Podcasts about huu

  • 54PODCASTS
  • 134EPISODES
  • 44mAVG DURATION
  • 1EPISODE EVERY OTHER WEEK
  • Feb 23, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about huu

Latest podcast episodes about huu

Radio Maria Tanzania
Huu ni ushauri kwa Watu wasiomwamini Kristo?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 23, 2025 58:51


Karibu uungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilain, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akijibu swali hili je unawapa ushauri gani Watu wasiomwamini Kristo? L'articolo Huu ni ushauri kwa Watu wasiomwamini Kristo? proviene da Radio Maria.

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Msamiati wa Siku

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Feb 18, 2025 0:21


Jua zaidi kuhusu neno "Ukungu", tafsiri yake kwa Kiingereza, maana yake, na jinsi linavyotumika katika sentensi. Huu ni mwongozo rahisi kwa yeyote anayetaka kujifunza au kuboresha Kiswahili chao.

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Msamiati wa Siku

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Feb 13, 2025 0:20


Jua hukusu neno "Mlowezi", tafsiri yake kwa Kiingereza, maana yake, na jinsi linavyotumika katika sentensi. Huu ni mwongozo rahisi kwa yeyote anayetaka kujifunza au kuboresha Kiswahili chao.

Radio Maria Tanzania
Huu ndiyo ujumbe wa Mungu katika Dominika ya nne ya Majilio.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Dec 19, 2024 54:38


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa, akitufundisha juu ya ujumbe wa Mungu katika Dominika ya nne ya majilio ya mwaka ‘C' wa Kanisa. L'articolo Huu ndiyo ujumbe wa Mungu katika Dominika ya nne ya Majilio. proviene da Radio Maria.

安眠書店
田定豐的共時好生活|語言和呼吸是一切連結的起點|KIN 162 韻律的白風

安眠書店

Play Episode Listen Later Dec 15, 2024 3:02


田定豐的共時好生活 主播:田定豐 製作:朱衍舞 12月16日 今天的星系印記是KIN 162,韻律的白風。 這是一股流動與表達的能量,邀請我們像風一樣自由輕盈,讓內心的感受自然地流露與分享。 今天特別適合與人溝通,用溫柔而真誠的方式傳遞我們的想法與感受。風的智慧告訴我們,語言和呼吸是一切連結的起點,而韻律則幫助我們找到內在與外在的平衡。 每個白風的日子,都是練習「呼吸靜心」的絕佳時刻。 今天,我們特別推薦一個簡單而強大的大海韻律呼吸靜心: 找一個安靜的地方,閉上眼睛,想像自己站在大海邊,感受海浪的韻律拍打著岸邊,伴隨著海風的「呼——呼——」聲響。 用鼻子深深吸氣,感覺海風進入你的身體,滋養每一個細胞。 然後通過微微張開的嘴巴緩慢吐氣,發出「HUU」的聲音,像大海在呼吸一樣。 重複幾次,讓身心隨著這種韻律漸漸平靜與清明。 這個靜心練習可以幫助我們釋放內在的壓力與雜念,讓心靈回歸清澈。甚至在洗澡時,伴隨著水流的聲音,也可以輕輕地進行這個練習,感受到內在的淨化與煥然一新。 正如艾克哈特·托利在《當下的力量》中所說:“呼吸是一座橋,它連接我們的身體與心靈,帶我們回到當下。” 今天,讓我們以白風的輕盈與韻律的節奏,學會更真誠地與他人連結,也學會透過呼吸與自己對話。內在的清明與自由,來自於我們每一次深深的吸氣與吐氣之間。 IN LAK'ECH!ALA K'IN. 你是我,我是另外一個你。 讓田定豐的共時好生活,陪你一起跟著自然時間過生活 田定豐 共時好生活互動社群 (line) @fong_venture 田定豐_FB粉絲專頁 https://www.facebook.com/LancasterTien 田定豐_IG @lancaster5858 https://www.instagram.com/lancaster5858 -- Hosting provided by SoundOn

Gurudumu la Uchumi
Manufaa na changamoto za mkataba wa biashara huria barani Afrika, AfCFTA

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Dec 4, 2024 10:02


Msikiliza mataifa 54 ya Afrika yametia saini mkataba wa biashara huria barani Afrika, mataifa 48 yakitia saini itifaki kuanza kuutekeleza. Huu ni moja ya mikataba mikubwa ya kibiashara duniani, ukitarajiwa kuwaondoa raia milioni 30 kutoka kwenye umasikini na kuongeza mapato ya bara hil hadi kufikia dola bilioni 450 ifikapo mwaka 2030.Kuangazia kwa kina mkataba huu pamoja na hali ya madeni ya nchi za Afrika, tumezungumza na Ali Mkimo, mtaalamu na mchambuzi wa masuala ya uchumi akiwa Tanzania.

Gurudumu la Uchumi
Manufaa na changamoto za mkataba wa biashara huria barani Afrika, AfCFTA

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Dec 4, 2024 10:02


Msikiliza mataifa 54 ya Afrika yametia saini mkataba wa biashara huria barani Afrika, mataifa 48 yakitia saini itifaki kuanza kuutekeleza. Huu ni moja ya mikataba mikubwa ya kibiashara duniani, ukitarajiwa kuwaondoa raia milioni 30 kutoka kwenye umasikini na kuongeza mapato ya bara hil hadi kufikia dola bilioni 450 ifikapo mwaka 2030.Kuangazia kwa kina mkataba huu pamoja na hali ya madeni ya nchi za Afrika, tumezungumza na Ali Mkimo, mtaalamu na mchambuzi wa masuala ya uchumi akiwa Tanzania.

Radio Maria Tanzania
Huu ndiyo uhusiano wa Huruma ya Mungu na Manabii.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Nov 21, 2024 52:00


Karibu uungane nami Esther Magai katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akitufundisha juu ya huruma yake ni ya milele akijikita zaidi katika Manabii na Huruma ya Mungu. L'articolo Huu ndiyo uhusiano wa Huruma ya Mungu na Manabii. proviene da Radio Maria.

Habari za UN
Waraka kutoka kwa watoto: Kwenu watu wazima, kwa nini mnauruhusu mustakbali wetu kuwekwa rehani?

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 20, 2024 2:20


Leo ni siku ya watoto duniani maudhui mwaka huu yakiwa "Kila mtoto, kila haki"na katika kuhakikisha sauti zao zinasikika kuhusu mustakbali wa utakao, shirika la Umoja wa Maataifa la kuhudumia watoto duniani UNICEF limewapa fursa ya kuandika barua kwenda kwa watu wazima kote duniani ili kutoa madukuduku yao na kutanabaisha wanachokitaka kwa ajili ya mustakbali wao. Hao ni baadhi tu ya makumi ya watoto walioandika barua , hawa ni kutoka Gaza, Tanzania na Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC ambao walishika kalamu na karatasi kufikisha ujumbe wao kwa watu wazima wa dunia ya sasa iliyoghubikwa na changamoto lukuki zinazoweka rehani mustakbali wao.Kwa mujibu wa ripoti mpya ya UNICEF ya “Hali ya watoto duniani mwaka 2024: Mustakabali wa Utoto katika Ulimwengu Unaobadilika,” iliyotolewa leo sanjari na maadhimisho ya siku hii kuna masuala matatu makubwa ya kimataifa yatakatoathiri maisha ya watoto ifikapo 2050 na kuendelea. Mosi ni mabadiliko katika idadi ya watu, pili janga la mabadiliko ya tabianchi na migogoro na tatu teknolojiaUNICEF inasema yote haya ni changamoto na fursa ambazo watoto wanaweza kukabiliana nazo katika zama zijazo.Rafif mtoto mkimbizi wa ndani ameandika barua kutoka Palestina ambako vita imetamalaki, anasema“Ninatoka mjini Gaza na sasa nimefurushwa hadi Kusini mwa Gaza. kama watoto Ni haki yetu kuishi kwa usalama na kujenga mustakbali bora”Kutoka mashariki ya Kati hadi Afrika Mashariki kwa Steven akimulika afya“Na nianaandika kwenu kutoka Tanzania. Kwenye jamii yangu watoto wanaugua kila wakati , kwa nini? Huu ndio mustakbali wangu je unasikiliza?”Nako Congo DRC mitihani ni mingi, Andrea anasema“Nataka kushuhudia dunia ambayo kila mtoto anapendwa, dunia ambayo amani inashamiri ni raha na faraja. Napenda kuona hasira zinageuka na kuwa mazungumzo”Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akiunga mkono suti hizo za watoto katika ujumbe wake amesema Katika Siku ya Watoto Duniani tunasherehekea washiriki wachanga zaidi wa familia yetu ya kibinadamu. Lakini leo pia ni wakati wa kutambua changamoto kubwa zinazowakabili watoto katika ulimwengu wetu uliogawanyika sana, wenye misukosuko na mara nyingi ulioshamiri ukatili.”Ripoti ya UNICEF imetoa wito wa kuwekeza katika elimu, miji endelevu na yenye mnepo kwa watoto, miundombinu inayohimili mabadiliko ya tabianchi, teknolojia, huduma muhimu na mifumo ya msaada wa kijamii na pia teknolojia iliyo salama kwa watoto ili kupambana na mzigo wa changamoto zinazowakabili.

