Podcasts about mtazamo

  • 17PODCASTS
  • 100EPISODES
  • 23mAVG DURATION
  • 1EPISODE EVERY OTHER WEEK
  • Jun 14, 2024LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about mtazamo

Latest podcast episodes about mtazamo

Radio Maria Tanzania
Nini maana ya liturujia katika mtazamo wa kitaaluma?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 14, 2024 51:48


Ungana nami Mtangazaji wako Steven Christian Lihizia katika kipindi cha Ijue Liturujia ya Kanisa Katoliki, Studio niko na Padre Clement Kihiyo kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), akielezea maana ya liturujia katika mtazamo wa kitaaluma. L'articolo Nini maana ya liturujia katika mtazamo wa kitaaluma? proviene da Radio Maria.

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Saratani ya shingo ya kizazi, Mtazamo hasi mahali pakazi

afya mtazamo
AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni

Saratani ya shingo ya kizazi, Mtazamo hasi mahali pakazi

afya mtazamo
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Saratani ya shingo ya kizazi, Mtazamo hasi mahali pa kazi

afya mtazamo
AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni

Saratani ya shingo ya kizazi, Mtazamo hasi mahali pa kazi

afya mtazamo
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Saratani ya Shingo ya kizazi, Mtazamo hasi kazini

shingo afya mtazamo
AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni

Saratani ya Shingo ya kizazi, Mtazamo hasi kazini

shingo afya mtazamo
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Msongo wa mawazo, Mtazamo hasi mahali pa kazi

afya mtazamo
AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni

Msongo wa mawazo, Mtazamo hasi mahali pa kazi

afya mtazamo
AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Msongo wa Mawazo, Mtazamo hasi mahali pa kazi

afya mtazamo
AWR - Jarida la redio ya Waadvenista Ulimwenguni

Msongo wa Mawazo, Mtazamo hasi mahali pa kazi

afya mtazamo
VOA Express - Voice of America
Nini mtazamo wa wanaharakati wa haki za binadamu hukusu mizozo kati ya wanandoa na wapenzi kutokana na fedha? - Aprili 18, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 18, 2024 30:00


VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.

Kwa Undani - Voice of America
Habari zilizovuma wiki hii kwa mtazamo wa Meza ya Waandishi ni pamoja na mabadiliko ya baraza la mawaziri Tanzania na kuuawa kwa raia 48 DRC - Septemba 01, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Sep 1, 2023 29:59


Kwa Undani - Voice of America
Mchambauzi atoa mtazamo wake baada ya matokeo ya uchaguzi wa Zimbabwe - Agosti 28, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 28, 2023 30:00


Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer
Kukuza mtazamo wa huruma 2

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Play Episode Listen Later Mar 27, 2023 24:40


Leo, Joyce anafundisha jinsi tunavyoweza kukabiliana na yale mambo ambayo yanahitaji kushughulikiwa huku tukidumisha mtazamo wa huruma

mtazamo
Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer
Kukuza mtazamo wa huruma 1

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Play Episode Listen Later Mar 20, 2023 23:39


Tunapokumbuka jinsi Mungu ametupa rehema, inakuwa rahisi zaidi kuwaonyesha wengine rehema.

mungu mtazamo
She's Bold Podcast
Mtazamo Kuhusu Mwanamke Mzuri: Mwanamke Mzuri ni Yupi?

She's Bold Podcast

Play Episode Listen Later Jan 7, 2023 18:48


Episode hii inafichua sababu zinazowapelekea wasichana kudhani sio wazuri, fikira hii imepelekea wengine kufanya maamuzi yalioathiri maisha yao. Wengine wameishinda fikira hii inayotawala katika jamii ya Kiafrika. Wamewezaje? Najma anamhoji Emmy Rose Rugumamu kuhusu kampeni yake ya kusaida wanawake wenye mauombo makubwa. Emmy Rose ni Communication Professional ,anafanya kazi UWC East Africa, Pia ni kiongozi wa TEDxMajengo , Emmy Anapenda kutengeneza maudhui na kujieleza (storytelling ) pia ni mwandaaji wa open mic nights huko Arusha. Kuna sauti za wanawake wengine na experience zao katika kushinda mtazamo wa jamii juu ya umbo au uzuri wao. Subscribe uweze kupata notification kila tunapopublish episode mpya.

Habari za UN
29 NOVEMBA 2022

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 29, 2022 0:13


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina tukiangazia juhudi za kuwajengea watoto tabia ya kupenda kusoma vitabu na pia habari kwa ufupi zikiwemo ripoti ya UNAIDS na WHO, na usaidizi kwa wakimbizi na jamii za wenyeji nchini Chad. Mashinani tutakwenda nchini Cameroon, kulikoni?Msichana Marynsia Mangu kwa kutambua umuhimu na maarifa yanayopatikana kwenye vitabu lakini jitihada zake za kuwashawishi marafiki zake kusoma vitabu kushindwa kuzaa matunda akaamua kufuata usemi wa Kiswahili Samaki mkunje angali mbichi na kuanzisha shirika la success Hands au kwa lugha ya Kiswahili Mikono yenye Mafanikio ambalo jukumu lake ni kuwajengea watoto tabia yakupenda kusoma vitabu tangu wangali tumboni mwa mama zao.Ripoti mpya ya tathimini iliyofanywa na shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na masiuala ya ukimwi UNAIDS kuelekea siku ya ukimwi duniani ambayo kila mwaka huadhimishwa Desemba Mosi inaonyesha kuwa pengo la usawa ni kikwazo kikubwa katikia juhudi za kutokomeza janga la ukiwmi duniani. Shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO leo limesema majeraha na machafiuko vinasababisha vifo vya watu 12,000 kila siku kote duniani ambavyo ni sawa na kifo 1 kati ya vifo 12. Kupitia ripoti yake mpya “Mtazamo wa kuzuia majeraha na machafuko” iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis WHO inasema sababu kuu tatu kati ya tano zinazosababisha vifo vywa watu wa umri wa kati ya miaka 5 hadi 29 ni majeraha, athari za ajari za barabarani , mauaji na kujiua.Na mashirika ya Umoja wa Mataifa ile la Mpango wa chakula duniani WFP na linaloshughulika na wakimbizi UNHCR wametoa ombi la dola milioni 161 ili wasikatishe huduma ya chakula cha msaada kwa ajili ya kuwasaidia wakimbizi na jamii za wenyeji nchini Chad.Na leo mashinani tutaelekee barani Afrika nchini Cameroon kumsikiliza Cecile Ndjebet ambaye anaeleza uhusiano uliopo kati ya haki ya umiliki wa ardhi hasa kwa wanawake na uhifadhi wa mazingira.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Jioni - Voice of America
Live talk: Wachambuzi watoa mtazamo wao kuhusu timu za Afrika ya michuano ya duru ya pili kwenye kombe la dunia huko Qatar - Novemba 25, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 25, 2022 59:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Radio Maria Tanzania
Huruma ya Mungu na Mtazamo wa Ujio wa Kristo

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Nov 16, 2022 55:54


Na Padre Dominic Mavula C.PP.S Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tz

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer
Mtazamo wa Imani na Subira

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Play Episode Listen Later Oct 24, 2022 25:50


Haijalishi nini kinaendelea katika maisha yako, jifunze jinsi tabia ya kuaminiana inavyoachilia furaha huku subira hukuruhusu kufurahiya wakati huo.

subira mtazamo
Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Jifunze leo kujiamini wewe ni nani katika Kristo na kuacha kuishi kwa kujilinganisha na wengine.

kristo jifunze mtazamo
Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer
Ni Wakati Wa Kurekebisha Mtazamo Wako 2

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Play Episode Listen Later Jun 27, 2022 24:46


Je! Unatambua kuwa mtazamo wako unatuma ujumbe kwa adui? Je! Yako inamwambia anashinda au anashindwa?

