Podcasts about sauti

  • 63PODCASTS
  • 199EPISODES
  • 34mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • Sep 12, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about sauti

Latest podcast episodes about sauti

Habari za UN
UNICEF yawawezesha vijana kwenye kilimo nchini Kenya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 12, 2025 3:09


Kaunti ya Kirinyaga, iliyoko katikati mwa nchi ya Kenya kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Nairobi, inashuhudia mageuzi mapya katika sekta ya kilimo kupitia mradi wa kuwahusisha vijana  katika kilimo na lishe unaojulikana kama EKYAN. Mradi huu unatekelezwa kwa ushirikiano kati ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF, na wadau nchini humo.  Karibu Sabrina Saidi utupe taarifa zaidi.....(TAARIFA YA SABRINA SAIDI)Mradi wa EKYAN ni mfano wa ujasiriamali wa kilimo unaoongozwa na vijana, ukiwa na lengo la kutengeneza fursa za ajira, kuwanufaisha na kubadilisha maisha ya vijana walioko vijijini, kupitia mbinu bora za kilimo na lishe, ukitekelezwa kwa ushirikiano kati ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF, serikali ya kaunti ya Kirinyaga na shirika linalotoa mafunzo, elimu ya biashara ndogo ndogo na uwezeshaji barani Afrika KUZA Biashara.Felista Nyakio Mutungi kijana mkulima wa kaunti ya Kirinyaga, ni mmoja wa wanufaika wa mafunzo kupitia mradi huo. Na hapa anasema....CUT 2- Sauti ya Felista Nyakio Mutungi“Kabla ya kuanza kilimo, nilikuwa nauza barabarani viazi vya kukaanga au chipsi,  na mihogo, pamoja na nafaka. Haikuwa vizuri sana, lakini ndiyo nafasi pekee niliyokuwa nayo wakati huo. Kupitia serikali ya kaunti ya Kirinyaga, tulisajiliwa kama vijana wanaopenda kilimo na tukapata mafunzo kupitia KUZA na UNICEF. Sasa mimi ni mkulima na mjasiriamali.”Felista anasema awali alikuwa akilima robo ekari ya mpunga na kuvuna magunia manne hadi matano pekee. Lakini baada ya mradi wa EKYAN, kwa robo ekari hiyo hiyo sasa anapata hadi magunia saba. Aidha, shamba lake limepanuka hadi ekari nne katika eneo la 'mradi wa umwagiliaji wa Bura.Felista hakutaka kuwa mchoyo wa manufaa aliyopata, hivyo ameamua kueneza ujuzi wa kilimo cha kibiashara kwa kuwafundisha baadhi ya wakulima wengine mbinu na maarifa ya kilimo hiki.CUT- Sauti ya Felista  Nyakio Mutungi“Sasa si tu kwamba nalima, bali pia nawafundisha wakulima wengine kuongeza thamani katika mazao yao. Wanapata ujuzi wa kufanya biashara kupitia kilimo. Na kwa kweli tunawashukuru wahisani na UNICEF kwa kutuwezesha. Bila mpango huu, nisingekuwa hapa nilipo leo.”Kwa upande wake mtaalamu wa ubunifu wa UNICEF nchini Kenya Lilian Njoro, anaeleza kwa nini mradi huo ni muhimu kwa vijana.CUT- Sauti ya Lilian Njoro."Ni asilimia 10 pekee ya vijana wanaojihusisha na sekta ya kilimo. Kwa hivyo, kupitia mradi wa EKYAN, tulitaka kuona jinsi ya kuwahusisha vijana wengi zaidi katika kilimo na kuwavutia ili waweze kuanza kupata maisha yenye utulivu na ajira bora kupitia sekta hii.”Njoro anasisitiza kuwa teknolojia mpya zinafungua njia kwa kilimo cha kisasa tofauti na enzi za wazazi na mababu zao.Namna kilimo kinavyofanyika nyakati hizi ni tofauti na zamani,hii ni kwa sababu ya uwepo wa teknolojia bunifu, majukwaa ya kidijitali, na fursa nyingi.Kwa sasa, mradi wa EKYAN umeendelea kuwajengea vijana ujuzi, kuwapatia nafasi ya ajira, na kubadilisha mtazamo wao kuhusu kilimo, kutoka shughuli ya kizamani hadi kuwa biashara yenye faida.Link: https://youtu.be/hv17nk-2l5kTAGS:UNICEF Kenya/Kilimo/Biashara na ujasiriamali

Habari za UN
WMO: Ubora wa hewa duniani wazidi kuzorota japo kuna nafuu Asia na Ulaya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 5, 2025 2:59


Wakati mabilioni ya watu wakiendelea kuvuta hewa chafu inayosababisha zaidi ya vifo vya mapema milioni 4.5 kila mwaka, wataalamu wa hali ya hewa wa Umoja wa Mataifa leo Ijumaa (5 Septemba) wamebainisha madhara ya chembe ndogo ndogo za moshi kutoka katika moto wa nyika ambazo husafiri umbali mrefu duniani kote. Philip Mwihava na maelezo zaidi.(Taarifa ya Mwihava)“Ubora wa hewa hauheshimu mipaka,” anasema Lorenzo Labrador, Afisa wa Kisayansi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Hali ya Hewa Duniani (WMO). Anaendelea kueleza kwamba, “moshi na uchafuzi unaotokana na moto wa nyika katika msimu huu wa kihistoria katika Rasi ya Iberia tayari umepatikana Ulaya Magharibi, kwa hiyo athari zake hazibaki tu kwenye Rasi ya Iberia, bali zinaweza kusambaa kote barani Ulaya.”Akiwasilisha taarifa ya WMO kuhusu Hewa Safi na Tabianchi, ambayo inakusanya data kutoka vyanzo mbalimbali vya kimataifa, leo jijini Geneva, Uswisi Bwana Labrador ametangaza mwendelezo wa mwenendo wa kuzorota kwa ubora wa hewa duniani.Ameonyesha ramani ya dunia ya mwaka 2024 iliyoonesha alama za chembechembe ndogo zinazojulikana kama “PM 2.5” kutokana na moto wa nyika, zikionekana kwa alama nyekundu kwenye maeneo ya Chile, Brazil na Ecuador, pamoja na Canada, Afrika ya Kati na Siberia. Takwimu hizo zinathibitisha mwenendo wa kuendelea kwa kuzorota kwa ubora wa hewa duniani kama ilivyoonekana katika miaka iliyopita.Kwa upande wa habari njema, mwanasayansi huyo wa WMO amesisitiza kupungua kwa uzalishaji wa hewa chafuzi katika baadhi ya maeneo ya dunia.(Sauti ya Labrador) - sauti ya kiume“Tunaona mwenendo wa kuzorota kwa ubora wa hewa hasa kwa kuhusiana na PM 2.5, na pia tunaona kupungua kwa uzalishaji wa hewa chafuzi katika maeneo fulani ya dunia, hasa mashariki mwa China na Ulaya, mwaka baada ya mwaka.”Mfano mzuri uliotolewa katika taarifa ya leo mashariki mwa China, katika miji kama Shanghai, ambako kumepigwa hatua katika kuboresha ubora wa hewa kwa kufungua bustani zaidi na kupanda miti mingi. Na ingawa bado kuna msongamano mkubwa wa magari, mengi sasa ni ya umeme.Hata hivyo WMO inasema licha ya mafanikio hayo, miji michache tu duniani ina viwango vya ubora wa hewa chini ya vile vinavyopendekezwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO). Hii inamaanisha kuwa, licha ya maboresho ya karibuni, ubora wa hewa bado ni changamoto kubwa kwa afya ya umma.Umoja wa Mataifa unaongoza juhudi za kupambana na uchafuzi wa hewa majumbani ambao ni mojawapo ya vitisho vikubwa zaidi kwa afya ya umma duniani na hasa ni hatari kwa watoto.

