POPULARITY
Hii leo jaridani tunaangazia ziara ya Katibu Mkuu wa UN Amina J. Mohammed akiwa barani Afrika; na Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Viongozi kuhusu Upashanaji wa Taarifa duniani. Makala tunakwenda nchini Burundi na mashinanitunasalia hapa makao makuu, kulikoni?Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Amina J. Mohammed akiwa ziarani barani Afrika ambapo juzi tarehe 7 aliingia nchini Gambia, kwa njia ya mtandao wa X ameonesha namna ziara yake ilivyokuwa ya mafanikio kwa kukutana na viongozi na wadau mbalimbali nchini humo katika harakati za kufanikisha Malengo ya Umoja wa Mataifa ya Maendeleo Endelevu.Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Viongozi kuhusu Upashanaji wa Taarifa duniani, (WSIS) ukiingia siku ya 3 hii leo huko Geneva, Uswisi, washiriki wanapazia sauti umuhimu wa kila mtu kokote pale aliko afikiwe na teknolojia inayomwezesha kupokea taarifa kwa urahisi, usahihi na kwa haraka.Katika makala shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA), kwa kushirikiana na serikali ya Burundi, limekuwa mstari wa mbele katika kuwasaidia vijana wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), walioko kwenye kambi ya Musenyi, mkoani Rutana huko Burundi. Kupitia michezo, tamaduni, na shughuli za elimu ya afya ya uzazi, vijana hawa wamepata matumaini mapya na fursa ya kujenga maisha yao upya. Mradi huu unaangazia umuhimu wa kuwekeza kwa vijana walioko katika mazingira magumu ili kuwasaidia kufikia ndoto zao.Na katika mashinani fursa ni yake Dkt. Natalia Kanem, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi UNFPA ambaye katika mahojiano maalum na Idhaa ya Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa kila msichana anahitaji huduma muhimu za afya uzazi ili waweze kuendelea na elimu, akitaja mfano wa kazi zao nchini Kenya.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA), kwa kushirikiana na serikali ya Burundi, limekuwa mstari wa mbele katika kuwasaidia vijana wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), walioko kwenye kambi ya Musenyi, mkoani Rutana huko Burundi. Kupitia michezo, tamaduni, na shughuli za elimu ya afya ya uzazi, vijana hawa wamepata matumaini mapya na fursa ya kujenga maisha yao upya. Mradi huu unaangazia umuhimu wa kuwekeza kwa vijana walioko katika mazingira magumu ili kuwasaidia kufikia ndoto zao.
The conflict in the Democratic Republic of the Congo (DRC) involving a long history with neighboring Rwanda has created one of the largest humanitarian crises in the world. With a United States-brokered agreement between the DRC and Rwanda to end the war, will there be peace? In this episode: Kambale Musavuli (@kambale), Analyst, Center for Research on the Congo-Kinshasa Episode credits: This episode was produced by Amy Walters, Sonia Bhagat, and Chloe K. Li, with Phillip Lanos, Spencer Cline, Melanie Marich, Kisaa Zehra, Remas Alhawari, and our guest host, Manuel Rápalo. It was edited by Kylene Kiang. Our sound designer is Alex Roldan. Our video editor is Hisham Abu Salah. Alexandra Locke is the Take’s executive producer. Ney Alvarez is Al Jazeera’s head of audio. Connect with us: @AJEPodcasts on Instagram, X, Facebook, Threads and YouTube
Subscribe now for the full episode and access to all news specials. Derek welcomes back to the show Jason Stearns, associate professor at Simon Fraser University and author of The War That Doesn't Say Its Name: The Unending Conflict in the Congo, to talk about the state of play between the Rwandan-backed M23 armed group and the Democratic Republic of the Congo (DRC) as well as the ceasefire between the DRC and Rwanda. Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices
President Trump hosts a press conference Friday to praise the Supreme Court's curb on birthright citizenship injunctions and answer questions on U.S. strikes on Iranian nuclear sites, the Senate's scramble to pass the Trump-backed 'Big, Beautiful Bill' before July Fourth and a White House-brokered peace deal between the Democratic Republic of Congo (DRC) and Rwanda. Laura Jarrett joins to break down the Supreme Court's decision and fact check the President's response.
Gaza in 'catastrophic situation of genocide' — Spain "Spanish Prime Minister Pedro Sanchez has called the situation in Gaza a ""genocide,"" urging the European Union to suspend its cooperation agreement with Israel. His comments come as Gaza rescuers report Israeli forces have killed 76 more residents in ongoing assaults. Meanwhile, EU leaders have expressed deep concern over the escalating humanitarian crisis and mounting civilian deaths, calling on Israel to lift its blockade on the besieged enclave. " It's not working': Israeli opposition leader calls for end to Gaza genocide " Israeli opposition leader Yair Lapid has called the ongoing war in Gaza a failure, saying it ""has reached a dead end"" and urging Prime Minister Benjamin Netanyahu's government to end the carnage. In a post on X, Lapid said, “What we are doing in Gaza is not working. The war has reached a stalemate.” He stressed the need to shift focus toward securing the release of captives and called on the leadership to change strategy." Trump says US-China inked trade deal, offers no details "US President Donald Trump announced the United States signed a trade deal with China, though no details have been released. Speaking at a White House event, Trump said, “We just signed with China...,” highlighting it as a step toward opening up the Chinese market. He added that the agreement includes developments that “never really could have happened” before." DRC and Rwanda to sign peace deal in US amid doubts over impact "Rwanda and the Democratic Republic of the Congo (DRC) are set to sign a peace agreement in Washington to end years of deadly conflict in eastern DRC. The deal follows months of US-led diplomacy under the Trump administration, which has hailed it as a major achievement. However, concerns remain over the agreement's vague terms and the political and economic motives behind it." Russia confirms Istanbul remains as venue for Ukraine talks "Istanbul remains the venue for negotiations between Moscow and Kiev, Russian Foreign Ministry spokesperson Maria Zakharova has confirmed. Responding to a question at a press briefing in Moscow, Zakharova said the timing of the next round will be determined by the heads of delegations. Zakharova also thanked Türkiye for its hospitality and continuous facilitation of the negotiation process. "
Hii leo jaridani tunaangazia siku ya Wakimbizi Duniani, mwaka huu ikibeba maudhui “Mshinamano na wakimbizi”, tukisikia ujumbe wa Umoja wa Mataifa na kazi wanazozifanya kuinua Maisha ya wakimbizi, na pia tunakuletea sauti za wakimbizi kutoka DRC, Burundi, Ethiopia na Sudan Kusini.Leo ni Siku ya Wakimbizi Duniani, mwaka huu ikibeba maudhui “Mshinamano na wakimbizi” na Umoja wa Mataifa umetaka mshikamano huo kwa vitendo wakati idadi ya watu wanaolazimika kufungasha virago na kukimbia makayo yao ikifikia kiwango cha kihistoria.Tukisalia na siku ya wakimbizi duniani tunaelekea eneo la Mata, karibu na mpaka wa Ethiopia na Sudan Kusini, ambakomaelfu ya wakimbizi kutoka Sudan Kusini wanapokea msaada wa dharura kupitia juhudi za Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, WFP. unaolenga kuwalinda baada ya kukimbia mapigano makali nchini mwao. Nyibol Chueny Puok, mama wa watoto 4 ni miongoni mwao.Katika makala Assumpta Massoi kupitia video ya shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR anakupeleka Kusini-Magharibi mwa Burundi kwenye kituo cha wakimbizi cha Musenyi kumsikia mkimbizi kutoka DRC ambaye ananufaika na kauli mbiu ya siku ya wakimbizi mwaka huu ya Mshikamano na Wakimbizi.Na mashianani tukisalia na siku ya wakimbizi duniani, tutakwenda nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kumsikia mtoto mkimbizi ambaye alitumikishwa katika vita na waasi wenye silaha.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Hii leo jaridani tunaangazia ajali mbayá ya meli katika pwani ya Djibouti lililokuwa linabeba wahamiaji wengi. Pia tunasalia hapa makao makuu ambapo Kikao cha 18 cha Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu wenye Ulemavu COSP18. Mashinani tutakwenda nchini DRC.Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji, (IOM) kwa ushirikiano wa karibu na mamlaka za Djibouti, linaongeza juhudi zake za kibinadamu kufuatia tukio la kusikitisha lililotokea pwani ya Djibouti ambapo takriban wahamiaji wanane walikufa maji na wengine 22 hawajulikani walipo.Katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Kikao cha 18 cha Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu wenye Ulemavu COSP18, kinaendelea na mwaka huu, mada kuu ni kuongeza uelewa wa haki na mchango wa watu wenye ulemavu katika maendeleo ya kijamii. Miongoni mwa washiriki ni ya kijana kutoka Louisiana, hapa Marekani.Makala tutasalia hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa New York Marekani ambapo Kikao cha 18 cha Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu wenye Ulemavu COSP18, kinaendelea na tutamsikiliza mmoja wa washiriki wa mkutano huu Bongani Simphiwe Makama kutoka Ufalme wa Eswatini ambaye amepata nafasi ya kuzungumza na idhaa ya Kiswahili.Na katika mashinani fursa ni yake fursa ni yake Byamungu Rukera, Mwakilishi wa watu waliokimbia makazi yao huko Sake, Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC akipazia sauti wakimbizi wenzake kwa wafanyakazi wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu na misaada ya dharura OCHA ambao wanawagawia chakula licha ya uhaba wa msaada huo.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
After working in South Asia and living in Nepal for 18 years, Matthew Hanson has taken on leadership of The Voice of the Martyrs international ministry efforts on a new region: West and Central Africa (WACA). Listen as he tells how the persecution of Christians looks different in Africa from South Asia. The church in Africa is large; attacks on Christians there often affect a larger scale. Radical Islamist groups are the main persecutors in his region, and Matthew will share how it's affecting believers in his region, including the Democratic Republic of the Congo (DRC), Burkina Faso, Benin, Nigeria and Togo. Just in the DRC, there are 100+ active rebel groups. Church attacks and the displacement of followers of Christ has become sadly common. How does The Voice of the Martyrs respond to the intense persecution Christians in his region are facing? Listen as Matthew explains how he and his team evaluate needs and work through partnerships and local believers to help meet those needs and encourage believers. Matthew will share about the ministry of presence and how it plays such a key part of helping with trauma recovery for persecuted Christians. As Islamist groups move into places like northern Togo, a new addition to VOM's Global Prayer Map, Matthew and his team are hearing new reports of persecution and needs that VOM can help to meet. “The church does an incredible job of serving one another,” Matthew says, “it's a community of believers coming together, and it's really exciting.” Hear stories from Matthew about a woman's joy when she received a Bible provided by VOM, the holy moment when eight new believers from Muslim backgrounds took the step of baptism, and the story of a kidnapped Christian miraculously saved from a jihadist group. Please pray for persecuted Christians in West and Central Africa.
