POPULARITY
Sinopse: Em 2013 um grupo de estudantes foi até os montes Urais na Rússia tentar descobrir o que aconteceu com os 9 montanhistas que morreram em 1959, deixando o local conhecido como Dyatlov Pass.O objetivo desse episódio é analisar o filme e também tentar traçar um paralelo da história real com esse filme, será que eles exploram bem o mistério? >>>> Filme disponível na Prime Vídeo
Nchini Gabon, kiongozi wa kijeshi jenerali Brice Oligui Nguema ametangaza kuwa atagombea urais katika uchaguzi wa mwezi ujao, baada ya kutwaa madaraka kupitia mapinduzi ya kijeshi ya 2023.Hili linajiri wakati huu viongozi wengine wa kijeshi kwenye nchi za Burkina Faso, Mali na Niger wakielekea kuchukua mkondo huo.
Nchini Gabon, kiongozi wa kijeshi jenerali Brice Oligui Nguema ametangaza kuwa atagombea urais katika uchaguzi wa mwezi ujao, baada ya kutwaa madaraka kupitia mapinduzi ya kijeshi ya 2023.Hili linajiri wakati huu viongozi wengine wa kijeshi kwenye nchi za Burkina Faso, Mali na Niger wakielekea kuchukua mkondo huo.
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameteuliwa kwa kauli moja na wajumbe wa chama cha mapinduzi CCM kupeperusha bendera ya chama hicho wakati wa uchaguzi mkuu mwezi Oktoba. Tunachambua hatua hii.
Tuliyokuandalia ni pamoja na uchaguzi wa shirikisho la soka nchini Kenya FKF, raundi ya pili ya klabu bingwa Afrika na raga ya wachezaji saba kila upande duniani, fainali za kombe la mataifa ya Afrika mchezo wa handboli kwa kina dada, debi la Rwanda, mechi za kufuzu ligi ya Afrika basketboli mwaka ujao, droo ya makundi michuano ya klabu bingwa duniani mwaka ujao nchini Marekani mwaka 2026.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Tuliyokuandalia ni pamoja na taarifa ya Rais wa CAF Patrice Motsepe kuwania tena urais muhula wa pili, hukumu ya CAF katika mechi ya Nigeria dhidi ya Libya, yaliyotukia kwenye ziara ya rais wa Olimpiki ya kimataifa nchini Kenya na Kongamano la tatu la kibiashara la soka Afrika, uchambuzi wa michuano ya Kombe la Dunia la kina dada U17, Senegal ikihifadhi ubingwa wa Afrika soka ya ufukweni, michuano ya ndondi Afrika jijini Kinshasa, PSG kumlipa Mbappe €55M na uchambuzi wa El Clasico leo usiku.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Brazil UFO Talks O editor do canal Brazil UFO Clayton Feltran, trará para um bate-papo descontraído convidados amigos do canal que têm a ufologia em seu DNA. Últimas notícias Notícias sobre avistamentos e fenômenos anômalos ocorridos no Brasil e no mundo. ___________________ Envie seu áudio, fotos e vídeos para: WhatsApp Brazil UFO +55 11 98436-3637 _________________ Doação ao canal Brazil UFO https://streamelements.com/brazilufo/tip O INCIDENTE DO PASSO DIATLOV Neste programa de domingo receberemos o pesquisador e ufólogo Jackson Camargo, para falarmos sobre o Incidente do Passo Dyatlov. Este incidente foi um acontecimento que resultou na morte de nove esquiadores ao norte dos montes Urais, na antiga União Soviética, na noite de 2 de fevereiro de 1959. Aconteceu na costa leste da montanha Kholat Syakhl, cujo nome em mansi significa "Montanha dos Mortos". Desde então, o passo de montanha onde o incidente ocorreu é chamado de Passo Dyatlov, baseado no nome do líder do grupo, Igor Dyatlov. E pra você, este incidente poderia ter sido causado pelo Fenômeno UFO? Você não pode perder o programa! Ao Vivo a partir das 20h15. Brazil UFO Talks Com Clayton Feltran, Eder Pereira, Ricardo Chaves e Jackson Camargo. ::: LOJA BRAZIL UFO - PRODUTOS ORIGINAIS BRAZIL UFO ::: https://lojabrazilufo.com/ Faça parte do Eu apoio o Brazil UFO Seja um apoiador do Brazil UFO e nos ajude a trazer conteúdos de qualidade a todos os amigos do canal. Sua ajuda fará toda a diferença. Acesse o site: https://apoia.se/brazilufo e seja um apoiador do canal. Se preferir você pode ajudar via PIX: brazil.ufo.sp@gmail.com https://brazilufo.com #brazilufo #brazilufotalks
