POPULARITY
Wataalamu wanasema biashara hii haramu imekuja na mfumo mpya wa watu kusafirishwa kutafutiwa ajira katika mataifa ya kigeni.
Wataalamu wanasema biashara hii haramu imekuja na mfumo mpya wa watu kusafirishwa kutafutiwa ajira katika mataifa ya kigeni.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Maafisa wa uchaguzi nchini Australia wame toa taarifa ya kina kuhusu utaratibu utakao fuatwa, kwa kura ya maoni ya sauti yawa Australia wa kwanza bungeni itakayo fanywa Jumamosi.
Kupiga mbio kutafuta Wokovu
Kupiga mbio kutafuta Wokovu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za kulevya Duniani tarehe 25 Juni, 2023 yaliyofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za kulevya Duniani tarehe 25 Juni, 2023 yaliyofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
Athari wa Uviko19 na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine, zimesababisha mataifa mengi ya Afrika kushindwa kulipa madeni yake kwa wakati, ambapo hadi kufikia sasa nchi zenye kipato cha chini karibu 22 tayari zinashindwa kulipa madeni yake au zinaelekea kushindwa. Kwa mujibu wa IMF na benki ya dunia, Afrika inadaiwa karibu dola za Marekani bilioni 726 na wakopeshaji wa nje, huku sekta binafsi kutoka China ikiwa sehemu ya wakopeshaji wakubwa kwasasa barani Afrika.Hali hii imezifanya nchi nyingi, kuomba kusamehewa baadhi ya madeni au kufanyika upya kwa utaratibu wa ulipaji.Lakin je Madeni haya ni kwakiasi gani yataendelea kuzikwamisha nchi masikini kupiga hatua?Hili ndilo tunalokwenda kulitazama hivi leo kwenye Makala ya Gurudumu la uchumi na Emmanuel Makundi.Kujadili hili kwenye line ya simu tutakuwa na Johnson Denge, mchambuzi na mtaalamu wa uchumi akiwa Kenya, lakini kabla ya kumsikia, tusikie kile katibu mkuu wa umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, alikisema wakati wa viongozi wa umoja wa Afrika juma lililopita.
Athari wa Uviko19 na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine, zimesababisha mataifa mengi ya Afrika kushindwa kulipa madeni yake kwa wakati, ambapo hadi kufikia sasa nchi zenye kipato cha chini karibu 22 tayari zinashindwa kulipa madeni yake au zinaelekea kushindwa. Kwa mujibu wa IMF na benki ya dunia, Afrika inadaiwa karibu dola za Marekani bilioni 726 na wakopeshaji wa nje, huku sekta binafsi kutoka China ikiwa sehemu ya wakopeshaji wakubwa kwasasa barani Afrika.Hali hii imezifanya nchi nyingi, kuomba kusamehewa baadhi ya madeni au kufanyika upya kwa utaratibu wa ulipaji.Lakin je Madeni haya ni kwakiasi gani yataendelea kuzikwamisha nchi masikini kupiga hatua?Hili ndilo tunalokwenda kulitazama hivi leo kwenye Makala ya Gurudumu la uchumi na Emmanuel Makundi.Kujadili hili kwenye line ya simu tutakuwa na Johnson Denge, mchambuzi na mtaalamu wa uchumi akiwa Kenya, lakini kabla ya kumsikia, tusikie kile katibu mkuu wa umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, alikisema wakati wa viongozi wa umoja wa Afrika juma lililopita.
Wananchi wa Tunisia wamejitokeza kwa kiasi kidogo kupiga kura Jumamosi katika uchaguzi wa bunge
Baadhi ya Wakenya walalamikia kasi ya kuhakiki na kujumulisha kura inayoendelea katika ukumbi wa Bomas of Kenya siku tano baada ya kupiga kura Jumanne wiki hii huku mwenyekiti wa tume ya uchaguzi IEBC akitangaza mabadiliko ya kimkakati katika mchakato huo.
Aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinda na naibu rais William Ruto wanaonekana kuwa kwenye ushindani mkali , wakati baadhi ya washindi wa viti vingine vya ubunge na kaunti tayari wakianza kusherehekea
Abdushakur Aboud wa VOA ambaye yuko Nairobi aelezea hali ilivyokuwa asubuhi na mapema , wakati wapiga kura wakianza kumininika, pamoja na waangalizi wa kimataifa waliopo nchini humo.
Tume ya uchaguzi na mipaka ya Kenya, IEBC, imesema kwamba idadi ya vijana waliojiandikisha kama wapiga kura kwelekea kwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu imepungua sana ikilinganishwa na mwaka wa 20017.
Uchaguzi mkuu unatarajiwa kuwa mwisho wa Mei, kuna hatua lazima uchukue kabla upige kura yako kwa mara ya kwanza.
Makala hii imeangazia makubaliano kati ya Uganda na DRC kupambana na waasi wa ADF mashariki ya DRC, huko Kenya waziri mkuu wa zamani na kiongozi wa ODM Raila Odinga atangaza kuwania kiti cha rais katika uchaguzi wa mwakani, na matukio mengine mengi ya juma hili kwenye ukanda wa Afrika mashariki na kati pia kwengineko duniani.
