Podcasts about uchaguzi

  • 24PODCASTS
  • 298EPISODES
  • 21mAVG DURATION
  • 1WEEKLY EPISODE
  • May 1, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about uchaguzi

Latest podcast episodes about uchaguzi

SBS Swahili - SBS Swahili
How to vote in the federal election  - Jinsi ya kupiga kura katika uchaguzi wa shirikisho

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 1, 2025 8:55


On election day the Australian Electoral Commission anticipates one million voters to pass through their voting centres every hour. Voting is compulsory for everyone on the electoral roll, so all Australians should familiarise themselves with the voting process before election day. - Siku ya uchaguzi Tume ya Uchaguzi ya Australia inatarajia wapiga kura milioni moja, watapita katika vituo vya kupiga kura kila saa moja. Ni lazima kupiga kura kwa kila mtu ambaye yuko katika sajili yakupiga kura, kwa hiyo wa Australia wote wana stahili jifahamisha na mchakato wa kupiga kura kabla ya siku ya kupiga kura.

SBS Swahili - SBS Swahili
Australia Yafafanuliwa: Jinsi yakupiga kura katika uchaguzi wa shirikisho

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 4, 2025 12:04


Wa Australia milioni kumi na nane wame sajiliwa kupiga kura katika uchaguzi wa shirikisho mwezi ujao.

SBS Swahili - SBS Swahili
The legal loophole allowing political lies during elections - Mwanya wa kisheria unao ruhusu uongo wakisiasa wakati wa uchaguzi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 7:46


With an election date set for May 3rd, campaigning has officially begun. But political advertisements have already been circulating for months. Can you trust what they say? - Baada ya tarehe ya uchaguzi kutangazwa kuwa 3 Mei, kampeni zime anza rasmi. Ila matangazo ya kisiasa yame kuwa yaku sambazwa kwa miezi kadhaa. Je, unaweza amani wanavyo sema?

SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Learn Eng Pod Ep 81 Kuzungumza kuhusu uchaguzi

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 1, 2025 14:56


Je, unajua namna ya kufanya majadiliano kuhusu uchaguzi katika Kiingereza?

uchaguzi
SBS Swahili - SBS Swahili
Uchaguzi wa shirikisho wa Australia kufanywa 3 Mei 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 28, 2025 6:10


Tarehe ya uchaguzi wa shirikisho wa 2025 ime tangazwa. Tangazo hilo lina maana gani? Na unastahili fanya nini sasa?

australia uchaguzi tangazo
SBS Swahili - SBS Swahili
Want to help shape Australia's future? Here's how to enrol to vote - Unataka saidia kuunda mustakabali wa Australia? Hivi ndivyo unaweza jiandikisha kupiga kura

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 14, 2025 6:55


With another federal election due this year, there are steps you will need to take before casting your vote for the first time. Plenty of resources are available to help you enrol to vote and have your say in shaping our nation. - Uchaguzi mwingine wa shirikisho ukitarajiwa mwaka huu, kuna hatua utahitaji chukua kabla yakupiga kura yako kwa mara ya kwanza. Kuna rasilimali nyingi zaku kusaidia kujisajili kupiga kura na kutoa maoni yako katika mustakabali wa nchi yetu.

SBS Swahili - SBS Swahili
Uchaguzi wa AI: Je akili ya bandia ita shawishi jinsi wa Australia wata piga kura?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 11, 2025 10:42


Akili ya bandia ni teknolojia mpya ambayo watu wanajaribu kuelewa. Watafiti waki jumuishwa.

SBS Swahili - SBS Swahili
Unataka saidia kuunda mustakabali wa Australia? Hivi ndivyo unastahili fanya kujisajili kupiga kura

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 7, 2025 8:28


Uchaguzi mwingine wa shirikisho unatarajiwa kufanywa mwaka huu, kuna hatua unastahili chukua kabla yakupiga kura yako kwa mara ya kwanza.

australia kura hivi uchaguzi kupiga
SBS Swahili - SBS Swahili
The AI Election: Will artificial intelligence influence how Australia votes? - Uchaguzi wa AI: Je akili ya bandia ita shawishi jinsi wa Australia wata piga kura?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 5, 2025 7:04


Experts say AI could have significant impacts on democracy and trust. - Watalaam wanasema AI inaweza kuwa na madhara makubwa kwa demokrasia na uaminifu.