Habari za UN
Esneda kutoka jamii ya Yukpa asema haogopi vitisho kutetea eneo la jamii yao ya asili nchini Colombia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 15, 2024 3:39


Jamii ya asili ya Yukpa nchini Colombia imevumilia miongo kadhaa ya migogoro na watu kutawanywa inayosababishwa sio tu na mabadiliko ya tabianchi mila kandamizi bali pia kupotea kwa viumbe hai na hivyo kutishia maisha yao. Esneda Saveedra, Kiongozi wa jamii ya asili ya Yukpa nchini Colombia akiwa anazungumza akiketi ndani ya msitu na kando ya mto Maracas., anasema hana hofu ya kutetea ardhi hii.Ardhi anayozungumzia ni eneo hilo la mto Maracas anayotetea dhidi ya vitisho kutoka kwa waharibifu wa mazingira kufuatia yale yaliyojadiliwa katika mkutano wa 16 wa nchi wanachama wa mkataba wa kimataifa wa bayonuai, COP16 uliomalizika Ijumaa iliyopita huko mjini Cali nchini Colombia."Sina hofu ya kutetea ardhi hii. Yale niliyopitia kama mtoto, changamoto zote hizo, yalinipa nguvu, yalinipa ujasiri, na yakaondoa hofu yangu."Video ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR inatupatia taswira ya juu ya eneo la makazi ya jamii ya Yukpa, msitu mnene na kisha kwenye mto Maracas, shughuli zinaendelea, wengine wakiogelea, wengine wakivua samaki, mama mmoja akisafisha kuku aliyemaliza kumchuna.Esneda anaeleza umuhimu wa mto huu kwa maisha ya jamii yake na anaendelea kujitahidi ili kulinda mazingira hayo."Huu ni mto Maracas, ambapo watu wetu, mababu zangu, walivua samaki kwa ajili ya chakula kila siku. Waliharibu mazingira kwa kukata miti yote, na matokeo yake, mto ulianza kukauka. Leo, mto Maracas hauna mtiririko wa maji kama ulivyokuwa zaidi ya miaka 20 iliyopita."Katika juhudi zake, Esneda ameanzisha mazungumzo na maafisa wa serikali katika manispaa ya Becerril, akijaribu kuleta mabadiliko na uelewa juu ya umuhimu wa kuhifadhi ardhi na utamaduni wa watu wa Yukpa."Kumekuwa na uratibu, kazi ya pamoja, na jambo muhimu zaidi kwangu kama mwanamke wa Yukpa imekuwa kuleta ufahamu kuhusu watu wa Yukpa na ardhi yetu. Mabadiliko ya tabianchi yametufikisha kwenye tatizo kubwa zaidi, ambalo ni upotevu wa mazao na ukosefu wa chakula. Leo hatuna chakula cha kutosha katika jamii zetu. Tunaendelea kupambana, lakini pia tuko hapa kusaidia dunia nzima kuendelea kupambana na kulinda mazingira, ardhi, na hewa. Na kusema: 'Tupo hapa kuchangia kwa ajili ya ubinadamu, kwa ulimwengu mzima.'"Harakati zake zimekumbwa na vitisho.“Walinitishia hapa kwa kuzungumza, na kwa kusema ukweli. Mama yangu alikuwa kiongozi thabiti—na bado ni kiongozi thabiti. Na nilipokuwa mdogo, nilimsindikiza kwenye michakato yake yote ya harakati, mipango na uongozi. Niliendeleza njia hiyo ya uongozi kwa sababu niliona ni muhimu. Ilikuwa ni wajibu wangu. Nilijiambia, ‘mimi ni mwanamke ambaye nimezaliwa kutetea eneo hili.”Kwa Esneda, kulinda ardhi ya Yukpa ni zaidi ya wajibu; ni dhamira ya kuhifadhi urithi wa mababu zake. Katika changamoto za kila siku, Esneda anabaki imara kwa matumaini kuwa jamii yake na mchango wao katika kuhifadhi mazingira utatambuliwa ulimwenguni.

Sepetuko
Unyenyekevu wa Wanasiasa Baada ya Maandamano ya Vijana

Sepetuko

Play Episode Listen Later Jul 4, 2024 4:12


Viwango vya unyenyekevu miongoni mwa wanasiasa wetu, ambavyo vinashuhudiwa baada ya maandamano na harakati za vijana wa kizazi cha Gen Zs na wengine ni mfano hai wa uwezo wa watu. Yaani hadi wanasiasa wetu wenyewe wanakataa nyongeza ya mishahara waliyokuwa wameongezewa na Tume ya Utathmini wa Mishahara na Marupurupu SRC! Huu unafaa kusalia kuwa mkondo. Wanasiasa kujua kuwa kuipuuza sauti ya mwananchi ni kujiweka taabani.

Sepetuko
Uwezo wa Vijana Katika Maandamano ya Demokrasia

Sepetuko

Play Episode Listen Later Jun 28, 2024 4:33


Vijana wa Gen Zs na vijana wengine ambao wamekuwa wakiendeleza maandamano dhidi ya Mswada wa Fedha wa mwaka wa 2024 wametukumbusha uwezo tulio nao kama wananchi wapigakura. Uwezo wa kupiga kura kuwachagua viongozi wetu, lakini zaidi kuwawajibisha wanapokuwa ofisini. Harakati hii haifai kukoma. Huu unafaa kuwa mwanzo tu wa kutetea Katiba yetu na kudai uongozi bora ambao tunastahili.

CanadianSME Small Business Podcast
Empowering Indigenous Economic Growth with Trevor Cootes

CanadianSME Small Business Podcast

Play Episode Listen Later Apr 4, 2024 22:15


In this compelling episode of the CanadianSME Small Business Podcast, we were privileged to host Trevor Cootes, a luminary in the field of Indigenous Economic Development and the Founder of Cootes (Hiiyiqhsath) Consulting. With an illustrious career marked by leadership roles within the Huu-ay-aht First Nations and significant contributions to Indigenous economic strategies across Canada, Trevor has dedicated his life to enhancing the economic landscape for Indigenous communities. Through strategic initiatives, including the launch of transformative grant programs for entrepreneurs and substantial investments in business enterprises, Trevor's efforts have not only spurred economic growth but also paved the way for a more inclusive and diverse Canadian economy. Key Highlight Points:Trevor's transition from a traditional family background to a key figure in Indigenous Economic Development, including the personal and professional experiences that shaped his approach.Insight into the unique position and contributions of First Nations to Canada's economic fabric and examples of successful Indigenous integration and impact.An exploration of the evolution of First Nations' roles in commerce and the emerging opportunities for economic participation and growth.Discussion on initiatives and programs effective in fostering First Nations business development, highlighted by the Huuayaht entrepreneur grant program.The significance of partnerships between Indigenous and non-Indigenous entities for economic development, including Trevor's personal experiences with collaborative success.Our conversation with Trevor Cootes has illuminated the critical pathways and possibilities for advancing Indigenous economic development within Canada. His unparalleled dedication and innovative approaches to fostering entrepreneurship and sustainable growth among Indigenous communities offer a model for both inspiration and action.We are also deeply grateful to our partners, including Exclusive Banking partner RBC, Exclusive shipping partner UPS, exclusive accounting software partner Xero, and exclusive E-mail partner Constant Contact, for their unwavering support of the CanadianSME Small Business Podcast.Don't forget to subscribe to CanadianSME Small Business Magazine at www.canadiansme.ca  for more inspiring stories and strategic insights designed to elevate your business journey.

