Podcasts about njia

  • 54PODCASTS
  • 153EPISODES
  • 32mAVG DURATION
  • 1EPISODE EVERY OTHER WEEK
  • May 7, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about njia

Latest podcast episodes about njia

Habari RFI-Ki
News Zealand kudhibiti mitandao ya kijamii kwa watoto

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 7, 2025 9:55


 Shaba ya makala haya inalenga news Zealand ambapo serikali inapendekeza marufuku ya matumizi ya mitandao kwa watoto walio na umri wa chini ya miaka 16, lengo likiwa kuwakinga dhidi ya athari za mitandao. Njia gani wazazi wa kiafrika wanaweza kuwalinda watoto na mitandao ya kijamii? Ndilo swali tumeuuliza na haya hapa baadhi ya maoni yako, skiza makala haya.

Habari RFI-Ki
News Zealand kudhibiti mitandao ya kijamii kwa watoto

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later May 7, 2025 9:55


 Shaba ya makala haya inalenga news Zealand ambapo serikali inapendekeza marufuku ya matumizi ya mitandao kwa watoto walio na umri wa chini ya miaka 16, lengo likiwa kuwakinga dhidi ya athari za mitandao. Njia gani wazazi wa kiafrika wanaweza kuwalinda watoto na mitandao ya kijamii? Ndilo swali tumeuuliza na haya hapa baadhi ya maoni yako, skiza makala haya.

Radio Maria Tanzania
Ifahamu njia ya kutambua hazina ya neno kipindi cha Kwaresima.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 15, 2025 53:09


Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S,Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno. L'articolo Ifahamu njia ya kutambua hazina ya neno kipindi cha Kwaresima. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unatambua njia msingi ya kuishi na kutambua hazina ya neno?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 14, 2025 53:59


Ungana nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akizungumzia juu ya njia ya kuishi na kutambua hazina ya neno. L'articolo Je, unatambua njia msingi ya kuishi na kutambua hazina ya neno? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu Kwaresima ni njia ya kutambua neno la Mungu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 9, 2025 54:34


Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno. L'articolo Je, unafahamu Kwaresima ni njia ya kutambua neno la Mungu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Ni kwa namna gani vituo vya njia ya Msalaba vimeshiriki katika kutetea Uhai wa Binadamu.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Apr 2, 2025 53:44


Karibu uungane nami Elizabeth Masanja katika kipindi cha Pro-Life, leo Studio niko na wawezeshaji kutoka Pro Life Tanzania, wakitufundisha juu ya Kwaresma na Uhai wa Binadamu.  L'articolo Ni kwa namna gani vituo vya njia ya Msalaba vimeshiriki katika kutetea Uhai wa Binadamu. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Fahamu njia za kumtangaza mtu kufikia Utakatifu

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Feb 12, 2025 56:41


Ungana na Padre Titus Amigu, Mtaalamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu Katoliki Mwanza katika kipindi cha Ujumbe wa Biblia, leo anaeleza juu ya L'articolo Fahamu njia za kumtangaza mtu kufikia Utakatifu proviene da Radio Maria.

biblia radio maria njia fahamu ungana ujumbe chuo kikuu
Habari RFI-Ki
Athari za Donald Trump kusitisha misaada kwa Afrika na njia mbadala kujitegemea

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jan 30, 2025 10:01


Uamuzi wa Rais wa Marekani #DonaldTrump, kuagiza kusitishwa kwa muda utowaji wa misaada yote ya kigeni umeibua mjadala na sintofahamu hasa kwa nchi za Afrika, ambazo sekta muhimu ikiwemo afya zinategemea msaada wa Marekani.Tulimuuliwa msikilizaji anazungumziaje hatua hii ya Marekani na Nchi za Afrika zifanye nini kuacha kutegemea misaada ya nchi za Kigeni?

Habari RFI-Ki
Athari za Donald Trump kusitisha misaada kwa Afrika na njia mbadala kujitegemea

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Jan 30, 2025 10:01


Uamuzi wa Rais wa Marekani #DonaldTrump, kuagiza kusitishwa kwa muda utowaji wa misaada yote ya kigeni umeibua mjadala na sintofahamu hasa kwa nchi za Afrika, ambazo sekta muhimu ikiwemo afya zinategemea msaada wa Marekani.Tulimuuliwa msikilizaji anazungumziaje hatua hii ya Marekani na Nchi za Afrika zifanye nini kuacha kutegemea misaada ya nchi za Kigeni?

