Podcasts about waziri

  • 50PODCASTS
  • 198EPISODES
  • 24mAVG DURATION
  • 1WEEKLY EPISODE
  • Apr 30, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about waziri

Latest podcast episodes about waziri

Wimbi la Siasa
Kenya: Upinzani utamtikisa Ruto uchaguzi wa mwaka 2027 ?

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Apr 30, 2025 10:16


Wanasiasa wakuu wa upinzani nchini Kenya, wakiongozwa na aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua, Aprili 29 2025, walikutana jijini Nairobi kuanza mikakati ya kuunda muungano mpya, kwa maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Je, muungano huu ambao pia umemjumuisha aliyekuwa Waziri wa usalama Fred Matiang'i, unaweza kumtikisa rais William Ruto  wakati wa uchaguzi huo ?

SBS Swahili - SBS Swahili
Swahili Taarifa ya Habari 1 Aprili 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 1, 2025 19:20


Waziri wa Ajira na mahusiano ya kazini, Murray Watt, ame kosoa ahadi ya upinzani yaku futa baadhi ya mageuzi ya mahusiano ya viwanda ya Serikali ya Labor.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 25 Machi 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 25, 2025 18:16


Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi Richard Marles, amesema kutakuwa uwekezaji wa ziada katika idara ya Ulinzi wa dola bilioni 1 katika bajeti itakayo tangazwa usiku wa leo Jumanne Machi 25.

Habari za UN
Zanzibar tumetekeleza kwa vitendo azimio la Beijing: Waziri Riziki Pembe

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 21, 2025 5:39


Wakati mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani CSW69 ukifikia ukingoni mshiriki kutoka Zanzibar Tanzania ameweleza Flora Nducha wa Idhaa hii ya Kiswahili kwamba Zanzibar imepiga hatua kubwa katika usawa wa kijinsia na utekelezaji kwa vitendo matakwa ya Azimio la Beijing la usawa wa kijinsia na hatua. Je wametekeleza vipi na hatua gani walizopiga? Ungana nao katika mahojiano haya.

Habari za UN
20 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 20, 2025 12:27


Hii leo jaridani katika mada kwa kina tunajikita katika mkutano CSW69 ambao umebakiza siku moja tu, kesho Machi 21 unakunja jamvi, na tunamsikia Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Tanzania, Waziri Riziki Pembe kutoka Zanzibar na Profesa Smile Dzisi, Mkugenzi wa Shirika la “I believe Global” kutoka Ghana.Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR Filippo Grandi amesema kukata ufadhili kwa mashirika yanayotoa huduma za kibinadamu kunasababisha janga la uwajibikaji. Kupitia taarifa iliyotolewa leo Geneva, Uswisi na UNHCR, Bwana Grandi amesema kukata ufadhili kunaweka hatarini maisha ya mamilioni ya watu na madhara yake kwa watu wanaokimbia majanga, yatakuwa makubwa zaidi na yataonekana wazi ikiwemo wanawake na watoto wa kike kukosa huduma zitokanazo na kubakwa.Leo ni siku ya furaha duniani maudhui yakimulika umuhimu wa watu kusaidiana na kujaliana katika masuala mbalimbali ikiwemo chakula. Ripoti mpya ya wadau wa UN iliyozinduliwa leo imeonesha kuwa nchi yenye furaha zaidi duniani ni Finland na ya mwisho kabisa ni Afghanistani. Katika 10 bora zenye furaha hakuna hata moja ya Afrika, ilihali kwenye 10 za mwisho nchi za Afrika ni 7 ambazo ni Lesotho, Comoro, Botswana, Zimbabwe, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Malawi na Sierra Leone.Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani, CSW69 ukikaribia ukingoni hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa tumemuuliza mshiriki Wakili Rosemary Mwaipopo kutoka Tanzania mkutano umekidhi kiu yake ya kusongesha usawa wa kijinsia?Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya maneno “Ashiraf, Janabi, gayagaya, kiti cha marimba na kiti cha msaji”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

Gurudumu la Uchumi
Ushirikiano wa kibiashara kati ya Kenya na Ufaransa

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Mar 19, 2025 10:01


Msikilizaji juma moja lililopita, mtandao wa wafanyabishara na makampuni ya Ufaransa hapa nchini Kenya, walikutana na wenzao wa Kenya kuangalia namna bora zaidi ya kushirikiana hasa katika masuala ya teknolojia. Kwa mujibu wa takwimu zilizoko hali ya biashara za mtandaoni kikanda inaendelea kuimarika, huku matarajio ya matumizi ya akili mnemba yakionekana kuleta mageuzi makubwa katika sekta hiyo. Victor Moturi alizungumza na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia wa Kenya, William Kabogo.

Gurudumu la Uchumi
Ushirikiano wa kibiashara kati ya Kenya na Ufaransa

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Mar 19, 2025 10:01


Msikilizaji juma moja lililopita, mtandao wa wafanyabishara na makampuni ya Ufaransa hapa nchini Kenya, walikutana na wenzao wa Kenya kuangalia namna bora zaidi ya kushirikiana hasa katika masuala ya teknolojia. Kwa mujibu wa takwimu zilizoko hali ya biashara za mtandaoni kikanda inaendelea kuimarika, huku matarajio ya matumizi ya akili mnemba yakionekana kuleta mageuzi makubwa katika sekta hiyo. Victor Moturi alizungumza na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia wa Kenya, William Kabogo.

