Podcasts about virusi

  • 28PODCASTS
  • 62EPISODES
  • 18mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • Jan 29, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about virusi

Latest podcast episodes about virusi

Habari za UN
29 JANUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 29, 2025 9:59


Hii leo jaridani tuanaangazia masuala ya ufadhili wa huduma za afya, na kilimo cha cacao nchini Liberia. Makala inatupeleka nchini DRC na mashinani nchini Kenya, kulikoni?Baada ya Serikali ya Marekani kutoa tangazo jipya sasa kwamba itaendelea kufadhili huduma zinazolenga vita dhidi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), shirika la Umoja wa Mataifa la kukabiliana na VVU na Ukimwi (UNAIDS) limeeleza kuupokea uamuzi huo kwa furaha na kuuita wa kuokoa maisha.Kilimo bora cha kakao huko Liberia kimemwondolea uchovu na kukosa kulala, mkazi wa kaunti ya Nimba, kaskazini mashariki mwa Liberia, baada ya mradi wa mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Kilimo, IFAD nchini humo kumwezesha sio tu kugeukia kilimo, bali pia kuajiri vijana wengine na hivyo kufanikisha lengo la Umoja wa Mataifa la kuondokana na umaskini.Makala inatupeleka kwenye msitu wa bonde la mto Congo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC wa pili kwa ukubwa duniani unaofyonza kiasi kikubwa cha hewa ukaa, ambako mradi wa Umoja wa Mataifa wa kulinda bayoanuwai na kupambana na umasikini UNREDD unaleta nuru kwa jamii na mazingira.Na mashinani fursa ni yake fursa ni yake Esther Wangoi Mbugua, Mama mfugaji nyuki kutoka Kaunti ya Kajiado nchini Kenya ambaye alizungumza na washirika wetu Redio Domus akieleza kuwa ameweza kujipatia kipato na kumudu mahitaji ya familia yake kupitia mradi wa ufugajji nyuki.Mwenyeji wako niAnold Kayanda karibu!  

Habari za UN
UNAIDS: Marekani yatangaza kurejesha ufadhili dhidi ya VVU

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 29, 2025 2:08


Baada ya Serikali ya Marekani kutoa tangazo jipya sasa kwamba itaendelea kufadhili huduma zinazolenga vita dhidi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), shirika la Umoja wa Mataifa la kukabiliana na VVU na Ukimwi (UNAIDS) limeeleza kuupokea uamuzi huo kwa furaha na kuuita wa kuokoa maisha. Selina Jerobon na maelezo zaidi.

Top Albania Radio
Virusi i Kinës, çfarë pasojash sjell tek fëmijët dhe tek të moshuarit?/ Wake Up

Top Albania Radio

Play Episode Listen Later Jan 7, 2025 23:11


Çdo mëngjes zgjohuni me “Wake Up”, programi i njëkohshëm radio-televiziv i “Top Channel” e “Top Albania Radio”, në thelb ka përcjelljen e informacionit më të nevojshëm për mëngjesin. Në “Wake Up” gjeni leximin e gazetave, analiza të ndryshme, informacione utilitare, këmbimin valuator, parashikimin e motit, biseda me të ftuarit në studio për tema të aktualitetit, nga jeta e përditshme urbane e deri tek arti dhe spektakli si dhe personazhe interesantë. Zgjimi në “Wake Up” është ritmik dhe me buzëqeshje. Gjatë tri orëve të transmetimit, na shoqëron edhe muzika më e mirë, e huaj dhe shqiptare. 

wake virusi top albania radio
Habari za UN
Fahamu mbinu itumiwayo Afrika Kusini kukabili Virusi Vya Ukimwi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 29, 2024 1:41


Kuelekea ya Siku ya Kimataifa ya UKIMWI itakayoadhimishwa Jumapili hii, ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kukabiliana na UKIMWI (UNAIDS) iliyotolewa juzi Jumatano imeeleza kuwa dunia inaweza kufikia lengo lililokubaliwa la kukomesha UKIMWI kama tishio la afya ya umma ifikapo mwaka 2030 lakini kwa sharti kwamba viongozi ni lazima walinde haki za binadamu za kila mtu anayeishi na Virusi Vya UKIMWI, VVU au aliyeko hatarini kuambukizwa. Anold Kayanda ameangazia mfano mzuri wa Afrika Kusini unaofahamika kama “Takuwani Riime”.

Iko Nini Podcast
Ep 368 VIRUSI MBAYA - BEEF WITH MWAF & OCTO, BATTLING ADDICTION, SURVIVING MOB JUSTICE Iko Nini

Iko Nini Podcast

Play Episode Listen Later Oct 30, 2024 67:33


Ep 368 VIRUSI MBAYA - BEEF WITH MWAF & OCTO, BATTLING ADDICTION, SURVIVING MOB JUSTICE Iko Nini

Habari za UN
Mataifa yahakikishe ulimwengu unakuwa mahali bora kwa watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi - Jerop

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 20, 2024 2:15


Leo hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani vijana kutoka kila kona ya dunia wanakutana kuanza kujadili kuhusu mstakabali wao katika zama zijazo. Miongoni mwao ni Jerop Limo kutoka Kenya anayetumia uzoefu wake wa kuishi na Virusi Vya Ukimwi kwa miaka 24 ya umri wake kuhakikisha ulimwengu unakuwa mahali bora kwa watu ambao tayari wanaishi na virusi hivyo. Anold Kayanda amezungumza naye na hapa Jerop Limo anaanza kwa kueleza yale ambayo atawaeleza viongozi wa ulimwengu.

Habari za UN
19 SEPTEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 19, 2024 10:55


Hii leo jaridani tuankuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Sudan Kusini kufuatilia changamoto za kibinadamu na jinsi ambavyo mashirika ya Umoja wa Mataifa yanavyozitatua. Pi atunakuletea muhtasari wa habari kama zifuatazo na ufafanuzi wa methali.Licha ya kuongezeka kwa majanga duniani, kuanzia umaskini hadi dharura ya tabianchi, Umoja wa Mataifa umesalia na azma yake ya kusongesha amani, maendeleo endelevu na kupunguza machungu yanayowapata binadamu, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres katika ripoti yake ya mwaka ya utendaji wa Umoja wa Mataifa iliyotolewa leo jijini New York, Marekani kabla ya kuanza kwa Mjadala Mkuu wa  mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA79.Shirika la Umoja wa Mataifa la kukabiliana na Ukimwi, UNAIDS hii leo limetoa ripoti yake huko Geneva, Uswisi ikionesha kuwa mzigo wa madeni unaokabili nchi za Afrika zilizo Kusini mwa jangwa la Sahara unasababisha zibakie na fedha kidogo kugharimia huduma za afya, pamoja na huduma muhimu zaidi dhidi ya Virusi vya Ukimwi, VVU. Idadi kubwa ya watu wanaoishi na VVU duniani wako eneo hilo lakini mzigo wa madeni unarudisha nyuma maendeleo yaliyopatikana ya kutokomeza Ukimwi ifikapo 2030.Tukisalia na suala hilo hilo la UKIMWI, UNAIDS inasema vijana wawili wanaoishi na Virusi vya Ukimwi na pia wana ushawishi mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, Ibanomonde Ngema kutoka Afrika Kusini, na Jerop Limo kutoka Kenya, wako njiani kuja New York, Marekani kushiriki UNGA79 na Mkutano wa Zama Zijazo kwa lengo la kusihi viongozi wa dunia kushirikiana na vijana katika kutokomeza Ukimwi.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “Mke ni nguomgomba ni kupalilia.”.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu! 

Habari RFI-Ki
Juhudi za kukabili unyanyapaa dhidi ya watu wanaoishi na virusi vya ukimwi

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Aug 20, 2024 9:49


Unyanyapaa ni hali inayowakumba watu wengi wanaoishi na virusi vya HIV katika mataifa ya ukanda.

Habari RFI-Ki
Juhudi za kukabili unyanyapaa dhidi ya watu wanaoishi na virusi vya ukimwi

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Aug 20, 2024 9:49


Unyanyapaa ni hali inayowakumba watu wengi wanaoishi na virusi vya HIV katika mataifa ya ukanda.

Podobe znanja
Anna Dragoš: Kako virusi manipulirajo bakterije?

Podobe znanja

Play Episode Listen Later Jul 19, 2024 29:14


Vsak dan od 20 do 40 odstotkov bakterijske biomase pobijejo virusi. Zato imajo ključno vlogo pri kroženju organskih snovi, pomembno pa vplivajo na samo vedenje bakterij. Te se pred virusi na različne načine branijo in razvijajo vedno nove obrambne strategije. A po drugi strani lahko številni virusi s svojimi gostitelji tudi uspešno sobivajo, sočasno pa na različne načine vplivajo na njihovo vedenje, vplivajo lahko na komunikacijo bakterij in jim celo pomagajo pri medsebojnih spopadih.Zapletene odnose med virusi in njihovimi gostitelji smo šele dobro začeli odkrivati. A poznavanje teh interakcij bi lahko omogočilo tudi nove pristope k boju s škodljivimi sevi bakterij. S sredstvi Evropskega raziskovalnega sveta za raziskovalce na začetku samostojne kariere v višini 2,2, milijona evrov se bo doc. dr. Anna Dragoš z Biotehniške fakultete Univerze v Ljubljani v projektu Phagecontrol posvetila prav vprašanjem, kako se vedenje in lastnosti bakterij spreminjajo, ko se v njihovo DNK integrirajo virusi. »Virusi, ki jih bomo preučevali, ki spadajo med t. i. regulatorna stikala. Integrirajo se v funkcionalne gene gostitelja, kar prekine gen, ki se ne more več izraziti […] Pod določenimi pogoji se virus izreže in gen se spet lahko izrazi. S tem na nek način preklapljajo obnašanje gostiteljskega seva bakterij,« pojasnjuje dr. Anna Dragoš.

