Podcasts about hivi

  • 57PODCASTS
  • 126EPISODES
  • 24mAVG DURATION
  • 1EPISODE EVERY OTHER WEEK
  • Mar 7, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about hivi

Latest podcast episodes about hivi

Habari za UN
Ukraine: Mwakilishi wa UNFPA Ukraine Uller Muller na hali ya wanawake wajawazito nchini humo

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 7, 2025 1:49


Zikiwa zimesalia siku mbili ya leo na kesho kufika tarehe 8 Machi Siku ya Kimataifa ya Wanawake, tunaendelea kuangazia hali ya wanawake duniani. Sharon Jebiichi anatupeleka Ukraine kutukutanisha na Mwakilishi wa muda wa Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu UNFPA nchini humo ambaye anaangazia madhila wanayokutana nayo wanawake wajawazito wa Ukraine.Ni Ulla Muller, Mwakilishi wa muda wa Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu UNFPA nchini Ukraine, akieleza kuhusu changamoto zinazowakumba wanawake wajawazito wa Ukraine.Anasema, “ninaweza kukuambia hadithi nyingi ambazo zimebaki nami kwa sababu nakutana na wanawake hawa kila mara, na mapenzi yangu kwao hayana mipaka.”Uller Muller anasimulia kisa cha mwanamke mmoja akisema,"Kuna mwanamke anayeitwa Ira ana umri wa miaka 31, na tayari anamlea mtoto mvulana wa umri wa miaka sita. Hivi karibuni aligundua kuwa ni mjamzito tena na anatarajia mapacha watatu. Ni hali ya kutisha na kuchanganya."Bi. Muller anaendelea kueleza kuwa mwanamke huyo alikuwa njiapanda asijue abaki alee ujauzito katika hali hiyo ya mabomu kila mahali au andoke? Hatimaye aliamua kubaki na kwa usaidizi wa UNFPA akafanikiwa kujifungua lakini kabla ya wakati. Uller Muller, anaitathimini hali hiyo akisema,"Faraja yake ya kuweza kujifungua salama iliakisi uthabiti wa akina mama wengi wa Kiukraine ambao wanaamua kutoondoka. Wanaamua kuwa bado wanapaswa kujenga mustakabali wa maisha yao. Bado wanapaswa kuishi maisha yaliyo karibu na hali ya kawaida kadri wawezavyo. Na hilo linajumuisha kuleta uhai katika hali ya vita."

SBS Swahili - SBS Swahili
Unataka saidia kuunda mustakabali wa Australia? Hivi ndivyo unastahili fanya kujisajili kupiga kura

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 7, 2025 8:28


Uchaguzi mwingine wa shirikisho unatarajiwa kufanywa mwaka huu, kuna hatua unastahili chukua kabla yakupiga kura yako kwa mara ya kwanza.

australia kura hivi uchaguzi kupiga
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi AI ilivyo athiri chaguzi kubwa duniani

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 4, 2025 10:47


Tuna jiandaa kwa uchaguzi wa shirikisho. Hivi karibuni, wa Australia wata elekea katika vituo vya kupiga kura kuwachagua viongozi wetu wapya.

Battle4Freedom
Battle4Freedom-20250226 - Generations of Vengeance - Six Degrees of Hate

Battle4Freedom

Play Episode Listen Later Feb 26, 2025 59:54


Generations of Vengeance - Six Degrees of HateWebsite: http://www.battle4freedom.com/Network: https://www.mojo50.comStreaming: https://www.rumble.com/Battle4Freedomhttps://www.biblegateway.com/passage/?search=Deuteronomy%2032%3A35&version=CJBDeuteronomy 32:35Vengeance and payback are mine for the time when their foot slips; for the day of their calamity is coming soon, their doom is rushing upon them.Genesis 36:1 This is the genealogy of `Esav (that is, Edom). 2 `Esav chose Kena`ani women as his wives: `Adah the daughter of Eilon the Hitti; Oholivamah the daughter of `Anah the daughter of Tziv`on the Hivi; 3 and Basmat Yishma`el's daughter, sister of N'vayot. 4 `Adah bore to `Esav Elifaz, Basmat bore Re`u'el, 5 and Oholivamah bore Ye`ush, Ya`lam and Korach. These were the sons of `Esav born to him in the land of Kena`an.Genesis 36:6 `Esav took his wives, his sons and daughters, the others in his household, his cattle and other animals and everything else he owned, which he had acquired in the land of Kena`an, and went off to a country distant from his brother Ya`akov. 7 For their possessions had become too great for them to live together, and the countryside through which they were traveling couldn't support so much livestock. 8 So `Esav lived in the hill-country of Se`ir. (`Esav is Edom.)Genesis 36:9 This is the genealogy of `Esav the father of Edom in the hill-country of Se`ir. 10 The names of `Esav's sons were Elifaz, son of `Adah the wife of `Esav, and Re`u'el the son of Basmat the wife of `Esav.Genesis 36:11 The sons of Elifaz were Teman, Omar, Tzefo, Ga`tam and K'naz. 12 Timnah was the concubine of Elifaz `Esav's son, and she bore to Elifaz `Amalek. These were the descendants of `Adah `Esav's wife. 13 The sons of Re`u'el were Nachat, Zerach, Shammah and Mizah. These were the sons of Basmat `Esav's wife. 14 These were the sons of Oholivamah, the daughter of `Anah the daughter of Tziv`on, `Esav's wife: she bore to `Esav Ye`ush, Ya`lam and Korach.Genesis 36:15 The chieftains of the sons of `Esav were the sons of Elifaz the firstborn of `Esav and the chieftains of Teman, Omar, Tzefo, K'naz, 16 Korach, Ga`tam and `Amalek. These were the chieftains descended from Elifaz in Edom and from `Adah.Genesis 36:17 The sons of Re`u'el `Esav's son were the chieftains of Nachat, Zerach, Shammah and Mizah. These were the chieftains descended from Re`u'el in the land of Edom and from Basmat `Esav's wife. 18 The sons of Oholivamah `Esav's wife were the chieftains of Ye`ush, Ya`lam and Korach. These were the chieftains descended from Oholivamah the daughter of `Anah, `Esav's wife. 19 These were the descendants of `Esav (that is, Edom), and these were their chieftains.Genesis 36:20 These were the descendants of Se`ir the Hori, the local inhabitants: Lotan, Shoval, Tziv`on, `Anah, 21 Dishon, Etzer and Dishan. They were the chieftains descended from the Hori, the people of Se`ir in the land of Edom. 22 The sons of Lotan were Hori and Hemam; Lotan's sister was Timnah. 23 The sons of Shoval were `Alvan, Manachat, `Eival, Sh'fo and Onam. 24 The sons of Tziv`on were Ayah and `Anah. This is the `Anah who found the hot springs in the desert while pasturing his father Tziv`on's donkeys. 25 The children of `Anah were Dishon and Oholivamah the daughter of `Anah. 26 The sons of Dishon were Hemdan, Eshban, Yitran and K'ran. 27 The sons of Etzer were Bilhan, Za`avan and `Akan. 28 The sons of Dishan were `Utz and Aran. 29 These were the chieftains descended from the Hori: the chieftains of Lotan, Shoval, Tziv`on, `Anah, 30 Dishon, Etzer and Dishan. They were the chieftains descended from the Hori by their clans in Se`ir.Genesis 36:31 Following are the kings who reigned in the land of Edom before any king had reigned over the people of Isra'el. 32 Bela the son of B`or reigned in Edom; the name of his city was Dinhavah. 33 When Bela died, Yovav the son of Zerach from Botzrah reigned in his place. 34 When Yovav died, Husham from the land of the Temani reigned in his place. 35 When Husham died, Hadad the son of B'dad, who killed Midyan in the field of Mo'av, reigned in his place; the name of his city was `Avit. 36 When Hadad died, Samlah of Masrekah reigned in his place. 37 When Samlah died, Sha'ul of Rechovot-by-the-River reigned in his place. 38 When Sha'ul died, Ba`al-Chanan the son of `Akhbor reigned in his place. 39 When Ba`al-Chanan died, Hadar reigned in his place; the name of his city was Pa'u; and his wife's name was M'heitav'el the daughter of Matred the daughter of Mei-Zahav.Genesis 36:40 These are the names of the chieftains descended from `Esav, according to their clans, places and names: the chieftains of Timna, `Alvah, Y'tet, 41 Oholivamah, Elah, Pinon, 42 Kenaz, Teman, Mivtzar, 43 Magdi'el and `Iram. These were the chieftains of Edom according to their settlements in the land they owned. This is `Esav the father of Edom.The man who does not read has no advantage over the man who cannot read.- Mark Twain -Crediting:https://unsplash.com/@jakobowens - Waves

Alfajiri - Voice of America
Burundi yapokea wakimbizi 10,000 waliokimbia mapigano ya hivi karibuni mashariki mwa DRC - Februari 18, 2025

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Feb 18, 2025 29:59


burundi hivi mashariki
Battle4Freedom
Battle4Freedom-20250212 - You shall not rape - Stop Stealing Innocence

