Podcasts about monusco

  • 77PODCASTS
  • 412EPISODES
  • 11mAVG DURATION
  • 5WEEKLY NEW EPISODES
  • May 30, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about monusco

Latest podcast episodes about monusco

Habari za UN
30 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 30, 2025 9:58


Hii leo jaridani tunaangazia hali ya elimu kwa watoto mashariki mwa DRC na Mkutano wa pili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT unaofunga pazia leo jijini Nairobi Kenya. Makala inaturejesha nchini DRC na mashinani inatupeleka katika bonde la Ziwa Victoria, kulikoni?Wakati ghasia zinazoendelea huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC zinaripotiwa kusababisha zaidi ya watoto milioni 1.8 kutokuweko shuleni, shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF nchini humo linajitahidi kwa udi na uvumba kuhakikisha watoto wanapata elimu kwani ni haki yao ya msingi.Mkutano wa pili wa siku mbili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT leo unafunga pazia jijini Nairobi Kenya. Baraza hilo linalofanyika kila baada ya miaka minne ni chombo cha juu kabisa duniani cha kufanya maamuzi kuhusu maendeleo ya miji endelevu na limewaleta pamoja wawakilishi kutoka nchi zote 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa pamoja na wadau mbalimbali wa amendeleo ya miji.Makala inakupeleka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC hususan jimboni Kivu Kaskazini katika kitongoji cha Mavivi kuwasikia walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania,kikosi cha 11, TANZBATT11, wanaohudumu katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wakielezea sio tu majukumu yao, bali pia wanajivunia kile wanachofanya kwa kuzingatia Mei 29 imeadhimishwa siku ya kimataifa ya walinda amani.Na katika fursa ni yake Mhandisi Coletha Ruhamya, Naibu Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria, Mradi unaofanikishwa na Benki ya Dunia ambao unakabiliana na masuala ya usafi wa mazingira katika ziwa hilo. Anaeleza umuhimu wa usimamizi endelevu wa bonde hilo kote nchini Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda na Burundi chini ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

Habari za UN
Walinda amani kutoka Tanzania TANZBATT 11 wajivunia kazi zao za kuwaunga mkono raia DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 30, 2025 2:32


Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC jimboni Kivu Kaskazini katika kitongoji cha Mavivi tunakutana na walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania, kikosi cha 11, TANZBATT11, wanaohudumu katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wakielezea sio tu majukumu yao, bali pia wanajivunia kile wanachofanya kwa kuzingatia Mei 29 imeadhimishwa siku ya kimataifa ya walinda amani. Afisa Habari wa TANZBATT 11 Meja Fadhila Nayopa amefuatilia hadithi zao. 

Habari za UN
29 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 29, 2025 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoangazia Walinda Amani wa Umoja wa Mataifa ikitupeleka nchini DRC, Sierra Leone na Ghana. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na maana ya neno "MISHEMISHE.”Leo ni Siku ya Kimataifa ya Walinda Amani ambayo mwaka huu inajikita na maudhui ya “mustakabali wa ulinzi wa amani.”Katika ujumbe wake wa siku hii Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema walinda amani wa Umoja wa Matafa wako katika changamoto kubwa “Leo hii, walinda amani wanakabiliwa na hali zinazozidi kuwa ngumu katika dunia inayozidi kuwa na changamoto, ikiwemo uugawanyika na kutofautiana kwa mitazamo duniani kunazidi kuongezeka, operesheni za ulinzi wa amani zinakabiliwa, hatari zaidi kutokana na wingi wa vitisho kama vile ugaidi na walinda amani kulengwa kwa makusudi kupitia taarifa potofu zenye madhara makubwa na changamoto zinazovuka mipaka kuanzia janga la mabadiliko ya tabianchi hadi uhalifu wa kimataifa.Kikosi cha 11 cha Tanzania kinachohudumu chini ya mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo MONUSCO kimeungana na walinda amani wengine kuadhimisha Siku ya Walinda Amani Duniani. Maadhimisho hayo yamefanyika Mavivi, yakiongozwa na Brigedia Jenerali Diamond Meshack Madie, Mnadhimu Mkuu wa Vikosi vya MONUSCO.Shirika la Umja wa Mataifa la Mazingira UNEP limezindua mpango mpya wa dola milioni 15 kusaidia uwekezaji endelevu katika Bonde la Kongo – moja ya mifumo muhimu zaidi ya ikolojia duniani. Mpango huu unalenga kufungua fursa za biashara rafiki kwa mazingira kwa wajasiriamali wadogo na wa kati katika sekta za kijani. Msitu wa mvua wa Bonde la Kongo ni moja ya vyanzo vikubwa vya kaboni duniani na ni makazi ya watu zaidi ya milioni 75, wakiwemo jamii za asili.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi  Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "MISHEMISHE.”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari za UN
16 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 16, 2025 12:25


Hii leo jaridani tunaangazia uhakika wa chakula, na takwimu za afya za janga la COVID-19 kusababisha vifo, muda wa kuishi na hali ya afya na ustawi kwa ujumla. Makala tunakwenda nchini Tanzania na mashinani nchini DRC, kulikoni?Ukosefu wa uhakika wa kupata chakula na utapiamlo kwa watoto uliongezeka kwa mwaka wa sita mfululizo mwaka 2024, na kuwatumbukiza mamilioni ya watu karibu na baa la njaa, huku wengine wakiepuka kutokana na misaada ya kimkakati. Imesema Ripoti ya Kimataifa kuhusu Janga la Chakula (GRFC) iliyotolewa leo huko Roma, Italia na shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO.Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) ya takwimu za afya duniani iliyochapishwa jana Mei 15 ikionesha athari kubwa zaidi za kiafya zilizosababishwa na janga la COVID-19 kuhusu vifo, muda wa kuishi na hali ya afya na ustawi kwa ujumla, imeweka wazi kuwa katika kipindi cha miaka miwili pekee, kati ya mwaka 2019 na 2021, matarajio ya kuishi yalipungua kwa mwaka mmoja na miezi nane  ikiwa ni maporomoko makubwa zaidi katika historia ya hivi karibuni hali iliyobatilisha mafanikio ya afya yaliyopatikana kwa muongo mmoja.Katika makala Leah Mushi anatupeleka nchini Tanzania kusikia namna wanawake wenye ulemavu walivyoweza kujikwamua kutoka kwenye changamoto mbalimbali ikiwemo za kiuchumi na kuchangamkia fursa za uongozi.Na katika fursa ni yake Bernadette Kambonesa, mkimbizi wa ndani kutoka kijiji cha Bogoro, jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC akizungumzia manufaa yatokanayo na uwepo wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini humo (MONUSCO).Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

International
UNO-Blauhelme – Mission impossible?

International

Play Episode Listen Later May 9, 2025 28:24


Frieden zu schaffen und abzusichern ist die oberste Priorität der Vereinten Nationen. Das wird für ihre Blauhelmsoldaten aber immer schwieriger: mehr Risiko, mehr Verletzte und Todesopfer, weniger Akzeptanz und Ressourcen. Vor dem Hauptquartier der UNTSO-Mission in Jerusalem führt Generalmajor Patrick Gauchat zu einer Gedenktafel. Immer wieder seien Verluste zu beklagen, sagt der Freiburger. Seit vier Jahren kommandiert er – als erster Schweizer – eine Blauhelm-Operation. Momentan sei das Risiko für die Soldaten aus zwanzig Ländern wieder beträchtlich, sagt UNTSO-Chef Gauchat. In Folge des Hamas-Überfalls auf Israel im Oktober 2023 herrsche wieder Krieg: in Gaza, in Libanon, in Syrien. Auftrag der UNTSO – der ältesten Blauhelmmission überhaupt: den Waffenstillstand von 1948 zwischen Israel und seinen vier arabischen Nachbarn überwachen. Der Besuch bei einem UNTSO-Beobachtungsposten auf den Golanhöhen zeigt: die Blauhelme beobachten nahezu täglich Verletzungen des Waffenstillstands. Sie können nur zuschauen und diese dokumentieren. Ihre Berichte werden aber immerhin von allen involvierten Staaten akzeptiert. Das ist bei Blauhelmoperationen nicht immer so. In Kongo-Kinshasa begann im letzten Frühling der schrittweise Abzug der Monusco-Blauhelme. Was mit einer Friedensmission im Zentrum einer der tödlichsten Konflikte seit dem Zweiten Weltkrieg angefangen hatte, endete als die tödlichste und teuerste Blauhelmmission der UNO. Aus anfänglicher Akzeptanz, sogar Begeisterung der Bevölkerung, wurde Ablehnung, aus beobachtenden UNO-Soldaten wurden kämpfende, die an der Seite der kongolesischen Armee gegen die Rebellengruppe M23 vorgingen. Schützen konnten sie die Bevölkerung trotzdem nicht. «Gleich neben den Stützpunkten der MONUSCO werden Menschen massakriert, Häuser niedergebrannt, Frauen vergewaltigt,» sagt die junge Aktivistin Rebecca Kabugho. Zwanzig Jahre waren die Blauhelme im Kongo, 440 von ihnen wurden getötet: eine Mahnung. Die Reportagen von den Golanhöhen und aus dem Ostkongo von zwei unterschiedlichen Blauhelm-Missionen.