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer
Ni Wakati Wa Kurekebisha Mtazamo Wako 1

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Play Episode Listen Later Jun 20, 2022 25:29


Marekebisho kidogo kwa mtazamo wako yanaweza kuleta mabadiliko makubwa maishani mwako.

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer
Kataa Kusetwa na Maisha Yako ya Nyuma 1

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Play Episode Listen Later Jun 6, 2022 23:52


Kuhisi kukwama kwenye hali ya huzuni? Leo, Joyce atakukumbusha kuwa nguvu ya Mungu iliyo ndani yako inaweza kukukamata kutoka kwa hali iliyokukwamiza na kukuelekeza katika hatima yako!

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer
Kamwe Hatupaswi Kukata tamaa -2

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Play Episode Listen Later May 30, 2022 23:16


Mtazamo ulio nao wakati wa shida ni muhimu kwa mafanikio yako ya mwisho. Jifunze jinsi kufanya mema kwa wengine kunaweza kuinua roho yako na kukuinua kutoka shimoni.

jifunze mtazamo
Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer
Kamwe Hatupaswi Kukata tamaa 1

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Play Episode Listen Later May 23, 2022 25:18


Je! Yosefu alitokaje kutoka kwenye shimo hadi ikulu? Hakukata tamaa wakati mambo yalikuwa magumu katikati ya safari.

mtazamo
Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Usijaribu kuwa vile watu wengine walivyo. Gundua kile neema ya Mungu imekujalia kufanya.

Habari za UN
Wanawake majaji tumeleta mabadiliko chanya katika Mahakama nchini Kenya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 19, 2022 15:14


Tarehe 10 mwezi Machi mwaka 2022, kumefanyika maadhimisho ya kwanza ya siku ya majaji wanawake duniani. Siku hii imeadhimishwa na maudhui yakiwa "Haki katika Mtazamo wa Kijinsia." Lengo ni kuona ni kwa vipi majaji wanawake wanaweza kuwa chachu katika utoaji wa haki kwenye mahakama kwa kuzingatia kuwa tasnia hiyo imegubikwa na mfumo dume. Katika kufahamu ukweli wa hoja hiyo Assumpta Massoi wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa amezungumza na Jaji Hannah Okwengu wa Mahakama ya Rufaa nchini Kenya ambaye anaanza kwa kuelezea anajisikiaje kuwa Jaji kwenye tasnia iliyozoeleka kuwa ya wanaume wengi zaidi.

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer
Mitazamo inayodumisha Furaha Maishani Mwako -2

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Play Episode Listen Later Jan 17, 2022 24:01


Kujifunza kungojea kwa subira kwa baraka za Mungu ni sehemu muhimu ya kudumisha furaha yetu.

mungu mtazamo
Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer
Mitazamo inayodumisha Furaha Maishani Mwako -1

Kufurahia Maisha ya Kila Siku na Joyce Meyer

Play Episode Listen Later Jan 10, 2022 25:27


Sio hali zetu ambazo huamua furaha yetu. Ni mtazamo wetu wakati wa hali zetu ndio huleta tofauti.

baraka sio mtazamo
Habari RFI-Ki
Hali ya madeni ya taifa nchini Kenya na Tanzania

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Dec 31, 2021 9:57


Hivi karibuni nchini Kenya na Tanzania, kumekuwa na mjadala kuhusu hatua za serikali ya nchi hizo kuendelea kukopa kiwango kikubwa cha pesa, hali ambayo inaelezwa imeongeza mzigo kwa raia ambao wanalipa kodi kiwango kikubwa. Mtazamo wako ni upi kuhusu hatua ya serikali kuendelea kukopa ? Unahisi fedha zinazochukuliwa na serikali zimetumika ipasavyo ?

Habari za UN
Tunataka kubadilisha mtazamo wa watu warejee katika vyakula vya kienyeji - Miriam Nabakwe

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 22, 2021 3:34


Umoja wa Mataifa uliutangaza mwaka huu wa 2021 unaoelekea ukingoni kuwa mwaka wa mbogamboga na matunda lengo likiwa ni kuelimisha watu kuhusu umuhimu na faida za mbogambona na matunda mwilini. Miriam Nabakwe wa nchini Kenya anasema tatizo hilo la watu kutokula mbogamboga lipo na mbaya zaidi ni kuwa hata vyakula ambavyo watu sasa wanavithamini si vile vya asili na hivyo kuongeza tatizo juu ya tatizo kwani anaamini vyakula vya asili vilivyosalia katika maeneo mbalimbali duniani ndivyo vyenye virutubisho asilia. Kwa msingi huo ameamua kufanya juhudi binafsi kuwahamasisha watu wa nchini mwake Kenya angalau kwa kuanzia katika mji mkuu, Nairobi ili watu warejee katika ulaji wa vyakula vya asili. Anafanyaje? Tuungane na mwandishi wetu wa Kenya Jason Nyakundi ambaye amezungumza naye. 

Radio Uhai Broadcast
Weka Mtazamo Wako Kwenye Ahadi Za Mungu (Swahili)

Radio Uhai Broadcast

Play Episode Listen Later Dec 14, 2021 59:00


Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Umoja wa mataifa wasikitishwa na hali nchini Sudan

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Oct 30, 2021 20:13


Makala hii imeangazia vurugu zinazoshuhudiwa nchini Sudan baada ya kufanyika mapinduzi ya kijeshi na baadaye kuachiwa huru kwa waziri mkuu Abdallah Hamdok ambapo Umoja wa mataifa, Umoja wa Afrika, zimelaani hali hiyo ambapo maandamano yameendelea nchini humo. Huko DRC tumeangazia kuhusu kuapishwa kwa mwenyekiti mpya wa CENI Denis Kadima anayepingwa na dhehebu la kikatoliki na lile la kiprotestanti pamoja na mambo mengine yaliyojiri duniani.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Kenya na Malawi zaimarisha ushirikiano wao, rais wa DRC amwidhinisha mkuu mpya wa CENI

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Oct 23, 2021 20:11


Makala hii imeangazia hatua ya rais wa DRC Felix Tshisekedi kumwidhinisha Denis Kadima kuwa mwenyekiti mpya wa tume ya uchaguzi CENI pamoja na wajumbe 12 ikitarajiwa kwamba upinzani utatoa majina ya wajumbe watatu ili kukamilisha orodha ya wajumbe 15. Kenya na Malawi zilitiliana saini makubaliano kadhaa ikiwemo ya kibiashara na usalama pamoja na mambo mengine mengi..Karibu kuungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka kusikiliza zaidi

