POPULARITY
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya kibinadamu katika katika jimbo la Upper Nile nchini Sudan, na haki za binadamu na watu kutoweka kwa wingi nchini Sudan. Makala inatupeleka nchini Kenya na Mashinani tunakwenda Gaza, kulikoni?Nchini Sudan Kusini, familia zilizo kwenye hali duni katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ziko katika hali tete sana huku mapigano yakizidi kuongezeka na njaa ikikaribia kufikia viwango vya juu kabisa, limeonya leo Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP).Wakati hofu ikiendelea kuhusu watu kutoweka kwa wingi nchini Sudan, Mtaalam maalum wa Umoja wa Mataifa aliyeteuliwa na Ofisi ya Haki za Binadamu OHCHR anayehusika na haki za binadamu nchini humo Radhouane Nouicer ametoa wito wa dharura kuhusu hali ya raia waliokwama katika vita kubwa nchini humo.Katika inatupeleka nchini Kenya kufuatilia simulizi ya Shalyne Kaputa, mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 16 kutoka kaunti ya Turkana ambaye tofauti na shangazi yake ambaye hakuweza kuendelea na elimu yake kutokana na kukosa karo, yeye anasoma elimu ya sekondari sasa ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwa mwandishi wa habari. Yote yanawezekana kutokana na mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF kwa msaada wa shirika la Norway la Maendeleo NORAD na wadau wengine.Na mashinani fursa ni yake Lama, mtoto mwenye umri wa miaka 10 kutoka Gaza eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli ambaye anasimulia maumivu na juhudi za kila siku za kutafuta maji mapigano yakiwa ni mwaka mmoja na nusu sasa. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) linatoa msaada mkubwa kwa familia na watoto wa Gaza kwa kusambaza maji salama.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Kuna idadi kubwa ya watu wanaoshindwa kupata maji salama kwa matumizi ya nyumbani ,hospitali na hata mashamba Uhaba wa maji unaorodheshwa kuwa sababu kubwa ya watu kukosa chakula, kujikimu katika nchi zinazoshuhudia migogoro.Katika nchi kama Sudan na DRC kuna ripoti za hospitali ,kambi za wakimbizi kukosa moja hivyo mashirika ya kimsaada yanapata changamoto kuwahudumia wakimbizi
Hii leo jaridani tunaangazia mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani, CSW69 unafikia tamati hii leo Machi 21 hapa katika makao makuu, na wakulima wanawake nchini Senegal. Mashinani inatupeleka nchini Tanzania kumulika mradi wa maji.Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani, CSW69 unafikia tamati hii leo Machi 21 hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Bi. Gertrude Mongella, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Mkutano wa 4 wa Kimataifa wa wanawake maarufu kama Mkutano wa Beijing uliofanyika mnamo mwaka 1995, hivi tunavyozungumza, pamoja na umri wake mkubwa ameshirikia karibia vikao vyote vya mkutano huu wa CSW69 ambao pia ulikuwa unaangazia utekelezaji wa maazimio yaliyowekwa miaka 30 iliyopita chini yake mama Mongella.Tukiwa bado ndani ya mwezi wa Machi, unaotambuliwa kuwa ni mwezi wa wanawake tunakwenda nchini Senegal ambako huko wasichana waliokuwa wakifanya kazi za ndani, wamewezeshwa na Umoja wa Mataifa na sasa ni wakulima na wanatumia stadi za upigaji na utengenezaji video za mtandaoni kuelimisha jamii kuhusu kilimo chenye tijaMakala inayoturejesha hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa kwenye mkutano wa Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya wanawake duniani CSW69 unaokunja jamvi hii leo Flora Nducha amebahatika kuzungumza na mmoja wa washiriki wa mkutano huo kutoka asasi za kiraia nchini Tanzania.Na katika mashinani fursa ni yake Janeth Zakaria kutoka kijiji cha Kaguruka mkoani Kigoma nchini Tanzania ambaye kupitia video ya Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF anasema alikuwa anatembea umbali wa kilomita 10 kupata maji safi na salama lakini sasa ni hatua chache tu kutoka nyumbani kwake”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Eine Medizin sollte sie unverwundbar machen: Im Maji-Maji-Krieg kämpften afrikanische Völker gegen die deutschen Kolonialherren. Es war ein aussichtsloser Kampf, die Folgen sind bis heute spürbar in Ostafrika. Von Linus Lüring (BR 2019)
SCIENCE
Da li su upad u NVO sektor i hapšenja u sklopu borbe protiv korupcije dokaz da institucije rade ili da ne rade?Gost Danice Vučenić u Iza vesti je sudija Apelacionog suda i inicijator Proglasa Miodrag Majić.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Emmilian Mahinya, kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Andrea Ikumbiro Mtume Jimbo kuu la Mbeya, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema kuashiria nini katika ubatizo, Maji, Mafuta, na Mishumaa? L'articolo Je, wafahamu kwanini tunapobatizwa tunawekewa Maji, Mafuta, Mishumaa? proviene da Radio Maria.
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Claud Onesmo Lowokelo, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini Wakristo tunabatizwa na Maji machache na Yesu alibatizwa Maji Mengi? L'articolo Je, wafahamu kwanini wakatoliki wanabatizwa Maji machache tofauti na Dini zingine. proviene da Radio Maria.
Today, I would like to introduce some reaction expressions to become an active listener in Japanese. "Really?" " That's great" You must use these phrases a lot in your daily life. Through this episode you will learn these phrases in Japanese! Please enjoy!
Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Innocenti Mazimba Kambole, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Katoliki la Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Je, kwanini Wakatoliki wanabaiza maji kidogo wakati Yesu alibatizwa Maji mengi?. L'articolo Je, wafahamu kwanini Wakatoliki wanabatizwa Maji kidogo? proviene da Radio Maria.