International HD
UNO-Blauhelme – Mission impossible?

International HD

Play Episode Listen Later May 9, 2025 28:24


Frieden zu schaffen und abzusichern ist die oberste Priorität der Vereinten Nationen. Das wird für ihre Blauhelmsoldaten aber immer schwieriger: mehr Risiko, mehr Verletzte und Todesopfer, weniger Akzeptanz und Ressourcen. Vor dem Hauptquartier der UNTSO-Mission in Jerusalem führt Generalmajor Patrick Gauchat zu einer Gedenktafel. Immer wieder seien Verluste zu beklagen, sagt der Freiburger. Seit vier Jahren kommandiert er – als erster Schweizer – eine Blauhelm-Operation. Momentan sei das Risiko für die Soldaten aus zwanzig Ländern wieder beträchtlich, sagt UNTSO-Chef Gauchat. In Folge des Hamas-Überfalls auf Israel im Oktober 2023 herrsche wieder Krieg: in Gaza, in Libanon, in Syrien. Auftrag der UNTSO – der ältesten Blauhelmmission überhaupt: den Waffenstillstand von 1948 zwischen Israel und seinen vier arabischen Nachbarn überwachen. Der Besuch bei einem UNTSO-Beobachtungsposten auf den Golanhöhen zeigt: die Blauhelme beobachten nahezu täglich Verletzungen des Waffenstillstands. Sie können nur zuschauen und diese dokumentieren. Ihre Berichte werden aber immerhin von allen involvierten Staaten akzeptiert. Das ist bei Blauhelmoperationen nicht immer so. In Kongo-Kinshasa begann im letzten Frühling der schrittweise Abzug der Monusco-Blauhelme. Was mit einer Friedensmission im Zentrum einer der tödlichsten Konflikte seit dem Zweiten Weltkrieg angefangen hatte, endete als die tödlichste und teuerste Blauhelmmission der UNO. Aus anfänglicher Akzeptanz, sogar Begeisterung der Bevölkerung, wurde Ablehnung, aus beobachtenden UNO-Soldaten wurden kämpfende, die an der Seite der kongolesischen Armee gegen die Rebellengruppe M23 vorgingen. Schützen konnten sie die Bevölkerung trotzdem nicht. «Gleich neben den Stützpunkten der MONUSCO werden Menschen massakriert, Häuser niedergebrannt, Frauen vergewaltigt,» sagt die junge Aktivistin Rebecca Kabugho. Zwanzig Jahre waren die Blauhelme im Kongo, 440 von ihnen wurden getötet: eine Mahnung. Die Reportagen von den Golanhöhen und aus dem Ostkongo von zwei unterschiedlichen Blauhelm-Missionen.

Habari za UN
05 MEI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 5, 2025 10:52


Hii leo jaridani tunaangazia Siku ya kimataifa ya wakunga na kazi zao muhumi, na mafunzo ya jerahani kwa wakimbizi wa ndani nchini DRC. Makala tunasalia hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa na mashinani tunakwenda Gaza.Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya wakunga, tunakwenda nchini Tanzania kummulika mkunga ambaye alinusuru maisha ya wajawazito wawili wakati wa mafuriko makubwa ya Novemba 2023 wilayani Hanang, mkoani Manyara, kaskazini mwa taifa hilo la Afrika Mashariki, ikiwa ni ushuhuda wa majukumu mazito yanayokumba wakunga.Wanawake 125 katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Kigonze, karibu na Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambako ghasia huripokiwa mara kwa mara, sasa wana matumaini mapya ya kujikwamua kiuchumi baada ya kujiunga na mradi wa mafunzo ya kushona nguo unaofadhiliwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini humo (MONUSCO).Makala Assumpta Massoi anamulika uzinduzi wa mtandao wa Mashirika ya Manusura wa Ugaidi duniani,  VoTAN      uliofanyika wiki iliyopita hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa.Na mashinani kupitia video iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM), fursa ni yake Rawhiyeh, mkimbizi kutoka Gaza eneo la Palestina linalokaliwa na Israel ambaye anasimulia kwa uchungu madhila yanayowakumba yeye na familia yake baada ya kupoteza makazi yao kutokana na mashambulizi ya mabomu.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Habari za UN
MONUSCO yapatia wanawake wakimbizi DRC mafunzo ya ushoni

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 5, 2025 2:31


Wanawake 125 katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Kigonze, karibu na Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambako ghasia huripokiwa mara kwa mara, sasa wana matumaini mapya ya kujikwamua kiuchumi baada ya kujiunga na mradi wa mafunzo ya kushona nguo unaofadhiliwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini humo (MONUSCO). Sharon Jebichii na taarifa kamili.

Habari za UN
Walinda amani wa UN kutoka Bangladeshi na Indonesia wapewa medali nchini DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 30, 2025 1:49


Huko Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, walinda amani kutoka Bangladesh na Indonesia, wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wamepatiwa medali kwa mchango wao wa ulinzi wa raia, moja ya jukumu kubwa la ujumbe huo. Assumpta Masso amefuatilia hafla hiyo na kuandaa ripoti hii.

Habari za UN
30 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 30, 2025 11:14


Hii leo jaridani tunaangazia ugonjwa wa mpox, na walinda amabini wa Umoja wa Mataifa nchini DR Congo. Makala inamuulika siku siku ya kimataifa ya muziki wa Jazz namashinani tunasalia hapa makao maku kusikia ujumbe wa mwakilishi wa shirika la watu wa jamii za Asili.Maambukizi ya ugonjwa wa mpox kutokana na aina ya virusi vya monkeypox clade Ib /ˈmʌŋ.ki.pɑks kleɪd one bee/ (MPXV) yanaendelea kuripotiwa hasa barani Afrika, ambapo mataifa kumi na moja yameripoti maambukizi ya ndani ya jamii katika kipindi cha wiki sita zilizopita. Hiyo kwa mujibu wa ripoti 51 ya Shrika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni, WHO kuhusu hali ya mlipuko wa mpox katika nchi mbalimbali duniani.Huko Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, walinda amani kutoka Bangladesh na Indonesia, wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wamepatiwa medali kwa mchango wao wa ulinzi wa raia, moja ya jukumu kubwa la ujumbe huo..Makala ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya muziki wa Jazz Flora Nducha anamulika umuhimu wa jazz maadhimisho ya mwaka ambapo maudhui yanachagiza "Amani, umoja, ubunifu na uhuru miongoni mwa tamaduni."Na katika mashinani leo fursa ni yake mshiriki  jukwaa la watu wa asili hapa Makao makuu Helena Steenkamp Mwakilishi wa Shirika la Watu wa jamii za Asili Kusini mwa Jangwa la Kalahari Afrika Kusini anazungumzia alichokipata hadi sasa kwenye jukwaa hilo.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Afrique Économie
Dans l'est de la RDC, les patrons appellent à l'aide, l'État cherche des investisseurs