Habari za UN
MINUSCA washiriki kutoa elimu ya usalama barabarani CAR

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 5, 2025 2:41


Kila mwaka,Wizara ya Uchukuzi na Usafirishaji wa Anga nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR,  kwa msaada wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MINUSCA,huandaa kampeni za usalama barabarani. Na hivi karibuni katika mji mkuu wa nchi hiyo,Bangui, MINUSCA kwa kushirikiana na Vikosi vya Usalama vya Ndani ISF wameungana kupambana na ajali za barabarani zinazoongezeka kila uchao,doria ya pamoja imefanyika kutoa elimu kwa watumiaji wa barabara. Sabrina Saidi anatujuza zaidi....​(TAARIFA YA SABRINA SAIDI)Natts ....ongeza hii; katikaa mitaa ya Banguimji mji mkuu wa CAR pisha nikupishe ni nyingi. Kufuatia ongezeko la ajali za barabarani,zinazopoteza maisha ya watu kila uchao, kikosi cha polisi cha Ujumbe wa Umoja wa Mataifa MINUSCA kimeendesha doria ya pamoja ya usalama kwa kushirikiana na Vikosi vya Usalama vya nchi hii (ISF) katika mji mkuu BanguiOperesheni hii iliyofanyika tarehe 4 mwezi Septemba,mwaka huu imelenga kutoa elimu kwa waendesha pikipiki za abiria maarufu kama "moto taxi" nchini CAR na watumiaji wengine wa barabara kuhusu umuhimu wa kufuata sheria za barabarani.Kwa mujibu wa MINUSCA Hatua hii ina lengo la kuimarisha usalama na kujenga uhusiano mwema kati ya vikosi vya usalama na raia.​Akizungumza kuhusu umuhimu wa hatua hii, Kamanda wa Mkoa wa Plateaux(PLATIU) na Bas-Oubangui(BA OBANGI), Douflé Avi Chico( DOFLE AVII CHIKO BERNAA) Bernard, amesema,CUT- Sauti ya Douflé Avi Chico Bernard“Kwa kushirikiana na MINUSCA, kupitia brigedi yao ya magari, tunafanya kazi ya kuongeza uelewa kwa watumiaji wa barabara, waendesha pikipiki au teksi, ili kupunguza ajali nyingi ambazo kwa bahati mbaya zinagharimu maisha ya watu. Tutaendelea na kampeni hizi kubwa ili kurekebisha hali hii.”​Kwa upande wa watumiaji wa barabara, dereva wa pikipiki za abiria, Jean Terence Bokassa (JANI TEREE BOKASA), ameomba serikali iimarishe udhibiti wa sekta hiyo.CUT- Sauti ya Jean Terence Bokassa“Tunaomba serikali ihakikishe usalama wa waendesha pikipiki za abiria kwa sababu sisi ni watu kama wengine. Tunatoka nje kutafuta riziki, lakini maisha yetu yako hatarini. Tungependa serikali itusaidie kwa kuwafundisha ndugu zetu ambao hawana leseni ya udereva kanuni za barabarani ili kuhakikisha usalama wao.”Nattss.. Sauti za magari honi nk.​Doria hii ya pamoja inaonesha ushirikiano mzuri kati ya Polisi wa Umoja wa Mataifa na ISF, wote wakiwa wamejitolea kulinda raia na kupunguza ajali za barabarani na MINUSCA inasema wananchi wakipata uelewa wa kutosha basio sio tu barabara zitakuwa salama bali pia idadi ya vifo vitokanavyo na ajali za barabarani vitapungua.

Habari za UN
Leo ni siku ya Ziwa, wakazi wa Ziwa Victoria wapaza sauti ya faida zake

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 27, 2025 1:34


Leo ni maadhimisho ya kwanza ya siku ya Ziwa Duniani yakibeba maudhui "Ziwa ni uti wa mgongo wa sayari yetu" na ili kuthibitisha hilo tunakupeleka  Mwanza Kaskazini Magharibi mwa Tanzania ambako , Bosco Cosmas kutoka Radio washirika SAUT FM anamulika maoni ya wananchi ni kwa vipi ziwa Victoria limekuwa msaada na mkombozi kwao.

Habari za UN
12 AGOSTI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 12, 2025 9:59


Jaridani leo tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Bahrain, wadau kwa kushirikiaa na ofisi ya Uwekezaji na Uendelezaji Teknolojia, ITPO ya shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Viwanda, UNIDO wanachukua hatua kuondolea wanawake umaskini kwa kuimarisha talanta walizonazo. Mengine ni kama yafuatayo..Leo ni siku ya Kimataifa ya vijana duniani maadhinisho yanafanyika jijini Nairobi nchini Kenya chini ya ushirikiano na shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amewatumia vijana ujumbe maalum akisema “Kwa kijana: Sauti yako, mawazo yako na uongozi ni muhimu.”Je, vijana wanasemaje kuhusu siku hii? Kutoka Dar es Salaam nchini Tanzania, Sabrina Saidi wa Idhaa hii amezungumza na baadhi yao.Na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani WFP limepokea zaidi ya dola milioni 2 kutoka Japan kwa ajili ya msaada wa chakula nchini Malawi. Kwa msaada huu WFP inatarajia kusambazana tani 1970 za mahindi katika msimu wa mwambo kwa mwaka 2025/ 2026.Na katika mashinani fursa ni yake Maryam Bukar Hassan al maaruf Alhanislam, mshairi kutoka Nigeria ambaye ni mwanaharakati wa haki za binadamu na Mchechemuzi wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya Amani. Hivi karibuni alighani shairi lake kwenye tamasha la majira ya joto hapa      jijini New York, nchini Marekani.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

First Voices Radio
6/8/2025 - Ukumbwa Sauti

First Voices Radio

Play Episode Listen Later Jun 12, 2025 58:17


Ukumbwa Sauti, M.Ed. is a Consultant, Facilitator, Educator and Program Developer on issues of Anti-Racism, Anti-Patriarchy, Men's Work, Consent and Culture. He has worked with religious organizations, cultural groups and regional organizations and has taught in higher education for 16 years engaging issues of Race, Gender, Environmental issues, Media and Culture. Ukumbwa has been a member and supportive of numerous local, national and international organizations and movements advocating for Pan-Africanism, Anti-Racism, Relationship, Sexual and Intimacy safety and education and Men's Development. Ukumbwa has presented across New England, USAmerica, California, Toronto and Barbados. He has worked as Social Media Director for Voice Male Magazine and an organizer for the Greater Boston Men's Network and is currently the moderator for the Men's Work Initiative. More about Ukumbwa is at https://linktr.ee/UkumbwaSautiConsultantEducatorProduction Credits:Tiokasin Ghosthorse (Lakota), Host and Executive ProducerLiz Hill (Red Lake Ojibwe), ProducerOrlando DuPont, Studio Engineer, Radio KingstonTiokasin Ghosthorse, Audio EditorMusic Selections:1. Song Title: Tahi Roots Mix (First Voices Radio Theme Song)Artist: Moana and the Moa HuntersAlbum: Tahi (1993)Label: Southside Records (Australia and New Zealand)2. Song Title: Jah SpiritArtist: Billy CobhamAlbum: Drum 'n' Voice (2015)Label: Just Groove3. Song Title: Theo's DreamArtist: Robert MirabelAlbum: Indians Indians (2003)Label: Silver Wave Records4. Song Title: Lonely Dirt RoadArtist: DaxAlbum: From a Man's Perspective (2024)Label: Columbia Records5. Song Title: EnoughArtist: KingfishaAlbum: Kingfisha (2012)Label: 886788 Records DK6. Song Title: I Can't Give Everything AwayArtist: SpoonAlbum: I Can't Give Everything Away (2022)Label: Columbia RecordsAbout First Voices Radio:"First Voices Radio," now in its 33rd year on the air, is an internationally syndicated one-hour radio program originating from and heard weekly on Radio Kingston WKNY 1490 AM and 107.9 FM in Kingston, New York. Hosted by Tiokasin Ghosthorse (Lakota), who is the show's Founder and Executive Producer, "First Voices Radio" explores global topics and issues of critical importance to the preservation and protection of Mother Earth presented in the voices and from the perspective of the original peoples of the world.Akantu Intelligence:Visit Akantu Intelligence, an institute that Tiokasin founded with a mission of contextualizing original wisdom for troubled times. Go to https://akantuintelligence.org to find out more and consider joining his Patreon page at https://www.patreon.com/Ghosthorse

Muhallinka Rayuwarka
Tasirin gurɓataccen sauti ga lafiyar halittu da muhalli

Muhallinka Rayuwarka

Play Episode Listen Later Feb 8, 2025 19:04


A wannan makon shirin ya mayar da hankali ne kan tasirin gurɓataccen sauti ga lafiyar halittu da muhalli wato Sound pollution a turance daga nan RFI.

Mwalimu Huruma Gadi
A4. Jinsi ya Kusikia Sauti ya Mungu

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Feb 7, 2025 28:38


Je, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.

Mwalimu Huruma Gadi
A7. Jinsi ya Kusikia Sauti ya Mungu

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Feb 7, 2025 28:35


Je, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.

Mwalimu Huruma Gadi
A6. Jinsi ya Kusikia Sauti ya Mungu

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Feb 7, 2025 28:41


Je, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.

Mwalimu Huruma Gadi
A5. Jinsi ya Kusikia Sauti ya Mungu

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Feb 7, 2025 28:39


Je, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.

