Podcasts about monusco

  • 75PODCASTS
  • 395EPISODES
  • 11mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • Apr 7, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about monusco

Latest podcast episodes about monusco

Habari za UN
Stadi za kuoka mikate zaleta furaha kwa mkimbizi Thérèse huko Beni nchini DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 2, 2025 1:52


Jimboni Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Thérèse Kavira, mwanamke shupavu aliyelazimika kukimbilia mji wa Beni baada ya waasi kuvamia kijiji chake sasa ameona nusu kwenye maisha yake kufuatia mafunzo ya kuoka mikate yaliyotolewa na ofisi ya Utafiti na Usaidizi kwa Mahusiano ya Kimataifa nchini humo pamoja na ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani DRC, MONUSCO na sasa anajikimu kimaisha. Sharon jebichii na taarifa zaidi.

Habari za UN
02 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 2, 2025 9:58


Hii leo jaridani tunaangazia Siku ya Kimataifa ya Kuelimisha Umma kuhusu Usonji, na wakimbizi wa ndani nchini DRC. Makala inatupeleka nchini Tanzania kwa mada hiyo hiyo ya elimu kuhusu usonji, na mashinani tunakwenda Gaza.Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuelimisha Umma kuhusu Usonji (Autism) mwaka huu wa 2025, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesisitiza umuhimu wa ujumuishaji na usawa kwa watu wenye changamoto hiyo akitambua mafanikio yao pamoja na changamoto wanazokabiliana nazo duniani kote.Jimboni Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Thérèse Kavira, mwanamke shupavu aliyelazimika kukimbilia mji wa Beni baada ya waasi kuvamia kijiji chake sasa ameona nusu kwenye maisha yake kufuatia mafunzo ya kuoka mikate yaliyotolewa na ofisi ya Utafiti na Usaidizi kwa Mahusiano ya Kimataifa nchini humo pamoja na ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani DRC, MONUSCO na sasa anajikimu kimaisha.Makala leo kama tulivyokujulisha ni siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu usonji, Assumpta Massoi anamulika jinsi shirika moja la kiraia nchini Tanzania linapigia chepuo harakati hizo.Na katika mashinani fursa ni yake Marah Hajjo, msichana mdogo kutoka Gaza huko Palestina Mashariki ya Kati ambaye anasimulia mabadiliko makubwa ya sikukuu ya Eid El Fitr ambayo mwaka huu ilighubikwa na kiza cha vifusi na mateso kutokana na mashambulizi kutoka Israeli.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!  

ONU Info

La mission de paix des Nations Unies en République démocratique du Congo, la MONUSCO, se tient prête à appuyer « l'observation d'un vrai cessez-le-feu » dans l'est du pays, déclare l'envoyée de l'ONU en République démocratique du Congo.ONU Info a rencontré Bintou Keita avant un exposé devant les membres du Conseil de sécurité sur l'ONU sur la situation dans ce pays, où les rebelles du M23, soutenus par les forces rwandaises, affrontent les forces armées congolaises. Un cessez-le-feu a été évoqué par les Présidents congolais et rwandais lors d'une rencontre au Qatar la semaine dernière.Dans cet entretien, l'envoyée de l'ONU souligne également que la MONUSCO continue d'assurer son mandat de protection des civils dans les zones contrôlées par le M23 dans la province du Nord-Kivu, notamment en accueillant dans ses bases des milliers de personnes venues s'y réfugier.Bintou Keita évoque aussi l'impact du gel du financement américain sur l'aide humanitaire en RDC. Selon elle, c'est peut-être le moment d'inventer d'autres modèles de réponse humanitaire, suggérant notamment de privilégier les associations locales. Elle parle enfin de la recrudescence des violences sexuelles et des dégâts causés par le recrutement d'enfants par les groupes armés. Entretien réalisé par Jérôme Bernard

Interviews
DR Congo: ‘Everyone has to silence the guns': MONUSCO chief

Interviews

Play Episode Listen Later Mar 27, 2025 11:30


As violence escalates in the eastern Democratic Republic of the Congo, with the Rwanda-backed rebel group M23 looking to gain more territory, UN peacekeepers are working flat out to protect civilians amid a worsening humanitarian crisis.Speaking to UN News' Jérôme Bernard in New York, the chief of the UN peacekeeping mission in the DRC (MONUSCO), Bintou Keita, outlined the mission's role in any ceasefire, protecting the displaced and confronting sexual violence and child recruitment.She also shared why – despite mounting pressure – now would be the wrong time to withdraw from the most volatile regions.

Habari za UN
14 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 14, 2025 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia ziara ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres huko Bangladesh, na yaliyojiri hapa makao makuu katika mkutano wa CSW69. Makala na mashinani tunasalia hapa hapa makao makuu, kulikoni?Akiwa ziarani katika kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani, Cox's Bazar, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres leo Machi 14 ameonya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu inayowakabili zaidi ya wakimbizi milioni moja wa Rohingya nchini Bangladesh.Hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, mkutano wa Kamisheni ya Hali ya wanawake Duniani CSW69 unaendelea kujadili mafanikio yaliyopatikana na nini kifanyike zaidi kutimiza lengo la miaka 30 iliyopita la azimio la Beijing. Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Mkutano huo wa mwaka 1995 yuko kwenye mkutano huu CSW69 Flora Nducha wa Idhaa alipata fursa ya kuuliza nini tathimini yake ya utekelezaji wa azimio la Beijing na kinachohitajika zaidi kutimiza lengo la azimio hilo.Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo DRC hii leo Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO umekabidhi magari sita kwa gavana wa kijeshi wa jimbo la Kivu Kaskazini ili kuwezesha shughuli za polisi katika kuimarisha ulinzi na usalama.Makala tunasalia hapa hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa lakini kwanza ni makala ambapo Assumpta Massoi anazungumza na mshiriki wa CSW69 kutoka Cote D'Ivoire.Na katika mashinani Felicite Djoukouo Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wadau wa Maendeleo nchini Cameroon ambaye anashiriki mkutano wa CSW69 hapa Umoja wa Mataifa anaelezea matarajio yake ya mkutano huu utakaomalizika tarehe 21 mwezi huu wa Machi.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!  

Habari za UN
13 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 13, 2025 11:00


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambayo Idhaa hii imezungumza na Lucy Gidamis, Wakili ambaye kwa sasa anafanya kazi na shirika la Msichana Initiative nchini Tanzania akijikita katika kutetea na kutekeleza haki za wanawake. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na ufafanuzi wa neno Wakfu.Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo DRC hii leo Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO umekabidhi magari sita kwa gavana wa kijeshi wa jimbo la Kivu Kaskazini ili kuwezesha shughuli za polisi katika kuimarisha ulinzi na usalama.Mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la Afya duniani WHO na la kuhudumia watoto UNICEF yametangaza kuwepo kwa idadi kubwa ya wagonjwa wa surua barani ulaya, jumla ya wagonjwa 127,350 waliripotiwa kati yao watoto wakiwa zaidi ya asilimia 40.Na hii leo ikiwa ni chungu cha 10 cha Ramadhan, ikikamilisha fungu la kwanza kati ya mafungu matatu ambapo ni siku 30 za mwezi Mtukufu wa Ramadhan, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameanza ziara yake ya siku nne nchini Bangladesh ikiwa ni utaratibu wake wa kila mwaka wa kushiriki Ramadhan na jamii za waislamu walio kwenye changamoto mbalimbali.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua neno Wakfu.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!

ONU News
Missão na RD Congo vive situação “insustentável”, diz representante da ONU

ONU News

Play Episode Listen Later Feb 21, 2025 2:30


Bintou Keita relatou a jornalistas que força de paz está abrigando congoleses em busca de proteção sem ter estrutura e suprimentos suficientes; Monusco também é alvo de restrições impostas pelo grupo armado M23 e campanhas de ódio e desinformação. 