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Juhudi zinazoendelezwa na Naibu Rais Rigathi Gachagua kusukuma ajenda za eneo la Mlima Kenya zinahujumu azma ya tiketi ya Urais kuwa nembo ya umoja wa nchi nzima na sio eneo moja. Naibu Rais anafaa kuhudumia nchi nzima na sio kujikita tu katika eneo anakotoka.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Há décadas, o local chamado hoje de “Passo Dyatlov” nas montanhas Urais tem instigado teóricos e investigadores, desafiando explicações convencionais e gerando cada vez mais dúvidas. Na parte 3 e final desta mini-série de episódios, exploraremos algumas das teorias mais fascinantes que cercam a enigmática expedição de Igor Dyatlov e seu grupo de esquiadores. Produção: Crimes e Mistérios Brasil Narração: Tatiana Daignault Edição: Tatiana Daignault Pesquisa e Roteiro: Tatiana Daignault Fotos e fontes sobre o caso você encontra aqui O Café Crime e Chocolate é um podcast brasileiro que conta casos de crimes reais acontecidos no mundo inteiro com pesquisas detalhadas, narrado com respeito e foco nas vítimas. Não esqueça de se inscrever no podcast pela sua plataforma preferida, assim você não perde nenhum episódio. Siga-nos também em nossas redes sociais: Instagram Facebook Twitter
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
.
Nchini DRC muungano wa kisiasa wa chama tawala Sacred Union umemteua rais Felix Tshisekedi , kuwania tena kiti cha urais kwenye uchaguzi wa mwezi Disemba, ambapo atapambana tena na mpinzani Martin Fayulu, Moise Katumbi na mshindi wa tunzo ya mani ya Nobele daktari Denis Mukwege miongoni mwa wagombea wengine. Unazungumziaje hatua Denis Mukwege kuwania Urais.Je unafikiri DRC imejitarisha vilivyo kwa uchaguzi huu ?Haya hapa baadhi ya maoni yako.
Nchini DRC muungano wa kisiasa wa chama tawala Sacred Union umemteua rais Felix Tshisekedi , kuwania tena kiti cha urais kwenye uchaguzi wa mwezi Disemba, ambapo atapambana tena na mpinzani Martin Fayulu, Moise Katumbi na mshindi wa tunzo ya mani ya Nobele daktari Denis Mukwege miongoni mwa wagombea wengine. Unazungumziaje hatua Denis Mukwege kuwania Urais.Je unafikiri DRC imejitarisha vilivyo kwa uchaguzi huu ?Haya hapa baadhi ya maoni yako.
Tshisekedi na Fayulu kupambana tena katika uchaguzi wa rais wa DRC hapo Disemba 20, 2023 huku Dkt Dennis Mukwege akijitosa uwanjani
Kiongozi wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Martin Fayulu, Jumamosi alithibitisha kugombea urais kwenye uchaguzi wa tarehe 20 Disemba 2023.
The Dodgers swept Colorado as Urais and Gonsolin continue to improve. Is this Dave Roberts' best managing job ever? James Harden says that Daryl Morey is a liar and he will never play for another organization that he is involved with.
Rais Macky Sally kinyume na matarajio ya wengi ,ametangaza hatowania urais kwenye uchaguzi ujao .Katiba ya Senegal inamruhusu rais kuongoza kwa mihula miwili
Rais Macky Sally kinyume na matarajio ya wengi ,ametangaza hatowania urais kwenye uchaguzi ujao .Katiba ya Senegal inamruhusu rais kuongoza kwa mihula miwili
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Jenerali Muhoozi atangaza rasmi kuwania urais Uganda, vipi hatma ya Baba yake Museveni? Atampindua?
