Podcasts about urais

  • 26PODCASTS
  • 100EPISODES
  • 27mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • Mar 28, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about urais

Latest podcast episodes about urais

Horrorizadas Podcast
#102 Devil's Pass

Horrorizadas Podcast

Play Episode Listen Later Mar 28, 2025 59:56


Sinopse: Em 2013 um grupo de estudantes foi até os montes Urais na Rússia tentar descobrir o que aconteceu com os 9 montanhistas que morreram em 1959, deixando o local conhecido como Dyatlov Pass.O objetivo desse episódio é analisar o filme e também tentar traçar um paralelo da história real com esse filme, será que eles exploram bem o mistério? >>>> Filme disponível na Prime Vídeo

Habari RFI-Ki
Maoni kuhusu vingozi wa kijeshi wa nchi za Afrika Magharibi kutaka kugombea urais

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Mar 5, 2025 10:08


Nchini Gabon, kiongozi wa kijeshi jenerali Brice Oligui Nguema ametangaza kuwa atagombea urais katika uchaguzi wa mwezi ujao, baada ya kutwaa madaraka kupitia mapinduzi ya kijeshi ya 2023.Hili linajiri wakati huu viongozi wengine wa kijeshi kwenye nchi za Burkina Faso, Mali na Niger wakielekea kuchukua mkondo huo.

Habari RFI-Ki
Maoni kuhusu vingozi wa kijeshi wa nchi za Afrika Magharibi kutaka kugombea urais

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Mar 5, 2025 10:08


Nchini Gabon, kiongozi wa kijeshi jenerali Brice Oligui Nguema ametangaza kuwa atagombea urais katika uchaguzi wa mwezi ujao, baada ya kutwaa madaraka kupitia mapinduzi ya kijeshi ya 2023.Hili linajiri wakati huu viongozi wengine wa kijeshi kwenye nchi za Burkina Faso, Mali na Niger wakielekea kuchukua mkondo huo.

Alfajiri - Voice of America
Kiongozi wa kijeshi wa Gabon atangaza kuwania urais mwezi Aprili - Machi 04, 2025

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 4, 2025 29:59


Wimbi la Siasa
Rais Samia ateuliwa na cham chake kuwania urais mwaka 2025

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jan 22, 2025 10:20


Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameteuliwa kwa kauli moja na wajumbe wa chama cha mapinduzi CCM kupeperusha bendera ya chama hicho wakati wa uchaguzi mkuu mwezi Oktoba. Tunachambua hatua hii.

Jukwaa la Michezo
Hussein Mohammed ashinda kiti cha urais shirikisho la soka FKF nchini Kenya

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Dec 7, 2024 23:53


Tuliyokuandalia ni pamoja na uchaguzi wa shirikisho la soka nchini Kenya FKF, raundi ya pili ya klabu bingwa Afrika na raga ya wachezaji saba kila upande duniani, fainali za kombe la mataifa ya Afrika mchezo wa handboli kwa kina dada, debi la Rwanda, mechi za kufuzu ligi ya Afrika basketboli mwaka ujao, droo ya makundi michuano ya klabu bingwa duniani mwaka ujao nchini Marekani mwaka 2026.

Kwa Undani - Voice of America
Kiongozi wa upinzani wa Somaliland Abdirahman Mohamed Abdullahi kutoka chama cha waddani ameshinda uchaguzi wa urais. - Novemba 19, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 19, 2024 30:00


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Kwa Undani - Voice of America
Meza ya waandishi inaangazia matokeo ya uchaguzi Marekani pamoja na ghasia zinazoendelea Msumbiji kufuatia uchaguzi wa urais wa Oktoba 9. - Novemba 08, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 8, 2024 29:57


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

VOA Express - Voice of America
Wakaazi wa jimbo la Maryland nchini Marekani wanatoa maoni yao siku moja kuelekea uchaguzi mkuu wa urais Marekani wenye ushindani mkali. - Novemba 04, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 4, 2024 30:00


VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.

Jukwaa la Michezo
Nitawania tena urais wa CAF mwaka 2025, amethibitisha Dkt Patrice Motsepe

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Oct 26, 2024 23:47


Tuliyokuandalia ni pamoja na taarifa ya Rais wa CAF Patrice Motsepe kuwania tena urais muhula wa pili, hukumu ya CAF katika mechi ya Nigeria dhidi ya Libya, yaliyotukia kwenye ziara ya rais wa Olimpiki ya kimataifa nchini Kenya na Kongamano la tatu la kibiashara la soka Afrika, uchambuzi wa michuano ya Kombe la Dunia la kina dada U17, Senegal ikihifadhi ubingwa wa Afrika soka ya ufukweni, michuano ya ndondi Afrika jijini Kinshasa, PSG kumlipa Mbappe €55M na uchambuzi wa El Clasico leo usiku.

Kwa Undani - Voice of America
Utaratibu unaotumika kupata kura 270 ambazo zinahitajika kwa mgombea urais Marekani kuweza kushinda uchaguzi mkuu wa Novemba 5 mwaka huu. - Oktoba 15, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 15, 2024 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Alfajiri - Voice of America
Swala la vimbunga latawala kwenye kampeni za wagombea urais Marekani. - Oktoba 11, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 11, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Kamala Harris aelezea vipaumbele vyake baada ya kukubali rasmi uteuzi wa chama chake kuwania urais Novemba 5 - Agosti 23, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 23, 2024 29:58


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Jioni - Voice of America
Makamu Rais wa Marekani Kamala Harris ambaye ni mgombea urais wa Marekani amemtaja gavana Tim Walz wa Minnesota kuwa mgombea mwenza wake. - Agosti 06, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 6, 2024 30:00


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Brazil UFO
O INCIDENTE DO PASSO DIATLOV - Brazil UFO Talks