Podobe znanja
Arijana Filipić: S hladno plazmo nad trdožive viruse

Podobe znanja

Play Episode Listen Later Jun 7, 2024 30:42


Stanje voda po svetu je vse prej kot dobro, marsikje voda ni primerna za pitje, vsebuje številne odpadne snovi, mikroplastiko pa tudi mikroorganizme. Ti so seveda lahko vir resnih okužb in to ne samo pri človeku. Virusi v namakalni vodi lahko uničijo celoten pridelek. Marsikateri med njimi so tudi presenetljivo trdoživi in lahko preživijo različne postopke v čistilnih napravah. Nov pristop odpira uporaba hladne plazme. Raziskave so namreč pokazale, da lahko hladna plazma v kombinaciji s t .i. superkavitacijo zelo učinkovito onesposobi več različnih odpornih virusov. Zakaj je hladna plazma tako učinkovita in na kakšne načine je to četrto agregatno stanje mogoče uporabljati pri inaktivaciji virusov in čiščenju vode? Te možnosti raziskuje dr. Arijana Filipić z Nacionalnega inštituta za biologijo.

Duhovna misel
Berta Golob: Ta čas

Duhovna misel

Play Episode Listen Later Apr 30, 2024 6:24


Moj sosed, čigar roke in um izvabljajo iz predmetov stvaritve vseh vrst, mi je za stenski okras prinesel panjsko končnico. Ponazarja sedanji čas: črno sonce, modro sajasto nebo, gola pokrajina, človeške kosti. Čebelica Maja – on je rekel Ana, kot je ime njegovi mami – zajema vodo iz kalnega studenca. Iz te puščave se prebija na dan marjetica. Prvi vtis ne vzbuja upanja. Podrobnosti kažejo usmeritev k uničenju vsega živega. Temu pa se upira droben cvet. Spomnil me je na Tagoreja, ki pravi: Sonce je reklo »Kako se imaš, draga moja?« Ni se ozrlo na bahavo sončnico, ampak na cvetico brez imena. Res, kaj zmore sonce! Isti Tagore je zapisal, da ima sonce »luč za vse nebo, svoje temne pege pa zase«. »Zgubila sem rosno kapljo, kliče roža jutranjemu nebu, ki je zgubilo vse svoje zvezde.« Misel istega Indijca. Daje mi misliti. »Mislim, torej sem – cogito, ergo sum – kdo je že to rekel? Mislec, filozof. Kako se vse prepleta. En preblisk misli izpodriva drugega. V razsodni glavi se vse zbira v jedro, v begavi se razprši na drobce. Pa saj to velja za vse, o čemer se trudimo razmišljati in to razumeti. Na pretek je vsakodnevnih dogodkov in dnevnih poročil. Veliko je slišati o vseh dogodkih dneva, pomagati pa ne moremo. Seveda nas pretresejo, če nismo površni, in se tolažimo, da se bo menda našla pomoč za prizadete. Velja pregovor, da znamo pomagati ob nezgodah in nesrečah. Dokler je to res, smo pravzaprav varni. Prijazno je vedeti, da se že otroci pridružijo gasilcem; svojim sposobnostim primerno. Usposabljanje, rečemo temu. Dobro je biti usposobljen za pomoč pri nesrečah. Že od malega pa za to, da premagujemo sprotne ovire. Ko si kobacač odrgne koleno, še ni treba z njim v ambulanto. »Polovico teh ljudi, ki čakajo zunaj rožnatih lic,« sem rekla zdravniku, »bi spodila domov.« To pravite vi, je odvrnil, jaz tako samo mislim. Ta čas je hud. Virusi. Eden kar s krono, kraljestva pa umirajo počasi. Poročila omenjajo pandemijo, raztegnjeno čez svet. Pred časom smo se bali že epidemije. Pan, pan … ali nas ne spominja na davno šolo in na panslovansko? Prava vznesenost! Največ sveta otrokom sliši Slave … V ozadju pa pandemija in pišmveuška obrazna maska. Ta čas je razsut. Natlačili smo ga s toliko dejavnostmi, da se dušimo v njih. Matej Bor, ki ga ni več med nami, ga je imenoval atomski vek. Šel je popotnik skozi atomski vek. Med drugim se je popotnik odločil razstaviti dušo. Uspelo mu je. Sestaviti nazaj pa ne!

Podobe znanja
Marjetka Podobnik: Strukturni nered omogoča proteinom, da opravljajo več različnih funkcij

Podobe znanja

Play Episode Listen Later Feb 16, 2024 32:13


Virusi in bakterije so skozi dolgo evolucijo razvili celo paleto orodij, s katerimi si pomagajo pri preživetju in razmnoževanju. Izredno fleksibilnost teh orodij podrobneje spoznavamo šele ob pomoči vse bolj sofisticiranih naprav, ki nam omogočajo vpogled v samo strukturo molekul in v to, kako dejansko potekajo procesi, s katerimi si denimo virusi in nekatere bakterije odprejo celično membrano in vstopijo v celico, in kako se na raznolike načine branijo in prilagajajo okolju. Nova spoznanja seveda omogočajo tako boljše razumevanje dogajanja kot tudi odpirajo najrazličnejše možnosti uporabe. Za svoje delo na področju strukturne biologije je izr. prof. dr. Marjetka Podobnik, vodja Odseka za molekularno biologijo in nanobiotehnologijo na Kemijskem inštitutu prejela Zoisovo priznanje.

za razli omogo virusi izredno kemijskem odseka zoisovo
Explora
Explora 30.01.2024.

Explora

Play Episode Listen Later Jan 31, 2024 51:48


Korado Korlević u Explori odgovora na brojna pitanja i zagonetke svijeta oko nas. Zanimljive i kontroverzne teme, znanstvene novosti, povijesne zagonetke i trendovi razvoja tehnologije. Urednik i voditelj Elvis Mileta. U ovoj emisiji - Asteroidi kao prijetnja. Impaktori u prošlosti. Svi smo mi Marsovci? Život na Marsu. Otvorena je kapsula. Japanski problemi na Mjesecu. Prstenasta struktura u Svemiru. Kako odlediti automobilsku bravu i prednje staklo? Kako se vratiti u Hrvatsku? Žuta boja urina. Virusi protiv bakterija.

Duhovna misel
Berta Golob: Ta čas

Duhovna misel

Play Episode Listen Later Oct 23, 2023 6:36


Moj sosed, čigar roke in um izvabljajo iz predmetov vseh vrst stvaritve, mi je za stenski okras prinesel panjsko končnico. Ponazarja sedanji čas: črno sonce, modro sajasto nebo, gola pokrajina, človeške kosti. Čebelica Maja – on je rekel Ana, kot je ime njegovi mami – zajema vodo iz kalnega studenca. Iz te pustinje se na dan prebija marjetica. Prvi vtis ne vzbuja upanja. Podrobnosti kažejo smer k uničenju vsega živega. Temu pa se upira droben cvet. Spomni me na Tagoreja, ki pravi: Sonce je reklo »Kako se imaš, draga moja?« Ni se ozrlo na bahavo sončnico, ampak na cvetico brez imena. Res, kaj zmore sonce! Isti Tagore zapiše, da ima sonce »luč za celo nebo, svoje temne pege pa zase«. »Izgubila sem rosno kapljo, kliče roža jutranjemu nebu, ki je izgubilo vse svoje zvezde.« Misel istega Indijca. Daje mi misliti. Mislim, torej sem – cogito, ergo sum – kdo že je to rekel? Mislec, filozof. Kako se vse prepleta. En preblisk misli izpodriva drugega. V razsodni glavi se vse zbira v jedro, v begavi se razprši na drobce. Pa saj to velja za vse, o čemer se trudimo razmišljati in to razumeti. Na pretek je vsakodnevnih dogodkov in dnevnih poročil. Veliko je slišati o vseh dogodkih dneva, pomagati pa ne moremo niti enemu. Seveda nas pretresejo, če nismo površni, in se tolažimo, da se bo menda ja našla pomoč za prizadete. Prislovično veljamo, da znamo pomagati ob nezgodah in nesrečah. Dokler je to res, smo pravzaprav varni. Prijazno je vedeti, da se že otroci pridružijo gasilcem; svojim sposobnostim primerno. Usposabljanje, rečemo temu. Dobro je biti usposobljen za pomoč pri nesrečah. Že od majhnega pa za to, da premagujemo sprotne ovire. Ko si kobacaj odrgne koleno, še ni treba z njim navaliti v ambulanto. »Polovico teh ljudi, ki čakajo zunaj rožnatih lic,« sem rekla zdravniku, »bi spodila domov.« To pravite vi, je odvrnil, jaz tako samo mislim. Ta čas je hud. Virusi. Eden kar s krono, kraljestva pa umirajo počasi. Poročila omenjajo pandemijo, raztegnjeno čez svet. Pred časom smo se bali že epidemije. Pan, pan … a nas ne spominja na davno šolo in na panslovansko? Prav vzneseno občutje! Največ sveta otrokom sliši Slave … Zadaj pa pandemija in pišmeuh obrazna maska. Ta čas je razsuti čas. Natlačili smo ga s toliko dejavnostmi, da se dušimo v njih. Matej Bor, ki ga ni več med nami, ga je imenoval atomski vek. Šel je popotnik skozi atomski vek. Med drugim se je popotnik odločil razstaviti dušo. Uspelo mu je. Samo sestaviti nazaj pa ne!

