POPULARITY
Karibu usikilize taarifa ya habari ya saa 1:00 usiku, Mei 19 ikisomwa kwako na Martin Joseph L'articolo TAARIFA YA HABARI MEI 19, SAA 1:00 USIKU proviene da Radio Maria.
Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Frateri Barnabas Muyushi, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema naomba kujuwa historia ya Rozari ya Huruma ya Mungu na kwanini inasaliwa saa sita usiku L'articolo Ni, kwanini Rozari ya Huruma ya Mungu inasaliwa saa tisa usiku proviene da Radio Maria.
Usiku wa 13 Agosti 2004 takriban watu 166 wali uawa kikatili, na mamia kujeruhiwa ndani ya kambi ya wakimbizi ya Gatumba, Burundi.
karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. Huduma zetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160 . Karibu kuagiza chakula ambacho kimepikwa kwa kuzingatia muongozo wa sayansi ya mapishi, chakula hiki kinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza chakula kwa kupiga simu namba 0787 999 994 . Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994 Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/
Karibu ungane nami Tekla Revoctaus, katika kipindi cha Usalama Barabarani Studio tupo na Mratibu msaidizi wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Nyamagana Mwanza, Inspekta Peter Mzingwa akizungumzia juu ya Usalama wa Abiria nyakati za Usiku . L'articolo Fahamu Usalama wa Abiria nyakati za Usiku . proviene da Radio Maria.
Drumming@3:00pm est ....SiStar MyRah@4:00pm est CASH APP $MYRA MOSS 813 USIKU El Ringing Stone Network/youtube Master Teacher SiStar MyRah Super Sym/bowls I call myself an inspired self-taught Energy Master. I study Spiritual Energy. I also call myself a "Holistic" because I believe that the Key to the Universe, is the "Balance of Opposites". Anywhere you can Balance Opposites is where you complete the Spiritual Spiral and open a Vortex gaining access to the Energies of the Universe. I consider this Energy process the Formula of Creation! SI began my interest in Astrological Energies by studying All of the Signs which is how I was able to see this Holistic concept and everything else only expanded from there in a precept upon precept reality of learning. I began to break out in exposure by starting my presentations in Atlanta Georgia. I was then offered the opportunity of being a regular guest on Bro. Akanauten's radio program every 1st Tuesday of the month. I have since done presentations in Houston TX, New York, Baltimore Maryland, Indiapolis Indiana and North & South Carolina. The distribution of videos from those presentations opened me up to a National and an International clientele. I have a full source of videos on the internet as SiStar MyRah as well. I'm now in semi-retirement offering the Spiritual Card Consultations and an Astrological Energy Class Courses only. I love serving my Spiritual Family however, to assist in their recognition of each of our individual roles in contribution to a magnificant Royal Universal Purpose of Fulfilling Our Collective Spiritual Destiny in the Aquarius Age of the Evolution of Righteousness.
Drumming @3:00pm est- Usiku @4:00 ringingstonenetwork@gmail.com https://youtu.be/x-6Q1-BVqO4 Living in a Crystal Palace Family, have you ever pondered “Why the Great Spirits seeded Man on a Spinning Crystal Ball?” Quartz will produce an electric charge when heated, pressure applied or liquid ran over it. So does Earth and man have an electrical connection, via quartz, to our Ancestors, Life Path, time travel or manifestation? On August 6th, 2023 at 4 pm eastern on Blog Talk Radio's Truth2Power show, come join us, the Usiku-Dunbar group, that journeyed into the Crystal Palace at Hot Spring, Arkansas, during the 2023 Summer Solstice. Again the Usiku-Dunbar Expedition on Truth 2 Power. Call in number (323) 642-1586. “ALL MY RELATIONS”
Šodien iknedēļas informatīvi izklaidējošajā sporta raidījumā Valdis Valters ar Andri Buli priecājas par Alonso sasniegumu un dusmojas uz Fjūriju. Raidījuma tēmas: - Messi 800; - Uldriķa supergols; - EČQ; - Fjūrijs pret Usiku, Usika sieva dusmīga; - SOK; - LAT-EST līga; - Dovile Kilty; - Alonso 100 pjedestāls; - Kuriozā NBA tiesniešu kļūda; - Savickis par Dinamo; - #TautasNagla
Baadhi ya wakaaji wa jiji la Shepperton wanaendelea kupokea huduma katika vituo vya msaada, baada yamafuriko kuwalazimisha kukimbia nyumba zao.
Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya makazi duniani, ujumbe ukiwa Zingatia pengo lililoko, usimwache nyuma mtu yeyote au eneo lolote, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres anasema ukuaji wa miji lazima uende sambamba na uwekezaji siyo tu wa kuhakikisha kila mtu ana uwezo wa kupata nyumba ya kuishi bali pia huduma muhimu kama vile za kujisafi, jambo ambalo huko nchini Ghana miradi inayowezeshwa na Benki ya Dunia imesaidia kaya ambazo zamani zilisubiri choo cha umma kisicho kisafi kujisaidia sasa zina huduma hiyo majumbani. Ni kwa vipi basi, ungana na Happiness Pallangyo wa Radio washirika Uhai FM ya Tabora nchini Tanzania kwenye taarifa hii. Katika moja ya vitongoji vya mji mkuu wa Ghana, Accra, Agnes Djakwei, mfanyabiashara mdogo ambaye kutokana na ugonjwa anaonekana kwenye video ya Benki ya Dunia akijikongoja kuketi kwenye kiti ili aendelee na mapishi. Bi. Djakwei anakumbuka machungu ya ukosefu wa choo akisema, “tulipokuwa hatuna choo nyumbani, tulitumia choo cha umma kilichoko eneo la Leshie au Akpesee. Foloni ilikuwa ndefu na ilitutia hofu na tulikuwa tunalipa fedha na wakati mwingine hatuna fedha. Ndio maana watu wengine walijisaidia haja kubwa kwenye mifuko halafu wanatupa kwenye pipa la taka. Sasa pipa la taka lisipopelekwa jalalani, unabakia nalo.” Mkazi huyu wa jiji la Accra, anasema hali ilikuwa mbaya zaidi usiku, iwapo tumbo likivuruga akisema, unasali ukiomba kukuche! Kitandani unatetemeka.” Ameenda mbali akisema na hata vyoo vya umma kuna wakati ni vichafu kwa kuwe watu wengine hawasafishi kwa maji wakishatumia, na hii ni hatari kwa afya. Hata hivyo mradi wa Benki ya Dunia wa kusaidia GAMA ambayo ni mamlaka ya majisafi na majitaka ya jiji la Accra, Ghana ulileta nuru ambapo kupitia mradi huo kampuni ziliwezeshwa ujenzi wa vyoo katika jamii na kaya zikachangia gharama kidogo. Sasa Bi. Djakwei ana choo nyumbani kwake na anasema, sasa hivi hatuko tena kwenye hatari ya magonjwa. Tunashukuru Mungu tuna choo nyumbani. Ukiugua tumbo, huna wasiwasi. Unaamka unaenda chooni na kutoka. Ni choo chako, unakitumia na kukisafisha mara kwa mara. Ni vema kila kaya kuwa na choo chake. Nashauri kila kaya iweke akiba ya fedha na hatimaye iwe na choo nyumbani.” TAGS: Siku ya Makazi, Huduma ya Choo, Ghana, Benki ya Dunia
Do you know that Blockchain, crypto and Web3 are used very differently in Africa to the rest of the world. There is no better proof of that then, when it comes to mobile payments, countries like Kenya lead the rest of the world. Today I have with me Jay Shapiro, who is the founder of Pan Africa Gaming Group and Usiku games. He has worked all around the world and he is currently based in Kenya where he is creating a DAO or a collection of African gaming companies across the continent. I got to learn so much about the African gaming market from this conversation and I can see why Jay is so bullish about the African continent. So if you would like to uncover the opportunities and want a glimpse of the future then this episode is for you. We not only talk about how Africa is going to change the world but also Some other things we discuss in this podcast are Gaming in philippines Pay to Earn gaming Growth of mobile and smartphones Farming Automation Cardano And much more… You can connect with Jay, PAGG and Usiku Games here. https://pagg.group/ https://usiku.games/ https://www.linkedin.com/in/jayshapiro/ https://twitter.com/J_Shapiro Join our Web3 Discord community - "https://discord.gg/2eJ7DVGcx6" It is free for only the first 100 members, after that entry will be only for people who hold a speaker badge NFT from this podcast. Connect with me here - https://twitter.com/samkamani About sponsor of the podcast - Moonstream.to Moonstream makes tools that help you build, manage, and secure your blockchain economy. Moonstream has handled over $3B in transaction value to date. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/web3podcast/message
Wakenya wanapokaribia kupiga kura agosti 9 mwaka huu , kampuni ya Usiku Games imezindua mchezo wa kompyuta wa elimu ya uraia ili kuwasaidia wapiga kura nchini humo kufanya maamuzi sahihi kuhusu viongozi watakaowachagua katika uchaguzi mkuu ujao.
Join Usiku El and Shaman DULI talk about healing medicine and survival YOU ARE THE MEDICINE bit.ly/interdimensionaljourney May Day Survivalist Campout: Camping, Foraging, Qigong, Archery, Indigenous Medicine, Firecrafting, Fishing, Teaching Spiritual Healing, Rituals, Nature's Medicine, Psychic Surgery, and more. Friday April 29 - Sunday May 1, 2022 Atlanta Date: April 26 - May 2, 2022 www.lynxsurvivalish.com Email DULI: lovemotherearth33@gmail.com
Bro.Rice and Bro.Usiku will discuss how to work our way through this economic maze.
Bro. Rice and Usiku Jicho El will join Ron March and Beverly D to discuss UCC-1, understanding the code, Birth Certificate and more......Listen and Learn.