Podcasts about nairobi kenya

  • 228PODCASTS
  • 645EPISODES
  • 41mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • May 30, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about nairobi kenya

Latest podcast episodes about nairobi kenya

Habari za UN
Malawi inachukua hatua madhubuti kukabiliana na changamoto za makazi - Mercy Bety Dube

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 30, 2025 2:16


Mkutano wa pili wa siku mbili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT leo unafunga pazia jijini Nairobi Kenya. Baraza hilo linalofanyika kila baada ya miaka minne ni chombo cha juu kabisa duniani cha kufanya maamuzi kuhusu maendeleo ya miji endelevu na limewaleta pamoja wawakilishi kutoka nchi zote 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa pamoja na wadau mbalimbali wa amendeleo ya miji. Flora Nducha na taarifa zaidi.

Habari za UN
30 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 30, 2025 9:58


Hii leo jaridani tunaangazia hali ya elimu kwa watoto mashariki mwa DRC na Mkutano wa pili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT unaofunga pazia leo jijini Nairobi Kenya. Makala inaturejesha nchini DRC na mashinani inatupeleka katika bonde la Ziwa Victoria, kulikoni?Wakati ghasia zinazoendelea huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC zinaripotiwa kusababisha zaidi ya watoto milioni 1.8 kutokuweko shuleni, shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF nchini humo linajitahidi kwa udi na uvumba kuhakikisha watoto wanapata elimu kwani ni haki yao ya msingi.Mkutano wa pili wa siku mbili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT leo unafunga pazia jijini Nairobi Kenya. Baraza hilo linalofanyika kila baada ya miaka minne ni chombo cha juu kabisa duniani cha kufanya maamuzi kuhusu maendeleo ya miji endelevu na limewaleta pamoja wawakilishi kutoka nchi zote 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa pamoja na wadau mbalimbali wa amendeleo ya miji.Makala inakupeleka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC hususan jimboni Kivu Kaskazini katika kitongoji cha Mavivi kuwasikia walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania,kikosi cha 11, TANZBATT11, wanaohudumu katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wakielezea sio tu majukumu yao, bali pia wanajivunia kile wanachofanya kwa kuzingatia Mei 29 imeadhimishwa siku ya kimataifa ya walinda amani.Na katika fursa ni yake Mhandisi Coletha Ruhamya, Naibu Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria, Mradi unaofanikishwa na Benki ya Dunia ambao unakabiliana na masuala ya usafi wa mazingira katika ziwa hilo. Anaeleza umuhimu wa usimamizi endelevu wa bonde hilo kote nchini Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda na Burundi chini ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Habari za UN
23 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 23, 2025 9:56


Hii leo jaridani tunaangazia haki za kibinadamu za raia nchini Uganda, na simulizi ya mkimbizi nchini Mexico ambaye alikimbia machafuko nchini mwake Haiti. Makala tunakwenda nchini Kenya na mashinani nchini Ethiopia, kulikoni?Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa , Volker Türk, leo Ijumaa mjini Geneva, Uswisi kupitia msemaji wake ameelezea wasiwasi wake kuhusu kupitishwa kwa muswada uliopendekezwa na Bunge la Uganda unaoruhusu raia kuhukumiwa katika mahakama za kijeshi.Wakati raia wa Haiti Giovanni Rotschild alipowasili Mexico mwaka 2022 baada ya safari ndefu isiyo na uhakika kutoka nchi mwake kulikosheheni ghasia, hakufahamu mtu yeyote wala hakuzungumza kabisa lugha ya kispanyola. Lakinialipata msaada kumwezesha kujenga upya maisha na kupata jamii mpya.Makala tukielekea siku ya kandanda, kabumbu au mpira wa miguu duniani itakayoadhimishwa Jumapili wiki hii Mei 25 ikibeba maudhui nguvu ya kdandanda katika kuleta mabadiliko tuabisha hodi Nairobi Kenya ambapo leo Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Global Youth Forum linalounganisha vijana Kenya kwa lengo la kutokomeza umasikini na kuishi maisha bora kupitia michezo mbalimbali ikiwemo kandanda akizungumza na Idhaa hii ya Kiswahili anaeleza umuhimu wa kandanda katika ajenda ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo endelevu.Na katika mashinani, fursa ni yake Hola msichana mwenye umri wa miaka 15 kutoka wilaya ya Sire nchini  Ethiopia ambaye  kutokana na mafunzo ya stadi za maisha ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF yanayoungwa mkono na asasi ya kupinga ndoa za utotoni ya GPChild Marriage ameweza kuepuka ndoa za utotoni na sasa anatumia mafunzo hayo kutahadharisha na kulinda wenzake.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Habari za UN
Vijana Kenya watumia mpira wa miguu kutokomeza umasikini na kuishi maisha bora - Peter Omondi

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 23, 2025 3:06


Katika kuelekea siku ya kandanda, kabumbu au mpira wa miguu duniani itakayoadhimishwa Jumapili wiki hii Mei 25 ikibeba maudhui nguvu ya kdandanda katika kuleta mabadiliko tuabisha hodi Nairobi Kenya ambapo leo Peter Omondi, Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Global Youth Forum linalounganisha vijana Kenya kwa lengo la kutokomeza umasikini na kuishi maisha bora kupitia michezo mbalimbali ikiwemo kandanda akizungumza na Idhaa hii ya Kiswahili anaeleza umuhimu wa kandanda katika ajenda ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo endelevu. Anaanza kwa kujitambusha.

Habari za UN
Bi. Joy :Teknolojia inatatua changamoto za kijamii - Wasichana katika TEHAMA

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 12, 2025 3:38


Kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na utamaduni UNESCO, sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano TEHAMA, au ICT inaendelea kutawala na kuunda fursa mpya, lakini wanawake bado wanakumbana na changamoto kubwa ya upungufu wa uwakilishi. Hata hivyo, wanawake wanavuka mipaka na sasa Bi. Joy, msichana kutoka Nairobi Kenya, ambaye ni mtaalamu katika teknolojia ya kidijitali, amekalia nafasi muhimu katika kubadili mtindo wa maisha kupitia elimu ya ICT. Katika mahojiano na washirika wetu Radio Domus, alizungumzia umuhimu wa kuhamasisha wasichana kujiunga na masomo ya teknolojia ili kutengeneza mustakabali mpya wa kidijitali, na kubadili dunia kwa njia ya kidigitali na usawa. Sharon Jebichii na Makala zaidi

Warning with Dr. Jonathan Hansen
Su - 05/11/25 - Dr. Hansen - New World Order - Judgment - There is Hope - House of Bread Church, Nairobi, Kenya 03/02/2025

Warning with Dr. Jonathan Hansen

Play Episode Listen Later May 11, 2025 50:54


The New World Order - Judgment - There is Hope - House of Bread Church for Arch Bishop Mark Kariuki, Nairobi, Kenya 03/02/2025 2025/05/11 (Podcast Date) World Ministries International Eagles Saving Nations Dr. Jonathan Hansen - Founder & President Rev. Adalia Hansen worldministries.org Visit our Rumble channel https://rumble.com/c/WarningTVJonathanHansen (360) 629-5248 WMI P.O. Box 277 Stanwood, WA 98292 warning@worldministries.org Visit our website http://www.worldministries.org/ and subscribe to Eagle Saving Nations https://www.worldministries.org/eagles-saving-nations-membership.aspx Sign up for Dr. Hansen's FREE newsletters http://www.worldministries.org/newsletter-signup.html Support Dr. Hansen through your financial gift https://www.worldministries.org/donate.aspx Order Dr. Hansen's book “The Science of Judgment” https://www.store-worldministries.org/the-science-of-judgment.html