ONU News
General brasileiro chega ao Kivu do Norte, na RD Congo, em meio à escalada da violência

ONU News

Play Episode Listen Later Feb 20, 2025 1:57


Comandante das tropas de paz da ONU no país africano, Monusco, Ulisses de Mesquita Gomes visitou batalhões da África do Sul, da Tanzânia e outros países no primeiro dia de visita ao leste da República Democrática do Congo.

Habari za UN
14 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 14, 2025 11:25


Hii leo jaridani tunaangazia machafuko na hali ya wakimbizi wa ndani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC. Makala inaturejesha hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa na mashinani inatupeleka nchini  Jamhuri ya Africa ya Kati (CAR), kulikoni?Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR, lina wasiwasi mkubwa kuhusu janga la kibinadamu linalozidi kuwa baya tena kwa kasi kubwa huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kwani kushindwa kufikia wahitaji kumekwamisha ufikishaji misaada ya haraka inahoyitajika..Katika kitongoji cha Komanda jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, doria za pamoja zinazoendeshwa na walinda amani wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO na jeshi la serikali FARDC zimeimarisha usalama kwenye maeneo ya raia.Makala leo inaturejesha hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa kwenye mkutano wa 63 wa Baraza la Kiuchumi na Kijamii ECOSOC kuhusu maendeleo ya jamii. Flora Nducha amepata fursa ya kuzungumza na mmoja wa washiriki wa mkutano huo kutoka Kenya.Na mashinani fursa ni yake Albertine Yantijba ,manusurawa ukatili wa kijinsia kutoka Sango CAR , ambaye anatueleza jinsi Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya watu na Afya ya Uzazi (UNFPA) limeletamabadiliko baada ya kuanzishwa kwa maeneo salama ya wasichana kujieleza na kuhudumiwa”Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

Habari za UN
Doria za pamoja za MONUSCO na FARDC huko Ituri DRC zaimarisha usalama

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 14, 2025 1:58


Katika kitongoji cha Komanda jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, doria za pamoja zinazoendeshwa na walinda amani wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO na jeshi la serikali FARDC zimeimarisha usalama kwenye maeneo ya raia. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.

Revue de presse Afrique
À la Une: un calme précaire dans l'est de la RDC

Revue de presse Afrique

Play Episode Listen Later Feb 10, 2025 3:57


Les armes se sont tues hier dimanche dans le Sud-Kivu après l'appel au cessez-le-feu lancé la veille lors du sommet conjoint de la Communauté de l'Afrique de l'est et la Communauté de développement de l'Afrique australe.Un sommet qui a abouti à un « service minimum » estime Afrikarabia, site spécialisé sur la RDC. Il y a comme une impression de « déjà-vu » : « La résolution principale appelle à un “cessez-le-feu immédiat et inconditionnel“ et à la fin des hostilités. Le texte prévoit également la “sécurisation de la ville de Goma“ et la réouverture de l'aéroport et des voies d'approvisionnement de la capitale du Nord-Kivu. Des mesures prises devant l'urgence humanitaire de la situation à Goma ».Dos au mur…En fait, analyse Afrikarabia, « les résolutions de Dar es Salam posent plus de questions qu'elles n'apportent de réponses. Aucun élément n'est donné sur la manière dont le cessez-le-feu peut être imposé sachant qu'aucun d'entre eux n'a été respecté jusque-là. Personne n'explique qui sécurisera la ville de Goma, aujourd'hui entièrement occupée par le M23 et l'armée rwandaise : la Monusco, qui a brillé par son absence lors de la prise de Goma ? La SADC que le Rwanda considère désormais comme une force belligérante ? ».En tout cas, estime encore Afrikarabia, « Félix Tshisekedi est désormais dos au mur. (…) La question n'est plus de savoir si le président congolais va négocier avec le M23, il n'a plus le choix. La difficulté est de savoir ce qu'il peut encore négocier et avec qui ? Car pour mettre fin au conflit, il faudra, à la fois trouver un terrain d'entente avec Kigali, mais aussi avec le M23 et l'AFC, qui, même téléguidés par le voisin rwandais, possèdent une certaine autonomie d'action ».« Il en faudra plus pour faire taire les armes… »« RDC : Gesticulation et paralysie », renchérit La Libre Afrique, le site du quotidien belge La Libre Belgique consacré à l'actualité africaine.« Deux semaines après la chute de Goma, la grande ville de la province du Nord-Kivu, les sanctions se font attendre. Et les rebelles congolais continuent leur progression avec, cette fois, en ligne de mire, la ville de Bukavu, la capitale du Sud-Kivu ».Dubitatif également, WakatSéra au Burkina Faso : « ce sommet extraordinaire conjoint SADC-EAC, n'a été qu'une rencontre supplémentaire, car il en faudra plus pour faire taire les armes, et le cas échéant, obtenir le retrait du M23 qui tient des positions solides ».Attention, prévient également Le Pays, « si les engagements pris à Dar es Salam, ne sont pas respectés, il faudra craindre pour la suite des évènements. Car, l'appétit venant en mangeant, le M23, fort de sa victoire militaire sur le terrain, promet, après la prise de Goma, de continuer sa progression vers Kinshasa. Quant au président Paul Kagamé, il ferait mieux d'arrêter de jouer les pyromanes au prétexte que son pays, en s'engageant aux côtés du M23, cherche à se défendre ». Nord-Mali : attaque meurtrièreÀ la Une également, cette attaque vendredi dans le Nord-Mali d'un convoi civil escorté par des militaires.« Le drame s'est déroulé près du village de Kobe, relate Afrik.com, à une trentaine de kilomètres de Gao. Le convoi, imposant, (qui se rendait sur un site d'orpaillage) rassemblait 22 minibus, 6 gros bus et 8 camions. Il bénéficiait d'une escorte militaire composée d'une dizaine de véhicules des FAMa, les Forces armées maliennes, et de membres du groupe Wagner. Mais cela n'a pas suffi à dissuader les attaquants qui ont surgi des deux côtés de la route et ouvert le feu sans sommation sur les civils et les militaires ».Le bilan reste incertain, souligne Afrik.com : « l'armée malienne évoque 25 morts, “terroristes“ et civils confondus, ainsi que 13 blessés, principalement des orpailleurs étrangers. Un responsable local contredit ces chiffres, attestant du transport d'au moins 56 corps à l'hôpital de Gao ».Commentaire du site panafricain :« un bilan, contesté donc entre l'armée et les sources hospitalières, un bilan qui illustre la fragilité sécuritaire persistante dans le nord du Mali et l'importance de la communication pour le gouvernement malien ».Justement la presse malienne, notamment le site Sahel Tribune, rapporte le communiqué victorieux de l'armée qui fait état d'une « riposte immédiate des FAMa. (…) Les opérations de ratissage toujours en cours ont permis de retrouver 19 corps de terroristes et 4 blessés et de récupérer plusieurs armes et matériels de guerre ».

ONU Info

Alors que trois Casques bleus de l'ONU ont été tués lors de la récente escalade de la violence dans l'est de la République démocratique du Congo, la cheffe de la Mission de paix des Nations Unies en RDC (MONUSCO), Bintou Keita, appelle la communauté internationale à soutenir « véritablement » la mission qui est « constamment attaquée ».Selon elle, les Casques bleus de la MONUSCO « doivent être respectés ».En marge d'une session extraordinaire du Conseil des droits de l'homme de l'ONU à Genève, vendredi, elle a répondu aux questions de Lou Terzian, d'ONU Info Genève.Dans cet entretien, Bintou Keita se félicite tout d'abord de l'organisation de cette session sur l'est de la RDC, où la situation est « grave » et « terrible » pour la population civile. Elle juge notamment qu'il est crucial que l'aéroport de Goma rouvre.

