Podcasts about congo drc

  • 263PODCASTS
  • 629EPISODES
  • 47mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • Jun 9, 2026LATEST

POPULARITY

20192020202120222023202420252026


Best podcasts about congo drc

Latest podcast episodes about congo drc

The Brian Lehrer Show
Doctors' Perilous Fight Against Ebola in the DRC

The Brian Lehrer Show

Play Episode Listen Later Jun 9, 2026 21:55


Amid the ongoing Ebola outbreak, doctors in the Democratic Republic of the Congo are treating symptomatic patients and facing shortages of crucial protective and diagnostic equipment. Amy Maxmen, PhD, public health correspondent and editor at KFF Health News, reports on the situation.   MONGBWALU, DEMOCRATIC REPUBLIC OF CONGO - MAY 24: Community members watch as health workers wearing protective equipment prepare for a safe burial operation in the community of Mongbwalu on May 24, 2026 in Mongbwalu, Ituri Province, Democratic Republic of Congo. The World Health Organization (WHO) has declared the Ebola outbreak in the Democratic Republic of Congo (DRC) and Uganda a "public health emergency of international concern," as the death toll and number of confirmed cases continue to rise. The current epidemic is caused by the Bundibugyo virus, one of several Orthoebolaviruses that can cause Ebola disease, and for which there are no approved vaccines. The highest number of cases have been reported in Congo's eastern Ituri province, bordering Uganda. Global health officials have expressed grave concern over the capacity to contain the outbreak in a region already facing a humanitarian crisis, with highly mobile populations displaced by conflict and economic factors. (Photo by Michel Lunanga/Getty Images)   Hosted by Simplecast, an AdsWizz company. See pcm.adswizz.com for information about our collection and use of personal data for advertising.

Habari za UN
09 JUNI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 9, 2026 9:57


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Kesho kutwa Alhamisi ya Juni 11, macho na masikio yanaelekezwa Mexico, Canada na hapa Marekani kwa ajili ya fainali za kombe la dunia kwa mpira wa miguu, au soka al maarufu kabumbu. Ingawa hivyo zama za sasa za mchezo huo maarufu zaidi duniani zinakumbwa na madhara ya  athari za mabadiliko ya tabianchi. Ongezeko la joto kali linavuruga mechi na kuzua wasiwasi kuhusu mustakabali wa mchezo huo. Ni kwa kuzingatia hilo, Sekretarieti ya Mkataba wa Kimataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi, UNFCCC inamulika suala hilo na kutoa mapendekezo ya nini kifanyike kwani hivi sasa madhara ya joto kali kwenye kabumbu ni dhahiri. Feissal Kirwa anamulika hilo kupitia video iliyoandaliwa na UNFCCC.Pia tunakuletea muhtasari wa habari na jifunze Kiswahili.Takriban watoto milioni 138 duniani kote bado wako katika ajira za watoto, wakiwemo watoto milioni 54 wanaofanya kazi hatarishi. Hayo yamo katika ripoti mpya iliyotolewa leo na Shirika la Kazi la Umoja wa Mataifa ILO. Katika ujumbe wakwe kwenye ripoti hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa ILO, Gilbert F. Houngbo, ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka ili kubadili hali hii.“Habari njema ni kwamba hadi sasa tuna wagonjwa 19 ambao wamepona, hivyo utambuzi wa mapema na matibabu vinaokoa maisha,”  Huyo ni Mkurugenzi wa Operesheni za Tahadhari na Hatua za Dharura za Afya wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani (WHO), Dkt. Abdirahman Mahamud, akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva leo kwa njia ya video kutoka Bunia katika Jimbo la Ituri, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, jimbo ambalo linachangia asilimia 94 ya wagonjwa wote wa Ebola.Mkutano wa 19 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu Wenye Ulemavu CRPD, umeanza leo Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York na utaendelea hadi 11 Juni. Kaulimbiu ya mwaka huu ni “kuadhimisha miaka 20 ya mkataba huo na kuimarisha utekelezaji wake katika dunia inayobadilika.” Washiriki wanajadili namna ya kutokomeza ukandamizaji, ukatili na manyanyaso dhidi ya watu wenye ulemavu, kuimarisha mifumo ya huduma na msaada, pamoja na kuongeza ushiriki na uwakilishi wao katika maisha ya kisiasa na umma.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "MKWARUZO."Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

new york canada mexico fifa tanzania ebola jimbo zanzibar drc ilo kazi unfccc umoja congo drc hayo hii haki kiswahili katika afya ituri baraza habari joto dkt hatua jamhuri mataifa bunia marekani shirika kimataifa mkutano kesho kidemokrasia mkurugenzi alhamisi
The Conversation Weekly
Two scientists on their race to make a new Ebola vaccine

The Conversation Weekly

Play Episode Listen Later Jun 4, 2026 21:45


As health workers in the Democratic Republic of Congo (DRC) continue to battle an ongoing Ebola outbreak, scientists around the world are racing to develop a vaccine against the strain of the virus that's causing it.Two approved vaccines exist for Ebola, but they target the Zaire strain of the virus, not the Bundibugyo strain causing the 2026 outbreak, which has so far killed 61 people with 359 confirmed cases in the DRC and neighbouring Uganda.In this episode, we speak to two scientists at the Oxford Vaccine Group at the University of Oxford, Teresa Lambe and Rebecca Makinson, who are developing a vaccine candidate for Bundibugyo virus. On June 1, they were among three research groups to receive fast-track funding from the Coalition for Epidemic Preparedness Innovations, alongside Moderna and IAVI.This episode was written and produced by Gemma Ware, Katie Flood and Mend Mariwany. Mixing by Eleanor Brezzi and theme music by Neeta Sarl. Read the full credits for this episode and sign up here for a free daily newsletter from The Conversation.If you like the show, please consider donating to The Conversation, an independent, not-for-profit news organisation.

Habari za UN
02 JUNI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 2, 2026 10:47


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Jamhuri ya Kidokrasia ya Congo DRC katika mji wa Mavivi jimboni kivu kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo kusikia ni kwa jinsi gani walinda amani kutoka Tanzania wanaohudumu chini ya MONUSCO. wanavyochangia katika ulinzi wa amani na msaada wa kibinadamu.Umoja wa Mataifa umezitaka nchi zote duniani kuimarisha mifumo ya tahadhari za mapema baada ya kuthibitisha kuanza kwa hali ya El Niño, ukionya kuwa mabadiliko hayo ya joto la Bahari ya Pasifiki yataleta viwango vya juu vya joto kuliko kawaida karibu kila mahali duniani kati ya mwezi Juni mpaka Agosti na kuchochea matukio mabaya zaidi ya hali ya hewa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Geneva Uswisi Katibu Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Hali ya hewa duniani WMO, Celeste Saulo amesema "Taarifa hizi ni muhimu kwa sababu El Niño ni kichocheo kikubwa cha hali ya hewa duniani na mifumo ya mabadiliko ya tabianchi, bahari yenye joto, huongeza joto na unyevu kwenye mfumo wa hali ya hewa ambao unaweza kutumika kuzidisha hali mbaya ya hewa ikiwa ni pamoja na joto kali, na mvua kubwa.”.'Zinakaribia siku 100 sasa tangu kuanza kwa mzozo wa Mashariki ya Kati ambao athari zake zimesambaa duniani kote kwani umevuruga njia za usafirishaji na umeongeza gharama za usafiri na kuchelewesha utoaji wa huduma muhimu. Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya watoto UNICEF limeeleza kuwa fedha nyingi sasa zinatumika kwenye usafirishaji badala ya kununua vifaa vya kuokoa maisha ya watoto. Gharama za kusafirisha chanjo kwenda baadhi ya nchi barani Afrika zimeongezeka kwa hadi asilimia 70, huku gharama za kusafirisha chakula tiba, na vifaa vya elimu, nazo zikipanda kwa kiwango kikubwa. Shirika hilo linaonya kuwa hali hiyo inalazimisha kufanya maamuzi magumu kuhusu ni watoto gani wapate msaada kwanza". Mlipuko wa ugonjwa wa Ebola uliogundulika nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo DRC na Uganda mwezi uliopita wa Mei ambapo mpaka sasa watu 49 wamepoteza maisha, 48 nchini DRC na mmoja nchini Uganda. Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amezihimiza jumuiya za kimataifa kutoa usaidizi unaohitajika ili kudhibiti mlipuko. Pia amelihimiza nchi kutoweka vikwazo vya usafiri kwa DRC, ili kuhakikisha msaada wa kiafya na kibinadamu unaweza kufikia kiwango kinachohitajika.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana za neno "CHOTORA"Mwenyeji wako ni Rashid Malekela, karibu!

