Podcasts about tunaangazia

  • 13PODCASTS
  • 48EPISODES
  • 17mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • Apr 9, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about tunaangazia

Latest podcast episodes about tunaangazia

Men. Men. Men. - The Podcast -

Katika jamii inayomtazama mwanaume kama mhimili wa familia na mtafutaji mkuu wa riziki, changamoto za kiuchumi zimewasukuma wengi kutafuta njia mbadala za kujikimu. Moja ya njia hizo ni kamari.Lakini je, kamari ni suluhisho la kweli kwa changamoto za kiuchumi, au ni mtego mwingine unaozidi kudidimiza maisha ya wanaume wengi?Katika episode hii, tunachambua kwa kina ongezeko la michezo ya kubahatisha miongoni mwa wanaume wa Kitanzania. Tunaangazia sababu, athari, na uhalisia wa maisha yao baada ya kuingia katika mzunguko wa kamari.Tupo na Tumaini Maligana, mshauri wa michezo ya kubahatisha mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 10, ambaye anatuongoza katika mjadala huu kwa maarifa, ushuhuda, na maonyo yenye msingi wa uhalisia wa maisha. Karibu usikilize, tafakari, na shiriki. #MenMenMenPodcast #KamariNaMaisha #ChangamotoZaMwanaume #UkweliWaKamari

Habari RFI-Ki
Kila siku ya Ijumaa huwa tunaangazia mada huru kwenye makala habari rafiki

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jan 31, 2025 10:03


Kila siku ya  ijumaa ni mada huru  ambapo Tunampa nafasi  msikilizaji kujadili suala lolote ambalo limetokea nchini mwake wiki hii au kile ambacho amekisikiliza kwenye habari zetu juma hili.

Habari RFI-Ki
Kila siku ya Ijumaa huwa tunaangazia mada huru kwenye makala habari rafiki

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jan 31, 2025 10:03


Kila siku ya  ijumaa ni mada huru  ambapo Tunampa nafasi  msikilizaji kujadili suala lolote ambalo limetokea nchini mwake wiki hii au kile ambacho amekisikiliza kwenye habari zetu juma hili.

Wimbi la Siasa
Vita Mashariki mwa DRC vyawaathiri maelfu ya watu Masisi

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jan 15, 2025 10:00


Tunaangazia kuendelea kwa vita Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kati ya jeshi la serikali FARDC wanaoshirikiana na wapiganaji wa Wazalendo dhidi ya waasi wa M 23 wanaoungwa mkono na Rwanda. Watu zaidi ya 100, 000 wameyakimbia makaazi yao katika wilaya ya Masisi tangu kuanza kwa mwaka 2025 kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa.Nini suluhu ya mzozo huu ?

Kiswahili, Lugha Ya Afrika
AI kwa Kiswahili

Kiswahili, Lugha Ya Afrika

Play Episode Listen Later Jan 10, 2025 3:13


Katika video hii, tunachambua tafsiri mpya ya neno 'Artificial Intelligence' katika lugha ya Kiswahili ambapo sasa inajulikana kama 'akili unde'. Tunaangazia maana ya neno hili jipya pamoja na kuelezea tofauti yake na tafsiri zingine zilizokuwa zinatumika awali kama vile akili bandia, akili mnemba au akili tarakilishi. Pia, tunasisitiza umuhimu wa kufuatilia maendeleo ya istilahi za akili unde kutokana na ukuaji wa kasi wa teknolojia hii.

kiswahili katika tunaangazia
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Mazingira: Kelele chafuzi na athari zake

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Play Episode Listen Later Dec 30, 2024 9:59


Tunaangazia ikiwa tunaweza kuwa na mazingira tulivu bila kelele chafuzi katika maeneo tunayoishi lakini pia sehemu tunazofanya kazi. Tunaangazia ikiwa tunaweza kuwa na mazingira tulivu bila kelele chafuzi katika maeneo tunayoishi lakini pia sehemu tunazofanya kazi.

kenya zake mazingira tunaangazia
Wimbi la Siasa
Zimbabwe : Marafuku ya kuanzishwa kwa kampeni za chama cha upinzani

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jul 15, 2023 9:26


Tunaangazia hatua ya mahakama nchini Zimbabwe kuidhinisha marafuku kuanzishwa kwa kampeni iliyopangwa kufanywa na chama kikuu cha upinzani wakati huu pia kiongozi wake mkuu Nelson Chamisa akikabiliwa na vikwazo.

