POPULARITY
swahili_BB-95_Mtazamo wa Biblia kuhusu Yesu (BB_"Bible View of Jesus")
Leo tumeangazia kwa undani matokeo na matukio ya hatua ya makundi iliyokamilika kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika inayoendelea Morocco, uchambuzi wa hatua ya 16 bora - nani atafuzu robo fainali?, tathmini ya hatua ya serikali ya Gabon kuvunja kabisa timu ya taifa ya Gabon, ahadi za pesa kutoka kwa marais kadhaa Afrika kwa timu zao kuelekea robo fainali, usajili wa Rayon Sport, kwa nini Maresca aliondoka Chelsea?, dereva wa Anthony Joshua afunguliwa mashtaka baada ya ajali Nigeria.
Mnamo mwezi April mwaka huu Shirika la Fedha la Kimataifa IMF lilitoa makadirio na mtazamano wa uchumi wa dunia ambapo lilieleza pamoja na mambo mengine kuongezeka kwa vikwazo vya biashara kunasababisha kushuka kwa kasi kwa ukuaji wa uchumi wa dunia mwelekeo ambao ulielezwa kuathiri nchi nyingi duniani.Tarehe 29 Julai IMF ikatoa ripoti mpya, ambapo tathmini mpya ya mwelekeo wa uchumi wa Dunia kwa mwaka 2025 na 2026 ikionesha matumaini tofauti na hali ilivyoonesha miezi mitatu mitatu iliyopita. Leah Mushi amefuatilia ripoti hiyo nakutuandalia makala hii akieleza kwa kina.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro life utetezi wa uhai, Wawezeshaji ni Anthony Lihepa, Janeth Akaro na Witness Joachim, kutoka Pro Life Tanzania, wakiendelea kutueleza juu ya mtazamo wa Wanawake katika utetezi wa uhai. L'articolo Fahamu mtazamo wa Wanawake juu ya utetezi wa uhai. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro Life utetezi wa uhai, Wakufunzi wetu leo Wanaendelea mada mtazamo wa Wanawake kuhusu Utetezi wa Uhai L'articolo Fahamu mtazamo namna gani Wanawake wanafikia hatua ya kutoa Mimba. proviene da Radio Maria.
Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro Life utetezi wa uhai, Wakufunzi wetu leo Wanazungumzia mtazamo wa Wanawake kuhusu Utetezi wa Uhai . L'articolo Je, wafahamu mtazamo wa Wanawake katika Utetezi wa Uhai? proviene da Radio Maria.
Vijana nchini Kenya wamekuwa wakiongoza maandamano dhidi ya serikali ya rais William Ruto Nchi ya Uganda imeshuhudia pia maandamano ,yanayoongozwa na vijana wa Gen Z kupinga ufisadi na maovu mengine
Vijana nchini Kenya wamekuwa wakiongoza maandamano dhidi ya serikali ya rais William Ruto Nchi ya Uganda imeshuhudia pia maandamano ,yanayoongozwa na vijana wa Gen Z kupinga ufisadi na maovu mengine
Rais William Ruto amependekeza viongozi wanne kutoka chama cha ODM cha Raila Odinga kuwa mawaziri Miongoni mwa viongozi hao ni Ali Hassan Joho ,John Mbadi ,Wicliffe Oparanya na Opiyo Wandayi
Rais William Ruto amependekeza viongozi wanne kutoka chama cha ODM cha Raila Odinga kuwa mawaziri Miongoni mwa viongozi hao ni Ali Hassan Joho ,John Mbadi ,Wicliffe Oparanya na Opiyo Wandayi
Tume ya uchaguzi ya Rwanda imethibitisha Paul Kagame ni mshindi wa uchaguzi wa Julai 15 ambapo alipata asilimia 99.18 ya kura zote
Tume ya uchaguzi ya Rwanda imethibitisha Paul Kagame ni mshindi wa uchaguzi wa Julai 15 ambapo alipata asilimia 99.18 ya kura zote
Ungana nami Mtangazaji wako Steven Christian Lihizia katika kipindi cha Ijue Liturujia ya Kanisa Katoliki, Studio niko na Padre Clement Kihiyo kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), akielezea maana ya liturujia katika mtazamo wa kitaaluma. L'articolo Nini maana ya liturujia katika mtazamo wa kitaaluma? proviene da Radio Maria.
