e empreendedora, Duda enfrentou uma gestação desafiadora e, desde então, compartilha nas redes a sua rotina com a pequena Maitê Maria.Um episódio inspirador para todas as mamães! Você não pode perder!

Habari za UN
Pamoja na ulinzi wa raia, walinda amani wa UN Ituri waendesha kampeni ya afya..

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 1:48


Huko jimboni Ituri, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Bangladesh wameendesha kampeni ya afya na kusaidia wakimbizi wa ndani kupata matibabu katika eneo hilo lililogubikwa na mashambulizi ya mara kwa mara kutoka kwa waasi. Assumpta Massoi anasimulia zaidi.

PODDELAS
MaterniDelas - Lexa com Tata e Cláudia Raia

PODDELAS

Play Episode Listen Later Jun 6, 2025 63:51


Depois de um teste positivo, começa toda a jornada do pré-natal. Mas nem sempre, mesmo com todos os cuidados, as coisas saem como imaginamos. Algumas complicações, como a pré-eclâmpsia e a síndrome de HELLP, podem transformar completamente uma gravidez.Nossa convidada viveu isso na pele. Ela enfrentou uma gestação desafiadora que terminou em um parto prematuro, aos seis meses, e na despedida precoce de sua filha, Sofia. Uma história marcada por dor, mas também por força, amor e aprendizado.Neste episódio, ela compartilha com coragem tudo o que viveu — um relato poderoso que precisa ser ouvido por toda mãe, gestante ou mulher que queira entender melhor os riscos e cuidados na gravidez.-------------------------------------------------------------------------------------✅ Canal de Cortes Oficialhttps://www.youtube.com/channel/UCab-x2Tf0zK3WLkKXG9Ot5Q✅ Instagram Oficial @poddelas - https://www.instagram.com/poddelas/✅ Facebook Oficial https://m.facebook.com/POD-DELAS-101517452551396/✅ Shortshttps://www.youtube.com/channel/UCItcEi_6J6l2iuhABXq1OTg✅ PodDelas Melhores Momentoshttps://www.youtube.com/channel/UCYa1bLsG-RumuKrrznSdRHg✅ Playlist oficial com todos os episódioshttps://youtube.com/playlist?list=PLXEx5PB_zX1qkkx06VRZFepiRHheozMSRANFITRIÃ:

PODDELAS
MaterniDelas - Biah Rodrigues com Tata e Cláudia Raia

PODDELAS

Play Episode Listen Later May 30, 2025 47:15


No episódio de hoje, recebemos a mamãe do Theo, da Fernanda, do Zion e da Angelina: Biah Rodrigues! Juntas teremos uma conversa sincera sobre os desafios e aprendizados da maternidade em família grande. Como amar de forma igual filhos tão diferentes? Um papo necessário para toda mãe, ou futura mãe, de uma grande família! Não perca! -------------------------------------------------------------------------------------✅ Canal de Cortes Oficialhttps://www.youtube.com/channel/UCab-x2Tf0zK3WLkKXG9Ot5Q✅ Instagram Oficial @poddelas - https://www.instagram.com/poddelas/✅ Facebook Oficial https://m.facebook.com/POD-DELAS-101517452551396/✅ Shortshttps://www.youtube.com/channel/UCItcEi_6J6l2iuhABXq1OTg✅ PodDelas Melhores Momentoshttps://www.youtube.com/channel/UCYa1bLsG-RumuKrrznSdRHg✅ Playlist oficial com todos os episódioshttps://youtube.com/playlist?list=PLXEx5PB_zX1qkkx06VRZFepiRHheozMSRANFITRIÃ:

Habari za UN
Walinda amani kutoka Tanzania TANZBATT 11 wajivunia kazi zao za kuwaunga mkono raia DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 30, 2025 2:32


Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC jimboni Kivu Kaskazini katika kitongoji cha Mavivi tunakutana na walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania, kikosi cha 11, TANZBATT11, wanaohudumu katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wakielezea sio tu majukumu yao, bali pia wanajivunia kile wanachofanya kwa kuzingatia Mei 29 imeadhimishwa siku ya kimataifa ya walinda amani. Afisa Habari wa TANZBATT 11 Meja Fadhila Nayopa amefuatilia hadithi zao. 

