Podcasts about mwalimu

  • 51PODCASTS
  • 143EPISODES
  • 36mAVG DURATION
  • 1WEEKLY EPISODE
  • Jun 13, 2025LATEST
mwalimu

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about mwalimu

Latest podcast episodes about mwalimu

Radio Maria Tanzania
Historia fupi ya maisha ya Mtakatifu Antoni wa Padua , Padre na Mwalimu wa Kanisa

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jun 13, 2025 6:23


Karibu Uungane nami Happiness Mlewa, katika masimulizi ya maisha ya Mtakatifu wa leo, ambapo leo tarehe 13 juni Kanisa nilinamkumbuka na kumuheshimu Mtakatifu Antoni wa Padua, Padre na Mwalimu wa Kanisa. L'articolo Historia fupi ya maisha ya Mtakatifu Antoni wa Padua , Padre na Mwalimu wa Kanisa proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu nini maana ya Familia na umuhimu wake?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 20, 2025 23:14


Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, Mwezeshaji ni Padre Elwald Kilasara, Mwalimu na Mlezi katika Seminari Kuu ya Mtakatifu Karol Lwanga Segerea, Jimbo Kuu la Dar es salaam, akizungumzia juu ya maana ya Familia na umuhimu wake. L'articolo Je, unafahamu nini maana ya Familia na umuhimu wake? proviene da Radio Maria.

Mwalimu Huruma Gadi
K0815. Neema na Imani Katika Matoleo

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Mar 31, 2025 28:00


Wiki hii Mwalimu anatufundisha nafasi na umuhimu wa Mtizamo Sahihi Katika Matoleo

Mwalimu Huruma Gadi
K0812. Neema Na Imani Katika Matoleo

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Mar 28, 2025 27:54


Wiki hii Mwalimu anatufundisha kwa kujibu swali hili; Kwanini Mungu anataka nimtolee?!

Mwalimu Huruma Gadi
K0811. Neema Na Imani Katika Matoleo

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Mar 27, 2025 28:00


Wiki hii Mwalimu anatufundisha kwa kujibu swali hili; Kwanini Mungu anataka nimtolee?!

Mwalimu Huruma Gadi
K0810. Neema Na Imani Katika Matoleo

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Mar 26, 2025 28:01


Wiki hii Mwalimu anatufundisha kwa kujibu swali hili; Kwanini Mungu anataka nimtolee?!

Mwalimu Huruma Gadi
K0809. Neema Na Imani Katika Matoleo

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Mar 25, 2025 28:00


.Wiki hii Mwalimu anatufundisha kwa kujibu swali hili; Kwanini Mungu anataka nimtolee?!

Mwalimu Huruma Gadi
K0806. Neema Na Imani Katika Matoleo

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Mar 24, 2025 28:42


Katika wiki hii Mwalimu anatufundisha kwa kujibu swali bili. Kama kila kitu kinapatikana kwa neema kwanini naambiwa kupokea kwangu kunategemeana kutoa kwangu?!

Mwalimu Huruma Gadi
K0808. Neema Na Imani Katika Matoleo

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Mar 24, 2025 27:55


Wiki hii Mwalimu anatufundisha kwa kujibu swali hili; Kwanini Mungu anataka nimtolee?!

Mwalimu Huruma Gadi
K0807. Neema Na Imani Katika Matoleo

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Mar 24, 2025 28:08


Katika wiki hii Mwalimu anatufundisha kwa kujibu swali bili. Kama kila kitu kinapatikana kwa neema kwanini naambiwa kupokea kwangu kunategemeana kutoa kwangu?!

Mwalimu Huruma Gadi
K0805. Neema Na Imani Katika Matoleo

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Mar 24, 2025 29:42


.Katika wiki hii Mwalimu anatufundisha kwa kujibu swali bili. Kama kila kitu kinapatikana kwa neema kwanini naambiwa kupokea kwangu kunategemeana kutoa kwangu?!

Mwalimu Huruma Gadi
K0804. Neema Na Imani Katika Matoloe

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Mar 24, 2025 28:09


Katika wiki hii Mwalimu anatufundisha kwa kujibu swali bili. Kama kila kitu kinapatikana kwa neema kwanini naambiwa kupokea kwangu kunategemeana kutoa kwangu?!

Mwalimu Huruma Gadi
K0803. Neema Na Imani Katika Matoleo

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Mar 24, 2025 28:05


Katika wiki hii Mwalimu anatufundisha kwa kujibu swali bili. Kama kila kitu kinapatikana kwa neema kwanini naambiwa kupokea kwangu kunategemeana kutoa kwangu?!

Mwalimu Huruma Gadi
K0802. Neema Na Imani Katika Matoleo

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Mar 24, 2025 28:10


Katika wiki hii Mwalimu anatufundisha kwa kujibu swali bili. Kama kila kitu kinapatikana kwa neema kwanini naambiwa kupokea kwangu kunategemeana kutoa kwangu?!

Mwalimu Huruma Gadi
K0801. Neema Na Imani Katika Matoleo

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Mar 24, 2025 27:56


Katika wiki hii Mwalimu anatufundisha kwa kujibu swali bili. Kama kila kitu kinapatikana kwa neema kwanini naambiwa kupokea kwangu kunategemeana kutoa kwangu?!

Habari za UN
Kutana na Celestin Mbaruku mkimbizi mnufaika wa Mpango wa Utambuzi wa Ujuzi wa Awali nchini Kenya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 28, 2025 3:25


Kama mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Celestin Mbaruku hakuwa na fursa ya ajira rasmi hadi alipothibitishwa ujuzi wake kupitia mpango wa Serikali ya Kenya wa Utambuzi wa Ujuzi wa Awali, uliotengenezwa kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi duniani, ILO.Kupitia ILO Celestin Mbaruku ni mnufaika wa ufadhili wa PROSPECTS, ushirikiano wa kimataifa unaojumuisha mashirika kadhaa ya Umoja wa Mataifa ukilenga kuboresha upatikanaji wa elimu, ulinzi wa jamii, na ajira yenye hadhi kwa jamii zinazowakaribisha wakimbizi na watu waliolazimika kuhama makazi yao.Kimakosa, Celestin Mbaruku akiwa nchini mwake DRC alidhaniwa kuwa muasi, akafungwa lakini akamudu kutoroka hadi Kenya.Kabla ya masaibu haya, huko DRC alikuwa Mwalimu anayesimamia nidhamu katika shule alikokuwa anafanya kazi ya lakini kwa kuwa vyeti vyake vilipotea, hata alipovuka kuingia Kenya, hakuwa na uthibitisho wa kiwango cha elimu yake licha ya kuwa ana diploma ya mbinu za ufundishaji.Na hapo ndipo ikabidi achomoe kibindoni ujuzi wake mwingine. Ujuzi binafsi, ufundi wa kushona nguo.Celestin sasa anafundisha wanawake wadogo shughuli za kushona nguo.Hatimaye mwaka jana, 2024, kupitia mpango wa Serikali ya Kenya wa Utambuzi wa Ujuzi wa Awali (RPL), uliotengenezwa kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi duniani, ILO utaalamu wake wa kushona nguo ambao haukuwa na cheti, ukathibitishwa rasmi na akapata cheti, hali ambayo imemfungulia milango ya kuomba ajira rasmi.

