POPULARITY
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambayo Bi. Lucy Githinji, mkazi wa jimbo la New Jersey nchini Marekani amezungumza na idhaa hii baada ya matembezi ya hiari kwa ajili ya kuhamasisha jamii kuhusu saratani ya titi, akisema hakika dawa zinafanya kazi.Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya Kibinadamu nchini Sudan, Denise Brown amesema ni kweli wamepokea ripoti za mauaji ya baadhi ya wahudumu wa kujitolea huko El Fasher jimboni Darfur wakati huu ambapo mji huo umetwaliwa na wapiganaji wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka, (RSF).Kimbunga Melissa kimepungua nguvu baada ya kutua nchini Jamaica kama kimbunga cha kiwango cha 5, na kuvunja rekodi ya kimbunga chenye nguvu zaidi, kabla ya kuelekea kaskazini mashariki kupita Cuba hadi Bahamas, na kusababisha mafuriko makubwa, uharibifu na kukatika kwa umeme katika maeneo mbalimbali ya Karibea na Amerika ya Kati.Nchini Cameroon, kufuatia mauaji ya raia wakati wa maandamano ya kupinga kutangazwa kwa Paul Biya kuwa mshindi wa kiti cha Urais kwenye uchaguzi uliofanyika Oktoba 12, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu imeeleza wasiwasi wake juu ya ripoti za vifo hivyo.Na katika Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana za neno "SUMIA."Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Djibouti limekuwa taifa la hivi punde kuondoa rasmi kikomo cha umri wa rais , hatua inayotoa fursa kwa rais Ismail Omar Guelleh kugombea muhula wa sita katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Aprili mwaka ujao. Awali Katiba ya nchi hiyo ilikuwa inamzuia rais kugombea tena baada ya kufikisha miaka 75. Hali hii pia imeonekana kwenye mataifa kadhaa ya Afrika Mashariki kama vile Uganda. Skiza mahakala haya kuskia maoni ya waskilizaji.
Djibouti limekuwa taifa la hivi punde kuondoa rasmi kikomo cha umri wa rais , hatua inayotoa fursa kwa rais Ismail Omar Guelleh kugombea muhula wa sita katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Aprili mwaka ujao. Awali Katiba ya nchi hiyo ilikuwa inamzuia rais kugombea tena baada ya kufikisha miaka 75. Hali hii pia imeonekana kwenye mataifa kadhaa ya Afrika Mashariki kama vile Uganda. Skiza mahakala haya kuskia maoni ya waskilizaji.
Kampeni za uchaguzi mkuu nchini Uganda, uliopangwa kufanyika Januari 12, 2026, zilianza Septemba 29. Kuna wagombea wanane wa urais, akiwemo kiongozi wa muda mrefu Yoweri Museveni mwenye umri wa miaka 81, ambaye ameongoza nchi hiyo kwa miaka 39. Mpinzani wake mkuu ni Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, mwenye umri wa miaka 43. Nini kinachotarajiwa kwenye kampeni hizi ?
Kiongozi wa muda mrefu nchini Uganda Yoweri Museveni mwenye umri wa miaka 80, ameteuliwa na chama chake cha NRM, kugombea tena urais wakati wa uchaguzi mkuu uliopagwa kufanyika mapema mwaka 2026, baada ya kuwa madarakani miaka 40. Hii inamaanisha nini katika siasa za Uganda ?
Sinopse: Em 2013 um grupo de estudantes foi até os montes Urais na Rússia tentar descobrir o que aconteceu com os 9 montanhistas que morreram em 1959, deixando o local conhecido como Dyatlov Pass.O objetivo desse episódio é analisar o filme e também tentar traçar um paralelo da história real com esse filme, será que eles exploram bem o mistério? >>>> Filme disponível na Prime Vídeo
Nchini Gabon, kiongozi wa kijeshi jenerali Brice Oligui Nguema ametangaza kuwa atagombea urais katika uchaguzi wa mwezi ujao, baada ya kutwaa madaraka kupitia mapinduzi ya kijeshi ya 2023.Hili linajiri wakati huu viongozi wengine wa kijeshi kwenye nchi za Burkina Faso, Mali na Niger wakielekea kuchukua mkondo huo.