Habari za UN
Ukraine: Mashambulizi ya Urusi dhidi ya raia kwa kutumia ndege zisizo na rubani yaangaziwa

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 28, 2025 1:44


Tume Huru ya Umoja wa Mataifa ya Uchunguzi kuhusu Ukraine imehitimisha kwamba vikosi vya kijeshi vya Urusi vimetenda uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu, hasa mauaji, kupitia mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (drones) yaliyoelekezwa dhidi ya raia. Anold Kayanda na maelezo zaidi.

PODDELAS
MaterniDelas - Carol Peixinho com Tata e Cláudia Raia

PODDELAS

Play Episode Listen Later May 23, 2025 59:18


Muita gente acredita que ser mãe depois dos 40 é impossível — mas isso é um mito! Neste vídeo, conversamos com uma convidada especial que vive essa realidade: grávida do primeiro filho aos 40 anos, ela compartilha sua jornada inspiradora e mostra que nunca é tarde para recomeçar. Uma conversa emocionante sobre maternidade, autoconhecimento e novos começos!--------------------------------------------------------------------------------------✅ Canal de Cortes Oficialhttps://www.youtube.com/channel/UCab-x2Tf0zK3WLkKXG9Ot5Q✅ Instagram Oficial @poddelas - https://www.instagram.com/poddelas/✅ Facebook Oficial https://m.facebook.com/POD-DELAS-101517452551396/✅ Shortshttps://www.youtube.com/channel/UCItcEi_6J6l2iuhABXq1OTg✅ PodDelas Melhores Momentoshttps://www.youtube.com/channel/UCYa1bLsG-RumuKrrznSdRHg✅ Playlist oficial com todos os episódioshttps://youtube.com/playlist?list=PLXEx5PB_zX1qkkx06VRZFepiRHheozMSRANFITRIÃ:

Habari za UN
Raia kuhukumiwa katika mahakama za kijeshi, Türk amsihi Rais kukataa muswada - Uganda

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 23, 2025 1:52


Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa , Volker Türk, leo Ijumaa mjini Geneva, Uswisi kupitia msemaji wake ameelezea wasiwasi wake kuhusu kupitishwa kwa muswada uliopendekezwa na Bunge la Uganda unaoruhusu raia kuhukumiwa katika mahakama za kijeshi. Anold Kayanda ameifuatilia taarifa hiyo.

PODDELAS
MaterniDelas - Bruna Biancardi com Tata e Cláudia Raia

PODDELAS

Play Episode Listen Later May 16, 2025 50:09


No episódio de hoje, temos o prazer de receber a influenciadora Bruna Biancardi para uma conversa sincera sobre o pós-parto. Quem a acompanha nas redes sociais já conhece um pouco da sua rotina com a pequena Mavie, seus cuidados na segunda gravidez e suas reflexões sobre a maternidade. Agora, Bruna compartilha ainda mais detalhes sobre esse período desafiador e transformador, abordando cuidados com o corpo e a mente, além de dividir suas experiências e dicas valiosas para todas as mamães. Não perca esse bate-papo especial!--------------------------------------------------------------------------------------✅ Canal de Cortes Oficialhttps://www.youtube.com/channel/UCab-x2Tf0zK3WLkKXG9Ot5Q✅ Instagram Oficial @poddelas - https://www.instagram.com/poddelas/✅ Facebook Oficial https://m.facebook.com/POD-DELAS-101517452551396/✅ Shortshttps://www.youtube.com/channel/UCItcEi_6J6l2iuhABXq1OTg✅ PodDelas Melhores Momentoshttps://www.youtube.com/channel/UCYa1bLsG-RumuKrrznSdRHg✅ Playlist oficial com todos os episódioshttps://youtube.com/playlist?list=PLXEx5PB_zX1qkkx06VRZFepiRHheozMSRANFITRIÃ:

