Podcasts about kauli

  • 61PODCASTS
  • 120EPISODES
  • 25mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • Mar 5, 2026LATEST

POPULARITY

20192020202120222023202420252026


Best podcasts about kauli

Latest podcast episodes about kauli

Angebissen - der Angelpodcast | rbb
Herzlich und ergreifend - Der Talk mit Jörg Strehlow | #193

Angebissen - der Angelpodcast | rbb

Play Episode Listen Later Mar 5, 2026 62:34


Angler, Faulenzer und Menschenfänger! Willkommen in der Welt von Jörg Strehlow. Autor diverser Angelmagazine und Bücher, Köderentwickler, Profiangler, Guide und Angellehrer. Jörg hat sich mit Frieder entspannt auf Fehmarn an den Strand gesetzt und die beiden pilgern einmal quer durch Jörgs Leben. Von den Angelanfängen als Steppke, wie es die rheinische Frohnatur nach Hamburg verschlagen hat. Wie Jörg die Faulenzer-Methode entwickelt hat, was er mit dem Köder "Kauli" und Sebastian Hänel zu tun hat und und und… Und klar, es wird auch emotional. Jörg erzählt von seiner schweren Erkrankung und wie sich die Sicht aufs Leben für ihn verändert hat. Einfach mal wieder alles drin, in dieser Episode Angebissen. Und abzustauben gibt's auch was. Jörgs neuestes Buch: "Angeln - Nachhaltig und ökologisch" inklusive persönlicher Widmung. (Gewinnspiel endet am 20.03.26) Jörg Strehlow: Ein Leben für die Angelei - hechtig gewaltig, dass Ihr wieder mit dabei seid! Noch mehr Podcast-Futter für Angelfans: Bei "Rute raus, der Spaß beginnt" stellen NDR Moderator Heinz Galling und Angelexperte Horst Hennings immer unterhaltsam und informativ die beliebtesten Angelfische und Reviere hauptsächlich in Norddeutschland vor. https://1.ard.de/ruteraus

Radio mazā lasītava
Mitoloģija, guļamrajoni un maģiskā reālisma linaudekls: Kotrīna Zīle "Mīļotie kauli"

Radio mazā lasītava

Play Episode Listen Later Feb 22, 2026 28:10


Tā ir it kā Viļņa, it kā pilsēta, kurā ir daudzstāvu mājas, bet uz balkoniem ganās lopi, pie pastkastītēm ir maizes krāsns un dzemdības pieņem pirtī. Darbības laiks ir nenoteikts, bet galvenā varone ir Ona (ja viņa būtu latviete, tad būtu Anna). Lietuviešu mitoloģija un etnogrāfija, kas labi saprotama latviešiem, guļamrajonu ikdiena un rituāli, kuri caurauž maģiskā reālisma linaudeklu. Romāna „Mīļotie kauli” autore ir lietuviete Kotrīna Zīle, kuras iepriekšējās grāmatas jaunajiem lasītājiem „Samainītais” un „Dvēsele sviestmaižu kārbiņā” Daces Meieres tulkojumā jau izdotas latviešu valodā. Tagad pienākusi kārta pirmajam romānam pieaugušajiem „Mīļotie kauli”. Kotrīna Zīle (garais lietuviešu uzvārds ir daudz sarežģītāks) ir rakstniece, ilustratore, dizainere. Viņai pieder arī šīs grāmatas dizains ar mājas lodziņiem, bet ilustrāciju autors ir Bernards Burba, kura iemīļots motīvs ir trolejbusi, arī šajā grāmatā. Kotrīnas Zīles romānu „Mīļotie kauli” no lietuviešu valodas tulkojusi Dace Meiere, izdevis Jāņa Rozes apgāds.

rom dv ona kotr tagad rozes kauli samain lietuvie
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Rais Paul Kagame atoa kauli nzito kwa jumuia ya kimataifa, maombi ya rais Tshisekedi

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Feb 7, 2026 20:11


Rais wa Rwanda Paul Kagame asema nchi yake haitatizwi na vitisho vya kuwekewa vikwazo na Jumuiya ya Kimataifa, mkutano unaolenga kuimarisha ushirikiano wa kibishara hasa kwenye sekta ya madini kati ya Marekani na nchi za Afrika wafanyika Washington, tumeangazia siasa za Uganda, yaliyojiri nchini Kenya, hali ya kibinadamu yaendelea kuwa mbaya nchini Sudan, rais wa Nigeria Bola Tinubu aagiza wanajeshi kupelekwa katika jimbo la Kwara kulinda amani, mkutano wa Oman kati ya Marekani na Iran.

Habari RFI-Ki
Trump atishia kutumia jeshi la Marekani kupambana na wanajihadi wanaowauwa Wakiristo nchini Nigeria

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Nov 7, 2025 9:59


Katika makala ya Habari Rafiki hii leo tunazungumzia hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kutishia kutumia jeshi la nchi yake kupambana na wanajihadi wanaowauwa Wakiristo nchini Nigeria. Kauli hii imewakasirisha viongozi wa Nigeria, ambao wanasema serikali nchini humo, haiungi mkono unyanyasaji wa kidini. Tumemuuliza msikilizaji anazungumzia vipi mpango wa huu wa Trump na ni nini kinaweza kufanyika kumaliza mauaji ya kidini nchini Nigeria.

Habari RFI-Ki
Trump atishia kutumia jeshi la Marekani kupambana na wanajihadi wanaowauwa Wakiristo nchini Nigeria

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Nov 7, 2025 9:59


Katika makala ya Habari Rafiki hii leo tunazungumzia hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kutishia kutumia jeshi la nchi yake kupambana na wanajihadi wanaowauwa Wakiristo nchini Nigeria. Kauli hii imewakasirisha viongozi wa Nigeria, ambao wanasema serikali nchini humo, haiungi mkono unyanyasaji wa kidini. Tumemuuliza msikilizaji anazungumzia vipi mpango wa huu wa Trump na ni nini kinaweza kufanyika kumaliza mauaji ya kidini nchini Nigeria.

Habari za UN
Kauli ya ofisi ya UN ya Haki za binadamu kufuatia vurugu Tanzania baada ya uchaguzi mkuu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 31, 2025 2:42


Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu imeeleza wasiwasi mkubwa kufuatia vifo na majeruhi vilivyotokea katika maandamano yanayohusiana na uchaguzi mkuu uliofanyika nchini Tanzania tarehe 29 mwezi huu wa Oktoba. Selina Jerobon na maelezo zaidi.

tanzania umoja haki baada kauli mataifa oktoba uchaguzi uchaguzi mkuu
Vai zini?
Vai zini, kā piromantija palīdzēja saglabāt senāko ķīniešu rakstību?

Vai zini?

