Province in DR Congo
POPULARITY
Gaza ‘hungriest place on earth' as Israel blocks aid: UN humanitarians WHO urges countries to ban flavoured tobacco and nicotine products DR Congo: Violence in Ituri pushes more children out of school
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya elimu kwa watoto mashariki mwa DRC na Mkutano wa pili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT unaofunga pazia leo jijini Nairobi Kenya. Makala inaturejesha nchini DRC na mashinani inatupeleka katika bonde la Ziwa Victoria, kulikoni?Wakati ghasia zinazoendelea huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC zinaripotiwa kusababisha zaidi ya watoto milioni 1.8 kutokuweko shuleni, shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF nchini humo linajitahidi kwa udi na uvumba kuhakikisha watoto wanapata elimu kwani ni haki yao ya msingi.Mkutano wa pili wa siku mbili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT leo unafunga pazia jijini Nairobi Kenya. Baraza hilo linalofanyika kila baada ya miaka minne ni chombo cha juu kabisa duniani cha kufanya maamuzi kuhusu maendeleo ya miji endelevu na limewaleta pamoja wawakilishi kutoka nchi zote 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa pamoja na wadau mbalimbali wa amendeleo ya miji.Makala inakupeleka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC hususan jimboni Kivu Kaskazini katika kitongoji cha Mavivi kuwasikia walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania,kikosi cha 11, TANZBATT11, wanaohudumu katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wakielezea sio tu majukumu yao, bali pia wanajivunia kile wanachofanya kwa kuzingatia Mei 29 imeadhimishwa siku ya kimataifa ya walinda amani.Na katika fursa ni yake Mhandisi Coletha Ruhamya, Naibu Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria, Mradi unaofanikishwa na Benki ya Dunia ambao unakabiliana na masuala ya usafi wa mazingira katika ziwa hilo. Anaeleza umuhimu wa usimamizi endelevu wa bonde hilo kote nchini Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda na Burundi chini ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Hii leo jaridani tunaangazia uhakika wa chakula, na takwimu za afya za janga la COVID-19 kusababisha vifo, muda wa kuishi na hali ya afya na ustawi kwa ujumla. Makala tunakwenda nchini Tanzania na mashinani nchini DRC, kulikoni?Ukosefu wa uhakika wa kupata chakula na utapiamlo kwa watoto uliongezeka kwa mwaka wa sita mfululizo mwaka 2024, na kuwatumbukiza mamilioni ya watu karibu na baa la njaa, huku wengine wakiepuka kutokana na misaada ya kimkakati. Imesema Ripoti ya Kimataifa kuhusu Janga la Chakula (GRFC) iliyotolewa leo huko Roma, Italia na shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO.Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) ya takwimu za afya duniani iliyochapishwa jana Mei 15 ikionesha athari kubwa zaidi za kiafya zilizosababishwa na janga la COVID-19 kuhusu vifo, muda wa kuishi na hali ya afya na ustawi kwa ujumla, imeweka wazi kuwa katika kipindi cha miaka miwili pekee, kati ya mwaka 2019 na 2021, matarajio ya kuishi yalipungua kwa mwaka mmoja na miezi nane ikiwa ni maporomoko makubwa zaidi katika historia ya hivi karibuni hali iliyobatilisha mafanikio ya afya yaliyopatikana kwa muongo mmoja.Katika makala Leah Mushi anatupeleka nchini Tanzania kusikia namna wanawake wenye ulemavu walivyoweza kujikwamua kutoka kwenye changamoto mbalimbali ikiwemo za kiuchumi na kuchangamkia fursa za uongozi.Na katika fursa ni yake Bernadette Kambonesa, mkimbizi wa ndani kutoka kijiji cha Bogoro, jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC akizungumzia manufaa yatokanayo na uwepo wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini humo (MONUSCO).Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
« François Bayrou au pied du mur de l'affaire Bétharram », titre le Parisien-Dimanche. « Le Premier ministre a préparé en cercle restreint un rendez-vous crucial : son audition, mercredi, par la Commission d'enquête sur les violences dans les établissements scolaires. L'enjeu est considérable », remarque le journal.Bétharram, c'est cette école privée catholique qui fait face à de nombreuses plaintes et accusations pour violences et agressions sexuelles à partir des années 1980 et 1990. Le Parisien-Dimanche rappelle le contexte : « François Bayrou était ministre de l'Éducation nationale entre 1993 et 1997 et parent d'élèves scolarisés dans cet établissement où son épouse enseignait le catéchisme. Il aura d'autant moins le droit à l'erreur qu'il s'exprimera sous serment ». Le Nouvel Obs, qui consacre sa Une à l'affaire Bétharram et au Premier ministre, dit la même chose, mais plus crûment : ce sera pour François Bayrou, « l'occasion de livrer ses vérités. Espérons qu'il ait la décence de la saisir, alors qu'il s'est jusqu'ici enferré dans le déni et le mensonge ». « Le 11 février, à l'Assemblée nationale, rappelle le Parisien-Dimanche, François Bayrou a d'abord nié en bloc, assurant n'être au courant de rien, avant de changer de version par la suite. » Les plaintes s'accumulentLe Nouvel Obs, de son côté, a décidé d'élargir le sujet. Pour l'hebdomadaire, « l'affaire Bétharram est une bombe à fragmentation ». Elle nous oblige, nous dit-on, « à regarder en face le caractère endémique des violences faites aux enfants, dans les familles, mais pas seulement »car « l'école n'est pas toujours un sanctuaire pour nos enfants ».Et le Nouvel Obs dresse ce constat : « l'enseignement catholique est au cœur des dernières révélations. Pratiques déviantes, faiblesse des contrôles de l'état, voire protection de l'institution par des élites qui en sont souvent issues ». L'hebdomadaire parle donc de « bombe à fragmentation » et précise encore que « depuis février, de nouveaux cas d'établissements déviants apparaissent chaque semaine, des plaintes s'accumulent – pas moins de 200 pour Bétharram – et des affaires tues pendant des décennies font la Une des journaux. » « Aucun responsable politique local ne décroche son téléphone »De son côté, la Tribune-Dimanche a rencontré l'une des victimes de Bétharram, leur porte-parole Alain Esquerre. Il est l'auteur du livre Le Silence de Bétharram et il est, nous dit le journal, « le visage de tous ceux qui ont souffert dans ce qui s'apparente aujourd'hui à l'un des plus grands scandales de pédophilie de l'histoire de l'éducation française ». C'est lui qui a recueilli sur un groupe Facebook des dizaines de témoignages.« Aux appels d'anciens élèves, raconte la Tribune-Dimanche, succèdent ceux de la presse régionale qui commence à relater le scandale. Dans les familles, chacun découvre ce que son père, son frère, son mari a vécu dans son enfance », sans avoir jamais osé le raconter. Malgré ces témoignages, « aucun responsable politique local, tous bords politiques confondus, ne décroche son téléphone ». « On est seul, tout le monde s'en fout », constate Alain Esquerre, jusqu'à ce que le premier ministre lui-même décroche son téléphone. « Je le sens dépassé », dit-il. « Il est sincère, mais il est le reflet d'une époque qui ne comprend pas (…) Pour lui, c'est une histoire de gifles et de punitions qui ne font pas de mal aux enfants ».Des « creuseurs » des mines payés 5 dollars par jour en RDCDans la presse hebdomadaire également cette semaine, un long reportage du Point sur la République démocratique du Congo, plus précisément dans le Nord-Kivu, où les envoyés spéciaux du magazine Guillaume Perrier et Vivien Latour ont rencontré des « creuseurs » des mines de Rubaya. « Sommairement équipés, ils descendent en escalier, armés de pioches, ils font ensuite remonter le sable et le minerai en se passant des sacs de main en main. Les visages sont juvéniles (…) les éboulements sont leur hantise. » Un travail harassant « payé 5 dollars par jour ».La région est riche en minerai et notamment en coltan, et elle est depuis longtemps la cible de nombreuses convoitises, qui se concrétisent par des affrontements armés. « Le président de la RDC, Félix Tshisékédi, rappelle le Point, accuse le M23 de chercher à s'approprier les ressources du Kivu : 150 tonnes de coltan seraient, selon lui, détournées vers le Rwanda chaque mois. Kigali dément ».Calme relatifÀ Goma, le Point a rencontré Corneille Nangaa, le chef de l'Alliance Fleuve Congo, coalition formée autour du M23. « Il incarne le nouveau pouvoir », explique le magazine. Et lui aussi accuse : « Il avait acquis des titres miniers sur le gisement d'or de Zani-Kodo, en Ituri. Des proches du président Tshisekedi l'en auraient spolié après 2021 », explique le Point, qui décrit ainsi la situation depuis la fin des combats : « Goma reprend vie. Le port sur le lac Kivu retrouve son agitation vespérale (…) mais les combats de la fin janvier ont laissé des traces. Les violences ont fait entre 3 000 et 8 000 morts, selon les estimations. »Et la sérénité n'est pas vraiment à l'ordre du jour. Certains habitants se plaignent d'être « rackettés par des membres de l'armée gouvernementale en civil ». « La guerre n'est pas terminée », regrette l'un de ces habitants.
Hii leo jaridani tunaangazia Siku ya kimataifa ya wakunga na kazi zao muhumi, na mafunzo ya jerahani kwa wakimbizi wa ndani nchini DRC. Makala tunasalia hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa na mashinani tunakwenda Gaza.Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya wakunga, tunakwenda nchini Tanzania kummulika mkunga ambaye alinusuru maisha ya wajawazito wawili wakati wa mafuriko makubwa ya Novemba 2023 wilayani Hanang, mkoani Manyara, kaskazini mwa taifa hilo la Afrika Mashariki, ikiwa ni ushuhuda wa majukumu mazito yanayokumba wakunga.Wanawake 125 katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Kigonze, karibu na Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambako ghasia huripokiwa mara kwa mara, sasa wana matumaini mapya ya kujikwamua kiuchumi baada ya kujiunga na mradi wa mafunzo ya kushona nguo unaofadhiliwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini humo (MONUSCO).Makala Assumpta Massoi anamulika uzinduzi wa mtandao wa Mashirika ya Manusura wa Ugaidi duniani, VoTAN uliofanyika wiki iliyopita hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa.Na mashinani kupitia video iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM), fursa ni yake Rawhiyeh, mkimbizi kutoka Gaza eneo la Palestina linalokaliwa na Israel ambaye anasimulia kwa uchungu madhila yanayowakumba yeye na familia yake baada ya kupoteza makazi yao kutokana na mashambulizi ya mabomu.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Wanawake 125 katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Kigonze, karibu na Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambako ghasia huripokiwa mara kwa mara, sasa wana matumaini mapya ya kujikwamua kiuchumi baada ya kujiunga na mradi wa mafunzo ya kushona nguo unaofadhiliwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini humo (MONUSCO). Sharon Jebichii na taarifa kamili.
Hatimaye kilio cha manusura wa ugaidi duniani cha kuwa na Mtandao wa Mashirika yao ili kuweza kupaza zaidi sauti zao kwa ajili ya sio tu kusaidiwa bali pia kuepusha matukio kama hayo, kimepata jawabu baada ya Mtandao huo au VoTAN kuzinduliwa kwenye Umoja wa Mataifa. Kwa msaada wa kifedha kutoka Hispania, Iraq na nchi nyingine wanachama, mtandao huu ulio chini ya Programu ya kusaidia manusura wa ugaidi kwenye Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kukabilana na Ugaidi, UNOCT, unatarajiwa kuziba mapengo ya msaada na kuinua ushuhuda wa manusuta kutoka maeneo yaliyopuuzwa duniani. Assumpta Massoi amefuatilia uzinduzi huo na kuandaa makala hii.
Huko Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, walinda amani kutoka Bangladesh na Indonesia, wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wamepatiwa medali kwa mchango wao wa ulinzi wa raia, moja ya jukumu kubwa la ujumbe huo. Assumpta Masso amefuatilia hafla hiyo na kuandaa ripoti hii.
Hii leo jaridani tunaangazia ugonjwa wa mpox, na walinda amabini wa Umoja wa Mataifa nchini DR Congo. Makala inamuulika siku siku ya kimataifa ya muziki wa Jazz namashinani tunasalia hapa makao maku kusikia ujumbe wa mwakilishi wa shirika la watu wa jamii za Asili.Maambukizi ya ugonjwa wa mpox kutokana na aina ya virusi vya monkeypox clade Ib /ˈmʌŋ.ki.pɑks kleɪd one bee/ (MPXV) yanaendelea kuripotiwa hasa barani Afrika, ambapo mataifa kumi na moja yameripoti maambukizi ya ndani ya jamii katika kipindi cha wiki sita zilizopita. Hiyo kwa mujibu wa ripoti 51 ya Shrika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni, WHO kuhusu hali ya mlipuko wa mpox katika nchi mbalimbali duniani.Huko Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, walinda amani kutoka Bangladesh na Indonesia, wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wamepatiwa medali kwa mchango wao wa ulinzi wa raia, moja ya jukumu kubwa la ujumbe huo..Makala ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya muziki wa Jazz Flora Nducha anamulika umuhimu wa jazz maadhimisho ya mwaka ambapo maudhui yanachagiza "Amani, umoja, ubunifu na uhuru miongoni mwa tamaduni."Na katika mashinani leo fursa ni yake mshiriki jukwaa la watu wa asili hapa Makao makuu Helena Steenkamp Mwakilishi wa Shirika la Watu wa jamii za Asili Kusini mwa Jangwa la Kalahari Afrika Kusini anazungumzia alichokipata hadi sasa kwenye jukwaa hilo.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
WHO Global SpokespersonEducate, Innovate, Protect Margaret Harris is an Australian-born public health doctor specialising in emergency risk communication during pandemics, outbreaks and other health emergencies. Dr Harris has spent much of her time working in risk communication for the World Health Organization and UNICEF, mostly in Asia, Africa and Europe, including during the West African Ebola outbreak in 2014-2016, the Korean MERS outbreak, the global Zika virus outbreak, the COVID-19 Pandemic. During 2017 she worked with a group of expert emergency risk communicators to search for evidence supporting principles of effective risk communications and wrote the first evidence-based guidance on emergency risk communication, published in January 2018. During 2019-early 2020, Dr Harris worked in the Democratic Republic of Congo, managing communications for the Ebola response in North Kivu and Ituri, spending much of that time in active conflict zones. When the COVID-19 pandemic emerged, Dr Harris was recalled to Geneva to act as WHO global spokesperson, her current role.