Brazil UFO

Play Episode Listen Later Aug 6, 2024 160:11


Brazil UFO Talks O editor do canal Brazil UFO Clayton Feltran, trará para um bate-papo descontraído convidados amigos do canal que têm a ufologia em seu DNA. Últimas notícias Notícias sobre avistamentos e fenômenos anômalos ocorridos no Brasil e no mundo. ___________________ Envie seu áudio, fotos e vídeos para: WhatsApp Brazil UFO +55 11 98436-3637 _________________ Doação ao canal Brazil UFO https://streamelements.com/brazilufo/tip O INCIDENTE DO PASSO DIATLOV Neste programa de domingo receberemos o pesquisador e ufólogo Jackson Camargo, para falarmos sobre o Incidente do Passo Dyatlov. Este incidente foi um acontecimento que resultou na morte de nove esquiadores ao norte dos montes Urais, na antiga União Soviética, na noite de 2 de fevereiro de 1959. Aconteceu na costa leste da montanha Kholat Syakhl, cujo nome em mansi significa "Montanha dos Mortos". Desde então, o passo de montanha onde o incidente ocorreu é chamado de Passo Dyatlov, baseado no nome do líder do grupo, Igor Dyatlov. E pra você, este incidente poderia ter sido causado pelo Fenômeno UFO? Você não pode perder o programa! Ao Vivo a partir das 20h15. Brazil UFO Talks Com Clayton Feltran, Eder Pereira, Ricardo Chaves e Jackson Camargo. ::: LOJA BRAZIL UFO - PRODUTOS ORIGINAIS BRAZIL UFO ::: https://lojabrazilufo.com/ Faça parte do Eu apoio o Brazil UFO Seja um apoiador do Brazil UFO e nos ajude a trazer conteúdos de qualidade a todos os amigos do canal. Sua ajuda fará toda a diferença. Acesse o site: https://apoia.se/brazilufo e seja um apoiador do canal. Se preferir você pode ajudar via PIX: brazil.ufo.sp@gmail.com https://brazilufo.com #brazilufo #brazilufotalks

Alfajiri - Voice of America
Makamu wa Rais wa Marekani Harris apata uungwaji mkono mkubwa kugombea urais - Julai 23, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 23, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Biden ajiondoa kwenye kinyang'anyiro, amuunga mkono Makamu wake Harris kuwania urais - Julai 22, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 22, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Donald Trump ateuliwa rasmi kuwa mgombea urais wa chama cha Republican, Marekani - Julai 16, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 16, 2024 29:59


Kwa Undani - Voice of America
Mkutano wa chama cha Republikan waanza mjini Milwaukee siku 2 baada ya Trump, anayetarajiwa kuidhinishwa kama mgombea urais, kupigwa risasi - Julai 15, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 15, 2024 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Alfajiri - Voice of America
Rais wa zamani wa Iran Mahmoud Ahmadinejad amejiandikisha kuwania urais katika uchaguzi ujao. - Juni 03, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 3, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Sepetuko
KIONGOZI WA KITAIFA AU MSIMAMIZI WA ENEO?

Sepetuko

Play Episode Listen Later Jun 3, 2024 4:05


Juhudi zinazoendelezwa na Naibu Rais Rigathi Gachagua kusukuma ajenda za eneo la Mlima Kenya zinahujumu azma ya tiketi ya Urais kuwa nembo ya umoja wa nchi nzima na sio eneo moja. Naibu Rais anafaa kuhudumia nchi nzima na sio kujikita tu katika eneo anakotoka.

Wimbi la Siasa
Makala haya yanatupia jicho uchaguzi wa urais nchini Urusi, nini maana ya ushindi wa rais Vladimir Putin.

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Mar 20, 2024 10:04


Jioni - Voice of America
Kaimu Rais wa Chad Mahamat Idriss Deby atangaza nia yake ya kuwania urais kwenye uchaguzi wa mwaka huu. - Machi 02, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 2, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Rais wa muda wa Namibia, Nangolo Mbumba anasema hatowania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu baadae mwaka huu. - Februari 05, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Feb 5, 2024 30:00


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Kwa Undani - Voice of America
Rais wa Comoro, Azali Assoumani ameshinda uchaguzi wa urais wa Januari 14 kulingana na tume ya uchaguzi Comoro (CENI) - Januari 17, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 17, 2024 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

ceni tume azali urais uchaguzi
Jioni - Voice of America
Chama tawala cha Taiwan chashinda urais kwa muhula wa tatu mfululizo. - Januari 13, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 13, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Alfajiri - Voice of America
Gavana wa zamani wa jimbo la New Jersey nchini Marekani Chris Christie ametangaza kusitisha kampeni za urais kupitia chama cha Republican - Januari 11, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 11, 2024 29:58


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Café Crime e Chocolate
208 - A Misteriosa Expedição de Igor Dyatlov - Parte 3 - Teorias | Russia

Café Crime e Chocolate

Play Episode Listen Later Dec 21, 2023 86:10


Há décadas, o local chamado hoje de “Passo Dyatlov” nas montanhas Urais tem instigado teóricos e investigadores, desafiando explicações convencionais e gerando cada vez mais dúvidas. Na parte 3 e final desta mini-série de episódios, exploraremos algumas das teorias mais fascinantes que cercam a enigmática expedição de Igor Dyatlov e seu grupo de esquiadores.  Produção: Crimes e Mistérios Brasil Narração: Tatiana Daignault Edição: Tatiana Daignault Pesquisa e Roteiro: Tatiana Daignault  Fotos e fontes sobre o caso você encontra aqui O Café Crime e Chocolate é um podcast brasileiro que conta casos de crimes reais acontecidos no mundo inteiro com pesquisas detalhadas, narrado com respeito e foco nas vítimas. Não esqueça de se inscrever no podcast pela sua plataforma preferida, assim você não perde nenhum episódio.  Siga-nos também em nossas redes sociais: Instagram Facebook Twitter

Alfajiri - Voice of America
Rais wa Russia, yupo katika harakati za kugombania muhula mwingine wa urais toka aingie madarakani mwaka 2000 - Desemba 18, 2023

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 18, 2023 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Kwa Undani - Voice of America
Wagombea urais DRC waombwa kutoa ujumbe wa umoja kwa wafuasi wao - Desemba 14, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 14, 2023 29:59


umoja urais ujumbe desemba
Jioni - Voice of America
Kampeni za uchaguzi wa urais nchini Jamhuri ya Kidemokrasni ya Congo zinaendelea kukiwa na wagombea 25 dhidi ya Rais Felix Tshisekedi. - Novemba 24, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 24, 2023 59:58


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Kwa Undani - Voice of America
Mchambuzi atoa maoni kuhusu mchakato wa uchaguzi nchini DRC baada ya orodha rasmi ya wagombea urais kutangazwa - Novemba 01, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 1, 2023 29:55


Habari RFI-Ki
Kinyanganyiro cha urais DRC chapamba moto

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Oct 3, 2023 9:53


Nchini DRC   muungano wa kisiasa wa chama tawala Sacred Union umemteua rais Felix Tshisekedi , kuwania tena kiti cha urais kwenye uchaguzi wa mwezi Disemba, ambapo atapambana tena  na  mpinzani Martin Fayulu, Moise Katumbi na mshindi wa tunzo ya mani ya Nobele  daktari Denis Mukwege miongoni mwa wagombea wengine. Unazungumziaje hatua Denis Mukwege kuwania Urais.Je unafikiri DRC imejitarisha vilivyo kwa uchaguzi huu ?Haya hapa baadhi ya maoni yako.