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Ziara ya rais wa Kenya Uhuru Kenyatta nchini Marekani, kuachiwa huru kwa Kambidi DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Oct 16, 2021 20:15


Makala hii imeangazia ziara ya rais wa Kenya Uhuru Kenyatta nchini Marekani na ahadi za mwenyeji wake rais Joe Biden, hali ya wasiwasi inayosababishwa na waasi wa ADF huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika maeneo ya Mutwanga jeshi la congo FARDC lashirikiana na askari walinzi wa mbuga ya wanyamapori ya Virunga katika kukabiliana na kundi la ADF, hali ya kisiasa nchini Rwanda na mataifa ya magharibi pia mambo mengine mengi. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kusikiliza zaidi

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Guteress ataka Ethiopia kutoa ushahidi dhidi ya wafanyakazi wa UN waliofukuzwa

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Oct 9, 2021 20:21


Makala hii imeangazia kufukuzwa kwa wafanyakazi wa umoja wa mataifa nchini Ethiopia, mvutano kati ya viongozi wa madhehebu ya kikatoliki kiprotestanti na makanisa ya uamsho huko DRC washindwa kuafikiana kuhusu uteuzi wa mwenyekiti mpya wa tume ya uchaguzi, CENI. Huko Burundi wafanyakazi wa serikali waaswa kuhalalisha ndoa zao; la sivyo wafukuzwe kazi...pamoja na mengine mengi duniani kwa wiki hii. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kusikiliza zaidi. 

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Ethiopia yawafukuza viongozi wa Umoja wa Mataifa

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Oct 2, 2021 19:54


Miongoni mwa taarifa kuu za dunia tulilozipa uzito wiki hii ni pamoja na Ethiopia kuwafukuza viongozi wa Umoja wa Mataifa nchini mwake, hali ya usalama kuendelea kuzorota Mashariki mwa DRC na Majenerali wa Marekani wasema walimshauri rais Joe Biden kutowandoa wanajeshi wote nchini Afganistan.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Diplomasia kati ya Kigali na Brussels mashakani, mwanahabari akamatwa DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Sep 25, 2021 20:13


Makala hii imeangazia kuzorota kwa mahusiano ya kidiplomasia kati ya Rwanda na Ubelgiji kufuatia kesi ya Paul Rusesabagina, na huko DRC kukamatwa kwa mwandishi wa habari Sosthene Kambidi kupisha uchunguzi kuhusu mauaji ya wataalamu wawili wa Umoja wa mataifa Zaida Catalan na Michael Sharp mwaka 2017, pamoja na mengine mengi yaliyojiri kwenye Mataifa kadhaa.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Umoja wa mataifa washutumu Burundi kuhusu haki za binadamu wiki hii

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Sep 18, 2021 20:09


Makala hii imeangazia ripoti ya tume ya umoja wa mataifa kuhusu haki za binadamu nchini Burundi ambayo imeonesha kuzorota kwa haki za binadamu, katika kipindi cha miezi 15 iliyopita, nchini DR Congo polisi jijini Kinshasa walitumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa muungano wa upinzani wa Lamuka walipoandamana kupinga kuingiliwa kisiasa kwa CENI, Septemba 14 aliuawa mwanachama maarufu wa wakimbizi wa Rwanda nchini Msumbiji Revocat Karemangingo, afisa wa zamani wa jeshi la Rwanda lililopinduliwa na mwenye cheo cha luteni pamoja na mambo mengine mengi kutoka kila kona ya dunia.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Mshindi wa tuzo ya Nobeli Dokta Mukwege ataka kuundwa kwa mahakama maalum kuhusu DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Sep 11, 2021 20:09


Makala hii imeangazia wito wa mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel raia wa DRC, Daktari Denis Mukwege, wa kuundwa kwa mahakama maalumu ya kimataifa itakayoshughulikia kesi za makosa ya uhalifu wa kivita pamoja na makosa mengine katika majimbo ambayo yanashuhudia hali tete ya usalama kwa karibu robo karne..pamoja na mambo mengine mengi kutoka ulimwenguni

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Wanajeshi wa Marekani waondoka nchini Afghanistan

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Sep 4, 2021 20:09


Wiki hii, miongoni mwa Habari Kuu za dunia, tulilozipa nafasi kubwa kwenye chumba chetu cha Habari ni hatua ya wanajeshi wa Marekani kuondoka nchini Afghanistan baada ya miaka Ishirini.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Matukio makubwa ya dunia yaliyojiri wiki hii

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Aug 30, 2021 20:15


Maelfu ya watu wameendelea kuondolewa nchini Afghanistan, baada ya Taliban kuchukua udhubiti wa nchi hiyo, ni miongoni mwa matukio ya dunia tu nayokuletea.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Hali ya sintofahamu Afghanistan, watu 18 wauawa DRC na rufaa ya BBI yakataliwa Kenya

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Aug 21, 2021 20:11


Makala hii imeangazia hali ya wasiwasi ilivyoshuhudiwa nchini Afghanistan baada ya Taliban kuudhibiti mji mkuu wa Kaboul, kule nchini DRC watu 18 wauawa mashariki mwa nchi hiyo, na nchini Kenya mahakama ya rufaa ilitupilia mbali kesi inayohusu mchakato wa mabadiliko ya katiba maarufu kama BBI, na mengine mengi. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kusikiliza zaidi.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Wananchi wa Zambia kuchagua kiongozi wao, moto waivamia Algeria

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Aug 14, 2021 19:41


Katika makala hii tumeangazia uchaguzi mkuu wa nchini Zambia, na pia watumishi wa umma kutakiwa kuchanja dhidi ya Covid 19 wakati huko DRC mauaji yaliendelea kushuhudiwa huko wilayani Beni, Burundi na mambo mengine mengi...

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Mwenyekiti wa CENI kushindwa kupatikana DRC, Ruto azuiwa kusafiri Uganda

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Aug 7, 2021 19:57


Makala hii imeangazia mchakato wa upatikanaji wa mwenyekiti mpya wa tume ya uchaguzi nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo CENI, unavyogubikwa na siasa, kuchomwa makanisa, na mauaji,lakini pia ziara ya rais wa Tanzania Samia Suluhu nchini Rwanda, miongoni mwa mengine mengi......

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Kenya yataka mataifa jirani kuheshimu mipaka yake

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jul 24, 2021 19:50


Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kutaka mipaka ya nchi yake kuheshimu mipaka ya nchi yake, Tanzania kuanza kupokea chanjo na sakata la Pegasus.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye azuru DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jul 24, 2021 20:19


Miongoni mwa yale tuliyokuletea wiki hii ni pamoja na ziara ya rais za Burundi Evariste Ndayishimiye  nchini DRC, miongoni mwa mengine mengi.....

