POPULARITY
Majadiliano ya mkutano wa 29 wa nchi wanachama wa mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya tabianchi COP29 yamekumbwa na mkwamo huko Baku Azerbaijana muafaka haujapatikana. Majadiliano hayo yaliyotarajiwa kukunja jamvi leo sasa yanaendelea kwa kuwekwa mezani mapendekezo mapya kuhusu ufadhili wa mabadiliko ya tabianchi hasa kwa matifa yanayoendelea. Hakika vuta nikuvute bado inaendelea hata sasa washiriki wako mezani kwakikuna vichwa na kujadili mapendekezo mapya. Mkwamo huo umetokana na kushindwa kuafikiana katika masuala kadhaa kubwa likiwa ufadhili wa mabadiliko ya tabianchi na hususasn kuhusu ni kiasi gani cha fedha nchi zinazoendelea zinapaswa kupokea kila mwaka hadi ifikapo mwaka 2030 na wapi fedha hizo za ufadhili zitatoka.Nchi zinazoendelea zinataka kulipwa dola trilioni 1.3 kwa mwaka lakini hilo halijaafikiwa na mapendekezo mapya yaliyowasilishwa na raia wa mkataba huo wa UNFCCC yanaonyesha tofauti kubwa na safari ndefu ya kufikia muafaka.Kwa mujibu wa mapendekezo hayo mapya yaliyowasilishwa leo mezani na Rais wa COP29 Mukhtar Babayev yanataka nchi zinazoendelea kupokea dola bilioni 250 kwa mwaka hadi kufikia mwaka 2035 kwa ajili ya kuchukua hatua didi ya mabadiliko ya tabianchi.Na maesema “Fedha hizi zitatoka katika vyanzo mbalimbali ikiwemo sekta za umma na za binafsi, na kitaifa na kimataiifa ikiwemo vyanzo mbadala”.Wakati pia COP29 ikitoa wito wa kufikia lengo la ufadhili wa dola trilioni 1.3 ifikapo mwaka 2035 pia imezikaribisha nchi zinazoendelea kutoa michango ya ziada.Kiwango kilichopendekezwa cha ufadhili kinatarajiwa kuzusha vuta ni kuvute katika majadiliano hayo kwa siku nzima ya leo huenda hadi kesho ingawa mkutano huo unahisi ahuweni kwamba kuna kiwango kilichowasilishwa na unataka hitimisho la mkutano haraka iwezekanavyo. Je nchi zinazoendelea zitapokea vipi pendekezo hili jawabu bado halijulikani. Wapenzi wa UN News Kiswahili endeleeni kufuatilia kwenye kurasa zetu kufahamu hatma ya mkutano huo.
Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya tabianchi COP29 leo ukiingia siku ya nne mjini Baku Azerbaijan vijana kutoka Afrika wataka ufadhili uongezwe kutoka mataifa makubwa hususan yanayochangia zaidi hewa ukaa ili kudhibiti athari za mabadiliko ya tabianchi kwa mataifa yanayoendelea ambapomiongoni mwa waathirika wakubwa ni vijana. Asante Bosco na mmoja wa washiriki hao ni Patricial Kombo Mumbua kutoka Kenya akiwasilisha matakwa ya vijana katika mkutano huo, na akizungumza na UN News kuhusu ujumbe wake kwa COP29 amesema“Kwangu kama kiongozi wa vijana jambo la kwanza ni kuweza kupata zile fedha au kuzikusanya ili ziweze kusaidia mataifa ambayo yanapambana na kukabiliwa na changamoto ya mabadiliko ya tabianchi . Pili ni kuhakikisha kuwa viongozi kutoka mataifa ambayo yanazalisha zaidi hewa ukaa yanawajibika ili kuyafanya matifa ambayo yanaendelea kuweza kujilinda , kunufaika , kujiinua dhidi ya janga hilo na pia kujenga mnepo dhidi ya mabadiliko ya tabianchi katika jamii zao.”Na nini anachokitarajia katika mkutano huo wa COP29?“Ni kuweza kuona kuwa hili kongamano litaweza kuhamasisha upatikanaji wa hizo hela kwa mataifa ambayo yanakabiliwa na hizi changamoto za mabadiliko ya tabianchi, Na pia wakati ambapo mataifa yanaendelea kurekebisha michango yao ya kitaifa ya mabadiliko ya tabianchi au NDCs, waweze kuleta michango ambayo inaaambatana na zile changamoto ambazo mataifa yao yanazidi kuathiirika nazo za mabadiliko ya tabianchi.”Mbali ya masuala ya ufadhil mada zingine zinazotamalaki kwenye mijadala ya leo COP29 ni masuala ya nishani safi , mifumo ya tahadhari za mapemba na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa matifa ya visiwa vidogo vinavyoendelea.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka huko Havana Cuba kwenye Kongamano la kimataifa la Kiswahili kusikia kutoka kwa waziziri Zanzibar kuhusu faida za kiplomasia na kiuchumi. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na ujumbe kuhusu Kiswahili.Fedha kwa ajili ya mipango ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, ni jambo lililopatiwa kipaumbele katika ripoti mpya ya leo ya shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira, UNEP wakati huu ambapo kiwango cha joto kinazidi kuongezeka kila uchao na kuleta zahma duniani kote.Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO linasema hii leo watoto 6 wa kipalestina, wamesafirishwa kutoka Gaza kwenye Romania kwa matibabu mahsusi ; watatu wakiwa wanaugua saratani, wawili magonjwa ya damu na mmoja majeraha. Wameambatana na jumla ya waangalizi 15.Na huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO umezindua mfumo wa uthibitishaji, kama sehemu ya mchakato wa Luanda wenye lengo la kufuatilia makubaliano ya sitisho la mapigano kati ya Rwanda na DRC yaliyoanza kutekelezwa tarehe 4 mwezi Agosti mwaka huu mashariki mwa taifa hilo la Maziwa Makuu.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunasalia huko huko Havana Cuba, kwenye kongamano la Kiswahili la Kimataifa ambako Dkt. Kisembo Ronex Tendo mshiriki kutoka taasisi ya vijana ya Afrika Mashriki Fest Uganda anaeleza cha kufanya kusongesha Kiswahili nchini Uganda.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Tatizo la fedha haramu barani Afrika linaligharibu bara hili kiasi cha dola za Marekani bilioni 50 na bilioni 80 kila mwaka, Asilimia 44 ya utajiri wa kifedha wa Afrika inadhaniwa kuwa nje ya nchi. Kwa mujibu wa Ripoti ya Maendeleo ya Uwazi wa Ushuru barani Afrika ya 2023, nchi za Afrika zimeokoa dola bilioni 2 kwa mwaka kutokana na watu kuweka wazi mapato yao, ubora wa kubadilishana taarifa na uchunguzi wa nje ya nchi.Tumezungumza na Ali Mkimo, mtaalamu na mchambuzi wa masuala ya uchumi na biashara akiwa Tanzania.
Tatizo la fedha haramu barani Afrika linaligharibu bara hili kiasi cha dola za Marekani bilioni 50 na bilioni 80 kila mwaka, Asilimia 44 ya utajiri wa kifedha wa Afrika inadhaniwa kuwa nje ya nchi. Kwa mujibu wa Ripoti ya Maendeleo ya Uwazi wa Ushuru barani Afrika ya 2023, nchi za Afrika zimeokoa dola bilioni 2 kwa mwaka kutokana na watu kuweka wazi mapato yao, ubora wa kubadilishana taarifa na uchunguzi wa nje ya nchi.Tumezungumza na Ali Mkimo, mtaalamu na mchambuzi wa masuala ya uchumi na biashara akiwa Tanzania.
Limiya Daud mwenye umri wa miaka 30 ni mmoja wa wakimbizi wa Sudan aliyekimbilia nchini Sudan Kusini kusaka hifadhi baada ya machafuko kuibuka nchini mwake. Kutokana na wingi wa wakimbizi wanaoingia katika nchi zilizo jirani na Sudan baadhi yao wamekuwa wakihamishwa na kupelekwa katika kambi za wakimbizi ambazo zilishaanzishwa hapo awali ili waweze kupata huduma zote muhimu.Tuungane na Evarist Mapesa akituletea simulizi ya Limiya Daud na watoto wake ambao baada ya kukimbilia nchini Sudan Kusini kusaka hifadhi alihamishiwa katika kambi ya Maban iliyoko huko Renk na msaada wa fedha alioupata kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa umemuwezesha kufungua genge.
Mahakama ya juu Kenya yasimamisha uamuzi wa mahakama ya chini kuhusu sheria ya fedha ya mwaka 2023
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Makala hii imeangazia maandamano nchini Kenya huku rais Ruto akisema hatasaini mswada wa fedha wa 2024 uliokuwa umeidhinishwa na wabunge walio wengi, waasi wa M23 huko DRC walifanikiwa kuuteka mji wa kimkakati wa Kanyabayonga wilayani Lubero mashariki mwa DRC, mgomo wa wafanyabiashara nchini Tanzania, na nini hatima yake, siasa za Afrika kusini lakini pia mdahalo kati ya rais wa zamani wa Marekani Donald Trump na Joe Biden kuelekea uchaguzi wa mwaka huu, yaliyojiri nchini Ufaransa na kwengineko Duniani.
Vijana wa Gen Zs na vijana wengine ambao wamekuwa wakiendeleza maandamano dhidi ya Mswada wa Fedha wa mwaka wa 2024 wametukumbusha uwezo tulio nao kama wananchi wapigakura. Uwezo wa kupiga kura kuwachagua viongozi wetu, lakini zaidi kuwawajibisha wanapokuwa ofisini. Harakati hii haifai kukoma. Huu unafaa kuwa mwanzo tu wa kutetea Katiba yetu na kudai uongozi bora ambao tunastahili.
Maandano yaendelea Kenya licha ya Rais Ruto kukataa kutia saini mswada wa fedha wa 2024
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.