Habari za UN
Mabadiliko chanya katika jamii yanakuja kwa kueleweshana - Dkt. Gwajima

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 17, 2025 2:05


Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Waziri, Dkt. Dorothy Gwajima,  ni mmoja wa wanaohudhuria mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake, CSW69 hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Anold Kayanda wa Idhaa hii amekutana naye na miongoni mwa mambo mengi amemuuliza ni kwa nini pamoja na ongezeko na idadi ya wanawake katika ngazi za uamuzi nchini Tanzania lakini bado kuna changamoto nyingi zinazoukabili usawa wa kijinsia nchini humo?

Habari za UN
17 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 17, 2025 11:28


Hii leo jaridani tunaangazia madeni katika nchi zenye mapato ya chini na ujumbe wa washiriki wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani CSW69 hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa.Mkutano wa 14 wa Kimataifa wa Usimamizi wa madeni umeanza rasmi hii leo huko Geneva Uswisi ambapo kubwa linalojadiliwa ni namna ya kuhakikisha wakati serikali zikipambana kulipa madeni hazidumazi maendeleo.Akijibu swali la kwa nini pamoja na ongezeko na idadi ya wanawake katika ngazi za uamuzi nchini Tanzania lakini bado kuna changamoto zinazoukabili usawa wa kijinsia, Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu anayehudhuria mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake, CSW69 jijini New York, Marekani kupitia mahojiano maalumu na Anold Kayanda wa Idhaa hii ya Umoja wa Mataifa, anaeleza kuwa      mabadiliko chanya katika jamii hayaji kwa kutumia mabavu.Makala pia inatubakisha hapa Umoja wa Mataifa kwenye mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake duniani CSW69. Ili kufanikisha lengo la usawa wa kijinsia Umoja wa Mataifa unasisitiza ushiriki wa wanaume katika mchakato hasa kwa kuzingatia kuwa mfumo dume miaka nenda miaka rudi umekuwa kikwazo cha kufikia lengo hilo, Flora Nducha amebahatika kuzungumza na mmoja wa wanaume wanaoshiriki mkutano huo kusikia maoni yake.Na katika mashinani baadhi ya washiriki wa mkutano wa CSW69 wakizungumza na idhaa hii kandoni mwa mkutano huo, wametoa wito wa mshikamano na msichana na mwanamke yeyote anayepitia changamoto kote duniani hususani wale wanaorejea shuleni baada ya kusitisha masomo kutokana na ujauzito kabla ya wakati. Mshiriki wa kwanza ni Nasra Kibukila anayewakilisha Mtandao wa Elimu Tanzania, TEN/Met.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!  

Jioni - Voice of America
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani kukutana na Rais wa Ukraine - Machi 09, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Mar 9, 2025 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 4 Machi 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 4, 2025 19:14


Waziri wa Fedha Katy Gallagher amesema wa Australia wanastahili tarajia bajeti ya shirikisho inayotegemewa, na ambayo itasaidia familia kwa shinikizo za gharama ya maisha.

Jioni - Voice of America
Rwanda imeelezea ukosoaji wa mikataba ya udhamini wa soka ya Arsenal kwa waziri wa mambo ya nje wa DRC kama tishio kwa amani katika kanda. - Februari 20, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Feb 20, 2025 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Wimbi la Siasa
Mahamoud Ali Youssouf ashinda Uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Feb 19, 2025 9:35


Waziri wa Mambo ya nje wa Djibouti Mahmoud Ali Youssouf alichaguliwa na wakuu wa mataifa ya Afrika Februari 15 2025, kuwa Mwenyekiti mpya wa Tume ya Umoja wa Afrika na kumshinda mwanasiasa mkongwe na aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga. Tunachambua ushindi wake na kazi kubwa inayomsubiri

Partners United Podcast
Conversation with Mr. Waziri Adio

Partners United Podcast

Play Episode Listen Later Feb 18, 2025 26:30


“Until Nigerians begin to see the link between misappropriation of funds and lack of basic services, their disconnection from governance and policy issues will persist” - Mr. Waziri Adio, Executive Director, Agora Policy

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 13 Februari 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 13, 2025 6:46


Waziri wa Afya wa jimbo la New South Wales, ameomba msamaha jumuiya ya wayahudi baada ya video inayo zungushwa mtandaoni, kuwaonesha wauguzi wawili waliokuwa wakitoa vitisho kwa wagonjwa wenye asili ya Israel.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 3 Februari 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 3, 2025 7:09


Waziri wa Kigeni Penny Wong amesema vikwazo vipya vya kufadhili ugaidi kwa mtandoa wa kundi lawa neo-Nazi wa mtandaoni kwa jina la Terrorgram, ni sehemu ya hatua za serikali dhidi ya mashambulizi dhidi ya ubaguzi wa wayahudi pamoja na uhalifu wa chuki.

Jioni - Voice of America
Waziri wa mambo ya nje wa DRC, Therese Kayikwamba anasema mji wa Goma upo chini ya jeshi la Rwanda na ni vigumu kujua idadi ya waliofariki. - Januari 31, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 31, 2025 59:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 21 Januari 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jan 21, 2025 21:03


Waziri wakigeni Penny Wong amesema Australia ina kesi imara, yakuto jumuishwa katika pendekezo la Rais wa Marekani Donald Trump kutoza ushuru.