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Umoja wa ulaya kuondoa vikwazo dhidi ya Burundi, Marais wa DRC na Rwanda wakutana, Goma DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jun 26, 2021 20:21


Makala hii imeangazia mpango wa Umoja wa Ulaya kuiondolea vikwazo nchi ya Burundi, Waziri wa mambo ya nje wa Burundi Albert Shingiro na balozi wa Claude Bochu  waliendelea na mazungumzo ya kisiasa jijini Bujumbura, pia mkutano kati ya rais wa DRC Felix Tshisekedi na mwenzake wa Rwanda Paul Kagame, katika eneo la mpakani, lakini siasa za Uganda, pamoja na mwanasiasa wa upinzani wa Tanzania Tundu Lisu alizindua kitabu chake akiwa jijini Nairobi, na mambo mengine yaliyojiri duniani. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kusikiliza zaidi.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Zaira ya rais wa DRC Felix Tshisekedi eneo la mashariki, kifo cha Kenneth kaunda Zambia

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jun 19, 2021 20:04


Makala ya wiki hii imeangazia ziara ya rais Felix Tshisekedi wa DRC katika eneo la mashariki ya nchi yake, lakini pia huko Zambia maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha rais wa zamani wa nchi hiyo Kenneth Kaunda, kuachiwa huru kwa wafuasi wa chama cha upinzani nchini Uganda cha NUP, pamoja na matukio mengine barani Afrika na pia mkutano wa rais wa Marekani Joe Biden na rais wa Urusi Vladmir Putin, na siasa za Israeli   

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Mataifa ya jumuia ya afrika mashariki yasoma badgeti, viongozi wa G7 wakutana Uingereza

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jun 12, 2021 20:06


Mawaziri wa fedha kutoka mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, alhamisi ya juma hili baadhi waliwasilisha bajeti kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kwenye mabunge yao.Huko DRC wakaazi waliorejea mjini Goma walalamikia ukosefu wa makazi na hali duni, katika eneo la Afrika magharibi rais wa Ufaransa Emmanuel Macron asimamisha operesheni za kijeshi Barkhane nchini Mali, lakini pia mkutano wa viongozi wa G7 Uingereza. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kupata mengi zaidi.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - DRC yashuhudia wimbi la tatu la maambukizi ya corona, tahadhari yaongezeka

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jun 5, 2021 20:07


Makala ya wiki hii imeangazia kuhusu hatua ya serikali ya jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kutangaza kutokea kwa wimbi la tatu la maambukizi ya virusi vya Corona katika taifa hilo, kufunguliza kwa mpaka wa Gatumba kati ya DRC na Burundi, na pia kukamatwa ka mwanablogu mwengine nchini Rwanda, pamoja na habari mseto za kimataifa. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kusikiliza zaidi..

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Ziara ya rais wa Ufaransa nchini Rwanda, wakaazi wa Goma DRC wakimbia volkano juma hili

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later May 29, 2021 20:09


Makala ya wiki hii imezungumzia kuhusu ziara ya rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, nchini Rwanda, ziara inayolenga kufufua na kuboresha mahusiano ya kidiplomasia kati ya nchi hizi mbili. Huko DRC wakaazi wa mjini Goma mashariki mwa taifa hilo walilazimika kuhamishwa baada ya gavana wa jeshi jenerali Constant Ndima kusema kuwa wataalamu wamemwambia kuna uwezekano wa kuwepo mlipuko wa pili, wakati Huko Burundi  milipuko ya guruneti na watu wasiojulikana, pia makala hii imegusia habari zilizojiri kwengineko duniani.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Koome Jaji mkuu wa kwanza mwanamke Kenya, Wakongo wakasirishwa na kauli ya Rais Kagame

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later May 22, 2021 20:17


Makala ya juma hili imeangazia kuapishwa kwa jaji Mkuu mpya wa Kenya Martha Koome ambaye ameweka historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kushikilia wadhifa huo nchini humo, ziara ya rais wa Uganda Yoweri Museveni nchini Tanzania ambako pamoja na mwenyeji wake Bi Suluhu alisaini mkataba kuhusu bomba la mafuta, kule DRC matamshi ya rais wa Rwanda Paul Kagame kwamba hakuna mauaji yaliyofanyika mashariki yakihusisha majeshi ya nchi yake, kwingineko duniani machafuko ya eneo la Gaza huko Israeli 

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Rais wa Uganda Yoweri Museveni aapishwa, mchakato wa BBI nchini Kenya wakwama

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later May 15, 2021 20:10


Makala hii imeangazia kuapishwa kwa rais wa Uganda Yowezi Museveni, nchini Kenya mchakato wa kuifanyia katiba mabadiliko wakwamishwa na mahakama kuu, kule Burundi tumemlikia hali ya usalama baada ya kutokea mashambulizi katika eneo la Muranvya, wakati nchini DRC magavana wa kijeshi wiki hii walianza kazi kwenye majimbo yaliyo chini ya hali ya dharura, utasikia mengi kutoka sehemu nyingine za dunia. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka B.S.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Kenya naTanzania zamaliza tofauti zao, Jeshi kuongoza Ituri na Kivu kaskazini huko DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later May 8, 2021 20:08


Makala hii imeangazia hatua ya viongozi wa Kenya na Tanzania ya kuwahakikishia wafanyibiashara wa nchi hizo mbili kuimarisha mazingira ya kufanya biashara kati ya mataifa hayo jirani, wakati huko DRC rais Felix Tshisekedi aliwateua magavana wa Kijeshi kuongoza mikoa ya Kivu ya kaskazini na Ituri kama hatua ya kumaliza mauaji ya raia wa kawaida mashariki mwa Nchi hiyo, lakini pia siasa za Burundi, na ukanda wa Afrika na rubaa za kimataifa. Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka kupata mengi zaidi.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Usalama waendelea kuzorota DRC, Kenya kufunga kambi za Dadaab na Kakuma mwaka ujao

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later May 1, 2021 20:03


Miongoni mwa habari kuu za dunia tulizokukusanyia katika makala hii kwa juma hili utasikia kauli ya rais wa DRC Felix Tshisekedi akiomba msaada wa Ufaransa kupambana dhidi ya waasi wa ADF mashariki mwa nchi yake, lakini pia afisa wa polisi Eric Saddam akishuhudia kuhusika na mauaji ya dereva wa mwanaharakati Floribert Chebeya, Kenya kufunga kambi 2 za wakimbizi: Dadaab na Kakuma mwaka ujao, machafuko ya nchini Chad, na kasi ya maambukizi ya Corona huko India.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - DRC na Kenya kusaini mikataba ya kidiplomasia, mazishi ya rais Idris Debi huko Ndjamena

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Apr 24, 2021 19:59


Kenya na DRC zilitiliana sahini makubaliano ya kidiplomasia, kiusalama na kibiashara, Uganda yajibu madai ya DRC mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki ya ICJ huko Hague, Rais Samia amehutubia bunge na kutoa dira ya serikali yake, Mazishi ya rais wa Chad Idriss Déby Itno mbele ya viongozi kadhaa wa dunia, Urusi yaanza kuondoa vikosi vyake kutoka mipaka ya Ukraine, lakini pia siasa za Marekani Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kupata mengi zaidi

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Vurugu mauaji kuendelea DRC, mzozo wa mto Nile, Marekani kuondoa wanajeshi Afghanistan