Em fevereiro de 1959, na União Soviética, um grupo de 9 alpinistas inicia uma jornada ao cume dos montes Urais, porem algo da muito errado logo no início da expedição resultando em morte de todos os integrantes e as causas permanecem um grande mistério.
O Passo Dyatlov, também conhecido como Incidente Dyatlov, é um dos casos mais famosos de mistério e conspiração da história russa. O incidente ocorreu em 1959, quando um grupo de nove caminhantes experientes, liderados por Igor Dyatlov, se aventurou em uma trilha nas montanhas Urais, na Rússia. Site: www.casosreaispodcast.com.br Contato comercial: blogerikamiranda@gmail.com Youtube: https://www.youtube.com/c/%C3%89rikaMiranda21 Instagram: @casosreaisoficial @erikamirandas --- Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/casos-reais/support
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Wakati kura zikiwa hazijamalizika kuhesabiwa za uchaguzi wa bunge wa katikati ya muhula wa Marekani wa 2022, rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump ametangaza nia ya kugombea urais kwa mara nyingine kupitia chama cha Republikan katika uchaguzi wa 2024.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
TRIGÉSIMO SEGUNDO EPISÓDIO DO AGENTES DO TAROT! Convidado especial: Demetrio Aristeus (@ocronocrata) Incidente do Passo Dyatlov foi um acontecimento que resultou na morte de nove esquiadores ao norte dos montes Urais, na antiga União Soviética, na noite de 2 de fevereiro de 1959. O incidente aconteceu na costa leste da montanha Kholat Syakhl (Холат Сяхл), cujo nome em mansi significa "Montanha dos Mortos". Desde então, o passo de montanha onde o incidente ocorreu é chamado de Passo Dyatlov (Перевал Дятлова), baseado no nome do líder do grupo, Igor Dyatlov. A ausência de testemunhas e as investigações subsequentes acerca da morte dos esquiadores inspiraram intensas especulações. Vem com a gente desvendar os mistérios deste caso incrível!
Karibu kwenye Makala yetu Habari Rafiki, Juma hili utakuwa naye Billy Bilali na leo tunazungumzia kuhusu hatuwa ya Rais wa Guinea Ekweta, Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, juma lililopita alitangaza kuwa atawania tena urais katika uchaguzi wa Novemba licha ya umri wake na kuongoza nchi hiyo kwa kipindi cha miaka 43.Unamtazamo gani kuhusu uamuzi huu?Nini kifanyike kubadilisha mwenendo kama huu?Hali ikoje nchini mwako?
Karibu kwenye Makala yetu Habari Rafiki, Juma hili utakuwa naye Billy Bilali na leo tunazungumzia kuhusu hatuwa ya Rais wa Guinea Ekweta, Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, juma lililopita alitangaza kuwa atawania tena urais katika uchaguzi wa Novemba licha ya umri wake na kuongoza nchi hiyo kwa kipindi cha miaka 43.Unamtazamo gani kuhusu uamuzi huu?Nini kifanyike kubadilisha mwenendo kama huu?Hali ikoje nchini mwako?
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Mahakama ya Juu nchini Kenya imeamuru kuhesabiwa upya kwa kura za urais katika vituo 15 kote nchini humo, zoezi ambalo limepangwa kuanza mchana wa siku ya Jumanne, Agosti 30, 2022 na litachukua saa 48 kuhakiki kura hizo.