SBS Swahili - SBS Swahili
The AI Election: How artificial intelligence impacted the world's biggest ballots - Uchaguzi wa AI: Jinsi akili bandia ilivyo athiri chaguzi kubwa duniani

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 28, 2025 7:59


From "Communist Kamala" to Bollywood endorsements, artificial intelligence and disinformation played a big role in some of the biggest democratic elections last year. - Kutoka "Kamala mkomunisti" hadi kwa uidhinishwaji wa Bollywood, akili bandia na taarifa potofu zilikuwa na nafasi kubwa katika chaguzi kubwa zaki demokrasia mwaka jana.

Kwa Undani - Voice of America
Chama cha upinzani Zanzibar ACT kinalalamika wafuasi wake wanakabiliwa na matatizo ya kujiandikisha kwenye daftari ya uchaguzi. - Februari 25, 2025

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Feb 25, 2025 29:58


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Radio Maria Tanzania
Fahamu madhara ya rushwa kwenywe uchaguzi.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 25, 2025 41:00


Ungana  nami Judith Mpalanzi Katika Kipindi cha Elimu Jamii, Kutoka  Studio za Radio Maria Tanzania Wawezeshaji ni  Lupakisyo Peter Mwakyolile ambaye ni Mkuu wa Takukuru Kalambo Pamoja na Bwana Hemedy Mruma Mwanasheria wa Takukuru Kutoka Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa Takukuru Mkoa wa Rukwa wakituongoza kujifunza juu ya Madhara ya Rushwa kwenye Uchaguzi. L'articolo Fahamu madhara ya rushwa kwenywe uchaguzi. proviene da Radio Maria.

radio maria fahamu mkuu uchaguzi ungana
SBS Swahili - SBS Swahili
Tundu Lissu ashinda uchaguzi wa uongozi wa CHADEMA

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 24, 2025 7:16


Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema kimetua kiongozi wake mpya kuelekea uchaguzi Mkuu wa urais wa mwezi Oktoba.

Alfajiri - Voice of America
Chama tawala cha Comoros cha shinda kwenye uchaguzi wa bunge. - Januari 15, 2025

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 15, 2025 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Habari za UN
14 JANUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 14, 2025 9:55


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina leo inayotupeleka Kenya kufuatilia juhudi za shirika la Umoja wa Mstaifa la mazingira UNEP na serikali ya nchi hiyo za kuichagiza jamii kuhama kutoka kwenye vyombo vya usafiri vinavyotumia mafuta yanayochafua mazingira na kukumbatia magari na vyombo vingine vya usafiri vinavyotumia nishati ya umeme. Pia tunakuletea Muhtasari wa habari na mashinani inayotupeleka nchini Sudan Kusini. Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 10 Januari 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 10, 2025 18:02


Uchaguzi mkuu ujao wa shirikisho una chukua mkondo wakuwa shindano la gharama ya maisha ila, hakuna chama kikubwa ambacho kime toa ahadi kubwa za matumizi kwa ajili yakuwavutia wapiga kura.

habari uchaguzi
SBS Swahili - SBS Swahili
Je uchaguzi wa uongozi uta sababisha mpasuko ndani ya CHADEMA

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 3, 2025 8:02


Wanachama wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA, wanasalia na takriban wiki mbili kuingia debeni kumchagua kiongozi mpya.

uchaguzi
Kwa Undani - Voice of America
Matukio yaliogonga vichwa vya habari ikiwemo serikali ya Burundi imezuia upinzani kushiriki katika uchaguzi ujao mwezi June mwaka huu. - Januari 03, 2025

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 3, 2025 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Jioni - Voice of America
Upinzani Burundi unasema tume ya uchaguzi nchini humo imekiuka katiba kwa kuwazuia wapinzani kutoshiriki uchaguzi ujao wa mwezi June. - Januari 02, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 2, 2025 29:58


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Alfajiri - Voice of America
Watu kadhaa washukiwa kufa kutokana na ghasia za matokeo ya uchaguzi wa Msumbiji. - Desemba 25, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 25, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

watu kufa uchaguzi desemba
Alfajiri - Voice of America
Romania yachunguza iwapo uchaguzi wa Rais wa Jumapili uliingiliwa kimitandao. - Desemba 12, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 12, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

romania rais uchaguzi desemba jumapili
Alfajiri - Voice of America
Waziri Mkuu wa Mali asimamishwa kazi baada ya kukosoa serikali kwa kuchelewesha uchaguzi wa kidemokrasia. - Desemba 05, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 5, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

mali kazi baada serikali uchaguzi desemba kidemokrasia waziri mkuu
Kwa Undani - Voice of America
Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa nchini Tanzania yana maoni mseto na mahakama ya Kenya inataka ushahidi kufutwa kwa kampuni ya Adani - Novemba 29, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 29, 2024 29:56