PODDELAS
MaterniDelas - Angélica com Tata e Cláudia Raia

PODDELAS

Play Episode Listen Later May 10, 2025 88:38


Hoje o papo está mais do que especial! Recebemos uma convidada que marcou gerações nas telinhas e, ao longo dos anos, também se tornou uma grande referência quando o assunto é maternidade. Entre sets de gravação e a rotina em família, ela encontrou tempo para educar, aprender e crescer junto com seus filhos — e continua aprendendo até hoje.------------------------------Natura é a marca número 1 em presentes de beleza e cosméticos do Brasil*.Entre no site e presenteie quem você ama:https://www.natura.com.br/c/dia-das-maes?utm_campaign=institucional_datas_dia-das-maes_na0694_na&utm_source=podcast&utm_medium=qrcode*Kantar,Divisão Worldpanel | Painel de Consumidores | Participação do Mercado em Valor, Volume e Penetração | Presentes | Período: FY2024 | Total Brasil | (Cosméticos: Sabonetes, Creme Facial, Creme Corporal e Óleo Corporal, Desodorantes, Cabelos,Perfumaria, Maquiagem, Proteção Solar e Produtos para Barba)--------------------------------------------------------------------------------------✅ Canal de Cortes Oficialhttps://www.youtube.com/channel/UCab-x2Tf0zK3WLkKXG9Ot5Q✅ Instagram Oficial @poddelas - https://www.instagram.com/poddelas/✅ Facebook Oficial https://m.facebook.com/POD-DELAS-101517452551396/✅ Shortshttps://www.youtube.com/channel/UCItcEi_6J6l2iuhABXq1OTg✅ PodDelas Melhores Momentoshttps://www.youtube.com/channel/UCYa1bLsG-RumuKrrznSdRHg✅ Playlist oficial com todos os episódioshttps://youtube.com/playlist?list=PLXEx5PB_zX1qkkx06VRZFepiRHheozMSRANFITRIÃ:

Genial Podcast

Quer saber tudo que aconteceu no mercado financeiro, nacional e internacional? Acompanhe o nosso Fechamento de Mercado e confira com quais as ações que mais mexeram com a B3, movimentação do câmbio e dos juros e muito mais! O Fechamento de Mercado da Genial é transmitido de segunda a sexta, às 17h30. Ative as notificações do programa e acompanhe ao vivo!

PODDELAS
MaterniDelas - Mariana Rios com Tata e Cláudia Raia

PODDELAS

Play Episode Listen Later May 2, 2025 63:53


No episódio de hoje, recebemos a atriz e apresentadora Mariana Rios para um bate-papo profundo e emocionante sobre a jornada de ser uma tentante. Sonhar com a maternidade é algo mágico, mas quando a gravidez não acontece como esperado, a realidade pode ser dura — marcada por angústias, expectativas e silêncios. Um episódio sobre empatia e acolhimento. Prepare-se para se emocionar com essa conversa especial. Não perca! --------------------------------------------------------------------------------------✅ Canal de Cortes Oficialhttps://www.youtube.com/channel/UCab-x2Tf0zK3WLkKXG9Ot5Q✅ Instagram Oficial @poddelas - https://www.instagram.com/poddelas/✅ Facebook Oficial https://m.facebook.com/POD-DELAS-101517452551396/✅ Shortshttps://www.youtube.com/channel/UCItcEi_6J6l2iuhABXq1OTg✅ PodDelas Melhores Momentoshttps://www.youtube.com/channel/UCYa1bLsG-RumuKrrznSdRHg✅ Playlist oficial com todos os episódioshttps://youtube.com/playlist?list=PLXEx5PB_zX1qkkx06VRZFepiRHheozMSRANFITRIÃ:

PODDELAS
MaterniDelas - Thamires Hauch com Tata e Cláudia Raia

PODDELAS

Play Episode Listen Later Apr 25, 2025 50:44


No episódio de hoje, recebemos a maravilhosa Thamires Hauch, influenciadora digital, autora e mamãe do Matteo, para uma conversa inspiradora sobre maternidade, expectativas, pressões sociais, escolhas, autenticidade e sobre como, às vezes, a felicidade mora justamente nos caminhos menos óbvios. Não perca!------------------------------------*Acesse o site www.lancome.com.br, use o cupom MATERNIDELAS e garanta mimos exclusivos!*--------------------------------------------------------------------------------------✅ Canal de Cortes Oficialhttps://www.youtube.com/channel/UCab-x2Tf0zK3WLkKXG9Ot5Q✅ Instagram Oficial @poddelas - https://www.instagram.com/poddelas/✅ Facebook Oficial https://m.facebook.com/POD-DELAS-101517452551396/✅ Shortshttps://www.youtube.com/channel/UCItcEi_6J6l2iuhABXq1OTg✅ PodDelas Melhores Momentoshttps://www.youtube.com/channel/UCYa1bLsG-RumuKrrznSdRHg✅ Playlist oficial com todos os episódioshttps://youtube.com/playlist?list=PLXEx5PB_zX1qkkx06VRZFepiRHheozMSRANFITRIÃ:

