Podcasts about Ocha

  • 224PODCASTS
  • 599EPISODES
  • 26mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • May 27, 2025LATEST
Ocha

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about Ocha

Show all podcasts related to ocha

Latest podcast episodes about Ocha

Habari za UN
27 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 27, 2025 9:56


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kuangazia siku ya familia iliyokutanisha wadau wakimulika pamoja na mambo mengine nafasi ya vyombo vya habari katika kuimarisha malezi na makuzi ya mtoto.Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura OCHA hii leo imesema wakati mpango tata wa Israeli wa kugawa misaada kwenye eneo la Palestina la Gaza linalokaliwa kimabavu na Israeli ukiendelea, Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena umesihi mamlaka za Israeli kuruhusu ongezeko la kiwango cha misaada ya kufikia walengwa kwenye eneo hilo lililozingirwa ili kuepusha uhaba wa chakula..Kadiri nchi zinavyokumbwa zaidi na majanga ya asili, gharama halisi za majanga ni mara 10 zaidi ya ilivyodhaniwa hapo awali, zikiwa na athari mbaya zaidi katika sekta za afya, makazi, elimu na ajira, imesema Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kupunguza hatari za majanga katika ripoti iliyochapishwa Jumanne.Nchini Namibia, makazi yaliyojengwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi, UNFPA kwa ajili ya wajawazito wanaoishi maeneo ya mbali kusubiria ili kujifungua kwa usalama, yamesaidia kupunguza vifo vya wajawazito na watoto wachanga.Na katika mashinani, kupitia video iliyoandaliwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani Sudan Kusini UNMISS, tunakutana na Mary Aban Akon, mkazi wa kijiji cha Hai Matar huko Sudan Kusini. Yeye ni miongoni mwa wakimbizi waliorejea nyumbani baada ya kupatiwa makazi mapya yaliyojengwa kwa msaada wa mashirika ya kibinadamu chini ya mradi uliofadhiliwa na Umoja wa Mataifa na wadau wake.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

RTÉ - News at One Podcast
No aid has reached Palestinians yet, charities say

RTÉ - News at One Podcast

Play Episode Listen Later May 21, 2025 7:49


Jens Laerke, Deputy Spokesperson with OCHA -the UN humanitarian office, discusses the issues on the ground in Gaza in relation to food and medical supplies.

Habari za UN
20 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 20, 2025 12:20


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika wafugaji wa nyuki nchini Tanzania leo ikiwa ni siku ya nyuki duniani iliyopitishwa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa tarehe 20 Desemba mwaka 2017 kupitia azimio namba A/72/211.Baada ya miaka mitatu ya majadiliano, leo katika Mkutano wa Kimataifa wa Afya unaoendelea Geneva, Uswisi, nchi zimepitisha rasmi makubaliano ya kihistoria ya kuzuia, kujiandaa, na kukabiliana vyema na majanga ya magonjwa kwa siku zijazo. Taratibu zote zitakapopitishwa na angalau nchi 60, mkataba utaanza kutumika rasmi mwakani.Kutokana na mamlaka za Israeli kulegeza kwa muda mzingiro uliodumu kwa wiki 11, angalau sasa matumaini kidogo yamerejea Gaza, yameeleza leo mashirika ya Umoja wa Mataifa. Msemaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Masuala ya dharura, OCHA, Jens Laerke amesema tayari wamepata ruhusa ya kuyavusha malori matano yaliyokuwa yamezuiliwa jana.Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, WFP limetahadharisha  leo kwamba bila ufadhili zaidi, huenda katika muda wa wiki chache zijazo likalazimika kusitisha msaada wa chakula kwa takribani nusu ya watu linaowahudumia kwa sasa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.Na katika mashinani, fursa ni yake Hanan Al-Dayya, Mkimbizi wa ndani katika ukanda wa Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli, akisimulia  madhara ya mashambulizi yanayoendelea kutoka Israeli.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!

ONU Info

Au menu de l'actualité : 

UN News
UN News Today 19 May 2025

UN News

Play Episode Listen Later May 19, 2025 3:47


OCHA says Israel has made an approach to resume limited aid deliveriesAttacks on healthcare killed 900 people last year: WHO's TedrosAustralia justice system in spotlight over child offenders' reform

Radio Wnet
Radio Wnet w Watykanie. „Ludzie zgromadzeni na Placu Świętego Piotra spodziewali się wyboru Włocha.”

Radio Wnet

Play Episode Listen Later May 9, 2025 16:08


Wybór Leona XIV na papieża zaskoczył świat. Radio Wnet było jednak przygotowane — Hanna Tracz i Mikołaj Murkociński od kilku dni relacjonowali to wydarzenie z Watykanu.

אחד ביום
המשבר ההומניטרי בעזה

אחד ביום

Play Episode Listen Later May 7, 2025 24:48


כשהסכם הפסקת האש קרס והמלחמה חודשה, ישראל קיבלה החלטה להפסיק את ההעברה של סיוע ההומניטרי לעזה - הכל, בניסיון ללחוץ על חמאס להגיע לעסקה. חודשיים עברו מאז אותה החלטה, ובארגוני הסיוע מדברים על מציאות קשה מאוד ברצועה, על חיים של הישרדות ועל מלאי מזון שאוזל ונגמר, בעוד החמאס צובר עוד ועוד ממנו על חשבון האוכלוסייה העזתית. הפעם, אנחנו עם אולגה צ'רבקו ממשרד האו"ם לתיאום עניינים הומניטריים (OCHA) ועם אוהד חמו כתבנו לענייני ערבים, שמספרים על איך נראית המדיניות של ישראל בשטח, על הכלכלה העזתית החבוטה ועל למה גם אחרי שהופסק הסיוע חמאס עדיין לא מתקפל.See omnystudio.com/listener for privacy information.

UN News
UN News Today 05 May 2025

UN News

Play Episode Listen Later May 5, 2025 4:00


Israeli aid blockade on Gaza has caused stillbirths and more: UNFPAAid teams condemn deadly hospital bombing in South SudanMyanmar: early monsoon rains add to survivors' misery: OCHA

संयुक्त राष्ट्र समाचार
यूएन न्यूज़ हिन्दी बुलेटिन, 02 मई 2025

संयुक्त राष्ट्र समाचार

Play Episode Listen Later May 2, 2025 10:02


इस साप्ताहिक समाचार बुलेटिन की सुर्ख़ियाँ...यूएन प्रमुख, भारत और पाकिस्तान के बीच तनाव के मद्देनज़र, जल्द ही कर सकते हैं दीगर बातचीत.ग़ाज़ा पट्टी में सहायता सामग्री के प्रवेश पर दो महीने से लगी इसराइली पाबन्दी से, भुखमरी की आशंका.दुनिया भर में, सहायता धनराशि में कटौती से, लाखों लोगों की जान को ख़तरा, कहा OCHA प्रमुख टॉम फ़्लैचर ने.हाल ही में यूएन मुख्यालय में हुए युवा ECOSOC मंच, में शिरकत करने वाले कुछ युवाओं से बातचीत की झलकियाँ.भारत के मध्य प्रदेश में, रीवा ज़िले में कुछ महिलाओं ने, नवीन तकनीक के प्रयोग पर मिली चुनौतियों को कैसे किया ग़लत साबित.