Maandamano yanayoendelezwa dhidi ya Mswada wa Fedha wa mwaka wa 2024 ni ukumbusho kwa serikali kuhusu jinsi sauti ya vijana imekuwa ikipuuzwa. Vijana wanakumbwa na changamoto mbalimbali, kuu miongoni mwazo, ikiwa ni ukosefu wa ajira nchini. Serikali haina budi kutafakari mbinu mahsusi ya kutatua hili na changamoto nyingine zinazowakumba vijana.
Serikali sasa imegundua kuwa haiwezekani kupuuza maandamano yanayoendelezwa na kizazi cha vijana dhidi ya Mswada wa Fedha wa mwaka wa 2024. Rais mwenyewe amekiri kuwa ipo haja ya kufanyika mazungumzo kati yake na vijana hawa. Kiukweli, hakuwa na budi. Kuanzia mwanzo haingewezekana tu kuwapuuza vijana hawa kutokana na sababu kadhaa.
Makala imeangazia hatua ya wabunge wa Kenya kuidhinisha mswada wa fedha wa 2024 kuingia katika hatua ya pili kabla ya kupitishwa licha ya maandamano makubwa nchini, ziara ya rais Felix Tshisekedi huko Lubumbashi, na kuendelea kwa mapigano kati ya FARDC na waasi wa M23, Uganda yawasamehe waasi wa zamani wa ADF, kuapishwa kwa rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa, hali huko Afrika Magharibi, na kwengineko duniani
Maandamano yanayoendelezwa na Wakenya dhidi ya Mswada wa Fedha wa mwaka wa 2024 ni zaidi ya Mswada wa Fedha. Ni dhihirisho la kutaabika kwa muda mrefu ambako Mkenya amekuwa akipitia mikononi mwa serikali isiyojali na inayowadharau, kwa miaka. Hii ni sababu tosha ya serikali kuwa na wasiwasi.
Maandamano ya Wakenya dhidi ya Mswada wa Fedha yahweh onyo kwa serikali. Onyo kuwa wananchi wamejifundisha kujitetea na kutetea haki yao wanapohisi kuhujumiwa. Kinyume na maandamano ya miaka ya nyuma, haya yanaongozwa na Wakenya wenyewe, na sio wanasiasa.
Taasisi kadhaa za Jumuiya ya Afrika Mashariki, zimejipata katika hali ngumu baada ya bajeti zao kuathirika sana.
Msikilizaji kwa wiki kadhaa sasa nchini Kenya, kumekuwa na mjadala mkali baada ya kutolewa kwa mapendekezo ya serikali kuhusu muswada wa fedha wa mwaka 2024 unaolenga kuongeza kodi katika baadhi ya sekta na bidhaa nchini humo.Wazalishaji na wawekezaji wakitarajiwa kuwa waathiriwa wakbwa ikiwa muswada huu utapitishwa kama ulivyo, ambapo baadhi ya vinavyolalamikiwa na wazalishaji ni nyongeza ya ushuru wa thamani katika malighafi kutoka nje pamoja na tozo za mazingira maarufu kama Eco Levy. Sekta ya uzalishaji wa viwanda inatarajiwa kuchangia asililia 20 katika pato ghafi la taifa hadi kufikia mwaka 2030. Makala ya Gurudumu la uchumi juma hili, imezungumza na mwenyekiti wa shirikisho la wazalishaji nchini Kenya, Antony Mwangi, kuangazia changamoto na faida za muswada huu. Jina langu ni Emmanuel Makundi, karibu. Msikilizaji nilianza kwa kumuuliza Antony, wao wanautazamaje muswada huu? Insert /// Msikilizaji kama umeungana nasi Makala ni Gurudumu la uchumi na leo tunaujadili muswada wa fedha nchini Kenya unaoelnga kuongeza ushuru wa bidhaa na wazalishaji, na tunazungumza na Antony Mwangi, mwenyekiti wa shirikisho la wazalishaji nchini Kenya. Insert /// Kufikia hapa ndio tunatia nanga ya Makala ya Gurudumu la uchumi kwa juma hili, shukrani kwa Antony Mwangi, mwenyekiti wa shirikishi la wazalishaji nchini Kenya, usikose kuungana nami katika makala nyingine wiki ijayo, ulikuwa nami Emmanuel Makundi, kwaheri.
Vikao vinavyoendelea vya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Mswada wa Fedha wa mwaka wa 2024 visiwe tu kwa nia ya kujifanya kuheshimu Katiba. Wacha maoni ya Wakenya yatiliwe maanani na kuheshimiwa.