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Apr 17, 2021 20:04


Nchini DRC wiki hii kuliripotiwa makabiliano makali kati ya jeshi la polisi na wakaazi wa eneo la Buhene jimboni Kivu kaskazini, nyumba kuteketezwa na mauaji mengine ya ajabu,wakati huko Barani afrika wiki hii waziri mkuu Hamdock alitangaza nia ya kumaliza mzozo wa mto Nile kati ya mataifa ya Misri na Ethiopia, kimataifa imeangaziwa hatua ya rais wa Marekani Joe Biden ya kuondoa wanajeshi wa nchi yake huko Afghanistan pamoja na waisilamu kote duniani kuanza funga ya mwezi wa ramadhani.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Baadhi ya matukio yaliyotokea duniani wiki hii

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Apr 3, 2021 20:21


Niger ina rais mpya Mohamed Bazoum, Philip Mpango ateuliwa kuwa Makamu wa rais wa Tanzania huku mazungumzo ya jamii zinazoishi Mashariki mwa DRC yakianza jijini Kinshasa. Tumekuandalia haya na mengine mengi.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Safari ya mwanzo na mwisho wake Magufuli wakati nchini Kenya kaunti 5 zafungwa

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Mar 27, 2021 20:16


Makala hii imeangazia kuzikwa kwa aliyekuwa rais wa awamu ya tano wa Tanzania John Magufuli katika makaburi ya familia huko mjini Chato, mkoani Geita, Kaskazini Magharibi mwa Tanzania, na Huko Kenya kaunti tano, likiwemo jiji kuu Nairobi, Kajiado, Kiambu, Machakos na Nakuru, yalifungwa kuanzia Ijumaa ya marchi 26 kwa lengo la kupambana na ongezeko la maambukizi ya COVID-19 nchini humo, huku muda wa watu kutotembea katika kaunti hizo ni kati ya saa mbili usiku mpaka wa saa 10 Alfajiri.Hali nchini DRC, Uchaguzi wa Congo Brazzaville na kwingineko duniani yaliangaziwa katika makala haya

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Watanzania waomboleza kifo cha rais wao, Bobi wine akamatwa Uganda, watu 30 wauawa DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Mar 20, 2021 20:11


Ni wiki ambayo raia watanzania, wanaomboleza kifo cha rais wao Joseph Magufuli ambaye alikuwa hajaonekana hadharani  kwa zaidi ya wiki mbili baada ya kusambaa kwa uvumi kuwa alikuwa anaumwa maradhi ya moyo kwa mujibu wa tangazo la serikali, nchi za Jumuia ya afrika mashariki zaomboleza pamoja na Tanzania, huko Uganda kiongozi wa upinzani alikamatwa wakati tume ya Monusco huko DRC juma hili iliahidi kuimarisha usalama mashariki mwa nchi hiyo, kimataifa tumeangazia makataa ya Nchini Ufaransa kwa muda wa wiki 4 

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Upinzani waitisha maandamano huko Uganda, nchini Kenya Raila Odinga akutwa na corona

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Mar 13, 2021 20:15


Makala ya wiki hii imeangazia wito wa upinzani nchini Uganda kuandamana kupinga matokeo ya uchaguzi wa january mwaka huu, nchi ya Kenya imetangaza makataa ya siku 60 zaidi kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona, huku aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo Raila Odinga akutwa na virusi vya Corona.Kule DRC watu waendelea kuuawa wakati ni juma ambalo Marekani ililitaja kundi la ADF kuwa ni la kigaidi, kimataifa tumeangazia maandamano ya nchini Ufaransa kwa juma hili. 

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Chanjo dhidi ya Covid kuanza kutolewa nchini Kenya, watu 14 wauawa DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Mar 6, 2021 20:18


Makala ya juma hili imeangazia hatua ya kanisa katoliki nchini Kenya kuunga mkono jitihada za serikali katika kutoa chanjo ya Covid 19 kwa raia wake, kauli inayopingana na msimamo wa madaktari wa kanisa hilo waliowataka waumini wao kutochoma chanjo hiyo kauli inayopingana na msimamo wa madaktari wa kanisa hilo waliowataka waumini wao kutochoma chanjo hiyo, pia mapigano kati ya majeshi ya Rwanda na Burundi, pamoja na mauaji ya watu 14 huko Mambelenge DRC na mengine mengi.

Unity Radio 254
Falsafa za Ustadh (mtazamo na amani)

Unity Radio 254

Play Episode Listen Later Mar 4, 2021 4:41


Kipindi hiki nilikibuni makusudi kutusaidia sisi binadamu kujua maana ya mtazamo na amani na kisha kuziunganisha kwa manufaa ya Ulimwengu na walimwengu wake☺️ --- Send in a voice message: https://anchor.fm/unityradio254/message

ustadh kipindi ulimwengu mtazamo
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Wananchi wa Uganda wamchagua rais na wabunge wao, watu 40 wauawa huko Irumu nchini DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Feb 22, 2021 20:05


Yaliyojiri wiki Hii katika baadhi ya mataifa ya afrika kwanza ni Uchaguzi nchini Uganda ambako wananchi walimchagua rais na wabunge wao, mauaji kuendelea kushuhudiwa huko DRC, 40 wauawa Irumu kwenye jimbo la Ituri, Umoja wa mataifa walalamikia utovu wa usalama huko Jamhuri ya Afrika ya kati baada ya Uchaguzi, Wabunge nchini Marekani wakutana kupiga kura ya kutokuwa na imani na rais Donald Trump.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Mauaji kuendelea katika mji wa mwenda DRC, wanafunzi warejelea shule nchini Kenya

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Feb 22, 2021 20:16


Ni makala ya kwanza ya mwaka mpya wa 2021 kuuawa kwa watu zaidi ya 20 katika kijiji cha Mwenda mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, wanafunzi warejelea shule nchini Kenya, mgombea wa urais nchini Uganda Bobi Wine ahamisha familia yake nje ya nchi kabla ya kufanyika kwa uchaguzi nchini humo, rais Nana akufo ado wa Ghana kuwania kiti cha urais kwa muhula wa pili, na kimataifa wafuasi wakerais wa Marekani Donald Trump waandamana kupinga ushindi wake Joe Biden na kulivamia bunge la Capital Hill jijini Washington.

RadioRahma
MTAZAMO WA VIJANA KUHUSU BBI

RadioRahma

Play Episode Listen Later Dec 25, 2020 9:31


Makala by Ali Nariri

SBS Swahili - SBS Swahili
Economic outlook after COVID - 19 pandemic - Mtazamo wa uchumi baada ya janga la Corona

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 26, 2020 21:05


Many developing countries still fighting COVID - 19 pandemic. Economically, a lot of them will suffer, but the question is, how will they bounce back to normal? - Nchi zinazoendelea bado pia ziko kwenye mapambano ya janga hili la COVID - 19.Mataifa mengi yatayumba kiuchumi, swali ni je yatajiinua vipi kurudi kwenye hali yake ya kawaida?