Iko Nini Podcast
Ep 411 MWALIMU RACHEL - LIFE AS A KENYAN INFLUENCER, RADIO, PARENTING & MODERN MARRIAGE

Iko Nini Podcast

Play Episode Listen Later Feb 27, 2025 96:13


Ep 411 MWALIMU RACHEL - LIFE AS A KENYAN INFLUENCER, RADIO, PARENTING & MODERN MARRIAGE

Kickin’ It With KeKe: Life, Love, & All That Other SH&T
Season 7: Episode #7 w/Deidra Mwalimu

Kickin’ It With KeKe: Life, Love, & All That Other SH&T

Play Episode Listen Later Nov 28, 2024 50:13


Today's guest is Author Deidra Mwalimu, founder of Network of Women Now. Deidra has been dedicated to the field of international studies, capacity development, and non-profit administration for more than twenty years. Ms. Mwalimu received a bachelor's degree from Virginia Commonwealth University, an MBA in Management from American InterContinental University, a Master's of Science in Nonprofit Administration from Louisiana State University at Shreveport, and a Certification in Nonprofit Profit from Nonprofit Leadership Alliance.Deidra has coordinated workshops for entrepreneurs, small business owners, and women who are pursuing start-up businesses, business consulting, grants, and program development. In addition to working with non-profit organizations in an administrative capacity, Deidra is a certified grant writer. She has worked with NGOs in Tanzania, South Africa, Brazil, Nepal, and the USA. She continues to advocate for grassroots nonprofit organizations and NGOs that support social enterprises and community engagement.To connect with Deidra follow her on social media @networkofwomennowBooks:Empowered Hygiene Workbook: Menstral Equity ProjectAvailable on Amazon.comComing Soon!!My Soul's Unrest: Three Generations of Failed Reproductive Healthcare of Women In Mississippi"My Soul's Unrest" weaves a powerful narrative through the personal and historical struggles of women grappling with reproductive healthcare in Mississippi. This compelling memoir explores the systemic issues that have plagued African American women's healthcare in the southern United States, particularly focusing on the author's own experiences and those of her ancestors.Growing up in Mississippi, the author witnessed firsthand the disparities and challenges in the healthcare system, especially concerning women's reproductive rights and services. Through the vivid stories of her mother and grandmother, she paints a poignant picture of the generational battles fought and the victories, both big and small, that shaped their lives and hers.The book highlights the resilience and tenacity of women who stood against the tides of their times, fostering a deeper understanding of the complex tapestry of healthcare, gender, and race in Mississippi. It also serves as a call to action, intended to inspire and mobilize further advocacy and change within the community and beyond.Deeply influenced by these experiences, the author's ongoing mission with the Network of Women NOW champions healthcare reform and support for women across generations. "My Soul's Unrest" is not just a recounting of personal and collective histories but a testament to the strength of these remarkable women.Their journey is both a reflection of the past and a beacon for the future we can build together.Become a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/kickin-it-with-keke-life-love-all-that-other-sh-t--5060376/support.

Habari za UN
08 NOVEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 8, 2024 9:57


Hii leo jaridani tunakuletea kipindi maalum kinachotupeleka jijini Havana Cubaambapo kongamano la kimataifa la Kiswahili limeng'oa nanga likiwaleta pamoja takribani washiriki 400 kutoka Afrika, Asia, Amerika na Ulaya ili kujadili ajenda mbalimbali za kupanua wigo wa luugha hiyo na kuitumia kuleta tija ikiwemo kusongesha malengo ya Umoja wa Mataifa kama amani na maendeleo endelevu.Miongoni mwa habari kubwa Umoja wa Mataifa hii leo ni uwajibikaji unasakwa kwa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya  wapalestina na waisraeli, na pia shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO limeweka bayana gharama za kiuchumi na hata kiafya zilizofichika zitokanazo na mifumo ya uzalishaji, usafirishaji na ulaji wa chakula. Lakini kubwa zaidi nakupeleka Havana, Cuba kupata kwa mahtasari mazungumzo ya Flora Nducha na mmoja wa washiriki.Mashinani tunasalia huko huko Havana Cuba na fursa ni yake Profesa Juan (Huani) Jacomino (Hakumino) raia wa Cuba ambaye ni Mwalimu wa Kiswahii katia  chuo kikuu cha Havana Cuba anayeshiriki Kongamano la Kiswahili lililofunguliwa leo akitoa wito kwa raia wa Cuba na wa nchi zingine kuhusu umuhimu wa kukumbatia  Kiswahili. Mwenyeji wako ni Bosco Cosmas, karibu! 

Mwalimu Huruma Gadi
A6. Warumi Sura ya 1

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Sep 28, 2024 28:21


Karibu kwenye Mwalimu Huruma Gadi podcast ambapo atatufundisha kitabu cha Warumi sura ya kwanza Katika sura hii ya kwanza, Mwalimu anatufundisha juu ya wokovu, neema, na uhusiano wetu na Mungu. Pia jinsi mafundisho haya yanavyoweza kuathiri maisha yetu ya kila siku na kutuongoza katika imani yetu.

Mwalimu Huruma Gadi
A5. Warumi Sura ya 1

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Sep 27, 2024 28:20


Karibu kwenye Mwalimu Huruma Gadi podcast ambapo atatufundisha kitabu cha Warumi sura ya kwanza Katika sura hii ya kwanza, Mwalimu anatufundisha juu ya wokovu, neema, na uhusiano wetu na Mungu. Pia jinsi mafundisho haya yanavyoweza kuathiri maisha yetu ya kila siku na kutuongoza katika imani yetu.

Mwalimu Huruma Gadi
A4. Warumi Sura ya 1

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Sep 26, 2024 27:56


Karibu kwenye Mwalimu Huruma Gadi podcast ambapo atatufundisha kitabu cha Warumi sura ya kwanza Katika sura hii ya kwanza, Mwalimu anatufundisha juu ya wokovu, neema, na uhusiano wetu na Mungu. Pia jinsi mafundisho haya yanavyoweza kuathiri maisha yetu ya kila siku na kutuongoza katika imani yetu.

Mwalimu Huruma Gadi
A3. Warumi Sura ya 1

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Sep 25, 2024 27:33


Karibu kwenye Mwalimu Huruma Gadi podcast ambapo atatufundisha kitabu cha Warumi sura ya kwanza Katika sura hii ya kwanza, Mwalimu anatufundisha juu ya wokovu, neema, na uhusiano wetu na Mungu. Pia jinsi mafundisho haya yanavyoweza kuathiri maisha yetu ya kila siku na kutuongoza katika imani yetu.

Mwalimu Huruma Gadi
A1. Mamlaka ya Mkristo

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Sep 23, 2024 128:10


Katika somo hili Mwalimu anatufundisha nguvu na mamlaka ambayo Mkristo amepewa baada ya kumwamini Yesu Kristo. Katika podcast hii Mwalimu anatufundsiha namna ya kutumia mamlaka yetu katika kushinda changamoto za maisha, mazingira yetu ya kila siku pamoja na kustiisha chini kila sila ya adui.