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Alfajiri - Voice of America
Somaliland kufanya uchaguzi Jumatano - Novemba 26, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 26, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Jioni - Voice of America
Uchaguzi wa serikali za mitaa unatarajiwa kufanyika Jumatano katika maeneo yote ya Tanzania bara. - Novemba 26, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 26, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Radio Maria Tanzania
Fahamu mambo ya kuzingatia kuelekea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Nov 20, 2024 38:15


Ungana nami Mtangazaji wako Judith Mpalanzi katika Kipindi cha Elimu Jamii ambapo leo tupo na Bwana Stephen Motambi kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) akizungumzia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na tunapoelekea kwenye Kampeni za uchaguzi huo. L'articolo Fahamu mambo ya kuzingatia kuelekea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. proviene da Radio Maria.

Alfajiri - Voice of America
Chama cha Rais mpya wa Senegal Bassirou Diomaye Faye chaelekea kupata wingi wa viti vya wabunge baada ya uchaguzi wa Jumapili. - Novemba 19, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 19, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Kwa Undani - Voice of America
Kiongozi wa upinzani wa Somaliland Abdirahman Mohamed Abdullahi kutoka chama cha waddani ameshinda uchaguzi wa urais. - Novemba 19, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 19, 2024 30:00


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Wimbi la Siasa
Wakaazi wa jimbo la Somaliland wapiga kura kumchagua rais na wabunge

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Nov 13, 2024 10:06


Wakaazi wa jimbo la Somaliland, mojawapo wa êneo lililojitenga na Somalia zaidi ya miaka 30 iliyopita, tangu mwaka 2003 wamekuwa wakishiriki kwenye uchaguzi wa kumchagua rais na wabunge wao. Fursa hiyo pia imekuja Novemba tarehe 13 mwaka 2024 ambapo wapiga kura Milioni 1 waliondikishwa na Tume ya Uchaguzi ya Somaliland wanamchagua rais atakayewatumikia kwa miaka metano.Wagombea watatu wanatafuta urais wa jimbo hilo, akiwemo kiongozi wa sasa Muse Bihi Abdi, anayetaka muhula wa pili, lakini mpinzani wake mkuu ni Abdirahman Mohamed Abdullahi, maarufu kwa jina la  "Irro,”.Kwenye Makala ya Wimbi la Siasa, tunajadili umuhimu wa uchaguzi wa jimbo la Somaliland na umuhimu wake, kwenye Jumuiya ya Kimataifa, wakati huu, êneo hilo linapotaka kujitawala.

Alfajiri - Voice of America
Wamarekani wenye asili ya Somalia wanaufuatilia uchaguzi wa Marekani kwa karibu kujua hatma yake. - Novemba 01, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 1, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Uchaguzi wa Botswana wafanyika huku tume ya uchaguzi ikilalamikiwa - Oktoba 31, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 31, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Zaidi wa wamarekani milioni 15 tayari wamepiga kura za mapema wiki mbilli kabla ya siku ya uchaguzi kufika. - Oktoba 23, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 23, 2024 29:57


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Viongzi wa upinzani wa Msumbiji waitisha maandamano ya Jumatatu kulalamikia uchaguzi uliopita. - Oktoba 21, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 21, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

oktoba uchaguzi
Jioni - Voice of America
Live Talk: Uchaguzi wa Marekani na uhusiano na nchi za Afrika. Je wagombea kiti cha rais wana sera gani kuelekea Afrika? - Oktoba 18, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 18, 2024 59:57


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Prof Chacha "kuendelea kuahirisha uchaguzi hakuta leta amani au mafanikio Sudan Kusini"

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Sep 20, 2024 7:56


Kwa mara nyingine uchaguzi mkuu wa Sudan Kusini ume ahirishwa hadi Disemba 2026.

prof cha cha kwa uchaguzi disemba sudan kusini
Habari za UN
Pamoja na kuahirisha uchaguzi tunachoimbea Sudan Kusini ni amani: FAO Meshack Malo

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 18, 2024 3:04


Shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO nchini Sudan Kusini limesema licha ya uchaguzi mkuu kuahirishwa nchini humo hadi 22 Desemba 2026 kitu kikubwa kwa taifa hilo changa zaidi barani Afrika ni amani. Akizungumza na Flora Nducha wa Idhaa ya Kiswahili katika Makala hii Meshack Malo mwakilishi wa FAO Sudan Kusini amesema kuahirisha uchaguzi huo ambao awali ilikuwa ufanyike 22 Desemba mwaka huu 2024 ni  uwamuzi wa Wasudan na wana sababu za msingi, hivyo jumuiya ya kimataifa itaendelea kushirikiana nao na kuliombea amani taifa hilo.