After working in South Asia and living in Nepal for 18 years, Matthew Hanson has taken on leadership of The Voice of the Martyrs international ministry efforts on a new region: West and Central Africa (WACA). Listen as he tells how the persecution of Christians looks different in Africa from South Asia. The church in Africa is large; attacks on Christians there often affect a larger scale. Radical Islamist groups are the main persecutors in his region, and Matthew will share how it's affecting believers in his region, including the Democratic Republic of the Congo (DRC), Burkina Faso, Benin, Nigeria and Togo. Just in the DRC, there are 100+ active rebel groups. Church attacks and the displacement of followers of Christ has become sadly common. How does The Voice of the Martyrs respond to the intense persecution Christians in his region are facing? Listen as Matthew explains how he and his team evaluate needs and work through partnerships and local believers to help meet those needs and encourage believers. Matthew will share about the ministry of presence and how it plays such a key part of helping with trauma recovery for persecuted Christians. As Islamist groups move into places like northern Togo, a new addition to VOM's Global Prayer Map, Matthew and his team are hearing new reports of persecution and needs that VOM can help to meet. “The church does an incredible job of serving one another,” Matthew says, “it's a community of believers coming together, and it's really exciting.” Hear stories from Matthew about a woman's joy when she received a Bible provided by VOM, the holy moment when eight new believers from Muslim backgrounds took the step of baptism, and the story of a kidnapped Christian miraculously saved from a jihadist group. Please pray for persecuted Christians in West and Central Africa. The VOM App for your smartphone or tablet will help you pray daily for persecuted Christians throughout the year, as well as providing free access to e-books, audiobooks, video content and feature films. Download the VOM App for your iOS or Android device today.
Hii leo jaridani tunaangazia haki za binadamu nchini Ukraine na upatikanaji wa elimu nchini Kenya. Makala tunakupeleka nchini Sudan Kusini, na amashinani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kulikoni?Tume Huru ya Umoja wa Mataifa ya Uchunguzi kuhusu Ukraine imehitimisha kwamba vikosi vya kijeshi vya Urusi vimetenda uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu, hasa mauaji, kupitia mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (drones) yaliyoelekezwa dhidi ya raia.Mradi wa "operesheni rejea shuleni" unaoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto UNICEF kwa ushirikiano na wizara ya elimu ya Kenya, shirika liliso la kiserikali la Hapag Lloyd na wadau wengine kwa kuzipa fedha familia zisizojiweza kuendesha shughuli za kiuchumi, umerejesha mautumaini ya elimu kwa mamia ya watoto katika Kaunti ya Kwale Pwani ya Kenya ambao waliacha shule sababu ya umasikini. Katika makala ikielekea siku ya walinda amani kesho Mei 29, tunamulika harakati za walinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini SUdan Kusini za kulinda raia na mwenyeji wako katika makala hii iliyoandaliwa kupitia video ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda amani Sudan Kusini, UNMISS ni Sharon Jebichii.Na katika mashinani huku machafuko yakiendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, wafanyakazi wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR wako mashinani mjini Goma na maeneo mengine yaliyoathirika ili kutoa msaada muhimu, ikiwa ni pamoja na kufanikisha nia ya wakimbizi wanaorejea nchini mwao Rwanda. Raab na Ruusi ni baadhi yao.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
The last few years have seen a dramatic shift in the balance of power in the eastern Democratic Republic of the Congo (DRC), with Rwandan-backed militias advancing in North Kivu, Ugandan forces launching cross-border operations, and Western powers quietly increasing their presence in the region. What was once considered a forgotten conflict is now emerging as a new front in the global competition for influence, driven not just by security concerns, but by the region's immense mineral wealth, critical for everything from electric vehicles to modern electronics. This week, we sit down with our expert panel to unpack who actually controls eastern Congo, why this strip of land has become so strategically valuable to outside powers, and how the local conflict is fast becoming a global contest between rival blocs. On the panel this week: - Hugh Kinsella Cunningham (DRC Photojournalist) - Alex Vines (Chatham House) - Michael Rubin (AEI) Intro - 00:00 PART I - 03:30 PART II - 40:38 PART III - 1:02:51 Outro - 1:33:03 Follow the show on https://x.com/TheRedLinePod Follow Michael on https://x.com/MikeHilliardAus Support the show at: https://www.patreon.com/theredlinepodcast Submit Questions and Join the Red Line Discord Server at: https://www.theredlinepodcast.com/discord For more info, please visit: https://www.theredlinepodcast.com/ Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices
In this episode, we are joined by Professor Emma Wild-Wood. Emma is Professor of African Religions and World Christianity and Co-director of the Centre for the Study of World Christianity at the University of Edinburgh. Her work includes research on religious encounters in East-Central Africa, particularly Christian conversion and the growth of mission-initiated denominations from 1800 to the present day and faith and health in East-Central Africa. You can read more of her research in her books Migration and Christian Identity in Congo (DRC) and The Mission of Apolo Kivebulaya: Religious Encounter and Social Change in the Great Lakes c. 1865–1935 (which has an accompanying source book).
Thabo Shole-Mashao in for Clement Manyathela speaks to Advocate Pikkie Greeff, the National Secretary of the South African National Defence Union regarding the delays experienced by some SANDF members in exiting Goma in the Democratic Republic of Congo (DRC). The Clement Manyathela Show is broadcast on 702, a Johannesburg based talk radio station, weekdays from 09:00 to 12:00 (SA Time). Clement Manyathela starts his show each weekday on 702 at 9 am taking your calls and voice notes on his Open Line. In the second hour of his show, he unpacks, explains, and makes sense of the news of the day. Clement has several features in his third hour from 11 am that provide you with information to help and guide you through your daily life. As your morning friend, he tackles the serious as well as the light-hearted, on your behalf. Thank you for listening to a podcast from The Clement Manyathela Show. Listen live on Primedia+ weekdays from 09:00 and 12:00 (SA Time) to The Clement Manyathela Show broadcast on 702 https://buff.ly/gk3y0Kj For more from the show go to https://buff.ly/XijPLtJ or find all the catch-up podcasts here https://buff.ly/p0gWuPE Subscribe to the 702 Daily and Weekly Newsletters https://buff.ly/v5mfetc Follow us on social media: 702 on Facebook https://www.facebook.com/TalkRadio702 702 on TikTok https://www.tiktok.com/@talkradio702 702 on Instagram: https://www.instagram.com/talkradio702/ 702 on X: https://x.com/Radio702 702 on YouTube: https://www.youtube.com/@radio702 See omnystudio.com/listener for privacy information.
Hii leo jaridani tunaangazia Siku ya kimataifa ya wakunga na kazi zao muhumi, na mafunzo ya jerahani kwa wakimbizi wa ndani nchini DRC. Makala tunasalia hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa na mashinani tunakwenda Gaza.Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya wakunga, tunakwenda nchini Tanzania kummulika mkunga ambaye alinusuru maisha ya wajawazito wawili wakati wa mafuriko makubwa ya Novemba 2023 wilayani Hanang, mkoani Manyara, kaskazini mwa taifa hilo la Afrika Mashariki, ikiwa ni ushuhuda wa majukumu mazito yanayokumba wakunga.Wanawake 125 katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Kigonze, karibu na Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambako ghasia huripokiwa mara kwa mara, sasa wana matumaini mapya ya kujikwamua kiuchumi baada ya kujiunga na mradi wa mafunzo ya kushona nguo unaofadhiliwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini humo (MONUSCO).Makala Assumpta Massoi anamulika uzinduzi wa mtandao wa Mashirika ya Manusura wa Ugaidi duniani, VoTAN uliofanyika wiki iliyopita hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa.Na mashinani kupitia video iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM), fursa ni yake Rawhiyeh, mkimbizi kutoka Gaza eneo la Palestina linalokaliwa na Israel ambaye anasimulia kwa uchungu madhila yanayowakumba yeye na familia yake baada ya kupoteza makazi yao kutokana na mashambulizi ya mabomu.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Wanawake 125 katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Kigonze, karibu na Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambako ghasia huripokiwa mara kwa mara, sasa wana matumaini mapya ya kujikwamua kiuchumi baada ya kujiunga na mradi wa mafunzo ya kushona nguo unaofadhiliwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini humo (MONUSCO). Sharon Jebichii na taarifa kamili.