Government Of Saint Lucia
Ministry of Health Closely Monitors the Global Situation of the Ebola Virus Disease

Government Of Saint Lucia

Play Episode Listen Later Jun 1, 2026 5:39


On May 17, 2026, the World Health Organization (WHO) declared the ongoing Ebola Virus Disease (EVD) outbreak affecting the Democratic Republic of Congo (DRC) and Uganda, a Public Health Emergency of international Concern (PHEIC) under the International Health Regulations (2005). The current Ebola outbreak is concentrated in eastern Democratic Republic of Congo (Ituri, Nord-Kivu, and Sud-Kivu provinces) and Uganda, particularly in Kampala. There are no cases of the Ebola Virus Disease in the Caribbean region. The current risk of this disease to the Caribbean is assessed by the Caribbean Public Health Agency (CARPHA) as low. However, given that the introduction of the disease to the Caribbean region can happen through travel associated with importation and the region's high connectivity through international travel, it is important that the national surveillance system is strengthened.

Nightside With Dan Rea
NightSide News Update 5/28/26

Nightside With Dan Rea

Play Episode Listen Later May 29, 2026 40:47 Transcription Available


8:05PM: Mass State Lottery’s Megabucks jackpot is now up to $18.95 Million! It’s the third largest jackpot in the game’s history, and the largest jackpot since 1986! The next drawing is Sat. May 30th. Guest: Mark Bracken - Executive Director of the Massachusetts State Lottery 8:15PM: The Government Bailout Prevention Act. Guest: Thomas Aiello - Vice President of Government Affairs for National Taxpayers Union 8:30PM: Boston-Area Mom Turned Stage IV Cancer Diagnosis Into National Nonprofit Supporting Thousands.-WeGotThis.Org has upcoming fundraiser - their 5th Annual Golf Tournament - Monday June 8th 2026 at the Indian Ridge Golf Club in Andover Guest: Elissa Kalver - Stage IV metastatic breast cancer survivor & founder of the non-profit WeGotThis.org – it’s been 5 years since her diagnosis. 8:45PM: The Ebola outbreak in the Democratic Republic of Congo (DRC) is fast outpacing containment efforts in the region as questions and concerns mount in the U.S. What is the risk status for the U.S. and should we be concerned? Guest: Rayne Guest - infection prevention specialist, and founder and CEO of ArrowClean (a cleaning company)See omnystudio.com/listener for privacy information.

Outbreak News Interviews
Ebola is not the only outbreak in the DRC

Outbreak News Interviews

Play Episode Listen Later May 25, 2026 6:34


In this video, I give a quick update on the Ebola outbreak in the Democratic Republic of the Congo (DRC). But this video also serves as a reminder that there are many other infectious disease outbreaks in the country, year after year, and I'll briefly go over some of them.

The FOX News Rundown
Evening Edition: Could Ebola Spread To The United States?

The FOX News Rundown

Play Episode Listen Later May 21, 2026 25:40


The World Health Organization (WHO) has declared a growing Ebola outbreak in Central Africa as an international public health emergency sparking concerns the deadly virus could spread beyond the region, including into the United States. The outbreak has been linked to dozens of suspected deaths in the Democratic Republic of Congo (DRC) and neighboring Uganda. Ebola is a zoonotic, viral disease that is rare but life-threatening, starting in species like antelope, fruit bats and nonhuman primates. FOX's Tonya J. Powers speaks with Dr. Tyler Evans, an infectious disease physician, CEO of the 'Wellness Equity Alliance', and author of "Pandemics, Poverty, and Politics: Decoding the Social and Political Drivers of Pandemics from Plague to COVID-19", who says the death rate of this strain could become very high, and we always learn a lot from every outbreak. Click Here⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ To Follow 'The FOX News Rundown: Evening Edition' Learn more about your ad choices. Visit podcastchoices.com/adchoices

Habari za UN
21 MEI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 21, 2026 9:59


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambayo inamulika harakati za kudhibiti mlipuko wa Ebola zinaendelea huko DRC na Uganda. Maafisa wa WHO walipozungumza na waandishi wa habari huko Geneva, Uswisi walitoa ufafanuzi wa masuala kadhaa ikiwemo chanjo na nini cha kufanya ili jamii iwe kitovu cha udhibiti wa maambukizi.Hadi sasa  Tani 30 za vifaa vya dharura vya kukabiliana na Ebola zimewasili Bunia, mashariki mwa DRC, ndani ya siku nne kwa msaada wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa MONUSCO. Vifaa hivyo ni pamoja na dawa, vifaa vya maabara, PPE na mahema ya kuhudumia wagonjwa. Wakati huo huo MONUSCO inaendelea kuelimisha wananchi kuhusu njia za kujikinga, huku WHO ikisema zaidi ya watu 600 wanashukiwa kuwa na Ebola na vifo 139 vinavyohusishwa na ugonjwa huo vimeripotiwa tangu mlipuko huo kuanza.Tukisalia na Ebola, Ili vifaa vya Ebola vifike kwa wakati, wako mashujaa nyuma ya pazia wanaohakikisha kila mzigo unasafiri salama. Miongoni mwao ni Milton Oloo, mwenye miaka 30 ya uzoefu wa kupakia mizigo JKIA nchini Kenya, ambaye sasa yuko mstari wa mbele kusaidia safari za ndege za Umoja wa Mataifa, UNHAS. “Tunachokifanya hapa leo ni kuhakikisha kwamba mizigo inayoelekea Congo DRC imepangwa vizuri na kupakiwa ipasavyo ili isiharibike. Pia naona fahari na Maisha ya watu yanayookolewa  nafurahi”.Na jukwaa la 13 la miji dunini WUF13 linaelekea ukingoni Baku Azerbaijan likijadili changamoto ya makazi duniani, Rehema Kishoa kutoka Tanzania Mkurugenzi Msaidizi wa Uzingatiaji wa Mipango ya Matumizi ya Ardhi kutoka Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya ardhi anasema wao wamechukua hatua kukabili changamoto hiyo.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya, kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali “Kware hutetemekea majanini.”Mwenyeji wako ni Rashid Malekela, karibu!

From Washington – FOX News Radio
Evening Edition: Could Ebola Spread To The United States?