Radio Maria Tanzania
Fahamu mambo muhimu ya kumlea kijana katika njia bora.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jan 21, 2025 51:57


Ungana nami Martin Joseph, katika Kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu  Wawezeshaji ni Wakufunzi kutoka Familia bora katika Nyumba Aminifu, wakiendelea kutufundisha  Changamoto za Malezi  ya Watoto na Vijana katika Ulimwengu wa leo. L'articolo Fahamu mambo muhimu ya kumlea kijana katika njia bora. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, ni njia gani zinazotumika kudumisha virutubisho katika chakula?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jan 20, 2025 60:12


Karibu uungane nami Joyce Jonatus, katika kipindi cha Chakula na Lishe Mwezeshaji Bi. Fatma Juma na Bi. Nusura Salumu, Maafisa Lishe Watafiti  kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNS)  mada ni Namna bora ya uuandaji wa chakula ili kutunza Virutubishi L'articolo Je, ni njia gani zinazotumika kudumisha virutubisho katika chakula? proviene da Radio Maria.

Wimbi la Siasa
Tanzania: Mbowe na Lissu wakiweka CHADEMA njia panda

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later Jan 8, 2025 10:11


Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA, kitawachagua vongozi wa ngazi ya juu wa chama hicho, Januari tarehe 21. Kibarua kigumu kipo kwenye ushindani wa nafasi ya Mwenyekiti.Freeman Mbowe ambaye amekuwa akiongoza chama hicho kwa zaidi ya miaka 20 na Makamu wake Tundu Lissu, ni miongoni mwa watia nia waliojitosa kupambania nafasi hiyo.Wawili hao wameendelea kutupiana maneno makali, na kuzua hofu kuhusu hatima ya chama hicho baada ya uchaguzi huo. Thomas Kibwana ni mchambuzi wa siasa za Tanzania, akiwa jijini Dar es salaam, anachambua kwa kina.

Siha Njema
Kupanga uzazi kwa kutumia njia za homoni na ile ya Kitanzi -Matatizo ya Afya kwa Wanawake

Siha Njema

Play Episode Listen Later Dec 24, 2024 10:03


Kwenye awamu yetu ya Kwanza tuliangazia njia za asilia walizokuwa wanatumia nyanya zetu kabla ya sayansi kuingia.Tukataja njia ya Kalenda,mipira ya kondomu na kumwaga mbegu za kiume nje ya njia ya uzazi almaarufu Withdrawal.Hivyo basi kwenye sehemu hii ya pili tutaangazia njia za homoni na zisizo za homoni na  ambazo asilimia kubwa ya wanawake wanatumia.Kama vile vidonge, vipandikizi ,sindano, na IUD.

Radio Maria Tanzania
Kwanini Sala ni njia ya kuboresha Maisha ya Familia?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Dec 17, 2024 50:58


Karibu uungane nami John Samky katika kipindi cha Familia Bora na Nyumba Aminifu, Wawezeshaji ni Federika Bayaga, Paschal Maziku, Melania Maziku, Benedict Kessy, Benjamini Wasonga, Liliani Wasonga na Katekista Castory Matimla, wakitufundisha juu ya kumalizia nyumba kwa kujenga Familia Bora na Nyumba Aminifu. L'articolo Kwanini Sala ni njia ya kuboresha Maisha ya Familia? proviene da Radio Maria.

Siha Njema
Uzazi wa mpango kwa njia asilia

Siha Njema

Play Episode Listen Later Dec 17, 2024 9:42


Makala  haya yanaangazia upangaji kupanga uzazi, na jinsi linavyohusiana na afya ya mwanamke. Kupanga uzazi ni sehemu muhimu ya afya, kwani husaidia wanawake kudhibiti idadi ya watoto wanapokuwa nayo, na pia ina athari kubwa katika afya yao ya kimwili na kihisia.