Interview with Paul Barrett, CEO of Rome ResourcesOur previous interview: https://www.cruxinvestor.com/posts/rome-resources-lsermr-tin-resource-update-in-the-coming-months-6874Recording date: 29th April 2025Rome Resources (LSE) has announced the resumption of exploration drilling in the Democratic Republic of Congo (DRC) following improved security conditions in the region. CEO Paul Barrett confirmed that helicopter support has mobilized back to the country, with drilling operations expected to restart by the end of this week.The improved situation stems from M23 rebels retreating from the company's operational area back to the Kivu region, along with ongoing peace talks between Rwanda and DRC. While currently operating from Kisangani, the company plans to eventually return to Goma, which would streamline logistics with shorter helicopter flight times.Rome Resources is focusing exclusively on the Mont Agoma deposit, having already collected sufficient data from the Kalayi deposit. The strategic drilling program targets a specific data gap in the deeper part of Mont Agoma, based on their geological model suggesting increased tin grades at depth. The company also plans to drill exploratory holes on the southern fringe to determine the deposit's lateral extent.Mont Agoma represents a more complex opportunity than the pure tin Kalayi deposit, featuring additional copper and zinc mineralization. This multi-metal potential could provide significant value streams for the project, with the company exploring combined processing options for all three metals.A key near-term catalyst is the planned resource estimate expected by the end of May 2025, pending assay results from holes 24 and 26. The estimate will require independent verification to comply with AIM listing rules.Financially, Rome Resources maintains a strong position with $2.7 million in cash and a tightly controlled drilling budget of $1.6 million. The company operates with a lean structure, directing 90% of expenditures toward drilling activities.The company is also exploring collaboration opportunities with neighboring miner Alphamin for shared helicopter and fixed-wing facilities, potentially improving operational efficiency in the remote region.View Rome Resources' company profile: https://www.cruxinvestor.com/companies/rome-resourcesSign up for Crux Investor: https://cruxinvestor.com
Bongani Bingwa speaks to Africa Report correspondent Crystal Orderson about the growing instability in Central and East Africa. They begin with the withdrawal of South African troops from the Democratic Republic of Congo (DRC) after a costly SADC peacekeeping mission, just as DRC and Rwanda surprisingly sign a peace deal in the US. Attention then turns to South Sudan, where renewed tensions between President Salva Kiir and Vice President Riek Machar threaten to collapse the fragile 2018 peace agreement, raising fears of a return to full-scale civil war. 702 Breakfast with Bongani Bingwa is broadcast on 702, a Johannesburg based talk radio station. Bongani makes sense of the news, interviews the key newsmakers of the day, and holds those in power to account on your behalf. The team bring you all you need to know to start your day Thank you for listening to a podcast from 702 Breakfast with Bongani Bingwa Find all the catch-up podcasts here https://www.primediaplus.com/702/702-breakfast-with-bongani-bingwa/audio-podcasts/702-breakfast-with-bongani-bingwa/ Listen live - 702 Breakfast is broadcast weekdays between 06:00 and 09:00 (SA Time) https://www.primediaplus.com/station/702 Subscribe to the 702 daily and weekly newsletters https://www.primediaplus.com/competitions/newsletter-subscription/ Follow us on social media: 702 on Facebook: http://www.facebook.com/TalkRadio702 702 on TikTok: www.tiktok.com/@talkradio702 702 on Instagram: www.instagram.com/talkradio702 702 on X: www.x.com/Radio702 702 on YouTube: www.youtube.com/@radio702 See omnystudio.com/listener for privacy information.
Bongani Bingwa speaks to Africa Report correspondent Crystal Orderson about the growing instability in Central and East Africa. They begin with the withdrawal of South African troops from the Democratic Republic of Congo (DRC) after a costly SADC peacekeeping mission, just as DRC and Rwanda surprisingly sign a peace deal in the US. Attention then turns to South Sudan, where renewed tensions between President Salva Kiir and Vice President Riek Machar threaten to collapse the fragile 2018 peace agreement, raising fears of a return to full-scale civil war. 702 Breakfast with Bongani Bingwa is broadcast on 702, a Johannesburg based talk radio station. Bongani makes sense of the news, interviews the key newsmakers of the day, and holds those in power to account on your behalf. The team bring you all you need to know to start your day Thank you for listening to a podcast from 702 Breakfast with Bongani Bingwa Find all the catch-up podcasts here https://www.primediaplus.com/702/702-breakfast-with-bongani-bingwa/audio-podcasts/702-breakfast-with-bongani-bingwa/ Listen live - 702 Breakfast is broadcast weekdays between 06:00 and 09:00 (SA Time) https://www.primediaplus.com/station/702 Subscribe to the 702 daily and weekly newsletters https://www.primediaplus.com/competitions/newsletter-subscription/ Follow us on social media: 702 on Facebook: http://www.facebook.com/TalkRadio702 702 on TikTok: www.tiktok.com/@talkradio702 702 on Instagram: www.instagram.com/talkradio702 702 on X: www.x.com/Radio702 702 on YouTube: www.youtube.com/@radio702 See omnystudio.com/listener for privacy information.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika mkoa wa Mwanza kaskazini magharibi mwa Tanzania ambapo vijana wameshika hatamu kuboresha mustakabali wao. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani tunasalia hapa makao makuu.Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kudumisha Amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, MONUSCO, umeikaribisha kusainiwa kwa “Azimio la Kanuni” tarehe 25 Aprili 2025 mjini Washington, D.C chini ya usimamizi wa Wizara ya mambo ya nje ya Marekani, kati ya serikali za DRC na Rwanda kwa lengo la kulinda rai ana kutekeleza azimio la Baraza la Usalama namba 2773 (2025).Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestina UNRWA, Juliette Touma, akizungumza na waandishi wa habri mjini Geneva kwa njia ya video kutoka mji mkuu wa Jordan, Amman, wakati kuzingirwa kwa Ukanda wa Gaza kukikaribia kuingia mwezi wa pili amesema “Mzingiro wa Gaza ni muuaji wa kimya muuaji wa watoto, wazee, na watu walioko katika mazingira magumu zaidi. Mzingiro huu unamaanisha kwamba familia nzima, watu saba au wanane wanalazimika kushirikiana kopo moja la maharagwe au njegere”.Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO limezitaka nchi za Kaskazini Magharibi mwa Afrika kuongeza ufuatiliaji na kuchukua hatua za mapema kudhibiti makundi ya nzige wa jangwani. Hii ni baada ya nzige wakubwa na makundi madogo kutoka ukanda wa Sahel kuhamia maeneo ya kusini mwa Sahara, hasa katikati ya Algeria, magharibi mwa Libya, na kusini mwa Tunisia tangu Februari hadi Machi mwaka huu.Na katika mashinani fursa ni yake Maruping Onkemetse Mkurugenzi na Mwanzilishi wa Kituo cha Msaada wa Familia, shirika linaloongozwa na wanawake wa asili katika Wilaya ya Gantsi, kijiji cha Chobokwane nchini Botswana anayeshiriki mkutano unaoendelea hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa wa Jukwaa la Watu wa Asili akizungumzia alichojifunza hadi sasa.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
John 17:11-12 “And now I am no longer in the world, but they are in the world, and I am coming to you. Holy Father, protect them in your name that you have given me, so that they may be one, as we are one. While I was with them, I protected them in your name that you have given me. I guarded them, and not one of them was lost except the one destined to be lost, so that the scripture might be fulfilled.”I love this passage because it is Jesus talking to God. It is Jesus talking to His Father and our heavenly Father. I love how Jesus is asking God to protect us. He is also letting His dad know that things went well while He was here on earth. At the beginning of this chapter in the Gospel of John, Jesus told his Dad how we heard what He was telling us, and we believed Him. He is telling God about how we believe where He came from and the messages He gave us.Jesus also lets His Dad know that He did a good job protecting His disciples and that He didn't lose a single one, except for Judas, who was destined to be lost, so that scripture may be fulfilled. I love that Jesus is talking to His dad just like we might talk to our dad. He is letting Him know He did what He was supposed to and did a good job with all He was supposed to do.Jesus was going to be with God up in heaven, but we needed to stay here on earth. The disciples couldn't join Jesus in heaven; they had a mission here on earth, and so do we. Their mission was to take the Gospel to the ends of the earth, to make sure that the whole world knew about Jesus and his love and forgiveness. Our mission is the same, and yet we don't have to travel to the ends of the earth. We can start here in our own families with our siblings, spouses, and children. We can start with our friends, neighbors, and those around us.You would think that in the day and age we live in, everyone would already know about Jesus. With the access to technology that people have in this country, we might think that everyone has already heard all we have to say about Jesus. However, this is not the case. Many people have been hurt or offended by the church, and so they no longer go. Many times, instead of just quitting the Church, they walk away from Jesus and God, too. This often means they don't pass down anything they know about God to their children. My friend was raised by two parents who both went to Catholic School. They didn't like it, so they decided not to teach their children anything about God.This is more common than you think. In this day and age, we can not assume that anyone knows about God or Jesus. Even if they know something about them, we can't be sure that what they know is true. My kids tell me all the time they are not Catholic because they don't believe this or that. However, what they say they don't believe isn't something I believe either. There is a lot of confusion as to what the Catholic Church actually teaches. I think a lot of people who have a problem with the Catholic Church aren't actually upset with something we do; they are upset with something they think we do. For instance, many are upset that Catholics worship Mary. However, we don't worship Mary; we only worship the one true God.What we really need to share with everyone we know and everyone we meet is that God loves them. Jesus loves them too! God is love. He loves each one of us so much, and I don't think people realize this. I don't think people believe this. There is such a lack of love in this world, and if people knew how unconditionally God loved them, I truly think this world would start changing. I think people feel a void in their lives and