Battle4Freedom

Play Episode Listen Later Feb 12, 2025 60:01


You shall not rape - Stop Stealing InnocenceWebsite: http://www.battle4freedom.com/Network: https://www.mojo50.comStreaming: https://www.rumble.com/Battle4FreedomPsalm 106:39Thus they were defiled by their deeds; they prostituted themselves by their actions,Genesis 34:1 One time Dinah the daughter of Le'ah, whom she had borne to Ya`akov, went out to visit the local girls; 2 and Sh'khem the son of Hamor the Hivi, the local ruler, saw her, grabbed her, raped her and humiliated her. 3 But actually he was strongly attracted to Dinah the daughter of Ya`akov; he fell in love with the girl and tried to win her affection. 4 Sh'khem spoke with his father Hamor and said, "Get this girl for me; I want her to be my wife."Genesis 34:5 When Ya`akov heard that he had defiled Dinah his daughter, his sons were with his livestock in the field; so Ya`akov restrained himself until they came. 6 Hamor the father of Sh'khem went out to Ya`akov to speak with him 7 just as Ya`akov's sons were coming in from the field. When they heard what had happened, the men were saddened and were very angry at the outrage this man had committed against Isra'el by raping Ya`akov's daughter, something that is simply not done. 8 But Hamor said to them, "My son Sh'khem's heart is set on your daughter. Please give her to him as his wife; 9 and intermarry with us: give your daughters to us, and take our daughters for yourselves. 10 You will live with us, and the land will be available to you — you'll live, do business and acquire possessions here."Genesis 34:11 Then Sh'khem said to her father and brothers, "Only accept me, and I will give whatever you tell me. 12 Ask as large a bride-price as you like, I'll pay whatever you tell me. Just let me marry the girl." 13 The sons of Ya`akov answered Sh'khem and Hamor his father deceitfully, because he had defiled Dinah their sister. 14 They said to them, "We can't do it, because it would be a disgrace to give our sister to someone who hasn't been circumcised. 15 Only on this condition will we consent to what you are asking: that you become like us by having every male among you get circumcised. 16 Then we'll give our daughters to you, and we'll take your daughters for ourselves, and we'll live with you and become one people. 17 But if you won't do as we say and get circumcised, then we'll take our daughter and go away." 18 What they said seemed fair to Hamor and Sh'khem the son of Hamor, 19 and the young man did not put off doing what was asked of him, even though he was the most respected member of his father's family, because he so much wanted Ya`akov's daughter.Genesis 34:20 Hamor and Sh'khem his son came to the entrance of their city and spoke with its leading men: 21 "These people are peaceful toward us; therefore let them live in the land and do business in it; for, as you can see, the land is large enough for them. Let us take their daughters as wives for ourselves, and we'll give them our daughters. 22 But the people will consent to live with us and become one people only on this condition: that every male among us gets circumcised, as they themselves are circumcised. 23 Won't their cattle, their possessions and all their animals be ours? Only let's consent to do what they ask, and then they will live with us." 24 Everyone going out the city's gate listened to Hamor and Sh'khem his son; so every male was circumcised, every one that went out the gate of the city.Genesis 34:25 On the third day after the circumcision, when they were in pain, two of Ya`akov's sons, Shim`on and Levi, Dinah's brothers, took their swords, boldly descended on the city and slaughtered all the males. 26 They killed Hamor and Sh'khem his son with their swords, took Dinah out of Sh'khem's house, and left. 27 Then the sons of Ya`akov entered over the dead bodies of those who had been slaughtered and plundered the city in reprisal for defiling their sister. 28 They took their flocks, cattle and donkeys, and everything else, whether in the city or in the field, 29 everything they owned. Their children and wives they took captive, and they looted whatever was in the houses.Genesis 34:30 But Ya`akov said to Shim`on and Levi, "You have caused me trouble by making me stink in the opinion of the local inhabitants, the Kena`ani and the P'rizi. Since I don't have many people, they'll align themselves together against me and attack me; and I will be destroyed, I and my household." 31 They replied, "Should we let our sister be treated like a whore?"https://www.instagram.com/reel/DF6fqlPPc8j/https://www.instagram.com/reel/DF8bykgybYM/?igsh=MTY1YzQ5aGdpZGZldA==Thugging, Mugging, and Drugging are more voluntary than they are culturally!Credits:Photo by ClickerHappy: https://www.pexels.com/photo/girl-in-white-long-sleeve-shirt-and-black-skirt-sitting-on-swing-during-day-time-12165/Photo by Adonyi Gábor: https://www.pexels.com/photo/a-brown-concrete-wall-1770619/Photo by Towfiqu barbhuiya: https://www.pexels.com/photo/a-close-up-shot-of-a-roll-of-money-and-various-drugs-9941494/

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya msemo “HIVI KWELI KISAUNI KUTOTA MVINDE?”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 23, 2025 0:38


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya msemo “HIVI KWELI KISAUNI KUTOTA MVINDE?” 

Alfajiri - Voice of America
Zaidi ya watu 100,000 wamehama makazi yao katika mapigano ya hivi karibuni kati ya M23 na jeshi la Congo - Januari 08, 2025

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 8, 2025 30:00


Gurudumu la Uchumi
Sehemu ya II: Umuhimu wa kuwa na nidhamu ya kuweka akiba ya fedha

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Jan 8, 2025 10:05


Hivi leo ni sehemu ya pili ya makala ya Gurudumu la Uchumi, hasa tunapouanza mwaka 2025 tunaenda kujadili kuhusu nidhamu ya kuweka akiba ya fedha, ufanye nini kuongeza kipato, unatumiaje fedha ulizonazo kuwekeza ? Haya ni baadhi ya mambo ambayo tutaenda kuyatazama kwenye makala ya juma hili. Tutakuwa na Ali Mkimo, mchambuzi na mtaalamu wa masuala ya uchumi na biashara akiwa Tanzania.

Gurudumu la Uchumi
Sehemu ya II: Umuhimu wa kuwa na nidhamu ya kuweka akiba ya fedha

Gurudumu la Uchumi

Play Episode Listen Later Jan 8, 2025 10:05


Hivi leo ni sehemu ya pili ya makala ya Gurudumu la Uchumi, hasa tunapouanza mwaka 2025 tunaenda kujadili kuhusu nidhamu ya kuweka akiba ya fedha, ufanye nini kuongeza kipato, unatumiaje fedha ulizonazo kuwekeza ? Haya ni baadhi ya mambo ambayo tutaenda kuyatazama kwenye makala ya juma hili. Tutakuwa na Ali Mkimo, mchambuzi na mtaalamu wa masuala ya uchumi na biashara akiwa Tanzania.

Habari za UN
Mradi wa kilimo cha umwagiliaji warejesha matumaini kwa wakulima wa Masvingo, Zimbabwe

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 23, 2024 3:09


Hivi karibuni mkutano wa Umoja wa Mataifa wa kuzuia kuenea kwa jangwa, ulikunja jamvi huko Riyadh, Saudi Arabia ambapo Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Kilimo, IFAD ulitumia fursa hiyo kuelezea harakati zake za kusaidia wakulima barani Afrika walioathiriwa vibaya na kuenea kwa jangwa. Miongoni mwa mataifa hayo ni Zimbabwe ambako IFAD imeshaanza kuchukua hatua na kuleta nuru kwa wakulima kama anavyosimulia Assumpta Massoi kwenye makala hii.

Habari za UN
Wananchi tufahamishwe kwa kina majukumu ya MONUSCO ili kukabili habari potofu DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 13, 2024 4:30


Umoja wa Mataifa unatambua ni kwa kiasi gani habari potofu na habari za uongo kuwa ni mojawapo ya vikwazo vikuu vinavyokabili operesheni zake za  kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.  Hii imesababisha Umoja huo kuhaha kila wakati kuona ni kwa vipi itakabiliana na habari hizo, iwe ni kupitia mafunzo kwa wanahabari, au kusaidia ujenzi wa vyombo vya habari, na hata kuzungumza na wananchi. Hivi karibuni Umoja Wa Mataifa kupitia Idara yake ya Ulinzi wa Amani, kitengo cha uadilifu wa habari, ulituma Tume yake Mashariki mwa DRC kukutana na wakazi ili  kujua ni nini Umoja wa Mataifa unapaswa kufanya ili kupambana na habari potofu na za uongo nchini humo. Mwandishi wetu wa Mashariki mwa DRC, hususan jimboni Kivu Kaskazini, George Musubao alishuhudia ziara hiyo na ametuletea makala hii.

Habari za UN
22 OKTOBA 2024

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 22, 2024 9:57


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini DRC kufuatilia kazi za kituo cha Taifa cha Redio na Televisheni, RTNC huko Beni jimboni Kivu Kaskazini za kakabiliana na habari potofu. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani.Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa leo mjini Cairo, Misri, imebainisha kwamba athari za vita zimerudisha nyuma maendeleo huko Gaza kwa takriban miaka 69. Ripoti hiyo iliyoratibiwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo UNDP na  Kamisheni ya Umoja wa Mataifa ya Kiuchumi na Kijamii kwa Asia Magharibi imeonya kwamba bila kuondoa vikwazo vya kiuchumi na kuwekeza katika maendeleo, uchumi wa Palestina unaweza kushindwa kurejesha viwango vya kabla ya vita na kusonga mbele kwa kutegemea misaada ya kibinadamu pekee.Kiongozi wa timu ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) ya kupambana na mlipuko wa ugonjwa wa Marburg Dkt. Janet Diaz ameeleza kwamba uongozi thabiti wa serikali ya Rwanda umewezesha kufanya uamuzi wa haraka na kuchukua hatua kuanzisha mwitikio wa sekta mbalimbali dhidi ya mlipuko wa sasa wa ugonjwa huo wa Marburg nchini humo.Na uongozi wa Kikosi cha Muda cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon (UNIFIL) umeendelea kusisitiza kwamba pamoja na changamoto zilizopo, walinda amani wa UNIFIL wanaendelea kufanya kazi kwa karibu na jamii za kusini mwa Lebanon ili kuwezesha utoaji wa misaada ya kibinadamu kwa wenye uhitaji. Hivi karibuni kumekuwa na mashambulizi dhidi ya walinda amani hao wa Umoja wa Mataifa yanayotekelezwa na majeshi ya Israeli.Mashinani kupitia video ya Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu masuala ya Kibinadamu na misaada ya dharura OCHA tunamuangazia mmoja wa watu waliokimbia makazi yao akiwa katika shule ya Al Rimal, akielezea changamoto wanazokutana nazo katika kukabiliana na hali ngumu inayowakabili raia wa Gaza.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu! 

Habari za UN
Kuanza tena kwa shughuli za Redio RTNC kutawawezesha kupigana dhidi ya taarifa potofu na za uongo - MONUSCO

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 22, 2024 5:26


Umoja wa Mataifa unaendelea kuunga mkono serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC katika kukabili habari potofu na za uongo hususan huko mashariki mwa nchi ambako vikundi vilivyojihami vinaendelea kushambulia raia na kupambana na jeshi la serikali. Hivi karibuni Umoja wa Mataifa kupitia ujumbe wake wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO, umeipatia kituo cha Taifa cha Redio na Televisheni, RTNC huko Beni jimboni Kivu Kaskazini jengo na vifaa vyenye thamani ya takriban dola elfu hamsini za Kimarekani. Hatua hiyo iliwezesha RTNC kuanza tena matangazo yake. Mwandishi wetu wa DRC, George Musubao alifika kituoni hapo kuzungumza na wahusika na wanufaika.