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Encouragé par le prix Nobel de la Paix Denis Mukwege, Thierry Michel décide de reprendre sa caméra pour documenter les deux guerres du Congo dont il a déjà croisé de nombreuses victimes. Dans son dernier film « L'Empire du silence », il relaie le plaidoyer du Docteur Mukwege et donne la parole aux témoins des massacres en RDC. Des preuves par l'image, suite au rapport Mapping, publié par les Nations unies en 2010, où sont répertoriés 617 cas graves de crimes contre l'humanité et de crimes de guerre entre 1993 et 2003.Sources sonores :- Discours du prix Nobel de la Paix Denis Mukwege, Oslo, 10 décembre 2018- Entretien avec Thierry Michel et extraits de son film « L'Empire du silence ». Découvrez le site.Émission initialement diffusée en 2023. À lire :- Le rapport mapping des Nations unies- Congo. Une histoire de David Van Reybrouck aux éditions Actes Sud. Les dossiers d'Amnesty International :- RDC : la justice et les libertés en état de siège au Nord Kivu et en Ituri.- Lien vers les pages consacrées à la RDC sur le site d'Amnesty.
Katika kitongoji cha Komanda jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, doria za pamoja zinazoendeshwa na walinda amani wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO na jeshi la serikali FARDC zimeimarisha usalama kwenye maeneo ya raia. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.
Hii leo jaridani tunaangazia machafuko na hali ya wakimbizi wa ndani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC. Makala inaturejesha hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa na mashinani inatupeleka nchini Jamhuri ya Africa ya Kati (CAR), kulikoni?Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR, lina wasiwasi mkubwa kuhusu janga la kibinadamu linalozidi kuwa baya tena kwa kasi kubwa huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kwani kushindwa kufikia wahitaji kumekwamisha ufikishaji misaada ya haraka inahoyitajika..Katika kitongoji cha Komanda jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, doria za pamoja zinazoendeshwa na walinda amani wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO na jeshi la serikali FARDC zimeimarisha usalama kwenye maeneo ya raia.Makala leo inaturejesha hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa kwenye mkutano wa 63 wa Baraza la Kiuchumi na Kijamii ECOSOC kuhusu maendeleo ya jamii. Flora Nducha amepata fursa ya kuzungumza na mmoja wa washiriki wa mkutano huo kutoka Kenya.Na mashinani fursa ni yake Albertine Yantijba ,manusurawa ukatili wa kijinsia kutoka Sango CAR , ambaye anatueleza jinsi Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya watu na Afya ya Uzazi (UNFPA) limeletamabadiliko baada ya kuanzishwa kwa maeneo salama ya wasichana kujieleza na kuhudumiwa”Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Baada ya waasi wa M23 jimboni Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kupatia wakimbizi waliokuwa wamesaka hifadhi kambini mjini Goma, wawe wamerejea makwao ndani ya saa 72 kuanzia juzi jumatatu, mamia wameanza kutii amri hiyo.Miongoni mwao ni Kibira Bakulu, baba wa watoto 5, aliyekimbia mapigano eneo la Saké, mwezi Februari mwaka jana, takriban kilomita 10 kutoka Goma.Akiwa katika harakati za kubomoa kibanda chake katika kambi ya nane ya CEPAC Mugunga huko Goma, Bwana Bakulu anasema walishangaa, bila kuwa tayari, kuambiwa warudi walikotoka."Tumepatiwa saa 72 tuwe tumeondoka na kurejea Saké, kwani vita vimeisha. Sisi hatua uhakika kamili kwa sababu tuliondoka Saké kutokana na vita. Kama inabidi kusukumwa tuondoke, hatuna la kuchagua,” amesema Bwana Bakulu.Ana hofu ya kurejea Saké, akisema, “kule tulikuwa tunaishi Sake na tukirejea tutaishi vipi? Tunaomba viongozi wajitahidi watusaidie ili watuhakikishia usalama.Alipoeleza hali halisi amesema, “ hii siku ya leo hapa unaniona, watu wamepita hapa wakifanya vurugu, wananyang'anya kila kitu ulichonacho, iwe simu wanabeba. Sasa tunashindwa kufahamu amani iko katika kiwango gani?”Kwa mujibu wa Bwana Bakulu, walishaamua kuwa hawataweza kurudi na kama ni kufa basi watafia Goma, lakini sasa wamelazimishwa kurejea Saké.
Hii leo jaridani tunaangazia machafuko nchini Jamhuri ya Kidemocrasia ya Congo DRC, na ujumbe wa Katibu Mkuu wa UN kuhusu Siku ya Kimataifa ya Udugu wa Kibinadamu. Makala inatupeleka nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR na mashinani tunarejea DRC, kulikoni?Ikiwa ni wiki moja sasa tangu waasi wa M23 watangaze kutwaa Goma, jimboni Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, na kisha serikali kutangaza Beni kuwa mji mkuu wa sasa wa jimbo hilo, hii leo Jumatatu Februari 3, maandamano makubwa ya amani yamefanyika mjini Beni, yakiongozwa na mashirika ya kiraia na wananchi.Ikiwa kesho Februari 4 ni Siku ya Kimataifa ya Udugu wa Kibinadamu, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres,kupitia ujumbe mahususi kwa ajili ya siku hii ametoa wito wa kuimarisha umoja, usawa, na kuheshimiana katika kipindi hiki cha ongezeko la ubaguzi na kutovumiliana duniani.Makala inatupeleka Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, kwenye kambi ya wakimbizi ya Korsi inayohifadhi zaidi ya wakimbizi 18,000 kutoka Sudan wengi wakiwa ni wanawake na watoto na shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu na afya ya uzazi UNFPA linawasaidia.Na katika mashinani Lodja Salizre, Mkimbizi wa ndani katika kambi ya Loda jimboni Ituri kaskazini magharibi mwa Jamhuri ya Kidemocrasia ya Congo DRC akileleza ni kwa jinsi gani vita inayoendelea vimeameathiri yeye na familia yake na jinsi ambavyo uwepo wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo inavyosaidia maisha ya kila siku ya wakazi wake.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Hii leo jaridani tunaangazia ripoti mpya kuhusu hali ya usalama na afya ya watoto kote duniani, na amnai na usalama nchini Syria. Makala inatupeleka nchini Uganda na mashinani nchini DRC, kulikoni?Ripoti mpya ya kila mwaka kuhusu mustakabali wa watoto ambayo imetolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, imeonya kwamba dunia inaingia katika zama mpya za majanga kwa watoto.Wasyria wana matarajio makubwa kwa nchi yao, na hamu kubwa ya watu kutoka katika kila nyanja ya jamii kuja pamoja na kuunda katiba mpya, ambayo lazima ianze na mazungumzo ya kitaifa yaliyo jumuishi. Hayo ni kwa mujibu wa Najat Rochdi, Naibu Mjumbe Maalum wa Umoja wa Mataifa kwa Syria, ambaye amekuwa Damascus kukutana na wajumbe kadhaa wa mamlaka ya mpito ili kuhakikisha Wasyria wote wana uwezo wa kushiriki katika mustakbali wa nchi hiyo.Makala inatupeleka nchini Uganda ambako shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) kwa muda sasa limekuwa likifanya jukumu muhimu katika kuwezesha usajili wa watoto.Na mashinani fursa ni yake Antoinette Nzale, mkimbizi wa ndani katika kijiji cha Fataki iliyoko Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo, DRC akishuhudia jinsi ambavyo juhudi za pamoja za Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO na wanajeshi wa serikali FARDC zinavyowawezesha wakimbizi wa ndani kuanza kurejea katika mazingira yao ya awali taratibu.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Syria, ambako viongozi wa ngazi mbalimbali za Umoja wa Mataifa wamendelea kusisitiza hitaji la kutanguliza ulinzi wa manusura na uhifadhi wa ushahidi wa uhalifu. Pia tunapata ufafanuzi wa neno na muhtasari wa habari.Karla Quintana kutoka Mexico ameteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres hii leo kuongoza Taasisi Huru ya kuchunguza watu waliotoweshwa nchini Syria, taasisi ambayo imeundwa na Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa mwezi Juni mwaka jana 2023. Guterres amewaambia waandishi wa habari hii leo kwamba yeye na timu yake lazima waruhusiwe kutekeleza kwa kina jukumu lao, na vile vile mifumo yote ya kimataifa ya kusongesha ulinzi wa haki za binadamu nchini Syria na uwajibikaji wa uhalifu uliotendwa lazima wawe na wanachohitaji ili kutekeleza majukumu yao muhimu.Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekuwa na kikao cha ngazi ya mawaziri kuhusu Akili Mnemba, au AI ambapo Katibu Mkuu António Guterres amesema pamoja faida kubwa ya teknolojia hiyo bado kuna changamoto iwapo haitasimamiwa vema na binadamu. Hivyo amependekeza kuundwa mwa mfumo wa kimataifa wa kuendeleza Akili Mnemba kwa uwiano na usawa, ukijikita kusaidia nchi zinazoendelea kuzuia kuibuka kwa pengo la teknolojia hiyo kati ya walio nayo na wasio nayo.Na huko Bunia, jimboni Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemorkrasia ya Congo, DRC vijana 24 wakiwemo wanawake 6 wamenufaika na mafunzo ya siku tano ya mbinu za kisasa za kilimo kutoka walinda amani wa Bangladeshi wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO. Lengo ni kuwezesha kilimo kuwa chanzo cha kipato kwa wakazi na kuimarisha uchumi wa eneo hilo.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya neno “AKRABA.” Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hii leo wameelezwa jinsi ushindani wa uchimbaji kupita kiasi na biashara ya maliasili huko Mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC unavyozidi kuchochea mapigano kwenye eneo hilo, madini kama vile dhahabu na Koltani. Hayo yamo kwenye ripoti ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa iliyowasilishwa mbele ya Baraza la Usalama na Mwakilishi wake Maalum nchini DR Congo, Bintou Keita, ikianzia tarehe 20 Juni hadi 19 mwezi huu wa Septemba.Bi. Keita amesema “jimboni Ituri, mapigano yaliyoshamiri hivi karibuni yamechochewa na vikundi vilivyojihami vikijaribu kudhibiti machimbo ya madini. Kwa kuwa faida imeongezeka kwa kupanua machimbo ya dhahabu, vikundi vilivyojihami vimegeuka kuwa wajasiriamali wa madini. Vikundi ya kijamii na jeshi la serikali lisilo na uwezo kifedha wakihaha kudhibiti makundi ambayo yameimarika kijeshi na kifedha.”Mwakikilishi huyo ambaye pia ni Mkuu wa Ujumbe waUmoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini DRC, MMONUSCO, amesema jimboni Kivu Kaskazini, M23 inazidi kuimarisha udhibiti wake wa maeneo ya Masisi na Rutshuru jimboni Kivu Kaskazini, na hivyo wameweza kudhibiti kabisa uzalishaji wa madini ya Koltani.Ameongeza kuwa “biashara kutoka eneo la Rubaya linalokadiriwa kuchangia zaidi ya asilimia 15 ya uzalishaji wa madini ya Tantalum, imepatia M23 dola 300,000 kila mwezi. Hii inatia hofu na lazima ikomeshwe,.”Wajumbe pia walipata ripoti kutoka kwa Thérèse Nzale-Kove, mwanaharakati wa haki za wanawake kutoka Mfuko kwa Ajili ya Wanawake wa DRC au FFC.Bi. Nzale-Kove amesema kuondoka kwa MONUSCO jambo ambalo limesharidhiwa lazima kuzingatie changamoto za mifumo ya ulinzi wa haki za binadamu na ukosefu wa haki za kijamii na madhara yake.Ametaka kuzingatiwa kwa tathmini za kile walichojifunza baada ya MONUSCO kuondoka majimbo ya Tanganyika na Kivu Kusini.Kwa sasa MONUSCO imesalia jimbo la Kivu Kaskazini na inatakiwa iwe imeondoka kabisa DRC ifikapo mwisho wa mwaka huu.
The United Nations Children's Fund (UNICEF) says it is facing a fresh wave of Internally Displaced Persons, or IDPs, in the Democratic Republic of Congo, complicating efforts to provide aid and mitigate the spread of the mpox disease. Grant Leity, a Country Representative who just returned from Goma and Ituri provinces, told VOA's Chinedu Offor that it is s a race against time.
Hii leo jaridani mwenyeji wako ni Cecily Kariuki akikupatia yaliyojiri kutoka huko Paris, Ufaransa. Anamulika usalama wa walinda amani wa Umoja wa Mataifa huko DRC; Mradi wa WFP Tanzania kwa vijana wakulima; makala ni ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa UN Sudan na mashinani ni afya Tanzania.Afya ya mlinda amani wa Umoja wa Mataifa aliyejeruhiwa katika shambulizi lilitekelezwa na kundi la waasi, CODECO juzi Agosti 28 huko Bali, kaskazini mashariki mwa Djugu jimboni Ituri, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inaendelea vizuri, amesema msemaji wa Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Taarifa ya Anold Kayanda inaeleza zaidi.Mradi wa Vijana Kilimo Biashara (VKB), unaotekelezwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani (WFP) nchini Tanzania, unawapatia vijana wakulima wadogo ujuzi na rasilimali zinazohitajika, ili kuboresha uzalishaji wa chakula na kujenga uchumi endelevu wakati huu ambao madhara ya El niño [EL NINYO] yanayosabisha ukame na mafuriko yamekuwa dhahiri. Bosco Cosmas na maelezo zaidi.Makala, Evarist Mapesa anatupeleka Sudan kusikia ziara ya ujumbe mzito wa Umoja wa Mataifa nchini humo ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina J. Mohammed. Mashinani, tunakwenda nchini Tanzania ambako nampisha Daktari bingwa wa ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi, akihimiza wananchi wa taifa hilo la Afrika Mashariki kusaka huduma dhidi ya ugonjwa huo.