zimbabwe chama nelson chamisa kampeni tunaangazia
Kwa Undani - Voice of America
Tunaangazia matatizo ya wakimbizi Afrika mashariki. Pia, tunajadili mpango wa kuondoa kikosi cha jeshi la Afrika nchini Somalia - Juni 22, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 22, 2023 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

somalia jeshi afrika mashariki tunaangazia tunajadili
Kwa Undani - Voice of America
Tunaangazia siku ya wakimbizi duniani, mjadala kuhusu bandari nchini Tanzania - Juni 20, 2023

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 20, 2023 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Wimbi la Siasa
Je serikali ya Kenya ianze kudhibiti makanisa

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Apr 27, 2023 9:59


Karibu katika makala wimbi la siasa. Tunaangazia swala la mhubiria Paul Mackenzie Nthenge ambaye aliwashawishi wafuasi wa kanisa lake wafunge bila kula ili wakutane na Mungu katika kijiji cha Shakahola karibu na mji wa Malindi, Pwani ya Kenya. Nchini Kenya, idadi ya watu wanaohusishwa na imani potofu ya kutokula chakula hadi kufa ili kumwona Mungu, imeongezeka na kufikia 98 baada ya miili mingine kufukuliwa katika kijiji cha Shakahola karibu na mji wa Pwani, Malindi.Tukio hilo limezua hasira miongoni mwa viongozi, wananchi na wenyeji huku mchungaji anayedaiwa kuwashawishi wauamini wake kufunga mpaka kufa Paul Mackenzie Nthenge akiendelea kuzuiwa.Kuzungumzia swala hili naungana studioni na Askofu mkuu wa kanisa la anglikana nchini Kenya Jackson Ole Sapit pamoja na afisa wa sheria katika shirika la kutetea haki za binadamu nchini Kenya Haki Afrika Walid Seketi.

kenya eac mungu karibu malindi serikali shakahola tukio tunaangazia
Siha Njema
Jinsi mabadiliko ya tabia nchi yanavyoathiri afya na haki za akina mama

Siha Njema

Play Episode Listen Later Apr 18, 2023 10:12


Mabadiliko ya tabia nchi yameendelea kufifiza usalama wa chakula chenye lishe,kupunguza uwezo wa akina mama wanaotegemea kilimo asili kulisha familia zao na kuongeza idadi ya magonjwa yasiyoambukizwa Kwenye makala haya tunaangazia kilimo cha wimbi ambacho japo ni cha asili,ni chakula chenye lishe na kinachohitajika kwa sasa kwa ajili ya wagonjwa wa kisukari.Kupungua kwa uzalishaji wa wimbi kutokana na ukame,gharama ya juu ya mbegu na mashamba yanayotumika kwa mara ya kwanza ,yamechangia akina mama wengi hawawezi kuwalisha familia zao kwa kuwa wimbi ni kipato cha wanawake,inatumika kuwalisha watoto na watu wenye umri uliokwenda wengi wao wakiwa wanauguza ugonjwa wa kisukari.Tunaangazia vile vile kilimo cha sasa cha wimbi ambacho wanawake katika kaunti ya Bomet ,kusini mwa bonde la ufa ,nchini Kenya wamebidi kukumbatia ili kuendelea na kilimo cha wimbi wakati huu ulimwengu unapokumbwa na athari haasi ya mabadiliko ya tabia nchi.

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Tunaangazia uchaguzi wa kati kati ya mhula Marekani, ukosefu wa maji Dar-es-salaam Tanzania - Novemba 07, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 7, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Tunaangazia hofu ya mapinduzi ya kijeshi Burundi. - Septemba 14, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Sep 14, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

burundi septemba tunaangazia
Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Marekani inataka DRC na Rwanda kuacha kusaidia makundi ya waasi. Tunaangazia pia uchaguzi wa Kenya - Agosti 11, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 11, 2022 29:57


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

kenya rwanda agosti marekani uchaguzi tunaangazia
Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Uchaguzi wa Kenya umefanyika kwa amani. Tunaangazia pia FBI kufanya msako nyumbani kwa Donald Trump - Agosti 09, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 9, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Tunaangazia ziara ya Blinken Afrika, Uchaguzi mkuu wa Kenya - Agosti 08, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 8, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Jukwaa la Michezo
Michezo ya Jumuiya ya Madola yapamba moto, ligi kuu za soka barani Ulaya zaanza