Mwalimu Huruma Gadi
A3. Jinsi ya Kusikia Sauti ya Mungu

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Feb 7, 2025 28:40


Je, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.

Mwalimu Huruma Gadi
A2. Jinsi ya Kusikia Sauti ya Mungu

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Feb 7, 2025 28:41


Je, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.

Mwalimu Huruma Gadi
A1. Jinsi ya Kusikia Sauti ya Mungu

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Feb 3, 2025 28:44


Je, unatafuta kuelewa jinsi ya kusikia sauti ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Katika podcast hii, Mwalimu Huruma Gadi anafundisha njia mbalimbali ambazo Mungu hutumia kuzungumza nasi.

Nyumba ya Sanaa
Tamasha la Sauti za Busara linalofanyika kila mwezi Februari Zanzibar

Nyumba ya Sanaa

Play Episode Listen Later Feb 1, 2025 20:13


Wasanii wa Muziki Afrika na Duniani kote wanakutana visiwani Zanzibar kufurahia uzuri na Upekee wa Muziki, wageni mbalimbali hukusanyika kushuhudia Tamasha la Sauti za Busara kila ifikao mwezi Februari. 

Mundofonías
Mundofonías 2025 #6: Escenarios de África, Asia y Europa / Stages of Africa, Asia, and Europe

Mundofonías

Play Episode Listen Later Jan 24, 2025 57:03


Exploramos músicas que estarán sonando próximamente en escenarios de África, Asia y Europa, que repasamos en nuestras #Mundofonews: Folkfest Región de Murcia; Belgian Worldwide Music Night y la gala de los Flanders Folk Music Awards, en Bruselas; Babel Music XP, en Marsella; Klangkosmos NRW, en Alemania; Sur Jahan, en India; Celtic Connections, en Escocia, y Sauti za Busara, en Zanzíbar. Rematamos con nuevas músicas que nos traen aires de diversos rincones de África, desde el Atlántico al Índico. We explore music that will soon resonate on stages in Africa, Asia, and Europe, as highlighted in our #Mundofonews: Folkfest Región de Murcia, Belgian Worldwide Music Night and the Flanders Folk Music Awards gala in Brussels; Babel Music XP in Marseille; Klangkosmos NRW in Germany; Sur Jahan in India; Celtic Connections in Scotland, and Sauti za Busara in Zanzibar. We wrap up with new music bringing breezes from various corners of Africa, spanning from the Atlantic to the Indian Ocean. - El Pantorrillas - Amores sin nombre - Palomo cojo - Peixe e Limão - Quiéreme entera - Salta! - Pengetős Trió - Gergelyes - Este nálunk - Almir Meskovic & Daniel Lazar - Calusul oltenesc - Family beyond blood - Polyphème / Wassim Halal & Gamelan Puspawarna - Murmurations - Le rêve de Polyphème - Gnoss - [Directo / Live | WOMEX 2024] - The Zawose Queens - Lulelule - Maisha - Trio Da Kali - Fakoly - Bagola - Loya - Hoy aho neny - Blakaz antandroy - Kaito Winse - Diliguiduni - Reele bombou #Mundofonews - Folkfest Región de Murcia - Belgian Worldwide Music Night - Flanders Folk Music Awards - Babel Music XP - Klangkosmos NRW - Sur Jahan - Celtic Connections - Sauti za Busara 📸 Trio Da Kali (Youri Lenquette)

VOA Express - Voice of America
Mdau wa masuala ya utalii Zanzibar anaeleza namna Sauti za Busara na ZIFF zinavyowahamasisha vijana kwenye matamasha ya muziki na utamaduni - Januari 02, 2025

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 2, 2025 29:41


VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.

ENCORE
Hors série #17 Episode Jane Sautière

ENCORE

Play Episode Listen Later Dec 23, 2024 52:35


Vieillir, c'est traverser un territoire inconnu. Un territoire que notre société préfère parfois ignorer, mais où réside une richesse immense : celle des histoires, des luttes, et du collectif.Dans cet épisode d'Encore, je reçois Jane Sautière, auteure de "Tout ce qui nous était à venir", un livre qui explore avec tendresse et profondeur ce que signifie vieillir, non pas seul·e, mais ensemble.À travers son récit et son engagement, Jane nous invite à repenser la vieillesse comme une force. Elle nous parle du collectif des "vieilleux", un espace où la solidarité devient une réponse aux injonctions à l'isolement ou à l'effacement.Nous avons aussi évoqué son travail en prison, un lieu où la vieillesse prend une autre dimension, parfois plus brutale, mais toujours riche d'humanité et de réflexions sur la transmission et le lien.Au programme de cet épisode :Le livre "Tout ce qui nous était à venir" : une ode à la vieillesseCréer un collectif autour de l'âge : et si la vieillesse était un espace de résistance ?Les liens entre engagement et transmission, dans et hors les murs

First Voices Radio
10/27/24 - Ukumbwa Sauti

First Voices Radio

Play Episode Listen Later Oct 28, 2024 57:26


Host Tiokasin Ghosthorse speaks returning guest and longtime friend of “First Voices Radio” Ukumbwa Sauti. Ukumbwa Sauti, M.Ed. is a Consultant, Facilitator, Educator and Program Developer on issues of Anti-Racism, Anti-Patriarchy, Men's Work, Consent and Culture. He has worked with religious organizations, cultural groups and regional organizations and has taught in higher education for 16 years engaging issues of Race, Gender, Environmental issues, Media and Culture. Ukumbwa has been a member and supportive of numerous local, national and international organizations and movements advocating for Pan-Africanism, Anti-Racism, Relationship, Sexual and Intimacy safety and education and Men's Development. Ukumbwa has presented across New England, USAmerica, California, Toronto and Barbados. He has worked as Social Media Director for Voice Male Magazine and an organizer for the Greater Boston Men's Network and is currently the moderator for the Men's Work Initiative. Ukumbwa is an initiated Elder in the Dagara tradition from West Africa. More about Ukumbwa and his work can be found at his linktr.ee: https://bit.ly/4hk075s Tiokasin and Ukumbwa discuss questions that Ukumbwa recently raised in a 5-minute YouTube video titled “Radical Compassion.” One of these questions: How does European colonialism, racism and patriarchy break down grounded connection between families, friends, communities, nations and ultimately between the internal sum of our own parts, our facets of humanity inside of any of us?” They reflect on the limitations of seeking freedom and liberation within the prescribed frameworks of human rights and civil rights and explore alternative conceptions of freedom. Watch Ukumbwa's video here: https://bit.ly/3Upfqjx Production Credits: Tiokasin Ghosthorse (Lakota), Host and Executive Producer Liz Hill (Red Lake Ojibwe), Producer Tiokasin Ghosthorse, Audio Editor Kevin Richardson, Podcast Editor Music Selections: 1. Song Title: Tahi Roots Mix (First Voices Radio Theme Song) Artist: Moana and the Moa Hunters Album: Tahi (1993) Label: Southside Records (Australia and New Zealand) 2. Song Title: Shooting the Statues Artist: Amine Bouhafa Album: Timbuktu, Original Motion Picture Soundtrack (2014) Label: Les Films du Worso 3. Song Title: Beaiveldttas (Butterfly) Artist: Mari Boine Album: Eight Seasons (2023) Label: Norse Music 4. Song Title: Can You Introduce Yourself in The Language? Artist: Edzi'u Album: Potlatch in the Box (2023) Label: Ts'ats'ée Sounds AKANTU INTELLIGENCE Visit Akantu Intelligence, an institute that Tiokasin founded with a mission of contextualizing original wisdom for troubled times. Go to https://akantuintelligence.org to find out more and consider joining his Patreon page at https://www.patreon.com/Ghosthorse

Habari za UN
UNICEF nchini Ethiopia yarejesha matumaini kwa manusura wa ukatili wa kingono