The Western Bubble
Reasonable Answers to the Trump Tariffs? #109

The Western Bubble

Play Episode Listen Later Apr 16, 2025 35:04


Trump's 90-day tariff pause might sound like an opening for diplomacy—but the real reason behind it lies in bond markets, not international goodwill. And while most countries now have a temporary reprieve, China is very much not included. With tariff levels now skyrocketing to 145% on both sides, Washington and Beijing are locked in a dangerous game.So why is the EU still trying to play the part of the reasonable adult in the room? Ursula von der Leyen may believe that measured, moderate politics will prevail—but in a world of escalating economic warfare, is there still room for quiet diplomacy? Or is “being the reasonable one” a fast track to irrelevance?This podcast is published with the help of RAIA NOW gUG but is an individual project between the Director of RAIA, Dario Hasenstab, and Balder Hageraats. If you would like to get in touch with us, write us an email at thewesternbubble@gmail.com.

SBS Swahili - SBS Swahili
Msamaha wa Rais Tshisekedi kwa wafungwa wafanya raia wa Rubero kuishi kwa wasiwasi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 7:23


Raia wanao ishi Butembo na miji ya karibu, wamesema wanaishi kwa hofu baada ya zaidi ya wafungwa 100 kuachiwa huru.

The Western Bubble
Tariffs, Tantrums and Transactions: The Art of Understanding Trumpenomics. #108

The Western Bubble

Play Episode Listen Later Apr 8, 2025 46:01


Donald Trump's latest tariff plan is as bold as it is baffling. A 60% tax on Chinese imports, arbitrary surcharges on trade deficits, and even tariffs on… the Penguin Islands? With Vietnam already targeted and Europe bracing for impact, what exactly is the strategy here—if any?In this episode, we break down Trump's tariff logic (or lack thereof) and explore the possible scenarios: Is this just a negotiating tactic? A deliberate move to collapse the global trade system? Or simply economic incompetence on full display?More importantly, we examine the long-term consequences: Is the U.S. dismantling the very system that made it an economic superpower? And what happens if the world stops playing along?This podcast is published with the help of RAIA NOW gUG but is an individual project between the Director of RAIA, Dario Hasenstab, and Balder Hageraats. If you would like to get in touch with us, write us an email at thewesternbubble@gmail.com.

The Western Bubble
Signal failure: the Trump administration going off the rails #107

The Western Bubble

Play Episode Listen Later Apr 1, 2025 43:05


The Western Bubble has been added to the chatIn this episode, we delve into the recent security breach where U.S. national security leaders used the Signal app to discuss imminent military operations against the Houthis in Yemen. The situation escalated when National Security Advisor Mike Waltz inadvertently added Jeffrey Goldberg, editor-in-chief of The Atlantic, to the group chat, leading to public exposure of sensitive information.We examine the implications of conducting high-level military planning over unsecured channels like Signal, which lacks the stringent protections of traditional secure facilities. The casual approach to decisions involving civilian casualties, the apparent disregard for legal and moral considerations, and the overt disdain expressed by officials like Vice President JD Vance and Secretary of Defense Pete Hegseth toward European allies further highlight the growing rift in transatlantic relations, echoing themes from our earlier discussions in Episode 104.​Join us as we unpack the events from March 15 onward, exploring the broader consequences of this breach on international alliances and the trust between governments and their citizens.This podcast is published with the help of RAIA NOW gUG but is an individual project between the Director of RAIA, Dario Hasenstab, and Balder Hageraats. If you would like to get in touch with us, write us an email at thewesternbubble@gmail.com.

The Bartholomewtown Podcast (RIpodcast.com)
Inside Communications Presented by Half Street Group: "Newsjacking", RI Gov Race Underway, Pivoting to Digital-First

The Bartholomewtown Podcast (RIpodcast.com)

Play Episode Listen Later Mar 13, 2025 34:06


Send us a textBill Bartholomew welcomes Half Street Group founder and president Mike Raia for Inside Communications.  In this month's episode, Raia offers expertise on the now-underway 2026 Rhode Island gubernatorial race, examines the concept of "newsjacking" and discusses how sports are a leading indicator of a trend towards digital-first content distribution.  Support the show

Habari za UN
Hofu ya raia zaidi kukimbia DRC kuelekea Burundi, UNHCR yasaka dola milioni 40.4 za kuwasaidia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 21, 2025 2:08


Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi, UNHCR limetoa ombi la dola milioni 40.4 ili kujiandaa na kutoa huduma za kuokoa maisha na usaidizi kwa wakimbizi wa ndani na waliokimbilia nchi jirani baada ya wakati huu ambapo mashambulizi ya waasi wa M23 yanazidi kufurusha raia kutoka Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokraia ya Congo, DRC. Anold Kayanda na maelezo zaidi.