Reportage Afrique
100 jours de Trump: les Centrafricains divisés face à la gouvernance du président américain

Reportage Afrique

Play Episode Listen Later Apr 29, 2025 2:24


Cela fait exactement 100 jours que Donald Trump a signé son retour à la Maison Blanche. Entre déclarations chocs, annonces fracassantes et décrets... de nombreux Centrafricains suivent avec beaucoup d'intérêt la gouvernance du 47e président américain. À Bangui, la capitale, les avis sont contradictoires. Si les uns pensent que Donald Trump représente l'espoir d'un monde nouveau, d'autres y voient des signes du bouleversement de l'ordre mondial.   Reportage de notre correspondant à Bangui L'ambiance est à la fois décontractée et studieuse dans la bibliothèque de l'Alliance française de Bangui. Élèves, étudiants et fonctionnaires sont confortablement installés. Parmi eux, Maurice Guimendego. Ce professeur d'histoire géographie est concentré sur un livre intitulé Donald Trump : faiseur de paix ou apôtre du désordre mondial ? : « Donald Trump passe pour une espèce de météorite qui vient s'abattre sur un monde qui déjà marchait claudicant. Au plan intérieur, c'est une véritable désillusion. Pour être protectionniste, il n'y a peut-être pas besoin d'augmenter les taxes d'une manière vertigineuse. Jusqu'à près de 150% pour certains pays, je crois que c'est la Chine. » Au rez-de-chaussée du bâtiment, un groupe de jeunes discutent dans le hall. Chacun donne son avis, mais la centaine de décrets pris par Donald Trump a marqué l'esprit de Moustapha Bouba : « Il a fait un temps record en signant 79 décrets en 40 jours. Il a changé la vision du monde, là où on peut dire le protectionnisme exacerbé de Donald Trump. Ce qui m'a beaucoup touché, c'est par rapport à sa remise en cause de l'engagement des États-Unis envers l'Otan. Il a débuté d'une manière radicale. Espérons peut-être s'il y aura un changement, peut-être... » Le gel de l'aide américaine par Donald Trump a suscité choc et émoi dans le pays. Alors que le dernier rapport du Bureau de la coordination des affaires humanitaires des Nations unies (Ocha) a révélé qu'environ 37% des Centrafricains sont extrêmement vulnérables en 2025, la suspension de cette aide a un impact direct sur la RCA selon Jefferson, un autre jeune Centrafricain : « La République centrafricaine est un pays qui n'est pas développé comme les États-Unis. Avec le blocage de ces aides, ça rend certaines organisations inefficaces. Il y a certaines personnes qui sont maintenant au chômage, et certains ménages en souffrent aussi en République centrafricaine. Les populations vulnérables bénéficient souvent de ces aides-là. » Pour l'historien Maurice Guimendego, la gouvernance actuelle de Donald Trump met du plomb dans l'aile des Occidentaux et donnera la latitude nécessaire aux Brics, un groupe de dix pays dont le Brésil, la Russie, l'Inde ou la Chine pour conquérir le monde : « Si vous prenez la population de l'ensemble des pays qui constituent les Brics, ça constitue quand même près de 60 à 65% de la population mondiale. Les Brics se sont constitués pour contrebalancer les effets trop importants, envahissant, des États-Unis et des autres. » Aujourd'hui, de nombreux Centrafricains demandent l'implication sans failles des États-Unis dans la gestion des crises sécuritaires dans le monde, notamment en République centrafricaine. 

Le choix de France Bleu Périgord
"PITT OCHA" par les OGRES DE BARBACK du 03 au 05 Mai 2025 à ISSIGEAC

Le choix de France Bleu Périgord

Play Episode Listen Later Apr 29, 2025 13:30


durée : 00:13:30 - "PITT OCHA" par les OGRES DE BARBACK du 03 au 05 Mai 2025 à ISSIGEAC

Policy and Rights
What is happening here defies decency, it defies humanity, it defies the law,

Policy and Rights

Play Episode Listen Later Apr 6, 2025 61:48


"What is happening here defies decency, it defies humanity, it defies the law," a UN humanitarian official said Wednesday, describing mounting horrors in Gaza as a “war without limits.” Briefing reporters in New York via video call, Jonathan Whittall, Head of the UN Office for the Coordination of Humanitarian Affairs (OCHA) in the Occupied Palestinian Territory, recounted a recent mission to Rafah, where he and colleagues uncovered a mass grave containing the bodies of medics. “These were medical workers from the Palestinian Red Crescent Society and the Civil Defense, still in their uniforms, still wearing gloves, they were killed while trying to save lives,” he said. “The ambulances were hit one by one as they advanced, as they acted into Rafah.” Whittall said the site was marked by crushed emergency vehicles, including a fire truck and a UN car. The incident, he said, was only one in a “parade” of horrors. In the past two weeks alone “UN premises have been shelled with tank fire, killing one of our colleagues and seriously injuring others. We've had international aid compounds and hospitals that have been hit,” he said. “People have been bombed at food distribution points where aid workers have also been killed.” Since the collapse of a ceasefire two weeks ago, forced displacement has surged, Whittall said, with about 100,000 people fleeing Rafah in the past 48 hours alone - many under fire. “I saw some of them in the same mission that I described at the beginning... running towards us and being shot in their backs,” he said. According to OCHA, 64 percent of Gaza is now under forced evacuation. “Nowhere and no one is safe in Gaza,” Whittall said. “My colleagues tell me that they just want to die with their families. Their worst fear is to survive alone.” Whittall also spoke about a total aid blockade. “Today, unfortunately, marks one month without any supplies entering into Gaza,” he said. “That's one month of no food, no fuel, no aid, nothing has entered. So, 2.5 million people are trapped, bombed, starved.” Prime Minister Mark Carney speaks with reporters in Ottawa after chairing a virtual meeting on U.S. tariffs with Canada's premiers. Carney comments on yesterday's announcement by President Donald Trump that the United States would impose reciprocal tariffs on a host of trading partners. The prime minister announces reciprocal 25 per cent tariffs on all automobiles from the United States that are not compliant with CUSMA trade agreement. Carney says that the money raised by the retaliatory measures will go toward providing support to the auto industry and its workers impacted by the U.S. tariffs. Carney faces questions from reporters on the future of the Canada-U.S. relationship and whether he has plans to speak with President Trump again in the near term.Become a supporter of this podcast: https://www.spreaker.com/podcast/policy-and-rights--3339563/support.