Afrique Économie

Play Episode Listen Later Apr 30, 2025 2:19


Pillages, spoliation d'entreprises, banques à l'arrêt. La guerre a paralysé les activités économiques de l'est de la RDC. Les entrepreneurs espèrent beaucoup des pourparlers en cours à Washington. Le Rwanda et la RDC se sont donnés jusqu'au vendredi 2 mai pour parvenir à un projet d'accord de paix. Près de 90 entreprises qu'il accompagne ont mis la clé sous la porte à Bukavu, dans l'est de la République démocratique du Congo (RDC). Jean-Paul Lokumu, consultant en entrepreneuriat, constate l'abattement et le sentiment d'abandon des patrons dans une région coupée du monde : « Lorsqu'il n'y a plus de liaisons aériennes, lorsque les banques ne fonctionnent plus, on ne peut même pas parler de climat des affaires pour le moment. »Appel aux financements, même sans les banquesJean-Paul Lokumu se fait le porte-voix des patrons des Kivu, qui espèrent une paix rapide. En attendant, ils demandent de l'aide : « Je fais appel aux ONG, aux structures de financement pour venir à notre rescousse. Même si les banques sont fermées, il y a la possibilité de travailler sur la résilience, de trouver une solution pour ces entrepreneurs. En tout cas, ils sont vraiment dans le besoin. » L'amélioration du climat des affaires, c'est un des crédos de l'exécutif congolais ces derniers mois. Lors d'un forum à Casablanca la semaine dernière, le ministre de l'Économie nationale, Daniel Mukoko Samba a invité les entrepreneurs étrangers à investir en RDC.Mi-avril, Thierry Katembwe, conseiller du président de la République Félix Tshisekedi, était, lui aussi, à Paris pour convaincre des entreprises françaises d'investir dans le pays. « La démarche est assez claire quand on sait que le pays va finir par être pacifié. On sait que tout est une question d'économie, tout est une question d'opportunités, insiste-t-il sous les ors de l'ambassade de RDC en France.Accor veut un hôtel à Goma« Aujourd'hui, on dit à tous ces investisseurs "Venez directement en RDC". On est en train de mettre en place une plateforme énorme pour que les différentes multinationales s'y retrouvent. On est très heureux aujourd'hui d'avoir des grosses boîtes françaises, les plus grosses boîtes américaines qui sont déjà engagées et donc on en veut encore plus ».Le Nord-Kivu intéresse toujours le groupe hôtelier français Accor qui a un projet d'hôtel Ibis Style à Goma. « Notre partenaire local a une parfaite lecture des dynamiques de développement que va connaître sa ville dans les années à venir. Il croit fortement à son potentiel et il faut se projeter, assure Réda Faceh, vice-président en charge du développement en Afrique centrale d'Accor. Il est clair qu'à l'instant T, c'est un peu compliqué, mais on est optimiste. La ville va connaître un dénouement heureux et c'est ce qu'on lui souhaite. On espère justement pouvoir développer très prochainement un hôtel, voire plusieurs à Goma, qui reste quand même une ville d'une taille assez importante ». La RDC cherche toujours à diversifier son économie. Mais c'est bien autour de ses précieux minerais critiques qu'un accord avec les États-Unis est en train d'être concoctéÀ lire aussiTrump, les 100 jours: les Grands Lacs et Donald Trump, diplomatie et business intimement liés À lire aussiRDC: début de l'évacuation de militaires et policiers congolais protégés par la Monusco à Goma

Habari za UN
29 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 29, 2025 11:44


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika mkoa wa Mwanza kaskazini magharibi mwa Tanzania ambapo vijana wameshika hatamu kuboresha mustakabali wao. Pia tunakuletea muhtasari wa habari  na mashinani tunasalia hapa makao makuu.Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kudumisha Amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, MONUSCO, umeikaribisha kusainiwa kwa “Azimio la Kanuni” tarehe 25 Aprili 2025 mjini Washington, D.C chini ya usimamizi wa Wizara ya mambo ya nje ya Marekani, kati ya serikali za DRC na Rwanda kwa lengo la kulinda rai ana kutekeleza azimio la Baraza la Usalama namba 2773 (2025).Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestina UNRWA, Juliette Touma, akizungumza na waandishi wa habri mjini Geneva kwa njia ya video kutoka mji mkuu wa Jordan, Amman, wakati  kuzingirwa kwa Ukanda wa Gaza kukikaribia kuingia mwezi wa pili amesema “Mzingiro wa Gaza ni muuaji wa kimya muuaji wa watoto, wazee, na watu walioko katika mazingira magumu zaidi. Mzingiro huu unamaanisha kwamba familia nzima, watu saba au wanane wanalazimika kushirikiana kopo moja la maharagwe au njegere”.Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO limezitaka nchi za Kaskazini Magharibi mwa Afrika kuongeza ufuatiliaji na kuchukua hatua za mapema kudhibiti makundi ya nzige wa jangwani. Hii ni baada ya nzige wakubwa na makundi madogo kutoka ukanda wa Sahel kuhamia maeneo ya kusini mwa Sahara, hasa katikati ya Algeria, magharibi mwa Libya, na kusini mwa Tunisia tangu Februari hadi Machi mwaka huu.Na katika mashinani fursa ni yake Maruping Onkemetse Mkurugenzi na Mwanzilishi wa Kituo cha Msaada wa Familia, shirika linaloongozwa na wanawake wa asili  katika Wilaya ya Gantsi, kijiji cha Chobokwane nchini Botswana anayeshiriki mkutano unaoendelea hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa wa Jukwaa la Watu wa Asili akizungumzia alichojifunza hadi sasa.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

Appels sur l'actualité
[Vos questions] RDC: tensions entre l'AFC/M23 et les forces internationales

Appels sur l'actualité

Play Episode Listen Later Apr 18, 2025 19:30


Les experts et journalistes de RFI répondent à vos questions sur le contrôle du corridor de Morag par l'armée israélienne et le procès de Meta. RDC : tensions entre l'AFC/M23 et les forces internationales Le groupe armé de l'AFC/M23 accuse l'armée congolaise, la SADC et la Monusco d'être responsable des dernières attaques à Goma. Quels sont les arguments avancés par le groupe armé pour faire de telles accusations ? Cette situation peut-elle mettre en péril les initiatives diplomatiques en cours à Doha ?Avec Paulina Zidi, correspondante permanente de RFI à Kinshasa.  Gaza : Israël divise l'enclave palestinienne L'armée israélienne affirme avoir pris le contrôle du corridor de Morag, dans le sud de Gaza, coupant Rafah du reste de l'enclave palestinienne. Pourquoi cette zone est-elle un axe clé pour les autorités israéliennes ? Où en sont les négociations entre le Hamas et Israël pour un accord de cessez-le-feu ?Avec Aabla Jounaïdi, envoyée spéciale de RFI à Jérusalem.  Meta : Mark Zuckerberg pourrait-il perdre Instagram et WhatsApp ? Aux États-Unis, l'autorité américaine de la concurrence accuse PDG de Meta de pratiques anticoncurrentielles. À l'issue de ce procès, Mark Zuckerberg pourrait être contraint de céder Instagram et WhatsApp. Que reproche-t-on au milliardaire ? Quels sont les risques pour Meta si l'entreprise devait se séparer d'Instagram et WhatsApp ?Avec Julien Pillot, enseignant-chercheur en économie, spécialiste de l'économie de la régulation numérique à l'INSEEC. Et en fin d'émission, la chronique « Un œil sur les réseaux » de Jessica Taieb. Au programme, retour sur le morceau interdit Tell your papa du rappeur nigérian Eedris Abdulkareem.