Msikilizaji kwa wiki kadhaa sasa nchini Kenya, kumekuwa na mjadala mkali baada ya kutolewa kwa mapendekezo ya serikali kuhusu muswada wa fedha wa mwaka 2024 unaolenga kuongeza kodi katika baadhi ya sekta na bidhaa nchini humo.Wazalishaji na wawekezaji wakitarajiwa kuwa waathiriwa wakbwa ikiwa muswada huu utapitishwa kama ulivyo, ambapo baadhi ya vinavyolalamikiwa na wazalishaji ni nyongeza ya ushuru wa thamani katika malighafi kutoka nje pamoja na tozo za mazingira maarufu kama Eco Levy. Sekta ya uzalishaji wa viwanda inatarajiwa kuchangia asililia 20 katika pato ghafi la taifa hadi kufikia mwaka 2030. Makala ya Gurudumu la uchumi juma hili, imezungumza na mwenyekiti wa shirikisho la wazalishaji nchini Kenya, Antony Mwangi, kuangazia changamoto na faida za muswada huu. Jina langu ni Emmanuel Makundi, karibu. Msikilizaji nilianza kwa kumuuliza Antony, wao wanautazamaje muswada huu? Insert /// Msikilizaji kama umeungana nasi Makala ni Gurudumu la uchumi na leo tunaujadili muswada wa fedha nchini Kenya unaoelnga kuongeza ushuru wa bidhaa na wazalishaji, na tunazungumza na Antony Mwangi, mwenyekiti wa shirikisho la wazalishaji nchini Kenya. Insert /// Kufikia hapa ndio tunatia nanga ya Makala ya Gurudumu la uchumi kwa juma hili, shukrani kwa Antony Mwangi, mwenyekiti wa shirikishi la wazalishaji nchini Kenya, usikose kuungana nami katika makala nyingine wiki ijayo, ulikuwa nami Emmanuel Makundi, kwaheri.
Gumzo la mgao wa fedha za serikali na maendeleo kutolewa kwa msingi wa idadi ya watu, linatishia kurejesha nyuma hatua ambazo zimepigwa kuhakikisha ujenzi wa Kenya moja. Jamii zote zinazoishi Kenya zinastahili kujihisi kuwa nyumbani, bila kujalisha idadi yao.
Mapendekezo yaliyomo kwenye Mswada wa Fedha wa mwaka wa kifedha ujao yanaonesha wazi kuwa serikali ya Kenya Kwanza haina ufahamu wa hali halisi ya Mkenya. Haijali kuhusu vipaumbele vya Mkenya. Lakini, nani aliiweka serikali hii mamlakani kama sio Mkenya yuyu huyu. Huwa tunauliza maswali kuhusu nani atafadhili ahadi chungu nzima zinazotolewa na wanasiasa wakati wa kampeini?
Mswada wa Fedha wa Mwaka wa 2024/2025 una baadhi ya mapendekezo ambayo kimsingi yatamuongezea Mkenya mzigo wa ushuru ambao tayari ni mzito. Sepetuko inakariri kuwa kamwe haiwezekani kwa nchi kujiendeleza kupitia kuwatoza wananchi wake kodi nyingi! Haiwezekani.
Shule zinapofunguliwa kwa masomo ya muhula wa pili, Sepetuko inairai serikali kuangazia masuala kadhaa kwenye sekta ya elimu. Miongoni mwa masuala hayo ni kucheleweshwa kwa fedha za serikali za kufadhili elimu, na changamoto zinazokumba elimu ya JSS.
Serikali ya Kitaifa na za Kaunti zimeendelea kutangaza kutengwa kwa mabilioni ya pesa kwa ajili ya waathiriwa wa mafuriko nchini na mikakati ya kukabili mafuriko. Wacha fedha hizo zitumiwe ifaavyo na maafisa wanaohusika wawajibishwe kwa matumizi yake.
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Afisi ya Wizara ya Fedha ya Marekani inayohusika na Udhibiti wa Mali za Kigeni (OFAC), Jumatatu imeyawekea vikwazo mashirika 16 na watu binafsi, ambao inasema wanahusika katika mtandao mpana wa biashara unaozunguka Pembe ya Afrika, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Cyprus.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Waziri wa Fedha akaribisha uamuzi wa benki ya hifadhi wakuto ongeza kiwango cha riba.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Misri, taifa lenye watu milioni 100 hivi sasa, lakini ni asilimia 30 tu ya watu hao yani watu milioni 36.8 ndio wenye akaunti za benki. Katika zama hizo za huduma za fedha kimtandao, mashirika ya mawasiliano ya simu yanaingia ubia na benki ili kupanua wigo wa huduma hizo. Ukosefu wa huduma za fedha kimtandao zinakuwa kikwazo kwani wananchi hupoteza muda mwingi benki kusubiria malipo ambayo wangaliweza kuyapokea kupitia simu za kiganjani au rununu. Shuhuda pande zote mbili hizo ni msichana mmoja mkazi wa Cairo nchini Misri kama anavyosimulia Assumpta Massoi kwenye makala hii iliyoandaliwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Mawasiliano duniani, ITU.