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Aug 8, 2022 24:00


Bingwa wa mbio za mita ya 100 Mkenya Ferdinard Omanyala, ndio bingwa wa michezo ya Jumuiya ya Madola. Tunaangazia michezo hayo na mengine mengi yanayotokea viwanjani.

moto ligi soka michezo tunaangazia
Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Russia inataka kuuzia Uganda mafuta, Museveni anataka nafaka na ngano. Tunaangazia pia mgombea wa urais Kenya Prof Wajackoya - Julai 26, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 26, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Habari za UN
18 JULAI 2022

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 18, 2022 9:48


Hii leo jaridani tunamulika siku ya kimataifa ya Nelson Mandela kwa kukutelea ujumbe wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kuhusu nafasi ya hayati Mandela katika maendeleo na amani. Tunaangazia pia tamko la mtaalamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu uamuzi wa Mahakama ya Haki ya Afrika wa kuamuru Kenya ilipe fidia jamii ya asili ya Ogiek kwenye msitu wa Mau. Makala ni mchezo wa kuigiza wa kushawishi wajawazito kwenda kliniki wakiwa na waume zao na Leah Mushi anakupeleka nchini Malawi. Mashinani tunaye Catherine Shembilu aliyeko hapa Marekani kuhudhuria mafunzo ya uongozi kupitia Programu ya Mandela. Karibu na mwenyeji wako ni Assumpta Massoi.

Kwa Undani - Voice of America
Kwa Undani: Tunaangazia ongezeko la mapato Afrika mashariki na Mashambulizi ya risasi Afrika kusini - Julai 12, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 12, 2022 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Kwa Undani - Voice of America
KWA UNDANI: Waasi wa DRC kukabiliwa na jeshi la jumuiya ya Afrika mashariki - Juni 20, 2022

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 20, 2022 29:59


Jumuiya ya Afrika mashariki kupeleka jeshi DRC kupambana na makundi ya waasi. Tunaangazia pia mateso wanayopitia wakimbizi wa DRC wakati dunia inaadhimisha siku ya wakimbizi.

Habari RFI-Ki
Waziri mkuu wa DRC Sama Lukonde athibitisha uchaguzi kufanyika 2023

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Apr 28, 2022 10:06


Tunaangazia mwaka Mmoja wake waziri Mkuu wa DRC Jean Michel Sama Lukonde, Aliunda serikali ya Warriors: na kuthibitisha nia ya kuandaa uchaguzi ndani ya muda uliopangwa pamoja na kurejesha Hali ya Usalama mashariki ya DRC. Unazungumziaje mwaka mmoja wa Sama Lukonde Je? amefanya kazi kulingana na Matarajio yako? Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka kusikiliza zaidi

warriors sama drc mkuu uchaguzi ungana waziri mkuu tunaangazia
Habari RFI-Ki
Waziri mkuu wa DRC Sama Lukonde athibitisha uchaguzi kufanyika 2023

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Apr 28, 2022 10:06


Tunaangazia mwaka Mmoja wake waziri Mkuu wa DRC Jean Michel Sama Lukonde, Aliunda serikali ya Warriors: na kuthibitisha nia ya kuandaa uchaguzi ndani ya muda uliopangwa pamoja na kurejesha Hali ya Usalama mashariki ya DRC. Unazungumziaje mwaka mmoja wa Sama Lukonde Je? amefanya kazi kulingana na Matarajio yako? Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka kusikiliza zaidi

warriors sama drc mkuu uchaguzi ungana waziri mkuu tunaangazia
Siha Njema
Siku ya Kimataifa ya kutambua watu wanaoishi na usonji

Siha Njema

Play Episode Listen Later Apr 8, 2022 10:22


Tunaangazia tatizo la  Usonji au Autism  wakati Dunia ikiwa imeadhimisha siku  ya   usonji  (Autism) ,tarehe mlbili mwezi Aprili. Takwimu za WHO zinasema kati ya watoto mia moja duniani mmoja ana tatizo hilo.