ONU Info

Au menu de l'actualité : 

ONU Info

Au menu de l'actualité : 

ONU News
Representante de Missão da ONU descreve situação em Goma, ocupada pelo M23

ONU News

Play Episode Listen Later Feb 5, 2025 2:09


Falando da cidade no leste da República Democrática do Congo, Vivian van de Perre contou que mais de 2 mil corpos foram encontrados nas ruas e outros 900 estão em necrotérios hospitalares; bases da Monusco abrigam deslocados, mas tropas não podem realizar patrulhas na cidade controlada pelos rebeldes. 

ONU News
Novo general brasileiro na RD Congo diz à ONU News que assume em momento crítico

ONU News

Play Episode Listen Later Jan 29, 2025 2:53


Ulisses de Mesquita Gomes ressalta satisfação de representar o Exército do Brasil para apoiar os civis congoleses; leste do país vive ataques de rebeldes por milícias do M23; força de paz, Monusco, é uma das maiores operações do mundo com cerca de 14 mil boinas-azuis.

AURN News
Deadly Rebel Assault Forces Mass Exodus in Eastern Congo

AURN News

Play Episode Listen Later Jan 28, 2025 1:46


(AURN News) — At least 14 United Nations peacekeepers were killed and many others wounded when M23 rebels, backed by Rwanda, attacked U.N. positions in eastern Congo, the latest casualties in an escalating conflict that has forced hundreds of thousands to flee their homes. The attacks took place between January 23 and 24, when M23 rebels fired on positions held by the U.N. stabilization mission known as MONUSCO. U.N. Secretary-General António Guterres warned that attacks against U.N. personnel may constitute a war crime and called for an immediate investigation. He also demanded M23 cease hostilities and withdraw from occupied areas, while also calling on Rwandan defense forces to end their support of M23 and pull out of Congolese territory. The violence has triggered a humanitarian emergency in the region, with civilians facing dire conditions. "A major surge in violence in the eastern region of DRC has led to hundreds of thousands of people fleeing multiple active conflict zones," said Shelley Thakral, head of communications for the World Food Program in Congo. Thakral shared the updates during a special U.N. briefing on Tuesday. "WFP's priority is keeping staff and their dependents safe," Thakral said. "Only critical WFP staff remain in the area, and once the security situation improves, we can resume our emergency assistance and operations." The situation continues to deteriorate, according to Thakral. "There are growing protection concerns as hundreds of thousands of people have been displaced in and around Goma," she said. "Many are exposed to gender-based violence and with limited access to food, safe clean water and income, the risks facing the populations hour by hour, day by day will only increase in these volatile conditions." Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

Revue de presse Afrique
À la Une: la poursuite des combats à Goma…

Revue de presse Afrique

Play Episode Listen Later Jan 28, 2025 4:22


En l'absence d'informations de sources indépendantes sur place, il est toujours aussi difficile de distinguer le vrai du faux entre les déclarations des deux parties, rwandaises et congolaises.Le New Times à Kigali rapporte le communiqué des rebelles de l'AFC/M23 selon lequel Goma est tombé hier entre leurs mains. Le New York Times qui affirme que « les rebelles réclament des négociations de paix directes avec le gouvernement congolais, qui, lui, a exclu toute possibilité de dialogue, les qualifiant de mouvement terroriste. Les initiatives régionales n'ont pas réussi à mettre fin à la guerre sur le plan politique, le gouvernement congolais recherchant une solution militaire. »Le quotidien rwandais affirme également que « le conflit en cours dans l'est de la RDC, et en particulier autour de Goma, a été déclenché par des violations constantes du cessez-le-feu par les forces armées congolaises, en coalition avec la milice génocidaire FDLR sanctionnée par l'ONU, des mercenaires européens, des milices ethniques (les Wazalendo), les forces armées burundaises, et les forces internationales du SAM-RDC et de la MONUSCO. »Qui contrôle la ville ?Côté congolais, autre interprétation des événements… autres déclarations… Le site Actualité CD affirme que « la situation reste encore confuse à Goma après l'entrée hier matin des éléments du M23/AFC appuyés par l'armée rwandaise. » Actualité CD qui rapporte les propos de Vital Kamerhe, le président de l'Assemblée nationale, selon lequel « les FARDC et les volontaires Wazalendo contrôlent encore certaines positions dans la ville. » « À Goma, des tirs sporadiques résonnaient encore hier soir dans plusieurs secteurs, croit savoir le site congolais, notamment autour de l'aéroport. La confusion règne dans le centre-ville, tandis que la situation humanitaire continue de se dégrader. Goma est plongée dans l'obscurité, sans électricité, ni eau, ni Internet depuis des jours. »En fait, affirme Afrikarabia, site spécialisé sur la RDC, « les rebelles du M23 sont bien entrés en ville, mais ils ne la contrôlent pas. Les FARDC et les milices Wazalendo sont également présentes, même si certains soldats ont décidé de déposer les armes à la Monusco ou de traverser la frontière, vers le Rwanda voisin. L'armée congolaise a également repris le contrôle de la radio-télévision nationale (la RTNC). L'électricité et l'eau ont été coupées dans certains quartiers. La population redoute un black-out dans les prochaines heures. Des milliers de déplacés se sont réfugiés dans les multiples camps installés dans les faubourgs de Goma. Ils seraient désormais un million, vivants dans des conditions humanitaires et sécuritaires catastrophiques. »Une diplomatie en berne…En tout cas, pointe Le Monde Afrique, « l'inquiétude internationale est grande, devant une situation humanitaire alarmante et un contexte diplomatique bloqué. (…) L'entrée du M23 dans Goma est un tournant, note le journal, alors que la rébellion a relancé la guerre avec la RDC en novembre 2021. En trois ans, les cessez-le-feu n'ont jamais tenu et les solutions diplomatiques ont toutes échoué, jusqu'à celle tentée par l'Angola, officiellement médiatrice, qui n'est pas parvenue à réunir le président rwandais, Paul Kagame, et son homologue congolais, Félix Tshisekedi, autour d'une table mi-décembre. (…) L'enlisement de ce conflit doit aussi au manque de fermeté de la communauté internationale en général, relève encore Le Monde Afrique, qui a oscillé entre désintérêt pour une crise vieille de trente ans et volonté de ne pas froisser le Rwanda, dont le président a mis en place avec succès une stratégie d'influence sur la scène internationale. »« L'impossible désescalade », soupire pour sa part Ledjely en Guinée. « Le sort des Gomatraciens est d'autant plus désespéré que ni le sommet du Conseil de paix et de sécurité de l'Union Africaine de ce mardi, ni celui annoncé pour demain mercredi par le président kenyan, n'offrent de réelles perspectives de résolution de la crise. Quant au processus de Luanda, tout le monde semble l'avoir soudainement oublié, relève encore Ledjely. C'est dire que dans cette nouvelle flambée de violences à l'est de la RD Congo, la désescalade est encore loin. Malheureusement pour les populations congolaises, éternellement sacrifiées sur l'autel d'intérêts sordides. »Des mercenaires ?Enfin, Jeune Afrique s'interroge sur le sort des combattants de deux sociétés militaires privées qui œuvrent depuis plus de deux ans aux côtés des FARDC. A savoir, Congo Protection et Agemira qui compte dans ses rangs plusieurs Français. Des combattants qualifiés de « mercenaires » par Kigali. Une bonne partie de ces hommes auraient décidé de se replier vers Bukavu plus au sud, croit savoir Jeune Afrique. D'autres auraient rejoint les bases de la MONUSCO où « ils auraient été désarmés et cantonnés sur place. »

En Perspectiva
Mirando a África - ¿Qué está pasando en la República Democrática del Congo?