安眠書店
KIN162 韻律的白風 田定豐的共時好生活

安眠書店

Play Episode Listen Later Mar 30, 2024 1:52


田定豐的共時好生活 主播:田定豐 製作:朱衍舞 3月31日 今天的星系印記是KIN162,韻律的白風。 今天我們要去吹吹風,讓自己的心像風一樣流動,今天就是要去分享,就是要把自己的感覺很溫柔地表達出來,當然今天很適合與人溝通。記住,每一個白風的日子都非常適合練習「呼吸」靜心,而在韻律的宇宙頻率中,特別適合「大海」的韻律呼吸靜心。在練習這個靜心的時候要先閉上眼睛,想像大海很有韻律拍打著海岸,感受著大海那隨著海風呼、呼、呼嘯的聲響,慢慢地用鼻子深深地吸一口氣,慢慢地透過嘴巴微微的張開吐氣,吐氣的同時發出「HUU」呼的聲音,就像大海在呼吸一樣,來回幾次,甚至我們可以在洗澡淋浴的時候做這個靜心,如此可以達到非常好的內在淨化的效果。 田定豐 互動社群 (line) @fong_venture 田定豐_FB粉絲專頁 https://www.facebook.com/LancasterTien 田定豐_IG @lancaster5858 https://www.instagram.com/lancaster5858 初心苑_IG @staygoldcxy https://www.instagram.com/staygoldcxy 初心苑_官方 Line @staygoldcxy

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
Kiswahili Kitukuzwe - Utangulizi

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Dec 21, 2023 8:03


Huu ni utangulizi wa msururu wa vipindi vya kutukuza kiswahili ambavyo vitaangazia kuongezea maarifa ya misamiati kutoka nyaja tofauti tofauti. Lengo kuu ni kukomaaza ufahamu kwa lugha hii tukufu katika miktadha mbali mbali za kimaisha. Karibu sana na kiswahili kitukuzwe!

EVOQ.BIKE Cycling Podcast
Race Pacing When You Aren't Racing For The Win

EVOQ.BIKE Cycling Podcast

Play Episode Listen Later Oct 30, 2023 14:43


Pacing is tricky if we aren't just trying to stick to the pointy end of the race. How should we approach this? 00:00 Welcome, Tom + Brendan 00:15 What is the WIN then? 00:49 Awareness at the Start of the Event 01:25 What is too hard? 02:00 How many matches should we burn? 03:54 Race Sim Training Ride? 05:57 Nutrition in chaos 07:32 Blowing Up vs Getting Down The Road 13:35 Course Recon Via Videos 14:30 HUU for Coaching / Free Tips on Blog! TrainingPeaks Store Programs: https://tinyurl.com/TP-Store

Radio Maria Tanzania
Je, Filamu za Maisha ya Yesu zilitoka wapi wakati kulikuwa hakuna Teknolojia enzi zake?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 25, 2023 59:28


Huu ni mwendelezo wa Maswali na Majibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa ambapo Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa kitume Jimbo Katoliki Bukoba anatupitisha kwa kina katika majibu ya maswali mbalimbali uliyomuuliza. L'articolo Je, Filamu za Maisha ya Yesu zilitoka wapi wakati kulikuwa hakuna Teknolojia enzi zake? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, Kanzu za Maaskofu zinashonwa na nani?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 25, 2023 58:06


Huu ni mwendelezo wa Maswali na Majibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa ambapo Mhashamu Method Kilaini, Askofu & Msimamizi wa kitume Jimbo Katoliki Bukoba anatupitisha kwa kina katika majibu ya maswali mbalimbali uliyomuuliza. L'articolo Je, Kanzu za Maaskofu zinashonwa na nani? proviene da Radio Maria.

Gun Dog It Yourself
210. Genetic Testing w/ Neogen

Gun Dog It Yourself

Play Episode Listen Later Sep 14, 2023 65:40


There are a lot of services or products out there that afford dog owners to learn more about their dogs than ever before. One of those services or products is genetic testing. We are all familiar with some of the benefits for breeders to do genetic testing but is there any benefit to individual owners doing the testing? Im joined with Caitlin Swingley and Dr. Bob Westra from Neogen to discuss why someone might be interested in their products. Types of products | Pawprint Genetics (Breed Specific) & Canine Health Check (Health Screening) The Canine Healthcheck screening process Lucy is a carrier of the HUU! Whats that mean? Using the results to match a potential breeding What kind of impact do we see from genetic mutation? Genetic testing to try and better each breed Benefits of genetic testing for our veterinary work ups "Poligenetic" concerns Working with specific breed clubs Breed identification testing Phenogenetic AND genetic testing should be part of a breeder's due dilligence Test pricing Common issues within popular breeds -- NEOGEN PROMO CODES: Paw Print Genetics | GDIY23 for 25% off your order Canine Health Check | GDIYCHC for $40 off -- Presented By: Standing Stone Supply [Use Code: GDIY to save 15%] onX Hunt Maps [Use Code: GDIY20 to save 20%] DT Systems [Use Code: DTSocialMedia15 for 15%] Final Rise Upland Gun Company - Other Partners: Eukanuba // Bird Dog Society - GDIY Links: Patreon // Instagram // Facebook // Website Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

KASIEBO IS TASTY

Three school children burnt to death when a vehicle conveying them caught fire at Huu

Tapestry from CBC Radio
How noise-cancelling tech is turning us into sound 'consumers'

Tapestry from CBC Radio

Play Episode Listen Later Jun 9, 2023 54:01


Noise canceling headphones are only becoming more sophisticated, but media studies professor Mack Hagood is concerned about the consequences of picking and choosing which sounds we get to hear. Hagood is the author of Hush: Media and Sonic Self-Control. Even though he enjoys listening to podcasts and music on his headphones, he says they cut off the possibility of “sonic spontaneity.” “We've really become consumers of sound, rather than people who just simply experience the sounds around us,” he said. Brother Phap Huu is a buddhist monk who left his family in Mississauga, Ont. to study under Vietnamese peace activist and monk Thich Nhat Hanh. Huu tells us what drew him to make that fateful choice when he was only 13 years old.

VOV - Việt Nam và Thế giới
Tin trong nước - Dự thảo Luật BHXH (sửa đổi) - Bổ sung tầng trợ cấp hưu trí xã hội

VOV - Việt Nam và Thế giới

Play Episode Listen Later Mar 26, 2023 2:46


- # Bộ Lao động, Thương binh và Xã hội đang lấy ý kiến nhân dân về Dự thảo Luật Bảo hiểm xã hội (sửa đổi). Các nội dung sửa đổi, bổ sung trong dự thảo Luật lần này gồm 5 nhóm chính sách, được chi tiết hóa thành 18 nội dung lớn với nhiều điểm mới. Trong đó, Dự thảo luật bổ sung tầng trợ cấp hưu trí xã hội, để hình thành hệ thống BHXH đa tầng, hướng đến đích là đảm bảo để tất cả người cao tuổi đều được hưởng chính sách hàng tháng (hoặc là từ quỹ bảo hiểm xã hội, hoặc là từ trợ cấp hưu trí xã hội từ ngân sách nhà nước). Tác giả : Hà Nam-VOV1 Chủ đề : BHXH sua doi, Huu tri --- Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/vov1tintuc/support

Hitting the High Notes- Utah Jazz talk
151) Tier-drops on my podcast (The I Don't Know pod)

Hitting the High Notes- Utah Jazz talk

Play Episode Listen Later Mar 13, 2023 49:20


Huu looks at these.... draft picks and he can't see. (Alternatively.... we just don't know) --- Support this podcast: https://anchor.fm/hittingthehighnotes/support

