Podcasts about katiba

  • 33PODCASTS
  • 102EPISODES
  • 21mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • Apr 16, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about katiba

Latest podcast episodes about katiba

Habari za UN
Wanachama wa WHO wachukua hatua za kujenga uwezo dhidi ya majanga yajayo ya afya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 16, 2025 1:50


Baada ya zaidi ya miaka mitatu ya mazungumzo ya kina, hatimaye leo Geneva, Uswisi, Nchi Wanachama wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) zimekamilisha rasimu ya makubaliano ambayo itawasilishwa katika Mkutano wa Afya Duniani mwezi Mei mwaka huu wa 2025. Pendekezo hili linakusudia kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika kuzuia, kujiandaa na kukabiliana na vitisho vya majanga ya kiafya yajayo. Anold Kayanda amefuatilia anatujulisha zaidi.  "Leo mataifa ya dunia yameandika historia mjini Geneva," amesema Dkt. Tedros Ghebreyesus, Mkurugenzi Mkuu wa WHO na kuongeza kwamba, "kwa kufikia makubaliano kuhusu Mkataba wa Majanga ya kiafya, siyo tu wameweka msingi wa makubaliano ya kizazi hiki yanayolenga kuifanya dunia kuwa salama zaidi, bali pia wameonesha kuwa ushirikiano wa kimataifa bado uko hai, na kwamba hata katika dunia iliyogawanyika, mataifa bado yanaweza kushirikiana kutafuta mwafaka na mwitikio wa pamoja dhidi ya vitisho vya pamoja.” Mwezi Desemba mwaka 2021, wakati janga la COVID-19 likiwa limepamba moto, Nchi Wanachama wa WHO ziliunda Mamlaka ya Majadiliano ya Kiserikali ili kuandaa na kujadiliana kuhusu mkataba, makubaliano au nyenzo nyingine ya kimataifa, chini ya Katiba ya WHO, kwa ajili ya kuimarisha uzuiaji, maandalizi na hatua dhidi ya majanga ya kiafya. Mapendekezo katika rasimu iliyotayarishwa ni pamoja na: kuchukua hatua madhubuti za kuzuia majanga ya kiafya kwa kutumia mbinu ya Afya Moja; kujenga uwezo wa utafiti na maendeleo katika maeneo mbalimbali duniani; kuwezesha uhamishaji wa teknolojia na maarifa, ujuzi na utaalamu unaohusiana na uzalishaji wa bidhaa za afya zinazohusiana na majanga ya kiafya; kuchukua hatua madhubuti za kuimarisha maandalizi, utayari na uimara wa mifumo ya afya; na kuanzisha mtandao wa kimataifa wa mnyororo wa usambazaji na vifaa. Pendekezo hilo linathibitisha mamlaka ya nchi kushughulikia masuala ya afya ya umma ndani ya mipaka yao bila kuingiliwa.

SBS Swahili - SBS Swahili
Matt Gitau "wakati wakuongoza kulingana na katiba na matumaini yawa Kenya umefika"

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 14, 2025 12:43


Wakenya wana endelea kukabiliana na uongozi mpya wa mseto kati ya serikali ya Kenya Kwanza na chama kikuu cha upinzani cha Orange Democratic Movement (ODM).

Alfajiri - Voice of America
Wabunge wa chama tawala wa Zimbabwe wapanga kufanya marekebisho ya katiba ili kuruhusu muhula wa tatu wa Rais. - Januari 31, 2025

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 31, 2025 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Jioni - Voice of America
Upinzani Burundi unasema tume ya uchaguzi nchini humo imekiuka katiba kwa kuwazuia wapinzani kutoshiriki uchaguzi ujao wa mwezi June. - Januari 02, 2025

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 2, 2025 29:58


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Wimbi la Siasa
Msumbiji yaendelea kujipata kwenye mvutano wa kisiasa

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jan 1, 2025 10:02


Heri ya mwaka mpya wa mwaka 2025. Nchi ya Msumbiji bado ipo kwenye mvutano mkali wa kisiasa, baada ya uchaguzi wa mwezi Oktoba mwaka 2024.Hali imeendelea kuwa mbaya baada ya Baraza la Katiba, kuthibitisha ushindi wa Daniel Chapo kutoka chama tawala FRELIMO, kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais huku kiongozi wa upinzani Venancio Mondlane, akiendelea kudai aliibiwa kura.Watu zaidi ya 260 wamepoteza maisha, wengi wao wakipigwa risasi na polisi kwa mujibu wa mashirika ya kutetea haki za binadamu.