Habari za UN
16 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 16, 2025 9:57


Hii leo jaridani Assumpta Massoi anamulika masuala ya afya hususan harakati za kukabiliana na majanga yajayo ya afya;  wakimbizi huko Zambia ambako sera jumuishi zimewajengea uwezo; Jukwaa la vijana na mchango wa sanaa kwenye usawa na utengamano. Baada ya zaidi ya miaka mitatu ya mazungumzo ya kina, hatimaye leo huko mjini Geneva, Uswisi, nchi wanachama wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) zimekamilisha rasimu ya makubaliano ambayo itawasilishwa katika Mkutano wa Afya Duniani mwezi ujao wa Mei. Pendekezo hili linakusudia kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika kuzuia, kujiandaa na kukabiliana na vitisho vya majanga ya kiafya yajayo. Anold Kayanda amefuatilia anatujulisha zaidi.Zambia inaendelea kuwahifadhi zaidi ya wakimbizi 106,000, wengi wao wakiwa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, Burundi, pamoja na wakimbizi wa zamani kutoka Rwanda na Angola. Limesema shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR, likiongeza kwamba kwa kuzingatia sera jumuishi ya Zambia, taifa hilo linakuza mshikamano na wakimbizi na kuwawezesha kujitegemea kupitia makazi maalum na ushirikiano na jamii za wenyeji. Flora Nducha na taarifa zaidi.Jukwaa la Vijana la Baraza la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Kiuchumi na Kijamii (ECOSOC) limeanza jana hapa katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa na litamalizika kesho tarehe 17 Aprili. Vijana kutoka nchi mbalimbali wamehudhuria jukwaa hilo akiwemo Kapwani Kavenuke kutoka nchini Tanzania ambaye amehojiwa na Leah Mushi wa Idhaa hii. Kapwani anaanza kwa kueleza  umuhimu wa mikutano hii.Gislain Kalwira, Muandaaji wa tamasha la Musika na Kipaji  nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC linalofanyika kila mwaka kuleta pamoja wasanii wa kike na wa kiume wa fani mbalimbali, kwa kutambua kuwa jana dunia imeadhimisha siku ya sanaa duniani. Kalwira kupitia video iliyochapishwa na ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani  nchini DRC, MONUSCO, anafafanua mantiki ya tamasha hilo na kujenga usawa kijinsia.

Habari za UN
Stadi za kuoka mikate zaleta furaha kwa mkimbizi Thérèse huko Beni nchini DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 2, 2025 1:52


Jimboni Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Thérèse Kavira, mwanamke shupavu aliyelazimika kukimbilia mji wa Beni baada ya waasi kuvamia kijiji chake sasa ameona nusu kwenye maisha yake kufuatia mafunzo ya kuoka mikate yaliyotolewa na ofisi ya Utafiti na Usaidizi kwa Mahusiano ya Kimataifa nchini humo pamoja na ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani DRC, MONUSCO na sasa anajikimu kimaisha. Sharon jebichii na taarifa zaidi.

Habari za UN
02 APRILI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 2, 2025 9:58


Hii leo jaridani tunaangazia Siku ya Kimataifa ya Kuelimisha Umma kuhusu Usonji, na wakimbizi wa ndani nchini DRC. Makala inatupeleka nchini Tanzania kwa mada hiyo hiyo ya elimu kuhusu usonji, na mashinani tunakwenda Gaza.Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuelimisha Umma kuhusu Usonji (Autism) mwaka huu wa 2025, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesisitiza umuhimu wa ujumuishaji na usawa kwa watu wenye changamoto hiyo akitambua mafanikio yao pamoja na changamoto wanazokabiliana nazo duniani kote.Jimboni Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Thérèse Kavira, mwanamke shupavu aliyelazimika kukimbilia mji wa Beni baada ya waasi kuvamia kijiji chake sasa ameona nusu kwenye maisha yake kufuatia mafunzo ya kuoka mikate yaliyotolewa na ofisi ya Utafiti na Usaidizi kwa Mahusiano ya Kimataifa nchini humo pamoja na ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani DRC, MONUSCO na sasa anajikimu kimaisha.Makala leo kama tulivyokujulisha ni siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu usonji, Assumpta Massoi anamulika jinsi shirika moja la kiraia nchini Tanzania linapigia chepuo harakati hizo.Na katika mashinani fursa ni yake Marah Hajjo, msichana mdogo kutoka Gaza huko Palestina Mashariki ya Kati ambaye anasimulia mabadiliko makubwa ya sikukuu ya Eid El Fitr ambayo mwaka huu ilighubikwa na kiza cha vifusi na mateso kutokana na mashambulizi kutoka Israeli.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!  

ONU Info

La mission de paix des Nations Unies en République démocratique du Congo, la MONUSCO, se tient prête à appuyer « l'observation d'un vrai cessez-le-feu » dans l'est du pays, déclare l'envoyée de l'ONU en République démocratique du Congo.ONU Info a rencontré Bintou Keita avant un exposé devant les membres du Conseil de sécurité sur l'ONU sur la situation dans ce pays, où les rebelles du M23, soutenus par les forces rwandaises, affrontent les forces armées congolaises. Un cessez-le-feu a été évoqué par les Présidents congolais et rwandais lors d'une rencontre au Qatar la semaine dernière.Dans cet entretien, l'envoyée de l'ONU souligne également que la MONUSCO continue d'assurer son mandat de protection des civils dans les zones contrôlées par le M23 dans la province du Nord-Kivu, notamment en accueillant dans ses bases des milliers de personnes venues s'y réfugier.Bintou Keita évoque aussi l'impact du gel du financement américain sur l'aide humanitaire en RDC. Selon elle, c'est peut-être le moment d'inventer d'autres modèles de réponse humanitaire, suggérant notamment de privilégier les associations locales. Elle parle enfin de la recrudescence des violences sexuelles et des dégâts causés par le recrutement d'enfants par les groupes armés. Entretien réalisé par Jérôme Bernard

Interviews
DR Congo: ‘Everyone has to silence the guns': MONUSCO chief

Interviews

Play Episode Listen Later Mar 27, 2025 11:30


As violence escalates in the eastern Democratic Republic of the Congo, with the Rwanda-backed rebel group M23 looking to gain more territory, UN peacekeepers are working flat out to protect civilians amid a worsening humanitarian crisis.Speaking to UN News' Jérôme Bernard in New York, the chief of the UN peacekeeping mission in the DRC (MONUSCO), Bintou Keita, outlined the mission's role in any ceasefire, protecting the displaced and confronting sexual violence and child recruitment.She also shared why – despite mounting pressure – now would be the wrong time to withdraw from the most volatile regions.

Habari za UN
14 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 14, 2025 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia ziara ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres huko Bangladesh, na yaliyojiri hapa makao makuu katika mkutano wa CSW69. Makala na mashinani tunasalia hapa hapa makao makuu, kulikoni?Akiwa ziarani katika kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani, Cox's Bazar, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres leo Machi 14 ameonya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu inayowakabili zaidi ya wakimbizi milioni moja wa Rohingya nchini Bangladesh.Hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, mkutano wa Kamisheni ya Hali ya wanawake Duniani CSW69 unaendelea kujadili mafanikio yaliyopatikana na nini kifanyike zaidi kutimiza lengo la miaka 30 iliyopita la azimio la Beijing. Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Mkutano huo wa mwaka 1995 yuko kwenye mkutano huu CSW69 Flora Nducha wa Idhaa alipata fursa ya kuuliza nini tathimini yake ya utekelezaji wa azimio la Beijing na kinachohitajika zaidi kutimiza lengo la azimio hilo.Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo DRC hii leo Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO umekabidhi magari sita kwa gavana wa kijeshi wa jimbo la Kivu Kaskazini ili kuwezesha shughuli za polisi katika kuimarisha ulinzi na usalama.Makala tunasalia hapa hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa lakini kwanza ni makala ambapo Assumpta Massoi anazungumza na mshiriki wa CSW69 kutoka Cote D'Ivoire.Na katika mashinani Felicite Djoukouo Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wadau wa Maendeleo nchini Cameroon ambaye anashiriki mkutano wa CSW69 hapa Umoja wa Mataifa anaelezea matarajio yake ya mkutano huu utakaomalizika tarehe 21 mwezi huu wa Machi.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!  

Habari za UN
13 MACHI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 13, 2025 11:00


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambayo Idhaa hii imezungumza na Lucy Gidamis, Wakili ambaye kwa sasa anafanya kazi na shirika la Msichana Initiative nchini Tanzania akijikita katika kutetea na kutekeleza haki za wanawake. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na ufafanuzi wa neno Wakfu.Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo DRC hii leo Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO umekabidhi magari sita kwa gavana wa kijeshi wa jimbo la Kivu Kaskazini ili kuwezesha shughuli za polisi katika kuimarisha ulinzi na usalama.Mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la Afya duniani WHO na la kuhudumia watoto UNICEF yametangaza kuwepo kwa idadi kubwa ya wagonjwa wa surua barani ulaya, jumla ya wagonjwa 127,350 waliripotiwa kati yao watoto wakiwa zaidi ya asilimia 40.Na hii leo ikiwa ni chungu cha 10 cha Ramadhan, ikikamilisha fungu la kwanza kati ya mafungu matatu ambapo ni siku 30 za mwezi Mtukufu wa Ramadhan, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameanza ziara yake ya siku nne nchini Bangladesh ikiwa ni utaratibu wake wa kila mwaka wa kushiriki Ramadhan na jamii za waislamu walio kwenye changamoto mbalimbali.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua neno Wakfu.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!

