Podcasts about urais

  • 27PODCASTS
  • 109EPISODES
  • 25mAVG DURATION
  • 1EPISODE EVERY OTHER WEEK
  • Oct 30, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about urais

Latest podcast episodes about urais

Habari za UN
30 OKTOBA 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 30, 2025 11:41


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambayo Bi. Lucy Githinji, mkazi wa jimbo la New Jersey nchini Marekani amezungumza na idhaa hii baada ya matembezi ya hiari kwa ajili ya kuhamasisha jamii kuhusu saratani ya titi, akisema hakika dawa zinafanya kazi.Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya Kibinadamu nchini Sudan, Denise Brown amesema ni kweli wamepokea ripoti za mauaji ya baadhi ya wahudumu wa kujitolea huko El Fasher jimboni Darfur wakati huu ambapo mji huo umetwaliwa na wapiganaji wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka, (RSF).Kimbunga Melissa kimepungua nguvu baada ya kutua nchini Jamaica kama kimbunga cha kiwango cha 5, na kuvunja rekodi ya kimbunga chenye nguvu zaidi, kabla ya kuelekea kaskazini mashariki kupita Cuba hadi Bahamas, na kusababisha mafuriko makubwa, uharibifu na kukatika kwa umeme katika maeneo mbalimbali ya Karibea na Amerika ya Kati.Nchini Cameroon, kufuatia mauaji ya raia wakati wa maandamano ya kupinga kutangazwa kwa Paul Biya kuwa mshindi wa kiti cha Urais kwenye uchaguzi uliofanyika Oktoba 12, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu imeeleza wasiwasi wake juu ya ripoti za vifo hivyo.Na katika Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo,  mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana za neno "SUMIA."Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Habari RFI-Ki
Djibouti : Laondoa ukomo wa kuwania urais

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Oct 27, 2025 9:59


    Djibouti  limekuwa taifa la  hivi punde  kuondoa rasmi kikomo cha umri wa rais , hatua inayotoa fursa kwa rais  Ismail Omar Guelleh kugombea muhula wa sita katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Aprili mwaka ujao. Awali Katiba ya nchi hiyo ilikuwa inamzuia rais kugombea tena baada ya kufikisha miaka 75.  Hali hii pia imeonekana kwenye mataifa kadhaa ya Afrika Mashariki kama vile Uganda. Skiza mahakala haya kuskia maoni ya waskilizaji.

Habari RFI-Ki
Djibouti : Laondoa ukomo wa kuwania urais

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Oct 27, 2025 9:59


    Djibouti  limekuwa taifa la  hivi punde  kuondoa rasmi kikomo cha umri wa rais , hatua inayotoa fursa kwa rais  Ismail Omar Guelleh kugombea muhula wa sita katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Aprili mwaka ujao. Awali Katiba ya nchi hiyo ilikuwa inamzuia rais kugombea tena baada ya kufikisha miaka 75.  Hali hii pia imeonekana kwenye mataifa kadhaa ya Afrika Mashariki kama vile Uganda. Skiza mahakala haya kuskia maoni ya waskilizaji.

Wimbi la Siasa
Rais Museveni kuchuana tena na Bobi Wine kwenye uchaguzi wa urais 2026

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Oct 1, 2025 10:08


Kampeni za uchaguzi mkuu nchini Uganda, uliopangwa kufanyika Januari 12, 2026, zilianza Septemba 29. Kuna wagombea wanane wa urais, akiwemo kiongozi wa muda mrefu Yoweri Museveni mwenye umri wa miaka 81, ambaye ameongoza nchi hiyo kwa miaka 39. Mpinzani wake mkuu ni Robert Kyagulanyi  maarufu kama Bobi Wine, mwenye umri wa miaka 43. Nini kinachotarajiwa kwenye kampeni hizi ?

Habari RFI-Ki
Kufungiwa kwa mgombea wa urais wa chama cha upinzani cha ACT Tanzania

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Aug 29, 2025 9:32


Habari RFI-Ki
Kufungiwa kwa mgombea wa urais wa chama cha upinzani cha ACT Tanzania

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Aug 29, 2025 9:32


Wimbi la Siasa
Rais Museveni ateuliwa tena kuwania urais nchini Uganda

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jul 16, 2025 10:10


Kiongozi wa muda mrefu nchini Uganda Yoweri Museveni mwenye umri wa miaka 80, ameteuliwa na chama chake cha NRM, kugombea tena urais wakati wa uchaguzi mkuu uliopagwa kufanyika mapema mwaka 2026, baada ya kuwa madarakani miaka 40. Hii inamaanisha nini katika siasa za Uganda ?

