Podcasts about harambee stars

  • 13PODCASTS
  • 20EPISODES
  • 41mAVG DURATION
  • 1MONTHLY NEW EPISODE
  • Mar 2, 2025LATEST

POPULARITY

20172018201920202021202220232024


Best podcasts about harambee stars

Latest podcast episodes about harambee stars

Jukwaa la Michezo
Misri, Morocco,Tunisia zang'ara mashindano ya tenisi ya vijana chini ya miaka 14

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Mar 2, 2025 23:46


Tuliyokuandalia hii leo ni pâmoja na matokeo ya mashindano ya tenisi ya vijana barani Afrika chini ya miaka 14, kocha mpya wa Kenya ni nani, matokeo ya mechi za kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika kwa kina dada, timu sita kushiriki ligi ya Afrika ya basketboli kwa mara ya kwanza, huku Afrika Kusini ikijiandaa kutuma ombi rasmi la kuandaa mkondo mmoja wa F1 na Jose Mourinho apata afueni baada ya adhabu yake kupunguzwa.

Jukwaa la Michezo
Droo ya CHAN 2024: Kenya yapangwa kundi gumu zaidi, mashindano ya Agosti 2025

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Jan 18, 2025 23:53


Kipindi cha leo kimeangazia pakubwa droo ya mashindano ya CHAN 2024; adhari ya kuahirishwa kwa kipute na uchambuzi wa makundi. Pia tumetupia jicho raundi ya sita hatua ya makundi mechi za klabu bingwa Afrika, fainali ya mashindano mapya ya wasichana U17, Shujaa yataja kikosi chake cha mkondo wa Perth 7s, Kipchoge akilenga taji la tano la London Marathon, Tyson Fury astaafu ndondi kwa mara ya pili pamoja na mashindano ya tenisi ya Australian Open yakiingia hatua ya robo fainali. Kulingana na droo iliyofanyika Jumatano usiku katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Kenyatta (KICC) jijini Nairobi nchini Kenya, Harambee Stars imepangwa katika 'kundi la kifo' ambapo itamenyana na mabingwa mara mbili Morocco (2018 na 2020) na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (2009 na 2016)."Tuko kwenye kundi la kifo," Mariga alikiri, akibainisha uimara wa wapinzani wao."Hizo ni timu kubwa na inamaanisha lazima tuweke juhudi zaidi katika maandalizi."“Wapinzani wetu ni wagumu, tutashiriki mashindano haya kwa mara ya kwanza lakini haijalishi. Tuna wachezaji wazuri ambao wanaweza kutoa changamoto,” alijibu Kenneth Muguna, mmoja wa wachezaji muhimu katika kikosi cha sasa cha Harambee Stars.Pia katika Kundi A kuna Zambia na Angola. Kenya itakuwa mwenyeji wa mashindano haya yanayofanyika kila baada ya miaka miwili kwa wachezaji wa nyumbani pamoja na Tanzania na Uganda.Wenyeji wenza Tanzania wako katika Kundi B ambapo watamenyana na Madagascar, Mauritania, Burkina Faso na Jamhuri ya Afrika ya Kati.“Tusichukulie kundi hili kama jepesi, sisi kama wenyeji lazima tujitayarishe vyema ili tupite awamu ya makundi na hata kushinda kombe, “ alisema rais wa shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) Wallace Karia.Uganda wataongoza Kundi C ambapo watamenyana na Niger na nchi mbili ambazo zitatinga hatua ya mwisho ya mchujo. Mabingwa watetezi Senegal wataanzisha tena uhasama na Nigeria katika kundi D, ambayo pia ina Sudan na Kongo.“Tumecheza dhidi ya Guinea na Niger mara kadhaa, tunajua wanavyocheza. Tumefuzu mara ya nane mashindano haya, na hatujawahi kuaga mashindano kwenye makundi,” alieleza kwa msisimko Moses Magogo, rais wa shirikisho la soka (FUFA) nchini Uganda. Michuano hiyo yenye timu 19 ambayo awali ilipangwa kufanyika Februari 1 hadi 28, iliahirishwa hadi Agosti mwaka huu. Wasaidizi wa droo hiyo walikuwa wachezaji wa zamani - McDonald Mariga wa Kenya, Mrisho Ngasa wa Tanzania na Hassan Wasswa wa Uganda huku mkurugenzi wa mashindano wa CAF, Samson Adamu akisimamia mchakato wa droo.Katika ujumbe wake wa video kabla ya droo hiyo, rais wa CAF Patrice Motsepe alitoa shukrani zake kwa marais William Ruto (Kenya), Samia Suluhu Hassan (Tanzania) na Yoweri Museveni (Uganda) kwa ushirikiano wao kuhakikisha mashindano hayo yanafanyika kwa mafanikio."Ukarabati wa viwanja, viwanja vya kufanyia mazoezi, miundombinu, hoteli na hospitali katika nchi hizo tatu unaonyesha maendeleo makubwa na motisha, iliyodhihirika wakati wa ziara yangu," ujumbe wake Motsepe ulibainisha."Lengo lilikuwa kuunganisha mataifa matatu ya Afrika Mashariki, pamoja na mengine kutoka sehemu mbalimbali za Afrika."Waziri wa Michezo nchini Kenya Salim Mvurya alipamba hafla hiyo pamoja na wenzake kutoka Uganda na Tanzania, Peter Ogwang na profesa Palamagamba John Aidan Mwaluko.Droo KamiliKundi A: Kenya, Morocco, Angola, DR Kongo, ZambiaKundi B: Tanzania, Madagascar, Mauritania, Burkina Faso, Jamhuri ya Afrika ya KatiKundi C: Uganda, Niger, Guinea, Q2, Q1Kundi D: Senegal, Kongo, Sudan, Nigeria