Duhovna misel
Berta Golob: Ta čas

Duhovna misel

Play Episode Listen Later Sep 6, 2023 6:43


Moj sosed, čigar roke in um izvabljajo iz predmetov vseh vrst stvaritve, mi je za stenski okras prinesel panjsko končnico. Ponazarja sedanji čas: črno sonce, modro sajasto nebo, gola pokrajina, človeške kosti. Čebelica Maja – on je rekel Ana, kot je ime njegovi mami – zajema vodo iz kalnega studenca. Iz te pustinje se na dan prebija marjetica. Prvi vtis ne vzbuja upanja. Podrobnosti kažejo smer k uničenju vsega živega. Temu pa se upira droben cvet. Spomni me na Tagoreja, ki pravi: Sonce je reklo »Kako se imaš, draga moja?« Ni se ozrlo na bahavo sončnico, ampak na cvetico brez imena. Res, kaj zmore sonce! Isti Tagore zapiše, da ima sonce »luč za vse nebo, svoje temne pege pa zase«. »Zgubila sem rosno kapljo, kliče roža jutranjemu nebu, ki je zgubilo vse svoje zvezde.« Misel istega Indijca. Daje mi misliti. »Mislim, torej sem – cogito, ergo sum – kdo že je to rekel? Mislec, filozof. Kako se vse prepleta. En preblisk misli izpodriva drugega. V razsodni glavi se vse zbira v jedro, v begavi se razprši na drobce. Pa saj to velja za vse, o čemer se trudimo razmišljati in to razumeti. Na pretek je vsakodnevnih dogodkov in dnevnih poročil. Veliko je slišati o vseh dogodkih dneva, pomagati pa ne moremo niti enemu. Seveda nas pretresejo, če nismo površni, in se tolažimo, da se bo menda ja našla pomoč za prizadete. Prislovično veljamo, da znamo pomagati ob nezgodah in nesrečah. Dokler je to res, smo pravzaprav varni. Prijazno je vedeti, da se že otroci pridružijo gasilcem; svojim sposobnostim primerno. Usposabljanje, rečemo temu. Dobro je biti usposobljen za pomoč pri nesrečah. Že od malega pa za to, da premagujemo sprotne ovire. Ko si kobacaj odrgne koleno, še ni treba z njim navaliti v ambulanto. »Polovico teh ljudi, ki čakajo zunaj rožnatih lic,« sem rekla zdravniku, »bi spodila domov.« To pravite vi, je odvrnil, jaz tako samo mislim. Ta čas je hud. Virusi. Eden kar s krono, kraljestva pa umirajo počasi. Poročila omenjajo pandemijo, raztegnjeno čez svet. Pred časom smo se bali že epidemije. Pan, pan … a nas ne spominja na davno šolo in na panslovansko? Prav vzneseno občutje! Največ sveta otrokom sliši Slave … Zadaj pa pandemija in pišmveuh obrazna maska. Ta čas je razsuti čas. Natlačili smo ga s toliko dejavnostmi, da se dušimo v njih. Matej Bor, ki ga ni več med nami, ga je imenoval atomski vek. Šel je popotnik skozi atomski vek. Med drugim se je popotnik odločil razstaviti dušo. Uspelo mu je. Samo sestaviti nazaj pa ne!

Jioni - Voice of America
Wanasayansi na wadau wa afya katika mapambano dhidi ya HIV Kenya wanakutana kupata mbinu bora zaidi za kukabiliana na virusi hivyo - Agosti 29, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 29, 2023 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Habari za UN
Dkt. Tedros - Tunaishi mara moja na tuna ini moja, tutokomeze Homa ya Ini

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 28, 2023 0:01


Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni (WHO) Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus kupitia ujumbe wake kwa Siku ya Kimataifa ya Homa ya Ini inayoadhimishwa kila Julai 28, amesema kwa kuwa wanadamu tunaishi mara moja na tuna ini moja, WHO imejitolea kushirikiana na nchi zote na wadau wote ili kutimiza maono ya pamoja ya kutokomeza virusi vya homa ya ini ifikapo 2030.  “Kila mwaka, homa ya ini inayosababishwa na virusi inaua zaidi ya watu milioni moja, na zaidi ya watu milioni tatu wapya wanaambukizwa. Tunajua namba hizi ni za chini ya makadirio. Mamilioni ya watu ulimwenguni kote wana homa ya ini ambayo haijatambuliwa na ambayo haijatibiwa. Mara nyingi, ugonjwa huendelea bila kutambuliwa mpaka dalili zinakuwa mbaya.” Hata hivyo Dkt. Tedros anaeleza habari njema akisema, “Sasa tuna zana bora zaidi za kuzuia, kutambua na kutibu homa ya ini. Duniani kote, WHO inaunga mkono nchi kupanua matumizi ya zana hizo, ili kutokomeza homa ya ini na kuokoa maisha.” Anayoyasema Mkuu huyu wa WHO tayari yameanza kuzaa matunda katika baadhi ya nchi. Mathalani barani Afrika, wizara ya Afya ya Uganda, kwa msaada wa kiufundi kutoka WHO, ilibuni mkakati wa kudhibiti homa ya ini ya B, ikijumuisha uhamasishaji wa umma, upimaji na matibabu nchini kote. Hadi kufikia sasa watu milioni 4 wamefanyiwa uchunguzi wa ugonjwa huo na  zaidi ya asilimia 30 ya watu walioambukizwa homa ya ini ya B wanafahamu hali zao na wanaweza kupata huduma za matibabu ya kina, ikiwa ni pamoja na dawa za bure. Tags: Homa ya Ini, Virusi vya Homa ya Ini, Hepatitis, Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus, Siku za UN 

Habari za UN
03 JULAI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 3, 2023 0:13


Hii leo jaridani tunakuletea kipindi maalum kuelekea siku ya kimataifa ya lugha ya Kiswahili itakayoadhimishwa wiki hii na leo tutakuwa nchini Tanzania katika Baraza la Kiswahili la taifa BAKITA. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo za WHO, UNAIDS na IAEA. Mashinani tutaelekea nchini Afrika Kusini, kulikoni? Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni (WHO) limetoa mwongozo mpya kuhusu sera za kuwalinda watoto dhidi ya athari mbaya za matangazo ya vyakula.Shirika la Umoja wa Mataifa kukotokomeza Virusi vya Ukimwi na UKIMWI (UNAIDS) katika ripoti yake mpya iliyopewa jina ‘Njia Inayomaliza UKIMWI, limeonesha kuwa kuna ongezeko la idadi ya nchi zinazothibitisha kwamba UKIMWI unaweza kukomeshwa ikiwa kuna utashi wa kisiasa ambao unamaanisha kutoa ufadhili wa kutegemewa na wa kutosha; kufuata data na ushahidi; kupunguza kukosekana kwa usawa na ubaguzi unaonyima huduma za watu, kutumia zana za kisayansi zinazolinda ustawi, na kipengele muhimu cha kutambua na kushirikisha afua zinazoongozwa na jamii.Na baada ya miezi minne, Mtambo wa Nishati ya Nyuklia wa Zaporizhzhya nchini Ukraine (ZNPP) umeunganishwa tena katika njia yake pekee ya dharura lakini hali ya nishati ya eneo hilo bado ni tete wakati wa mzozo wa kijeshi unaoendelea na sio endelevu, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) Rafael Mariano Grossi ameeleza leo.Mashinai tutakupeleka nchini Afrika Kusini ambapo video fupi iliyopewa jina "A Thousand Colours" yaani 'Rangi Elfu Moja' iliyoandaliwa na taasisi ya Khalili Foundation kwa kushirikiana na UNESCO inaeleza umuhimu wa utofauti wa kitamaduni.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu! 

Explora
Explora 16.05.2023.

Explora

Play Episode Listen Later May 16, 2023 51:08


Space X – komercijalna svemirska stanica za dvije godine. Virusi umjesto antibiotika i CRISPR metoda. AI i rano otkrivanje bolesti. AI i seksualne usluge. AI i lektira. Kako spriječiti sušu? Tinitus – zujanje u ušima. Zašto je cvijeće lijepo ženama ( a ne npr. plodovi) ? Mučnina na zadnjem sjedištu moga auta. Otkriveni novi mjeseci oko Saturna. Kako su nastali Saturnovi prsteni? Evolucija i revolucija.