From Washington – FOX News Radio

Play Episode Listen Later May 21, 2026 25:40


The World Health Organization (WHO) has declared a growing Ebola outbreak in Central Africa as an international public health emergency sparking concerns the deadly virus could spread beyond the region, including into the United States. The outbreak has been linked to dozens of suspected deaths in the Democratic Republic of Congo (DRC) and neighboring Uganda. Ebola is a zoonotic, viral disease that is rare but life-threatening, starting in species like antelope, fruit bats and nonhuman primates. FOX's Tonya J. Powers speaks with Dr. Tyler Evans, an infectious disease physician, CEO of the 'Wellness Equity Alliance', and author of "Pandemics, Poverty, and Politics: Decoding the Social and Political Drivers of Pandemics from Plague to COVID-19", who says the death rate of this strain could become very high, and we always learn a lot from every outbreak. Click Here⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ To Follow 'The FOX News Rundown: Evening Edition' Learn more about your ad choices. Visit podcastchoices.com/adchoices

Fox News Rundown Evening Edition
Evening Edition: Could Ebola Spread To The United States?

Fox News Rundown Evening Edition

Play Episode Listen Later May 21, 2026 25:40


The World Health Organization (WHO) has declared a growing Ebola outbreak in Central Africa as an international public health emergency sparking concerns the deadly virus could spread beyond the region, including into the United States. The outbreak has been linked to dozens of suspected deaths in the Democratic Republic of Congo (DRC) and neighboring Uganda. Ebola is a zoonotic, viral disease that is rare but life-threatening, starting in species like antelope, fruit bats and nonhuman primates. FOX's Tonya J. Powers speaks with Dr. Tyler Evans, an infectious disease physician, CEO of the 'Wellness Equity Alliance', and author of "Pandemics, Poverty, and Politics: Decoding the Social and Political Drivers of Pandemics from Plague to COVID-19", who says the death rate of this strain could become very high, and we always learn a lot from every outbreak. Click Here⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ To Follow 'The FOX News Rundown: Evening Edition' Learn more about your ad choices. Visit podcastchoices.com/adchoices

Health Check
Ebola outbreak in the Democratic Republic of Congo

Health Check

Play Episode Listen Later May 20, 2026 26:29


An Ebola outbreak that started in the north-east of the Democratic Republic of Congo (DRC) is spreading in the region and has been declared a health emergency. Health Check's Claudia Hammond has the latest with BBC reporter Emery Makumeno in Kinshasa, Heather Kerr, Country Director for the International Rescue Committee (IRC) in the DRC, and Professor Trudie Lang, head of the Global Health Network at Oxford University. Claudia is joined in the studio by BBC health reporter Laura Foster. They discuss the call for more testing of drugs with under-represented groups, after a study of Black African Americans, smokers, and people with complex health conditions in the US showed that an asthma drug, Tezepelumab, led to 70% fewer asthma attacks in people with severe asthma.They also hear about new hearing technology which can read peoples' brainwaves to help people to pick out the single voice they want to listen to in a noisy room. Claudia speaks to Nima Mesgarani, Associate Professor at the Zuckerman Institute at Columbia University in New York.And Claudia and Laura discuss why some cancer patients would fancy a pre-consultation with an AI avatar before a consultation with their real-life doctor? Presenter: Claudia Hammond Producer: Jonathan Blackwell & Clare SalisburyImage: A Congolese health worker checks the temperature to screen a traveller at the Grande Barrier border following confirmation of an Ebola outbreak involving the Bundibugyo strain, at the border crossing point between Congo and Rwanda, in Goma, Democratic Republic of Congo May 18, 2026

Coronavirus: What You Need To Know
The new Ebola virus outbreak, explained

Coronavirus: What You Need To Know

Play Episode Listen Later May 20, 2026 4:20


The Ebola outbreak in the Democratic Republic of Congo (DRC) and Uganda was declared a public health emergency by the World Health Organisation.Ebola is a highly contagious virus that can be contracted via bodily fluids such as vomit, blood, or semen.The disease it causes is rare, but can be severe and often fatal. In a post on X, the World Health Organisation (WHO) said the outbreak does not meet the criteria of a pandemic emergency, like Covid-19, and advised against the closure of international borders.ITV News explains what you need to know about the Ebola outbreak so far.

Interviews
Ebola update: WHO on the ground to help contain outbreak

Interviews

Play Episode Listen Later May 18, 2026 9:04


Over the weekend, the World Health Organization (WHO) declared the Ebola outbreak caused by the Bundibugyo virus in the Democratic Republic of the Congo (DRC) and Uganda a Public Health Emergency of International Concern.As of Saturday, 16 May, health authorities had recorded eight laboratory-confirmed cases, 246 suspected cases and 80 suspected deaths in Ituri province in eastern DRC.Uganda also confirmed two Ebola cases – including one death reported in capital Kampala – among travellers arriving from the DRC.“Ebola is a very serious disease, but it's one that we know how to control,” said Mohamed Janabi, WHO Regional Director for Africa.Speaking to UN News' Flora Nducha, he explained the measures WHO is taking to contain the spread of the virus and called on the media to share accurate information to avoid a “fear outbreak”.

Dag Heward-Mills
JESUS THE WAY THE TRUTH AND THE LIFE

Dag Heward-Mills

Play Episode Listen Later Apr 23, 2026 115:49


Preached at Healing Jesus Campaigns, Kikwit, Congo DRC. 16th April 2026

Dag Heward-Mills
JESUS THE SAME YESTERDAY, TODAY AND FOREVER

Dag Heward-Mills

Play Episode Listen Later Apr 23, 2026 102:52


Preached at Healing Jesus Campaigns , Kikwit, Congo DRC. 16th April 2026

Dag Heward-Mills
JOHN 3:16

Dag Heward-Mills

Play Episode Listen Later Apr 23, 2026 118:05


Preached at Healing Jesus Campaigns, Kikwit, Congo DRC. 18th April 2026

Dag Heward-Mills First Love
JESUS THE WAY THE TRUTH AND THE LIFE

Dag Heward-Mills First Love

Play Episode Listen Later Apr 23, 2026 115:49


Preached at Healing Jesus Campaigns, Kikwit, Congo DRC. 16th April 2026

Dag Heward-Mills First Love
JESUS THE SAME YESTERDAY, TODAY AND FOREVER

Dag Heward-Mills First Love

Play Episode Listen Later Apr 23, 2026 102:52


Preached at Healing Jesus Campaigns , Kikwit, Congo DRC. 16th April 2026

Dag Heward-Mills First Love

Preached at Healing Jesus Campaigns, Kikwit, Congo DRC. 18th April 2026

Dag Heward-Mills
BEHOLD THE LAMB OF GOD

Dag Heward-Mills

Play Episode Listen Later Apr 17, 2026 98:15


Preached at Healing Jesus Campaigns , Kikwit, Congo DRC. 15th April 2026

Dag Heward-Mills
JESUS THE SAVIOR AND THE HEALER

Dag Heward-Mills

Play Episode Listen Later Apr 17, 2026 101:28


Preached at Healing Jesus Campaigns , Kikwit, Congo DRC. 14th April 2026

Dag Heward-Mills First Love
JESUS THE SAVIOR AND THE HEALER

Dag Heward-Mills First Love

Play Episode Listen Later Apr 17, 2026 101:28


Preached at Healing Jesus Campaigns , Kikwit, Congo DRC. 14th April 2026

Dag Heward-Mills First Love
BEHOLD THE LAMB OF GOD

Dag Heward-Mills First Love

Play Episode Listen Later Apr 17, 2026 98:15


Preached at Healing Jesus Campaigns , Kikwit, Congo DRC. 15th April 2026

Habari za UN
Raia wa Beni DRC: Asante TANZQRF-05 kwa kutushika mkono

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 17, 2026 2:55


Raia wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, waishio mji wa Oicha uliopo Mavivi katika Jimbo la Kivu Kaskazini, wamewashukuru walinda amani kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wa Kikundi cha Tano Cha Utayari (TANZQRF-05), kinachohudumu chini ya mwamvuli wa Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda amani nchini humo  (MONUSCO) kwa kutoa msaada wa dawa na huduma za kitabibu kwenye Hospitali Kuu ya Rufaa  ya Mji wa Oicha wiki hii. Private Habibu Shaban alikuwa shuhuda wa tukio hilo ungana naye kwa taarifa hii