try to fill it with all the wrong things. The only thing that can fill that hole is God.We cannot show people how much God loves them just with our words, though. We will have to be an example of that love to them. We will have to love like Jesus loved, and then they will feel that love. They will see that love and know it is possible to be loved in our messiness. It is possible for someone to love us even when we feel unlovable. This is not the kind of love that we are used to finding in the world. The world is full of broken people, so we love in broken ways because that is all we know. However, if we pray for God to give us the ability to love others with His love, we can begin to change the world one person at a time.Back to today's verse. Jesus is asking God to protect us. If we look at all the apostles had to go through to spread the word of God, we could see why Jesus would be praying for their protection. Most of the apostles of that time were killed in some way for their beliefs and for passing on the Word of God. They needed God's protection. However, we still need God's protection today as well.We are fortunate in our country that it is not illegal to talk about God, at least not yet. However, it is illegal in many parts of the world. According to Asia News, a Vatican-affiliated news agency that reports on Christian communities, more than 800 people, including women, children, and priests, were slaughtered in their homes solely because they were Christian. On February 13, 2025, militants rounded up 70 Christians in the Democratic Republic of the Congo (DRC), took them to a church, and then killed all 70 of them. People are still being persecuted, and we need God to protect us.We don't know why these things happen. Why would God allow these things to happen? His ways are not our ways, and His thoughts are not ours. We do know that God is in control and that Jesus asked God to protect us, so He is doing that. We can be sure of it because God always keeps his promises. Those who have died are in a much better place right now. It is tough for us who are left here on earth. It is hard for any loved ones they may have left behind, but it is not hard for those who have died. Their dream has come true. They get to be with their heavenly Father and all those who have come before them. God did protect them by bringing them home to Him.Dear Heavenly Father, I ask you to bless all those listening. Lord, we want you to protect us. We want to help others know your love. We want to be a witness to that love. We want to be an example of that love. Please help us. Help us to see others through your eyes, help us to be your love to them. We love you Lord and we ask all of this in accordance with your will and in Jesus's holy name, Amen!!Thank you so much for joining me on this journey to walk boldly with Jesus. I look forward to meeting you all here again tomorrow. Remember, Jesus loves you just as you are, and so do I! Have a blessed day.Today's Word from the Lord was received in October 2024 by a member of my Catholic Charismatic Prayer Group. If you have any questions about the prayer group, these words, or how to join us for a meeting, please email CatholicCharismaticPrayerGroup@gmail.com. Today's Word from the Lord is, “In the silence of your heart, my children, I speak to you. Listen carefully to my voice. It is meant to guide you, to instruct you, to lead you to where I want you to be. Only if you listen will you profit fully of what I tell you." www.findingtruenorthcoaching.comCLICK HERE TO DONATECLICK HERE to sign up for Mentoring CLICK HERE to sign up for Daily "Word from the Lord" emailsCLICK HERE to sign up for my newsletter & receive a free audio training about inviting Jesus into your daily lifeCLICK HERE to buy my book Total Trust in God's Safe Embrace
On this Out of the Loop, Nathan Paul Southern and Lindsey Kennedy explain the consumer decisions and corporate interests fueling conflict in Rwanda.Welcome to what we're calling our "Out of the Loop" episodes, where we dig a little deeper into fascinating current events that may only register as a blip on the media's news cycle and have conversations with the people who find themselves immersed in them. Investigative journalists Nathan Paul Southern and Lindsey Kennedy are here to help us understand why we're hearing a lot about Rwanda in recent news.Full show notes and resources can be found here: jordanharbinger.com/1145On This Episode of Out of the Loop, We Discuss:The M23 militia has recently resurged in the Democratic Republic of Congo (DRC), taking over parts of North Kivu province and effectively controlling access to valuable mineral resources like cobalt, gold, and coltan — minerals critical for modern technology including electric vehicles and AI chips.There appears to be a connection between the UK's Rwanda refugee resettlement program (which sent hundreds of millions of pounds to Rwanda) and the reemergence of the M23, which had previously disappeared when international aid was threatened to be cut off. The timing suggests the UK money may have indirectly funded the militia.Rwanda is allegedly stealing minerals from the DRC, bringing them across the border, and claiming they were mined in Rwanda — creating the appearance of "conflict-free" minerals that major tech companies like Apple and Tesla can claim to use, even though they ultimately come from conflict zones.The conflict has become increasingly complicated with the involvement of private military contractors from various countries, Russian interests, and American billionaires like Elon Musk and Eric Prince potentially making deals to control mineral resources in the region.Understanding these complex global connections can empower us to make more ethical consumer choices. By researching which companies prioritize truly ethical sourcing and supporting organizations that monitor conflict minerals, we can use our purchasing power to encourage corporate responsibility and transparency in global supply chains for technologies we rely on daily.And much more!Connect with Jordan on Twitter, on Instagram, and on YouTube. If you have something you'd like us to tackle here on an Out of the Loop episode, drop Jordan a line at jordan@jordanharbinger.com and let him know!Connect with Nathan Paul Southern on Twitter.Connect with Lindsey Kennedy at her website and on Twitter.And if you're still game to support us, please leave a review here — even one sentence helps! Consider including your Twitter handle so we can thank you personally!This Episode Is Brought To You By Our Fine Sponsors: jordanharbinger.com/dealsSign up for Six-Minute Networking — our free networking and relationship development mini course — at jordanharbinger.com/course!Subscribe to our once-a-week Wee Bit Wiser newsletter today and start filling your Wednesdays with wisdom!Do you even Reddit, bro? Join us at r/JordanHarbinger!See Privacy Policy at https://art19.com/privacy and California Privacy Notice at https://art19.com/privacy#do-not-sell-my-info.
Zambia inaendelea kuwahifadhi zaidi ya wakimbizi 106,000, wengi wao wakiwa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, Burundi, pamoja na wakimbizi wa zamani kutoka Rwanda na Angola, kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR, ambalo limesema kwa kuzingatia sera yake jumuishi, nchi hiyo inakuza mshikamano na wakimbizi na kuwawezesha kujitegemea kupitia makazi maalum na ushirikiano na jamii za wenyeji. Flora Nducha na taarifa zaidi Shirika hilo la wakimbizi limesema katika makazi kama Mayukwayukwa na Maheba ambayo ni moja ya kambi kubwa zaidi ya wakimbizi nchini Zambia familia za wakimbizi zilizolazimika kukimbia makwao zinajumuishwa ili ziweze kujikimu na kuishi kwa utangamano na wenyeji wanaowahifadhi. Moulid Hujale, ni afisa habari msaidizi wa UNHCR anasema “Selikali ya Zambia inajumuisha wakimbizi katika huduma za kitaifa kama vile elimu na hata programu za msaada wa kilimo ili kuongeza uzalishaji” Amebainisha kuwa kwa kufanya hivyo Zambia imeonesha mshikamano wa dhati kwa jamii hizo za wakimbizi kwa kuhakikisha kuwa wanapata fursa ya kujenga upya maisha yao, kujikwamua kiuchumi na kuishi kwa heshima.Hata hivyo, UNHCR inasema nchi hiyo ya Kusini mwa Afrika pamoja na ukarimu wake bado inakumbwa na athari za ukame mkali uliotishia uhakika wa chakula na kuyumbisha uchumi na katika hatua za kukabiliana na hali hiyo, Moulid ansema “UNHCR inashirikiana na serikali ya Zambia kuunganisha makazi ya wakimbizi kwenye gridi ya taifa ya umeme. Tunajua muundo huu wa ujumuishwaji na maisha endelevu vinagharimu fedha, Lakini hiki ndicho hasa wakimbizi wanachokihitaji, hivyo tunahitaji msaada wako ili kufanikisha hili”. Licha ya mafanikio yaliyopatikana hadi sasa Zambia katika kuwakirimu wakimbizi, UNHCR imeonya kuwa uhaba wa fedha inaokabiliwa nao unatishia kuathiri mafanikio hayo na hasa utoaji wa huduma muhimu kwa familia hizo zilizolazimika kufungasha virago na kusaka usalama Zambia. Sasa limetoa ombi la msaada wa haraka wa kimataifa ili kuendelea kufanikisha huduma za kuokoa maisha zinazohitajika sana na wakimbizi hao.
Hii leo jaridani Assumpta Massoi anamulika masuala ya afya hususan harakati za kukabiliana na majanga yajayo ya afya; wakimbizi huko Zambia ambako sera jumuishi zimewajengea uwezo; Jukwaa la vijana na mchango wa sanaa kwenye usawa na utengamano. Baada ya zaidi ya miaka mitatu ya mazungumzo ya kina, hatimaye leo huko mjini Geneva, Uswisi, nchi wanachama wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) zimekamilisha rasimu ya makubaliano ambayo itawasilishwa katika Mkutano wa Afya Duniani mwezi ujao wa Mei. Pendekezo hili linakusudia kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika kuzuia, kujiandaa na kukabiliana na vitisho vya majanga ya kiafya yajayo. Anold Kayanda amefuatilia anatujulisha zaidi.Zambia inaendelea kuwahifadhi zaidi ya wakimbizi 106,000, wengi wao wakiwa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, Burundi, pamoja na wakimbizi wa zamani kutoka Rwanda na Angola. Limesema shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR, likiongeza kwamba kwa kuzingatia sera jumuishi ya Zambia, taifa hilo linakuza mshikamano na wakimbizi na kuwawezesha kujitegemea kupitia makazi maalum na ushirikiano na jamii za wenyeji. Flora Nducha na taarifa zaidi.Jukwaa la Vijana la Baraza la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Kiuchumi na Kijamii (ECOSOC) limeanza jana hapa katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa na litamalizika kesho tarehe 17 Aprili. Vijana kutoka nchi mbalimbali wamehudhuria jukwaa hilo akiwemo Kapwani Kavenuke kutoka nchini Tanzania ambaye amehojiwa na Leah Mushi wa Idhaa hii. Kapwani anaanza kwa kueleza umuhimu wa mikutano hii.Gislain Kalwira, Muandaaji wa tamasha la Musika na Kipaji nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC linalofanyika kila mwaka kuleta pamoja wasanii wa kike na wa kiume wa fani mbalimbali, kwa kutambua kuwa jana dunia imeadhimisha siku ya sanaa duniani. Kalwira kupitia video iliyochapishwa na ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini DRC, MONUSCO, anafafanua mantiki ya tamasha hilo na kujenga usawa kijinsia.