Habari za UN
14 APRILI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 14, 2023 0:11


Hii leo jaridani tunaangazia wasichana waliotekwa nyara katika shule ya bweni huko Chibok Nigeria ambapo mpaka sasa 96 bado wapo utumwani, na matokeo ya mradi wa FISH4ACP nchini Tanzania. Makala tunakupeleka nchini Rwanda na Mashinani nchini Jamhuri ya Congo, Brazaville, kulikoni?Ikiwa ni miaka tisa imepita tangu wasichana 276 kutekwa nyara wakiwa katika shule ya bweni huko Chibok Nigeria ambapo mpaka sasa 96 bado wapo utumwani, Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limetaka wadau kusaidia katika kuwekeza zaidi katika usalama wa wanafunzi mashuleni kwani bado vitendo vya utekaji vinaendelea nchini humo.Nchini Tanzania, shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO kupitia  mradi  wake FISH4ACP  limepokea matokeo ya Utafiti kuhusu Usawa wa Kinjisia katika Masuala ya Uvuvi, moja ya hoja ambayo ikitekelezwa vema itasaidia kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu, SDGs hasa la kutokomeza njaa na kuondokana na umaskini. Devotha Songorwa wa Redio washirika Kids Time FM nchini Tanzania ndio shuhuda wetu wa uzinduzi huo uliofanyika katika  Mkoa wa Kigoma, Magharibi mwa Taifa hilo la Afrika Mashariki.Katika tunasalia hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa kusikiliza simulizi ya manusura wa mauaji ya kimbari dhidi ya watutsi nchini Rwanda mwaka 1994, ikiwa leo Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lina kumbukizi maalum ya mauaji hayo.Na katika mashini tutaelekea katika mji mkuu wa Jamhuri ya Congo, Brazaville kusikia ushauri kutoka kwa mwanamke ambaye amekuwa akiishi na Virusi vya Ukimwi, VVU kwa miaka 24.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, Karibu!

Frekvenca X
Januar v znanosti: Masni spektrometer, jedrska fuzija, respiratorni virusi in Znanstveniki proti plastiki

Frekvenca X

Play Episode Listen Later Jan 26, 2023 29:28


Sprehodimo se po odkritjih in dosežkih v znanosti v iztekajočem se mesecu, Frekvenca X ponuja raznoliko bero aktualnih raziskav - od jedrske fuzije, do masnega spektrometra, od plastike v morju do sezone okužb z respiratornimi virusi. Novinarjema Maji Stepančič in Luki Hvalcu se je v studiu pridružila gostujoča urednica oddaje, virologinja Katarina Prosenc Trilar. Ostali gosti oddaje: dr. Luka Snoj, vodja raziskovalnega reaktorja Triga na Brinju pri Ljubljani; dr. Damjan Osredkar, predstojnik kliničnega oddelka za otroško, mladostniško in razvojno nevrologijo na Pediatrični kliniki v Ljubljani; dr. Ivan Šprajc arheolog z ZRC SAZU; dr. Tina Kosjek, Inštitut Jožef Stefan.

proti ljubljani doctype pediatri ostali zrc sazu virusi znanstveniki triga spektrometer luka snoj frekvenca x
Kā labāk dzīvot
Speciāliste: Pretvīrusu medikamentiem rezistence ir ievērojami mazāka

Kā labāk dzīvot

Play Episode Listen Later Jan 26, 2023 47:44


Vīrusi ir dabas daļa un tie nepārtraukti evolucionē. Kā tas notiek un kāpēc ir tik nepieciešama precīza diagnostika, lai noteiktu, kāds vīruss mūs ir „apsēdis” kārtējo reizi, kā arī, cik ļoti vīrusu klātbūtne ietekmē veselību, raidījumā Kā labāk dzīvot skaidro SIA „Centrālā laboratorija" valdes locekle, Rīgas Stradiņa universitātes (RSU) Infektoloģijas katedras asociētā profesore Jeļena Storoženko un RSU Infektoloģijas katedras profesore, infektoloģe Angelika Krūmiņa. "Virusi ir brīnišķīgi iekārtojušies šajā pasaulē. Būtu nepareizi domāt, ka kaut kad būsim brīvi no dažādiem vīrusu paveidiem, visi būs laimīgi, priecīgi, veseli, nebūs nekādu mutāciju un hibrīdvariantu. Vēstures liecības jau parādījušas, ka ārkārtīgi lielā pielāgošanās māka jeb spēja, ja cilvēkam tāda būtu, problēmu būtu daudz mazāk. Mums būtu daudz ko mācīties no vīrusiem!" atzīst Angelika Krūmiņa. Antivīrusu preparātu atšķirībā no antibiotikām pasaulē nav daudz un regulāri tiek pārbaudīta vīrusu rezistence pret šiem preparātiem. "Pēc pēdējiem datiem nav novērota būtiska rezistence pret antivirāliem preparātiem, ja runājam par gripu," skaidro Jeļena Storoženko. "Bet respiratoro vīrusu ir daudz, arī pret covid nav daudz medikamentu, līdz ar to ir nedaudz citi mehānismi. Ja ir antibakteriālo līdzekļu ir daudz un baktērijas pielāgojas medikamentiem, veidojot rezistences mehānismus, runājot par vīrusiem, specifisku antivirālu preparātu nav daudz. Kādreiz populārais medikaments remantadīns, ko izmantoja gripas ārstēšanai, ir izrādījies rezistents. Šobrīd izmanto citus medikamentus. "Salīdzinot ar antibiotikām, pret pretvīrusu medikamentiem rezistence ir ievērojami mazāka," atzīst Angelika Krūmiņa.  

Podobe znanja
Maja Ravnikar: Zaradi bolezni propade 40 odstotkov rastlinske proizvodnje

Podobe znanja

Play Episode Listen Later Jan 13, 2023 30:00


Za svoje raziskave virusov in njihove razširjenosti v okolju je prejela Zoisovo nagrado Virusi so vsepovsod okrog nas, v vodi, zraku, zemlji, v vseh živih bitjih in seveda tudi v nas. Obstaja ogromno različnih vrst in nekateri med njimi, kot smo se nazorno poučili v zadnjih par letih, povzročajo tudi hude bolezni.Metodo spremljanja prisotnosti rastlinskih virusov v odpadnih vodah, ki jo je prof. dr. Maja Ravnikar, direktorica Nacionalnega inštituta za biologijo, pionirsko razvijala že pred 15 leti, so ob izbruhu pandemije covida-19 hitro prilagodili novim potrebam in začeli spremljati razširjenost novega virusa.»Preskok z rastlinskih na humane viruse ni bil zelo težak zaradi naših dolgoletnih izkušenj in metodologij.«Kako viruse v okolju zaznati, določiti, spremljati njihove premike ter jih iz njega celo odstraniti, so področja, ki se jim prof. dr. Maja Ravnikar zelo uspešno posveča. Za svoje raziskave je prejela tudi Zoisovo nagrado za vrhunske dosežke. Foto: Jure Makovec/NIB

Siha Njema
Mashirika ya kiraia yanavyopambana na unyanyapaa dhidi ya watu wanaoishi na virusi vya HIV Kenya

Siha Njema

Play Episode Listen Later Jan 5, 2023 9:57


Unyanyapaa na ukosefu wa usawa kwenye mikakati ya kupambana na HIV ni baadhi ya sababu zinazorudisha nyuma mapambana kushinda UKIMWI Katika mtaa wa Kibera ,jijini Nairobi Kenya ,mashirika ya kiraia yanawasaidia watu wanaoishi na virusi vya HIV kuishi maisha ya kawaida.Victor Moturi amezungumza na wakaazi wa Kibera wanaonufaika na mpango wa Mentor Mother

Explora
Explora 03.01.2023.

Explora

Play Episode Listen Later Jan 3, 2023 49:38


Sutra je perihel. Nejednaki porast morske razine. Kako ukloniti stare stanice iz organizma. Virusi jedu bakterije, bakterije jedu viruse. Izazov za digitalne nomade. Mačke kao kućni ljubimci prvih sjedilačkih civilizacija. Potrošačko društvo i opće smanjenje populacije. Prehrambeni savjeti i prehrambena industrija. Oblik nebeskih tijela i gravitacija. Izlijevanje amonijaka.

Alfajiri - Voice of America
Uganda na WHO wanapanga kujaribu chanjo mbili za virusi vya Ebola - Oktoba 13, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 13, 2022 29:59


Uganda na WHO wanapanga kujaribu chanjo mbili za virusi vya Ebola ya Sudan ili kujaribu kuzuia kuenea kwa ugonjwa huo nadra. Virusi hivyo hadi sasa vimeuwa watu 19 na kuwaambukiza takriban watu 54 katika wilaya tano nchini Uganda.

Gurudumu la Uchumi
Sekta ya utalii yaanza kuimarika tena Tanzania

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Oct 12, 2022 9:44


Msikilizaji tangu mwaka 2020, wakati ugonjwa wa Virusi vya Korona uliripotiwa kwa mara ya kwanza kwenye nchi za Afrika Mashariki, sekta ya utalii ilikuwa muhanga mkubwa wa athari zilizotokana na hatua ya mataifa mbalimbali duniani, kufunga mipaka yake ambapo idadi ya watalii kwenye nchi hizo ilipungua maradufu na kuathiri kwa sehemu ukuaji wa uchumi wa mataifa hayo ambayo mengi yalikuwa yanategemea sekta hii.