En Perspectiva

Play Episode Listen Later Jan 28, 2025 26:33


La Comisión Permanente del Parlamento rindió homenaje ayer a Rodolfo Álvarez, soldado uruguayo que murió el sábado en el Congo, víctima del recrudecimiento del conflicto militar en ese país. Por unanimidad, los parlamentarios aprobaron una declaración en la que manifiestan sus condolencias con la familia del soldado Álvarez, quien se desempeñaba en el Batallón Uruguay IV, desplegado en la República Democrática del Congo (RDC) como parte de las Fuerzas de Paz de la ONU. Álvarez falleció en un ataque de la milicia rebelde M23, en el que también resultaron heridos el sargento Adrián Fernández, los soldados Franco Olivera y Elder Píriz, y el cabo de segunda Roque Francia. En conferencia de prensa el sábado, el comandante en jefe del Ejército uruguayo, Mario Stevenazzi, sostuvo que el ataque fue “dirigido”, con la intención de “matar a alguien de Naciones Unidas”. ¿Qué está pasando en el Congo? Los rebeldes, luego de varios días de asedio, entraron el domingo a la ciudad de Goma, que tiene una importancia estratégica. Ayer no quedaba claro si habían logrado el control total de Goma. Según la AFP, el lunes se vio un “caos” en la ciudad, con combates en distintos puntos. Se reportaron 17 muertos y casi 400 heridos; también se cortaron la luz y el agua, se cerró el aeropuerto y medios locales informan que se dio una fuga masiva de una cárcel. La ONU maneja cifras de 400 mil desplazados en la zona solamente desde principios de año. El propio Ejército uruguayo informó vía redes sociales que Naciones Unidas, cuya misión en el Congo se conoce como Monusco, gestionó en la noche de ayer un alto al fuego y que los militares de nuestro país pudieron finalmente descansar luego de “96 horas de intensas operaciones”. Sin embargo, esto está lejos de suponer un final para el conflicto. El coordinador humanitario de ONU para la RDC dijo ayer que la situación es “extremadamente preocupante” sobre todo para la población civil. Profundizamos En Perspectiva sobre lo que está ocurriendo en la RDC. Para eso, estamos en línea con Mercedes Sayagués, en una nueva edición de Mirando a África.

Habari za UN
Hali tete ikiendelea Goma DRC, MONUSCO/SAMIDRC wadhibiti uwanja wa ndege

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 27, 2025 2:19


Hali ya usalama kwenye mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini, Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, ikiendelea kuwa tete, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani, nchini humo, MONUSCO pamoja na SAMIDRC ambao ni ujumbe wa kulinda amani kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika, SADC wanadhibiti uwanja wa ndege wa Goma. Ripoti ya Selina Jerobon inafafanua zaidi.

Habari za UN
27 JANUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 27, 2025 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia machafuko nchini DRC yanosababishwa na kundi la waasi la M23 mjini Goma. Makala tunakupeleka nchini Tanzania na mashinani ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kukumbuka waathiriwa wa mauaji ya halaiki tutasikia ujumbe wa Umoja wa Mataifa.Hali ya usalama kwenye mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini, Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, ikiendelea kuwa tete, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani, nchini humo, MONUSCO pamoja na SAMIDRC ambao ni ujumbe wa kulinda amani kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika, SADC wanadhibiti uwanja wa ndege wa Goma.Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, MONUSCO kwa kushirikiana na polisi wa kitaifa wa nchi hiyo  PNC wameongeza doria katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Bushagara jimboni Kivu Kaskazini kufuatia ongezeko la vitisho na mashambulizi ya kundi la wapiganaji wa M23.Katika makala Anold Kayanda anatupeleka nchini Tanzania ambako katika kuhamasisha elimu iliyo salama inayolenga kumlea na kumfundisha mtoto kwa njia chanya zisizoumiza, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, (UNICEF) linamuangazia Mwalimu Magesa Stanslaus ambaye ambaye amebadilika kutoka katika matumizi ya viboko na sasa anatumia motisha tofauti kuwarekebisha wanafunzi wake.Na mashinani fursa ni yake Miguel Ángel Moratinos, Mwakilishi wa Ngazi ya Juu wa Muungano wa Ustaarabu Umoja wa Mataifa UNAOC akitoa ujumbe kuhusu mauaji ya halaiki na sheria za kimataifa za haki za binadamu.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

Habari za UN
MONUSCO na polisi wa DRC waongeza doria katika kambi ya Bushagara kufuatia machafuko mapya ya M23

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 27, 2025 2:16


Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, MONUSCO kwa kushirikiana na polisi wa kitaifa wa nchi hiyo  PNC wameongeza doria katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Bushagara   jimboni Kivu Kaskazini kufuatia ongezeko la vitisho na mashambulizi ya kundi la wapiganaji wa M23. Flora Nducha na taarifa zaidi

Revue de presse Afrique
À la Une: l'étau se resserre autour de Goma

Revue de presse Afrique

Play Episode Listen Later Jan 27, 2025 4:05


Il est très difficile d'avoir des informations fiables sur la situation dans la capitale du Nord-Kivu dans l'est de la RDC. Les combats font rage autour de la ville depuis ces derniers jours entre la rébellion du M23, soutenue par le Rwanda et les FARDC, les Forces armées congolaises. D'après le site d'information congolais 7 sur 7, Goma était toujours hier soir « sous le contrôle des forces armées de la RDC et leurs alliés, les combattants patriotes dits Wazalendo. Mais une psychose est perceptible dans la ville suite à l'avancée des rebelles au Nord, même si l'armée contrôle toujours tous les lieux stratégiques. »« Tirs sporadiques dans certains quartiers de Goma, situation toujours confuse », relève pour sa part le site Actualité CD. « Face à cette insécurité grandissante, certains habitants ont cherché refuge en traversant la frontière vers Gisenyi, au Rwanda, ou en prenant la voie lacustre pour rejoindre Bukavu, dans le Sud-Kivu. La majorité des habitants, toutefois, sont restés à Goma, terrés chez eux dans l'attente d'une accalmie. Aucune communication officielle n'a été émise, affirme encore Actualité CD, pour clarifier la situation ou indiquer qui contrôle effectivement la ville. »Situation « volatile »Le site de Radio Okapi, la radio financée par l'ONU, qualifie la situation autour de Goma de « volatile ». Radio Okapi qui précise que « la ministre congolaise des Affaires étrangères, Thérèse Kayik-wamba Wagner, a annoncé l'entrée de “nouvelles troupes rwandaises“ sur le sol congolais hier dimanche en passant par les bornes 12 et 13 à Gisenyi. Elle s'est exprimée devant le conseil de sécurité à New York. Pour elle, cette attaque directe du Rwanda constitue une déclaration de guerre frontale qui ne se cache plus derrière des artifices. Mais elle assure qu'à Goma, les soldats des FARDC, appuyés par les Casques bleus et la force de la SAMI-RDC (les soldats de la Force régionale d'Afrique australe) défendent la ville sur tous les fronts. » Incertitude…« Goma au bord du précipice », s'exclame de son côté Afrikarabia, site spécialisé sur la RDC. « La capitale du Nord-Kivu est désormais complètement encerclée et asphyxiée par les rebelles du M23, appuyés par le Rwanda voisin, affirme Afrikarabia. Après la chute de Sake jeudi, dernier verrou avant Goma, la rébellion se trouve désormais dans les faubourgs de la ville. Plusieurs routes ont été fermées hier dimanche, ainsi que l'aéroport. L'eau, l'électricité et l'accès à internet sont régulièrement coupés dans certains quartiers. Les combats se déroulent maintenant à l'Ouest à moins de 10 km du centre de la ville, ainsi qu'au Nord, où la rébellion a progressé depuis ses positions de Kibumba, provoquant un nouvel afflux de déplacés dans des camps déjà surchargés. »Désormais, souligne Afrikarabia, « une grande incertitude plane sur le sort de Goma. Si rien ne semble arrêter les rebelles, (toutefois) la prise de la ville et son contrôle ne seront pas aisés pour le M23. Il faudra affronter sur le terrain l'armée congolaise, aidée par les casques bleus de la MONUSCO et les soldats de la force régionale d'Afrique australe. Pour la première fois, la MONUSCO a annoncé avoir bombardé des positions rebelles sur Sake, ce qui prouve une implication plus forte de la mission onusienne, souvent accusée de passivité. Mais pour barrer la route au M23, estime encore le site, il faudra que ces forces internationales soient plus offensives. »La diplomatie impuissante…Sur le plan diplomatique, beaucoup d'agitation pour pas grand-chose, estime WakatSéra au Burkina Faso : « c'est à se demander si la désescalade demandée, avec empressement, ces dernières heures par l'ONU qui semble sortir de sa torpeur et de son inaction, n'est pas un vœu pieux. Une chose est certaine, pour l'instant, affirme le site ouagalais, c'est bien un cri inaudible dans les crépitements des armes ! Que dire de la prochaine rencontre de la Communauté des Etats de l'Afrique de l'Est prévue pour se tenir dans les 48 heures, en présence des présidents Tshisekedi et Kagame ? Réunir l'envahi et l'envahisseur, autour de la même table s'étant révélée, ces derniers temps, impossible, le doute, pour ne pas dire le pessimisme, est bien permis. »Enfin Ledjely en Guinée, renvoie les deux chefs d'Etat dos à dos : « le rôle d'agresseur du Rwanda est ouvertement reconnu et dénoncé publiquement. Mais Paul Kagamé s'en moque. Pour lui, l'occupation de l'Est de la RDC est la poule aux œufs d'or. »Quant à Félix Tshisekedi, poursuit Ledjely, il lui revient « d'assurer la sécurité de sa population. (…) Mais il persiste à ne compter que sur l'extérieur pour ramener la paix dans son pays. » 