Habari za UN
18 SEPTEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 18, 2024 9:58


Hii leo jaridani tunaangazia juhudi za Umoja wa Mataifa za kukabiliana na ugonjwa wa MPOX barani Afrika. Makala inatupeleka nchini Sudan Kusini kuangazia uhairishwaji wa uchaguzi na mashinani nchini Sudan ambapo vilabu vinatumiwa kuimarisha ulinzi wa wasichana.Kutokana na ombi la serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mfuko wa Kimataifa wa Kupambana na Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria (the Global Fund) leo umetangaza kuchangia dola za Marekani milioni 9.5 kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa mpox katika majimbo sita kati ya yale yenye viwango vya juu zaidi vya maambukizi nchini humo.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF nchini Burundi linasema asilimia 33 ya wagonjwa wa homa ya nyani au mpox nchini humo ni watoto wa kwenda shule wenye umri wa kuanzia miaka 5 hadi 19, na hivyo kuwa changamoto mpya wakati familia zinajiandaa kwa mwaka mpya wa masomo.Makala leo inatupeleka Sudan Kusini ambako mwishoni mwa wiki serikali ilitangaza kuahirisha uchaguzi mkuu ambao ulikuwa ufanyike 22 Desemba mwaka huu 2024.Mashinani tuko katika kambi ya wakimbizi ya Zamzam nchini Sudan ambako shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi (UNFPA) linatumia vilabu kufanikisha ulinzi wa wasichana walio hatarini. Sasa Ikhlas Mousa Andulkareem ambaye ni mfanyakazi wa kijamii katika shirika lisilo la kiserikali la Nada ALAzhar, linalopata usaidizi kutoka UNFPA anatueleza jinsi eneo salama kwa wanawake na wasichana litawanufaisha waathiriwa kwenye kambi hii ya Zamzam.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu! 

Alfajiri - Voice of America
Wajumbe wa chama cha democratic waidhinisha uteuzi wa Kamala Harris na mgombea mwenza Tim Walz kwenye uchaguzi wa Novemba - Agosti 21, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 21, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Jioni - Voice of America
Kamala Harris amtangaza gavana wa Minnesota, Tim Walz, kuwa mgombea mwenza wake kwenye uchaguzi wa Marekani wa Novemba - Agosti 20, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 20, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
LIVETALK: Tunajadili uchaguzi wa Rwanda utakaofanyika Jumatatu - Julai 12, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 12, 2024 59:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Alfajiri - Voice of America
Muungano wa vyama vya mrengo wa kushoto wapata viti vingi katika duru ya pili ya uchaguzi wa bunge nchini Ufaransa - Julai 08, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 8, 2024 30:00


Jioni - Voice of America
Iran kufanya duru ya pili ya uchaguzi wa rais baada ya mshindi kutopatikana katika raundi ya kwanza - Juni 29, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 29, 2024 29:59


Iran itafanya duru ya pili ya uchaguzi wa rais, kuamua ni nani atachukua nafasi ya rais wa zamani marehemu Ebrahim Raisi, afisa mmoja alisema Jumamosi, baada ya uchaguzi wa awali kutobainisha mshindi wa moja kwa moja.

Alfajiri - Voice of America
Rwanda kuanza kampeni za uchaguzi wa rais - Juni 21, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 21, 2024 29:59


rwanda rais uchaguzi kampeni
Alfajiri - Voice of America
Tume ya uchaguzi nchini DRC yakemea ripoti ya Kanisa Katoliki kuhusu uchaguzi wa Disemba 2023 - Juni 18, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 18, 2024 29:59


tume kanisa uchaguzi ripoti disemba
Alfajiri - Voice of America
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alivunja bunge baada ya muungano wa vyama tawala kupata kura ndogo katika uchaguzi wa wabunge wa ulaya - Juni 10, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 10, 2024 29:59


Alfajiri - Voice of America
Rais wa zamani wa Iran Mahmoud Ahmadinejad amejiandikisha kuwania urais katika uchaguzi ujao. - Juni 03, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 3, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi nchini Afrika Kusini linaendelea - Mei 30, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later May 30, 2024 29:58


afrika kura uchaguzi
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Uchaguzi wa Mwenzi wa Maisha

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Uchaguzi wa Mchumba

SBS Swahili - SBS Swahili
Germain "sita ishi Kinshasa niki shinda uchaguzi, nita ishi na walio nichagua"

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 19, 2023 16:40


Wagombea wa nyadhifa mbali mbali katika uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo wame maliza kampeni zao, sasa wanasubiri hukumu ya wananchi.