Mwalimu Huruma Gadi
A1. Warumi Sura ya 1

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Sep 23, 2024 29:04


Karibu kwenye Mwalimu Huruma Gadi podcast ambapo atatufundisha kitabu cha Warumi sura ya kwanza Katika sura hii ya kwanza, Mwalimu anatufundisha juu ya wokovu, neema, na uhusiano wetu na Mungu. Pia jinsi mafundisho haya yanavyoweza kuathiri maisha yetu ya kila siku na kutuongoza katika imani yetu.

Mwalimu Huruma Gadi
E6. Wagalatia Sura ya 5

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Sep 14, 2024 27:50


Katika wiki hii Mwalimu anaendelea kutufundisha sura ya 5 ya Kitabu cha Wagalatia. Katika sura hii, Mtume Paulo anazungumzia uhuru wetu katika Kristo na umuhimu wa kuishi kwa kuenenda katika roho. Anaelezea namna sheria inavyopaswa kutumika katika maisha yetu, na jinsi matunda ya Roho yanavyoleta mabadiliko katika mienendo yetu ya maisha. Pamoja na namna ya kushinda changamoto mbalimbali kwa kutumia imani.

Mwalimu Huruma Gadi
E7. Wagalatia Sura ya 5

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Sep 14, 2024 27:53


Katika wiki hii Mwalimu anaendelea kutufundisha sura ya 5 ya Kitabu cha Wagalatia. Katika sura hii, Mtume Paulo anazungumzia uhuru wetu katika Kristo na umuhimu wa kuishi kwa kuenenda katika roho. Anaelezea namna sheria inavyopaswa kutumika katika maisha yetu, na jinsi matunda ya Roho yanavyoleta mabadiliko katika mienendo yetu ya maisha. Pamoja na namna ya kushinda changamoto mbalimbali kwa kutumia imani.

Mwalimu Huruma Gadi
E4. Wagalatia Sura ya 5

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Sep 12, 2024 27:18


Katika wiki hii Mwalimu anaendelea kutufundisha sura ya 5 ya Kitabu cha Wagalatia. Katika sura hii, Mtume Paulo anazungumzia uhuru wetu katika Kristo na umuhimu wa kuishi kwa kuenenda katika roho. Anaelezea namna sheria inavyopaswa kutumika katika maisha yetu, na jinsi matunda ya Roho yanavyoleta mabadiliko katika mienendo yetu ya maisha. Pamoja na namna ya kushinda changamoto mbalimbali kwa kutumia imani.

Mwalimu Huruma Gadi
E3. Wagalatia Sura ya 5

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Sep 11, 2024 27:31


Katika wiki hii Mwalimu anaendelea kutufundisha sura ya 5 ya Kitabu cha Wagalatia. Katika sura hii, Mtume Paulo anazungumzia uhuru wetu katika Kristo na umuhimu wa kuishi kwa kuenenda katika roho. Anaelezea namna sheria inavyopaswa kutumika katika maisha yetu, na jinsi matunda ya Roho yanavyoleta mabadiliko katika mienendo yetu ya maisha. Pamoja na namna ya kushinda changamoto mbalimbali kwa kutumia imani.

Mwalimu Huruma Gadi
E2. Wagalatia Sura ya 5

Mwalimu Huruma Gadi

Play Episode Listen Later Sep 10, 2024 27:17


Katika wiki hii Mwalimu anaendelea kutufundisha sura ya 5 ya Kitabu cha Wagalatia. Katika sura hii, Mtume Paulo anazungumzia uhuru wetu katika Kristo na umuhimu wa kuishi kwa kuenenda katika roho. Anaelezea namna sheria inavyopaswa kutumika katika maisha yetu, na jinsi matunda ya Roho yanavyoleta mabadiliko katika mienendo yetu ya maisha. Pamoja na namna ya kushinda changamoto mbalimbali kwa kutumia imani.

THE NEW BLACK PANTHER PARTY
SPECIAL GUEST: BABA MWALIMU BARUTI

THE NEW BLACK PANTHER PARTY

Play Episode Listen Later Jul 2, 2024 160:00


SPECIAL GUEST: BABA MWALIMU BARUTI THE SPIRIT OF A WARRIOR

The China History Podcast
Ep. 342 | China, East Africa, and Mwalimu Julius Nyerere

The China History Podcast

Play Episode Listen Later Feb 11, 2024 53:32


Happy Year of the Dragon, 新年快乐,龙年大吉! Just in time for the Lunar New Year here's, here's a look back at the 1960s when Mwalimu Julius Nyerere, the nation of Tanzania, and Mao's China were fully engaged and setting the pace for future Sino-African Relations.  This episode is useful in gaining a little context for today's China-Africa big picture. China's relationship with most African nations goes back to 1955. In this episode, the focus will be on PRC-Tanzania relations but from this relationship you can get a halfway decent big picture of the dynamic back in the Mao era. I hope you enjoy it.  I'm back from London, all tanned and rested. Be looking for the interview with Tilly Blyth and Abbie MacKinnon recorded lived at the London Science Museum. The China Global South Project https://chinaglobalsouth.com/ Clockwork Treasures from China's Forbidden City https://www.sciencemuseum.org.uk/see-and-do/zimingzhong Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

The China History Podcast
Ep. 342 | China, East Africa, and Mwalimu Julius Nyerere

The China History Podcast

Play Episode Listen Later Feb 11, 2024 56:01


Happy Year of the Dragon, 新年快乐,龙年大吉! Just in time for the Lunar New Year here's, here's a look back at the 1960s when Mwalimu Julius Nyerere, the nation of Tanzania, and Mao's China were fully engaged and setting the pace for future Sino-African Relations.  This episode is useful in gaining a little context for today's China-Africa big picture. China's relationship with most African nations goes back to 1955. In this episode, the focus will be on PRC-Tanzania relations but from this relationship you can get a halfway decent big picture of the dynamic back in the Mao era. I hope you enjoy it.  I'm back from London, all tanned and rested. Be looking for the interview with Tilly Blyth and Abbie MacKinnon recorded lived at the London Science Museum. The China Global South Project https://chinaglobalsouth.com/ Clockwork Treasures from China's Forbidden City https://www.sciencemuseum.org.uk/see-and-do/zimingzhong Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

The China History Podcast
Ep. 342 | China, East Africa, and Mwalimu Julius Nyerere

The China History Podcast

Play Episode Listen Later Feb 11, 2024 53:32


Happy Year of the Dragon, 新年快乐,龙年大吉! Just in time for the Lunar New Year here's, here's a look back at the 1960s when Mwalimu Julius Nyerere, the nation of Tanzania, and Mao's China were fully engaged and setting the pace for future Sino-African Relations.  This episode is useful in gaining a little context for today's China-Africa big picture. China's relationship with most African nations goes back to 1955. In this episode, the focus will be on PRC-Tanzania relations but from this relationship you can get a halfway decent big picture of the dynamic back in the Mao era. I hope you enjoy it.  I'm back from London, all tanned and rested. Be looking for the interview with Tilly Blyth and Abbie MacKinnon recorded lived at the London Science Museum. The China Global South Project https://chinaglobalsouth.com/ Clockwork Treasures from China's Forbidden City https://www.sciencemuseum.org.uk/see-and-do/zimingzhong Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

The China History Podcast
Ep. 342 | China, East Africa, and Mwalimu Julius Nyerere