Jioni - Voice of America
Hatua ya Rais wa DRC Felix Tshisekedi kutoa wito wa kutaka mageuzi ya katiba limezua maoni mseto kwa wachambuzi wa siasa DRC na kimataifa. - Desemba 13, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 13, 2024 59:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Kwa Undani - Voice of America
Rais Tshisekedi wa DRC ameelezea kesi yake ya mageuzi ya katiba huku upinzani ukisema hatua yake ni kutaka aendelea kuwepo madarakani. - Desemba 12, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 12, 2024 29:59


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

Kwa Undani - Voice of America
Maoni ya wachambuzi kuhusu mjadala wa kurekebisha katiba ya DRC na hali ya Syria - Desemba 10, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 10, 2024 29:58


Habari za UN
Profesa Ngũgĩ wa Thiong'o: Ajabu hata katiba za Afrika ziko kwa lugha za Ulaya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 4, 2024 2:06


Haki si haki iwapo inatolewa kwa lugha ambayo haileweki kwa wahusika, wamejulishwa washiriki wa mkutano wa pili wa wanazuoni unaofanyika hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa New York, Marekani na pia mtandaoni ukimulika Madaraka, Haki na Binadamu: Utawala wa Sheria na mabadiliko Afrika. Anold Kayanda na maelezo zaidi.

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
DRC:Rais Felix Tchisekedi awataka raia wa nchi yake kuunga mkono mabadiliko ya katiba

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Nov 30, 2024 19:58


Miongoni mwa yale utakayoyasikia kwenye habari ni pamoja na Rais wa DRC, Felix Tschisekedi, kuwataka raia wa nchi yake  kuunga mkono mabadiliko ya katiba, , Chama tawala cha CCM  nchini Tanzania chaongoza kwa asilimia 99 ya kura.Zaidi ya watu 100 hawajulikani walipo baada ya ajali ya maporomoko ya Udongo nchini Uganda,pia Tutaangazia ziara yake  Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, nchini Ufaransa,  Raia wa Namibia wapiga kura,     kisha kimataifa tutaangazia mkutano wa  Mawaziri wa mambo ya nje kutoka muungano wa G7,uliofanyika mjini Roma Italia.

Kwa Undani - Voice of America
Utata unakumba juhudi za rais kubadilisha katiba DRC - Novemba 25, 2024

Kwa Undani - Voice of America

Play Episode Listen Later Nov 25, 2024 29:58


Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.

SBS Swahili - SBS Swahili
Barua ya marekebisho ya katiba yawasilishwa Bungeni DRC

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Nov 15, 2024 7:20


Bunge la DRC limepokea barua ya kukagua muda wa muhula wa rais na mageuzi ya mahakama ya Kongo.

Habari RFI-Ki
Kenya: pendekezo la kufanya marekebisho ya katiba kuongeza muda rais na wabunge madarakani

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Oct 29, 2024 10:03


Habari RFI-Ki
Kenya: pendekezo la kufanya marekebisho ya katiba kuongeza muda rais na wabunge madarakani

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Oct 29, 2024 10:03


Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Rais Tshisekedi asema katiba ya Congo itarekebishwa, kesi ya naibu rais wa Kenya

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later Oct 26, 2024 20:12


Kauli ya rais wa DRC kuhusu marekebisho ya katiba yazua hisia mseto, kesi ya naibu wa Rais wa Kenya aliyeenguliwa madarakani Rigathi Gachagua yaendelea, umoja wa Ulaya kuendeleza shinikizo ilizoiwekea Burundi mwaka 2015 hadi mwaka 2025. Ziara ya mkuu wa UNHCR Fillipo Grandi nchini Uganda, mgombea wa chama tawala kule Msumbiji awa mshindi wa uchaguzi mkuu, uchaguzi mkuu wa Marekani na mengineyo.

Alfajiri - Voice of America
Rais wa Zambia Hakainde Hichilema akosolewa kwa kusimamisha kazi majaji watatu wa Mahakama ya Katiba. - Oktoba 25, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 25, 2024 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Habari RFI-Ki
Kenya : Mataifa ya Africa yakosa kuzingatia katiba

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Aug 28, 2024 9:42


Kwenye makala ya Habari Rafiki leo tunajadili kilichofanyika nchini Kenya, ambapo taifa hilo la Africa mashariki limeadimisha miaka 14 tangu lijipatie katiba ya mwaka 2010, ila imekuwa vigumu kwa serikali kutekeleza baadhi ya vipengee vya katiba hiyo. Unafiriki nini huzuia serikali yetu kuttotekeleza  katiba?Ndilo swali tumekuuliza, na haya maoni yako.

Habari RFI-Ki
Kenya : Mataifa ya Africa yakosa kuzingatia katiba

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Aug 28, 2024 9:42


Kwenye makala ya Habari Rafiki leo tunajadili kilichofanyika nchini Kenya, ambapo taifa hilo la Africa mashariki limeadimisha miaka 14 tangu lijipatie katiba ya mwaka 2010, ila imekuwa vigumu kwa serikali kutekeleza baadhi ya vipengee vya katiba hiyo. Unafiriki nini huzuia serikali yetu kuttotekeleza  katiba?Ndilo swali tumekuuliza, na haya maoni yako.

Sepetuko
Heshimu Wanahabari na Taaluma ya Uanahabari

Sepetuko

Play Episode Listen Later Jul 25, 2024 4:48


Maandamano yaliyofanywa na wanahabari nchini hayashinikizi lolote nje ya Katiba ya nchi. Yanashinikiza tu taaluma ya uanahabari kuheshimiwa na haki za wanahabari kulindwa kama ilivyo katika sheria za nchi. Wanahabari sio wahalifu, wao ni mwito wa kuitumikia nchi na wananchi wake.