ONU News
Missão na RD Congo vive situação “insustentável”, diz representante da ONU

ONU News

Play Episode Listen Later Feb 21, 2025 2:30


Bintou Keita relatou a jornalistas que força de paz está abrigando congoleses em busca de proteção sem ter estrutura e suprimentos suficientes; Monusco também é alvo de restrições impostas pelo grupo armado M23 e campanhas de ódio e desinformação. 

ONU News
General brasileiro chega ao Kivu do Norte, na RD Congo, em meio à escalada da violência

ONU News

Play Episode Listen Later Feb 20, 2025 1:57


Comandante das tropas de paz da ONU no país africano, Monusco, Ulisses de Mesquita Gomes visitou batalhões da África do Sul, da Tanzânia e outros países no primeiro dia de visita ao leste da República Democrática do Congo.

Habari za UN
Doria za pamoja za MONUSCO na FARDC huko Ituri DRC zaimarisha usalama

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 14, 2025 1:58


Katika kitongoji cha Komanda jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, doria za pamoja zinazoendeshwa na walinda amani wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO na jeshi la serikali FARDC zimeimarisha usalama kwenye maeneo ya raia. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.

Habari za UN
14 FEBRUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 14, 2025 11:25


Hii leo jaridani tunaangazia machafuko na hali ya wakimbizi wa ndani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC. Makala inaturejesha hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa na mashinani inatupeleka nchini  Jamhuri ya Africa ya Kati (CAR), kulikoni?Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR, lina wasiwasi mkubwa kuhusu janga la kibinadamu linalozidi kuwa baya tena kwa kasi kubwa huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kwani kushindwa kufikia wahitaji kumekwamisha ufikishaji misaada ya haraka inahoyitajika..Katika kitongoji cha Komanda jimboni Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, doria za pamoja zinazoendeshwa na walinda amani wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO na jeshi la serikali FARDC zimeimarisha usalama kwenye maeneo ya raia.Makala leo inaturejesha hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa kwenye mkutano wa 63 wa Baraza la Kiuchumi na Kijamii ECOSOC kuhusu maendeleo ya jamii. Flora Nducha amepata fursa ya kuzungumza na mmoja wa washiriki wa mkutano huo kutoka Kenya.Na mashinani fursa ni yake Albertine Yantijba ,manusurawa ukatili wa kijinsia kutoka Sango CAR , ambaye anatueleza jinsi Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya watu na Afya ya Uzazi (UNFPA) limeletamabadiliko baada ya kuanzishwa kwa maeneo salama ya wasichana kujieleza na kuhudumiwa”Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

Revue de presse Afrique
À la Une: un calme précaire dans l'est de la RDC

Revue de presse Afrique

Play Episode Listen Later Feb 10, 2025 3:57


Les armes se sont tues hier dimanche dans le Sud-Kivu après l'appel au cessez-le-feu lancé la veille lors du sommet conjoint de la Communauté de l'Afrique de l'est et la Communauté de développement de l'Afrique australe.Un sommet qui a abouti à un « service minimum » estime Afrikarabia, site spécialisé sur la RDC. Il y a comme une impression de « déjà-vu » : « La résolution principale appelle à un “cessez-le-feu immédiat et inconditionnel“ et à la fin des hostilités. Le texte prévoit également la “sécurisation de la ville de Goma“ et la réouverture de l'aéroport et des voies d'approvisionnement de la capitale du Nord-Kivu. Des mesures prises devant l'urgence humanitaire de la situation à Goma ».Dos au mur…En fait, analyse Afrikarabia, « les résolutions de Dar es Salam posent plus de questions qu'elles n'apportent de réponses. Aucun élément n'est donné sur la manière dont le cessez-le-feu peut être imposé sachant qu'aucun d'entre eux n'a été respecté jusque-là. Personne n'explique qui sécurisera la ville de Goma, aujourd'hui entièrement occupée par le M23 et l'armée rwandaise : la Monusco, qui a brillé par son absence lors de la prise de Goma ? La SADC que le Rwanda considère désormais comme une force belligérante ? ».En tout cas, estime encore Afrikarabia, « Félix Tshisekedi est désormais dos au mur. (…) La question n'est plus de savoir si le président congolais va négocier avec le M23, il n'a plus le choix. La difficulté est de savoir ce qu'il peut encore négocier et avec qui ? Car pour mettre fin au conflit, il faudra, à la fois trouver un terrain d'entente avec Kigali, mais aussi avec le M23 et l'AFC, qui, même téléguidés par le voisin rwandais, possèdent une certaine autonomie d'action ».« Il en faudra plus pour faire taire les armes… »« RDC : Gesticulation et paralysie », renchérit La Libre Afrique, le site du quotidien belge La Libre Belgique consacré à l'actualité africaine.« Deux semaines après la chute de Goma, la grande ville de la province du Nord-Kivu, les sanctions se font attendre. Et les rebelles congolais continuent leur progression avec, cette fois, en ligne de mire, la ville de Bukavu, la capitale du Sud-Kivu ».Dubitatif également, WakatSéra au Burkina Faso : « ce sommet extraordinaire conjoint SADC-EAC, n'a été qu'une rencontre supplémentaire, car il en faudra plus pour faire taire les armes, et le cas échéant, obtenir le retrait du M23 qui tient des positions solides ».Attention, prévient également Le Pays, « si les engagements pris à Dar es Salam, ne sont pas respectés, il faudra craindre pour la suite des évènements. Car, l'appétit venant en mangeant, le M23, fort de sa victoire militaire sur le terrain, promet, après la prise de Goma, de continuer sa progression vers Kinshasa. Quant au président Paul Kagamé, il ferait mieux d'arrêter de jouer les pyromanes au prétexte que son pays, en s'engageant aux côtés du M23, cherche à se défendre ». Nord-Mali : attaque meurtrièreÀ la Une également, cette attaque vendredi dans le Nord-Mali d'un convoi civil escorté par des militaires.« Le drame s'est déroulé près du village de Kobe, relate Afrik.com, à une trentaine de kilomètres de Gao. Le convoi, imposant, (qui se rendait sur un site d'orpaillage) rassemblait 22 minibus, 6 gros bus et 8 camions. Il bénéficiait d'une escorte militaire composée d'une dizaine de véhicules des FAMa, les Forces armées maliennes, et de membres du groupe Wagner. Mais cela n'a pas suffi à dissuader les attaquants qui ont surgi des deux côtés de la route et ouvert le feu sans sommation sur les civils et les militaires ».Le bilan reste incertain, souligne Afrik.com : « l'armée malienne évoque 25 morts, “terroristes“ et civils confondus, ainsi que 13 blessés, principalement des orpailleurs étrangers. Un responsable local contredit ces chiffres, attestant du transport d'au moins 56 corps à l'hôpital de Gao ».Commentaire du site panafricain :« un bilan, contesté donc entre l'armée et les sources hospitalières, un bilan qui illustre la fragilité sécuritaire persistante dans le nord du Mali et l'importance de la communication pour le gouvernement malien ».Justement la presse malienne, notamment le site Sahel Tribune, rapporte le communiqué victorieux de l'armée qui fait état d'une « riposte immédiate des FAMa. (…) Les opérations de ratissage toujours en cours ont permis de retrouver 19 corps de terroristes et 4 blessés et de récupérer plusieurs armes et matériels de guerre ».