Play Episode Listen Later Oct 27, 2025 5:12


Stāsta UNESCO Latvijas Nacionālās komisijas Kultūras sektora vadītāja Beāte Lielmane Piromantija ir zīlēšana, izmantojot uguni. Pateicoties tās nozīmīgajai lomai seno ķīniešu dzīvē, šīs prakses liecības veido unikālu dokumentāro mantojumu, kas 2017. gadā tika iekļauts UNESCO programmas “Pasaules atmiņa” starptautiskajā reģistrā. Šīs liecības saglabājušās uz vairāk nekā 3000 gadus veciem zīlēšanas kauliem, kas radīti vēlajā bronzas laikmetā Šanu dinastijas laikā. Kauli pierādīja, ka leģendām apvītā Šanu dinastija tiešām pastāvēja. Uzraksti vēsta par dabas parādībām un klimatu, dzīvnieku un augu sugām, dabas resursiem, ekonomiku un cilvēku ikdienas dzīvi. Tie ir arī senākie saglabājušies pierādījumi par ķīniešu rakstību, kuras nozīmīgums pielīdzināms šumeru ķīļrakstam uz māla plāksnītēm. Šīm rakstzīmēm jau piemita attīstītas rakstības pazīmes – ķīnzīme jeb ķīniešu hieroglifs vairs nebija tikai piktogramma, bet ieguva fonētiskas, asociatīvas un semantiskas funkcijas. Līdz pat 19. gadsimta beigām ķīniešu historiogrāfijā zīlēšanas kauli tika uzskatīti par mītu. Situācija mainījās 1899. gadā, kad kāds ierēdnis saslima ar malāriju un vērsās pie ārsta, kas tirgoja tā dēvētos “pūķa kaulus”. Uz šiem it kā pūķa kauliem tika pamanīti dīvaini simboli, kas atgādināja senos ķīniešu rakstus. Tas aizsāka kaulu patiesās izcelsmes meklējumus, kuri vainagojās ar panākumiem 20. gadsimta 30. gados, kad ķīniešu zinātnieki noteica, ka tie nāk no senās karaliskās galvaspilsētas Iņsjui. Senās Iņsjui drupās tika uzsākti izrakumi un atrasti vairāki tūkstoši kaulu ar uzrakstiem, kas bija pieraksti par Šanu dinastijas zīlēšanas un lūgšanās tradīcijām aptuveni no 1400. līdz 1100. gadam p.m.ē. Ņemot vērā nozīmīgos bronzas laikmeta atradumus, karalisko kapeņu un piļu paliekas, Iņsjui arheoloģiskā vieta kopš 2006. gada ir arī UNESCO Pasaules mantojuma sarakstā. Līdz šim tur atrasti apmēram 150 000 zīlēšanas kaulu, tomēr kolekcija ir izkliedēta pa vairāk nekā 100 institūcijām visā pasaulē. Pasaules atmiņas reģistrā iekļauti vairāk nekā 90 000 eksemplāru no 11 Ķīnas institūcijām. Lielākā kolekcija (vairāk nekā 34 000 vienības) glabājas Ķīnas Nacionālajā bibliotēkā. Zīlēšanai izmantotie kauli visbiežāk bija liellopu lāpstiņas vai bruņurupuču čaulas, retāk – liellopu ribas un stilba kauli, cūku lāpstiņas, briežu galvaskausi, bifeļu, tīģeru un ziloņu kauli, un atsevišķos gadījumos pat cilvēku galvaskausi. Uzraksti tika iegravēti ar bronzas vai nefrīta instrumentiem, bet aptuveni uz 80 kauliem pieraksti veikti ar otu, izmantojot melnu vai sarkanu tinti. Zīlēšana bija tehniski sarežģīts process. Kaulus vispirms sagatavoja, attīrot no miesas, izurbjot virkni mazu bedrīšu un iegravējot jautājumu. Jautājumi parasti bija neitrāli apgalvojumi, piemēram: “Šajā mēnesī līs lietus.” Kad kauls bija sagatavots jautājuma uzdošanai gariem, bedrītēs ievietoja degošus priekšmetus un zīlētājs gaidīja, kad čaula saplaisās. Plaisu formas tika interpretētas kā dievu atbildes. Kauli kalpoja kā starpnieki starp cilvēku un garu pasauli, kurā mājoja dabas spēki, senču gari, dievība Di, kā arī citi augstākie spēki. Valdnieks bija galvenais zīlnieks – viņš interpretēja plaisas, bet rakstveži iegravēja datumu, jautājumu, atbildi un nereti arī prognozes iznākumu. Valdnieka prestižs bija cieši saistīts ar zīlēšanas precizitāti, tāpēc pierakstos gandrīz vienmēr tika uzsvērts, ka viņa pareģojums piepildījās. Zīlēšanas kaulu raksti ir īpaši, jo tie dokumentē nevis ikdienas sarunas starp cilvēkiem, bet saziņu starp cilvēkiem un dieviem. Tie galvenokārt atspoguļo valdnieka un galma darbības – upurēšanu, lūgšanas, militāros pasākumus, ražu, laikapstākļus u.tml. Tas ļauj rekonstruēt Šanu dinastijas ģenealoģiju, svarīgākos notikumus un dzīves veidu. Pēc 1046. gada p.m.ē., kad Šanus gāza Džou dinastija, zīlēšana ar pelašķiem kļuva populārāka, un zīlēšanas kaulu lietojums strauji izzuda. Līdz šim uz kauliem identificētas vairāk nekā 4000 unikālu rakstzīmju, taču bez Rozetas akmenim līdzīga ceļveža zinātniekiem izdevies atšifrēt vien apmēram 1000. Pētījumus apgrūtina tas, ka rakstzīmes gadsimtu gaitā ir ievērojami mainījušās. Lai veicinātu izpēti, pirms dažiem gadiem kāds muzejs Ķīnā pat izsludināja atlīdzību – 100 000 juaņu jeb aptuveni 12 000 eiro – par katru veiksmīgi iztulkotu zīmi, protams, ar pierādījumos balstītu pamatojumu. Šodien arvien lielāku nozīmi šajā procesā iegūst mākslīgā intelekta sniegtās iespējas, kas palīdz seno pareģojumu atšifrēšanā.

The Insiders' Podcast
Chopes Chat - Our Instant Review On The Final WSL Stop Before Fiji.

The Insiders' Podcast

Play Episode Listen Later Aug 14, 2025 23:15


Episode 152 - Chopes Chat - Our Instant Review On The Final WSL Stop Before Fiji. What an event, wow. Pumping waves, big barrels, some dog moves and movement in the top 5 before Fiji. Tune in for our thoughts on the judging, how well a 12 year old handled herself, bold claims on who will be world champ and more! This is our fast, flash initial thoughts the morning after the event the night before. How good were Molly & Caity? Erin and Vahine also looked super strong in the women's draw. On the men's Jack Robbo looked dominant but Griff and Ethan stepped up too with some amazing waves from Cole, Kauli and others too! Listen in for our thoughts and stay tuned for more final 5 chat coming soon. Follow us at @the_insiders_podcast - Link In Bio

Habari RFI-Ki
Siku ya lugha ya kiswahili duniani makala maalum

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 7, 2025 10:08


Siku ya kiswahili duniani, ambayo imekuwa ikiadhimishwa tangu mwaka 2022. Maadhimisho ya mwaka huu imefanyika jijini Kigali nchini Rwanda, ambako mamia ya wataalam na wapenzi wa Kiswahili wamekutana kwa siku mbili kujadiliana kuhusu nafasi na umuhimu wa lugha ya Kiswahili kwa raia wa nchi zote za Jumuiya. Kauli mbiu ni kusherehekea lugha ya Umoja, utambulisho na mchango wake kwa dunia.RFI kiswahili imeshirikiana na taasisi ya mafunzo ya biashara na ufundi stadi, NIBS ya jijini Nairobi, kuandaa makala maalum ya Habari RAFIKI na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka ameongoza makala hii

Habari RFI-Ki
Siku ya lugha ya kiswahili duniani makala maalum

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jul 7, 2025 10:08


Siku ya kiswahili duniani, ambayo imekuwa ikiadhimishwa tangu mwaka 2022. Maadhimisho ya mwaka huu imefanyika jijini Kigali nchini Rwanda, ambako mamia ya wataalam na wapenzi wa Kiswahili wamekutana kwa siku mbili kujadiliana kuhusu nafasi na umuhimu wa lugha ya Kiswahili kwa raia wa nchi zote za Jumuiya. Kauli mbiu ni kusherehekea lugha ya Umoja, utambulisho na mchango wake kwa dunia.RFI kiswahili imeshirikiana na taasisi ya mafunzo ya biashara na ufundi stadi, NIBS ya jijini Nairobi, kuandaa makala maalum ya Habari RAFIKI na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka ameongoza makala hii

Habari za UN
Guterres: Tuepushe kauli za chuki kwenye ujumbe chanya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 18, 2025 1:53


Leo Juni 18 ni siku ya kimataifa ya kupambana na kauli za chuki ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametumia ujumbe wake kwa siku hii kutoa onyo kuhusu hatari zinazoongezeka za chuki mtandaoni, hasa zikichochewa na akili mnemba au (AI) na  na majukwaa ya kidijitali. Flora Nducha na taarifa zaidi.

Habari RFI-Ki
Kauli ya rais wa Tanzania Samia Suluhu kuwazuia wanaharakati wa nchi zingine

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 20, 2025 9:27


Leo tunaangazia ,hatua ya  Tanzania kuwazuia  Mawakili, wanaharakati wa haki za binadamu kutoka nchini Kenya, akiwemo Jaji Mkuu mstaafu Willy Mutunga  waliokwenda kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili kiongozi mkuu wa upinzani Tundu Lissu. Rais Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake haitaruhusu wanaharakati wa kigeni kuingia nchini Tanzania na kuingilia masuala ya ndani ya nchi yake.