tanzania jimbo drc beni asante umoja congo drc raia afya monusco jeshi jamhuri mataifa mashariki kidemokrasia wananchi
Habari za UN
17 APRILI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 17, 2026 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia ripoti ya mauaji wa wanawake na wasichana Gaza, ukatili wa kijinsia na wa kingono unaotumiwa kama silaha ya vita Sudan, na msaada wa dawa na matibabu ya bure nchini DRC yanyoendeshwa na walinda amani wa MONUSCO kutoka Tanzania.Uchambuzi mpya wa utafiti uliotolewa leo Aprili 17 na Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Wanawake, UN Women umeweka wazi kuwa zaidi ya wanawake na wasichana 38,000 wameauawa kati ya mwezi Oktoba mwaka 2023 na Desemba 2025 huko Ukanda wa Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel ikiwa ni wastani wa takribani wanawake na wasichana 47 wanaouawa kila siku. Anold Kayanda ameufuatilia utafiti huo na kutuandalia taarifa ifuatayo.Ukatili wa kijinsia na wa kingono unatumiwa kama silaha ya vita nchini Sudan, jambo ambalo limesahaulika huku migogoro ikiendelea katika maeneo mengi mengi kote duniani amesema Tonderai Chikuhwa, Mshauri Mwandamizi wa Sera katika Ofisi ya Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Ukatili wa kijinsia katika Migogoro, katika mahojiano na Khaled Mohamed wa Idhaa ya Kiarabu ya Umoja wa Mataifa.Raia wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, waishio mji wa Oicha uliopo Mavivi katika Jimbo la Kivu Kaskazini, wamewashukuru walinda amani kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wa Kikundi cha Tano Cha Utayari (TANZQRF-05), kinachohudumu chini ya mwamvuli wa Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda amani nchini humo (MONUSCO) kwa kutoa msaada wa dawa na huduma za kitabibu kwenye Hospitali Kuu ya Rufaa ya Mji wa Oicha wiki hii.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

israel gaza tanzania sudan sera palestina jimbo drc un women umoja congo drc raia hii afya monusco wanawake jeshi jamhuri mataifa aprili oktoba shirika mashariki kidemokrasia desemba wananchi
The Long  Form with Sanny Ntayombya
Rwanda, DRC & M23: Understanding the Real Endgame Behind the Conflict | Gatete Ruhumuliza

The Long Form with Sanny Ntayombya

Play Episode Listen Later Apr 13, 2026 103:18 Transcription Available


The conflict in eastern Democratic Republic of Congo (DRC) is often simplified into a story of aggressors and victims — but the reality is far more complex. In this episode of The Long Form Podcast, Gatete Nyiringabo Ruhumuliza breaks down the geopolitical, legal, and strategic forces shaping the Rwanda–DRC crisis, the role of M23, and why tensions between Rwanda and its neighbors continue to escalate. We explore the real endgame behind the conflict, the impact of US sanctions on Rwanda's economy and everyday life, and the silence of regional powers and the African Union. This conversation goes beyond headlines to examine security, sovereignty, regional politics, and the future of stability in East Africa. If you want to understand what's really happening in Congo, Rwanda, and the Great Lakes region — this is essential listening.Sponsors:Threat Informat - https://threatinformant.io/                                               Akagera Medicines- https://www.akageramedicines.comJoin our Patreon to enjoy ad-free viewing https://www.patreon.com/cw/TheLongFormPod or support us via our MTN Mobile Money Code 95462 or directly to our phone number: +250795462739Visit Sanny Ntayombya's Official Website: https://sannyntayombya.comProduced by LF Media 

Habari za UN
19 MACHI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 19, 2026 10:57


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina leo baada ya takribani wiki mbili mkutano wa 70 wa CSW70 unakunja jamvi.  Maudhui yalikuwa kuendeleza Haki, Sheria na Kuchagiza Hatua kwa ajili ya wanawake na wasichana, na sasa washiriki wanaeleza Idhaa hii wanachoondoka nacho.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres leo akizungumza na waandishi wa habari Mjini Brussels Ubelgiji kuhusu kinachoendelea Mashariki ya Kati akiwa a na Rais wa Baraza la Muungano wa Ulaya António Costa, ametoa ujumbe mahsusi kwa wahusika wakuu wa mzozo huo. Amesema “Kwanza kwa Marekani na Israel, ni wakati muafaka kumaliza vita hivi ambavyo viko hatarini kutodhibitiwa kabisa, vikisababisha mateso makubwa kwa raia, na athari zake zinaenea katika uchumi wa dunia kwa kiwango cha kutisha, zikiwa na uwezekano wa kusababisha madhara makubwa zaidi hasa kwa nchi zenye maendeleo duni”Kisha ujumbe wake wa pili ni “Kwa Iran, acheni kushambulia majirani zenu. Hawakuwa sehemu ya mgogoro huu. Baraza la Usalama limelaani mashambulizi haya na kuamuru yasitishwe, pamoja na kuagiza kufunguliwa kwa Mlango Bahari wa Hormuz.”Na kuelekea Siku ya Kimataifa ya Furaha hapo Kesho Machi 20 raia Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, eneo lililoghubikwa na mizozo ya silaha wanaeleza furaha kwao inamaanisha nini.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Habari za UN
“Sauti ya Mama Mukongomani” inamuwezesha na kumlinda mwanamke wa DR Congo: Nelly Mbangu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 17, 2026 5:58


Hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa kwenye Kikao cha Kamisheni ya Hali ya wanawake duniani CSW70, Flora Nducha wa Idhaa hii anazungumza na mshiriki Nelly Mbangu Lumbulumbu, mwanasheria na mwanaharakati wa Haki za binadamu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasa ya Congo DRC, ambaye ni mwanzilishi na mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la “Sauti ya Mama Mukongomani” lililoanzishwa mwaka 2008, anaanza kwa kumueleza kwa nini alinzisha shirika hilo.

drc umoja congo drc haki hapa makala drcongo ya mama sauti wanawake jamhuri mataifa mwanamke
Habari za UN
11 MACHI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 11, 2026 9:46


