POPULARITY
Ungana nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro life utetezi wa Uhai, Wawezeshaji ni Wakufunzi kutoka Pro life Tanzania, wakituelimisha juu ya madhara ya kushamili kwa vitendo vya utoaji mimba. L'articolo Fahamu madhara ya kushamili kwa vitendo vya utoaji mimba. proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Ester Magai Hangu katika kipindi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Bwana Joseph Mwaiselo, Mkurugenzi kitengo cha Elimu kwa Umma kutoka Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) Makao Makuu Jijini Dodoma, akitufundisha juu ya udhibiti wa vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu. L'articolo Je, ni kwa namna gani tunaweza kudhibiti vitendo vya rushwa katika jamii? proviene da Radio Maria.
Karibu ungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro life utetezi wa uhai, Studio niko na Wakufunzi kutoka Pro life Tanzania, wakiendelea kuzungumzia mada ya Maisha ya Vijana na Dunia ya leo, wakijikita zaidi katika kushamiri kwa vitendo vya utoaji mimba katika Jamii. L'articolo Je, kwanini vitendo vya utoaji mimba vinashamiri katika Jamii? proviene da Radio Maria.
Ungana na Mtangazaji Agatha Kisimba, katika kipindi cha Pro life utetezi wa uhai, leo Wakufunzi wetu kutoka Pro life Tanzania, Antony Lihepa, Janeth Akarro na Witness Joachim, wanatuelimisha juu ya sababu za kushamiri kwa vitendo vya utoaji mimba. L'articolo Kwanini vitendo vya utoaji mimba vinashamiri katika jamii? proviene da Radio Maria.
Kwenye Makala haya Ali Bilali akiwa pamoja na wachambuzi wa siasa Mali Ali kutoka Paris Ufaransa na Abdulkarim Atiki wanaangazi kuhusu tuhuma za Burundi kwa Rwanda kuhusika na vitendo vya uhalifu hususan uvurumishaji guruneti katika mji wa Bujumbura, tukio la hivi karibuni liligharimu maisha ya watu kadhaa na kuwajeruhi wengine.
VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.
In this episode of Blacktop Banter, Joseph Blackman guides listeners through the evolution of on-the-job training, focusing on the empowering influence of technology in the workforce. We dive into the concept of upskilling with video tutorials, and how companies like Vitendo are on the cutting edge of job training and knowledge sharing models. Joseph explains how the shift from needing to know everything beforehand to learning on the go through video tutorials redefines what it means to be “job-ready” and how companies are transforming their new employee training into an efficient and cost-effective process. This episode is brought to you by Crafco, the official sponsor of Blacktop Banter. Learn more at crafco.com
Guest: Joseph Blackman, Founder of Vitendo Quick Background: This episode of Industrial Theory features Kerry Siggins and guest Joseph Blackman, the founder of Vitendo. Vitendo is an industrial media and education company that's taken a contemporary approach to delivering customized training videos for large, municipal equipment and vehicles. Joseph explains the importance of delivering this type of training content through modern, digestible user experience features like real-time video, media sharing, and optimized mobile access. Joseph and Kerry discuss the value of relationships in business and why we need to advocate and advance industrial trades as a whole. Plus, hear about Joseph's entrepreneurial journey from starting the company to his work today with large municipalities and industrial organizations.
Mratibu wa masuala ya kibinadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC Bruno Lemarquis amezungumza na waandishi wa habari mjini Geneva, Uswisi hii leo na kusema vitendo vya ukatili wa kijinsia na kingono dhidi ya wanawake na wasichana kwenye makazi ya wakimbizi wa ndani nchini DRC vimeongezeka kwa asilimia 37 mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana, huku akitaka hatua za haraka zichukuliwe ili kurekebisha kinachoendelea.Katika mkutano wake huo uliomulika hali ya kibinadamu nchini DRC, Bwana Lemarquis ambaye pia ni Naibu Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini DRC amesema mwaka jana pekee kwenye makazi ya wakimbizi katika jimbo la Kivu Kaskazini, kulikuwa na matukio zaidi ya 38,000 ya ukatili wa kingono na kwamba katika miezi mitatu ya mwanzo wa mwaka huu pekee, kumekuweko na ongezeko kwa asilimia 37. Amesema “wanawake na watoto walio hatarini zaidi ambao wanasaka hifadhi kwenye makazi hayo, wanajikuta wakikabiliwa na ukatili na machungu zaidi na hili halivumiliki.” Hivyo amesema hatua zaidi zinahitajika kuchukuliwa na serikali pamoja na wadau ili kudhibiti hali hiyo. Lemarquis amesema ongezeko la wakimbizi wa ndani kwenye makazi linatokana pia na ombwe la ulinzi kwenye maeneo ya kaskazini mwa jimbo la Kivu Kaskazini, Ituri na Kivu Kusini kutokana na vikosi vya usalama kuhamishwa ili kwenda kukabiliana na waasi wa M23. Amesema baadhi ya makundi yaliyojihami kama vile ADF, Zaire na CODECO yametumia fursa hiyo kushamirisha mashambulizi yao dhidi ya raia hususan Ituri. Naibu Mwakilishi huyo wa Katibu Mkuu nchini DRC amegusia pia jimbo la Mai-Ndombe lililoko magharibi mwa DRC, ambako amesema ghasia zilizoibuka mwezi Juni mwaka jana zimeendelea na zinasambaa kwenye maeneo ya jirani na kwamba kwa kuwa DRC inaelekea kwenye uchaguzi ni vema kuchukua hatua kudhibiti ili ghasia hizo zisijekuwa chanzo cha janga lingine la kibinadamu nchini humo.