Jukwaa la Michezo
Droo ya CHAN 2024: Kenya yapangwa kundi gumu zaidi, mashindano ya Agosti 2025

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Jan 18, 2025 23:53


Kipindi cha leo kimeangazia pakubwa droo ya mashindano ya CHAN 2024; adhari ya kuahirishwa kwa kipute na uchambuzi wa makundi. Pia tumetupia jicho raundi ya sita hatua ya makundi mechi za klabu bingwa Afrika, fainali ya mashindano mapya ya wasichana U17, Shujaa yataja kikosi chake cha mkondo wa Perth 7s, Kipchoge akilenga taji la tano la London Marathon, Tyson Fury astaafu ndondi kwa mara ya pili pamoja na mashindano ya tenisi ya Australian Open yakiingia hatua ya robo fainali. Kulingana na droo iliyofanyika Jumatano usiku katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Kenyatta (KICC) jijini Nairobi nchini Kenya, Harambee Stars imepangwa katika 'kundi la kifo' ambapo itamenyana na mabingwa mara mbili Morocco (2018 na 2020) na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (2009 na 2016)."Tuko kwenye kundi la kifo," Mariga alikiri, akibainisha uimara wa wapinzani wao."Hizo ni timu kubwa na inamaanisha lazima tuweke juhudi zaidi katika maandalizi."“Wapinzani wetu ni wagumu, tutashiriki mashindano haya kwa mara ya kwanza lakini haijalishi. Tuna wachezaji wazuri ambao wanaweza kutoa changamoto,” alijibu Kenneth Muguna, mmoja wa wachezaji muhimu katika kikosi cha sasa cha Harambee Stars.Pia katika Kundi A kuna Zambia na Angola. Kenya itakuwa mwenyeji wa mashindano haya yanayofanyika kila baada ya miaka miwili kwa wachezaji wa nyumbani pamoja na Tanzania na Uganda.Wenyeji wenza Tanzania wako katika Kundi B ambapo watamenyana na Madagascar, Mauritania, Burkina Faso na Jamhuri ya Afrika ya Kati.“Tusichukulie kundi hili kama jepesi, sisi kama wenyeji lazima tujitayarishe vyema ili tupite awamu ya makundi na hata kushinda kombe, “ alisema rais wa shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) Wallace Karia.Uganda wataongoza Kundi C ambapo watamenyana na Niger na nchi mbili ambazo zitatinga hatua ya mwisho ya mchujo. Mabingwa watetezi Senegal wataanzisha tena uhasama na Nigeria katika kundi D, ambayo pia ina Sudan na Kongo.“Tumecheza dhidi ya Guinea na Niger mara kadhaa, tunajua wanavyocheza. Tumefuzu mara ya nane mashindano haya, na hatujawahi kuaga mashindano kwenye makundi,” alieleza kwa msisimko Moses Magogo, rais wa shirikisho la soka (FUFA) nchini Uganda. Michuano hiyo yenye timu 19 ambayo awali ilipangwa kufanyika Februari 1 hadi 28, iliahirishwa hadi Agosti mwaka huu. Wasaidizi wa droo hiyo walikuwa wachezaji wa zamani - McDonald Mariga wa Kenya, Mrisho Ngasa wa Tanzania na Hassan Wasswa wa Uganda huku mkurugenzi wa mashindano wa CAF, Samson Adamu akisimamia mchakato wa droo.Katika ujumbe wake wa video kabla ya droo hiyo, rais wa CAF Patrice Motsepe alitoa shukrani zake kwa marais William Ruto (Kenya), Samia Suluhu Hassan (Tanzania) na Yoweri Museveni (Uganda) kwa ushirikiano wao kuhakikisha mashindano hayo yanafanyika kwa mafanikio."Ukarabati wa viwanja, viwanja vya kufanyia mazoezi, miundombinu, hoteli na hospitali katika nchi hizo tatu unaonyesha maendeleo makubwa na motisha, iliyodhihirika wakati wa ziara yangu," ujumbe wake Motsepe ulibainisha."Lengo lilikuwa kuunganisha mataifa matatu ya Afrika Mashariki, pamoja na mengine kutoka sehemu mbalimbali za Afrika."Waziri wa Michezo nchini Kenya Salim Mvurya alipamba hafla hiyo pamoja na wenzake kutoka Uganda na Tanzania, Peter Ogwang na profesa Palamagamba John Aidan Mwaluko.Droo KamiliKundi A: Kenya, Morocco, Angola, DR Kongo, ZambiaKundi B: Tanzania, Madagascar, Mauritania, Burkina Faso, Jamhuri ya Afrika ya KatiKundi C: Uganda, Niger, Guinea, Q2, Q1Kundi D: Senegal, Kongo, Sudan, Nigeria

Jioni - Voice of America
Kiongozi mpya wa Syria amteua waziri wa mambo ya nje - Desemba 21, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 21, 2024 29:59


SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 10 Disemba 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 10, 2024 16:55


Waziri wa Huduma za Serikali Bill Shorten ametangaza kuwa shirika la Services Australia, lime tekeleza karibu nusu ya mapendekezo yote kutoka Tume yakifalme kwa mfumo usio halali wa Robodebt.