Afya ya mlinda amani wa Umoja wa Mataifa aliyejeruhiwa katika shambulizi lilitekelezwa na kundi la waasi, CODECO juzi Agosti 28 huko Bali, kaskazini mashariki mwa Djugu jimboni Ituri, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inaendelea vizuri. Anold Kayanda na maelezo zaidi. Stéphane Dujarric, Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amewaeleza waandishi wa habari jana Agosti 29 katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani kuhusu tukio hilo la kushambuliwa kwa walinda amani wa Umoja wa Mataifa wakiwa katika shughuli zao za kuwahakikishia usalama raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.“Walinda amani walizuia shambulio hilo, na kuwalazimisha wanamgambo kuondoka. Hata hivyo, tunasikitika kuripoti kwamba mlinda amani mmoja alijeruhiwa.” Anaeleza Dujarric lakini akiwaondolea wasiwasi waandishi waliokuwa wakimsikiliza kwamba mlinda amani huyo aliyejeruhiwa sasa yuko katika hali nzuri.Licha ya kushambuliwa, walinda amani wanaohudumu nchini DRC katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO wameendelea na shughuli za ulinzi si tu kaskazini mashariki mwa Djugu, bali pia kusini mashariki mwa eneo hilo jimboni Ituri ambako CODECO wameweka kambi katika maeneo mawili. Msemaji wa Katibu Mkuu anaeleza kwamba walinda amani walifanikiwa kusaidia raia wa kawaida kuweza kutoka eneo moja kwenda jingine.Mashambulizi haya yanatokea ikiwa imesalia miezi michache kufika Desemba 31 mwaka huu ambayo ni tarehe iliyoridhiwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwamba uwe mwisho wa MONUSCO kutokana na ombi la serikali ya DRC lilioomba MONUSCO iondoke katika nchi hiyo iliyogubikwa na vita kwa miaka mingi.
En République démocratique du Congo, les autorités se lancent dans une démarche très ambitieuse : identifier toutes les victimes du « Genocost », c'est-à-dire des crimes de guerre et des crimes contre l'humanité commis dans le pays depuis 30 ans, et offrir des réparations aux survivants. Par une loi de décembre 2022 a donc été créé le Fonarev, le Fonds national de réparation de toutes ces victimes. Kevin Ngunga Makiedi en est le directeur général. De passage à Paris, il explique à Christophe Boisbouvier comment et en combien de temps le Fonarev espère pouvoir identifier environ 10 millions de personnes. RFI : Kevin Ngunga Makiedi, vous estimez à 10 millions de personnes le nombre de Congolaises et de Congolais victimes de crimes de guerre et de crimes contre l'humanité depuis 1993. Dix millions, c'est évidemment un nombre considérable. Comment allez-vous réussir à identifier toutes les victimes qui ont droit à réparation ? Kevin Ngunga Makiedi : Il y a une méthode qui a été mise en place. Déjà, le législateur a donné au Fonarev, en tant qu'instrument technique, la mission de constituer une base de données fiables, notamment une liste unique consolidée, parce qu'il y a plusieurs listes des victimes. Et ces listes-là doivent être, à un moment donné, croisées et former une liste unique consolidée. Et donc, il est vrai qu'il y a eu le rapport Mapping qui a documenté de 1993 jusqu'en 2003…C'est un rapport de l'ONU établi en 2010, qui a listé 617 incidents…Tout à fait : 617 incidents. Mais de 2003 jusqu'à aujourd'hui, il n'y a pas eu de rapports qui soient sortis. Donc, le travail du Fonarev, c'est d'avoir un rapport d'incidents sur lesquels nous avons commencé à travailler. Jusque-là, on a été capable de lister à peu près 2039 incidents.Dont les 617 du rapport Mapping…Tout à fait, dont les 617 du rapport Mapping. Donc, ce qui fait que partant de ce travail-là, on a au moins une cartographie des conflits et ça nous permet, lorsque nous faisons notre travail d'identification, de fiabiliser également nos sources. Il ne suffit pas seulement de dire il y a 10 millions de victimes, mais il faut déjà indiquer : Où étaient-elles ? À quel moment ? Comment vivaient-elles ? Et quels sont les préjudices qu'elles avaient subis ? Donc notre mission, ce sera identifier. Est-ce que ça sera forcément les 10 millions de victimes ? Peut-être que ce sera moins, peut-être que ce sera plus. Mais c'est un travail de longue haleine. Nous envisageons de le faire d'ici à peu près trois ans.Alors ces victimes congolaises, elles ne sont pas simplement dans l'est du Congo, c'est ça qu'il faut dire.Oui, exactement. Parce que les conflits sont partout. Sur 145 territoires de la République démocratique du Congo, il y a au moins 99 territoires qui ont été concernés par les conflits et depuis 1993 jusqu'à aujourd'hui. Il est vrai qu'il y a une intensification des conflits due à cet appétit vorace de nos voisins pour contrôler les ressources naturelles de la République démocratique du Congo, ce qui fait que la partie Est, est le plus souvent touchée. Et on sait bien évidemment pourquoi et par qui.Alors la mort de ces millions de personnes depuis bientôt trois décennies, c'est ce que les autorités et la société civile congolaises appellent le « Genocost » : « Geno » pour génocide et « cost » pour coût, c'est-à-dire pour l'exploitation des richesses du Congo. Est-ce que cette démarche mémorielle, ne vise pas aussi à pointer les responsabilités des voisins du Congo, l'Ouganda et le Rwanda ? Alors donc, il y a forcément des auteurs et effectivement vous les avez si bien cités, et le rapport Mapping et bien d'autres rapports des Nations unies et d'autres États aussi les citent pendant toute cette période-là.Mais, n'y a-t-il pas aussi beaucoup de gens qui ont été tués lors des violences intercommunautaires en Ituri, au Kasaï-Central, au Mai-Ndombe et au Kongo-Central, des violences où a priori les voisins du Congo n'ont pas grande responsabilité, non ? Oui, mais le piège dans cette question, c'est très souvent que nos voisins l'utilisent en disant que « ce qui se passe en RDC ne nous concerne pas, c'est un problème des Congolais ». Mais est-ce pour autant occulter la responsabilité des pays étrangers, parce qu'en interne nous avons des problèmes ? Je ne pense pas. Donc, les agresseurs, il faut les condamner, il faut vertement les condamner. Qui sont les tireurs de ficelles de ces conflits communautaires ? Vous verrez que ce sont ces nations étrangères très souvent, qui sont derrière, qui tirent les ficelles.Alors d'après la loi de décembre 2022, votre fonds Fonarev va être financé notamment par la redevance minière : 11 % des recettes de l'exploitation minière du Congo. Est-ce que vous avez commencé à percevoir cette redevance minière ? Tout à fait. On a activé en tout cas ces sources de financement qui nous permettent de fonctionner et de mener des actions que nous menons aujourd'hui.Depuis combien de temps percevez-vous cette redevance ? En tout cas, depuis le 2 août 2023, que le Fonarev est opérationnel et je pense que c'est autour de novembre 2023. Bon, c'est un procédé assez technique et complexe qu'on ne va pas aborder forcément ici.Et est-ce qu'il y a déjà des victimes qui ont commencé à percevoir une indemnité ? Alors, on ne dira pas ça, parce que notre démarche, ça prend en compte les réparations individuelles, mais aussi les réparations collectives. Donc les réparations collectives, ça suppose justement la construction ou la réhabilitation des infrastructures sociales de base qui ont été détruites lors des conflits. Et il y a des réparations symboliques également. Nous avons débuté notamment avec ce qu'on a appelé des mesures provisoires urgentes, notamment dans les camps de déplacés de Kanyaruchinya, c'est ce qu'on a fait. Mais l'objectif principal, c'est d'abord de commencer l'identification. Donc, c'est ça l'objectif.
Hey, Hi, Hello, this is the History Wizard and welcome back for Day 18 of Have a Day w/ The History Wizard. Thank you to everyone who tuned in for Day 17 2 weeks ago, and especially thank you to everyone who rated and/or reviewed the podcast. I hope you all learned something last week and I hope the same for this week as well. This week we're going to be diving back into learning about historic genocides as we learn about the Congolese genocide committed by King Leopold II of Belgium. We've talked about the Congolese Genocide previously on Day 11, Free Congo. But for today's episode we're going to go into much greater detail about this particular genocide and not just discuss it within the context of a current conflict. Now, before we get to The Alchemist's Table I wanted to apologize that there wasn't a new episode last week. Sometimes you just don't have the energy, the motivation, the spoons or the spell slots. So, I took a week off. It might happen again. And now on to the booze! Today's libation is called Cherries Jubilee. It's 2 oz of Islay scotch. I'd recommend a Bowmore if you're not a huge fan of the peat. Then 1 oz of creme de cacao. 1 oz of frangelico. Add .75 oz of cherry syrup. Shake and pour overice. Top with ginger beer or a hard cider. Garnish with luxardo cherries and enjoy. Now, with that out of the way let's get into the Congolese Rubber Genocide. In order to understand this genocide we first need to understand European colonialism during this time. Colonialism has taken many forms over the years and in the end of the 19th and beginning of the 20th century it transitioned from the classic form of American colonialism into what we would consider New Colonialism. New Colonialism would rely less on direct military control of an area and would rely more on having governmental institutions in power that would directly benefit those pre existing colonial power structures. So, near the end of the 19th century there was very little European colonial and mercantile presence in Africa. There were some port towns, to be sure, and there was trade, but very little of the African continent was under the control of European powers at this time. But, European greed for gold and, especially, ivory wouldn't allow them to ignore African riches for much longer. The Berlin Conference was organized between November 1884 and February 1885 at the request of King Leopold II of Belgium and was organized by Otto von Bismarck of Germany. The primary purpose of the Berlin Conference was regulating European colonization and trade during the New Imperialism period. It might seem strange to need to differentiate New Imperialism from the forms of empire building that came before. Afterall, the methodology was largely the same. Conquest. And the reasoning was, mostly the same. Resources and land acquisition. But New Imperialism also came with a good deal of “civilizing” flavor. You might be familiar with the poem White Man's Burden by Rudyard Kipling. If you're not. You can fully understand the entire mindset of 19th and 20th century colonialism simply by reading that poem. Now, Leopold had been using the explorations of Henry Morgan Stanley, and his own organization, the International African Association to quietly try and create his own private colony in central Africa that would be called the Congo Free State, but France found out and started making moves, and then Britain and Portugal found out and began trying to grab land which led Germany to do the same. War was brewing quickly as these various European powerhouses all sought as much land, wealth, and power as they could grab. This, ultimately, would be why the Berlin Conference was called and why it was so successful. These European powers decided, instead of going to war and killing each other over Africa they'd just all meet and carve it up like a pecan pie and settle it all peaceful like. There were 14 nations/empires in attendance at the Berlin Conference, Germany, Austria Hungary, the International Congo Society (this really means King Leopold II of Belgium), Spain, Denmark, the United States, France, the United Kingdom, Italy, the Netherlands, Portugal, Russia, Sweden-Norway, and the Ottoman Empire. And while all 14 of those countries were in attendance at the Berlin Conference and had a say in the final decisions that were made, only 7 countries were actually going to colonize Africa once it was over. Those countries were Belgium (really just King Leopold II, this would be his own private colony), Germany, Spain, France, Great Britain, Portugal, and Italy. At the time of the Berlin Conference, in 1885, less than 10% of the African continent was under European control, but by the time World War 1 broke out only Liberia and Ethiopia were still independent. Although, Liberia certainly only existed because of US colonial power, and so doesn't REALLY count as independent. Wanna know one of the most buckwild things about the Berlin Conference? I ask knowing that there is no way for you to answer or to stop me from telling you short of skipping forward by about 30 seconds. Part of the General Act, the document that was signed and ratified at the conclusion of the Berlin Conference was a commitment from the European powers involved to END AFRICAN AND ISLAMIC SLAVERY. Most of those European powers would go on to enslave the populations they conquered and colonized. This period of New Imperialism is what we tend to call The Scramble for Africa. So far we've been talking about this all in fairly clinical terms, as if these European countries simply sat around a table and calmly decided who would get what land in the second largest continent on the planet and then it just happened, with no additional muss or fuss. Anyone who has studied even the barest amount of human history knows that nothing happens without muss or fuss. There were wars, and battles, and massacres that led to Europe gaining control of African territory. We now need to talk a bit about the Congo Free State, and how King Leopold of Belgium, a frail weakling (compared to the other European powers) managed to worm his way into the conference and into one of the most lucrative colonies in Africa. The Congo Free State was a truly massive colony that was owned personally by Leopold. It was NOT, at least between the years 1885 and 1908, part of the Belgian Empire, it was not owned by the Belgian government and was ruled entirely separately, it just happened to be ruled by the King of Belgium. Leopold was able to gain this massive colony by convincing the monarchs of Europe that he was engaged in humanitarian and philanthropic work, and that the Congo Free State would be an area of free trade in Africa. He also then proceeded to lie to the leaders of Britain, Germany, France, and the US telling them all that he would give them special trade status. Leopold maintained a guise that he was not trying to use the Congo Basin to increase his own wealth and economic and political power. He maintained that his presence in the region was, as was a huge part of the ethos of New Imperialism, to civilize the savages of the Congo Basin and to bring them closer to God and good European cultural supremacy. Leopold pledged to suppress the east African slave trade; promote humanitarian policies; guarantee free trade within the colony; impose no import duties for twenty years; and encourage philanthropic and scientific enterprises. Beginning in the mid-1880s, Leopold first decreed that the state asserted rights of proprietorship over all vacant lands throughout the Congo territory. In three successive decrees, Leopold promised the rights of the Congolese in their land to native villages and farms, essentially making nearly all of the CFS terres domaniales (state-owned land). Leopold further decreed that merchants should limit their commercial operations in rubber trade with the natives. Additionally, the colonial administration liberated thousands of slaves. Four main problems presented themselves over the next few years. Leopold II ran up huge debts to finance his colonial endeavour and risked losing his colony to Belgium. Much of the Free State was unmapped jungle, which offered little fiscal and commercial return. Cecil Rhodes, Prime Minister of the Cape Colony (part of modern South Africa), was expanding his British South Africa Company's charter lands from the south and threatened to occupy Katanga (southern Congo) by exploiting the "Principle of Effectivity" loophole in the Berlin Treaty. In this he was supported by Harry Johnston, the British Commissioner for Central Africa, who was London's representative in the region. The Congolese interior was ruled by Arab Zanzibari slavers and sultans, powerful kings and warlords who had to be coerced or defeated by use of force. For example, the slaving gangs of Zanzibar trader Tippu Tip had a strong presence in the eastern part of the territory in the modern-day Maniema, Tanganyika and Ituri