Saratani ya shingo ya kizazi, Mtazamo hasi mahali pakazi
Saratani ya shingo ya kizazi, Mtazamo hasi mahali pakazi
Saratani ya shingo ya kizazi, Mtazamo hasi mahali pa kazi
Saratani ya shingo ya kizazi, Mtazamo hasi mahali pa kazi
Saratani ya Shingo ya kizazi, Mtazamo hasi kazini
Saratani ya Shingo ya kizazi, Mtazamo hasi kazini
Msongo wa mawazo, Mtazamo hasi mahali pa kazi
Msongo wa mawazo, Mtazamo hasi mahali pa kazi
Msongo wa Mawazo, Mtazamo hasi mahali pa kazi
Msongo wa Mawazo, Mtazamo hasi mahali pa kazi
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.
Leo, Joyce anafundisha jinsi tunavyoweza kukabiliana na yale mambo ambayo yanahitaji kushughulikiwa huku tukidumisha mtazamo wa huruma
Tunapokumbuka jinsi Mungu ametupa rehema, inakuwa rahisi zaidi kuwaonyesha wengine rehema.
Episode hii inafichua sababu zinazowapelekea wasichana kudhani sio wazuri, fikira hii imepelekea wengine kufanya maamuzi yalioathiri maisha yao. Wengine wameishinda fikira hii inayotawala katika jamii ya Kiafrika. Wamewezaje? Najma anamhoji Emmy Rose Rugumamu kuhusu kampeni yake ya kusaida wanawake wenye mauombo makubwa. Emmy Rose ni Communication Professional ,anafanya kazi UWC East Africa, Pia ni kiongozi wa TEDxMajengo , Emmy Anapenda kutengeneza maudhui na kujieleza (storytelling ) pia ni mwandaaji wa open mic nights huko Arusha. Kuna sauti za wanawake wengine na experience zao katika kushinda mtazamo wa jamii juu ya umbo au uzuri wao. Subscribe uweze kupata notification kila tunapopublish episode mpya.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina tukiangazia juhudi za kuwajengea watoto tabia ya kupenda kusoma vitabu na pia habari kwa ufupi zikiwemo ripoti ya UNAIDS na WHO, na usaidizi kwa wakimbizi na jamii za wenyeji nchini Chad. Mashinani tutakwenda nchini Cameroon, kulikoni?Msichana Marynsia Mangu kwa kutambua umuhimu na maarifa yanayopatikana kwenye vitabu lakini jitihada zake za kuwashawishi marafiki zake kusoma vitabu kushindwa kuzaa matunda akaamua kufuata usemi wa Kiswahili Samaki mkunje angali mbichi na kuanzisha shirika la success Hands au kwa lugha ya Kiswahili Mikono yenye Mafanikio ambalo jukumu lake ni kuwajengea watoto tabia yakupenda kusoma vitabu tangu wangali tumboni mwa mama zao.Ripoti mpya ya tathimini iliyofanywa na shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na masiuala ya ukimwi UNAIDS kuelekea siku ya ukimwi duniani ambayo kila mwaka huadhimishwa Desemba Mosi inaonyesha kuwa pengo la usawa ni kikwazo kikubwa katikia juhudi za kutokomeza janga la ukiwmi duniani. Shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO leo limesema majeraha na machafiuko vinasababisha vifo vya watu 12,000 kila siku kote duniani ambavyo ni sawa na kifo 1 kati ya vifo 12. Kupitia ripoti yake mpya “Mtazamo wa kuzuia majeraha na machafuko” iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis WHO inasema sababu kuu tatu kati ya tano zinazosababisha vifo vywa watu wa umri wa kati ya miaka 5 hadi 29 ni majeraha, athari za ajari za barabarani , mauaji na kujiua.Na mashirika ya Umoja wa Mataifa ile la Mpango wa chakula duniani WFP na linaloshughulika na wakimbizi UNHCR wametoa ombi la dola milioni 161 ili wasikatishe huduma ya chakula cha msaada kwa ajili ya kuwasaidia wakimbizi na jamii za wenyeji nchini Chad.Na leo mashinani tutaelekee barani Afrika nchini Cameroon kumsikiliza Cecile Ndjebet ambaye anaeleza uhusiano uliopo kati ya haki ya umiliki wa ardhi hasa kwa wanawake na uhifadhi wa mazingira.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tz
Haijalishi nini kinaendelea katika maisha yako, jifunze jinsi tabia ya kuaminiana inavyoachilia furaha huku subira hukuruhusu kufurahiya wakati huo.
