POPULARITY
Sono sempre più numerosi i brand africani che si stanno affacciando sul mercato, proponendo un concetto moda nuovo, che crea un mix inedito di tradizione e innovazione. Partirà da qui la rivoluzione dello stile dei prossimi anni?Ne ho parlato con Francesca De Gottardo, founder del brand Endelea, che tra Italia e Tanzania propone un concetto di moda etica che fonde in maniera perfetta questi due mondi.
Wanajumuia wa Mulembe wanao ishi mjini Melbourne, wali wakilishwa kwa fahari nakupokewa vyema katika tamasha ya African Music Festival 2023 mjini Melbourne, Victoria.
Msiwe na hofu. Msiogope. Msikubali kurudi nyuma katika imani. Unayoyaona na kupitia sasa yatapita. Wewe ni mshindi zaidi ya washindi. Nitakuwezesha kushinda yote na kustahimili. Tia bidii. Usife moyo mbali Endelea. Hallelujah. Glory be to God.
Endelea kusonga mbele katika kile ambacho Mungu amekuitia kufanya kwa kujifunza jinsi ya kushinda woga na kupata uhuru katika Kristo.
Kundi la vijana kutoka jamii yenye asili ya Jamhuri yakidemokrasia ya Congo wanao ishi mjini Sydney, lina ongeza kasi ya maandalizi kwa mashindano ya mchezo wa mpira wa miguu ya mwisho wa mwaka.
Wiki hii mpango wakurejea salama shuleni kwa wanafunzi na walimu pamoja na pendekezo la waendesha magari ya kazi wachanga ndani ya viwanda, ilikuwa moja yamalengo makuu ya baraza lamawaziri wakitaifa, wakati Australia imefikia takwimu zingine za kesi za Uviko.
Tanzania Mfanya Biashara Odari Ulimwenguni Bw. Ombeni Pallangyo- AKA- OPMOYOSAFI Amekuwa Mtanzania wa Kwanza Kuomba kibali cha kulima bangi halali Tanzania nakuhuza katika masoko ya nje ya Nchi. Endelea kufualia - ARUMERU VOICE TV YouTube NA FACEBOOK
“Ujasiri wangu wa kuendeleza kipaji changu umewahamasisha wasichana wengine chipukizi kuingia katika sanaa hii ya upakaji rangi na uchoraji”, ni kauli ya Dorothy Kiprop raia wa Kenya muhitimu wa chuo kikuu mwenye umri wa miaka 24. Msichana huyu kupitia mahojiano yaliyofanywa na Mwadishi wetu wa Kenya Jason Nyakundi, anatoa maoni anatoa ushauri kwa wasichana chipukizi ili waweze kuondoa pengo la usawa wa kijinsia katika kazi zinazoonekana kuwa za kiume katika jamii.
Migogoro yakikabila inayo endelea katika jimbo la Kusini Kivu, Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, ina endelea kuzua wasiwasi katika jamii kadhaa nchini Australia.
Francesca de Gottardo è CEO e co-founder di Endelea, startup di moda etica a metà tra l'Italia e la Tanzania.Con Endelea sta portando la cultura del fare impresa in Tanzania, insegnando un lavoro alle persone del posto: creare bellissimi abiti con tessuti africani, ed insegnando ad essere imprenditori, con l'obiettivo di diffondere questa cultura sul territorio, impattando sull'intero ecosistema socio economico del paese.
Imekuwa wiki nyingine yenye matukio mengi katika ukanda wa Mashariki na Afrika ya Kati.
Microsoft ameamua kufanya maboresho kwenye Outlook ili kuweza kupambana na soko la email hasa ukilinganisha Gmail mwaka huu pia ilifanyiwa maboresho na Google katika kuipa nafasi nzuri ya kiushindani katika kipindi hiki ambacho watu Google na Microsoft zinashindana kuhakikisha zinapata watumiaji wengi. Maboresho hayo ni kuzuia "Reply to all" isilete kero endapo ukiwa kwenye email yenye watu wengi; Outlook mails zitaweza kutuma email baadae kutokana na muda utakaopendelea (Send Later option); na pia Outlook inaweza kukupa mawazo ya sentensi za kujibu kuendana na email ilivyo ili ikurahisishie kujibu email haraka endapo ukiwa una shughuli nyingine za kufanya. Endelea kufuatilia Podcast hii ya Swahili Tek kupata taarifa nyingi na updates mbalimbali za Teknolojia. Karibu sana!!!