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) linasema hadi kufikia mwisho wa mwaka huu 2023 linahitaji dola za Marekani milioni 60 ili kutoa msaada wa chakula cha kuokoa maisha nchini Myanmar kwa watu milioni 2.1 walioathiriwa na majanga mengi na magumu kikiwemo kimbunga Mocha.Kwa mujibu wa WFP, kimbunga Mocha, dhoruba kali zaidi kuwahi kutokea katika Ghuba ya Bengal katika kipindi cha muongo mmoja, kimesababisha maafa kwa mamilioni ya watu walio tayari kwenye wakati mgumu, hasa nchini Myanmar. Kimbunga Mocha kimeacha uharibifu katika Jimbo la Rakhine kaskazini mwa Myanmar ambapo kaya katika vitongoji vingi na maeneo ya watu waliohama katika maeneo ya mabondeni wamepoteza akiba kubwa ya chakula na na vyanzo vingine vya kipato. Miundo muhimu kama hospitali na shule vimeharibiwa hasa katika mji mkuu wa jimbo la Rakhine, Sittwe. Mawasiliano na njia za umeme katika eneo hili la Myanmar zimevurugwa. Stephen Anderson ni Mkurugenzi wa WFP nchini Myanmar anaeleza wanachokifanya, "WFP tayari imeanza usambazaji wa haraka wa chakula kwa watu wenye mahitaji makubwa huko Rakhine na Magwe na iataongeza zaidi katika siku zijazo. Tunatumai kuwafikia angalau watu 800,0000 ambao wanachukuliwa kuwa wenye uhitaji mkubwa zaidi. Timu zetu ziko kwenye eneo kufanya kazi mchana na usiku kufanya lolote wawezalo ili kuongeza msaada ili kuwafikia wale wote wanaohitaji popote walipo.” Wakati wa mchana Mei 14 kimbunga kikali kilipiga Mynmar karibu na mpaka wa Bangladesh kwa upepo unaokadiriwa kuwa na kasi ya karibu kilomita 280 kwa saa na hivyo kukifanya kuwa moja ya vimbunga vikali zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka kumi iliyopita kwenye ukanda huo.
Takribani watoto 573,000 wenye umri wa chini ya miaka mitano nchini Malawi wako hatarini kukumbwa na utapiamlo, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto duniani, UNICEF huku likisema linahitaji dola milioni 87.7 kukidhi mahitaji ya watu milioni 6.5 wakiwemo watoto milioni 3.3 nchini humo, ikiwa ni ombi jipya la fedha lililotolewa leo.Assumpta Massoi na taarifa kwa kina.UNICEF kupitia taarifa yake iliyotolewa jijiini Lilongwe Malawi hii leo, inasema maendeleo yaliyopatikana hivi karibuni ya kukabili utapiamlo yanayoyoma kutokana na uhaba mkubwa wa chakula ukigubikwa na matukio ya mara kwa mara ya madhara ya mabadiliko ya tabianchi, milipuko ya magonjwa yanayozuilika, ukosefu wa utulivu wa kiuchumi na ukosefu mkubwa wa ufadhili kwenye sekta za kijamii.Taarifa hiyo inasema Malawi bado inazingirwa na kiza kinene cha athari mbaya za kimbunga Fredy kilichokumba taifa hilo mwezi Machi na kuacha hadi leo hii watu 659,000 wakimbizi wa ndani wakiwemo watoto.Halikadhalika mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu bado unaendelea na tayari umesababisha vifo vya watu 1,759.UNICEF/Thoko ChikondiDalitso Dines mwenye umri wa miaka 14 in mwanafunzi wa darasa la 8 na manusura wa kimbunga Freddy. Hapa yuko darasani kwenye shule ya msingi ya Chumani huko Mulanje kusini mwa Malawi akijisomea. Hii ni tarehe 23 Machi 2023.Mwakilishi wa UNICEF nchini Malawi Gianfranco Rotigliano anasema watoto nchini Malawi wanakabiliwa na mlolongo wa majanga. Ukosefu wa uhakika wa kupata chakula ukichochewa na janga la mabadiliko ya tabianchi, mlipuko wa magonjwa na kutwama kwa uchumi duniani, vyote vinatishia maisha ya mamilioni ya watoto.Amerejelea ombi la Hatua za Kiutu kwa Watoto, HAC lililozinduliwa leo na UNICEF likionesha ongezeko la matukio ya utapiamlo miongoni mwa watoto katika kipindi cha miaka mitano iliyopita ambapo mwaka 2023 pekee watoto 62,000 wenye umri wa kati ya miezi 6 hadi miaka 5 wako hatarini kukumbwa na unyafuzi au udumavu.Ni kwa mantiki hiyo UNICEF imeongeza ombi lake kwa usaidizi Malawi kutoka zaidi ya dola milioni 52 hadi dola milioni 87 ili kukidhi mahitaji ya watu milioni 6.5 wakiwemo watoto milioni 3.3.Fedha hizo zitatumika kununua mahitaji ya vyakula vilivyo tayari kuliwa ili kutibu unyafuzi, kupata huduma za maji safi na salama, huduma za kujisafi, afya, lishe, elimu, ulinzi dhidi ya watoto na miradi ya fedha taslimu.Bwana Rotigliano amesema bila usaidizi wa kifedha, kaya maskini na za Watoto walio hatarini watasalia bila huduma za msingi na zaidi ya yote amesema pamoja na misaada hiyo ni lazima kujengea mnepo ili kupunguza madhara makubwa ya milipuko na dharura za kiutu.