Habari RFI-Ki
Maoni yako kuhusu azma ya rais wa Uganda Museveni kuwania tena urais

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 1, 2025 9:55


Habari RFI-Ki
Maoni yako kuhusu azma ya rais wa Uganda Museveni kuwania tena urais

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 1, 2025 9:55


Horrorizadas Podcast
#102 Devil's Pass

Horrorizadas Podcast

Play Episode Listen Later Mar 28, 2025 59:56


Sinopse: Em 2013 um grupo de estudantes foi até os montes Urais na Rússia tentar descobrir o que aconteceu com os 9 montanhistas que morreram em 1959, deixando o local conhecido como Dyatlov Pass.O objetivo desse episódio é analisar o filme e também tentar traçar um paralelo da história real com esse filme, será que eles exploram bem o mistério? >>>> Filme disponível na Prime Vídeo

Habari RFI-Ki
Maoni kuhusu vingozi wa kijeshi wa nchi za Afrika Magharibi kutaka kugombea urais

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Mar 5, 2025 10:08


Nchini Gabon, kiongozi wa kijeshi jenerali Brice Oligui Nguema ametangaza kuwa atagombea urais katika uchaguzi wa mwezi ujao, baada ya kutwaa madaraka kupitia mapinduzi ya kijeshi ya 2023.Hili linajiri wakati huu viongozi wengine wa kijeshi kwenye nchi za Burkina Faso, Mali na Niger wakielekea kuchukua mkondo huo.

Habari RFI-Ki
Maoni kuhusu vingozi wa kijeshi wa nchi za Afrika Magharibi kutaka kugombea urais

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Mar 5, 2025 10:08


Nchini Gabon, kiongozi wa kijeshi jenerali Brice Oligui Nguema ametangaza kuwa atagombea urais katika uchaguzi wa mwezi ujao, baada ya kutwaa madaraka kupitia mapinduzi ya kijeshi ya 2023.Hili linajiri wakati huu viongozi wengine wa kijeshi kwenye nchi za Burkina Faso, Mali na Niger wakielekea kuchukua mkondo huo.

Alfajiri - Voice of America
Kiongozi wa kijeshi wa Gabon atangaza kuwania urais mwezi Aprili - Machi 04, 2025

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 4, 2025 29:59


Wimbi la Siasa
Rais Samia ateuliwa na cham chake kuwania urais mwaka 2025

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jan 22, 2025 10:20


Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameteuliwa kwa kauli moja na wajumbe wa chama cha mapinduzi CCM kupeperusha bendera ya chama hicho wakati wa uchaguzi mkuu mwezi Oktoba. Tunachambua hatua hii.

Jukwaa la Michezo
Hussein Mohammed ashinda kiti cha urais shirikisho la soka FKF nchini Kenya

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Dec 7, 2024 23:53


Tuliyokuandalia ni pamoja na uchaguzi wa shirikisho la soka nchini Kenya FKF, raundi ya pili ya klabu bingwa Afrika na raga ya wachezaji saba kila upande duniani, fainali za kombe la mataifa ya Afrika mchezo wa handboli kwa kina dada, debi la Rwanda, mechi za kufuzu ligi ya Afrika basketboli mwaka ujao, droo ya makundi michuano ya klabu bingwa duniani mwaka ujao nchini Marekani mwaka 2026.

Kwa Undani - Voice of America
Kiongozi wa upinzani wa Somaliland Abdirahman Mohamed Abdullahi kutoka chama cha waddani ameshinda uchaguzi wa urais. - Novemba 19, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 19, 2024 30:00


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Kwa Undani - Voice of America
Meza ya waandishi inaangazia matokeo ya uchaguzi Marekani pamoja na ghasia zinazoendelea Msumbiji kufuatia uchaguzi wa urais wa Oktoba 9. - Novemba 08, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 8, 2024 29:57


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

VOA Express - Voice of America
Wakaazi wa jimbo la Maryland nchini Marekani wanatoa maoni yao siku moja kuelekea uchaguzi mkuu wa urais Marekani wenye ushindani mkali. - Novemba 04, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 4, 2024 30:00


VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.