Nchini Tonga, moja ya mataifa ya visiwa vidogo lililoko katika bahari ya Pasifiki, vijana wanafundishwa stadi ya utengenezaji mitumbwi kama njia mojawapo ya kujipatia kipato, kulinda mazingira na kupunguza unene uliopitiliza au utipwatipwa. Kwa vipi? (Taarifa ya Leah Mushi) Katika karakana ya utengenezaji wa mitumbwi nchini Tonga, taifa lenye visiwa vidogo 170 na ambako chakula si mazao yalimwayo nchini humo bali kwa kiasi kikubwa vilivyosindikwa na hivyo kusababisha kuwa moja ya nchi yenye watu wengi tipwatipwa duniani. Tawfiq El-Zabri ni Mkurugenzi Mkazi wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa maendeleo ya kilimo, IFAD na anafafanua. "Tonga inakabiliwa na viwango vya juu kabisa vya lishe duni na magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama unene kupita kiasi na mengi ambayo yanahusiana na ukosefu wa lishe bora. Eneo la ardhi ni dogo na limeathiriwa na maji ya chumvi, mabadiliko ya tabianchi na ongezeko la idadi ya watu na kwa hivyo ni muhimu watu hapa kupata nafasi ya kwenda baharini kuvua samaki. " Ili kunusuru vijana wa Tonga, IFAD ikaamua kuanzisha mradi kwa kushirikiana na serikali pamoja na taasisi ya MORDI TONGA ili kutoa mafunzo stadi ya kutengeneza mitumbwi, wakufunzi wakiwa ni wazee. Kupitia mafunzo mosi, vijana wanapata nyenzo za uvuvi, pili stadi za kupiga makasia zitawaweka kwenye afya njema kwani ni mazoezi, na tatu samaki watakaovua baharini watawasaidia si tu kupata kipato bali lishe bora kama anavyoeleza Alipate Sailosi mkufunzi na kiongozi wa jamii ya Eua. “Kwa sasa watu lazima walipe fedha ili waweze kwenda baharini kwa kutumia boti. Lakini ukiwa na mtumbwi, kisha ukapata kifungua kinywa kizuri, hapo kijana atapata nguvu ya kutosha kupiga makasia siku nzima ” Vijana walioanza kunufaika na mradi huu wa IFAD wanashukuru kama anavyosema Okusi Lama “Nimejifunza vitu vingi wakati wa mafunzo. Ningependa kuwahimiza vijana wahudhurie kwa sababu hii inaweza kuwa njia ya kuwanufaisha sio tu kama wavuvi, bali pia kama mafundi. ” Mradi huo pia unakusudia kuwa hakikisho la upatikanaji wa chakula na kuwa chanzo cha kipato cha ziada kwa familia za Tonga.
Kupiga chabo, kula deo, kupiga kideo, kuchungulia.(Voyeurism). Kama ni mtoto wa kiume ambae umekua hapa hapa nchini Tanzania, basi haya si maneno mageni na wengi sana wamekua wakiona hili ni jambo la kawaida la kufanya kwenye jamiio. Si jambo jema, si jambo la kujivunia LAKINI pia si jambo ambalo watu wanaliongelea. Je unafahamu kua kuna uhusiano wa afya ya akili na tabia hii? Unafahamu kua kuna urahibu (Addiction) ambayo inaweza kutokana na hiki kitendo? Nini chanzo chake? Kinaweza kuathiri vipi afya yako ya akili? Michael na Nadia wanajadili hili kwenye “episode” hii ya 26: Kupiga Chabo & Mental Health
Kupiga vita umaskini ni jukumu la kila mtu kujipigania kwa kusaka vyanzo mbadala vya mapato. Vijana wengi nwanakabiliwa na changamoto ya pato duni na mara nyingine hata kufikia kuandamana wakitaka nyongeza ya mishahara kwa wale waliobahatika kupata kazi.
Kupiga kelele huangusha ukuta za maisha yetu.
Kupiga kelele huangusha ukuta za maisha yetu.
Australians go to the polls to vote in the federal election on ... - Waustralia wanaelekea kwenye uchaguzi ili kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa shirikisho ...
Wananchi wa DRC watapiga kura siku ya Jumapili, kumchagua rais mpya. Kampeni zinamalizika wiki hii kuelekea Uchaguzi huo wa kihistoria. Ushindani mkali ni kati ya wagombea watatu, Emmanuel Shadary kutoka chama tawala, Martin Fayulu kutoka muungano wa upinzani wa Lamuka, na Felix Tshisekedi. Tume ya Uchaguzi CENI inasema iko tayari kwa uchaguzi huu licha ya kukabiliana na changamoto mbalimbali ikiweko kuteketea moto vya baadhi ya vifaa vya kupigia kura.
"Kupiga mateso" is Swahili for "Beating the Torture". In this episode we're covering Matthew 10:5-42 - Christ send us out into the world - Persecution Will Come - Have No Fear - Not Peace, but a Sword - Rewards May the words of these verses bless your spirit and help give you constant thought of the Most High. Glory to God, love y'all! Any questions, comments or wanna add some thoughts to the show? Email: Dylanfoster21@gmail.com