Indigenous Voices of Vancouver Island
Journey with our Ancestors

Indigenous Voices of Vancouver Island

Play Episode Listen Later Jan 20, 2023 22:16


In this episode, ‘Journey with our Ancestors', three Indigenous guided cultural tours and excursions are profiled. Host Tchadas Leo gets up close and personal with some grizzly bears, goes on the kayaking trip of a lifetime, ventures across the Salish Sea, and comes away with a deep appreciation of these magnificent lands and waters. Tchadas is of the Homalco First Nation, and Trevor Jang, the writer, is of Witset First Nation. We meet Wisqii from Huu-ay-aht Nation. Gary Wilson is from Kimsquit First Nation (Bella Coola) and Chris Tait is a spokesperson for the Klahoose First Nation. The Cover Art is the work of Ivy Cargill Martin from Tla-o-qui-aht First Nation.Featured on this episode:Klahoose Wilderness ResortKiix̣in ToursWest Coast ExpeditionsAbout this seriesIndigenous Voices of Vancouver Island is a five-episode presentation of 4VI (formerly known as Tourism Vancouver Island), a social enterprise in business to ensure travel is a force for good for Vancouver Island - forever. From its breathtaking vistas to the inspiring talents of its people, Vancouver Island is the definition of a “must-see” destination. In this series, Indigenous Voices of Vancouver Island, 4VI showcases the talents of Indigenous entrepreneurs and their stories of how they have found a way to honour and preserve their traditions while succeeding in a very competitive marketplace. Host Tchadas Leo is of the Homalco First Nation, and writer Trevor Jang is of Witset First Nation. The Cover Art is the work of Ivy Cargill Martin from Tla-o-qui-aht First Nation.Canada's True West CoastVancouver Island, located on Canada's West Coast, is known for its mild climate, abundance, and relaxed way of life. This region is defined by its ancient rainforests, rugged coastlines, and cool waters of the Pacific Ocean, creating an abundance of outdoor recreation opportunities and peaceful getaways.Vancouver Island spans 460 kilometers long, from the provincial capital of Victoria to the far-reaching beaches of Cape Scott Provincial Park. Several small islands, the Gulf Islands and Discovery Islands are found between the Salish Sea and Discovery Passage, respectively.4VI gratefully acknowledges that we live, work, and play on the traditional, ancestral, and unceded territories of the Kwakwaka'wakw, Nuu-chah-nulth, and Coast Salish peoples.Produced by Everything PodcastsEverything Podcasts, now part of Pattison Media, is a world-class podcast production company. We help brands evolve and expand their media strategy into the audio space with a custom podcast series. Let us tell your story: Everything Podcasts

Simple Swedish Podcast
#167 - Spel (games)

Simple Swedish Podcast

Play Episode Listen Later Jan 13, 2023 16:19


I det här avsnittet får du lära dig många nya ord relaterade till spel! -------------------- For English, scroll down! -------------------- För att stödja podden och få transkript till avsnitten - bli patron för bara 5€ per månad – klicka här! Vill du ha en GRATIS PDF med de 20 vanligaste misstagen folk gör i svenska? Klicka här och prenumerera på nyhetsbrevet – alltid på lätt svenska :) -------------------- To support the podcast and get transcripts to the weekly episodes – become a patron for only 5€ per month - click here! Would you like a FREE PDF with the 20 most common mistakes people make in Swedish, and how to correct them? Click here and subscribe to the newsletter – always in easy Swedish! ------------------- Instagram: swedish.linguist YouTube: Swedish Linguist Facebook: Swedish Linguist Website: www.swedishlinguist.com ------------------- Ett smakprov (sample) på transkriptet: Hej! Välkommen välkommen till Simple Swedish Podcast. Idag ska jag prata om spel! För ja, dom flesta tycker ju om att spela spel, och ja, jag tänkte att det kan vara användbart att lära sig lite ord som är relaterade till spel.   Ja, så jag kommer förklara alla dom här orden på svenska, och jag är säker på att du kommer lära dig några nya ord bara genom att höra dom i kontext, och få dom förklarade på svenska!   Först så ska jag tacka några nya patrons, och det är Huu, Thanh Hung, Kyungin, och Pedram. Förlåt om jag uttalade era ord (ska vara “namn”), det var svåra namn att lära upp idag. Men, tack för att ni stödjer den här podden i alla fall!   Ja, och ni som stödjer podden får såklart transkript till alla avsnitt. Och du kan gå till www.patreon.com/swedishlinguist om du vill bli patron! Det är väldigt väldigt användbart.   Jag gör den här podden, och jag gör det här patreon-programmet, för att det är vad jag själv skulle vilja ha, om jag lärde mig svenska. Det är liksom dom här sakerna som jag gillar att använda när jag lär mig språk. Så kolla gärna in Patreon-programmet!   Okej, men vi ska prata lite om spel då. Och först och främst, det finns en skillnad mellan spel och lek. Ett spel har nästan alltid ett tävlingsmoment, okej? Så man kan antingen vinna eller förlora. Det är oftast en viktig del av ett spel.   Och lek, ah, det är lite mer generellt, det är lite mer relaterat till barn och djur, och såna saker, man leker med barn, man leker med djur. Man kan också ha lekar på fester, och sånt. Såhär, lite kul, lite roligt, sådär. Spel är lite mer tävlingsinriktat, så.   Men, definitionen är inte 100% (hundra procent) tydlig. Men efter att jag har gått igenom lite olika spel så tror jag att du kommer förstå.   ....för att läsa hela transkriptet till detta och alla andra avsnitt, klicka här!

Habari za UN
Juhudi za UNICEF Uganda zafanikisha watoto kupata chanjo

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 17, 2022 0:03


Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF kwa ushirikiano na serikali ya Japan , wanaisaidia serikali ya Uganda kuimarisha uwezo wa mfumo wa uhifadhi wa chanjo baada ya mfumo wa afya kuathirika vibaya na janga la COVID-19, lengo likiwa kuhakikisha kila mtoto na kila mtu hasa katika jamii zisizojiweza anapata chanjo za kuokoa maisha. Taarifa zaidi inasomwa studio na Happiness Palangyo wa Redio washirika Uhai FM  (TAARIFA YA HAPPINESS PALANGYO)  Eneo la Lira Kaskazini mwa Uganda ni moja ya maeneo yaliyoathirika kwa kiasi kikubwa na janga la COVID-19 ambalo limeuacha hoi mfumo mzima wa afya ikiwemo huduma za uhifadhi na utoaji chanjo.  Lakini sasa kupitia uwekezaji mkubwa uliofanywa na shirika la UNICEF kwa ufadhili wa serikali ya Japan umerejesha matumaini ya wakazi na hususan watoto kupata chanjo wanazostahili kwani shirika hilo limenunua na kuweka majokofu maalum 115 ya kuhifadhi chanjo ya COVID-19 na kupiga jeki chanjo zingine za kawaida ambazo ni za kuokoa maisha kwa watoto. Dkt. Ochen Buchan Patrick ni afisa wa huduma za afya wilayani Lira anasema  “Huu ni uwekezaji mkubwa ambao utatusaidia sana kutoa huduma zote muhimu kwa saa 24 bila kuingiliwa na ukarabati wa mfumo wa baridi . Mfumo huu mpya sasa unafanya kazi vizuri kwa sababu unatumia  nishati ya sola na ninafurahi kwamba sasa hatuhangaiki kugawanyaganywa gesi na kisha Kwenda kukusanya mitungi. Hivyo gharama za uendeshaji zimepungua kwa kiasi kikubwa , lakini pia mfumo wetu wa baridi wa uhifadhi umeimarika sana.”  Kabla ya mfumo huu mpya wa kuhifadhi chanjo,ilikuwa changamoto kubwa kuwafikia walengwa na chanjo muhimu kama asemavyo Mirriam Adongo afisa wa program ya chanjo katika kituo cha afya cha Ogur  “Tulikuwa tunakwenda hadi Lira mjini kupeleka chanjo. Tulikuwa tunaendesha pikipiki hata wakati wa mvua , na chngamoto ya hali mbaya ya hewa, barabara mbaya vyote vilikuwa vinatusibu, lakini sasa kwa mfumo kuletewa hapa imefanya kuwa rahisi kwetu hata kutoka nje kwa sababu tunaweza kupata chanjo kwa urahisi na pili unatumia sola, kabla ya hapo tulipokuwa na mtambo unaotumia umeme , umeme ukikatika tu ilitulazimu kukimbiza chanjo zote hadi kwenye kituo cha wilaya cha kuhifadhi chanjo mjini ambayo ilikuwa kazi kubwa”  Uongozi wa huduma za afya wa Lira unasema sasa huduma zimeimarika na la msingi lililosalia ni kuhakikisha vifaa hivyo  vinatunzwa vyema na kudumu kwa mufda mrefu ili kuendelea kuihamasisha jamii na kuwapa chanjo muhimu.  Nalo shirika la UNICEF limesema furaha yake ni kuona lengo lililokusudiwa linatima kwani kwao kuwekeza katika vifaa hivyo vya mfumo wa bardidi wa kuhifadhi chanjo ilikuwa muhimu sana kama ilivyo kuwekeza kwenye upatikanaji wa chanjo zenyewe na sasa hata vituo vya afya vya vijijini kabisa vinaweza kuhifadhi chanjo zake, shukran kubwa kwa serikali ya Japan. 