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya watoto nchini DR Congo, na masuala y awanawake nchini Tanzania. Makala inatupeleka nchini Kenya kuangazia harakati za vijana za kusongesha Ajenda2030, na mashinani tunasalia huko huko kumulika misaada kwa wakimbizi.Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF limeripoti kwamba huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kila nusu saa takribani mtoto mmoja anaripotiwa kubakwa huku ghasia zikiendelea katikati ya janga linalozidi kukua la ufadhili finyu wa kifedha.Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya wanawake UN WOMEN nchini Tanzania chini ya ufadhili kutoka Muungano wa Ulaya wanashirikiana na jeshi la polisi kuendesha mradi huko visiwani Zanzibar wa kukomesha unyanyasaji dhidi ya wanawake na wasichana na tayari manufaa ya mradi huo yameanza kuonekana.Makala leo inatupeleka Nairobi Kenya kwa Stella Vuzo kutoka kitengo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIS Nairobi akizungumza na Winifred Njiru mwanafunzi wa chuo kikuu fani ya uhakiki au quantity surveyor aliyeshiriki majadiliano ya wiki iliyopita kuhusu malengo ya maendeleo endelevu yaliyoandaliwa na Club De Madri, anaeleza nini kama kijana anapaswa kufanya kuchangia ajenda hiyo ya maendeleo.Na katika mashinani Cindy McCain, Mkurugenzi Mtendaji wa WFP, akizungumza kutoka kituo cha shirika hilo kilichopo Mombasa, Kenya anaeleza juhudi wanazofanya kuwasaidia wakimbizi wa Sudan na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC."Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
We have new drill results from Heliostar's La Colorada Mine. Talisker Resources says they have begun lateral development on the Alhambra Vein on the 1105 level at the Bralorne Gold Project. Ridgeline and South32 approve drilling budget for this year. Alphamin Resources says they have initiating a phased resumption of operations at the Company's Bisie tin mine in Walikale District, North Kivu Province of east-central Democratic Republic of the Congo (DRC).This episode of Mining Stock Daily is brought to you by... Vizsla Silver is focused on becoming one of the world's largest single-asset silver producers through the exploration and development of the 100% owned Panuco-Copala silver-gold district in Sinaloa, Mexico. The company consolidated this historic district in 2019 and has now completed over 325,000 meters of drilling. The company has the world's largest, undeveloped high-grade silver resource. Learn more at https://vizslasilvercorp.com/Calibre Mining is a Canadian-listed, Americas focused, growing mid-tier gold producer with a strong pipeline of development and exploration opportunities across Newfoundland & Labrador in Canada, Nevada and Washington in the USA, and Nicaragua. With a strong balance sheet, a proven management team, strong operating cash flow, accretive development projects and district-scale exploration opportunities Calibre will unlock significant value.https://www.calibremining.com/Integra is a growing precious metals producer in the Great Basin of the Western United States. Integra is focused on demonstrating profitability and operational excellence at its principal operating asset, the Florida Canyon Mine, located in Nevada. In addition, Integra is committed to advancing its flagship development-stage heap leach projects: the past producing DeLamar Project located in southwestern Idaho, and the Nevada North Project located in western Nevada. Learn more about the business and their high industry standards over at integraresources.com
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika shughuli za shirika lisilo la kiserikali la KINNAPA Development Programme la huko nchini Tanzania katika kutekeleza Malengo ya Maendeleo Endelevu likijikita zaidi katika usawa wa kijinsia. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani:Uganda, ambayo tayari ni mwenyeji wa wakimbizi wengi zaidi barani Afrika, inakabiliwa na shinikizo kubwa baada ya wakimbizi zaidi ya 41,000 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kuingia nchini humo tangu Januari mwaka huu, wakikimbia machafuko mapya mashariki mwa nchi yao limesema leo Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR. UNHCR imesema watu walioko katika mazingira hatarishi wanatambuliwa kwa msaada maalum, huku familia zilizotengana zikisaidiwa kuunganishwa tena.Siku kumi baada ya matetemeko ya ardhi ya kutisha yaliyoitikisa Myanmar tarehe 28 Machi, idadi ya vifo inaendelea kuongezeka. Titon Mitra, Mwakilishi wa Kikanda wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo UNDP nchini humo, akiripoti leo akiwa katika jiji liloharibiwa sana la Mandalay, kwa njia ya video ameripoti kwa waandishi wa habari jijini Geneva, Uswisi akisema, “idadi ya vifo ya hivi karibuni imepita watu 3,500 na “inaweza kuendelea kuongezeka.”Kenya, Uganda na Rwanda zitanufaika na mpango wa mlo shuleni baada ya leo Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) kutangaza kuwa linaendeleza ushirikiano wake na Taasisi ya Novo Nordisk, kupitia ushirikiano wa kihistoria kati ya sekta binafsi na ya umma unaojumuisha Wizara ya Mambo ya Nje ya Denmark na Taasisi ya Grundfos, ili kupanua mpango wa mlo shuleni kutokana na chakula kinachozalishwa ndani ya nchi husika. Ushirikiano huu utajenga mfumo wa msaada unaohakikisha uendelevu wa muda mrefu wa mpango huu.Na mashinani mashinani jana tarehe 7 Aprili hapa Umoja wa Mataifa kumefanyika kumbukizi ya miaka 31 ya mauaji ya kimbari nchini Rwanda ambapo mmoja wa wazungumzaji alikuwa Germaine Tuyisenge Müller, manusura wa mauaji hayo na wakati huo alikuwa na umri wa miaka 9 wakiishi mji mkuu Kigali.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
In this episode, Argus speaks with Mickaël Daudin from the International Tin Supply Chain Initiative (ITSCI) about the challenges and risks associated with 3T conflict mineral supply chains in conflict affected and high-risk areas including the Democratic Republic of Congo (DRC) and Rwanda. Mickaël explains how conflict in eastern DRC is affecting ITSCI's due diligence work, and ITSCI's response to the UN Group of Experts report on mineral fraud and the conflict in DRC. Covered this episode: What is ITSCI and what is its role the due diligence landscape? How ITSCI is responding to a deteriorating security situation in DRC The UN Group of Experts report on how conflict minerals are entering the supply chain via Rwanda. Speakers: Sian Morris, Senior Reporter for coltan and minor metals at Argus Media Mickaël Daudin, Programme manager at ITSCI
This week on the news roundup: the Copernicus Climate Change Service reports that global sea ice fell to the lowest level ever recorded in February (1:18); Alawites in northwestern Syria have been massacred over several days (3:19) while the government and SDF cut a deal (6:49); Israel intensifies its blockade of Gaza (9:38) as the US proposes a new compromise for the Strip (10:55); Armenia and Azerbaijan look to be on the cusp of a peace agreement (14:31); the Philippines arrests former president Rodrigo Duterte on an ICC warrant (16:30); Trump and China's Xi Jinping might hold a summit in June (19:23); the crisis in South Sudan continues to worsen (21:03); the Democratic Republic of the Congo (DRC) and M23 armed group look to hold peace talks (23:31); in Russia-Ukraine, the US and Ukraine produce a ceasefire proposal (25:15) while Russia retakes most of Kursk Oblast (29:46); Trump might be preparing to invade Panama (31:45); Canada elects a new prime minister (33:43); Trump continues to escalate the trade war (37:07); and former US National Security Advisor Jake Sullivan will become Harvard's inaugural Kissinger Professor of the Practice of Statecraft and World Order (39:32). Subscribe now for an ad-free experience and much more content. Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices
This week on the news roundup: the Copernicus Climate Change Service reports that global sea ice fell to the lowest level ever recorded in February (1:18); Alawites in northwestern Syria have been massacred over several days (3:19) while the government and SDF cut a deal (6:49); Israel intensifies its blockade of Gaza (9:38) as the US proposes a new compromise for the Strip (10:55); Armenia and Azerbaijan look to be on the cusp of a peace agreement (14:31); the Philippines arrests former president Rodrigo Duterte on an ICC warrant (16:30); Trump and China's Xi Jinping might hold a summit in June (19:23); the crisis in South Sudan continues to worsen (21:03); the Democratic Republic of the Congo (DRC) and M23 armed group look to hold peace talks (23:31); in Russia-Ukraine, the US and Ukraine produce a ceasefire proposal (25:15) while Russia retakes most of Kursk Oblast (29:46); Trump might be preparing to invade Panama (31:45); Canada elects a new prime minister (33:37); Trump continues to escalate the trade war (37:01); and former US national security advisor Jake Sullivan will become Harvard's inaugural Kissinger professor of the practice of statecraft and world order (39:26).Advertising Inquiries: https://redcircle.com/brandsPrivacy & Opt-Out: https://redcircle.com/privacy
Zaidi ya watu 63,000 sasa wamewasili Burundi wakikimbia machafuko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR na wengi wao wanaishi katika hali ngumu ndani ya uwanja wa michezo wa Rugombo jimboni Cibitoke (CHIBITOKE) huku wakisubiri kuhamishiwa kwenye kambi rasmi za wakimbizi. Flora Nducha amefuatilia safari ya mmoja wa wakimbizi hao, kwako Flora.