regions. They were linked to the Swahili coast via Uganda and Tanzania and had established independent slave states. So very quickly Leopold began to renege on his promises. The first concession he made to his greed and desire for power was to establish a policy of terres vacantes. Vacant land, which was defined as any land that did not have a house or cultivated garden plot. This was, of course, most of the country. Any terres vacantes was now automatically property of the state to be portioned out to Leopold's cronies and supporters. Next Leopold would decree that any locals harvesting rubber or ivory were only allowed to sell to the state. This was doubly enforced because most of the rubber or ivory harvesting was happening on “state owned land” and so it “mae sense” that they could only sell to the state, which now had a monopoly on those products and could set the prices at whatever they wanted. Trading companies were, obviously, pissed by this as part of the General Act of the Berlin Conference was a promise of Free Trade in Belgium. Now, what made The Congo so special in the history of capitalist exploitation was that it was home to something that would become one of the most important natural resources in the entire world, rubber. There are only two sources of natural rubber in the world. The sap of the Hevea brasiliensis, or rubber tree that grows in the Amazon River Basin, and the sap of Landolphia owariensis, a species of woody vines that grow in the Congo. I mean, technically there are 2500 species of plants that produce natural latex and rubber, but those two are the big ones. Today 99% of natural latex and rubber comes from the Amazon, but Leopold was able to make massive profit off of his colony. By the final decade of the 19th century, John Boyd Dunlop's 1887 invention of inflatable, rubber bicycle tubes and the growing usage of the automobile dramatically increased global demand for rubber. Now, as mentioned previously the rubber in the Congo came from vines. So while the trees in the Amazon basin could be tapped much in the same way we get Maple syrup, the Congolese workers would slash the vines and lather their bodies with the rubber latex. When the latex hardened, it would be scraped off the skin in a quite painful manner, ripping off the workers hair. The economic system in the Congo Free State was known as the red rubber system. It was a slave economy that Leopold enforced through the use of his armed forces known as the Force Publique. The officer corp of the Force Publique was made up entirely of White Europeans, and much of their rank and file was made up of slaves captured by Arabic slavers in the Upper Congo. Many of the other soldiers were children who had been kidnapped from their villages and raised in Roman Catholic missions in conditions very similar to slavery. Each slave in the Congo Free State was required to harvest a regular quota of rubber sap. What that quota was was often arbitrarily decided based purely on profit based concerns. Workers who refused to supply their labour were coerced with "constraint and repression". Dissenters were beaten or whipped with the chicotte, a bullship made of hippo hide, hostages were taken to ensure prompt collection and punitive expeditions were sent to destroy villages which refused. The policy led to a collapse of Congolese economic and cultural life, as well as farming in some areas. One refugee from these horrors described the process: We were always in the forest to find the rubber vines, to go without food, and our women had to give up cultivating the fields and gardens. Then we starved ... When we failed and our rubber was short, the soldiers came to our towns and killed us. Many were shot, some had their ears cut off; others were tied up with ropes round their necks and taken away. Failure to meet the rubber collection quotas was punishable by death. Meanwhile, the Force Publique were required to provide the hand of their victims as proof when they had shot and killed someone, as it was believed that they would otherwise use the munitions (imported from Europe at considerable cost) for hunting or to stockpile them for mutiny. As a consequence, the rubber quotas were in part paid off in cut-off hands. A Catholic priest quotes a man, Tswambe, speaking of the hated state official Léon Fiévez, who ran a district along the river 300 mi north of Stanley Pool: “All blacks saw this man as the devil of the Equator ... From all the bodies killed in the field, you had to cut off the hands. He wanted to see the number of hands cut off by each soldier, who had to bring them in baskets ... A village which refused to provide rubber would be completely swept clean. As a young man, I saw [Fiévez's] soldier Molili, then guarding the village of Boyeka, take a net, put ten arrested natives in it, attach big stones to the net, and make it tumble into the river ... Rubber causes these torments; that's why we no longer want to hear its name spoken. Soldiers made young men kill or rape their own mothers and sisters.” One junior officer in the Force Publique had this to say about the quota system: The baskets of severed hands, set down at the feet of the European post commanders, became the symbol of the Congo Free State. ... The collection of hands became an end in itself. Force Publique soldiers brought them to the stations in place of rubber; they even went out to harvest them instead of rubber ... They became a sort of currency. They came to be used to make up for shortfalls in rubber quotas, to replace ... the people who were demanded for the forced labour gangs; and the Force Publique soldiers were paid their bonuses on the basis of how many hands they collected. Within the Congo Free State there was also rampant famine and disease that killed hundreds of thousands of people, a type of residential school where children were sent to learn to be either workers or soldiers. About 50% of the children who entered these schools died. There were also several reputable reports of Congolese people turning to cannibalism in the face of their lack of food resources. With everyone being forced to harvest rubber there was no one to farm or gather or hunt for food. It is generally accepted that over the course of Leopold's rule in the Congo Free State, between 1885 and 1908 that at least 10 million Congolese people were killed. The peak year for the cost of rubber was 1903, with rubber fetching the highest price and concessionary companies raking in the highest profits. However, the boom sparked efforts to find lower-cost producers. Congolese concessionary companies started facing competition from rubber cultivation in Southeast Asia and Latin America. As plantations were begun in other tropical regions around the world, the global price of rubber started to dip. Competition heightened the drive to exploit forced labour in the Congo in order to lower production costs. Meanwhile, the cost of enforcement was eating away at profit margins, along with the toll taken by the increasingly unsustainable harvesting methods. As competition from other areas of rubber cultivation mounted, Leopold's private rule was left increasingly vulnerable to international scrutiny. Missionaries carefully and meticulously documented the many abuses of the Congolese Red Rubber system. This would finally be noted by the international community and by the Belgian government itself as a violation of the 1885 Berlin Act which gave Leopold authority and control of the Congo as long as he: "care[d] for the improvements of their conditions of their moral and material well-being" and "help[ed] in suppressing slavery." After 2 years of international pressure the Belgian government agreed to annex the Congo Free State and make it an official part of the Belgian Empire. The reason the debate lasted 2 years was that no one wanted to take on the responsibility of fixing everything Leopold had fucked up so royally (pun intended). But what happened to Leopold you ask? Did he go to jail? Did he get a slap on the wrist? Was he deposed as king and sent into exile on a small island in the Pacific where he eventually died of stomach cancer? Nah, he did die though, but he died as King of Belgium. He had surgery on December 17, 1909. He had a coronary bridging performed, aiming at correcting insufficient irrigation of the myocardium. ''A few hours after the operation, a failure of the myocardium occurred leading to death the same day''. Leopold had ruled Belgium for 44 years, which makes him, to this day, the longest reigning Belgian monarch. You also might be please to know that his funeral procession was booed by every crowd he passed. His people fucking hated him. Exciting news y'all! We actually DO have some reviews this week! So let's read em! And now for the outro! Have a Day! w/ The History Wizard is brought to you by me, The History Wizard. If you want to see/hear more of me you can find me on Tiktok @thehistorywizard or on Instagram @the_history_wizard. Please remember to rate, review, and subscribe to Have a Day! On your pod catcher of choice. The more you do, the more people will be able to listen and learn along with you. Thank you for sticking around until the end and, as always, Have a Day.
L'est de la RDC est depuis une trentaine d'années en proie aux groupes armées et aux conflits. Avec la résurgence du groupe M23, soutenu par le Rwanda, au Nord-Kivu et la présence de groupes terroristes ou de milices communautaires en Ituri, le pays enregistre un nombre sans précédent de déplacés : plus de 7 millions de Congolais ont dû fuir leurs habitations, leurs villes ou leurs villages. Ils s'entassent dans des camps où l'aide humanitaire ne suffit plus à répondre à tous leurs besoins. Pour évoquer cette situation, Florian Monnerie, le directeur pays de l'ONG Action contre la faim en République démocratique du Congo est notre invité. Il répond aux questions de Paulina Zidi. À lire aussiRDC: l'ONU appelle à mobiliser 2,6 milliards de dollars pour financer un plan de réponse humanitaire
L'Ituri est une province enclavée et isolée dans l'est de la République démocratique du Congo. Sa frontière avec l'Ouganda voisin lui permet depuis toujours de s'approvisionner, notamment en produits manufacturés. Mais depuis quelques années, la région congolaise, pourtant réputée pour son agriculture, importe aussi des produits maraîchers. La faute aux violences intercommunautaires qui empêchent les cultivateurs d'aller aux champs. De notre correspondante en RDC,Aux ports de Tchomia et Kasenyi, les pirogues sont déchargées directement dans des camions sur les berges du lac Albert. Direction Bunia, la capitale de l'Ituri, à une cinquantaine de kilomètres de là. Les marchandises rejoindront ensuite différentes localités aux quatre coins de la province.« Nous transportons du ciment, de l'huile végétale, des sacs de riz et différents biens de consommation », explique un capitaine de pirogue.Au total, une vingtaine de bateaux se relaient, trois ou quatre font la traversée entre les deux pays chaque jour. « Ça arrive de l'Ouganda, direct ici, au port de Tchomia, explique Olivier, qui se définit comme agent collaborateur de la douane. L'inverse, les marchandises de RDC vers l'Ouganda, ça n'existe pas. »« La RDC est une terre agricole, mais avec l'insécurité, il n'y a pas moyen de faire de l'agriculture »Voilà trois ans qu'Olivier, autrefois enseignant, travaille ici. Beaucoup d'hommes gravitent dans ces deux ports, à la recherche d'un emploi journalier. Nombreux sont des déplacés du conflit qui sévit en Ituri depuis 2017. Un conflit violent où des communautés se disputent sites miniers et terres agricoles, sur fond de rivalités ethniques et de racisme. Un conflit qui profite aux exportations agricoles de l'Ouganda.« Il y a déjà deux pirogues, une troisième arrive, elle va nous amener les moyens de vivre, des pommes de terre », détaille Jacob Bimbona, président des transporteurs du Lac Albert. La RDC est une terre agricole, mais avec l'insécurité, il n'y a pas moyen de faire de l'agriculture. Avant, ce n'était pas comme ça. Tous ces produits ne provenaient pas de l'Ouganda. »De l'or de RDC en OugandaUn seul produit congolais est exporté de la RDC vers l'Ouganda : l'or. Mais ce trafic invisible est illégal. Selon l'étude d'une ONG anti-corruption, environ 95 % de l'or exporté depuis l'Ouganda est illicite.À lire aussiRDC: la pêche en difficulté sur la rive congolaise du lac Albert
La province de l'Ituri dans l'est de la RDC est connue pour ses richesses aurifères. Des ressources convoitées par les groupes armés locaux et exploitées quasi exclusivement par des chercheurs d'or artisanaux. À Nizi, à une trentaine de kilomètres de Bunia est basée la Sokimo, l'entreprise publique congolaise de l'or. Début 2023, la société avait annoncé la relance de ses activités, à l'arrêt depuis une dizaine d'années, faute de moyens financiers. Mais la reprise de la production se fait attendre. De notre envoyée spéciale à Nizi,À droite de l'école construite par la Sokimo, l'entreprise publique congolaise aurifère de l'Ituri, des orpailleurs creusent au bord de la rivière. Sur la concession de la société, l'exploitation artisanale est tolérée. Celui que l'on surnomme « pasteur » tend une pépite grisâtre qu'il ira vendre dans le village voisin. « Son prix est variable en fonction de ce que les acheteurs voudront bien me donner. Tout ne sera pas pour moi, nous travaillons en groupe, il faudra que je partage avec mes coéquipiers et il faudra aussi payer les dépenses. »En moyenne, les chercheurs d'or gagnent moins de 10 000 francs congolais par jour, soit moins de 3 euros. Ici tout se fait à la pioche. Puis le minerai est lavé au mercure, un métal liquide qui permet à l'or de s'agglomérer. L'exploitation polluante a perturbé l'écosystème de la zone et provoqué des inondations, comme l'explique Francine Ouechi, une activiste de la société civile. « Il n'y avait pas de rivière ici, elle était de l'autre côté. Ces bâtiments inondés appartenaient à la Sokimo, c'est là qu'elle avait son activité. »L'insécurité perturbe la production La Sokimo, à l'arrêt depuis une dizaine d'années, avait annoncé la reprise de ses activités début 2023. L'usine de traitement des rejets des minerais a bien rouvert, selon les syndicalistes, mais le reste des objectifs tardent à se concrétiser.Au-delà des difficultés financières, l'insécurité perturbe l'entreprise et plus largement le secteur, explique Christophe Mukwa, le président de la Fédération des entreprises de l'Ituri : « Les activités aurifères fonctionnent au ralenti et pas comme ça le devrait. Pour normaliser la filière, nous allons demander au gouvernement de faire un effort pour éradiquer ce phénomène des groupes armés. Et les activités reviendront comme c'était avant. »Pour l'heure, l'objectif de la fonte de l'or pour obtenir des lingots n'est pas encore rempli. Tout comme le projet de l'exploitation du gisement du Mont Baluma qui n'a pas commencé. Aucune date n'a été annoncée, les dirigeants de la Sokimo n'ont pas donné suite à nos demandes d'entretien.À lire aussiRDC: à Bunia, certains quartiers restent épargnés par le conflit communautaire en Ituri [1/2]
Dans l'est de la RDC, l'Ituri est toujours en proie à des violences. Le conflit entre Hema et Lendu a repris en 2017 après une quinzaine d'années de paix relative. Les antagonismes sont anciens et les deux ethnies s'étaient déjà entretuées pendant la seconde guerre du Congo. Alors que l'Ituri semble submergé par le conflit, à Bunia, le chef-lieu de la province, certains quartiers mixtes résistent aux tensions communautaires. De notre envoyée spéciale à Bunia,Autour de la table de billard, une petite dizaine de jeunes hommes entament une partie. Hema, Lendu, Alur ou encore Bira, toutes les communautés se retrouvent à Bankoko, un quartier de Bunia, la capitale de l'Ituri. Jérémy, la vingtaine, y habite depuis toujours. À ses côtés, Gloire Abasi, le président provincial du Parlement des jeunes et résidents de Bankoko : « J'aime aussi le billard, parce que le billard permet à tout le monde de se rassembler, pour qu'il y ait le vivre ensemble, ici en Ituri. »Car le conflit communautaire entre Hema et Lendu - qui s'affrontent par milices interposées depuis 2017 dans le reste de la province - déteint dans certaines zones de la ville de Bunia. Celle-ci est peuplée par une population traumatisée par ces violences qui durent depuis des décennies. « Il y a par exemple certains quartiers de Bunia où les Lendu ne peuvent pas habiter à cause de conflits qui ont eu lieu de 1998 à 2003 », explique Gloire Abasi.Historiquement, le quartier Bankoko (« les anciens » ou « les ancêtres » en lingala, l'une des langues locales) devait recevoir les militaires retraités. Il est aujourd'hui l'un des quartiers résidentiels des hauts fonctionnaires de la région. Ses quelques rues commerçantes sont traversées par des chars de l'armée congolaise et des casques bleus de l'ONU en raison de la proximité de leur caserne.Ce quartier est réputé calme et sécurisé... sauf lorsque les tensions surgissent dans les territoires limitrophes. François Kasereka est le coordinateur provincial des jeunes intercommunautaire de l'Ituri : « Chacun s'occupe de ses affaires. Il y a surtout des tensions entre jeunes qui n'essaient pas de comprendre la situation générale qui génère ce conflit. »Le 26 avril dernier, les principaux groupes armés ont signé un nouvel accord de paix. Depuis, les violences ont diminué, mais n'ont pas pour autant disparu, notamment dans les sites miniers.À lire aussiRDC: en Ituri, les signataires d'un accord de paix sceptiques malgré une baisse des violences intercommunautaires