The China History Podcast

Play Episode Listen Later Feb 11, 2024 56:01


Happy Year of the Dragon, 新年快乐,龙年大吉! Just in time for the Lunar New Year here's, here's a look back at the 1960s when Mwalimu Julius Nyerere, the nation of Tanzania, and Mao's China were fully engaged and setting the pace for future Sino-African Relations.  This episode is useful in gaining a little context for today's China-Africa big picture. China's relationship with most African nations goes back to 1955. In this episode, the focus will be on PRC-Tanzania relations but from this relationship you can get a halfway decent big picture of the dynamic back in the Mao era. I hope you enjoy it.  I'm back from London, all tanned and rested. Be looking for the interview with Tilly Blyth and Abbie MacKinnon recorded lived at the London Science Museum. The China Global South Project https://chinaglobalsouth.com/ Clockwork Treasures from China's Forbidden City https://www.sciencemuseum.org.uk/see-and-do/zimingzhong Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

The Final Straw Radio
Kazi Toure of Boston Jericho on Prisoner Support

The Final Straw Radio

Play Episode Listen Later Jan 14, 2024 64:22


This week on the show, you'll hear Kazi Toure. Kazi is a former political prisoner from the Ohio 7 case and founding member of the Boston chapter of The National Jericho Movement. For the hour, Kazi and I talk about the history of Jericho Movement, supporting political prisoners and support for post-release and aging prisoners. You can find recent updates from the group at @OfficialJerichoBoston on Instagram. Kazi's appearances here before: 2015 Former Political Prisoner Panel (pt 1 & pt 2) 2016 Former Political Prisoner Panel (pt 1 & pt 2) Presentation at Burning Books in Buffalo New York Other Interviews Referenced: Dhoruba bin Wahad speaking about Police Unions on BPM / ImixWhatILike: https://www.youtube.com/watch?v=Hskjd7MRN_E Part of this episode was inspired by the call by Shaka Shakur in this episode of Millenials Are Killing Capitalism Two interviews Kazi's former co-defendant, Ray Luc Levasseur (pt 1 / pt 2) Then, Sean Swain's segment begins the annual tradition of reading the names of people killed by the police in the USA during the prior year. Stay tuned mid-week for a release of a 10 year anniversary chat with Sean about his life since he began participating in TFSR [00:55:58] Announcements Post-Release Fundraiser for Mwalimu Shakur Formerly incarcerated New Afrikan revolutionary activist Mwalimu Shakur has been released from prison after 20 years, Mwalimu was featured on this show twice talking about his organizing work. If you'd like to contribute to his post-release fund, consider donating to our paypal or  venmo linked at our website or via this cashapp with  Mwalimu support in the memo. You can find his former appearances on the show here. Hunger Strikes Grow More Dire at Red Onion Prison Several Virginia prisoners began a hunger strike on Tuesday, December 26 at Red Onion State Prison, protesting the continued use of long-term solitary confinement at the institution. Despite critical concern, outcry from the public and prisoner populations in the state, incarcerated people are still subjected to this brutal practice which has been renamed “restorative housing” since July 1, 2023 when measures were passed to limit its use in the state. Leading these prisoners in this effort is longtime prison activist, revolutionary writer and artist, Kevin “Rashid” Johnson. Rashid has stated that no one will take any food at all until demands are met. Some of the strike participants have underlying health concerns that make the undertaking of such a demonstration particularly risky. Rashid, himself, is recovering from multiple rounds of radiation to treat prostate cancer as well as suffering from untreated heart disease/congestive heart failure. This is why the public's support is especially needed. We are asking that calls, emails, and letters be sent to the Virginia Department of Corrections (VADOC) officials as well as Virginia governor Glenn Youngkin's office voicing support for the strikers and condemnation for the inhumane use of long-term solitary confinement/restorative housing. PLEASE EVERY DAY THIS WEEK: call and email the following people demanding that the hunger strikers demands be met (end long term solitary confinement) and Rashid receive the medical care he has been denied for months, and that he be transferred immediately. If the latter is not an option, then demand an interstate compact transfer take place immediately. chadwick.dotson@vadoc.virginia.gov 804-674-3081 glenn.youngkin@governor.virginia.gov 804-786-2211 ** Demand that the Governor intervene on Rashid's behalf and that an internal investigation be conducted immediately that would reveal why there were documents removed from his medical jacket and why his referrals to outside medical care were canceled. Joka Jeupe Mkali, AKA Komrade Shine White, who put out this call to action, said "Death is inevitable, but it mustn't be at the hands of some racist dogs. Rashid walks in shoes that cannot be filled, thus we must keep him walking in them as long as possible." Thank you for all you do to help prison rebels keep walking! Red Onion Hunger Strike Participants: Kevin “Rashid” Johnson – #1007485 Jason Barrett – #1092874 Rodney Lester – #1429887 Charles Cousino – #2213403 Eric Thompson – #1208012 Joe Thomas – 1193196 Nguyen Tuan – #1098070 Demetrius Walllace – #1705834 Gregory Binns – #1157265 P. Williams – #2103207 DeQuan Saunders – #1458253 J. Hilliard – #1988319 Ray Galloway – #1407902 Gregory Azeez – #1421616 Phone Zap for Aaron Isby-Israel at Plainfield CF in Indiana Aaron Isby has been facing increased harassment Plainfield the last few weeks. Details and the support script are available at IDOCWatch. Here's who to contact: Please call Plainfield CF and IDOC HQ, and email the Ombusdan and the Governor and demand that the harassment against Mr. Isby cease immediately and that he be provided full access to the law library in accordance with law and policy! Call IDOC HQ: (317) 232-5711 ext. 0 ext. 1 Call Plainfield CF: (317) 839-2513 ext. 7 ext. 9 Email the Ombudsman Bureau: idoa@ombud.in.gov Call & Email the Governor: https://www.in.gov/gov/ask-eric/ . ... . .. Featured Track: Water Got No Enemy by Fela Kuti from Expensive Shit

Iko Nini Podcast
Ep 244 MWALIMU ELIZABETH part 1

Iko Nini Podcast

Play Episode Listen Later Jan 6, 2024 62:21


MAVOKO DEMOLITIONS & HOW TO AVOID LAND SCAMS

Iko Nini Podcast
Ep 244 MWALIMU ELIZABETH part 2

Iko Nini Podcast

Play Episode Listen Later Jan 6, 2024 50:05


TITLE DEEDS, LAWYERS & COURT CASES

Soho Radio
Yahael Camara Onono interviewed for Mwalimu Express

Soho Radio

Play Episode Listen Later Aug 30, 2023 49:46


Yahael Camara Onono leader of Balimaya Project lets us into the secrets of the creation of one of this year's most exceptional albums.You can catch the full show with all the fun and tracks here on our Mixcloud: https://www.mixcloud.com/sohoradio/mwalimu-express-27082023/This is the Soho Radio podcast, showcasing the best broadcasts from our online radio station in the heart of London.Across our Soho channel, we have a wide range of shows covering every genre alongside chat, discussions and special productions.To catch up on all things Soho Radio head on over to mixcloud.com/sohoradio, tune in live anytime at sohoradiolondon.com or get the app..Support this show http://supporter.acast.com/soho-radio. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.