Radio Bullets
4 aprile 2025 - Notiziario Mondo

Radio Bullets

Play Episode Listen Later Apr 4, 2025 17:48


Gaza: Gli ultimi bombardamenti israeliani uccidono 100 persone tra cui i bambini in una scuola. Corea del Sud: confermata la rimozione del presidente Yeol.Haiti: in piazza contro violenza ed insicurezza. Australia: Hacker colpiscono i fondi pensione. USA: Le azioni statunitensi crollano dopo l'introduzione dei daziEditoriale: conversazione con Aristotele.Questo e molto altro nel notiziario di Radio Bullets a cura di Barbara Schiavulli 

ROT World News:The Podcast
#446「ひなフェス2025現地レポート!OCHA NORMA &ロージークロニクルはどうだった?4月ハロプロニュース①ゲスト:タケシ監督」ROT World News(25.04.04)

ROT World News:The Podcast

Play Episode Listen Later Apr 4, 2025 38:01


本日のニュース「ひなフェス2025を語っていく」「一岡伶奈の卒業公演はどうなった?」「Go City GOを歌ったのは卒コンだった?」「井上玲音、大学卒業」「れいれいの着物はハレノヒでレンタルした?」「BEYOOOOONDS &OCHA NORMAプレミアムレポート」「OCHA NORMAはどうだった!?」「斉藤円香は日枝会長?」「まどぴショートカット」「筒井澪心が一番目立ってた?」「クインテットでも活躍」「エビ中の柏木ひなたもろこちゃんにハマる?」「エビ中もひなフェスに出ればいい」「わかってるっつーのも良曲」「へいらっしゃい!~ニッポンで会いましょうとお祭りデビューだぜ!は同じ曲?」「グループの差別化のために制作陣を発掘した方がいい?」「お茶各メンバー仕上がってる」「ハロプロ研修生はキレが良かった?」「ハロプロ研修生で事案発生?」「タケシ監督は艦長のつもりだった?」「ロージークロニクル、サブスク解禁!?」「ロージーのアニメイベントの話」「ロージーはみんな良かった」「ガオガオガオは子供に流行る?」「つばきは今一番面白い?」「福田真琳の背中について語るタケシ」「やっぱりリトキャメはすごい」ROT World Newsの時間がやってきました。この番組は世界中で起きている様々なニュースについて紹介する世界的なニュース番組です。映画、アニメ、漫画、スポーツ、アイドルなど見た感想やカルチャー全般について雑談。身の回りや世界で起きているニュースを日本語で紹介!この番組はみなさんからのお便りで成立しています。話して欲しいこと、お便り、コーナーのアイデアはrotworldnews@gmail.comまで!ハッシュタグは#ROTWNSNSもフォロー&応援お願いします

Mission Network News - 4.5 minutes
Mission Network News (Wed, 02 Apr 2025 - 4.5 min)

Mission Network News - 4.5 minutes

Play Episode Listen Later Apr 2, 2025 4:30


Today's HeadlinesNetwork of believers in Myanmar already in place to bring earthquake aidRocket fire and Israeli strikes test ceasefireHave you written a blank check to God?

ROT World News:The Podcast
#444「【緊急】OCHA NORMA田代すみれ、石栗奏美、卒業について。ゲスト:タケシ監督」ROT World News(2025.03.22)

ROT World News:The Podcast

Play Episode Listen Later Mar 22, 2025 38:21


本日のニュース「OCHA NORMA」「田代すみれ」「石栗奏美」ROT World Newsの時間がやってきました。この番組は世界中で起きている様々なニュースについて紹介する世界的なニュース番組です。映画、アニメ、漫画、スポーツ、アイドルなど見た感想やカルチャー全般について雑談。身の回りや世界で起きているニュースを日本語で紹介!この番組はみなさんからのお便りで成立しています。話して欲しいこと、お便り、コーナーのアイデアはrotworldnews@gmail.comまで!ハッシュタグは#ROTWNSNSもフォロー&応援お願いします

Japan Archives
E100 - Celebrating 100 Episodes!

Japan Archives

Play Episode Listen Later Mar 10, 2025 46:12


We look back on our 100 Episodes. Talking about what we found difficult, surprising, whats coming in the future.ANDQuizzing each other on past episodes. We hope you enjoy!~Join our Discord: https://discord.gg/9CQhAqyK6F~Review us over on: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Podchaser⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠.Check out our growing database on Japanese History over at ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠historyofjapan.co.uk⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Instagram: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠@japan_archives⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Youtube (Japan Archives): ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Japan Archives⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Youtube (Minecraft):  ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Mycenria⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠~~Intro and Outro music Ocha by Harris Heller.~~Written and Researched by Thomas and Heather.

SBS Portuguese - SBS em Português
Programa ao vivo | Quarta-feira 5 de Março

SBS Portuguese - SBS em Português

Play Episode Listen Later Mar 5, 2025 46:43


Mariza está na Austrália para uma turnê de shows nos lugares mais icônicos do país. Falamos com algumas pessoas que estiveram no concerto no Sydney Opera House. A inteligência artificial tem potencializado a desinformação eleitoral pelo mundo ao tornar mais fácil a criação de conteúdo engananoso. A agência de intercâmbio GrowPro Experience, que visa o mercado latino americano da educação com destino a Austrália, suspendeu suas operações e entrou com pedido de falência. O brasileiro Saviano Abreu, ex- porta-voz da ONU, em Ocha, na Ucrânia fala sobre a guerra.

Daybreak Africa  - Voice of America
OCHA urges UN to protect Sudanese civilians - February 27, 2025

Daybreak Africa - Voice of America

Play Episode Listen Later Feb 27, 2025 2:41


The Director of Operations and Advocacy for the UN Office for the Coordination of Humanitarian Affairs (OCHA) has called on the Security Council to do more to protect Sudanese civilians, including making humanitarian access possible and mobilizing funding. Edem Wosornu briefed the Security Council Wednesday in New York on the situation in Sudan and South Sudan

UN News
UN News Today 25 February 2025

UN News

Play Episode Listen Later Feb 25, 2025 3:39


UN human rights chief decries substantial increase in executions globallyEurope faces a ‘cradle to cane' health crisis, warns WHODRC update: civilians and aid workers killed in ongoing violence – OCHA 

Habari za UN
OCHA yasihi kufunguliwa kwa viwanja vya ndege Goma na Kavumu - DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 19, 2025 1:55


Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa likifanya kikao cha dharura jijini New York, Marekani kujadili hali ya usalama inayozidi kuzorota kila uchao huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya kibinadamu nchini humo, Bruno Lermaquis amesema kupanuka kwa mzozo huo kumezidi kugharimu maisha na mustakabali wa raia. Selina Jerobon na maelezo zaidi.