Les parlementaires d'Afrique du Sud doivent désigner ce matin le président du pays au Cap. Un vote précédé cette nuit d'un accord de dernière minute annoncé par l'African National Congress... objectif : former le « GNU », le gouvernement de coalition autour de l'ANC. Lors d'un point presse, le secrétaire général de l'ANC, Fikile Mbalula s'explique sur les raisons des négociations tardives.« Union nationale » : la presse sud-africaine diviséePour The Star, le gouvernement de coalition est une « lueur d'espoir » : le quotidien de Johannesbourg voit le GNU comme « un test grandeur nature de coopération, un exemple de comment différentes entités peuvent mettre de côté leurs différences pour le bien commun et pour améliorer la vie des Sud-Africains ».Le Mail and Guardian appelle lui au « règne de la maturité » : pour le journal de gauche, le GNU apporte un semblant d'équilibre dans un moment incertain de l'histoire de l'Afrique du Sud. Le vœu du M&G, « c'est que ceux qui ont négocié de bonne foi se retrouvent dans le nouveau leadership sudafricain », et que « ceux qui s'entêtent à refuser le dialogue soient mis à l'écart ».Business Day rappelle ainsi que MK le parti dissident de l'ex président Jacob Zuma rejette l'accord d'union nationale, tout comme les EFF du dirigeant populiste Julius Malema. Le média économique partage les prédictions d'analystes pour qui « le GNU ne va pas s'avérer très stable - en raison notamment de possibles désaccords sur la gestion des finances du pays et notamment le poids de la fonction publique ». Un GNU jugé « improbable » car il regroupe « trois vieux partis, l'ANC, l'Alliance démocratique et le Parti Inkatha de la liberté qui ne se sont jamais appréciés ».RDC : le gouvernement de Judith Suminwa confronté aux rebelles ADF et M23« Deux grosses épines dans le pied de la Première ministre » d'après La Tempête des Tropiques... le journal de Kinshasa déplore l'aggravation de la situation sécuritaire et la crise humanitaire dans la province du Nord-Kivu ces dernières semaines.Pour le quotidien, les autorités sont « obligées de changer de stratégie » pour y restaurer la paix mais aussi au Sud-Kivu et en Ituri.Actualité.CD sert ainsi de mégaphone à la colère de La Voix des Sans Voix... L'association de défense des droits humains dénonce « la persistance des tueries dans l'Est du pays » malgré la présence des troupes de la SADC [d'Afrique australe] et de la Monusco... Pour la VSV, « la population continue d'être massacrée et de vivre dans des conditions infrahumaines » et ce « trois ans après l'instauration de l'État de siège ».Les derniers massacres commis par les rebelles ADF inquiètent particulièrement. Politico RDC parle de la dernière attaque des rebelles ougandais : plus de 40 morts dans le territoire de Lubero au Nord-Kivu, « alors qu'aucune pression militaire n'est exercée » selon le média en ligne.Le conflit Teke-Yaka, autre source de préoccupation en RDCLe député national Garry Sakata accorde une interview à Actualité CD pour parler de la guerre entre les deux communautés en cours depuis 2022. À l'origine un conflit foncier dans le Mai Ndombe, qui s'étend désormais dans cinq provinces de l'ouest congolais, jusqu'aux limites de Kinshasa. Les affrontements ont provoqué des centaines de morts et le déplacement de dizaines de milliers de villageois dans la région.Pour l'élu du territoire de Bagata, il ne faut pas « de dialogue dans les salles climatisées » de Kinshasa « entre des chefs de villages qui n'ont suivi la situation que par voie de presse […] les papiers signés n'ont pas permis de paix durable, et sur le terrain on ne ressent absolument rien » affirme Garry Sakata, qui demande à la justice militaire « de se déployer avec l'aide de l'État » dans ce conflit afin de poursuivre les auteurs de « crimes contre l'humanité » (au sens du Code pénal militaire congolais).La Cédéao « responsable de l'escalade entre le Bénin et le Niger »AllAfrica, le site d'information panafricain décrète dans un édito « la faillite » de l'organisation de l'Afrique de l'Ouest « en matière de règlements des conflits ». « Une médiation extérieure au continent » est « L'alternative qui semble hélas se dessiner » entre Cotonou et Niamey. « Il faut éviter que les conflits de basse intensité se muent en belligérance au regard des vulnérabilités des pays du continent. Il faut écarter la belligérance économique où l'on essaie de s'étouffer mutuellement. Ce serait catastrophique pour la sécurité des états dans cette zone » juge AllAfrica qui espèrent que « la raison et les vertus du dialogue finiront par s'imposer ».
*) Israel insists on attacking Gaza to ‘impose displacement' Palestinian President Mahmoud Abbas said Israel insists on continuing its attacks on Gaza to “impose displacement,” especially on the city of Rafah. In a meeting of the Palestinian government held in Ramallah in the occupied West Bank, Abbas said the Israeli government and its army are continuing their attacks on various cities in Gaza, especially Rafah, with the aim of forcibly displacing citizens. He added that the situation in Rafah has become “extremely dangerous and difficult.” *) Israel to restrict Palestinian access to Al Aqsa Mosque in Ramadan Israel approved restricting the entry of Palestinians living in Israel and Jerusalem to the Al Aqsa Mosque during the Islamic holy month of Ramadan, beginning in the second week of next month, local media claimed. Prime Minister Benjamin Netanyahu gave his approval to the recommendations of far-right Minister of National Security Itamar Ben-Gvir. Netanyahu gave the approval despite the country's security agency warning that restrictions on Palestinians' access to the Al Aqsa Mosque during Ramadan could add fuel to the fire. *) US strikes Houthi-controlled areas of Yemen: Military US forces in the Red Sea conducted “five self-defence strikes” to foil attacks by land and sea from Houthi-controlled areas of Yemen, US Central Command said. It said it struck three mobile anti-ship cruise missiles, one unmanned underwater vessel and one unmanned surface vessel. Central Command said it had determined the missiles and vessels presented an imminent threat to US Navy ships and merchant ships in the area. *) Militia kills 15 in eastern DRC: local sources Militia fighters killed 15 people in eastern Democratic Republic of Congo's troubled Ituri province, local sources said. This was the second such attack in less than a week. The sources said the CODECO (Cooperative for the Development of the Congo) militia, which claims to defend the interests of the Lendu group, again targeted victims from the rival Hema tribe. And finally… *) Türkiye celebrates anniversary of joining NATO alliance The Turkish National Defence Ministry commemorated Türkiye's 72nd anniversary of joining NATO. The commemoration underscored the nation's steadfast commitment to its obligations and responsibilities within the alliance. A ministry posted on X said that “as the second-largest military force within the Alliance, Türkiye proudly occupies a pivotal position at its core.”
En Ituri, dans le nord-est de la RDC, les populations subissent les violences de conflits communautaires ainsi que les exactions des ADF, une milice venue d'Ouganda. D'après les Nations unies, plus de 200 civils ont été tués ces six dernières semaines en Ituri, où les infrastructures de santé manquent. À Bunia, depuis juin, l'hôpital de Salama a ouvert un pôle chirurgical grâce à Médecin sans frontières.
Pour L'atelier des médias, Raphaël Krafft a tendu son micro aux photojournalistes congolaises Esther N'sapu et Ley Uwera, ainsi qu'à Maria Malagardis, journaliste Afrique au quotidien français Libération, commissaire d'une exposition racontant la vie sur fond de conflit en Ituri, au Nord-Kivu et au Sud-Kivu, trois régions de l'est de la République démocratique du Congo (RDC). 30 ans de guerre dans l'est de la République démocratique du Congo, l'envers du paradis, c'est le titre d'une exposition de photographies qui était proposée au prix Bayeux Calvados-Normandie des correspondants de guerre, dans le nord-ouest de la France. Les cinq photographes exposés étaient tous africains. Parmi eux, Esther N'sapu et Ley Uwera, toutes deux Congolaises basées entre Bukavu et Goma, au bord du lac Kivu. Au micro de Raphaël Krafft pour L'atelier des médias de RFI, elles racontent comment, à travers leurs images, elles montrent les réalités du quotidien dans l'est de la République démocratique du Congo.Maria Malagardis, journaliste Afrique au quotidien français Libération et commissaire de l'exposition présentée à Bayeux, a eu la lourde tâche de coordonner la sélection de photographes et de photos pour raconter trois décennies de crise d'une zone dans laquelle elle se rend en reportage depuis 1994. Mondoblog audio fait entendre Didier Makal, journaliste et mondoblogueur à Lubumbashi, dans le sud de la RDC. Il parle des fake news, des rumeurs, des théories complotistes qui pullulent dans les groupes WhatsApp et sur les réseaux sociaux dans son pays.
This is the web version of Foreign Exchanges, but did you know you can get it delivered right to your inbox? Sign up today:Friends, for family reasons and also because of my own mental exhaustion I will be taking a longer than usual break from the newsletter for this year's Thanksgiving holiday. The newsletter will be going quiet following Thursday's roundup and will return to our regular schedule on Tuesday, November 28. As I've written before here I can always tell when it's time for me to take a bit of a break from the newsletter and the truth is we probably passed that point around three or four weeks ago so I'm running on fumes. Thanks for reading and for supporting this venture!TODAY IN HISTORYNovember 14, 1965: The Battle of Ia Drang, the first major engagement between the United States and the North Vietnamese Army, begins. It ended on November 18 with both sides claiming victory, though the NVA's ability to fight the much better armed US Army to a draw was a boost to their morale and probably the battle's most important effect.November 14, 2001: Fighters with the Northern Alliance rebel coalition enter and occupy the city of Kabul, marking the end of the US war in Afghanista—just kidding. I had you going there for a second, didn't I?INTERNATIONALWith deaths due to “extreme heat” projected to increase five-fold by 2050, according to The Lancet Countdown, you'll no doubt be pleasantly surprised to learn that an AP investigative report shows that the “green transition plans” being formulated by most major fossil fuel companies are not green, not transitional, and not even really plans. Without any serious government pressure to force them to invest in genuinely renewable technologies, these firms are able to do things like, say, classify natural gas development as a “green” investment. That's absurd, of course, but who's counting?The main problem with these plans has long been, and continues to be, the fact that fossil fuel companies exempt the products they sell when assessing their progress toward “net zero” carbon emissions. Firms only account for “Scope 1” emissions, which are their direct carbon outputs, and “Scope 2” emissions, the indirect output that results from their production process. The emissions that ensue when people burn the products they sell are considered “Scope 3” and energy firms disavow any responsibility for them. Like tobacco companies, they argue that what the customer does with their products is the customer's business, not theirs. Maybe people just want to buy a barrel of oil and place it in their foyer as a conversation piece or put it to some other use that doesn't emit carbon. Who's to say?MIDDLE EASTISRAEL-PALESTINEEarly Wednesday morning Israeli forces began what they called “a precise and targeted operation against Hamas in a specified area in the Shifa hospital” involving “medical teams and Arabic speakers, who have undergone specified training to prepare for this complex and sensitive environment, with the intent that no harm is caused to the civilians.” There are hundreds of patients and thousands of other people who have been trapped in the hospital by the IDF and the chances that “no harm” will come to any of them in the next several hours are probably slim. Israeli officials have been insisting that Hamas's lair is located underneath the hospital but at this point it's too soon to know if that's the target or if this is a more limited operation. This is a developing story so there's not much more I can say about it at this time.What I can say is that the Biden administration gave a green light to this operation earlier in the day, when White House spokesperson John Kirby told reporters that the administration has “independent intelligence” (which is code for “we didn't get this from the IDF”) that “Hamas and the Palestinian Islamic Jihad use some hospitals in the Gaza Strip — including Al-Shifa — and tunnels underneath them to conceal and to support their military operations and to hold hostages.” According to Kirby this intelligence shows that the militant groups have a “command and control” center in Shifa and “have stored weapons there.” Kirby insisted that that the administration was not endorsing an Israeli attack on the hospital, but anybody with ears to hear or eyes to read what he said should have no doubt as to what the intent was.I wrote everything below prior to news of the Israeli assault breaking so some of it might no longer be relevant but I think most of it still is:Gazan health authorities said on Tuesday that some 40 patients at Shifa—three of them babies—have died since that facility ran out of generator fuel on Saturday. Without electricity the hospital cannot maintain its incubator units and so there are now 36 newborns who are at critical risk. With the IDF surrounding the hospital it's also become impossible to transfer the dead to a cemetery, so personnel are planning to bury some 120 bodies in a mass grave on site. Gazan officials have proposed evacuating the facility under the auspices of the Red Cross/Red Crescent and sending its remaining patients to Egypt but there had been no movement on that front at time of writing. The Israeli government has apparently offered to send the hospitals more incubators, a fascinating attempt at a humanitarian gesture that would be completely pointless because the problem isn't the incubators, it's the electricity.In other news:* David Ignatius at The Washington Post reported (I use that term loosely) on Monday that “Israel and Hamas are close to a hostage deal.” With the caveat that if David Ignatius told me the sky was blue I'd glance out the window to double check, the terms he reported are that Hamas would release (or facilitate the release) of the women and children that it and other Gazan militant groups took hostage during their October 7 rampage through southern Israel. This would be done in stages and be matched by the release of Palestinian women and children being held by Israeli authorities. It would also involve a ceasefire of unspecified duration but “perhaps five days” according to Ignatius. The ceasefire could allow some time to address humanitarian issues in Gaza though I don't know what that would entail and whatever it was would almost certainly be inadequate.