Gurudumu la Uchumi
Sekta ya utalii yaanza kuimarika tena Tanzania

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Oct 12, 2022 9:44


Msikilizaji tangu mwaka 2020, wakati ugonjwa wa Virusi vya Korona uliripotiwa kwa mara ya kwanza kwenye nchi za Afrika Mashariki, sekta ya utalii ilikuwa muhanga mkubwa wa athari zilizotokana na hatua ya mataifa mbalimbali duniani, kufunga mipaka yake ambapo idadi ya watalii kwenye nchi hizo ilipungua maradufu na kuathiri kwa sehemu ukuaji wa uchumi wa mataifa hayo ambayo mengi yalikuwa yanategemea sekta hii.

Radio Maria Tanzania
Fahamu Umuhimu wa Lishe Kwa Mwenye Virusi Vya Ukimwi.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 13, 2022 56:32


Ungana na Mtangazaji Erick Paschal Jnr akiwa na Mtaalamu wa Lishe Bi.Rose Msaki kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC) wakiangazia umuhimu wa Lishe na Virusi vya Ukimwi.

Habari za UN
02 AGOSTI 2022

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 2, 2022 12:41


Hii leo kwenye jarida likiletwa kwako na Assumpta Massoi:Habari kwa Ufupi: Uzinduzi wa ubia wa kimataifa kuhakikisha watoto wachanga wanapata matibabu dhidi ya Virusi vya Ukimwi, kisha UNHCR huko DRC inaweza kusitisha mgao wa kimkakati kwa wakimbizi kutokana na ukata na hatimaye ni WHO yazindua ombi la takribani dola milioni 124 kusaidia changamoto za njaa na afya kwenye pembe ya Afrika. Mashinani tunabisha hodi Yemen kwenye kambi ya wakimbizi ambayo hali yake ni taaban. Karibu!  

CuriosITy
CURIOSITY 132 - Viruși din fabrică, AI-ul pentru dentiști, Documentar VR, Orașul Viitorului, Galaxii

CuriosITy

Play Episode Listen Later Jul 30, 2022 81:35


Bine te-am regăsit la o nouă ediție Curiosity, emisiunea noastră preferată de știri din internet și tehnologie. Schimbăm puțin structura emisiunii și aducem în prim plan mult mai multe informații utile, ponturi de tehnologie, site-uri de care nu știai și care s-ar putea să îți fie de folos și chiar recomandări de filme bune pe care le-am văzut sau revăzut în ultima vreme.  Nu în ultimul rând, avem și ponturi despre reduceri la jocuri și chiar ceva explicații legate de ultimele jocuri pe care le-am jucat în ultima vreme.  Apoi, hai să facem lucrurile mai personale, și să mai discutăm și despre știri de la noi din țară, și chiar despre lucruri care contează cu adevărat.

Jioni - Voice of America
Biden akutwa na virusi vya Covid-19, kufanyia majukumu yake ndani ya Ikulu - Julai 21, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 21, 2022 29:59


Rais wa Marekani Joe Biden amepimwa na kupatikana na virusi vya Covid-19. Kwa mujibu wa msemaji wa White House Karine Jean-Pierre, rais huyo ana dalili zisizo kali za ugonjwa huo.

Alfajiri - Voice of America
Serikali ya Kenya imetangaza lazima ya uvaaji barakoa kwenye maeneo ya umma kutokana na ongezeko la maambukizi ya virusi vya Corona - Juni 22, 2022

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 22, 2022 30:00


Watu wanaoshindwa kuvaa barakoa katika maeneo ya umma nchini Kenya wanaweza kufungwa jela au kutozwa faini ya hadi shilingi 20,000 kutokana na ongezeko la maambukizi ya Covid-19

Intelekta
Boj z virusi ostaja napet kot kriminalka

Intelekta

Play Episode Listen Later Jun 7, 2022 42:06


Če pozornost usmerimo le na zadnji dve leti: pandemija novega koronavirusa, hepatitis neznanega izvora in zdaj še opičje koze. Kaj vse nas še čaka? Ali človeštvo izgublja boj z virusi? Ugledna slovenska virologinja, predavateljica in znanstvenica dr. Tatjana Avšič Županc ni presenečena. »Nobelov nagrajenec Joshua Lederberg je rekel, da se bo med ljudmi in mikroorganizmi odvijala napeta kriminalka, ki se bo imenovala Naša pamet proti njihovim genom.« Kaj se bo zgodilo, ko bomo prišli v stik s povzročitelji bolezni iz pragozdov in najbolj odročnih delov sveta? Ko bo taljenje naplavilo viruse, ki so v večnem ledu in snegu ujeti že tisočletja? Ali bo človeštvu z izkušnjami in znanjem uspelo ustaviti njihov pohod? V Intelekti sodelujejo tri slovenske strokovnjakinje: akad. prof. dr. Tatjana Avšič Županc (Medicinska fakulteta v Ljubljani), mag. Katarina Prosenc Trilar (NLZOH) in prim. doc. dr. Alenka Trop Skaza (NIJZ). Foto: Prvi Covid, opičje koze, hepatitis, zika, hiv, ptičja gripa, denga ...Če pozornost usmerimo le v zadnji dve leti: pandemija covida-19, hepatitis neznanega izvora in zdaj še opičje koze. Kaj vse nas še čaka? Ali človeštvo izgublja boj z virusi? Ugledna slovenska virologinja, predavateljica in znanstvenica dr. Tatjana Avšič Županc ni presenečena. "Nobelov nagrajenec Joshua Lederberg je rekel, da se bo med ljudmi in mikroorganizmi odvijala napeta kriminalka, ki se bo imenovala Naša pamet proti njihovim genom." Kaj se bo zgodilo, ko bomo prišli v stik s povzročitelji bolezni iz pragozdov in najbolj odmaknjenih delov sveta? Ko bo taljenje naplavilo viruse, ki so v večnem ledu in snegu ujeti že tisočletja? Ali bo človeštvu z izkušnjami in znanjem uspelo ustaviti njihov pohod? V Intelekti sodelujejo tri slovenske strokovnjakinje: akad. prof. dr. Tatjana Avšič Županc (Medicinska fakulteta v Ljubljani), mag. Katarina Prosenc Trilar (NLZOH) in prim. doc. dr. Alenka Trop Skaza (NIJZ).

Podobe znanja
Anna Dragoš: Kako virusi manipulirajo bakterije?

Podobe znanja

Play Episode Listen Later Jun 3, 2022 29:13


Vsak dan od 20 do 40 odstotkov bakterijske biomase pobijejo virusi. Zato imajo ključno vlogo pri kroženju organskih snovi, pomembno pa vplivajo na samo vedenje bakterij. Te se pred virusi na različne načine branijo in razvijajo vedno nove obrambne strategije. A po drugi strani lahko številni virusi, bakteriofagi, s svojimi gostitelji tudi uspešno sobivajo, sočasno pa na različne načine vplivajo na njihovo vedenje, vplivajo na komunikacijo bakterij in jim celo pomagajo pri medsebojnih spopadih. Zapletene odnose med virusi in njihovimi gostitelji smo šele dobro začeli odkrivati. A poznavanje teh interakcij bi lahko omogočilo tudi nove pristope k boju s škodljivimi sevi bakterij. S sredstvi Evropskega raziskovalnega sveta za raziskovalce na začetku samostojne kariere v višini 2,2, milijona evrov se bo doc. dr. Anna Dragoš z Biotehniške fakultete Univerze v Ljubljani v projektu Phagecontrol posvetila prav vprašanjem, kako se vedenje in lastnosti bakterij spreminjajo, ko se v njihovo DNK integrirajo virusi. »Virusi, ki jih bomo preučevali, spadajo med t. i. regulatorna stikala. Integrirajo se v funkcionalne gene gostitelja, kar prekine gen, ki se ne more več izraziti […] Pod določenimi pogoji se virus izreže in gen se spet lahko izrazi. S tem na nek način preklapljajo obnašanje gostiteljskega seva bakterij,« pojasnjuje dr. Anna Dragoš.

Jioni - Voice of America
Rais Biden aonya wamarekani kuwa waangalifu dhidi ya Monkeypox - Mei 22, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later May 22, 2022 29:59


Virusi vya Monkeypox vimevuta hisia za Rais wa Marekani Joe Biden, ambaye alisema Jumapili kwamba watu wanapaswa kuwa waangalifu dhidi ya ugonjwa huo ambao una uwezekano wa athari mbaya ikiwa utaenea zaidi.

Siha Njema
Raia wa Kenya na Sudan Kusini kujipima Virusi vya Ukimwi

Siha Njema

Play Episode Listen Later May 16, 2022 9:37


Katika makala haya ,tumeangazia kampeni ya serikali ya Sudan Kusini na Kenya ya kusambaza vifaa vya mtu kujipima virusi vya HIV,ili kupûnguza idadi ya watu wanaoishi na virusi hivyo bila wao kujua na kuendelea kusambaza ugonjwa wa Ukimwi.