Sepetuko
Dhuluma Dhidi ya Uhuru wa Habari

Sepetuko

Play Episode Listen Later Jul 17, 2024 4:26


Tukio la kufyatuliwa risasi mwanahabari wa Kituo cha Kameme Nakuru Wanjeri wa Kariuki katika maandamano dhidi ya serikali ni mfano hai wa majaribio ya serikali kuwalenga wanahabari, kwa lengo la kuwanyamazisha wasitekeleze wajibu wao ambao unalindwa na Katiba ya Kenya. Kamwe hatuko tayari kurudisha nyuma hatua kubwa zilizopigwa katika kukuza demokrasia na kudumisha uhuru wa vyombo vya habari.

Sepetuko
Maandamano Yafanyike Kwa Amani

Sepetuko

Play Episode Listen Later Jul 3, 2024 4:08


Maandamano yanayoendelezwa nchini dhidi ya serikali yanalindwa na Katiba ya Kenya, bora tu yafanywe kwa amani. Inasikitisha kuwaona wahuni wakihitilafiana na maandamano haya, kuwapora Wakenya mali yao waliyoitafuta kwa jasho lao. Wacha watuhumiwa hawa wasakwe na kukabiliwa na mkono wa sheria kutokana na shughuli zao za kihalifu. Hawa sio sehemu ya waandamanaji na kamwe hawafai kuchukuliwa hivyo.

Sepetuko
Uwezo wa Vijana Katika Maandamano ya Demokrasia

Sepetuko

Play Episode Listen Later Jun 28, 2024 4:33


Vijana wa Gen Zs na vijana wengine ambao wamekuwa wakiendeleza maandamano dhidi ya Mswada wa Fedha wa mwaka wa 2024 wametukumbusha uwezo tulio nao kama wananchi wapigakura. Uwezo wa kupiga kura kuwachagua viongozi wetu, lakini zaidi kuwawajibisha wanapokuwa ofisini. Harakati hii haifai kukoma. Huu unafaa kuwa mwanzo tu wa kutetea Katiba yetu na kudai uongozi bora ambao tunastahili.

Sepetuko
Maandamano ya Amani: Kulinda Haki za Wananchi wa Kenya na Katiba

Sepetuko

Play Episode Listen Later Jun 21, 2024 4:19


Kuandamana ni haki ya wananchi wa Kenya, na inalinda na Katiba ya sasa ya nchi. Bora tu maandamano haya yafanywe kwa amani bila kuvuruga usalama. Hatua ya maafisa wa usalama kuwakabili waandamanaji wanaoandamana kwa amani ni uvunjaji wa sheria.

LES PASSEURS DE CLÉS
LPC - S05E19 / Xavier-Noël ICARD

LES PASSEURS DE CLÉS

Play Episode Listen Later Jun 9, 2024 68:16


Tous les 2ème et 4ème dimanches, découvre l'histoire d'une vie, une expérience ou un moment clé d'une femme ou d'un homme. Fais connaissance avec une ou un Passeur de Clés qui te donnera sa vision et son approche... Plus d'infos : www.facebook.com/XavierNoelICARD LA PARENTHÈSE MUSICALE Chef KANAGA - "Au feeling" Plus d'infos : www.youtube.com/channel/UCYT7_q-CQ9286jPWax6KE7g COUP DE CŒUR FILM DE XAVIER-NOËL "Invictus" de Clint EASTWOOD Plus d'infos : https://www.youtube.com/watch?v=PEO6-fe9qPA COUPS DE CŒUR MUSIQUE DE XAVIER-NOËL Véronique SANSON Plus d'infos : www.veronique-sanson.net GUNS N' ROSES Plus d'infos : www.gunsnroses.com/ COUP DE COEUR LIVRE DE XAVIER-NOËL "KATIBA" de Jean-Christophe RUFFIN Plus d'infos : https://editions.flammarion.com/katiba/9782081208179

Sepetuko
Ruto Alifadhiliwa na Nani Kuenda Marekani?

Sepetuko

Play Episode Listen Later May 31, 2024 4:23


Madai ya Rais William Ruto kuwa sehemu ya ziara yake kuenda nchini Marekani ilifadhiliwa na marafiki zake ni kinyume na Katiba ya Nchi. Waliomfadhili Rais ni kina nani na walifanya hivyo kwa nia gani?

Sepetuko
Serikali Izingatie Maoni ya Wananchi Kuhusu Mswada wa Fedha wa 2024

Sepetuko

Play Episode Listen Later May 29, 2024 4:19


Vikao vinavyoendelea vya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Mswada wa Fedha wa mwaka wa 2024 visiwe tu kwa nia ya kujifanya kuheshimu Katiba. Wacha maoni ya Wakenya yatiliwe maanani na kuheshimiwa.