Habari za UN
23 JANUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 23, 2025 10:00


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini DRC kumulika mausala ya AI kwenye elimu tukielekea siku ya kimataifa ya elimu inayoangazia matumizi ya AI na changamoto zake. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na ufafanuzi wa methali.Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, MONUSCO, umethibitisha kuwa waasi wa M23 wametwaa baadhi ya maeneo jimboni Kivu Kusini, miongoni mwao ikiwa mji wa Minova, ukisema hali hiyo inatia wasiwasi mkubwa.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limesema watoto na familia zao wanaorejea kaskazini mwa Gaza baada ya kuanza utekelezaji wa usitishaji mapigano wanakutana na uharibifu mkubwa na kuporomoka kwa miundombinu.Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP leo limesema limefanikiwa kuhamisha msaada wa kwanza wa chakula kuingia Sudan kwa ajili ya kulisha watu 80,000 kwa mwezi mmoja kupitia mto Nile.Na katikakujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya msemo “HIVI KWELI KISAUNI KUTOTA MVINDE?”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

ONU Info

La MONUSCO, la Mission de paix des Nations Unies en République démocratique du Congo, est profondément préoccupée par la détérioration de la situation sécuritaire dans l'est du pays suite à la reprise des affrontements avec le groupe rebelle M23.Au début de l'année, le M23 a rompu le cessez-le-feu établi en août dernier et lancé une nouvelle offensive d'expansion dans le territoire de Masisi puis à travers le Nord-Kivu, provoquant le déplacement de centaines de milliers de personnes.Le groupe armé est désormais arrivé dans le Sud-Kivu, provoquant le déplacement d'au moins 250.000 personnes dans une région qui abrite déjà de nombreuses personnes déplacées. Depuis mardi, il occupe la ville de Minova, un carrefour stratégique le long de la route d'approvisionnement vers Goma. Les rebelles occupent également le port de Kasunyu, un port stratégique pour le transport sur le lac et l'exploitation minière.La MONUSCO n'est plus déployée dans le Sud-Kivu et n'a plus de mandat couvrant cette région. Bien que les humanitaires demeurent dans la région, ils ne bénéficient plus de l'appui sécuritaire et logisitique de la MONUSCO.Pour la Mission de paix, il est impératif que le M23 dépose les armes et respecte le cessez-le-feu en place depuis le 4 août, et que toutes les parties restent engagées dans le processus de Luanda.Afin de mieux comprendre la situation, nous avons joint la porte-parole de la MONUSCO, Ndèye Khady Lo.  (Interview :  Ndèye Khady Lo, porte-parole de la MONUSCO; propos recueillis par Cristina Silveiro)

Interviews
Eastern DRC conflict escalates, forcing thousands to flee

Interviews

Play Episode Listen Later Jan 22, 2025 3:55


The conflict in the eastern Democratic Republic of the Congo (DRC) has reached alarming new levels following the M23 armed group's seizure of Minova in South Kivu - a critical hub along the supply route to regional capital Goma.Since the UN Organization Stabilization Mission in the DRC (MONUSCO) withdrew from South Kivu in June 2024, UN peacekeepers have focused on defending key positions in North Kivu, including Goma and Sake, where clashes between the M23, the Congolese Armed Forces and other armed groups persist.Recent fighting in Bweremana claimed at least 10 lives and triggered mass displacement toward Kalehe, Goma and Rusayo, with now over 250,000 people displaced.Speaking to UN News' Cristina Silveiro, MONUSCO spokesperson Ndeye Khady Lo highlighted the severe challenges humanitarian workers face in delivering aid without logistical and security support.

Habari za UN
16 JANUARY 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 16, 2025 11:16


Hii leo jaridani Mada kwa kina ambayo itatupeleka Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Umoja wa Mataifa kupitia ujumbe wake wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO ulikabidhi wiki iliyopita kwa serikali ya jimbo la Kivu Kaskazini miradi ya kusaidia jamii kiuchumi ikilenga wapiganaji wa zamani, vijana walio katika hatari na wanawake walio katika mazingira magumu. Mradi huu uliogharimu zaidi ya dola za Kimarekani 99,582, kupitia kitengo cha MONUSCO cha kuwezesha wapiganaji kujisalimisha, kupokonywa silaha na kuwajumuisha kwenye jamii, au DDR na ulitekelezwa kwa miezi 6. Pia tunakuletea habari kwa ufupi na ufafanuzi wa maana ya neno “UKONAVI AU JAZUA”. Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!  

Habari za UN
13 JANUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 13, 2025 9:57


Hii leo jaridani tunaangazia ripoti mpya kuhusu hali ya usalama na afya ya watoto kote duniani, na amnai na usalama nchini Syria. Makala inatupeleka nchini Uganda na mashinani nchini DRC, kulikoni?Ripoti mpya ya kila mwaka kuhusu mustakabali wa watoto ambayo imetolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, imeonya kwamba dunia inaingia katika zama mpya za majanga kwa watoto.Wasyria wana matarajio makubwa kwa nchi yao, na hamu kubwa ya watu kutoka katika kila nyanja ya jamii kuja pamoja na kuunda katiba mpya, ambayo lazima ianze na mazungumzo ya kitaifa yaliyo jumuishi. Hayo ni kwa mujibu wa Najat Rochdi, Naibu Mjumbe Maalum wa Umoja wa Mataifa kwa Syria, ambaye amekuwa Damascus kukutana na wajumbe kadhaa wa mamlaka ya mpito ili kuhakikisha Wasyria wote wana uwezo wa kushiriki katika mustakbali wa nchi hiyo.Makala inatupeleka nchini Uganda ambako shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) kwa muda sasa limekuwa likifanya jukumu muhimu katika kuwezesha usajili wa watoto.Na mashinani fursa ni yake Antoinette Nzale, mkimbizi wa ndani katika kijiji cha Fataki iliyoko Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo, DRC akishuhudia jinsi ambavyo juhudi za pamoja za Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO na wanajeshi wa serikali FARDC zinavyowawezesha wakimbizi wa ndani kuanza kurejea katika mazingira yao ya awali taratibu.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

Appels sur l'actualité
[Vos questions] RDC: pourquoi le mandat de la Monusco a-t-il été prolongé?