Jifunze leo kujiamini wewe ni nani katika Kristo na kuacha kuishi kwa kujilinganisha na wengine.
Je! Unatambua kuwa mtazamo wako unatuma ujumbe kwa adui? Je! Yako inamwambia anashinda au anashindwa?
Marekebisho kidogo kwa mtazamo wako yanaweza kuleta mabadiliko makubwa maishani mwako.
Kuhisi kukwama kwenye hali ya huzuni? Leo, Joyce atakukumbusha kuwa nguvu ya Mungu iliyo ndani yako inaweza kukukamata kutoka kwa hali iliyokukwamiza na kukuelekeza katika hatima yako!
Mtazamo ulio nao wakati wa shida ni muhimu kwa mafanikio yako ya mwisho. Jifunze jinsi kufanya mema kwa wengine kunaweza kuinua roho yako na kukuinua kutoka shimoni.
Je! Yosefu alitokaje kutoka kwenye shimo hadi ikulu? Hakukata tamaa wakati mambo yalikuwa magumu katikati ya safari.
Usijaribu kuwa vile watu wengine walivyo. Gundua kile neema ya Mungu imekujalia kufanya.
Tarehe 10 mwezi Machi mwaka 2022, kumefanyika maadhimisho ya kwanza ya siku ya majaji wanawake duniani. Siku hii imeadhimishwa na maudhui yakiwa "Haki katika Mtazamo wa Kijinsia." Lengo ni kuona ni kwa vipi majaji wanawake wanaweza kuwa chachu katika utoaji wa haki kwenye mahakama kwa kuzingatia kuwa tasnia hiyo imegubikwa na mfumo dume. Katika kufahamu ukweli wa hoja hiyo Assumpta Massoi wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa amezungumza na Jaji Hannah Okwengu wa Mahakama ya Rufaa nchini Kenya ambaye anaanza kwa kuelezea anajisikiaje kuwa Jaji kwenye tasnia iliyozoeleka kuwa ya wanaume wengi zaidi.
Kujifunza kungojea kwa subira kwa baraka za Mungu ni sehemu muhimu ya kudumisha furaha yetu.
Sio hali zetu ambazo huamua furaha yetu. Ni mtazamo wetu wakati wa hali zetu ndio huleta tofauti.
Hivi karibuni nchini Kenya na Tanzania, kumekuwa na mjadala kuhusu hatua za serikali ya nchi hizo kuendelea kukopa kiwango kikubwa cha pesa, hali ambayo inaelezwa imeongeza mzigo kwa raia ambao wanalipa kodi kiwango kikubwa. Mtazamo wako ni upi kuhusu hatua ya serikali kuendelea kukopa ? Unahisi fedha zinazochukuliwa na serikali zimetumika ipasavyo ?
Umoja wa Mataifa uliutangaza mwaka huu wa 2021 unaoelekea ukingoni kuwa mwaka wa mbogamboga na matunda lengo likiwa ni kuelimisha watu kuhusu umuhimu na faida za mbogambona na matunda mwilini. Miriam Nabakwe wa nchini Kenya anasema tatizo hilo la watu kutokula mbogamboga lipo na mbaya zaidi ni kuwa hata vyakula ambavyo watu sasa wanavithamini si vile vya asili na hivyo kuongeza tatizo juu ya tatizo kwani anaamini vyakula vya asili vilivyosalia katika maeneo mbalimbali duniani ndivyo vyenye virutubisho asilia. Kwa msingi huo ameamua kufanya juhudi binafsi kuwahamasisha watu wa nchini mwake Kenya angalau kwa kuanzia katika mji mkuu, Nairobi ili watu warejee katika ulaji wa vyakula vya asili. Anafanyaje? Tuungane na mwandishi wetu wa Kenya Jason Nyakundi ambaye amezungumza naye.
Makala hii imeangazia vurugu zinazoshuhudiwa nchini Sudan baada ya kufanyika mapinduzi ya kijeshi na baadaye kuachiwa huru kwa waziri mkuu Abdallah Hamdok ambapo Umoja wa mataifa, Umoja wa Afrika, zimelaani hali hiyo ambapo maandamano yameendelea nchini humo. Huko DRC tumeangazia kuhusu kuapishwa kwa mwenyekiti mpya wa CENI Denis Kadima anayepingwa na dhehebu la kikatoliki na lile la kiprotestanti pamoja na mambo mengine yaliyojiri duniani.