Habari za UN
21 NOVEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 21, 2024 9:59


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Kenya kushuhudia jinsi mpango wa Usimamizi wa Ardhi uliopatiwa wa "kusaidia jamii kufikia Ajenda 2030” ambao FAO imetekeleza kwa kaunti kadhaa. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchambuzi wa neno.Hague kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ICC ambayo leo imetoa kibali cha kukamatwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, Waziri wa zamani wa ulinzi Yoav Galant  na kiongozi wa kundi la kipalestina la Hamas Mohamed Diab Ibrahim al-Masri alimaarufu kama  kwa makosa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhaifu wa vita ulitendeka wakati wa vita inayoendelea baina ya Israel na Hamas.Mjini  Baku nchini Azerbaijan mkutano wa 29 wa mkataba wa nchi wanachanama wa Umoja wa Mataifa kuhusu mabadiliko ya tabainchi COP29 unaelekea ukingoni  na leo ukijikita na masuala ya kijinsia na mabadiliko ya tabianchi. Miongoni mwa waliozungumzia changamoto ya tabianchi kwa wanawake ni  Jemimah Njuki, mkuu wa kitengo cha uwezeshaji wa kiuchumi katika shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya wanawake UN Women.“Raia  wanaoshtakiwa katika mahakama za kijeshi nchini Uganda hukosa dhamana sawa ya mchakato wa kisheria kama wale wanaoshtakiwa katika mahakama za kiraia,” amesema Volker Türk, Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu hii leo kufuatia tukio la kutekwa kwa mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda Kiiza Besigye akiwa nchini Kenya.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno MHARABU”.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu! 

Habari za UN
Tutahakikisha Kiswahili kinasambaa duniani na kusongesha ajenda za UN: Dkt. Ndumbaro

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 8, 2024 5:27


Kongamano la kimataifa la Kiswahili leo limeng'oa nanga jijini Havana Cuba likiwaleta pamoja takribani washiriki 400 kutoka Afrika, Asia, Amerika na Ulaya ili kujadili ajenda mbalimbali za kupanua wigo wa luugha hiyo na kuitumia kuleta tija ikiwemo kusongesha malengo ya Umoja wa Mataifa kama amani na maendeleo endelevu. Akizungumza na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa wakati wa Kongamano hilo Waziri wa utamaduni, sanaa na michezo wa Tanzania Dkt. Damas Daniel Ndumbaro amesema hili ni kongamano la kimataifa la Kiswahili na ajenda yake kuu ni kukifanya Kiswahili kivuke mipaka. 

Habari za UN
Wiki mbili za kusaka usalama DRC, mkimbizi asimulia madhila na atakacho.

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 7, 2024 2:23


Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, imesalia katika mgogoro kwa miaka mingi, hali ambayo imewasababishia raia mateso ya hali ya juu zaidi yakiwemo mauaji, utekaji nyara, na kuteketezwa kwa nyumbaa zao. Mapigano hayo pia yamewafungisha viragozaidi ya watu milioni 6.4 nchini humo, na kulazimisha familia kutafuta usalama katika makazi ya muda yaliyojaa pomoni. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limeonya kuwa mgogoro huu uliodumu kwa muda mrefu na ukiukwaji wa haki za binadamu ni mwiba kwa wakimbizi hawa wa ndani.  Cicey Kariuki na taarifa zaidiRusayo ni eneo lililo na makazi ya muda ya wakimbizi   mjini Goma katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Miongoni mwa  wakimibizi wa ndani wanaishi kwenye makazi haya ni Sebororo, mwanamke mwenye  miaka 38 akitembea na watoto wake.Sebororo pamoja na wananawe watano wanaishi kwenye makazi ya pamoja na familia nyingine 90 huku wakisubiri kutengewa nyumba katika eneo hilo. Mama huyu anaeleza jinsi alivyojikuta katika makazi ya wakimbizi. Anasema,“tulianza kukimbia kuktoka kule tarehe tano mwezi wa kumi, awali walikuwa wanakuja lakini hawakuua watu, lakini leo hii wanaua watoto,wanaume na wanawake, sisi yalitushinda maanake wengine walikuwa pia wanatekweteza mimea.”Sebororo na watoto wake watano walitembea kwa wiki mbili kutafuta usalama, baada ya wapiganaji kuvamia kijiji chao cha Kiseguru katika Mkoa wa Kivu Kaskazini. Katika nusu ya kwanza ya mwaka wa 2024 pekee, zaidi ya watu 940,000 walilazimika kukimbia kutokana na ukatili, uliofanywa na makundi mengi yenye silaha yasiyo ya kiserikali huku familia nyingi zikifurushwa mara kadhaa. Kwa sasa anachokitamani zaidi Sebroro ni amani. “Haja yetu sisi ni watusaidie kwa kusimamisha vita ili turejee kwetu kwa sababu watu wanaisha.”Anasema.Kufurika kwa watu katika makazi haya ya muda kumezua  wasiwasi mkubwa miongoni mwa wahudumu wa kibinadamu kufuatia hatari ya kuenea kwa magonjwa, ikiwa ni pamoja na virusi vya homa ya nyani au mpox.Ruven Menikdiwela, Kamishna Msaidizi wa Operesheni wa UNHCR ambaye alitembelea eneo hilo na kukutana na familia mbalimbali za wakimbizi na kusikiliza wasiwasi wao, anasema, “leo asubuhi, nilizungumza na mwanamke huyu ambaye ana watoto wadogo watano. Alitembea kwa wiki mbili kufika katika eneo hili, bado anasubiri huduma, bado anasubiri watoto wake watibiwe, na bado anasubiri chakula. Ninatambua kwamba hii ni hali ya kawaida kwa watu wote wanaoishi katika eneo hili. Kila mmoja ana majanga yake binafsi, kwa hivyo hizi siyo tu takwimu, bali kuna hadithi za kibinafsi nyuma ya kila moja ya hizi takwimu na majanga ya kibinafsi na majanga yanayoendelea pia, kwa sababu hatuoni suluhisho lolote kwenye mustakabali.”Katika ziara yake kwenye makazi haya, Ruven Menikdiwela, pia alifanya vikao na wadau kadhaa akiwemo Waziri mkuu, mamlaka za mkoa na mashirika ya umoja wa Mataifa. Ujumbe wake ulikuwa wazi kwamba amani ndiyo suluhisho endelevu na dhabiti zaidi, na inahitajika kwa dharura. “Pande zote zinapaswa kukutana na kujadiliana kutoa fursa kwa amani, ili watu hawa wote, mamilioni ya watu waliolazimika kuhama, waweze kurudi nyumbani au kuunganishwa na jamii mahali walipo, na waweze kuishi kwa amani pamoja kama jamii moja.”