Men. Men. Men. - The Podcast -
Ukweli wa ndoa yangu

Men. Men. Men. - The Podcast -

Play Episode Listen Later Oct 13, 2022 89:17


Linapokuja swala la ndoa na mafanikio ya ndoa watu wengi huwa na mitazamo tofauti. Wapo wanaosema ndoa ni ngumu na si rahisi kufanikiwa kwenye ndoa, na wapo wanaosema ndoa ni ngazi ya mafanikio pale wanandoa wanapokubaliana kwenye hilo. Leo hii, sisi tunajiuliza, ni nini nafasi ya mwanaume kwenye kuifanya ndoa ifanikiwe? Ni kweli kwamba ndoa inapaswa kuwa ngumu? Kwa wanaume ambao wamefanikiwa kuishi kwenye ndoa vizuri na kwa muda mrefu, ipi imekuwa chachu ya mafanikio hayo? Julius Mlacha ana umri wa miaka 50, na ndoa yake inakaribia miaka 25. Ameungana na Michael na Nadia kwenye maongezi haya akielezea kiundani siri ya mafanikio kwenye ndoa yake, na namna gani mwanaume ana nafasi na jukumu kubwa sana kwenye kuhakikisha ndoa yake inadumu na ina stawi katika namna bora. Huu ni ukweli kuhusu ndoa yake

Habari za UN
Tusisubiri kujenga ukuta Somalia, bali tuzibe ufa! Yasema FAO ikitaka Somalia isaidiwe sasa badala ya kusubiri hali iwe mbaya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 5, 2022 3:01


Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO limetoa ombi la dola zaidi ya dola milioni 131ili kusaidia wananchi 882,000 kutoka wilaya 55 nchini humo wenye uhitaji wa haraka wa msaada wa kuokoa maisha yao kutokana na ukame unaokabili taifa hilo la pembe ya Afrika. FAO imesema jumuiya ya kimataifa isisubiri hadi baa la njaa litangazwe nchini Somalia ndio hatua zichukuliwe na badala yake imetaka misaada ya kimkakati ianze kutolewa sasa. Leah Mushi ana habari kamili. Uti wa mgongo wa taifa la Somalia ni kilimo kinachotegemewa kwa takriban asilimia 60 kuendesha Maisha ya wananchi waweze kujipatia chakula na kile wanachouza waweze kujikimu, lakini mabadiliko ya tabianchi yaliyoleta ukame mkali nchini humo yamesababisha zaidi ya wananchi 900,000 wengi kutoka vijijini kuyakimbia makazi yao kusaka misaada katika kambi za wakimbizi wa ndani tangu mwezi Januari mwaka jana 2021 ili angalau waweze kupata chakula na kuweza kuishi. Mkurugenzi wa FAO anayehusika na dharura na mnepo Rein Paulsen hivi karibuni ametembelea nchini humo kujionea hali halisi na pia kuzungumza na wakimbizi wa ndani walio katika makambi ambao wengine wamemueleza mifugo yao imekufa sababu ya ukame na kutembea zaidi ya kilometa 100 kutafuta msaada kambini hapo. Paulsen amesema ili kutatua changamoto nchini Somalia lazima kuanza kutibu kwenye mzizi wa tatizo “Mwitio wa tatizo la njaa uanzie maeneo ya vijijini, huko ndio kwenye kitovu cha tatizo ambapojumuiya za wazalishaji wa chakula wameathirika na ukame mkali. Hatuwezi kusubiri mpaka njaa itangazwe, lazima tuchukue hatua sasa ili kusaidia watu kupata riziki na kuweza kuishi.” Akizungumzia kuhusu muitikio wa watu kuchangia misaadda ya kibinadamu amesema “Ufadhili umeendelea kuwa mdogo mpaka kufikia jana Agosti 4,2022 ni asilimia 43 pekee ya ufadhili imepatika.” Hii ikiwa saw ana asilimia 46 ya ufadhili unaohitajika nchini Simalia. Mkurugenzi huyo wa dharura wa FAO amesema kwa ufadhili waliopata mpaka sasa wameweka nguvu zaidi katika kutoa fedha taslimu ili watu waweze kununua chakula na kujikimu, kulisha mifugo yao , kuwapatia maji safi na salama na kupatia matibabu mifugo yao. “Licha ya changamoto ya uhaba wa mvua, tunahakukisha tunafikisha msaada kwa wakulima ili waweze kupanda pale inapowezekana, kilimo cha umwagiliaji kinawezekana. Hivi ndio aina za misaada ya vitendo inayohitajika”. FAO nchino Somalia imetoa ombi hilo la dola milioni 131.4  lengo kuu ikiwa ni kuongeza utoaji wa misaada vijijini ili kuwasaidia watu wasiojiweza pale walipo. “Huu ni ufanisi zaidi, ubinadamu zaidi na nilazima kwa pamoja tuongeze juhudi kwakuwa kiwango cha msaada kilichotolewa sasa hakitoshi kwahiyo tunahitaji mwitikio wa msaada kutoka katika kila sekta ili kusaidia Maisha ya watu.”  

Plattnerei
Episode 30: Demon "Night Of The Demon"

Plattnerei

Play Episode Listen Later May 30, 2022 68:35


er Vollmond scheint fahl über dem Friedhof, nur eine einsame Eule lässt ihr gespensterhaftes „Huu-hu“ vernehmen, während inmitten der Gräber zwei dunkle Gestalten im Schein einer einzelnen schwarzen Kerze dunkle Beschwörungen murmeln... oder einen Podcast aufnehmen. Man weiß es nicht. Dies ist die Nacht des Dämons! Benannt nach einem Horrorfilm aus den 50ern gründete sich die britische Heavy Metal-Band Demon 1979 und veröffentliche 1981 ihr Debüt "Night Of The Demon". Sind Pint und Kain d'accord oder doch eher Akkordeon? Wer ist dieser ominöse Vater der Zeit? Wie lautet der Konjunktiv von „backen“? In dieser Episode werden Lügen gesprochen und Entscheidungen getroffen. Aber es wird auch große Liebe gemacht. Kommt mit uns in den Alptraum!

Catch Me Outside
E7: Hiking the West Coast Trail and the Juan de Fuca Trail back-to-back

Catch Me Outside

Play Episode Listen Later Mar 8, 2022 56:14


Vancouver Island, off the coast of British Columbia, is criss-crossed with hiking trails. One, in particular, draws thousands of Canadian and international hikers each year: The West Coast Trail. The West Coast Trail is a 75 km-long coastal hike that follows some of the ancient paths and paddling routes used for trade and travel by Indigenous peoples for millennia. It's located on the southwest coast of Vancouver Island, on the traditional territories of the Huu-ay-aht, Ditidaht, and Pacheedaht First Nations, and takes hikers over beaches, through temperate rainforests, rivers and deep mud and up and down more than 100 ladders. It's very popular, and sites need to be reserved in advance. Also, because so much of it involves beach walking, hikers need to carry tide charts to plan their timing each day. They're rewarded with views of the ocean though. Just south of this iconic trail is a lesser known but probably equally awesome multi-day hiking called the Juan de Fuca Trail. Like the west coast trial, it follows the coast of the island and involves beach walking, hiking through mud and planning around the tides. It's shorter, at 47 kilometres, less busy and sites are mostly available on a first-come, first served basis. Laura and Kyle are a couple I met last year while hiking B.C.'s Sunshine Coast Trail. We met in town during a resupply and leap-frogged each other for the rest of the hike, often camping in the same spots. They explained to me that, a few years earlier, they'd attempted back-to-back hikes of the West Coast Trail and the Juan de Fuca. On this episode of Catch Me Outside, they share their experience, including the moment they helped rescue a hiker from a potentially deadly situation.  This episode covers:  • What to expect on the West Coast and Juan de Fuca trails  • How to hike them back-to-back • The trick to rehydrating dehydrated eggs so they aren't disgusting • The sketchy moment on the West Coast Trail Laura and Kyle would have loved a personal locator beacon for, and more. Music:  Yaki Tori and Mango by Smith The Mister https://smiththemister.bandcamp.com Smith The Mister https://bit.ly/Smith-The-Mister-YT Free Download / Stream: http://bit.ly/-yaki-tori Music promoted by Audio Library https://youtu.be/oZ0U4Q5epUs If you're enjoying the show, please rate, review and follow @catchmeoutsidepodcast on Instagram.