Habari za UN
13 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 13, 2025 11:05


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kumulika siku ya redio duniani, maudhui yakiwa Radio na Tabianchi, na ni kwa vipi chombo kinachodaiwa kutwamishwa na maendeleo ya teknolojia kinaendelea kusaidia kuelimisha umma kuhusu madhara ya mabadiliko ya tabianchi, Teonas Aswile wa TBC Taifa nchini Tanzania anaeleza.Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC ambapo hali inazidi kuwa tete na leo Mkurugenzi Mtendaji wa shirkika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, Catherine Russell, ameelezea wasiwasi mkubwa kuhusu kuongezeka kwa ghasia mashariki mwa mwa  nchi hiyo katika majimbo ya Kivu Kaskazini na Kivu Kusini, ambapo watoto na familia wanakabiliwa na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu.Naibu mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu masiala ya kibinadamu na misaada ya dharura OCHA nchini Sudan Edmore Tondhlana akizungumza na UN News amesema hali nchini Sudan inaendelea kuwa janga la kibinadamu wakati vita ikishika kasi na watu wakiendelea kufurushwa makwao. Amesema "Tunashuhudia hali ambapo Sudan ina mahitaji ya kibinadamu yaliyo miongoni mwa makubwa zaidi duniani. Takriban watu milioni 30 wanahitaji msaada wa kibinadamu. Hili ni ongezeko la takriban watu milioni tano zaidi ikilinganishwa na mwaka uliopita, pia, Sudan ina idadi kubwa zaidi ya watu waliopoteza makazi yao.Na leo ni siku ya Redio Duniani mwaka huu ikibeba maudhui Redio na mabadiliko ya tabianchi. Kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na utamaduni UNESCO lengo la maudhui haya ni kudhihirisha jukumu la redio katika kusambaza ujumbe na kuelimisha kuhusu changamoto za mabadiliko ya tabianchi, kutanabaisha kuhusu hatua endelevu na kuwapa sauti wanaharakati wa mabadiliko ya tabianchi.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo fursa ni yake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa      nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana za neno “MSUMBI”.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

Habari za UN
10 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 10, 2025 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia hali ya wahamiaji na wakimbizi nchini Libya, na wakimbizi wajasiriamali katika makazi ya wakimbizi ya Kakuma nchini Kenya. Makala inatupeleka Jerusalemu Mashariki, na mashinani nchini Chad, kulikoni?Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji, IOM, limeeleza mshtuko mkubwa na wasiwasi wake kufuatia kugunduliwa kwa makaburi mawili nchini Libya walimozikwa wahamiaji kadhaa, baadhi yao wakiwa na majeraha ya risasi.Katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma, kutokana na ufadhili wa shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), kundi la vijana wanajishughulisha na ufugaji wa wadudu nyenje (Crickets) ili kukabiliana na changamoto ya utapiamlo miongoni mwa watoto wachanga.Katika makala Sharon Jebichii anakupeleka Mashariki ya Kati kumulika ziara aliyofanya Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Dharura, OCHA huko Ukingo wa Magharibi na Gaza ili kujionea hali halisi ya raia.Na mashinani kupitia video ya shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu, UNFPA, nampisha  Daralssalam, kutoka Sudan ambaye alikuwa Mhadhiri Chuo Kikuu lakini sasa mkimbizi nchini  Chad akieleza changamoto alizopitia na kuomba jamii ya kimataifa isaidie wanawake wa Sudan.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

PBS NewsHour - Segments
Top UN humanitarian official describes the current situation in Gaza

PBS NewsHour - Segments

Play Episode Listen Later Feb 7, 2025 5:13


One of the key United Nations agencies overseeing the provision of aid into Gaza is the United Nations Office for the Coordination of Humanitarian Affairs, or OCHA. Its leader, Tom Fletcher, just visited Gaza and joined Geoff Bennett to discuss what he saw there. PBS News is supported by - https://www.pbs.org/newshour/about/funders

PBS NewsHour - World
Top UN humanitarian official describes the current situation in Gaza

PBS NewsHour - World

Play Episode Listen Later Feb 7, 2025 5:13


One of the key United Nations agencies overseeing the provision of aid into Gaza is the United Nations Office for the Coordination of Humanitarian Affairs, or OCHA. Its leader, Tom Fletcher, just visited Gaza and joined Geoff Bennett to discuss what he saw there. PBS News is supported by - https://www.pbs.org/newshour/about/funders

Habari za UN
06 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 6, 2025 11:42


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwakina inayotupeleka Havan Cuba ambapo mmoja wa walumbi wa lugha ya Kiswahili Jorum Nkumbi, ambaye pia ni mwandishi wa vitabu anayetumia sanaa ya uandishi wa vitabu kuitangaza lugha mama yake ya Kiswahili amezindua kitabu kipya hivi karibuni wakati wa kongamano la kimataifa la Kiswahili. Mengine tuliyokuandalia ni kama yafuatayo.Yerusalem Mashariki eneo la wapalestina linalokaliwa na Israeli ambako Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura, OCHA, Tom Fletcher yuko ziarani na amepata shuhuda halisi za wanaokabiliwa na kufurushwa makwao. Mmoja wao ni Um Nasser ar Rajabi ambaye amemweleza kuwa Nimekuwa kwenye ndoa katika nyumba hii kwa miaka 50.Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wamelezea wasiwasi wao mkubwa kuhusu mahitaji ya dharura ya ulinzi na mazingira magumu yanayokabili raia kwenye eneo la Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC lenye utajiri mkubwa wa madini, wakati huu uhasama ulioshika kasi tangu mwezi uliopita kati ya jeshi la serikali na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda umesababisha vifo vya watu 900, majeruhi zaidi ya 2000 na kufurusha watu 700,000 mjini Goma. Wametaka pande kinzani zizingatie sheria ya kimatiafa ya kibinadamu na zilinde raia wote.Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu Hakimiliki, WIPO hii leo limetoa ripoti mpya kuhusu mustakabali wa usafirishaji wa watu na bidhaa duniani ikimulika teksi za angani, magari yasiyokuwa na dereva pamoja na maroketi yanayoweza kutumika ten ana tena tofauti na sasa, likisema ndio majawabu ambayo wabunifu na wagunduzi wanahaha duniani kote ili kupunguza usafirishaji unaochafua mazingira.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “MTI WENYE MATUNDA NDIO HURUSHIWA MAWE”.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