The Friendly Troll
Faragha ya Kidijitali Nchini Kenya: Haki za Picha na Ulinzi wa Kisheria

The Friendly Troll

Play Episode Listen Later May 2, 2024 13:42


Katika kipindi hiki cha "The Friendly Troll," msimulizi Calvin Mulindwa anachunguza kwa kina haki za picha nchini Kenya, akiangazia msingi wao wa kisheria na athari zake katika dunia halisi. Kipindi hiki kinachambua maana ya haki za picha, pamoja na haki ya kudhibiti matumizi ya sura ya mtu katika maeneo ya umma na biashara. Calvin anajadili sheria muhimu kama vile Sheria ya Ulinzi wa Data ya Kenya ya 2019 na Ibara ya 31 ya Katiba, akielezea jukumu lao katika kulinda faragha binafsi. Kupitia kesi muhimu kama vile Wangechi Waweru Mwende dhidi ya Tecno Mobile Limited na Jessica Clarise Wanjiru dhidi ya Davinci Aesthetics, kipindi hiki kinaonyesha jinsi mahakama zilivyoshughulikia ukiukwaji wa haki hizi, ikisisitiza umuhimu wa ridhaa wazi na matumizi halali ya picha binafsi. Majadiliano pia yanatoa ushauri wa vitendo kwa watu binafsi na wadhibiti na wasindikaji wa data juu ya kuheshimu na kulinda haki za picha katika mazingira ya kidijitali na biashara.Malalamiko Yaliyoorodheshwa:Phyllis Nyaboke dhidi ya Grola Tech Limited T/A Lion Cash - Ukiukaji wa kutopata ridhaa ya moja kwa moja.Brian Wainaina na Gathoni Mattai dhidi ya Deltech Capital Kenya Limited T/A Mykes - Kushindwa kutoa taarifa inayofaa kuhusu matumizi ya data, ikisababisha uvunjaji wa faragha.Edith Andeso dhidi ya Shule za Olerai Limited - Masuala kuhusu usimamizi wa ridhaa endelevu kwa madhumuni ya masoko.Christine Wairimu Muturi dhidi ya Shule ya Roma Uthiru - Mahitaji ya ridhaa wazi ya wazazi kwa usindikaji wa data za watoto wadogo.Sheria Zilizonukuliwa: Ibara ya 31. Katiba ya Kenya Sheria ya Ulinzi wa Data ya 2019. Uamuzi wa Mahakama ya Kenya: Wangechi Waweru Mwende dhidi ya Tecno Mobile Limited [2020]Image Rights - Release Form Information Pack Music:Intro/Outro  – https://pixabay.com/music/id-102694/

Jioni - Voice of America
Mahakama ya Katiba ya Uganda yakataa kubatilisha sheria kali iliopitishwa na bunge dhidi ya wapenzi wa jinsia moja. - Aprili 17, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 17, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Wapiga kura wa Tunisia washiriki kwenye uchaguzi wa kwanza wa bunge chini ya Katiba mpya, Jumapili. - Desemba 24, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 24, 2023 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Wananchi wa Chad wafanya kura ya maoni kuhusu marekebisho ya katiba, kama njia ya kupunguza taharuki za kisiasa. - Desemba 17, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 17, 2023 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Kenya: Mazungumzo yenye lengo la kubuni vyeo kwa upinzani yanakiuka katiba-Naibu Spika wa zamani wa Bunge - Agosti 14, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 14, 2023 29:59


Habari za UN
Nicholas Haysom: Hatua inahitajika sasa kwa ajili ya uchaguzi kwa wakati na wa huru na haki nchini Sudan Kusini

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 2, 2023 0:02


Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambaye pia ni Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS), Nicholas Haysom ametahadharisha kwamba muda unazidi kuyoyoma kuelekea Sudan Kusini kufanya uchaguzi mkuu unaotarajiwa mwezi Desemba mwaka ujao wa 2024 lakini bado masuala muhimu ya kuufanya uchaguzi huo uende kama ulivyopangwa bila kuchelewa hayajakamilika."Ikiwa imesalia miezi 17 tu kwenye ratiba ya kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024, narudia kile nilichokisema katika mkutano wa awali na waandishi wa habari, kwamba mwaka 2023 ni mwaka wa 'kutengeneza au kuvunja'," amesema Bwana Haysom mapema leo Agosti pili alipozungumza na vyombo vya Habari mjini Juba ambao ni mji mkuu wa nchi hiyo changa zaidi duniani.    Ghasia miongoni mwa jamii za Sudan Kusini zinaendelea kuongezeka pamoja na shinikizo la kuongezeka kwa ufinyu wa rasilimali huku maelfu ya watu wakiendelea kuingia nchini humo wakikimbia mapigano katika nchi jirani ya Sudan.  Kwa mujibu wa Bwana Haysom, miongoni mwa hatua muhimu ambazo inabidi zichukuliwe ni pamoja na hitaji la kuunda upya vyombo vitatu muhimu, ambavyo ni, Tume ya Kitaifa ya Marekebisho ya Katiba, Tume ya Kitaifa ya Uchaguzi, na Baraza la Vyama vya Kisiasa; kukamilisha mipango ya mpito ya usalama; kuendeleza mchakato wa kudumu wa kutengeneza katiba; na kuunda nafasi za kiraia na kisiasa ambapo kila raia ana uhuru wa kujadili na kujihusisha na uchaguzi wa kisiasa na kikatiba bila woga.  "Kufanya uchaguzi tu hakutoshi - uaminifu, uwazi na ushirikishwaji wa mchakato ndio unaoleta uhalali. Hii ni pamoja na kwamba vyama vya siasa lazima viweze kujiandikisha na kufanya kampeni kwa uhuru; asasi ya kiraia kwa ajili ya elimu ya uraia na kuwa waangalizi wa mchakato. Inajumuisha vyombo vya habari vinavyoweza kuripoti kuhusu mchakato huo na kutoa nafasi kwa sauti na maoni mbalimbali kwa wapiga kura kufanya uamuzi sahihi,” amesema Mwakilishi huyo wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini.  Aidha Bwana Haysom amesisitiza kuwa UNMISS itaendelea kuiunga mkono Sudan Kusini katika michakato ya uchaguzi na uundaji wa katiba kwa kushirikiana na wadau wa kikanda kama vile Muungano wa Afrika (AU) na mamlaka ya pamoja ya kitaifa kwa ajili ya maendeleo kwenye eneo la Pembe ya Afrika (IGAD).  