How far can following your passions take you in science? To find out, Dr. Charles Liu and co-host Allen Liu welcome the multi-faceted Leah Voytovich, a software development engineer for Project Kuiper who planned on going to med school but instead ended up working on space lasers for Amazon's satellite internet constellation. As always, though, we start off with the day's joyfully cool cosmic thing: the use of deuterium levels in the search for exoplanets with advanced civilizations. That's because signs of deuterium depletion can indicate that a planet has developed nuclear fission power. After that, Leah tells us a little about Amazon's Project Kuiper. She explains the wide variety of challenges to keeping the satellites, which are in low earth orbit, in communication with the ground. The project she's working on now is using infrared space lasers to communicate more securely within the satellite constellation. Chuck brings up the impact that these massive groups of satellites like Starlink are having on astronomy, from satellite streaks on dark sky surveys to image-destroying flares. Leah said there are people working on reducing Project Kuiper's impacts across multiple areas of concern. For our first question. Yasmin asks, “Will our satellites all be controlled by AI someday? If so, when? And is this a good idea?” Leah speculates that there may be some projects already using Machine Learning here on Earth, but that it will be further down the line before there's AI actually present in satellites themselves. Leah doesn't see a problem with the use of ML tools for science, as long as there are protections in place and that humans are still writing the software. After our break, Leah tells us about what she does outside her work – literally – from climbing Mount St. Helens in winter using an ice ax and crampons, to skiing, to running marathons – 3 so far! Then we're back to AI, ML, and the differences between the two. Charles talks about how important AI has beome as a tool for astronomers and other scientists. Leah explains the “Chinese Room Argument” and why it's a good analogy for machine learning, Allen shares the description of AI as a “stochastic parrot.” Our next question comes from Jonathan, who asks, “With so many problems facing the world like poverty, war and the climate crisis here on Earth, why should we spend money and resources on space exploration and astronomy?” Leah talks about how Project Kuiper is intended to serve underserved communities by providing internet access to people who don't already have it. That in turn increases global communication and connectivity and can then help address those other problems. And of course, to launch those satellites, we need rockets. She also explains how valuable internet access is to communities– something she knows a little about. She and Martin Leet co-founded Maji, a nonprofit in Uganda that uses solar power to make clean water easily accessible for refugee communities. Leah, a former EMT, explains how Maji also provides first aide medical training and agricultural training to the communities. The story of how Maji came to be is remarkable – we'll leave it to Leah to share that with you in the episode. We end with Leah recounting what it was like to be in Mission Control for the launch of the first Project Kuiper satellites. She was the representative for her team in the Mission Control room, so she was the one who actually got to say “Go” for her service during the final pre-launch Go/No Go review. If you'd like to know more about Maji, you can check out the nonprofit's website here. We hope you enjoy this episode of The LIUniverse, and, if you do, please support us on Patreon. Credits for Images Used in this Episode: Illustration of Kepler-138 exoplanets– NASA, ESA, Leah Hustak (STScI) Deuterium, aka hydrogen-2 (²H or D) – Center for Deuterium Depletion An axonometric view displays various Earth orbits, illustrating space debris and active satellites – WikiCommons/Pablo Carlos Budassi The history of the universe since the Big Bang – NASA Satellite streaks in an astronomical image – University of Washington/ Abhilash Biswas, Kilando Chambers, and Ashley Santos Space-based lasers – IEEE Spectrum Illustration of NASA's Laser Communications Relay Demonstration (LCRD) communicating with the I.S.S. over laser links – NASA's Goddard Space Flight Center Illustration of machine learning and artificial intelligence – Creative Commons / mikemacmarketing Computer simulation of dendrites of pyramidal neurons – Hermann Cuntz/ PLoS Computational Biology, Vol. 6(8) August 2010. Earth illuminated time-lapse video if ISS over Earth – NASA Martin Leet and Leah Voytovich – University of Pennsylvania The Maji water tank for the Olua I community – University of Pennsylvania/Martin Leet
Following the Maji in Matthew 2:1-12; Katie compares the two Kingdoms portrayed in the passage, the Empire of Earth and the Kingdom of Heaven. How might we give our full allegiance to King Jesus, as we behold who he is and seek to become like him in our daily lives?
Christmas Up CloseRomantic, sanitary Christmas cardsA closer look, and it's messierA close up look is more practical because your life is messySCRIPTURE: Luke 2:6–7 (ESV) And while they were there, the time came for her to give birth. And she gave birth to her firstborn son and wrapped him in swaddling cloths and laid him in a manger, because there was no place for them in the inn.Resourced By HeavenAs we see Jesus in the manger we see:God's eternal plan unfoldingLess than ideal timingRoman occupiers imposing their willCensusTransportation and housing issuesGod's plan for our lives takes place amidst OBSTACLESResources will be neededThey are practicalJesus talked about resources more than any other topicResourced With “Left Overs”Luke 2:6–7 (ESV) And while they were there, the time came for her to give birth. And she gave birth to her firstborn son and wrapped him in swaddling cloths and laid him in a manger, because there was no place for them in the inn.There is a beauty in these momentsQuiet desperation seeking the bare minimumNo amount of planning could have provided hereThere is value in grinding out these situationsThe durability built is remarkableIt prepares you for the journey aheadResourced By Hard WorkMatthew 13:55 (ESV) Is not this the carpenter's son? Mark 6:3 (ESV) Is not this the carpenter, the son of Mary…Tekton - building and construction of items ranging from furniture to municipal buildings and in mediums ranging from wood to stone. The economy of Rome during the New Testament was strong and their occupation of Israel was in full swing. A skilled tradesman would have been lucratively compensated In 1st century Jewish culture, fathers taught their sons their trade at by age 12, This was a hard working family. While he was born in a manger, the family had a home. By the time the Maji arrived to present gift to Jesus, they were no longer staying in a barn as a result of the census, but living in a home - Matthew 2:11 And going into the house, they saw the child with Mary his mother, and they fell down and worshiped him. Then, opening their treasures, they offered him gifts, gold and frankincense and myrrh. While they moved several times, one would assume that home ownership would have continued. After Joseph passed away, Jesus would have inherited the property and responsibility for the