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Kuuawa kwa mbunge jijini Nairobi Kenya, Marekani kuzipatanisha Rwanda na DRC

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Play Episode Listen Later May 3, 2025 20:12


Makala hii imeamgazia kuuawa kwa mbunge wa Kasipul Charles Ong'ondo Were, kwa kupigwa risasi na watu waliokuwa kwa pikipiki katika barabara ya Ngong Jijini Nairobi, jumatano, kukamatwa kwa mlinzi wake kiongozi wa chama cha upinzani cha NUP nchini Uganda, nao wawakilishi wa DRC na Rwanda wanaokutana Washington Marekani kusaini mkataba kuelekea makubaliano ya amani ya mashariki mwa DRC, siasa za Tanzania na kushambuliwa kwa kasisi wa kikatoliki na matukio kadhaa ya juma hili kutokea duniani

Stories From Women Who Walk
60 Seconds for Wednesdays on Whidbey: What Happens When You Disappear Into Your Task?

Stories From Women Who Walk

Play Episode Listen Later Apr 30, 2025 2:49


Hello to you listening in Nairobi, Kenya!Coming to you from Whidbey Island, Washington this is Stories From Women Who Walk with 60 Seconds for Wednesdays on Whidbey and your host, Diane Wyzga.The old ones in China tell a story about an equally old painter who invited friends to his home to see his latest work.His friends gathered around to admire the artist's painting which he had hung on a wall. The painting was a scene of a little park and a tiny footbridge crossing a stream that meandered through a forest that opened onto a meadow where stood a small cottage with an equally small door painted blue. Those gathered together turned around to tell the painter how much they admired his work but he was nowhere to be found. One of his friends said, "Look! There he is! In the painting!" He walked up the path that led to the door of the cottage, stopped, turned, smiled, and disappeared inside.Question: Imagine becoming so engrossed in your work that you end up disappearing into it in the same way. What do you imagine happens next? Become that!You're always invited: “Come for the stories - stay for the magic!” Speaking of magic, would you subscribe and spread the word with a generous 5-star review and comment - it helps us all - and join us next time!Meanwhile, stop by my Quarter Moon Story Arts website to:✓ Check out Services I Offer✓ For a no-obligation conversation about your communication challenges, get in touch with me today✓ Stay current with Diane as “Wyzga on Words” on Substack, LinkedIn and now Pandora RadioStories From Women Who Walk Production TeamPodcaster: Diane F Wyzga & Quarter Moon Story ArtsMusic: Mer's Waltz from Crossing the Waters by Steve Schuch & Night Heron MusicAll content and image © 2019 to Present Quarter Moon Story Arts. All rights reserved. 

Sludge Underground Podcast
Kenya's Irony Destroyed Take On The Wacken Metal Battle Sub-Saharan Africa Finals

Sludge Underground Podcast

Play Episode Listen Later Apr 22, 2025 28:55


This week Marcel has a chat with Lenny of Irony Destroyed. A metalcore band hailing from Nairobi Kenya. Join in as they chat about the kenyan scene, the challenges they face as an extremely niche genre, as well as being so geographically isolated from the rest of the African metal community. Explore our exclusive merch store for unique and high-quality items inspired by our podcast! From stylish t-shirts to snug beanies, there's something for every listener. Show your support and grab your favourite merch today!Support the showHelp us continue making great content for listeners everywhere by subscribing to Sludge Underground Podcast +Websitehttps://www.sludgeunderground.comMerchhttps://sludgeunderground.store/Instagramhttps://www.instagram.com/sludgeundergroundTikTokhttps://www.tiktok.com/@sludgeundergroundYouTubehttps://www.youtube.com/@sludgeundergroundTwitterhttps://twitter.com/Sludge031Facebookhttps://www.facebook.com/SludgeUnderground

Warning with Dr. Jonathan Hansen
Su - 04/13/25 - Dr. Hansen - The New World Order & Judgment - There is Hope - Deliverance Church Langata, Nairobi, Kenya, 2/23/25

Warning with Dr. Jonathan Hansen

Play Episode Listen Later Apr 13, 2025 73:58


The New World Order & Judgment - There is Hope - Deliverance Church Langata, Nairobi, Kenya, for Bishop Geoffrey Njuguna 02/23/2025 2025/04/13 (Podcast Date) World Ministries International Eagles Saving Nations Dr. Jonathan Hansen - Founder & President Rev. Adalia Hansen worldministries.org Visit our Rumble channel https://rumble.com/c/WarningTVJonathanHansen (360) 629-5248 WMI P.O. Box 277 Stanwood, WA 98292 warning@worldministries.org Visit our website http://www.worldministries.org/ and subscribe to Eagle Saving Nations https://www.worldministries.org/eagles-saving-nations-membership.aspx Sign up for Dr. Hansen's FREE newsletters http://www.worldministries.org/newsletter-signup.html Support Dr. Hansen through your financial gift https://www.worldministries.org/donate.aspx Order Dr. Hansen's book “The Science of Judgment” https://www.store-worldministries.org/the-science-of-judgment.html

Habari za UN
11 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 11, 2025 9:57


Hii leo jaridani tunaangazia hali ya watoto nchini DR Congo, na masuala y awanawake nchini Tanzania. Makala inatupeleka nchini Kenya kuangazia harakati za vijana za kusongesha Ajenda2030, na mashinani tunasalia huko huko kumulika misaada kwa wakimbizi.Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF limeripoti kwamba huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kila nusu saa takribani mtoto mmoja anaripotiwa kubakwa huku ghasia zikiendelea katikati ya janga linalozidi kukua la ufadhili finyu wa kifedha.Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya wanawake UN WOMEN nchini Tanzania chini ya ufadhili kutoka Muungano wa Ulaya wanashirikiana na jeshi la polisi kuendesha mradi huko visiwani Zanzibar wa kukomesha unyanyasaji dhidi ya wanawake na wasichana na tayari manufaa ya mradi huo yameanza kuonekana.Makala leo inatupeleka Nairobi Kenya kwa Stella Vuzo kutoka kitengo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIS Nairobi akizungumza na Winifred Njiru mwanafunzi wa chuo kikuu fani ya uhakiki au quantity surveyor aliyeshiriki majadiliano ya wiki iliyopita kuhusu malengo ya maendeleo endelevu yaliyoandaliwa na Club De Madri, anaeleza nini kama kijana anapaswa kufanya      kuchangia ajenda hiyo ya maendeleo.Na katika mashinani Cindy McCain, Mkurugenzi Mtendaji wa WFP, akizungumza kutoka kituo cha shirika hilo kilichopo Mombasa, Kenya anaeleza juhudi wanazofanya kuwasaidia wakimbizi wa Sudan na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC."Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

Habari za UN
Vijana tuna jukumu muhimu katika maendeleo ya jamii zetu tuchangamkie fursa: Winfred Njiru

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 11, 2025 3:26


Umoja wa Mataifa unaendelea kuchagiza vijana kujitokeza na kushiriki katika kusongesha ajenda ya maendeleo endelevu katika jamii zao na ndio maana wiki iliyopita majadiliano ya viongozi wastaafu kuhusu maendeleo endelevu ya Club De Madrid yaliyofanyika Nairobi Kenya yalitoa fursa kwa vijana kupaza sauti zao kuhusu jinsi wataavyochangia kufanikisha malengo hayo.  Winfred Njiru mwanafunzi wa chuo kikuu fani ya uhakiki au quantity surveyor alizungumza na Stella Vuzo kutoka kitengo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIS Nairobi na kumueleza matahali Kenya vijana wanapaswa kufanya nini ili kuchangia katika maendeleo.