Alfajiri - Voice of America
Waziri wa ulinzi wa Ukraine amesema wanajeshi 500,000 wa Russia wameizingira Ukraine - Julai 18, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 18, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 17 Juni 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 18, 2024 5:48


Waziri wa kwanza wa China Li Qiang amekaribishwa ndani ya bunge la taifa, hiyo ikiwa ni ziara ya kwanza ya waziri wa kwanza wa China katika muda wa miaka 7.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 18 Juni 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 18, 2024 17:37


Waziri mkuu wa China Li Qiang ameondoka Canberra baada ya siku yakihistoria ya mazungumzo yakidiplomasia ndani ya bunge la taifa.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 7 Juni 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 7, 2024 20:58


Waziri wa serikali ya shirikisho Bill Shorten amesema hawezi sema kama chama cha Labor kita weka chama cha Greens mwisho, katika kadi zao za maelezo ya jinsi yakupiga kura katika uchaguzi mkuu ujao kwa sababu ya msimamo wa chama cha Greens kwa mgogoro wa Gaza.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 28 Mei 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 28, 2024 20:23


Waziri wa maswala ya kigeni wa Australia Penny Wong amesema shambulizi baya la anga la Israel katika mji wa Rafah, linatisha na halikubaliki. Takriban watu 45 wame uawa baada ya shambulizi hilo kusababisha moto mkubwa katika kambi ya mahema ya kitongoji cha Tel Al-Sultan.

SBS Swahili - SBS Swahili
Bunge la Kenya lapiga kura yakutokuwa na imani na waziri wa kilimo na mifugo

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 9, 2024 6:14


Kamati maalum ya bunge la Kenya, imesikiza wasilisho la Mh Jack Wamboka ambaye anataka waziri wa kilimo na mifugo wa Kenya atimuliwe kazini.

1001 Heroes, Legends, Histories & Mysteries Podcast
SPECIAL PREVIEW TARZAN THE UNTAMED COMING TO 1001 STORIES FOR THE ROAD SUNDAY NOON ET

1001 Heroes, Legends, Histories & Mysteries Podcast

Play Episode Listen Later Apr 17, 2024 19:18


The year is 1914. World War I has begun, and a German detachment from Tanganyika decides to wreak havoc in British East Africa,, beginning with the wanton destruction of Lord Greystoke's (Tarzan's) farm and property. Tarzan returns home from business to find his ranch smoldering, his livestock and property destroyed, and his Waziri guards dead. His wife Jane has been killed as well, burned beyond recognition in the fire. He vows revenge on the warring Germans. Learn more about your ad choices. Visit podcastchoices.com/adchoices

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 22 Machi 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 22, 2024 15:58


Waziri wa Ulinzi Richard Marles amesema uchumi utafaidi kupitia makubaliano yakupiga jeki uzalishaji wa manowari yanayo tumia nishati ya nyuklia ya Uingereza kama sehemu ya mkataba wa AUKUS.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 4 Machi 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 4, 2024 7:56


Waziri mkuu Anthony Albanese amesema uchaguzi mdogo wa Dunkley umethibitisha kuwa wa Australia hawa vutiwi na kampeni hasi.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 19 Februari 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 19, 2024 6:50


Waziri wa mazingira Tanya Plibersek amemshtumu Peter Dutton kwa kuwasaidia wasafirishaji haramu wa watu kufanya matangazo, kwa kudai kuwa serikali ya shirikisho imeregeza hatua za usalama mpakani.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 1 Februari 2024

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Feb 2, 2024 6:42


Waziri mkuu ametupilia mbali pendekezo kuwa viwango vya juu vya makato ya kodi kwa wenye mapato ya chini, vita rejesha nyuma kupungua kwa viwango vya riba, nakusababisha hali ngumu kwa muda mrefu.

Jioni - Voice of America
Wachambuzi na wasikilizaji watoa maoni kuhusu ziara ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani barani Afrika - Januari 26, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 26, 2024 59:57


Alfajiri - Voice of America
Wizara ya ulinzi Marekani imekiri kwamba Waziri wa ulinzi Lloyd Austin alitibiwa saratani ya tezi dume na kulazwa hospitali. - Januari 10, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 10, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 11 Disemba 2023

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 11, 2023 7:58


Waziri wa mambo ya ndani Clare O'Neil amesema, kupunguzwa kwa mapokezi ya wahamiaji kuta unda sehemu ya mkakati mpya wa uhamiaji wa serikali.