Radio Maria Tanzania
Fahamu njia rahisi ya kujisajili na mfuko wa bima ya Taifa (NHIF) kwa Wanafunzi.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Nov 21, 2024 51:05


Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Elimu Jamii, Mwezeshaji ni Dkt. Raphael Malaba, Meneja wa Mfuko wa Bima ya Taifa (NHIF) Mkoa wa Kinondoni, akitufundisha juu ya matumizi ya mifumo katika usajili wa Wanafunzi. L'articolo Fahamu njia rahisi ya kujisajili na mfuko wa bima ya Taifa (NHIF) kwa Wanafunzi. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu njia salama ya kuendesha Gari Barabarani?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Nov 11, 2024 57:59


Ungana nami Martin Joseph, Katika Kipindi cha Usalama Barabarani Kutoka Studio za Radio Maria Tanzania leo tupo na Afande Michael Deleli, Kamishina Msaidizi wa Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, ikiwa mada ni endesha salama ufike salama. L'articolo Je, wafahamu njia salama ya kuendesha Gari Barabarani? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, unafahamu Utakatifu kwa njia ya toba na msamaha?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Oct 24, 2024 54:25


Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Fahamu wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Jimbo Kuu la Dar es salaam, akitufundisha juu ya Utakatifu na msamaha. L'articolo Je, unafahamu Utakatifu kwa njia ya toba na msamaha? proviene da Radio Maria.

Alfajiri - Voice of America
Zaidi ya wahamjiaji 900 waingia Uingereza kwa siku moja wakitokea Ufaransa kwa njia ya bahari. - Oktoba 07, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Oct 7, 2024 30:00


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Radio Maria Tanzania
Je, Kanisa linapendekeza njia gani sahihi za kuleta mapatano ulimwenguni?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 26, 2024 24:52


Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, tukiungana na Frateri Emilian Samson Mahinya, kutoka Parokia ya Mtakatifu Petro Mtume Ndaga, Jimbo Kuu la Mbeya, akijibu swali hili Je, Kanisa linapendekeza njia gani sahihi zenye kuweza kuleta mapatano kwani kumekuwa na ongezeko kubwa la vita ulimwenguni, lakini pia katika Familia na Jamii zetu kumekuwa na maugomvi, […] L'articolo Je, Kanisa linapendekeza njia gani sahihi za kuleta mapatano ulimwenguni? proviene da Radio Maria.

Habari za UN
Viongozi wajadili ongezeko la kina cha baharí; UNEP Tanzania yaonesha njia

Habari za UN

Play Episode Listen Later Sep 25, 2024 1:53


Viongozi wa dunia wakiendelea kuhutubia kwenye Mjadala Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa hapa New York, Marekani, kandoni kunafanyika Mkutano wa Ngazi ya Juu  ukimulika madhara ya ongezeko la kina baharí  kutokana na kina cha baharí. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akihutubia viongozi wa dunia amewataka wachukue hatua za kijasiri kunusuru maisha na mbinu za kujipatia vipato kwa watu zaidi ya milioni 900 wanaoishi uwanda wa chini wa pwani ulio hatarini kuzama kutokana na kina cha baharí kuongezeka.Kwa Tanzania Umoja wa Mataifa umeanza kuchukua hatua kama unavyosikia kutoka kwa Clara Makenya, Mwakilishi wa shirika la UN la Mataifa la Mazingira, UNEP nchini humo huku tukipata ufafanuzi wa madhara ya ongezeko la kina cha baharí kwenye eneo lao kutoka kwa Segule Segule, Mkurugenzi wa Bodi ya Maji Bonde la Maji Pangani 

Radio Maria Tanzania
Fahamu Wito wa Utakatifu kwa njia ya Toba na Msamaha.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Sep 24, 2024 56:36


Karibu uungane nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Fahamu Wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi OFMCap, kutoka Jimbo Kuu la Arusha, akiendelea kutufundisha juu ya Wito wa Utakatifu kupitia Toba na Msamaha. L'articolo Fahamu Wito wa Utakatifu kwa njia ya Toba na Msamaha. proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu njia ya Msalaba kwa Ekaristi Takatifu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Aug 29, 2024 55:52


Karibu ungane nami Esther Magai Hangu, katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi  leo tupo na Padre Deodatus Katunzi Mkurugenzi wa Radio Mbiu sauti ya Faraja kutoka Jimbo katoliki Bukoba, akiendelea kutufundisha juu ya Ekaristi Takatifu na kama maandalizi ya Kongamano la Kitaifa Hija ya Ekarisiti Takaifu . L'articolo Je, wafahamu njia ya Msalaba kwa Ekaristi Takatifu? proviene da Radio Maria.

