POPULARITY
Heri ya mwaka mpya msikilizaji wa RFI Kiswahili popte pale ulipo. Ali Bilali mtangazaji wako asiependa makuu ninakukaribisha katika makala haya ya mwishgo kabisa changu chako chako changu katika mwaka 2024. Leo nakukumbusha mada kadhaa zilizo zungumziwa mwaka 2024, lakini pia ninapokea salam zako za mwaka mpya wa 2024, na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuziki isifiwe Kibangula kutoka hko Sweeden ambae ametangawa kubadili muziki wake.Karibu na kwa mara nyingine tena kheri ya mwaka mpya.
Wasikilizaji watoa maoni kuhusu hatua ya Mahakama moja nchini Kenya, kuamuru kwamba msichana wa umri wa miaka 16 anayekiri kushiriki ngono na mwanaume si thibitisho la unyanyasaji wa kigono, uamuzi ambao umeibua hisia kali nchini Kenya.
Wasikilizaji watoa maoni kuhusu hatua ya Mahakama moja nchini Kenya, kuamuru kwamba msichana wa umri wa miaka 16 anayekiri kushiriki ngono na mwanaume si thibitisho la unyanyasaji wa kigono, uamuzi ambao umeibua hisia kali nchini Kenya.
Hapa wasikilizaji wamezungumzia mkutano kati ya viongozi wa Rwanda na DRC kule Angola wikendi hii, pia vijana kujituma ili kufanya kazi kujikimu kimaisha
Hapa wasikilizaji wamezungumzia mkutano kati ya viongozi wa Rwanda na DRC kule Angola wikendi hii, pia vijana kujituma ili kufanya kazi kujikimu kimaisha
Madu huru zilizoangaziwa na wasikilizaji wetu wiki hii
Madu huru zilizoangaziwa na wasikilizaji wetu wiki hii
Karibu ungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa tukiwa na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba akijibu maswali mbalimbali ya Wasikilizaji kutokana na mada alizofundisha katika vipindi vya nyuma, moja ya swali linalojibiwa ni Je, ni kweli wakati wa Kwaresima & Majilio hatutumii Ubani? L'articolo Je, ni kweli wakati wa Kwaresima & Majilio hatutumii Ubani? proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa tukiwa na Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba akijibu maswali mbalimbali ya Wasikilizaji kutokana na mada alizofundisha katika vipindi vya nyuma, moja ya swali linalojibiwa ni Je, Abate na Askofu nani mkubwa katika Kanisa Katoliki? L'articolo Je, Abate na Askofu nani mkubwa katika Kanisa Katoliki? proviene da Radio Maria.
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.
Marekani imetangaza usitishwaji vita wa saa 72, uliokubaliwa na pande zinazopigana mashariki mwa DRC.Ukumbuke kuwa Novemba mwaka jana makubaliano mengine ya kusitisha mapigano yalipitishwa kati ya waasi wa M23 na wanajeshi wa FARDC.Wasikilizaji wetu wanawaza nini kuhusu usitishaji wa vita hivi punde,je utadumu? Hebu sikiliza
Marekani imetangaza usitishwaji vita wa saa 72, uliokubaliwa na pande zinazopigana mashariki mwa DRC.Ukumbuke kuwa Novemba mwaka jana makubaliano mengine ya kusitisha mapigano yalipitishwa kati ya waasi wa M23 na wanajeshi wa FARDC.Wasikilizaji wetu wanawaza nini kuhusu usitishaji wa vita hivi punde,je utadumu? Hebu sikiliza
Ni mada huru ambapo wasikilizaji wetu kutoka kila kona ya dunia wamezungumzia kuhusu habari mbali mbali walizosikia katika matangazo yetu ya juma hili.
Ni mada huru ambapo wasikilizaji wetu kutoka kila kona ya dunia wamezungumzia kuhusu habari mbali mbali walizosikia katika matangazo yetu ya juma hili.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Katika Siku ya Redio Duniani mwaka huu wa 2023, UNESCO inaangazia redio huru kama nguzo ya kujenga amani na kuzuia migogoro. Redio inatazamwa kama chombo muhimu na sehemu muhimu ya kutunza amani. Redio hushughulikia visababishi na vichochezi vya migogoro, kabla hazijaweza kulipuka na kuwa vurugu. Inatoa mbinu mbadala ya kuzuia migogoro, au migongano ya maslahi, kuondoa kutoelewana, na kutambua masuala ya kutoaminiana. Hii inaweza kusaidia kukabiliana na chuki, hamu ya kulipiza kisasi, au nia ya kutumia silaha. Na sasa hii leo dunia ikiadhimisha siku hii ya Redio Duniani, mwandishi wetu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Byobe Malenga anaangazia Redio Ngoma ya Amani, kituo cha redio cha mjini Fizi jimboni Kivu Kusini kinachohamasisha amani hususani katika maeneo ya mashariki mwa DRC.
Burkinafaso imeshuhudia mapinduzi ya kijeshi mara mbili mfululizo kwa kipindi kisichozidi mwaka mmoja, na kushuhudia kiongozi wa kijeshi Paul Henri Damiba akipinduliwa.Unafkiri mapinduzi haya ya kijeshi yanauwa demokrasia katika nchi za Afrika Magharibi ?Nini mchango wa jumuiya ya kimataifa katika kukomesha matukio kama haya ya mapinduzi ?
Burkinafaso imeshuhudia mapinduzi ya kijeshi mara mbili mfululizo kwa kipindi kisichozidi mwaka mmoja, na kushuhudia kiongozi wa kijeshi Paul Henri Damiba akipinduliwa.Unafkiri mapinduzi haya ya kijeshi yanauwa demokrasia katika nchi za Afrika Magharibi ?Nini mchango wa jumuiya ya kimataifa katika kukomesha matukio kama haya ya mapinduzi ?