Warning with Dr. Jonathan Hansen
W - 04/09/25 - Dr. Hansen - Part 3 The New World Order & Judgment - There is Hope - Deliverance Church Langata, Nairobi, Kenya

Warning with Dr. Jonathan Hansen

Play Episode Listen Later Apr 9, 2025 27:45


Part 3 The New World Order & Judgment - There is Hope - Deliverance Church Langata, Nairobi, Kenya, for Bishop Geoffrey Njuguna 2025/04/09 (Radio Air Date) World Ministries International Eagles Saving Nations Dr. Jonathan Hansen - Founder & President Rev. Adalia Hansen worldministries.org Visit our Rumble channel https://rumble.com/c/WarningTVJonathanHansen (360) 629-5248 WMI P.O. Box 277 Stanwood, WA 98292 warning@worldministries.org Visit our website http://www.worldministries.org/ and subscribe to Eagle Saving Nations https://www.worldministries.org/eagles-saving-nations-membership.aspx Sign up for Dr. Hansen's FREE newsletters http://www.worldministries.org/newsletter-signup.html Support Dr. Hansen through your financial gift https://www.worldministries.org/donate.aspx Order Dr. Hansen's book “The Science of Judgment” https://www.store-worldministries.org/the-science-of-judgment.html

Warning with Dr. Jonathan Hansen
T - 04/08/25 - Dr. Hansen - Part 2 The New World Order & Judgment - There is Hope - Deliverance Church Langata, Nairobi, Kenya

Warning with Dr. Jonathan Hansen

Play Episode Listen Later Apr 8, 2025 27:45


Part 2 The New World Order & Judgment - There is Hope - Deliverance Church Langata, Nairobi, Kenya, for Bishop Geoffrey Njuguna 2025/04/08 (Radio Air Date) World Ministries International Eagles Saving Nations Dr. Jonathan Hansen - Founder & President Rev. Adalia Hansen worldministries.org Visit our Rumble channel https://rumble.com/c/WarningTVJonathanHansen (360) 629-5248 WMI P.O. Box 277 Stanwood, WA 98292 warning@worldministries.org Visit our website http://www.worldministries.org/ and subscribe to Eagle Saving Nations https://www.worldministries.org/eagles-saving-nations-membership.aspx Sign up for Dr. Hansen's FREE newsletters http://www.worldministries.org/newsletter-signup.html Support Dr. Hansen through your financial gift https://www.worldministries.org/donate.aspx Order Dr. Hansen's book “The Science of Judgment” https://www.store-worldministries.org/the-science-of-judgment.html

Warning with Dr. Jonathan Hansen
M - 04/07/25 - Dr. Hansen - Part 1 The Way to Heal a Downcast Heart - Deliverance Church Langata, Nairobi, Kenya

Warning with Dr. Jonathan Hansen

Play Episode Listen Later Apr 7, 2025 27:45


Part 1 "The Way to Heal a Downcast Heart" - Deliverance Church Langata, Nairobi, Kenya, for Bishop Geoffrey Njuguna 2025/04/07 (Radio Air Date) World Ministries International Eagles Saving Nations Dr. Jonathan Hansen - Founder & President Rev. Adalia Hansen worldministries.org Visit our Rumble channel https://rumble.com/c/WarningTVJonathanHansen (360) 629-5248 WMI P.O. Box 277 Stanwood, WA 98292 warning@worldministries.org Visit our website http://www.worldministries.org/ and subscribe to Eagle Saving Nations https://www.worldministries.org/eagles-saving-nations-membership.aspx Sign up for Dr. Hansen's FREE newsletters http://www.worldministries.org/newsletter-signup.html Support Dr. Hansen through your financial gift https://www.worldministries.org/donate.aspx Order Dr. Hansen's book “The Science of Judgment” https://www.store-worldministries.org/the-science-of-judgment.html

Habari za UN
04 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 4, 2025 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia Siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu mabomu ya kutegwa ardhini. Makala inamulika harakati za kusongesha malengo ya maendeleo endelevu ikitupeleka nchini Kenya na mashinani tunasalia huko huko nchini Kenya, kulikoni?Ikiwa leo ni Siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu mabomu ya kutegwa ardhini na Msaada wa Hatua Dhidi ya Mabomu hayo, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa akisisitiza nchi kuheshimu mikataba ya kimataifa dhidi ya vilipuzi na silaha nyingine, Umoja wa Mataifa leo umethibitisha tena dhamira yake ya kusaidia Somalia katika mapambano dhidi ya hatari za vilipuzi kwa ajili ya mustakabali salama kwa Wasomali wote.Mwaka huu wa 2025, Siku ya Kimataifa ya Uhamasishaji Kuhusu Mabomu ya Ardhi na Usaidizi kwa Hatua Dhidi ya Mabomu inaadhimishwa chini ya kaulimbiu “Mustakabali Salama Unaanzia Hapa.” Umoja wa Mataifa inasisitiza umuhimu wa kufadhili miradi midogo yenye athari za haraka kusaidia watu wenye ulemavu wa viungo waliathirika katika mizozo. Juhudi hizi zinaimarisha ulinzi wa raia na kupanua teknolojia na uvumbuzi katika nchi zinazoendelea.Makala ambayo inamulika majadiliano ya siku mbili yanayofanyika kila mwaka ya será kuhusu maendeleo endelevu. Majadiliano hayo yanayokunja jamvi leo jijini Nairobi Kenya yameandaliwa na Club De Madrid na mwaka huu yamejikita na ufadhili wa maendeleo, Stella Vuzo kutoka kitengo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIS Nairobi amepata fursa ya kuzungumza na baadhi ya vijana wanaoshiriki mkutano huo wa club de Madrid.Na mashinani leo utamsikia mhadhiri kutoka chuo kikuu cha Bayero jimboni Kano nchini Nigeria anayeshiriki mkutano wa majadiliano ya ufadhili wa maendeleo endelevu unaofanyika Nairobi Kenya.Mwenyeji wako ni Assumpta, karibu!