Capturing The Knowledge - Preparing The Next Generation The DooDoo Diva's Smells Like Money Podcast – Capturing The Knowledge - Preparing The Next Generation With Joseph Blackman Listen to this latest episode of “The DooDoo Diva's Smells like Money Podcast” where we discuss with Joseph Blackman, the founder of Vitendo Training Solutions how video training can make teams more efficient and help you save time and money. Being organized and aware of what needs to be done are prerequisites for efficiency. Joseph saw a need in the market for a more ffective way of training operators how to utilize their equipment and maintain it and so took advantage of this chance by creating a platform for team to access a library of learning content that is customized to their specific systems and assets. With a growing lack of workers and the retirement of many very experienced and knowledgeable experts in the field, how do we pass on that knowledge and not risk losing it? In this episode, we'll learn why Vitendo is an excellent resource for effective training and maintenance manual solutions to keep an organization's intellectual knowledge and experience preserved for the next wave of contracting and utility operations pros. Additionally, we will learn how Joseph's prior experiences helped him in running this enterprise. This episode also covers: -What are Vitendo Training Solutions -How Vitendo Video Training Solves Very Specific Concerns -How Vitendo Can Be Related To Wisdom And Efficiency -Creating a Knowledge Database for Your Team Today and for the Future I hope you find this episode as informative and as exciting as we have. Please let us know your thoughts about the episode! Connect with Joseph Blackman LinkedIn: https://www.linkedin.com/in/josephblackman/ Email:joe@vitendo.us Vitendo Training Solutions: vitendo.us Connect with Suzan Chin-Taylor, host of The DooDoo Diva's Smells Like Money Podcast: Website: www.creativeraven.com | https://thetuitgroup.com/ LinkedIn: https://www.linkedin.com/in/creativeraven/ Email: raven@creativeraven.com Telephone: +1 760-217-8010 Listen and Subscribe here to your favorite platform : Apple Podcast - Google Podcast - CastBox - OverCast - Pocket Casts - Youtube - Spotify https://creativeraven.com/smells-like-money-podcast/ Subscribe to the Podcast: https://creativeraven.com/smells-like-money-podcast/ Be a guest on our show: https://calendly.com/thetuitgroup/be-a-podcast-guest Check Out my NEW Digital Marketing E-Course & Coaching Program just for Wastewater Pros: https://store.thetuitgroup.com/diy-digital-marketing-playbook-for-wastewater-pros #Wastewater #Trenchless #WastewaterIndustry #ManholeRehab #TechnologicalAdvancement #WastewaterTreatment #Vitendo #Learning #Walkthrough #Service #Videos #Tutorial
Katika kuadhimishwa kwa siku ya makazi duniani, vijana watakiwa kufikiria namna ya kujipatia makazi yao mapema. Vitendo vya unyanyasaji wa kingono vyaongezeka Kenya na jamii yatakiwa kushughulika kumaliza tatizo hilo.