SBS Swahili - SBS Swahili
Makubaliano ya Uingereza na Rwanda kuhusu waomba hifadhi mashakani

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 8, 2023 7:25


Waziri mkuu wa Uingereza Rishi Sunak amewataka wabunge wa chama chake cha Conservative siku ya Alhamisi kuunga mkono mpango wake wa kuwapeleka Rwanda waomba hifadhi.

conservatives rwanda waziri uingereza alhamisi
Alfajiri - Voice of America
Henry Kissinger aliyehudumu kama Waziri wa mambo ya Nje chini ya utawala wa Rais Nixon na Ford, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 100. - Novemba 30, 2023

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 30, 2023 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Alfajiri - Voice of America
Israel yazidisha mashambulizi yake Gaza na kuigawa pande mbili wakati waziri wa mabo ya nje wa Marekani akizuru Mashariki ya Kati - Novemba 06, 2023

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 6, 2023 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 4 Septemba 2023

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Sep 4, 2023 7:24


Waziri wa mazingira Tanya Plibersek amekosoa msimamo wa kiongozi wa upinzani Peter Dutton kwa Sauti yawa Australia wa kwanza bungeni.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 9 Julai 2023

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jul 9, 2023 19:38


Waziri wa Elimu wa shirikisho Jason Clare amesema itabidi waziri mkuu wa zamani Scott Morrison, aishi na madhara ya mfumo wa robodebt katika dhamira yake.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 4 Julai 2023

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jul 4, 2023 17:19


Waziri wa Fedha akaribisha uamuzi wa benki ya hifadhi wakuto ongeza kiwango cha riba.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 25 Juni 2023

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 25, 2023 18:49


Waziri wa wa fedha Julie Collins ametetea uwekezaji wa serikali wenye thamani ya bilioni 10 kupitia mradi wa Housing Australia Future Fund, wakati vyama vya Greens na Mseto viki endelea kuzuia muswada huo kupita bungeni.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 11 Juni 2023

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jun 11, 2023 18:56


Waziri wa huduma ya wazee Anika Wells amesema kufanya mageuzi katika mfumo wa huduma ya wazee ni binafsi kwake, Bi Wells amesema aliona matatizo tena, alipo fanya ziara ndani ya vifaa vya huduma baada yakuwa waziri wa huduma ya wazee.

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 23 Aprili 2023

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 23, 2023 15:45


Waziri wa Fedha Katy Gallagher amesema swala la nyumba za bei nafuu kwa wanawake katika umri wa miaka 55 na juu, litashughulikiwa katika bajeti ya shirikisho ijayo

SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 18 Aprili 2023

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 18, 2023 18:34


Waziri wa National Disability Insurance Scheme almaarufu NDIS, ametoa hotuba katika klabu ya waandishi wa habari wa taifa, kuelezea umuhimu wakufanya mageuzi katika mfumo huo.

FLF, LLC
Daily News Brief for Monday, August 29th, 2022 [Daily News Brief]