Habari za UN
Kiasi cha dola Bil 1.7 kinahitajika kwa shughuli za msaada nchini Ukraine

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 1, 2022 2:38


Umoja wa mataifa na wadau wa masuala ya kibinadamu leo wamezindua ombi la dharura la jumla ya dola bilioni 1.7 ili kufikisha haraka msaada wa kibinadamu kwa watu nchini Ukraine na wakimbizi waliokimbilia nchi jirani. Flora Nducha na taarifa kamili Ombi hilo lililozinduliwa leo mjini Geneva Uswis na shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu misaada ya kibinadamu OCHA na lile la kuhudumia wakimbizi UNHCR limefuatia kuongezeka kwa mashambulizi ya Urusi nchini Ukraine yaliyosababisha mahitaji makubwa ya kibinadamu baada ya huduma muhimu kuathirika na maelfu ya watu kufungasha virago kuzikimbia nyumba zao kwenda kusaka usalama. Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa watu milioni 12 ndani ya Ukraine watahitaji msaada wa kibinadamu na ulinzi huku wengine zaidi ya milioni 4 wakimbizi wa Ukraine watahitaji ulinzi na msaada katika nchi jirani waliko kimbilia katika miezi ijayo. Mkuu wa OCHA Martin Griffiths amesema “Familia zilizo na watoto wadogo zimejifisha kwenye mahandaki na treni za chini ya ardhi au zimelazimika kukimbia milio ya kutisha ya mmilipuko na sauti yza magari ya wagonjwa au ya zimamoto. Idadi ya majreruhi na vifo inaongezeka kwa kasi. Huu ni wakati mbaya sana kwa watu wa Ukraine. Tunataka kuongeza operesheni zetu  sasa ili kulinda Maisha na utu wa watu wa Ukraine. Tunapaswa kuchukua hatua kwa utu na mshikamano.” Dola bilioni 1.1 za ombi hilo zitatumika kuwasaidia watu milioni 6 ndani ya Ukraine kwa miezi mitatu na msaada unajumuisha ugawaji wa fedha taslim, chakula, maji na usafi, huduma za afya, elimu , malazi na kukarabati nyumba zilizobomoka na makombora. Pia fedha zingine zitasaidia mamlaka ili kuhakikisha vituo vilivyopo na vipya vitakavyoanzishwa kwa ajili ya watu waliotawanywa. Naye mmkuu wa UNHCr Filippo Grandi amesema “ Tunaangalia ambacho kinaweza kuwa mgogoro mkubwa zaidi wa wakimbizi barani Ulaya katika karne hii. Wakati tunashuhudia mshikamano na ukarimu wa hali ya juu kutoka nchi Jirani katika kuwapokea wakimbizi, msaada Zaidi unahitajika kuwasaidia na kuwalinda watu wapya wanaokimbia.” Mkakati wa kikanda wa kusaidia wakimbizi RRP unahitaji dola milioni 550.6 ili kusaidia wakimbizi wa Ukraine Poland, Moldova, Hungary, Romania na  Slovakia,lakini pia katika nchi nyingine kwa malazi, fedha, na msaada wa kisaikolojia kwa waliokimbia wakiwemo wenye mahitaji maalum  kama watoto wanaokimbia bila wazazi au walezi. TAGS: Ukraine, wakimbizi, msaada wa kibinadamu, OCHA, UNHCR

Geek Gods
XLII: Welcome to Podcastville

Geek Gods

Play Episode Listen Later Feb 10, 2022 88:23


Huu and Lani are back. They finished up Murderville on Netflix. True Crime. Murder Mystery. Will Arnett. Shout out to The Great Room Escape: greatroomescapeutah.com and the Off Broadway Theater: theobt.org Follow Leilani on Twitter @LeiLei_Ranae and IG @LeiLeiAllDay; follow the Geek Gods on IG @geekgodspodcast or on Facebook @geekgodspod. Follow Huu on Twitter and IG @huutransuperman As always, thank you for listening, hope you enjoy. Subscribe to the podcast! Leave and write a 5-star review to get a shoutout and to be entered into the contest! --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app Support this podcast: https://anchor.fm/geekgods/support

Habari za UN
Wakulima wa mpunga nchini Tanzania wajadili mbinu za kuendeleza zao hilo

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 7, 2021 2:32


Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa, FAO nchini Tanzania kwa kushirikiana na wadau wake watafiti wa mpunga, Tari na IIRI wamewakutanisha baadhi ya wakulima wa mpunga nchini humo wapeane mawazo jinsi ya kuboresha zao hilo ili pamoja na faida nyingine, waweze kuhudumia soko la nchi zinazoizunguka Tanzania. Diomedes Pastory Kalisa ni Afisa wa FAO ambaye pia anaratibu mradi wa kujenga uwezo na kubadilishana uzoefu unaofadhiliwa na serikali ya Korea. Bwana Kalisa ananza kwa kufafanua lengo kuu la FAO kukutanisha wakulima. "Huu mkutano wa wadau lengo lake kubwa ni kuangalia katika upande wa sera. Tukiangalia zao la mpunga na kama tulivyokwisha kusikia kwamba Tanzania sasa hivi tunajitosheleza kwenye zao la mpunga lakini tukiangalia utoshelezaji unajitokeza pale ambapo tunaongeza maeneo ya kilimo." Diomedes Kalisa anaendelea kueleza kuwa FAO haiishii tu katika kuwasaidia wakulima kuzalisha mazao mengi zaidi bali wanajiuliza maswali zaidi na kuyatafutia ufumbuzi "Kwamba kama tunajitosheleza kwa chakula tunapoendelea kuongeza uzalishaji mchele wetu unaenda wapi? Tunahitaji kuusafirisha kwenda kuwalisha na nchi nyingine majirani ambao wana uhitaji wa mchele. Lakini Je, katika sera zetu kuna mambo rafiki ambayo yanawezesha kuhakikisha haya tunayafikia? Kupata masoko yanayowezekana yanayojitosheleza? Kuhakikisha kuwa zao letu la mpunga linasafirishwa nje? Kwenye sera zetu tunayo mipango rafiki ambayo inaangalia kwa upande wa pembejeo, mbolea, mbegu. Kwa hiyo katika mkutano huu tunaenda kuangalia katika sera zetu. Na sasa hivi tuna mpango mkakati wa uendelezaji wa zao la mpunga awamu ya pili ambao umainisha mambo mengi haya ya mbegu ya utafiti ya masoko, yote yanaelezwa mule. Lakini lazima tujikite pia katika kuziangalia sera zetu kwamba zinatoa nafasi gani ili tuweze kuona utekelezaji wake huu unaenda kama tunavyofikiria."