Siha Njema
Changamoto za vijana na matumizi ya mipira ya Kondomu

Siha Njema

Play Episode Listen Later Mar 22, 2022 10:36


Tunaangazia ufahamu ya matumizi ya kondomu, aina mbali mbali za kondomu na namna zinatumika na watu wa mbali mbali.

vijana matumizi tunaangazia
Siha Njema
Mwitikio mdogo wa matumizi ya mipira ya kondomu miongoni mwa vijana

Siha Njema

Play Episode Listen Later Mar 22, 2022 10:23


Tunaangazia sababu za kuwepo mwitiko mdogo wa matumizi ya kondomu nchini Kenye licha ya kupendekezwa kuwa mpango ambao unamlinda mtu kutokana na hatari ya kupata virusi vya HIV na magonjwa ya zinaa.

hiv vijana matumizi miongoni tunaangazia
Jukwaa la Michezo
Michuano ya klabu bingwa Afrika yaendelea kushika kasi

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Mar 13, 2022 23:53


Michuano ya klabu bingwa barani Afrika, inaendelea kushika kasi kumtafuta bingwa mpya. Tunaangazia hili na mengine mengi.

afrika kasi tunaangazia
Vijana na Mapenzi
Vijana na Mapenzi Podcast: Ni lazima mpenzi wako akupe zawadi siku ya Valentines?

Vijana na Mapenzi

Play Episode Listen Later Feb 10, 2022 14:49


Ni msimu mwingine wa sherehe ya siku ya wapendanao tarehe 14 Februari. Siku hiyo hutumiwa na wapenzi wengi kuoneshana upendo. Baadhi hununuliana zawadi na hata kujitengea muda wa kufurahia mapenzi yao. Hata hivyo kwa wengine ni siku ya kawaida tu. Tunaangazia umuhimu wa siku hii na iwapo kuna ulazima wa kumpa zawadi umpendaye.

Wimbi la Siasa
Siasa za upinzani nchini Kenya kuelekea Uchaguzi Mkuu

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Feb 2, 2022 10:13


Tunaangazia harakati za chama kikuu cha upinzani nchini Kenya Orange Democratic Movement  (ODM), kutafuta uongozi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki, baada ya  uchaguzi Mkuu mwezi Agosti. Raila Odinga, kiongozi wa chama hicho kilichoundwa mwaka 2005, ameshatangaza nia ya kuwania nafasi hiyo chini ya vuguvugu la kisiasa la Azimio la Umoja. Je, chama hiki kimejiandaa vipi, kuelekea Uchaguzi wa Agosti 9, 2022 ? Mgeni wetu leo, ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Edwin Sifuna.  

kenya umoja odm raila odinga agosti mkuu afrika mashariki uchaguzi azimio uchaguzi mkuu mgeni tunaangazia
Afrika Ya Mashariki
Changamoto za wagonjwa wa ukoma nchini Tanzania

Afrika Ya Mashariki

Play Episode Listen Later Jan 25, 2022 9:44


Tunaangazia juu ya kituo cha wagonjwa wa ukoma na vikongwe kilichoko Kolandoto, mkoani Shinyanga, Tanzania. RFI imefika kituo cha Kolandoto ambapo kituo hicho kilichojengwa mwaka 1914 maalumu kwa wagonjwa wa Ukoma, leo hii kituo hicho kimegeuka kimbilio la vikongwe wanaotuhumiwa kwa uchawi ili wasiuawe na jamii inayowazunguka.  

tanzania rfi tunaangazia
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
UNEP yaadhimisha miaka 50: Mafanikio na changamoto ?

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Play Episode Listen Later Jan 19, 2022 9:58


Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa-UNEP linaadhimisha miaka 50 tangu kuundwa kwake. Tunaangazia mafanikio na changamoto.

Wimbi la Siasa
Joto la kisiasa laendelea kupanda nchini Kenya kuelekea Uchaguzi wa Agosti

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jan 19, 2022 9:56


Tunaangazia joto la kisiasa, linaloendelea kupanda nchini Kenya, kuelekea Uchaguzi Mkuu mwezi Agosti mwaka huu. Wakenya watamchagua rais wao wa tano, baada ya Uhuru Kenyatta ambaye anaondoka madarakani. Kinyanganyiro kinatarajiwa kuwa kati ya kiongozi wa muda mrefu wa upinzani na aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga na naibu rais William Ruto.

kenya uhuru kenyatta agosti joto uchaguzi uchaguzi mkuu tunaangazia
Siha Njema
Faida za kiafya kwa wanaume wanaokupashwa tohara

Siha Njema

Play Episode Listen Later Jan 18, 2022 9:57


Tunaangazia faida za kiafya  za wanaume kupashwa tohara .Kenya mwaka 2008 ilizindua kampeni ya kuwatahiri kwa khiari wanaume kuanzia umri wa miaka 15 hii ikiwa ni njia mojawapo ya kukabiliana na msambao wa virusi vya Hiv katika jamii ambazo huwa hawatahiri. Nchini Rwanda pia ambapo raia wengi hawakuunga mkono tohara ,imeanza kupata mwitikio mkubwa wa wanaume kutahiriwa.