Revue de presse Afrique
À la Une: Goma sous occupation…

Revue de presse Afrique

Play Episode Listen Later Feb 5, 2025 4:08


Quelques jours après leur offensive sur la capitale du Nord-Kivu, les rebelles du M23 « renforcent leur emprise sur la ville à travers des patrouilles et des fouilles de domiciles », c'est ce que pointe le porte-parole des Nations unies, dont les propos sont repris par le site congolais Actualité CD. « Des actes de pillage et l'occupation de résidences privées par le groupe armé ont été signalés, ainsi que des tentatives de saisie de véhicules, y compris ceux appartenant à des organisations humanitaires – ce qui constitue une violation du droit humanitaire international », a-t-il poursuivi. Toujours selon les Nations unies, « la situation humanitaire dans la ville reste critique. Les morgues sont saturées et les établissements de santé dépassés par l'afflux de blessés, tandis que la population continue de dépendre de l'eau non traitée du lac Kivu, augmentant les risques de maladies. »D'après un dernier bilan fourni par OCHA, le bureau des Affaires humanitaires de l'ONU, les combats ont fait au moins 3.000 morts.« Goma enterre ses morts dans l'anonymat, des centaines de corps mis en terre hier mardi », titre par ailleurs Actualité CD. C'est « la Croix-Rouge qui a procédé à ces inhumations, précise le site congolais. Contrairement aux cérémonies traditionnelles, ces enterrements se sont déroulés en l'absence des familles. Beaucoup de victimes sont en effet enterrées dans l'anonymat. Certaines dépouilles ont été conservées dans les morgues débordées de la ville, tandis que d'autres gisaient sur les routes depuis plusieurs jours, en plus exposées aux intempéries. La Croix-Rouge a dû accélérer le processus d'inhumation pour éviter une catastrophe sanitaire. »Les camps de déplacés se vident…L'envoyé spécial du Monde Afrique a pu se rendre aux abords de la ville. Il constate que « les populations, installées aux portes de Goma, quittent les camps où elles étaient venues se réfugier après le début de l'offensive rebelle lancée en 2021 », et ce sur ordre des rebelles du M23. Les déplacés doivent regagner leurs villages d'origine. Toutefois, « aucun accompagnement n'a été prévu par les nouvelles autorités, précise Le Monde Afrique. Les ONG et autres agences onusiennes, quant à elles, sont plongées comme tout le monde dans le flou d'un nouveau pouvoir encore évanescent. (…) Le Programme alimentaire mondial doit auparavant reconstituer ses stocks pillés aux trois quarts juste avant l'assaut final. »Avant-hier lundi, pointe encore Le Monde Afrique, « le M23 a unilatéralement annoncé un “cessez-le-feu“ prenant effet le lendemain “pour des raisons humanitaires“. Une déclaration qui laisse perplexe, commente le journal, tant les trêves annoncées ont été peu respectées depuis trois ans. »Arrogance d'un côté, aigreur de l'autre ?Sur le plan diplomatique, les présidents congolais et rwandais doivent se rencontrer ce week-end en Tanzanie lors d'un sommet extraordinaire conjoint de la Communauté des Etats d'Afrique de l'Est et de la Communauté de développement de l'Afrique australe.Alphonse Maindo, professeur en sciences politiques à l'université de Kisangani, interrogé par le site Afrikarabia n'est guère optimiste… « Ces types de sommets sont organisés pour l'apparat, déclare-t-il. Les vraies décisions se prennent en dehors de ces forums, au téléphone ou quand les dirigeants se rencontrent en privé. Dans la situation actuelle, la blessure est encore trop fraîche pour que ce sommet puisse faire avancer les choses. Nous avons d'un côté, affirme encore Alphonse Maindo, l'arrogance des vainqueurs de Goma, et de l'autre, nous avons juste de l'aigreur et de la rancœur. Cela va demander un peu de temps et beaucoup de pressions internationales pour ramener les belligérants à la raison. »Un peu d'eau dans son vin…L'Observateur Paalga à Ouagadougou s'interroge : « la grande question est de savoir si le Rwandais Paul Kagamé et le Congolais Félix Tshisekedi effectueront le déplacement de Dar-es-Salaam, eux qui depuis bien longtemps maintenant ne parviennent plus à s'asseoir autour de la même table. Il faut pourtant qu'ils se parlent, s'exclame le quotidien burkinabé, même si leurs relations sont devenues tellement exécrables qu'on se demande ce qui pourrait bien en sortir. Kigali tient à ce que Kinshasa discute directement avec le M23, ce à quoi Tshisekedi ne veut pas se résoudre, arguant qu'il ne saurait justement parler à ceux qu'il considère comme des terroristes. Il faudra bien pourtant que de part et d'autre chacun des protagonistes mette un peu d'eau dans son vin, martèle encore L'Observateur Paalga, si on veut donner une chance à la paix. Pour le moment, on en est encore loin, même si les armes se sont tuent momentanément. »

Startcast | Der Innovations, Business & Marketing Podcast
#294 Ocha-Ocha | Die Revolution der Erfrischung | Christopher Gogolin | Founder

Startcast | Der Innovations, Business & Marketing Podcast

Play Episode Listen Later Feb 4, 2025 73:00


#294 Ocha-Ocha | Die Revolution der Erfrischung | Christopher Gogolin | FounderWie ein Startup die Getränkeindustrie auf den Kopf stellt - ohne Zucker, ohne Zusätze, voller GeschmackHeute nehmen wir dich mit auf eine erfrischende Reise in die Welt der innovativen Getränke! Max Ostermeier begrüßt in dieser Episode einen echten Game-Changer der Branche: Christopher Gogolin, den Gründer von Ocha-Ocha®.Stell dir vor, du öffnest eine Flasche und nimmst einen Schluck von etwas, das die Lücke zwischen Limonaden und Mineralwasser perfekt schließt - ohne Zucker, ohne Konzentrate, ohne Stevia und komplett frei von Zusatzstoffen. Klingt zu gut, um wahr zu sein? Christopher und sein Team beweisen mit Ocha-Ocha®, dass es möglich ist!In dieser spannenden Episode erfährst du:- Wie Christopher auf die Idee kam, die Getränkewelt zu revolutionieren- Warum "zuckerfrei" für Ocha-Ocha® nicht genug ist und was das Unternehmen von anderen unterscheidet- Die Herausforderungen beim Aufbau einer völlig neuen Getränkekategorie- Wieso Ocha-Ocha® (noch) nicht in Glasflaschen erhältlich ist und wie das Team an nachhaltigen Lösungen arbeitet- Einblicke in die Zukunftspläne des Startups, einschließlich der spannenden "Black Coffee Weeks" AktionChristopher teilt mit uns seine Vision von einem Getränk, das nicht nur erfrischt, sondern auch gut für dich und die Umwelt ist. Er erzählt, wie er mit einem kleinen Team von nur drei Personen eine ganze Industrie herausfordert und welche Hürden er dabei überwinden musste.Egal ob du selbst Gründer:in bist, dich für innovative Produkte interessierst oder einfach neugierig auf die Geschichte hinter deinem nächsten Lieblingsgetränk bist - diese Episode wird dich inspirieren und zum Nachdenken anregen.Du erfährst auch, warum Ocha-Ocha® eine besondere Konservierung braucht und wie das Team kreativ mit den Herausforderungen der Verpackung umgeht. Christopher gibt uns einen exklusiven Einblick in die Entwicklung von Mehrweg-Glasflaschen und erklärt, warum dies ein langfristiges Projekt ist.Nebenbei verrät er uns Details zur aktuellen Vorverkaufsaktion mit 20% Rabatt (Psst... der Code lautet MINZE20) und zur limitierten "Black Coffee Weeks" Aktion, bei der du leckeren, erfrischenden Cold Brew für nur 1€ pro Kaffee genießen kannst.Also, schnapp dir dein Lieblingsgetränk (vielleicht bald ein Ocha-Ocha®?) und tauche ein in die faszinierende Welt der ungesüßten Erfrischungsgetränke ohne Zusätze. Lass dich von Christopher's Leidenschaft und Innovation mitreißen und entdecke, wie ein kleines Team große Wellen in der Getränkeindustrie schlägt.Vergiss nicht, den Startcast zu abonnieren, damit du keine Episode verpasst. Wir freuen uns auf dein Feedback in den Kommentaren oder auf unseren Social-Media-Kanälen.Prost und viel Spaß beim Hören!Dein Startcast-TeamCitations:[1] https://www.ocha-ocha.de Get bonus content on Patreon Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.