Hii leo jaridani tunaangazia mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW69 na wakimbizi wanaokimbia machafuko nchini DRC kwenda Burundi. Makala tunakwenda nchini Tanzania na mashinani tunakupeleka nchini Lebanon, kulikoni?Hii leo katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani unaanza mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW69, kusanyiko kubwa zaidi la kila mwaka la Umoja wa Mataifa linalomulika usawa wa jinsia na uwezeshaji wanawake mwaka huu washiriki wakiwa zaidi ya 25,000.Zaidi ya watu 63,000 sasa wamewasili Burundi wakikimbia machafuko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR na wengi wao wanaishi katika hali ngumu ndani ya uwanja wa michezo wa Rugombo jimboni Cibitoke (CHIBITOKE) huku wakisubiri kuhamishiwa kwenye kambi rasmi za wakimbizi.Makala leo tunamwangazia Fatuma Mfumia, dereva pekee wa kike katika shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhuduia Watoto, UNICEF Tanzania.Na mashinani mashinani fursa ni yake Ghada Dawiche's ambaye licha ya machungu yaliyomkumba baada ya kupoteza bintiye aliyekuwa mfanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR nchini Lebanon, pamoja na mjukuu wake wa kiume wakati kombora la Israeli lilipopiga nyumba yao nchini Lebanon, anasema Umoja, nguvu na tumaini ndio ujumbe mkuu anaowapa wanawake wote waliopoteza wapendwa wao vitani na katika kupigania haki za wanawake.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
This week on The International Risk Podcast, Dominic Bowen sits down with Joshua Z. Walker to analyze the deepening crisis in the Democratic Republic of the Congo (DRC) beyond the commonly discussed issue of resource extraction. With the resurgence of the M23 rebellion, the occupation of key territories, and growing concerns over Rwanda's involvement, the region faces increasing instability. As M23 asserts control signs point to a broader political agenda that could redefine governance in eastern Congo. In this episode, we explore the economic, humanitarian, regional, and geopolitical risks shaping the future of the DRC.Joshua Z. Walker is the Director of Programs at the Congo Research Group at New York University's Center on International Cooperation (CIC). A researcher and analyst focused on the DRC since 2004, his work sits at the intersection of academic knowledge and policymaking. He has previously worked at The Carter Center, the United Nations Peacekeeping mission in the DRC, and the Wits Institute for Social and Economic Research in Johannesburg. His expertise covers customary conflict, political parties, and artisanal diamond mining, providing a unique perspective on the underlying factors driving instability in the region. He holds a Ph.D. in sociocultural anthropology from the University of Chicago, a master's in anthropology and development from the London School of Economics (LSE), and a Bachelor of Arts in political science from McGill University.The International Risk Podcast is a must-listen for senior executives, board members, and risk advisors. This weekly podcast dives deep into international relations, emerging risks, and strategic opportunities. Hosted by Dominic Bowen, Head of Strategic Advisory at one of Europe's top risk consulting firms, the podcast brings together global experts to share insights and actionable strategies.Dominic's 20+ years of experience managing complex operations in high-risk environments, combined with his role as a public speaker and university lecturer, make him uniquely positioned to guide these conversations. From conflict zones to corporate boardrooms, he explores the risks shaping our world and how organisations can navigate them.The International Risk Podcast – Reducing risk by increasing knowledge. Follow us on LinkedIn for all our great updates.Tell us what you liked!
Hii leo jarida linamulika wasiwasi kuhusu hali ya watetezi wa haki za binadamu nchini DRC, wakati huu hali ya usalama si shwari mashariki mwa nchi; kuelekea siku ya wanawake duniani, Mkuu wa UN Women arejelea Azimio la Beijing; vilabu vya Dimitra nchini DRC vinavyosaidia wanawake na wanaume kuketi pamoja na kutatua changamoto zinazowakabilia; mashinani ni Ramadhani huko Gaza.Hali ya kibinadamu ikiendelea kuzorota mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mtaalamu Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na hali ya watetezi wa haki za binadamu, Mary Lawlor leo ametoa wito wa msaada wa dharura na wa vitendo kwa watetezi wa haki za binadamu katika eneo hilo. Anold Kayanda na taarifa zaidi.Kuelekea siku ya wanawake duniani itakayoadhimishwa mwishoni mwa wiki hii ambayo ni tarehe 8 mwezi Machi, Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya wanawake UN Women, Sima Bahous, amesisitiza kwamba ahadi zilizowekwa kwenye Azimio la Beijing miaka 30 iliyopita kuhusu haki za wanawake hazipaswi tu kukumbukwa bali zinahitaji kutekelezwa kikamilifu. Flora Nducha anafafanua zaidiMakala inakupeleka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC ambako mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) ulioanzishwa kati ya mwaka 2008 hadi 2023 umeleta mabadiliko chanya ukiimarisha usawa wa kijinsia. Mwenyeji wako ni Sharon Jebichii.Ibrahim Al-Ghandour, mpalestina huyu akiwa eneo la Gaza mbele ya nyumba yake iliyogeuzwa kifusi kutokana na mashambulizi ya Israeli akielezea maoni yake ya mfungo unaoendelea wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Hali ya kibinadamu ikiendelea kuzorota mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mtaalamu Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na hali ya watetezi wa haki za binadamu, Mary Lawlor leo ametoa wito wa msaada wa dharura na wa vitendo kwa watetezi wa haki za binadamu katika eneo hilo. Anold Kayanda na taarifa zaidi. (Taarifa ya Anold Kayanda)Mary Lawlor akizungumza leo jijini Geneva-Uswisi amesema, "watetezi wa haki za binadamu mashariki mwa DRC wako hatarini sana kulengwa na kulipiziwa kisasi kwa kazi yao ya kutetea haki za binadamu. Wanahitaji msaada sasa, ikiwa ni pamoja na usaidizi wa kuhamishwa kwa muda pamoja na familia zao.”Kundi la waasi la M23, limeendelea kusonga mbele katika eneo hilo la mashariki mwa DRC tangu lilipoanza mashambulizi yake mapema mwaka huu, na wale waliorekodi na kufichua ukiukwaji wa haki zao wamekuwa wakilengwa moja kwa moja, amesisitiza Bi. Lawlor."Katika wiki za hivi karibuni nimepokea taarifa nyingi za tahadhari zinazohitaji msaada na nimezungumza moja kwa moja na watetezi walioko mashinani," amesema Lawlor na kuongeza kuwa watu hao wanaishi kwa hofu na hatari ni halisi na kwama hivi karibuni, mtetezi mmoja alimpa taarifa kuwa waasi wa M23 wameandaa orodha ya watetezi wa haki za binadamu watakaokamatwa katika maeneo waliyoyadhibiti.Mtaalamu huyo amesema amepokea ripoti za kuaminika za watetezi wa haki za binadamu kushikiliwa bila mawasiliano, kutoweshwa kwa nguvu, na kuteswa huko Rutshuru na Masisi, Kivu Kaskazini, huku takribani watetezi sita wa haki za binadamu wakiripotiwa kutoweka baada ya kujaribu kutoroka Goma baada ya jiji hilo kuchukuliwa na M23."Baadhi ya watetezi wa haki za binadamu hawakuwa na chaguo jingine ila kukimbia makazi yao. Wale wanaofanikisha kufika katika miji mingine wanakosa rasilimali za kupata malazi au kukidhi mahitaji yao ya kila siku," amesema na kwamba, "wengine wamebaki katika maeneo yanayodhibitiwa na waasi lakini wana hofu kubwa kuhusu usalama wao. Mtetezi mmoja alimuuliza jinsi wanavyoweza kuendelea kujificha huku M23 ikianza kufanya ukaguzi huko Goma.Tangu magereza yalipovunjwa huko Goma, Kalehe, Bukavu, na Uvira, maelfu ya wafungwa, wakiwemo wahalifu wakatili na viongozi wa makundi yenye silaha waliohukumiwa kwa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaofikia uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu, walitoroka na kuingia mitaani. Baadhi yao wanawatishia watetezi wa haki za binadamu waliotoa msaada wa matibabu, kisaikolojia na msaada wa kisheria kwa waathiriwa na mashahidi waliotoa ushahidi wakati wa kesi hizo. Na wakati huo huo watetezi wa haki za binadamu wakikabiliwa na vitisho na hofu ya kulipiziwa kisasi, waathiriwa hawana wa kuwategemea, ameeleza mtaalamu huyo.Katika mazingira ambayo tayari ni magumu kwa watetezi wa haki za binadamu, Mtaalamu huyo maalumu wa Umoja wa Mataifa anasisitiza hatari kubwa ya ukatili wa kingono inayowakabili watetezi wa haki wa kike."Tunajua kuwa ukatili wa kingono unaohusiana na migogoro mashariki mwa DRC ni wa kiwango cha juu, na kwamba wanawake wanaopinga ukiukwaji wa haki za binadamu katika muktadha huu, na wanaojitokeza kwa kazi yao, mara nyingi ndio wanaoathirika zaidi," Lawlor amesema akiongeza kuwa ni jambo la kusikitisha kufikiria kwamba miaka 25 tangu kupitishwa kwa azimio la kihistoria la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu wanawake, amani na usalama, matukio haya yanatokea mbele ya ulimwengu unaoonekana kutokuwa na msimamo thabiti.Mtaalamu huyo pia ameelekeza umakini kwa hatari wanazokabiliana nazo watetezi wa haki za binadamu katika maeneo ya vijijini na yaliyojitenga, ikiwa ni pamoja na mauaji, kutoweshwa kwa nguvu, na utekaji nyara, na akaangazia athari za kisaikolojia zinazowakumba wale walioko mashinani."Watetezi tayari walikuwa wakikabiliwa na vitisho katika eneo hilo – kutoka kwa serikali na makundi yenye silaha lakini kama alivyonieleza mtetezi mmoja wa haki za binadamu wa…