Pan African Review
Julius Kambarage Nyerere and his impact on Africans

Pan African Review

Play Episode Listen Later Aug 10, 2023 54:30


In this episode, we delve into the remarkable life and enduring impact of Julius Kambarage Nyerere, an iconic figure whose visionary leadership shaped the destiny of a continent. Nyerere, often referred to as "Mwalimu," meaning "teacher" in Swahili, was not only the founding father and first President of Tanzania but also a statesman, philosopher, and advocate for African unity.

The Final Straw Radio
Revolutionary Arts with Signal Journal + Abolition with Mwalimu Shakur

The Final Straw Radio

Play Episode Listen Later Jul 30, 2023 81:04


Josh MacPhee & Alec Dunn on Signal 08 First up, Ian interviews Josh MacPhee and Alec Dunn, co-editors of Signal, about the recently published eighth volume of the Journal of International Political Graphics and Culture. They discuss their motivations and experiences producing Signal for over a decade, designing print media in the digital age, and their work as part of Justseeds Artists' Cooperative, long-running, geographically dispersed artist collective dedicated to the production of radical art for grassroots movements. [ 00:05:33 - 00:44:37] Mwalimu Shakur on Abolition, Organizing and Education Then, you'll hear most of a conversation with imprisoned New Afrikan revolutionary socialist, Mwalimu Shakur currently incarcerated in Corcoran Prison in CA, about abolition, political education and the hunger strikes of 2013 in which he participated. [00:45:14 - 01:12:37] Mwalimu's Instagram Past interview with Mwalimu Mwalimu's writing on KnockLA and SFBayView (1, 2) Interviews about CA Hunger Strikes in 2013 with Ed Mead of CA Prison Focus (1, 2) You can get in touch with Mwalimu: Terrence White #AG8738 CSP Corcoran PO Box 3461 Corcoran, CA 93212 Sean Swain Sean's segment [01:12:40 - 01:20:01] Announcements BRABC Letter Writing Join Blue Ridge ABC on the first Sunday of each month, next up being August 6th from 3-5pm at the NEW Firestorm spot at 1022 Haywood Road, in West Asheville. And swing by our table at the ACABookfair August 12-13 at Different Wrld to get involved, get a poster for the upcoming International Week of Solidarity with Anarchist Prisoners and check out the other awesome stuff. ACABookfair If you're nearby, consider a visit to the 3 days of event around the Another Carolina Anarchist Bookfair in Asheville from August 11-13 with tons of speakers, publishers, music and more. https://acabookfair.noblogs.org Dr. Mutulu Shakur, ¡Presenté! New Afrikan revolutionary elder, accupuncturist and revolutionary Dr. Mutulu Shakur joined the ancestors at the age of 72. He was released by the state after 36 years in prison, organizing, healing, educating and inspiring despite having developed a virulent bone cancer. Dr. Shakur spent the last year on this planet continuing his work, speaking and attending events, surrounded by loved ones. Rest in power. Ruchell "Cinque" Magee Will Be free! Politicized prisoner and jailhouse lawyer, Ruchell “Cinque” Magee, is slated to be released after 67 years in the California prison system. Cinque is 84 years old, arrested on an indeterminate sentence around a marijuana charge from 1963, he joined the attempted jailbreak during the Marin County Courthouse shootout in which Jonathan Jackson attempted to free William A. Christmas and James McClain. Ruchell was the sole survivor and was a co-defendant of Angela Davis until their cases were split. There is a fundraiser to support Cinque's post-release needs as an elder: https://fundrazr.com/82E6S2 Rashid's Treatment Resumes, Thanks To Support! As an update to past announcements from Kevin “Rashid” Johnson of the Revolutionary Intercommunal Black Panther Party, the public pressure from calls & emails apparently had the desired results and as of a few days ago he was receiving the medical treatment he needs for his prostate cancer, though he hasn't received all of his papers so he can continue to pursue his lawsuits against the Virginia DOC since they were confiscated by prisoncrats, but he's super thankful for public engagement to defend his health. More updates on his case can be found at rashidmod.com . ... . .. Featured Tracks: Don't Play Around (Instrumental) by DJ Nu-Mark from Broken Sunlight Series 6 Black Hole by The Bulletproof Space Travelers from Urban Revolutions - The Future Primitive Sound Collective

Habari za UN
Mkimbizi kutoka Rwanda anayahakikisha wasichana wakimbizi hawaachi nyuma kidigitali: Deline

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 14, 2023 0:02


Malengo ya maendeleo endelevu SDGs yanahimiza kuwa wakati wa utekelezaji wake hakuna mtu anapaswa kuachwa nyuma. Tukiwa katika ulimwengu wa kidijitali jamii za wakimbizi zilizopo kwenye makambi zinafikiwaje kwenye masuala kama ya kupata elimu ya kidijitali ili wasiachwe nyuma. Nchini Kenya katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma mshichana Deline anafanya juhudi zote kuhakikisha wasichana wengine hawaachwi nyuma. Katika video ya Shirika la Umoja wa Mataifa linalojihusisha na masuala ya wakimbizi UNHCR inamuonesha Deline, ambaye ni mkimbizi kutoka nchini Rwanda akijiandaa kuanza safari yake ya kuelekea kazini. Anasema “Ninaenda kazini, na hii ndio njia ninayopita kila siku ninavyoenda kazini, anasema Deline huku akisimama njiani na kusalimia majirani zake. Hawa ni majirani zangu, na kisha anapanda pikipiki kuelekea kazini. Deline anaendelea kueleza "Ninafanya kazi katika shirika liitwalo Solidarity iniatiative for refugees, shirika la kijamii linalojihusisha na kuwajengea uwezo wanawake kuweza kutumia teknolojia ya kidijitali ili kuboresha maisha yao. Tunafanya kazi na wanawake wa jamii za wenyeji na jamii za wakimbizi tukiwapa ujuzi wa kidigitali.” Mwalimu huyu kijana anasema kitu anachopenda zaidi kuhusu ajira yake ni fursa aliyonayo ya kuwajengea uwezo wasichana wengine kuchangamkia fursa ziletwazo na ujuzi wa kidigitali. Mbali na kuwa mwalimu Deline pia ni kiongozi “Nina timu ninayoiongoza na majukumu yangu yamegawanyika katika makundi matatu, usimamizi wa watu, usimamizi wa mradi, na usimamizi wa kituo na hayo ni baadhi ya majukumu ninayo yafanya.”Na baada ya kumaliza kufundisha na siku ndefu ya majukumu yake, Deline anahakikisha kila kitu kipo sawa kwa ajili ya darasa jingine hapo kesho na kisha anafunga kituo tayari kurejea nyumbani. “Asanteni wote kwakuwa nami leo katika siku hii hapa katika kutuo chetu kilichopo kambi ya wakimbizi ya Kakuma, tutaonana siku nyingine, kwaherini“