Habari RFI-Ki
Kauli ya rais wa Tanzania Samia Suluhu kuwazuia wanaharakati wa nchi zingine

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 20, 2025 9:27


Leo tunaangazia ,hatua ya  Tanzania kuwazuia  Mawakili, wanaharakati wa haki za binadamu kutoka nchini Kenya, akiwemo Jaji Mkuu mstaafu Willy Mutunga  waliokwenda kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili kiongozi mkuu wa upinzani Tundu Lissu. Rais Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake haitaruhusu wanaharakati wa kigeni kuingia nchini Tanzania na kuingilia masuala ya ndani ya nchi yake.

SER Surfing
Kauli Vaast: la vida tras el oro olímpico de surf

SER Surfing

Play Episode Listen Later Apr 2, 2025 43:14


En el quinto capítulo de la quinta temporada de Ser Surfing, charlamos con el campeón olímpico en Paris 2024, el francés Kauli Vaast.El surfista galo recuerda, en la conversación que ha mantenido con él Chus González, cómo fue su victoria en la cita olímpica. “Fue increíble, el mejor momento de mi vida y eso solo ocurre una vez, así que aproveche la oportunidad y tengo la fortuna de que gane", ha destacado.Que el surf se haya convertido en deporte olímpico ha sido todo un revulsivo para los surfistas de competición. 

SER Surfing
Kauli Vaast: la vida tras el oro olímpico de surf

SER Surfing

Play Episode Listen Later Apr 2, 2025 43:14


En el quinto capítulo de la quinta temporada de Ser Surfing, charlamos con el campeón olímpico en Paris 2024, el francés Kauli Vaast.El surfista galo recuerda, en la conversación que ha mantenido con él Chus González, cómo fue su victoria en la cita olímpica. “Fue increíble, el mejor momento de mi vida y eso solo ocurre una vez, así que aproveche la oportunidad y tengo la fortuna de que gane", ha destacado.Que el surf se haya convertido en deporte olímpico ha sido todo un revulsivo para los surfistas de competición. 

Habari RFI-Ki
Kauli ya rais Donald Trump kuhamisha wapalestina yapingwa vikali

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Feb 12, 2025 10:00


Kwenye kipindi cha leo tunaangazia kauli  tata ya Rais Donald #trump, kuhusu mzozo wa #Gaza, safari hii akitishia kuvunjika kwa mkataba wa usitishaji mapigano, ikiwa Hamas haitawaachia mateka wote ifikapo Jumamosi ya wiki hii.Juma lililopita alidai kuwa nchi yake itachukua udhibiti wa Gaza na kuwahamisha Wapalestina.Tulimuuliza mskilizaji anazungumziaje kauli hiyo ya Trump and je huenda zikachochea mzozo zaidi kati ya #Israel na Hamas?

Habari RFI-Ki
Kauli ya rais Donald Trump kuhamisha wapalestina yapingwa vikali

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Feb 12, 2025 10:00


Kwenye kipindi cha leo tunaangazia kauli  tata ya Rais Donald #trump, kuhusu mzozo wa #Gaza, safari hii akitishia kuvunjika kwa mkataba wa usitishaji mapigano, ikiwa Hamas haitawaachia mateka wote ifikapo Jumamosi ya wiki hii.Juma lililopita alidai kuwa nchi yake itachukua udhibiti wa Gaza na kuwahamisha Wapalestina.Tulimuuliza mskilizaji anazungumziaje kauli hiyo ya Trump and je huenda zikachochea mzozo zaidi kati ya #Israel na Hamas?

Habari RFI-Ki
Kauli ya mkutano wa SADC na EAC kuhusu amani nchini DRC waibua maoni mseto

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Feb 10, 2025 9:58


 kwenye makala ya leo tunaangazia  hatua ya  wakuu wa nchi za #SADC na EAC kutaka kusitishwa mapigano maramoja ,na kutaka  kuondoka kwa vikosi vya kigeni mashariki mwa #DRC, pamoja na Serikali ya Kinshasa kuzungumza moja kwa moja na waasi wa #M23 ambapo  wito huo  umepokelewa kwa hisia mseto na raia wa ukanda.

rwanda drc kinshasa m23 eac sadc kauli serikali mkutano
Habari RFI-Ki
Kauli ya mkutano wa SADC na EAC kuhusu amani nchini DRC waibua maoni mseto

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Feb 10, 2025 9:58


 kwenye makala ya leo tunaangazia  hatua ya  wakuu wa nchi za #SADC na EAC kutaka kusitishwa mapigano maramoja ,na kutaka  kuondoka kwa vikosi vya kigeni mashariki mwa #DRC, pamoja na Serikali ya Kinshasa kuzungumza moja kwa moja na waasi wa #M23 ambapo  wito huo  umepokelewa kwa hisia mseto na raia wa ukanda.

rwanda drc kinshasa m23 eac sadc kauli serikali mkutano
Radio Maria Tanzania
Jubilei maana yake nini katika Bibilia?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jan 20, 2025 58:52


Ungana nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard  Maliva, Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa akituongoza kujifunza Kauli ya mbiu ya Jubilei 202 5 Mahujaji katika Matumaini. L'articolo Jubilei maana yake nini katika Bibilia? proviene da Radio Maria.

nini radio maria katika yake kauli maana ungana mkurugenzi
Radio Maria Tanzania
Nini maana ya Mahujaji katika Matumaini?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jan 16, 2025 55:06


Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Leonard  Maliva Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa akituongoza kujifunza Kauli ya mbiu ya Jubilei 2025 Mahujaji katika Matumaini. L'articolo Nini maana ya Mahujaji katika Matumaini? proviene da Radio Maria.

nini radio maria katika kauli maana ungana
SBS Swahili - SBS Swahili
Kauli ya mwanae Museveni yazua kero kwa majirani Sudan na DRC

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Dec 20, 2024 6:50


Serikali ya Sudan inaitaka Uganda iombe rasmi msamaha, kutokana na kile imekitaja kuwa ujumbe wa kuchukiza na hatari ulioandikwa na mkuu wa jeshi la Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba, aliyetishia kuivamia Khartoum kijeshi.

Boia
Boia 263 - Ouro sem tolos! Kauli e Caroline arrastam. Bronze para Medina, Prata para Tati e dedo do meio para o espírito olímpico.

Boia

Play Episode Listen Later Aug 7, 2024 142:59


Eu devia estar contente porque tenho um podcast chamado Boia e não consegui comprar um Corcel 1973. Eu devia estar sorrindo e orgulhoso porque Bruno Bocayuva e João Valente - junto do Júlio Adler - gravaram um episódio inteirinho falando tudo que voce precisava ouvir e não sabia. Eu é que não me sento, no trono dum apartamento, com a boca escancarada, cheia de dentes, esperando a morte chegar, feito Raul assistindo as olimpíadas. Que sujeito chato sou eu, que não acha nada engraçadomedalha, juiz, onda merda, instagram, tobogã e assaí.

Le sept neuf
"C'est le plus beau jour de ma vie", raconte le surfeur, champion olympique, Kauli Vaast

Le sept neuf

Play Episode Listen Later Aug 7, 2024 10:45


durée : 00:10:45 - L'invité de 7h50 - par : Simon Le Baron - Kauli Vaast a offert à la France une 13e médaille d'or ce lundi à Tahiti. Le surfeur a obtenu à Teahupo'o le premier titre olympique tricolore et la première médaille d'or du sport tahitien, en battant avec panache en finale l'Australien Jack Robinson. Il est l'invité de France Inter.

Les interviews d'Inter
"C'est le plus beau jour de ma vie", raconte le surfeur, champion olympique, Kauli Vaast

Les interviews d'Inter

Play Episode Listen Later Aug 7, 2024 10:45


durée : 00:10:45 - L'invité de 7h50 - par : Simon Le Baron - Kauli Vaast a offert à la France une 13e médaille d'or ce lundi à Tahiti. Le surfeur a obtenu à Teahupo'o le premier titre olympique tricolore et la première médaille d'or du sport tahitien, en battant avec panache en finale l'Australien Jack Robinson. Il est l'invité de France Inter.

Apolline Matin
L'invité d'RMC : Kauli Vaast - 07/08

Apolline Matin

Play Episode Listen Later Aug 7, 2024 7:31


Votre morning olympique avec Nicolas Jamain et Anaïs Castagna chaque matin entre 06h30 et 09h00. Ne manquez rien des Jeux Olympiques et Paralympiques de Paris 2024 sur RMC, radio officielle.

AIN'T THAT SWELL
Slow Olympic Finals Day Creates Dot Clenching Tension as Kauli Vaast & Marksie Brah Grab the Golds!