Nchini Gabon, kiongozi wa kijeshi jenerali Brice Oligui Nguema ametangaza kuwa atagombea urais katika uchaguzi wa mwezi ujao, baada ya kutwaa madaraka kupitia mapinduzi ya kijeshi ya 2023.Hili linajiri wakati huu viongozi wengine wa kijeshi kwenye nchi za Burkina Faso, Mali na Niger wakielekea kuchukua mkondo huo.
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameteuliwa kwa kauli moja na wajumbe wa chama cha mapinduzi CCM kupeperusha bendera ya chama hicho wakati wa uchaguzi mkuu mwezi Oktoba. Tunachambua hatua hii.
Tuliyokuandalia ni pamoja na uchaguzi wa shirikisho la soka nchini Kenya FKF, raundi ya pili ya klabu bingwa Afrika na raga ya wachezaji saba kila upande duniani, fainali za kombe la mataifa ya Afrika mchezo wa handboli kwa kina dada, debi la Rwanda, mechi za kufuzu ligi ya Afrika basketboli mwaka ujao, droo ya makundi michuano ya klabu bingwa duniani mwaka ujao nchini Marekani mwaka 2026.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Tuliyokuandalia ni pamoja na taarifa ya Rais wa CAF Patrice Motsepe kuwania tena urais muhula wa pili, hukumu ya CAF katika mechi ya Nigeria dhidi ya Libya, yaliyotukia kwenye ziara ya rais wa Olimpiki ya kimataifa nchini Kenya na Kongamano la tatu la kibiashara la soka Afrika, uchambuzi wa michuano ya Kombe la Dunia la kina dada U17, Senegal ikihifadhi ubingwa wa Afrika soka ya ufukweni, michuano ya ndondi Afrika jijini Kinshasa, PSG kumlipa Mbappe €55M na uchambuzi wa El Clasico leo usiku.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Brazil UFO Talks O editor do canal Brazil UFO Clayton Feltran, trará para um bate-papo descontraído convidados amigos do canal que têm a ufologia em seu DNA. Últimas notícias Notícias sobre avistamentos e fenômenos anômalos ocorridos no Brasil e no mundo. ___________________ Envie seu áudio, fotos e vídeos para: WhatsApp Brazil UFO +55 11 98436-3637 _________________ Doação ao canal Brazil UFO https://streamelements.com/brazilufo/tip O INCIDENTE DO PASSO DIATLOV Neste programa de domingo receberemos o pesquisador e ufólogo Jackson Camargo, para falarmos sobre o Incidente do Passo Dyatlov. Este incidente foi um acontecimento que resultou na morte de nove esquiadores ao norte dos montes Urais, na antiga União Soviética, na noite de 2 de fevereiro de 1959. Aconteceu na costa leste da montanha Kholat Syakhl, cujo nome em mansi significa "Montanha dos Mortos". Desde então, o passo de montanha onde o incidente ocorreu é chamado de Passo Dyatlov, baseado no nome do líder do grupo, Igor Dyatlov. E pra você, este incidente poderia ter sido causado pelo Fenômeno UFO? Você não pode perder o programa! Ao Vivo a partir das 20h15. Brazil UFO Talks Com Clayton Feltran, Eder Pereira, Ricardo Chaves e Jackson Camargo. ::: LOJA BRAZIL UFO - PRODUTOS ORIGINAIS BRAZIL UFO ::: https://lojabrazilufo.com/ Faça parte do Eu apoio o Brazil UFO Seja um apoiador do Brazil UFO e nos ajude a trazer conteúdos de qualidade a todos os amigos do canal. Sua ajuda fará toda a diferença. Acesse o site: https://apoia.se/brazilufo e seja um apoiador do canal. Se preferir você pode ajudar via PIX: brazil.ufo.sp@gmail.com https://brazilufo.com #brazilufo #brazilufotalks
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Juhudi zinazoendelezwa na Naibu Rais Rigathi Gachagua kusukuma ajenda za eneo la Mlima Kenya zinahujumu azma ya tiketi ya Urais kuwa nembo ya umoja wa nchi nzima na sio eneo moja. Naibu Rais anafaa kuhudumia nchi nzima na sio kujikita tu katika eneo anakotoka.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Há décadas, o local chamado hoje de “Passo Dyatlov” nas montanhas Urais tem instigado teóricos e investigadores, desafiando explicações convencionais e gerando cada vez mais dúvidas. Na parte 3 e final desta mini-série de episódios, exploraremos algumas das teorias mais fascinantes que cercam a enigmática expedição de Igor Dyatlov e seu grupo de esquiadores. Produção: Crimes e Mistérios Brasil Narração: Tatiana Daignault Edição: Tatiana Daignault Pesquisa e Roteiro: Tatiana Daignault Fotos e fontes sobre o caso você encontra aqui O Café Crime e Chocolate é um podcast brasileiro que conta casos de crimes reais acontecidos no mundo inteiro com pesquisas detalhadas, narrado com respeito e foco nas vítimas. Não esqueça de se inscrever no podcast pela sua plataforma preferida, assim você não perde nenhum episódio. Siga-nos também em nossas redes sociais: Instagram Facebook Twitter
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Kiongozi wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Martin Fayulu, Jumamosi alithibitisha kugombea urais kwenye uchaguzi wa tarehe 20 Disemba 2023.