family. Jesus was likely a homeowner:Mark 2:1–4 (ESV) And when he returned to Capernaum after some days, it was reported that he was at home. And many were gathered together, so that there was no more room, not even at the door. And he was preaching the word to them. And they came, bringing to him a paralytic carried by four men. And when they could not get near him because of the crowd, they removed the roof above him, and when they had made an opening, they let down the bed on which the paralytic lay.Mark 2:13–15 (ESV) He went out again beside the sea, and all the crowd was coming to him, and he was teaching them. And as he passed by, he saw Levi the son of Alphaeus sitting at the tax booth, and he said to him, “Follow me.” And he rose and followed him. And as he reclined at table in his house, many tax collectors and sinners were reclining with Jesus and his disciples, for there were many who followed him.Resourced By Earned FavorLuke 8:1 Soon afterward he went on through cities and villages, proclaiming and bringing the good news of the kingdom of God. And the twelve were with him, 2 and also some women who had been healed of evil spirits and infirmities: Mary, called Magdalene, from whom seven demons had gone out, 3 and Joanna, the wife of Chuza, Herod's household manager, and Susanna, and many others, who provided for them out of their means.Jesus worked hard and had an impact in the lives of those he served. Good, hard work for others produces a favor.Resourced By Unexpected FavorMatthew 2:11 (ESV) …and they fell down and worshiped him. Then, opening their treasures, they offered him gifts, gold and frankincense and myrrh.Magi (magician) a blurry line between occult experiments and legitimate scienceAstrologist, studying the stars and likely the zodiac. After discovering the star identifying the birth of “the King of the Jews,” they left their home to find Him, a journey likely to nearly two years, based on Herod's resulting decision to kill all male Israeli children two years and younger (Matthew 2:16Men of means, travelling in a caravan large enough to be noticed by the general population and stir up commoner and politician alike with their mission (Matthew 2:3 When Herod the king heard this, he was troubled, and all Jerusalem with him)The Magi came bearing treasures for the King of the Jews. These gifts were appropriate in substance, and no doubt quantity. They included:gold, the appropriate gift for a King. frankincense, the gift for Deity. myrrh, a valued spice, especially for those who suffer
Send us a textTrav slots in as Polykiller runner-up, Steve pretends to be impressed. Top 5 video game characters that would make good pets!Join us on BlueSkyPolykillPolymediaSteveTravGames this EpisodeFantasian Neo DimensionIndiana Jones and the Great CircleHadesSand LandLegend of Zelda: Link Between WorldsDino CrisisMind Over MagnetMister MosquitoOvercooked 2 - DLCShadow of the ColossusContra ForceSesame Street: CountdownAxelayStrike Gunner STGA Nightmare on Elm STreetBack to the FuturePolykillersBraniac345:WarioWare D.I.Y., Digimon Battle Spirit, Tekken 8: Unforgotten Echoes, Sonic Advance 3, Spyro: Season of Ice, Demon Turf: Neon SplashKergonShining Force Gaiden 3: The Final Conflict, Donkey Kong Country, Fatal Fury, Fatal Fury 2, World Heroes, Super Mario 3D World, World Heroes 2, Fighter's History, Banishing Racer, Battle Crusher, Bubble Ghost, Sint Nicolaas, Boboboubo Boubobo - Bakutou Haijke Taisen, ZatchBell! - Electric Arena, Konjiki no Gashbell!! Yuujou no Zakeru - Dream Tag Tournament, Yū Yū Hakusho 2: Kakutō no Sho, Konjiki no Gashbell!! Unare! Yuujou no Zakeru 2, Nekketsu Kouha Kunio-Kun - Bangai Rantou Hen, Macross 7 - Ginga no Heart o Furuwasero!!, Futari Wa Pretty Cure Max Heart: Maji? Maji!? Fight de IN Janai, Bakushô Yoshimoto no ShinkigekiFind more shows at polymedianetwork.com, BlueSky: Trav, Steve, Polykill, Polymedia twitch.tv/blinkoom, Send us an email polykillpodcast@gmail.com, Check out our patreon at Patreon.com/polykill How to be a Polykiller: Beat a game, take a screenshot, post it on BlueSky or Polymedia Discord, use #justbeatit, write a review and be sure to include @Polykill. Beat the most, become Polykiller. Beat any, have your Skeet potentially read on the show! Check out the Bonus Beats episodes on Patreon for more beat-skeet coverage!
It's another week of storytelling tune in to our latest episode, 'Maporomoko ya Maji ya Nyahururu'. This story explores one of Kenya's natural wonders—Nyahururu Falls, also known as Thomson's Falls. Standing at 72 meters, these stunning waterfalls cascade from the Ewaso Nyiro River, creating a breathtaking sight. Beyond their beauty, the falls hold historical and ecological significance for the surrounding communities. This story is published by the African Storybook Initiative. You can find an openly licensed PDF version of the book here. Author: Njeri Wachira Illustration: Njeri Wachira Narrator: Ali Junju Host and Editor: Magdalene Chorongo You can reach us via info@edutab.africa or through our social media channels to find out how you can get involved in this project:-) Twitter Facebook LinkedIn Instagram
Pred vama je epizoda podcasta Snaga uma, koja je snimana za prošlu nedelju, ali nije emitovana zbog dana žalosti. Sudija i pisac Miodrag Majić govorio je o osećaju izgubljenog rata za društvene vrednosti, kritičku misao i empatiju, uz osvrt na izgubljene ratove i ratne traume kojima se bavi u svojim romanima, a posebno u svom najnovijem romanu "Pod tuđim suncem". "Kao narod, mi smo se uvek vraćali kad su nas svi otpisali i pravili istorijske veleobrte. Možda u tome pokušavam da pronađem i sada nadu. I domaći i strani zavojevači su nas već otpisali", objasnio je Majić ističući da ipak čuva optimizam, uprkos osećaju poraza koji se često nameće.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Nchini Somalia, ni asilimia 52 tu wananchi ndio wanapata huduma ya maji safi na salama. Wengine hulazimika kutembea umbali mrefu kuteka maji ambayo si ya uhakika. Hata hivyo kwa msaada wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF nchini humo pamoja na wadau, hali sasa inaanza kuimarika. Tuko Adale, mji wa ndani zaidi wa jimbo la kati mwa Somalia, Galmudug. Hapa zaidi ya kaya 2,000 sasa zina huduma ya maji safi na salama, kufuatia ukarabati wa kisima cha maji.Salada Mohammed Omar, yeye ni mfugaji na ni shuhuda wa mradi huu uliotekelezwa na serikali ya jimbo la Galmudug kwa ufadhili wa shirika la Marekani la Misaada ya kimaendeleo USAID na UNICEF.“Tulisafiri muda mrefu kuteka maji, lakini sasa kisima kiko karibu na makazi yetu, tunapata kwa urahisi maji ya kupikia, kufulia na kufanyia usafi.”Video ya UNICEF inaonesha raia na ngamia wakiwa kisimani. Mohammed Yusuf Dirshe ambaye ni kiongozi wa kijamii hapa Adale anasema “awali hakukuwa na tanki la maji wala pampu. Kwa hiyo ilikuwa vigumu kupata maji kwa ajili ya mifugo. Lakini sasa unaona hawa ngamia wanatoka umbali wa hadi wa kilometa 35.”Issack Mohammed, kutoka Kituo cha Amani na Demokrasia mdau wa mradi huu anaeleza kilichofanyika.“Ukarabati ulihusisha kujengea juu matanki, kuweka pampu inayotumia nishati ya jua, na kioski cha maji ili wavulana, wasichana na wanawake waweze kuteka maji kwa urahisi.UNICEF inasema mradi huu unarejesha uhai hapa Adale, kwa kuhakikisha watoto wanakua wakiwa na afya njema, jamii zinastawi na mbinu za kujipatia kipato zinakuwa endelevu.