AIN'T THAT SWELL

Play Episode Listen Later Aug 6, 2024 44:32


Up - the financial Revolution that's got young Aussie's backs presents...  Fuck it was slow but sheeez it made for some riveting corn tightening action as our very own Vortex Shaman Jack Robbo took on Finals Day at sleepy with odd-cone End of the Road. In the end the Irukandjis bring home a well earned Silver medal for Straya while Marksie Brah claimed gold for the yanks and Kauli Vaast secured an immortal hometown victory for the ages. Get on the Up Swellians!!! Download the ‘Up' app and sign up in minutes. Use code 'UTFS' for $10 on signup (do it all from the comfort of your phone, no need to go to the bank or any of that bullsh*t). T&C's @ up.com.auSee omnystudio.com/listener for privacy information.

SBS French - SBS en français
Le journal des sports 06/08/2024: L'or en surf pour Kauli Vaast et le bronze pour Johanne Defay à Teahupoo à Tahiti

SBS French - SBS en français

Play Episode Listen Later Aug 6, 2024 3:41


L'or en surf pour Kauli Vaast et le bronze pour Johanne Defay à Teahupoo à Tahiti

Les matins
Kauli Vaast

Les matins

Play Episode Listen Later Jul 24, 2024 4:11


durée : 00:04:11 - Le Reportage de la Rédaction - L'épreuve de surf des JO se déroulera sur la vague de Teahupoo à Tahiti, en Polynésie française. Parmi les meilleures chances françaises de médaille, il y a un enfant du pays, le surfeur tahitien Kaoli Vaast. Guillaume Batin le rencontre chez lui à Tahiti.

Le Reportage de la rédaction

durée : 00:04:11 - Le Reportage de la Rédaction - L'épreuve de surf des JO se déroulera sur la vague de Teahupoo à Tahiti, en Polynésie française. Parmi les meilleures chances françaises de médaille, il y a un enfant du pays, le surfeur tahitien Kaoli Vaast. Guillaume Batin le rencontre chez lui à Tahiti.

Franceinfo junior
franceinfo junior. Le surfeur Kauli Vaast répond aux questions des enfants

Franceinfo junior

Play Episode Listen Later Jul 16, 2024 4:56


durée : 00:04:56 - franceinfo junior - À l'approche des Jeux de Paris, les enfants de franceinfo junior s'intéresse au surf avec l'un des espoirs français de médaille : Kauli Vaast.

Alfajiri - Voice of America
Kauli ya Netanyahu kuhusu operesheni ya ardhini Rafah yazua mashaka kwa waptanishi mjini Cairo - Aprili 09, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 9, 2024 29:59


Kauli ya Netanyahu kuhusu operesheni ya Rafah imeibua mashaka kwa waptanishi mjini Cairo huku Marekani ikimkemea na kusema haiungi mkono msimo wake.

benjamin netanyahu kauli aprili marekani
Zināmais nezināmajā
Spēļu teorija: kā tā tapusi un kā tā darbojas praksē

Zināmais nezināmajā

Play Episode Listen Later Mar 19, 2024 49:32


Loģikā un ekonomikā, politoloģijā un psiholoģijā, datorzinātnēs un bioloģijā - šajās un, iespējams, ne tikai šajās zinātņu nozarēs tiek pielietots kāds instruments - matemātiska metode ar nosaukumu “spēļu teorija”. Tie ir matemātiski modeļi, kas pēta konfliktus un sadarbību starp inteliģentiem un racionāliem lēmumu pieņēmējiem. Par spēļu teorijas pētījumiem vairāki zinātnieki ir saņēmuši Nobela prēmijas ekonomikā, un, pat ja šādas teorijas nosaukumu dzirdat pirmo reizi, nav izslēgts, kā ar tās izpausmēm dzīvē būsiet saskārušies paši vai vērojuši no malas, piemēram, kādos politiskos procesos. Kā spēļu teorija tapusi un ko tā nozīmē praksē, par to saruna raidījumā Zināmais nezināmajā. Skaidro ekonomists, jaunievēlētais Latvijas Universitātes rektors, Latvijas Universitātes Biznesa, vadības un ekonomikas fakultātes dekāns, profesors Gundars Bērziņš un fiziķis, Latvijas Universitātes Fizikas, matemātikas un optometrijas fakultātes profesors Mārcis Auziņš. Ikdienā noteikti būs dzirdēti tādi vārdu salikumi kā “psiholoģiskās spēlītes” vai arī “politiskās spēlītes”, ar to domājot kāda indivīda vai konkrēti kāda politiķa viltīgos gājienus, lai, piemēram, atbrīvotos no saviem konkurentiem un iegūtu labumu sev. Bet viss neaprobežojas tikai ar mūsu ikdienas teicieniem, jo nu jau vairākas desmitgades dažādās zinātņu nozarēs tiek aplūkota spēļu teorija. Kas interesanti - plašāka atpazīstamība spēļu teorijai ir no pagājušā gadsimta 50. gadiem, kad matemātiķi modelēja iespējamās pieejas lēmumu pieņemšanai par atomieroču pielietošanu. Tolaik, Aukstā kara apstākļos, tas bija aktuāls jautājums. Raidījuma iesākumā ieskats vēsturē par to, kā tapušas veiksmes spēles un galda spēles. Pirmie spēļu kauliņi tika gatavoti no aitas vai kazas potītēm, kas ir četrkantīgā formā, un tika atrasti pirms aptuveni 4000 gadu. Par senajām prāta un veiksmes spēlēm stāsta dzīvās vēstures kopas “Rodenpois” biedrs, kā arī kaulu un raga apstrādes un kokgriezumu drukas darbnīcas vadītājs Cēsu viduslaiku pilī Viesturs Āboltiņš. Zināms, ka Romas konsuls Gajs Jūlijs Cēzars, uzsākot pilsoņu karu Senajā Romā, lietojis frāzi no romiešu rakstnieka Menandra darba, sakot – „Kauliņi ir mesti!” Tādejādi viņš raksturojis negrozāmu svarīgu darbību izšķirošā brīdī.  Tāpat Jaunajā Derībā lasām, ka kareivji, sēžot pie krustā piesistā Kristus, dalījuši viņa drēbes, metot kauliņus, lai redzētu, kurš apģērba gabals kuram piederēs. Taču spēles ar kauliņiem cilvēces vēsturē ir vēl senākas par šiem minētajiem avotiem. Par kauliņiem un cita materiāla spēles priekšmetiem, par  galda spēlēm, kas prasa prāta asumu vai piesaista veiksmi, un kā agrāk sauca galda spēli, ko šodien zinām ar nosaukumu „Cirks”, stāsta Viesturs Āboltiņš. Viesturs Āboltiņš arī aicina padomāt par spēļu rašanās iemesliem cilvēces vēsturē. Spēles parāda cilvēka prāta spējas un stratēģiju, lai iegūtu vairāk pupas vai oļus, vai citus spēles atribūtus savā lauciņā vai bedrītē, kas nu kurā spēlē tiek izmantots, tad paļaušanās uz augstākiem spēkiem, kas vada kauliņu un liek tam nokrist konkrētā veidā, un veiklības spēles, kur kauliņa nokrišanu panāk ar savu izveicību. Skatot  senus pierādījumus atjautības spēlēm ir jāpiemin „desas” jeb „krustiņi un nullītes” – ar šādu nosaukumu mēs pazīstam šo spēli šodien, kad  vairākos ievilktos lauciņos vienam no diviem spēlētājiem pēc iespējas ātrāk ir jāizveido taisna līkne, lauciņos ievelkot vai nu krustus vai apļus. Jau  viduslaikos kas līdzīgs tika spēlēts ar nosaukumu „Dzirnavas”. Liecības par šādu spēli savulaik tika atrastas  arheoloģiskajos izrakumos viduslaiku Rīgā, kur šāda spēle tika spēlēta uz, piemēram, mucas vāka.

bet raid tie kas kristus zin romas jau latvijas universit teorija kauli auzi pirmie biznesa viesturs ikdien aukst
Jioni - Voice of America
Live Talk kuhusu siku ya Ukimwi Duniani, kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ni "Acha Jamii iongoze." - Desemba 01, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 1, 2023 59:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

acha live talk siku mwaka kauli jamii afrika mashariki ikiwa desemba
Une médaille, une histoire
GÉNÉRATION 2024 - Découvrez le surfeur Kauli Vaast du 06 août 2023

Une médaille, une histoire

Play Episode Listen Later Aug 6, 2023 3:22


Péché mignon, série préféré, origines, passions, rêve... À travers un quizz assez ludique, Isabelle Langé vous fait découvrir les championnes et champions attendus lors des Jeux de Paris en 2024. Dans ce numéro, retrouvez le surfeur Kauli Vaast.