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Mungu ametupatia utaratibu wa kufuata katika maisha

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Mungu anatupatia muongozo yake kupitia maandiko matakatifu

Habari za UN
06 JUNI 2023

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 6, 2023 0:13


Jaridani hii leo tunaangazia ni mada kwa kina na nakupeleka mwambao wa Ziwa Tanganyika nchini Tanzania, hususan mkoani Rukwa ambako huko utasikia harakati za Umoja wa Mataifa za kujumuisha wanawake kwenye uvuvi. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo za Nishati jadidifu, mabadiliko ya tabianchi na afya. Katika mashinani tunakupeleka nchini Sudan Kusini kusikia ni kwa jinsi gani vijana wanachangia katika mchakato wa utengenezaji wa katiba ukielekea uchaguzi mkuu nchini humo.Ripoti mpya iliyozinduliwa leo kuhusu hatua zilizopigwa katika ufikiaji wa lengo namba 7 la maendeleo endelevu SDGs ifikapo mwaka 20230 lihusulo nishati, inasema pengo la nishati duniani bado linaendelea kwani watu milioni 675 hawana umeme, huku watu wengine bilioni 2.3 wanategemea nishati za kupikia ambazo ni hatari kwa afya zao na mazingira.    Umoja wa Mataifa umezindua mradi wa miaka miatatu  wa kuimarisha mnepo wa jamii dhidi ya mabadiliko ya tabianchi mkoani Kigoma nchini Tanzania ambako mamia kwa maelfu ya wakimbizi wanahifadhiwa.Na kuelekea siku ya usalama wa chakula duniani hapo kesho Juni 7 mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la afya duniani WHO na la mpango wa chakula duniani WFP kwa kushirikiana na sekretarieti ya Codex Alimentarius wamesema kila siku takriban watu milioni 1.6 duniani kote wanaugua kutokana na kula chakula kisicho salama.Na katika mashinani Elizabeth Acu, Mwanaharakati wa vijana ambaye pia ni mwanauchumi nchini Sudan Kusini, anaeleza jukumu la vijana katika uundaji na uimarishaji wa katiba, na pia changamoto zinazoikumba nchi hiyo huku mchakato wa uchaguzi mkuu unapokaribia.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, Karibu!

Habari za UN
UDHR75: Utekelezaji wa Tamko la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 5, 2023 0:05


Tamko la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu mwaka huu linatimiza miaka 75 tangu kupitishwa kwake. Katika kutathmini utekelezaji wake, tunachambua ibara kwa ibara kuona iwapo kuna mafanikio, halikadhalika changamoto. Na kwa mantiki hiyo leotunamulika Ibara ya Tatu ya Tamko hilo inayosema Kila mtu ana haki ya kuishi, haki ya kuwa huru na kulindwa . Na mchambuzi wetu ni Getrude Dyabene Afisa Mwandamizi wa Dawati la Jinsia kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania, LHRC akihojiwa na Assumpta Massoi wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa, jijini New York, Marekani. Bi. Dyabene anaanza kwa kuelezea jinsi Katiba ya Tanzania inatambua haki ya kuishi. 

SBS Dinka - SBS Dinka
Amol Amuɔ̈m:'Ke wuɔk ye Katiba Banat, wuɔk ke cë keek piɔ̈ɔ̈c ëya'

SBS Dinka - SBS Dinka

Play Episode Listen Later May 20, 2023 40:10


Në runë 84 ke nyïïr juïc arëtic ake cë jääl në thukuul yic Bor ku jɔl ya ɣän kɔ̈k në Junub keke ye biäk ë kɔc la abɛ̈c cë të cennë rïnythii lɔ thïn. Në cɛ̈nhdenic, ke kɔc juïc ke keek atɔ̈ keke cë ka juïc bë lɔ guum. Amol Amuɔ̈m ee ya raan töŋë keek ku wuɔk cë bë jam në akölkölden ke tɔ̈ në Canada.