ONU Info

Au menu de l'actualité : 

ONU Info

Alors que trois Casques bleus de l'ONU ont été tués lors de la récente escalade de la violence dans l'est de la République démocratique du Congo, la cheffe de la Mission de paix des Nations Unies en RDC (MONUSCO), Bintou Keita, appelle la communauté internationale à soutenir « véritablement » la mission qui est « constamment attaquée ».Selon elle, les Casques bleus de la MONUSCO « doivent être respectés ».En marge d'une session extraordinaire du Conseil des droits de l'homme de l'ONU à Genève, vendredi, elle a répondu aux questions de Lou Terzian, d'ONU Info Genève.Dans cet entretien, Bintou Keita se félicite tout d'abord de l'organisation de cette session sur l'est de la RDC, où la situation est « grave » et « terrible » pour la population civile. Elle juge notamment qu'il est crucial que l'aéroport de Goma rouvre.

ONU Info

Au menu de l'actualité : 

ONU News
Representante de Missão da ONU descreve situação em Goma, ocupada pelo M23

ONU News

Play Episode Listen Later Feb 5, 2025 2:09


Falando da cidade no leste da República Democrática do Congo, Vivian van de Perre contou que mais de 2 mil corpos foram encontrados nas ruas e outros 900 estão em necrotérios hospitalares; bases da Monusco abrigam deslocados, mas tropas não podem realizar patrulhas na cidade controlada pelos rebeldes. 

ONU News
Novo general brasileiro na RD Congo diz à ONU News que assume em momento crítico

ONU News

Play Episode Listen Later Jan 29, 2025 2:53


Ulisses de Mesquita Gomes ressalta satisfação de representar o Exército do Brasil para apoiar os civis congoleses; leste do país vive ataques de rebeldes por milícias do M23; força de paz, Monusco, é uma das maiores operações do mundo com cerca de 14 mil boinas-azuis.

AURN News
Deadly Rebel Assault Forces Mass Exodus in Eastern Congo

AURN News

Play Episode Listen Later Jan 28, 2025 1:46


(AURN News) — At least 14 United Nations peacekeepers were killed and many others wounded when M23 rebels, backed by Rwanda, attacked U.N. positions in eastern Congo, the latest casualties in an escalating conflict that has forced hundreds of thousands to flee their homes. The attacks took place between January 23 and 24, when M23 rebels fired on positions held by the U.N. stabilization mission known as MONUSCO. U.N. Secretary-General António Guterres warned that attacks against U.N. personnel may constitute a war crime and called for an immediate investigation. He also demanded M23 cease hostilities and withdraw from occupied areas, while also calling on Rwandan defense forces to end their support of M23 and pull out of Congolese territory. The violence has triggered a humanitarian emergency in the region, with civilians facing dire conditions. "A major surge in violence in the eastern region of DRC has led to hundreds of thousands of people fleeing multiple active conflict zones," said Shelley Thakral, head of communications for the World Food Program in Congo. Thakral shared the updates during a special U.N. briefing on Tuesday. "WFP's priority is keeping staff and their dependents safe," Thakral said. "Only critical WFP staff remain in the area, and once the security situation improves, we can resume our emergency assistance and operations." The situation continues to deteriorate, according to Thakral. "There are growing protection concerns as hundreds of thousands of people have been displaced in and around Goma," she said. "Many are exposed to gender-based violence and with limited access to food, safe clean water and income, the risks facing the populations hour by hour, day by day will only increase in these volatile conditions." Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

Revue de presse Afrique
À la Une: la poursuite des combats à Goma…

Revue de presse Afrique

Play Episode Listen Later Jan 28, 2025 4:22


En l'absence d'informations de sources indépendantes sur place, il est toujours aussi difficile de distinguer le vrai du faux entre les déclarations des deux parties, rwandaises et congolaises.Le New Times à Kigali rapporte le communiqué des rebelles de l'AFC/M23 selon lequel Goma est tombé hier entre leurs mains. Le New York Times qui affirme que « les rebelles réclament des négociations de paix directes avec le gouvernement congolais, qui, lui, a exclu toute possibilité de dialogue, les qualifiant de mouvement terroriste. Les initiatives régionales n'ont pas réussi à mettre fin à la guerre sur le plan politique, le gouvernement congolais recherchant une solution militaire. »Le quotidien rwandais affirme également que « le conflit en cours dans l'est de la RDC, et en particulier autour de Goma, a été déclenché par des violations constantes du cessez-le-feu par les forces armées congolaises, en coalition avec la milice génocidaire FDLR sanctionnée par l'ONU, des mercenaires européens, des milices ethniques (les Wazalendo), les forces armées burundaises, et les forces internationales du SAM-RDC et de la MONUSCO. »Qui contrôle la ville ?Côté congolais, autre interprétation des événements… autres déclarations… Le site Actualité CD affirme que « la situation reste encore confuse à Goma après l'entrée hier matin des éléments du M23/AFC appuyés par l'armée rwandaise. » Actualité CD qui rapporte les propos de Vital Kamerhe, le président de l'Assemblée nationale, selon lequel « les FARDC et les volontaires Wazalendo contrôlent encore certaines positions dans la ville. » « À Goma, des tirs sporadiques résonnaient encore hier soir dans plusieurs secteurs, croit savoir le site congolais, notamment autour de l'aéroport. La confusion règne dans le centre-ville, tandis que la situation humanitaire continue de se dégrader. Goma est plongée dans l'obscurité, sans électricité, ni eau, ni Internet depuis des jours. »En fait, affirme Afrikarabia, site spécialisé sur la RDC, « les rebelles du M23 sont bien entrés en ville, mais ils ne la contrôlent pas. Les FARDC et les milices Wazalendo sont également présentes, même si certains soldats ont décidé de déposer les armes à la Monusco ou de traverser la frontière, vers le Rwanda voisin. L'armée congolaise a également repris le contrôle de la radio-télévision nationale (la RTNC). L'électricité et l'eau ont été coupées dans certains quartiers. La population redoute un black-out dans les prochaines heures. Des milliers de déplacés se sont réfugiés dans les multiples camps installés dans les faubourgs de Goma. Ils seraient désormais un million, vivants dans des conditions humanitaires et sécuritaires catastrophiques. »Une diplomatie en berne…En tout cas, pointe Le Monde Afrique, « l'inquiétude internationale est grande, devant une situation humanitaire alarmante et un contexte diplomatique bloqué. (…) L'entrée du M23 dans Goma est un tournant, note le journal, alors que la rébellion a relancé la guerre avec la RDC en novembre 2021. En trois ans, les cessez-le-feu n'ont jamais tenu et les solutions diplomatiques ont toutes échoué, jusqu'à celle tentée par l'Angola, officiellement médiatrice, qui n'est pas parvenue à réunir le président rwandais, Paul Kagame, et son homologue congolais, Félix Tshisekedi, autour d'une table mi-décembre. (…) L'enlisement de ce conflit doit aussi au manque de fermeté de la communauté internationale en général, relève encore Le Monde Afrique, qui a oscillé entre désintérêt pour une crise vieille de trente ans et volonté de ne pas froisser le Rwanda, dont le président a mis en place avec succès une stratégie d'influence sur la scène internationale. »« L'impossible désescalade », soupire pour sa part Ledjely en Guinée. « Le sort des Gomatraciens est d'autant plus désespéré que ni le sommet du Conseil de paix et de sécurité de l'Union Africaine de ce mardi, ni celui annoncé pour demain mercredi par le président kenyan, n'offrent de réelles perspectives de résolution de la crise. Quant au processus de Luanda, tout le monde semble l'avoir soudainement oublié, relève encore Ledjely. C'est dire que dans cette nouvelle flambée de violences à l'est de la RD Congo, la désescalade est encore loin. Malheureusement pour les populations congolaises, éternellement sacrifiées sur l'autel d'intérêts sordides. »Des mercenaires ?Enfin, Jeune Afrique s'interroge sur le sort des combattants de deux sociétés militaires privées qui œuvrent depuis plus de deux ans aux côtés des FARDC. A savoir, Congo Protection et Agemira qui compte dans ses rangs plusieurs Français. Des combattants qualifiés de « mercenaires » par Kigali. Une bonne partie de ces hommes auraient décidé de se replier vers Bukavu plus au sud, croit savoir Jeune Afrique. D'autres auraient rejoint les bases de la MONUSCO où « ils auraient été désarmés et cantonnés sur place. »

En Perspectiva
Mirando a África - ¿Qué está pasando en la República Democrática del Congo?