Habari RFI-Ki
Kinyanganyiro cha urais DRC chapamba moto

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Oct 3, 2023 9:53


Nchini DRC   muungano wa kisiasa wa chama tawala Sacred Union umemteua rais Felix Tshisekedi , kuwania tena kiti cha urais kwenye uchaguzi wa mwezi Disemba, ambapo atapambana tena  na  mpinzani Martin Fayulu, Moise Katumbi na mshindi wa tunzo ya mani ya Nobele  daktari Denis Mukwege miongoni mwa wagombea wengine. Unazungumziaje hatua Denis Mukwege kuwania Urais.Je unafikiri DRC imejitarisha vilivyo kwa uchaguzi huu ?Haya hapa baadhi ya maoni yako.

Kwa Undani - Voice of America
DRC: Dkt Dennis Mukwege ajitosa uwanjani kuwania urais huku wagombea wengine wakiteuliwa na vyama vyao - Oktoba 02, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 2, 2023 29:59


Tshisekedi na Fayulu kupambana tena katika uchaguzi wa rais wa DRC hapo Disemba 20, 2023 huku Dkt Dennis Mukwege akijitosa uwanjani

SBS Swahili - SBS Swahili
Hatimae Martin Fayulu atangaza atawania Urais DRC

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Oct 1, 2023 8:24


Kiongozi wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Martin Fayulu, Jumamosi alithibitisha kugombea urais kwenye uchaguzi wa tarehe 20 Disemba 2023.

Lunchtime With Roggin And Rodney
8/14 H1: Dodgers sweep Rockies; Dave Roberts' manegerial job; Harden calls Morey a liar

Lunchtime With Roggin And Rodney

Play Episode Listen Later Aug 14, 2023 42:03


The Dodgers swept Colorado as Urais and Gonsolin continue to improve. Is this Dave Roberts' best managing job ever? James Harden says that Daryl Morey is a liar and he will never play for another organization that he is involved with.

Habari RFI-Ki
Rais wa Senegal Macky Sally ametangaza hatowania urais kwenye uchaguzi wa 2024

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 7, 2023 9:50


Rais Macky Sally kinyume na matarajio ya wengi ,ametangaza hatowania urais kwenye uchaguzi ujao .Katiba ya Senegal inamruhusu rais kuongoza kwa mihula miwili

Habari RFI-Ki
Rais wa Senegal Macky Sally ametangaza hatowania urais kwenye uchaguzi wa 2024

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 7, 2023 9:50


Rais Macky Sally kinyume na matarajio ya wengi ,ametangaza hatowania urais kwenye uchaguzi ujao .Katiba ya Senegal inamruhusu rais kuongoza kwa mihula miwili

Kwa Undani - Voice of America
Biden kugombea urais mwaka 2024, Vita vimesitishwa Sudan kwa muda - Aprili 25, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 25, 2023 29:58


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Jasusi
Jenerali Muhoozi atangaza rasmi kuwania urais Uganda, vipi hatma ya Baba yake Museveni? Atampindua?

Jasusi

Play Episode Listen Later Mar 16, 2023 10:09


Jenerali Muhoozi atangaza rasmi kuwania urais Uganda, vipi hatma ya Baba yake Museveni? Atampindua?

O Fenômeno Podcast
#25 Arquivo X Soviético

O Fenômeno Podcast

Play Episode Listen Later Mar 3, 2023 53:13


Em fevereiro de 1959, na União Soviética, um grupo de 9 alpinistas inicia uma jornada ao cume dos montes Urais, porem algo da muito errado logo no início da expedição resultando em morte de todos os integrantes e as causas permanecem um grande mistério.

Casos Reais
O misterioso incidente do Passo Dyatlov

Casos Reais

Play Episode Listen Later Mar 1, 2023 36:52


O Passo Dyatlov, também conhecido como Incidente Dyatlov, é um dos casos mais famosos de mistério e conspiração da história russa. O incidente ocorreu em 1959, quando um grupo de nove caminhantes experientes, liderados por Igor Dyatlov, se aventurou em uma trilha nas montanhas Urais, na Rússia. Site: www.casosreaispodcast.com.br Contato comercial: blogerikamiranda@gmail.com Youtube: https://www.youtube.com/c/%C3%89rikaMiranda21 Instagram: @casosreaisoficial @erikamirandas --- Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/casos-reais/support

Alfajiri - Voice of America
Moise Katumbi ametangaza kwamba atagombea urais DRC 2023 - Desemba 19, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 19, 2022 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

urais moise katumbi desemba
Alfajiri - Voice of America
Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump atangaza kugombania urais uchaguzi wa 2024 - Novemba 16, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 16, 2022 30:00


Wakati kura zikiwa hazijamalizika kuhesabiwa za uchaguzi wa bunge wa katikati ya muhula wa Marekani wa 2022, rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump ametangaza nia ya kugombea urais kwa mara nyingine kupitia chama cha Republikan katika uchaguzi wa 2024.

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Je, Donald Trump atapata tiketi ya chama cha Republican kugombea urais 2024? - Novemba 16, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 16, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Agentes Do Tarot
O Incidente do Passo Dyatlov

Agentes Do Tarot

Play Episode Listen Later Oct 3, 2022 97:39


TRIGÉSIMO SEGUNDO EPISÓDIO DO AGENTES DO TAROT! Convidado especial: Demetrio Aristeus (@ocronocrata) Incidente do Passo Dyatlov foi um acontecimento que resultou na morte de nove esquiadores ao norte dos montes Urais, na antiga União Soviética, na noite de 2 de fevereiro de 1959. O incidente aconteceu na costa leste da montanha Kholat Syakhl (Холат Сяхл), cujo nome em mansi significa "Montanha dos Mortos". Desde então, o passo de montanha onde o incidente ocorreu é chamado de Passo Dyatlov (Перевал Дятлова), baseado no nome do líder do grupo, Igor Dyatlov. A ausência de testemunhas e as investigações subsequentes acerca da morte dos esquiadores inspiraram intensas especulações. Vem com a gente desvendar os mistérios deste caso incrível!