Radio Maria Tanzania
Je, wafahamu Njia za kuingia Ufalme wa Mbingu?

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later Jul 2, 2024 22:41


Karibu ungane na Frateri Desderius Mwambaluka, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu la Songea, katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, akijibu swali la Msiklizaji likihoji, nini maana ya maneno haya ni rahisi zaidi ngamia kupenya tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu. studio Raymond Karega. L'articolo Je, wafahamu Njia za kuingia Ufalme wa Mbingu? proviene da Radio Maria.

VOA Express - Voice of America
Mwanaharakati wa kupambana na matumizi ya dawa za kulevya kwa jamii anaeleza njia wanazotumia kuwahamasisha vijana kuepukana na janga hili. - Juni 26, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 26, 2024 29:59


VOA Express pia inafuatilia kwa karibu sana maswala yanayovuma katika mitandao ya kijamii kama sehemu moja muhimu ya upashanaji habari siku hizi.

Dr Boaz Mkumbo
Njia ya kuepuka maumivu ya hedhi

Dr Boaz Mkumbo

Play Episode Listen Later Jun 24, 2024 27:38


Karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe  ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. . Karibu kupata bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN za sayansi ya mapishi,  bidhaa hizi zinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN kwa kupiga simu namba 0787 999 994.   Huduma zaetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160. Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994     Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA   Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/

Dr Boaz Mkumbo
Njia za kujikinga na magonjwa sugu.

Dr Boaz Mkumbo

Play Episode Listen Later Jun 11, 2024 1:25


Karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe  ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. . Karibu kupata bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN za sayansi ya mapishi,  bidhaa hizi zinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN kwa kupiga simu namba 0787 999 994.   Huduma zaetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160. Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994     Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA   Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/

Dr Boaz Mkumbo
Njia saba za kurudisha nguvu za kiume

Dr Boaz Mkumbo

Play Episode Listen Later Jun 8, 2024 33:18


Katika Epsod hii Dr. Boaz ameeleza kuhusu njia saba za kuzingatia zitakazomsaidia mtu mwenye matatizo ya nguvu za kiume kurudisha nguvu za kiume, hisia za tendo la ndoa, uwezo wa kutungisha mimba na kudhibiti matatizo ya mvurugiko wa homoni.   Karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe  ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. Karibu kupata bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN za sayansi ya mapishi,  bidhaa hizi zinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza bidhaa za DR. BOAZ KITCHEN kwa kupiga simu namba 0787 999 994 . Huduma zaetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160. Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994     Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA   Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/

Radio Maria Tanzania
Fahamu njia za kupinga ukatili dhidi ya Wazee.

Radio Maria Tanzania

Play Episode Listen Later May 31, 2024


Karibu ungane nami Mtangazaji wako Ester Magai Hangu, katika kipindi cha Elimu Jamii, Studio nipo na Bi. Millen Makundi, Mratibu wa dawati la Wazee Halmashauri ya jiji la Dar es salaam, leo anatufundisha kupinga ukatili dhidi ya Wazee. L'articolo Fahamu njia za kupinga ukatili dhidi ya Wazee. proviene da Radio Maria.

Wimbi la Siasa
Chama tawala nchini Kenya, kwenye njia panda migawanyiko ikishuhudiwa

Wimbi la Siasa

Play Episode Listen Later May 31, 2024 9:38


Nchini Kenya, malumbano ya kisiasa yameanza kushuhudiwa kati ya rais William Ruto na naibu wake Rigathi Gachagua, malumbano hayo yametokana na tofauti za kisiasa kuelekea uchaguzi wa mwaka 2027. Kuna hofu kwamba wandani wa rais William Ruto wanawatumia wabunge vijana kutoka ngome ya naibu rais kumtatiza kisiasa hili likiibua malumbano makli ya kisiasa nchini Kenya.Benson Wakoli hapa anachambua swala hili na mchambuzi wa siasa Felix Arego.