Appels sur l'actualité

Play Episode Listen Later Dec 27, 2024 19:30


Ce matin du vendredi 27 décembre 2024, les journalistes et experts de RFI répondaient à vos questions sur l'attaque russe en Ukraine lors de la nuit de Noël, un accord entre les groupes armées en Syrie et la carrière sportive de Paul Pogba. RDC : pourquoi le mandat de la Monusco a-t-il été prolongé ? Le Conseil de sécurité des Nations unis a annoncé prolonger le mandat de la Monusco, la mission de paix dans l'est de la République Démocratique du Congo. Comment expliquer cette décision alors que la force onusienne avait déjà entamé son retrait de la RDC ? Cette présence peut-elle réellement changer la donne sur le terrain ?Avec Florence Morice, journaliste au service Afrique de RFI.   Guerre en Ukraine : la ville de Kharkiv visée par des bombardements russes En Ukraine, la ville de Kharkiv a été la cible d'une attaque massive de missiles balistiques. Quelles conséquences pour les Ukrainiens après ces frappes russes sur des infrastructures énergétiques ? Lors de cette attaque, un missile russe aurait violé les espaces aériens moldave et roumain. Comment ont réagi ces pays ?Avec Ulrich Bounat, analyste en géopolitique, spécialiste de l'Europe centrale et de l'Est, chercheur associé à l'Institut Open Diplomacy.   Syrie : nouvel accord entre groupes armées Les nouvelles autorités syriennes ont annoncé un accord avec tous les groupes armés pour qu'ils rejoignent la nouvelle armée. Pourquoi les Forces démocratiques syriennes ne sont pas intégrées dans cette mesure ? Que sait-on des relations entre cette nouvelle armée et l'ancienne armée régulière de Bachar al Assad ?Avec Adel Bakawan, chercheur-associé à l'IFRI (Institut français des relations internationales), spécialiste du Moyen-Orient.   Football : quel avenir sportif pour Paul Pogba ? Après la condamnation de son frère et de ses amis d'enfance dans l'affaire de sa séquestration, le joueur français a déclaré pouvoir maintenant se concentrer « pleinement sur mon retour au football professionnel ». Quelle est la suite pour l'avenir sportif du Paul Pogba ? Pourrait-il intégrer l'Olympique de Marseille lors du mercato d'hiver ?Avec Victor Missistrano, journaliste au service des sports de RFI. 

Habari za UN
20 DESEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 20, 2024 10:53


Hii leo jaridani tunaangazia jitihada za kuudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Maburg nchini Rwanda, na juhudi za kuchunguza virusi vya VVU nchini Ghana. Makala tunakupeleka nchini Kenya na mashinani nchini DRC, kulikoni?Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) limeipongeza serikali ya Rwanda kwa kufanikiwa kuudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Maburg. Hii leo Rwanda imetangaza mwisho wa mlipuko wa hivi karibuni wa ugonjwa huo baada ya kutokuwepo maambukizi mapya katika siku 42 na mgonjwa wa mwisho akiwa amepimwa mara mbili bila kukutwa na ugonjwa kama matakwa ya WHO yanavyotaka ili kutangaza kuisha kwa mlipuko wa magonjwa namna hii.Mwaka 2020 Ghana iliripoti kuwa na watu 350,000 wanaioshi na virusi vya Ukimwi na kati yao hao 31,000 walikuwa ni wajawazito. Jambo lililoshtua ni kwamba ni sehemu ndogo mno ya wajawazito hao ndio walipimwa kufahamu iwapo wana VVU au la. Jambo lililofanya serikali kwa kushirikiana na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF kuchukua hatua.Makala inatupeleka kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma iliyokoko Kaunti ya Turkana Kaskazini Magharibi mwa Kenya kukukutanisha na mkimbizi kutoka Somalia anayetumia mpira wa kikapu anatumia mpira wa vikapu kuhamasisha jamii yake na kupinga mil ana desturi zisizofaa.Mashinani ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa ya Mpira wa Kikapu, fursa ni yake Danny Batachoka, mwanariadha wa Paralimpiki kutoka Goma nchini Jamhuri ya kidemocrasia ya Congo, DRC ambaye kupitia video ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO, anasema ana ndoto ya kuwa mmoja wa wachezaji wakubwa wa mpira wa vikapu katika kitengo chake.” Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari za UN
19 DESEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 19, 2024 9:43


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Syria, ambako viongozi wa ngazi mbalimbali za Umoja wa Mataifa wamendelea kusisitiza hitaji la kutanguliza ulinzi wa manusura na uhifadhi wa ushahidi wa uhalifu. Pia tunapata ufafanuzi wa neno na muhtasari wa habari.Karla Quintana kutoka Mexico ameteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres hii leo kuongoza Taasisi Huru ya kuchunguza watu waliotoweshwa nchini Syria, taasisi ambayo imeundwa na Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa mwezi Juni mwaka jana 2023. Guterres amewaambia waandishi wa habari hii leo kwamba yeye na timu yake lazima waruhusiwe kutekeleza kwa kina jukumu lao, na vile vile mifumo yote ya kimataifa ya kusongesha ulinzi wa haki za binadamu nchini Syria na uwajibikaji wa uhalifu uliotendwa lazima wawe na wanachohitaji ili kutekeleza majukumu yao muhimu.Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekuwa na kikao cha ngazi ya mawaziri kuhusu Akili Mnemba, au AI ambapo Katibu Mkuu António Guterres amesema pamoja faida kubwa ya teknolojia hiyo bado kuna changamoto iwapo haitasimamiwa vema na binadamu. Hivyo amependekeza kuundwa mwa mfumo wa kimataifa wa kuendeleza Akili Mnemba kwa uwiano na usawa, ukijikita kusaidia nchi zinazoendelea kuzuia kuibuka kwa pengo la teknolojia hiyo kati ya walio nayo na wasio nayo.Na huko Bunia, jimboni Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemorkrasia ya Congo, DRC vijana 24 wakiwemo wanawake 6 wamenufaika na mafunzo ya siku tano ya mbinu za kisasa za kilimo kutoka walinda amani wa Bangladeshi wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO. Lengo ni kuwezesha kilimo kuwa chanzo cha kipato kwa wakazi na kuimarisha uchumi wa eneo hilo.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya neno “AKRABA.” Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!  

Habari za UN
10 DESEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 10, 2024 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina na tunaelekea nchini Kenya kuangazia moja ya ukiukwaji Mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya wanawake, jinamizi la ukeketaji na jitihada zinazochukuliwa na UNFPA na wadau mbalimbali. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani inayotupeleka nchini Namibia.Baada ya serikali ya Bashar Al-Assad kupinduliwa na kuibuka kwa taarifa za baadhi ya nchi duniani kuanza kusitisha mchakato wa kushughulikia maombi ya Wasyria waliokuwa wameomba hifadhi kuokoa usalama wa maisha yao pindi hali ilipokuwa tete nchini mwao, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) linaendelea kutoa wito kwa mataifa yote kufungua milango, kuwapa hifadhi na ulinzi raia wa Syria wanaotafuta usalama. UNHCR imeahidi pia mara tu hali ya Syria itakapokuwa wazi zaidi, itatoa mwongozo kuhusu mahitaji ya ulinzi kwa Wasyria walioko hatarini.Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limekaribisha mchango wa dola za Marekani milioni 22 kutoka shirika la Korea Kusini la Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa (KOICA) ili kuimarisha mnepo kwa tabianchi na uhakika wa chakula kwa wakulima wadogo, wafugaji na makundi yaliyoko pembezoni nchini Kenya, Somalia na Sudan Kusini. Vituo vya utabiri wa hali ya hewa vinatabiri hali ya La Niña mashariki mwa Pembe ya Afrika na uwezekano wa kupunguza mvua katika kipindi hikiNa walinda amani wa kikosi cha 11 cha Tanzania -TANZBATT-11 kinachohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC, MONUSCO jimboni Kivu Kaskazini wametunukiwa nishani ya umoja wa mataifa ikiwa ni alama ya kufanya kazi  kwa utii,uhodari na uaminifu. Miongoni mwao ni Private Selina Kisemvule.Katika mashinani ikiwa ni siku ya mwisho ya maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, fursa ni yake Rais Nangolo Mbumba wa Namibia ambaye kupitia ukurasa wa X wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu, UNFPA anawahimiza wananchi na dunia nzima kwa jumla kusimama kidete ili  kutokomeza unyanyasaji wa kijinsia.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Africa Daily
Why aren't civilians in Eastern DRC being protected?