En Perspectiva

Play Episode Listen Later Jan 28, 2025 26:33


La Comisión Permanente del Parlamento rindió homenaje ayer a Rodolfo Álvarez, soldado uruguayo que murió el sábado en el Congo, víctima del recrudecimiento del conflicto militar en ese país. Por unanimidad, los parlamentarios aprobaron una declaración en la que manifiestan sus condolencias con la familia del soldado Álvarez, quien se desempeñaba en el Batallón Uruguay IV, desplegado en la República Democrática del Congo (RDC) como parte de las Fuerzas de Paz de la ONU. Álvarez falleció en un ataque de la milicia rebelde M23, en el que también resultaron heridos el sargento Adrián Fernández, los soldados Franco Olivera y Elder Píriz, y el cabo de segunda Roque Francia. En conferencia de prensa el sábado, el comandante en jefe del Ejército uruguayo, Mario Stevenazzi, sostuvo que el ataque fue “dirigido”, con la intención de “matar a alguien de Naciones Unidas”. ¿Qué está pasando en el Congo? Los rebeldes, luego de varios días de asedio, entraron el domingo a la ciudad de Goma, que tiene una importancia estratégica. Ayer no quedaba claro si habían logrado el control total de Goma. Según la AFP, el lunes se vio un “caos” en la ciudad, con combates en distintos puntos. Se reportaron 17 muertos y casi 400 heridos; también se cortaron la luz y el agua, se cerró el aeropuerto y medios locales informan que se dio una fuga masiva de una cárcel. La ONU maneja cifras de 400 mil desplazados en la zona solamente desde principios de año. El propio Ejército uruguayo informó vía redes sociales que Naciones Unidas, cuya misión en el Congo se conoce como Monusco, gestionó en la noche de ayer un alto al fuego y que los militares de nuestro país pudieron finalmente descansar luego de “96 horas de intensas operaciones”. Sin embargo, esto está lejos de suponer un final para el conflicto. El coordinador humanitario de ONU para la RDC dijo ayer que la situación es “extremadamente preocupante” sobre todo para la población civil. Profundizamos En Perspectiva sobre lo que está ocurriendo en la RDC. Para eso, estamos en línea con Mercedes Sayagués, en una nueva edición de Mirando a África.

Habari za UN
Hali tete ikiendelea Goma DRC, MONUSCO/SAMIDRC wadhibiti uwanja wa ndege

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 27, 2025 2:19


Hali ya usalama kwenye mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini, Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, ikiendelea kuwa tete, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani, nchini humo, MONUSCO pamoja na SAMIDRC ambao ni ujumbe wa kulinda amani kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika, SADC wanadhibiti uwanja wa ndege wa Goma. Ripoti ya Selina Jerobon inafafanua zaidi.

Habari za UN
27 JANUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 27, 2025 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia machafuko nchini DRC yanosababishwa na kundi la waasi la M23 mjini Goma. Makala tunakupeleka nchini Tanzania na mashinani ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kukumbuka waathiriwa wa mauaji ya halaiki tutasikia ujumbe wa Umoja wa Mataifa.Hali ya usalama kwenye mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini, Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, ikiendelea kuwa tete, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani, nchini humo, MONUSCO pamoja na SAMIDRC ambao ni ujumbe wa kulinda amani kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika, SADC wanadhibiti uwanja wa ndege wa Goma.Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, MONUSCO kwa kushirikiana na polisi wa kitaifa wa nchi hiyo  PNC wameongeza doria katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Bushagara jimboni Kivu Kaskazini kufuatia ongezeko la vitisho na mashambulizi ya kundi la wapiganaji wa M23.Katika makala Anold Kayanda anatupeleka nchini Tanzania ambako katika kuhamasisha elimu iliyo salama inayolenga kumlea na kumfundisha mtoto kwa njia chanya zisizoumiza, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, (UNICEF) linamuangazia Mwalimu Magesa Stanslaus ambaye ambaye amebadilika kutoka katika matumizi ya viboko na sasa anatumia motisha tofauti kuwarekebisha wanafunzi wake.Na mashinani fursa ni yake Miguel Ángel Moratinos, Mwakilishi wa Ngazi ya Juu wa Muungano wa Ustaarabu Umoja wa Mataifa UNAOC akitoa ujumbe kuhusu mauaji ya halaiki na sheria za kimataifa za haki za binadamu.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

Habari za UN
MONUSCO na polisi wa DRC waongeza doria katika kambi ya Bushagara kufuatia machafuko mapya ya M23

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 27, 2025 2:16


Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, MONUSCO kwa kushirikiana na polisi wa kitaifa wa nchi hiyo  PNC wameongeza doria katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Bushagara   jimboni Kivu Kaskazini kufuatia ongezeko la vitisho na mashambulizi ya kundi la wapiganaji wa M23. Flora Nducha na taarifa zaidi

Revue de presse Afrique
À la Une: l'étau se resserre autour de Goma

Revue de presse Afrique

Play Episode Listen Later Jan 27, 2025 4:05


Il est très difficile d'avoir des informations fiables sur la situation dans la capitale du Nord-Kivu dans l'est de la RDC. Les combats font rage autour de la ville depuis ces derniers jours entre la rébellion du M23, soutenue par le Rwanda et les FARDC, les Forces armées congolaises. D'après le site d'information congolais 7 sur 7, Goma était toujours hier soir « sous le contrôle des forces armées de la RDC et leurs alliés, les combattants patriotes dits Wazalendo. Mais une psychose est perceptible dans la ville suite à l'avancée des rebelles au Nord, même si l'armée contrôle toujours tous les lieux stratégiques. »« Tirs sporadiques dans certains quartiers de Goma, situation toujours confuse », relève pour sa part le site Actualité CD. « Face à cette insécurité grandissante, certains habitants ont cherché refuge en traversant la frontière vers Gisenyi, au Rwanda, ou en prenant la voie lacustre pour rejoindre Bukavu, dans le Sud-Kivu. La majorité des habitants, toutefois, sont restés à Goma, terrés chez eux dans l'attente d'une accalmie. Aucune communication officielle n'a été émise, affirme encore Actualité CD, pour clarifier la situation ou indiquer qui contrôle effectivement la ville. »Situation « volatile »Le site de Radio Okapi, la radio financée par l'ONU, qualifie la situation autour de Goma de « volatile ». Radio Okapi qui précise que « la ministre congolaise des Affaires étrangères, Thérèse Kayik-wamba Wagner, a annoncé l'entrée de “nouvelles troupes rwandaises“ sur le sol congolais hier dimanche en passant par les bornes 12 et 13 à Gisenyi. Elle s'est exprimée devant le conseil de sécurité à New York. Pour elle, cette attaque directe du Rwanda constitue une déclaration de guerre frontale qui ne se cache plus derrière des artifices. Mais elle assure qu'à Goma, les soldats des FARDC, appuyés par les Casques bleus et la force de la SAMI-RDC (les soldats de la Force régionale d'Afrique australe) défendent la ville sur tous les fronts. » Incertitude…« Goma au bord du précipice », s'exclame de son côté Afrikarabia, site spécialisé sur la RDC. « La capitale du Nord-Kivu est désormais complètement encerclée et asphyxiée par les rebelles du M23, appuyés par le Rwanda voisin, affirme Afrikarabia. Après la chute de Sake jeudi, dernier verrou avant Goma, la rébellion se trouve désormais dans les faubourgs de la ville. Plusieurs routes ont été fermées hier dimanche, ainsi que l'aéroport. L'eau, l'électricité et l'accès à internet sont régulièrement coupés dans certains quartiers. Les combats se déroulent maintenant à l'Ouest à moins de 10 km du centre de la ville, ainsi qu'au Nord, où la rébellion a progressé depuis ses positions de Kibumba, provoquant un nouvel afflux de déplacés dans des camps déjà surchargés. »Désormais, souligne Afrikarabia, « une grande incertitude plane sur le sort de Goma. Si rien ne semble arrêter les rebelles, (toutefois) la prise de la ville et son contrôle ne seront pas aisés pour le M23. Il faudra affronter sur le terrain l'armée congolaise, aidée par les casques bleus de la MONUSCO et les soldats de la force régionale d'Afrique australe. Pour la première fois, la MONUSCO a annoncé avoir bombardé des positions rebelles sur Sake, ce qui prouve une implication plus forte de la mission onusienne, souvent accusée de passivité. Mais pour barrer la route au M23, estime encore le site, il faudra que ces forces internationales soient plus offensives. »La diplomatie impuissante…Sur le plan diplomatique, beaucoup d'agitation pour pas grand-chose, estime WakatSéra au Burkina Faso : « c'est à se demander si la désescalade demandée, avec empressement, ces dernières heures par l'ONU qui semble sortir de sa torpeur et de son inaction, n'est pas un vœu pieux. Une chose est certaine, pour l'instant, affirme le site ouagalais, c'est bien un cri inaudible dans les crépitements des armes ! Que dire de la prochaine rencontre de la Communauté des Etats de l'Afrique de l'Est prévue pour se tenir dans les 48 heures, en présence des présidents Tshisekedi et Kagame ? Réunir l'envahi et l'envahisseur, autour de la même table s'étant révélée, ces derniers temps, impossible, le doute, pour ne pas dire le pessimisme, est bien permis. »Enfin Ledjely en Guinée, renvoie les deux chefs d'Etat dos à dos : « le rôle d'agresseur du Rwanda est ouvertement reconnu et dénoncé publiquement. Mais Paul Kagamé s'en moque. Pour lui, l'occupation de l'Est de la RDC est la poule aux œufs d'or. »Quant à Félix Tshisekedi, poursuit Ledjely, il lui revient « d'assurer la sécurité de sa population. (…) Mais il persiste à ne compter que sur l'extérieur pour ramener la paix dans son pays. » 