Hitting the High Notes- Utah Jazz talk
116) Hug Fight (Taylor's Version)

Hitting the High Notes- Utah Jazz talk

Play Episode Listen Later Nov 13, 2021 62:32


Jazz lose to the Pacers AND sparks fly between Rudy and Myles Turner. Can the Jazz shake it off? DragonSquatch and Huu discuss the teardrops on their guitars about this game. Check out JAZZPODCOOP.com for JPC gear and to check out the feeds to all the Jazz Pod Coop episodes! Please like and subscribe to this podcast. If you leave a 5-star review, you will be entered to win some tickets to the Great Room Escape located at 525 Ring Rd, Layton, UT 84041. Reserve your tickets now at GreatRoomEscapeUtah.com or call (801) 546-6446 Thanks to our other sponsor the Off Broadway Theater. Catch Laughing Stock, Utah's longest running improv troupe! Call (801) 355-4628 or visit theobt.org for tickets. WRITE US A FIVE-STAR REVIEW! Win tickets to either The Great Room Escape or the Off Broadway Theater! (Message us on Twitter @JazzHighNotes and follow on Instagram @JazzHighNotes) Follow @JazzHighNotes on Twitter, IG and Facebook @GoTheDistance49 on Twitter @DragonSquatch on Twitter --- Support this podcast: https://anchor.fm/hittingthehighnotes/support

utah jazz ut reserve myles turner taylor's version jpc huu ring rd greatroomescapeutah catch laughing stock
SportsCast
Ligi Kuu Tanzania Bara: Mbinu na Ufundi Part 2

SportsCast

Play Episode Listen Later Nov 7, 2021 30:17


Huu ni mwendelezo wa pale tulipoishia katika episode iliyopita lakini mwendelezo huu ni wa kipekee zaidi. Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kuchambua mbinu na ufundi katika Ligi Kuu Tanzania Bara maarudu kama NBC Premiere League. Tumeangazia mwenendo wa timu nyingi zinapokutana na Yanga zimekuwa zikijaza wachezaji wengi katika eneo la kiungo (Midfield overload) je kuna faida yoyote inayotakana na mbinu hiyo? Kibwana Shomari ameanza kuonesha mabadiliko makubwa sana katika matumizi ya mguu wake wa kushoto, Prosper amechambua style ya uchezaji wake na namna alivyokuwa hatari dhidi ya wapinzani wake. Ibrahim Ajibu Migomba anaweza pata nafasi ya kudumu katika kikosi cha Simba kwa sasa? Sikiliza episode hii kisha utupe maoni yako. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=09

Habari za UN
Mauritania wapambana na mabadiliko ya tabianchi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 4, 2021 2:05


siku chache kabla ya kuanza kwa mkutano huo wa 26 wa nchi wanachama wa mabadiliko ya tabianchi, ambao hivi sasa unaendelea Glascow, Scotland, Mshauri Maalumu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudunia wakimbizi, UNHCR kuhusu Hatua dhidi ya Mabadiliko ya Tabianchi, Andrew Harper ametembelea Mauritania kujionea jinsi wakimbizi wanavyopambana na janga la tabianchi. (Taarifa ya John Kibego) “Hatujawahi kuona mwaka kama 2021. Huu ni mwaka wenye mioto mingi ya nyika.” Anasema Ahmedou El-Bokhary, Rais wa Kikosi cha zima moto kinachoundwa na wakimbizi.   Andrew Harper, Mshauri Maalumu wa masuala ya hatua dhidi ya tabiachi kwa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, amejionea hali hiyo inayosemwa na anasema, “hii sio vita ambayo kunaweza kuwa na makubaliano ya amani nayo,” na anaongeza akisema, “Mauritania siyo tu ni mwenyeji wa maelfu ya wakimbizi, lakini moja ya nchi ambazo zimathiriwa zaidi na mabadiliko ya tabianchi.” Yahya Koronio Kona yeye ni mkimbizi kutoka Mali anasema, “mito inapungua kina cha maji. Idadi ya samaki inakuwa ndogo, inasababisha matatizo.” Bwana Harper anaendelea kueleza hali ilivyo mbayá akisema, "kuzunguka mito hii, kuna mifugo na hii mifugo inagombea vyanzo hivi vya maji. Na kwa hivyo moja ya changamoto kubwa sasa ni tuna ushindani kwenye rasilimali hizo zinazopungua, na maji pengine ni dalili zaidi ya changamoto za mabadiliko ya tabianchi. Na kwa hivyo tunatakiwa kufikiria kinachofuata.” Wakimbizi wanasema wakati jua kali linapowaka, nyasi zinakauka na kushika moto. Na hapo kikosi chao cha kuzima moto kinaingilia kwani hawana namna nyingine.   “Pamoja na changamoto zote,” anasema Bwana Harper, “pamoja na kile watu wanachofanya katika nchi za Magharibi kuiharibu dunia, watu wanaoteseka zaidi wanajaribu kufanya uamuzi sahihi ili kuyalinda mazingira na kutoa karibu muongozo ambao ni, ‘Kama tunaweza kufanya, kwa nini wengine duniani wasiweze?'”   

Capital Daily
Here's What the New Deferrals Mean for BC's Old Growth

Capital Daily

Play Episode Listen Later Nov 3, 2021 44:32


Tuesday, the provincial government announced new deferrals and actions for old-growth forests. We have Torrance Coste from the Wilderness Committee break down what the announcement entails, and Robert J. Dennis, Sr., Elected Chief Councillor for the Huu-ay-ah First Nations to hear his thoughts on the inclusion of First Nations.   Get more stories like this in your inbox every morning by subscribing to our daily newsletter at CapitalDaily.ca Check our membership opportunity at CapitalDaily.ca/MemberAnd subscribe to us on our socials! Twitter @CapitalDailyVic  Instagram @CapitalDaily  Facebook @CapitalDailyVic

ForestWorks
Fisherman, logger…First Nations Chief

ForestWorks

Play Episode Listen Later Oct 28, 2021 33:27


ForestWorks sat down with Robert Dennis, elected Chief Councillor for the Huu-ay-aht First Nation from the west coast of Vancouver Island. He has served his nation for decades and recently helped lead a significant investment in a forestry business in Huu-ay-aht .

Habari za UN
Vijana wajasiriamali wanaotengeneza chaki watumia vyema Tehama

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 19, 2021 1:53


Nchini Tanzania vijana wajasiriamali katika mkoa wa Singida wameitikia wito wa Umoja wa Mataifa wa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, TEHAMA kama njia mojawapo ya kutekeleza malengo ya maendeleo endelevu, SDG hususan kipengele cha teknolojia cha lengo namba 17 la kuimarisha mbinu za utekelezaji wa malengo na kuchochea ubia wa kimataifa. Miongoni mwa vijana hao ni mjasiriamali Simon Sirillo. “Kwa mfano mimi ninazalisha unga wa jasi au gypsum tunachaka jasi kwa maana kwamba tunatengenza chaki na unga wa mikanda ya kupamba au ujenzi wa  dari za nyumba. Huu ni ubunifu lakini bila kutumia TEHAMA tunaweza kuishia kuzalisha tu na tusifanikiwe. Kwa hiyo teknolojia inatakiwa katika ubunifu wetu tulio nao, kwa maana tunatumia gharama ndogo za uzalishaji na viwanda vyetu ni vidogo. Ili tuweze kwenda mbali zaidi tunahitaji kutumia teknolojia ili kukuza ubunifu wetu na uvumbuzi wetu kwa ujumla.” Kwa hivyo akatoa wito kwa vijana wenzake. “Tuangalie ni kwa namna gani tunaweza kwenda sambamba na TEHAMA. ili tuweze kufanikiwa katika mambo yetu hatupaswi kuicha mbali Teknolojia kwa sababu inatusaidia kutengeneza mizigo yetu, bidhaa zetu, kuzisambaza na kuziuza ndani ya jamii yetu, ndani ya nchi yetu na hata nje ya nchi kwa ujumla.” Lengo namba 17 la SDGs lina mbinu mbalimbali za kuwezesha kufanikisha malengo yote ya maendeleo endelevu na teknolojia ni miongoni mwa mbinu hizo ambapo Umoja wa Mataifa kupitia wavuti wa SDGs unasema teknolojia rahisi na rafiki kwa mazingira “zinawezesha kuchagiza biashara na hivyo kuchangia katika kutokomeza umaskini."

Plant Powered Radio
Justin Douglas: Fairy Creek, The Last Stand

Plant Powered Radio

Play Episode Listen Later Sep 28, 2021 51:41


Justin Douglas is Managing Director at Just In Canada, an independent, alternative media platform and youtube channel that gives voice to innovators, community activists, educators, and other involved, informed Canadians. Recently, Justin released a documentary called Fairy Creek: The Last Stand. https://www.youtube.com/watch?v=C-DitozPh98&t=0s Fairy Creek: The Last Stand (Documentary Film) In less than 150 years, 97.3% of British Columbia's old growth forests have been logged. These ancient trees and their ecosystems have been lost forever. Fairy Creek (Ada'itsx), one of BC's last untouched old growth watersheds, lies on Southern Vancouver Island on the unceded territories of the Pacheedaht, Ditidaht and the Huu-ay-aht Nations. Despite Premier John Horgan's 2020 election promise to protect the remaining 2.7% of old growth forest, logging of Fairy Creek continues unabated. In August 2020, forest and land defenders began setting up blockades to prevent the destruction of this beautiful and fragile ecosystem. One year later, after mass civil action, over 500 arrests and intense public pressure, the conflict continues. This comprehensive and compelling documentary film sheds light on the issues around the logging and blockades, through conversations with Indigenous Elders, politicians, police, lawyers, front line activists, and many others. ****************************** Thanks to Vox Vegana for the intro music. Plant Powered Radio broadcasts Tuesdays 11 am - noon PT at http://cfuv.ca Podcasts: PocketCasts, Breaker, Spotify, RadioPublic, Anchor, Overcast and Google Instagram - @plantpoweredradio Twitter - @envirovegan With gratitude for the opportunity to live, work, and create on the unceded traditional lands of the Coast Salish Peoples.