Jukwaa la Michezo
Nitawania tena urais wa CAF mwaka 2025, amethibitisha Dkt Patrice Motsepe

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Oct 26, 2024 23:47


Tuliyokuandalia ni pamoja na taarifa ya Rais wa CAF Patrice Motsepe kuwania tena urais muhula wa pili, hukumu ya CAF katika mechi ya Nigeria dhidi ya Libya, yaliyotukia kwenye ziara ya rais wa Olimpiki ya kimataifa nchini Kenya na Kongamano la tatu la kibiashara la soka Afrika, uchambuzi wa michuano ya Kombe la Dunia la kina dada U17, Senegal ikihifadhi ubingwa wa Afrika soka ya ufukweni, michuano ya ndondi Afrika jijini Kinshasa, PSG kumlipa Mbappe €55M na uchambuzi wa El Clasico leo usiku.

Kwa Undani - Voice of America
Utaratibu unaotumika kupata kura 270 ambazo zinahitajika kwa mgombea urais Marekani kuweza kushinda uchaguzi mkuu wa Novemba 5 mwaka huu. - Oktoba 15, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 15, 2024 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Alfajiri - Voice of America
Swala la vimbunga latawala kwenye kampeni za wagombea urais Marekani. - Oktoba 11, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 11, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Kamala Harris aelezea vipaumbele vyake baada ya kukubali rasmi uteuzi wa chama chake kuwania urais Novemba 5 - Agosti 23, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 23, 2024 29:58


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Jioni - Voice of America
Makamu Rais wa Marekani Kamala Harris ambaye ni mgombea urais wa Marekani amemtaja gavana Tim Walz wa Minnesota kuwa mgombea mwenza wake. - Agosti 06, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 6, 2024 30:00


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Brazil UFO
O INCIDENTE DO PASSO DIATLOV - Brazil UFO Talks

Brazil UFO

Play Episode Listen Later Aug 6, 2024 160:11


Brazil UFO Talks O editor do canal Brazil UFO Clayton Feltran, trará para um bate-papo descontraído convidados amigos do canal que têm a ufologia em seu DNA. Últimas notícias Notícias sobre avistamentos e fenômenos anômalos ocorridos no Brasil e no mundo. ___________________ Envie seu áudio, fotos e vídeos para: WhatsApp Brazil UFO +55 11 98436-3637 _________________ Doação ao canal Brazil UFO https://streamelements.com/brazilufo/tip O INCIDENTE DO PASSO DIATLOV Neste programa de domingo receberemos o pesquisador e ufólogo Jackson Camargo, para falarmos sobre o Incidente do Passo Dyatlov. Este incidente foi um acontecimento que resultou na morte de nove esquiadores ao norte dos montes Urais, na antiga União Soviética, na noite de 2 de fevereiro de 1959. Aconteceu na costa leste da montanha Kholat Syakhl, cujo nome em mansi significa "Montanha dos Mortos". Desde então, o passo de montanha onde o incidente ocorreu é chamado de Passo Dyatlov, baseado no nome do líder do grupo, Igor Dyatlov. E pra você, este incidente poderia ter sido causado pelo Fenômeno UFO? Você não pode perder o programa! Ao Vivo a partir das 20h15. Brazil UFO Talks Com Clayton Feltran, Eder Pereira, Ricardo Chaves e Jackson Camargo. ::: LOJA BRAZIL UFO - PRODUTOS ORIGINAIS BRAZIL UFO ::: https://lojabrazilufo.com/ Faça parte do Eu apoio o Brazil UFO Seja um apoiador do Brazil UFO e nos ajude a trazer conteúdos de qualidade a todos os amigos do canal. Sua ajuda fará toda a diferença. Acesse o site: https://apoia.se/brazilufo e seja um apoiador do canal. Se preferir você pode ajudar via PIX: brazil.ufo.sp@gmail.com https://brazilufo.com #brazilufo #brazilufotalks

Alfajiri - Voice of America
Makamu wa Rais wa Marekani Harris apata uungwaji mkono mkubwa kugombea urais - Julai 23, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 23, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Biden ajiondoa kwenye kinyang'anyiro, amuunga mkono Makamu wake Harris kuwania urais - Julai 22, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 22, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Donald Trump ateuliwa rasmi kuwa mgombea urais wa chama cha Republican, Marekani - Julai 16, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 16, 2024 29:59


Kwa Undani - Voice of America
Mkutano wa chama cha Republikan waanza mjini Milwaukee siku 2 baada ya Trump, anayetarajiwa kuidhinishwa kama mgombea urais, kupigwa risasi - Julai 15, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 15, 2024 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Alfajiri - Voice of America
Rais wa zamani wa Iran Mahmoud Ahmadinejad amejiandikisha kuwania urais katika uchaguzi ujao. - Juni 03, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 3, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Sepetuko
KIONGOZI WA KITAIFA AU MSIMAMIZI WA ENEO?