Habari za UN
Mlo shuleni ulibadilisha maisha yangu- Mkurugenzi wa WFP Somalia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 21, 2024 1:52


Kila siku, mamilioni ya watoto kote ulimwenguni huenda shule wakiwa na njaa, wengi wao wakiteseka na utapiamlo sugu ambao huathiri ukuaji wa kiakili na utendaji wao katika masomo. Wanaobahatika huweza tu kumaliza masomo yao na kufanikiwa maishani kutokana na programu ya ‘mlo ya shuleni' inayoendeshwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula Duniani (WFP). Mfano wa wanufaika hao ni El-Khidir Daloum, Mkurugenzi wa sasa wa WFP nchini Somalia. "Mimi ni zao la mlo wa shule," hayo ni maneno ya El-Khidir Daloum ambaye ana shukrani tele kwa WFP kwa kuendesha programu ya ‘mlo shuleni' iliyomfaidisha  alipokuwa mwanafunzi. Hivi sasa, akiwa Mkurugenzi wa WFP nchini Somalia, Daloum ameweka dhamira ya kazi yake kuhakikisha upatikanaji wa chakula kwa wote. Je Daloum aliifahamu vipi programu ya mlo shuleni ya WFP kwa mara ya kwanza?“Tulipofika pale, tukakuta ni shule ya bweni, wakati huo wazazi wetu hawangeweza kugharamia shule hiyo. Kwa hivyo, shule ilifanya ushirikiano kati ya serikali na Shirika la Umoja wa Mataifa Chakula Duniani (WFP). Na hiyo ndiyo ilikuwa mara yangu ya  kwanza kuonja dagaa wa Kijapani, maziwa ya unga kutoka Uholanzi, na jibini ya Denmark, yote yaliletwa kwetu kupitia mlo wa shule.”Je Daloum anadhani maisha yake yangekuwa vipi kama WFP isingetoa mlo shuleni?“Nikiwaza kuhusu kizazi changu, hasa wale waliokuwa katika shule za bweni, bila ushirikiano huo kati ya serikali ya nchi yangu na WFP, hatungeweza  kumaliza elimu yetu. Ndio maana nakwambia kwamba mimi ni zao la mlo shuleni kutoka kwenye shule ya msingi kwenda katika shule ya kati na hatimaye sekondari, yote haya matatu yalifaulu kutokana na mlo shuleni.”

Habari za UN
Nadipo: Asante WFP kwa mradi wa mizinga ya nyuki sasa familia yangu inatabasamu

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 21, 2024 3:20


Kaunti ya Turkana Kaskazini mwa Kenya moja ya maeneo kame mradi wa ufugaji nyuki wa WFP umekuwa mkombozi kwa wakulima walioathirika na mabadiliko ya tabianchi.Katika kaunti hii vumbi linalotimuka katika eneo tambarare lisilo na miti linakufanya kujiuliza je Nini kizuri kinaweza kufanyika hapa kwenye ukame uliotamalaki? Lakini cha kustaajabisha ni kwamba kwa kuwezeshwa mengi yanawezekana ikiwemo njia bora za kuhakikisha uhakika wa chakula na hata kubadili maisha ya watu kama anavyosema mkulima wa nyuki Nadipo Lotelei mnufaika wa mradi wa mizinga ya nyuki kutoka shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP. “Hatua iliyochukuliwa na WFP kutupatia mizinga ya nyuki imekuja kama nyota ya jaha kwangu kwa sababu  siwezi kutembea umbali mrefu kutokana na ajali niliyopata. Mradi huu umenisaidia sana mimi ili kuweza kusaidia watoto wangu na mke wangu. Mke wangu ameweza kuanzisha biashara ya duka kutokana na faida niliyopata ambayo sasa inatumika kama chnzo cha kipato cha mahitaji ya kaya yetu.”Nadipo ni miongoni mwa wafuga nyuki 1,900 katika kaunti ya Turkana ambao wamepewa mafunzo ya ufugaji nyuki na vifaa kupitia mradi wa WFP kwa ushirikiano na shirika binafsi la HIVE ambalo mwenyekiti mtendaji wake ni Christopher Nzuki. “Tunahusika katika ufungaji na usambazaji wa vifaa. Na wakati huohuo tunatoa mafunzo kwa wafugaji nyuki na kisha kuwapatia masoko. Tunachukua kila kitu wanachozalisha.”Ufugaji wa nyuki wa kisasa si kazi kubwa, na pia unatumia nafasi ndogo na maji kidogo. Nyuki huchavusha asilimia 80 ya miti ya maua ikiwemo mazao ya chakula. Huzalisha asali, nta, mafuta na sumu, bidhaa ambazo huuzwa kwa gharama kubwa sokoni. Kwa sasa WFP inasaidia karibu wafugaji wa nyuki 5,000 katika kaunti 9 nchini Kenya lakini lengo ni kuwafikia wengi zaidi na mradi huu kama anavyosema afisa wa WFP Timothy Koskei. “Dhamira yetu mwisho wa yote ni kuwafikia wastani wa wafuga nyuki 10,000 katika kaunti 9 na kuvuna takriban tani 600 za asali.” Kwa mujibu wa WFP nyuki wana uwezo mkubwa na wanaweza kutoa mavuno mengi ambayo ni neema kwa familia sisizojiweza katika maeneo haya kame. Mkurugenzi wa WFP nchini Kenya Lauren Landis anasema mradi umezaa matunda. “Hivi sasa tunasikia kutoka miongoni mwa wanaufaika ambao awali walikuwa wakipokea msaada wa chakula ,ambao sasa sio tu wanazalisha asali  kwa ajili ya faida bali pia wanafikiria kuongeza ununuzi wa pembejeo zaidi kutoka kwa Hive. Hivyo tunachokishuhudia ni mchakato ulio wazi ambapo mtu anatoka kuwa mpokea msaada na kuwa mteja, kuwa mpokeaji wa faida na si mpokeaji wa msaada wa chakula.”Kwa mafanikio haya WFP inasema itaendelea kupanua wigo wa mradi huu ili kunufaisha familia nyingi zaidi.

Radio Maria Tanzania
Hivi ndivyo Kanisa la Kianglikana lilivyoenea.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 10, 2024 57:08


Karibu uungane nami Patrick Tibanga katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini, Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, akiendelea na historia ya Kanisa la Kianglikana. L'articolo Hivi ndivyo Kanisa la Kianglikana lilivyoenea. proviene da Radio Maria.

Habari za UN
Waandishi wa habari wana wajibu wa kusimamia utekelezaji wa SDGs - Hanna Dadzie

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 2, 2024 1:53


Umoja wa Mataifa kila uchao unapigia chepuo wadau mbali mbali wakiwemo waandishi wa habari kusongesha Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs ili sio tu yaweze kufahamika bali pia wale wanaowajibika kuyatekeleza wafanye hivyo ili hatimaye maisha ya wananchi yawe bora na si bora maisha.Hivi karibuni mwandishi wa Radio Washirika KidsTime FM ya mkoani Morogoro nchini Tanzania alikuwa Cairo Misri kwenye mafunzo ya wanahabari ambapo alimuuliza Hanna Dadzie mwandishi wa habari  kutoka Shirika la Utangazaji Ghana, GBC ni hatua gani anachukua kusongesha SDGs.“Naamini kama mwana habari  wajibu wangu katika kuhamasisha malengo ya maendeleo endelevu, ni kutengeneza uelewa na kusimamia hasa mashirika au taasisi za serikali kuhakikisha kwamba watu wanapata elimu, na tunaposema elimu sio tu elimu ni elimu bora. Kama mwandishi wa habari napaswa kuhakikisha watu hawa wote wanapata elimu bora, kwa sababu sote tumezaliwa kuwa sawa.”Akamulika maeneo ya SDGs ambayo amejikita zaidi.“Naweza kusema nimefanya habari nyingi katika hayo, kuhamasisha SDGs hasa eneo la afya, watu hawana uhakika wa kupata matibabu bora ya afya, naweza kusema kama ukiwa na afya bora una uhai, kama mtu wa habari napaswa kufanya habari zinazohusiana na jamii, kutengeneza uelewa, kuwafanya viongozi wasimame katika nafasi zao, kuhakikisha tunakuwa sawa kwa sababu inatakiwa kuwe na usawa, moja ya lengo la SDGs linazungumzia usawa kwa wote, kwa hivyo, wote tunapaswa kuwa na sawa.”Ripoti ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa iliyotolewa hivi karibuni kuhusu utekelezaji wa SDGs inabainisha kuwa malengo hayo 17 yametekelezwa kwa asilimia 17 pekee ikiwa imeasalia 6 kufikia ukomo wake.

Habari za UN
Polio yathibitishwa Gaza, WHO yasema ni mtoto mwenye umri wa miezi 10

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 23, 2024 2:02


Vuta nikuvute ikiendelea Gaza kuhusu ufikishaji, usambazaji na utoaji wa chanjo dhidi ya polio wakati huu ambapo makombora yanaendelea kurindima kutoka jeshi la Israeli, hii leo shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO, limethibitisha kubainika kwa mgonjwa mmoja wa polio, ikiwa ni miaka 25 tangu ugonjwa huo utokomezwe eneo hilo. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.(Taarifa ya Assumpta Massoi)Ni kwamba tarehe 20 mwezi uliopita wa Julai, mtoto huyo mwenye umri wa miezi 10 alilazwa katika hospitali ya Al-Aqsa akiwa ana homa kali, anatapika, anahara huku akiwa hana nguvu mwilini, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa kipalestina, UNRWA katika ripoti yake ya 130 kutolewa tangu vita ianze huko Gaza, ikimulika Gaza, Ukingo wa Magharibi na Yerusalem Mashariki.Tarehe 22 Wizara ya Afya kwenye eneo linalokaliwa la Palestina likathibitisha ugonjwa wa polio virusi namba 2 kwa mtoto huyo ambaye hakuwa amepatiwa chanjo kutoka Deir al-Balah huko Gaza. Siku tatu baadaye yaani tarehe 25 Julai mtoto huyo akapooza sehemu ya chini ya mguu wake. Hivi sasa anaendelea na matibabu na hali yake ni nzuri.Uchunguzi uliofanywa na Kituo cha Marekani cha Kudhibiti na Kuzuia magonjwa, CDC ukaunganisha virusi hivyo na aina ya ile iliyobainika kwenye mazingira huko Gaza mwezi Juni mwaka huu.Sasa WHO imethibitisha kuwa ni polio ambapo Mkurugenzi Mkuu wa UNRWA Philippe Lazzarini kupitia mtandao wa X amesema “inasikitisha sana kwamba mtoto huyo amepooza kutokana na Polio. Polio haitotofautisha kati ya watoto wa Palestina na Israeli. Kuchelewecha sitisho la mapigano kwa misingi ya kiutu kutaongeza hatari ya ugonjwa huo kusambaa zaidi kwa watoto.”Awamu mbili za utoaji chanjo zimepangwa kuanza wiki zijazo na UNRWA imesema wataalamu wake wa afya na kupitia kliniki zake tembezi watasaidia usambazaji kwa ushirikiano na WHO na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF.