kenya hiv tunaangazia
Siha Njema
Namna ya kutibu tatizo la tezi dume kwa wanaume

Siha Njema

Play Episode Listen Later Jan 12, 2022 10:03


Tunaangazia afya ya mwanaume ,kukikita hasa katika tatizo la tezi dume kupanuka au kuvimba .

dume tunaangazia
Siha Njema
Malezi ya Kangaroo kwa watoto hao ambao wanazaliwa kabla ya muda

Siha Njema

Play Episode Listen Later Jan 12, 2022 13:05


Tunaangazia  malezi ya Kangaroo ,kwa watoto hao ambao wanazaliwa kama muda wao ambao wengi wao wana uzani mdogo na ambao wako kwenye hatari ya kuaga dunia na hivyo kuhitaji matunzo ya kipekee.

Wimbi la Siasa
Waziri Mkuu wa Sudan Abdalla Hamdok ajiuzulu

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jan 5, 2022 10:18


Tunaangazia hatua ya kujizulu kwa Waziri Mkuu wa Sudan Abdalla Hamdok wiki hii. Kujiuzulu kwa Hamdok kumekuja muda mfupi baada ya kurejeshwa kwenye nafasi hiyo, baada ya kuafikiana na uongozi wa kijeshi chini ya Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, aliyemwondoa madarakani mwezi Oktoba mwaka 2020.

sudan abdalla burhan abdalla hamdok hamdok mkuu oktoba waziri mkuu tunaangazia
Afrika Ya Mashariki
Mkusanyiko wa baadhi ya matukio ya mwaka 2021

Afrika Ya Mashariki

Play Episode Listen Later Dec 28, 2021 9:52


Tunaangazia sehemu tu ya baadhi ya makala zilizoletwa kwako mwaka huu wa 2021. Baadhi yake ni pamoja na uhusiano baina ya jamii ya wakimbizi na wenyeji Tanzania, Uhusiano baina ya wenyeji na raia wa Burundi na Tanzania, wasomi wa Afrika ya Mashariki kusaka ajira nje ya nchi zao, pamoja na Rushwa nchini Burundi.

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Ukuzaji wa uyoga kwenye misitu nchini Kenya

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Play Episode Listen Later Dec 14, 2021 10:03


Tunaangazia namna Mamlaka inayotunza misitu nchini Kenya inavyozihusisha jamii katika kulinda na kuhifadhi misitu kupitia mradi wa maendeleo wa Green Zones awamu ya pili unaofadhiliwa na Benki ya maendeleo ya Afrika katika kaunti 15 kupitia mradi unaoruhusu ukulima wa miti na mimea kwa wakati mmoja (PELIS) .

kenya afrika pelis kwenye mamlaka tunaangazia
Afrika Ya Mashariki
Kiwanda cha kutengeneza mkaa mbadala nchini Tanzania

Afrika Ya Mashariki

Play Episode Listen Later Nov 30, 2021 9:58


Tunaangazia juu ya uhifadhi na utunzaji mazingira nchini Tanzania. Kwa namna ya pekee, RFI imetembelea kiwanda cha kutengeneza mkaa mbadala tofauti na uchomaji miti. Shirika lisilo la kiserikali ya REDESO (relief for development society) ndio linajishughulisha na upatikanaji wa nishati mbadala kwa ajili ya kuhudumia wakimbizi wasio jiweza kambini Nyarugusu, mkoani Kigoma,

Afrika Ya Mashariki
Afrika Ya Mashariki - Changamoto za walemavu nchini Tanzania

Afrika Ya Mashariki

Play Episode Listen Later Oct 5, 2021 9:53


Tunaangazia juu ya changamoto za ujasiriamali kwenye vikundi vya walemavu nchini Tanzania. Kwa namna ya pekee tutawasikia baadhi ya walemavu na wadau wengine wanaohusika kuhakikisha mlemavu anajiwezesha kiuchumi huko mjini Bukoba, mkoani Kagera, Magharibi mwa Tanzania.

tanzania afrika kwa mashariki magharibi tunaangazia
Afrika Ya Mashariki
Afrika Ya Mashariki - Burundi kupitia upya mikataba ya madini