Habari za UN
Mijadala kuhusu utengenezaji wa Katiba ya Kudumu Sudan Kusini - UNMISS

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 17, 2023 0:02


Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudan Kusini (UNMISS) umefanya warsha za majadiliano katika mji wa Torit na Magwi mashariki mwa mji mkuu Juba jimboni Equatorial Mashariki ili kujadili kuhusu utungaji katiba na michakato ya uchaguzi.Sudan Kusini kwa sasa inatayarisha katiba yake ya kudumu ambayo si tu ni muhimu bali pia ni sharti la kufanya uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliopangwa kufanyika mwakani, 2024. Makundi mbalimbali ya kijamii yaliyoshiriki katika majadiliano haya yaliyoratibiwa na UNMISS ni pamoja na wanawake, vijana, waliorejea kutoka ukimbizini, wakimbizi wa ndani, na viongozi wa kimila. Jessica Kalmas, mkimbizi aliyerejea ambaye sasa ni Msemaji wa Umoja wa Vijana, Equatoria Mashariki anasema, “Kunapaswa kuwa na uzingatiaji wanaorejea. Pia, suala la ukatili wa majumbani na kijinsia likomeshwe. Hili pia lijumuishwe kwenye katiba ya kudumu.”Masuala ambayo washiriki wameyapa uzito katika majadiliano yao ni nafasi sawa kwa wanawake katika maisha ya umma, kuhakikisha wasichana wote wana haki ya kupata elimu, na kukomesha desturi ya ndoa za kulazimishwa au za utotoni. Angel Omex, Mwanafunzi ni Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Sudan Kusini anaeleza, “Nimehudhuria huu mchakato wa kutengeneza katiba, na nina furaha kuwa sehemu yake. Na, kulingana na maoni yangu binafsi nadhani kinachopaswa kujumuishwa katika mchakato wa kutengeneza katiba ya kudumu ni suala la asilimia 35 ya jinsia. Wanawake wanatakiwa kupewa asilimia 35. Haifai kuwa kusema tu bali inapaswa kutekelezwa. Na sio tu kwamba wanaorejea kutoka ukimbizini ni muhimu sana, lakini pia wanapaswa kurejeshwa katika jamii na kusajiliwa.”Kwa pamoja, waliohudhuria walifikia mapendekezo kuhusiana na katiba ya kudumu na uchaguzi unaofuata, ikiwa ni pamoja na ushiriki wenye nguvu Zaidi wa vijana. UNMISS inashirikiana na mamlaka za serikali na Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Fedha na Mipango ili kuandaa warsha kama hizo kote Sudan Kusini.

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Mungu ametupatia muongozo wake kupitia maandiko matakatifu yote tunayopaswa kufuata

Sheria Poa Podcast
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 (Sura ya Kwanza) - Mwendelezo

Sheria Poa Podcast

Play Episode Listen Later Apr 25, 2023 40:56


Katika kipindi cha leo, Mwenyekiti wa jukwaa la katiba Tanzania, Mwalimu Deus Kibamba Pamoja na Wakili Msomi Paul Kisabo wanaendelea kutuelimisha juu ya ibara mbalimbali za katiba hii, katika sura ya kwanza, na mpangilio mzima wa sura hii. Wazungumzaji wetu wanatuelezea juu ya umuhimu wa sura hii na changamoto zilizopo, kwenye sura hii ya kwanza na mapungufu yaliyopo kwenye sura hii na mapendekezo yao juu ya sura hii. Kama unapenda tunachokifanya, tuwezeshe kupitia Lipa Namba TigoPesa - 8212862 Subscribe kwenye chaneli yetu: https://www.youtube.com/@UCtr2I2XphLapB71XkxxrU4A Sikiliza Podcast yetu kupitia: Apple Podcast link: https://apple.co/3ZwLmSA Spotify: http://bit.ly/40v0UYd Google Podcast Link: http://bit.ly/3zm0irZ Audiomack Link: https://audiomack.com/sheriapoa Youtube Link: https://www.youtube.com/@sheriapoa#SheriaPoa #SheriaPoaPodcast #katiba #katibampya #sheria #sheriazaTanzania #tanzania #podcast #podcasts #podcastshow #podcasttanzania --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message

Sheria Poa Podcast
Muundo wa Serikali na Madaraka ya Rais Kwenye Katiba Ya Tanzania ya Mwaka 1977 | SheriaPoa

Sheria Poa Podcast

Play Episode Listen Later Apr 25, 2023 22:44


Kwenye Kipindi cha leo tupo na Mawakili Wasomi, Deogratius Bwire pamoja na Nuru Maro wakitupitisha katika Sura ya Pili ya Katikba ya Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania, hususani kwenye Muundo wa Serikali ya kwa mujibu wa katiba hii na madaraka ya Rais. Mawakili wasomi wanatuelezea kwa kina, muundo wa serikali hii na changamoto zilizopo kwenye muundo huu wa serikali na mapendekezo yao ya nini kifanyike kwenye mchakato wa katiba mpya ili kuboresha muundo huu na madaraka ya Rais kwa ujumla. Kama unapenda tunachokifanya, tuwezeshe kupitia Lipa Namba TigoPesa - 8212862 Subscribe kwenye chaneli yetu:    / @uctr2i2xphlapb71...   Sikiliza Podcast yetu kupitia: Apple Podcast link: https://apple.co/3ZwLmSA Spotify: http://bit.ly/40v0UYd Google Podcast Link: http://bit.ly/3zm0irZ Audiomack Link: https://audiomack.com/sheriapoa Youtube Link:    / @sheriapoa  #SheriaPoa #SheriaPoaPodcast #katiba #katibampya #sheria --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message