Karibu jaridani hii leo na mwenyeji wako ni Flora Nducha akikuletea habari kuhusu haki za binadamu, elimu ya STEM kwa wasichana wakimbizi nchini Kenya; Harakati za kuhamishia wakimbizi wa DRC nchini Burundi kuelekea maeneo salama; mafunzo ya ujasiriamali wa ushoni kwa wanawake na wasichana.Kwenye mkutano wa 58 wa Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu unaoendelea mjini Geneva Uswisi, Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu Volker Türk , amezungumzia hali ya kuzorota na kutoeleweka inayohusu haki za binadamu duniani, akionya kwamba ushawishi wa viongozi wa kiimla, matajiri wakubwa, na viongozi wa kimabavu unatishia kuvuruga maendeleo ya miongo kadhaa. Ripoti yake Anold Kayanda.Nchini Kenya, shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) na wadau wengine wanafanikisha mpango wa kuhamasisha wasichana kuingia katika masomo ya STEM yaani Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati.Ripoti yake Sharon Jebiichi.Makala Assumpta Massoi anakupeleka mpakani mwa Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kusikia harakati za kuhamishia wakimbizi eneo salama zaidi.Mashinani anasalia nchini Jamhuri ya kidemkrasia ya Congo DRC kusikia jinsi ambavyo mafunzo ya ujasiriamali wa ushoni yanavyowawezesha wanawake na wasichana kujimudu kimaisha. Karibu
Kwenye kikao cha 58 cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kinachoendellea mjini Geneva Uswisi, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa M ataifa, Volker Türk , amezungumzia hali ya kuzorota na kutoeleweka inayohusu haki za binadamu duniani kote akielezea wasiwasi mkubwa kuhusu kudhoofika kwa makubaliano ya kimataifa kuhusu haki za binadamu,na kuonya kwamba ushawishi wa viongozi wa kiimla, matajiri wakubwa, na viongozi wa kimabavu unatishia kuvuruga maendeleo ya miongo kadhaa. Anold Kakayanda na taarifa kamili.Asante Flora katika taarifa yake Türk amesisitiza umuhimu wa kuhifadhi haki za binadamu na utawala wa sheria ili kuzuia kurudiwa kwa ukatili wa zamani.Moja ya masuala ya dharura yaliyotiliwa mkazo na Türk ni mgogoro wa kibinadamu unhaoendelea huko Gaza. Amelaani uharibifu uliosababishwa na hatua za kijeshi za Israeli dhidi ya mashambulizi ya Oktoba 7, 2023 yaliyofanywa na Hamas na makundi mengine ya wapiganaji wa Kipalestina.Türk amesisitiza haja ya kudumisha usitishaji mapiganona kutoa wito wa mchakato wa amani unaozingatia haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na haki ya kujitawala na uwajibikaji. Ametaka kuachiliwa kwa mateka, kukomeshwa kwa vizuizi vya kiholela, na kuanza tena kwa msaada wa kibinadamu mara moja ndani ya Gaza.Kuhujsu mgogoro unaoendelea nchini Ukraine amersema bado ni suala la kutia wasiwasi, huku raia wakiishi kwa hofu ya mara kwa mara kutokana na mashambulizi yasiyokoma.Türk amekemea vikali vikwazo vya Shirikisho la Urusi juu ya haki za msingi katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na kuelezea masikitiko yake kuhusu ripoti za mauaji ya kiholela na mateso ya kimfumo ya wafungwa wa vita wa Kiukraine.Almeihimiza jumuiya ya kimataifa kufanya kazi kuelekea amani endelevu inayoheshimu haki na matarajio ya watu wa Ukraine.Türk pia ameelekeza mawazo kwenye maeneo mengine yenye migogoro, ikiwa ni pamoja na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, Myanmar, Haiti, na Sudan.Alielezea jinsi watawala wa kiimla, wanasiasa wahubiri wa chuki, na walanguzi wanavyotumia machafuko kwa faida zao binafsi.Amesema Athari za migogoro huenea zaidi ya mstari wa mbele, zikiathiri minyororo ya usambazaji duniani na nafasi za kidijitali.Ametoa wito kwa watu binafsi kutambua jukumu lao la pamoja kwa kufanya maamuzi ya kimaadili ya ununuzi, kushiriki kisiasa, na kuunga mkono uwajibikaji kwa ukiukwaji wa haki za binadamu.Hata hivyo amesema demokrasia zilizoimarika haziko salama dhidi ya kudorora kwa haki za binadamu. Türk ameelezea wasiwasi mkubwa kuhusu mwelekeo nchini Marekani, ambako maendeleo kuhusu usawa wa kijinsia na sera za kupinga ubaguzi yanarudi nyuma.Pia amekosoa Shirikisho la Urusi kwa ukandamizaji wake wa jamii za kiraia na vyombo vya habari huru, ambapo wapinzani wanakabiliwa na unyanyasaji, kukamatwa, au kufurushwa.Kudhoofika kwa haki za binadamu katika mataifa yenye nguvu, Türk alionya kwamba kunaweka mfano hatari kwa ulimwengu mzima, akisisitiza hitaji la dharura la mshikamano wa kimataifa na uwajibikaji kuhusu haki za binadamu.
Machafuko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (DRC) yanaendelea kufurusha watu na wengine wanaamua kukimbilia nchi jirani ikiwemo Burundi. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi, UNHCR nchini Burundi limesema wazi kuwa katika wiki mbili za mwezi Februari kuanzia tarehe 14 walipokea wakimbizi zaidi ya 60,000, wengi wakiwa tayari walishafurushwa awali. Kwa waliowasili katika eneo la Kaburantwa nchini Burundi, bado wanahofia usalama. Serikali ya Burundi imetenga eneo lingine salama zaidi na sasa wanahamishiwa huko. Je ni wapi? Assumpta Massoi kwa msaada wa video ya UNHCR Burundi anasimulia zaidi.
!!! Please note that this episode was recorded before M23 captured Bukavu, the second-largest city in eastern DRC.This week on The International Risk Podcast, Dominic Bowen sits down with Bram Verelst to examine the escalating conflict in the Democratic Republic of the Congo (DRC) and the resurgence of the M23 rebellion. As the group captures key cities, including Goma, tensions are rising, with increasing concerns about Rwanda's involvement, the worsening humanitarian crisis, and the broader regional implications. In this episode, we explore the historical roots of the conflict, the role of international actors, and the challenges of finding a path to peace in one of Africa's most volatile regions.Bram Verelst is a Senior Researcher on Conflict Prevention, Management, and Peacebuilding in the Great Lakes Region at the Institute for Security Studies. With expertise in conflict dynamics and regional security, he previously worked as a political analyst for the Belgian Ministry of Defence and as a research fellow at Ghent University. He holds master's degrees in history (University of Antwerp) and conflict and development studies (Ghent University).The International Risk Podcast is a must-listen for senior executives, board members, and risk advisors. This weekly podcast dives deep into international relations, emerging risks, and strategic opportunities. Hosted by Dominic Bowen, Head of Strategic Advisory at one of Europe's top risk consulting firms, the podcast brings together global experts to share insights and actionable strategies.Dominic's 20+ years of experience managing complex operations in high-risk environments, combined with his role as a public speaker and university lecturer, make him uniquely positioned to guide these conversations. From conflict zones to corporate boardrooms, he explores the risks shaping our world and how organisations can navigate them.The International Risk Podcast – Reducing risk by increasing knowledge. Follow us on LinkedIn for all our great updates.Tell us what you liked!
NB: This episode was recorded on February 8, 2025. Since then, the conflict in Eastern DRC has dramatically evolved with more than 7000 fatalities, thousands of displaced and sanctions against Rwanda. In this episode we delve into the intricate and ongoing conflict in the eastern Democratic Republic of Congo (DRC) with our esteemed guest, Dr. Patrick Litanga (Eastern Kentucky University). Dr. Litanga, a native of the DRC and an expert in African politics and post-conflict reconstruction, brings his profound insights to the table as we explore the multifaceted dimensions of this protracted war. He traces the origins of the conflict, sheds light on the historical and socio-political factors that have fueled the violence in the region. He also discusses the key actors involved, including the Congolese governmental forces, various rebel groups like M23, and the role of neighboring countries such as Rwanda and Uganda. Through his analysis, Dr. Litanga reveals the complex web of alliances and rivalries that have perpetuated the instability. We also examine the regional tensions and geostrategic implications of the conflict, highlighting how the struggle for control over the DRC's vast mineral resources has drawn in both regional and international players.