Siha Njema
Upatikanaji wa chanjo kupambana na virusi vya Covid 19

Siha Njema

Play Episode Listen Later Feb 3, 2022 9:40


Mataifa mbalimbali ya Afrika, yanaendelea kukabiliwa na uhaba wa chanjo, kupambana na virusi vya Covid 19. Nini chanzo cha hali hii ?

Siha Njema
Hali ya virusi vya HIV nchini Kenya

Siha Njema

Play Episode Listen Later Jan 12, 2022 9:47


Katika makala  haya ya Siha Njema ukiwa  tunaangazia  mpango wa kuzuia maambukizi ya virusi vya HIV kutoka mama hadi mtoto maarufu PMCT,nchini Kenya , kama njia ambayo ulimwengu imekumbatia kupunguza idadi ya watu wanaoishi na virusi vya HIV .

Habari za UN
Nchi zinazoendelea zaaswa kujipanga kupungua kwa misaada kwa kuwa uchumi unadorora 2022

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 12, 2022 3:12


Benki ya Dunia imetangaza uchumi wa dunia kwa mwaka huu wa 2022 unaingia kwenye hali ya kudorora huku kukiwa na matishio mapya kutoka kwa aina mbalimbali za Virusi vya COVID-19 na kupanda kwa mfumuko wa bei, madeni, na usawa wa kipato ambao unaweza kuhatarisha kufufuka kwa uchumi unaoibukia na unaoendelea.Taarifa ya MINUSCA inayosomwa studio na Happiness Palangyo wa radio washirika Radio Uhai FM inafafanua zaidi.  Ni Ayhan Kose, Mkurugenzi wa Idara ya kuangalia matarajio ya kiuchumi katika Benki ya Dunia jijini Washington DC Marekani akieleza kuwa utafiti uliofanywa na shirika hilo umeonesha ukuaji wa uchumi duniani unatarajiwa kupungua kwa kiasi kikubwa kutoka asilimia 5.5 mwaka jana hadi asilimia 4.1 mwaka huu 2022 na  kwamba hata mwakani 2023 hali itazidi kuwa mbaya kwani utafikia asilimia 3.2 huku vitu kama usaidizi wa kifedha ukipungua duniani kote. Lakini kwanini uchumi unaporomoka? Ayhan Kose anasema,“Kwa nini? Kwa sababu kimsingi mahitaji yanaenda kupungua. Mahitaji yatakuwa madogo. Na watunga sera kote ulimwenguni wanaondoa hatua za usaidizi zilizopo sasa. Kwa hivyo kutokana na mambo hayo mawili uchumi utakuwa polepole. Bila shaka huko tuendako kutakuwa na hatari zaidi. Janga la Corona bado lipo nasi, madeni bado yapo juu sana na shinikizo la mfumuko wa bei. Watunga sera wanahitaji kuwa waangalifu ili kujiadhari na hatari zinazokuja na kukabiliana nazo. Mkurugenzi huyo anaeleza ushauri uliotolewa na wataalamu wa Benki ya Dunia katika kukabiliana na hali ya kudorora kwa uchumi.” “Katika ngazi ya nchi, watunga sera wa kitaifa wanahitaji kuondoa kwa uangalifu sera ya fedha na kufikiria juu ya matokeo ya maamuzi yao, na wakati huo huo, bila shaka, kuwasiliana kwa uwazi juu ya kile wanachojaribu kufanya. Hii inamaanisha wawe na mipango ya muda wa kati na mrefu kwa ngazi ya taifa.Pia, Tunahitaji ushirikiano madhubuti wa kimataifa katika kutoa chanjo dhidi ya COVID-19, katika msamaha wa madeni, na mabadiliko ya tabianchi. Yote haya yatahitaji jumuiya ya kimataifa kufanya kazi kwa pamoja, na kuzichukulia changamoto hizi kwa uzito, na kutekeleza sera zinazohitajika.” Benki ya Dunia imesema pia kudorora huku kwa uchumi kunaenda kuongeza tofauti katika viwango vya ukuaji kati ya nchi zilizoendelea kiuchumi, zinazoibukia na zinazoendelea. Ukuaji wa uchumi wa hali ya juu unatarajiwa kupungua kutoka asilimia 5 mwaka wa 2021 hadi asilimia 3.8 mwaka wa 2022 na asilimia 2.3 mwaka wa 2023—kasi ambayo, ingawa inadhibitiwa, itatosha kurejesha pato na uwekezaji kwenye mwelekeo wao wa kabla ya janga katika uchumi huu. Hata hivyo, katika nchi zinazoibukia na zinazoendelea, ukuaji unatarajiwa kushuka kutoka asilimia 6.3 mwaka 2021 hadi asilimia 4.6 mwaka 2022 na asilimia 4.4 mwaka 2023.

Habari za UN
12 JANUARI 2022

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 12, 2022 13:18


Miongoni mwa tuliyonayo katika Jarida la habari za Umoja wa Mataifa:  Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF kwa kushirikiana na wadau kama shirika la SIDA na shirika lisilo la kiserikali AVSI wamewezesha uboreshaji wa sekta ya afya hasa kwa katika mkoa wa West Nile nchini Uganda. Benki ya Dunia imetangaza uchumi wa dunia kwa mwaka huu wa 2022 unaingia kwenye hali ya kudorora huku kukiwa na matishio mapya kutoka kwa aina mbalimbali za Virusi vya COVID-19 na kupanda kwa mfumuko wa bei, madeni, na kukosekana kwa usawa wa kipato.  Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR, Denise Brown ambaye pia ni mkuu wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR, MINUSCA, ametembelea eneo ambalo mwezi uliopita lilishambuliwa na watu wenye silaha na kusababisha vifo vya makumi kadhaa ya watu huku wengine wakikimbia makazi yao. Na katika makala tunamwangazia Lincoln Wamae mvumbuzi wa nchini Kenya ambaye anatengeneza baiskeli za kutumiwa na watu wenye ulemavu.

Habari za UN
UNITAID waomba ufadhili zaidi wa vifaa vya kujipima VVU

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 30, 2021 2:28


Kuelekea kilele cha siku ya UKIMWI Duniani hapo kesho Desemba 1, Shirika la Umoja wa Mataifa la kufanikisha upatikanaji wa dawa za tiba kwa gharama nafuu, UNITAID limesema usumbufu na ucheleweshaji wa huduma za VVU unaosababishwa na janga la COVID-19 ulisababisha kupungua kwa vifaa vya upimaji na utambuzi wa VVU kwa kiwango kikubwa ambacho hakijawahi kuonekana ndani ya miongo miwili. Leah Mushi anataarifa zaidi.  Nats….. Tuko ALIMA nchini COTE D'IVOIRE kituo cha zahanati anaonekaa muuguzi kwenye video ya UNITAID akielezea jinsi ya kutumia vifaa vya kujipima Virusi vya Ukimwi VVU, kisha wananchi hao hupewa vifaa hivyo na kwenda kujipima wenyewe nyumbani.  Lakini Msemaji wa UNITAID Hervé Verhoosel, anasema baada ya janga la COVID-19 hali imebadilika na vipimo hivyo vimepungua sana ikilinganishwa na miongo miwili iliyopita. "Kuelekea Siku ya UKIMWI Duniani, Desemba 1, UNITAID inatoa wito kwa wafadhili kuongeza ufadhili wa haraka kwenye vifaa vya upimaji wa Virusi Vya Ukimwi VVU ili kulinda maendeleo yaliyodhoofishwa na COVID-19 na njia salama ya kuzuia VVU kwa mamilioni ya watu ulimwenguni.” Takwimu zilizokusanywa kwa pamoja, UNITAID na WHO zinaonesha kuwa kati ya mwaka 2015 na 2020, idadi ya nchi zilizo na sera za kujipimaVVU imeongezeka kutoka mataifa sita hadi 88 - na mataifa mengine 31 yanaandaa será hizo".  Kujipima VVU kumesaidia kufikia idadi ya watu wakiwemo wanaume na vijana ambao wana uwezekano mdogo wa kufikia vituo vya afya na walikuwa na viwango vya chini vya upimaji na walengwa wakuu wanaolengwa kutumia vifaa hivyo ni wale ambao kusita kutembelea vituo vya afya kwa sababu ya unyanyapaa au ubaguzi, kama anavyoeleza Mkurugenzi Mkuu wa UNITAID Dkt   “Vifaa ni muhimu sana, lakini vifaa ambavyo watu wanaweza kutumia peke yao ni muhimu zaidi sasa na hali ya COVID-19, kwa sababu imekuwa ngumu zaidi kwenda hospitali na vituo vya afya. Kwa Vifaa  kama vile kujipima VVU , tumeona kabla ya COVID-19 kwamba tunaweza kufikia watu ambao hawana uwezo wa kufikia vipimo. Katika hali hii, kujipima mwenyewe ni muhimu kabisa, kwa sababu ni hatua ya kwanza kuelekea kupata matibabu.”

Sepetuko
Sepetuko Podcast; Ubaguzi dhidi ya Afrika kufuatia ugunduzi wa virusi vya Omicron

Sepetuko

Play Episode Listen Later Nov 29, 2021 5:22


Wazungu wamekuwa wepesi katika kutoa marufuku kwa ndege za mataifa ya kusini mwa Afrika na hali kile Afrika kusini ilifanya ni kugundua aina mpya ya virusi vya Korona-haikumaanisha kwamba Omicron imeanzia Afrika Kusini au Botswana.

