POPULARITY
In this episode of the Braun Performance & Rehab Podcast, Dan is joined by Kijana Lloyd to discuss his ACL rehab journey. Kijana Lloyd is a talented lacrosse player currently competing at Bryant University. His lacrosse journey began in high school, where he initially played for two seasons at Parkside High School before completing his prep career at Severn School in Annapolis. During his high school years, Kijana honed his skills and developed into a versatile player, ultimately becoming part of the Nationals LC club lacrosse team. Kijana comes from an athletic family. His father, Kwame Lloyd, has a long history of coaching, currently serving as the head coach of the women's soccer program at Salisbury University, entering his 11th season in the role. His mother, Julie Lloyd, also had an impressive athletic career, playing volleyball at Loyola Marymount. His strong athletic background has been a source of inspiration, and Kijana has carried on that legacy with his own accomplishments in lacrosse. At Bryant University, Kijana continues to pursue his passion for lacrosse, balancing the demands of college athletics with his academic studies. As the son of two athletes, he has inherited not only physical talent but also a strong sense of dedication and perseverance. Off the field, Kijana is known for his work ethic, leadership, and commitment to both his team and personal development. Kijana's family is a close-knit unit, with his father's coaching experience and his mother's athletic background serving as pillars of support throughout his lacrosse career. Despite his success on the field, Kijana remains grounded and focused on his future, both as an athlete and a student at Bryant University. For more on Kijana be sure to follow @kijana.lloyd *SEASON 6 of the Braun Performance & Rehab Podcast is brought to you by Isophit. For more on Isophit, please check out isophit.com and @isophit -BE SURE to use coupon code BraunPR25% to save 25% on your Isophit order! **Season 6 of the Braun Performance & Rehab Podcast is also brought to you by Oro Muscles. For more on Oro, please check out www.oromuscles.com ***Season 6 of the Braun Performance & Rehab Podcast is also brought to you by Firefly Recovery, the official recovery provider for Braun Performance & Rehab. For more on Firefly, please check out https://www.recoveryfirefly.com/ or email jake@recoveryfirefly.com Episode Affiliates: Kinetic Arm: Use code " BraunPR " at checkout! MoboBoard: BRAWNBODY10 saves 10% at checkout! AliRx: DBraunRx = 20% off at checkout! https://alirx.health/ MedBridge: https://www.medbridgeeducation.com/brawn-body-training or Coupon Code "BRAWN" for 40% off your annual subscription! CTM Band: https://ctm.band/collections/ctm-band coupon code "BRAWN10" = 10% off! Ice shaker affiliate link: https://www.iceshaker.com?sca_ref=1520881.zOJLysQzKe Make sure you SHARE this episode with a friend who could benefit from the information we shared! Check out everything Dan is up to by clicking here: https://linktr.ee/braun_pr Liked this episode? Leave a 5-star review on your favorite podcast platform
We set it off with Candy Sessions episode 4 recaps and vibes.We banter about unhealthy relationship habits that bring you couples together...More music talk & Kulture banter esp about a conspiracy about artists playing the numbers game when it comes to views.We also talk about Living in Japan and all the misconceptions.We catch up with Mr.SindiriaPapi aka Charisma about all his success in 2024 & what's in store for 2k25 plus not forgetting high thoughts and more vibes. Follow us on instagram & TikTok @thechopshopodke also like share & subscribe.
Ungana nami Martin Joseph, katika Kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu Wawezeshaji ni Wakufunzi kutoka Familia bora katika Nyumba Aminifu, wakiendelea kutufundisha Changamoto za Malezi ya Watoto na Vijana katika Ulimwengu wa leo. L'articolo Fahamu mambo muhimu ya kumlea kijana katika njia bora. proviene da Radio Maria.
Ungana nami Joyce Jonatus, katika kipindi cha Malezi na makuzi ya Vijana, Mwezeshaji ni Bwana, Yohana Machibya Msaidizi wa Sheria Mkoa wa Maghalibi Nzanzibar, Jimbo Katoliki Zanzibar, akiendelea kutuelimisha juu ya mbinu za kujitambua kama vijana. L'articolo Je, wafahamu mbinu ya kujitambua kama kijana? proviene da Radio Maria.