Alfajiri - Voice of America
White House yatathmini njia za kutoa hadhi ya muda na vibali kwa wahamiaji wanaoishi kinyume cha sheria - Mei 07, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later May 7, 2024 30:00


White House yatathmini njia za kutoa hadhi ya muda na vibali kwa wahamiaji wanaoishi kinyume cha sheria

VOA Express - Voice of America
Changamoto ya vijana kutaka kuingia kwenye sekta ya burudani kama njia ya kujiajiri - Mei 02, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later May 2, 2024 29:59


Habari RFI-Ki
Marekani kupendekeza suluhu kuhusu mzozo wa mashariki mwa DRC kwa njia ya mazungumzo

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Apr 23, 2024 9:52


Habari RFI-Ki
Marekani kupendekeza suluhu kuhusu mzozo wa mashariki mwa DRC kwa njia ya mazungumzo

Habari RFI-Ki

Play Episode Listen Later Apr 23, 2024 9:52


VOA Express - Voice of America
Je ni njia ipi inayofaa zaidi katika kutoa ushauri nasaha? Ni ya moja kwa moja au ya kimitandao? Mtaalam atoa maoni. - Aprili 22, 2024

VOA Express - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 22, 2024 29:59


VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake.

Alfajiri - Voice of America
Israel yafungua njia zaidi za misaada kwa Wapalestina muda mfupi baada ya mazungumzo ya simu kati ya Biden na Netanyahu - Aprili 05, 2024

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Apr 5, 2024 29:59


Dr Boaz Mkumbo
Njia ya kuhesabu mzunguko wa hedhi salama.

Dr Boaz Mkumbo

Play Episode Listen Later Apr 3, 2024 12:02


Katika epsod hii imeeleza njia zitakazomksaidia mwanamke kuweza kuhesabu mzunguko wake wa hedhi ili kujua kama yupo kwenye mzunguko salama.   Karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe  ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. Huduma zetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160 . Karibu kuagiza chakula ambacho kimepikwa kwa kuzingatia muongozo wa sayansi ya mapishi, chakula hiki kinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza chakula kwa kupiga simu namba 0787 999 994 . Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994     Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA   Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/  

Dr Boaz Mkumbo
Njia za kujikinga na ugonjwa wa saratani (cancer)

Dr Boaz Mkumbo

Play Episode Listen Later Mar 29, 2024 67:20


Katika epsod hii DR. BOAZ  MKUMBO ametoa elimu juu ya ugonjwa wa saratani (cancer) na njia za kujikinga ili usipate ugonjwa huo kupitia mafunzo ya Sayansi ya Mapishi.   Karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe  ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. Huduma zetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160 . Karibu kuagiza chakula ambacho kimepikwa kwa kuzingatia muongozo wa sayansi ya mapishi, chakula hiki kinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza chakula kwa kupiga simu namba 0787 999 994 . Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994     Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA   Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/

Dr Boaz Mkumbo
Njia salama na rahisi za kuondoa sumu mwilini.

Dr Boaz Mkumbo

Play Episode Listen Later Mar 27, 2024 6:17


Katika epsod hii DR. BOAZ  MKUMBO amefundisha njia rahisi za kuondoa sumu mwili bila kuumiza mwili wako.   Karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe  ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. Huduma zetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160 . Karibu kuagiza chakula ambacho kimepikwa kwa kuzingatia muongozo wa sayansi ya mapishi, chakula hiki kinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza chakula kwa kupiga simu namba 0787 999 994 . Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994     Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZO LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA   Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/