Habari za UN
Uongozi bora na matumizi bora ya rasilimali vitaikomboa Afrika kimaendeleo: Vijana Kenya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 4, 2025 3:22


Majadiliano ya siku mbili yanayofanyika kila mwaka ya será kuhusu maendeleo endelevu. Majadiliano hayo yanayokunja jamvi leo jijini Nairobi Kenya yameandaliwa na Club De Madrid na mwaka huu yakijikita na ufadhili wa maendeleo na kuwaleta pamoja wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wastaafu w anchi na serikali, wadau wa maendeleo na vijana. Stella Vuzo kutoka kitengo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIS Nairobi amepata fursa ya kuzungumza na baadhi ya vijana wanaoshiriki mkutano huo wa club de Madrid je wanasemaje? Ungana nao katika makala hii

Habari za UN
03 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 3, 2025 11:45


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoturejesha kwenye mkutano wa hivi majuzi wa CSW69 kufuatilia harakati za Mfuko wa CRDB za kujengea uwezo na kuinua wanawake nchini Tanzania. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchambuzi wa neno “MHARUMA.”Mashirika ya Umoja wa Mataifa na wadau wa misaada ya kibinadamu leo wamesema wanaendelea kuwasaidia watu wa Muyanmar na mahitaji ya msingi baada ya tetemeko kubwa la ardhi la Ijuma iliyopita ambapo idadi ya waliopoteza maisha sasa ni zaidi ya 2,800, maelfu wamejerihiwa na mamia bado hawajulikani wako.Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu, Volker Türk, amesema leo kwamba ameshtushwa na ripoti za mauaji ya raia bila kufuata utaratibu wa kisheria yaliyoenea mjini Khartoum baada ya kurejeshwa kwa mji huo chini ya udhibiti wa Jeshi la Sudan (SAF) tarehe 26 Machi.Na majadiliano ya siku mbili ya kila mwaka ya será kuhusu maendeleo endelevu yaliyoandaliwa na Club De Madrid yameanza leo Nairobi Kenya mwaka huu yakijikita na ufadhili wa maendeleo. shududa wetu huko ni Stella Vuzo kutoka kitengo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIS Nairobi.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno MHARUMA”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

Warning with Dr. Jonathan Hansen
F - 03/28/25 - Dr. Hansen - Part 2 The Need for a National Repentance - Christian Foundation Fellowship, Nairobi, Kenya, 03/09/25

Warning with Dr. Jonathan Hansen

Play Episode Listen Later Mar 28, 2025 27:45


Part 2 The Need for a National Repentance - Christian Foundation Fellowship, Nairobi, Kenya, for Archbishop Harrison Ng'anga, with the former VP the Honorable Stephen Kolonzo Musyoka in attendance 03/09/25 2025/03/28 (Radio Air Date) World Ministries International Eagles Saving Nations Dr. Jonathan Hansen - Founder & President Rev. Adalia Hansen worldministries.org Visit our Rumble channel https://rumble.com/c/WarningTVJonathanHansen (360) 629-5248 WMI P.O. Box 277 Stanwood, WA 98292 warning@worldministries.org Visit our website http://www.worldministries.org/ and subscribe to Eagle Saving Nations https://www.worldministries.org/eagles-saving-nations-membership.aspx Sign up for Dr. Hansen's FREE newsletters http://www.worldministries.org/newsletter-signup.html Support Dr. Hansen through your financial gift https://www.worldministries.org/donate.aspx Order Dr. Hansen's book “The Science of Judgment” https://www.store-worldministries.org/the-science-of-judgment.html

Warning with Dr. Jonathan Hansen
Th - 03/27/25 - Dr. Hansen - Part 1 The Need for a National Repentance - Christian Foundation Fellowship, Nairobi, Kenya, 03/09/25

Warning with Dr. Jonathan Hansen

Play Episode Listen Later Mar 27, 2025 27:45


Part 1 The Need for a National Repentance - Christian Foundation Fellowship, Nairobi, Kenya, for Archbishop Harrison Ng'anga, with the former VP the Honorable Stephen Kolonzo Musyoka in attendance 03/09/25 2025/03/27 (Radio Air Date) World Ministries International Eagles Saving Nations Dr. Jonathan Hansen - Founder & President Rev. Adalia Hansen worldministries.org Visit our Rumble channel https://rumble.com/c/WarningTVJonathanHansen (360) 629-5248 WMI P.O. Box 277 Stanwood, WA 98292 warning@worldministries.org Visit our website http://www.worldministries.org/ and subscribe to Eagle Saving Nations https://www.worldministries.org/eagles-saving-nations-membership.aspx Sign up for Dr. Hansen's FREE newsletters http://www.worldministries.org/newsletter-signup.html Support Dr. Hansen through your financial gift https://www.worldministries.org/donate.aspx Order Dr. Hansen's book “The Science of Judgment” https://www.store-worldministries.org/the-science-of-judgment.html

Warning with Dr. Jonathan Hansen
M - 03/24/25 - Michael Lotem, Israel Ambassador to Kenya, in Nairobi, Kenya 02/27/2024

Warning with Dr. Jonathan Hansen

Play Episode Listen Later Mar 24, 2025 27:45


Michael Lotem, Israel Ambassador to Kenya, at the Israel Embassy in Nairobi, Kenya 02/27/2024 2025/03/24 (Radio Air Date) World Ministries International Eagles Saving Nations Dr. Jonathan Hansen - Founder & President Rev. Adalia Hansen worldministries.org Visit our Rumble channel https://rumble.com/c/WarningTVJonathanHansen (360) 629-5248 WMI P.O. Box 277 Stanwood, WA 98292 warning@worldministries.org Visit our website http://www.worldministries.org/ and subscribe to Eagle Saving Nations https://www.worldministries.org/eagles-saving-nations-membership.aspx Sign up for Dr. Hansen's FREE newsletters http://www.worldministries.org/newsletter-signup.html Support Dr. Hansen through your financial gift https://www.worldministries.org/donate.aspx Order Dr. Hansen's book “The Science of Judgment” https://www.store-worldministries.org/the-science-of-judgment.html

Warning with Dr. Jonathan Hansen
S - 03/22/25 - Dr. Hansen - Christian Foundation Fellowship, Nairobi, Kenya, 03/09/25 (Shannon Davis)

Warning with Dr. Jonathan Hansen

Play Episode Listen Later Mar 22, 2025 59:30


Christian Foundation Fellowship, Nairobi, Kenya, for Archbishop Harrison Ng'anga, with the former VP the Honorable Stephen Kolonzo Musyoka in attendance 03/09/25 (OmegaManRadio with Shannon Davis 03/12/25) 2025/03/21 (Shortwave Air Date) World Ministries International Eagles Saving Nations Dr. Jonathan Hansen - Founder & President Rev. Adalia Hansen worldministries.org Visit our Rumble channel https://rumble.com/c/WarningTVJonathanHansen (360) 629-5248 WMI P.O. Box 277 Stanwood, WA 98292 warning@worldministries.org Visit our website http://www.worldministries.org/ and subscribe to Eagle Saving Nations https://www.worldministries.org/eagles-saving-nations-membership.aspx Sign up for Dr. Hansen's FREE newsletters http://www.worldministries.org/newsletter-signup.html Support Dr. Hansen through your financial gift https://www.worldministries.org/donate.aspx Order Dr. Hansen's book “The Science of Judgment” https://www.store-worldministries.org/the-science-of-judgment.html