Jukwaa la Michezo
BAL2024: Petro de Luanda yaibuka na taji la Ligi ya Basketboli barani Afrika

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later Jun 1, 2024 23:55


Tuliyokuandalia ni pamoja na uchambuzi wa fainali ya Ligi ya Basketboli Afrika mwaka huu, matokeo ya Diamond League mkondo wa Oslo na mchujo wa raga duniani, uchambuzi wa vikosi vya Afrika Mashariki na Kati kuelekea mechi za kufuzu Kombe la Dunia la mwaka 2026, uchambuzi wa Fainali ya Klabu bingwa Ulaya (Dortmund dhidi ya Real Madrid) na matokeo ya French Open huku Ronaldo akitokwa na machozi baada ya kupoteza fainali ya Saudi Kings Cup

Jukwaa la Michezo
DRC: Sebastian Desabre arefusha mkataba wake kama kocha wa timu ya taifa

Jukwaa la Michezo

Play Episode Listen Later May 25, 2024 23:46


Tuliyokuandalia ni pamoja na uchambuzi wa fainali ya Klabu bingwa Afrika, Tanzania waibuka na kombe la shule za upili afrika mchezo wa soka, fainali za ligi ya basketboli kuanza nchini Rwanda wakati makocha wa Kenya na Uganda wataja vikosi vyao kufuzu Kombe la Dunia na matokeo ya Ligi za ulaya.

Capital FM
Harry Kane's trophy cabinet remains suspiciously empty with Schwaz Tim Babz and Blaise | 3AsidePod

Capital FM

Play Episode Listen Later Mar 30, 2023 84:54


In this episode, we're diving deep into the latest news and happenings in the world of soccer. We start by discussing the current situation of Harry Kane and Tottenham Hotspur FC, and whether the international break will impact their performance in the upcoming matches. We also touch upon some interesting topics such as Mariga's recent achievements, Chelsea's form, Bayern Munich's dominance, and Liverpool and Man United's chances in the EPL. And of course, we can't forget to mention our beloved Harambee Stars, and their prospects for the upcoming matches.

Gol Bezan
Highlights: Iran 1 - 1 Russia | Preview: Iran vs. Kenya

Gol Bezan

Play Episode Listen Later Mar 25, 2023 18:50


Highlights of Iran 1 - 1 Russia at Azadi Stadium, goals coming from Anton Miranchuk and Mehdi Taremi, both from the penalty spot. Previewing Iran vs. Kenya on March 28th at Azadi Stadium (see times below) host Arya Allahverdi speaks with Kenyan sports journalist Eric Njiru of https://the-star.co.ke/sports who gave his thoughts on the match between Team Melli and Harambee Stars, and what we can expect from the Kenyan national team. Chapters: 00:00 - Intro 01:22 - Highlights: Iran 1 - 1 Russia 04:22 - Interview: Eric Njiru - Kenyan sports journalist 18:56 - Outro Match Info: Ranking: Iran (24), Kenya (101) Time: 8:30 PM (Tehran), 6:00 PM (London), 7:00 PM (Berlin), 1:00 PM (New York), 10:00 AM (Los Angeles) Follow us on social media @GolBezan, leave a like/review & subscribe on the platform you listen on - YouTube, Spotify, Apple Podcasts, Google Podcasts, SoundCloud, Amazon, Castbox. Host: Arya Allahverdi Guest: Eric Njiru Editor: Samson Tamijani Graphic: Mahdi Javanbakhsh Intro Music: CASPIAN by ASADI instagram.com/dannyasadi smarturl.it/CASPIAN Outro Music: K!DMO instagram.com/kidmo.foreal Highlights: youtube.com/@shoottv9896 Arya - twitter.com/Arya_Allahverdi Eric - twitter.com/EricNjiiru Samson - twitter.com/713Samson Mahdi - twitter.com/mativsh twitter.com/GolBezan twitter.com/GolBezanFarsi instagram.com/GolBezan facebook.com/GolBezanPodcast tiktok.com/@golbezan patreon.com/GolBezan