FLF, LLC

Play Episode Listen Later Aug 29, 2022 16:30


This is Garrison Hardie with your CrossPolitic Daily Newsbrief for Monday, August 29th, 2022. I hope you had an excellent weekend of rest, and worship with you and yours, so without further adieu, here’s what you may have missed over the weekend! https://www.theblaze.com/news/covid-booster-shots-omicron-fda FDA to authorize new COVID booster shots for Omicron before trials on humans, will instead rely on testing on mice The Food and Drug Administration (FDA) is expected to authorize new COVID-19 booster shots this week. The booster shots will be released months before trials on humans are completed, according to a new report. New COVID-19 booster shots that target the latest Omicron variant will be approved by the FDA this week, the Wall Street Journal reported. The new booster shot will be "bivalent" – which means it can target the original COVID-19 strain and the Omicron BA.5 subvariant. The booster shot will likely be available to Americans despite not having been tested on humans. Instead, the FDA will rely on testing on mice, data from current COVID-19 vaccines, and earlier iterations of boosters. The Wall Street Journal noted, "The Food and Drug Administration is expected to authorize new COVID-19 booster shots this week without a staple of its normal decision-making process: data from a study showing whether the shots were safe and worked in humans." FDA Commissioner Robert Califf issued a statement on Twitter regarding how the government agency will likely make a decision in granting emergency use authorization (EUA) for booster shots from Moderna and Pfizer. "FDA will rely on the totality of the available evidence in making a decision, including: Clinical trial data from other bivalent mRNA COVID-19 boosters RWE from current COVID-19 vaccines administered to millions of people, non-clinical data for the bivalent BA.4/5 vaccines, bivalent and multivalent vaccines are very common and modifying a vaccine to include different virus strains often does not require a change in other ingredients," Califf said on Twitter. Earlier this month, White House COVID-19 Response Coordinator Dr. Ashish Jha expected the boosters to be available by "early to mid-September." https://www.theepochtimes.com/3-dead-after-shooter-opens-fire-at-oregon-shopping-center_4695212.html?utm_source=partner&utm_campaign=BonginoReport In Oregon, tragic news, as 3 Dead After Shooter Opens Fire at Oregon Shopping Center A gunman armed with an AR-15-style rifle opened fire in a shopping center in Bend, Oregon, on Sunday evening, killing at least two people, authorities have confirmed. An individual who is believed to be the shooter was also found dead at the scene, police said, taking the death toll to three. Officers and emergency medics responded to multiple 911 calls of shots being fired at the Forum Shopping Center in Brend, which is approximately 160 miles southeast of Portland, Oregon, at about 7:04 p.m. Officials believe the shooter, who was only identified as a male, entered from a residential area behind the shopping center and moved through the parking lot while shooting rounds from an AR-15-style rifle. When officers arrived at the grocery store, police believe shots were still being fired, Krantz said. Officers found the suspected shooter dead inside the store. The investigation into the shooting is still ongoing, Krantz said, and multiple agencies are involved including the FBI. https://www.foxbusiness.com/politics/gov-glenn-youngkin-vows-stop-ridiculous-state-ban-gas-vehicles Oh look! A governor with some brains! Take note Newsome & Inslee, Gov. Glenn Youngkin vows to stop 'ridiculous' state ban on gas vehicles Republican Virginia Gov. Glenn Youngkin is working to dismantle Virginia's push toward electric vehicles, calling the move "ridiculous" in a Sunday statement. Virginia's former governor, Democrat Ralph Northam, signed legislation in 2021 tying the state's emissions policies to the California Air Resources Board. The board has imposed a regimen to eliminate the sale of gas and diesel vehicles by 2035, forcing Virginia to do the same thanks to the 2021 law. "In an effort to turn Virginia into California, liberal politicians who previously ran our government sold Virginia out by subjecting Virginia drivers to California vehicle laws," Youngkin wrote in a statement on Twitter. "Now, under that pact, Virginians will be forced to adopt the California law that prohibits the sale of gas and diesel-fueled vehicles." "I am already at work to prevent this ridiculous edict from being forced on Virginians. California’s out of touch laws have no place in our Commonwealth," he continued. Youngkin already has support for the move from the Republican-held House of Delegates. "House Republicans will advance legislation in 2023 to put Virginians back in charge of Virginia’s auto emission standards and its vehicle marketplace. Virginia is not, and should not be, California," House Speaker Todd Gilbert said in a statement. Northam and his fellow Democrats passed the legislation when the party held full control of the Virginia government last year. Club Membership Plug: Let’s stop and take a moment to talk about Fight Laugh Feast Club membership. By joining the Fight Laugh Feast Army, not only will you be aiding in our fight to take down secular & legacy media; but you’ll also get access to content placed in our Club Portal, such as past shows, all of our conference talks, and EXCLUSIVE content for club members that you won’t be able to find anywhere else. Lastly, you’ll also get discounts for our conferences… so if you’ve got $10 bucks a month to kick over our way, you can sign up now at flfnetwork.com https://www.breitbart.com/asia/2022/08/28/taliban-conducting-door-to-door-raids-to-confiscate-guns/ Members of Afghanistan’s Taliban conducted door-to-door raids of homes in the northern city of Mazar-e-Sharif on Thursday in part to search for and confiscate weapons, including firearms, deemed “illegal” by the terror group, which seized control of Afghanistan’s government in August 2021, the Kabul-based Khaama Press News Agency reported. The raids took place on the morning of August 25 in Mazar-e-Sharif, which is the capital of Afghanistan’s Balkh province, Khaama Press reported citing unnamed sources. The news agency said Taliban spokesman Asif Waziri, who serves Balkh’s “office of the chief of police” confirmed the raids in the northern capital. “Taliban forces are conducting door-to-door searches in an effort to combat ISIS, obtain state weapons and collect undocumented guns, as well as track down suspected criminals,” the Taliban spokesman added. Waziri referenced the Islamic State of Iraq and Syria (ISIS), which is an international jihadist terror group present in Afghanistan in the form of an offshoot called ISIS-Khorasan Province (ISIS-K). ISIS-K claimed responsibility for a deadly suicide bombing at Kabul’s Hamid Karzai International Airport on August 26, 2021, that killed 13 U.S. servicemembers and hundreds of Afghans. The attack took place as the administration of U.S. President Joe Biden oversaw a chaotic withdrawal of American troops from Afghanistan after the Taliban seized control of Kabul, the nation’s seat of government, on August 15, 2021. The Taliban had previously ruled Kabul from 1996 to 2001 before Washington launched a nearly 20-year-long War in Afghanistan in late 2001 that ousted the Sunni Islam-based terror group from the capital and replaced it with a U.S.