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 11, 2024 1:51


Nchini Ethiopia hususan katika jimbo la Somali, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limechukua hatua kusaidia manusura wa ukatili wa kijinsia kuweza kujenga upya maisha yao wakati huu ambapo takwimu za shirika hilo zinaonesha kuwa zaidi ya wanawake na wasichana milioni 370 duniani kote wamekumbwa na ukatili wa kingono wakati wa utoto wao, yaani kabla ya kutimiza umri wa miaka 15. Sauti hiyo ya Nasteyo Sahane Layle, Meneja wa kushughulikia visa vya ukatili wa kijinsia dhidi ya akina mama, watoto na wanawake hapa Gode, jimboni Somali mashariki mwa Ethiopia akisema kuwa kazi kubwa tunayoifanya ni visa vinavyohusu ukatili wa kingono.Ni katika video ya UNICEF iliyochapishwa kuonesha kiza kinachokumba watoto wa kike hususan leo ambayo ni siku ya kimataifa ya mtoto wa kike.Hapa Gode, UNICEF imeanzisha kituo hicho cha kutoa huduma zote  na sasa kimekuwa ni kama eneo salama kwa manusura wa ukatili wa kingono.Anaonekana mmoja wa wasaka huduma kituoni hapa akifika tayari kupatiwa huduma, sura yake imefichwa ili kuficha utambulisho wako.Anapatiwa huduma ikiwemo kupimwa mapigo ya moyo na vipimo vingine na kisha kupatiwa dawa.Nasteyo anasema,“kinachotusikitisha zaidi ni watoto wenye umri wa chini ya miaka 18 ambao walibakwa, na sasa mustakabali wao umeharibiwa.”Pamoja na Nasteyo, wahudumu wengine katika kituo hiki ni Nimo, Faduo, Ifrah na Hamdi, wote wanawake.Ni kutokana na huduma zao, manusura wanajiona wako salama kwani wanapatiwa huduma za kisaikolojia na nyingine muhimu wanazohitaji.Na kisha kupata tena uwezo wa kujiamini na kujenga upya maisha  yao. TAGS: AfyaAdditional: AfyaNews: Ukatili wa Kingono, EthiopiaRegion: AfrikaUN/Partner: UNICEF

Priorité santé
Prendre soin de sa peau

Priorité santé

Play Episode Listen Later Oct 9, 2024 48:30


Hyperpigmentation, acné, allergie… Les dermatoses des peaux noires engendrent des besoins particuliers pour préserver l'épiderme. Face aux rayons du soleil, les peaux foncées résistent mieux. Néanmoins elles ont tout autant besoin d'être protégées pour se prémunir des méfaits des UVB qui peuvent engendrer, dans les cas les moins graves des rougeurs ou des tâches. Comment bien hydrater sa peau selon sa pigmentation ? Quel traitement en cas d'acné ? Et enfin, quels soins privilégier au quotidien pour prendre soin d'une peau noire ou métisse ? Dr Antoine Petit, dermatologue spécialiste des peaux noires, ancien praticien à l'Hôpital Saint-Louis à Paris et membre de la Société Française de Dermatologie Pr Mohamed Maciré Soumah, dermatologue-vénéréologue au CHU Donka de Conakry, maître de conférences agrégé à la Faculté des Sciences et Techniques de la Santé de l'Université de Conakry en Guinée.► En fin d'émission, nous faisons le point sur Pasteurdon, opération annuelle d'appel aux dons de l'Institut Pasteur qui débute aujourd'hui et se poursuivra jusqu'au 13 octobre 2024. Interview de Pr Muhamed-Kheir Taha, responsable du Centre national de référence des méningocoques en France, centre collaborateur de l'OMS pour les méningites.Programmation musicale :► Sauti sol, Patoranking – Melanin► Elyanna – Mama Eh.

Habari za UN
UNESCO: Tunapaswa kuthamini sauti za walimu kote duniani

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 4, 2024 2:58


Washiriki wa hafla ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Walimu ililofanyika leo Oktoba 4 katika makao makuu ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) jijini Paris, Ufaransa  wamesisitiza wito wa kuthamini mawazo ya walimu katika kuboresha elimu ya ulimwengu. Kama tunavyofahamu, siku yenyewe ya Kimataifa ya Walimu ni kesho Oktoba 5 kama ilivyo ada ya kila mwaka lakini katika makao makuu ya UNESCO hapa Paris Ufaransa, maadhimisho yamefanyika leo kuelekea mkesha wa siku hii muhimu kwa elimu ya ulimwengu.Miongoni mwa waliozungumza ni Mkurugenzi Msaidizi Mkuu wa Elimu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Bi Stefania Giannini, ambaye ameitumia nafasi hii kusisitiza kauli mbiu ya mwaka huu ambayo ni 'Kutambua sauti za walimu.'Anasema, “walimu ni uti wa mgongo wa mifumo ya elimu na mawakala wakuu wa mabadiliko ya kubuni sera za elimu na kufanikisha SDGs. Tunapaswa kuthamini sauti za walimu; hili ndilo lengo kuu la Siku ya Kimataifa ya Walimu mwaka huu.”Kulingana na takwimu zilizotolewa na UNESCO, dunia inahitaji walimu wa ziada milioni 44 ili kufikia elimu ya msingi na sekondari kwa wote ifikapo mwaka 2030. Ingawa mahitaji ya walimu ni makubwa zaidi katika baadhi ya maeneo, uhaba wa walimu ni wa kimataifa.Walimu wanajiondoa kwenye taaluma hii kwa kiwango mara mbili zaidi ya miaka mitano iliyopita, hasa katika elimu ya sekondari. Hii inatokana na hali zao za kazi, zikiwemo mishahara midogo, mzigo mkubwa wa kazi, na ukosefu wa ushiriki katika maamuzi yanayohusu elimu. Akiiangizia changamoto hii, Mkurugenzi wa Kimataifa wa Elimu na Maendeleo ya Vijana katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) Bi. Pia Britto, aliyejiunga katika hafla ya leo kwa njia ya video akiwa Pakistani amesema,"Leo nilikuwa na fursa nzuri ya kuzungumza na walimu wengi, ikiwa ni pamoja na mwalimu Tahseen Bashir hapa Islamabad, ambaye amenieleza baadhi ya changamoto wanazokabiliana nazo ikiwa ni pamoja na kufundisha madarasa mengi, uhaba wa vifaa vya kujifunzia, na changamoto za kutoweza kufundisha namna wanavyodhamiria. Lakini pia amenieleza jinsi alivyofurahi kuona wanafunzi wake wakifaulu. Wakati sauti ya mwalimu inaposikilizwa na wakati sauti za walimu zinapopewa kipaumbele, wanajiona kama wadau katika kuboresha elimu kwa wakati wote, na hatua hizo zinahitajika ili kuleta mabadiliko chanya hasa katika hali ngumu zaidi."Siku hii ya kimataifa ya walimu ni mahususi kwa ajili ya kutambua na kusherehekea mchango muhimu wa walimu ulimwenguni kote katika kutoa elimu bora na kujenga mustakabali wa jamii. Pia, ni fursa ya kuangazia changamoto wanazokabiliana nazo walimu.Kutoka hapa Paris Ufaransa, mimi ni Cecily Kariuki..

Habari za UN
WHO na Zanzibar zashirikiana kutokomeza ugonjwa wa matende

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 4, 2024 1:52


Huko Zanzibar Tanzania, shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO kanda ya AFrika, linashirikiana na serikali kukabili ugonjwa wa matende ambao ni miongoni mwa magonjwa ya kitropiki yaliyopuuzwa au NTDs. Bosco Cosmas na maelezo zaidi.(Taarifa ya Bosco Cosmas)Video ya WHO kanda ya Afrika inatupeleka Zanzibar, Tanzania nyumbani kwa  Hamis Njani akitembea kwa shida, miguu imevimba. Alipata ugonjwa wa matende akiwa na umri wa miaka 18 lakini sasa WHO imempatia matumaini.(Sauti ya Hamis Njani)“Inaweza kukupata homa siku mbili kwa wiki, kwa hiyo nikashindwa kwenda shuleni.  Wakati mwingine nashindwa kuhudhuria shule kwa miezi hata mitatu. Ninapokwenda kule hospitali, ninapata huduma na mafunzo ya jinsi ya kuishi na haya maradhi kama vile kusafisha, kutumia dawa na mengine yote.”Ugonjwa huu huenezwa na mbu. Husababisha miguu au korodani kujaa maji  .Tangu mwaka 2010 Zanzibar imeendesha kampeni 20 za mgao wa dawa na WHO imetoa dawa kutibu watu milioni 1.5 kila mwaka. Asha Makame ni Mgawaji wa dawa kwenye jamii.(Sauti ya Asha Makame)“Mwanzo ulikuwa mgumu kwa sababu watu walikuwa hawaelewi.  Kwa sasa hivi mwitikio ni mzuri kwa sababu kile kitu watu wamekitumia na wanajua faida yake.WHO imefundisha pia madaktari katika kila hospitali ya wilaya kufanya upasuaji wa kisasa wa mabusha kwa wagonjwa 500.  Dkt. Shali Ahmed ni Meneja Mradi wa NTDs, Wizara ya Afya, Zanzibar.(Sauti ya Dkt. Shali Ahmed - Meneja wa mradi)“Ninaamini kufikia mwaka 2030, hata kabla ya hapo tutakuwa tumekomesha ugonjwa wa matende. Kwa hiyo tunawashukuru sana WHO kwa ushirikiano tunaoupata kwa kupata dawa, mara nyingi tunapata dawa kwa wakati na za kutosha kwa ajili ya nchi nzima.”