Mzozo nchini Sudan ukiingia mwezi wa pili, hii leo Umoja wa Mataifa na wadau wake wamefanyia marekebisho ombi la usaidizi kwa nchi hiyo na sasa linafikia dola bilioni 3 kwa ajili ya kusaidia mamilioni ya watu nchini humo na mamia ya maelfu wengine waliokimbilia nchi jirani kusaka usalama.Uzinduzi wa ombi hilo lililorekebishwa umefanywa kwa pamoja hii leo huko Geneva Uswisi na ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura, OCHA na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi duniani, UNHCR. Hivi sasa jumla ya dola bilioni 2.56 zinahitajika kwa mwaka 2023, ikiwa ni nyongeza ya dola milioni 800 kutoka miezi michache iliyopita, ili kusaidia watu milioni 18 hadi mwishoni mwa mwaka huu na hivyo kufanya ombi hili kuwa ombi kubwa zaidi kuwahi kutolewa kwa Sudan. Marekebisho hayo yanazinagatia ongezeko la mahitaji lililochochewa na mapigano yanayoendelea ambapo Mkuu wa ofisi ya OCHA mjini Geneva, Ramesh Rajasingham amewaambia waandishi wa habari kuwa, “mahitaji nchini Sudan ni ya msingi na yamesambaa kama unavyoweza kufikiria kutokana na majanga: kulindwa dhidi ya mapigano, matibabu, chakula, maji, huduma za kujisafi, malazi na huduma dhidi ya kiwewe. Tunapata pia taarifa za ongezeko la ukatili wa kingono na waathirika hawawezi kupata huduma. Watoto wako hatarini zaidi katika janga hili linalozidi kuibuka.” Akifafanua kuhusu ombi la usaidizi kwa wakimbizi waliosaka hifadhi Jamhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Misri, Ethiopia, Sudan Kusini na wakimbizi waliorejea nyumbani kutokana na changamoto Sudan, Kamishna Msaidizi wa UNHCR akihusika na operesheni, Raouf Mazour amesema, “hii leo tunatoa ombi la takribani dola milioni 472 ili kukidhi mahitaji ya zaidi ya watu milioni 1 katika kipindi cha miezi 6 ijayo.” Mapigano yalizuka Sudan tarehe 15 mwezi Aprili mwaka huu na hadi sasa mamia ya watu Sudan wameuawa, zaidi ya 5,000 wamejeruhiwa na mamilioni wamejificha majumbani mwao bila uwezo wa kupata huduma muhimu kama vile matibabu. UNHCR na OCHA wanasema leo hii, watu milioni 25 nchini Sudan, zaidi ya nusu ya idadi ya watu Sudan wanahitaji misaada ya kibinadamu na ulinzi.
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudan Kusini (UNMISS) umefanya warsha za majadiliano katika mji wa Torit na Magwi mashariki mwa mji mkuu Juba jimboni Equatorial Mashariki ili kujadili kuhusu utungaji katiba na michakato ya uchaguzi.Sudan Kusini kwa sasa inatayarisha katiba yake ya kudumu ambayo si tu ni muhimu bali pia ni sharti la kufanya uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliopangwa kufanyika mwakani, 2024. Makundi mbalimbali ya kijamii yaliyoshiriki katika majadiliano haya yaliyoratibiwa na UNMISS ni pamoja na wanawake, vijana, waliorejea kutoka ukimbizini, wakimbizi wa ndani, na viongozi wa kimila. Jessica Kalmas, mkimbizi aliyerejea ambaye sasa ni Msemaji wa Umoja wa Vijana, Equatoria Mashariki anasema, “Kunapaswa kuwa na uzingatiaji wanaorejea. Pia, suala la ukatili wa majumbani na kijinsia likomeshwe. Hili pia lijumuishwe kwenye katiba ya kudumu.”Masuala ambayo washiriki wameyapa uzito katika majadiliano yao ni nafasi sawa kwa wanawake katika maisha ya umma, kuhakikisha wasichana wote wana haki ya kupata elimu, na kukomesha desturi ya ndoa za kulazimishwa au za utotoni. Angel Omex, Mwanafunzi ni Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Sudan Kusini anaeleza, “Nimehudhuria huu mchakato wa kutengeneza katiba, na nina furaha kuwa sehemu yake. Na, kulingana na maoni yangu binafsi nadhani kinachopaswa kujumuishwa katika mchakato wa kutengeneza katiba ya kudumu ni suala la asilimia 35 ya jinsia. Wanawake wanatakiwa kupewa asilimia 35. Haifai kuwa kusema tu bali inapaswa kutekelezwa. Na sio tu kwamba wanaorejea kutoka ukimbizini ni muhimu sana, lakini pia wanapaswa kurejeshwa katika jamii na kusajiliwa.”Kwa pamoja, waliohudhuria walifikia mapendekezo kuhusiana na katiba ya kudumu na uchaguzi unaofuata, ikiwa ni pamoja na ushiriki wenye nguvu Zaidi wa vijana. UNMISS inashirikiana na mamlaka za serikali na Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Fedha na Mipango ili kuandaa warsha kama hizo kote Sudan Kusini.