Mantalk.ke
A soldier lives many lives

Mantalk.ke

Play Episode Listen Later Mar 31, 2022 65:55


Season 9's epic season finale is a powerful conversation between the boys and David Etale, a veteran of the UK military service, a former footballer in Kenya's national team, the Harambee Stars and a motivational speaker. His story takes them through the hardship of an athlete in Kenya, the life of a criminal and finding yourself through the adversity and discipline of military service. So ends an epic season! We hope you enjoy this episode half as much as we enjoyed making it! The beautiful location Kofisi: https://kofisi.africa/ Find David: https://instagram.com/daveetale?utm_medium=copy_link Follow Mantalk.ke: https://linktr.ee/Mantalk Find Oscar: https://instagram.com/oscar_d_koome?utm_medium=copy_link Find Eli: https://instagram.com/elimwenda?utm_medium=copy_link

On the Whistle
“In Kenya Abnormal Is Normal” Says Former Captain

On the Whistle

Play Episode Listen Later Sep 28, 2021 28:20


Former Kenya captain Musa Otieno opens up about what's holding the Harambee Stars back for success on the international stage, his successful career in Cape Town, and how his foundation is focussing on youth development.Host: Courtney Freese (Former PSL winner)Guest: Musa Otieno (Former Kenya captain)WhatsAapp Get in touch on WhatsApp - +447908 790 474YouTubeWatch us here - On The Whistle Podcast: https://bit.ly/35gKucxSocial MediaFacebook: On The Whistle PodcastInstagram: @otw_podcast / @sportsguyzaynTwitter: @otw_podcast / @sportsguyzaynEpisode Notes01:00 – Getting an opportunity to move Cape Town as a young man 06:30 – Winning major trophies with Santos, SA's sabre-toothed minnows12:30 – Politicians using football to advance careers to the detriment of the Kenyan game18:30 – A foundation focussing on giving back to the youth22:45 – Otieno on wages: “There's nothing in Kenyan football.” Duration: 28:20 See acast.com/privacy for privacy and opt-out information.

On the Whistle
Kenyan Legend Musa Otieno's Favourite memories

On the Whistle

Play Episode Listen Later Sep 14, 2021 3:40


In this bitesize edition we speak with former Kenyan captain Musa Otieno about his career highlights. The Harambee Stars legend talked about being on the field with “magician” Jay-Jay Okocha, and marking El Hadji Diouf at the 2004 AFCON, and we also hear about his love for Ugali. Look out for the full interview dropping in a few weeks. Host: Courtney Freese Guest: Musa Otieno (former Kenya captain) WhatsAapp Get in touch on WhatsApp - +447908 790 474YouTubeWatch us here - On The Whistle Podcast: https://bit.ly/35gKucxSocial MediaFacebook: On The Whistle PodcastInstagram: @otw_podcast / @sportsguyzaynTwitter: @otw_podcast / @sportsguyzayn Episode Notes00:00 – "Football feeds my family"00:45 – Fish and Ugali still whets the appetite02:00 – Jay-Jay Okocha “a magician”03:00 – The future of Kenya footballDuration: 03:40 See acast.com/privacy for privacy and opt-out information.

Bonga ball
Will Harambee Stars Proceed To The Next Round of The World Cup Qualifier

Bonga ball

Play Episode Listen Later Sep 8, 2021 56:31


A squad of such potential and an influx of talent should perform better.We therefore look into how Kenya National Team can improve their performances on the pitch and what went wrong in their 2 games vs Rwanda and Uganda.

TDO Podcast
Harambee Stars and an International Break Roundup

TDO Podcast

Play Episode Listen Later Nov 21, 2020 41:34


State of Harambee Stars, where do we go from here? A breakdown and roundup of the international fixtures.

Sport On
Daily Nation Reporter in Kenya Elias Makori

Sport On

Play Episode Listen Later Jun 30, 2020 7:30


SAfm — Elias Makori of Daily Nation in Kenya gave us an update on Harambee Stars legend Musa Otieno health after the reports that he was hospitalised. Guest: Elias Makori - Daily Nation Reporter(Kenya)

kenya reporter safm harambee stars
Planet Sport Football Africa
07 Dec: Kenya's Eric Johana & Did Messi deserve to win the Ballon d’Or?