Salama Na
SE7EP33 - SALAMA NA MR BLUE | KHERI

Salama Na

Play Episode Listen Later Jan 26, 2023 56:32


Kheri Sameer aka Mr Blue aka Lil Sama aka Bayser ni mdogo wangu, mdogo wangu kabisa na uzuri nakumbuka kabisa mara ya kwanza kuonana nae na mpaka alivyokua amevaa. Jezi ya Denver Nuggets, jeans ya light blue na sneakers nyeupeeehh na chain ya Silver, kwenye maskio alikua na hereni za kung'ara zile ambazo zilikua si za kitoboa skio, zilikua zina smaku na nazijua zaidi kwasababu Marehemu cousin brother wangu alikua nazo maana nyumbani ilikua hairuhusiwi kutoboa maskio enzi hizo. Alikua msafi, ana swagg ya kuongea na hata jinsi alivyokua anajibeba. Alikua wa moto sana unaweza kusema hivyo, au niseme hivyo. Kila ‘mtoto' na kijana alitamani kuwa kama yeye kwa kila kitu, muonekano mpaka hit songs kwenye radio na TV. Blue alikua na mtu ambaye anamsimamia na huyo hakua mwengine bali G Lover, meneja na Dj ambaye alikua anasimamia kazi zake yeye pamoja na wasanii wengine kama Ally Kiba, Ally Com na Abby Skills kwa kuwataja kwa uchache na wasanii wake hao wote walikua wa moooto sana. Ngoma kali, video mbaya, show nyingi na kwa ‘mhindi' wanauza sana. Na kuanzia hapo kwa mhindi na kuuza sana ndo ambapo kuliweza kuwapoteza wengi kwasababu wengi walikua wadogo sana na pesa ilikua nyingi. Fitna na utovu wa nidhamu wa kupindukia ulianzia hapo. Wakati naandika hii nilimuwaza Ally Kiba na jinsi ambavyo ameweza ku maintain class flani toka siku ya kwanza tunamskia na mpaka leo regardless ya mengi ambayo yametokea hapo katikati, HAKUWAHI KUPOTEA. Kwa hilo naamini anastahili HESHIMA na recognition ya hali ya juu pengine kuliko tunayompa maana dah, mambo yalikua mengi sana enzi hizo. Kuna usemi kwamba wakati ni mwalimu mzuri sana na kwa uelewa wangu hakuna ambaye anaweza kuelezea experience kama ilivyo elezewa kwenye usemi huo. Wakati ndo ambao unatufunza na kutuonyesha vitu na watu wengi, ambao tulikua tukiwaamini na wengine kuto kuwaamini, kuwapenda na wengine kuto wapenda, kudhani unajua na ki ukweli hujui, kudhania umezama kwenye dimbwi na mapenzi na huyo alo nae ndo wako wa milele na kumbe si hivyo na hayo yote unayaelewa within kipindi fulani, miaka inavyokwenda ndo na wewe unaelewa na kujifunza mambo kwa uwezo na uelewa wako. Moment za ‘anha' na ‘wow' huwa nyingi sana. Wakati ni MWALIMU na majuto huwa ni mjukuu, nadhani utakua umenielewa. Mr Blue alikua na dunia kwenye miguu yake, ilikua yeye tu aseme anatakaje na anataka ielekee wapi na hivyo ndo ingekua ila haikua hivyo ndo jambo la kusikitisha lakini bahati kubwa ambayo mwenzetu alikua nayo au yuko nayo ni kwamba hayo yote yalitokea mapema sana, wakati yuko mdogo sana kwenye dunia ambayo wengi walikua wakimuangalia na kumpenda sana. Yeye baada ya kuona mapenzi na shangwe hilo basi akadata na akaanza kuwa mgumu kufanya nae kazi, akawa na marafiki tele ambao hakua anawajua kabla hajawa Lil Sama na baadae Mr Blue. Akawa hasikii la muadhini wala mnadi sala. Akajiingiza kwenye uvutaji wa bangi isokua na staha, akaondoka nyumbani na kwenda kuishi kwenye ma ghetto na wana wasokua na ramani. Akawa ana party Jumatatu mpaka Jumatatu. Studio haonekani, kwenye interview hatokei na wale watangazaji ambao walikua wanapiga mgoma zake kwenye Radio akawa hata salaam hawapi. Producer na meneja nao wakagombana nae kwasababu sitofahamu ya pesa kwa mhindi ilishika hatamu. Mwanzo nilisema Blue ana Kheri sana kama jina lake kwasababu hayo yote yalitokea wakati mdogo sana, dunia ilimfunza nae akafundishika, wakati dunia hiyo ikiwa inamfunza alikua mwanafunzi mzuri sana kwasababu darasa alilolipata wakati kakata ringi ndo ambalo limefanya awe BORA na ajitambue LEO HII. Kwenye meza yetu ya kigae na kiti chakavu Blue ananielezea hustle zote ambazo alishawahi kuzipitia wakati anakua na huku akiwa anajitafuta na kwa uelewa wangu itasaidia wengi ambao wanaaza au wataanza kuzishika pesa mapema au hata ambao watapata mafanikio huko mbeleni watajua jinsi ya ‘kujibeba' kutokana na maongezi yetu haya. Maongezi haya yalikua yafanyike mapema tu lakini u busy wa Lil Sama na kupishana kwa ratiba zetu ndo kulifanya yatokee --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support

Habari za UN
Mabadiliko chanya darasani nchini Rwanda kupatikana kufuatia mtandao wa intaneti na ubunifu wa mwalimu.

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 23, 2023 0:04


Kuunganisha kila shule kwenye mtandao wa intaneti ndio msingi wa GIGA, mradi unaotekelezwa kwa pamoja na mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa, lile la kuhudumia watoto UNICEF na la mawasiliano, ITU, yakitekeleza maono ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, mathalani Ajenda ya Pamoja. Kupitia GIGA pengo la kidijitali linapungua; walimu wanafundisha kwa urahisi, wanafunzi nao wanakuwa wanapata taarifa kwa urahisi na za kisasa. Hata wakati wa COVID-19 GIGA ilikuwa mkombozi ukichanganya na ubunifu pia wa walimu. Lakini ni wapi hilo limetokea? Si kwingine bali Rwanda ambako ufungaji wa intaneti kwenye shule, pamoja na mgao wa vifaa kama vile kompyuta na projekta, au kifaa cha kuelekeza taarifa za kompyuta kwenye ubao, vimeleta mabadiliko kama inavyodhihirika kwenye makala hii kutoka UNICEF na kusimuliwa na Assumpta Massoi. 

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية
Nilipotea Dhambini, Mungu ni mwalimu kiongozi

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Play Episode Listen Later Jan 14, 2023 29:00


Muda mwingi nilipotea dhambini sasa narudi kwa Yesu nimetambua Wokovu wangu , Mungu anakuwa kiongozi wetu maishani