The Dodgers swept Colorado as Urais and Gonsolin continue to improve. Is this Dave Roberts' best managing job ever? James Harden says that Daryl Morey is a liar and he will never play for another organization that he is involved with.
O Passo Dyatlov, também conhecido como Incidente Dyatlov, é um dos casos mais famosos de mistério e conspiração da história russa. O incidente ocorreu em 1959, quando um grupo de nove caminhantes experientes, liderados por Igor Dyatlov, se aventurou em uma trilha nas montanhas Urais, na Rússia. Site: www.casosreaispodcast.com.br Contato comercial: blogerikamiranda@gmail.com Youtube: https://www.youtube.com/c/%C3%89rikaMiranda21 Instagram: @casosreaisoficial @erikamirandas --- Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/casos-reais/support
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Wakati kura zikiwa hazijamalizika kuhesabiwa za uchaguzi wa bunge wa katikati ya muhula wa Marekani wa 2022, rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump ametangaza nia ya kugombea urais kwa mara nyingine kupitia chama cha Republikan katika uchaguzi wa 2024.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Mahakama ya Juu nchini Kenya imeamuru kuhesabiwa upya kwa kura za urais katika vituo 15 kote nchini humo, zoezi ambalo limepangwa kuanza mchana wa siku ya Jumanne, Agosti 30, 2022 na litachukua saa 48 kuhakiki kura hizo.
Aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinda na naibu rais William Ruto wanaonekana kuwa kwenye ushindani mkali , wakati baadhi ya washindi wa viti vingine vya ubunge na kaunti tayari wakianza kusherehekea
Decision 2022| Uchaguzi wa Urais, 2022 --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app Support this podcast: https://anchor.fm/patrick-nhigula/support
IEBC iliwaidhinisha wagombea hao kufuatia masharti magumu iliyoyaweka kama vigezo vinavyostahili kufuatwa na wagombea. Walioidhinishwa ni Naibu Rais William Ruto, Raila Odinga, David Mwaure na George Wajackoyah
Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini Kenya (IEBC) baada ya kukutana Jumanne na vyama vya siasa vitakavyoshiriki uchaguzi wa Agosti 9, imetangaza kwamba wanaowania urais watakiwa kuwasilisha majina ya wagombea wenza kwa tume hiyo ifikapo tarehe 16 Mei.
Olá terráqueos! O ano é 1959, um grupo formado por nove estudantes e um instrutor do Instituto Politécnico de Ural em Yekaterimburgo saiu para uma expedição de esqui nos montes Urais, na Rússia (antiga URSS). O que acontece a seguir é uma mistério que persiste até hoje. Venha bater um papo conosco sobre esse caso simplesmente misterioso! Quer montar sua loja 100% online? Conheça a Montink https://admin.montink.com.br/afiliado/dis5y.htm https://www.ufologiadequintal.com.br/ (Lujinha) https://linktr.ee/ufologiadequintal Créditos Edição nóix mermo https://www.vigilia.com.br Music by Karl Casey @ White Bat Audio Scott Holmes Music CHAVE PIX UOPECAN CASCAVEL 81.270.548/0001-53 e-mail ix.tmkt@uopeccan.org.br http://recantodacrianca.com/home https://pequenoprincipe.org.br/pacientes-e-familiares/humanizacao/voluntariado/doacoes/ https://www.apaebrasil.org.br/doacao https://www.msf.org.br/ --- Send in a voice message: https://anchor.fm/centro-de-pesquisas-ufolg/message