Jioni - Voice of America
Wadau katika juhudi za kupambana na biashara haramu ya binadamu wanasema umaskini na ufisadi unachangia ongezeko la visa hivi duniani. - Agosti 02, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 2, 2024 59:58


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Battle4Freedom
Battle4Freedom-20240731 - Zero Ethnic Divide - Not Racially Pure but Sinfully

Battle4Freedom

Play Episode Listen Later Jul 31, 2024 60:01


Zero Ethnic Divide - Not Racially Pure but SinfullyWebsite: http://www.battle4freedom.comNetwork: https://www.mojo50.comStreaming: https://www.rumble.com/Battle4Freedomhttps://www.biblegateway.com/passage/?search=Galatians+3%3A28&version=CJBGalatians 3:28there is neither Jew nor Gentile, neither slave nor freeman, neither male nor female; for in union with the Messiah Yeshua, you are all one.https://www.biblegateway.com/passage/?search=Genesis%2010&version=CJBHistorical data that is not based on race.1 Here is the genealogy of the sons of Noach — Shem, Ham and Yefet; sons were born to them after the flood.Lineage of Yefet2 The sons of Yefet were Gomer, Magog, Madai, Yavan, Tuval, Meshekh and Tiras. 3 The sons of Gomer were Ashkenaz, Rifat and Togarmah. 4 The sons of Yavan were Elishah, Tarshish, Kittim and Dodanim. 5 From these the islands of the nations were divided into their lands, each according to its language, according to their families, in their nations.Lineage of Ham6 The sons of Ham were Kush, Mitzrayim, Put and Kena'an. 7 The sons of Kush were S'va, Havilah, Savta, Ra'mah and Savt'kha. The sons of Ra'mah were Sh'va and D'dan.8 Kush fathered Nimrod, who was the first powerful ruler on earth. 9 He was a mighty hunter before Adonai — this is why people say, “Like Nimrod, a mighty hunter before Adonai.” 10 His kingdom began with Bavel, Erekh, Akkad and Kalneh, in the land of Shin'ar. 11 Ashur went out from that land and built Ninveh, the city Rechovot, Kelach, 12 and Resen between Ninveh and Kelach — that one is the great city.13 Mitzrayim fathered the Ludim, the 'Anamim, the L'havim, the Naftuchim, 14 the Patrusim, the Kasluchim (from whom came the P'lishtim) and the Kaftorim.15 Kena'an fathered Tzidon his firstborn, Het, 16 the Y'vusi, the Emori, the Girgashi, 17 the Hivi, the 'Arki, the Sini, 18 the Arvadi, the Tz'mari and the Hamati. Afterwards, the families of the Kena'ani were dispersed. 19 The border of the Kena'ani was from Tzidon, as you go toward G'rar, to 'Azah; as you go toward S'dom, 'Amora, Admah and Tzvoyim, to Lesha.20 These were the descendants of Ham, according to their families and languages, in their lands and in their nations.Lineage of Shem21 Children were also born to Shem, ancestor of all the descendants of 'Ever and older brother of Yefet. 22 The sons of Shem were 'Elam, Ashur, Arpakhshad, Lud and Aram. 23 The sons of Aram were 'Utz, Hul, Geter and Mash. 24 Arpakhshad fathered Shelach, and Shelach fathered 'Ever. 25 To 'Ever were born two sons. One was given the name Peleg [division], because during his lifetime the earth was divided. His brother's name was Yoktan. 26 Yoktan fathered Almodad, Shelef, Hatzar-Mavet, Yerach, 27 Hadoram, Uzal, Diklah, 28 'Oval, Avima'el, Sheva, 29 Ofir, Havilah and Yovav — all these were the sons of Yoktan. 30 Their territory stretched from Mesha, as you go toward S'far, to the mountain in the east.31 These were the descendants of Shem, according to their families and languages, in their lands and in their nations.32 These were the families of the sons of Noach, according to their generations, in their nations. From these the nations of the earth were divided up after the flood.

Jioni - Voice of America
Vijana wakutana kwenye bustani ya Uhuru jijini Nairobi, ili kuwaenzi wenzao waliokufa kwenye maandamano ya hivi karibuni. - Julai 07, 2024

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Jul 7, 2024 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Dr Boaz Mkumbo
Acha vyakula hivi kwa Mama anayetafuta mtoto.

Dr Boaz Mkumbo

Play Episode Listen Later Jun 15, 2024 1:23


Karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe  ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. . Karibu kupata bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN za sayansi ya mapishi,  bidhaa hizi zinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN kwa kupiga simu namba 0787 999 994.   Huduma zaetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160. Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994     Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA   Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/

Habari RFI-Ki
Nchi za Afrika Mashariki kuongeza kodi ili kupata mapato zaidi ya serikali

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Apr 24, 2024 9:53


Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya nchi za Afrika Mashariki kama vile Kenya, Uganda na Tanzania zikipendekeza mabadiliko ya sheria ili kuongeza kodi, kwa lengo la serikali kuongeza mapato

Habari RFI-Ki
Nchi za Afrika Mashariki kuongeza kodi ili kupata mapato zaidi ya serikali

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Apr 24, 2024 9:53


Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya nchi za Afrika Mashariki kama vile Kenya, Uganda na Tanzania zikipendekeza mabadiliko ya sheria ili kuongeza kodi, kwa lengo la serikali kuongeza mapato

Yeni Şafak Podcast
Ömer Lekesiz - İsrail'in Amâlika düşmanlığı Tevradî yalan ve iftira üzerine kurulmuştur

Yeni Şafak Podcast

Play Episode Listen Later Feb 24, 2024 5:15


Amâlika ile Yahudilerin Filistin / Kudüs merkezli ilişkilerine gelince: Şu hakikati tekrar iletelim: İsrailoğulları, Hz. İbrahim'in diğer oğlu Hz. İshak'ın oğlu Hz. Yakub'un oğullarıdır. Araplar doğrudan Hz. İsmail'den çoğaldıkları halde, İsrailoğulları, oğlundan (Hz. İshak'tan) değil torunundan (Hz. Yakup'tan / İsrail'den) çoğalmışlardır. Diğer bir söyleyişle Araplar Hz. İbrahim'in birinci, İsrailoğulları ise ikinci neslidir. Fakat bu ayrımda önemli olan Kur'an'ın, Hz. İsmail'i Hz. İshak'ın önüne alarak: “Yoksa siz Yakub'un, ölüm döşeğinde iken çocuklarına, ‘Benden sonra kime ibadet edeceksiniz?' dediği, onların da ‘Senin ilahına ve ataların İbrahim, İsmail ve İshak'ın ilahı olan tek bir ilaha ibadet edeceğiz; bizler O'na boyun eğmiş Müslümanlarız.' dedikleri zaman orada hazır mı bulunuyordunuz?” mealindeki ayetle (Bakara 2:133) Müslümanları tevhid bağında, ümmet / şeriat tasnifinde ve takva üstünlüğünde birleştirmiş olmasıdır İslam'daki bu tutuma karşılık, Hz. İbrahim'in kavmi olan Amorî-Amâlek kavminin, muharref Tevrat'ın Hz. Musa'ya mal edilen ilk kısmında, ailesince kurulan bir komplo ile peygamberliği kaybeden Hz. İshak'ın ikinci oğlu Esav'ın oğlu Elifaz'ın oğlu Amâlek'e mal edilmesi (Yaratılış 36:11-17) tipik tarihi yanlışlarından biri olarak öne çıkmaktadır. Çünkü Esav'ın oğlu Elifaz'ın oğullarından birine Amâlek adını vermesi atası Hz. İbrahim'in soyuna hürmeten olabilir, ki bu aile aidiyetini göstermesi bakımından daha doğrudur. Diğer bir söyleyişle Amorî-Amâlek kavmi Hz. İbrahim üzerinden Hz. İshak'ın torunu Elifaz'ın da kavmidir. Ancak Hz. Yakup ile Esav arasındaki çatışmada, Yakuboğulları'ndan olan Tevrat yazıcıları ve müfessirleri, Hz. Yakup ile oğullarının orada öne alınmasını bile yeterli görmemiş ve her fırsatta Esav'ın soyunu Kenan'ın, Musa şeriatının ve ahlakın dışına itmeye çalışmışlardır. Örneğin,“İshak'ın hayatı 180 yıldı. (…) Oğulları Esav ve Yakup onu gömdüler. Edom olarak da bilinen Esav'ın soyu bunlardır:  Esav eşlerini Kenan kızlarından seçti: Hiti (ulusundan) Elon'un kızı Ada, Hivi (ulusundan) Tsivon'un kızı Ana'nın kızı Aolivama; (ve ayrıca) İsmail'in kızı (ve) Nevayot'un kızkardeşi Basemat (ile evlendi).  Ada; Esav'a Elifaz'ı doğurdu. (…) Bu sayılanlar, Esav'ın Kenaan Ülkesi'nde doğan oğullarıdır.  Esav eşlerini, oğullarını, kızlarını, evinin tüm halkını, sürülerini, tüm hayvanlarını ve Kenan Ülkesi'nde edindiği tüm mallarını aldı ve kardeşi Yakup sebebiyle başka bir bölgeye gitti.” şeklindeki Antik Tevrat zikri (Yaratılış 35:28; 36:1-6) Tora Aftara'nın Türkçe tercümesinde şöyle açıklanmıştır:

Radio Maria Tanzania
Hivi ndivyo Sakramenti saba na zinavyo adhimishwa?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 9, 2024 51:58


Karibu katika kipindi cha ijuwe Liturujia kupitia Radio Maria Tanzania ambapo Mwezeshaji wetu Padri Dkt. Clement Kihiyo, Katibu Mtendaji Idara ya Liturujia Baraza la Maskofu Tanzania, (TEC) Anafafanua juu ya Sakramenti saba na zinavyo adhimishwa. L'articolo Hivi ndivyo Sakramenti saba na zinavyo adhimishwa? proviene da Radio Maria.

VOA Express - Voice of America
Kombe la mataifa ya Afrika-AFCON ndio gumzo kwa wapenzi wa soka barani Afrika na kwingineko hivi sasa hadi Februari 11 huko Ivory Coast. - Januari 15, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Jan 15, 2024 29:59


VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.