Kwenye Livetalk wiki hii tunajadili masuala mbalimbali, yakiwa ni pamoja na kesi iliyowasilishwa mahakamani nchini Kenya, kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais, Uchaguzi mkuu nchini Angola, shughuli za kuhesabu watu nchini Tanzania na Rwanda, na kusamehewa kwa mikopoiya wanafunzi wa Marekani.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Tume ya uhaguzi IEBC ina mda wa hadi siku 7 kutoka siku ya Uchaguzi kutangaza matokeo ya urais
Aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinda na naibu rais William Ruto wanaonekana kuwa kwenye ushindani mkali , wakati baadhi ya washindi wa viti vingine vya ubunge na kaunti tayari wakianza kusherehekea
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Decision 2022| Uchaguzi wa Urais, 2022 --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app Support this podcast: https://anchor.fm/patrick-nhigula/support
Wagombea urais nchini Kenya, wameshiriki mdahalo wa Urais kuelekea uchaguzi wa mwezi ujao tarehe 9, huku wagombea wawili akiwemo William Ruto wakishiriki naye waziri mkuu wa zamani Raila Odinga akisusia mdahalo huo. Je, unafikiri mjadala huu utabadilisha mawazo ya Wakenya kuelekea uchaguzi wa mwezi ujao? Haya hapa baadhi ya maoni yenu.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Wagombea urais nchini Kenya, wameshiriki mdahalo wa Urais kuelekea uchaguzi wa mwezi ujao tarehe 9, huku wagombea wawili akiwemo William Ruto wakishiriki naye waziri mkuu wa zamani Raila Odinga akisusia mdahalo huo. Je, unafikiri mjadala huu utabadilisha mawazo ya Wakenya kuelekea uchaguzi wa mwezi ujao? Haya hapa baadhi ya maoni yenu.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Wawakilishi wa Wagombea Urais nchini Kenya waenda Ugiriki kukagua uchapishaji wa karatasi za kupigia kura za urais na kampuni ya uchapishaji ya Inform Lykos, ambayo imepewa kandarasi na tume ya uchaguzi ya Kenya IEBC kufanya uchapishaji wa karatasi za kupigia kura.
Makala hii imeangazia mazishi ya mabaki ya shujaa wa uhuru wa DRC Patrice Lumumba yaliyofanyika jijini Kinshasa, huku nchi hiyo ikiadhimisha kumbukumbu ya miaka 62 ya uhuru kutoka kwa mkoloni wake wa zamani Ubelgiji, kiongozi wa muungano wa Kenya kwanza William Ruto wiki hii alizindua ilani ya muungano huo, ambapo pia kiongozi wa chama cha Roots Profesa George Wajakoyah, zimeangaziwa pia siasa za baadhi ya Nchi za Afrika magharibi, na kwengineko duniani.
IEBC iliwaidhinisha wagombea hao kufuatia masharti magumu iliyoyaweka kama vigezo vinavyostahili kufuatwa na wagombea. Walioidhinishwa ni Naibu Rais William Ruto, Raila Odinga, David Mwaure na George Wajackoyah
Baadhi ya wagombea huru wanasema kwamba baadhi ya masharti kama vile kukusanya idadi fulani ya saini kutoka kwa wafuasi wao ni suala lisilowezekana , huku baadhi wakida kwamba tume ya IEBC ina njama ya kuwafungia nje ya uchaguzi wa Agosti 9. Kuna wale ambao tayari wametishia kwenda mahakamani.
Mgombea wa Urais nchini Kenya Raila Odinga ,amemteua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake kuelekea uchaguzi mkuu wa urais Agosti tisa. Unadhani ni kwa nini swala la ugombea wenza linafanywa kwa umakini sana? Haya hapa baadhi baadhi ya maoni yako.
Mgombea wa Urais nchini Kenya Raila Odinga ,amemteua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake kuelekea uchaguzi mkuu wa urais Agosti tisa. Unadhani ni kwa nini swala la ugombea wenza linafanywa kwa umakini sana? Haya hapa baadhi baadhi ya maoni yako.
Muungano wa Azimio la Umoja Kenya Moja Jumatano ulitangaza kwamba mchakato uliokuwa uanze wa kuwahoji wawaniaji wa nafasi ya naibu wa rais umesitishwa baada ya utata kuhusu mchakato huo kuibuka.
Wagombea 47 wameidhinishwa Kenya kuwania urais kama wagombea binafsi kwenye kinyang'anyiro cha mwezi Agosti mwaka huu, hata pale ambapo vyama vikubwa vya siasa vikizusha vita dhidi ya wanasiasa wanaosimama peke yao gazeti la Daily nation limeripoti.
Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini Kenya (IEBC) baada ya kukutana Jumanne na vyama vya siasa vitakavyoshiriki uchaguzi wa Agosti 9, imetangaza kwamba wanaowania urais watakiwa kuwasilisha majina ya wagombea wenza kwa tume hiyo ifikapo tarehe 16 Mei.