Habari za UN
Msumbiji yazindua mpango wa kutoa mapema maonyo ya majanga kwa wote EW4ALL

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 23, 2024 1:59


Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi, amezindua mpango wa kitaifa wa kuhakikisha kila mtu anapata Maonyo ya Mapema kuhusu hali ya hewa, EW4All ifikapo mwishoni mwa mwaka 2027 huku akitangaza uwekezaji mpya muhimu ili kuboresha uchunguzi wa kimsingi wa hali ya hewa, uzinduzi uliofanyika katika mji mkuu wa Msumbiji, Maputo.Mpango huo unajumuisha mnyororo mzima wa thamani kwenye utabiri wa hali ya hewa, kuanzia kukusanya takwimu za hali ya hewa, tabianchi, kuimarisha utabiri wa hali ya hewa, na mfumo wa utoaji wa maonyo hadi kutoa taarifa kuhusu mipango bora ya kuhimili tabianchi.(Sauti ya Filipe Jacino Nyusi - Rais wa Msumbiji) Bosco“Msumbiji ni nchi ambayo inakabiliwa na tishio la kudumu la majanga, hasa yale yanayosababishwa na majanga ya kiasili ya kupitiliza, huku mafuriko, vimbunga na ukame vikiwa vya mara kwa mara. Matukio haya mabaya yanapotokea, yanaacha mwenendo wa uharibifu ya vifo vya binadamu na uharibifu wa mali, na mazingira na madhara makubwa kwa jamii na uchumi wetu. »Mpango huu wa kutoa onyo la mapema kabla majanga hayajatokea umechagizwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres, na sasa unajumuishwa kwenye sera za Msumbiji. Rais Nyusi akaelezea umuhimu wake.(Sauti ya Filipe Jacino Nyusi - Rais wa Msumbiji) - Bosco“Mengi yanaweza kufanywa ili kupunguza kupoteza maisha ya binadamu na madhara makubwa zaidi. Onyo la mapema hutusaidia kufanya hivyo, ili kujilinda. Kama ninavyosema, mojawapo ya majibu bora zaidi yanatokana na kuboresha uwezo wetu wa kuzuia na kutayarisha, uwezo wa kuzuia, hatari ya maafa, hasa hatua za tahadhari za mapema."Uwekezaji unaotajwa ni ujenzi wa vituo vipya 6 vya ardhini vya hali ya hewa na uboreshaji wa vingine 15 pamoja na kuanzisha vinne vipya vya angani.

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية
Utukufu kwa Mungu, Matumizi ya muda

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Play Episode Listen Later Mar 16, 2024 29:00


Sauti zote ziimbe Utukufu kwa Mungu, Jinsi ya kutumia muda vizuri

Music Time in Africa - VOA Africa
In Conversation with Mádé Kuti - February 04, 2024

Music Time in Africa - VOA Africa

Play Episode Listen Later Feb 4, 2024 54:56


Maxwell's 30-minute playlist includes current tunes from Morocco(Oualid & Norel), Kenya (Nyashinski), South Africa (Tyle), Nigeria (Shallipopopi), Togo (Santrinos Raphael), Senegal Jahman X-press) plus a classic soukous from the DRC (Pharaon N Shoraa). Drop the Needle kicks off the back half of the hour with American University student Nicolai Tochilin, and Word on the Tweets brings up-to-the minute American entertainment news in 90 seconds. Heather speaks with the youngest generation of Nigerian Afrobeat royalty Made Kuti about his headlining at the Sauti za Busara Festival in Zanzibar, East Africa and much more, including samples of his music from the Legacy + album.

Mundofonías
Mundofonías 2024 #6: ¡Viva quien sabe querer! / Hooray for those who know how to love!

Mundofonías

Play Episode Listen Later Jan 18, 2024 58:44


Robamos el titulo de aquel memorable disco de Eliseo Parra para anunciar su concierto de despedida de los escenarios. En nuestras #Mundofonews también traemos noticias y músicas de festivales inminentes como Celtic Connections, en Escocia; Sauti za Busara, en Zanzíbar; Festival sur le Niger, en Mali; Au Fil des Voix, en París, o la exposición sobre Gengis Kan en Nantes. Hablamos con Johanni Curtet, uno de los impulsores de Routes Nomades, organización que se encarga de buena parte de la programación musical de dicha exposición y de muchas otras actividades para promover la cultura musical de Mongolia, así como con Paul Chandler, impulsor del sello Remote Records / Studio Mali, desde Bamako. Tenemos también un recuerdo para nuestro antiguo programa Insospechópolis, mientras que la música nos lleva por Brasil, Mongolia, Europa occidental, Tanzania y Mali. We steal the title of that memorable album by Eliseo Parra to announce his farewell concert. In our #Mundofonews we also bring news and music from imminent festivals such as Celtic Connections, in Scotland; Sauti za Busara, in Zanzibar; Festival sur le Niger, in Mali; Au Fil des Voix, in Paris, or the exhibition on Genghis Khan in Nantes. We talk to Johanni Curtet, one of the promoters of Routes Nomades, the organization in charge of a large part of the musical programming of this exhibition and many other activities to promote the musical culture of Mongolia; as well as to Paul Chandler, promoter of the label Remote Records / Studio Mali, from Bamako. We also have a memory for our former program Insospechópolis, while the music takes us through Brazil, Mongolia, Western Europe, Tanzania and Mali. Lívia Mattos - Galego - Apneia Johanni Curtet - Slow blues I: The delivery - If only I could hibernate [BSO / OST] Meïkhâneh - Chaque jour nouveau - Chants du dedans, chants du dehors Iván Caramés Bohigas - Baile del pino [string quartet] - [inédito / unreleased] Eliseo Parra - El pino - Viva quien sabe querer [Artistas populares / Popular artists] - El pino - Magna Antología del folklore musical de España [V.A.] Skolvan - Tears... (L'appel) - Swing & tears Anuang'a Fernando & Maasai Vocals - Empurkoi - Maasai footsteps Adama Yalomba - Tanou - Tanou Orchestre Régional de Ségou - Mali gundo - Orchestre Régional de Ségou Voces invitadas: Guest voices: Johanni Curtet (Routes Nomades) Paul Chadler (Remote Records / Studio Mali) #Mundofonews Exposition Gengis Khan (Nantes) Eliseo Parra (Alcalá de Henares) Celtic Connections (Glasgow) Au Fil des Voix (París / Paris) Sauti za Busara (Zanzíbar / Zanzibar) Festival sur le Niger (Ségou) 📸 Lívia Mattos (Tiago Lima)

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية
Sauti ya tarumbeta itasikika, Alikuwa wapi nilipopatwa matatizo

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Play Episode Listen Later Nov 18, 2023 29:00


Umejiandaaje kumlaki Bwana ajapo, Mungu anajali Shida zetu

SBS Swahili - SBS Swahili
Blaise "Sijawahi ona uchaguzi ambao unaongozwa kwa taarifa za uongo kama huu wa Ndio au La"

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Oct 20, 2023 12:32


Kiwango cha ushindi wa kampeni ya 'La' katika kura ya maoni ya Sauti yawa Australia wakwanza Bungeni, kime zua gumzo kote nchini.

SBS Swahili - SBS Swahili
Kura ya maoni ya Sauti yawa Australia wa kwanza bungeni ime isha kwa matokeo ya 'La'

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Oct 17, 2023 7:36


Wa Australia wame kataa pendekezo lakuweka sauti yawa Australia wa kwanza ndani ya katiba, baada ya kampeni ya La kushinda katika majimbo yote sita pamoja na wilaya ya Northern Territory.

Witness History
Bi Kidude: Zanzibar's 'golden grandmother of music'

Witness History

Play Episode Listen Later Sep 5, 2023 10:01


In the 1980s, Bi Kidude burst onto the international music scene, when she was in her 70s. She was one of the first women from Zanzibar to sing in public without wearing the veil, in the traditional Muslim country. She was born Fatuma binti Baraka, known as Bi Kidude or "little madame" in Swahili, and fondly referred to as the "golden grandmother of music". Maryam Hamdani was one of her oldest friends and helped launch Bi Kidude's career globally. Maryam spoke to Reena Stanton-Sharma about the charismatic musician who died in 2013. (Photo: Bi Kidude at the Sauti za Busara Music Festival. Credit: Mwanzo Millinga/AFP via Getty Images)

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 4 Septemba 2023

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Sep 4, 2023 7:24


Waziri wa mazingira Tanya Plibersek amekosoa msimamo wa kiongozi wa upinzani Peter Dutton kwa Sauti yawa Australia wa kwanza bungeni.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 29 Agosti 2023

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Aug 29, 2023 17:04


Waziri Mkuu Anthony Albanese, ajiaandaa kutangaza tarehe ya kura ya moani kwa Sauti yawa Australia wa Kwanza bungeni.