dans ration jeux couvrez kauli isabelle lang
Habari za UN
24 JULAI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 24, 2023 0:11


Hii leo jaridani mwenyeji wako ni Leah Mushi akimulika mkutano wa mifumo ya chakula ulioanza leo Roma, Italia; Kauli ya mshiriki kutoka Tanzania kwenye mkutano uliomalizika hivi karibuni hapa makao makuu ya UN; Makala anabisha hodi Rwanda ilhali mashinani anakupeleka Tunisia.1. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amezungumza kwenye mkutano wa viongozi kuhusu Mifumo ya Upatikanaji wa Chakula huko Roma, Italia hii leo akisema bado inastaajabisha kuwa katika dunia yenye utajiri bado kuna watu hawana chakula au wanakufa njaa, huku akipendekeza mambo makuu matatu ya kuzingatia ili kurekebisha mifumo hiyo.2. Mwanaisha Ulenge ambaye ni Mbunge katika Bunge la Tanzania na pia Mjumbe wa Bunge la Dunia IPU, mmoja wa walioshiriki Jukwaa la Umoja wa Mataifa la Ngazi ya juu la kisiasa kuhusu Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs, lililokamilika wiki iliyopita akihojiwa na Anold Kayanda wa Idhaa hii ya Umoja wa Mataifa hapa jijini New York, Marekani ametoa wito kwa wanawake ulimwenguni kote kwamba wao pia wanapaswa kuwa na mchango katika kuleta usawa wa kijinsia kwanza kwa wao wenyewe kutojiwekea mipaka.3. Makala: Leo inatupeleka mjini Kigali Rwanda ambako mwishoni mwa wiki umekamilika mkutano wa kimataifa wa Women Deliver 2023 (WD2023) au wanawake wanatekeleza. Mkutano ulijikita na suala la ujumuishwaji ili kusongesha usawa endelevu wa kijinsia. Ulihudhuriwa na washiriki zaidi ya 200,000 mtandaoni na ana kwa ana, miongoni mwao ni Martha Wanza kutoka Kenya, anayefanyakazi na shirika la Jumuiya ya wanawake vijana Wakristo nchini humo YWCA.4. Mashinani: Jinsi mkopo na mafunzo kutoka mfuko wa Umoja wa Mataifa wa maendeleo ya kilimo, IFAD umemuinua kiuchumi Hayet Aouida nchini Tunisia.

Habari za UN
HABARI ZA UN 20 JUNI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 20, 2023 0:10


Ikiwa leo ni Siku ya Wakimbizi Duniani tutawasikia wakimbizi wa ndani DRC wanavyozungumzia harakati za Umoja wa Mataifa katika kutekeleza Kauli mbiu ya mwaka huu:"Matumaini Mbali na Nyumbani.".Pia utasikia habari kwa ufupi zikiangazia ujumbe wa katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kwa siku hii ya wakimbizi duniani akihimiza mshikamano na ushirikiano na wakimbizi. Naye kamishna wa wakimbizi Filippo Grandi ameadhimisha siku hii akiwa katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma iliyoko nchini kenya ambapo ametoa wito kwa wadau kuunga mkono wakimbizi lakini pia kuzisaidia nchi zinazopokea na kuwahifadhi wakimbizi kama Kenya. 

Habari za UN
Kina mama wa Srebenica waeleza athari za kauli za chuki

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 19, 2023 0:03


Hapo jana juni 18 dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga kauli za chuki ambapo katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani kumefanyika maonesha ya athari ziletwazo na kauli za chuki. Wawakilishi watatu wa taasisi ya Kina mama wa Srebrenica walitembelea maonesho hayo na kuzungumzia maswahibu yaliyowakumba miaka 28 iliyopita na kuacha vidonda katika mioyo yao.  Taarifa ya Leah MushiMwaka 1995 katikati ya vita vya Bosnia Umoja wa Mataifa ulianzisha eneo la usalama huko Srebrenica, lakini ilipofika mwezi Julai mji huo ulizidiwa na vikosi vya wanamgambo wa Bosnia-Serb ambao walitekeleza mauaji ya wavulana na wanaume wa kiislamu wapatao 8,000 ndani ya wiki moja.Mauaji hayo ya kimbari ya Srebrenica yanachukuliwa kuwa ukatili mkubwa zaidi barani Ulaya tangu Vita vya pili vya dunia. Mwaka 2002 Chama cha kina mama wa Srebrenica kilianzishwa na kuunganisha maelfu ya wanawake waliopoteza wapendwa wao.Watatu kati ya wanachama wa chama hicho wametembelea Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani na kueleza kwa zaidi ya miaka 20, shirika hilo limekuwa likitafuta watu waliopotea, kutafuta makaburi ya halaiki, nakujaribu kutambua kila mwathiriwa na maiti, kusaidia walionusurika, na kutafuta haki.Akiwa ameshikilia picha mkononi mwake Kada Hotić, anaeleza mpaka sasa hajafanikiwa kuona maiti za wapendwa wake.Kada Hotić – Sauti ya Happines Palangyo“Huyu ni mume wangu, mwanangu, na ndugu zangu wawili…. Mwaka 2013, nilizika mifupa miwili ya mguu mmoja wa mwanangu. Uchunguzi wa DNA ulithibitisha kwamba mifupa hii miwili ilikuwa mwanangu. Ndivyo nilivyozika. Nina umri wa miaka 79 sasa. Bado sijachoka na bado napigana. Na nitaendelea kupigana. Kwa jina la haki na kwa jina la ubinadamu.”Naye Rais wa chama cha hicho cha kina mama wa Srebenica Munira Subašić, anaeleza ingawa alinusurika katika mauaji hayo ya halaiki yaliyogharimu maisha ya wanafamilia yake 22 kuna namna na yeye amekufa.Munira Subašić – Sauti ya Devotha Songorwa“Mwanangu alikuwa mtoto mzuri sana. Alikuwa mwanafunzi mzuri. Alipenda maisha. Alipenda hesabu. Alijali marafiki zake kwa dhati. Hata hivyo, hatima ilichukua mkondo wake. Kila wakati ninapozungumza juu yake, nafsi inanirejesha wakati ule, mwaka 1995. Kilichotokea ni kwamba hawapo tena. Ninajua tu kwamba kila mama ambaye amefiwa na mtoto wake pia kwa njia fulani naye amekufa. “Kwa masikitiko Munira anatuma ujumbe akisemaMunira Subašić – Sauti ya Devotha Songorwa“Ujumbe wangu kwa kina mama wote duniani ni kujaribu kuwalea watoto kwa upendo na kuwafundisha kupenda na kupendwa na sio kuleta madhara kwa mtu yeyote kwa njia yeyote”Mwenyeji wa kina mama hawa katika Makao Makuu ya UN alikuwa ni Mshauri maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu kuzuia mauaji ya kimbari Alice Wairimu Nderitu ambaye anasema pamoja na uwepo wao kina mama hawa bado kuna baadhi ya watu wanaendelea kuamini mauaji haya hayakutokeaAlice Wairimu Nderitu – sauti ya Sarah Oleng'“Uwepo wao hapa ni ukumbusho wa kile ambacho hakipaswi kutokea tena. Uwepo wao hapa unamaanisha kuwa hadithi huwekwa hai. Ina maana kwamba tunaweza kuendelea kujiuliza, ni kitu gani tunaweza kufanya vizuri zaidi ili mauaji haya ya kimbari yasitokee tena. Bado tunasikia, hadi leo, watu wanakataa mauaji ya kimbari, watu wakisema kuwa hayakufanyika. Umoja wa Mataifa ulianzishwa kwa ahadi ya kuzuia mauaji kutokea tena. Ahadi hii ni ngumu kutimiza, lakini lazima tuendelee kujaribu kuitimiza.”

SBS Swahili - SBS Swahili
Wito wa kuunga mkono kura ya Voice waongezwa katika siku ya National Sorry Day

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 28, 2023 8:52


Miaka sita baada ya kutangazwa kwa Kauli ya Uluru kutoka moyoni, viongozi wa jamii ya kwanza na serikali kwa mara nyingine wame toa wito kwa kuanzishwa kwa sauti yawa Aboriginal na wanavisa wa Torres Strait bungeni kupitia mafanikio katika kura ya maoni.