Makundi mbalimbali yameibuka Kenya kuwapigia debe watu - hususan wa jinsia ya kije -ambao wanasema wana uwezo mkubwa wa kuwa naibu rais na kuwataka wagombea urais kuwateua.
Aliyekuwa mshambuliaji wa timu ya taifa ya soka ya Cote D'voire Didier Drogba, ni miongoni mwa wagombe sita wanaotafuta nafasi ya kuwania urais wa Shirikisho la soka nchini mwake. Tunachambua hili na mengine mengi.
Olá terráqueos! O ano é 1959, um grupo formado por nove estudantes e um instrutor do Instituto Politécnico de Ural em Yekaterimburgo saiu para uma expedição de esqui nos montes Urais, na Rússia (antiga URSS). O que acontece a seguir é uma mistério que persiste até hoje. Venha bater um papo conosco sobre esse caso simplesmente misterioso! Quer montar sua loja 100% online? Conheça a Montink https://admin.montink.com.br/afiliado/dis5y.htm https://www.ufologiadequintal.com.br/ (Lujinha) https://linktr.ee/ufologiadequintal Créditos Edição nóix mermo https://www.vigilia.com.br Music by Karl Casey @ White Bat Audio Scott Holmes Music CHAVE PIX UOPECAN CASCAVEL 81.270.548/0001-53 e-mail ix.tmkt@uopeccan.org.br http://recantodacrianca.com/home https://pequenoprincipe.org.br/pacientes-e-familiares/humanizacao/voluntariado/doacoes/ https://www.apaebrasil.org.br/doacao https://www.msf.org.br/ --- Send in a voice message: https://anchor.fm/centro-de-pesquisas-ufolg/message
Makala hii imeangazia hatua ya kukamatwa kwa Bwana Francois Beya, mshauri wake rais wa DRC Felix Tshisekedi katika masuala ya usalama, mbio za uchaguzi mkuu nchini Kenya, lakini pia kufunguliwa kwa magazeti manne yaliyokuwa yamezuwiwa huko Tanzania, likiwemo gazeti la Upinzani la Tanzania Daima pamoja na matukio mengine kadhaa ya juma hili duniani. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kupata mengi zaidi.
Makala hii imeangazia makubaliano kati ya Uganda na DRC kupambana na waasi wa ADF mashariki ya DRC, huko Kenya waziri mkuu wa zamani na kiongozi wa ODM Raila Odinga atangaza kuwania kiti cha rais katika uchaguzi wa mwakani, na matukio mengine mengi ya juma hili kwenye ukanda wa Afrika mashariki na kati pia kwengineko duniani.
Nchini Kenya, wanasiasa wanaendelea kunadi sera zao, kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka 2022. Miongoni mwa wanasiasa hao ni Raila Odinga na William Ruto. Tunachambua.
Podcasts de Ecologia/Composições musicais/Natureza Ecology Podcasts/Musical Compositions/Nature
Em apenas dez anos de pesquisa, as células solares de perovskitas tornaram-se competitivas em termos de eficiência. Atualmente, sabe-se que a sua capacidade de converter luz em eletricidade é maior ainda quando elas são empilhadas em cima de células solares de silício, formando uma junção de dispositivos chamada “tandem”. Contudo, esses bons resultados correspondem geralmente a dispositivos pequenos, usados para pesquisa em laboratório. Conseguir produzir grandes áreas de perovskitas sem prejudicar a eficiência ainda é um desafio. A perovskita propriamente dita é um óxido de cálcio e titânio3. Foi descoberta nos montes Urais, na Rússia, em 1839. E recebeu esse nome em homenagem ao mineralogista russo Lev Perovski (1792-1856), ministro do Czar Nicolau I. Para se obter perovskitas pelo método de gas quenching, o primeiro passo consiste em depositar, sobre um suporte, uma solução contendo os compostos precursores da perovskita. Quando o solvente evapora, o material cristaliza e forma a organizada estrutura própria das perovskitas. Na preparação das soluções