Jovem Conservador de Direita
Episódio 225: Dr. Trump 2.0, Grammys, Dra. Cláudia Raia

Jovem Conservador de Direita

Play Episode Listen Later Feb 5, 2025 76:23


O Doutor faz o rescaldo da revelação bombástica da semana passada, que até chegou às notícias. Analisa ainda os primeiros dias da administração Dr. Trump 2.0, comenta os Grammys 2024 e lamenta a polémica da Dra. Cláudia Raia. Bilhetes para "Um Salazar Em Cada Esquina": https://linktr.ee/odoutorjcd Com o apoio da cockburn's: https://www.instagram.com/cockburns_port/ Segmento extra em: https://www.patreon.com/jcdireitaInstagram: https://www.instagram.com/jovemconservadordedireita Anda tudo a mamar: https://youtu.be/igrGXcPBTrI?si=Qrj22zQqzN-B-vBI

Renascença - As Três da Manhã
A Quarta da Manhã - Cláudia Raia

Renascença - As Três da Manhã

Play Episode Listen Later Jan 22, 2025 25:51


Contou como roubou manteigas em Paris, falou de menopausa e de maternidade depois dos 50 e deixou uma pergunta aos ouvintes: "Alguém é feliz comendo tofu"?

Renascença - As Três da Manhã
Resumo de 22 de Janeiro de 2025

Renascença - As Três da Manhã

Play Episode Listen Later Jan 22, 2025 75:25


O Explicador fala do deputado do Chega acusado de furtar malas de viagem, o Olivier traz histórias dos primeiros campeões de futebol de Portugal Cláudia Raia é a Quarta da Manhã e traz menopausa, maternidade depois dos 50 e roubos de manteiga em Paris

Habari za UN
Raia wa Mali walioko ughaibuni waonesha mfano bora wa kuwekeza nyumbani

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 6, 2025 3:32


Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Kilimo, IFAD kwa kushirikiana na wadau na kupitia msaada wa Muungano wa Ulaya unasaidia raia wa Mali wanaoishi ughaibuni kuwekeza kwa ufanisi nyumbani Mali.Wamefanya hivyo kwa kuwasaidia kuanzisha Ciwara Capital, kampuni ya uwekezaji inayomilikiwa na raia wa Mali na sasa wanasaidia wakulima wa mpunga nchini Mali kuimarisha na kuongeza uzalishaji wa mpunga, ikiwemo eneo la Mopti ambalo limekuwa likikabiliwa na ukosefu wa usalama na hivyo wakulima kugubikwa na umaskini.Mfumo huu unadhihirisha kuwa badala ya waafrika kutuma dola bilioni 55 kila mwaka nyumbani kusaidia familia, fedha hizo zinaweza kuwekezwa kwenye miradi endelevu. Je ni kwa vipi, Assumpta Massoi anafafanua kwenye makala hii iliyoandaliwa na IFAD.

PODDELAS
MaterniDelas - Tici Pinheiro com Tata e Cláudia Raia

PODDELAS

Play Episode Listen Later Dec 27, 2024 56:20


EPISÓDIO EXTRA E SUPER ESPECIAL DE FIM DE ANO!

The Bartholomewtown Podcast (RIpodcast.com)
The Year In Communications and Pop Culture with Half Street Group's Mike Raia

The Bartholomewtown Podcast (RIpodcast.com)

Play Episode Listen Later Dec 13, 2024 42:08


Send us a textHalf Street Group Founder and President Mike Raia joins Bill Bartholomew for a conversation on the biggest stories of 2025 in communications and pop culture.Support the show

Smarter Markets
Inside the Coffeehouse Episode 2 | Alasdair Were and Joe Raia, Abaxx Exchange

Smarter Markets

Play Episode Listen Later Nov 16, 2024 32:14


On our new series Inside the Coffeehouse, this week we welcome two guests from Abaxx Exchange into the SmarterMarkets™ studio: Alasdair Were and Joe Raia. Alasdair is Head of Environmental Markets and Joe is Chief Commercial Officer at Abaxx Exchange.   David Greely sits down with Alasdair and Joe to discuss what the US elections and COP29 may mean for carbon markets, what innovative environmental products the markets need next, and what we should be discussing now to create the smarter markets that are necessary to navigate the uncertain times ahead.