Habari za UN
04 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 4, 2025 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kushuhudia sintofahamu na maombi ya wakazi wa Goma baada ya waasi wa M23 kutwaa mji huo. Mashinani tunakwenda Somalia na pia tunakuletea muhutasari wa habari.Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Bruno Lemarquis, ametoa wito wa kufunguliwa haraka kwa Uwanja wa Ndege wa Goma. Amesema uwanja huu uliofungwa kutokana na mapigano kati ya vikosi vya jeshi la DRC na waasi wa M23 ni muhimu kwa usafirishaji wa misaada ya kibinadamu. Hospitali zimejaa na maelfu ya raia hawana msaada wa dharura.Mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la idadi ya watu na afya ya uzazi, (UNFPA), na la misaada ya kibinadamu na dharura (OCHA) leo yamesisitiza kuwa kusitishwa kwa ufadhili wa Marekani kunawaacha mamilioni 'hatarini'. Hayo yakijiri tayari imefahamika kuwa Rais Donald Trump anaiondoa Marekani katika Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu na pia kuacha kulifadhili shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina.Na ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa ya Saratani, Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) limeeleza kiasi takwimu kuhusu ugonjwa huo kwamba mathalani  kwa mwaka 2020 saratani ilisababisha vifo karibu milioni 10 sawa na kifo kimoja kati ya sita duniani. Aidha WHO imebainisha kuwa saratani zinazojitokeza zaidi ni saratani ya matiti, mapafu na utumbo mpana.Na katika mashinani  fursa ni yake Safiya Jeylaani, mkazi wa Barawe katika Jimbo la Kusini Magharibi mwa Somalia ambye baada ya kuhudhuria hafla ya kujadili umuhimu wa upatikanaji wa huduma za afya kwa Wasomali wote katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu iliyoandaliwa na Umoja wa Mataifa anasema jamii wanapaswa kuelimishwa kuhusu afya kutumia lugha mama.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!  

Japan Archives
E99 - The Snake and The Centipede of Kaga

Japan Archives

Play Episode Listen Later Feb 3, 2025 23:00


Today we read a tale from the Konjaku Monogatari about a warring Snake and Centipede. ~ Join our Discord: https://discord.gg/9CQhAqyK6F ~ Review us over on: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Podchaser⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠. Check out our growing database on Japanese History over at ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠historyofjapan.co.uk⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ Instagram: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠@japan_archives⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ Youtube (Japan Archives): ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Japan Archives⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ Youtube (Minecraft):  ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Mycenria⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ ~~ Intro and Outro music Ocha by Harris Heller. ~~ Written and Researched by Thomas and Heather.

UN News
UN News Today 24 January 2025

UN News

Play Episode Listen Later Jan 24, 2025 4:20


Nearly 250 million children's schooling disrupted by climate crises in 2024: UNICEFDR Congo emergency: More civilians uprooted by hostilities amid fears that regional capital Goma could come under attackNigeria humanitarian response plan aims to help 3.6 million people: OCHA

UN News
UN News Today 21 January 2025

UN News

Play Episode Listen Later Jan 21, 2025 5:25


UN regrets US exit from global health cooperation and climate change agreementAid now reaching Gaza at scale but huge needs remain, say OCHA, WHOSyria: intensifying hostilities in northeast spark deep concern 

UN News
UN News Today 16 January 2025

UN News

Play Episode Listen Later Jan 16, 2025 5:06


Ukraine humanitarian and refugee response plan launchEconomic recovery is not contributing enough to jobs or wages: ILORecovery underway in Mozambique after two storms hit in a month, says OCHA

ONU News
Vítimas de novo ciclone em Moçambique precisam de ajuda alimentar urgente, diz Ocha

ONU News

Play Episode Listen Later Jan 16, 2025 1:53


Japan Archives
E98 - Origins of the Ise Grand Shrine

Japan Archives

Play Episode Listen Later Jan 13, 2025 16:35


Today we bring together all the information we have concerning the most likely mythical origins of the Ise Grand Shrine. ~ Review us over on: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Podchaser⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠. Check out our growing database on Japanese History over at ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠historyofjapan.co.uk⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ Instagram: ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠@japan_archives⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ Youtube (Japan Archives): ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Japan Archives⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ Youtube (Minecraft):  ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Mycenria⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ ~~ Intro and Outro music Ocha by Harris Heller. ~~ Written and Researched by Thomas and Heather.

Habari za UN
Mzazi wa Mahmooud: Mwanangu amepata kilema cha maisha sababu ya vita isiyokoma Gaza

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 6, 2025 2:00


Baada ya miezi 14 ya vita Gaza maelfu ya watu wakiwemo watoto wamesalia na ulemavu wa maisha kwa kulazimika kukatwa viungo kutokana na kujeruhiwa katika vita inayoendelea kwa miezi 15 akiwemo mtoto wa umri wa miaka 7 Mahmmoud ambaye sasa amepooza baada ya kupigwa risasi mgongoni na anahitaji huduma za haraka za afya ili akatibiwe limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura OCHA. Taarifa ya Thelma Mwadzaya inafafanua zaidi

Habari za UN
06 JANUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 6, 2025 9:58