iniciais, a equipe de pesquisadores utilizou dois solventes diferentes combinados com diversos precursores e observou que cada combinação leva a um caminho único de formação de intermediários, o que impacta na morfologia e nas propriedades finais da perovskita, bem como na sua eficiência dentro das células solares. Study paves the way for the development of more efficient solar cells. In just ten years of research, perovskite solar cells have become competitive in terms of efficiency. Currently, it is known that their ability to convert light into electricity is even greater when they are stacked on top of silicon solar cells, forming a junction of devices called “tandem”. However, these good results generally correspond to small devices, used for laboratory research. Managing to produce large areas of perovskite without impairing efficiency is still a challenge. Perovskite itself is a calcium and titanium oxide3. It was discovered in the Ural Mountains in Russia in 1839. It was named after the Russian mineralogist Lev Perovski (1792-1856), Minister of Czar Nicholas I. To obtain perovskites by the gas quenching method, the first step is to deposit, on a support, a solution containing the precursor compounds of perovskite. When the solvent evaporates, the material crystallizes and forms the organized perovskite structure. However, before this happens, several compounds with different structures (so-called “intermediates”) are formed momentarily. In the preparation of the initial solutions, the research team used two different solvents combined with different precursors and observed that each combination leads to a unique path of formation of intermediates, which impacts on the morphology and final properties of perovskite, as well as on its efficiency inside the solar cells. In addition to providing valuable information on the formation of perovskites by gas quenching, the results of the research help in choosing the best solvent to obtain better perovskite films for solar cells, including those of the tandem type. Fonte/Source (créditos): O artigo Revealing the Perovskite Film Formation Using the Gas Quenching Method by In Situ GIWAXS: Morphology, Properties, and Device Performance, de Rodrigo Szostak, Sandy Sanchez, Paulo E. Marchezi, Adriano S. Marques, Jeann C. Silva, Matheus S. Holanda, Anders Hagfeldt, Hélio C. N. Tolentino e Ana F. Nogueira, pode ser lido em: https://onlinelibrary.wiley.com/doi/abs/10.1002/adfm.202007473 https://agencia.fapesp.br/estudo-abre-caminho-para-o-desenvolvimento-de-celulas-solares-mais-eficientes/34734/ --- Send in a voice message: https://anchor.fm/multimidiavillage/message
Jasusi Apiga Stori Na WAKAZI: Ubunge 2020, Hali Ya Bongofleva, Kifo cha JPM, Urais wa Mama SAMIA, nk Get full access to Barua Ya Chahali at www.baruayachahali.com/subscribe
Jasusi Apiga Stori Na WAKAZI: Ubunge 2020, Hali Ya Bongofleva, Kifo cha JPM, Urais wa Mama SAMIA, nk
Urais Wa Mama Samia: Makundi 11 Yanayoweza Kumsumbua, Aweza Kukumbwa Na Yaliyomsibu Mwinyi 1985-1995
Urais Wa Mama Samia: Makundi 11 Yanayoweza Kumsumbua, Aweza Kukumbwa Na Yaliyomsibu Mwinyi 1985-1995 Get full access to Barua Ya Chahali at www.baruayachahali.com/subscribe
Uchambuzi Mfupi Wa Kijasusi Kuhusu Samia Kuapishwa Urais Huku Wengi Wakimlaumu Kwa Kutovaa Barakoa. Get full access to Barua Ya Chahali at www.baruayachahali.com/subscribe
Uchambuzi Mfupi Wa Kijasusi Kuhusu Samia Kuapishwa Urais Huku Wengi Wakimlaumu Kwa Kutovaa Barakoa.