Habari za UN
15 Novemba 2021

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 15, 2021 11:06


Assumpta Massoi anakuletea jarida hii leo ambapo kama livyo ada Jumatatu ni mada kwa kina, tunakupeleka Congo-Brazaville kumulika adha ya kukosa utaifa. Pia utapata fursa ya kusikia habari kwa ufupi, miongoni mwa utakayosikia ni pamoja na Umoja wa Mataifa watoa fedha kwenye mfuko wake wa dharura kusaidia Ethiopia, WHO wasaidia kupunguzwa bei za vipimo vya haraka vya Kaswende na Virusi vya UKIMWI -VVU, na katika kipindi cha janga la COVID-19 zaidi ya watoto 45,000 waliokuwa wameshikiliwa wameachiliwa huru.   

SBS Slovenian - SBS Slovenian
Viruses mutate and become smarter - Virusi mutirajo in postajajo pametnejši

SBS Slovenian - SBS Slovenian

Play Episode Listen Later Sep 4, 2021 16:12


Dr. Boštjan Kobe from the University of Queensland (School of Chemistry and Molecular Bioscience) explains why it is good to get vaccinated. - Dr. Boštjan Kobe iz Univerze v Queenslandu (Šola za kemijo in molekularno bioznanost) pojasnjuje, zakaj se je dobro cepiti.

SBS Slovenian - SBS Slovenian
Viruses mutate and become smarter - Virusi mutirajo in postajajo pametnejši

SBS Slovenian - SBS Slovenian

Play Episode Listen Later Sep 4, 2021 16:13


Dr. Boštjan Kobe from the University of Queensland (School of Chemistry and Molecular Bioscience) explains why it is good to get vaccinated. - Dr. Boštjan Kobe iz Univerze v Queenslandu (Šola za kemijo in molekularno bioznanost) pojasnjuje, zakaj se je dobro cepiti.

RadioRahma
HABARI KUHUSU CHANJO YA VIRUSI VYA CORONA

RadioRahma

Play Episode Listen Later May 31, 2021 8:31


Makala haya MITANDAO YA KIJAMII INAVYOCHANGIA UTOAJI WA HABARI KUHUSU CHANJO YA VIRUSI VYA CORONA yanazungumzia kuhusu jinsi watu wanavyopokea habari tofauti tofauti kuhusu chanjo ya ugonjwa wa Covid- 19 hasa kupitia mitandao ya kijamii. Ruth Keah.

Siha Njema
Siha Njema - Matatizo ya kuganda kwa damu, yanayohusishwa na virusi vya Corona.

Siha Njema

Play Episode Listen Later May 4, 2021 10:25


Katika Makala haya mpenzi msikilizaji utapata kusikia matatizo ya kuganda kwa damu. Tatizo hili limeongezeka katika kipindi hiki cha maambukizi ya Corona, ambapo baadhi ya dawa zinazotumika kama chanjo dhidi ya Covid-19 zimehusishwa na tatizo hili. Ambatana naye mtangazaji wako Carol Korrir kufahamu mengi zaidi.

covid-19 corona damu njema virusi siha katika makala ambatana
S.L.A.M.A sa Vama!
107 virusi i bakterije...

S.L.A.M.A sa Vama!

Play Episode Listen Later Feb 23, 2021 23:31


S.L.A.M.A sa Vama! Umjesto simfonije, sarkazmi i ironije! Virusi nisu stabilni i zauvjek nepromjenjivi! Nema virusa koji NEPROMJENJIV stoji i čeka da ga mi lišimo života... S.L.A.M.A sa Vama! By Vladimir Kreća

Muziki Ijumaa
Muziki Ijumaa - Msanii wa Kundi la Lafrik ndani ya Studio za RFI Kiswahili

Muziki Ijumaa

Play Episode Listen Later Feb 4, 2021 10:09


Juma hili Ali Bilali amempokea Studio Ali Suleiman mwanamuziki kutoka kunid la Lafrik kuzungumza mengi kuhusu muziki na changamoto za sasa zinazosababishwa na maambukizi ya Virusi vya Corona.

Zeliščarnica
Bezgov sirup – odlična obramba pred (korona)virusi

Zeliščarnica

Play Episode Listen Later Nov 21, 2020 5:41


Slišali boste, zakaj ta čas v domači lekarni ne sme mankati sirup iz jagod črnega bezga. Urednica spletnega središča Zazdrave.net, Sanja Lončar, pa nam bo zaupala tudi, kako ga pripravimo doma. Rubriko pripravlja Metka Perko.

Msasaonline
PAUL POGBA AKUTWA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA.

Msasaonline

Play Episode Listen Later Aug 28, 2020 1:28


Kocha wa timu ya taifa ya Ufaransa, Didier Deschamps amesema kiungo wa kati wa klabu ya Manchester United, Paul Pogba amepatikana na maambukizi ya Virusi vya Corona. Kutokana na taarifa hiyo Pogba mwenye umri wa miaka 27 atalazimika kujitenga na wachezaji wenzake ambao wapo kwenye maandalizi ya michuano ya ligi ya Taifa la Ufaransa. Kwahiyo mfaransa huyo atakosa mechi ya kitaifa ya Ufaransa itakayochezwa siku ya Jumamosi tarehe 5 Septemba, 2020 na siku 3 baadae atakosa kwenye mechi dhidi ya Crotia. Hata hivyo Pogba huenda akachaguliwa katika uteuzi wa timu ya ufunguzi Manchester United dhidi ya Crystal Palace kwenye ligi kuu ya Uingereza ndani ya uwanja wao wa Old Trafford. Vile vile baada ya kuenea kwa taarifa ya kuambukizwa Corona, klabu ya ya Manchester United na Wachezaji wenzake wamemtakia heri ya kupona haraka kabla ya kuanza kwa msimu. Ila nafasi ya Paul Pogba katika kikosi cha Ufaransa itachukuliwa na kiungo wa kati wa Rennes Eduardo Camavinga mwenye asili ya Angola, anaecheza Klabu ya Stade Rennais FC.

Msasaonline
CHINA : NYAMA YA KUKU YAKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA.

Msasaonline

Play Episode Listen Later Aug 15, 2020 1:31


Sampuli ya vipapatio / mabawa ya kuku yaliyogandishwa, zimegundulika kuwa na virusi vya Corona mjini Shenzhen. Nyama hizo ziliagizwa kutoka nchini Brazil. Baada ya ugunduzi huo, mamlaka za afya ziliwatafuta na kuwapima watu waliokuwa karibu na bidhaa hiyo ambapo majibu yamesema kuwa hawana maambukizi. Aidha eneo ambalo vipande vyenye virusi viliwekwa limepuliziwa dawa na mamlaka inatafuta bidhaa zingine za kampuni hiyo ambayo bado haijawekwa wazi. Hata hivyo shirika la Afya Duniani (WHO) na kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa Marekani (CDC) zimewahi kusema uwezekano wa kupata Corona ni mdogo kupitia chakula. Taarifa hiyo ya kupatikana kwa Covid-19 kwenye mabawa ya kuku, imekuja huku siku moja tu nyuma yake nchini Ecuador kulipatiana virusi vya Corona kwenye samaki wadogo wa baharini aina ya uduvi wakiwa kwenye moja kati ya migahawa nchini humo kwaajili ya kuuzwa kwa wateja. Mpaka sasa taifa la China limeripoti kuwa na visa 84,786, huku Brazil ikiwa na nchi ya pili kuwa na maambukizi makubwa ya Covid-19, kwa kuwa na visa Milioni 3.1 na taifa la Marekani likiwa linaongoza kwa kuwa na visa Milioni 5.26

Msasaonline
MALAWI : YATANGAZA VIZUIZI VIPYA VYA KUKABILIANA NA JANGA LA VIRUSI VYA CORONA.

Msasaonline

Play Episode Listen Later Aug 10, 2020 1:24


Tarehe 09, Agosti, Malawi imetangaza kuyafunga makanisa yote na kumbi za starehe katika awamu mpya ya vizuizi vya kudhibiti ongezeko linalotia wasiwasi la Virusi vya Corona. Vizuizi vipya vilivyotangazwa Kupitia gazeti la serikali vinajumuisha pia amri ya kuvaa barakoa na marufuku kwa Mikusanyiko inayozidi watu 10 isipokuwa kwa shughuli za mazishi zitakazo ruhusu jumla ya watu 50. Mwanasheria Mkuu wa serikali Chikosa Silungwe, amesema kikosi maalumu cha maafisa wa jeshi kimeundwa kuhakikisha Masharti hayo mapya yanatekelezwa. Malawi haijatekeleza marufuku kamili ya shughuli za umma baada ya mahakama kuzuia mwezi Aprili nia ya serikali ya kuifunga nchi nzima kwasababu ilishindwa kutangaza msaada utakaotolewa kwa watu wasiojiweza. Tangu taifa hilo la Kusini mwa Afrika lililotangaza kisa cha kwanza cha Covid-19 mnamo Aprili 2, idadi ya maambukizi imepanda maradufu katika kipindi cha wiki nne zilizopita na kufikia visa 4,624 ikiwemo vifo 143.