Hii leo jaridani tunaangazia habari ya kusikitisha ya kifo cha mfanyakazi wa UNICEF nchini DRC, na ujumbe wa washiriki wa mkutano wa 70 wa Kamisheni ya Hali ya wanawake Duniani CSW70 leo unaendelea hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa New York.Shirika la UNICEF limesema limesikitishwa na kushtushwa na kifo cha mfanyakazi wake Karine Buisset kilichotokea katika shambulio linaloripotiwa kufanywa na droni katika mji wa Goma mashariki mwa Jamhriy a Kidemokrasia ya Congo DRC, eneo ambalo kwa muda mrefu limekumbwa na mapigano na hali mbaya ya kibinadamu. Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF, Catherine Russell kupitia mtandao wake wa kijamii wa X, amesema shirika hilo pamoja na wafanyakazi wake duniani wameumizwa sana na tukio hilo.Oluwaseun Ayodeji Osowobi, mwanaharakati wa haki za wanawake nchini Nigeria amezungumzia umuhimu wa kushirikisha wanaume katika harakati za kupigania haki za wanawake duniani wasichana.Mkutano wa 70 wa Kamisheni ya Hali ya wanawake Duniani CSW70 leo unaendelea hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa New York ukiwa umeingia siku ya 3. Na vijana hawakusahaulika wamepewa nafasi ya kutoa maoni yao na mapendekezo yao kuhusu maudhui ya mwaka huu ambayo yanasisitiza umuhimu wa kuchukuliwa kwa hatua madhubuti kuhusu haki za wanawake, usawa wa kisheria na ushiriki wa vijana.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Habari za UN
UNICEF: Tumesikitishwa na kustushwa na kifo cha mwenzetu huko DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 11, 2026 1:44


Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, leo limesema limesikitishwa na kushtushwa na kifo cha mfanyakazi wake mmoja, Karine Buisset kilichotokea katika shambulio linaloripotiwa kufanywa na ndege isiyo na rubani yaani droni katika mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, eneo ambalo kwa muda mrefu limekumbwa na mapigano na hali mbaya ya kibinadamu. Anold Kayanda na taarifa zaidi.

unicef drc goma umoja congo drc jamhuri mataifa kifo huko shirika kidemokrasia
Habari za UN
13 FEBRUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 13, 2026 11:49


Hii leo jaridani tunaangazia Siku ya Redio Duniani likitupeleka nchini Tanzania kusikia jinsi ambavyo redio inavyochochea maendeleo ya kijamii, nchini Uganda kumsikia mkimbizi kutoka DRC, na katika ukanda wa Gaza ambako redio inaunganisha tena jamii ndani ya vifusi.Leo ni siku ya redio duniani ambayo msingi wake unatokana na kuanzishwa kwa redio ya Umoja wa Mataifa tarehe 13 Februari mwaka 1946 jijini New York, Marekani. Kwa mantiki hiyo ikiwa mwaka huu redio hiyo ya Umoja wa Mataifa inatimiza miaka 80 tumeangazia mchango wa vipingi vyake vilivyokuwa vinarushwa na redio zingine ikiwemo iliyokuwa Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD) nchini Tanzania wakati huo. Assumpta Massoi amemulika suala hilo.Katika maeneo ya migogoro, duniani redio huwa nguzo ya utulivu na wakati mwingine daraja la kuokoa maisha. Na ndivyo ilivyokuwa kwa mkimbizi Bahati Yohane kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kwani kwake, redio haikuwa tu combo cha habari ilikuwa dira ya kuokoa maisha yake.Kabla ya vita vya sasa kuanza katika Ukanda wa Gaza, eneo la Palestina lilalokaliwa kimabavu na Israel, Redio ilikuwa chombo muhimu kwa umma na kwa hakika umuhimu wake haujakoma isipokuwa huduma ya matangazo ya redio ndio iliyokuwa imekoma kutokana na vituo vya redio kusambaratishwa kwa makombora, lakini sasa juhudi zinafanyika kuirejesha huduma hiyo muhimu.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Habari za UN
Redio Okapi iliokoa maisha yangu: Mkimbizi Bahati Yohane

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 13, 2026 3:33


Katika maeneo ya migogoro, redio huwa nguzo ya utulivu. Mathalani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, Radio Okapi ya Umoja wa Mataifa imekuwa sauti ya kuaminika na kuwasaidia wakimbizi kusaka usalama tangu kuanzishwa kwake mwaka 2002 kama sehemu ya ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini humo MONUSCO. Mmoja wa wakimbizi kutoka Mashariki mwa DRC ambaye sasa anaishi kambi ya wakimbizi ya Kyangwali nchini Uganda amemweleza John Kibego kutoka Redio washirika wetu Kazi Njema FM ya mjini Hoima jinsi matangazo ya redio Okapi yalivyonusuru maisha yake wakati wa vita

uganda drc maisha umoja congo drc okapi katika bahati monusco jamhuri mataifa mashariki redio kidemokrasia
Habari za UN
03 JANUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 3, 2026 12:52


Hii leo jaridani kesho ikiwa ni siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu ugonjwa wa saratani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Kenya kumulika hatua ambazo ni uzinduzi wa Mpango wa Utekelezaji wa Kitaifa wa kutokomeza saratani ifikapo mwaka 2030.Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa  Duniani, WHO, leo limetoa ombi la dola bilioni moja ili kukabiliana na majanga ya afya mwaka 2026 katika dharura 36 zilizo mbaya zaidi duniani. Ombi hilo linalenga kusaidia huduma za afya zinazookoa maisha katika nchi zilizoathiriwa na migogoro na majanga, zikiwemo Gaza, Sudan, Haiti na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC.Mashariki ya Kati, wakati muda ukiendelea kuyoyoma kwa maelfu ya wagonjwa mahututi huko Gaza, kufunguliwa tena kwa kivuko cha Rafah kunaleta mwanga wa matumaini. Kivuko hicho kilifunguliwa Jumatatu baada ya kufungwa kwa zaidi ya mwaka mmoja, chini ya mpango wa amani unaoungwa mkono na Marekani, na kuruhusu uhamisho wa kwanza wa wagonjwa tangu mwaka 2025.Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto UNICEF leo liimesema linaongeza juhudi zake zamsaada wa msimu wa baridi nchini Ukraine huku watoto na familia wakikabiliwa na kukatika kwa umeme, kukosa vipasha joto na maji kufuatia mashambulizi yanayoendelea dhidi ya miundombinu ya nishati na baridi kali. Tangu Novemba, shirika hilo limesambaza jenereta 106 kote nchini kusaidia huduma za maji na mifumo ya kupasha joto, huku takribani jenereta 150 zaidi zikitarajiwa kuwasili katika wiki zijazo.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "KUNVI"Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari za UN
20 JANUARI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 20, 2026 11:51


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Kenya ambako wasichana juhudi za kusongesha Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) zimewezesha vijana wa kike kushiriki masomo ya Teknolojia ya Habari na Maewasiliano, TEHAMA na kujifunza stadi za teknolojia ili waweze kuedeleza biashara ya mtandaoni pamoja na matumizi mengine.Zaidi ya watu nusu milioni wameathiriwa na mafuriko makubwa katika mikoa ya kusini na kati ya Msumbiji, huku mvua kubwa ikiendelea kuvuruga usafiri, huduma za afya na njia za ugavi. Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Dharura, OCHA nchini humo, Paola Emerson, amewaambia waandishi wa habari huko Geneva, Uswisi kuwa majimbo ya Gaza, Sofala na Maputo ndiyo yaliyoathirika vibaya zaidi.Huko Mashariki ya Kati mapema leo Jumanne, vikosi vya Israel vimebomoa kwa tingatinga makao makuu ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA, huko Yerusalemu Mashariki eneo linalokaliwa kimabavu na Israel. Mkuu wa UNRWA, Philippe Lazzarini, amelieleza tukio hilo kama “shambulio lisilo na kifani dhidi ya Umoja wa Mataifa,”.Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, leo imesema imeanza kutekeleza mpango wa kurejesha kwa hatua mamlaka ya dola katika mji wa Uvira, mashariki mwa nchi hiyo, kufuatia kuondoka kwa kundi lenye silaha la AFC/M23. Serikali inasema vikosi vya usalama, polisi na huduma nyingine za serikali vinarejea ili kulinda raia, kulinda mali na kuleta utulivu katika eneo hilo.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mtaalam wetu ONNI SIGALA Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anafafanua maana ya neno “ KING'ANI”Mwenyeji wako ni Rashid Malekela, karibu!