Dr Boaz Mkumbo
Njia 3 za uhakika za kudhibiti kisukari

Dr Boaz Mkumbo

Play Episode Listen Later Mar 18, 2024 25:19


Katika epsod hii DR. BOAZ amefundisha njia tatu za uhakika za kudhibiti ugonjwa wa kisukari ndani ya muda mfupi.   Karibu sana NSAMBO HEALTHCARE kupata huduma za matibabu kwa magonjwa ya lishe  ikiwemo Ugumba, mvurugiko wa Homoni na ukosefu wa hisia za tendo la ndoa, kisukari, shinikizo la damu, kitambi na uzito mkubwa n.k. Huduma zetu NSAMBO HEALTHCARE ni kuazia saa nne asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni au weka miasi ya kuonana na daktari kwa kupiga simu namba 0767 030 160 . Karibu kuagiza chakula ambacho kimepikwa kwa kuzingatia muongozo wa sayansi ya mapishi, chakula hiki kinamfaa mtu yoyote mwenye magonjwa ya lishe na yule anayependa kula kiafya. Agiza chakula kwa kupiga simu namba 0787 999 994 . Jiunge na programu ya kupunguza kitambi na uzito mkubwa ya NHC WAEIGHTLOSS BOOT CAMP Fuata Taratibu hizi za Malipo ili kujiunga. TIGO PESA LIPA NO: 7780779 MPESA LIPA NO: 5567920 JINA: HEALTHY EATING COMPANY LIMITED Ukisha Lipia Nitumie SMS, EMAIL na MAJINA YAKO kwenye meseji Moja usajili Uanze Leo na Masomo Utumiwe Leo Leo. Namba ya Whatsapp Ya Kutuma Taarifa zako: 0767 030 160 AU WASILIANA NASI SIMU: +255767 074 124 +225787 999 994     Usisahahu KUSUBCRIBE kwa elimu zaidi kuhusu magonjwa ya lishe kama vile KISUKARI KITAMBI NA UZITO MKUBWA SHINIKIZON LA DAMU (PRESHA) MVURUGIKO WA HOMONI UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TEZI DUME MAGONJWA YA GOITA   Tufuatilie katika mitandao ya kijamii INSTAGRAM https://www.instagram.com/sayansiyama... https://www.instagram.com/nsambohealt... FACEBOOK https://www.facebook.com/drboazmkumboMD BLOG https://blog.heaprogram.co.tz/ WEBSITE https://heaprogram.co.tz/ http://nsambohealthcare.tilda.ws/

Jioni - Voice of America
Wananchi wa Chad wafanya kura ya maoni kuhusu marekebisho ya katiba, kama njia ya kupunguza taharuki za kisiasa. - Desemba 17, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Dec 17, 2023 29:59


Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.

Jioni - Voice of America
Ujumbe wa ECOWAS wawasili Niger kujaribu kumaliza mzozo kwa njia ya amani - Agosti 19, 2023

Jioni - Voice of America

Play Episode Listen Later Aug 19, 2023 29:59


Alfajiri - Voice of America
Upinzani nchini Kenya unasema Rais William Ruto ametumia njia za nguvu kupitia wabunge wake kupitisha mswada wa fedha wa 2023 wenye utata - Juni 23, 2023

Alfajiri - Voice of America

Play Episode Listen Later Jun 23, 2023 29:59


Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.

Habari za UN
Kuna haja ya kusaka amani kwa njia ya majadiliano, lasema Baraza la usalama la UN wakiwa ziarani nchini DRC

Habari za UN

Play Episode Listen Later Mar 10, 2023 0:02


Ujumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa umewasili nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC , ikiwa ni sehemu ya ziara ya kikazi ya kutathmini hali ya usalama na utekelezaji wa majukumu ya vikosi vya umoja wa mataifa vya kulinda mamani nchini humo MONUSCO. Mara tu baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa jijini Kinshasa, bwana Nicolas de Rivière, Balozi wa kudumu wa Ufaransa kwenye Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa makundi yenye silaha, vyovyote vile yalivyo, lazima yasitishe operesheni zao ili kushiriki katika mchakato wa amani, “Ni wakati muhimu wakuchukua hatua na kwamba vikundi vyote vyenye silaha, kwa hali yao lazima visitishe shughuli zao na washiriki katika mchakato wa kisiasa. Naomba makundi ya kigeni yajiondoe na makundi yanayoungwa mkono na mataifa ya kigeni pia yajiondoe ili hatimaye amani irejee katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo”.Ujumbe huo umekuja nchini DRC wakati kukitarajiwa kuwa na uchaguzi mkuu wa raisi pamoja na wabunge mwezi decembe mwaka huu huku bwana Michel Xavier Biang Balozi wa Gabon kwenye Umoja wa Mataifa akisisitiza lazima uchaguzi huo uwe wa haki, wa uwazi na salama, “ Tuko katika mwaka ambao utakuwa mwaka wa uchaguzi, ujumbe wetu ni wakuhimiza wanasiasa wa pande zote kushiriki katika mchakato wa uchaguzi ambao ni wa uwazi, na wa kuaminika kwa mujibu wa Katiba ya DRC na sheria ya uchaguzi. Tuko hapa kuunga mkono hatua ya MONUSCO na kukumbusha kwamba MONUSCO ni sehemu ya fursa ya suluhu”.Wajumbe hao watakutana na watu kutoka tabaka mbali mbali ikiwemo mashirika ya kiraia na Rais wa DRC Félix Tshisekedi jijini Kinshasa na baadae watakwenda mjini Goma jimboni Kivu Kaskazini, ambako mapigano yamezidi kurindima kwa miezi kadhaa sasa kati ya jeshi la serikali na kundi la wanamkambo wa M23. 