unusual_whales on X: "BREAKING: NASA says there's now a 3.1% chance that asteroid 2024 YR4 will hit Earth in 2032. This is the highest risk assessment an asteroid has ever received." / X FearBuck on X: "A deep-sea creature rarely seen by humans called the oarfish has washed ashore in Mexico! Legend has it that this mysterious “doomsday fish” only emerges from the ocean’s depths when disaster is near
Hii leo jaridani tunaangazia mahitaji ya wakimbizi wanaokimbia machafuko DRC wakielekea nchini Burundi, na hali ya wakimbizi wa ndani Gaza wakati huu wa msimu wa baridi. Makala tunakurejesha nchini DRC na mashinani tunakwenda nchini Tanzania.Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi, UNHCR limetoa ombi la dola milioni 40.4 ili kujiandaa na kutoa huduma za kuokoa maisha na usaidizi kwa wakimbizi wa ndani na waliokimbilia nchi jirani baada ya wakati huu ambapo mashambulizi ya waasi wa M23 yanazidi kufurusha raia kutoka Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokraia ya Congo, DRC.Huko Gaza Kaskazini, kwenye eneo la wapalestina linalokaliwa na Israeli, familia zilizofurushwa makwao kutokana na vita kati ya Israeli na wanamgambo wa Hamas wanavumilia msimu wa baridi kali katika makazi ya muda ya mahema yanayopigwa na upepo na mvua usiku na mchana, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF. Nyumba zao zimeharibika na kuacha watoto kuishi katika mazingira mabaya.Katika makala Evarist Mapesa anakupeleka eneo la mpakani mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, na Burundi kufuatilia mmiminiko wa wakimbizi kutoka DR Congo.Na mashinani fursa ni yake Regnihadah Mpete kutoka Tanzania ambaye anatumia kiswahili, lugha ya taifa nchini Tanzania kufundisha vikundi vya wanawake wilayani Biharamulo, mkoani Kagera jinsi ya kujikinga na magonjwa. Mafunzo serikali kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto duniani (UNICEF) kupitia TIP ambao ni Mtandao wa Madhehebu ya Dini mbalimbaliMwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
* Palestine awaits freedom of 369 citizens from Israeli jails Israel is set to free 369 Palestinians as part of the sixth exchange since the Gaza ceasefire, often breached by Tel Aviv, that took effect on January 19. In a statement, the Palestinian Prisoners' Media Office, affiliated with Hamas resistance group, said the released will include 36 Palestinians serving life sentences and 333 from Gaza who were abducted by Israel after October 7, 2023. Twenty-four of the released will be sent abroad. In return, Al-Qassam Brigades, the military wing of Hamas, announced the names of three Israeli captives scheduled for release as part of the swap deal. * Erdogan warns of US 'miscalculation' on Gaza Turkish President Recep Tayyip Erdogan has called the approval of forced displacement completely unacceptable and described it as pure brutality, referring to US President Donald Trump's proposal for the future of Palestine's Gaza. Discussing the United States' approach to the Middle East, Erdogan criticised its miscalculations, remarking, "One should not disregard the region's history, values, and heritage." "We expect Trump to fulfil the promise he made before the election. He should take steps to build peace, not start a new war," Erdogan said * Jewish People Say No to Ethnic Cleansing' — 350+ rabbis sign NYT ad More than 350 rabbis, alongside Jewish creatives and activists, have signed a full-page ad in The New York Times condemning President Donald Trump's controversial proposal for the forced expulsion of over 2 million Palestinians from Gaza. The ad features signatories from diverse Jewish denominations and notable figures such as Tony Kushner, Ilana Glazer, Joaquin Phoenix and Peter Beinart. The text of the ad on NYT's page A7 reads: "Trump has called for the removal of all Palestinians from Gaza. Jewish people say NO to ethnic cleansing!" * M23 rebels enter eastern DRC's Bukavu city M23 rebels in eastern Democratic Republic of Congo (DRC) have entered the region's second-largest city of Bukavu, the latest ground gained since a major escalation of their yearslong fighting with government forces. The M23 rebels entered the city's Kazingu and Bagira zone and were advancing towards the centre of the city of about 1.3 million people. Videos posted online appeared to show rebels marching toward the Bagira area. * Roadside bomb kills multiple mine workers in Pakistan's Balochistan A bomb targeting a vehicle carrying coal miners in southwestern Pakistan killed at least 11 people and wounded six others. The truck had brought the workers to a mine in the Harnai area of Balochistan province, where Pakistan is battling insurgency. A military official has said that an improvised explosive device was planted at the roadside which exploded when truck carting coal miners reached the site.
This week: Donald Trump proposes the US take over the Gaza Strip (0:32), prompting mixed responses at home (9:16) as well as abroad (15:18); the US vows to return to a "maximum pressure" Iran policy (17:08); in the Democratic Republic of the Congo (DRC), the M23 ceasefire fizzles out (20:04); Trump threatens to cut off funding to South Africa over certain land policies (22:10); Ukraine offers minerals in exchange for Trump's support (25:02); Secretary of State Marco Rubio travels to Latin America, addressing tension over the Panama Canal (28:37), entertaining an offer from El Salvador to take in US convicts (30:44), as well as an offer from Guatemala to aid in deportations (32:14); China responds to Trump's tariffs (36:43); and the Trump Administration rigs Google searches concerning deportation cases (38:37). Subscribe now for much more content and an ad-free experience! Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices
On this week's news roundup from American Prestige: Donald Trump proposes the US take over the Gaza Strip (0:32), prompting mixed responses at home (9:16) as well as abroad (15:18); the US vows to return to a "maximum pressure" Iran policy (17:08); in the Democratic Republic of the Congo (DRC), the M23 ceasefire fizzles out (20:04); Trump threatens to cut off funding to South Africa over certain land policies (22:10); Ukraine offers minerals in exchange for Trump's support (25:02); Secretary of State Marco Rubio travels to Latin America, addressing tension over the Panama Canal (28:37), entertaining an offer from El Salvador to take in US convicts (30:44), as well as an offer from Guatemala to aid in deportations (32:14); China responds to Trump's tariffs (36:43); and the Trump Administration rigs Google searches concerning deportation cases (38:37). Advertising Inquiries: https://redcircle.com/brandsPrivacy & Opt-Out: https://redcircle.com/privacy
Derek speaks with Marie-Rose Tshite, a peacebuilding advocate and Ph.D. student in Political Science with a concentration in Feminist Comparative and International Politics at the University of Cincinnati, about M23 and the situation in Goma, Democratic Republic of the Congo (DRC). They explore the group's origins, its ties with the Rwandan government, other external actors, the recent seizure of Goma, minerals and the economic factors driving the conflict, the humanitarian situation, and more. Read Marie-Rose's recent article on Congolese women's experiences during the Second Congolese War between 1998 and 2003, “Capturing Congolese Women's Memories of War and Peacemaking”. Subscribe today for an ad-free experience and much more content. Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices
On this episode of American Prestige, Derek speaks with Marie-Rose Tshite, a peacebuilding advocate and Ph.D. student in Political Science with a concentration in Feminist Comparative and International Politics at the University of Cincinnati, about M23 and the situation in Goma, Democratic Republic of Congo (DRC). They explore the group's origins, its ties with the Rwandan government, other external actors, the recent seizure of Goma, minerals and the economic factors driving the conflict, the humanitarian situation, and more.Read Marie-Rose's recent article on Congolese women's experiences during the Second Congolese War between 1998 and 2003, “Capturing Congolese Women's Memories of War and Peacemaking”.Advertising Inquiries: https://redcircle.com/brandsPrivacy & Opt-Out: https://redcircle.com/privacy
The paperboy has been laid off, but fear not, for Danny and Derek are here with the headlines. This week: in Israel-Palestine, detainees were exchanged on Thursday (0:31), the IDF continues its operation in the West Bank (6:05), an update on the humanitarian situation in Gaza (7:40), and Trump proposes the idea of ethnically cleansing the Strip (10:34); in Lebanon, the IDF ignores its withdrawal deadline (15:02); in Syria, the political transition continues (17:00), the IDF remains in the country's south (19:04), and negotiations with Russia are underway over its bases in Syria as well as the fate of Bashar al-Assad (20:32); the rollout of China's DeepSeek AI roils tech stocks (23:00); the Sudanese army sees a string of military successes around Khartoum (25:24); in the Democratic Republic of Congo (DRC), the M23 military group takes Goma while advancing south (27:59); Putin comments on peace talks regarding Ukraine (32:43); Colombia and the US get into a spat regarding deportation flights (34:12); and in US news, arms sales hit a new record in 2024 (37:16), Donald Trump vows to build a migrant detention facility at Guantánamo (38:20), and some details on the effects of his foreign aid freeze (39:35). Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices
This week: in Israel-Palestine, detainees were exchanged on Thursday (0:31), the IDF continues its operation in the West Bank (6:05), an update on the humanitarian situation in Gaza (7:40), and Trump proposes the idea of ethnically cleansing the Strip (10:34); in Lebanon, the IDF ignores its withdrawal deadline (15:02); in Syria, the political transition continues (17:00), the IDF remains in the country's south (19:04), and negotiations with Russia are underway over its bases in Syria as well as the fate of Bashar al-Assad (20:32); the rollout of China's DeepSeek AI roils tech stocks (23:00); the Sudanese army sees a string of military successes around Khartoum (25:24); in the Democratic Republic of Congo (DRC), the M23 military group takes Goma while advancing south (27:59); Putin comments on peace talks regarding Ukraine (32:43); Colombia and the US get into a spat regarding deportation flights (34:12); and in US news, arms sales hit a new record in 2024 (37:16), Donald Trump vows to build a migrant detention facility at Guantánamo (38:20), and some details on the effects of his foreign aid freeze (39:35). Advertising Inquiries: https://redcircle.com/brandsPrivacy & Opt-Out: https://redcircle.com/privacy
Bodies are lining the streets of Goma, and hospitals are overwhelmed after an escalation in the long-simmering conflict in the Democratic Republic of the Congo (DRC). The Rwandan-backed M23 group claims it took control of the city, and the DRC has called it a declaration of war by Rwanda. But why is Rwanda involved and what are its interests? In this episode: Kambale Musavuli (@kambale), Analyst, Center for Research on the Congo Episode credits: This episode was produced by Ashish Malhotra, Sonia Bhagat, and Chloe K. Li with Phillip Lanos, Spencer Cline, Hagir Saleh, Hanah Shokeir, Melanie Marich, Noor Wazwaz and our guest host, Kevin Hirten. Our sound designer is Alex Roldan. Our video editors are Hisham Abu Salah and Mohannad Al-Melhem. Alexandra Locke is The Take’s executive producer. Ney Alvarez is Al Jazeera’s head of audio. Connect with us: @AJEPodcasts on Instagram, X, Facebook, Threads and YouTube