Afrika Ya Mashariki

Play Episode Listen Later Aug 3, 2021 9:56


Tunaangazia juu ya hatua ya Serikali ya Burundi kupitia upya mikataba ya madini lengo ikiwa ni madini ya nchi hiyo kunufaisha pande zote yaani Burundi na muwekezaji. KWa mjibu wa serikali ya Burundi, kwa sasa taifa hilo linanufaika na pato la madini aslimia 10% -15% na Burundi ingependa kiwango zaidi.

afrika burundi kwa serikali mashariki tunaangazia
Siha Njema
Siha Njema - Wagonjwa wa Corona wanavyopokea huduma za afya wakiwa nyumbani

Siha Njema

Play Episode Listen Later Jul 27, 2021 9:52


Tunaangazia matibabu ya nyumbani au Homecare Services miongoni mwa wagonjwa wa Covid 19 ,hii ikiwa mkakati wa kukabiliana na ;uhaba wa vitanda  kwenye hospitali ,vyumba vya ICU au hewa ya Oxygen pia kupunguza Gharama ya juu  na unyanyapaa unaohusishwa na Corona.

Jukwaa la Michezo
Jukwaa la Michezo - Italia mabingwa wa soka barani Ulaya

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Jul 12, 2021 24:00


Italia ndio mabingwa soka barani Ulaya. Mserbia Novak Djokovic ashinda taji la Wimbeledon katika mchezo wa Tennis nchini Uingereza. Tunaangazia hili na mengine mengi yanayotokea barani Afrika.

italia tennis afrika soka uingereza michezo jukwaa tunaangazia
Afrika Ya Mashariki
Afrika Ya Mashariki - Historia ya mkoa wa Kigoma nchini Tanzania

Afrika Ya Mashariki

Play Episode Listen Later Jul 6, 2021 9:53


Tunaangazia juu ya Mkoa wa Kigoma, nchini Tanzania. Mkoa wa Kigoma uko magharibi mwa Tanzania,  kwenye mwambao wa ziwa Tanganyika, ambapo Tanzania inapakana nan chi za Burundi, Jamhuri yakidemokrasia ya Congo, na Zambia.

Afrika Ya Mashariki
Afrika Ya Mashariki - Ukuzaji wa vipaji miongoni mwa vijana nchini Tanzania

Afrika Ya Mashariki

Play Episode Listen Later Jun 30, 2021 9:55


Tunaangazia juu ya vipaji kwa vijana nchini Tanzania. RFI imefika tarafani Rulenge, Wilayani Ngara, mkoani Kagera magharibi mwa Tanzania na kuongea na baadhi tu ya vijana walioamua kuunda kukindi cha ‘JM Group' kuendeleza vipaji vyao, na shughuli zao za vipaji kuwa ajiri, kuwaimarisha kiafya na kudumisha mila na tamaduni.

tanzania afrika rfi vijana mashariki miongoni tunaangazia
Siha Njema
Siha Njema - Mataifa masikini yanavyopambana na janga la Covid 19

Siha Njema

Play Episode Listen Later May 27, 2021 10:05


Tunaangazia changamoto za mataifa yanayoendelea hasa barani Afrika  kuweka sera zao pamoja na kuwa na miundo mbinu za kupambana na janga la Covid 19.

Afrika Ya Mashariki
Afrika Ya Mashariki - Mpango wa serikali ya Tanzania kuwasaidia masikini

Afrika Ya Mashariki

Play Episode Listen Later May 7, 2021 9:49


Tunaangazia juu ya mfuko wa kusaidia watu wasiojiweza kiuchumi nchini ujulukanao kama TASAF nchini Tanzania. Kumekuwepo na manung’uniko ya hapa na pale kuhusu wanufaikaji ambapo baadhi ya malalamiko yanataja baadhi ya watu au hata viongozi wanaojiorodheshakama wasiojiweza ili wafaidi mfuko huo.

tanzania afrika serikali mashariki tunaangazia
SportsCast
Namna Mbappé na Haaland wanavyojitengenezea ulimwengu wao wa soka

SportsCast

Play Episode Listen Later Feb 26, 2021 28:10


Wengi wamehusishwa kurithi ufalme wa Lionel Messi na Christiano Ronaldo lakini hawakuweza kufikia kiwango chao. Je, Kylian Mbappé na Erling Braut Haaland wataweza kufikia kiwango cha Messi na Ronaldo? Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili namna makinda hawa wanavyotengeneza ulimwengu wao wa soka. Tunaangazia zaidi takwimu za mchezo na namna wanavyosaidia timu zao kuweza kupata matokeo. Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5 Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=09