Hii leo jaridani tunaangazia magonjwa ya mfumo wa kupumua vikiwemo virusi vya metapneumovirus, na watoto waathirika wa vita Gaza. Makala inatupeleka nchini Mali na mashinani nchini Tanzania, kulikoni?Huku kukiwa na ripoti za kuongezeka kwa maambukizi ya magonjwa ya mfumo wa kupumua vikiwemo virusi vya metapneumovirus (HMPV) wakati huu wa msimu wa baridi nchini China na kuleta hofu ulimwenguni kuhusu uwezekano wa kutokea kwa janga jingine la ugonjwa kama ilivyokuwa Covid-19, mamlaka ya afya nchini humo inasema kiwango na nguvu za ugonjwa huo viko chini ikilinganishwa na wakati kama huu mwaka jana, ameeleza Hans Kluge, Mkurugenzi wa shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni kanda ya Ulaya akisisitiza ulimwengu kupata taarifa sahihi.Baada ya miezi 14 ya vita Gaza maelfu ya watu wakiwemo watoto wamesalia na ulemavu wa maisha kwa kulazimika kukatwa viungo kutokana na kujeruhiwa katika vita inayoendelea kwa miezi 15 akiwemo mtoto wa umri wa miaka 7 Mahmmoud ambaye sasa amepooza baada ya kupigwa risasi mgongoni na anahitaji huduma za haraka za afya ili akatibiwe limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura OCHA.Katika makala Assumpta Massoi anakupeleka Magharibi mwa Afrika kusikia jinsi raia wa taifa la Mali walioko ughaibuni wanavyoleta nuru kwa wakulima wa mpunga nchini mwao.Mashinani fursa ni yake Hilda, Mama mwenye umri wa miaka 31 ambaye ni mkimbizi kutoka Burundi anayeishi katika makazi ya wakimbizi nchini Tanzania, anashukuru mfuko wa msaada wa marekani wa kitengo cha Idadi ya watu, wakimbizi na uhamiaji, PRM (Population, Refugees, and Migration Bureau, PRM) kwa huduma za afya ya watoto na kinamama wajawazitito kupitia Shirika la Umoja wa Mataifa ya kughudumia wakimbizi UNHCR.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!  

Habari za UN
UN: Vifo vitokanavyo na baridi Gaza vinazuilika, usitishaji mapigano na misaada ndio jawabu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 3, 2025 1:58


Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji IOM leo limeonya juu ya vifo vitokanavyo na msimu wa baridi kali Gaza likisema limesikitishwa sana na athari mbaya za mvua za msimu wa baridi na baridi kali kwa Wapalestina waliokimbia makazi yao na kuishi katika mazingira magumu huko Gaza, kwani hilo ni janga la kibinadamu lisilo na kifani. Kupitia taarifa iliyotolewaleo mjini Geneva Uswisi Mkurugenzi Mkuu wa IOM Amy Pope  amesema "Watu walio katika mazingira magumu, ikiwa ni pamoja na takriban watoto wachanga saba, wamekufa kutokana na baridi kali au hypothermia, na vifo hivi vya kusikitisha vinasisitiza haja ya haraka ya makazi na msaada mwingine wa kibinadamu kuwafikia watu wa Gaza mara moja," Ameongeza kuwa hali hii inachochea janga zaidi la kibinadamu ambalo tayari linawakumba watu waUkanda wa Gaza. Mvua kubwa na mafuriko yameyakumba makazi ya wakimbizi wa ndani yaliyojengwa kwa mahema na kulazimisha familia kuachwa katika maeneo ya wazi kwenye hali mbaya ya baridi, zikijitahidi kutengeneza mahema yaliyoharibika kutokana na matumizi ya miezi kadhaa. © UNRWAChakula kinagawiwa kwa watu waliokimbia makazi yao huko Jabalia, kaskazini mwa Gaza.Vikwazo vya Israel ni changamoto kwa misaadaPia IOM imesema vikwazo vya utaratibu wa kufikia wenye uhitaji, kama ilivyoripotiwa na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura OCHA, vimezuia kwa kiasi kikubwa utoaji wa misaada, huku watu 285,000 pekee wakipokea msaada wa makazi tangu Septemba 2024. Kwa mujibu wa IOM hadi kufikia Katikati ya Desemba mwaka jana inakadiriwa kuwa watu wapatao 945,000 bado wanahitaji msaada wa haraka wa kukabiliana na msimu wa baridi ikiwemo nguo za kuongeza joto, mablanketi na tepu za kuima mahema dhidi ya mvua na baridi. Tangu Katikati ya Novemba mwaka jana IOM imewasilisha karibu vifaa 180,000 vya makazi ya dharura kwa washirika ndani ya Gaza na ina zaidi ya vifaa milioni 1.5 vya msimu wa baridi ikiwemo mahema, vifaa vya kuziba  na vitanda ambavyo viko tayari kwenye maghala na sehemu zavivuko, lakini vikwazo vikali vya ufikiaji vinawazuia kufikia wenye uhitaji. © UNICEF/Abed ZaqoutWavulana wawili wakibeba chupa za maji katika kambi ya wakimbizi inayofadhiliwa na UNWRA huko Khan Younis kusini mwa Gaza.Usitihsaji mapigano ndio suluhuIOM imesisitiza wito wake wa dharura wa kusitisha mapigano ili kuwezesha utoaji salama na wa haraka wa msaada wa kuokoa maisha kwa wale wanaouhitaji sana. Pia inasisitiza wito wake kwa pande zote kuzingatia sheria za kimataifa za kibinadamu, kuhakikisha ulinzi wa raia, kuachiliwa kwa mateka wote na kuruhusu ufikiaji salama, wa haraka, usiozuiliwa na endelevu wa wenye uhitaji. Watu wa Gaza wanastahili usalama, makazi na utu. IOM iko tayari kuhamasisha misaada na kusaidia jamii zilizofurushwa, lakini fursa ya ufikiaji wa kibinadamu lazima itolewe ili kuwezesha hili amesisitiza mkuu wa IOM. Nalo shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestina UNRWA limesema Licha ya hali ngumu, timu za UNRWA zinaendesha makao yote ya Umoja wa Mataifa, na kutoa msaada wa kuokoa maisha kwa watu wanaohitaji. Limeongeza kuwa Vita vilipoanza karibu miezi 15 iliyopita, UNRWA iligeuza shule zake, vituo vya afya, na maghala kuwa makazi na kuna wakati ambapo vita ikiendelea UNRWA ilipokea watu milioni 1 waliokimbia makazi yao 

Habari za UN
23 DESEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 23, 2024 10:00


Hii leo jaridani tunaangazia ziara ya Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Dharura, OCHA, Tom Fletcher mashariki wa kati, na uwezeshaji wa vijana katika sekta ya kilimo nchini humo. Makala inatupeleka nchini Zimbabwe na mashinani nchini Kenya, kulikoni?Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Dharura, OCHA, Tom Fletcher akihitimisha ziara yake ya kwanza katika eneo la Mashariki ya kati tangu hivi karibuni alipochukua wadhifa huo ameeleza kuwa alichokishuhudia katika ukanda huo ni hali tete.Mradi wa pamoja wa shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO ujulikanao kama Nabta kwa lugha ya Kiarabu ukimaanisha "mche" ambao lengo lake ni kuwasaidia vijana wajasiriamali kubadili mawazo yao kuwa  biashara ya kilimo yenye mafanikio umeleta nuru kwa Alaa Khattab kijana aliyekuwa na ndoto ya kuwa mfanyabiashara wa kilimo nchini Syria.Katika makala Assumpta Massoi anakupeleka Zimbabwe kumulika nuru iliyofikia wakulima baada ya Umoja wa Mataifa kuona jinsi mabadiliko ya tabianchi yalivyoathiri shughuli za kilimo.Mashinani fursa ni yake Rukia, kijana wa kike kutoka Tana River nchini Kenya ambaye kupitia mafunzo na uwezeshaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji IOM, yeye hasiti kutoa tahadhari za mapema na kuwahamasisha jamii kujiepusha na madhara panapotokea majanga ya mabadiliko ya tabianchi.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari za UN
Mkuu wa ofisi ya OCHA Tom Fletcher aeleza aliyoyashuhudia ziara yake ya kwanza Mashariki ya Kati

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 23, 2024 1:56


Mkuu wa ofisi ya  Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Dharura, OCHA, Tom Fletcher akihitimisha ziara yake ya kwanza katika eneo la Mashariki ya kati tangu hivi karibuni alipochukua wadhifa huo ameeleza kuwa alichokishuhudia katika ukanda huo ni hali tete. Selina Jerobon anaeleza zaidi.