Wakati taifa la Tanzania likiwa kwenye maandalizi ya uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu 2020, huku ikishuhudiwa muamko mkubwa wa wasanii na watu maarufu wakijitokeza kuchukua fomu kwaajili ya kuhitaji ridhaa ya kugombea nafasi mbalimbali. Nchini Marekani msanii Kanye West amejitoa kwenye mbio hizo za kugombea nafasi ya Urais. Rapa Kanye West alitangaza azma yake ya kugombea nafasi ya Urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu ndani ya Marekani, huku akiwa anajaribu kushindana na Donald Trump ambae alikua ni rafiki yake kwenye harakati za kumsaidia kumfanyia kampeni wakati anataka kuingia White House. Taarifa za Kanye West kujiondoa kwenye mbio hizo zimetolewa na watu wa karibu sana ambao walikuwa kwenye kamati yake ya kampeni. Taarifa zinasema timu ya Kanye West tayari ilikuwa imeshaingia kwenye majimbo ya Florida na Carolina Kwaajili ya kuanza kuwaandaa baadhi ya wanahabari ili kujitengenezea mazingira mazuri kwenye kampeni yao, jambo ambalo lilihitaji mawakili wengi kushiriki na kuliunga mkono. Kwenye taarifa hiyo, wanasema watu wengi walijitokeza kumuunga mkono rapa Kanye West na kusaini, namba ilikua kubwa mpaka ikatuzidi huku watu wengi waliamua sio tu kusimamia mikataba yao lakini walijitolea pia. Lakini baadae kidogo baada ya chanzo hicho kuulizwa kuhusu maendeleo ya timu ya kampeni ya Kanye, Jibu lilikua ni "Amejitoa" Pindi alipoulizwa zaidi kuhusu mwisho wa mbio za kugombea urais za Kanye West akajibu "Nitawafahamisha ninachojua mara moja"
Chama tawala cha Burundi CNDD/FDD, kime mchagua Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye, kupeperusha bendera yao katika uchaguzi wa urais ujao.
Ungana na Steven Mumbi akizungumza na Wasikilizaji kupata mitizamo yao baada ya Tume ya Uchaguzi nchini Nigeria kutangaza matokeo ya awali huku Mgombea wa Upinzani PDP akipinga nako Nchini Senegal Mgombea wa chama Tawala ajitangaza Mshindi.
Enfraquecido após a queda do Muro de Berlim e da dissolução da URSS, o futebol de leste é, ainda assim, historicamente forte. Seja nos Balcãs, ou para lá dos Urais, a ligação portuguesa a jogadores de leste é grande e muitos foram os que passaram com sucesso por Portugal. Para falar do tema, convidámos o maior especialista em língua portuguesa sobre futebol de leste - Joel Amorim (no twitter como @Vostok1981). Pelo meio, entre o Fragoso e o Barbosa, tempo para falar do Defensa y Justicia, do Famalicão, de Bielsa, do Wolves, do golo de Seferovic e da Académica de João Alves. Para terminar, um baú especial, que mete noruegueses e búlgaros ao barulho, no programa mais periférico até à data. - O Matraquilhos (@Matraquilhos) é uma produção da Oficina do Podcast (pedro@oficinadopodcast.com). Tem a condução e guiões de Pedro Fragoso (@PF_Fragoso) e os comentários são do Pedro Barbosa (@olhaobarbosa).
As one opposition candidate awaits to be sworn as the new president of DR Congo, the other candidate has lodged a case with the constitutional court demanding it orders a recount of the presidential election votes in which he was denied his rightful victory. - Mgombea mmoja wa upinzani anasubiri kuapishwa kuwa rais mpya wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), mgombea mwenza wa upinzani amewasilisha kesi katika mahakama yaki katiba, akitaka kura za urais ambazo zilimnyima fursa yakuwa rais zihesabiwe upya.
Voters and candidates campaigning for the postponed presidential election in DR Congo, have begun expressing their suspicion about the elections which will now be held on 30 December 2018. - Wapiga kura na wagombea wa uchaguzi wa urais wa DR Congo, wame anza kuelezea wasi wasi wao kuhusu usalama wa kura katika uchaguzi wa urais utakao fanywa tarehe 30 Disemba 2018.
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi CENI nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo DRC, Corneille Nangaa ametangaza majina ya wagombea urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Disemba 23 mwaka huu huku wanasiasa wa upinzani Jean Pierre Bemba na mwenzake Moise Katumbi wakikosa nafasi ya kugombea kutokana na sababu mbalimbali. Je unataka kujua nguvu ya upinzani inasimama katika nafasi gani? Ungana na Victor Robert Wile katika Makala haya ya Wimbi la Siasa.