Warning with Dr. Jonathan Hansen
W - 02/19/25 - Michael Lotem, Israel Ambassador to Kenya, at the Israel Embassy in Nairobi, Kenya 01/25/2024

Warning with Dr. Jonathan Hansen

Play Episode Listen Later Feb 19, 2025 27:45


Michael Lotem, Israel Ambassador to Kenya, at the Israel Embassy in Nairobi, Kenya 01/25/2024 2025/02/19 (Radio Air Date) World Ministries International Eagles Saving Nations Dr. Jonathan Hansen - Founder & President Rev. Adalia Hansen worldministries.org Visit our Rumble channel https://rumble.com/c/WarningTVJonathanHansen (360) 629-5248 WMI P.O. Box 277 Stanwood, WA 98292 warning@worldministries.org Visit our website http://www.worldministries.org/ and subscribe to Eagle Saving Nations https://www.worldministries.org/eagles-saving-nations-membership.aspx Sign up for Dr. Hansen's FREE newsletters http://www.worldministries.org/newsletter-signup.html Support Dr. Hansen through your financial gift https://www.worldministries.org/donate.aspx Order Dr. Hansen's book “The Science of Judgment” https://www.store-worldministries.org/the-science-of-judgment.html

The Speakeasy
I Can Be Your Hero Baby

The Speakeasy

Play Episode Listen Later Feb 14, 2025 58:44


Five years ago, Hero opened its doors in Nairobi Kenya as the first bar with a dedicated cocktail laboratory in east Africa. The idea was the be the sort of place superheroes (and supervillains) would chill in on their days off. What would they eat? What would they drink? How do they unwind?Today, Hero has cracked into the World's 50 Best Bars and is touring the globe, with pop-ups from Mexico City to Tokyo. Richie Barrow and Kelvin Thairu sit down with the band to talk about how their vision of fostering a Kenyan cocktail scene got started, how they source their ingredients, and the ingredients they bring with them when they're on tour that highlight the amazing produce and flavors of east Africa.Plus, congratulations (we suppose) to the super bowl champion Philadelphia Eagles. Greg, Sother and Damon wax poetic about some of their favorite bars in the city of brotherly love, and muse about the city's peculiar habit of pole-greasing, to limited effectFollow Hero on instagram at @hero_nairobiLove The Speakeasy but wish there was more? Check out Bottled in Bond, our new Patreon podcast exclusively for you, our best regulars! Join now for sponsor-free listening, video podcasts, access to pre-sales and drink recipes from all our guests. Higher proof and aged to perfection, check it out now at patreon.com/BottledinBondCheck out Quiote Imports at quioteimports.com and use promo code “Speakeasy” to get free shipping at checkout. Don't forget to click SUBSCRIBE and RATE the show if you can. 

Grace Harvest
February 2, 2025 | Evans Okeyo, Missionary to Nairobi Kenya

Grace Harvest

Play Episode Listen Later Feb 2, 2025 60:31


Stories From Women Who Walk
60 Seconds for Wednesdays on Whidbey: What Happens When You Disappear Into Your Task?

Stories From Women Who Walk

Play Episode Listen Later Jan 29, 2025 2:49


Hello to you listening in Nairobi, Kenya!Coming to you from Whidbey Island, Washington this is Stories From Women Who Walk with 60 Seconds for Wednesdays on Whidbey and your host, Diane Wyzga.The old ones in China tell a story about an equally old painter who invited friends to his home to see his latest work.His friends gathered around to admire the artist's painting which he had hung on a wall. The painting was a scene of a little park and a tiny footbridge crossing a stream that meandered through a forest that opened onto a meadow where stood a small cottage with an equally small door painted blue. Those gathered together turned around to tell the painter how much they admired his work but he was nowhere to be found. One of his friends said, "Look! There he is! In the painting!" He walked up the path that led to the door of the cottage, stopped, turned, smiled, and disappeared inside.Question: Imagine becoming so engrossed in your work that you end up disappearing into it in the same way. What do you imagine happens next? Become that!You're always invited: “Come for the stories - stay for the magic!” Speaking of magic, would you subscribe and spread the word with a generous 5-star review and comment - it helps us all - and join us next time!Meanwhile, stop by my Quarter Moon Story Arts website to:✓ Check out Services I Offer✓ For a no-obligation conversation about your communication challenges, get in touch with me today✓ Stay current with Diane as “Wyzga on Words” on Substack, LinkedIn and now Pandora RadioStories From Women Who Walk Production TeamPodcaster: Diane F Wyzga & Quarter Moon Story ArtsMusic: Mer's Waltz from Crossing the Waters by Steve Schuch & Night Heron MusicAll content and image © 2019 to Present Quarter Moon Story Arts. All rights reserved. 

SBS Dinka - SBS Dinka
Thööŋ e puou ruöön thiɛ̈ɛ̈rou ciök ciën ke ci dɔɔr yi thääny

SBS Dinka - SBS Dinka

Play Episode Listen Later Jan 13, 2025 21:00


Thööŋ ee puou ruön thiɛ̈ɛ̈rou ciök ciën ci dɔ̈ɔ̈r thääny yic ye cɔl CPA 2005 Nairobi Kenya.

Habari za UN
Nosizi Ndube: Kukosa utaifa haikukwamisha ndoto yangu ya elimu, asante UNHCR na wadau mbalimbali

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 9, 2025 5:17


Shirika la Umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limefanikiwa kumnyanyua msichana Nosizi Dube na kutimiza ndoto yake ya kuepuka ndoa ya utotoni na kupata shahada ya kwanza ya chuo kikuu. Msichana huyo mwenye umri wa miaka 24 ni wa kwanza katika jamii ya Washona wanaoishi mjini Nairobi Kenya kupata elimu katika ngazi hiyo. Mpango wa UNHCR wa kupambana na kutokuwa na utaifa kwa ushirikiano na serikali ya Kenya umekuwa chachu ya mafanikio ya msichana huyo. Mwandishi wetu wa Nairobi Thelma Mwadzaya alimtembelea Nosizi nyumbani kwake ili kupata undani wa safari yake..

DJ Shinski Mixes
Dj Shinski - Live at Alchemist, Nairobi Kenya [Arbantone, Hip hop, Afrobeats, Amapiano, Pop]

DJ Shinski Mixes

Play Episode Listen Later Dec 30, 2024 75:59


Always Evolving ~ 3 time Best African Dj - USA Nominee ~ World Dj of the year - NEAWARDS Nominee ~ Winner of the 1st Dj Spinoff in Houston Texas