Africa Daily

Play Episode Listen Later Dec 9, 2024 19:31


Warning: This podcast includes description of sexual violence. “I've worked in this situation for more than 25 years. And for me it's not acceptable to stay in the operating room waiting for patients, and treat them, treat their children and treat their grandchildren. This is not acceptable.” Dr Dennis Mukwege set up the Panzi Clinic in Bukavu, Democratic Republic of Congo in 1999. It was initially set up to help women in childbirth, but it quickly changed its focus to treating women raped and brutalised by the different armed groups fighting in the East of the country. It has since treated more than 83,000 survivors of sexual crimes, and in 2018 Dr Mukwege received the Nobel Peace Prize for his work. And yet, decades on, he says little has changed and the civilian population is still unprotected from the brutality. Earlier this year the UN's Monusco peacekeeping force withdrew from South Kivu – where Dr Mukwege's clinic is based – under pressure from the Congolese government which accuses it of failing to protect civilians. But its planned withdrawal from North Kivu has been postponed due to fears that the Congolese army is unable to fill the vacuum - leaving civilians even more at risk. In this interview with Africa Daily, Dr Mukwege says it's time the global community stepped in to help – because while civilians suffer, “the wealth of Congo is serving all the world”.

Journal de l'Afrique
République démocratique du Congo : le mandat de la MONUSCO renouvelé

Journal de l'Afrique

Play Episode Listen Later Dec 9, 2024 19:08


Le mandat de la force onusienne en République démocratique du Congo devrait être renouvelé pour une année à New York. Critiqué par la population congolaise après 25 ans de présence, la Monusco a commencé son désengagement de l'est du pays alors que la région fait face aux violences des groupes armés. À la veille du renouvellement du mandat de la Monusco, les membres du conseil de sécurité de l'ONU ont fait un point sur la situation dans l'est du pays.

Habari za UN
25 NOVEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 25, 2024 9:47


Hii leo jaridani tunaangazia siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake, na Meya wa mji wa Beni jimboni Kivu Kaskazini nchini DRC la kukarabati daraja linalounganisha barabara muhimu. Makala tunakwenda nchini Tanznaia na mashinani nchini Kenya, kulikoni?Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake, Je wajua kwamba wanawake na wasichana 140 walifariki dunia kila siku duniani kote mwaka 2023 wakiwa mikononi mwa wapenzi wao au ndugu wa karibu, ikimaanisha kuwa mwanmake mmoja anauawa katika kila dakika 10. Na zaidi ya yote bara la Afrika linaongoza?Kiu cha Meya wa mji wa Beni jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, DRC, cha kuona daraja linalounganisha barabara muhimu linakarabatiwa kilipata jawabu baada ya ombi lake kwa Ujumbe wa Umoja wa MAtaifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO kuchukua hatua ambayo pia inawezesha doria za ulinzi wa raia mjini humo.Makala inatupeleka Tanzania kwake Hamad Rashid wa redio washirika Kidstime FM ya mkoani Morogoro, mashariki mwa taifa hilo akizungumza na wanufaia wa mafunzo ya shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO la ufugaji kuku bila kutumia dawa.Na mashinani tunakwenda Kenya kusikia harakati za viongozi wa dini ya kiislamu kukabiliana na ukatili wa kijinsia.Mwenyeji wako ni Bosco Cosmas, karibu! 

Habari za UN
MONUSCO yaitikia ombi la Meya wa Beni, Kivu Kaskazini DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 25, 2024 1:39


Kiu cha Meya wa mji wa Beni jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, DRC, cha kuona daraja linalounganisha barabara muhimu linakarabatiwa kilipata jawabu baada ya ombi lake kwa Ujumbe wa Umoja wa MAtaifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO kuchukua hatua ambayo pia inawezesha doria za ulinzi wa raia mjini humo. Maelezo kamili anayo George Musubao kutoka Beni, katika taarifa hii tuliyoitoa kwenye ukurasa wa X wa MONUSCO. 

Habari za UN
Mafunzo ya walinda amani kutoka Tanzania huko Beni yajengea uwezo walimu kusaidiana na watoto

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 22, 2024 2:25


Umoja wa Mataifa unasema kwamba vita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC imefanya taifa hilo kuwa pahala hatari zaidi duniani kwa watoto kuishi, kutokana na mateso ya kimwili na kisaikolojia wanayoyapitia. Kwa kutambua hilo walinda amani wanawake wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania wanaohudumu kwenye ujumbe wa UN nchini humo, MONUSCO wamechukua hatua kuona watoto wanaishi kama watoto. Video ya MONUSCO ikianza na walinda amani wakijongea kwa jamii, Kapteni Noella Nyaisanga kiongozi wa kikundi hicho cha wanawake cha kikosi cha 11 cha walinda amani wa Tanzania kwenye MONUSCO, TANZBATT-11 anaeleza jinsi kikundi chao kinavyosogea kwa jamii na hasa watoto ili kutatua changamoto zinazowakabili kutokana na mapigano kati ya jeshi la serikali na waasi kwenye eneo hili la Beni, jimboni Kivu Kaskazini, mashariki mwa DRC. Anafafanua zaidi lengo lao.Lengo ni kujenga uaminifu kwa raia ambao tunawalinda. Kwa hiyo tukaamua kuandaa masomo shuleni, ambayo yataweza kuwaimarisha wao, kuwasaidia tatizo la kuwa wameathirika kisaikolojia.Zavadi Mbambu ni miongoni mwa walimu waliopatiwa mafunzo ya kusaidia watoto walioathiriwa na changamoto lukuki ikiwemo mapigano. Akisema stress, anamaanisha msongo.“Unakuwa na wanafunzi wanaokuwa na msongo wa mawazo kutokana na jambo ambalo wanaishi, na hata mauaji. Kuna wale ambao hata wameua wazazi wao , hata familia yao yote.  Na kwa hao wanafunzi wanapoingia shuleni , wanakuwa kama hawako ndani, fikra zao zinakuwa mbali .  Lakini kupitia mafunzo nimewaelewa , na tumejua namna gani ya kuishi nao. Na tayari mabadiliko yameanza kuonekana.”Pacifique Kyakimwa, mmoja wa wanafunzi anasimulia mkasa mmoja.“Kuna mwenzetu  aliyekuwa na tatizo, yaani tukiwa ndani ya shule, alikuwa anacheka, yaani anatusumbua hadi hatumwelewi mwalimu. Lakini tangu wameanza kufundisha hili somo, wameanza kuelewa . Ameanza kuwa na akili inayotumika vizuri. Mafunzo haya yamefika wakati tunahitaji , na imetusaidia sana.”