The topic “Surge of Radical Islam and Khalistan” addresses the growing threats posed by radical Islamist movements and Khalistani separatism in India and globally. It explores the rise of extremism, its impact on national security, communal harmony, and geopolitical stability.
Happy Diwali, everyone! In tonight's rewind bedtime story we're joining Maji the Squirrel as he celebrates in Sleepy Forest, and teaches his new friends about the holiday. There are lanterns, and fireworks, and even a party! Relax, get sleepy, and let's begin! Upgrade to Koko Club Today!
Mashirika ya nchini Kenya kwa ushirikiano na serikali za kaunti ,yamezindua mfumo mpya na wa kisasa wa vyoo bunifu visivyotumia maji wala kuunganishwa na mabomba ya maji taka Hatua Ambayo imeonekana kupunguza msambao wa magonjwa kama vile kipindupindu.
Katika maadhimisho ya wiki ya maji duniani 2024, makala haya yameangazia mradi wa WASH unaofanywa na shirika la SHOFCO mtaani Kibera, kusambaza maji safi ya matumizi kwa wakaazi wa kitongoji hicho chenye changamoto za upatikanaji wa maji safi.
Mamata Banerjee on the potential division of Bengal. Discover insights from Devdutta Maji and Sanjay Dixit on the future of Hindus in Bangladesh amidst rising tensions and geopolitical shifts.
We are on ep 10, we discussed ch 49-56 y'all stay on point.We read about dreamscapes, community and someone kissed. If you didn't read and want to do not press play. Tomi is now casting for the film, I'm so excited for her.We got Kiki on a mini vaca on the road on a Tuesday, Casey caught up... And I like always... Immm tyyyyaaaddd.We are reading Children Of Blood and Bone... 17th season of the pod#bookclub #onthegoCheck out: https://www.chanbepoddin.com/so-what-page-we-on-bih-clubSupport this podcast at — https://redcircle.com/so-what-page-we-on-bih2875/exclusive-content
A nature-based retreat center planned outside Two Harbors is aiming to provide a restorative getaway for people of color. But Maji ya Chai is getting pushback from local residents over concerns of noise, traffic and other impacts. 35 residents of Silver Creek Township have appealed the Lake County planning commission's April decision to grant the sanctuary a conditional use permit.The founder of Maji ya Chai, Rebeka Ndosi, joined MPR News guest host Nina Moini to share her goals for the new center.
Poslušajte novu epizodu podkasta Iza vesti sa Miodragom Majićem.
The Charles Stewart Mott Department of Public Health focuses on population health from its home base – the College of Human Medicine's Flint campus. Being embedded in the Flint community allows the faculty and researchers to understand the assets and needs of the community while studying Flint's most pressing public health issues. Spartans work side-by-side with community partners and health care providers in a community-identified and community-participatory public health focus model. Jennifer Johnson arrived in 2015 to a nearly empty building, the first research faculty member employed by the college in Flint. Much has changed since then. On April 1, Johnson assumed a new job as the founding chair of the department, overseeing nearly 200 faculty and staff. Johnson leads a conversation on the impactful research and work being done in the department with her colleagues Maji Hailemariam Debena, Gayle Shipp, and Steven Ondersma. Conversation Highlights: (0:58) – Johnson on the department's mission and her role. (1:59) – Maji introduces herself. (2:15) – Gayle introduces herself. (2:44) – Steve introduces himself. (3:16) – Maji, tell us about the MOSAIC project. (5:12) – How are your mentor moms helping the younger moms? (6:35) – What are the next steps? Do you hope to scale up the project? (7:47) – Tell us about the YWCA women's empowerment center you helped create. (10:25) – How does your local work in Flint intersect with your international work in Africa? “It's about people, not places.” (14:06) – Gayle describes her research to impact and improve maternal infant health equity. (15:22) – Tell us about the disparities you see and why they matter. (17:20) – Why is breastfeeding important? (18:28) – How is your work addressing the disparities you're seeing? (22:08) – Tell us about your new grant from the Robert Wood Foundation. (24:08) – What are your next steps? How do you hope your work will turn into action? (27:58) – Steve describes his research incorporating technology into addressing health disparities. What is CIAS - Computerized Intervention Authoring System? (41:20) – How are you using this platform to help with maternal health equity? (49:51) – “It's now possible to prevent postpartum depression.” What is Reach Out, stay Strong, Essentials (ROSE)? (52:31) – Maji, Gayle and Steve on what they want us to know about their work. What is your ultimate goal? Listen to “MSU Today with Russ White” on the radio and through Spotify, Apple Podcasts, and wherever you get your shows.
Is Modi set for a landslide victory in West Bengal? Witness the upheaval in the Mamata camp as 27 out of 42 seats hang in the balance. Stay informed with the latest Bengal opinion poll analysis by Devdutta Maji.