Dj Shinski New Mixes
Live at Alchemist, Nairobi Kenya

Dj Shinski New Mixes

Play Episode Listen Later Dec 30, 2024 75:59


Deeper Sounds Of Nairobi
DSoN #065 Nairobi, Kenya

Deeper Sounds Of Nairobi

Play Episode Listen Later Dec 29, 2024 60:00


In this special episode, I take you on a musical journey through the vibrant sounds of Nairobi, featuring some of the best tracks that have defined my time in the city this December. This mix blends Afro-house, amapiano, and deep house with unforgettable tunes that capture the essence of Nairobi's dynamic music scene. From soulful collaborations to high-energy beats, this episode showcases a selection of my favorite records, including tracks from the likes of Wizkid feat. Asake, Babalwa M, Fish Go Deep, Dlala Thukzin, Caiiro, Zakes Bantwini, Manoo, DCMTRS, and Salim Junior (Keyløud). Tune in for a deep dive into the music that has shaped my experience in Nairobi, filled with both reflective moments and vibrant energy! The full tracklist will be shared below. #DeeperSoundsOfNairobi #AfroHouse #Amapiano #GlobalBeats Remember to support these incredible artists by purchasing or streaming their work—every bit helps to keep the music alive and thriving! 1.Wizkid feat. Asake - Bad Girl 2.Babalwa M - Piki Piki 3.Fish Go Deep - Cure and The Cause (Kabza De Small Remix) 4.Dlala Thukzin x Goldmaxn - VAR 5.Dlala Thukzin, MÖRDA x Azana feat. MK Productions - Khumbula 6.Drega, Nana Atta - Amafu (Original Mix) 7.Caiiro feat. Simmy - Impilo Yam 8.Zakes Bantwini, Drega - Ngin'mele Nonke (Original Mix) 9.Manoo, Starving Yet Full, Sparrow x Barbossa - After Saturday Night (Manoo Alternative Remix) 10.Afro Brotherz - Blue Ocean 11.Drega feat. Maline - Aura Vela (Extended Mix) 12.DCMTRS - DUNYU 13.DJ Kev Karter - Terror by Night (Original Mix) 14.Keyløud feat. Salim Junior - Ika Uria Wikaga (Extended Mix) 15.Moojo - Mockingbird (Original Mix) Don't miss out—hit play, enjoy, and let the beats take over!

Warning with Dr. Jonathan Hansen
W - 12/04/24 - Michael Lotem, Israel Ambassador to Kenya, at the Israel Embassy in Nairobi, Kenya 01/25/2024

Warning with Dr. Jonathan Hansen

Play Episode Listen Later Dec 4, 2024 27:45


Michael Lotem, Israel Ambassador to Kenya, at the Israel Embassy in Nairobi, Kenya 01/25/2024 2024/12/04 (Radio Air Date) World Ministries International Eagles Saving Nations Dr. Jonathan Hansen - Founder & President Rev. Adalia Hansen worldministries.org Visit our Rumble channel https://rumble.com/c/WarningTVJonathanHansen (360) 629-5248 WMI P.O. Box 277 Stanwood, WA 98292 warning@worldministries.org Visit our website http://www.worldministries.org/ and subscribe to Eagle Saving Nations https://www.worldministries.org/eagles-saving-nations-membership.aspx Sign up for Dr. Hansen's FREE newsletters http://www.worldministries.org/newsletter-signup.html Support Dr. Hansen through your financial gift https://www.worldministries.org/donate.aspx Order Dr. Hansen's book “The Science of Judgment” https://www.store-worldministries.org/the-science-of-judgment.html

Podcasts from the Cochrane Library
Training health workers in breast examination for early detection of breast cancer in low- and middle-income countries

Podcasts from the Cochrane Library

Play Episode Listen Later Dec 3, 2024 4:51


Cochrane Breast Cancer has produced several reviews relevant to the detection of breast cancer. In April 2023, these were added to with a new review of training health workers in low- and middle-income countries to do breast examinations. Here is the lead author, Shahin Sayed from the Aga Khan University in Nairobi Kenya, to tell us about the importance of the review and its findings.

Podcasts from the Cochrane Library
Training health workers in breast examination for early detection of breast cancer in low- and middle-income countries

Podcasts from the Cochrane Library

Play Episode Listen Later Dec 3, 2024 4:51


Cochrane Breast Cancer has produced several reviews relevant to the detection of breast cancer. In April 2023, these were added to with a new review of training health workers in low- and middle-income countries to do breast examinations. Here is the lead author, Shahin Sayed from the Aga Khan University in Nairobi Kenya, to tell us about the importance of the review and its findings.

Warning with Dr. Jonathan Hansen
F - 11/29/24 - Michael Lotem, Israel Ambassador to Kenya, at the Israel Embassy in Nairobi, Kenya 01/25/2024

Warning with Dr. Jonathan Hansen

Play Episode Listen Later Nov 29, 2024 27:45


Michael Lotem, Israel Ambassador to Kenya, at the Israel Embassy in Nairobi, Kenya 01/25/2024 2024/11/29 (Radio Air Date) World Ministries International Eagles Saving Nations Dr. Jonathan Hansen - Founder & President Rev. Adalia Hansen worldministries.org Visit our Rumble channel https://rumble.com/c/WarningTVJonathanHansen (360) 629-5248 WMI P.O. Box 277 Stanwood, WA 98292 warning@worldministries.org Visit our website http://www.worldministries.org/ and subscribe to Eagle Saving Nations https://www.worldministries.org/eagles-saving-nations-membership.aspx Sign up for Dr. Hansen's FREE newsletters http://www.worldministries.org/newsletter-signup.html Support Dr. Hansen through your financial gift https://www.worldministries.org/donate.aspx Order Dr. Hansen's book “The Science of Judgment” https://www.store-worldministries.org/the-science-of-judgment.html

Warning with Dr. Jonathan Hansen
F - 11/08/24 - Michael Lotem, Israel Ambassador to Kenya, at the Israel Embassy in Nairobi, Kenya 01/25/2024

Warning with Dr. Jonathan Hansen

Play Episode Listen Later Nov 8, 2024 27:45


Michael Lotem, Israel Ambassador to Kenya, at the Israel Embassy in Nairobi, Kenya 01/25/2024 2024/11/08 (Radio Air Date) World Ministries International Eagles Saving Nations Dr. Jonathan Hansen - Founder & President Rev. Adalia Hansen worldministries.org Visit our Rumble channel https://rumble.com/c/WarningTVJonathanHansen (360) 629-5248 WMI P.O. Box 277 Stanwood, WA 98292 warning@worldministries.org Visit our website http://www.worldministries.org/ and subscribe to Eagle Saving Nations https://www.worldministries.org/eagles-saving-nations-membership.aspx Sign up for Dr. Hansen's FREE newsletters http://www.worldministries.org/newsletter-signup.html Support Dr. Hansen through your financial gift https://www.worldministries.org/donate.aspx Order Dr. Hansen's book “The Science of Judgment” https://www.store-worldministries.org/the-science-of-judgment.html

Habari za UN
28 OKTOBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 28, 2024 9:57


Hii leo jaridani tunaangazia janga la nja linalokumba wananchi waathirika wa mizozo nchini Sudan, na simulizi za walinda amani wa UNIFIL nchini Lebanon. Makala tunakupeleka nchini Kenya na mashinani nchini Haiti, kulikoni?Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani, (WFP) leo kwa mara nyingine tena limetahadharisha kwamba bila msaada wa kibinadamu nchini Sudan, mamia ya maelfu wanaweza kufa kwa njaa.Kikosi cha muda cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon, UNIFIL, ambapo, katikati ya mvutano unaoongezeka kati ya Lebanon na Israel, walinda amani walioko katika makao makuu ya UNIFIL huko Naqoura wamekuwa wakivumilia mazingira magumu. Ushuhuda wa hivi karibuni kutoka kwa walinda amani hao unaonesha ukubwa wa changamoto wanazokabiliana nazo, ikiwemo vitisho vilivyoongezeka kutoka kwa shughuli za kijeshi za Israel zilizo karibu na eneo hilo, vizuizi vya kusafiri, na changamoto za uendeshaji wa shughuli.Makala inatupeleka Nairobi Kenya kwa washindi waliotwaa tuzo ya “Mtu Bora wa Mwaka wa Umoja wa Mataifa 2024” ambao ni kampuni ya Craftskills Wind Energy International Limited wamiliki wa mradi wa nishati ya upepo ya Kipeto Energy iliyoko Kaunti ya Kajiado nchini Kenya.Katika mashinani mashinani leo tutakuwa Haiti ambapo nafasi ni yake Andre Rose, mama wa kijana Kerby, akieleza jinsi msaada wa kifedha unaotolewa na Shirika la UNICEF umekuwa mkombozi kwa familia yake iliyolazimika kukimbia makazi yao kutokana na ghasia za magenge ya uhalifu nchini Haiti.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu! 