* Israeli Foreign Minister Eli Cohen met with International Committee of the Red Cross President Mirjana Spoljaric Egger on Tuesday and later told reporters that the ICRC has had no access to the aforementioned hostages. It's highly unlikely that the Israelis would agree to anything involving hostages without at least proof of life, so this could be a big sticking point with respect to the potential prisoner deal outlined above. Families of the hostages, meanwhile, are marching from Tel Aviv to Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu's residence in Jerusalem to pressure him to take some action to secure the hostages' release.* Israeli occupation forces killed at least eight Palestinians in the West Bank on Tuesday, seven of them in Tulkarm. The IDF carried out a drone strike in that city, an occurrence that's still relatively rare in the West Bank though it's certainly become more common over the past year and in particular the past month.* Israeli Finance Minister Bezalel Smotrich issued a statement on Tuesday endorsing what he laughably termed the “voluntary emigration of Gaza Arabs to countries around the world.” I guess “leave or die” is a choice, right? A couple of Israeli politicians floated this idea on Monday in a Wall Street Journal editorial that was less a serious proposal than a written middle finger to Western critics of the Israeli military campaign. That piece didn't go into extensive detail about what a mass relocation would look like—again, it wasn't meant as a serious proposal—but Smotrich's intent is much easier to guess, and that's the permanent ethnic cleansing of Gaza and the relocation of its population as far away from Israel as possible. Smotrich, whose ministerial brief also includes running the Coordinator of Government Activities in the Territories office, isn't part of Netanyahu's “war cabinet” but that doesn't mean he's completely lacking in influence.* The US and UK governments on Tuesday announced new sanctions targeting Hamas and Palestinian Islamic Jihad members along with a Lebanese entity that allegedly facilitates money transfers from Iran to Gazan militant groups. This is the third round of sanctions the Biden administration has imposed since October 7. Also on Tuesday, over 400 employees of the Biden administration sent a joint letter to their boss, Joe Biden, expressing opposition to the administration's approach to the Gaza conflict.YEMENHouthi rebels say they fired another barrage of missiles toward Israel on Tuesday. There's no confirmation of this, though the IDF did say that its air defenses downed a single missile near Eilat that we can probably assume was of Houthi provenance. The leader of Yemen's Houthi movement, Abdulmalik al-Houthi, delivered a speech on Tuesday pledging that his rebel fighters would continue attacking Israel. In particular, Houthi suggested that they could target Israeli commercial vessels in the Red Sea, which would certainly be an easier target for them than Israel itself.IRAQA Turkish drone strike killed two people, both allegedly members of the Sinjar Resistance Units militia, in northern Iraq's Nineveh province on Monday evening. The Sinjar militia was formed in 2014 with assistance from the Kurdistan Workers' Party (PKK) and is still allied with that group, which makes its personnel potential targets for the Turkish military.Elsewhere, the Iraqi Federal Supreme Court removed two members of the Iraqi parliament on Tuesday, one of whom just happened to be speaker Mohammed al-Halbusi. It's not clear why, though another MP named Laith al-Dulaimi had reportedly sued Halbusi alleging that the speaker forged Dulaimi's name on a resignation letter. Dulaimi was, as it happens, the other MP who had his term ended by the court (I assume that's not a coincidence). The ruling created a potential political crisis for Iraqi Prime Minister Mohammed Shiaʿ al-Sudani. As speaker, Halbusi was Iraq's leading Sunni Arab politician, and his support was important to Sudani's government. Three members of his Progress Party quit their cabinet posts after the court ruling and it remains to be seen how that will impact Sudani's position.ASIAAFGHANISTANAfghan Commerce Minister Haji Nooruddin Azizi apparently visited Pakistan this week, where—according to the Afghan government—he pressed Pakistani Foreign Minister Jalil Abbas Jilani on the issue of all those Afghan migrants the Pakistani government is presently deporting. Specifically it sounds like Azizi raised the issue of allowing deportees to at least take some of their money and/or possessions to Afghanistan with them. Deportees are currently arriving with nothing and are being housed in what are effectively refugee camps—leaving aside the incongruity of being a “refugee” in one's home country—on the Afghan side of the border.MYANMARReports on Monday only hinted at some new fighting in western Myanmar's Chin state, but as more details are emerging the situation there sounds pretty serious. According to the Chin National Front, rebel fighters had by the end of the day seized two Myanmar military outposts and were working to seize control of the Myanmar-Indian border. According to Indian media the fighting has sent some 2000 people streaming across that border to escape. In neighboring Rakhine state, the rebel Arakan Army has also been seizing military outposts and authorities have imposed a curfew in the state capital, Sittwe, as a result. Rebel factions across Myanmar have launched new offensives in recent weeks, starting with the “1027” (for October 27) operations by the Myanmar National Democratic Alliance Army and the Ta'ang National Liberation Army in Shan state. Myanmar's ruling junta is clearly struggling to mount a response.CHINAJoe Biden told reporters on Tuesday that his main goal in meeting with Chinese President Xi Jinping in San Francisco this week is to restore “normal” communications between their governments. In particular this would involve a return to regular military-to-military contacts, something Beijing ended in the wake of former US House Speaker Nancy Pelosi's visit to Taiwan last year. Any prospect of resuming those contacts was complicated by the fact that former Chinese Defense Minister Li Shangfu was under US sanction. But as he's no longer defense minister that complication is no longer an issue.AFRICALIBERIALiberian voters turned out on Tuesday for the second round of that country's presidential election, pitting incumbent George Weah against Joseph Boakai. Both candidates finished with just under 44 percent of the vote in last month's first round. Such a close finish might augur poorly for the incumbent in a head to head matchup, though that's just one of many factors that could sway this vote in either direction. Polls have closed in that contest but I have yet to see anything by way of preliminary or partial results.MALIMali's ruling junta says its security forces have seized control over the northern town of Kidal after battling with rebels in that region for several days. The Malian military and mercenary auxiliaries marched on Kidal after United Nations peacekeepers vacated the region as part of their ongoing withdrawal from Mali. Kidal has been a rebel stronghold since the initial northern Mali uprising in 2012 and government control there has been nebulous at best since then. There's been no comment as far as I know from the rebels and it's unclear what their disposition is at this point.ETHIOPIAAccording to Addis Standard, Fano militia fighters attacked a predominantly Oromo community in Ethiopia's Amhara region last week, killing at least 25 people and displacing some 3000 into the Oromia region. The Fano militia is still battling the Ethiopian government but Amhara paramilitary groups have also made a pastime of preying on ethnic Oromo communities (likewise, Oromo militias have preyed on ethnic Amhara). In this case they apparently demanded grain from the community and attacked after residents refused to comply.On a more upbeat note, the US Agency for International Development is reportedly planning to resume food distribution across Ethiopia next month under a “one-year trial period.” The agency suspended its Ethiopian food program earlier this year amid allegations that the aid was being diverted. It resumed providing food aid to Ethiopian refugees last month and is now planning to spend the next year testing whether procedural changes adopted by aid groups and the Ethiopian government are enough to stop that alleged diversion. Solid data is hard to come by but it's possible that hundreds or thousands of Ethiopians have died because of the decision (which the UN World Food Program joined) to suspend food aid.DEMOCRATIC REPUBLIC OF THE CONGOThe death toll from Sunday's Allied Democratic Forces attack on a village in the eastern DRC's North Kivu province has risen to 33, according to provincial officials. ADF fighters are also believed to have been responsible for attacking a village in neighboring Ituri province on Tuesday, killing at least 11 people.EUROPERUSSIAVladimir Putin signed a new law on Tuesday that permits elections to be held even in parts of Russia that are under martial law. This apparently clears the way for the portions of Ukraine that Moscow claims to have annexed to participate in next year's presidential election. The effect will be to try to stitch those regions a little more tightly to Russia and complicate any possible return to Ukrainian authority.UKRAINEThe European Union promised back in March to supply the Ukrainian military with 1 million 155 mm artillery shells within 12 months. You'll never guess how that went. German Defense Minister Boris Pistorius told a meeting of EU defense ministers on Tuesday that the bloc isn't going to fulfill its commitment and even went so far as to criticize the fact that it was made in the first place. The will was apparently there, but EU member states still don't have the collective capacity to churn out that many shells that quickly. The effort has apparently sparked a boost in production capacity but not enough to meet the 12 month deadline.SWEDENSweden's NATO accession may be moving slightly forward, as the Turkish parliament's foreign affairs committee will take up the issue on Thursday. It's been about three weeks since Turkish President Recep Tayyip Erdoğan submitted Sweden's accession to parliament and it should be clear by now that the folks in Ankara are in no particular hurry to work their way through that process. There may be some impetus on the part of other NATO members to have the issue resolved in time for the alliance foreign ministers summit on November 28, but Erdoğan has proven himself to be fairly impervious to that sort of pressure in the past.AMERICASUNITED STATESFinally, TomDispatch's William Hartung wonders whether the “Arsenal of Democracy” really cares all that much about the “democracy” part:The list of major human rights abusers that receive U.S.-supplied weaponry is long and includes (but isn't faintly limited to) Saudi Arabia, the UAE, Bahrain, Egypt, Turkey, Nigeria, and the Philippines. Such sales can have devastating human consequences. They also support regimes that all too often destabilize their regions and risk embroiling the United States directly in conflicts.U.S.-supplied arms also far too regularly fall into the hands of Washington's adversaries. As an example consider the way the UAE transferred small arms and armored vehicles produced by American weapons makers to extremist militias in Yemen, with no apparent consequences, even though such acts clearly violated American arms export laws. Sometimes, recipients of such weaponry even end up fighting each other, as when Turkey used U.S.-supplied F-16s in 2019 to bomb U.S.-backed Syrian forces involved in the fight against Islamic State terrorists.Such examples underscore the need to scrutinize U.S. arms exports far more carefully. Instead, the arms industry has promoted an increasingly “streamlined” process of approval of such weapons sales, campaigning for numerous measures that would make it even easier to arm foreign regimes regardless of their human-rights records or support for the interests Washington theoretically promotes. These have included an “Export Control Reform Initiative” heavily promoted by the industry during the Obama and Trump administrations that ended up ensuring a further relaxation of scrutiny over firearms exports. It has, in fact, eased the way for sales that, in the future, could put U.S.-produced weaponry in the hands of tyrants, terrorists, and criminal organizations.Now, the industry is promoting efforts to get weapons out the door ever more quickly through “reforms” to the Foreign Military Sales program in which the Pentagon essentially serves as an arms broker between those weapons corporations and foreign governments.Thanks for reading! Foreign Exchanges is a reader-supported publication. To receive new posts and support my work, consider becoming a free or paid subscriber. This is a public episode. If you'd like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit www.foreignexchanges.news/subscribe
The conflict between warring factions in Sudan has left thousands dead and millions have been forced to flee. Half a year on since the outbreak of the fighting, the humanitarian situation is worse than ever, with many refugees in Chad on the brink of famine. Also in this edition: what the gradual lifting of the state of seige in North Kivu and Ituri province means for DR Congo. And finally: Kibera Fashion Week celebrates the talents of local designers.
On Daybreak: Zimbabwe's main opposition party demands a re-run of the August 23 presidential elections. Plus, An analyst will prescribe his solution to the election impasse. Zimbabweans in South Africa are outraged over President Ramaphosa's congratulatory message to Mnangagwa amid disputed elections Results. Liberia's opposition parties sign an MOU to safeguard October's presidential elections. Malawi's opposition wants the president to resign over economic challenges. Militiamen killed a dozen civilians in DRC's Ituri province. For this and more tune to Daybreak Africa!
Les journalistes et experts de RFI répondent également à vos questions sur la crise humanitaire au Soudan, sur l'assassinat de Fernando Villavicencio et sur le débat autour de l'avenir de l'état de siège en Ituri et au Nord-Kivu. Soudan : la crise humanitaire s'aggrave après 4 mois de guerre civilePlusieurs agences de l'ONU, dont l'UNICEF et l'OMS, ont alerté la communauté internationale sur la gravité de la crise humanitaire au Soudan. Quels sont les moyens employés par l'ONU pour aider la population soudanaise ? Quels sont les principaux défis que rencontrent les organisations humanitaires au Soudan ? Peut-on s'attendre à une implication plus importante de la communauté internationale dans l'aide humanitaire aux Soudanais ? Avec Houda Ibrahim, journaliste au service Afrique de RFI. Équateur : retour sur l'assassinat de Fernando Villavicencio En Équateur, Fernando Villavicencio, infatigable pourfendeur de la corruption et candidat à l'élection présidentielle du 20 août 2023, a été assassiné après un meeting politique. Qui sont les principaux suspects ? La sécurité des autres candidats est-elle toujours garantie ? Pourquoi la veuve de Fernando Villavicencio parle-t-elle de « crime d'État » ? Avec Emmanuelle Sinardet, professeure de Civilisation latino-américaine à l'Université Paris-Nanterre. RDC : début des débats sur l'avenir de l'état de siège en Ituri et au Nord-Kivu En RDC, le président Félix Tshisekedi préside une table ronde qui doit évaluer l'état de siège en Ituri et au Nord-Kivu. Quel est le bilan de l'état de siège décrété par le président congolais en mai 2021 ? À quelles recommandations peut-on s'attendre à l'issue de cette table ronde ? Félix Tshisekedi a appelé les groupes armés de l'est du pays à déposer les armes. Cet appel pourrait-il être entendu ? Avec Josaphat Musamba, chercheur au groupe d'Études sur les conflits et la sécurité humaine et doctorant de l'Université de Gand. Football : Neymar, nouvelle recrue star du championnat saoudien Neymar quitte le PSG pour le club saoudien Al-Hilal. Le joueur brésilien semblait parti pour rester à Paris au début du mercato. Comment expliquer ce transfert inattendu ? Que sait-on du contrat de Neymar avec Al-Hilal ? Une nouvelle star du football rejoint le championnat saoudien. Les compétitions européennes doivent-elles s'inquiéter de cette concurrence ? Avec Antoine Grognet, journaliste au service Sports de RFI.