Basia 7 latka opowiada swoją bajkę o dziewczynce Maji zamienionej w ptaszka --- Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/maria-chodakowska/support
The region is home to historic cities such as Florence, Siena, and Pisa, each boasting stunning architecture, art masterpieces, and a vibrant atmosphere. Florence, the birthplace of the Renaissance, houses renowned museums like the Uffizi Gallery and the Accademia, where Michelangelo's David stands as a symbol of artistic brilliance.Tuscany's culinary scene is a feast for the senses, featuring world-class wines like Chianti and Brunello di Montalcino, along with traditional dishes like ribollita, pappa al pomodoro, and the famous bistecca alla fiorentina.SienaSiena, Italy, is a charming medieval city renowned for its rich history, stunning architecture, and vibrant cultural scene. Nestled in the heart of Tuscany, Siena is famous for its well-preserved medieval streets and the iconic Piazza del Campo, one of Europe's most fabulous medieval squares.The city's medieval center is a UNESCO World Heritage Site, showcasing Gothic and Romanesque architecture that transports visitors back in time. Siena's most iconic landmark is the Duomo di Siena (Siena Cathedral), a magnificent example of Italian Gothic architecture adorned with intricate sculptures and beautiful frescoes.Siena is also renowned for the Palio, a historic horse race that takes place twice a year in the Piazza del Campo. The Palio is a centuries-old tradition that captivates locals and visitors alike, adding a touch of excitement to the city's cultural tapestry.Beyond its historical treasures, Siena offers a culinary experience that captures the essence of Tuscan cuisine. Visitors can savor local delicacies, including Pici pasta, ribollita soup, and the region's exceptional wines.With its timeless beauty and cultural richness, Siena stands as a testament to Italy's enduring charm and is a must-visit destination for those seeking a glimpse into the country's medieval past.San GimignanoSan Gimignano is a picturesque medieval town nestled in the heart of Tuscany, Italy. Known as the "Town of Fine Towers," its skyline is dominated by 14 well-preserved medieval towers, offering a unique and enchanting atmosphere. The town, a UNESCO World Heritage Site, is renowned for its medieval architecture, charming cobblestone streets, and rich history.Visitors to San Gimignano can explore the Piazza della Cisterna, a central square surrounded by medieval buildings and inviting cafes. The town is also home to remarkable landmarks, such as the Collegiate Church of Santa Maria Assunta, featuring stunning frescoes and art.Aside from its architectural wonders, San Gimignano is celebrated for its local produce, including the famous Vernaccia di San Gimignano wine. The surrounding vineyards and olive groves contribute to the region's gastronomic delights, making it a haven for food and wine enthusiasts.With its well-preserved medieval charm, breathtaking views of the Tuscan countryside, and delectable local offerings, San Gimignano is a must-visit destination for those seeking an authentic Italian experience.Pisa Pisa, a charming city in Tuscany, Italy, is renowned worldwide for its iconic Leaning Tower. Nestled on the banks of the Arno River, Pisa is not just a one-tower wonder; it boasts a rich history, stunning architecture, and a vibrant cultural scene.The Leaning Tower of Pisa, part of the Piazza dei Miracoli (Square of Miracles), is a masterpiece of medieval engineering. Its unintentional tilt has captivated visitors for centuries, making it one of the most recognizable landmarks on the planet.Beyond the tower, Pisa is a treasure trove of historical gems. The Pisa Cathedral, also located in the Square of Miracles, is a breathtaking example of Romanesque architecture adorned with intricate sculptures and artwork. The Baptistery, adjacent to the cathedral, is another architectural marvel that adds to the city's allure.Wandering through Pisa's narrow streets, you'll encounter charming cafes, lively markets, and centuries-old buildings. The city's university, founded in 1343, adds a youthful energy, making Pisa a dynamic blend of tradition and modernity.Pisa's cultural scene is vibrant, with museums showcasing art, history, and science. The Palazzo Blu, for instance, hosts rotating exhibitions, providing a glimpse into Italy's rich cultural heritage.Whether you're drawn to the Leaning Tower's quirkiness or the city's historical charm, Pisa offers a delightful escape into the heart of Italian culture and history.Whether exploring charming medieval villages, enjoying the serenity of the countryside, or indulging in the region's culinary delights, Tuscany offers a truly enchanting experience for every traveler. It's a destination that seamlessly combines history, art, and nature, making it a must-visit for those seeking a taste of authentic Italian beauty and culture.A Renaissance of Wonders: Exploring Florence, ItalyNestled in the heart of Tuscany, Florence is a city that breathes history, art, and culture at every cobblestone turn. Known as the birthplace of the Renaissance, Florence boasts a rich tapestry of architectural marvels, world-class art, and delectable cuisine. If you're planning a visit to this enchanting city, here's a Travel Brat-approved guide to help you make the most of your time.The Duomo and Brunelleschi's DomeNo visit to Florence is complete without marveling at the iconic Santa Maria del Fiore Cathedral or Il Duomo. Admire the intricate facade and climb to the top for breathtaking panoramic city views. Be sure to appreciate the genius of Filippo Brunelleschi's Dome, a masterpiece of Renaissance engineering. Don't forget to visit the baptistry and bell tower too!Uffizi GalleryHome to an unparalleled Renaissance art collection, the Uffizi Gallery is a treasure trove for art enthusiasts. Works by Michelangelo, Leonardo da Vinci, Botticelli, and Raphael adorn the walls. Some favorite works include Birth of Venus or Primavera Botticelli, Doni Tondo by Michelangelo, Annunciation, Adoration of the Maji, The Baptism of Christ, Davinci, Madonna del Cardellino, Saint John the Baptist in the Dessert Rafel, and Madona and Child by Filippo Lippi. Book your tickets in advance to skip the lines and allow ample time to explore this artistic haven. Galleria dell'AccademiaThe Galleria dell'Accademia is where you'll find one of the most celebrated sculptures in the world – Michelangelo's David. Witness the sculptor's mastery up close and explore other works by Michelangelo and other renowned artists. Here, you will also find four other unfinished works by Michelangelo.Ponte VecchioStroll across the Ponte Vecchio, Florence's oldest bridge spans the Arno River. Lined with charming shops, Ponte Vecchio is the perfect spot to shop for jewelry, art, and souvenirs. The bridge offers splendid views of the cityscape, especially during sunset.Palazzo VecchioPalazzo Vecchio is a medieval fortress turned town hall located in the heart of Florence's historic center. Admire the impressive frescoes, sculptures, and the opulent Salone dei Cinquecento, which showcases the city's political and artistic legacy. Boboli GardensEscape the hustle and bustle of the city with a visit to the Boboli Gardens, a stunning example of Italian Renaissance garden design. Wander through the landscaped greenery, fountains, and sculptures, enjoying a peaceful respite.Piazza della SignoriaThis historic square is an open-air museum, surrounded by iconic sculptures like the Fountain of Neptune and a copy of Michelangelo's David. Sit at one of the cafes, soak in the atmosphere, and witness the pulse of Florentine life.Florentine CuisineIndulge your taste buds in Florence's culinary delights. Savor local specialties such as ribollita (a hearty Tuscan soup), bistecca alla fiorentina (Florentine steak), and gelato from one of the city's renowned gelaterias. For a relaxed and delicious meal, try Bis Trot Tre Tavoli authentic casual, and for an upscale meal, try II Guscio.Santa Croce BasilicaVisit the final resting place of some of Italy's most illustrious figures, including Michelangelo, Galileo, and Machiavelli. The Basilica di Santa Croce is not only a place of worship but also a testament to Florence's cultural and intellectual heritage.Sunset at Piazzale MichelangeloWrap up your Florence adventure with a visit to Piazzale Michelangelo, a panoramic terrace offering unparalleled city views. As the sun sets over Florence, you will be treated to a magical sight that perfectly encapsulates the timeless beauty of this remarkable city.Medici Chapels The Medici Chapels, located in Florence, Italy, are a stunning testament to the wealth and cultural influence of the Medici family during the Renaissance. Commissioned by the powerful banking family, the chapels are part of the Basilica di San Lorenzo complex and serve as a final resting place for several members of the Medici clan. The New Sacristy, designed by Michelangelo, is a Renaissance art and architecture masterpiece. Its grandeur is characterized by intricately carved statues and elegant tombs, including those of Lorenzo the Magnificent and Giuliano de' Medici. The Chapel of the Princes, another notable section of the complex, was intended to be a grand mausoleum for the Medici rulers.Perfume Making If you need a break from sightseeing, you can make your very own perfume right in Florence at the Antica Spezieria Erboristeria San Simone Firenze.Where to stayStay like a local in the heart of Florence at the Horto Convento.Florence, with its artistic legacy and timeless charm, is a destination that transcends the boundaries of time. Whether you're an art aficionado, a history buff, or simply seeking the pleasures of Italian culture and cuisine, Florence is sure to leave an indelible mark on your heart. Immerse yourself in the Renaissance spirit, and let Florence cast its enchanting spell on you.