Habari RFI-Ki
Hatuwa ya rais wa Guinea Ikweta Teodoro Obiang kutangaza kuwania tena urais

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Sep 27, 2022 10:00


Karibu kwenye Makala yetu Habari Rafiki, Juma hili utakuwa naye Billy Bilali na leo tunazungumzia kuhusu hatuwa ya Rais wa Guinea Ekweta, Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, juma lililopita alitangaza kuwa atawania tena urais katika uchaguzi wa Novemba licha ya umri wake na kuongoza nchi hiyo kwa kipindi cha miaka 43.Unamtazamo gani kuhusu uamuzi huu?Nini kifanyike kubadilisha mwenendo kama huu?Hali ikoje nchini mwako?

Habari RFI-Ki
Hatuwa ya rais wa Guinea Ikweta Teodoro Obiang kutangaza kuwania tena urais

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Sep 27, 2022 10:00


Karibu kwenye Makala yetu Habari Rafiki, Juma hili utakuwa naye Billy Bilali na leo tunazungumzia kuhusu hatuwa ya Rais wa Guinea Ekweta, Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, juma lililopita alitangaza kuwa atawania tena urais katika uchaguzi wa Novemba licha ya umri wake na kuongoza nchi hiyo kwa kipindi cha miaka 43.Unamtazamo gani kuhusu uamuzi huu?Nini kifanyike kubadilisha mwenendo kama huu?Hali ikoje nchini mwako?

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Raila alikosea wapi, na Ruto alifanya nini ndipo akashinda urais? - Septemba 05, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Sep 5, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Jioni - Voice of America
Mahakama ya juu Kenya itaamua Jumatatu iwapo itaunga mkono au kubatilisha matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Agosti 9 mwaka 2022 - Septemba 04, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Sep 4, 2022 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Mahakama ya Juu Kenya yaamuru kura za Urais kuhesabiwa upya katika vituo 15 - Agosti 30, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 30, 2022 29:56


Mahakama ya Juu nchini Kenya imeamuru kuhesabiwa upya kwa kura za urais katika vituo 15 kote nchini humo, zoezi ambalo limepangwa kuanza mchana wa siku ya Jumanne, Agosti 30, 2022 na litachukua saa 48 kuhakiki kura hizo.

Jioni - Voice of America
LIVETALK: Majadiliano ya masuala mbalimbali yaliyogonga vichwa vya habari wiki hii - Agosti 26, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 26, 2022 59:59


Kwenye Livetalk wiki hii tunajadili masuala mbalimbali, yakiwa ni pamoja na kesi iliyowasilishwa mahakamani nchini Kenya, kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais, Uchaguzi mkuu nchini Angola, shughuli za kuhesabu watu nchini Tanzania na Rwanda, na kusamehewa kwa mikopoiya wanafunzi wa Marekani.

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Sababu zilizopelekea Dr. William Ruto kumshinda Raila Odinga katika uchaguzi wa urais Kenya - Agosti 15, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 15, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

VOA Express - Voice of America
VOA Express: Habari za uongo zasambaa Kenya baada ya vyombo vya habari kuacha kujumlisha kura za urais vikisema wafanyakazi wake wamechoka. - Agosti 12, 2022

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 12, 2022 29:59


Tume ya uhaguzi IEBC ina mda wa hadi siku 7 kutoka siku ya Uchaguzi kutangaza matokeo ya urais

Alfajiri - Voice of America
Wakenya waendelea kusubiri mshindi wa urais baada ya kupiga kura wakati ushindani ukiendelea kubaki mkali. - Agosti 11, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 11, 2022 29:59


Aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinda na naibu rais William Ruto wanaonekana kuwa kwenye ushindani mkali , wakati baadhi ya washindi wa viti vingine vya ubunge na kaunti tayari wakianza kusherehekea

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: IEBC haijaanza kujumlisha kura za urais, wanawake washinda viti vya Ugavana - Agosti 10, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 10, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

America Swahili News Podcast
Decision 2022 Uchaguzi wa Urais, 2022

America Swahili News Podcast

Play Episode Listen Later Aug 8, 2022 13:47


Decision 2022| Uchaguzi wa Urais, 2022 --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app Support this podcast: https://anchor.fm/patrick-nhigula/support

Habari RFI-Ki
Wagombea urais nchini Kenya washiriki mdahalo

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 29, 2022 9:59


Wagombea urais nchini Kenya, wameshiriki mdahalo wa Urais kuelekea uchaguzi wa mwezi ujao tarehe 9, huku wagombea wawili akiwemo William Ruto wakishiriki naye waziri mkuu wa zamani Raila Odinga akisusia mdahalo huo. Je, unafikiri mjadala huu utabadilisha mawazo ya Wakenya kuelekea uchaguzi wa mwezi ujao? Haya hapa baadhi ya maoni yenu.

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Ushawishi wa wagombea 4 wa urais nchini Kenya - Julai 29, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 29, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Habari RFI-Ki
Wagombea urais nchini Kenya washiriki mdahalo

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 29, 2022 9:59


Wagombea urais nchini Kenya, wameshiriki mdahalo wa Urais kuelekea uchaguzi wa mwezi ujao tarehe 9, huku wagombea wawili akiwemo William Ruto wakishiriki naye waziri mkuu wa zamani Raila Odinga akisusia mdahalo huo. Je, unafikiri mjadala huu utabadilisha mawazo ya Wakenya kuelekea uchaguzi wa mwezi ujao? Haya hapa baadhi ya maoni yenu.

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Wasifu wa mgombea urais Kenya David Mwaure na ahadi zake kwa wakenya - Julai 27, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 27, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Russia inataka kuuzia Uganda mafuta, Museveni anataka nafaka na ngano. Tunaangazia pia mgombea wa urais Kenya Prof Wajackoya - Julai 26, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 26, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Jioni - Voice of America
Wawakilishi wa wagombea Urais nchini Kenya waenda Ugiriki kukagua uchapishaji wa karatasi za kura - Julai 19, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 19, 2022 29:59


Wawakilishi wa Wagombea Urais nchini Kenya waenda Ugiriki kukagua uchapishaji wa karatasi za kupigia kura za urais na kampuni ya uchapishaji ya Inform Lykos, ambayo imepewa kandarasi na tume ya uchaguzi ya Kenya IEBC kufanya uchapishaji wa karatasi za kupigia kura.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mabaki ya Lumumba kuzikwa jijini Kinshasa, wagombea wa urais Kenya watoa ilani zao

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Jul 2, 2022 20:12


Makala hii imeangazia mazishi ya mabaki ya shujaa wa uhuru wa DRC Patrice Lumumba yaliyofanyika jijini Kinshasa, huku nchi hiyo ikiadhimisha kumbukumbu ya miaka 62 ya uhuru kutoka kwa mkoloni wake wa zamani Ubelgiji, kiongozi wa  muungano wa Kenya kwanza William Ruto wiki hii alizindua ilani ya muungano huo, ambapo pia kiongozi wa chama cha Roots Profesa George Wajakoyah, zimeangaziwa pia siasa za baadhi ya Nchi za Afrika magharibi, na kwengineko duniani.  