Karibu kujiunga na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka katika makala hii inayosisimua na kukuletea uhondo wa muziki wa kizazi kipya; nafasi kwako msikilizaji kuuomba wimbo unaoupenda. Karibu pata vionjo.
Karibu kujiunga na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka katika makala hii inayosisimua na kukuletea uhondo wa muziki wa kizazi kipya; nafasi kwako msikilizaji kuuomba wimbo unaoupenda. Karibu pata vionjo.
Msikilizaji unapata nafasi ya kusikiliza kibao cha muziki ulichokiomba kwenye makala haya kila Ijumaa.Karibu sana.
Msikilizaji unapata nafasi ya kusikiliza kibao cha muziki ulichokiomba kwenye makala haya kila Ijumaa.Karibu sana.
Huu ni mchanganyiko wa nyimbo mbali mbali kutoka kwa wasikilizaji wa RFI Kiswahili kutoka kila kona ya dunia. Tukiwakaribisha wasikilizaji wetu kutoa ombi la wimbo wangependa uchezwe mitamboni
Huu ni mchanganyiko wa nyimbo mbali mbali kutoka kwa wasikilizaji wa RFI Kiswahili kutoka kila kona ya dunia. Tukiwakaribisha wasikilizaji wetu kutoa ombi la wimbo wangependa uchezwe mitamboni
Makala haya ya Muziki Ijumaa Juma hili, Ali Bilali amekukusanyia chaguo la muziki kutoka kwa waskilizaji wa RFI Kiswahili. Burudika nasi usikosi pia kutufollow kwa Instagram kwa kuandika @billy_bilali https://www.instagram.com/billy_bilali/@billy_bilali
Makala haya ya Muziki Ijumaa Juma hili, Ali Bilali amekukusanyia chaguo la muziki kutoka kwa waskilizaji wa RFI Kiswahili. Burudika nasi usikosi pia kutufollow kwa Instagram kwa kuandika @billy_bilali https://www.instagram.com/billy_bilali/@billy_bilali
Wakati waziri mkuu wa DRC Jean Michel Sama Lukonde akitangaza kuwa serikali yake imeruhusu kwamba sasa wakaazi waliokimbia makazi yao wanaweza kurejelea nyumba zao katika mji wa Goma baada ya kukimbia mji huo kufuatia mlipuko wa mlima wa moto wa Volkano Nyiragongo; mashirika ya kibinadamu likiwemo shirika la ulinzi wa raia pamoja na madaktari wa dunia, MDM huko Goma wamejibu baadhi ya maswali ya wasikilizaji wetu Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kusikiliza zaidi
Kila ijumaa tunakupa nafasi ya kujieleza katika makala ya Habari rafiki na wengi baadhi yenu mmezungumzia kuhusu kwa nini mauaji yanaendelea mashariki mwa jamhuri a kidemokrasia ya Congo huku Mkiitaka serikali kuchukua hatua ili kumaliza na kuyatokomeza makundi ya waasi mashariki mwa nchi hiyo.
Ungana na Steven Mumbi katika Makala haya akizungumza na Wasikilizaji wa Rfi Kiswahili kuhusu kurejea DRC Kwa Makamu wa zamani wa Rais wa nchi hiyo Jean-Pierre Bemba.
Ungana na Steven Mumbi akizungumza na Wasikilizaji kupata mitizamo yao baada ya Tume ya Uchaguzi nchini Nigeria kutangaza matokeo ya awali huku Mgombea wa Upinzani PDP akipinga nako Nchini Senegal Mgombea wa chama Tawala ajitangaza Mshindi.
Endapo kuna jambo usilolijua, ni bora kuuliza. Mwalimu anajibu maswali yaliyoletwa na wasikilizaji wa Radio D kuhusu matukio yaliyopita. Wasikilizaji wanauliza na mwalimu anajibu kila swali kwa kina. Hii ni fursa nzuri kwa wasikilizaji kutafakari taarifa, kupanua ufahamu wao au kuuliza lolote ambalo tangu hapo walinuia kuuliza. Sikiliza maswali haya ya wasikilizaji na majibu ya mwalimu kwa kila swali. Je kiwakilishi gani kinafaa kutumika na kitumike katika hali gani? Wakati gani nitatumia "du" au "Sie"? Wakati gani ninapaswa kutumia jina la kuzaliwa au jina la ukoo? Nini maana ya vishirikishi kama vile "denn", "doch", na "eigentlich"? Nini tofauti kati ya "nicht" na "nichts"?
Paula na Philipp wanawataka wasikilizaji kutoa maoni yao. Mada ya kipindi ni, "Je kusema uongo ni dhambi?" Wasikilizaji wanaweza kutoa maoni yao kuhusu maduara bandia ya mimea na tabia ya wakulima. "Je kusema uongo ni dhambi?" Paula na Philipp wanawauliza wasikilizaji. Swali hilo limetokana na matukio kwenye shamba la mahindi ambayo waandishi habari hao waliyatangaza. Je wakulima walaumiwe kwa vitendo vyao au watalii wanapaswa kujilaumu wenyewe kwa ujinga wao? Wasikilizaji wanaeleza mambo kinagaubaga. Tofauti na waandishi habari ambao wanauliza wasikilizaji maswali ya kujibu "ndiyo" au "la", mwalimu anatoa jukumu lenye uwezekano wa kushughulikiwa kwa jinsi tatu. Nomino za kijerumani zimo katika jinsia tatu: jinsia ya kiume, jinsia ya kike au bila jinsia. Haya yameelezwa katika tukio hilo pamoja na matumizi ya vidhihirisho "der," "die" na "das."