Habari za UN
22 NOVEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 22, 2024 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia majadiliano huko Baku Azerbaijan kuhusu ufadhili wa mabadiliko ya tabianchi, na kazi za walinda amani kutoka Tanzania TANZBATT-11 huko DRC. Makala inaturejesha kataika mkutano wa COP29 na mashinani inatupeleka Namibia, kulikoni?Majadiliano ya mkutano wa 29 wa nchi wanachama wa mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya tabianchi COP29 yamekumbwa na mkwamo huko Baku Azerbaijana muafaka haujapatikana. Majadiliano hayo yaliyotarajiwa kukunja jamvi leo sasa yanaendelea kwa kuwekwa mezani mapendekezo mapya kuhusu ufadhili wa mabadiliko ya tabianchi hasa kwa matifa yanayoendelea.Umoja wa Mataifa unasema kwamba vita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC imefanya taifa hilo kuwa pahala hatari zaidi duniani kwa watoto kuishi, kutokana na mateso ya kimwili na kisaikolojia wanayoyapitia. Kwa kutambua hilo walinda amani wanawake wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania wanaohudumu kwenye ujumbe wa UN nchini humo, MONUSCO wamechukua hatua kuona watoto wanaishi kama watoto.Makala inakupeleka Baku nchini Azerbaijan kunakotamatika mkutano wa 29 wa nchi wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi, COP29 kumsikia kijana kutoka Tanzania akizungumzia kilichompeleka, anachoondoka nacho na ujumbe wake kwa  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres.Na katika mashinani kupitia video ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP, tunasikia kauli ya Willem Westhuizen, mkulima kutoka Namibia, akielezea changamoto zinazotokana na ukame unaoathiri maisha yao kila siku”.  Mwenyeji wako ni Bosco Cosmas, karibu! 

Habari za UN
Wananchi tufahamishwe kwa kina majukumu ya MONUSCO ili kukabili habari potofu DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 13, 2024 4:30


Umoja wa Mataifa unatambua ni kwa kiasi gani habari potofu na habari za uongo kuwa ni mojawapo ya vikwazo vikuu vinavyokabili operesheni zake za  kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.  Hii imesababisha Umoja huo kuhaha kila wakati kuona ni kwa vipi itakabiliana na habari hizo, iwe ni kupitia mafunzo kwa wanahabari, au kusaidia ujenzi wa vyombo vya habari, na hata kuzungumza na wananchi. Hivi karibuni Umoja Wa Mataifa kupitia Idara yake ya Ulinzi wa Amani, kitengo cha uadilifu wa habari, ulituma Tume yake Mashariki mwa DRC kukutana na wakazi ili  kujua ni nini Umoja wa Mataifa unapaswa kufanya ili kupambana na habari potofu na za uongo nchini humo. Mwandishi wetu wa Mashariki mwa DRC, hususan jimboni Kivu Kaskazini, George Musubao alishuhudia ziara hiyo na ametuletea makala hii.

Habari za UN
07 NOVEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 7, 2024 11:21


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka huko Havana Cuba kwenye Kongamano la kimataifa la Kiswahili kusikia kutoka kwa waziziri Zanzibar kuhusu faida za kiplomasia na kiuchumi. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na ujumbe kuhusu Kiswahili.Fedha kwa ajili ya mipango ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, ni jambo lililopatiwa kipaumbele katika ripoti mpya ya leo ya shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira, UNEP wakati huu ambapo kiwango cha joto kinazidi kuongezeka kila uchao na kuleta zahma duniani kote.Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO linasema hii leo watoto 6 wa kipalestina, wamesafirishwa kutoka Gaza kwenye Romania kwa matibabu mahsusi ; watatu wakiwa wanaugua saratani, wawili magonjwa ya  damu na mmoja majeraha. Wameambatana na jumla ya waangalizi 15.Na huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO umezindua mfumo wa uthibitishaji, kama sehemu ya mchakato wa Luanda wenye lengo la kufuatilia makubaliano ya sitisho la mapigano kati ya Rwanda na DRC yaliyoanza kutekelezwa tarehe 4 mwezi Agosti mwaka huu mashariki mwa taifa hilo la Maziwa Makuu.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunasalia huko huko Havana Cuba, kwenye kongamano la Kiswahili la Kimataifa ambako Dkt. Kisembo Ronex Tendo mshiriki kutoka taasisi ya vijana ya Afrika Mashriki Fest Uganda anaeleza cha kufanya kusongesha Kiswahili nchini Uganda.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu! 

Habari za UN
Simulizi ya Ombeni baada ya kutoroka waasi na kurejea uraiani huko DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 6, 2024 2:04


Harakati za ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC za kunasua watoto na vijana wanaotumikishwa vitani zinaendelea na tukio la hivi karibuni zaidi ni la kijana.Katika video ya MONUSCO iliyochapishwa kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Ombeni anasimulia jinsi waasi wa FDLR mashariki mwa DRC walivyowakamata msituni."Tulikuwa vijana watanoFDLR walitukamata na kutupeleka msituni. Maisha ilikuwa ngumu sana na hatukuweza kutoroka"Kazi wanatumikishwa bila mshahara na zaidi ya yote."Kila saa ni mateso, kazi mingi bila malipo."Alitumikishwa msituni kwa miaka minane, akionesha makovu ya vipigo alivyopatiwa."Tuliteseka sana, tulitumikishwa kwa muda wa miaka minane, tukachapwa viboko, tuliumizwa sana na kubaki na majeraha"Lakini siku moj aliweza kutoroka. Akiwa Kibirizi akamweleza mkubwa wake ya kwamba.." Siku moja nikamwambia mkubwa wangu naenda kusalamia rafiki yangu, wakati huo tukapata nafasi ya kutoroka."Katika harakati hizo akakutana na MONUSCO. Anasema kwamba, "Njiani nikakutana na wanajeshi wa MONUSCO, nikainua bunduki juu na kujisalimisha, nikisindikizwa na mkubwa wao nikaeleza kile tulichopitia"Sasa Ombeni anashiriki programu za kumjumuisha tena kwenye jamii, DDR-S inayondeshwa na MONUSCO huko Beni, jimboni Kivu Kaskazini.

Habari za UN
04 NOVEMBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 4, 2024 9:49


Hii leo jaridani tunaangazia machafuko nchini Sudan unaosababisha janga la njaa, na mradi wa maji Galmudug Somalia kwa ajili ya maji safi na salama pamoja na mifugo. Makala tunakupeleka nchini DR Congo na mashinani nchini Kenya, kulikoni?Nchini Sudan ambako vita na janga la njaa vinaendelea kuwa mwiba kwa raia      sasa wahudumu wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wanaonya juu ya tishio lingine kubwa  la milipuko ya magonja ya kipindupindu na homa ya kidingapopo huku mfumo mzima wa afya ukiwa taabani.Nchini Somalia, ni asilimia 52 tu wananchi ndio wanapata huduma ya maji safi na salama. Wengine hulazimika kutembea umbali mrefu kuteka maji ambayo si ya uhakika. Hata hivyo kwa msaada wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF nchini humo pamoja na wadau, hali sasa inaanza kuimarika.Makala inakupeleka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambako Kapteni Fadhillah Nayopa, Afisa habari wa kikosi cha 11 cha walinda amani wa Tanzania, TANZBATT-11 katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini DRC, MONUSCO anazungumzia usaidizi waliopatia watoto yatima.Mashinani kupitia video ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula, tunakutana na Geoffrey Nawet, Mwanafunzi katika shule ya Kakuma nchini Kenya akitueleza jinsi ambavyo programu ya Mlo shuleni ya lishe bora umewawezesha wanafunzi kumakinika shuleni na kupata motisha ya kuendelea na masomo.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu! 

Habari za UN
Walinda amani wa UN kutoka Tanzania wasaidia watoto yatima huko Beni, DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 4, 2024 3:16


Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, mapigano kati ya jeshi la serikali, FARDC na vikundi vilivyojihami, yamesababisha vifo na hata watu kufurushwa makwao. Watoto wamesalia yatima na hawana walezi. Vituo vya kulea watoto yatima vimebeba jukumu la kuwatunza, lakini navyo viko taabani. Walinda amani wa Umoja wa Mataifa, kutoka Tanzania, TANZBATT-11 wanaohudumu katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani DRC, MONUSCO waliguswa na kuamua kujiongeza na kuwasilisha msaada kwa watoto hao. Afisa Habari wa TANZBATT-11 Kapteni Fadhillah Nayopa anasimulia kile walichofanya.