Habari za UN
WHO limesema magonjwa ya kitropiki yaliyosahaulika mbioni kutokomezwa duniani

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 30, 2023 0:02


Shirika la Umoja wa MAtaifa la afya ulimwenguni, WHO, limesema mataifa mengi zaidi duniani yametokomeza magonywa ya kitropiki yaliyosahaulika, au NTDs huku ikisema bado uwekezaji zaidi unahitajika kusongesha maendeleo hayo dhidi ya magonjwa hayo kama vile ukoma, vikope na kung'atwa na nyoka.Kauli hiyo ya WHO imetolewa leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya kuhamasisha dhidi ya magonjwa hayo ya kitropiki yaliyosahaulika, NTDs na shirika limeweka hayo bayana kwenye ripoti mpya iitwayo Ripoti ya Dunia kuhusu NTDs kwa mwaka 2023. Ripoti imetaja mafanikio na changamoto ya kutibu NTDs duniani kote wakati huu ambapo matibabu yalivurugwa na mlipuko wa COVID-19. Mafanikio ni pamoja na idadi ya wagonjwa kupungua kwa milioni 80 kati ya mwaka 2020 na 2021 huku nchi 8 zikithibitishwa kutokomeza moja ya magonjwa hayo mwaka 2022 pekee na kufanya idadi ya nchi zisokuwa na NTDs duniani kote hadi mwezi Desemba mwaka jana kufikia 47.Hata hivyo ripoti inasisitiza uwekezaji zaidi kuchagiza kasi ya kutokomeza magonjwa hayo yanayoathiri maskini zaidi ili kufikia malengo ifikapo mwaka 2030.Mathalani uwekezaji unaopatia uwezo taifa kumiliki na kuwajibika na tiba na ufadhili wa  uhakika.NTDs inaathiri zaidi jamii maskini hasa kwenye maeneo ambako huduma za maji safi na kujisafi ni haba, halikadhalika huduma za afya.Mkurugenzi Mkuu wa WHO Dkt. Tedros Ghebreyesus akizungumzia ripoti hiyo amesema duniani kote mamilioni ya watu wamekombolowe kutoka katika mzigo wa magonjwa hayo ambayo yanawatumbukiza kwenye mzunguko wa umaskini na unyanyapaa.Amesema “ingawa kuna hatua zaidi zinahitajika, lakini habari njema ni kwamba tuna mbinu na ufahamu wa sio tu kuokoa maisha na kuzuia machungu, bali pia kuokoa jamii nzima na mataifa yote dhidi ya ugonjwa huu. Wakati wa kuchukua hatua ni sasa, tuwekeze kwenye NTDs.”

covid-19 dunia hata umoja afya wakati kauli ntds mataifa shirika ripoti desemba
Habari za UN
UNCTAD limesema mwaka 2022 umekuwa mgumu ukiziacha familia nyingi zikihaha kuweka mlo mezani

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 28, 2022 0:02


Kamati ya Umoja wa Mataifa ya biashara na maendeleo UNCTAD imesema mwaka huu wa 2022 umekuwa mgumu sana ambapo familia nyingi zimekuwa zikihaha kuweka mlo mezani na kujikimu hadi mwisho wa mwezi, lakini kuna suluhu na suluhu hizo zinapaswa kuwa za kimkakati na za kimataifa.Kauli hiyo ni kwa mujibu waRebeca Grynspan katibu mkuu wa UNCTAD akihojiwa katika kipindi maalum cha UNCTAD Tradecast kuhusu kumalizika mwaka huu wa 2022 na kinachotarajiwa mwakani. Bi. Grynspan amesema “Hali ngumu mwaka huu imechangiwa na athari za kiuchumi zilizotokana na janga la COVID-19 na kujikwamua kwa polepole kutoka kwenye janga hilo, athari za mabadiliko ya tabianchi kama ukame na mafuriko, lakini pia vita ya Ukraine imesababisha gharama kubwa ya maisha kupanda kote duniani, kuongezeka kwa mfumuko wa bei, kuendelea kupanda kwa kiwango cha riba na nchi nyingi zinazoendelea kukabiliwa na mzigo usiobebeka wa madeni.” Ameongeza kuwa ingawa nchi zilizoathirika zaidi ni zinazoendelea lakini nchi zilizoendelea pia zimepata changamoto lakini tofauti ni kwamba zina nyenzo za kukabiliana na changamoto hizo zaidi ya mataifa duni. Katibu mkuu huyo wa UNCTAD amesisitiza kuwa kuna suluhu “Kuanzia katika kiwango cha kitaifa kuna umuhimu wa kuwa na mfumo wa kisera, hatua za kulinda watu lakini mwisho wa siku suluhu zinategemea hatua zilizoratibiwa za jumuiya ya kimataifa  na ndicho tunachojaribu kukisukuma mbele.” Pamoja na hatua hizo amesema pengo la usawa linazidisha changamoto hivyo kuliziba kutaongeza mnepo kwa dunia kupambana na changamoto hizi. Na kuhusu matarajio yake kwa mwaka ujao amesema “Natumai kwa dunia kutambua wajibu tulionao sasa, tunahitaji uratibu, mshikamano, hatua za pamoja na dunia iliyoungana ambayo inahitaji ujarisi na uongozi imara, natumai kuliona hilo 2023.” 

Habari za UN
Taka za plastiki zageuka lulu Haiti

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 9, 2022 0:02


Miradi mbalimbali ya kukabiliana na uchafuzi wa mazingira inasaidia kuifanya dunia kuwa sehemu salama. Nchini Haiti Shirika la Benki ya plastiki linaendesha mradi wa kukusanya plastiki ikiwa ni moja ya njia za kuboresha afya ya na pia ni chanzo cha mapato kwa wakusanyaji taka. Leah Mushi na maelezo zaidi.Plastiki zinaharibu sayari yetu, zinapokusanywa na kutumika tena zinasaidia kukata mnyororo wa uharibifu wa mazingira na hii ni njia mojawapo ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.Ukusanyaji wa taka za plastiki kutoka kwenye mazingira unasaidia kuondoa plastiki ambazo hufanyika kama mazalia ya viumbe vinavyobeba magonjwa kama vile mbu, kusaidia kupunguza kuenea kwa malaria, homa ya dengue na kipindupindu. Ndege warukao pia huathirika pale wanapokula taka za plastiki wakidhani ni mizoga.Richardson Gustav ni meneja wa kituo cha kukusanya taka wa shirika la benki ya plastiki nchini Haiti na anasema, “tatizo la uchafuzi wa mazingira nchini Haiti ni kwamba watu hawatambui thamani ya plastiki na hawatambui kwamba kwamba wanaposhika plastiki mikononi mwao hizo ni fedha, na hapo ndio shirika letu la Benki ya plastiki linakuja na kuwahamasisha watu kukusanya taka za plastiki na kuzileta katika vituo vya kukusanya taka ili wajipatie fedha papo hapo.”Jean Michelet ni mkusanyaji taka za plastiki na anafunguka kuwa, ‘nilikuwa na bustani yangu lakini mvua kubwa ilinyesha na kuharibu mazao yangu. Kisha nikagundua hii kazi ya kukusanya plastiki na nikaona inanifaa, ninachotakiwa ni kukusanya plastiki na kuzileta hapa. »Kauli yake inaungwa mkono na Pierre Sonel naye pia ni mkusanyaji plastiki akisema, “lengo la programu hii ni kuboresha afya zetu, tunakusanya plastiki kila siku asubuhi n anchi yetu inakuwa safi, na kazi hiyo inaniingizia kipato na kuboresha maisha ya watu na hii ndio sababu tunakusanya plastiki.'Shaun Frankson ni Mkurugenzi mwenza wa Shirika la Benki ya Plastiki anaeleza nini kinafanyika baada ya plastiki kuletwa katika vituo vya ukusanyaji. Anasema, "tunazikusanya plastiki kuzichakata na kisha kuziuza kwenye makampuni makubwa ya plastiki duniani ili waweze kuzitumia katika bidhaa zao badala ya kutengeneza plastiki mpya. Ni plastiki za kijamii, ni plastiki zinazosaidia kuondoa plastiki kwenye bahari wakati huohuo zikiboresha maisha ya wakusanyaji wa plastiki. »Mradi huu wa benki ya plastiki unalenga kusaidia wananchi wa Haiti na kadri kunapokuwa na uhitaji mkubwa wa plastiki hizi kutoka kwenye makampuni ya kimataifa inamaana wananchi wengi wa Haiti wanajipatia kipato kupitia fedha wanazopata baada ya kukusanya plastiki.