Mkutano wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa kuhusu marekebisho ya mfumo wa elimu leo unakunja jamvi kwenye makao makuu ya Umoja huo jijini New York Marekani. Mkutano huo wa siku tatu umeitishwa ili kukabiliana na changamoto ya kimataifa ya elimu hasa kwa kuzingatia suala la usawa na ujumuishwaji, ubora wa elimu na umuhimu. Wadau mbalimbali wakiwemo wakuu wa nchi na serikali, mashirika ya kimataifa na makundi mbalimbali katika jamii wamepata fursa ya kupaza sauti zao, miongoni mwao ni vijana walioshiriki kuwawakilisha mamilioni ya wanafunzi kote duniani. Emmanuel Cosmas Msoka mchechemuzi kijana wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF kutoka nchini Tanzania ni moja wa vijana waliozungumza akiwachagiza viongozi wa dunia kuwashirikisha vijana kwa hali na mali . “Moja ya mchango ambao niliweza kuutoa ni ushirikishwaji wa vijana katika mambo yote ambayo yanaathiri mabadiliko ya kiuchumi kwa sasa na kwa baadaye , katika hilo lengo langu kubwa ni kuhakikisha kwamba vijana wanashirikishwa kuanzia katika ngazi ya chini kabisa katika kuanzishwa sheria, katika kuanzishwa kwa mitaala ya elimu, washirikishwe vijana hata katika utekelezaji pia , kwani katika nchi nyingi au katika mazingira ambayo tumetokea ni kwamba vijana wanashirikishwa katika sherehe zile ambazo ni za kuhitimisha baada ya sera au sheria kutengenezwa. Ushirikishwaji ambao mi naungalia ni kuanzia kwenye mipango, kuanzia watu wanaposema kwamba kuna kitu Fulani tunataka tukibadilishe , vilevile unapoanza kukusanya maoni tu vijana washirikishwe , katika utekelezaji wa ile mipangopia tuwashirikishe vijana na mwishoni kabisa katika kusherehekea kwamba lengo tulilojiwekea tumeweza kufanikiwa vijana pia washirikishwe. Ushirikishwaji wao ni kuanzia ngazio yaw azo mpaka kwenye kutengeneza sheria na sera na katika kusherehekea mafanikio ya sera ambazo zimetengenezwa katika nchi.” Na kwa Tanzania anakotoka Emmanuel anasema ni wakati wa kujifunza kutoka kwa wengine “Nimejifunza kutoka kwa vijana ambao wametokea katika nchi nyingine hapa wameweza kunielezea kwamba katika nchi zao kuna mabaraza ya vijana, mashirika ya kimataifa katika nchi zao yana mabaraza ya vijana , nchi kama nchi ina baraza la vijana . Tanzania sasa ni muda wa kurejesha lile baraza la vijana ambalo lilikuwepo na kikapotea. Ni muda ambao tunahitaji kuwashirikisha vijana wakati dunia inawahitaji vijana. Kama nchi tunatakiwa tuonyeshe kabisa kuwa tunaelekea katika mwelekeo huo. Na katika hilo tunaamini na watu wengi sio wanasiasa viongozi tunaweza tukasema wamekuwa pia wakisema viojana ni taifa la kesho lakini ushirikishwaji huo uko wapi? Tufanye hivi vitu kwa vitendo , leo nimeweza kusema kwamba maneno yanaonekana ni bei nafuu sana lakini vitendo ni bei ghali sana kwa hiyo ni muda sasa tuweze kuvifanyiakazi tunavyovizungumzia.”
Ikiwa leo Mei 27 ni mwaka wa saba kamili tangu Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupitisha Azimio namba 2222 la mwaka 2015 la kutambua kazi za waandishi wa habari, kuwalinda na kutaka waheshimiwe , Baraza hilo limesema vitendo vya vitisho na kuuawa kwa waandishi wa habari vimezidi kuongezeka katika siku za hivi karibuni.
Vitendo hivi vimetajwa kuwa bado vinaendelea katika vyumba vya habari na wanafunzi wa elimu ya juu katika eneo la Afrika Mashariki hususan Tanzania lakini imekuwa ni siri kubwa kwa wanawake waofanyiwa vitendo hivyo kwani huwa hawatoi taarifa kwenye vyombo vya sheria.
Ufugaji na kilimo ni moja ya mambo mtambuka ambayo yakifanikiwa yanachangia katika kufanikisha idadi kubwa ya malengo ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo endelevu, SDGs kati ya 17 ambayo yanalengwa kufikiwa ifikapo mwishoni mwa muongo huu, mwaka 2030. Mathalani lengo namba moja linazungumzia kutokomeza umaskini, namba mbili linaongelea kutokomeza njaa, namba tatu linaongelea afya bora, namba saba linazungumzia nishati bora na ambayo ni nafuu na lengo namba nane likizungumzia ukuaji wa uchumi. Malengo yote hayo yanaguswa moja kwa moja na kilimo. Kwa msingi huo, kijana daktari wa mifugo nchini Uganda, Dkt. Anthony Kiiza anasema hajutii kuwekeza katika kilimo na ufugaji kwani hiyo inampa fursa ya kukuza uchumi wake huku akitekeleza utaalamu wake kwa vitendo. Zaidi ya hayo, anahamasisha vijana wenzake kujihusisha na shughuli mbalimbali za kujipatia kipato ili kukuza uchumi wao na wajamii zinazowazunguka. Mwandishi wetu wa Uganda John Kibego amezungumza na kijana huyo katika makala ifuatayo.
Dunia ikiwa katika mfululizo wa siku 16 za kuahamasisha mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia, nchini Tanzania mkoani Morogoro wasichana wamepaza sauti wakionesha kutofurahishwa na ukatili unaofanywa na baadhi ya wazazi na walezi majumbani. Huku wakiiomba serikali kufuata sheria pale mtuhumiwa anapo kamatwa na kufikishwa mahakamani, kwa makosa ya ukatili dhidi ya watoto wa kike.