Te comparto los links de las noticias de las que hablo: La cuenta de ahorro de la Apple Card ya está disponible iOS 17 permitirá instalar apps sin pasar por la App Store #hashtag inventor Chris Messina has signed off of Twitter. Canada's CBC is the latest major news org to step away from Twitter. Twitter etiquetará los tweets que promuevan el discurso de odio Elon Musk claims to be working on ‘TruthGPT' — a ‘maximum truth-seeking AI' Who needs a Starship launch when you can pre-order a Starship torch? Esta sería la fecha de lanzamiento del Pixel Fold, el primer móvil plegable de Google McDonald's lanza una campaña protagonizada por el Hamburglar Esta es Fedha, una presentadora de noticias muy popular que, en realidad, no existe Google va a revolucionar su buscador: esto es lo que se avecina impulsado por IA Europa inaugura su herramienta para abrir las cajas negras de los algoritmos en Internet Netflix abre una boutique erótica para promocionar su nueva serie 'Obsession' Noticias de tecnología, noticias de Marketing y Noticias de YouTube Sígueme en @popinteractivo Visita mi página web: ricardomiranda.es
Cette semaine, on s'intéresse à OVH qui veut racheter Qwant, aux caméras Tesla trop indiscrètes, au Juice Hacking, à une journaliste virtuelle, à l'automatisation de ChatGPT, à la règlementation de ChatGPT en Europe, au retour de Dailymotion et à la virtualisation des réseaux télécoms. L'ACTU DE LA SEMAINE - OVH veut racheter Qwant. Le leader français du cloud ambitionne de créer un géant français du numérique. (01:37) - Tesla : des caméras indiscrètes. Des employés de la marque américaine s'échangeaient des vidéos privées provenant des voitures de leurs clients... (03:46) - Gare au Juice Hacking, cette technique de piratage via les bornes de recharge électriques pour téléphones mobiles dans les lieux publics. (06:01) - Fedha, présentatrice virtuelle boostée. Le média Koweït News veut lancer des flash d'actualité réalisés par intelligence artificielle. (08:17) L'INNOVATION DE LA SEMAINE Auto-GPT est une version améliorée de ChatGPT capable de réaliser des projets complexes. (10:23) LES INTERVIEWS DE LA SEMAINE
*) North Korea leader calls for expansion of war deterrence capabilities North Korean leader Kim Jong-un has called for expanding the country's war deterrence capabilities to counter what it called "frantic" aggression by the United States and South Korea. Kim's call on Tuesday comes as Pyongyang has opened the year with a flurry of weapons tests. These tests included nuclear-capable underwater drones and the launch of two intercontinental ballistic missiles. North Korea last year declared itself an "irreversible" nuclear power, effectively ending the possibility of denuclearisation talks. *) Turkish, Russian, Syrian, Iranian FMs likely to meet in May in Moscow A meeting between foreign ministers of Türkiye, Russia, Iran, and Syria is likely to be held in early May in Moscow. Turkish Foreign Minister Mevlut Cavusoglu said this in an interview on Monday. He said the aim of these talks is to revive the political process, lasting stability and peace, fight against terrorism, and guarantee Syria's border and territorial integrity. *) Five killed, at least 6 injured in Kentucky shooting attack Five people were killed and at least six others hospitalised following a shooting targeting a bank on Monday in downtown Louisville, in the US state of Kentucky. A short while after confirming the attack, police said the shooter was dead, without giving further details. It was unclear whether the death toll of five people included the shooter. The incident triggered a massive police deployment outside the Old National Bank building. *) China completes Taiwan war games aimed at 'sealing off' island China says it has "successfully completed" three days of war games around Taiwan. The three-day show of force saw it simulate targeted strikes and practise a blockade of the self-ruled island. Chinese ally Russia defended the drills, with a Kremlin spokesperson saying Beijing had a "sovereign right" to respond to what Moscow called "provocative acts". Beijing's exercises were a response to Taiwan President Tsai Ing-wen's meeting with US House Speaker Kevin McCarthy last week. *) News anchor generated with AI appears in Kuwait A Kuwaiti media outlet has unveiled a virtual news presenter generated using artificial intelligence with plans for it to read online bulletins. "Fedha" appeared on the Twitter account of the Kuwait News website on Saturday as an image of a woman, her light-coloured hair uncovered, wearing a black jacket and white T-shirt. The site is affiliated with the Kuwait Times, founded in 1961 as the Gulf region's first English-language daily.
