POPULARITY
A wannan makon shirin ya mayar da hankali ne kan tasirin gurɓataccen sauti ga lafiyar halittu da muhalli wato Sound pollution a turance daga nan RFI.
Je, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.
Je, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.
Je, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.
Je, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.
Je, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.
Je, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.
Je, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.
Wasanii wa Muziki Afrika na Duniani kote wanakutana visiwani Zanzibar kufurahia uzuri na Upekee wa Muziki, wageni mbalimbali hukusanyika kushuhudia Tamasha la Sauti za Busara kila ifikao mwezi Februari.
Exploramos músicas que estarán sonando próximamente en escenarios de África, Asia y Europa, que repasamos en nuestras #Mundofonews: Folkfest Región de Murcia; Belgian Worldwide Music Night y la gala de los Flanders Folk Music Awards, en Bruselas; Babel Music XP, en Marsella; Klangkosmos NRW, en Alemania; Sur Jahan, en India; Celtic Connections, en Escocia, y Sauti za Busara, en Zanzíbar. Rematamos con nuevas músicas que nos traen aires de diversos rincones de África, desde el Atlántico al Índico. We explore music that will soon resonate on stages in Africa, Asia, and Europe, as highlighted in our #Mundofonews: Folkfest Región de Murcia, Belgian Worldwide Music Night and the Flanders Folk Music Awards gala in Brussels; Babel Music XP in Marseille; Klangkosmos NRW in Germany; Sur Jahan in India; Celtic Connections in Scotland, and Sauti za Busara in Zanzibar. We wrap up with new music bringing breezes from various corners of Africa, spanning from the Atlantic to the Indian Ocean. - El Pantorrillas - Amores sin nombre - Palomo cojo - Peixe e Limão - Quiéreme entera - Salta! - Pengetős Trió - Gergelyes - Este nálunk - Almir Meskovic & Daniel Lazar - Calusul oltenesc - Family beyond blood - Polyphème / Wassim Halal & Gamelan Puspawarna - Murmurations - Le rêve de Polyphème - Gnoss - [Directo / Live | WOMEX 2024] - The Zawose Queens - Lulelule - Maisha - Trio Da Kali - Fakoly - Bagola - Loya - Hoy aho neny - Blakaz antandroy - Kaito Winse - Diliguiduni - Reele bombou #Mundofonews - Folkfest Región de Murcia - Belgian Worldwide Music Night - Flanders Folk Music Awards - Babel Music XP - Klangkosmos NRW - Sur Jahan - Celtic Connections - Sauti za Busara 📸 Trio Da Kali (Youri Lenquette)
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Vieillir, c'est traverser un territoire inconnu. Un territoire que notre société préfère parfois ignorer, mais où réside une richesse immense : celle des histoires, des luttes, et du collectif.Dans cet épisode d'Encore, je reçois Jane Sautière, auteure de "Tout ce qui nous était à venir", un livre qui explore avec tendresse et profondeur ce que signifie vieillir, non pas seul·e, mais ensemble.À travers son récit et son engagement, Jane nous invite à repenser la vieillesse comme une force. Elle nous parle du collectif des "vieilleux", un espace où la solidarité devient une réponse aux injonctions à l'isolement ou à l'effacement.Nous avons aussi évoqué son travail en prison, un lieu où la vieillesse prend une autre dimension, parfois plus brutale, mais toujours riche d'humanité et de réflexions sur la transmission et le lien.Au programme de cet épisode :Le livre "Tout ce qui nous était à venir" : une ode à la vieillesseCréer un collectif autour de l'âge : et si la vieillesse était un espace de résistance ?Les liens entre engagement et transmission, dans et hors les murs
Host Tiokasin Ghosthorse speaks returning guest and longtime friend of “First Voices Radio” Ukumbwa Sauti. Ukumbwa Sauti, M.Ed. is a Consultant, Facilitator, Educator and Program Developer on issues of Anti-Racism, Anti-Patriarchy, Men's Work, Consent and Culture. He has worked with religious organizations, cultural groups and regional organizations and has taught in higher education for 16 years engaging issues of Race, Gender, Environmental issues, Media and Culture. Ukumbwa has been a member and supportive of numerous local, national and international organizations and movements advocating for Pan-Africanism, Anti-Racism, Relationship, Sexual and Intimacy safety and education and Men's Development. Ukumbwa has presented across New England, USAmerica, California, Toronto and Barbados. He has worked as Social Media Director for Voice Male Magazine and an organizer for the Greater Boston Men's Network and is currently the moderator for the Men's Work Initiative. Ukumbwa is an initiated Elder in the Dagara tradition from West Africa. More about Ukumbwa and his work can be found at his linktr.ee: https://bit.ly/4hk075s Tiokasin and Ukumbwa discuss questions that Ukumbwa recently raised in a 5-minute YouTube video titled “Radical Compassion.” One of these questions: How does European colonialism, racism and patriarchy break down grounded connection between families, friends, communities, nations and ultimately between the internal sum of our own parts, our facets of humanity inside of any of us?” They reflect on the limitations of seeking freedom and liberation within the prescribed frameworks of human rights and civil rights and explore alternative conceptions of freedom. Watch Ukumbwa's video here: https://bit.ly/3Upfqjx Production Credits: Tiokasin Ghosthorse (Lakota), Host and Executive Producer Liz Hill (Red Lake Ojibwe), Producer Tiokasin Ghosthorse, Audio Editor Kevin Richardson, Podcast Editor Music Selections: 1. Song Title: Tahi Roots Mix (First Voices Radio Theme Song) Artist: Moana and the Moa Hunters Album: Tahi (1993) Label: Southside Records (Australia and New Zealand) 2. Song Title: Shooting the Statues Artist: Amine Bouhafa Album: Timbuktu, Original Motion Picture Soundtrack (2014) Label: Les Films du Worso 3. Song Title: Beaiveldttas (Butterfly) Artist: Mari Boine Album: Eight Seasons (2023) Label: Norse Music 4. Song Title: Can You Introduce Yourself in The Language? Artist: Edzi'u Album: Potlatch in the Box (2023) Label: Ts'ats'ée Sounds AKANTU INTELLIGENCE Visit Akantu Intelligence, an institute that Tiokasin founded with a mission of contextualizing original wisdom for troubled times. Go to https://akantuintelligence.org to find out more and consider joining his Patreon page at https://www.patreon.com/Ghosthorse