Habari za UN
WHO: Watu milioni 8 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na tumbaku:

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 31, 2023 0:02


Ikiwa leo ni siku ya kupinga matumizi ya tumbaku duniani shirika la Umoja wa Mataifa  la afya duniani WHO, limezitaka nchi kuacha kutoa ruzuku kwa kilimo cha tumbaku na badala yake kuunga mkono na kusaidia kilimo cha mazao endelevu yatakayoweza kulisha mamilioni ya watu wenye uhitaji wa chakula. Kupitia ujumbe wake wa siku hii mkurugenzi mkuu wa WHO Dkt. Tedros Ghebreyesus amesema “Tumbaku inawajibika kwa vifo milioni 8 kila mwaka  lakini bado serikali duniani kote zitatumia mamilioni ya dola kuunga mkono mashamba ya tumbaku. Watu duniani kote wanakabiliwa na njaa wakati ekari milioni 300 za dunia yetu zinatumika kulima tumbaku.”Akaenda mbali zaidi na kusistiza kwamba “Ni wakati wa kubadili mwelekeo wa juhudi zetu na kujikita na kilimo ambacho kinastawisha siha yetu na mazingira yetu.”Hivi sasa kwa mujibu wa WHO zaidi ya watu milioni 300 duniani kote wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kutokuwa na uhakika wa chakula wakati ambapo Zaidi ya ekari milioni 300 katika nchi zaidi ya 120 duniani zinatumika kulima tumbaku hata kwenye nchi ambazo watu wana njaa kali.WHOWHO imesema tumbaku inagharimu maisha wa watu milioni 8 kila mwaka.Dkt. Tedros amesema WHO inafanyakazi kwa karibu na mashirika mengi ya Umoja wa Mataifa likiwemo la chakula na kilimo FAO na la mpango wa chakula duniani WFP kuwasaidia wakulima kuhamia kwenye kilimo mbadala wa tumbaku kwani “kwa kuchagua kulima chakula badala ya tumbaku tutatoa kipaumbele kwa afya, kulinda mfumo wa maisha na kuimarisha uhakika wa chakula kwa wote.”Lengo la maadhimisho ya mwaka huu ni kuujulisha umma hatari za matumizi ya tumbaku, mwenendo wa biashara wa makampuni ya tumbaku, nini kinachofanywa na WHO kupambana na janga la tumbaku na nini watu duniani kote wanaweza kufanya ili kudai haki yao ya afya,  maisha yenye afya na kuvilinda vizazi vijavyo.Siku ya kupinga matumizi ya tumbaku duniani huadhimishwa kila mwaka Mei 31 na mwaka huu imebeka maudhui “Lima chakula sio tumbaku.”  

Habari za UN
Ukame: Dola bilioni 7 zinahitaji kusaidia pembe ya Afrika

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 24, 2023 0:02


Hii leo jijini New York Marekani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kwakushirikiana na nchi saba wanachama wa UN wanaendesha tukio la uchangishaji fedha lengo likiwa ni kukusanya dola bilioni 7 kwa ajili ya usaidizi wa kibinadamu kwa nchi zilizopo pembe ya Afrika. Kwa miongo kadhaa pembe ya Afrika imekuwa ikikabiliwa na ukame mkali hali iliyofanya takriban watu milioni 43.3 kuhitaji usaidizi wa kuokoa maisha na kustahimili changamoto zinazo wakabali hususan katika nchi za Kenya, Somalia na Ethiopia.Ukame umeleta njaa, kutokuwa na uhakika wa upatikanaji wa chakula na shida ya maji ambayo inachangia katika kuleta magonjwa.Hivi karibuni mvua zimeanza kunyesha, wananchi wamekuwa wakitarajia zitasaidia kupunguza changamoto zao lakini kama waswahili wasemavyo ‘ngombe wa masikini hazai' ndicho kilichotokea kwa nchi hizo kwani mvua kubwa zimeleta mafuriko na kwa mujibu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura, OCHA zaidi ya watu 900,000 wameathiriwa na mvua hizo.Mmoja wa watu hao ni Abdirahaman Ali Sheikh kutoka nchini Somalia, “Angalia hali ilivyo sasa, maji yametapakaa kwenye nyumba yangu yote na watoto wangu.”Bi. Qiyaas Axmed Farax amelazimika kuyakimbia makazi yake sababu ya mafuriko na sasa anahitaji msaada wa kibinadamu.“Tunahitaji chakula, malazi na maji, hatuna kitu, nguo zetu, vyakula na vingine vyote vimesombwa na maji. Watoto wangu walikuwa hatarini lakini namshukuru Mungu kwasasa tupo salama.”Mkutano huu wa ngazi za juu unaofanyika hapa jijini New York Marekani unatarajia kusaidia zaidi ya watu milioni 32 ikiwemo hawa waliathirika na mafuriko.Nchi saba zinazoshirikiana na Katibu Mkuu Guterres katika kendesha tukio hilo la ahadi ni Marekani, Uingereza, Qatar, Italia pamoja na nchi ambazo zinauhitaji wa haraka wa misaada hiyo ambazo ni Ethiopia, Somalia na Kenya.

Habari za UN
Mashirika wafanyia marekebisho ombi la fedha kusaidia Sudan ili kukidhi mahitaji

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 17, 2023 0:02


Mzozo nchini Sudan ukiingia mwezi wa pili, hii leo Umoja wa Mataifa na wadau wake wamefanyia marekebisho ombi la usaidizi kwa nchi hiyo na sasa linafikia dola bilioni 3 kwa ajili ya kusaidia mamilioni ya watu nchini humo na mamia ya maelfu wengine waliokimbilia nchi jirani kusaka usalama.Uzinduzi wa ombi hilo lililorekebishwa umefanywa kwa pamoja hii leo huko Geneva Uswisi na ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura, OCHA na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi duniani, UNHCR. Hivi sasa jumla ya dola bilioni 2.56 zinahitajika kwa mwaka 2023, ikiwa ni nyongeza ya dola milioni 800 kutoka miezi michache iliyopita, ili kusaidia watu milioni 18 hadi mwishoni mwa mwaka huu na hivyo kufanya ombi hili kuwa ombi kubwa zaidi kuwahi kutolewa kwa Sudan. Marekebisho hayo yanazinagatia ongezeko la mahitaji lililochochewa na mapigano yanayoendelea ambapo Mkuu wa ofisi ya OCHA mjini Geneva, Ramesh Rajasingham amewaambia waandishi wa habari kuwa, “mahitaji nchini Sudan ni ya msingi na  yamesambaa kama unavyoweza kufikiria kutokana na majanga: kulindwa dhidi ya mapigano, matibabu, chakula, maji, huduma za kujisafi, malazi na huduma dhidi ya kiwewe. Tunapata pia taarifa za ongezeko la ukatili wa kingono na waathirika hawawezi kupata huduma. Watoto wako hatarini zaidi katika janga hili linalozidi kuibuka.” Akifafanua kuhusu ombi la usaidizi kwa wakimbizi waliosaka hifadhi Jamhuri ya Afrika ya Kati, Chad, Misri, Ethiopia, Sudan Kusini na wakimbizi waliorejea nyumbani kutokana na changamoto Sudan, Kamishna Msaidizi wa UNHCR akihusika na operesheni, Raouf Mazour amesema, “hii leo tunatoa ombi la takribani dola milioni 472 ili kukidhi mahitaji ya zaidi ya watu milioni 1 katika kipindi cha miezi 6 ijayo.” Mapigano yalizuka Sudan tarehe 15 mwezi Aprili mwaka huu na hadi sasa mamia ya watu Sudan wameuawa, zaidi ya 5,000 wamejeruhiwa na mamilioni wamejificha majumbani mwao bila uwezo wa kupata huduma muhimu kama vile matibabu. UNHCR na OCHA wanasema leo hii, watu milioni 25 nchini Sudan, zaidi ya nusu ya idadi ya watu Sudan wanahitaji misaada ya kibinadamu na ulinzi. 

SBS Swahili - SBS Swahili
Nini hutokea unapo ripoti kesi ya ubakaji kwa polisi nchini Australia?

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later May 1, 2023 13:55


Nchini Australia, ukatili wakijinsia ni kosa la jinai, kama umelazimishwa, umetishwa, au umedanganywa kufanya tendo lakingono dhidi ya hiari yako, unaweza taka ripoti tendo hilo kwa polisi ili aliyefanya tendo hilo afunguliwe mashtaka. Hata hivyo, mchakato huu unaweza kuwa mgumu sana kisheria nakihisia. Hivi ndivyo unastahili tarajia.

Habari za UN
UNICEF: Sudan sitisheni mzozo hali ya watoto inazidi kuwa mbaya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 24, 2023 0:02


Msikilizaji, Usemi ambao umekuwa ukielezwa mara zote watu wanapozungumzia suala la amani ni kwamba, vita inapotokea wanaotesema ni wanawake na watoto. Kwa zaidi ya wiki moja nchi ya Sudan imekuwa katika vita ya madaraka baina ya majeshi ya nchi hiyo. Je hali ya watoto ipoje?Hata kabla ya kuanza kwa mzozo wa hivi karibuni nchini Sudan, mahitaji ya kibinadamu kwa watoto yalikuwa juu sana. Takwimu zikionesha robo tatu ya watoto walikadiriwa kuishi katika umaskini uliokithiri, na watoto milioni 11.5 na wanajamii walihitaji huduma za dharura za maji na usafi wa mazingira.Akizungumza na waandishi wa habari mwishoni mwa wiki jijini Geneva Uswisi msemaji wa Shirika la moja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF James Elder anaeleza hali ilivyo sasa.“Kwasasa tuna ripoti zinazoonesha angalau watoto 9 waliuawa na wengine 50 wamejeruhiwa. Idadi hiyo itaendelea kuongezeka maadamu mapigano yanaendelea. Lakini jambo la muhimu sana kukumbuka ni kwamba katika mapigano haya, idadi kubwa ya watu wamekwama hawawezi Kwenda kokote hivyo hawana huduma ya umeme, na wana wasiwasi wa kuishiwa chakula, maji na dawa.”Watoto waliokuwa na utapiamlo mkali kabla ya vita kuanza, walikuwa wamelazwa hospitalini hali ikoje huko?“Hivi sasa tupo katika hali ambayo misaada muhimu ya kuokoa maisha kwa zaidi ya watoto 50,000 iko hatarini, hawa ni watoto wenye utapiamlo mkali. Kwasasa watoto hawa wapo mahospitalini kwa sababu wanahali mbaya zaidi, kwa hiyo wanalishwa kwa mirija kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kulishwa, na wakati mashambulizi ya mabomu au makombora yanapoanza nje ya hospitali, watoa huduma za matibabu wanahitaji kukimbia kujificha. Halafu nini sasa kinaendelea?”Ama hakika suluhu ya haraka inahitajika ili si tu kukomesha vita bali pia kuokoa maisha ya watoto hawa na wanajamii kwa ujumla ikiwemo wafanyakazi wa misaada yakibinadamu.Tangu kuibuka kwa mapigano, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amekuwa akisema, inahitajika nguvu ya pamoja kukomesha mara moja uhasama, na pande zote zinazo zozana zinahitajika kuheshimu majukumu yao ya kimataifa ya kuwaweka watoto mbali na madhara. Na msemaji wa UNICEF anarejea wito huo wa Guterres akieleza nini kifanyike.“Nini sasa kifanyike, kwasasa ni kuendelea kukazia wito wa Katibu Mkuu kwamba inahitajika kusitishwa kwa mapigano kwa sababu mapigano yamekuwa ya kiholela na watumishi wengi na wadau wa mashirika yasiyo ya kiserikali yakiwemo mashirika ya Umoja wa Mataifa yanayotegemewa na wengi kwa sasa wamejificha, na wengine wamekwenda kwenye Mto Nile kujaribu kupata maji licha ya ukosefu wa usalama, iwe kupata maji safi na usafi wa mazingira au kupigwa na silaha za moto.”