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Maombolezo ya kitaifa nchini Kenya baada ya kifo cha rais wa zamani Arap Moi, kaimu waziri mkuu wa ubelgiji azuru DRC, China yaahidi kupambana na Corona

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Feb 18, 2020 21:09


Maombolezo ya kitaifa yaliendelea nchini Kenya baada ya kifo cha rais wa zamani wa nchi hiyo Arap Moi. Nchini Malawi, mahakama ya katiba ilibatilisha matokeo ya uchaguzi mkuu uliompa ushindi rais Peter Mutharika na huko DRC sakata la mchungaji na mwimbaji wa nyimbo za injili, Moise Mbiye lazua sintofahamu jijini Kinshasa kufuatia tuhuma za ubakaji, tume ya uchaguzi Burundi yatangaza idadi ya wapigakura, nchini Marekani baraza la seneta lamuondolea makosa rais wa Marekani, Donald Trump

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Rais wa zamani wa Kenya azikwa nyumbani kwake, mauaji yaendelea wilayani Beni, virusi vya Corona vyaangamiza zaidi

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Feb 18, 2020 20:09


Viongozi mbalimbali wa Afrika mashariki na kwingineko duniani walijiunga na Maelfu ya wakenya kushiriki mazishi ya aliyekuwa rais wa zamani wa nchi hiyo Daniel Arap Moi, katika eneo la Kabarak katika kaunti ya Nakuru, na huko jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, wasiwasi kuongezeka kuhusu maambukizi ya virusi hatari vya ebola, kutokana na maelfu ya wakaazi wa Mangina kutoroka makwao, mawaziri wa nchi za nje kutoka Uganda na Rwanda walikutana jijini Kigali, na kimataifa virusi vya Corona kusababisha maelfu ya watu kupoteza maisha nchini China.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Maambukizi ya virusi vya Corona yaongezeka China, mauaji ya Beni yatisha, Uingereza yajiondoa rasmi EU

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Feb 4, 2020 21:11


Katika makala hii, tumeangazia maambukizi ya virusi vya Corona nchini China kuendelea kuzua hofu kubwa huku ulimwengu ukihamasika katika kupambana navyo, huko DR Congo mauaji yaliendelea huku maafisa wa serikali wakiahidi kuimarisha usalama kuzuia mauaji yanayotekelezwa na waasi wa ADF. Kimataifa, Uingereza yajivua uanachama wake rasmi katika umoja wa ulaya, pia mchakato wa kumwondoa rais wa Marekani Donald Trump kushika kasi.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Rais wa DRC Felix Tshisekedi aadhimisha mwaka mmoja madarakani, viongozi wa sudan kusini washindwa kuafikiana, virusi vya Corona vyaripotiwa China

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jan 29, 2020 20:04


Katika makala hii tumeangazia mwaka mmoja wa rais wa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi madarakani lakini pia kauli yake ya kulivunja bunge la kitaifa, nchini Burundi wabunge waidhinisha muswada wa sheria unaopanga marupurupu ya rais atakayestaafu lakini pia faida zingine, suala la ulanguzi wa binadamu nchini Kenya, waziri wa mambo ya ndani wa Tanzania ajiuzulu na mengine mengi katika uga wa kimataifa.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Jeshi la Congo labomoa ngome ya ADF mashariki mwa DRC, waalimu wa Kenya kuondoka maeneo ya Garisa, Iran yatuhumu nchi za magharibi

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jan 20, 2020 20:29


Jeshi la jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, juma hili lilifahamisha kuwa limedhibiti ngome muhimu ya Madina baada ya kuwatimua waasi wa ADF, huko Kenya waalimu watishia kuondoka katika eneo la Garissa kwa sababu za kiusalama, viongozi wa mataifa ya Sahel walikubaliana kuhusu kuimarisha mapambano dhidi ya magaidi, na huko Marekani mchakato wa kumuondoa madarakani rais Donald Trump washika kasi

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Shambulio la kambi ya kijeshi Lamu laua darzeni Kenya, DRC yafunga chuo kikuu Kinshasa, mvutano wa Iran na Marekani washika kasi

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jan 13, 2020 20:35


Katika makala ya wiki hii tumeangazia kuhusu shambulio lililotekelezwa na wanamgambo wa al-Shabaab dhidi ya kambi ya simba huko Lamu pwani ya Kenya, wiki hii serikali ya DR Congo kukifunga chuo kikuu cha Kinshasa kufwatia vurugu zilizojitokeza ambapo askari polisi mmoja aliuawa na mahusiano kati ya Rwanda na Uganda yaanza kuboreka, kimataifa mvutano kati ya Iran na Marekani washika kasi mpya

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Dunia yaukaribisha mwaka mpya wa 2020, serikali ya DRC yaahidi amani, mkuu wa majeshi wa Irani auawa

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jan 4, 2020 20:02


Makala hii imeangazia namna ambavyo mamia kwa maelfu ya watu kote duniani walivyou karibisha mwaka mpya wa 2020, hali ya usalama kuendelea kuzorota wilayani Beni mashariki mwa DR Congo, wakati Kenya imeimarisha usalama huko Lamu, na kiongozi wa upinzani ashinda uchaguzi wa hivi karibuni, kimataifa kuuawa kwa mkuu wa majeshi ya mapinduzi Irani, na mgomo wa wafanyakazi waendelea Ufaransa

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Ulimwengu wakaribisha christmas 2019, mauaji kuendelea mjini Beni DRC, uchaguzi nchini Israeli

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Dec 31, 2019 21:05


Makala ya wiki hii imeangazia ulimwengu wa wakristo ulivyoikaribisha sikukuu ya krismas mwaka 2019, mwendelezo wa mauaji katika baadhi ya vijiji wilayani Beni mashariki mwa DRC, mazungumzo kuhusu upatikanaji wa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Sudan kusini, kurejelewa mwezi february mwakani, pia kuendelea kwa mgomo wa kitaifa nchini Ufaransa kufwatia mpango wa marekebisho ya mfumo wa pensheni

SBS Swahili - SBS Swahili
Tanzanian economic growth part two - Mtazamo wa ukuaji wa uchumi wa Tanzania sehemu ya pili

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 31, 2019 22:31


There have been many questions about the growth of the Tanzanian economy. SBS Swahili had the opportunity to speak with some international businessmen about the whole economic trend. And this is the second part of that conversation. - Kumekuwa na maswali mengi juu ya ukuaji wa uchumi wa Tanzania. SBS Swahili ilipata wasaa wa kuzungumza na baadhi ya wafanyabiashara wa kimataifa kuhusiana na mwenendo huo mzima wa uchumi. Na hii hapa ni sehemu ya pili ya mazungumzo hayo.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Bunge la congress Marekani kutokuwa na imani na rais Trump, mauaji yaendelea mashariki mwa DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Dec 23, 2019 20:03


Katika makala hii tumeangazia mchakato wa bunge la Marekani kupiga kura ya kutokuwa na imani na rais Donald Trump, wakati barani afrika kuendelea kwa mauaji ya raia wasio na hatia huko mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo pamoja na siasa za Kenya, Sudan, Niger, na pia hatua ya uibgereza ya kujiondoa kwenye umoja wa ulaya, lakini pia mgomo wa wafanyakazi wa sekta mbali mbali nchini Ufaransa. Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka

SBS Swahili - SBS Swahili
Tanzanian economic growth first part - Mtazamo wa ukuaji wa uchumi wa Tanzania sehemu ya kwanza