Nchini Ethiopia hususan katika jimbo la Somali, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limechukua hatua kusaidia manusura wa ukatili wa kijinsia kuweza kujenga upya maisha yao wakati huu ambapo takwimu za shirika hilo zinaonesha kuwa zaidi ya wanawake na wasichana milioni 370 duniani kote wamekumbwa na ukatili wa kingono wakati wa utoto wao, yaani kabla ya kutimiza umri wa miaka 15. Sauti hiyo ya Nasteyo Sahane Layle, Meneja wa kushughulikia visa vya ukatili wa kijinsia dhidi ya akina mama, watoto na wanawake hapa Gode, jimboni Somali mashariki mwa Ethiopia akisema kuwa kazi kubwa tunayoifanya ni visa vinavyohusu ukatili wa kingono.Ni katika video ya UNICEF iliyochapishwa kuonesha kiza kinachokumba watoto wa kike hususan leo ambayo ni siku ya kimataifa ya mtoto wa kike.Hapa Gode, UNICEF imeanzisha kituo hicho cha kutoa huduma zote na sasa kimekuwa ni kama eneo salama kwa manusura wa ukatili wa kingono.Anaonekana mmoja wa wasaka huduma kituoni hapa akifika tayari kupatiwa huduma, sura yake imefichwa ili kuficha utambulisho wako.Anapatiwa huduma ikiwemo kupimwa mapigo ya moyo na vipimo vingine na kisha kupatiwa dawa.Nasteyo anasema,“kinachotusikitisha zaidi ni watoto wenye umri wa chini ya miaka 18 ambao walibakwa, na sasa mustakabali wao umeharibiwa.”Pamoja na Nasteyo, wahudumu wengine katika kituo hiki ni Nimo, Faduo, Ifrah na Hamdi, wote wanawake.Ni kutokana na huduma zao, manusura wanajiona wako salama kwani wanapatiwa huduma za kisaikolojia na nyingine muhimu wanazohitaji.Na kisha kupata tena uwezo wa kujiamini na kujenga upya maisha yao. TAGS: AfyaAdditional: AfyaNews: Ukatili wa Kingono, EthiopiaRegion: AfrikaUN/Partner: UNICEF
Hyperpigmentation, acné, allergie… Les dermatoses des peaux noires engendrent des besoins particuliers pour préserver l'épiderme. Face aux rayons du soleil, les peaux foncées résistent mieux. Néanmoins elles ont tout autant besoin d'être protégées pour se prémunir des méfaits des UVB qui peuvent engendrer, dans les cas les moins graves des rougeurs ou des tâches. Comment bien hydrater sa peau selon sa pigmentation ? Quel traitement en cas d'acné ? Et enfin, quels soins privilégier au quotidien pour prendre soin d'une peau noire ou métisse ? Dr Antoine Petit, dermatologue spécialiste des peaux noires, ancien praticien à l'Hôpital Saint-Louis à Paris et membre de la Société Française de Dermatologie Pr Mohamed Maciré Soumah, dermatologue-vénéréologue au CHU Donka de Conakry, maître de conférences agrégé à la Faculté des Sciences et Techniques de la Santé de l'Université de Conakry en Guinée.► En fin d'émission, nous faisons le point sur Pasteurdon, opération annuelle d'appel aux dons de l'Institut Pasteur qui débute aujourd'hui et se poursuivra jusqu'au 13 octobre 2024. Interview de Pr Muhamed-Kheir Taha, responsable du Centre national de référence des méningocoques en France, centre collaborateur de l'OMS pour les méningites.Programmation musicale :► Sauti sol, Patoranking – Melanin► Elyanna – Mama Eh.
Washiriki wa hafla ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Walimu ililofanyika leo Oktoba 4 katika makao makuu ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) jijini Paris, Ufaransa wamesisitiza wito wa kuthamini mawazo ya walimu katika kuboresha elimu ya ulimwengu. Kama tunavyofahamu, siku yenyewe ya Kimataifa ya Walimu ni kesho Oktoba 5 kama ilivyo ada ya kila mwaka lakini katika makao makuu ya UNESCO hapa Paris Ufaransa, maadhimisho yamefanyika leo kuelekea mkesha wa siku hii muhimu kwa elimu ya ulimwengu.Miongoni mwa waliozungumza ni Mkurugenzi Msaidizi Mkuu wa Elimu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Bi Stefania Giannini, ambaye ameitumia nafasi hii kusisitiza kauli mbiu ya mwaka huu ambayo ni 'Kutambua sauti za walimu.'Anasema, “walimu ni uti wa mgongo wa mifumo ya elimu na mawakala wakuu wa mabadiliko ya kubuni sera za elimu na kufanikisha SDGs. Tunapaswa kuthamini sauti za walimu; hili ndilo lengo kuu la Siku ya Kimataifa ya Walimu mwaka huu.”Kulingana na takwimu zilizotolewa na UNESCO, dunia inahitaji walimu wa ziada milioni 44 ili kufikia elimu ya msingi na sekondari kwa wote ifikapo mwaka 2030. Ingawa mahitaji ya walimu ni makubwa zaidi katika baadhi ya maeneo, uhaba wa walimu ni wa kimataifa.Walimu wanajiondoa kwenye taaluma hii kwa kiwango mara mbili zaidi ya miaka mitano iliyopita, hasa katika elimu ya sekondari. Hii inatokana na hali zao za kazi, zikiwemo mishahara midogo, mzigo mkubwa wa kazi, na ukosefu wa ushiriki katika maamuzi yanayohusu elimu. Akiiangizia changamoto hii, Mkurugenzi wa Kimataifa wa Elimu na Maendeleo ya Vijana katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) Bi. Pia Britto, aliyejiunga katika hafla ya leo kwa njia ya video akiwa Pakistani amesema,"Leo nilikuwa na fursa nzuri ya kuzungumza na walimu wengi, ikiwa ni pamoja na mwalimu Tahseen Bashir hapa Islamabad, ambaye amenieleza baadhi ya changamoto wanazokabiliana nazo ikiwa ni pamoja na kufundisha madarasa mengi, uhaba wa vifaa vya kujifunzia, na changamoto za kutoweza kufundisha namna wanavyodhamiria. Lakini pia amenieleza jinsi alivyofurahi kuona wanafunzi wake wakifaulu. Wakati sauti ya mwalimu inaposikilizwa na wakati sauti za walimu zinapopewa kipaumbele, wanajiona kama wadau katika kuboresha elimu kwa wakati wote, na hatua hizo zinahitajika ili kuleta mabadiliko chanya hasa katika hali ngumu zaidi."Siku hii ya kimataifa ya walimu ni mahususi kwa ajili ya kutambua na kusherehekea mchango muhimu wa walimu ulimwenguni kote katika kutoa elimu bora na kujenga mustakabali wa jamii. Pia, ni fursa ya kuangazia changamoto wanazokabiliana nazo walimu.Kutoka hapa Paris Ufaransa, mimi ni Cecily Kariuki..
Shirin Duniyar Wasanni na wannan makon ya yi duba ne kan yadda aka kammala gasar gasar guje-guje da tsalle-tsalle ta nakasassu wato Paralympics da birnin Paris ya karbi bakunci, bayan kwashe tsawon kwanaki 11 ƴan wasa dubu 4 da dari 4 su na fafatawa a wasanni 22 da aka lashe lambobin 549. Kasar China ce dai ta jagoranci teburin lashe lambobin yabo na wannan gasa, bayan da ta lashe lambar zinari 94 da azurfa 76 sai kuma tagulla 50, a jumlace tana da lambobin yabo 220. Ku latsa alamar Sauti don sauraron cikakken shirin tare da Khamis Saleh......