Sepetuko

Play Episode Listen Later Jun 3, 2024 4:05


Juhudi zinazoendelezwa na Naibu Rais Rigathi Gachagua kusukuma ajenda za eneo la Mlima Kenya zinahujumu azma ya tiketi ya Urais kuwa nembo ya umoja wa nchi nzima na sio eneo moja. Naibu Rais anafaa kuhudumia nchi nzima na sio kujikita tu katika eneo anakotoka.

Wimbi la Siasa
Makala haya yanatupia jicho uchaguzi wa urais nchini Urusi, nini maana ya ushindi wa rais Vladimir Putin.

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Mar 20, 2024 10:04


Jioni - Voice of America
Kaimu Rais wa Chad Mahamat Idriss Deby atangaza nia yake ya kuwania urais kwenye uchaguzi wa mwaka huu. - Machi 02, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 2, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Rais wa muda wa Namibia, Nangolo Mbumba anasema hatowania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu baadae mwaka huu. - Februari 05, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Feb 5, 2024 30:00


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Chama tawala cha Taiwan chashinda urais kwa muhula wa tatu mfululizo. - Januari 13, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 13, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Alfajiri - Voice of America
Gavana wa zamani wa jimbo la New Jersey nchini Marekani Chris Christie ametangaza kusitisha kampeni za urais kupitia chama cha Republican - Januari 11, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 11, 2024 29:58


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Café Crime e Chocolate
208 - A Misteriosa Expedição de Igor Dyatlov - Parte 3 - Teorias | Russia

Café Crime e Chocolate

Play Episode Listen Later Dec 21, 2023 86:10


Há décadas, o local chamado hoje de “Passo Dyatlov” nas montanhas Urais tem instigado teóricos e investigadores, desafiando explicações convencionais e gerando cada vez mais dúvidas. Na parte 3 e final desta mini-série de episódios, exploraremos algumas das teorias mais fascinantes que cercam a enigmática expedição de Igor Dyatlov e seu grupo de esquiadores.  Produção: Crimes e Mistérios Brasil Narração: Tatiana Daignault Edição: Tatiana Daignault Pesquisa e Roteiro: Tatiana Daignault  Fotos e fontes sobre o caso você encontra aqui O Café Crime e Chocolate é um podcast brasileiro que conta casos de crimes reais acontecidos no mundo inteiro com pesquisas detalhadas, narrado com respeito e foco nas vítimas. Não esqueça de se inscrever no podcast pela sua plataforma preferida, assim você não perde nenhum episódio.  Siga-nos também em nossas redes sociais: Instagram Facebook Twitter

Alfajiri - Voice of America
Rais wa Russia, yupo katika harakati za kugombania muhula mwingine wa urais toka aingie madarakani mwaka 2000 - Desemba 18, 2023

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 18, 2023 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Jioni - Voice of America
Kampeni za uchaguzi wa urais nchini Jamhuri ya Kidemokrasni ya Congo zinaendelea kukiwa na wagombea 25 dhidi ya Rais Felix Tshisekedi. - Novemba 24, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 24, 2023 59:58


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Hatimae Martin Fayulu atangaza atawania Urais DRC

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Oct 1, 2023 8:24


Kiongozi wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Martin Fayulu, Jumamosi alithibitisha kugombea urais kwenye uchaguzi wa tarehe 20 Disemba 2023.

Lunchtime With Roggin And Rodney
8/14 H1: Dodgers sweep Rockies; Dave Roberts' manegerial job; Harden calls Morey a liar

Lunchtime With Roggin And Rodney

Play Episode Listen Later Aug 14, 2023 42:03


The Dodgers swept Colorado as Urais and Gonsolin continue to improve. Is this Dave Roberts' best managing job ever? James Harden says that Daryl Morey is a liar and he will never play for another organization that he is involved with.