Hii leo jaridani machafuko nchini DRC na mjadala kuhusu malaengo ya maendeleo endelevu unaoendelea hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa. Makala tunasalia hapa hapa makao makuu na mashinani tunakupeleka nchini Tanzania, kulikoni? Hali ya kusikitisha inajitokeza Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, ambapo ghasia zilizozuka upya kati ya makundi yasiyo ya kiserikali yenye silaha na vikosi vya serikali zimerejea katika majimbo ya Kivu Kaskazini, Kivu Kusini na Ituri zikiambatana na ukatili mkubwa dhidi ya wanawake na wasichana na kutawanya maelfu ya watu , limeonya leo shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR.Malengo ya maendeleo endelevu SDGs yanahimiza kuwa wakati wa utekelezaji wake hakuna mtu anapaswa kuachwa nyuma. Makala tunasalia hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa ambapo Jukwaa la ngazi ya juu la kisiasa kuhusu malengo ya maendeleo endelevu HLPF limeingia siku yake ya 5. Tunaendelea kuzungumza na washiriki wa Jukwaa hili na leo ni zamu ya Lawrence Oluwaseun Adeniyi ambaye ni afisa wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wachechemuzi wa Amani Ulimwenguni anayehusika na Malengo ya Maendeleo Endelevu.Na katika mashinani tuatelekea Arusha nchini Tanzania kusikia ujumbe wa mhudumu wa afya ambaye anatembea boma kwa boma mashinani kutoa huduma za chanjo.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Hali ya kusikitisha inajitokeza Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, ambapo ghasia zilizozuka upya kati ya makundi yasiyo ya kiserikali yenye silaha na vikosi vya serikali zimerejea katika majimbo ya Kivu Kaskazini, Kivu Kusini na Ituri zikiambatana na ukatili mkubwa dhidi ya wanawake na wasichana na kutawanya maelfu ya watu , limeonya leo shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR. Katika taarifa yalke iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis kamishina msaidizi wa masuala ya ulinzi wa UNHCR Gillian Triggs amesema kutokana na hali hiyo, watu milioni 2.8 wamekimbia makazi yao katika majimbo hayo tangu mwezi Machi 2022. Miongoni mwa orodha ya sheria za kibinadamu na ukiukaji wa haki za binadamu, unaoendelea ni raia kuuawa na kuteswa, huku kukamatwa kiholela, uporaji wa vituo vya afya, nyumba za raia, na uharibifu za shule pia vimeripotiwa.Triggd ameongeza kuwa “Pia tunasikitishwa sana na kuongezeka kwa ripoti za ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na wasichana waliolazimika kukimbia makwao, ikiwa ni pamoja na vitendo vya ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia.Cha kusikitisha, zaidi takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kwamba kati ya zaidi ya watu 10,000 waliopata huduma za unyanyasaji wa kijinsia (GBV) huko Kivu Kaskazini katika robo ya kwanza ya mwaka, asilimia 66 ya kesi hizi zilikuwa za ubakaji.”Ameendelea kusema kwamba visa vingi vya ukiukaji huu mbaya wa GBV vimeripotiwa kufanywa na watu wenye silaha. Hata hiuvyo amesema anaamini takwimu hizo ni sehemu ndogo tu ya kile kinachoendelea kwani nmanusura wengi wa GBV hawaripoti ukatili huo au kufuata msaada wa huduma kutokana na hofu ya unyanyapaa kwenye jamii lakini pia fursa ya kuwafikia waathirika bado ni finyu kutokana nna hali ya usalama na masuala ya kiufundi.Kwa mujibu wa afisa huyo wa UNHCR hali ngumu ya maisha imewasukuma wanawake na wasichana wengi kugeukia mbinu za hatari kama biashara ya ngono hasa Goma Kivu Kaskazini ili kujikimu kimaisha na familia zao hasa wakati huu ambapo changamoto ya kutokuwa na uhakika wa chakula inaongezeka.Lakini pia amesema wanawake na wasichana wengi wanabakwa wakati wakienda kusenya kuni na kuteka maji.Amehitimisha taarifa yake kwa kusema “Tunatoa wito kwa serikali na mamlaka za mitaa kuchukua hatua za haraka kukabiliana na janga hili la kutisha la GBV. Wale waliohusika na ukiukaji huu mbaya wa haki za binadamu na sheria za kibinadamu lazima wawajibishwe.”
Hii leo jaridani tunaangazia Jukwaa la ngazi ya juu la kisiasa kuhusu malengo ya maendeleo endelevu na walinda amani nchini DRC. Makala tuankupeleka nchini Kenya na mashinani nchini Chad, kulikoni? Jukwaa la ngazi ya juu la kisiasa kuhusu malengo ya maendeleo endelevu lijulikanalo kama HLPF limeanza leo kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa hapa New York Marekani chini ya mwamvuli wa baraza la kiuchumi na kijamii ECOSOC.Ili kudhibiti unyanyasaji wa kingono ambao wakati mwingine unafanywa na baadhi ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa, huko jimboni Ituri katika mji wa Bunia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo – MONUSCO wanatumia ubunifu wa sanaa za maigizo ya jukwaani kuelimisha umma. Katika Makala Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Umoja wa Mataifa la afya ya uzazi na idadi ya watu UNFPA nchini Kenya Anders Tomsen, ameeleza shirika hilo linatekeleza ipasavyo tamko la Umoja wa Mataifa la haki za binadamu ambalo mwaka huu linafikisha miaka 75 hususan ibara ya Tano ambayo inasema Haki ya mtu ya kwamba asitumbukizwe kwenye vitendo vya mateso, ukatili, au adhabu dhalili.Mashinani tutaelekea Chad ambapo Maelfu ya wananchi wa Chad wanarejea nyumbani wakikimbia mzozo unaoendelea nchini SudanMwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Ili kudhibiti unyanyasaji wa kingono ambao wakati mwingine unafanywa na baadhi ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa, huko jimboni Ituri katika mji wa Bunia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo – MONUSCO wanatumia ubunifu wa sanaa za maigizo ya jukwaani kuelimisha umma. Wanafunzi na wananchi wakiangalia, igizo linaendelea, mwanafunzi aliyefanyiwa unyanyasaji wa kingono hakukaa kimya amekuja katika mamlaka zinazohusika na kupokea malalamiko kueleza kilichotokea na anaambiwa amefika mahali salama na kwanza atapewa huduma ya kisaikolojia. Aliyekuwa anaongoza igizo hilo ni Debora Barugahara, yeye ni Ofisa wa MONUSCO anayehusika na tabia na nidhamu katika eneo la Bunia. Anasema “Tunafanya kuelimisha umma ili kuzuia unyanyasaji wa kingono. Tunawalenga wanafunzi wanaosoma na kuishi katika eneo la Bankoko hapa Bunia eneo ambalo ni mwenyeji wa kambi kubwa kabisa ya MONUSCO. Tumetumia maigizo ya jukwaani ili kukuza uelewa. Igizo fupi limeonesha askari wa MONUSCO na raia wakihusika katika unyanyasaji wa kiongo kwa wanafunzi. Kila mmoja alikuwa makini akifuatilia igizo lililoonesha matokeo mabaya ya unyanyasaji wa kingono. Tumehisi kwamba ujumbe umefika.” Marie Zaire Baguma ni Rais wa Mtandao wa Kijamii wa Malalamiko Bunia anasema, “Tunataka jamii kuchukua kwanza umiliki wa jambo hili. Inapokuwa hivyo tunakuwa na matumaini kutakuwa na matukio machache ya unyanyasaji wa kingono.”
This is TRT World's Daily News Brief for Friday, June 16. *) Greece criticised for watching refugee boat disaster in the Mediterranean Nine survivors of a refugee boat sinking in the Mediterranean have been arrested on suspicion of smuggling as hope faded for hundreds of other passengers still missing. Attention has now turned to Greece, who is accused of failing to act before the overcrowded ship capsized. The trawler may have carried as many as 750 passengers, including women and children. Greek authorities were criticised for not acting to rescue the refugees and migrants, even though a coast guard vessel escorted the trawler for hours and watched helplessly as it sank in minutes. Greek officials argued that the migrants and refugees repeatedly refused assistance and insisted on continuing to Italy. But legal experts said that was no excuse for Greek officials' non-interference. *) US holding talks with Iran to lower tensions — report The United States is holding talks with Iran to sketch out steps that could limit the Iranian nuclear programme, release some detained US citizens and unfreeze some Iranian assets abroad, according to Reuters, citing Iranian and Western officials. These steps would be cast as an “understanding” rather than an agreement requiring review by the US Congress, where many oppose negotiating with Iran. Having failed to revive a 2015 Iran nuclear deal, Washington hopes to restore some limits on Iran's nuclear programme. Tehran says it has no ambition to develop a nuclear weapon. The willingness to restart discussions illustrates the rising sense of urgency in Western capitals about Iran's programme. *)Trees uprooted, roofs blown off by cyclone in India's Gujarat Roofs were blown off houses and trees and electric poles uprooted in several parts of India's western state of Gujarat as a severe cyclone Biparjoy made landfall overnight bringing heavy rain. No casualties were reported as of Friday morning. More than 180,000 people were evacuated in India and Pakistan in the last few days as authorities braced for the cyclone. *) Attacks in 2023 displace ‘nearly 1 million' in the DRC Attacks on civilians by non-state armed groups have increased, displacing one million people in the Democratic Republic of Congo since early 2023. An estimated 6.1 million people are internally displaced, a 17 percent rise from October 2022, the International Organization for Migration said. As the conflict intensifies, the humanitarian situation continues to deteriorate, and millions are facing acute food insecurity as well as other critical needs, the UN agency added. The agency said at least 46 people, including children, were killed in an attack earlier this month by members of the CODECO militia at a refugee site in Ituri province. And finally… *) Nusrat Jahan Choudhury is first Muslim woman to serve as US federal judge The US Senate has confirmed along party lines Nusrat Jahan Choudhury as the first Muslim woman and the first Bangladeshi American to serve as a federal judge. Senators approved Choudhury's nomination in a 50-49 vote with one Democratic senator siding with all Republicans who voted in opposition. Choudhury will now be a US District Judge in New York. Choudhury previously served as a legal director at the A-C-L-U rights group. She graduated from Columbia University, Princeton University, and Yale Law School. And that's your daily news brief from TRT World. For more, head to trtworld.com
Hii leo ni Siku ya Kimataifa ya Uelewa Kuhusu Ualbino na kama ilivyo ada ya kila Jumanne tunakuletea mada kwa kina ambapo tutamsikia mwanamuziki Roben X akieleza kuhusu maisha yake ya Ualbino. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo za DRC, Myanmar na Ukraine. Mashinani tunasalia hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa tukikuletea ujumbe kuhusu ujumuishaji na uajiri wa watu wenye ualbino.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF limesema imeshtushwa na shambulio dhidi ya kambi ya wakimbizi wa ndani lililofanyika jana Jumatatu katika jimbo la Ituri, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC.Nchini Ukraine Umoja wa Mataifa unashirikisha serikali ya taifa hilo na ya Shirikisho la Urusi ili kuhakikisha upatikanaji wa fursa ya kuwafikia raia wote walioathiriwa na uharibifu mkubwa wa bwawa la Kakhovka.Na mwezi mmoja baada ya kimbunga Mocha kupiga Magharibi mwa Myanmar, mratibu mkazi na wa misaada ya kibinadamu wa umoja wa Mataifa Ramanathan Balakrishnan amesema leo kwamba baraza la uongozi wa jimbo la Rakhine limesitisha fursa ya kufikisha misada ya kibinadamu katika jimbo hilo na hivyo kuathiri usambazaji wa misaada ya kuokoa Maisha katika jamii zilizoathirika.Na katika mashinani leo nampisha Mtaalam Huru wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za watu wenye ualbino.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Au moins 46 civils ont été tués, et des dizaines d'autres blessés, dans l'attaque d'un camp des déplacés pendant la nuit du 11 au 12 juin en Ituri, province située dans le nord-est de la République démocratique du Congo. Cette tuerie est attribuée à la milice Codéco (Coopérative pour le développement du Congo). La Mission de l'ONU en RDC (Monusco) a condamné dans un communiqué une "attaque ignoble". Les précisions d'Aurélia Bazzara-Kibangula, correspondante de France 24 en RD Congo.
Mratibu wa masuala ya kibinadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC Bruno Lemarquis amezungumza na waandishi wa habari mjini Geneva, Uswisi hii leo na kusema vitendo vya ukatili wa kijinsia na kingono dhidi ya wanawake na wasichana kwenye makazi ya wakimbizi wa ndani nchini DRC vimeongezeka kwa asilimia 37 mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana, huku akitaka hatua za haraka zichukuliwe ili kurekebisha kinachoendelea.Katika mkutano wake huo uliomulika hali ya kibinadamu nchini DRC, Bwana Lemarquis ambaye pia ni Naibu Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini DRC amesema mwaka jana pekee kwenye makazi ya wakimbizi katika jimbo la Kivu Kaskazini, kulikuwa na matukio zaidi ya 38,000 ya ukatili wa kingono na kwamba katika miezi mitatu ya mwanzo wa mwaka huu pekee, kumekuweko na ongezeko kwa asilimia 37. Amesema “wanawake na watoto walio hatarini zaidi ambao wanasaka hifadhi kwenye makazi hayo, wanajikuta wakikabiliwa na ukatili na machungu zaidi na hili halivumiliki.” Hivyo amesema hatua zaidi zinahitajika kuchukuliwa na serikali pamoja na wadau ili kudhibiti hali hiyo. Lemarquis amesema ongezeko la wakimbizi wa ndani kwenye makazi linatokana pia na ombwe la ulinzi kwenye maeneo ya kaskazini mwa jimbo la Kivu Kaskazini, Ituri na Kivu Kusini kutokana na vikosi vya usalama kuhamishwa ili kwenda kukabiliana na waasi wa M23. Amesema baadhi ya makundi yaliyojihami kama vile ADF, Zaire na CODECO yametumia fursa hiyo kushamirisha mashambulizi yao dhidi ya raia hususan Ituri. Naibu Mwakilishi huyo wa Katibu Mkuu nchini DRC amegusia pia jimbo la Mai-Ndombe lililoko magharibi mwa DRC, ambako amesema ghasia zilizoibuka mwezi Juni mwaka jana zimeendelea na zinasambaa kwenye maeneo ya jirani na kwamba kwa kuwa DRC inaelekea kwenye uchaguzi ni vema kuchukua hatua kudhibiti ili ghasia hizo zisijekuwa chanzo cha janga lingine la kibinadamu nchini humo.