ONU Info

Au menu de l'actualité : 

UN News
UN News Today 14 November 2024

UN News

Play Episode Listen Later Nov 14, 2024 4:45


COP29 news: UN's Guterres appeals for ‘robust' net zero plansTorture is never justified, says UN human rights chiefIn Gaza: aid is still blocked from reaching desperate communities in the north: OCHA

Habari za UN
14 NOVEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 14, 2024 9:59


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka Baku kwa mkutan wa COP29, amabyo washiriki wanasaka mbinu za kujumuisha makundi yote katika harakati za kukabili na kuhimili madhara ya mabadiliko ya tabianchi yanayochochewa na ongezeko la hewa chafuzi. Idhaa ya Kiswahili imezungumza na Naomi mmjoja wao kutoka Tanzania. Pata pia muhtasari wa habari na ujifunze Kiswahili.Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu ugonjwa wa kisukari, shirika la afya la Umoja wa Mataifa duniani WHO leo limesema idadi ya watu wazima wanaoishi na Kkisukari duniani ni zaidi ya milioni 8000 ikiwa ni ongezeko la zaidi ya mara 4 tangu mwaka 1990.Baku Azerbaijan ambako mkutano wa 29 wa nchi wanachama wa mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya tabianchi, COP29 leo umejikita na na lengo la kutozalisha kabisa hewa ya ukaa ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antinio Guterres ameainisha jukumu muhimu ambalo miji, mikoa, biashara na taasisi za kifedha lazima zitekeleze katika kuendesha juhudi za dunia nzima kufikia lengo la kutozalisha kabisa hewa ya ukaa katikati ya karne hii.Nchini Sudan shirika la Umojja wa Mataifa la kuratibu misaada ya kibinadamu na masuala ya dharida OCHA limesema ghasia za kutumia silaha na mashambulizi katika Jimbo la Aj Jazirah zinadhihirisha ukatili wa karibu miezi 19 ya vita nchini Sudan,huku kukiwa na ripoti za ubakaji, mauaji ya halaiki na uporaji mkubwa. Katika chini ya wiki mbili, OCHA inasema uhasama huko Aj Jazirah umefurusha zaidi ya watu 135,000 kutoka makwao, wengi wao walikimbilia majimbo jirani ya Gedaref na Kassala.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya maneno “MADHALI, WAMA, FALAU NA HOBE”Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu! 

UN News
UN News Today 13 November 2024

UN News

Play Episode Listen Later Nov 13, 2024 4:37


#COP29 renewable energy transition must not be a ‘stampede of greed', warns UN chiefLebanon's displaced are exhausted and face constant danger: UNHCRGaza: Markets are ‘in decay', warn WFP, OCHA

Habari za UN
UN: Baada ya janga la njaa, sasa kipindupindu na homa ya kidingapopo yaikumba Sudan

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 4, 2024 1:48


Nchini Sudan ambako vita na njanga la njaa vinaendelea kuwa mwiba kwa raia  sasa wahudumu wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wanaonya juu ya tishio lingine kubwa  la milipuko ya magonja ya kipindupindu na homa ya kidingapopo huku mfumo mzima wa afya ukiwa taabani. Asante Assumpta kwa mujibu ya taarifa iliyotolewa leo mjini Geneva Uswisi na mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la kuratibu misaada ya kibinadamu na masuala ya dharura OCHA na lile la afya duniani WHO, hali inazidi kuwa mbaya Sudan ambako katikati ya vita majanga mingine ya kiafya yanazuka.OCHA imeripoti zaidi ya wagonjwa 28,000 wa kipindupindu na vifo vimefikia 836 katika majimbo 11 kati ya 22 Julai na 28 Oktoba mwaka huu huku likihofia kwamba idadi kamili ya wagonjwa huenda ni kubwa zaidi.Pia shirika hilo limeonya juu ya kuendelea kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa wa homa ya kidingapopo na mvua zinazonyesha na kusababisha mafuriko makubwa zimeongeza hatari ya kusambaa kwa magonjwa hayo.Nalo shirika la WHO linasema milipuko hii imezuka wakati mfumo wa huduma ya afya nchini Sudan umzidiwa uwezo, huku hospitali nyingi hazifanyi kazi au zimefungwa kabisa kutokana na usambazaji mdogo wa vifaa na uhaba wa mafuta. Shirika hilo linasema hadi asilimia 80 ya vituo vya afya katika maeneo yenye migogoro ikiwa ni pamoja na Al Jazirah, Kordofan, Darfur na Khartoum  aidha havifanyi kazi au vimefungwa.Na linaonya kwamba "Kuporomoka huku kwa mfumo  wa afya  kunazuia mipango ya chanjo ya watoto,  kuongeza kasi ya kuenea kwa magonjwa yanayozuilika, na kuzua wasiwasi kuhusu uwezekano wa milipuko mikubwa zaidi ya magonjwa."Kwa sasa mashirika hayo yamesema majimbo yaliyoathirika zaidi na kipindupindu ni Kassala Gedaref, Al Jazirah, na Northern wakati homa ya kidingapopo imeghubika zaidi majimbo ya Kassala na Khartoum.Pia changamoto nyingine kubwa ya kutoa huduma za afya katikati ya milipuko hii mashirika hayo yanasema ni mashambulizi dhidi ya vituo vya afya ambayo tangu kuanza kwa vita 15 Aprili mwaka jana  yamefikia 116 na kusababisha vifo 188 na majeruhi 140.

UN News
UN News Today 18 October 2024

UN News

Play Episode Listen Later Oct 18, 2024 4:57


Many Gazans hope Hamas leader's death will end conflict: UNICEFLebanon: Peacekeepers pledge to stay, doing ‘whatever they can to help'West Bank Palestinians facing deadly ‘war-like tactics', warns OCHA 

UN News
UN News Today 30 September 2024

UN News

Play Episode Listen Later Sep 30, 2024 4:10


Lebanon crisis: over one million people flee deadly escalationAlgerian court urged to reverse ‘abusive sentence' against poetCondemnation for Ukraine hospitals attacks: OCHA