Huko Zanzibar Tanzania, shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO kanda ya AFrika, linashirikiana na serikali kukabili ugonjwa wa matende ambao ni miongoni mwa magonjwa ya kitropiki yaliyopuuzwa au NTDs. Bosco Cosmas na maelezo zaidi.(Taarifa ya Bosco Cosmas)Video ya WHO kanda ya Afrika inatupeleka Zanzibar, Tanzania nyumbani kwa Hamis Njani akitembea kwa shida, miguu imevimba. Alipata ugonjwa wa matende akiwa na umri wa miaka 18 lakini sasa WHO imempatia matumaini.(Sauti ya Hamis Njani)“Inaweza kukupata homa siku mbili kwa wiki, kwa hiyo nikashindwa kwenda shuleni. Wakati mwingine nashindwa kuhudhuria shule kwa miezi hata mitatu. Ninapokwenda kule hospitali, ninapata huduma na mafunzo ya jinsi ya kuishi na haya maradhi kama vile kusafisha, kutumia dawa na mengine yote.”Ugonjwa huu huenezwa na mbu. Husababisha miguu au korodani kujaa maji .Tangu mwaka 2010 Zanzibar imeendesha kampeni 20 za mgao wa dawa na WHO imetoa dawa kutibu watu milioni 1.5 kila mwaka. Asha Makame ni Mgawaji wa dawa kwenye jamii.(Sauti ya Asha Makame)“Mwanzo ulikuwa mgumu kwa sababu watu walikuwa hawaelewi. Kwa sasa hivi mwitikio ni mzuri kwa sababu kile kitu watu wamekitumia na wanajua faida yake.WHO imefundisha pia madaktari katika kila hospitali ya wilaya kufanya upasuaji wa kisasa wa mabusha kwa wagonjwa 500. Dkt. Shali Ahmed ni Meneja Mradi wa NTDs, Wizara ya Afya, Zanzibar.(Sauti ya Dkt. Shali Ahmed - Meneja wa mradi)“Ninaamini kufikia mwaka 2030, hata kabla ya hapo tutakuwa tumekomesha ugonjwa wa matende. Kwa hiyo tunawashukuru sana WHO kwa ushirikiano tunaoupata kwa kupata dawa, mara nyingi tunapata dawa kwa wakati na za kutosha kwa ajili ya nchi nzima.”
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi, amezindua mpango wa kitaifa wa kuhakikisha kila mtu anapata Maonyo ya Mapema kuhusu hali ya hewa, EW4All ifikapo mwishoni mwa mwaka 2027 huku akitangaza uwekezaji mpya muhimu ili kuboresha uchunguzi wa kimsingi wa hali ya hewa, uzinduzi uliofanyika katika mji mkuu wa Msumbiji, Maputo.Mpango huo unajumuisha mnyororo mzima wa thamani kwenye utabiri wa hali ya hewa, kuanzia kukusanya takwimu za hali ya hewa, tabianchi, kuimarisha utabiri wa hali ya hewa, na mfumo wa utoaji wa maonyo hadi kutoa taarifa kuhusu mipango bora ya kuhimili tabianchi.(Sauti ya Filipe Jacino Nyusi - Rais wa Msumbiji) Bosco“Msumbiji ni nchi ambayo inakabiliwa na tishio la kudumu la majanga, hasa yale yanayosababishwa na majanga ya kiasili ya kupitiliza, huku mafuriko, vimbunga na ukame vikiwa vya mara kwa mara. Matukio haya mabaya yanapotokea, yanaacha mwenendo wa uharibifu ya vifo vya binadamu na uharibifu wa mali, na mazingira na madhara makubwa kwa jamii na uchumi wetu. »Mpango huu wa kutoa onyo la mapema kabla majanga hayajatokea umechagizwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres, na sasa unajumuishwa kwenye sera za Msumbiji. Rais Nyusi akaelezea umuhimu wake.(Sauti ya Filipe Jacino Nyusi - Rais wa Msumbiji) - Bosco“Mengi yanaweza kufanywa ili kupunguza kupoteza maisha ya binadamu na madhara makubwa zaidi. Onyo la mapema hutusaidia kufanya hivyo, ili kujilinda. Kama ninavyosema, mojawapo ya majibu bora zaidi yanatokana na kuboresha uwezo wetu wa kuzuia na kutayarisha, uwezo wa kuzuia, hatari ya maafa, hasa hatua za tahadhari za mapema."Uwekezaji unaotajwa ni ujenzi wa vituo vipya 6 vya ardhini vya hali ya hewa na uboreshaji wa vingine 15 pamoja na kuanzisha vinne vipya vya angani.
Maandamano yanayoendelezwa dhidi ya Mswada wa Fedha wa mwaka wa 2024 ni ukumbusho kwa serikali kuhusu jinsi sauti ya vijana imekuwa ikipuuzwa. Vijana wanakumbwa na changamoto mbalimbali, kuu miongoni mwazo, ikiwa ni ukosefu wa ajira nchini. Serikali haina budi kutafakari mbinu mahsusi ya kutatua hili na changamoto nyingine zinazowakumba vijana.
Sauti zote ziimbe Utukufu kwa Mungu, Jinsi ya kutumia muda vizuri
Maxwell's 30-minute playlist includes current tunes from Morocco(Oualid & Norel), Kenya (Nyashinski), South Africa (Tyle), Nigeria (Shallipopopi), Togo (Santrinos Raphael), Senegal Jahman X-press) plus a classic soukous from the DRC (Pharaon N Shoraa). Drop the Needle kicks off the back half of the hour with American University student Nicolai Tochilin, and Word on the Tweets brings up-to-the minute American entertainment news in 90 seconds. Heather speaks with the youngest generation of Nigerian Afrobeat royalty Made Kuti about his headlining at the Sauti za Busara Festival in Zanzibar, East Africa and much more, including samples of his music from the Legacy + album.
Robamos el titulo de aquel memorable disco de Eliseo Parra para anunciar su concierto de despedida de los escenarios. En nuestras #Mundofonews también traemos noticias y músicas de festivales inminentes como Celtic Connections, en Escocia; Sauti za Busara, en Zanzíbar; Festival sur le Niger, en Mali; Au Fil des Voix, en París, o la exposición sobre Gengis Kan en Nantes. Hablamos con Johanni Curtet, uno de los impulsores de Routes Nomades, organización que se encarga de buena parte de la programación musical de dicha exposición y de muchas otras actividades para promover la cultura musical de Mongolia, así como con Paul Chandler, impulsor del sello Remote Records / Studio Mali, desde Bamako. Tenemos también un recuerdo para nuestro antiguo programa Insospechópolis, mientras que la música nos lleva por Brasil, Mongolia, Europa occidental, Tanzania y Mali. We steal the title of that memorable album by Eliseo Parra to announce his farewell concert. In our #Mundofonews we also bring news and music from imminent festivals such as Celtic Connections, in Scotland; Sauti za Busara, in Zanzibar; Festival sur le Niger, in Mali; Au Fil des Voix, in Paris, or the exhibition on Genghis Khan in Nantes. We talk to Johanni Curtet, one of the promoters of Routes Nomades, the organization in charge of a large part of the musical programming of this exhibition and many other activities to promote the musical culture of Mongolia; as well as to Paul Chandler, promoter of the label Remote Records / Studio Mali, from Bamako. We also have a memory for our former program Insospechópolis, while the music takes us through Brazil, Mongolia, Western Europe, Tanzania and Mali. Lívia Mattos - Galego - Apneia Johanni Curtet - Slow blues I: The delivery - If only I could hibernate [BSO / OST] Meïkhâneh - Chaque jour nouveau - Chants du dedans, chants du dehors Iván Caramés Bohigas - Baile del pino [string quartet] - [inédito / unreleased] Eliseo Parra - El pino - Viva quien sabe querer [Artistas populares / Popular artists] - El pino - Magna Antología del folklore musical de España [V.A.] Skolvan - Tears... (L'appel) - Swing & tears Anuang'a Fernando & Maasai Vocals - Empurkoi - Maasai footsteps Adama Yalomba - Tanou - Tanou Orchestre Régional de Ségou - Mali gundo - Orchestre Régional de Ségou Voces invitadas: Guest voices: Johanni Curtet (Routes Nomades) Paul Chadler (Remote Records / Studio Mali) #Mundofonews Exposition Gengis Khan (Nantes) Eliseo Parra (Alcalá de Henares) Celtic Connections (Glasgow) Au Fil des Voix (París / Paris) Sauti za Busara (Zanzíbar / Zanzibar) Festival sur le Niger (Ségou) 📸 Lívia Mattos (Tiago Lima)
Umejiandaaje kumlaki Bwana ajapo, Mungu anajali Shida zetu
Kiwango cha ushindi wa kampeni ya 'La' katika kura ya maoni ya Sauti yawa Australia wakwanza Bungeni, kime zua gumzo kote nchini.