Msasaonline
SYRIA: HOSPITALI ZAFUNGWA BAADA YA MGONJWA WA KWANZA WA CORONA KURIPOTIWA MKOANI IDLIB.

Msasaonline

Play Episode Listen Later Jul 13, 2020 1:33


Hospitali katika eneo la kaskazini magharibi mwa Syria zimeamua kusitisha huduma zisizokua za dharura baada ya kisa cha kwanza cha maambukizi ya virusi vya CORONA kuripotiwa. Vilevile idara inayosimamia elimu imetangaza kufunga shule zote. Kwa mujibu wa afisa mmoja mwandamizi wa afya, kisa cha kwanza cha Ugonjwa wa Covid-19 kiliripotiwa siku ya alhamisi ya tarehe 9, Julai 2020 katika mkoa wa Adlib, eneo la mwisho lililodhibitiwa na wapinzani. Daktari aliyegundulika kuwa na maambukizi ya Virusi vya Corona tayari ameshajitenga na katika wadi maalumu ya hospitali ya Bab al-Hawa huku wagonjwa na wahudumu wengine wa afya aliokaribiana nao wakiwekwa Karantini. Kumekuwa na wasawasi mkubwa juu ya kuelemewa kwa mfumo wa afya katika eneo hilo la kaskazini magharibi mwa Syria lenye idadi ya watu zaidi ya milioni 3. Vituo vingi vinavyotoa huduma za matibabu vimeharibiwa na vita vya muda mrefu nchini humo. Vilevile afisa wa shirika la Afya Duniani (WHO), Dkt Michael Ryan amesema mifumo ya afya Duniani inahitajika kuendelezwa ili kudhibiti maambukizo ya magonjwa na kuweza kuwahudumia idadi kubwa ya wagonjwa katika wakati huu wa janga la Virusi vya Corona pamoja na majanga mengine yanayoweza kuzuka hapo baadae.

Msasaonline
MAREKANI YAIARIFU UN HATUA YA KUJIONDOA WHO.

Msasaonline

Play Episode Listen Later Jul 8, 2020 3:06


Serikali ya Marekani imeuarifu rasmi Umoja wa Mataifa juu ya uamuzi wake wa kujiondoa kutoka shirika la Afya Dunia (WHO), ifikapo mwaka 2021. Rais wa Marekani Donald Trump amewasilisha taarifa hiyo siku ya Jumatatu kwa katibu Mkuu wa Umoja huo, Antonio Guterres. Mwishoni mwa mwezi Mei Trump alisema atajiondoa kwenye shirika hilo ikiwa ni katika kupinga namna inavyoshughulikia janga la Virusi vya Corona. Umoja wa Mataifa umethibitisha kupokea taarifa hiyo inayosema Marekani itajiondoa katika shirika hilo ifikapo Julai 6, 2021. Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stephane Dujarric amesema kulingana na nafasi aliyonayo Guterres kama mwenye dhamana ya katiba ya WHO ya mwaka 1949, yuko katika mchakato wa kuthibitisha ndani ya shirika hilo kama Marekani imetimiza masharti ya kujiondoa. Afisa mkuu wa Utawala wa Rais Trump aliiambia CBS NEWS kwamba Washington ilielezea mabadiliko inayohitaji WHO kufanya na kujadiliana nayo moja kwa moja, lakini shirika hilo limekataa kuchukua maamuzi. Taifa la Marekani limekua mwanachama wa Shirika la Afya (WHO) tangu Juni 21, 1948.

Msasaonline
HISPANIA: YATANGAZA HATUA MPYA ZA KUZUIA COVID-19 KUSAMBAA.

Msasaonline

Play Episode Listen Later Jul 6, 2020 1:44


Jimbo la Galicia lililoko kaskazini magharibi mwa Uhispania limeweka hatua mpya za kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona kutokana na mlipuko mpya wa Virusi hivyo. Uamuzi huo umechukuliwa siku moja baada ya jimbo la Catalonia kutangaza masharti yanayowazuia watu kutoka nje ili kuzuia kuenea kwa virusi vya Corona. Aidha serikali ya India imeamua kutolifungua tena eneo la kihistoria la Taj Mahal, kutokana na maambukizi kuongezeka kwa kasi kwenye mji wa Agra. Naye Rais mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera amefuta maadhimisho ya uhuru wa nchi hiyo pamoja na sherehe za kuapishwa kwake kutokana na kuongezeka kwa maambukizi ya Covid-19. Mexico jana imerekodi maambukizi mapya 4,683 ya virusi vya Corona pamoja na vifo 273. Waziri wa Afya wa Ujerumani Jens Spahn ameonya kwamba Virusi vya Corona bado vipo, hivyo ni muhimu kuendelea kuvaa barakoa kila siku. Vilevile Rais wa Madagascar alitangaza dawa ya kunywa ya miti shamba inayotokana na mmea wa pakanga pamoja na mimea mingine inayoweza kutibu maambukizi ya virusi vya Corona. Madagascar imekuwekea mji wake mkuu Antananarivo amri ya kutotoka nje kufuatia ongezeko jipya la maambukizi ya virusi vya Corona,Miezi miwili baada ya masharti hayo kuondolewa , ametangaza rais. Katika taarifa, eneo la Analamanga ambalo ndilo lenye mji mkuu linafungwa tena, rais alisema. "Hakuna magari yatakayoruhusiwa kuingia ama kutoka katika eneo hilo kuanzia leo Jumatatu hadi Julai 20 na masharti makali yatawekwa kwa wanaotoka".

Msasaonline
TRUMP: "KUONDOLEWA KWA SANAMU ZA VIONGOZI MBALIMBALI, KILILENGA KUFUTA HISTORIA"

Msasaonline

Play Episode Listen Later Jul 5, 2020 1:16


Rais wa sasa wa Marekani "Donald Trump" amezungumzia kuhusu vitendo vya kuondolewa kwa sanamu za viongozi mbalimbali nchini kwake, amesema "Ni kampeni iliyolenga kufuta historia" Ameongea kuwa vitendo hivyo vilivyofanywa na umati wa watu wenye hasira wakati wa maandamo vililenga kuwashusha hadhi mashujaa wa taifa hilo, na watu wote waliohusika wanaweza kuhukumiwa kifungo hadi cha miaka 10 jela. Trump amesema hayo akiwa mlima Rushmore Kwaajili ya maadhimisho ya Julai 4, hafla ambayo imehudhuriwa na watu takribani 7,500 huku kukiwa hakuna tahadhari yoyote ya kujikinga na Virusi vya Corona. Licha ya rekodi mpya ya maambukizi, Trump alizungumzia mlipuko huo kwa ufupi, huku akishuhudia watu kutokuvaa barakoa. Wakati huo huo imeripotiwa kuwa Afisa wa juu wa kampeni ya Trump, Kimberly Guilfoyle ambae pia ni mpenzi wa mtoto wa Donald Trump Jr, ameambukizwa Corona.

Priključenija
4: Vuhanski virus

Priključenija

Play Episode Listen Later Apr 11, 2020 38:39


Koje je poreklo virusa SARS-CoV-2? Od 5G mreža preko bega iz laboratorije do najverovatnijeg odgovora: slepih miševa, pangolina, i nesposobnosti svetskih vlada da preduprede najočigledniju moguću katastrofu. Virusi slični SARS-u u slepim miševima u Kini (https://www.nature.com/articles/nm.3985), rad iz 2015-te (Nature Medicine) Sekvenciranje SARS-CoV-2 u uzorcima iz Vuhana (https://www.nature.com/articles/s41586-020-2012-7) (Nature) Poreklo SARS-CoV-2, mišljenje vir(us)ologa (https://www.nature.com/articles/s41591-020-0820-9) (Nature Medicine) Bonus: * Intervju sa Lerijem Brilijantom, epidemiologom koji je savetovao Stivena Sodeberga (https://www.wired.com/story/coronavirus-interview-larry-brilliant-smallpox-epidemiologist/) (Wired) * Jelena Đoković i 5G mreže (https://luftika.rs/jelena-djokovic-5g-mreza-koronavirus/) (Luftika(!?))

Od genov do zvezd
Kako koronavirus okuži človeško celico?

Od genov do zvezd

Play Episode Listen Later Mar 11, 2020 14:39


Virusi so zelo nenavadni mikroorganizmi, saj so iznašli način, kako parazitski način življenja do skrajnosti poenostaviti. S seboj večinoma ne prenašajo niti orodij, ki jih sicer nujno potrebujejo za svoje razmnoževanje, ampak hranijo le podatke, s pomočjo katerih si lahko naprave za razmnoževanje po potrebi kar natisnejo. Več zanimivih zgodb iz sveta znanosti lahko preberete na spletni strani Kvarkadabra in v naših knjigah.

Državljan D
025 izr. prof. dr. Gregor Petrič: Izsiljevalski virusi s slabim poslovnim modelom

Državljan D

Play Episode Listen Later Jun 15, 2017 30:46


Kaj smo se naučili iz zgodbe o WannaCry izsiljevalskim virusom in česa ne?