Casos Reais
O misterioso incidente do Passo Dyatlov

Casos Reais

Play Episode Listen Later Mar 1, 2023 36:52


O Passo Dyatlov, também conhecido como Incidente Dyatlov, é um dos casos mais famosos de mistério e conspiração da história russa. O incidente ocorreu em 1959, quando um grupo de nove caminhantes experientes, liderados por Igor Dyatlov, se aventurou em uma trilha nas montanhas Urais, na Rússia. Site: www.casosreaispodcast.com.br Contato comercial: blogerikamiranda@gmail.com Youtube: https://www.youtube.com/c/%C3%89rikaMiranda21 Instagram: @casosreaisoficial @erikamirandas --- Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/casos-reais/support

Alfajiri - Voice of America
Moise Katumbi ametangaza kwamba atagombea urais DRC 2023 - Desemba 19, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 19, 2022 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

urais moise katumbi desemba
Alfajiri - Voice of America
Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump atangaza kugombania urais uchaguzi wa 2024 - Novemba 16, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 16, 2022 30:00


Wakati kura zikiwa hazijamalizika kuhesabiwa za uchaguzi wa bunge wa katikati ya muhula wa Marekani wa 2022, rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump ametangaza nia ya kugombea urais kwa mara nyingine kupitia chama cha Republikan katika uchaguzi wa 2024.

Jioni - Voice of America
Mahakama ya juu Kenya itaamua Jumatatu iwapo itaunga mkono au kubatilisha matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Agosti 9 mwaka 2022 - Septemba 04, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Sep 4, 2022 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Mahakama ya Juu Kenya yaamuru kura za Urais kuhesabiwa upya katika vituo 15 - Agosti 30, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 30, 2022 29:56


Mahakama ya Juu nchini Kenya imeamuru kuhesabiwa upya kwa kura za urais katika vituo 15 kote nchini humo, zoezi ambalo limepangwa kuanza mchana wa siku ya Jumanne, Agosti 30, 2022 na litachukua saa 48 kuhakiki kura hizo.

Alfajiri - Voice of America
Wakenya waendelea kusubiri mshindi wa urais baada ya kupiga kura wakati ushindani ukiendelea kubaki mkali. - Agosti 11, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 11, 2022 29:59


Aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinda na naibu rais William Ruto wanaonekana kuwa kwenye ushindani mkali , wakati baadhi ya washindi wa viti vingine vya ubunge na kaunti tayari wakianza kusherehekea

America Swahili News Podcast
Decision 2022 Uchaguzi wa Urais, 2022

America Swahili News Podcast

Play Episode Listen Later Aug 8, 2022 13:47


Decision 2022| Uchaguzi wa Urais, 2022 --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app Support this podcast: https://anchor.fm/patrick-nhigula/support

Alfajiri - Voice of America
Tume ya uchaguzi Kenya imewaidhinisha wagombea 4 kati ya 58 wa kinyang'anyiro cha urais - Juni 07, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 7, 2022 30:00


IEBC iliwaidhinisha wagombea hao kufuatia masharti magumu iliyoyaweka kama vigezo vinavyostahili kufuatwa na wagombea. Walioidhinishwa ni Naibu Rais William Ruto, Raila Odinga, David Mwaure na George Wajackoyah

Alfajiri - Voice of America
Kenya: wagombea urais watakiwa kuwasilisha majina ya wagombea wenza hadi May 16 - Aprili 27, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 27, 2022 30:00


Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini Kenya (IEBC) baada ya kukutana Jumanne na vyama vya siasa vitakavyoshiriki uchaguzi wa Agosti 9, imetangaza kwamba wanaowania urais watakiwa kuwasilisha majina ya wagombea wenza kwa tume hiyo ifikapo tarehe 16 Mei.

Ufologia de Quintal
Morte nos Montes Urais (Dyatlov Pass)

Ufologia de Quintal

Play Episode Listen Later Apr 10, 2022 83:31


Olá terráqueos! O ano é 1959, um grupo formado por nove estudantes e um instrutor do Instituto Politécnico de Ural em Yekaterimburgo saiu para uma expedição de esqui nos montes Urais, na Rússia (antiga URSS). O que acontece a seguir é uma mistério que persiste até hoje. Venha bater um papo conosco sobre esse caso simplesmente misterioso! Quer montar sua loja 100% online? Conheça a Montink https://admin.montink.com.br/afiliado/dis5y.htm https://www.ufologiadequintal.com.br/ (Lujinha) https://linktr.ee/ufologiadequintal Créditos Edição nóix mermo https://www.vigilia.com.br Music by Karl Casey @ White Bat Audio Scott Holmes Music CHAVE PIX UOPECAN CASCAVEL 81.270.548/0001-53 e-mail ix.tmkt@uopeccan.org.br http://recantodacrianca.com/home https://pequenoprincipe.org.br/pacientes-e-familiares/humanizacao/voluntariado/doacoes/ https://www.apaebrasil.org.br/doacao https://www.msf.org.br/ --- Send in a voice message: https://anchor.fm/centro-de-pesquisas-ufolg/message