Habari za UN
25 OKTOBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 25, 2024 9:58


Hii leo jaridani tunaangazia hali ya kibinadamu katika ukanda wa Gaza, na ujumbe wa Filippo Grandi wa UNHCH ambaye yuko ziarani Uganda. Makala tunakupeleka nchini Kenya na mashinani nchini DRC, kulikoni?Hali Gaza inaendelea kuwa tete wakati ucheleweshwji wa kuhamisha wagonjwa hususan watoto wanaohitaji msaada wa haraka wa huduma za afya imekuwa ni hukumu ya kifo kwao huku maelfu ya watu wakiendelea kukosa mahitaji ya muhimu ya kila siku ikiwemo chakula kama mkate, yameonya leo mashirika ya Umoja wa Mataifa.Wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC wanaendelea kukimbilia Uganda kukwepa machafuko nchini mwao, huku rasilimali zikikaribia kikomo. Ameonya Kamishina mkuu wa  shirika la Umoja wa Mtaifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, Filippo Grandi, akiwa ziarani nchini Uganda hivi karibuni kwenye kambi inayohifadhi wakimbizi wa DRC na kutoa wito kwa jamii ya kimataifa kuongeza msaada, kama inavyoeleza taarifa ya Bosco Cosmas.Makala inayotupeleka Nairobi Kenya kwake Stella Vuzo afisa habari wa kitengo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIS Nairobi akizungumza na mmoja wa wanaufaika wa mradi wa nishati ya upepo ya Kipeto Energy unaoendeshwa na kampuni ya Craftskills Wind Energy International Limited ambayo jana Siku ya Umoja wa Mataifa ilitwaa tuzo ya “Mtu Bora wa Mwaka wa Umoja wa Mataifa” inayotolewa kila mwaka.Mashinani leo tutaelekea Beni, Kivu Kaskazini kusikia jinsi MONUSCO unavyowasaidia wanawake walio katika mazingira magumu, mmoja wao ni Salome Tatsopa ambaye ni mnufaika wa masomo ya ufundi wa cherahani akitueleza matumani yake baada ya mafunzo hayo.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Warning with Dr. Jonathan Hansen
F - 10/25/24 - Michael Lotem, Israel Ambassador to Kenya, at the Israel Embassy in Nairobi, Kenya 01/25/2024

Warning with Dr. Jonathan Hansen

Play Episode Listen Later Oct 25, 2024 27:45


Michael Lotem, Israel Ambassador to Kenya, at the Israel Embassy in Nairobi, Kenya 01/25/2024 2024/10/25 (Radio Air Date) World Ministries International Eagles Saving Nations Dr. Jonathan Hansen - Founder & President Rev. Adalia Hansen worldministries.org Visit our Rumble channel https://rumble.com/c/WarningTVJonathanHansen (360) 629-5248 WMI P.O. Box 277 Stanwood, WA 98292 warning@worldministries.org Visit our website http://www.worldministries.org/ and subscribe to Eagle Saving Nations https://www.worldministries.org/eagles-saving-nations-membership.aspx Sign up for Dr. Hansen's FREE newsletters http://www.worldministries.org/newsletter-signup.html Support Dr. Hansen through your financial gift https://www.worldministries.org/donate.aspx Order Dr. Hansen's book “The Science of Judgment” https://www.store-worldministries.org/the-science-of-judgment.html

Top Hill
197. AMAZING NAIROBI KENYA MANSION / LARGEST CHURCH IN THE WORLD / NIGERIAN MANSION MAKES ME MAD.

Top Hill

Play Episode Listen Later Oct 14, 2024 184:59


Amazing Nairobi Mansion | Largest Church in the World | Nigerian Mansion Makes Me Mad | Top Hill Ep. 197

Warning with Dr. Jonathan Hansen
F - 10/04/24 - Michael Lotem, Israel Ambassador to Kenya, at the Israel Embassy in Nairobi, Kenya 01/25/2024

Warning with Dr. Jonathan Hansen

Play Episode Listen Later Oct 4, 2024 27:45


Michael Lotem, Israel Ambassador to Kenya, at the Israel Embassy in Nairobi, Kenya 01/25/2024 2024/10/04 (Radio Air Date) World Ministries International Eagles Saving Nations Dr. Jonathan Hansen - Founder & President Rev. Adalia Hansen worldministries.org Visit our Rumble channel https://rumble.com/c/WarningTVJonathanHansen (360) 629-5248 WMI P.O. Box 277 Stanwood, WA 98292 warning@worldministries.org Visit our website http://www.worldministries.org/ and subscribe to Eagle Saving Nations https://www.worldministries.org/eagles-saving-nations-membership.aspx Sign up for Dr. Hansen's FREE newsletters http://www.worldministries.org/newsletter-signup.html Support Dr. Hansen through your financial gift https://www.worldministries.org/donate.aspx Order Dr. Hansen's book “The Science of Judgment” https://www.store-worldministries.org/the-science-of-judgment.html

Habari za UN
17 SEPTEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 17, 2024 9:54


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka Nairobi Kenya ambako tutamsikiamwanamuziki nyota, mjasiriamali na mwanaharakati wa haki za wanawake Lizi Ogumbo. Pia tunakuletea habari kwa ufufpi na mashinani.Vurugu dhidi ya wapinzani wa serikali nchini Venezuela zimefurutu ada, imesema tume huru ya uchunguzi ikitaja kukamatwa, ukatili wa kingono na utesaji kama mbinu zitumiwazo na serikali ya Rais Nicolas Maduro ili aendelee kuweko madarani.Mwaka 2024 ukiripotiwa kuwa na idadi kubwa ya chaguzi kwenye nchi zaidi ya 60 ambako zaidi ya watu bilioni 1 watapiga kura kuchagua viongozi wao wa umma, wataalamu wa Umoja wa Mataia wanaelezea hofu yao juu ya kitendo cha watu kutoweshwa katika kipindi hicho ili kunyamazisha demokrasia, kitendo ambacho wamesema kinabinya uhuru wa kupiga kura.Na hii leo matokeo ya utafiti uliofanywa na Umoja wa Mataifa yameonesha kuwa licha ya majanga yanayoendelea kukumba dunia, nchi wanachama zimeendelea kujizatiti kuanzisha huduma za serikali mtandao ili wananchi waweze kupata huduma mbali mbali kidijitali, ambapo ripoti inazitaja Denmark, Estonia na Singapore kushika nafasi ya juu kati ya nchi 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa, kwa mawanda na ubora wa huduma za serikali mtandaoni.Katika mashinani Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo UNDP nchini Bangladesh Stefan Liller anatueleza kiwango cha athari za mafuriko makubwa yaliyoikumba nchi hiyo.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu! 