Mamlaka wame pata mamba wa maji ya chumvi mwenye urefu wa 2.5m, ndani ya mji wa Ingham ambao uko Kaskazini Queensland baada ya mto wa eneo hilo kufurika.
"Ko god bude bio vlast u državi od ponedeljka, sa ProGlasom će imati problem ukoliko se ne bude držao principa o kojima smo govorili svi mi", kaže u emisiji "Iza vesti" sudija Miodrag Majić, jedan od 17 inicijatora ProGlasa.On je na snimanje emisije koja je emituje u okviru Novog dana, došao prethodno veče, jer kako kaže, nije želeo da ga prozivaju da gostuje „po televizijama u radno vreme“.
Shots and Shorts: Jared, KB and I discuss Mickey and Minnie's Gift of the Maji.
In this episode:00:46 Modifying a fungal drug to make it less toxicAmphotericin B is a drug used to treat life-threatening fungal infections. But while it is effective against many fungal species, it is also extremely toxic to kidneys, meaning it is mostly used as a drug of last-resort. This week, a team has unpicked the mechanism behind the drug's toxicity, allowing them to modify it and reduce side effects in human kidney cells. The researchers hope this new version of the drug could become a useful tool in fighting fungal diseases.Research article: Maji et al.09:00 Research HighlightsReconstructing woolly rhino DNA using samples from fossilized hyena dung, and a soft robot that can perform surgery inside a beating heart.Research Highlight: Woolly-rhino genome emerges from cave hyena's fossilized pooResearch Highlight: A robot performs heart surgery with a strong but delicate touch11:26 Phosphorus found at the edge of our GalaxyPhosphorus is a vital element for life and for planet formation, but although abundant in the inner part of the Milky Way, it has been undetected in the outer regions of our Galaxy. Now, researchers have identified phosphorus-containing molecules huge distances from Earth, although exactly how this phosphorus was created is unclear. The team suspect that lower-mass stars are behind the phosphorus generation, and believe that the detection of the element could broaden the range of planets that may be habitable in our Galaxy.Research article: Koelemay et al.18:14 Briefing ChatWhat Osiris-REx's hypersonic capsule return could teach researchers about asteroids hitting Earth's atmosphere, and the genetic studies that could help restore the genomes of Scotland's endangered ‘Highland tigers'.Nature News: Asteroid sampler's hypersonic return thrilled scientists: here's what they learntNature News: How to keep wildcats wild: ancient DNA offers fresh insightsSubscribe to Nature Briefing, an unmissable daily round-up of science news, opinion and analysis free in your inbox every weekday. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
In tonight's rewind bedtime story for kids we look back on last year's Diwali celebrations, in which Maji the malabar squirrel decorated his treehouse and threw a party for his sleepy forest neighbours. Relax, get sleepy, and let's begin!Upgrade to Koko Club Today!
In tonight's rewind bedtime story for kids we look back on last year's Diwali celebrations, in which Maji the malabar squirrel decorated his treehouse and threw a party for his sleepy forest neighbours. Relax, get sleepy, and let's begin! Upgrade to Koko Club Today!