Kenyan podcast
Kenyan podcast - Sauti Sol fest tickets and the switching Kaunda Suits to make Kenya work

Kenyan podcast

Play Episode Listen Later Aug 10, 2023 25:01


We talk about the upcoming sol fest by Sauti sol as well as other matters P.R with the nation's leadership

Habari za UN
Amina J. Mohammed ziarani Amazon: Nimesikia maombi yenu na tutapaza sauti

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 4, 2023 0:03


Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina J. Mohammed anaendele ana ziara yake ya siku tano nchini Brazil ambapo siku ya Alhamisi Agosti 3, 2023 alizuru jamii ya watu wa asili ya Mapuera kwenye ukanda wa Amazon jimboni Para ambako huko alipata fursa ya kuzungumza na wanajamii hao na kusikia maombi yao, ziara ambayo anafanya kufuatilia utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu, SDGs kuelekea mkutano wa viongozi kuhusu SDGs mwezi Septemba mwaka huu. Thelma Mwadzaya anatusimulia kilichojiri. 

Habari za UN
Sauti za asasi za kiraia katika utekelezaji wa SDGs ni muhimu: UNA

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 19, 2023 0:03


Jukwaa la ngazi ya juu la kisiasa la Umoja wa Mataifa kuhusu malengo ya maendeleo endelevu HLPF, linaendelea hapa Makao Makuu jijini New York Marekani likitathimini utekelezaji wa malengo hayo yaliyosaliza chini ya miaka 7, kabla ya kufikia ukomo hapo mwaka 2030. Mbali ya tathimini ya utekelezaji wake jukwaa hilo limetoa fursa kwa nchi 39 zilizojitolea kuwasilisha ripoti za kitaifa za utekelezaji wa malengo hayo. Tanzania ni miongoni mwa nchi hizo na iliwasilisha ripoti yake jana Jumanne. Reynald Maeda, Mkurugenzi wa asasi ya Umoja wa Mataifa Tanzania, UNA ni miongoni mwa waliochangia katika ripoti hiyo kwa sasa yuko hapa New York akishiriki jukwaa hilo lakini kabla hajaondoka Tanzania alizungumza na Stella Vuzo wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIC Dar es salaam akianza kwa kumueleza mchango wa asasi hiyo katika ripoti iliyowasilishwa.

SBS Swahili - SBS Swahili
Kura ya maoni ya Voice ina husu nini?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jul 18, 2023 15:06


Baadae mwaka huu, wa Australia watashiriki katika kura ya maoni ambako wata ulizwa kupiga kura ya NDIO au LA kwa swali lifuatalo: Una unga mkono mageuzi kwa katiba kuwatambua wa Australia wa kwanza kwa kuanzisha Sauti yawa Aboriginal na wanavisiwa wa Torres Strait?

Habari za UN
Kina mama wa Srebenica waeleza athari za kauli za chuki

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 19, 2023 0:03


Hapo jana juni 18 dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga kauli za chuki ambapo katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani kumefanyika maonesha ya athari ziletwazo na kauli za chuki. Wawakilishi watatu wa taasisi ya Kina mama wa Srebrenica walitembelea maonesho hayo na kuzungumzia maswahibu yaliyowakumba miaka 28 iliyopita na kuacha vidonda katika mioyo yao.  Taarifa ya Leah MushiMwaka 1995 katikati ya vita vya Bosnia Umoja wa Mataifa ulianzisha eneo la usalama huko Srebrenica, lakini ilipofika mwezi Julai mji huo ulizidiwa na vikosi vya wanamgambo wa Bosnia-Serb ambao walitekeleza mauaji ya wavulana na wanaume wa kiislamu wapatao 8,000 ndani ya wiki moja.Mauaji hayo ya kimbari ya Srebrenica yanachukuliwa kuwa ukatili mkubwa zaidi barani Ulaya tangu Vita vya pili vya dunia. Mwaka 2002 Chama cha kina mama wa Srebrenica kilianzishwa na kuunganisha maelfu ya wanawake waliopoteza wapendwa wao.Watatu kati ya wanachama wa chama hicho wametembelea Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani na kueleza kwa zaidi ya miaka 20, shirika hilo limekuwa likitafuta watu waliopotea, kutafuta makaburi ya halaiki, nakujaribu kutambua kila mwathiriwa na maiti, kusaidia walionusurika, na kutafuta haki.Akiwa ameshikilia picha mkononi mwake Kada Hotić, anaeleza mpaka sasa hajafanikiwa kuona maiti za wapendwa wake.Kada Hotić – Sauti ya Happines Palangyo“Huyu ni mume wangu, mwanangu, na ndugu zangu wawili…. Mwaka 2013, nilizika mifupa miwili ya mguu mmoja wa mwanangu. Uchunguzi wa DNA ulithibitisha kwamba mifupa hii miwili ilikuwa mwanangu. Ndivyo nilivyozika. Nina umri wa miaka 79 sasa. Bado sijachoka na bado napigana. Na nitaendelea kupigana. Kwa jina la haki na kwa jina la ubinadamu.”Naye Rais wa chama cha hicho cha kina mama wa Srebenica Munira Subašić, anaeleza ingawa alinusurika katika mauaji hayo ya halaiki yaliyogharimu maisha ya wanafamilia yake 22 kuna namna na yeye amekufa.Munira Subašić – Sauti ya Devotha Songorwa“Mwanangu alikuwa mtoto mzuri sana. Alikuwa mwanafunzi mzuri. Alipenda maisha. Alipenda hesabu. Alijali marafiki zake kwa dhati. Hata hivyo, hatima ilichukua mkondo wake. Kila wakati ninapozungumza juu yake, nafsi inanirejesha wakati ule, mwaka 1995. Kilichotokea ni kwamba hawapo tena. Ninajua tu kwamba kila mama ambaye amefiwa na mtoto wake pia kwa njia fulani naye amekufa. “Kwa masikitiko Munira anatuma ujumbe akisemaMunira Subašić – Sauti ya Devotha Songorwa“Ujumbe wangu kwa kina mama wote duniani ni kujaribu kuwalea watoto kwa upendo na kuwafundisha kupenda na kupendwa na sio kuleta madhara kwa mtu yeyote kwa njia yeyote”Mwenyeji wa kina mama hawa katika Makao Makuu ya UN alikuwa ni Mshauri maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu kuzuia mauaji ya kimbari Alice Wairimu Nderitu ambaye anasema pamoja na uwepo wao kina mama hawa bado kuna baadhi ya watu wanaendelea kuamini mauaji haya hayakutokeaAlice Wairimu Nderitu – sauti ya Sarah Oleng'“Uwepo wao hapa ni ukumbusho wa kile ambacho hakipaswi kutokea tena. Uwepo wao hapa unamaanisha kuwa hadithi huwekwa hai. Ina maana kwamba tunaweza kuendelea kujiuliza, ni kitu gani tunaweza kufanya vizuri zaidi ili mauaji haya ya kimbari yasitokee tena. Bado tunasikia, hadi leo, watu wanakataa mauaji ya kimbari, watu wakisema kuwa hayakufanyika. Umoja wa Mataifa ulianzishwa kwa ahadi ya kuzuia mauaji kutokea tena. Ahadi hii ni ngumu kutimiza, lakini lazima tuendelee kujaribu kuitimiza.”