Salama Na
SE7EP28 - SALAMA NA GARA B | BABA SHUGHULI

Salama Na

Play Episode Listen Later Dec 22, 2022 60:26


Jina MC Gara B ni miungoni mwa majina makubwa sana kwenye ulimwengu wa kazi ambayo mwenzetu huyu amechagua kuifanya. Familia yake, mke na watoto, wazazi wake na wa mkewe pengine, Ndugu jamaa na marafiki na waajiriwa wake wanakula vizuri kwasababu ya kipaji chake Ndugu yetu huyu. Ni mwanaume ambaye akiwa kazini kwake furaha na burudani ambayo huwapa wateja wake ndo inayomfanya azidi kuenda mbali kwenye tasnia hiyo ya ushereheshaji. Again, yeye ni mmoja ya BORA kadhaa ambao wanafanya kazi kama yake. Mtandao wa kijamii ni kitu kimoja chenye nguvu sana kwenye miaka ya hivi karibuni, kwa ushahidi tulonao tushawaona wengi ‘wakitoboa' kwasababu ya Instagram au sehemu nyengine. Mitandao iko mingi na kila mmoja na tobo lake la kufikia mjini. Kazi ambayo MC huyu huifanya yeye huenda na team yake kuiweka vizuri kisha ana post kwenye page yake yenye watu karibia MILIONI MOJA NA NUSU. Akizifikisha mjini kazi hizo wengi huvutiwa nazo na ambao wanakua wana shughuli nao bila ya shaka watamtafuta na kutaka kufanya nae kazi. Ubunifu wake ni wa kipekee kutokana na vingi na wengi ambao tumekua tukiwaona kwa miaka mingi sasa. Mtandao wa kijamii umemsaidia na unaendelea kumfanya awe bora zaidi ya jana. Sasa, shughuli hii anayo ifanya ndo ambayo ilikua ndoto zake? Pengine alikua huku anamuona mtu fulani akiwa anaifanya hii kazi kwa ufanisi na ikamvutia? Ilikuaje mpaka akaingia huko? Kwa kumtizama haraka haraka tu utagundua Ndugu yetu ni MCHESHI, yeye anapenda kucheka na kuongea, ingawa hapo kwenye kuongea nako sio kiviiiile ila ni mtafutaji ambaye AMETIMIA. Story yake alotupa kwenye episode hii inajumuisha yeye kufanya kazi zaidi ya mbili kwenye kipindi flani hivi cha maisha yake ili aweze kuishi vizuri. Ki professional mwenzetu ni MWALIMU, ambaye hiyo kazi aliifanya hasa, na akaijumlisha na kazi ya huduma kwa wateja pale Tigo na wakati huo huo akawa anafanya kazi kwenye kiwanda kimoja hivi huko Pugu Road, hakua na wa kumdekea wala kumsubiria na hustle yake hiyo ndo ambayo anaenda nayo mpaka leo kwenye maisha yake. Sasa kama Baba na mume kwa mkewe kipenzi ambaye naye alikutana nae sehemu ya kazi yake, Gara B ananijibu kuhusu uaminifu ambao anao kwa mkewe ambaye kwa mujibu wangu kama amekutana nae kwenye mazingira hayo, vipi hujiskia kila mara anapokua kazini mumewe ukichukulia huko ndipo walipo kutana na ndo ambapo wanawake wengi wazuri huwepo? Jibu lake lilikua na kuukonga moyo. Alituhadhia pia kuhusu wazazi wake na jinsi ambayo ameweza kujitengenezea jina, siku ya kwanza alipopata kimeo cha ku host harusi ya watu ambayo kwa mujibu wake aliibembeleza sana na hakua amepewa nafasi, ila nafasi ilipojileta akanyoosha kwa umbali mrefu mpaka mengine yamebaki story tu. Na hii ndo ilikua simulizi yangu bora kabisa kuhusu kupata nafasi na kuzitumia vyema. Yangu matumaini utaskiliza na kuangalia kwa makini maana humu anatupa simulizi zote za kutokata tamaa na jinsi ya kuchukua nafasi, ila pia anatuhadithia baadhi ya mitihani ambayo huja na umaarufu pia na jinsi ya kupambana nayo. Mimi nili enjoy na natumai itakua hivyo kwako pia. Happy Holidays. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support

SBS Swahili - SBS Swahili
Mwalimu na nahodha wake watofautiana kuhusu matarajio kwa kombe la dunia

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Nov 17, 2022 8:42


Kombe la Afrika la Sydney, NSW lina elekea katika robo fainali na tayari timu husika zimejua kinacho wasubiri katika mechi hizo.

Salama Na
SE7EP19 - SALAMA NA DITTO | TUNER

Salama Na

Play Episode Listen Later Oct 20, 2022 80:36


Lameck Ditto Sr ni Baba, Mwalimu, mwanamuziki, muandishi, mentor, mume na zaidi ya yote ni mwana tu ambaye maisha alopitoa kipindi anakua hayajawahi na wala hayatawahi kumsahaulisha yeye ni nani na wapi ambapo ametokea na wapi anataka sana kuelekea maana huko ndo kwenye kesho yake, na kwa kumsikiliza ambavyo nimemsikiliza, kesho yake anaithamini sana na amekua akiiandaa vizuri ili hata siku moja asije akakwama na kuanza kuishi maisha ya jana ambayo yalikua si mazuri hata kidogo. Yeye na Baba yake mzazi walikutana kwa ‘bahati mbaya' tunaweza tukasema hivyo maana wakati yuko zake Morogoro akiendelea na maisha ya kuishi yeye na Kulwa huku wakijilea wenyewe, Ditto au Dotto ananihadithia vile ambavyo Rafiki yake aliweza kumkutanisha na Mzee wake bila ya yeye kutegemea. Alikua ananiambia vile ambayo ilikua inabidi apambane kupata ya kula na pa kulala baada ya kuja jijini Dar es Salaam na haya yote ni baada ya yeye tayari kuwa umeshatoka na WATU PORI enzi hizo na hapo pia ni baada ya kupata nafasi ya kurekodi album moja na producer PFunk enzi hizo, PFunk huyo huyo ambaye alikua akilitikisa TAIFA kwa kazi nzuuri alizokua akifanya na wasanii kadha wa kadha ikiwa pamoja na Juma Nature. Lameck anakumbuka jinsi alivyokua analala ndani ya kiduka kidogo cha mwanawe mmoja ambaye alishamsomesha ili amstiri ki hivyo, alivyokuja Dar alikua anakaa kwa mwanae mmoja ivi na mkewe ila baada ya ahadi za album kutoka na kwamba mambo yatabadilika kugonga mwamba, Lameck ilibidi atafute ustaraabu mwengine. Nilitaka kujua kama hiyo ndo ilikua lowest moment ya maisha yake? Au kifo cha Mama yake? Au Mamu kukataa album yake kwa kusema haikua na kiwango kile? Sasa ni Baba na mchumba wa muda mrefu wa Binti mmoja ambaye nae alikutana nae ki ajabu ajabu tu na ambaye pia alimzungusha sana kabla hajanasa kwenye ndoana. Baba wa mtoto ambaye Mimi baada ya kukufanya nae mazungumzo nilikutana nae uwanjani akiwa ameenda kumuangalia Lameck Jr akifanya yake kwenye moja ya mechi za soka za shule ambayo anasoma. Kwenye meza aliniambia moja ya ahadi ambazo amejiwekea ni kuhakikisha yuko pale kwaajili ya mtoto wake, jambo ambalo yeye hakuwahi kulipata mapema. Mwanzo nilikuambia yeye pia ni muandishi, muandishi wa mashairi ya muziki na pia ni muandishi wa matangazo, kazi ambayo anasema Marehemu Ruge Mutahaba ndiye ambaye kwa kiasi kikubwa alimuelekezea huko. Na mentor wake mwengine ni Ndugu Ruben Ncha Kalih ambaye kwa asilimia KUBWA amempika na akapikika. Tulizungumzia pia umuhimu wa mmoja kuwa na chanzo zaidi ya kimoja cha kupata pesa, kuweza kukabiliana na MSIMU ambao unakua huna wimbo (au kazi) lakini bado ukaweza kuishi, kuhusu maamuzi ya yeye kwenda THT wakati tayari alikua ARTIST ambaye ameshajijenga. Tuliongea pia kuhusu Ruge, Barnaba, Amini na mambo mengine tele. Binafsi nilikua na wakati mzuri sana wakati tunaongea haya na yangu matumaini itakua hivyo kwako pia. Tafadhali enjoy. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support

Salama Na
SE7EP05 - SALAMA NA OSCAR OSCAR | UALIMU?! SI WITO!!