Msichana Mary Nsia Mangu wa Arusha Tanzania, ili kuunga mkono Malengo ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo endelevu, SDGs, anaendesha taasisi maalum ya Dexterous Tanzania ambayo ina lengo la kuboresha elimu ya watoto, kuwapatia uelewa kupitia vitabu na pia kuwafahamisha kuhusu ukatili wa kijinsia. Vile vile taasisi yake inasaidia kupinga ukatili dhidi ya watoto hususani wa Kike kwa kuwapa elimu kupitia njia mbalimbali ikiwamo kuwafikia moja kwa moja shuleni. Mary anawahamasisha wasichana kuwa majasiri kuleta mabadiliko ndani ya Jamii.
Loise Wairimu, ni msichana ambaye alifunga safari kutoka Kenya kuja hapa jijini New York Marekani katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa ili apate mafunzo kwa vitendo. Kwa takribani kipindi cha miezi sita amefanya kazi pamoja na timu nzima ya Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa akichota maarifa ya kazi. Loise anaanza kwa kueleza namna safari yake hii ilivyoanza na alichojifunza mchakato huu.
Nchini Tanzania, wanufaika wa kifaa maalumu cha kujifunza sayansi kwa vitendo pasi na uwepo wa Mwalimu kilichobuniwa na vijana wanane kutoka jijini Mwanza nchini humo, wamezungumzia jinsi ambavyo kinawasaidia. Ahimidiwe Olotu wa kituo cha habari za Umoja wa Mataifa, UNIC jijini Dar es salaam na ripoti kamili.
Nchini Tanzania kikundi cha vijana 8 kimetengenza vifaa vinavyowezesha wanafunzi wa masomo ya sayansi kufanya mafunzo kwa vitendo bila ya kuhitaji mwalimu.
Vitendo 4 Africa and Casa De Selude invites you for health screening at the Christ Covenant Church on Jan 26th 2019.
Vitendo 4Africa in partnership with Casa de Salude invites all immigrants in need of medical access including those without insurance for appointment inoder to get treatment.
Vijana kutoka USA kuzuru Kenya
Makala ya kwanza kabisa mwaka huu wa 2017 tunaanzia nchini Ugandaambapo tutaangazia vitendo viovu vya ulaji nyama ya binadamu. Kusini mwa Uganda kwenye wilaya za Rakai, Kyotera na nyinginezo watuwanakamatwa, wanachinjwa na kuliwa nyama na binadamu wenzao.
Anania na Sapphira - Ananias1 and Sapphira are killed for hypocrisy.
Paulo na wenzake kufundisha katika Korintho - Paul and his companions teach in Corinth.
Yesu kurudi mbinguni - Jesus returns to heaven.
Petro na Yohane ni jela kwa ajili ya mafundisho - Peter and John are jailed for healing and teaching.
Saba waliochaguliwa kumtumikia - The church chooses servants for the Grecian widows.
Stephen ni mawe - Stephen is stoned for preaching about Jesus.
Philip waongofu mwongofu - Philip converts a proselyte from Ethiopia.
Anania waongofu na kumtesa aitwaye Saulo - Ananias2 converts a persecutor named Saul.
Barnaba na Paulo kurudi kutoka safari - Barnabas and Paul return from their mission trip.
Baraza la Yerusalemu - The church holds a conference regarding Gentile conversions.
Paulo anarudi Asia Ndogo - Paul and his companions return to Asia Minor.
Paulo na wenzake kufundisha katika Efeso - Paul and his companions teach in Ephesus.
Philip waongofu mwongofu - Philip converts a proselyte from Ethiopia.
Paulo anarudi Yerusalemu na ni mbaroni - Paul returns to Jerusalem and is arrested.
Paul defends mwenyewe kwa kundi la - Paul defends himself to the mob.
Paul defends mwenyewe Baraza - Paul defends himself to the Sanhedrin.
Paul defends mwenyewe kwa Gavana Felix - Paul defends himself to Governor Felix.
Paul defends mwenyewe kwa Gavana Festo - Paul defends himself to Governor Festus.
Paulo na Sila kusafiri na Akaya - Paul and Silas travel to Achaia.
Baraza la Yerusalemu - The church holds a conference regarding Gentile conversions.
Barnaba na Paulo kurudi kutoka safari - Barnabas and Paul return from their mission trip.
Peter waongofu wa mataifa aitwaye Kornelio - Peter converts a Gentile named Cornelius.
Anania waongofu na kumtesa aitwaye Saulo - Ananias2 converts a persecutor named Saul.
Peter ripoti kwa kanisa - Peter defends his activity among the Gentiles.