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 22, 2019 25:48


There have been many questions about the growth of the Tanzanian economy. SBS Swahili had the opportunity to speak with some international businessmen about the whole economic trend. - Kumekuwa na maswali mengi juu ya ukuaji wa uchumi wa Tanzania. SBS Swahili ilipata wasaa wa kuzungumza na baadhi ya wafanyabiashara wa kimataifa kuhusiana na mwenendo huo mzima wa uchumi.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Gavana wa Nairobi Sonko aachiwa kwa dhamana, rais wa DRC Tshisekedi ahutubia bunge, Waziri mkuu wa uingereza Johnson ashinda uchaguzi

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Dec 14, 2019 20:00


Makala ya juma hili imeangazia kukamatwa kwa gavana wa kaunti ya Nairobi Mike Mbuvi Sonko, na baadaye kuachiwa huru kwa makosa ya ufisadi, nchini DRCongo rais Felix Tshisekedi alilihutubia taifa kupitia bunge la nchi hiyo, naye waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed aliipokea tuzo ya amani huko Oslo,huko Niger rais wa Ufaransa Emmanuel Macron aliahirisha mkutano wa viongozi wa G5 Sahel hadi january mwakani. Kimataifa tumeangazia uchaguzi wa Uingereza uliompa ushindi Boris Johnson

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Maandamano ya kupinga Monusco yaitishwa mashariki mwa DRC, gavana wa kaunti ya Nairobi akamatwa, mgomo nchini Ufaransa

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Dec 9, 2019 20:08


Ni juma ambalo limeshuhudia kusitishwa kwa shughuli za maisha pia maandamano ya kupinga uwepo wa Monusco nchini DRC, huku waandamanaji wakiituhumu kwa kushindwa kuwalinda raia wakati huu mauaji yakiendelea wilayani Beni, nchini Kenya gavana wa jimbo la Nairobi Mike Sonko,akamatwa kwa tuhuma za ufisadi. Rais wa Uganda Yoweri Museveni ahimiza matembezi ya kupinga ufisadi nchini mwake. Ufaransa, maandamano ya kupinga mageuzi ya mfumo mpya wa mafao ya pensheni yaliendelea. Ungana na mwandishi wetu Reuben K.Lukumbuka  

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Maandamano makubwa yaripotiwa DRC kupinga mauaji Beni DRC, ripoti BBI yakabidhiwa rais, siasa za Marekani zaendelea

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Nov 30, 2019 20:00


Katika yaliyojiri huko DRC wiki hii wananchi waomboleza vifo vya watu zaidi ya ishirini katika ajali ya ndege ya shirika la Busy Bee mjini Goma, pia maandamano makubwa yaliripotiwa ambapo wananchi wameishutumu Monusco kwa kushindwa kuuthabitisha usalama katika mji wa Beni. Rais Uhuru Kenyatta akabidhiwa ripoti ya BBI, Nchini Kenya.Mchakato wa kumwondoa madarakani rais Donald Trump washika kasi.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Mauaji mapya Beni mashariki mwa DRC, awamu mpya ya mazungumzo Sudan Kusini, mstakabali wa rais wa Marekani Donald Trump mashakani

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Nov 25, 2019 20:07


Katika makala ya juma hili tumeangazia mauaji mengine mapya huko Beni mashariki mwa DR Congo ambapo watu wengine saba waliripotiwa kuuawa mwanzoni mwa juma lililopita, vijana waliohamaki waliweka vizuizi vya barabarani, awamu mpya wa mazungumzo ya amani nchini Sudan Kusini, na katika uga wa kimataifa siasa za Marekani na mchakato wa kumng'oa madarakani rais Donald Trump, pamoja na mengine mengi. Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka kusikiliza zaidi.

donald trump congo wiki beni rais katika wako marekani mashariki ungana mtazamo sudan kusini
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Ziara ya rais Tshisekedi nchini Ufaransa, mkutano wa idadi ya watu na maendeleo wahitimishwa nchini Kenya, rais wa Bolivia ajiuzulu

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Nov 18, 2019 20:05


Rais wa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi Tshilombo alikutana na mwenyeji wake rais wa uganda Museveni na kwa pamoja wamekubaliana kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia kati ya mataifa yao mawili, baada ya kuzuru Uganda rais Tshisekedi alielekea Ufaransa, kabla ya kuenda Ujerumani, mkutano kuhusu idadi ya na maendeleo ya dunia wamalizika wakati kimatifa rais wa Bolivia juma hili alitangaza kujiuzulu kwake. 

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Rais wa Sudan kusini Salva Kiir akutana na mpinzani wake Riek Machar mjini Kampala, watu 10 wauawa mashariki mwa DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Nov 11, 2019 20:31


Makala ya juma hili imeangazia mkutano kati ya rais wa Sudan kusini Salva Kiir na kiongozi wa waasi Riek Machar jijini Kampala chini ya usimamizi wa rais yoweri Museveni. Nchini DRCongo watu wasiopungua 10 waliuawa katika mji wa Kokola, wilayani Beni katika shambulizi linalodaiwa kuwa lilitekelezwa na waasi wa ADF, wakati kimataifa tumeangazia ziara ya rais wa Ufaransa Emmanuel Macron nchini China. 

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Kiongozi wa waasi Sudan kusini achelewesha uundwaji wa serikali, ziara ya Moise Katumbi mashariki mwa DRC, siasa za Marekani njiapanda

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Nov 4, 2019 21:02


Wakati tarehe ya uundwaji wa serikali ya mpito nchini Sudan kusini, november 12 inapokaribia, kiongozi wa waasi nchini humo Riek Machar asema hayupo tayari kurejea Juba, makala ya mtazamo wako kwa yaliyojiri wiki hii pia imeangazia ziara ya mwanasiasa wa upinzani nchini DRC Moise Katumbi mashariki mwa nchi hiyo, wakati kimataifa tumemulika mvutano wa wabunge nchini Marekani kutaka kumuondoa madarakani rais Donald Trump

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Wanaharakati wapinga kupelekwa kwa majeshi ya nchi jirani kukabiliana na waasi DRC, kimataifa Brexit bado kizungumkuti

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Oct 31, 2019 20:10


Katika makala hii tumeangazia matukio kadhaa huko jamhuri ya kidemokrasia ya Congo ambako juma hili, mashirika ya kiraia yalipinga mpango uliopo wa kuundwa kwa kikosi cha pamoja cha majeshi kutoka nchi za maziwa makuu kukabiliana na wapiganaji maimai pia makundi mengine ya wapiganaji wa kigeni yanayoendelea kuyumbisha usalama na kutekeleza mauaji nchini DRC, lakini pia Ripoti inayotarajiwa kutoa suluhu ya changamoto zilizojitokeza wakati na baada ya uchaguzi mkuu nchini Kenya, BBI; wakati kimataifa tumeangazia Brexit.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Serikali mpya yaundwa DRC, miezi saba baada ya kuapishwa kwa Felix Tshisekedi na mkutano wa pamoja baina ya Afrika na Japan watamatika huko Yokohama

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Aug 31, 2019 20:46


Machache kati ya tuliyoyafumbata katika makala ya mtazamo wako kwa yaliyojiri wiki hii ni pamoja DRC yapata serikali mpya miezi saba baada ya kuapishwa kwa rais Felix Tshisekedi na katika uga wa kimataifa mkutano wa pamoja baina ya viongozi wa Afrika na Japan watia nanga huko Yakohama. Ungana na Fredrick Nwaka aliyekuandalia makala haya.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Viongozi wa waandamanaji na wa kijeshi Sudan wafikia mwafaka, AFDC yapania kugombea useneta nchini DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jul 8, 2019 20:05