Nchini Nepal mradi wa BRIDGE unaotekelezwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kazi duniani, ILO umewezesha familia moja ya kimaskini kuondokana na sio tu kutumikishwa kwenye ajira za kitumwa bali pia kuepusha baba wa familia kuondokana na kwenda nchi za nje kusaka vibarua.Tuko wilaya ya Bajura magharibi mwa Nepal barani Asia, tunakutana na Shanti Devi Lohar, mama wa familia mwenye umri wa miaka 50. Akifungua redio kujiburudisha akiwa anauza mboga mboga na maboga huku akikumbuka maisha yalivyokuwa awali.Shanti anasema mume wangu amekwenda India kusaka kibarua kutokana na hali mbaya ya kifedha ya familia yetu. Peke yangu nyumbani ilikuwa vigumu kupata kazi. Fedha ilikuwa changamoto kwani hatukuwa na ardhi.Punde anapata mteja na anauza boga moja kwa dola tatu. Msingi wa biashara hii ni nini?Shanti anasema “nilibaini kuwa kituo cha rasilimali watu kilikuwa kinaanzisha mafunzo ya kilimo cha mboga mboga nje ya msimu husika wa mazao hayo kwa wafanyakazi waliokuwa wanatumikishwa. Nilijiunga ili nipate mafunzo ya kilimo na niwe mfanyabiashara ninayejitegemea.”Mafunzo yalifanyika na kisha Shanti alimweleza mumewe ambaye alimtumia mtaji wa dola 343 wa kuanzisha kilimo biashara cha mboga mboga. ILO na mdau wake waliwapatia makaratasi ya nailoni ya kuezekea bustani hizo, madumu ya kumwagilia pamoja na mbegu.Faida ni dhahiri na anasema kwa kuuza viazi faida ni kati ya dola 86 hadi 129 kwa mwaka. Mapato kutokana na kuuza nyanya ni kati ya dola 258 hadi 300.”Ingawa watoto wake wa kiume wanasoma bweni na gharama ni dola 429 kwa mwaka, Shanti hana tena hofu kwani anapata fedha hizo kupitia kilimo biashara na binti zake wawili wanasoma shahada ya kwanza. Na zaidi ya yote anachofurahia Shanti ni kwamba mumewe hatokwenda tena nje ya Nepal kusaka kibarua.
Nchini Malawi,shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto duniani, UNICEF kwa msaada kutoka kwa wadau wake wa maendeleo linatekeleza mradi wa kupatia fedha jamii au MSCTP kwa ajili ya kupunguza umaskini, kukabili utapiamlo halikadhalika kuondokana na utoro shuleni utokanao na wazazi kushindwa kulipa karo. Nats…Video ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto duniani, UNICEF inaanza kwa kuonesha wanawake kwa wanaume wakiwa wamepanga foleni huku wameshikilia nyaraka tayari kupokea mgao wa fedha kwa mwezi kupitia mradi huo wa mgao wa fedha taslim kunusuru kaya maskini.Mary Wale mnufaika kutoka wilaya ya Balaka mkoa wa Kusini wa Malawi anasema, "Niko hapa kunufaika na mradi wa mgao wa fedha za kijamii. Nilikuwa maskini sana, sikuwa na chakula, sikuweza kupeleka watoto wangu shuleni, hata sikuwa na mavazi. Sasa nina furaha sana. Kwa fedha hizo nitatununua mahindi, nitakarabati nyumba yangu kwa kuwa iko kwenye hali mbayá. Nitanunua kuku wa kufuga ili wanisaidie siku za usoni.”Pamoja na kugawa fedha taslimu, mradi huu ulioanza kutekelezwa nchini Malawi mwaka 2006, umeanzisha vikundi vya kuweka na kukopa ambako wanachama wana uwezo wa kukopa fedha na kurejesha.Elube Ositini yeye ameanza kunufaika na mradi huu tangu mwaka 2014 na anasema,“ Kwa miaka yote hii nimeweza kujenga nyumba, kununua mifugo, kupeleka watoto shuleni. Na katika miaka minne ijayo nataka niongeze ng'ombe wafikie 10, niwapeleka watoto wangu hadi shule ya sekondari. Nina furaha sana kwa sababu nilicho nacho sasa sikutarajia kuwa navyo maishani.”Kwa Richard Kakoti ambaye naye yuko kwenye foleni kupata mgao, mradi huu ni mkombozi sana kwao kwani njaa iliwapiga na sasa wana ahueni kubwa akisema “Nimepokea Kwacha za kimalawi elfu 36. Hii ni mara yangu ya kwanza kupokea mgao huu wa fedha. Fedha hizi zitanisaidia mimi kama mkuu wa kaya kununua mahindi, maharagwe na mafuta ya kupikia kwa ajili ya familia yangu.”Kwacha Elfu 36 ni sawa na dola dola 35. UNICEF inasema mradi huo pamoja na kusaidia kukabili njaa, unasaidia pia kujenga mnepo kwa kaya wakati huu ambao mtikisiko wa kiuchumi unaleta changamoto kwenye jamii.
Watu wenye ualbino wamekuwa wakikumbwa na changamoto lukuki ikiwemo za kijamii, kiafya na kiuchumi hali inayofanya mustakabali wao kuwa na mashaka na hata wakati mwingine wanakuwa na wasiwasi kuhusu ndoto zao . Lakini kwa mtoto Elizabeth Ayebare ambaye ndoto yake ilikuwa almanusura itumbukie shimoni, mambo sasa ni shwari kwani sheria ilifuata mkondo wake na waliokuwa wanataka kupeperusha ndoto yake wakachukuliwa hatua ya kumlipa fidia na sasa anaendelea na masomo yake kama kawaida. Nini kilifanyika? Simulizi nzima anayo Anold Kayanda katika Makala hii iliyoandaliwa na ofisi ya Umoja wa Mataifa ya haki za binadamu.