Hii leo jaridani tunaangazia uzinduzi wa ombi la ufadhili wa mahitaji ya Kibinadamu (GHO), na umuhimu wa lugha mama katika kukuza haki za binadamu. Makala tunasalia hapa makao makuu ya umoja wa mataifa na mashinani tunakupeleka nchini Senegal, kulikoni?Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) ikizindua Ripoti ya Kimataifa ya mahitaji ya Kibinadamu (GHO) kwa mwaka ujao wa 2025 imetangaza ombi la ufadhili kwani takriban watu milioni 305 duniani kote watahitaji msaada wa kibinadamu katika mwaka ujao.Haki si haki iwapo inatolewa kwa lugha ambayo haileweki kwa wahusika, wamejulishwa washiriki wa mkutano wa pili wa wanazuoni unaofanyika hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa New York, Marekani na pia mtandaoni ukimulika Madaraka, Haki na Binadamu: Utawala wa Sheria na mabadiliko Afrika.Makala tunasalia hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa ambapo mkutano wa mwaka 2024 wa Taaluma kuhusu Afrika leo katika leo umeingia siku ya pili hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Mkutano huo ulioandaliwa na Ofisi ya mshauri maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu Afrika UNOSAA ni wa siku tatu na umebeba maudhui "Nguvu, Haki, na watu” kwa ajili ya mabadiliko ya Afrika.Na mashinani fursa ni yake Antar sarr, Kijana mkulima wa mbogamboga kutoka Senegal ambaye ni mmoja wa wanufaika wa mradi wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya kilimo, IFAD unaowawezesha vijana nchini humo kwa kilimo na biashara ndogondogo ili kuondokana na fikra za kwenda Ulaya kusaka Maisha bora na ajira, akisema mradi huo imempatia matumaini.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
IAN UNPLUGGED 2447 112324 Line Up On Sat, November 23, 2024 from, 3 - 4 pm on “IAN UNPLUGGED” on Indo American News Radio (www.IndoAmericanews.com), Sanchali & Jyoti play the current affairs quiz “I Think I Know This” with Kijana Wisemen, Aundra Fusilier and Jack Lee --- Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/indo-american-news-radio/support
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Sodo au taulo za kike, vile vile pedi, ni muhimu kwa wanawake na wasichana, lakini wengi hawawezi kuzipata wakati wa vita na ukimbizi. Leo tunakutana na Samer, mvulana huyu ambaye akiwa na umri wa miaka 16 tu, kwa msaada wa klabu ya usafi ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF, anatengeneza na kusambaza sodo kwa wanawake na wasichana katika maeneo ya wakimbizi wa ndani jimboni Atbara, nchini Sudan. Msaada wa kifedha kutoka Mfuko wa dharura wa Umoja wa Mataifa CERF, vilabu vya usafi vya UNICEF, na Shirika la Marekani la misaada ya maendeleo USAID, vijana wakimbizi wa ndani wanawezeshwa kupata suluhisho kwa changamoto za usafi wanazokutana nazo, wakati wa vita na ukimbizi. Mmoja wa vijana hawa wakimbizi ni Samer mvulana mwenye umri wa miaka 16, ambaye amefundishwa kutengeneza sodo na sasa, anazisambaza bure kwa wanawake na wasichana wakimbizi wa ndani katika jimbo la Atbara, nchini Sudan.Nikataka kujua jinsi Samer anatengeneza sodo hizo…"Nashona kati ya vipande kumi na tano hadi ishirini kwa siku. Kwanza, nakata sponji au sifongo, kisha naweka ndani ya kitambaa. Naishona na kuongeza kifungo ili kuifunga vizuri."Kwa nini Samer, katika umri wa miaka 16, anatengeneza sodo"Hiki ndicho wasichana na akina mama wanachohitaji zaidi wakati wa ukimbizi, lakini hakipatikani. Ikiwa hawatumii sodo, huenda wasiweze kusafiri au kutembea kwa uhuru. Kwa hiyo, nazitengeneza na kuwapatia bure kwa ajili yao kutumia. Kwa sababu ya vita, watu hawana pesa za kununua pedi, kwa hiyo nazitengeneza na kuzisambaza. Sodo hizi zinaweza kufuliwa na kutumika tena. Pedi nyingi ni hutumiwa mara moja tu, na watu wanalazimika kununua mpya kila wakati."Je nini kilimpa Samer hamasa ya kutengeneza sodo, na anajisikia vipi anapoifanya kazi hii?"Nilipojiunga na warsha ya UNICEF, nilianza kusaidia familia yangu kwa kuwatengenezea sodo. Napokea vifaa kutoka kiwanda cha UNICEF. Nilipoanza kutengeneza sodo, nilihisi furaha kujua kuwa kuna watu wanaozihitaji. Baadhi yao, hawana pesa na wanakabiliwa na changamoto. Sijihisi aibu kwa kile ninachofanya, kwa sababu kutimiza mahitaji ya watu ni muhimu zaidi kuliko kitu kingine chochote."
Kijana na mahusiano
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
Vijana na mahusiano
Msongo wa Mawazo kwa kijana
Matumizi ya madawa ya kulevya kwa kijana
Mitandao ya kijamii 2
Mitandao ya kijamii
Msichana ambaye yupo tayari na ndoa
Maneno mabaya yasitoke kinywani mwako
Mahusiano ya uchumba kwa vijana
Mahusiano ya Vijana
Kuujua wakati kwa kijana
Makala kuhusu vijana
Changamoto za ajira kwa vijana
Mambo muhimu katika mafanikio
Mambo muhimu katika mafanikio
Vijana na matumizi ya madawa ya kulevya
Mavazi yanayofaa kwa kijana
This episode is one that I've been super excited for - it's with Kijana Woodard, who runs kaizen.io! Kijana reached out to me a few months ago to talk about some writing, and we've been talking ever since. We're spiritually aligned on what fulfilling work looks like, and had a fantastic time talking. Today's topics range from how it's terrible that I.T has three-year seniors to how most actual decision-making authority looks like it's distributed, but in reality most managers don't have the ability to buy their team a pizza. Kijana also tells me one of the funniest stories I've ever heard in the tech space in the last three minutes. As always, feedback at nik.suresh@hermit-tech.com is welcome, especially on audio quality. I think I did a lot better this time, but I have listened so many times that I feel like I've lost the ability to even tell what's good anymore.
Uchaguzi wa Mwenzi wa Maisha
Kijana na Msongo wa Mawazo
Mitandao ya kijamii
Wanafunzi na huduma ya Uinjilisti