Wa Australia wame kataa pendekezo lakuweka sauti yawa Australia wa kwanza ndani ya katiba, baada ya kampeni ya La kushinda katika majimbo yote sita pamoja na wilaya ya Northern Territory.
In the 1980s, Bi Kidude burst onto the international music scene, when she was in her 70s. She was one of the first women from Zanzibar to sing in public without wearing the veil, in the traditional Muslim country. She was born Fatuma binti Baraka, known as Bi Kidude or "little madame" in Swahili, and fondly referred to as the "golden grandmother of music". Maryam Hamdani was one of her oldest friends and helped launch Bi Kidude's career globally. Maryam spoke to Reena Stanton-Sharma about the charismatic musician who died in 2013. (Photo: Bi Kidude at the Sauti za Busara Music Festival. Credit: Mwanzo Millinga/AFP via Getty Images)
Waziri wa mazingira Tanya Plibersek amekosoa msimamo wa kiongozi wa upinzani Peter Dutton kwa Sauti yawa Australia wa kwanza bungeni.
Waziri Mkuu Anthony Albanese, ajiaandaa kutangaza tarehe ya kura ya moani kwa Sauti yawa Australia wa Kwanza bungeni.
We talk about the upcoming sol fest by Sauti sol as well as other matters P.R with the nation's leadership
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina J. Mohammed anaendele ana ziara yake ya siku tano nchini Brazil ambapo siku ya Alhamisi Agosti 3, 2023 alizuru jamii ya watu wa asili ya Mapuera kwenye ukanda wa Amazon jimboni Para ambako huko alipata fursa ya kuzungumza na wanajamii hao na kusikia maombi yao, ziara ambayo anafanya kufuatilia utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu, SDGs kuelekea mkutano wa viongozi kuhusu SDGs mwezi Septemba mwaka huu. Thelma Mwadzaya anatusimulia kilichojiri.
Jukwaa la ngazi ya juu la kisiasa la Umoja wa Mataifa kuhusu malengo ya maendeleo endelevu HLPF, linaendelea hapa Makao Makuu jijini New York Marekani likitathimini utekelezaji wa malengo hayo yaliyosaliza chini ya miaka 7, kabla ya kufikia ukomo hapo mwaka 2030. Mbali ya tathimini ya utekelezaji wake jukwaa hilo limetoa fursa kwa nchi 39 zilizojitolea kuwasilisha ripoti za kitaifa za utekelezaji wa malengo hayo. Tanzania ni miongoni mwa nchi hizo na iliwasilisha ripoti yake jana Jumanne. Reynald Maeda, Mkurugenzi wa asasi ya Umoja wa Mataifa Tanzania, UNA ni miongoni mwa waliochangia katika ripoti hiyo kwa sasa yuko hapa New York akishiriki jukwaa hilo lakini kabla hajaondoka Tanzania alizungumza na Stella Vuzo wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIC Dar es salaam akianza kwa kumueleza mchango wa asasi hiyo katika ripoti iliyowasilishwa.
Baadae mwaka huu, wa Australia watashiriki katika kura ya maoni ambako wata ulizwa kupiga kura ya NDIO au LA kwa swali lifuatalo: Una unga mkono mageuzi kwa katiba kuwatambua wa Australia wa kwanza kwa kuanzisha Sauti yawa Aboriginal na wanavisiwa wa Torres Strait?
Hapo jana juni 18 dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga kauli za chuki ambapo katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani kumefanyika maonesha ya athari ziletwazo na kauli za chuki. Wawakilishi watatu wa taasisi ya Kina mama wa Srebrenica walitembelea maonesho hayo na kuzungumzia maswahibu yaliyowakumba miaka 28 iliyopita na kuacha vidonda katika mioyo yao. Taarifa ya Leah MushiMwaka 1995 katikati ya vita vya Bosnia Umoja wa Mataifa ulianzisha eneo la usalama huko Srebrenica, lakini ilipofika mwezi Julai mji huo ulizidiwa na vikosi vya wanamgambo wa Bosnia-Serb ambao walitekeleza mauaji ya wavulana na wanaume wa kiislamu wapatao 8,000 ndani ya wiki moja.Mauaji hayo ya kimbari ya Srebrenica yanachukuliwa kuwa ukatili mkubwa zaidi barani Ulaya tangu Vita vya pili vya dunia. Mwaka 2002 Chama cha kina mama wa Srebrenica kilianzishwa na kuunganisha maelfu ya wanawake waliopoteza wapendwa wao.Watatu kati ya wanachama wa chama hicho wametembelea Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani na kueleza kwa zaidi ya miaka 20, shirika hilo limekuwa likitafuta watu waliopotea, kutafuta makaburi ya halaiki, nakujaribu kutambua kila mwathiriwa na maiti, kusaidia walionusurika, na kutafuta haki.Akiwa ameshikilia picha mkononi mwake Kada Hotić, anaeleza mpaka sasa hajafanikiwa kuona maiti za wapendwa wake.Kada Hotić – Sauti ya Happines Palangyo“Huyu ni mume wangu, mwanangu, na ndugu zangu wawili…. Mwaka 2013, nilizika mifupa miwili ya mguu mmoja wa mwanangu. Uchunguzi wa DNA ulithibitisha kwamba mifupa hii miwili ilikuwa mwanangu. Ndivyo nilivyozika. Nina umri wa miaka 79 sasa. Bado sijachoka na bado napigana. Na nitaendelea kupigana. Kwa jina la haki na kwa jina la ubinadamu.”Naye Rais wa chama cha hicho cha kina mama wa Srebenica Munira Subašić, anaeleza ingawa alinusurika katika mauaji hayo ya halaiki yaliyogharimu maisha ya wanafamilia yake 22 kuna namna na yeye amekufa.Munira Subašić – Sauti ya Devotha Songorwa“Mwanangu alikuwa mtoto mzuri sana. Alikuwa mwanafunzi mzuri. Alipenda maisha. Alipenda hesabu. Alijali marafiki zake kwa dhati. Hata hivyo, hatima ilichukua mkondo wake. Kila wakati ninapozungumza juu yake, nafsi inanirejesha wakati ule, mwaka 1995. Kilichotokea ni kwamba hawapo tena. Ninajua tu kwamba kila mama ambaye amefiwa na mtoto wake pia kwa njia fulani naye amekufa. “Kwa masikitiko Munira anatuma ujumbe akisemaMunira Subašić – Sauti ya Devotha Songorwa“Ujumbe wangu kwa kina mama wote duniani ni kujaribu kuwalea watoto kwa upendo na kuwafundisha kupenda na kupendwa na sio kuleta madhara kwa mtu yeyote kwa njia yeyote”Mwenyeji wa kina mama hawa katika Makao Makuu ya UN alikuwa ni Mshauri maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu kuzuia mauaji ya kimbari Alice Wairimu Nderitu ambaye anasema pamoja na uwepo wao kina mama hawa bado kuna baadhi ya watu wanaendelea kuamini mauaji haya hayakutokeaAlice Wairimu Nderitu – sauti ya Sarah Oleng'“Uwepo wao hapa ni ukumbusho wa kile ambacho hakipaswi kutokea tena. Uwepo wao hapa unamaanisha kuwa hadithi huwekwa hai. Ina maana kwamba tunaweza kuendelea kujiuliza, ni kitu gani tunaweza kufanya vizuri zaidi ili mauaji haya ya kimbari yasitokee tena. Bado tunasikia, hadi leo, watu wanakataa mauaji ya kimbari, watu wakisema kuwa hayakufanyika. Umoja wa Mataifa ulianzishwa kwa ahadi ya kuzuia mauaji kutokea tena. Ahadi hii ni ngumu kutimiza, lakini lazima tuendelee kujaribu kuitimiza.”
Ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa dhidi ya Ajira au Utumikishaji wa Watoto ambayo inakusudia kutumika kama kichocheo cha kuongeza harakati za kimataifa dhidi ya ajira au utumikishwaji kwa watoto na ikisisitiza uhusiano kati ya haki za kijamii na ajira kwa watoto, kama ilivyo kwa nchi nyingine wanachama wa Umoja wa Mataifa, Tanzania nayo imeungana na mataifa mengine kuadhimisha siku hii ambapo maadhimisho hayo yamefanyika Kitaifa katika kijiji cha Gua, Kata ya Gua katika Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Mkoani Songwe. Kupitia siku hii muhimu kwa Watoto ulimwenguni kote, baadhi ya watoto kutoka Shule ya Msingi Gua wametoa maoni yao kuhusu umuhimu wa maadhimisho haya, miongoni mwao ni, Grace yeye ni muelimishaji jamii kuhusu utumikishwaji wa mtoto kwenye mashamba ya tumbaku, hapa anazungumzia hali ya utumikishwaji ilivyo kwa sasa, Kwa upande wake Innocent David Pesa amewashauri wazazi na walezi juu ya athari za utumikishwaji wa mtoto, Maadhimisho ya mwaka huu yanaenda Sambamba na kauli mbiu isemayo “Haki za Jamii kwa Wote, Tokomeza utumikishwaji wa Mtoto”
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR nchini Sudan limesema linaendelea kufanya kazi kwa karibu na shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani, WFP ili kuona ni kwa vipi chakula kilichomo nchini humo kinawza kusambazwa kwa wahitaji na wakati huo huo misaada mingine inaweza kutolewa kwa ushirikiano na wadau wengine wakati huu ambapo uhasama unashamiri na kuathiri raia wakiwemo wakimbizi, wakimbizi wa ndani na raia nchini kote.Sauti hiyo ya Axel Bisshop, Mwakilishi wa UNHCR nchini Sudan akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva, Uswisi kwa njia ya video kutoka mji wa Port Sudan nchini Sudan akisema changamoto kubwa sasa ni kuhakikisha ni vipi mgao wa chakula utaendelea. Anasema wamewasiliana na WFP na leo asubuhi wamekuwa na mazungumzo na WFP ambao wamewahakikishia kuwa watasalia na UNHCR ili kuendelea kugawa chakula maeneo ambayo bado yanafikika. Miongoni mwa changamoto wanazokumbana nazo ni kwamba wanashindwa kupata taarifa au kupatia taarifa jamii za wakimbizi katika baadhi ya maeneo. Hata hivyo amesema ofisi za UNHCR zimeendelea kuwa na mawasiliano na viongozi wa jamii za wakimbizi na wajumbe wa kamati za wakimbizi na kwamba wanawapatia ushauri nasaha na usaidizi kwa kadri inavyowezekana. Bwana Bisshop amesema wamepokea ripoti ya kwamba takribani wakimbizi 33,000 wamekimbia mji mkuu Khartoum kusaka hifadhi kwenye kambi za wakimbizi kwenye majimbo ya White Nile, ilhali wakimbizi 2,000 kambi zilizoko Gedaref na wengine 5,000 wamesaka hifadhi huko Kassala tangu mapigano yaanze tarehe 15 mwezi huu wa Aprili. Mwakilishi huyo wa UNHCR Sudan anasema “tuna hofu pia ya kwamba kasi ya mapigano inaweza kuongezeka na tunaweza kuwa na hali ambayo itarudia mazingira ambayo tulikuwa nayo miaka iliyopita.” Hata hivyo amesisitiza kuwa UNHCR itasalia nchini Sudan kulinda wakimbizi kutoka nje ya nchi hiyo, wakimbizi wa ndani na raia wanaohifadhi wakimbizi huku akitoa wito kwa pande kwenye mapigano kusitisha uhasama ili huduma za usaidizi wa kibinadamu ziweze kufikia wahitaji.
Sauti yawa Australia wa kwanza ndani ya katiba, itasaidia jamii zawa Australia wa kwanza kuishi maisha kikamilifu seneta wa Labor wa Wilaya ya Kaskazini aeleza vyombo vya habari.
Sauti Za Busara means “sounds of wisdom.” That gives a clue to the music heard at the annual Sauti Za Busara festival in Stonetown, Zanzibar. It's cool, savvy, surprising but never dull, and often hard-grooving. Afropop Worldwide attended the first edition in 2004. In 2023, we returned for a three-day feast of fantastic performances from the Swahili coast, the Indian Ocean and beyond. Taarab, kidumbak, Bongo Flava, Wagogo tradition and much more were on the menu. In this program, we hear live recordings from and meet artists who may never make it to our shores, but who you'll be glad to meet. Produced by Banning Eyre.
Greetings Village! #DailyAfricanProverbs takes us to #Ewe The Proverb says: " A child that asks questions isn't stupid." The ancient Ewe proverb reminds us of a valuable truth - that we should never underestimate the power of asking questions. Asking questions is a sign of intelligence and curiosity, not ignorance. We can foster an innovative mindset in our children by welcoming even the most foolish-sounding questions with open arms. Through questioning, we have the ability to gain knowledge, understanding, and creativity - all things that will enrich our lives and make us better people. Let us create a culture where it is safe to question, explore and discover! Join us on #AFIAPodcast to listen to our latest episode at 6 am PST/5 pm EAT Share your thoughts on this proverb in the comments below. SUBSCRIBE to get Daily African Proverbs and their meaning in your life https://rb.gy/jdavpn
Ulimwengu umeendelea kuomboleza kwa masikitiko kifo cha mcheza soka wa Brazil Edson Arantes do Nascimento, almaarufu Pelé. Kwa Umoja wa Mataifa Pelé alikuwa mshambuliaji muhimu katika kufanikisha ushindi wa malengo ya Umoja wa Mataifa. Kwa nyakati tofauti akiteuliwa kuwa Balozi Mwema wa mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa kama elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO na kuhudumia watoto UNICEF. UN News kupitia Idhaa ya Kireno imepata fursa ya kuzungumza na mtoto wake wa kiume na mkewe kuhusu Pelé nje ya uwanja.....Ni Monica Grayley wa Idhaa ya Kireno ya Umoja wa Mataifa akimkaribisha Joshua Nascimento mmoja wa watoto wa kiume wa Pelé. Na baada ya mazungumzo kuhusu namna Pelé alivyowalea kwa adabu japo bila kuwaadhibu sana, swali likawa…ni kwa namna gani ungependa baba yako akumbukwe kwa vizazi vingi vijavyo?Joshua Nascimento anajibu kuwa angependa baba yake kwanza akumbukwe kama mchezaji bora kama alivyokuwa wakati wake na mafanikio yote aliyokuwa nayo kwa mchezo huo lakini pia mambo aliyoyafanya nje ya mchezo, mambo aliyoyafanya kwa nchi yake ya Brazil na hasa kwa watoto hata pale alipofunga goli lake la 1000 alisema ni kwa ajili ya kuwajali watoto.Kijana Joshua alikuwa akiyasema haya akiwa ameketi na mama yake mzazi, Assiria Lemos, mke wa zamani wa Pele naye anajibu swali kama hilo la Je, angependa Pelé akumbukwe vipi? Anasema ukiacha kile ambacho kila mtu anakifahamu kuwa Pele alikuwa mcheza mpira wa miguu wa kiwango cha juu, lakini pia kama mtu tu binafsi alikuwa,(Sauti ya Assiria Lemos)“mstahimilivu, mnyenyekevu, mkarimu, mwenye roho nzuri, mtu wa familia anayejali watu wa familia yake na watu wenye uhitaji. Roho nzuri.”