Habari za UN
Matumizi ya maji kwa njia endelevu yahitajika

Habari za UN

Play Episode Listen Later Feb 22, 2023 0:01


Ni wakati kufikiria upya jinsi ya kutumia maji kwa njia endelevu na yenye uwiano huku ubunifu katika kilimo ukiwa kitovu cha mipango yote,  amesema Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo, FAO limesema  Qu Dongyu hii leo wakati akizungumza na viongozi na wataalamu wa Afrika kwenye warsha ya kwanza ya kikanda kuhusu mwelekeo wa matumizi ya maji barani Afrika, warsha inayofanyika nchini Zimbabwe.Mkutano huo ni wa siku tatu na leo ikiwa ni ufunguzi ulioleta viongozi wa ngazi ya juu, Bwana Qu amesema Mikakati ya Kitaifa kuhusu mwelekeo wa matumizi yam aji itasaidia kuimarisha mbinu za usimamizi wa maji ambazo ni muhimu katika kutatua changamoto nyingi zinazozingira kwenye matumizi ya maji, na hivyo kusaidia kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu ifikapo mwaka 2030. Amesema maji ni moja ya rasilimali adhimu duniani na ni kitovu cha mafanikio ya ajenda 2030 kwa sababu “maij ni chakula, chakula ni maji, chakula ni uhai. Zaidi ya asilimia 95 ya chakula tunachokula kinazalishwa kutoka ardhini, kutoka kwenye udongo na maji. Lakini bado tunakabiliwa na changamoto kubwa za maji: ukame na uhaba wa maji, mafuriko na uchafuzi wa vyanzo vya maji.” Ametanabaisha kuwa ni dhahiri janga la tabianchi linaongeza ukali wa ukame na mafuriko ambavyo vyote vina madhara kwenye uzalishaji wa chakula. Mkurugenzi Mkuu huyo amesema kilimo kikitumia asilimia 70 ya maji duniani ni lazima sasa kutumia ubunifu kusaka mbinu za matumizi ya maji kwa tija kwa kuwa uzalishaji zaidi unahitaij maji zaidi. Majawabu kama vile usimamizi endelevu wa matumizi ya udongo, kuzuia mvurugano wa matumizi ya maji na pia kuhifadhi tabianchi. 

Habari za UN
Hatua zahitajika kunusuru wakimbizi watokanao na madhara ya tabianchi.