Alfajiri - Voice of America
Tume ya uchaguzi Kenya imewaidhinisha wagombea 4 kati ya 58 wa kinyang'anyiro cha urais - Juni 07, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 7, 2022 30:00


IEBC iliwaidhinisha wagombea hao kufuatia masharti magumu iliyoyaweka kama vigezo vinavyostahili kufuatwa na wagombea. Walioidhinishwa ni Naibu Rais William Ruto, Raila Odinga, David Mwaure na George Wajackoyah

Jioni - Voice of America
Wawaniaji huru wa urais nchini Kenya walalamikia masharti makali kutoka tume ya uchaguzi. - Mei 24, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later May 24, 2022 30:00


Baadhi ya wagombea huru wanasema kwamba baadhi ya masharti kama vile kukusanya idadi fulani ya saini kutoka kwa wafuasi wao ni suala lisilowezekana , huku baadhi wakida kwamba tume ya IEBC ina njama ya kuwafungia nje ya uchaguzi wa Agosti 9. Kuna wale ambao tayari wametishia kwenda mahakamani.

Habari RFI-Ki
Saisa za Kenya kuelekea uchaguzi wa Agosti 9

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 17, 2022 10:04


Mgombea wa Urais nchini Kenya Raila Odinga ,amemteua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake kuelekea uchaguzi mkuu wa urais Agosti tisa. Unadhani ni kwa nini swala la ugombea wenza linafanywa kwa umakini sana? Haya hapa baadhi baadhi ya maoni yako.

Habari RFI-Ki
Saisa za Kenya kuelekea uchaguzi wa Agosti 9

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 17, 2022 10:04


Mgombea wa Urais nchini Kenya Raila Odinga ,amemteua mwanamke kuwa mgombea mwenza wake kuelekea uchaguzi mkuu wa urais Agosti tisa. Unadhani ni kwa nini swala la ugombea wenza linafanywa kwa umakini sana? Haya hapa baadhi baadhi ya maoni yako.

Kwa Undani - Voice of America
Muungano wa Azimio la Umoja wa Kenya wabadilisha mbinu za kumtafuta mgombea mwenza wa urais - Mei 04, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later May 4, 2022 29:59


Muungano wa Azimio la Umoja Kenya Moja Jumatano ulitangaza kwamba mchakato uliokuwa uanze wa kuwahoji wawaniaji wa nafasi ya naibu wa rais umesitishwa baada ya utata kuhusu mchakato huo kuibuka.

Jioni - Voice of America
Wagombea 47 wameidhinishwa Kenya kuwania urais kama wagombea binafsi. - Mei 02, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later May 2, 2022 29:59


Wagombea 47 wameidhinishwa Kenya kuwania urais kama wagombea binafsi kwenye kinyang'anyiro cha mwezi Agosti mwaka huu, hata pale ambapo vyama vikubwa vya siasa vikizusha vita dhidi ya wanasiasa wanaosimama peke yao gazeti la Daily nation limeripoti.

Alfajiri - Voice of America
Kenya: wagombea urais watakiwa kuwasilisha majina ya wagombea wenza hadi May 16 - Aprili 27, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 27, 2022 30:00


Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini Kenya (IEBC) baada ya kukutana Jumanne na vyama vya siasa vitakavyoshiriki uchaguzi wa Agosti 9, imetangaza kwamba wanaowania urais watakiwa kuwasilisha majina ya wagombea wenza kwa tume hiyo ifikapo tarehe 16 Mei.

Kwa Undani - Voice of America
Harakati za kuwasaka wagombea wenza wa urais Kenya zashika kasi - Aprili 27, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 27, 2022 29:43


Makundi mbalimbali yameibuka Kenya kuwapigia debe watu - hususan wa jinsia ya kije -ambao wanasema wana uwezo mkubwa wa kuwa naibu rais na kuwataka wagombea urais kuwateua.

Jukwaa la Michezo
Drogba ajitosa kuwania urais wa Shirikisho la soka nchini Cote D'voire

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Apr 16, 2022 23:53


Aliyekuwa mshambuliaji wa timu ya taifa ya soka ya Cote D'voire Didier Drogba, ni miongoni mwa wagombe sita wanaotafuta nafasi ya kuwania urais wa Shirikisho la soka nchini mwake. Tunachambua hili na mengine mengi.

Ufologia de Quintal
Morte nos Montes Urais (Dyatlov Pass)

Ufologia de Quintal

Play Episode Listen Later Apr 10, 2022 83:31


Olá terráqueos! O ano é 1959, um grupo formado por nove estudantes e um instrutor do Instituto Politécnico de Ural em Yekaterimburgo saiu para uma expedição de esqui nos montes Urais, na Rússia (antiga URSS). O que acontece a seguir é uma mistério que persiste até hoje. Venha bater um papo conosco sobre esse caso simplesmente misterioso! Quer montar sua loja 100% online? Conheça a Montink https://admin.montink.com.br/afiliado/dis5y.htm https://www.ufologiadequintal.com.br/ (Lujinha) https://linktr.ee/ufologiadequintal Créditos Edição nóix mermo https://www.vigilia.com.br Music by Karl Casey @ White Bat Audio Scott Holmes Music CHAVE PIX UOPECAN CASCAVEL 81.270.548/0001-53 e-mail ix.tmkt@uopeccan.org.br http://recantodacrianca.com/home https://pequenoprincipe.org.br/pacientes-e-familiares/humanizacao/voluntariado/doacoes/ https://www.apaebrasil.org.br/doacao https://www.msf.org.br/ --- Send in a voice message: https://anchor.fm/centro-de-pesquisas-ufolg/message

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mshauri wake rais wa DRC ahusikaye na usalama akamatwa, mbio za urais nchini Kenya

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Feb 12, 2022 20:09


Makala hii imeangazia hatua ya kukamatwa kwa Bwana Francois Beya, mshauri wake rais wa DRC Felix Tshisekedi katika masuala ya usalama, mbio za uchaguzi mkuu nchini Kenya, lakini pia kufunguliwa kwa magazeti manne yaliyokuwa yamezuwiwa huko Tanzania, likiwemo gazeti la Upinzani la Tanzania Daima pamoja na matukio mengine kadhaa ya juma hili duniani. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kupata mengi zaidi. 