Kikosi cha 5 cha walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania, TANZBATT 5 kilichokuwa kinahudumu katika Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, MINUSCA, kimekamilisha muda wake na kukipisha kikosi kingine cha 6 nacho kutoka Tanzania, TANZBATT 6 ambacho kitaendeleza jukumu hilo. Kutoka Berberat, Captain Mwijage Inyoma ni Afisa Habari wa TANZBATT 06 ametuandalia taarifa hii. Mwaka mmoja wa pilika za kuhamasisha amani, mshikamano na kuitunza amani umekamilika kwa kikosi cha wanajeshi walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania, kikosi cha 5 yaani TANZBATT 5 na wanaondoka wakifurahi kwamba wametoa mchango wao kwa amani ya ulimwengu kupitia Umoja wa Mataifa. Luteni Kanali Kiiza ni Kamanda Kikosi kinachoondoka anasema, (Sauti/Video ya Lut Col Kiiza) Kwa upande wake Mkuu wa TANZBATT 6 ambao ndio wanaolipokea jukumu hilo la ulinzi wa amani, Luteni Kanali anaeleza mikakati aliyonayo....(Sauti/Video ya Lut Col Mshana) Mmoja wa raia wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, mkazi wa mjini Beriberati kwa niaba ya wengine anatoa shukrani kwa walinda amani (Sauti ya raia) Kutoka Berberat, Mambere Kadei, ni Kapteni Mwijage Inyoma, TANZBATT 06.
Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli ambaye ni Mkuu wa Utumishi katika Jeshi la Tanzania ametoa wito kwa Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kutanguliza majadiliano katika kutatua matatizo yao ya ukosefu wa amani. Meja Jenerali Simuli ametoa wito huo alipoongoza ujumbe wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania katika ziara yao nchini DRC ili kujionea shughuli za mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani MONUSCO ambamo kwa nyakati tofauti, walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania wamekuwa wakihudumu katika vikosi mbalimbali kikikwemo cha kujibu mashambulizi, FIB. Kwanza alihudhuria hafla ya kuwavisha nishani za Umoja wa Mataifa askari wa Tanzania wanaolinda amani nchini DRC. Nats.. Kisha wito wake kwa raia wa DRC, Sauti ya Meja Jenerali Simuli..“Mimi ujumbe ambao ningeweza kuwapa wacongoman (Raia wa Congo), kama ndugu zangu, kaka zangu, dada zangu, waafrika wenzangu, ni kwamba matatizo yakijitokeza basi wakae mezani kwa pamoja na kuyazunumza kwa pamoja na kupata kile ambacho wanakihitaji. Kwa sababu ili nvhi iendelee inahitaji amani. Mkitulia mtakwenda mbele sana. Na nchi ya DR Congo nina Imani wananchi wakikaa vizuri, wakiacha munkari, yaani wakiacha hasira, wakakaa mezani na kuzungumza, matatizo yatakwisha.” Na je Meja Jenerali Paul Simuli ana ujumbe gani kwa walinda amani? Sauti ya Meja Jenerali Simuli..“Walinda amani ninawaomba waelekee kwenye yale majukumu ambayo wamekuja kuyatekeleza hapa kwa wenzetu (DRC). Kwa sababu jambo lao kubwa ni kuwalinda wananchi ambao wanapata madhara.”
Kesho kutwa Ijumaa huko nchini India, Kamati ya kukabili ugaidi ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa itakutana nchini India kutathmini vitisho vipya duniani vitokanavyo na teknolojia mpya. Mkutano huo wa siku mbili ni wa kwanza kufanyika nje ya makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani tangu mwaka 2015. Happiness Pallangyo wa Redio washirika Uhai FM kutoka Tabora Tanzania anafafanua zaidi.Mjadala utajikita kwenye maeneo matatu makuu ambayo ni mosi; Intaneti na mitandao ya kijamii; Pili, Ufadhili wa mitandao ya kigaidi duniani na tatu; kuenea kwa matumizi ya mifumo ya angani isiyo na rubani kama vile droni.Umoja wa Mataifa unasema teknolojia hizo mpya zinakua kwa kasi kubwa na zinatumika mara kwa mara katika nchi mbalimbali duniani ikiwemo kwenye usalama wa taifa na kukabili ugaidi.Hata hivyo teknolojia hizo zinatumiwa vibaya na vikundi vya kigaidi kwa manufaa yao binafsi yasio na nia njema.Mkutano pia utakuwa ni jukwaa la kubadilishana mawazo ya jinsi teknolojia inaweza kusaidia kukabili kusambaa kwa maudhui ya kigaidi mtandaoni na kukabili pia simulizi za kigaidi.Hofu nyingine iliyoko na itakayomulikwa ni matumizi kwa nia mbaya ya uchapishaji wa chapa tatu au 3D, maroboti, akili bandia na mifumo ya angani isiyo na usimamizi.Kwa sasa India ndio inashikilia kiti cha Uenyekiti wa Kamati hiyo hadi mwishoni mwa mwaka huu ambapo akizungumza na waandishi wa habari jijini New York, Marekani, Mwakilishi wa Kudumu wa India Kwenye Umoja wa Mataifa Balozi Ruchira Kamboj ambaye ndiye Mwenyekiti amesema,(Sauti ya Ruchira Kamboj)“Ugaidi katika aina zote zile, katika muonekano wowote ule ni moja ya vitisho vikubwa zaidi vya amani na usalama duniani. Kitendo chochote cha kigaidi hakiwezi kuhalalishwa kwa misingi ya nia yoyote ile, wakati uliofanyika, pahali ilipofanyika na ni nani aliyetekeleza. Kamati imejizatiti kupambana na janga hili katika ngazi ya kimataifa.”Kutokana na ugumu wa suala zima, na kasi ya mapinduzi yake, matarajio ni kwamba wajumbe watakuwa na nyaraka ya mwisho ambayo itatoa mwelekeo wa jinsi magaidi wanatumia teknolojia, kwa lengo la kufunga simulizi zao na matumizi ya teknolojia.Kamati ya kukabili ugaidi ya Baraza la Usalama la UN iliundwa kwa kauli moja tarehe 28 mwezi Septemba mwaka 2001, kufuatia shambulio la kigaidi dhidi ya Marekani tarehe 11 Septemba 2001 na wanachama ni wajumbe wote 15 wa Baraza la Usalama.