SBS Swahili - SBS Swahili
Umepata faini? Hivi ndivyo unastahili fanya kuilipa na kuepuka madhara makubwa yakutofuata sheria

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Apr 9, 2023 10:52


Watu wengi nchini Australia hawa elewi madhara yakupuuza faini ni gani.

Habari za UN
Nimejifunza watu wenye Down Syndrome wanaweza kuishi maisha ya kawaida wakijumuishwa – Elly Kitaly

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 5, 2023 0:03


Hivi karibuni katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa umefanyika mkutano wa Siku ya Kimataifa ya Down Syndrome. Mkutano huo uliokuwa na kauli mbiu “Pamoja nasi, kwa ajili yetu” uliandaliwa na taasisi ya Down Syndrome International (DSI) kwa kushirikiana na taasisi ya The International Disability Alliance (IDA), Uwakilishi wa kudumu katika Umoja wa Mataifa wa Brazil, Japan na Poland.  Mmoja wa waliohudhuria mkutano huo ni Elly Kitaly, Mkurugenzi na Mwanzilishi wa asasi ya kijamii iitwayo Chadron's Hope Foundation inayohusika na kujenga mazingira bora kwa watu wenye hali ya Down Syndrome nchini Tanzania anaeleza aliyojifunza katika mkutao huo.  

SBS Swahili - SBS Swahili
Ujuzi wa huduma ya kwanza unaweza okoa maisha, hivi ndivyo nasehemu yakupata mafunzo nchini Australia

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Mar 7, 2023 12:00


Watu wengi huwa hawatarajii kuwa katika hali ya dharura, hadi wanapo jipata katika hali hiyo.

Habari za UN
Kulima tunalima lakini lishe bado ni changamoto tuchukue hatua- Mkulima Sarah

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 22, 2023 0:04


Jamii ya mikunde! Wengi wanaitambua zaidi kama ni kunde zenyewe, na maharagwe lakini ni zaidi ya hiyo. Kuna choroko, mbaazi, dengu, njegere na kadha wa kadha ambapo kutokana na umuhimu wake katika lishe ya binadamu, kurutubisha udongo na pia kuhimili mabadiliko ya tabianchi, ndio maana Umoja wa Mataifa unapigia chepuo.Mathalani nchini Tanzania, shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo, FAO linafadhili mradi wa AgriConnect ambao pamoja na mambo mengine  unapatia wananchi, wake kwa waume stadi za mapishi sahihi ya jamii ya mikunde.Hivi karibuni wakati wa siku ya mikunde duniani tarehe 10 mwezi huu wa Februari, FAO ilishindanisha washiriki wa mradi huo kufahamu ni nani bingwa zaidi wa mapishi ya mikunde kwa kutambua kuwa Tanzania ni mmoja wa wazalishaji wakubwa wa mikunde lakini ulaji wake bado unachangamoto. Sasa makala hii inamulika harakati za kuchagiza ulaji wa mikunde pamoja na majani yake na mwenyeji wetu ni John Kabambala wa redio washirika Kids Time FM ya Morogoro, Tanzania. Kwako John! 

Habari za UN
UN: Wanaume na wavulana jitokezeni mtokomeze FGM

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 6, 2023 0:02


Hii leo ni ikiwa ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukeketaji wa wanawake na wasichana ,Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametaka wanaume na wavulana wapaze sauti zao kusaidia kutokomeza mila hiyo potofu na hatarishi.  Ujumbe wa siku hii kwa mujibu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa, lile la kuhudumia Watoto, UNICEF na lile la afya ya uzazi na idadi ya watu duniani, UNFPA ni “Nafasi ya ubia na wanaume na wavulana katika kurekebisha maadili ya kijamii na kijinsia ili kutokomeza FGM.”  Na ndio maana katika ujumbe wake Katibu Mkuu ametanabaisha kuwa FGM imejikita katika ukosefu wa usawa kijinsia na maadili ya kijamii yanayokwamisha ushiriki wa wanawake katika uongozi, na kuwabana fursa yao ya elimu na ajira. Guterres amesema ubaguzi wa aina hii unaharibu jamii nzima na inahitajika hatua ya dharura ya jamii nzima kutokomeza. Katibu Mkuu amesema, “wanaume, wavulana — kaka, baba, wahudumu wa afya, walimu na waganga wa jadi wanaweza kuwa washirika thabiti katika kuhoji na kutokomeza janga hili, kama ambavyo maudhui ya mwaka huu yanadhihirisha. Natoa wito kwa wanaume na wavulana kokote waliko waungane nami katika kupaza sauti na kujitokeza kuondoa FGM kwa maslahi ya wote.” Amesisitiza kuwa ukeketaji wanawake na watoto wa kike ni ukiukaji wa haki za msingi za kibinadamu unaoleta madhara ya kimwili na kiakili maisha yote ya yule aliyefanyiwa n ani moja ya vitendo vinavyosongesha mfumo dume uliojikita duniani. Takwimu zinaonesha kuwa takribani Watoto wa kike milioni 4.2 duniani wako hatarini kukeketwa mwaka huu wa 2023 pekee. Ni kwa mantiki hiyo Katibu Mkuu ametaka uwekezaji wa dharura na hatua thabiti ili kufikia lengo la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs la kutokomeza kitendo hicho ifikapo mwaka 2030. Guterres ametamatisha ujumbe wake akitaka siku ya leo itumike kwa kila mtu kuahidi kuleta mabadiliko ya kijamii na kujenga ubia thabiti wa kutokomeza FGM sasa na wakati wote. Akizungumza katika mikutano mbalimbali ya ngazi ya juu hii leo mjini Dublin Ireland ikihusisha wawakilishi wa serikali na wadau wengine wa kimataifa wa elimu Yasmine Sherif mkurugenzi wa Education Cannot Wait, ECW au elimu haiwezi kusubiri amesema “Hivi sasa watoto na barubaru milioni 222 walio katika maeneo ayliyoathirika na migogoro wanahitaji haraka msaada wa elimu na zaidi ya nusu yao ni wasichana. Ni muhimu sana mfuko wa elimu haiwezi kusubiri kufandiliwa kikamilifu ili kuhakikisha wadau wetu wa kimataifa kama Plan International wanaweza kuendelea na kazi yao nyeti ya kutoa usalama, matumaini na fursa za elimu kwa wasichana na wavula walio katika hali mbaya zaidi duniani.” Bi. Sherif amesema ufadhili huo wa elimu uitasaidia kutimiza malengo ya ajenda ya mwaka 2030 ya maendeleo endelevu ikiwemo ahadi ya elimu kwa wote. Mkurugenzi Mtendaji wa kimataifa wa Plan International Stephen Omollo, aliyeambatana na Bi. Sherif katika mikutano hiyo ameongezea kuwa“Kwenda shule ni njia ya ukombozi wa maisha kwa watoto, hasa wasichana. Hata hivyo, duniani kote, watoto wananyimwa haki hii ya msingi. Tumesikia kuhusu kukaribia kupigwa marufuku kwa elimu ya wasichana nchini Afghanistan na matokeo mabaya ya hili. Lakini kunyimwa haki ya msingi ya elimu kwa wasichana kunakwenda mbali zaidi ya Afghanistan. Kuanzia Ukraine hadi Sudan Kusini, migogoro inavuruga elimu ya wasichana huku familia zikilazimika kukimbilia usalama wao na hakika, nusu ya watoto wote wakimbizi hawako shuleni, nahii si haki.” Ameendelea kusema kuwa katika nchi nyingi elimu imekatizwa kutokana na njaa au mabadiliko ya tabianchi au wakati mwingine mchanganyiko wa mjanga yote hayo, “Na wasichana wanapolazimika kuacha shule sio tu elimu yao na fursa zao zinazoathirika hususan kwa wasichana vigori wanakuwa katika hatari ya ukatili, manyanyaso, mimba za utotoni na mila zingine potofu za kikatili  kuanzia ndoa za utotoni hadi ukeketaji. "Wadau hao wa elimu wameeleza kuwa migogoro, mabadiuliko ya tabianchi na…