Sheria Poa Podcast
Sura ya Kwanza - Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977

Sheria Poa Podcast

Play Episode Listen Later Apr 25, 2023 22:31


Katika kipindi cha leo, Mwenyekiti wa jukwaa la katiba Tanzania, Mwalimu Deus Kibamba Pamoja na Wakili Msomi Paul Kisabo wanaendelea kutuelimisha juu ya ibara mbalimbali za katiba hii, katika sura ya kwanza, na mpangilio mzima wa sura hii. Wazungumzaji wetu wanatuelezea juu ya umuhimu wa sura hii na changamoto zilizopo, kwenye sura hii ya kwanza na mapungufu yaliyopo kwenye sura hii na mapendekezo yao juu ya sura hii. Kama unapenda tunachokifanya, tuwezeshe kupitia Lipa Namba TigoPesa - 8212862 Subscribe kwenye chaneli yetu: https://www.youtube.com/@UCtr2I2XphLapB71XkxxrU4A --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message

Sheria Poa Podcast
Sura ya Kwanza - Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977

Sheria Poa Podcast

Play Episode Listen Later Apr 25, 2023 22:31


Katika kipindi cha leo, Mwenyekiti wa jukwaa la katiba Tanzania, Mwalimu Deus Kibamba Pamoja na Wakili Msomi Paul Kisabo wanaendelea kutuelimisha juu ya ibara mbalimbali za katiba hii, katika sura ya kwanza, na mpangilio mzima wa sura hii. Wazungumzaji wetu wanatuelezea juu ya umuhimu wa sura hii na changamoto zilizopo, kwenye sura hii ya kwanza na mapungufu yaliyopo kwenye sura hii na mapendekezo yao juu ya sura hii. Kama unapenda tunachokifanya, tuwezeshe kupitia Lipa Namba TigoPesa - 8212862 Subscribe kwenye chaneli yetu:    / @uctr2i2xphlapb71...   Sikiliza Podcast yetu kupitia: Apple Podcast link: https://apple.co/3ZwLmSA Spotify: http://bit.ly/40v0UYd Google Podcast Link: http://bit.ly/3zm0irZ Audiomack Link: https://audiomack.com/sheriapoa Youtube Link:    / @sheriapoa  #SheriaPoa #SheriaPoaPodcast #katiba #katibampya --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message

Sheria Poa Podcast
Historia ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977

Sheria Poa Podcast

Play Episode Listen Later Apr 1, 2023 22:31


Katika kipindi cha leo, tupo na Mwenyekiti na Muanzilishi wa Jukwaa la Katiba Tanzania Mwl. Deus Kibamba akitupitisha katika historia ya Katiba Ya Mwaka 1977, kutoka kupata uhuru wa Tanganyika mpaka leo. Kama unapenda tunachokifanya, tuwezeshe kupitia Lipa Namba TigoPesa - 8212862 Subscribe kwenye chaneli yetu: ⁠https://www.youtube.com/@sheriapoa⁠ Sikiliza Podcast yetu kupitia: Apple Podcast link: https://apple.co/3ZwLmSA Spotify: http://bit.ly/40v0UYd Google Podcast Link: http://bit.ly/3zm0irZ Audiomack Link: https://audiomack.com/sheriapoa Youtube Link: https://www.youtube.com/@sheriapoa --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message

Sheria Poa Podcast
Historia ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977

Sheria Poa Podcast

Play Episode Listen Later Mar 31, 2023 22:31


Katika kipindi cha leo, tupo na Mwenyekiti na Muanzilishi wa Jukwaa la Katiba Tanzania Mwl. Deus Kibamba akitupitisha katika historia ya Katiba Ya Mwaka 1977, kutoka kupata uhuru wa Tanganyika mpaka leo. Kama unapenda tunachokifanya, tuwezeshe kupitia Lipa Namba TigoPesa - 8212862 Subscribe kwenye chaneli yetu: ⁠https://www.youtube.com/@sheriapoa⁠ Sikiliza Podcast yetu kupitia: Apple Podcast link: https://apple.co/3ZwLmSA Spotify: http://bit.ly/40v0UYd Google Podcast Link: http://bit.ly/3zm0irZ Audiomack Link: https://audiomack.com/sheriapoa Youtube Link: https://www.youtube.com/@sheriapoa --- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/sheriapoa/message

Habari za UN
Kuna haja ya kusaka amani kwa njia ya majadiliano, lasema Baraza la usalama la UN wakiwa ziarani nchini DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 10, 2023 0:02


Ujumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa umewasili nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC , ikiwa ni sehemu ya ziara ya kikazi ya kutathmini hali ya usalama na utekelezaji wa majukumu ya vikosi vya umoja wa mataifa vya kulinda mamani nchini humo MONUSCO. Mara tu baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa jijini Kinshasa, bwana Nicolas de Rivière, Balozi wa kudumu wa Ufaransa kwenye Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa makundi yenye silaha, vyovyote vile yalivyo, lazima yasitishe operesheni zao ili kushiriki katika mchakato wa amani, “Ni wakati muhimu wakuchukua hatua na kwamba vikundi vyote vyenye silaha, kwa hali yao lazima visitishe shughuli zao na washiriki katika mchakato wa kisiasa. Naomba makundi ya kigeni yajiondoe na makundi yanayoungwa mkono na mataifa ya kigeni pia yajiondoe ili hatimaye amani irejee katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo”.Ujumbe huo umekuja nchini DRC wakati kukitarajiwa kuwa na uchaguzi mkuu wa raisi pamoja na wabunge mwezi decembe mwaka huu huku bwana Michel Xavier Biang Balozi wa Gabon kwenye Umoja wa Mataifa akisisitiza lazima uchaguzi huo uwe wa haki, wa uwazi na salama, “ Tuko katika mwaka ambao utakuwa mwaka wa uchaguzi, ujumbe wetu ni wakuhimiza wanasiasa wa pande zote kushiriki katika mchakato wa uchaguzi ambao ni wa uwazi, na wa kuaminika kwa mujibu wa Katiba ya DRC na sheria ya uchaguzi. Tuko hapa kuunga mkono hatua ya MONUSCO na kukumbusha kwamba MONUSCO ni sehemu ya fursa ya suluhu”.Wajumbe hao watakutana na watu kutoka tabaka mbali mbali ikiwemo mashirika ya kiraia na Rais wa DRC Félix Tshisekedi jijini Kinshasa na baadae watakwenda mjini Goma jimboni Kivu Kaskazini, ambako mapigano yamezidi kurindima kwa miezi kadhaa sasa kati ya jeshi la serikali na kundi la wanamkambo wa M23. 

Jioni - Voice of America
Upinzani Kenya unasema unapanga kuanzisha tena msukumo ulioboreshwa ili kufanyia katiba marekebisho nchini humo - Desemba 28, 2022

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 28, 2022 29:59


Raila Odinga amesema mapendekezo hayo ya katiba yanahitajika kwa sasa kwani ndio jawabu tosha la kuponya makovu ya ghasia za uchaguzi, ukabila, chuki na ufisadi unaokera wananchi wa Kenya

AWR Swahili / Kiswahili / لغة سواحلية

Mungu ametupatia Muongozo wa kufuata kama katiba yake

Habari za UN
Uamuzi wa Mahakama ya Afrika kuhusu waogiek ni ujumbe mzito kwa jamii zote za asili duniani- Mtaalamu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 18, 2022 1:48


Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za watu wa jamii ya asili amepongeza uamuzi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu wa kuagiza serikali ya Kenya illipe fidia watu wa jamii ya asili ya Ogiek nchini humo kwa machungu na ubaguzi waliokumbana nao nchini humo. Kupitia taarifa iliyotolewa leo mjini Geneva Uswisi na ofisi ya Umoja wa Mataifa ya haki za binadamu, mtaalamu huyo Francisco Cali Tzay, amesema uamuzi huo wa mwezi Mei mwaka huu unafuatia hatua ya mahakama hiyo kubaini kuwa serikali ya Kenya ilikiuka haki ya kuishi, kumiliki mali, maliasili, maendeleo, dini na utamaduni wa jamii ya Ogiek, kwa mujibu wa Katiba ya Mahakam ya Afrika ya Haki za binadamu. Bwana Tzay amesema uamuzi huo pamoja na malipo ya fidia ni hatua nyingine muhimu katika kutambuliwa na kulindwa kwa haki ya ardhi ya mababu za watu wa jamii ya ogiek kwenye msitu wa Mau nchini Kenya.   Mahakama imeitaka serikali ya Kenya illipe fidia ya takribani dola 489,000 kwa kupotea kwa maliasili ya jamii hiyo na zaidi ya dola 844,000 kwa machungu waliyopitia kutokana na ubaguzi na kunyimwa haki ya maendeleo, utamaduni wao na dini yao. Mahakama pia imetaka serikali ya Kenya ichukue hatua muhimu za kisheria, kiutawala au hatua zozote zile kutambua, kuheshimu na kulinda za waogiek iwe kwenye maendeleo, au uwekezaji wowote kwenye ardhi yao na wapatiwe haki ya kushirikishwa katika miradi yoyote itakayofanyika kwenye eneo lao.   Katika kesi hiyo, mtaalamu huyu wa Umoja wa Mataifa naye pia alitoa Ushahidi wa kitaalamu.   Bwana Tzay amesema anapongeza sana uamuzi wa mahakama huku akisema unapeleka ujumbe mzito kwa ulinzi wa ardhi na haki za kitamaduni za waogiek nchini Kenya na watu wote wa jamii ya asili barani Afrika na kwingine kote duniani huku akitaka serikali ya Kenya itekeleze uamuzi huo.  

Habari za UN
Leo ni siku 100 tangu kuanza kwa uvamizi wa Urusi nchini Ukraine

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 3, 2022 2:38


Leo ni siku 100 tangu kuanza kwa uvamizi wa Urusi nchini Ukraine ulioanza tarehe 24 Februari mwaka huu. Mashirika ya Umoja wa Mataifa na wadau wake wanasema katika hizi siku 100 tu, uvamizi huu ambao ni ukiukaji wa Katiba ya Umoja wa Mataifa, umewaweka watu wa Ukraine katika hali ya kutisha.