Habari za UN
Watoto Tanzania wapaza sauti yao katika maadhimisho dhidi ya utumikishaji watoto

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 12, 2023 0:01


Ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa dhidi ya Ajira au Utumikishaji wa Watoto ambayo inakusudia kutumika kama kichocheo cha kuongeza harakati za kimataifa dhidi ya ajira au utumikishwaji kwa watoto na ikisisitiza uhusiano kati ya haki za kijamii na ajira kwa watoto, kama ilivyo kwa nchi nyingine wanachama wa Umoja wa Mataifa, Tanzania nayo imeungana na mataifa mengine kuadhimisha siku hii ambapo maadhimisho hayo yamefanyika Kitaifa katika kijiji cha Gua, Kata ya Gua katika Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Mkoani Songwe. Kupitia siku hii muhimu kwa Watoto ulimwenguni kote, baadhi ya watoto kutoka Shule ya Msingi Gua wametoa maoni yao kuhusu umuhimu wa maadhimisho haya, miongoni mwao ni, Grace yeye ni muelimishaji jamii kuhusu utumikishwaji wa mtoto kwenye mashamba ya tumbaku, hapa anazungumzia hali ya utumikishwaji ilivyo kwa sasa, Kwa upande wake Innocent David Pesa amewashauri wazazi na walezi juu ya athari za utumikishwaji wa mtoto, Maadhimisho ya mwaka huu yanaenda Sambamba na kauli mbiu isemayo “Haki za Jamii kwa Wote, Tokomeza utumikishwaji wa Mtoto” 

Habari za UN
Mashirika yashirikiana kusambaza chakula Sudan

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 28, 2023 0:02


Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR nchini Sudan limesema linaendelea kufanya kazi kwa karibu na shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani, WFP ili kuona ni kwa vipi chakula kilichomo nchini humo kinawza kusambazwa kwa wahitaji na wakati huo huo misaada mingine inaweza kutolewa kwa ushirikiano na wadau wengine wakati huu ambapo uhasama unashamiri na kuathiri raia wakiwemo wakimbizi, wakimbizi wa ndani na raia nchini kote.Sauti hiyo ya Axel Bisshop, Mwakilishi wa UNHCR nchini Sudan akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva, Uswisi kwa njia ya video kutoka mji wa Port Sudan nchini Sudan akisema changamoto kubwa sasa ni kuhakikisha ni vipi mgao wa chakula utaendelea. Anasema wamewasiliana na WFP na leo asubuhi wamekuwa na  mazungumzo na WFP ambao wamewahakikishia kuwa watasalia na UNHCR ili kuendelea kugawa chakula maeneo ambayo bado yanafikika. Miongoni mwa changamoto wanazokumbana nazo ni kwamba wanashindwa kupata taarifa au kupatia taarifa jamii za wakimbizi katika baadhi ya maeneo. Hata hivyo amesema ofisi za UNHCR zimeendelea kuwa na mawasiliano na viongozi wa jamii za wakimbizi na wajumbe wa kamati za wakimbizi na kwamba wanawapatia ushauri nasaha na usaidizi kwa kadri inavyowezekana. Bwana Bisshop amesema wamepokea ripoti ya kwamba takribani wakimbizi 33,000 wamekimbia mji mkuu Khartoum kusaka hifadhi kwenye kambi za wakimbizi kwenye majimbo ya White Nile, ilhali wakimbizi 2,000 kambi zilizoko Gedaref na wengine 5,000 wamesaka hifadhi huko Kassala tangu mapigano yaanze tarehe 15 mwezi huu wa Aprili. Mwakilishi huyo wa UNHCR Sudan anasema “tuna hofu pia ya kwamba kasi ya mapigano inaweza kuongezeka na tunaweza kuwa na hali ambayo itarudia mazingira ambayo tulikuwa nayo miaka iliyopita.” Hata hivyo amesisitiza kuwa UNHCR itasalia nchini Sudan kulinda wakimbizi kutoka nje ya nchi hiyo, wakimbizi wa ndani na raia wanaohifadhi wakimbizi huku akitoa wito kwa pande kwenye mapigano kusitisha  uhasama ili huduma za usaidizi wa kibinadamu ziweze kufikia wahitaji. 

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 16 Aprili 2023

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 16, 2023 18:17


Sauti yawa Australia wa kwanza ndani ya katiba, itasaidia jamii zawa Australia wa kwanza kuishi maisha kikamilifu seneta wa Labor wa Wilaya ya Kaskazini aeleza vyombo vya habari.

Afropop Worldwide
Sauti Za Busara, Sounds of Wisdom 2023

Afropop Worldwide

Play Episode Listen Later Mar 30, 2023 59:00


Sauti Za Busara means “sounds of wisdom.” That gives a clue to the music heard at the annual Sauti Za Busara festival in Stonetown, Zanzibar. It's cool, savvy, surprising but never dull, and often hard-grooving. Afropop Worldwide attended the first edition in 2004. In 2023, we returned for a three-day feast of fantastic performances from the Swahili coast, the Indian Ocean and beyond. Taarab, kidumbak, Bongo Flava, Wagogo tradition and much more were on the menu. In this program, we hear live recordings from and meet artists who may never make it to our shores, but who you'll be glad to meet. Produced by Banning Eyre.

African Father in America
Does music have negative effects on human behavior? | AFIAPodcast | Sauti za Busara

African Father in America

Play Episode Listen Later Jan 17, 2023 0:57


Greetings Village! #DailyAfricanProverbs takes us to #Ewe The Proverb says: " A child that asks questions isn't stupid." The ancient Ewe proverb reminds us of a valuable truth - that we should never underestimate the power of asking questions. Asking questions is a sign of intelligence and curiosity, not ignorance. We can foster an innovative mindset in our children by welcoming even the most foolish-sounding questions with open arms. Through questioning, we have the ability to gain knowledge, understanding, and creativity - all things that will enrich our lives and make us better people. Let us create a culture where it is safe to question, explore and discover! Join us on #AFIAPodcast to listen to our latest episode at 6 am PST/5 pm EAT Share your thoughts on this proverb in the comments below. SUBSCRIBE to get Daily African Proverbs and their meaning in your life https://rb.gy/jdavpn

Habari za UN
Wanafamilia wasema Pelé alikuwa mwenye roho nzuri anayependa Watoto

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 30, 2022 0:01


Ulimwengu umeendelea kuomboleza kwa masikitiko kifo cha mcheza soka wa Brazil Edson Arantes do Nascimento, almaarufu Pelé. Kwa Umoja wa Mataifa Pelé alikuwa mshambuliaji muhimu katika kufanikisha ushindi wa malengo ya Umoja wa Mataifa. Kwa nyakati tofauti akiteuliwa kuwa Balozi Mwema wa mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa kama elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO na kuhudumia watoto UNICEF. UN News kupitia Idhaa ya Kireno imepata fursa ya kuzungumza na mtoto wake wa kiume na mkewe kuhusu Pelé nje ya uwanja.....Ni Monica Grayley wa Idhaa ya Kireno ya Umoja wa Mataifa akimkaribisha Joshua Nascimento mmoja wa watoto wa kiume wa Pelé. Na baada ya mazungumzo kuhusu namna Pelé alivyowalea kwa adabu japo bila kuwaadhibu sana, swali likawa…ni kwa namna gani ungependa baba yako akumbukwe kwa vizazi vingi vijavyo?Joshua Nascimento anajibu kuwa angependa baba yake kwanza akumbukwe kama mchezaji bora kama alivyokuwa wakati wake na mafanikio yote aliyokuwa nayo kwa mchezo huo lakini pia mambo aliyoyafanya nje ya mchezo, mambo aliyoyafanya kwa nchi yake ya Brazil na hasa kwa watoto hata pale alipofunga goli lake la 1000 alisema ni kwa ajili ya kuwajali watoto.Kijana Joshua alikuwa akiyasema haya akiwa ameketi na mama yake mzazi, Assiria Lemos, mke wa zamani wa Pele naye anajibu swali kama hilo la Je, angependa Pelé akumbukwe vipi? Anasema ukiacha kile ambacho kila mtu anakifahamu kuwa Pele alikuwa mcheza mpira wa miguu wa kiwango cha juu, lakini pia kama mtu tu binafsi alikuwa,(Sauti ya Assiria Lemos)“mstahimilivu, mnyenyekevu, mkarimu, mwenye roho nzuri, mtu wa familia anayejali watu wa familia yake na watu wenye uhitaji. Roho nzuri.”

Habari za UN
TANZBATT 6 wakabidhiwa jukumu la ulinzi wa amani wa UN nchini CAR

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 16, 2022 0:02


Kikosi cha 5 cha walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania, TANZBATT 5 kilichokuwa kinahudumu katika Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, MINUSCA, kimekamilisha muda wake  na kukipisha kikosi kingine cha 6 nacho kutoka Tanzania, TANZBATT 6 ambacho kitaendeleza jukumu hilo. Kutoka Berberat, Captain Mwijage Inyoma ni Afisa Habari wa TANZBATT 06 ametuandalia taarifa hii. Mwaka mmoja wa pilika za kuhamasisha amani, mshikamano na kuitunza amani umekamilika kwa kikosi cha wanajeshi walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania, kikosi cha 5 yaani TANZBATT 5 na wanaondoka wakifurahi kwamba wametoa mchango wao kwa amani ya ulimwengu kupitia Umoja wa Mataifa.  Luteni Kanali Kiiza ni Kamanda Kikosi kinachoondoka anasema,  (Sauti/Video ya Lut Col Kiiza) Kwa upande wake Mkuu wa TANZBATT 6 ambao ndio wanaolipokea jukumu hilo la ulinzi wa amani, Luteni Kanali anaeleza mikakati aliyonayo....(Sauti/Video ya Lut Col Mshana) Mmoja wa raia wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, mkazi wa mjini Beriberati kwa niaba ya wengine anatoa shukrani kwa walinda amani  (Sauti ya raia) Kutoka Berberat, Mambere Kadei, ni Kapteni Mwijage Inyoma, TANZBATT 06. 