Habari za UN
Jamii ya Benet nchini Uganda yaiomba utaifa: UNHCR

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jan 30, 2023 0:03


Baada ya zaidi ya takriban miongo minane ya kutokuwa na utaifa, jamii ya watu wa asili ya Benet nchini Uganda inahaha kuishi, na kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR bila kuwa na nyaraka rasmi muhimu jamii hiyo haiwezi kupata huduma za msingi kama elimu na afya , na sasa jamii hiyo inaiomba serikali ya Uganda kumaliza zahma hiyo iliyowaghubika kwa miongo.Huyo ni mzee Moses Kapchekwengu mmoja wa watu wa jamii ya asili ya Benet inayoishi kwenye msitu wa mlima Elgon Uganda akisema , mtihani wao ulianza wakati Waingereza walipokuja  na walifanya eneo lao lote kuwa hifadhi ya msimu mwaka 1936 na 1937, na jamii ya Benet ikasalia bila ardhi. Moses anaendelea kusema kwamba mahali hapo ndipo walipiozaliwa na kukulia na hawa pengine wanapopaita nyumbani zaidi ya hapo, “Tulikuwa tunaishi katika ardhi hii , tanghu jadi tumekuwa tunaishi happ na watu wengine walikuwa wanaishi mbugani, mbugani ni Kusini mwa hifadhi hiyo” UNHCR inasema jamii ya Moses ni wafugaji na wamekuwa hapa kwa karne kadhaa lakini hawatambuliki kama raia. Moses anasema,  “Matatizo yakaanza kwani sasa hatukuwa na radhi tena, hatukuweza kupata chakula pia hatukuweza tena kupata fursa ya huduma nyingine za kiuchumi na kijamii kama shule, barabara na vitu vingine tangu wakati huo. Lakini sasa kibaya zaidi ni kwamba hawatutilii maanani, wametusahau.” Hivi sasa UNHCR na wadau wanafanyakazi na serikali ili kusaidia jamii kama ya Benet kwani ni dhahiri shairi kuwa bila uthibitisho wa vitambulisho hawawezi kupata huduma muhimu.  David Mande ni mratibu wa program ya jamii ya walio wachache ya watu wa wasili wa Benet anasema bila nyaraka ni mtihani mkubwa “Wakati mwingine nataka kupata fursa ya huduma mfano mkopo benki lakini siwezi kwa sababu sina kitambulisho cha taifa, wakati mwingine najiuliza na nahisi nataka kukimbia kama wengine wanavyofanya, lakini siwezi kwasababbu sina na siwezi kupata pasi ya kusafiria” Viola Kopok yeye ni mkunga wa jadi , na hana kitambulisho rasmi na kwa ajili hiyo kujikimu kimaisha ni changamoto kubwa na pia  kutoa huduma ambayo wanawake wengi wanaihitaji katika jamii yake, anasema “Hatuna fursa ya vituo vya afya hivyo kupewa rufaa Kwenda huko ni ngumu. Mungu akikubariki na kilo ya unga basi unampa mwanamke aliyejifungua, na wengi wetu hulala njaa”. Kutokuwa na utaifa kulingana na UNHCR ni hali yenye athari nyingi kwa familia na jamii kutoka vizazi hadi vizazi na mantiki hiyo inasema  jamii ya Benet ina haki ya kutambulika katika eneo hilo. 

Habari za UN
27 Desemba 2022

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 27, 2022 0:13


Hii leo katika jarida la Umoja wa Mataifa utasikia mada kwa kina kuhusu utalii endelevu nakulinda wanyamapori walio hatarini kutoweka nchini Tanzania.pia utasikia habari kwa ufupi kuhusu marufuku ya wanawake nchini Afghanistan kufanya kazi kwenye NGOs, Wakimbizi waliokwama baharini kwa mwezi mzima waokolewa na Indonesia na Wakimbizi wa ndani nchini Ukraine wapatiwa msaada katika msimu huu wa baridi. Na tukiwa bado kwenye msimu wa sikukuu, wakimbizi kutoka nchini Ukriane wanajaribu kufanya kila jitihada kuhakikisha nao wanasherehekea sikukuu hizi.Sekta ya utalii ni miongoni mwa sekta zenye mchango mkubwa katika malengo ya maendeleo endelevu SDG's huku Umoja wa Mataifa ukipigia chepuo sekta hiyo kuwa endelevu kwa maslahi ya dunia na watu wake. Nchini Tanzania vijana wanaichangamkia sekta hiyo kwanza kama chanzo cha ajira lakini pia kuchangia katika uchumi wa taifa na jamii zinazowazungukaa. Miongoni mwa vijana hao ni Steven Ngowi anayemiliki kampuni ya utalii ya NDIFO Safari, ambaye mbali ya kuwa muongoza watalii anachagia katika miradi mbalimbali ya jamii na kusaidia kuokoa wanyama walio hatarini kutoweka . Hivi karibuni alifika hapa Marekani kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia wanyama hao walio hatarini kutoweka wakiwemo tembo. Amezungumza na Flora Nducha wa na kufafanua ni kwa jinsi gani wanavyosaidia wanyama hao walio hatarini kutoweka.

Habari za UN
Mapigano Upper Nile yasababisha wakimbizi wengi wahame makwao nchini Sudan Kusini.

Habari za UN

Play Episode Listen Later Dec 7, 2022 0:02


Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema limesikitishwa na kuongezeka kwa mapigano katika jimbo la Upper Nile nchini Sudan Kusini ambayo umesababisha takriban watu 20,000 kuyahama makazi yao tangu mwezi Agosti, baadhi yao wakilazimika kukimbia hadi mara nne ili kuokoa maisha yao huku mzozo huo ukiendelea. Kwa mujibu wa taarifa ya UNHCR iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis na Juba Sudan takriban watu 3,000 tayari wamekimbilia nchi jirani ya Sudan, na hivyo kuzidisha mzozo wa wakimbizi wa Sudan Kusini, ambao ndio mkubwa zaidi barani Afrika. Mapigano yalizuka katika kijiji cha Tonga huko Upper Nile tarehe 15 Agosti 2022. Ghasia zimeenea zaidi katika jimbo la Upper Nile, sehemu za kaskazini za Jonglei na majimbo ya Unity na machafuko yanasambaa sasa katika kaunti ya Fashoda ya Upper Nile na kutishia mji wa Kodok. Mwakilishi wa UNHRC nchini Sudan Kusini Arafat Jamal amesema “Taharuki inaongezeka na watu zaidi wanakimbia wakati machafuko yakishika kasi. Raia wanashambuliwa katika mgogoro huu usio na huruma lazima tuhakikishe ulinzi wao.” Ameongeza kuwa wanawake, watoto na makundi mengine yaliyo katika hatari kubwa ndio idadi kubwa ya waliotawanywa na baadhi ya wazee na watu wenye ulemavu wameshindwa kukimbia na kulazimika kujificha porini na kando yam to Nile wakati wa mashambulizi. Kwa raia wanaokimbia UNHCR inasema ni “Dhahiri wameathirika na wameripoti mauaji, majeruhi, ukatili wa kijinsia, watu kutekwa, uporaji, unyang'anyi na uchopaji wa mali huku wengi wakisema wamepoteza nyumba zao na kutengana na familia zao.” Wakati huohuo jumuioya ya kibinadamu nchini Sudan Kusini imelaani vilaki kuendelea kwa machafuko hayo na kaimu mratibu wa masuala ya kibinadamu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya kibinadamu na misaada yad harira OCHA Peter Van der Auweraert akisistiza kwamba "Jumuiya ya kibinadamu nchini Sudan Kusini inasikitishwa na ghasia zinazoendelea ambazo zina athari mbaya kwa uwezo wa watu kuishi na maisha ya wanawake wa kawaida, wanaume na watoto na wale walio hatarini ambao tayari wameathiriwa na hali mbaya ya kibinadamu nchini humo ndio wanaoteseka zaidi.” Hivi sasa UNHCr na wadau wanaongeza juhudi za msaada wa kibinadamu na kuwafikia hata walio maeneo ya vijijini zaidi.  “Watu milioni 6.8 Sudan Kusini wanahitaji haraka msaada wa kuokoa maisha kutokana na changamoto mchanganyiko ikiwemo vita, mafuriko, kutokuwepo uhakika wa chakula na kuyumba kwa uchumi.” Na ombi la UNHCR la usaidiazi kwa taifa hilo mwaka 2022 la dola milioni 214.8 hadi kufikia Novemba mwaka huu lilikuwa limefadhiliwa kwa asilimia 46 pekee. 

High Priority
Sysamone Phaphon and Eunice Kim: Breaking Down Cannabis and the Stigmas That Surround It

High Priority

Play Episode Listen Later Nov 29, 2022 52:18


Early in the month of November, voters in Maryland and Missouri made a major statement by legalizing the recreational use of cannabis. While it is always great to see voters and lawmakers make an effort to change the way cannabis is perceived on the books, there are still a few barriers that stand between eligible consumers and the various benefits provided by the plant. Negative stereotypes, cultural perceptions and the impact of the War on Drugs have placed a negative stigma around the plant in many communities of color. Fortunately, there are innovative figures within the cannabis industry that are working to tear down this negative stigma one day at a time. In this week's episode, Sysamone Phaphon, Founder of KhuenPhu and Eunice Kim, Founder of HiVi, talk about their personal relationships with the plant, negative perceptions of cannabis within AAPI communities and their Modern Cannabis campaign. Kim and Phaphon also emphasize the importance of conscious consumption while sharing strategies to create a more inclusive cannabis community among AAPI consumers.

Habari za UN
Rwanda na UN zaadhimisha miaka 60 ya taifa hilo ndani ya Umoja wa Mataifa

Habari za UN

Play Episode Listen Later Oct 24, 2022 0:04


Serikali ya Rwanda kwa ushirikiano na Umoja wa Mataifa nchini humo wameamua kuitumia siku ya Umoja wa Mataifa hii leo kusherekea pia miaka 60 ya Rwanda tangu kujiunga rasmi na Umoja wa Mataifa mwaka 1962.  Flora Nducha wa idhaa ya kiswahili ya Umoja wa Mataifa ameshuhudia maadhimisho hayo yaliyofanyika katika hoteli ya Serena mjini Kigali ambako maadhimisho ya 60 ya Rwanda kujiunga na Umoja wa Mataifa yanafanyika.Flora ameeleza kushuhudia ukumbi ukiwa umesheheni kwa mapambo na watu mbalimbali walioalikwa kuhudhuria maadhimisho haya yaliyoandaliwa kwa pamoja na Umoja wa Mataifa na serikali ya Rwanda yakibeba maudhui “Ushirikiano kwa ajili ya mustakbali bora wa pamoja kwa wote” Miongoni mwa wageni waalikwa ni wawakilishi wa asasi za kiraia, mawaziri kutoka serikali ya Rwanda, wawakilishi wa mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa , mabalozi wa nchi mbalimbali walioko Rwanda, waku wa makampuni ya sekta binafsi  na wanazuoni. Akifungua maadhimisho hayo kwa niaba ya Umoja wa Mataifa kaimu mratibu mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini hapa ambaye pia ni mwakilishi wa shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa maendeleo UNDP Maxwell Gomera amesema  “Miaka 60 iliyopita serikali ya Rwanda ilikaribishwa kwenye Umoja wa Mataifa moja ya mashirika ya kipekee duniani, likijizatiti kutatua changamoto za pamoja kupitia ushirikiano na hatua za pamoja . Kwa kufanya hivyo serikali ilikuwa inasisitiza lengo lake la kutatua masuala ya ukosefu wa haki , kudumisha amani , usalama na afya ya wananchi miongoni mwa mengine. Miaka 28 iliyopita lengo hilo lilikabiliwa na changamoto kubwa na dunia ilishuhudia muaji mabaya zaidi ya kimbari dhidi ya Watutsi. Hivi karibuni Katibu Mkuu Antonio Guterres alitafakari wakati huo na kushindwa kwetu kama jumuiya ya kimataifa kuingilia kati kuzuia na kukomesha mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi. Ingawa hatukupitia machungu yenu, ndugu waziri tunatumai mtaturuhusu kufanya kazi nanyi katika safari yenu kuhakikisha asilani hayatatokea tena” Naye Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa wa Rwanda Vincent Biruta akizungumza kwa niaba ya serikali kwenye hafla hii amesema “Miaka 60 ya historia ya pamoja imeghubikwa na machungu lakini pia hadithi za mafanikio na mambo ya kujifunza ambayo yanatuhamasisha kuendeleza ushirikiano wetu kwa ajili ya mustakbali bora na wa pamoja kwa wote. Licha ya mazingira magumu tumejifunza kutokana na yaliyopita na tumechagua kuganga yajayo na mazuri tutakayoweza kutimiza kwa kushirikiana kikamilifu kama wanachama wa jumuiya ya kimataifa. Rwanda sasa ni taifa lililoungana na lenye maono mengi asante kwa watu wa Rwanda lakini pia asante kwa ushirikiano na jumuiya ya kimataifa na Umoja wa Mataifa ambao umechukua mtazamo wa maendeleo tangu miaka 28 iliyopita.” Sherehe hizi zimeambatana pia na mijadala kuhusu mada mbalimbali ikiwemo masuala ya ulinzi wa amani na mchango wa Rwanda kwenye operesheni za Umoja wa Mataifa, utatuzi wa migogoro na utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu SDG's. Rwanda ilijiunga rasmi kwenye Umoja wa Mataifa tarehe 18 Septemba mwaka 1962 mara tu baada ya kujinyakulia uhuru wake kutoka kwa Wabelgiji. 