Moments and Music Like I said at the start the new season, season 2 will have a lot more to do with music. Lock in with me on the first edition of Paza Sauti Fm where I try and capture and translate moments, feelings and emotions in to music. Mix by sleeklines Music by: Vibe Killer – Produced by 9tyeight Fame – PRODUCED BY Lexus Beats Groove – Produced by 9tyeight Cavemen – Produced by Akin Lexus Wanted Produced by Lila Melody – Produced by Alvin Brown Secrets Produced by Kasvin Beats
Zaidi ya nchi 190 zimefikia makubaliano juu ya mazungumzo ya mabadiliko ya tabianchi. Makubaliano hayo yamefikiwa baada ya siku saba ya mazungumzo nchini Uswisi, katika utaratibu wa maandalizi ya kongamano kubwa litakalofanyika mjini Paris, Disemba mwaka huu. Christiana Figueres, Katibu Mtendaji wa mkataba wa kimataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi, UNFCCC, ametangaza hayo alipozungumza na waandishi wa habari leo mjini Geneva. “ Ni lazima makubaliano ya Paris yaende sambamba na sayansi. Inamaanisha vitu viwili, kwanza tutatengeneza takwimu za awali, na pia tutaanzisha utaratibu wa muda mrefu kwa msingi wa kutorudi nyuma, na kuendelea kuchukua hatua zaidi hadi nusu ya pili ya karne hii” Akizungumzia nafasi ya nchi zinazoendelea katika mkutano huo mwakilishi wa Tanzania katika ofisi za Umoja wa Matifa mjini Geneva Modest Mero anasema. (SAUTI ya Mero)
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF leo limemteua na kumtangaza mwanaharakati wa mazingira kutoka nchini Uganda Vanessa Nakate kuwa balozi mwema mpya wa shirika hilo. Vanessa Nakate, Balozi mwema wa UNICEF, akiwa ziarani Turkana nchini Kenya alitembelea hospitali ya rufaa ya Lodwar na hapo anazungumza na mtoto Eunice Asukuku ambaye alifikishwa hospitali kwa tatizo la utapiamlo mkali, kuvimba mwili na ukosefu wa damu. Chanzo cha matatizo ni uhaba wa chakula utokanao na ukame uliosababishwa na mabadiliko ya tabianchi. Uteuzi wa Vanessa, mwenye umri wa miaka 25 unafuatia ziara yake kwenye Pembeme ya Afrika ambako alishuhudia jinsi gani mabadiliko ya tabianchi yalivyochangia athari mbaya kwa maisha ya watoto nchini Kenya kutokana na ukame unaoendelea. Pia uteuzi huo ni kuthibitisha ushirikiano wake na shirika la UNICEF na kutambua utetezi wake bora wa kimataifa wa haki za kimazingira kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Vanessa alisafiri wiki iliyopita na UNICEF hadi Kaunti ya Turkana Kaskazini Magharibi mwa Kenya ili kujionea athari za uhaba wa maji na chakula unaosababishwa na ukame mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika Pembe ya Afrika katika kipindi cha miaka 40. Katika safari yake ya kwanza na UNICEF, alikutana na jamii zilizo katika kitovu cha athari za mabadiliko ya tabianchi ikiwa ni pamoja na kinamama na watoto wanaopata matibabu ya kuokoa maisha kutokana na utapiamlo mkali na familia zinazonufaika na mifumo ya usambazaji wa maji inayotumia nishati ya jua kwa msaada wa UNICEF. Nitahakikisha sauti za watoto zinasikika Baada ya kuteuliwa kwake Bi. Nakate amesema "Kama balozi mwema wa UNICEF, itakuwa jukumu langu la kwanza kuwasilisha sauti za watoto na watu waliotengwa katika mazungumzo ambayo awali hawakujumuishwa. Jukumu hili na UNICEF litanipa fursa zaidi za kukutana na watoto na vijana katika maeneo yaliyoathiriwa zaidi na mabadiliko ya tabianchi na jukwaa lililopanuliwa la kutetea kwa niaba yao. Nchini Kenya, watu niliokutana nao waliniambia kuhusu athari za mabadiliko ya tabianchi na ukame katika maisha yao, huku misimu minne ya mvua iliyofeli mfululizo ikiwanyima watoto haki zao za msingi.” Ameongeza kuwa moja ya jamii alizokutana nazo imemweleza kuwa haijashuhudia mvua kwa zaidi ya miaka miwili. “Hii ni zaidi ya shida ya chakula na lishe, ni mwelekeo mwingine wa changamoto yetu ya mabadiliko ya tabianchi inayozidi kuwa mbaya.” Ombi la UNICEF la kuboresha na kusaidia maisha ya mamilioni ya watu walioathirika na ukame na kuwajengea mnepo kwa muda mrefu kwenye Pembe ya Afrika na kuzuia athari za ukame kwa miaka ijayo zinagonga mwamba kwani hadi sasa ombi hilo limefadhiliwa kwa asilimia 3% pekee. Akiwa Sopel, kaunti ya Turkana nchini Kenya, Vanessa Nakate alitembelea shule ya msingi na kuzungumza na wanafunzi kuhusu changamoto wanazozipata kutokana na janga la ukame kwenye eneo hilo la Afrika Mashariki. Safari ya uanaharakati ya Vanessa Nakate Vanessa alianza harakati zake Januari 2019 kwa maandamano na ndugu zake na binamu zake katika mitaa ya jiji la Kampala, nchini Uganda, maandamano yaliyochochewa na mwanaharakati mwingine nyota wa mabadiliko ya tabianchi na mazingira Greta Thunberg. Aliendelea kuandamana kila wiki, na kuwa sura inayojulikana katika harakati ya vijana kupiga mabadiliko ya tabianchi duniani kote. Mwaka 2020 alijulikana zaidi ulimwenguni wakati alipoondolewa kwenye picha ya habari aliyokuwemo pamoja na Thunberg na wanaharakati wengine weupe wa mabadiliko ya tabianchi. Kufuatia tukio hilo alochosema Vanessa ni kwamba chombo hicho cha habari "hakikufuta picha tu, bali kilifuta bara zima", kauli ambayo iligonga vichwa vya habari vya kimataifa. Vanessa amesema safari yake haikuwa rahisi “Kama mwanamke mwanaharakati mchanga wa Kiafrika, imenibidi kupigana ili kusikilizwa na vyombo vya habari na watoa maamuzi. Wakati nina bahati ya kuwa na jukwaa sasa, ninakusudia kuendelea kupigania wengine. Watoto walio katika kitovu cha athari za mabadiliko ya tabianchi, kama wale niliokutana nao Turkana, Kenya, ni watu ambao nitapigania katika jukumu langu jipya na UNICEF,” amesema Nakate. Tangu wakati huo Vanessa ametumia jukwaa lake kutetea haki ya masuala ya mabadiliko ya tabianchi kujumuisha kila jamii, haswa wale kutoka sehemu zilizoathiriwa zaidi. Alianzisha Rise Up Movement, jukwaa la kupaza sauti za wanaharakati wa mabadiliko ya tabianchi wa Afrika, pamoja na mradi wa kufunga paneli za sola katika shule za vijijini za Uganda. Amehutubia viongozi wa dunia katika mikutano ya mabadiliko ya tabianchi ya COP25 na COP26 na alionekana na hadithi yake kuchapishwa kwenye jarida la TIME.