Muziki Ijumaa
Muziki Ijumaa - Muziki ijumaa kutoka kwa wasikilizaji kila kona ya dunia

Muziki Ijumaa

Play Episode Listen Later Sep 10, 2021 10:10


Huu ni mchanganyiko wa nyimbo mbali mbali kutoka kwa wasikilizaji wa RFI Kiswahili kutoka kila kona ya dunia. Tukiwakaribisha wasikilizaji wetu kutoa ombi la wimbo wangependa uchezwe mitamboni

Muziki Ijumaa
Muziki ijumaa kutoka kwa wasikilizaji kila kona ya dunia

Muziki Ijumaa

Play Episode Listen Later Sep 10, 2021 10:10


Huu ni mchanganyiko wa nyimbo mbali mbali kutoka kwa wasikilizaji wa RFI Kiswahili kutoka kila kona ya dunia. Tukiwakaribisha wasikilizaji wetu kutoa ombi la wimbo wangependa uchezwe mitamboni

Sepetuko
SEPETUKO PODCAST: Kutoaminiana na kusalitiana katika NASA; hakuna utu-uzima

Sepetuko

Play Episode Listen Later Jul 23, 2021 5:32


Viongozi wa NASA wanazidi kutapatapa na kuchanganyikiwa kisiasa. Kuaminiana hakupo. Utu-uzima haupo. Kusalitiana na kulumbana kuhusu pesa na nani ni bora nani si bora kumetawala. Huu si ukomavu wa kisiasa.

Hitting the High Notes- Utah Jazz talk
Jared talks draft with Sloan's Imp

Hitting the High Notes- Utah Jazz talk

Play Episode Listen Later Jul 11, 2021 65:01


On this episode Jared sits down to talk with twitter user @sloanimperative about the upcoming draft. We miss Logan and Huu but the show must go on. Please like and subscribe to this podcast. If you leave a 5-star review, you will be entered to win some tickets to the Great Room Escape located at 525 Ring Rd, Layton, UT 84041. Reserve your tickets now at GreatRoomEscapeUtah.com or call (801) 546-6446 Thanks to our other sponsor the Off Broadway Theater. Catch Laughing Stock, Utah's longest running improv troupe! Call (801) 355-4628 or visit theobt.org for tickets. WRITE US A FIVE-STAR REVIEW! Win tickets to either The Great Room Escape or the Off Broadway Theater! (Message us on Twitter @JazzHighNotes and follow on Instagram @JazzHighNotes) Follow @JazzHighNotes on Twitter, IG and Facebook @GoTheDistance49 on Twitter @DragonSquatch on Twitter --- Support this podcast: https://anchor.fm/hittingthehighnotes/support

utah draft ut reserve huu ring rd greatroomescapeutah catch laughing stock
Random People
# EPISODE GA SENGAJA BANGET : Mengenal diri sendiri lewat kartu bareng mas Dika

Random People

Play Episode Listen Later Jul 10, 2021 14:48


Sefruit cerita : Jadi mas Dika beli kartu tentang gimana cara mengenal diri sendiri, terus ya udah pas mau mulai dari pada di anggurin aku record aja sekalian untuk konten doi pun setuju hahaha. Ya udah jadilah seperti ini, tapi monmaap banget kalau di pengeditannya masih banyak noise yang kedengaran sama kurang pas ngecut nya. Huu so sowry tapi aku akan terus belajar untuk lebih jago lagi ngeditnya! Enjoy ya guys mwah

Cortes Currents
Fairy Creek is far from over

Cortes Currents

Play Episode Listen Later Jun 20, 2021 14:52


Roy L Hales/ CKTZ News - The Fairy Creek blockade is far from over and there are still a stream of people from the Discovery Islands going there. Oriane Lee Johnston and two other Cortes Island residents have just returned. When I mentioned she was the eighth Cortesian that I heard of making the trek to Fairy Creek, Oriane responded, “It is quite a lot more actually.” She was informed the stream of visitors has been a pretty consistent. Geraldine Kenny said a lot of Quadra Island residents have also gone and named three that left on Friday. On Saturday Dr. Saul Arbess, spokesperson for the Rainforest Flying Squad, explained, “This very day there would be at least 2,000 people around headquarters and then dispatched, if they wish to go, to some of the blockade sites. Every week-end it is extraordinary. The police set up roadblocks to deflect people. I do not know how successful they were today, but there have always been 1,500 – 2,000 people that actually make it.” Arbess described the roadblocks as illegal, and pointed out that this past week they have prevented tourists from visiting the Carmanah Walbran Provincial Park and Avatar Grove. The RCMP report for Saturday June 19th mentions seven people arrested after they were removed from various locking and tripod devices. Two were minors. Someone else was arrested for assaulting a police officer, which brings the total number of arrests, since the crackdown began, to 254. “We were asked to leave on April 1st by Chief Jones of the Pacheedaht First Nation. They have collaborated, now, with the two other interested First Nations, the Huu-ay-aht and Ditidaht and asked all third party interests to leave while they are preparing their forest stewardship plan. We don't know where that plan stands, what level of development it is at, but we decided it might be reasonable to look at it before we made a decision to leave,” said Arbess. “There are other interests with the Pacheedaht and the Ditidaht. We are working in that larger traditional territory of the Pacheedaht at the invitation of elder Bill Jones, of the Pacheedaht. He has continued to be steadfast, has certainly asked us not to leave and the actual request for us to leave was never discussed with the people. Their community was not consulted on how they should respond to us.” Photo courtesy Fairy Creek Blockade Facebook page

Debaixo do Cajueiro
Torrando Castanha, comenta: Rafiki

Debaixo do Cajueiro

Play Episode Listen Later Jun 12, 2021 68:56


Olá, comunidade ! Sejam bem vindes ao segundo episódio do "torrando castanha”, especial dia de quem namora !!! Huu já aproveita e adiciona esse filme delicinha na tua lista. “Kena (Samantha Mugatsia) e Ziki (Sheila Munyiva) são grandes amigas e, embora suas famílias sejam rivais políticas, as duas continuaram juntas ao longo dos anos, apoiando uma a outra na batalha pela conquistas de seus sonhos. A relação de amizade transforma-se em um romance que passa a afetar a rotina da comunidade conservadora em que vivem. As jovens terão que escolher entre experienciar o amor que partilham, ou se distanciar em função de uma vida segura”. Falamos das nossas impressões a cerca do filme e alguns assuntos paralelos que surgem com o filme, já que esse não circunda apenas no campo cinematográfico. O filme se passa no Quênia, onde as relações homoafetivas são consideradas crime, logo já sabemos dos entraves da produção desse filme considerando o contexto. Apesar dos dados apresentados no episódio e do peso e importância de falar sobre os ataques que acometem os corpos e vidas de toda comunidade LGBTQI+, Rafiki mostra o peso da esperança de dias onde o amor seja vivido e essas pessoas possam expandir suas expressões. Vale a pena se deliciar com esse romance! Se acomode!!

Squatch Pod
Ep 4.0: Shaking Dicks and Poppers

Squatch Pod

Play Episode Listen Later Apr 13, 2020 91:40


The DJ is back in the house! Honeypaws, Torrey and Huu bring on @gothedistance49 and we get rowdy! How is quarantine for everyone? We discuss games we want to see in Quarantine, who is the MVP of Quarantine and for those lucky enough to Quarantine with a partner we discuss the best sex positions to try out! Follow @huutransuperman, @dragonsquatch and @DJhoneypaws on the Twitterverse. Like and subscribe to the podcast.