Planet Sport Football Africa

Play Episode Listen Later Dec 6, 2019 29:29


On this week’s show we ask if Lionel Messi deserved to win the Ballon D’Or award, and if Sadio Mane deserved better than fourth place. As Egyptian giants Zamalek fire yet another coach, take a look at the club and what’s next for coach Micho. Lots on the EPL too, with Liverpool still in control. And as we near the end of 2019, we’re going through our archive and this week we hear from Kenya’s Eric Johana, who helped the Harambee Stars to the AFCON, and he talks about life in Sweden.

Planet Sport Football Africa
07 Dec: Kenya's Eric Johana & Did Messi deserve to win the Ballon d'Or?

Planet Sport Football Africa

Play Episode Listen Later Dec 6, 2019 29:29


On this week's show we ask if Lionel Messi deserved to win the Ballon D'Or award, and if Sadio Mane deserved better than fourth place. As Egyptian giants Zamalek fire yet another coach, take a look at the club and what's next for coach Micho. Lots on the EPL too, with Liverpool still in control. And as we near the end of 2019, we're going through our archive and this week we hear from Kenya's Eric Johana, who helped the Harambee Stars to the AFCON, and he talks about life in Sweden.

Planet Sport Football Africa
03 Jul: Egyptian Dream - Day 13- Wrapping up the AFCON groups & Kenya's Eric Johana

Planet Sport Football Africa

Play Episode Listen Later Jul 3, 2019 15:10


On today’s show we wrap up the final games in the group stage, plus hear from Harambee Stars midfielder Eric Johana ⚽️

Planet Sport Football Africa
03 Jul: Egyptian Dream - Day 13- Wrapping up the AFCON groups & Kenya's Eric Johana

Planet Sport Football Africa

Play Episode Listen Later Jul 3, 2019 15:10


On today's show we wrap up the final games in the group stage, plus hear from Harambee Stars midfielder Eric Johana ⚽️

What Is This
EP37: LSD, School Dropouts, Religion and Ethic's Hype (feat Sir M, Njagi and Mich)

What Is This

Play Episode Listen Later Jun 27, 2019 98:42


This week, Victor and Pepper are joined by Sir M to discuss his new single Sikufeel ft Darya Kish. They are also joined by friends of the show, Njagi and Mich. They discuss the dominant rise of Ethic and their general effect on the Kenyan industry. They also talk about, the ongoing Africa Cup of Nations where Kenya is represented by Harambee Stars among other things. ENJOY AND LEAVE YOUR RATINGS AND REVIEWS . Follow What is This Instagram: https://www.instagram.com/whatisthispod/ Twitter: https://twitter.com/whatisthispod Anchor: https://anchor.fm/whatsthis All previous episodes here: https://lnk.bio/97zA Subscribe to the podcast on iTunes: https://itunes.apple.com/ke/podcast/what-is-this/id1378080206?mt=2

Africa Rise and Shine
Africa Rise and Shine

Africa Rise and Shine

Play Episode Listen Later Feb 20, 2018 59:22


TOP STORIES ON AFRICA RISE AND SHINE THIS HOUR... *** Zimbabweans bid farewell to late opposition leader Morgan Tsvangirai.... *** Fierce debate erupts over land expropriation in South Africa..... *** Aid agencies warn of worsening humanitarian crisis in the DRC.... *** In Economics: Isuzu Motors launch business operations in South Africa... *** And In Sports: Paul Put resigns as coach of Kenya's Harambee Stars…

Africa Rise and Shine
Africa Rise and Shine

Africa Rise and Shine

Play Episode Listen Later Nov 8, 2016 59:54


TOP STORIES ON AFRICA RISE AND SHINE THIS HOUR... *** Americans go to the polls today to elect their new president... *** International Criminal Court faces more criticism from Africa..... *** South African president Jacob Zuma faces a no-confidence motion... *** In Economics: Telkom Kenya mulls investing in multiple fibre optic cable...... *** And Sports: Kenya's Harambee Stars coach selects 12 foreign-based players for friendly matches....

Hail Hail Media
Beyond the Waves 16 March, 2013

Hail Hail Media

Play Episode Listen Later Mar 16, 2013 116:18


Today Graham was all by his lonesome and tried to put that magical result into words. We also welcomed Collins Okinyo, a journalist from Kenya to talk about the future prospects for Victor Wanyama, Efe Ambrose as well as African football in general. Some great callers joined us as well to round out the show. We hope you enjoy it. Hail Hail and Keep the Faith.