-backed Afghan government administration. In a reversal of the action almost two decades later, the Taliban reconquered Kabul last summer and have since reestablished sharia, or Islamic law, as the basis of Afghanistan’s legal system. Armored Republic The Mission of Armored Republic is to Honor Christ by equipping Free Men with Tools of Liberty necessary to preserve God-given rights. In the Armored Republic there is no King but Christ. We are Free Craftsmen. Body Armor is a Tool of Liberty. We create Tools of Liberty. Free men must remain ever vigilant against tyranny wherever it appears. God has given us the tools of liberty needed to defend the rights He bestowed to us. Armored Republic is honored to offer you those Tools. Visit them, at ar500armor.com https://townhall.com/tipsheet/mattvespa/2022/08/29/brace-yourselves-we-might-need-to-send-troops-back-to-afghanistan-n2612341 Speaking of Afghanistan, Brace Yourselves: We Might Need to Send Troops Back to Afghanistan It doesn’t seem like a question of “if,” but “when” we redeploy troops to Afghanistan again amid rising terrorism concerns. This security situation wasn’t an item that caught us off-guard. It didn’t sneak up on us—it’s just another consequence of Joe Biden’s destructive policies. For all his time in DC, it’s still amazing that he remains one of the worst foreign policy minds in American politics. The Delaware liberal has been wrong on every significant American foreign policy effort for the past 40 years, and this Afghanistan pickle is no different. On Fox News Sunday, retired Gen. Kenneth F. McKenzie Jr. admitted that going back to Afghanistan, the graveyard of empires, was only a matter of time, given the increased activities of radical Islamic terrorists. McKenzie was the last commander of US-NATO forces in Afghanistan before our shambolic withdrawal. The Council of Foreign Relations had a detailed memorandum about the rising terror threat and how, unsurprisingly, the Taliban being allies of groups like al-Qaeda, have given their terror pals a lifeline to conduct their global campaign of jihad. The nation’s third-world dynamics and failing state status also serve as a magnet for terror groups. Genderal McKenzie Jr. was asked: “Do you think troops will have to be sent back to Afghanistan?” He responded: “That’s a difficult question…the threat is growing in Afghanistan, and it's merely a matter of time.” https://www.dailywire.com/news/libs-of-tiktok-locked-out-of-twitter-again Oh look, censorship is back! Libs of TikTok Locked Out of Twitter – Again Twitter reportedly blocked the popular Libs of TikTok account on Saturday, keeping its owner from posting or logging in over alleged violations of the social media platform’s guidelines. Libs of TikTok has become a prevalent Twitter account over its posts that share examples of far-left videos from TikTok, including topics like LGBT activism, critical race theory, and public education issues. Babylon CEO Seth Dillon shared a screenshot of the “hateful conduct” message the Libs of TikTok account claimed to have received. “Hi Libs of TikTok, your account, @libsoftiktok has been locked for violating the Twitter rules,” the message read. “You may not promote violence against, threaten, or harass other people on the basis of race, ethnicity, national origin, sexual orientation, gender, gender identity, religious affiliation, age, disability, or serious disease,” the message added. “Please note that repeated violations may lead to a permanent suspension of your account. Proceed to Twitter now to fix the issue with your account.” The message did not mention the particular post or posts that led to the locked-out account. One of the account’s last messages before being locked out was posted on Thursday. The post included audio that claimed that the Children’s National Hospital performed “gender-affirming” hysterectomies on minors, including those 16 years old and younger. It’s not the first time the popular account has been targeted in recent weeks. Libs of TikTok was permanently suspended from Facebook just one week earlier. Now we gotta wrap up today’s newsbrief with my favorite topic… sports! https://www.breitbart.com/sports/2022/08/28/watch-aaron-rodgers-says-nfl-stooges-threatened-players-their-jobs-vaccines/ Green Bay Packers’ quarterback, Aaron Rodgers is at it again! Aaron Rodgers Says NFL ‘Stooges’ Threatened Players with Their Jobs over Vaccines Another revelation by Green Bay Packers QB Aaron Rodgers in his interview with Joe Rogan revealed how the NFL threatened players by holding their jobs hostage unless they got vaccinated. During the August 27 Joe Rogan podcast in which Rodgers admitted that he purposefully misled the media on his vaccination status, Rodgers also blasted the NFL for its efforts to force players to take the jab. Rodgers slammed the NFL for “virtue signaling” over the vax and added that the league sent out “stooges” to force compliance. https://twitter.com/i/status/1563713875421315075 - Play Video 0:05- LANGUAGE WARNING Rodgers said that the teams were bullied to force compliance and were told that they would have to forfeit games if they had a certain number of players and staffers out with positive COVID results. The league began telling teams of the forfeit rule in July of 2021. Rodgers added that the NFL told players that they would also sacrifice their pay for any forfeited games as another way to force compliance. Ya know, Aaron Rodgers has annoyed me in the past, but I gotta give him props here for having a spine… he and Novak Djokovic, who by the way, isn’t allowed to play at the U.S. Open this year because of his vaccination status. This after he JUST WON Wimbledon… Oh interestingly enough… Moderna, is a sponsor at the U.S. Open this year… Coincidence? I’ll let you decide. This has been Garrison Hardie with your CrossPolitic Daily News Brief. If you liked the show, hit that share button down below. If you want to sign up for a club membership, then sign up for our conference with that club discount, and THEN sign up for a magazine, you can do all of that at fightlaughfeast.com. And as always, if you’d like to email me a news story, ask about our conference, or become a corporate partner of CrossPolitic, email me, at garrison@fightlaughfeast.com. For CrossPolitic News… I’m Garrison Hardie. Have a great day, and Lord bless!

Today's Top Tune
Alhaji Waziri Oshomah: ‘Jealousy'

Today's Top Tune

Play Episode Listen Later Aug 3, 2022 12:56


In a small village in southern Nigeria where Muslims and Christians live and dance together, the pious, devout Muslim Alhaji Waziri Oshomah infuses his love of highlife with the teachings of Islam in the song “Jealousy.” The track is featured on the third volume of record label Luaka Bop's “World Spirituality Classics” series, dedicated to spreading positivity.