Makala hii imeangazia makubaliano yaliyofikiwa kati ya viongozi wa waandamanaji na wakuu wa kijeshi kuhusu muundo wa serikali ya mpito nchini Sudan, huko DRCongo rais Felix Tshisekedi alitembelea kambi ya wakimbizi huko Djugu katika jimbo la Ituri, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo, ziara ya rais wa Kenya Uhuru Kenyatta nchini Tanzania, wakati kimataifa mvutano kati ya Marekani na Iran kuhusu suala la Nuklia

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Mohamed morsi azikwa kisiri huko Cairo, Misri, naibu mwenyekiti wa CENI ajiuzulu nchini DRC, Marekani yavutana na Iran

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jun 24, 2019 20:10


Juma hili lilishuhudia kufariki dunia kwa aliyekuwa rais wa Misri, Mohammed Morsi kiongozi aliyechaguliwa kidemokrasia akiwa mahakamani akiisikiliza kesi yake, huko DRC naibu mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Norbert Basengezi alitangaza kujiuzulu, rais wa Marekani Donald Trump aituhumu Iran kwa kudungua ndege yake isiyo na rubani katika anga ya mashariki ya kati.   

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Mazungumzo ya amani kuanza Sudan, rais wa DRC Felix Tshisekedi azuru Tanzania, mawaziri wa fedha wa EAC wazisoma Badgeti zaoza 2020

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jun 16, 2019 20:32


Katika makala ya juma hili tumeangazia hatua ya Marekani kumtuma mjumbe wake huko Sudan kupatanisha kamati ya kijeshi na waandamanaji, ziara ya rais wa DRC Felix Tshisekedi nchini Tanzania, lakini pia kusomwa kwa badjeti ya mwaka 2019/2020 katika mataifa ya jumuia ya Afrika mashariki, kadhalika mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola nchini Uganda. 

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Umoja wa afrika wasimamisha uanachama nchi ya Sudan, waasi wa ADF wauawa mashariki mwa DRC, rais wa Marekani Donald Trump ziara Uingereza

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jun 13, 2019 20:00


Ni juma ambalo limeshuhudia hatua ya umoja wa Afrika kutangaza kusimamisha uanachama nchi ya Sudan na kutaka kuwekwa kwa utawala wa kiraia ili kumaliza mzozo wa kisiasa unaoendelea nchini humo, na huko DRC waasi 23 wa ADF wameuawa maeneo ya Beni mashariki mwa nchi hiyo, kimataifa ziara ya rais wa Marekani Donald Trump nchini Uingereza.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Mazishi ya kinara wa upinzani, DRC Etienne Tshisekedi, Tanzania yapiga marufuku mifuko ya plastiki, ripoti ya Muller Urusi iliingilia uchaguzi wa Marekani

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jun 3, 2019 20:44


Katika makala hii tumeangazia mazishi ya aliyekuwa kinara wa upinzani nchini jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, Etienne Tshisekedi, upigaji marufuku wa mifuko ya plastiki nchini Tanzania, kuapishwa kwa rais wa Malawi Peter Mutharika, pia rais wa Nigeria Muhammadou Buhari, na katika uga wa kimataifa kurudiwa kwa uchaguzi wa Israeli baada ya waziri mkuu Benjamin Netanyahu kushindwa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa

SBS Swahili - SBS Swahili
WOMEN VIOLENCE - UNYANYASI DHIDI YA WANAWAKE

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 30, 2019 5:44


A new report has found young Australians are confused about consent and control in relationships.The National Community Attitudes towards Violence Against Women Survey found a disturbing number of young people blame women for being sexually assaulted and having their nude images shared without consent. - Utafiti mpya umebaini, Waustralia wadogo hawaelewi kuhusu swala zima la idhini na mfumo dume (mwanaume pekee kuwa na sauti au udhibiti) kwenye mahusiano.Mtazamo wa Kitaifa wa Jamii kuhusu utafiti wa Unyanyasaji dhidi ya Wanawake umegundua, baadhi ya vijana wadogo wanawalaumu wanawake kwa kudhalilishwa na picha zao za utupu kutumika bila ridhaa zao.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii - Moise Katumbi arejea DRC baada ya kuishi uhamishoni kwa miaka mitatu

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later May 25, 2019 20:24


Ungana na Fredrick Nwaka wiki hii akikuletea makala ya Mtazamo wako kwa yaliyojiri wiki hii na baadhi ya habari muhimu ni Rais wa DRC kumteua Sylivester Ilunga Ilukamba kuwa waziri mkuu wa taifa hilo, Cyril Ramaphosa aapishwa kuwa rais wa Afrika Kusini na Narendra Modi achaguliwa tena kuwa waziri mkuu wa India

Afrika Ya Mashariki
Afrika Ya Mashariki - Kurejea bungeni kwa wabunge wa bunge maalum la katiba

Afrika Ya Mashariki

Play Episode Listen Later Aug 8, 2014 9:29


Makala ya Afrika ya Mashariki inaangazia juu yauapatikanaji katiba mpya nchini Tanzania. Hii ni kuwa wakati huu ndiomuda wa Bunge maalumu la Katiba kurejea Bungeni na kujadili kwa upyarasmu ya pili ya katiba. Kundi la UKAWA wako nje ya Bunge na Kundilingine wako ndani ya Bunge. Je, ni nini Mtazamo wa walioko bungeni nawalioko nje ya Bunge? Kupata mengi ungana na Julian Rubavu.

Swahili: Initiating Spiritual Growth in the Church: Audios, Videos and Articles
Swahili D1#02 1 John 2:12-14 - 1 yohana 2:12-14 An Overview of the Flow, Mtiririko, Mtazamo wakijumla | Video

Swahili: Initiating Spiritual Growth in the Church: Audios, Videos and Articles

Play Episode Listen Later Jan 18, 2011 52:12


Initiating Spiritual Growth in the Church. Translated from English into Swahili - An overview helping believers not only understand his own Christian life but how to help others grow. Mtiririko, Mtazamo wakijumla 1 yohana 2:12-14

church english growth living video spiritual 1 john 2 swahili yohana mtazamo 1 john 2:12-14 initiating spiritual growth
Swahili: Initiating Spiritual Growth in the Church: Audios, Videos and Articles
Swahili D1#06 1 John 2:12-14 - 1 yohana 2:12-14 The Flow Level #2 Explanation - Mtiririko, Mtazamo wakijumla | Video

Swahili: Initiating Spiritual Growth in the Church: Audios, Videos and Articles

Play Episode Listen Later Jan 18, 2011 67:32


This Video on The Flow: Level #2 shows how young Christians grow and mature. They face specific battles and must learn to master God's Word and trust God to grow. The young believer is likened to the youth in the analogy of the family and largely learns how to overcome temptations. The Flow Level #2 (1 John 2:12-14): helps young believers mature and overcome - Mtiririko,  Hatua ya pili, Vijana. Increase the faith of the believers in your church!