israel kenya gaza tanzania drc unrwa zaidi maputo umoja congo drc ocha hii kiswahili taifa philippe lazzarini baraza habari uvira tehama vijana wanawake jamhuri mataifa serikali mkuu shirika teknolojia kidemokrasia sofala
Muziki Ijumaa
Safari ya vibao vya Klasiki Kutoka Marekani hadi Afrika Mashariki na Kati

Muziki Ijumaa

Play Episode Listen Later Jan 9, 2026 10:23


Karibu katika muziki Ijumaa, makala maalumu ya RFI Kiswahili inayokuletea vibao vya kukumbukwa vilivyoacha alama kubwa katika historia ya muziki wa dunia.Wiki hii tunasafiri kimuziki kutoka Marekani, kupitia Karibiani, hadi Afrika Mashariki na Afrika ya Kati, tukifurahia nyimbo zenye ujumbe wa furaha, mapenzi, imani na utu. Safari yetu inaanza nchini Marekani kwa kibao “Celebration” cha kundi la Kool & The Gang  wimbo uliogeuka kuwa nembo ya sherehe duniani kote, ukiwahamasisha watu kusahau huzuni na kusherehekea maisha. Kutoka hapo tunatua Karibiani kupitia “Jamaica Farewell” wa Don Williams, wimbo wenye ladha ya country na mguso wa kisiwa, unaoelezea mapenzi, kumbukumbu na uchungu wa kuaga ardhi unayoipenda. Safari inaendelea nyumbani Afrika Mashariki kwa kibao cha Kiswahili “Mulofa wangu” cha marehemu Daudi Kabaka kutoka Kenya, wimbo wa mapenzi uliojaa hisia nzito na lugha tamu, unaothibitisha ubora wa muziki wa zamani wa Afrika Mashariki. Tunafunga safari yetu Afrika ya Kati kwa “Le Bon Samaritain” wa gwiji wa rumba Papa Noël kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wimbo unaochanganya ala za gitaa za kipekee na ujumbe wa utu, huruma na kusaidiana katika jamii.

Dig Deep – The Mining Podcast Podcast
Value Creation in Mining: Paul Barrett on Partnerships, M&A, and Rome Resources' Path Forward

Dig Deep – The Mining Podcast Podcast

Play Episode Listen Later Jan 8, 2026 27:15


In this episode, we chat with Paul Barrett, CEO of Rome Resources, a company working on the front lines of tin, copper, and zinc exploration at a time when critical minerals have never been more in focus. We'll unpack what it really takes to operate in the DRC, how Rome has kept momentum through regional uncertainty, and where newly raised capital is being deployed as the company looks toward 2026 and beyond. Paul will also share his views on value creation from potential partnerships or integration with bigger players, to Rome's own path forward, along with insights from his career and the experienced team behind him.  And with global M&A heating up in the mining sector, we'll explore whether consolidation may be part of Rome's future, and how shifting demand for tin and other metals could reshape opportunities ahead. KEY TAKEAWAYS Rome Resources operates in the Democratic Republic of the Congo (DRC), which presents unique challenges such as regional instability and complex regulatory requirements Rome Resources recently raised £2 million to fund a drilling program targeting deeper, wider intercepts of tin and copper. The company aims to complete this drilling by early 2024, with plans to update resource estimates shortly thereafter. The tin market is expected to remain strong due to its critical role in technology and manufacturing, while copper demand is also projected to grow, particularly in infrastructure projects The company is exploring potential partnerships, particularly with nearby Alphamin, to enhance value creation BEST MOMENTS "The level of scientific rigour put to drilling holes in the ground for mining is much, much less... I'm trying to bring some of that science in, especially some of the stratigraphic work." "We have a dialogue with IRH on that particular project... extracting Kalai and putting it through Alphamin's facility will not require much in the way of modification." "The tin market is a fascinating market... it's quite small... and of course that then means that it's quite volatile in terms of price reaction to supply hiccups." “We're concentrating really on adding that value, taking that a bit deeper and seeing where we get to with this next drilling program." GUEST RESOURCES https://romeresources.com/ https://x.com/Rome_Resources https://www.linkedin.com/company/rome-resources-ltd/ VALUABLE RESOURCES Mail:        ⁠rob@mining-international.org⁠ LinkedIn: ⁠https://www.linkedin.com/in/rob-tyson-3a26a68/⁠ X:              ⁠https://twitter.com/MiningRobTyson⁠  YouTube: ⁠https://www.youtube.com/c/DigDeepTheMiningPodcast⁠  Web:        ⁠http://www.mining-international.org⁠ CONTACT METHOD ⁠rob@mining-international.org⁠ ⁠https://www.linkedin.com/in/rob-tyson-3a26a68/⁠ Podcast Description Rob Tyson is an established recruiter in the mining and quarrying sector and decided to produce the “Dig Deep” The Mining Podcast to provide valuable and informative content around the mining industry. He has a passion and desire to promote the industry and the podcast aims to offer the mining community an insight into people's experiences and careers covering any mining discipline, giving the listeners helpful advice and guidance on industry topics.  This Podcast has been brought to you by Disruptive Media. https://disruptivemedia.co.uk/

Habari za UN
31 DESEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 31, 2025 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia ripoti ya WFP ya uhakika wa chakula mwaka 2026 duniani, wakimbizi kutoka DRC, waliovuka mpaka na kuingia Burundi, na kilimo cha umwagiliaji kwa jamii za Hirshabelle nchini Somalia. Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesema ukosefu wa chakula utaendelea kuwa katika viwango vya kutisha katika mwaka ujao wa 2026, huku mamilioni ya watu wakikabiliwa na njaa kali duniani.Kutana na Maseka ambaye ni miongoni mwa makumi ya maelfu ya wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, waliovuka mpaka na kuingia nchi Jirani ya Burundi baada ya ghasia kulazimisha familia yake kukimbia mashariki mwa DRC.Jamii za wakulima katika mkoa wa middle Shabelle, Somalia, zimeathiriwa vibaya na ukame na mafuriko yanayodhoofisha kilimo na uhakika wa chakula. Ili kukabiliana na hili, Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO), Somalia kwa ufadhili wa Serikali ya Uswisi imetekeleza mradi wa BRiMS unaolenga kuimarisha mnepo kwa wakulima kupitia ukarabati wa miundombinu ya vijijini, urejeshaji wa mifumo ya umwagiliaji, na kuijengea jamii uwezo.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

somalia burundi drc fao wfp umoja congo drc ili hii brims jamii jamhuri mataifa serikali shirika kidemokrasia desemba kutana
Habari za UN
Tunashukuru tumewasili na kupokelewa salama Burundi lakini hali bad oni tete - Mkimbizi Maseka

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 31, 2025 2:53


Kutana na Maseka ambaye ni miongoni mwa makumi ya maelfu ya wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, waliovuka mpaka na kuingia nchi Jirani ya Burundi baada ya ghasia kulazimisha familia yake kukimbia mashariki mwa DRC. Flora Nducha na taarifa zaidi

burundi drc tete salama congo drc lakini jamhuri kidemokrasia kutana
Habari za UN
30 DESEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 30, 2025 11:10