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
DRC na Uganda zakubaliana kupiga vita waasi wa ADF, Raila Odinga kuwania urais Kenya

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Dec 11, 2021 20:14


Makala hii imeangazia makubaliano kati ya Uganda na DRC kupambana na waasi wa ADF mashariki ya DRC, huko Kenya waziri mkuu wa zamani na kiongozi wa ODM Raila Odinga atangaza kuwania kiti cha rais katika uchaguzi wa mwakani, na matukio mengine mengi ya juma hili kwenye ukanda wa Afrika mashariki na kati pia kwengineko duniani.

Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Sera za wanasiasa wanaotafuta urais nchini Kenya

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Oct 13, 2021 10:17


Nchini Kenya, wanasiasa wanaendelea kunadi sera zao, kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka 2022. Miongoni mwa wanasiasa hao ni Raila Odinga na William Ruto. Tunachambua.

kenya sera raila odinga urais miongoni uchaguzi mkuu
Podcasts de Ecologia/Composições musicais/Natureza Ecology Podcasts/Musical Compositions/Nature

Em apenas dez anos de pesquisa, as células solares de perovskitas tornaram-se competitivas em termos de eficiência. Atualmente, sabe-se que a sua capacidade de converter luz em eletricidade é maior ainda quando elas são empilhadas em cima de células solares de silício, formando uma junção de dispositivos chamada “tandem”. Contudo, esses bons resultados correspondem geralmente a dispositivos pequenos, usados para pesquisa em laboratório. Conseguir produzir grandes áreas de perovskitas sem prejudicar a eficiência ainda é um desafio. A perovskita propriamente dita é um óxido de cálcio e titânio3. Foi descoberta nos montes Urais, na Rússia, em 1839. E recebeu esse nome em homenagem ao mineralogista russo Lev Perovski (1792-1856), ministro do Czar Nicolau I. Para se obter perovskitas pelo método de gas quenching, o primeiro passo consiste em depositar, sobre um suporte, uma solução contendo os compostos precursores da perovskita. Quando o solvente evapora, o material cristaliza e forma a organizada estrutura própria das perovskitas. Na preparação das soluções iniciais, a equipe de pesquisadores utilizou dois solventes diferentes combinados com diversos precursores e observou que cada combinação leva a um caminho único de formação de intermediários, o que impacta na morfologia e nas propriedades finais da perovskita, bem como na sua eficiência dentro das células solares. Study paves the way for the development of more efficient solar cells. In just ten years of research, perovskite solar cells have become competitive in terms of efficiency. Currently, it is known that their ability to convert light into electricity is even greater when they are stacked on top of silicon solar cells, forming a junction of devices called “tandem”. However, these good results generally correspond to small devices, used for laboratory research. Managing to produce large areas of perovskite without impairing efficiency is still a challenge. Perovskite itself is a calcium and titanium oxide3. It was discovered in the Ural Mountains in Russia in 1839. It was named after the Russian mineralogist Lev Perovski (1792-1856), Minister of Czar Nicholas I. To obtain perovskites by the gas quenching method, the first step is to deposit, on a support, a solution containing the precursor compounds of perovskite. When the solvent evaporates, the material crystallizes and forms the organized perovskite structure. However, before this happens, several compounds with different structures (so-called “intermediates”) are formed momentarily. In the preparation of the initial solutions, the research team used two different solvents combined with different precursors and observed that each combination leads to a unique path of formation of intermediates, which impacts on the morphology and final properties of perovskite, as well as on its efficiency inside the solar cells. In addition to providing valuable information on the formation of perovskites by gas quenching, the results of the research help in choosing the best solvent to obtain better perovskite films for solar cells, including those of the tandem type. Fonte/Source (créditos): O artigo Revealing the Perovskite Film Formation Using the Gas Quenching Method by In Situ GIWAXS: Morphology, Properties, and Device Performance, de Rodrigo Szostak, Sandy Sanchez, Paulo E. Marchezi, Adriano S. Marques, Jeann C. Silva, Matheus S. Holanda, Anders Hagfeldt, Hélio C. N. Tolentino e Ana F. Nogueira, pode ser lido em: https://onlinelibrary.wiley.com/doi/abs/10.1002/adfm.202007473 https://agencia.fapesp.br/estudo-abre-caminho-para-o-desenvolvimento-de-celulas-solares-mais-eficientes/34734/ --- Send in a voice message: https://anchor.fm/multimidiavillage/message

Jasusi
Jasusi Apiga Stori Na WAKAZI: Ubunge 2020, Hali Ya Bongofleva, Kifo cha JPM, Urais wa Mama SAMIA, nk

Jasusi

Play Episode Listen Later Apr 20, 2021 35:16


Jasusi Apiga Stori Na WAKAZI: Ubunge 2020, Hali Ya Bongofleva, Kifo cha JPM, Urais wa Mama SAMIA, nk Get full access to Barua Ya Chahali at www.baruayachahali.com/subscribe

Jasusi
Jasusi Apiga Stori Na WAKAZI: Ubunge 2020, Hali Ya Bongofleva, Kifo cha JPM, Urais wa Mama SAMIA, nk

Jasusi

Play Episode Listen Later Apr 20, 2021 35:16


Jasusi Apiga Stori Na WAKAZI: Ubunge 2020, Hali Ya Bongofleva, Kifo cha JPM, Urais wa Mama SAMIA, nk

Jasusi
Urais Wa Mama Samia: Makundi 11 Yanayoweza Kumsumbua, Aweza Kukumbwa Na Yaliyomsibu Mwinyi 1985-1995

Jasusi

Play Episode Listen Later Apr 18, 2021 12:07


Urais Wa Mama Samia: Makundi 11 Yanayoweza Kumsumbua, Aweza Kukumbwa Na Yaliyomsibu Mwinyi 1985-1995

Jasusi
Urais Wa Mama Samia: Makundi 11 Yanayoweza Kumsumbua, Aweza Kukumbwa Na Yaliyomsibu Mwinyi 1985-1995