Majina ya wagombea Urais ya awali yametangazwa huku Jean Pierre Bemba akienguliwa na yeye kuapa kukata rufaa kugai haki yake wakati Tume huru ya Uchaguzi CENI ikidai hawezi kugombea kutokana na kesi yake katika mahakama ya ICC. Je unafikiri hali itakuaje na nini hatima ya kiongozi huyo wa upinzani? Ungana na Victor Robert Wile katika Makala ya Wimbi la Siasa kupata undani wa suala hilo.
Kuna dalili kuwa rais Joseph Kabila wa DRC anapanga kuibadilisha Katiba ili kuwania urais kwa muhula wa tatu. Mabango ya picha ya rais Kabila, yaliyo na maandishi "Huyu ndio mgombea wetu" yameonekana jijini Kinshasa. Hii inamaanisha nini ? Tunajadili.
Após a estranha morte de três esquiadores nos montes Urais, uma equipe de resgate Russa encontra um gravador que contém os momentos finais da vida desses jovens. OUÇA O PRÓXIMO EPISÓDIO: Incidente do Passo Dyatlov EP 02: http://bit.ly/2hXhDQH SEJA UM APOIADOR: Ajude o RdM a produzir mais conteúdo e ganhe recompensas exclusivas! Acesse: https://apoia.se/rdm ELENCO: Luda: Sabrina [...] O post Incidente do Passo Dyatlov EP 01 apareceu primeiro em República do Medo.
Após a estranha morte de três esquiadores nos montes Urais, uma equipe de resgate Russa encontra um gravador que contém os momentos finais da vida desses jovens. OUÇA O PRÓXIMO EPISÓDIO: Incidente do Passo Dyatlov EP 03: http://bit.ly/2ApqTnG SEJA UM APOIADOR: Ajude o RdM a produzir mais conteúdo e ganhe recompensas exclusivas! Acesse: https://apoia.se/rdm ELENCO: Luda: Sabrina [...] O post Incidente do Passo Dyatlov EP 02 apareceu primeiro em República do Medo.
Após a estranha morte de três esquiadores nos montes Urais, uma equipe de resgate Russa encontra um gravador que contém os momentos finais da vida desses jovens. OUÇA O PRÓXIMO EPISÓDIO: Incidente do Passo Dyatlov EP 04: http://bit.ly/2m8jV42 SEJA UM APOIADOR: Ajude o RdM a produzir mais conteúdo e ganhe recompensas exclusivas! Acesse: https://apoia.se/rdm ELENCO: Luda: Sabrina [...] O post Incidente do Passo Dyatlov EP 03 apareceu primeiro em República do Medo.
Após a estranha morte de três esquiadores nos montes Urais, uma equipe de resgate Russa encontra um gravador que contém os momentos finais da vida desses jovens. OUÇA O PRÓXIMO EPISÓDIO: Incidente do Passo Dyatlov EP 05 FINAL: http://bit.ly/2EU9qqk SEJA UM APOIADOR: Ajude o RdM a produzir mais conteúdo e ganhe recompensas exclusivas! Acesse: https://apoia.se/rdm ELENCO: Luda: [...] O post Incidente do Passo Dyatlov EP 04 apareceu primeiro em República do Medo.
Após a estranha morte de três esquiadores nos montes Urais, uma equipe de resgate Russa encontra um gravador que contém os momentos finais da vida desses jovens. SEJA UM APOIADOR: Ajude o RdM a produzir mais conteúdo e ganhe recompensas exclusivas! Acesse: https://apoia.se/rdm ELENCO: Luda: Sabrina Souza Sargento I: André Arruda Frans: Guilherme Capristo Coronel: Evaldo [...] O post Incidente do Passo Dyatlov EP 05 FINAL apareceu primeiro em República do Medo.
Hivi karibuni Mahakama Kuu nchini Kenya iliamua wagombea wote wanane wa urais washiriki katika uchaguzi wa marudio unaotarajiwa Oktoba 26 mwaka huu hatua ambayo imeibua maswali lukuki huku Muungano wa Upinzani NASA chini ya kinara wake Raila Odinga ukitangaza kujiondoa katika marudio.Kutokana na hali hiyo Kenya iko njia panda na kujua kwa undani mustakabali wa nchini na sheria zinasema nini? sikiliza Makala haya ya Wimbi la Siasa na Victor Robert Wile.