Habari za UN
Tusisubiri kujenga ukuta Somalia, bali tuzibe ufa! Yasema FAO ikitaka Somalia isaidiwe sasa badala ya kusubiri hali iwe mbaya

Habari za UN

Play Episode Listen Later Aug 5, 2022 3:01


Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO limetoa ombi la dola zaidi ya dola milioni 131ili kusaidia wananchi 882,000 kutoka wilaya 55 nchini humo wenye uhitaji wa haraka wa msaada wa kuokoa maisha yao kutokana na ukame unaokabili taifa hilo la pembe ya Afrika. FAO imesema jumuiya ya kimataifa isisubiri hadi baa la njaa litangazwe nchini Somalia ndio hatua zichukuliwe na badala yake imetaka misaada ya kimkakati ianze kutolewa sasa. Leah Mushi ana habari kamili. Uti wa mgongo wa taifa la Somalia ni kilimo kinachotegemewa kwa takriban asilimia 60 kuendesha Maisha ya wananchi waweze kujipatia chakula na kile wanachouza waweze kujikimu, lakini mabadiliko ya tabianchi yaliyoleta ukame mkali nchini humo yamesababisha zaidi ya wananchi 900,000 wengi kutoka vijijini kuyakimbia makazi yao kusaka misaada katika kambi za wakimbizi wa ndani tangu mwezi Januari mwaka jana 2021 ili angalau waweze kupata chakula na kuweza kuishi. Mkurugenzi wa FAO anayehusika na dharura na mnepo Rein Paulsen hivi karibuni ametembelea nchini humo kujionea hali halisi na pia kuzungumza na wakimbizi wa ndani walio katika makambi ambao wengine wamemueleza mifugo yao imekufa sababu ya ukame na kutembea zaidi ya kilometa 100 kutafuta msaada kambini hapo. Paulsen amesema ili kutatua changamoto nchini Somalia lazima kuanza kutibu kwenye mzizi wa tatizo “Mwitio wa tatizo la njaa uanzie maeneo ya vijijini, huko ndio kwenye kitovu cha tatizo ambapojumuiya za wazalishaji wa chakula wameathirika na ukame mkali. Hatuwezi kusubiri mpaka njaa itangazwe, lazima tuchukue hatua sasa ili kusaidia watu kupata riziki na kuweza kuishi.” Akizungumzia kuhusu muitikio wa watu kuchangia misaadda ya kibinadamu amesema “Ufadhili umeendelea kuwa mdogo mpaka kufikia jana Agosti 4,2022 ni asilimia 43 pekee ya ufadhili imepatika.” Hii ikiwa saw ana asilimia 46 ya ufadhili unaohitajika nchini Simalia. Mkurugenzi huyo wa dharura wa FAO amesema kwa ufadhili waliopata mpaka sasa wameweka nguvu zaidi katika kutoa fedha taslimu ili watu waweze kununua chakula na kujikimu, kulisha mifugo yao , kuwapatia maji safi na salama na kupatia matibabu mifugo yao. “Licha ya changamoto ya uhaba wa mvua, tunahakukisha tunafikisha msaada kwa wakulima ili waweze kupanda pale inapowezekana, kilimo cha umwagiliaji kinawezekana. Hivi ndio aina za misaada ya vitendo inayohitajika”. FAO nchino Somalia imetoa ombi hilo la dola milioni 131.4  lengo kuu ikiwa ni kuongeza utoaji wa misaada vijijini ili kuwasaidia watu wasiojiweza pale walipo. “Huu ni ufanisi zaidi, ubinadamu zaidi na nilazima kwa pamoja tuongeze juhudi kwakuwa kiwango cha msaada kilichotolewa sasa hakitoshi kwahiyo tunahitaji mwitikio wa msaada kutoka katika kila sekta ili kusaidia Maisha ya watu.”  

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Taarifa ya ufafanuzi kuhusu Usafiri wa kwenda China

Tanzania Embassy Beijing Podcast

Play Episode Listen Later Jul 10, 2022 9:34


Hivi karibuni Shirika letu la Ndege la Air Tanzania limetangaza kurejesha safari ya kwenda Guangzhou nchini China kuanzia tarehe 17 Julai 2022. Kufuatia tangazo hilo Ubalozi umepokea ujumbe kutoka kwa wananchi mbalimbali hususan wafanyabiashara wakitaka kujua kama hivi sasa China imefungua mipaka yake na kwamba watanzania wataweza sasa kuja China na Air Tanzania kwa ajili ya shughuli zao.

Green Entrepreneur
How Asian-American Women Are Blazing New Paths in Cannabis

Green Entrepreneur

Play Episode Listen Later May 19, 2022 30:03


Despite stigmas, Asian American and Pacific Islanders are making a big difference in the cannabis industry. On this episode, we're joined by Eunice Kim, founder and CEO of HiVi, a digital cannabis product that matches people to the right cannabis products, and Judy Yee co-founder and CEO of K-Zen, a cannabis beverage company. They talk about why they got into cannabis and the challenges they've had to overcome.

Entrepreneur Network Podcast
How Asian-American Women Are Blazing New Paths in Cannabis

Entrepreneur Network Podcast

Play Episode Listen Later May 19, 2022 30:06


Despite stigmas, Asian American and Pacific Islanders are making a big difference in the cannabis industry. On this episode, we're joined by Eunice Kim, founder and CEO of HiVi, a digital cannabis product that matches people to the right cannabis products, and Judy Yee co-founder and CEO of K-Zen, a cannabis beverage company. They talk about why they got into cannabis and the challenges they've had to overcome.

NYLA
Language Shouldn't Be a Curse, It Should Be a Blessing

NYLA

Play Episode Listen Later Apr 13, 2022 69:46


As more and more migrants began to arrive in Lithuania, the shortage of translators became apparent. Translators from other parts of the European Union have been recruited in migrant accommodation centers to translate conversations between officials, social workers and the detainees. But in the evenings, when their working hours end and they leave home, untranslated conversations continue. Those who speak English remain responsible for ensuring that important things are translated and conversations are understood. Some of these translators are children like Hivi - a Kurdish 13 year old, who had been living in one of the detention centers with her parents for more than 6 months.  Hear Hivi's, Peri's and Salah's stories in this NARA audio documentary about people from different cultures meeting for the first time and their attempts to communicate. See more photographs and more written information here: https://nara.lt/en/articles-en/language-shouldn-t-be-a-curse-it-should-be-a-blessing Support our independent journalism: https://contribee.com/nara 

Habari za UN
Mlioko porini DRC acheni kuua ‘wakongomani' wenzenu- Askari wa zamani wa msituni

Habari za UN

Play Episode Listen Later Apr 5, 2022 3:18


Harakati za kuvunja makundi yaliyojihami nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na hatimaye askari wake kujumuishwa kwenye jamii zinaendelea kama njia mojawapo ya kusongesha amani na kupata amani ya kudumu huko upande wa mashariki mwa taifa hilo la Maziwa Makuu barani Afrika. Hivi karibuni ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO kupitia kitengo chake cha kupokonya silaha askari waliojisalimisha, kuvunja makundi na kujumuisha askari hao katika jamii, DDR ulizungumza na mmoja wa askari wanufaika wa mradi wa kufunga taa zinazotumia nishati ya jua au sola kwenye eneo la Karuba jimboni Kivu Kaskazini, kuona ni kwa vipi ushirikishwaji wa askari huyo wa zamani wa msituni kwenye mradi huo umeleta manufaa kwake na kwa jamii. John Bashali wa DDR MONUSCO mjini Goma ndiye amezungumza naye na kuleta mahojiano haya ambapo ukisikia Salopette hilo ni ovaroli au Bwelasuti kwa lugha ya kiswahili. 

Shut Up + Listen with Hope Alcocer
S2 EPISODE 1: SHUT UP + LISTEN: CALM THE F*CK DOWN IT'S JUST WEED W/ JORDAN MASSA

Shut Up + Listen with Hope Alcocer

Play Episode Listen Later Feb 1, 2022 32:09


** This Episode has an AAA...aka an AX3...aka an Armenian Aunt Advisory** What does this mean? This episode of Shut Up and Listen may include profanity, triggering topics, or content that is not appropriate for kids. TL;DR-- this may be an episode you DON'T blare in the car with your kids in the back seat. ----------- Shut Up and Listen hosted by Hope Alcocer. A 15-minute podcast with your weekly dose of inspiration + insight. We're baccccccckkkkkkkk. In the Season 2 premiere of Shut Up and Listen, Hope is chatting with female entrepreneur, badass mom, wife, and self-proclaimed pothead Jordan Massa! Jordan is the co-founder of Doja Consulting; a market research, strategy, and branding consulting company that specializes in the cannabis business and immersive & educational events. Jordan dives into her weed journey, how consumption has helped with chronic pain, and resources that can provide further education and products for all the weed connoisseurs out there. Jordan's favorite things: 1. Mary's Medicinals 2. HiVi 3. Foria Jordan has chosen to pay it forward to The Last Prisoner Project. We made this $25 donation to happily pay it forward in September 2021. Connect with Jordan via Linkedin or email jemassa@gmail.com --- Support this podcast: https://podcasters.spotify.com/pod/show/hope-alcocer/support