Habari za UN

Play Episode Listen Later Nov 16, 2022 0:02


Endapo uwekezaji wa haraka hautofanyika katika njia za kupambana na mabadiliko ya tabianchi na kujenga mnepo katika nchi za Sahel, basi kuna hatari ya kuwa na miongo ya vita vya silaha na watu kuendelea kutawanywa vinavyochochewa na ongezeko la joto duniani , uhaba wa rasilimali na kutokuwa na uhakika wa chakula limeonya leo shirika la Umoja wa Mastaifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR kwa kushirikiana na mratibu maalum wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya maendeleo. Flora Nducha na taarifa zaidi.Kwa mujibu wa ripoti iliyochapishwa leo, na kupewa jina "Kuhama kutoka kwenye hatua hadi vitendo: kutarajia maeneo yenye hatari Sahel", bila kudhibitiwa, dharura ya mabadiliko ya tabianchi itahatarisha zaidi jamii za watu wa Sahel kwani mafuriko makubwa, ukame, na mawimbi ya joto huathiri ufikiaji wa huduma muhimu kama maji, chakula na kujipatia riziki, na kuongeza hatari ya migogoro.  Na hii hatimaye itawalazimisha watu wengi zaidi kukimbia makazi yao. Mratibu maalum wa Umoja wa Mataifa wa maendeleo katika ukanda wa Sahel Abdoulaye Mar Dieye amesema "Katika eneo la Sahel, mgogoro wa mabadiliko ya tabianchi unachanganyika na kuongezeka kwa ukosefu wa utulivu na kiwango cha chini cha uwekezaji wa maendeleo, na hivyo kuunda mchanganyiko hatari ambao unazitoza gharama kubwa sana  jamii za Saheli, pamoja na kuhatarisha kufikiwa kwa malengo ya maendeleo endelevu, SDGs. Kuna suluhu, zinazojikita katika uharaka wa watu na uwekezaji kwa kiwango kikubwa, lakini zinahitaji kujizatiti na kujitolea kutoka kwa kila mtu, pamoja na takwimu sahihi na uchambuzi kujua nini kinakuja ili kutekeleza hatua za kisera haraka na zenye athari nzutri." Naye mshauri maalumu wa UNHCR wa hatua dhidi ya mabadiliko ya tabianchi Andrew Harper. Amesema "Ongezeko la joto na hali mbaya ya hewa katika ukanda wa Sahel vinazidisha vita vya silaha, ambavyo tayari vinaharibu maisha, vinaathiri uhakika wa chakula, na kusababisha watu kuyahama makazi yao. Njia pekee inayoweza kusaidia kukabiliana na hali hii na kupunguza matokeo ya sasa na ya siku za usoni ni juhudi za pamoja za kupambana na kujenga mnepo dhidi ya mabadiliko ya tabianchi.” Ameongeza kuwa hata kukiwa na sera kabambe za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi hali ya joto katika ukanda wa Sahel inatabiriwa kupanda hadi kufikia nyuzi joto 2.5°C na ifikapo 2080  ikiwa hatua za haraka zitachelewa zaidi, basi joto linaweza kuongezeka hadi kufika nyuzi joto 4.3°C. Ripoti hiyo imezimulika nchi 10 za Afrika Magharibi na  Kati ambazo ni Burkina Faso, Cameroon, Chad, Gambia, Guniea, Mali, Mauritania, Niger, Nigeria na Senegal. 

Habari za UN
28 JULAI 2022

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jul 28, 2022 14:02


Leo ni siku ya homa ya ini duniani! Hivyo tunakuletea jarida maalum linaloangazia kwa undani aina, maambukizi na vipi mtu anaweza kujikinga asipate homa ya ini ambayo shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO linasema zaidi ya wakazi milioni 91 barani Afrika wanaishi nao hususan aina B au C ambayo ni mbaya zaidi. WHO inasema iwapo homa ya ini haitagunduliwa mapema unaweza kupata saratani au kansa ya ini. Je kuna aina ngapi ya homa ya ini? Homa Kali ya ini ni ipi ambayo imegunduliwa sasa? Njia za maambukiz ini zipi? Na nini ufanye uweze kujikinga? Leah Mushi wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa, na Evarist Mapesa wa Radio washirika SAUT FM ya Mwanza Tanzania wanakuletea kwa kina. Shukrani ikiwa ni kwa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa, UNIC Dar es Salaam nchini Tanzania kwa kuratibu mahojiano na maafisa kutoka Wizara ya Afya Tanzania na shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO nchini Tanzania. Karibu na mwenyeji wako ni Assumpta Massoi.

Authentically Detroit
Back to Black: The African World Festival Returns to Hart Plaza with Njia Kai

Authentically Detroit

Play Episode Listen Later Jul 13, 2022 61:43


Having a place that validates your existence is essential to community building. In order to prepare ourselves for a mutually beneficial future, we must come together and acknowledge the cyclical nature of our world.  That's the philosophy of art lover, public space activator, and event curator Njia Kai. On this episode Donna, Orlando, and Njia discuss Charles H. Wright African World Festival's return to Hart Plaza. Njia gives an in depth look at the festival's history and its significance to the Detroit community. The festival's 39th installment takes place from July 15th-17th. Hot Takes Links:Detroit urges calm in response to city's first monkeypox caseDetroit advocates call for more transparency around city's new water affordability plan

SBS Swahili - SBS Swahili
Kenya yaongoza njia kuhifadhi joto la chanjo

SBS Swahili - SBS Swahili

Play Episode Listen Later Jul 12, 2022 7:01


Moja ya matatizo makubwa yakupata chanjo ya UVIKO-19 katika maeneo ya vijiji, vya nchi zinazo endelea niku hifadhi chanjo hizo kwenye joto sahihi.

Habari za UN
Neno la Wiki-Njia panda ilimshinda fisi

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 16, 2022 1:13


Katika kujifunza Kiswahili, mchambuzi wetu Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali "NJIA PANDA ILIMSHINDA FISI”