Jasusi

Play Episode Listen Later Apr 18, 2021 12:07


Urais Wa Mama Samia: Makundi 11 Yanayoweza Kumsumbua, Aweza Kukumbwa Na Yaliyomsibu Mwinyi 1985-1995 Get full access to Barua Ya Chahali at www.baruayachahali.com/subscribe

Jasusi
Uchambuzi Mfupi Wa Kijasusi Kuhusu Samia Kuapishwa Urais Huku Wengi Wakimlaumu Kwa Kutovaa Barakoa

Jasusi

Play Episode Listen Later Mar 20, 2021 12:07


Uchambuzi Mfupi Wa Kijasusi Kuhusu Samia Kuapishwa Urais Huku Wengi Wakimlaumu Kwa Kutovaa Barakoa. Get full access to Barua Ya Chahali at www.baruayachahali.com/subscribe

Jasusi
Uchambuzi Mfupi Wa Kijasusi Kuhusu Samia Kuapishwa Urais Huku Wengi Wakimlaumu Kwa Kutovaa Barakoa

Jasusi

Play Episode Listen Later Mar 20, 2021 12:07


Uchambuzi Mfupi Wa Kijasusi Kuhusu Samia Kuapishwa Urais Huku Wengi Wakimlaumu Kwa Kutovaa Barakoa.

Msasaonline
KANYE WEST AJITOA KWENYE MBIO ZA KUGOMBEA URAIS WA MAREKANI.

Msasaonline

Play Episode Listen Later Jul 15, 2020 1:37


Wakati taifa la Tanzania likiwa kwenye maandalizi ya uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu 2020, huku ikishuhudiwa muamko mkubwa wa wasanii na watu maarufu wakijitokeza kuchukua fomu kwaajili ya kuhitaji ridhaa ya kugombea nafasi mbalimbali. Nchini Marekani msanii Kanye West amejitoa kwenye mbio hizo za kugombea nafasi ya Urais. Rapa Kanye West alitangaza azma yake ya kugombea nafasi ya Urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu ndani ya Marekani, huku akiwa anajaribu kushindana na Donald Trump ambae alikua ni rafiki yake kwenye harakati za kumsaidia kumfanyia kampeni wakati anataka kuingia White House. Taarifa za Kanye West kujiondoa kwenye mbio hizo zimetolewa na watu wa karibu sana ambao walikuwa kwenye kamati yake ya kampeni. Taarifa zinasema timu ya Kanye West tayari ilikuwa imeshaingia kwenye majimbo ya Florida na Carolina Kwaajili ya kuanza kuwaandaa baadhi ya wanahabari ili kujitengenezea mazingira mazuri kwenye kampeni yao, jambo ambalo lilihitaji mawakili wengi kushiriki na kuliunga mkono. Kwenye taarifa hiyo, wanasema watu wengi walijitokeza kumuunga mkono rapa Kanye West na kusaini, namba ilikua kubwa mpaka ikatuzidi huku watu wengi waliamua sio tu kusimamia mikataba yao lakini walijitolea pia. Lakini baadae kidogo baada ya chanzo hicho kuulizwa kuhusu maendeleo ya timu ya kampeni ya Kanye, Jibu lilikua ni "Amejitoa" Pindi alipoulizwa zaidi kuhusu mwisho wa mbio za kugombea urais za Kanye West akajibu "Nitawafahamisha ninachojua mara moja"

SBS Swahili - SBS Swahili
Chama tawala cha Burundi chamchagua mgombea wa urais

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 29, 2020 11:52


Chama tawala cha Burundi CNDD/FDD, kime mchagua Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye, kupeperusha bendera yao katika uchaguzi wa urais ujao.

chama burundi urais tawala burundians
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mvutano wa Wagombea Urais nchini Nigeria pamoja na Senegal waendelea kujitokeza

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Feb 26, 2019 10:01


Ungana na Steven Mumbi akizungumza na Wasikilizaji kupata mitizamo yao baada ya Tume ya Uchaguzi nchini Nigeria kutangaza matokeo ya awali huku Mgombea wa Upinzani PDP akipinga nako Nchini Senegal Mgombea wa chama Tawala ajitangaza Mshindi.

nigeria senegal tume pamoja habari urais uchaguzi ungana tawala wasikilizaji steven mumbi
Matraquilhos - Um Podcast de Futebol
Memórias de Leste em Portugal

Matraquilhos - Um Podcast de Futebol

Play Episode Listen Later Jan 21, 2019 82:08


Enfraquecido após a queda do Muro de Berlim e da dissolução da URSS, o futebol de leste é, ainda assim, historicamente forte. Seja nos Balcãs, ou para lá dos Urais, a ligação portuguesa a jogadores de leste é grande e muitos foram os que passaram com sucesso por Portugal. Para falar do tema, convidámos o maior especialista em língua portuguesa sobre futebol de leste - Joel Amorim (no twitter como @Vostok1981). Pelo meio, entre o Fragoso e o Barbosa, tempo para falar do Defensa y Justicia, do Famalicão, de Bielsa, do Wolves, do golo de Seferovic e da Académica de João Alves. Para terminar, um baú especial, que mete noruegueses e búlgaros ao barulho, no programa mais periférico até à data. - O Matraquilhos (@Matraquilhos) é uma produção da Oficina do Podcast (pedro@oficinadopodcast.com). Tem a condução e guiões de Pedro Fragoso (@PF_Fragoso) e os comentários são do Pedro Barbosa (@olhaobarbosa).

SBS Swahili - SBS Swahili
Is the DRC headed for a vote recount? - Je kura za urais wa DR Congo, zaelekea kuhesabiwa upya?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 14, 2019 54:33


As one opposition candidate awaits to be sworn as the new president of DR Congo, the other candidate has lodged a case with the constitutional court demanding it orders a recount of the presidential election votes in which he was denied his rightful victory. - Mgombea mmoja wa upinzani anasubiri kuapishwa kuwa rais mpya wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), mgombea mwenza wa upinzani amewasilisha kesi katika mahakama yaki katiba, akitaka kura za urais ambazo zilimnyima fursa yakuwa rais zihesabiwe upya.

SBS Swahili - SBS Swahili
Vote fraud suspicion increases in DR Congo postponed presidential election - Madai ya wizi wa kura yasambaa katika kampeni za uchaguzi wa urais ujao wa DR Congo

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 23, 2018 28:57


Voters and candidates campaigning for the postponed presidential election in DR Congo, have begun expressing their suspicion about the elections which will now be held on 30 December 2018. - Wapiga kura na wagombea wa uchaguzi wa urais wa DR Congo, wame anza kuelezea wasi wasi wao kuhusu usalama wa kura katika uchaguzi wa urais utakao fanywa tarehe 30 Disemba 2018.

Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Tume Huru ya Uchaguzi DRC, CENI yatangaza majina ya wagombea Urais

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Oct 3, 2018 10:04


Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi CENI nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo DRC, Corneille Nangaa ametangaza majina ya wagombea urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Disemba 23 mwaka huu huku wanasiasa wa upinzani Jean Pierre Bemba na mwenzake Moise Katumbi wakikosa nafasi ya kugombea kutokana na sababu mbalimbali. Je unataka kujua nguvu ya upinzani inasimama katika nafasi gani? Ungana na Victor Robert Wile katika Makala haya ya Wimbi la Siasa.

ceni makala tume jamhuri urais uchaguzi ungana moise katumbi jean pierre bemba majina disemba
Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Jean Pierre Bemba hatihati kugombea Urais DRC

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Oct 3, 2018 10:01


Majina ya wagombea Urais ya awali yametangazwa huku Jean Pierre Bemba akienguliwa na yeye kuapa kukata rufaa kugai haki yake wakati Tume huru ya Uchaguzi CENI ikidai hawezi kugombea kutokana na kesi yake katika mahakama ya ICC. Je unafikiri hali itakuaje na nini hatima ya kiongozi huyo wa upinzani? Ungana na Victor Robert Wile katika Makala ya Wimbi la Siasa kupata undani wa suala hilo.

icc makala tume urais ungana jean pierre bemba majina
Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Rais Joseph Kabila kubadilisha Katiba kuwania tena urais ?

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jun 1, 2018 10:16


Kuna dalili kuwa rais Joseph Kabila wa DRC anapanga kuibadilisha Katiba ili kuwania urais kwa muhula wa tatu. Mabango ya picha ya rais Kabila,  yaliyo na maandishi "Huyu ndio mgombea wetu" yameonekana jijini Kinshasa. Hii inamaanisha nini ? Tunajadili.

República do Medo
EP 01 Incidente do Passo Dyatlov

República do Medo

Play Episode Listen Later Jan 3, 2018 2:20


Após a estranha morte de três esquiadores nos montes Urais, uma equipe de resgate Russa encontra um gravador que contém os momentos finais da vida desses jovens. OUÇA O PRÓXIMO EPISÓDIO: Incidente do Passo Dyatlov EP 02: http://bit.ly/2hXhDQH SEJA UM APOIADOR: Ajude o RdM a produzir mais conteúdo e ganhe recompensas exclusivas! Acesse: https://apoia.se/rdm ELENCO: Luda: Sabrina [...] O post Incidente do Passo Dyatlov EP 01 apareceu primeiro em República do Medo.

República do Medo
EP 02 Incidente do Passo Dyatlov

República do Medo

Play Episode Listen Later Jan 3, 2018 1:50


Após a estranha morte de três esquiadores nos montes Urais, uma equipe de resgate Russa encontra um gravador que contém os momentos finais da vida desses jovens. OUÇA O PRÓXIMO EPISÓDIO: Incidente do Passo Dyatlov EP 03: http://bit.ly/2ApqTnG SEJA UM APOIADOR: Ajude o RdM a produzir mais conteúdo e ganhe recompensas exclusivas! Acesse: https://apoia.se/rdm ELENCO: Luda: Sabrina [...] O post Incidente do Passo Dyatlov EP 02 apareceu primeiro em República do Medo.

República do Medo
EP 03 Incidente do Passo Dyatlov

República do Medo

Play Episode Listen Later Jan 3, 2018 1:56


Após a estranha morte de três esquiadores nos montes Urais, uma equipe de resgate Russa encontra um gravador que contém os momentos finais da vida desses jovens. OUÇA O PRÓXIMO EPISÓDIO: Incidente do Passo Dyatlov EP 04: http://bit.ly/2m8jV42 SEJA UM APOIADOR: Ajude o RdM a produzir mais conteúdo e ganhe recompensas exclusivas! Acesse: https://apoia.se/rdm ELENCO: Luda: Sabrina [...] O post Incidente do Passo Dyatlov EP 03 apareceu primeiro em República do Medo.

República do Medo
EP 04 Incidente do Passo Dyatlov

República do Medo

Play Episode Listen Later Jan 3, 2018 2:36


Após a estranha morte de três esquiadores nos montes Urais, uma equipe de resgate Russa encontra um gravador que contém os momentos finais da vida desses jovens. OUÇA O PRÓXIMO EPISÓDIO: Incidente do Passo Dyatlov EP 05 FINAL: http://bit.ly/2EU9qqk SEJA UM APOIADOR: Ajude o RdM a produzir mais conteúdo e ganhe recompensas exclusivas! Acesse: https://apoia.se/rdm ELENCO: Luda: [...] O post Incidente do Passo Dyatlov EP 04 apareceu primeiro em República do Medo.

República do Medo
EP 05 (FINAL) Incidente do Passo Dyatlov

República do Medo

Play Episode Listen Later Jan 3, 2018 4:46


Após a estranha morte de três esquiadores nos montes Urais, uma equipe de resgate Russa encontra um gravador que contém os momentos finais da vida desses jovens. SEJA UM APOIADOR: Ajude o RdM a produzir mais conteúdo e ganhe recompensas exclusivas! Acesse: https://apoia.se/rdm ELENCO: Luda: Sabrina Souza Sargento I: André Arruda Frans: Guilherme Capristo Coronel: Evaldo [...] O post Incidente do Passo Dyatlov EP 05 FINAL apareceu primeiro em República do Medo.

Wimbi la Siasa
Wimbi la Siasa - Mahakama Kuu nchini Kenya yataka wagombea urais kushiriki uchaguzi

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Oct 13, 2017 10:13


Hivi karibuni Mahakama Kuu nchini Kenya iliamua wagombea wote wanane wa urais washiriki katika uchaguzi wa marudio unaotarajiwa Oktoba 26 mwaka huu hatua ambayo imeibua maswali lukuki huku Muungano wa Upinzani NASA chini ya kinara wake Raila Odinga ukitangaza kujiondoa katika marudio.Kutokana na hali hiyo Kenya iko njia panda na kujua kwa undani mustakabali wa nchini na sheria zinasema nini? sikiliza Makala haya ya Wimbi la Siasa na Victor Robert Wile.