Season 2, Episode 2: The Alcy Leyva Interview WDON1204.com is proud to present our latest podcast, The Colors of Sound. Our mission is to create a safe space for community members from around the world to share their personal stories. Listen on all streaming platforms or on our podcast station wdon1204.com. The Colors of Sound podcast. Discover how much we have in common. Join me for this episode of The Colors of Sound podcast, where I interview the multi-talented Alcy Leyva, for his book: “The silent, subtle, ever-present perils of life”. This audio was taken from our Live-Streamed event that took place on Thursday, October 19, 2023, in Manhattan, New York City. Synopsis of the Book: In the silent, subtle, ever-present perils of life, we meet Imajin (his friends and family call him Maji), a sixteen-year-old African-American boy from the Bronx who, during one fateful summer, finds his world crumbling down around him. During his last class of the school year, he feels overwhelmed by the news of a young Internet celebrity taking his life in Brooklyn and another of a pregnant black woman held at gunpoint by cops. This is the same day that his favorite teacher and role model announces that he's leaving the school before Maji's senior year. Couple this with him internally dealing with the destruction of his family — his mother suffering from depression and his father slowly pulling away from his home — and Maji decides to run. Run from everything. Run from everyone. Building a small raft out of materials from his neighborhood, and with nothing but the Moby Dick book he stole from his teacher and a few printed maps, Maji sets sail down the Hudson River one night and out to the open sea hoping to find a miracle that would make his life special and worthwhile. #TakeBackMonday, #Purpose, #Service, #Community, #People, #InnerCircle, #QuoteOfTheDay, #community-service, #bronx, #smallbusiness, #newyork, #black, #positivevibes, #learning, #workshop, #intergenerational, #podcasting, #LiveBrave, #intergenerationalprogramming, #technology, #LifeLearner, #ColemanGlobal, #author, #writer, #book, #amazon --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/wdon1204/message Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/wdon1204/support
Yesu atakupa maji ya uzima, Mwangaza katika Maisha
Nchini Benin, mradi unaofadhiliwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Mfuko wa Maendeleo ya Mitaji, UNCDF umewezesha vijana waliokuwa wanazurura wakati wa msimu wa mwambo nchini humo kuweza kuendelea na shughuli za kilimo kutokana na mradi huo kuwapatia pampu za kusukuma maji ya umwagiliaji kwa kutumia nishati ya sola. Ni Issotina Nala huyo kijana mkulima wa mboga mboga mwenye umri wa miaka 32 akizungumza kwa furaha juu ya manufaa ya pampu inayotumia nishati ya jua au sola na mfumo wa umwagiliaji maji uliofanikihswa na UNCDF hapa Kijiji cha Wekete jimbo la Ouake, kaskazini magharibi mwa Benin, huko Afrika Magharibi. “Ndio, inaleta tofauti kubwa sasa na kwa siku za usoni, kwa kuwa hatutakosa kipato. Kwa sababu mimi nina wake wawili na Watoto. Kwa pampu hii Watoto wangu wataweza Kwenda shuleni, na familia yangu itakuwa na ahueni.” Cossova Nanako, Mkuu wa Programu za UNCDF Benin anasema suala kwamba kuna uhaba wa maji kutokana na mabadiliko ya tabianchi tunabaini kuwa vijana wengi wanakuwa hawana cha kufanya msimu wa ukame kuanzia mwezi Oktoba hadi Aprili. Bwana Nala akiwa kwenye bustani yake ya mboga anakiri.. “Hakuna maji kuanzia Oktoba hadi Machi kwa hiyo tunabakia nyumbani. Na unaweza kufanya nini bila maji? Ukiwa na bustani ya mboga unapaswa kuwepo bustani kila wakati.” UNCDF inasema hali hiyo inalazimu vijana kuondoka vijijini na kuelekea mijini kutafuta vibarua lakini kupitia mradi huu uitwalo LoCAL wa kuwezesha wakazi kuhimili mabadiliko ya tabiachi nchi sasa kuna nuru na Bwana Nala anasema, “Sasa na mfumo huu wa umwagiliaji, hakuna tena kupumzika na tutakuwa na muda wa kufanya kazi wakati wowote.” UNCDF inasema sasa wakulima wanaweza kulima misimu yote hata wakati wa ukame na hivyo kuwa na uhakika sio tu wa chakula bali pia kipato kwa ajili ya familia zao.
Balozi mwema wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia watoto UNICEF Vanessa Nakate amefanya ziara nchini Rwanda kujionea namna mradi wa pampu ya kuvutia maji inayotumia nishati ya umeme wa jua au Sola ilivyoleta manufaa kwa wanawake na wasichana barubaru 11,000 waliokuwa wakitembea umbali mrefu kusaka hmaji. Ni Vanessa Nakate Balozi mwema wa UNICEF, raia wa Uganda ambaye pia ni mwanaharakati wa mabadiliko ya tabianchi akiwa Nyagashankara nchini Rwanda alikokwenda kutembelea mradi wa maji ambao hapo awali ulikuwa ukitumia mafuta ya diseli lakini saa unatumia nishati safi ya Sola. Akiwa kijijini hapo Vanessa alikutana na mabinti wawili Adele na Graciela ambao kabla ya mradi huu walikuwa wakitembea umbali mrefu kusaka maji …… na anaeleza kuwa, “Ilikuwa hatari kwao, tunajua kuwa kwa uwiano, wasichana na wanawake wanaathirika pakubwa na majanga ya tabianchi, kwa hiyo ni muhimu sana kuelewa kuwa tunavyopamba kupata haki kutokana na athari za mabadilko ya tabianchi ni kuwa pia tunapambana kwa haki ya kijinsia.”Vanessa anaikumbusha jamii kuwa wasichana hawana changamoto moja tu ndani ya jamii, utakuja binti ambaye anaathirika na mabadiliko ya tabianchi, huyo huyo anaweza kuacha shule au kukosa masomo hivyo kuleta majawabu mtambuka kunasaidia kutatua changamoto nyingi ndani ya jamii. “Kuwa na mashine ya kuvuta maji inayotumia umeme wa Sola ambao unawarahisishia kupata maji sio tu unasaidia kuhakikisha wasichana wanasalia shuleni lakini pia inawasaidia kuwa na maono ya dunia bora zaidi. “Vanessa anahitimisha kwa kueleza kuwa ili kuhakikisha wanajamii wengi zaidi wananufaika na miradi kama hii ya maji lazima kuwepo na miradi mingi kama hii na hilo litawezekana iwapo watapata uwezeshaji wa kifedha na rasilimani nyingine nah apo wasichana wengi watakuwa wamehakikishiwa kuendelea kusalia shuleni.
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya usalama nchini Sudan Kusini na mradi wa maji nchini Rwanda. Makala tunasalia huko huko Sudan Kusini na Mashinani tunakupeleka nchini Zimbabwe, kulikoni? Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambaye pia ni Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS), Nicholas Haysom ametahadharisha kwamba muda unazidi kuyoyoma kuelekea Sudan Kusini kufanya uchaguzi mkuu unaotarajiwa mwezi Desemba mwaka ujao wa 2024 lakini bado masuala muhimu ya kuufanya uchaguzi huo uende kama ulivyopangwa bila kuchelewa hayajakamilika.Balozi mwema wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia watoto UNICEF Vanessa Nakate amefanya ziara nchini Rwanda kujionea namna mradi wa pampu ya kuvutia maji inayotumia nishati ya umeme wa jua au Sola ilivyoleta manufaa kwa wanawake na wasichana barubaru 11,000 waliokuwa wakitembea umbali mrefu kusaka hmaji.Katika makala Assumpta Massoi anafuatilia ziara ya wakuu wa mashirika matatu ya Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini.Na tunakupeleka nchini Zimbabwe ambako vijana wameweza sio tu kijikwamua kiuchumi na kuondokana na umaskini bali pia kuhifadhi mazingira na tutasikia kutoka kwa mmoja wao.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Kwa siku tatu, viongozi wakuu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa, lile la Mpango wa Chakula (WFP), Chakula na Kilimo (FAO) na Mfuko wa Maendeleo ya Kilimo duniani, IFAD walikuwemo nchini Sudan Kusini kuona ni kwa jinsi gani miradi wanayotekeleza kwa pamoja ya kujenga mnepo na kuhakikisha lishe ya uhakika na bora imeleta mabadiliko. Wakazi wa Apada Boma jimboni Bahr el Ghazal Kaskazini nchini humo walikuwa taswira ya manufaa ya miradi hiyo ambayo wakuu hao walikagua kama inavyofafanua Makala hii iliyoandaliwa na Assumpta Massoi.