Hip hop na muziki wa Drill imekuwa maarufu katika miaka ya hivi karibuni nchini Australia na, wasanii nchini watashiriki katika tamasha itakayo andaliwa katika kitongoji cha Sydney chenye tamaduni nyingi cha Parramatta.
Nchini Thailand, neema imerejea tena kwa wafugaji wa Kamba wadogo baada ya mradi wa FAO wa teknolojia mpya ya kuchuja maji na kulisha viumbe hao kusaidia kuondoa changamoto waliyopata awali ya milipuko ya magonjwa kutokana na uchafu wa maji kwenye mabwawa wanayofugia. Taarifa iliyoandaliwa na FAO ambalo ni shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO inasomwa na Ibrahim Rojalla wa televisheni washirika Mamlaka TV inafafanua zaidi. Mradi unatekelezwa kwenye jimbo la Khiri Khan nchini Thailand kwenye mabwawa ya kisasa ya ufugaji samaki, mfugaji akitembea kwenda kuvua samaki kwa kutumia wavu unaonin'ginizwa kwenye njia anamopita, iliyojengwa kwa wavu juu ya mabwawa hayo. Samaki wamenasa nyavuni na kando ni mashine maalumu yenye magurudumu ya chuma na mfumo wa kutumia hewa inayopuliza maji . Inapita juu ya maji kwa lengo la kuchuja uchafu. Awali kabla ya teknolojia hii, walitumia siku hadi 10 kusafisha maji ambayo yanachafuliwa si tu na mabaki ya vyakula vya kamba hawa wadogo bali pia uchafu wa haja zao kubwa. Uchujaji usiokuwa fanisi hapo awali ulisababisha milipuko ya magonjwa na mabwawa kufungwa. Kupitia shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo wamepatiwa mashine hii ya kuchuja uchafu, halikadhalika mfumo wa kisasa wa kupatia samaki chakula badala ya kumwaga kwenye bwawa. Kirana Leesakulpran, mama wa watoto wawili na ambaye amekuwa akifuga samaki aina ya Kamba kwa zaidi ya miaka 30 anasema, “tangu tuanze kutumia teknolojia hii, tunapata kamba wengi zaidi, faida imeongezeka na maisha ya ukulima ni endelevu zaidi.” Nchini Thailand zaidi ya watu milioni 23, takribani asilimia 34 ya watu wote hawana uhakika wa kupata chakulia na FAO kupitia mradi wa kusaidia uchumi utokanao na shughuli za baharini na majini, inasaidia Thailand kuongeza tija kwenye ufugaji samaki kwa kudhibiti pia uvuvi wa kibiashara. Theerapong Thammasara ni mvuvi mdogo ambaye anaona mabadiliko ya kiwango cha uvuvi kabla na baada ya mradi. (Sauti ya Theerapong Thammasara) “Nadhani ni kwa sababu ya kanuni zote zinazotekelezwa. Meli kubwa za uvuvi haziruhusiwi kufika maili tatu kutoka pwani. Na kuna sheria kuhusu ukubwa wa nanga. Hizi ni sababu ya kurejea tena kwa vibua.” Ama hakika katika soko tuliloingia kupitia video ya FAO, vibua ni wakubwa na wengi na bila shaka lengo la kutokomeza uhaba wa chakula na lishe bora litafikiwa.
A lo largo del trayecto del podcast he compartido diferentes conceptos teóricos respecto al dolor y el proceso del duelo. En el episodio de hoy, para celebrar los 100 episodios, tuve como invitado a una persona muy especial que lleva más de 15 años estudiando y practicando la filosofía del Budismo; Pablo Sauti, además de ser una de las personas que más admiro y quiero, ha sido un pilar muy importante en la formación de la filosofía que utilizo para sobrellevar los duelos y acompañar a mis pacientes en terapia a hacer lo mismo.Hace unos años, Pablo me regaló un libro llamado “Storms Can't Touch the Sky” de Gabriel Cohen que me abrió el camino al Budismo y aprendí conceptos tan hermosos y útiles como es el de la impermanencia, la diferencia entre dolor y sufrimiento y el reconocer que todas las personas llevamos nuestras heridas y hacemos lo mejor que podemos con lo que tenemos.El budismo lejos de ser una religión es una filosofía oriental y tiene conceptos y aportaciones valiosísmas para aplicar en el día a día.Puedes encontrar a Pablo Sauti en Instagram como:@pablosautiRecuerda que puedes encontrarme en instagram como: @eva_latapi @superaloporfavoro leer mi blog en: www.evalatapi.com
Kupitia Mpango wa UN Moja ambapo mashirika kadhaa ya Umoja wa Mataifa hushirikiana kutekeleza miradi, huko nchini Rwanda, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF linafanya kazi bega kwa bega na mashirika dada likiwemo la Mpango wa Chakula Duniani, WFP na la Chakula na Kilimo, FAO kutekeleza mradi wa Baho Neza au Ishi Vizuri kwa kutumia maafisa ustawi wa jamii wenyeji wanaojitolea. Anold Kayanda ameangazia mradi huo unaoenda vizuri na hii ni taarifa yake. Mashirika hayo matatu ya Umoja wa Mataifa, UNICEF, WFP na FAO, pia yanashirikiana na shirika la kimataifa la World Relief, tawi la Rwanda ili kuutekeleza mradi huo wa Baho Neza, kuleta mabadiliko chanya ya kijamii na kiuchumi katika maisha ya wakazi wa wilaya tano nchini Rwanda, ikiwa ni pamoja na Kirehe, Burera, Nyamagabe, Karongi, na Rutsiro. Kutana na Dorcelle. Hapo anaeleza kuwa yeye ni afisa ustawi wa jamii, mhamasisha maendeleo. Na kwamba wanafanya kazi na wadau wengine ambao walichaguliwa katika vijiji vyote ili kuunda kundi kubwa. “Tunafanya kazi katika kila kijiji,” anaeleza. Dorcelle anaendelea kueleza akisema, “tunawatembelea hao wadau au washirika wetu ili kujadili shida zinazokabili kaya zao. Halafu lile tatizo tunalolikuta, tunalitafutia ufumbuzi.” Huyu sasa ni Alphonsine, mwanakijiji. Kutokana na alivyoguswa na matokeo ya mradi, anaeleza kwa furaha akisema, “wameleta mambo mazuri katika kijiji chetu. Awali hatukuwa na bustani za mbogamboga hapa nyumbani. Lakini sasa hivi unakuta kila nyumba wamepanda mbogamboga.” Jean de la Croix ni Afisa ustawi wa Jamii mwingine anayejitolea katika mradi wa Baho Neza, anatoa ushuhuda wa namna mradi huu unavyoleta mitazamo chanya. Anasema, (Sauti ya Jean de la Croix) “Niliitembelea nyumba ya mmoja wa wadau wetu. Nikakuta hawana hawaezi kumudu kujenga choo na walikuwa wanajisaidia katika eneo fulani ambalo halikuwa safi. Nikajaribu kuwaelezea lakini nikaona haitoshi. Kisha nikaenda kwa kiongozi wa kijiji nikamfahamisha tatizo hilo. Tukarudi tukaitembelea nyumba ile, tukaratibu shughuli ya kijamii ili tuweze kuwasaidia. Sasa hawajisaidii tena vichakani kwa sababu wana choo kisafi tulichowajengea. Hiyo ilinipa furaha kwa sababu niligundua kwamba kazi ya kujitolea ni nzuri. Inaleta mabadiliko. ”