Katika Jarida la Umoja wa Mataifa hii leo Anold Kayanda anakuletea Jarida Maalum linalomulika Maoni ya washirika wetu mbalimbali wa Televisheni na Radio kutoka Afrika Mashariki.Wanazungumzia umuhimu wa ushirika na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa Yale waliyofaidika nayo katika ushirika huu na nini kiboreke mwakaniMapendekezo yao kwa mwaka ujao wa 2026Na salamu zao za mwaka mpya 2026

radio kenya yale uganda tanzania sdgs umoja congo drc kiswahili mataifa maendeleo afrika mashariki desemba
Clearing the FOG with co-hosts Margaret Flowers and Kevin Zeese
War And Plunder On The DR Congo Escalate Under 'Peace Agreement'

Clearing the FOG with co-hosts Margaret Flowers and Kevin Zeese

Play Episode Listen Later Dec 23, 2025 60:00


The Democratic Republic of the Congo (DRC) is a country in central Africa the size of Western Europe and rich in arable land and minerals, including those critical to the military industrial complex, such as cobalt and coltan. Since the CIA-backed assassination of Patrice Lumumba in 1961, the DRC has been ruled by puppets who answer to the United States and its allies. 2025 has been a devastating year for the DRC. Clearing the FOG speaks with Maurice Carney, the executive director of Friends of the Congo, about the occupation by Rwandan forces, mass displacement of millions of people, and the recent 'peace agreements' that rob the DRC of its riches and sovereignty. He discusses this in the context of Kwame Nkrumah's work, "Neo-colonialism: The last stage of imperialism." For more information, visit PopularResistance.org.

Habari za UN
17 DESEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 17, 2025 11:14


Hii leo jaridani tunaangazia tiba asili, machafuko katika jimbo la Kivu Kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC na ubakaji unaotumika kama silaha ya vita nchini humo humo.Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO, linaweka mkazo mpya wa kisayansi katika tiba asili au mitishamba, wakati mawaziri, wanasayansi na viongozi wa jamii za asili kutoka zaidi ya nchi 100 wakikutana mjini New Delhi India kuanzia leo kuangazia mchango wa tiba za asili.Kuongezeka kwa machafuko katika jimbo la Kivu Kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kumesababisha watu wengi kuyahama makazi yao ndani na kumbilia kusaka hofadhi nchi Jirani ya Burundi. Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya wakimbizi limeeleza mpaka sasa karibu wakimbizi 64,000 tayari wamewasili Burundi, na idadi ikitarajiwa kuongezeka.Ubakaji unaotumika kama silaha ya vita huacha majeraha yasiyofutika ya mwili,  akili na ya roho. Katika ushuhuda huu wenye nguvu, manusura mmoja kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambaye sasa anaishi kama mkimbizi nchini Burundi, anasimulia safari yake ya maumivu baada ya kunusurika ukatili wa kingono uliomsababishia majeraha makubwa ya mwili, ikiwemo fistula, pamoja na makovu ya kina ya kihisia.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

congo burundi drc gbv umoja congo drc hii katika afya new delhi india jamhuri mataifa shirika kidemokrasia desemba
Habari za UN
Wakimbizi kutoka DR Congo wanazidi kumiminika nchini Burundi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 17, 2025 2:51


Kuongezeka kwa machafuko katika jimbo la Kivu Kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kumesababisha watu wengi kuyahama makazi yao ndani na kumbilia kusaka hifadhi nchi Jirani ya Burundi. Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya wakimbizi limeeleza mpaka sasa karibu wakimbizi 64,000 tayari wamewasili Burundi, na idadi ikitarajiwa kuongezeka. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi

burundi drc umoja congo drc drcongo jamhuri mataifa shirika kidemokrasia
Habari za UN
25 NOVEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 25, 2025 12:23


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, na leo zinaanza siku 16 za uanaharakati kuelimisha umma kuhusu janga la ukatili wa kijinsia, tunamsikia  mmoja wa waathirika wa ukatili wa kingono.Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa onyo kali kuhusu ongezeko la ukatili mtandaoni dhidi ya wanawake na wasichana.Ripoti mpya iliyotolewa leo na Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya wanawake UN Women na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya dawa na uhalifu UNODC inaonya kwamba mwaka 2024, wanawake na wasichana 50,000 waliuawa na wapenzi au jamaa sawa na mwanamke mmoja kila dakika 10.Ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Biashara na Maendeleo (UNCTAD) inaonya kwamba uchumi wa Eneo la Palestina Linalokaliwa kwa Mabavu na Israel umerudi nyuma miaka 22 kwa muda usiozidi miaka miwili kwani umeingia katika hali mbaya zaidi ya mdororo kuwahi kurekodiwa, huku miongo ya maendeleo ikifutwa na operesheni za kijeshi zilizodumu kwa muda mrefu pamoja na vizuizi vya muda mrefu.Katika kujifunza lugha Kiswahili hii leo,  mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana za neno "MADUYUNI"Mwenyeji wako ni Sabrina Said, karibu!

israel tanzania drc un women umoja congo drc hii kiswahili katika unodc siku taifa baraza wanawake biashara jamhuri mataifa novemba shirika kimataifa mashariki ripoti kidemokrasia
Habari za UN
MONUSCO imelaani vikali mashambulizi ya ADF Lubero nchini DRC yalioua raia 89

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 21, 2025 2:56


Mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC ujulikanao kama MONUSCO, leo umelaani vikali mashambulizi makubwa yaliyofanywa na kundi lenye silaha la Allied Democratic Forces ADF kati ya tarehe 13 na 19 Novemba 2025 katika baadhi ya maeneo ya Lubero, jimboni Kivu Kaskazini na kukatili maisha ya raia wengi. Flora Nducha na maelezo zaidi

drc umoja congo drc raia monusco jamhuri mataifa novemba kidemokrasia
Habari za UN
21 NOVEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 21, 2025 12:02


Hii leo jaridani tunaangazia machafuko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, mbinu bunifu za kilimo cha kakao nchini Peru, na mradi wa miundombinu wa kupunguza athari ya mafuriko na kugeuza maji ziada kuwa rasilimali muhimu kwa jamii nchini Rwanda.Mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC ujulikanao kama MONUSCO, leo umelaani vikali mashambulizi makubwa yaliyofanywa na kundi lenye silaha la Allied Democratic Forces ADF kati ya tarehe 13 na 19 Novemba 2025 katika baadhi ya maeneo ya Lubero, jimboni Kivu Kaskazini na kukatili maisha ya raia wengi.Katika msitu wa Amazon upande wa nchi ya Peru, jamii za watu wa asilizimeonesha namna mbinu bunifu za kilimo zinaweza kuongeza uzalishaji na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Yote haya yanakuja wakati dunia ikiendelea kujadili mustakabali wa hatua za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi katika mkutano wa Umoja wa Mataifa COP30 unaoendelea huko Belém, Brazil.Mwezi Mei 2023, Rwanda nchi iliyozungukwa na milima ilikumbwa na mafuriko makubwa yaliyosababisha maporomoko ya ardhi na kusababisha maji kutoka katika milima ya volkano, yakiambatana na mawe mazito kuharibu mashamba, makazi na barabara. Baada ya mafuriko hayo ili kupunguza athari za majanga kama hayo, kwa wakati mwingine Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) nchini Rwanda, kwa ufadhili wa Serikali ya Japan, linatekeleza mradi wa Kukabiliana na Majanga Yanayohusiana na Maji katika wilaya za Rutsiro na Burera. Lengo ni kupunguza Athari na kugeuza maji ziada kuwa rasilimali muhimu kwa jamii.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

amazon japan brazil peru rwanda drc kakao umoja congo drc hii maji katika monusco baada jamhuri mataifa serikali ajira lengo novemba shirika kidemokrasia
Habari za UN
18 NOVEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 18, 2025 11:32