Somalia ambayo imekuwa katika machafuko kwa miongo zaidi ya mitatu sasa inaendelea kukabiliana na janga lingine kubwa la ukame ambao haujawahi kushuhudiwa kwa miaka takriban 40 na kuathiri mamilioni ya watu wakiwemo wakulima na wafugaji wa majimbo ya Hijraan na Galmudug. Katika majimbo hayo jamii zimepoteza karibu kila kitu kutokana na ukame huo na kupoteza matumaini. Lakini sasa asante kwa shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO kurejesha matumaini ya jamii hizo kwa kuzindua mradi wa maji ambao sio tuu utazinusuru jamii hizo na mifugo yao lakini pia utazipa matumaini mapya ya maisha. Tuambatane na Flora Nducha katika makala hii kwa ufafanuzi zaidi
Hii leo jaridani tuanaangazi ripoti ya WHO ya vikoleza utamu visivyo sukari halisia, na huduma za afya zizazotolewa nchini Malawai kupitia kilniki za kuhama kwa njia ya magari. Makala tunakupeleka nchini DRC na mashinani nchini Tanzania, kulikoni?Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO, hii leo limetoa mwongozo unaoshauri watu wasitumie vikoleza utamu visivyo sukari halisia (NSS) kwa lengo la kupunguza uzito na kuepusha magonjwa yasiyo ya kuambukiza, NCDs. Wananchi wa Malawi walioathirika na Kimbunga Freddy wamepongeza mbinu ya kutumia kilniki za kuhama kwa njia ya magari iliyotumiwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) kuwahudumia wanawake na watoto nchini Malawi baada ya kimbunga Freddy kilicholipiga eneo hilo takribani miezi mwili iliyopita.Katika Mkala, leo ikiwa ni siku ya familia duniani nakupeleka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambako huko mwandishi wetu George Musubao amemulika ni vipi familia inajitahidi kukidhi mahitaji licha ya changamoto za usalama.Katika mashinani na tutaelekea nchini Tanzania kusikiliza jinsi ambavyo hakikisho la maji safi na salama linavyokuza nidhamu na kuboresha usafi shuleni.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, Karibu!
Jaridani leo tunaangazia siku ya urithi duniani hasa barani Afrika na wakimbizi wa Sudan. Makala tunakupeleka nchini Sudan Kusini na mashinani nchini Tanzania, kulikoni?Ikiwa leo ni siku ya uruthi wa dunia wa Afrika, shirika la elimu, sayansi na utamaduni la Umoja wa Mataifa UNESCO linasema urithi huo ambao thamani yake ya kipekee inaadhimisha leo, bado haujatambuliwa kulingana na umuhimu wake wa kihistoria, wa kibinadamu na wa asili. Maelfu ya watu wamevuka na kuingia Sudan Kusini wakikimbia mzozo unaoendelea nchini Sudan. Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) liko linawasaidia wanaowasili lakini mzigo huu wa ziada unaweka shinikizo katika shughuli za shirika hilo ambazo tayari ziko katika hali mbaya ya ufadhili.Makala tutakupeleka nchini Sudan Kusini ambapo katika Chuo Kikuu cha Juba nchini Sudan Kusini, kulifanyika mashindano ya sanaa yakihusisha wanafunzi 20 kutoka chuo hicho. Maudhui yalikuwa ni Amani Yaanza Nami yakienda sambamba na miaka 75 ya operesheni za ulinzi wa amani kwenye Umoja wa Mataifa.Na katika mashinani na tutakupeleka Kasulu mkoani Kigoma nchini Tanzania kusikia ujumbe wa mwanafunzi wa shule kuhusu haki ya maji safi na salama.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Hii leo jaridani tunakuletea habari kutoka UNICEF na WHO. Makala tunaangazia huduma za afya ya uzazi na mashinani maji na ujasiriamali, kulikoni?Wiki ya chanjo ya shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani WHO, inaanza leo ikichagiza juhudi kubwa kufanyika ili kuziba pengo la chanjo duniani kote.Msikilizaji, Usemi ambao umekuwa ukielezwa mara zote watu wanapozungumzia suala la amani ni kwamba, vita inapotokea wanaotesema ni wanawake na watoto. Kwa zaidi ya wiki moja nchi ya Sudan imekuwa katika vita ya madaraka baina ya majeshi ya nchi hiyo.Katika makala tunaangazia huduma za afya ya uzazi.Na katika mashini tutakupeleka Kibondo nchini Tanzania kusikiliza jinsi ambavyo hakikisho la maji safi na salama limeboresha ujasiriamali.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, Karibu!
Uchafuzi wa mazingira katika maeneo ya bahari unatajwa kuwa na athari kwa viumbe hai waishio chini ya maji kutokana na baadhi ya taka ikiwemo plastiki kuwa na madhara ya moja kwa moja kwa viumbe hao.Umoja wa Mataifa umekuwa ukizitaka nchi wanachama kuhakikisha wanadhibiti taka hizo katika mataifa yao ili kuokoa Maisha ya viumbe hai waishio chini ya maji pamoja na mfumo wa Ikolojia.Kutoka jijini Mwanza kaskazini-magharibi mwa Tanzania, Evarist Mapesa alikutana na Mhadhiri Msaidizi wa Shule Kuu ya Sayansi wa Maji na Mazingira yake na Teknolojia za Uvuvi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Bahati Mayoma, akitaka kufahamu athari za taka za plastiki kwa viumbe hai waishio kwenye maji na hapa mhadhiri huyo anaeleza.
To unlock this episode join Koko Club via this link https://kokoclub.supercast.com