Habari za UN
Kutanguliza majadiliano katika kutatua matatizo ya ukosefu wa amani utarejesha amani DRC: Meja Jenerali Simuli

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 12, 2022 0:01


Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli ambaye ni Mkuu wa Utumishi katika Jeshi la Tanzania ametoa wito kwa Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kutanguliza majadiliano katika kutatua matatizo yao ya ukosefu wa amani. Meja Jenerali Simuli ametoa wito huo alipoongoza ujumbe wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania katika ziara yao nchini DRC ili kujionea shughuli za mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani MONUSCO ambamo kwa nyakati tofauti, walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania wamekuwa wakihudumu katika vikosi mbalimbali kikikwemo cha kujibu mashambulizi, FIB. Kwanza alihudhuria hafla ya kuwavisha nishani za Umoja wa Mataifa askari wa Tanzania wanaolinda amani nchini DRC. Nats.. Kisha wito wake kwa raia wa DRC, Sauti ya Meja Jenerali Simuli..“Mimi ujumbe ambao ningeweza kuwapa wacongoman (Raia wa Congo), kama ndugu zangu, kaka zangu, dada zangu, waafrika wenzangu, ni kwamba matatizo yakijitokeza basi wakae mezani kwa pamoja na kuyazunumza kwa pamoja na kupata kile ambacho wanakihitaji. Kwa sababu ili nvhi iendelee inahitaji amani. Mkitulia mtakwenda mbele sana. Na nchi ya DR Congo nina Imani wananchi wakikaa vizuri, wakiacha munkari, yaani wakiacha hasira, wakakaa mezani na kuzungumza, matatizo yatakwisha.”  Na je Meja Jenerali Paul Simuli ana ujumbe gani kwa walinda amani? Sauti ya Meja Jenerali Simuli..“Walinda amani ninawaomba waelekee kwenye yale majukumu ambayo wamekuja kuyatekeleza hapa kwa wenzetu (DRC). Kwa sababu jambo lao kubwa ni kuwalinda wananchi ambao wanapata madhara.” 

Habari za UN
Bonga bongo kufanyika India kutathmini teknolojia na ugaidi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 26, 2022 0:02


Kesho kutwa Ijumaa huko nchini India, Kamati ya kukabili ugaidi ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa itakutana nchini India kutathmini vitisho vipya duniani vitokanavyo na teknolojia mpya. Mkutano huo wa siku mbili ni wa kwanza kufanyika nje ya makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani tangu mwaka 2015. Happiness Pallangyo wa Redio washirika Uhai FM kutoka Tabora Tanzania anafafanua zaidi.Mjadala utajikita kwenye maeneo matatu makuu ambayo ni mosi; Intaneti na mitandao ya kijamii; Pili,  Ufadhili wa mitandao ya kigaidi duniani na tatu; kuenea kwa matumizi ya mifumo ya angani isiyo na rubani kama vile droni.Umoja wa Mataifa unasema teknolojia hizo mpya zinakua kwa kasi kubwa na zinatumika mara kwa mara katika nchi mbalimbali duniani ikiwemo kwenye usalama wa taifa na kukabili ugaidi.Hata hivyo teknolojia hizo zinatumiwa vibaya na vikundi vya kigaidi kwa manufaa yao binafsi yasio na nia njema.Mkutano pia utakuwa ni jukwaa la kubadilishana mawazo ya jinsi teknolojia inaweza kusaidia kukabili kusambaa kwa maudhui ya kigaidi mtandaoni na kukabili pia simulizi za kigaidi.Hofu nyingine iliyoko na itakayomulikwa ni matumizi kwa nia mbaya ya uchapishaji wa chapa tatu au 3D, maroboti, akili bandia na mifumo ya angani isiyo na usimamizi.Kwa sasa India ndio inashikilia kiti cha Uenyekiti wa Kamati hiyo hadi mwishoni mwa mwaka huu ambapo akizungumza na waandishi wa habari jijini New York, Marekani, Mwakilishi wa Kudumu wa India Kwenye Umoja wa Mataifa Balozi Ruchira Kamboj ambaye ndiye Mwenyekiti amesema,(Sauti ya Ruchira Kamboj)“Ugaidi katika aina zote zile, katika muonekano wowote ule ni moja ya vitisho vikubwa zaidi vya amani na usalama duniani. Kitendo chochote cha kigaidi hakiwezi kuhalalishwa kwa misingi ya nia yoyote ile, wakati uliofanyika, pahali ilipofanyika na ni nani aliyetekeleza. Kamati imejizatiti kupambana na janga hili katika ngazi ya kimataifa.”Kutokana na ugumu wa suala zima, na kasi ya mapinduzi yake, matarajio ni kwamba wajumbe watakuwa na nyaraka ya mwisho ambayo itatoa mwelekeo wa jinsi magaidi wanatumia teknolojia, kwa lengo la kufunga simulizi zao na matumizi ya teknolojia.Kamati ya kukabili ugaidi ya Baraza la Usalama la UN iliundwa kwa kauli moja tarehe 28 mwezi Septemba mwaka 2001, kufuatia shambulio la kigaidi dhidi ya Marekani tarehe 11 Septemba 2001 na wanachama ni wajumbe wote 15 wa Baraza la Usalama.

Paza Sauti
PAZA SAUTI FM: 5PM IN NICE

Paza Sauti

Play Episode Listen Later Oct 3, 2022 10:55


Moments and Music Like I said at the start the new season, season 2 will have a lot more to do with music. Lock in with me on the first edition of Paza Sauti Fm where I try and capture and translate moments, feelings and emotions in to music. Mix by sleeklines Music by: Vibe Killer – Produced by 9tyeight Fame – PRODUCED BY Lexus Beats Groove – Produced by 9tyeight Cavemen – Produced by Akin Lexus Wanted Produced by Lila Melody – Produced by Alvin Brown Secrets Produced by Kasvin Beats

Habari za UN
Serikali zafikia makubaliano kuhusu mabadiliko ya tabianchi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 27, 2022 0:59


Zaidi ya nchi 190 zimefikia makubaliano juu ya mazungumzo ya mabadiliko ya tabianchi. Makubaliano hayo yamefikiwa baada ya siku saba ya mazungumzo nchini Uswisi, katika utaratibu wa maandalizi ya kongamano kubwa litakalofanyika mjini Paris, Disemba mwaka huu. Christiana Figueres, Katibu Mtendaji wa mkataba wa kimataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi, UNFCCC, ametangaza hayo alipozungumza na waandishi wa habari leo mjini Geneva. “ Ni lazima makubaliano ya Paris yaende sambamba na sayansi. Inamaanisha vitu viwili, kwanza tutatengeneza takwimu za awali, na pia tutaanzisha utaratibu wa muda mrefu kwa msingi wa kutorudi nyuma, na kuendelea kuchukua hatua zaidi hadi nusu ya pili ya karne hii” Akizungumzia nafasi ya nchi zinazoendelea katika mkutano huo mwakilishi wa Tanzania katika ofisi za Umoja wa Matifa mjini Geneva Modest Mero anasema. (SAUTI ya Mero)

Supéralo Por Favor
100: El Duelo y El Budismo FT. Pablo Sauti

Supéralo Por Favor

Play Episode Play 15 sec Highlight Listen Later Jul 27, 2022 40:31


A lo largo del trayecto del podcast he compartido diferentes conceptos teóricos respecto al dolor y el proceso del duelo. En el episodio de hoy, para celebrar los 100 episodios, tuve como invitado a una persona muy especial que lleva más de 15 años estudiando y practicando la filosofía del Budismo; Pablo Sauti, además de ser una de las personas que más admiro y quiero, ha sido un pilar muy importante en la formación de la filosofía que utilizo para sobrellevar los duelos y acompañar a mis pacientes en terapia a hacer lo mismo.Hace unos años, Pablo me regaló un libro llamado “Storms Can't Touch the Sky” de Gabriel Cohen que me abrió el camino al Budismo y aprendí conceptos tan hermosos y útiles como es el de la impermanencia, la diferencia entre dolor y sufrimiento y el reconocer que todas las personas llevamos nuestras heridas y hacemos lo mejor que podemos con lo que tenemos.El budismo lejos de ser una religión es una filosofía oriental y tiene conceptos y aportaciones valiosísmas para aplicar en el día a día.Puedes encontrar a Pablo Sauti en Instagram como:@pablosautiRecuerda que puedes encontrarme en instagram como: @eva_latapi @superaloporfavoro leer mi blog en: www.evalatapi.com