haiti taka kisha kauli shirika mkurugenzi
Habari za UN
UNICEF Ethiopia yawawezesha wahudumu wa afya kuwafikia watoto wenye utapiamlo mashinani

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 19, 2022 0:02


Nchini Ethiopia, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto duniain, UNICEF kupitia msaada kutoka Muungano wa Ulaya umewezesha mamia ya wahudumu wa afya walio mstari wa mbele kila uchao kuweza kutembelea wakimbizi wa ndani waliofurushwa makwao kutokana na mzozo kwenye jimbo la Benishangul-Gumuz lililoko kaskazini-magharibi mwa taifa hilo, likipakana na Sudan ili kuwapatia huduma za lishe bora wakati huu ambapo watoto wanakabiliwa na utapiamlo. Miongoni mwa wahudumu hao ni Sedelia Abdulahi  ambaye simulizi yake inasomwa hapa studio na Happiness Pallangyo wa redio washirika Uhai FM ya Tabora nchini Tanzania. Nats.. Huyu ni Sedelia Abdullahi, mhudumu wa afya akitembea katikati ya vibanda ambavyo ni wakazi wa wakimbizi wa ndani hapa kambini Bambassi nchini Ethiopia. Yeye ni shujaa wa watumishi walio mstari wa mbele na anasema… hapa kuna takribani wakimbizi wa ndani elfu 12 wanaoishi hapa. Watu wamekimbia mapigano kwenye makazi yao. Na kama uonavyo wamekimbia bila kubeba kitu chochote na wako kwenye hali ngumu, hasa wanawake na watoto ambao hali zao ni mbaya.” Asemacho ni dhahiri, vibanda ni vichakavu, halikadhalika mavazi na hata kando kwenye mafiga moshi unafuka kwa mlo ambao hauna virutubisho vya lishe. Akiendelea Bi. Abdullahi akiwa kwenye kituo cha afya, pamoja na mama na mtoto anasema….nikiwa mtumishi wa mashinani, lengo langu ni kubaini watoto wenye utapiamlo na kuwapatia huduma kila siku. Baada ya kipimo anampatia mama kipakiti chenye mlo wenye virutubisho na mama anamlisha mtoto wake. Wakati wa ziara ya nyumba kwa nyumba alikutana na mtoto Asanti mwenye umri wa miaka miwili na kumpatia matibabu ya utapiamlo, na sasa mama yake aitwaye Assefu Kabede anasema, “Alipoanza kuugua alianza na kuhara, kisha mwili ukavimba, akawa anawashwa na kulia mno. Lakini sasa nashukuru Mungu anaendelea vizuri” Kauli hii ni ya kutia moyo kwa Bi. Abdullahi ambaye anasema….. kuona watoto wanatabasamu na kucheza baada ya kupona magonjwa mbali mbali ni malipo tosha na inafurahisha. Ethiopia ni miongoni mwa mataifa duniani ambako wananchi wake hawana uhakika wa kupata chakula kutokana na mizozo na ukame uliosababishwa na mabadiliko ya tabianchi.

Habari za UN
Kunywa maziwa kuimarisha afya yako: FAO Tanzania

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 17, 2022 0:04


Tarehe 16 mwezi Oktoba kila mwaka dunia inaadhimisha siku ya chakula dunia, mwaka huu wa 2022 kauli mbiu ni Uzalishaji bora, lishe bora, mazingira bora, na maisha bora kwa wote :Habaki mtu nyuma” Kauli mbiu hii inaakisi hali halisi ya ulimwengu tunaoishi kwani kwa sasa kila pembe ya Dunia kuna changamoto mbalimbali kuanzia za mabadiliko ya tabia nchi mpaka vita vyote hivi vikipandisha bei za bidhaa na vyakula mara dufu na hii inasababisha jamii nyingi kujikuta hazina uhakika wa chakula. Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO limeadhimisha siku hii katika zaidi ya mataifa 150 kwa kufanya shughuli mbalimbali lakini zote zikilenga kuhakikisha hakuna anayeachwa nyuma na msisitizo ukiwa “tunahitaji kujenga ulimwengu endelevu ambapo kila mtu kila mahali anapata chakula cha kutosha na chenye lishe. FAO nchini Tanzania wamelitekeleza hilo kwa kutoa elimu na kugawa maziwa kwa wanafunzi Mkoani Simiyu. Mwandishi Devotha Songorwa wa redio washirika Kids Time Fm ya mkoani Dodoma alishuhudia maadhimisho hayo na kutuandalia Makala hii.

tanzania dunia fao umoja makala yako afya kauli mataifa oktoba shirika
Habari za UN
Mradi wa kusoma na kuandika waleta manufaa kwa wanafunzi Zambia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 14, 2022 0:02


Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na masuala ya watoto UNICEF nchini Zambia kwa kushirikiana na serikali ya Zambia na Taasisi ya Hampel wanaendesha programu iitwayo Catch Up yenye lengo la kuwasaidia wanafunzi wa shule za msingi nchini humo kupata matokeo bora ya masomo ya hisabati na kusoma hususan wale waliokuwa na ufaulu mdogo wa masomo hayo na sasa matokeo chanja yameanza kuonekana, tuungane na Leah Mushi kwa Taarifa zaidi. Taarifa ya Leah Mushi Katika jimbo la Luapula nchini Zambia, video ya UNICEF inamuonesha mwalimu akitumia mbinu mbali mbali ikiwemo kutumia ubao , kuchora kwenye sakafu na chaki na hata kurusha mawe ili kuwaelimisha wanafunzi somo la hisabati. Wanafunzi hawa ni miongoni mwa zaidi ya wanafunzi 80,000 wanaopata masomo ya ziada ya somo hili la hisabati lakini likiwa na mbinu pia za kuwafanya wajue kusoma kupitia programu ya Catch up. Judith Chama ni mwalimu wa programu hiyo katika shule ya msingi Chiseta anasema hapo awali hali ilikuwa si nzuri “Kabla ya kuja kwa program ya Catch up, wanafunzi wetu walikuwa hawawezi kusoma nambari kama elf umoja na mbili, lakini baada ya kuanza kwa masomo mpaka sasa, wanafunzi ambao nipo nao darasani kwangu wanaweza kusoma 5366.” Katika shule nyingine ya msingi ya Pembeshi mwalimu Caroline Nsemiwe anasema mzazi wa mtoto mmoja alimpa ushuhuda kuwa mwanae ameimarika sana kwenye kusoma, hapo awali alikuwa anasoma herufi moja moja lakini sasa anaweza kusoma neno kamili. Kauli yake hii inaungwa mkono na wazazi Esther Bwalya na Akim Mulenge “Nikiangalia mtoto wangu alipokuwa awali na alipo sasa napata furaha sana, kuna utofauti mkubwa. “Watoto wetu wangekuwa nyuma sana kama wasingefikiwa na program hii mapema kwasababu Watoto walio darasa la 3,4 na la 5 wanafanya vizuri zaidi kuliko wale walio darasa la 6 na 7”. Habari hizi njema pia zinawapa furaha wafadhili wa mradi huo na kupongeza ushirikiano wanaopata kutoka kwenye uongozi wa jimbo la Luapula na wanaaamini matokeo hayo yatakuwa na manufaa bora zaidi kadri siku zinavyozidi kwenda. Kwa sasa programu hii inatekelezwa katika wilaya nne za jimbo la Luapula, na mwaka 2023 inategemewa kuanza kutekelezwa katika wilaya zote za jimbo hilo.  

unicef zambia umoja kwa katika watoto habari kauli elimu mataifa kabla shirika
Habari za UN
19 SEPTEMBA 2022

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 19, 2022 12:04


Hii leo kwenye Habari za UN, Flora Nducha anaanza na Kauli ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu elimu, akisema elimu ndio kitu ambacho kinaweza kuleta amani na maendeleo ya kudumu duniani. Kisha ni taarifa ya mahojiano na mchechemu wa vijana wa UNICEF nchini Tanzania, Emmanuel Msoka akisema “maneno ni rahisi lakini vitendo ni aghali,” hivyo vitendo vyahitajika ili kusongesha maendeleo ya kweli. Anapendekeza kurejeshwa kwa Baraza la Vijana nchini Tanzania. Makala tunasalia makao makuu ya Umoja wa Mataifa kukuletea mahojiano na kijana Cherinet Harifo kutoka Tigray nchini Ethiopia akitaka viongozi watatue changamoto ya elimu kwa kuzingatia hali halisi ya kila eneo. Mashinani tutasikia ripoti inayobainisha kuwa hata simu yako ya mkononi inaweza kugeuka kuwa kifaa cha kufuatilia Maisha yako bila wewe kujua . Karibu!