Habari za UN
23 JANUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 23, 2025 10:00


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini DRC kumulika mausala ya AI kwenye elimu tukielekea siku ya kimataifa ya elimu inayoangazia matumizi ya AI na changamoto zake. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na ufafanuzi wa methali.Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, MONUSCO, umethibitisha kuwa waasi wa M23 wametwaa baadhi ya maeneo jimboni Kivu Kusini, miongoni mwao ikiwa mji wa Minova, ukisema hali hiyo inatia wasiwasi mkubwa.Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limesema watoto na familia zao wanaorejea kaskazini mwa Gaza baada ya kuanza utekelezaji wa usitishaji mapigano wanakutana na uharibifu mkubwa na kuporomoka kwa miundombinu.Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP leo limesema limefanikiwa kuhamisha msaada wa kwanza wa chakula kuingia Sudan kwa ajili ya kulisha watu 80,000 kwa mwezi mmoja kupitia mto Nile.Na katikakujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya msemo “HIVI KWELI KISAUNI KUTOTA MVINDE?”Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!  

ONU Info

La MONUSCO, la Mission de paix des Nations Unies en République démocratique du Congo, est profondément préoccupée par la détérioration de la situation sécuritaire dans l'est du pays suite à la reprise des affrontements avec le groupe rebelle M23.Au début de l'année, le M23 a rompu le cessez-le-feu établi en août dernier et lancé une nouvelle offensive d'expansion dans le territoire de Masisi puis à travers le Nord-Kivu, provoquant le déplacement de centaines de milliers de personnes.Le groupe armé est désormais arrivé dans le Sud-Kivu, provoquant le déplacement d'au moins 250.000 personnes dans une région qui abrite déjà de nombreuses personnes déplacées. Depuis mardi, il occupe la ville de Minova, un carrefour stratégique le long de la route d'approvisionnement vers Goma. Les rebelles occupent également le port de Kasunyu, un port stratégique pour le transport sur le lac et l'exploitation minière.La MONUSCO n'est plus déployée dans le Sud-Kivu et n'a plus de mandat couvrant cette région. Bien que les humanitaires demeurent dans la région, ils ne bénéficient plus de l'appui sécuritaire et logisitique de la MONUSCO.Pour la Mission de paix, il est impératif que le M23 dépose les armes et respecte le cessez-le-feu en place depuis le 4 août, et que toutes les parties restent engagées dans le processus de Luanda.Afin de mieux comprendre la situation, nous avons joint la porte-parole de la MONUSCO, Ndèye Khady Lo.  (Interview :  Ndèye Khady Lo, porte-parole de la MONUSCO; propos recueillis par Cristina Silveiro)

Habari za UN
16 JANUARY 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 16, 2025 11:16


Hii leo jaridani Mada kwa kina ambayo itatupeleka Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Umoja wa Mataifa kupitia ujumbe wake wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO ulikabidhi wiki iliyopita kwa serikali ya jimbo la Kivu Kaskazini miradi ya kusaidia jamii kiuchumi ikilenga wapiganaji wa zamani, vijana walio katika hatari na wanawake walio katika mazingira magumu. Mradi huu uliogharimu zaidi ya dola za Kimarekani 99,582, kupitia kitengo cha MONUSCO cha kuwezesha wapiganaji kujisalimisha, kupokonywa silaha na kuwajumuisha kwenye jamii, au DDR na ulitekelezwa kwa miezi 6. Pia tunakuletea habari kwa ufupi na ufafanuzi wa maana ya neno “UKONAVI AU JAZUA”. Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!  

Habari za UN
13 JANUARI 2025

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 13, 2025 9:57


Hii leo jaridani tunaangazia ripoti mpya kuhusu hali ya usalama na afya ya watoto kote duniani, na amnai na usalama nchini Syria. Makala inatupeleka nchini Uganda na mashinani nchini DRC, kulikoni?Ripoti mpya ya kila mwaka kuhusu mustakabali wa watoto ambayo imetolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, imeonya kwamba dunia inaingia katika zama mpya za majanga kwa watoto.Wasyria wana matarajio makubwa kwa nchi yao, na hamu kubwa ya watu kutoka katika kila nyanja ya jamii kuja pamoja na kuunda katiba mpya, ambayo lazima ianze na mazungumzo ya kitaifa yaliyo jumuishi. Hayo ni kwa mujibu wa Najat Rochdi, Naibu Mjumbe Maalum wa Umoja wa Mataifa kwa Syria, ambaye amekuwa Damascus kukutana na wajumbe kadhaa wa mamlaka ya mpito ili kuhakikisha Wasyria wote wana uwezo wa kushiriki katika mustakbali wa nchi hiyo.Makala inatupeleka nchini Uganda ambako shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) kwa muda sasa limekuwa likifanya jukumu muhimu katika kuwezesha usajili wa watoto.Na mashinani fursa ni yake Antoinette Nzale, mkimbizi wa ndani katika kijiji cha Fataki iliyoko Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemkrasia ya Congo, DRC akishuhudia jinsi ambavyo juhudi za pamoja za Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO na wanajeshi wa serikali FARDC zinavyowawezesha wakimbizi wa ndani kuanza kurejea katika mazingira yao ya awali taratibu.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!  

Africa Daily
Why aren't civilians in Eastern DRC being protected?

Africa Daily

Play Episode Listen Later Dec 9, 2024 19:31


Warning: This podcast includes description of sexual violence. “I've worked in this situation for more than 25 years. And for me it's not acceptable to stay in the operating room waiting for patients, and treat them, treat their children and treat their grandchildren. This is not acceptable.” Dr Dennis Mukwege set up the Panzi Clinic in Bukavu, Democratic Republic of Congo in 1999. It was initially set up to help women in childbirth, but it quickly changed its focus to treating women raped and brutalised by the different armed groups fighting in the East of the country. It has since treated more than 83,000 survivors of sexual crimes, and in 2018 Dr Mukwege received the Nobel Peace Prize for his work. And yet, decades on, he says little has changed and the civilian population is still unprotected from the brutality. Earlier this year the UN's Monusco peacekeeping force withdrew from South Kivu – where Dr Mukwege's clinic is based – under pressure from the Congolese government which accuses it of failing to protect civilians. But its planned withdrawal from North Kivu has been postponed due to fears that the Congolese army is unable to fill the vacuum - leaving civilians even more at risk. In this interview with Africa Daily, Dr Mukwege says it's time the global community stepped in to help – because while civilians suffer, “the wealth of Congo is serving all the world”.