Salama Na

Play Episode Listen Later Jul 14, 2022 71:15


Mwaka 2018 ndo nilimfahamu Oscar baada ya kukutana nae kwenye kituo changu cha kazi ya kutangaza mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika jijini Johannesburg nchini Afrika ya Kusini. Alikua mmoja ya watu ambao walinikaribisha vizuri sana kwenye team na kwa wakati huo yeye ndo alikua anaishikilia rekodi ya kuwa ndo mtangazaji mdogo zaidi kwenye team ya watangazaji nami nikaja kama Binti PEKEE ambaye ambaye alikua anatangaza mpira wa miguu kwa lugha ya Kiswahili. Combination yetu ilikua nzuri sana na kwa kipindi hiko ambacho kilikua cha mwezi mmoja tulielewana na ku bond vizuri sana. Oscar anapenda raha, anapenda kucheka na kuishi vizuri, anapenda ukweli na kubwa zaidi ni Rafiki mzuri sana. Pengine la zaidi ambalo nna uhakika Mama yake mzazi kule Kaliuwa anajuvunia sana ni la usomi, ni mwanafunzi mzuri ambaye anapenda kujiendeleza, sasa anamalizia Masters yake kwenye Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Alishawahi kuwa Mwalimu kipindi cha nyumba kwenye maisha yake na kwa mawazo yangu ya haraka hii ndo ambayo inamfanya awe ni mmoja kati ya wachambuzi makini kabisa ambao nchi hii inayo, nguvu yake ni kuhakikisha pale kwenye ukweli unasemwa hata kama itakua kwa njia ya mas'hara, ila atausema! Aliamua kuwa Baba na hili ni kwa mujibu wake baada ya kunikatalia katakata kwamba mtoto wake wa kwanza alikua ni wa ‘bahati mbaya' kama ambavyo baadhi ya wazazi husema, Oscar anasem alikua anajua nini anafanya na Mama wa mtoto yule so kusema alikuja kwa bahati mbaya ni kama kumkosea mtoto yule ambaye alikuja kipindi ambacho Oscar alikua bado hajajiweka vizuri kwenye maisha yake na zaidi kwenye masuala ya kazi, na pia ananikumbusha jinsi alivyokua anajiona anajua saana na kama vile watu waliokua wanampa nafasi kipindi kile kama vile walikua hawanuelewi kabisa. Anaamini kwenye kujifunza kila kukicha ili kupanua wigo wa uerevu na kwake yeye Elimu ndo ufunguo wa maisha toka siku ya kwanza. Kama Baba wa watoto wawili ambao kwa kiasi kikubwa amekua hapo kwaajili ya vijana wake, Oscar anaamini kwenye kuwa pale kwaajili yao, kuwapa kile ambacho yeye hakukipata kutoka kwa Mzee wake wakati anakua, kuwa pale kwaajili ya watu wa familia yake na zaidi Mama yake ambaye kwa mujibu wa Oscar Mama ndo nguzo yake. Binafsi nayajua mengi ambayo amayafanya Kijijini kwao Kaliuwa kwaajili ya familia yake na hata ambao hawamhusu. Humu mimi na Rafiki YANGU tulijadili mambo mbalimbali ya ki maisha na familia, kazi na muskabali wa biashara ya mpira kwenye NCHI yetu na dunia kwa ujumla, pia tuliongelea umuhimu wa familia na kupata mtoto ukiwa na umri mdogo, suala la ajira na hustle wakati tunakua nalo hatukulicha nyuma. Yangu matumainj nawe uta enjoy pia. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support

Salama Na
SE7EP04 - SALAMA NA SHEIKH KIPOZEO | شيخ

Salama Na

Play Episode Listen Later Jul 7, 2022 58:42


Sheikh Hilali Shaweji Makarani au Sheikh Kipozeo ni mtu wa watu, au niseme kama ambavyo tunasema kwetu Uswazi, Sheikh ni mwana wa wana, anaweza kuwapa wana darsa kwa lugha yao na wakawa huru na wao kusema maoni yao au uelewa wao kwa raha na bashasha nyingi na naamini hii imemfanya yeye awe ni mmoja ya Ma Sheikh wanao tambulika zaidi kwenye mitandao ya kijamii nje na ndani ya Tanzania. Lugha hiyo ya wana ambayo anaitumia inasaidia sana kufikisha ujumbe ambao ameukusudia kwa wakati huo na ikapata mpaka majadilioano, majadiliano hayo ndo huzaa majibu ya maswali mengi ambayo wengi hujiuliza. Kwetu au kwangu ilikua ni kaji task ambako nilikua najua inabidi nikakamilishe, na jina lake kurejea kutajwa mara kwa mara na watazamaji wa kipindi hiki pia ilichochea dhamira hiyo kwa kiasi kikubwa. Nilikua sijawahi kukutana nae kwahiyo hii nami ilikua ni mara yangu ya kwanza kukutana nae uso kwa macho, shabiki yake? Oh yes, mkubwa tu. Nimekua nikimskiliza na kumuangalia kila nipatapo nafasi ya kukutana na mafunzo yake, kwahiyo hamu ya kutaka kuongea nae ilikua inaongezeka kila siku zinavyozidi kwenda. Wakati ambao Mwenyezi Mungu ameupanga ndo wakati sahihi kabisa. Na naamini huu ndo ulikua muda ambao tulikua tumepangiwa haya mazungumzo kutokea na haikua huko nyuma ambako pengine tulidhani tungemtafuta na kuweza kuongea nae. Alikua mkarimu kwangu, humchukua muda pia kuongea kama yule wa kwenye video maana kama Mwalimu nadhani huwa anaangalia spidi ambayo uko nayo na kujua anaenda na wewe vipi ili iwe imekaa mahala pake. Na naam, tuliweza kwenda vizuri, alinifanya nami niwe huru na muwazi kwa yale ambayo tulikua tumepanga na wenzangu kumuuliza. Akiwa Baba na mume mpedwa kwa familia yake, Sheikh Kipozeo amekua akipata mialiko sehemu mbali mbali ili aweze kuwapa watu ‘dawa'. Humu zaidi sisi tulitaka kujua jina lilipo anzia na jitihada zake za kufikisha neno la Mwenyezi Mungu kwa wanaohusika. Alituambia pia kuhusu asili yake na ‘urithi' wa dini ulipotokea. Lini hasa alijua kwamba ambacho anakifanya sasa ndo ambacho alikua anatakiwa kufanya kwenye maisha yake yote? Yangu matumaini dawa itaingia na uta enjoy kuangalia au kuskiliza episode hii yetu ya nne. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support