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Brazil kwenye mkutano wa COP30, ambako Dkt. Richard Muyungi, Mjumbe maalumu kwenye masuala ya mabadiliko ya tabianchi na mazingira kutoka nchini Tanzania anaeleza ni nini bara la Afrika linahitaji.Umoja wa Mataifa umekaribisha kupitishwa kwa Azimio namba 2803 la Baraza la Usalama kuhusu Gaza hapo jana, ukilitaja kuwa hatua muhimu katika kuimarisha usitishaji mapigano. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, anazitaka pande zote kuheshimu kikamilifu makubaliano hayo na kutafsiri kasi ya kidiplomasia kuwa hatua za dharura na za wazi kwa watu walioko katika eneo hilo. Katika taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Guterres, Stéphane Dujarric, amesema Umoja wa Mataifa umejizatiti kuongeza misaada ya kibinadamu na kuunga mkono jitihada zinazoelekezwa katika hatua inayofuata ya usitishaji mapigano.Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), hali ya kibinadamu katika majimbo ya Kivu Kaskazini na Kusini bado ni tete. Mkurugenzi wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu, Kanda ya Afrika Patrick Youssef  ambaye amerejea hivi karibuni kutoka DRC amewaleza waandishi wa habari jijini Geneva, Uswisi kwamba raia wa DRC wanaendelea kubeba mzigo mzito wa mapigano, hata wakati shughuli chache za kibiashara zikiendelea kurejea Goma. Ametoa tahadhari kuwa mgogoro huo unakabiliwa na upungufu mkubwa wa ufadhili, ukatili wa kingono unaongezeka, na zaidi ya asilimia 70 ya watu waliojeruhiwa kwa silaha mwaka huu ni raia.Kuanzia leo tarehe 18 inaanza Wiki ya Kimataifa ya Kuelimisha Umma kuhusu Usugu wa Vijiumbemaradhi dhidi ya dawa. Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO, linaonya kuwa usugu wa vimelea yaani hali ambapo bakteria, virusi na vijidudu vingine havidhuriki tena kwa dawa tayari unatishia mifumo ya afya, uchumi na uhakika wa chakula. Kwa kaulimbiu “Chukua Hatua Sasa: Linda Leo Yetu, Linda Mustakabali Wetu,” WHO inatoa wito kwa serikali, wahudumu wa afya, wakulima, wadau wa mazingira na umma kuchukua hatua madhubuti kutekeleza ahadi za kisiasa ili kupunguza kuenea kwa maambukizi sugu ya dawa.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "UPUNGUFU"Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Habari za UN
07 NOVEMBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 7, 2025 9:55


Jarida hii leo tunamulika harakati za kuzuia  mauaji ya kimbari El Fasher, Sudan, hakuna dalili za kumalizika kwa janga la njaa mashariki mwa DRC na furaha kwa watoto waliopatiwa mabegi ya kwenda shule huko Tigray, Ethiopia.Unapokabiliana na ukatili na mauaji ya kimbari ni vema kuhakikisha wanaotekeleza wanafahamu kuwa wanafuatiliwa na kutazamwa ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa dhidi yao, amesema Chaloka Beyani Mshauri Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kuzuia mauaji ya kimbari.Mgogoro katika mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) unaendelea kuwa mbaya huku mapigano yakizidi, na kusababisha makumi ya maelfu ya watu kukimbia makazi yao na kuzidisha njaa kali, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limeeleza leo.Nchini Ethiopia, Kaskazini Magharibi mwa jimbo la Tigray watoto wamefurahia kupatiwa vifaa kwa ajili ya kurejea upya shuleni baada ya vita ya muda mrefu, shukrani kwa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Leah Mushi.

ethiopia sudan unicef drc tigray umoja congo drc mataifa jamhuri shirika novemba kidemokrasia
The Other Side of Midnight with Frank Morano
Hour 2: Potholes Before Putin | 09-25-25

The Other Side of Midnight with Frank Morano

Play Episode Listen Later Sep 25, 2025 52:05


Lionel delves into uncomfortable global truths, critiquing the military-industrial complex and the failure to stop death, mayhem, and disease when there is "no money to be made" Lionel examines the systematic use of sexual violence as a weapon of war in places like the Democratic Republic of the Congo (DRC) and exposes the widespread depravity of sexual commerce and modern slavery. Also covered: analysis of the latest political headlines, including President Trump linking Tylenol to autism, and the dangers of a society lacking historical perspective and critical thinking. Tune in for insights on what the heck is really going on. Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

The Jordan Harbinger Show
1145: Rwanda 2025 | Out of the Loop

The Jordan Harbinger Show

Play Episode Listen Later Apr 27, 2025 72:25


On this Out of the Loop, Nathan Paul Southern and Lindsey Kennedy explain the consumer decisions and corporate interests fueling conflict in Rwanda.Welcome to what we're calling our "Out of the Loop" episodes, where we dig a little deeper into fascinating current events that may only register as a blip on the media's news cycle and have conversations with the people who find themselves immersed in them. Investigative journalists Nathan Paul Southern and Lindsey Kennedy are here to help us understand why we're hearing a lot about Rwanda in recent news.Full show notes and resources can be found here: jordanharbinger.com/1145On This Episode of Out of the Loop, We Discuss:The M23 militia has recently resurged in the Democratic Republic of Congo (DRC), taking over parts of North Kivu province and effectively controlling access to valuable mineral resources like cobalt, gold, and coltan — minerals critical for modern technology including electric vehicles and AI chips.There appears to be a connection between the UK's Rwanda refugee resettlement program (which sent hundreds of millions of pounds to Rwanda) and the reemergence of the M23, which had previously disappeared when international aid was threatened to be cut off. The timing suggests the UK money may have indirectly funded the militia.Rwanda is allegedly stealing minerals from the DRC, bringing them across the border, and claiming they were mined in Rwanda — creating the appearance of "conflict-free" minerals that major tech companies like Apple and Tesla can claim to use, even though they ultimately come from conflict zones.The conflict has become increasingly complicated with the involvement of private military contractors from various countries, Russian interests, and American billionaires like Elon Musk and Eric Prince potentially making deals to control mineral resources in the region.Understanding these complex global connections can empower us to make more ethical consumer choices. By researching which companies prioritize truly ethical sourcing and supporting organizations that monitor conflict minerals, we can use our purchasing power to encourage corporate responsibility and transparency in global supply chains for technologies we rely on daily.And much more!Connect with Jordan on Twitter, on Instagram, and on YouTube. If you have something you'd like us to tackle here on an Out of the Loop episode, drop Jordan a line at jordan@jordanharbinger.com and let him know!Connect with Nathan Paul Southern on Twitter.Connect with Lindsey Kennedy at her website and on Twitter.And if you're still game to support us, please leave a review here — even one sentence helps! Consider including your Twitter handle so we can thank you personally!This Episode Is Brought To You By Our Fine Sponsors: jordanharbinger.com/dealsSign up for Six-Minute Networking — our free networking and relationship development mini course — at jordanharbinger.com/course!Subscribe to our once-a-week Wee Bit Wiser newsletter today and start filling your Wednesdays with wisdom!Do you even Reddit, bro? Join us at r/JordanHarbinger!See Privacy Policy at https://art19.com/privacy and California Privacy Notice at https://art19.com/privacy#do-not-sell-my-info.