Auburn Grace Community Church
Episode 215: Pastor Fred Auma - HEART Nairobi, Kenya - The Secrets of JOYFUL Living - Philippians 3:1-4:1 / 2024.09.15

Auburn Grace Community Church

Play Episode Listen Later Sep 15, 2024 28:19


Pastor Fred Auma - The Secrets of JOYFUL Living - Weekend Sermon Podcast - www.auburngrace.com

Where Next? Travel with Kristen and Carol
Nairobi, Kenya - Travel with Vincent

Where Next? Travel with Kristen and Carol

Play Episode Play 19 sec Highlight Listen Later Sep 8, 2024 59:31 Transcription Available


Send us a textImagine a city where you can walk amongst skyscrapers one moment and spot a giraffe the next. Our guest, Vincent, fresh from a two-month adventure in Nairobi, takes us on an extraordinary journey through Kenya, sharing firsthand experiences from his upbringing near Lake Victoria to his current life in the Bay Area. We explore Kenya's diverse tribes and educational system, and the unique blend of English and Kiswahili that colors daily conversations.This episode shines a light on Kenya's rich cultural traditions and culinary delights, especially during Christmas. Discover how Kenyans celebrate the festive season with grand feasts and family gatherings, rather than focusing on gift-giving. We also discuss the regional culinary treats you can't miss, from succulent tilapia to the freshest coastal seafood. And if you're a travel enthusiast, our guest's tips on the best times to visit Mombasa, Lamu, and Malindi will be invaluable.Finally, we delve into the vibrant sports culture and cosmopolitan lifestyle of modern Nairobi. Learn about the city's affordability compared to places like the Bay Area, the innovative mobile payment system M-Pesa, and the must-visit spots like Nairobi National Park and the Masai Mara National Reserve. Plus, get a taste of Kenya's sweet side with desserts like mandazi and mahamri, and explore the nation's music traditions that range from the ancient Nyatiti to contemporary Afrobeats. Tune in for a rich, multifaceted look at Kenyan life, culture, and travel that promises to both inform and inspire.Map of KenyaSupport the showPlease download, like, subscribe, share a review, and follow us on your favorite podcasts app and connect with us on Instagram: https://www.instagram.com/wherenextpodcast/View all listening options: https://wherenextpodcast.buzzsprout.com/HostsCarol Springer: https://www.instagram.com/carol.work.lifeKristen: https://www.instagram.com/team_wake/ If you can, please support the show or you can buy us a coffee.

Koinonia Experience With Apostle Joshua Selman (ENI)
THE SPIRIT OF ENVY (UNITY SERIES)JAMES 3:16||NAIROBI-KENYA||APOSTLE JOSHUA SELMAN

Koinonia Experience With Apostle Joshua Selman (ENI)

Play Episode Listen Later Sep 7, 2024 123:40


THE SPIRIT OF ENVY (UNITY SERIES)JAMES 3:16||NAIROBI-KENYA||APOSTLE JOSHUA SELMAN KENYA RHEMA FEST 2024

Koinonia Experience With Apostle Joshua Selman (ENI)
THE LORD'S PRAYER (THAT THEY MAY BE ONE) |RHEMA FEAST 2024 |NAIROBI-KENYA |APOSTLE JOSHUA SELMAN

Koinonia Experience With Apostle Joshua Selman (ENI)

Play Episode Listen Later Sep 7, 2024 144:20


THE LORD'S PRAYER (THAT THEY MAY BE ONE) || RHEMA FEAST 2024 || NAIROBI-KENYA || APOSTLE JOSHUA SELMAN

Koinonia Experience With Apostle Joshua Selman (ENI)
RHEMA FEAST 2024 || DAY 3 || NAIROBI-KENYA WITH APOSTLE JOSHUA SELMAN

Koinonia Experience With Apostle Joshua Selman (ENI)

Play Episode Listen Later Sep 7, 2024 167:56


RHEMA FEAST 2024 || DAY 3 || NAIROBI-KENYA WITH APOSTLE JOSHUA SELMAN

KOINONIA CONNECT with Apostle Joshua Selman
RHEMA FEAST 2024 DAY 3 NAIROBI-KENYA

KOINONIA CONNECT with Apostle Joshua Selman

Play Episode Listen Later Aug 31, 2024 167:56


For Donations: ⁠⁠https://gogetfunding.com/koinoniaconnect/⁠ RHEMA FEAST 2024 DAY 3 NAIROBI-KENYA WITH APOSTLE JOSHUA SELMAN

Sunshine Travelers Podcast
Episode 73 - Planning for an African Safari with Piper Mackay

Sunshine Travelers Podcast

Play Episode Listen Later Aug 20, 2024 74:28


There is nothing better than being able to check off one of those bucket list experiences that you have been dreaming of for a really long time. This year, Melissa and I will be taking an African Safari in Kenya to celebrate our 30th anniversary and a big birthday for myself. We wanted to do something really special to celebrate those occasions so we decided to cross the safari off our bucket list. We've done a lot of planning to prepare for this trip, but we thought for the podcast we might help you shortcut that planning and bring an expert onto the show. In this episode we talk to Piper Mackay from Mackay Africa whom we will use for our safari. So grab your olive green pants and khaki shirt as we head to Nairobi Kenya to start this safari. Some links are affiliate links. See our disclosure. Learn more about Esims by GigSky here and use our code SUNSHINE for 10% off data plans Get Our Ultimate Packing Guide for Traveling Smart and Packing Light + Access to Exclusive Weekly Content here. Find your Perfect Stay at sunshinetravelers.com/booking Do More with Viator. Visit sunshinetravelers.com/viator to book local tours & experiences you'll remember. Read more about this and other travel destinations on our BLOG Follow our travels on Facebook Follow our travels on Instagram Save our travel ideas on Pinterest See our travel videos on You Tube Follow us on X (Twitter) Connect with us on LinkedIn Music credit: Music by Kyrylo Momot from Pixabay

The Postscript Show
Episode 199: Preparing to Plant a Church in Nairobi, Kenya

The Postscript Show

Play Episode Listen Later Jul 15, 2024


This week on The Postscript, Provost of Living Faith Bible Institute, Brandon Briscoe, interviews Myles Cheadle who is currently (2024) raising support to go as a missionary-pastor to Nairobi, Kenya. Myles shares his testimony of salvation and how God has prepared him in ministry at Midtown Baptist Temple in Kansas City, MO. We then discuss how he became aware of the mission field in Nairobi and how God opened his heart to going. Myles and his family are currently raising support to move to Nairobi, Kenya to shepherd a growing body of faithful believers. Along with his wife, Myles intends to transition to Nairobi full time in January 2025. Visit https://www.lfnairobi.com/ Visit https://www.lfbi.org/learnmore