Justin Wren knows what it's like to feel like the world is against you. Like many kids, Justin was bullied as a teenager, but he had a dream that kept him going. Fueled by the anger he felt toward his tormentors, Justin pursued wrestling in high school where he became 10 time State Champion, 5 time All American, and 2 time National Champion. Justin trained hard and this propelled his dream of becoming a UFC fighter into reality. But the pain from his childhood didn't dissipate, and Justin fell into a spiral of depression and addiction that led him on a path toward destruction. After he was kicked out of his training community, his career was in shambles and he had nowhere else to go so Justin attended a men's retreat. It was there he found his faith and purpose for living.As Justin began piecing his life back together, he took several international trips. This led him to the Ituri rain forest in the Democratic Republic of the Congo where he came across the Mbuti Pygmies, a group of people persecuted by neighboring tribes and forced into slavery. On one of his trips he stayed for a year living among them and sharing the culture of what he calls "the most bullied people on earth." They gave him two names Efeosa which means "the man who loves us" and Mbuti MangBO "The Big Pygmy." His encounter with the pygmies left him wondering who was there to help them, and in that moment Justin stepped out of the cage and into a Fight For The Forgotten.In 2015, after a five year hiatus from professional sports, Justin returned to his winning ways in MMA fighting, but now he is fighting for someone besides himself. Since returning to fighting, Justin is undefeated in three fights. His current record is 15-2.Justin is not only giving a voice to the pygmies through land, food and water initiatives but, state-side, he is addressing the escalating problem of bulling through an anti-bullying character development curriculum titled "Heroes in Waiting." He says, "Everyone can be a hero. To be a hero all that's required is to see a need and do what's right." The program aims to inspire students to take action at a moment of choice through empathy, kindness, compassion, courage and integrity. https://fightfortheforgotten.org/____________________________________NEWEST MUSIC - "HEADWATERS" - LISTEN: Spotify / Apple / BandcampSOLSTICE LIVESTREAM - DEC 17th w/Peter Broderick! on http://JourneySpace.com Join our COMMUNITY - sign up at EastForest.orgPlease support the show by joining our East Forest COUNCIL on Patreon. Monthly Council, live-streams, demos, and more. JOURNEY SPACE - founded by East Forest. Online Journey Facilitation and Support. JourneySpace.com.EAST FOREST MUSIC: Spotify / AppleGuided Meditations on Spotify & AppleShop: http://eastforest.org★★★★★ Please rate Ten Laws with East Forest in iTunes & SpotifyConnect with the Forest -Mothership: http://eastforest.orgIG: https://www.instagram.com/eastforest/Facebook: http://facebook.com/eastforestmusic
It's Friday, February 17th, A.D. 2023. This is The Worldview in 5 Minutes heard at www.TheWorldview.com. I'm Adam McManus. By Adam McManus (Adam@TheWorldview.com) 22 civilians in Congo killed by rebel group On February 12th and 13th, 22 civilians were killed in two separate attacks in Africa's Democratic Republic of Congo. The attacks took place in the conflict-ridden province of Ituri, reports International Christian Concern. The perpetrators of the attacks, which occurred about twelve hours apart, are suspected to belong to a local rebel group called CODECO, which stands for “Cooperative for Development of the Congo,” which is one of the many militias operating in the east of the country. Congo is the 37th most dangerous country in the world for Christians. Pray that justice would be done. Proverbs 21:15 says, “When justice is done, it brings joy to the righteous, but terror to evildoers.” The story of one Turkish woman On February 12th, an elderly woman approached the Samaritan's Purse site near the location of the Turkish earthquake in need of something to eat as she is diabetic. One of their registered nurses, named Rhonda, who happens to speak Turkish, was able to give her a banana during a brief break from setting up the tents and equipment. More importantly, Rhonda provided a listening ear. The elderly woman shared that she is from another area in Turkey, but that her family lives here. After hearing the news of the devastating earthquakes, she traveled to the city to find her daughter and grandchildren. To her utter dismay, they had all died in the disaster. While speaking with the Samaritan's Purse staff, the woman shed tears and thanked the ministry for coming to Turkey. She offered hugs and kisses before leaving the site in search of somewhere to stay for the night. Her story is heartbreaking, but just one of so many in Turkey today. To help fund the 52-bed field hospital set up by Samaritan's Purse, click on a special link in our transcript today at www.TheWorldview.com. Daniel Ortega stripped 94 Nicaraguans of citizenship, deports to U.S. Nicaraguan dictator Daniel Ortega stripped 94 Nicaraguans of their citizenship, including some of the Central American country's most celebrated writers and journalists, reports The Guardian. The move was announced by a Nicaraguan judge on February 15th. Last week, 222 political prisoners, including some of Nicaragua's leading opposition activists, were deported from Nicaragua and flown to the U.S. – a move widely interpreted as a sign of Ortega's determination to remain in power after 16 years as president. Nicaragua's government called the deportees, who were also stripped of their citizenship, “traitors to the motherland.” Brian Nichols, the U.S. state department's assistant secretary for western hemisphere affairs, tweeted, “This deplorable act represents a step further away from the democracy the people of Nicaragua deserve.” And speaking to the Washington Post last week, Juan Pappier, with Human Rights Watch, said, “The country is on the verge of becoming the western hemisphere's equivalent of North Korea.” Senator John Fetterman suffering clinical depression Democrat Senator John Fetterman of Pennsylvania checked himself into Walter Reed Hospital to receive treatment for clinical depression on Wednesday night, reports Breitbart. Adam Jentleson, his chief of staff, said, “While John has experienced depression off and on throughout his life, it only became severe in recent weeks. On Monday, John was evaluated by Dr. Brian Monahan, the Attending Physician of the United States Congress. Yesterday, Dr. Monahan recommended inpatient care at Walter Reed. John agreed, and he is receiving treatment on a voluntary basis.” Fetterman suffered a stroke last year before he won the Pennsylvania Senate race in a highly competitive contest against Dr. Mehmet Oz. His office said this month that he was hospitalized after he felt lightheaded but that tests ruled out another stroke, reports NBC News. 4th abortion complication at University of New Mexico abortion mill On February 15th, Abortion Free New Mexico volunteers documented the fourth abortion complication of 2023 at the University of New Mexico Center for Reproductive Health abortion mill in Albuquerque. A woman was placed into an ambulance and taken to the emergency room during the lunch hour. This occurred just six days after the last abortion complication that was recorded by the No Sidewalk Without the Savior volunteers. The steady rate of abortion injuries at this location raises red flags about who is causing these injuries on unsuspecting women, most of whom are traveling there from out of state. It has been well documented by Abortion Free New Mexico that the University of New Mexico participates in the Ryan Residency Training program whose main emphasis is to “ensure the availability of abortion care in hospitals and make sure that all obstetrician-gynecologists are skilled to provide abortion." Tara Shaver of Abortion Free New Mexico invited Christian pro-lifers to “join us as we call upon the governing leadership at the University of New Mexico to shut down this dangerous late-term abortion facility." You can sign the petition through a special link in our transcript today at www.TheWorldview.com. Florida Christian college cancels singers over homosexuality And finally, on February 11th, Pensacola Christian College cancelled The King's Singers, a highly regarded British male a cappella ensemble which sings pop, classical, and sacred music, because one of their singers is an active homosexual, reports CNN. Jonathan Howard, one of the six members of The King's Singers, told The New York Times that two members of the group were homosexual. In a tweet, The King's Singers said, “It has become clear to us, from a flood of correspondence from students and members of the public, that these concerns related to the sexuality of members of our group.” In a responsive tweet, Pensacola Christian College, a private independent Baptist institution, said that it “cannot knowingly give an implied or direct endorsement of anything that violates the Holy Scripture, the foundation of our sincerely held beliefs. Pensacola Christian College cancelled a concert with The King's Singers upon learning that one of the artists openly maintained a lifestyle that contradicts Scripture. “The highly talented musicians were treated with dignity and respect when informed of the cancellation. The artists stated their understanding and acceptance of the change and were given full remuneration.” A section referring to sexuality in the school's articles of faith notes: “We believe that God has commanded that sexual activity be exclusively reserved to a man and a woman who are legally married to each other.” It goes on to say that scripture forbids “sexual immorality including adultery, fornication, homosexuality, bestiality, incest, and the use of pornography.” Because of its Biblical stand, Pensacola Christian College is being called homophobic and unchristian by homosexuals and their supporters, reports ThePinkNews. But Ephesians 5:11 says, “Have nothing to do with the fruitless deeds of darkness, but rather expose them.” Take a moment and thank the college's president, Dr. Troy Shoemaker. Send your email to PresidentsOffice@pcci.edu Close And that's The Worldview on this Friday, February 17th, in the year of our Lord 2023. Subscribe by iTunes or email to our unique Christian newscast at www.TheWorldview.com. Or get the Generations app through Google Play or The App Store. I'm Adam McManus (Adam@TheWorldview.com). Seize the day for Jesus Christ.
It's Monday, October 10th, A.D. 2022. This is The Worldview in 5 Minutes heard at www.TheWorldview.com. I'm Adam McManus. By Adam McManus. (Adam@TheWorldview.com) Muslims with machetes kill 14 Congolese citizens On Saturday, October 1, Muslim militants belonging to the Allied Democratic Forces, an ISIS-affiliated extremist group operating in parts of Uganda and the Congo, killed 14 civilians in a surprise attack. The bloodshed took place in the volatile eastern region of Ituri, in Kymata village. The attackers killed fourteen people with machetes, injured two more, and are suspected to have kidnapped two children. Following the murders, the militants set fire to the village, destroying the homes and livelihoods of its residents. The Democratic Republic of Congo is the 40th worst country in the world for the persecution of Christians. President Biden warned of nuclear Armageddon Last Thursday night, according to Politico.com, at a private fundraiser in the home of James Murdoch, President Joe Biden told donors, “First time since the Cuban Missile Crisis, we have a direct threat of the use [of a] nuclear weapon if, in fact, things continue down the path they are going. I'm trying to figure out what is [Russian President Vladimir] Putin's off ramp,” referencing the war with Ukraine which is going poorly. Later in the evening, ABC News reports that Biden said, “We have not faced the prospect of Armageddon since [President John F.] Kennedy and the Cuban Missile Crisis. [Putin is] not joking when he talks about potential use of tactical nuclear weapons or biological or chemical weapons because his military is, you might say, significantly underperforming. I don't think there's any such thing as the ability to easily [use] a tactical nuclear weapon and not end up with Armageddon.” Mike Pompeo called Biden's Armageddon remarks “reckless” Former Secretary of State Mike Pompeo, who served under Donald Trump, called out Biden for his Armageddon comments following Russia's potential nuclear threat to the U.S. Appearing on Fox News Sunday, Pompeo called Biden's remarks “reckless.” POMPEO: “Oh, my goodness. First of all, those comments were reckless. (laughs) Even more importantly, they demonstrate maybe one of the greatest foreign policy failures of the last decades, which was the failure to deter Vladimir Putin in the same way that the Trump administration did for four years.” Pompeo criticized Biden's lack of awareness, saying big news like that should not have been said randomly while speaking at a fundraiser event. “When you hear the President talking about Armageddon as a random thought, just a musing at a fundraiser, that is a terrible risk to the American people. If he truly believes that, he ought to be out talking to us in a serious way. More importantly, he should be doing all the things that are necessary to deter Vladimir Putin.” Pompeo pointed to the history of how America responds to a nuclear threat. POMPEO: “We've been here before, not only in October of ‘62, we've been here other times as well. And America has always pushed back against our adversaries by showing enormous resolve, executing quiet diplomacy in the same way that we did during our time in office, making very clear to Vladimir Putin that the cost of him using a nuclear weapon will bring the force of not only United States and Europe, but of the whole world against Vladimir Putin. We ought to be doing that. I hope that they're doing this quietly.” Hershel Walker accused of paying for abortion The Daily Beast, a left-wing website, dropped a bomb on the senatorial candidacy of Hershel Walker. The Republican, a former NFL football player, is challenging Democrat Senator Raphael Warnock, the incumbent in the Georgia race. CBS Congressional Correspondent Nicole Killion summarized the allegation made by The Daily Beast. KILLION: “New reporting from The Daily Beast, which has not been independently confirmed by CBS News, claims he encouraged a woman he was dating in 2009 to get an abortion and helped pay for it. The woman, whose identity was not published, provided The Daily Beast with a receipt for the procedure, a get well card, and an image of a $700 check allegedly signed by Walker.” Appearing on Fox News a week ago Monday, Walker denied that he had paid for an abortion. WALKER: “It is a flat-out lie. I can tell you right now, I never asked anyone to get an abortion. I never paid for an abortion. They think they can threaten me. They think they can scare me. Right now, all they've done is energize me more, that I'm going to fight and win this seat for the great people of Georgia.” According to USA Today, the relationship between Walker and the woman allegedly ended after she refused to get a second abortion, and is now raising their 10-year-old son. On July 20th of this year, just hours before a federal court allowed Georgia to enact its Heartbeat bill, which protects babies in the womb from abortion when a heartbeat can be detected at six weeks gestation, Walker said this to 11 Alive TV. WALKER: “There's not a national ban on abortion right now, and I think that's a problem. Right now, I'm for life.” Walker has indicated he would support a national 15-week ban on abortion. The Bible verses of In-N-Out And finally, In-N-Out is not just America's best fast-food burger, it's also an unashamed purveyor of the Good News, reports The Christian Post. Since the 1990s, the California-based chain has printed Bible verses on the packaging for several of its food items, including John 3:16 on In-N-Out's soda cups: “For God so loved the world, that He gave His only begotten Son, that whosoever believeth in Him should not perish, but have everlasting life.” Lynsi Snyder, owner and president of In-N-Out Burger, told The Christian Post in a 2019 interview that it was her uncle, Rich Snyder, who first came up with the idea during the 1980s when he was president of the company. “It was my uncle Rich who put the Bible verses on the cups and wrappers in the early ‘90s, just before he passed away,” Snyder said. “He had just accepted the Lord and wanted to put that little touch of his faith on our brand.” And, when it's time for dessert, you'll find the sweet surprise of Proverbs 3:5 on the In-N-Out shake cups. It says, “Trust in the Lord with all your heart, and lean not on your own understanding.” Close And that's The Worldview in 5 Minutes on this Monday, October 10th, in the year of our Lord 2022, just two days past my beloved bride Amy's birthday. Subscribe by iTunes or email to our unique Christian newscast at www.TheWorldview.com. Or get the Generations app through Google Play or The App Store. I'm Adam McManus (Adam@TheWorldview.com). Seize the day for Jesus Christ.