Boia
Boia 162

Boia

Play Episode Listen Later Aug 23, 2022 120:44


#162 Tchôpu, Chopes, tearrúpo... seja lá como você fala, no Boia 162 a palavra mais repetida foi essa. Júlio Adler, Bruno Bocayuva e João Valente juntam esse vocábulo, com todos os outros que interessam à conjugação: Moana, Vahine, Courtney, Miguel, Kelly (de raspão), Kauli, Hog, Caio, Jack, top 5, Toledo, com e sem medo... e ainda trazemos alguns que ninguém lembra, Kate Skarrat, Chelsea Georgeson, Thomas Campbell e tudo o que você espera, e não espera, num podcast sobre surfe. De lambuja, abrimos com "Higher Ground", do cego visionário mais genial da história da música, Stevie Wonder, e terminamos com "Seven For Lee", do Soft Head, uma banda que você nunca ouviu falar, mas vai escutar muito a partir de agora. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/boia/message

Habari za UN
Hakuna azaliwae na chuki, bali hujifunza kuanzia kwenye familia- Bi. Nderitu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 22, 2022 5:33


Kauli ya chuki huchochea ghasia, madhara yake ni makubwa lakini cha kusikitisha si jambo geni. Athari zake hivi sasa huchagizwa zaidi na teknolojia mpya za mawasiliano kiasi kwamba kauli za chuki ziko mtandaoni na imekuwa moja ya mbinu zitumikazo kusambaza misimamo gawanyifu na inayotishia amani. Umoja wa Mataifa umekuwa na historia ya muda mrefu ya kuhamasisha Dunia dhidi ya kauli za chuki kama njia mojawapo ya kulinda haki za binadamu na kusongesha utawala wa sheria. Athari za kauli za chuki zimeenea katika maeneo tofauti ambayo Umoja wa Mataifa hufanyia kazi kuanzia kulinda haki za binadamu hadi kuzuia uhalifu wa kivita na kusongesha usawa wa kijinsia na kusaidia watoto na vijana. Lakini hali iko vipi na nini chanzo cha kauli za chuki? Ungana na Assumpta Massoi kwenye Makala hii ikimulika kauli za Alice Nderitu, Mshauri huyu maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu uzuiaji wa mauaji ya kimbari..

Habari za UN
Tunasherehekea watu wenye ualbino leo kwa sababu tumeona ujasiri wenu na bidii-Muluka Anne

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 13, 2022 2:24


Ikiwa leo dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya kuelimisha jamii kuhusu watu wenye ualbino, Umoja wa Mataifa umetoa  rai kwa nchi zote duniani kuwajumuisha watu wenye ualbino katika mijadala na mipango inayoathiri haki zao za kibinadamu, ili kuhakikisha wanafurahia usawa na ulinzi unaotolewa kwao katika sheria na viwango vya kimataifa.  Kauli mbiu ya maadhimisho hayo kwa mwaka huu inasema ”Tuungane pamoja kufanya sauti zetu zisikike” ikihamasisha haja ya kufanya kazi pamoja na kujenga ushirikiano ili kukabiliana na changamoto za haki za binadamu zinazowakabili watu wenye ualbino.    Mtaalam Huru wa Umoja wa Mataifa kuhusu ualbino Muluka-Anne Miti-Drummond amesema kupitia taarifa yake aliyotoa leo mjini Geneva Uswisi kuwa sehemu za kufanya maamuzi kuanzia ngazi za kimataifa, kitaifa , kijamii na hata katika sekta binafsi kumekosa uwakilishi wa watu wenye ualibino na hivyo wanashindwa kushiriki katika mijadala ya kufanya maamuzi na hali hiyo inaweza kusababisha ukiukwaji wa haki zao za kibinadamu.    Amesema,  “ni ubaguzi wa kimuundo na ukosefu wa usawa wa kihistoria. Hakuwezi kuwa na usawa bila kujumuishwa kwa sauti za walio hatarini zaidi. Ikiwa hatutajumuisha watu wenye ualbino katika majadiliano na maamuzi, tunaendeleza ubaguzi wa kimuundo na ukosefu wa usawa wa kihistoria.”   Hata hivyo ametoa pongezi akisema,  "Tunasherehekea watu wenye ualbino leo kwa sababu tumeona ujasiri wenu na bidii. Tumeona ongezeko la idadi ya watetezi na wapiganaji wa haki za binadamu wenye ualbino, wengi wao ambao wameanzisha mashirika ya kirai wakati waliona haja ya uwepo wa watu wa kuleta mabadiliko. Wengi wenu mmefanya kazi bila kuchoka kukabiliana na mizizi ya unyanyapaa na mauji ya watu wenye ualbino ikiwemo kukabiliana na dhana potofu hatari kupitia kampeni za kuelimisha kwa kuchagiza ufikiaji wa huduma za afya na raslimali na kuhakikisha ujumuishaji katika shule na maeneo ya kazi ili kuongeza nafasi za watu wenye ualbino kupata mbinu za kujipatia kipato endelevu."    Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya kuelimisha jamii kuhusu watu wenye ualbino mwaka huu pia yanasherehekea kazi zilizofanywa na vikundi vya wenye ualbino katika kupaza sauti zao nakuhamasisha kuendeleza mshikamano wakati wakiendelea kupambana kuhakikisha sauti zao zinasikika. 

hata umoja watu kauli mataifa wengi ikiwa
Habari za UN
Jumuiya ya kimataifa mulikeni Myanmar- Bachelet

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 15, 2022 2:14


Jumuiya ya kimataifa zimehimizwa kuchukua hatua za pamoja na za haraka ili kukomesha wimbi la ghasia nchini Myanmar kwakile kilichoelezwa kuwa jeshi limejihusisha na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu ambao baadhi yao unaweza kuwa uhalifu. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Anold Kayanda. Kauli hiyo imetolewa na Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet hii leo jijini Geneva Uswisi wakati ikitolewa ripoti ya 49 ya kikao cha kawaida cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa.  Ripoti hiyo imetanabaisha kuwa jeshi na vikosi vya usalama vya Myanmar vimeonesha kutojali kabisa maisha ya binadamu, huku wakishambulia maeneo yenye wakazi wengi kwa mashambulizi ya anga na silaha nzito na kuwalenga kwa makusudi raia, ambao wengi wao wamekuwa wakiuawa. Wananchi kupigwa risasi kichwani, kuchomwa moto hadi kufa, kukamatwa kiholela, kuteswa au kutumika kama ngao za binadamu ni baadhi ya matukio yaliyoripotiwa kwenye ripoti hiyo. Mauaji ya watu wengi nayo yameripotiwa kufanyika ambapo mwezi Julai mwaka 2021 katika Mkoa wa Sagaing, askari waliwaua watu 40 katika mfululizo wa mashambulizi, wanakijiji walipata mabaki ya baadhi ya wahanga wakiwa bado wamefungwa mikono na miguu migongoni. Mwezi Disemba katika Jimbo la Kayah, wanajeshi walichoma moto takriban miili ya watu 40 wakiwemo wanaume, wanawake na watoto. Wanakijiji walieleza kugundua mabaki hayo kwenye malori kadhaa, huku miili ikipatikana katika sehemu zinazoonyesha kuwa walijaribu kutoroka na kuteketezwa wakiwa hai. Wafungwa nao waliripoti kukabiliwa na mateso na aina zingine za unyanyasaji wakati wa mahojiano ya muda mrefu katika vituo vya kijeshi kote Myanmar. Ikiwa hayo ni baadhi tuu ya matukio yaliyoainishwa kwenye ripoti Kamishna Bachelet ameseme ”Hatua za maana za jumuiya ya kimataifa zinahitajika haraka kuchukuliwa ili kukomesha watu wengine zaidi kupokonywa haki zao, maisha yao na riziki zao.” Amehitimisha ripoti yake kwakueleza ukiukwaji wa haki za binadamu ni mpana sana nchini Myanmar pamoja na ukioukwaji wa sheria za kimataifa na watu wa Myanmara wanateseka hivyo jumuiya za kimataifa zinahitajika kutoa mwitikio thabiti na kwa umoja.

myanmar jimbo umoja bachelet haki kayah julai baraza kauli hatua mataifa kimataifa ikiwa wananchi