Hii ni Episode ya kwanza kutoka kwa mwaka 2020, ambapo Kenedy The Remedy Podcast amefanya mazungumzo machache na Victor George katika kuleta elimu ya maisha na kugusa elimu na maisha yetu kwa Ujumla. Endelea kuifurahia Podcast hii, ikiwa ni mojawapo kati ya Podcast mpya za Kiswahili zinazoshika nafasi kubwa sana kwenye Podcasts. Usisahau Ku-subscribe channel hii ili kupata Eposide nyingi kuhusu vijana na maisha. Asante sana!!!
Neema ni uwezesho wa kiungu unaomuwezesha mtu kushiriki na kufurahia yale mema yote ambayo yesu Kristo amekwisha kuyafanya kwa niaba ya huyo mtu, unapoamua kushirikiana pamoja na Mwalimu Huruma Gadi katika kumuwezesha kuitetea injili na kuhubiri Injili na kuithibitisha Injili unakuwa mshiriki wa Neema iliyoko katika maisha ya Mwalimu Huruma Gadi. Endelea kujifunza umuhimu wa maono na partnership katika maisha ya mkristo.
Tutakusanyika mbele za Bwana tutaimba na kushangilia. Kama Yesu asingekufa msalabani safari yake ingekuwa bure. Maana angeishia kuponya watu na ingekuwa bure tu. Kama asingekufa na akafufuka ingekuwa shida sana. Biblia inasema ulitokea ubishi juu ya kiama ya wafu ule ubishi ulileta mtengano katika dini ya wayahudi na ukatengeneza dini ya masadukayo. Ugomvi wao ulikuwa ni imani yao juu ya kiama ya wafu. Huo ubishi ukaletea mgawanyo mpaka ndani ya kanisa wakati ambao watu wameanza kuokoka. Ilibidi Roho Mtakatifu amsemeshe Paulo aandike barua kwa Wakorintho ili wajue kuwa kama Kristo hakufufuka imani yetu ni bure maana yake haina faida. Kama Kristo hakufufuka tumekuwa masikini kuliko watu wote ambao tunamtegemea Bwana. Kama Kristo amefufuka tunajua na sisi kwamba atatufufua. Kwa sababu hiyo anasema ni tumaini lenye baraka kama ambavyo Tito alivyoandika. Endelea kuimba wimbo huo “Wateule wote tutakusanyika” Wimbo huu ukuandae kufanya sala ya toba. Kama uliokoka ukarudi nyuma rudi tena kwa Mungu. Pia kama unajua kabisa Yesu akija leo huna uhakika kama utaenda nae rudi kwa Bwana. Siku moja nilikuwa kwenye ndege mimi na Rubani mmoja. Tulikuwa wawili tu. Akaniambia akipata shida je ntafanyeje. Basi akaanza kunionesha namna ya kushika usukani wa ndege na namna ya kuendesha ndege. Akanionesha mpaka namna ya kutumia breki za ndege. Sasa nikatazama chini, niliona kulivyo mbali sana. Pia nikaona namna tunavyopita mawinguni. Ghafla nikakumbuka “mstari kuwa tutakusanyika kumlaki Bwana Mungu mawinguni”. Yule Rubani alikuwa kaokoka Nikamwambia kuwa ikipigwa tarumbeta ya kuondoka na Yesu akija hapa kutunyakua tutaenda naye na hii ndege itajijua itakakoenda. Lakini kama Mungu anataka tubaki tutabaki. Ni hatari sana kukaa dakika moja mahali na hujui kama Yesu akitokea hapa utaenda naye. Ni hatari sana kwa sababu Yesu yupo, hata kama huamini kama Yupo. Wainjilisti huwa wanatuambia kuwa kama utaamini Yesu yupo hutakuwa na hasara kama usipomkuta ila utakuwa na hasara sana kama utaamini hayupo halafu ukamkuta. Shida ya wengi wanataka waishi mpaka watakapokuwa wazee ile saa wanakaribia kufa ndipo wanatafuta mchungaji waokoke. Kijana wetu Joshua alikufa akiwa mdogo na wenzake wakaniuliza swali “Baba kwanini Mungu alimchukua Joshua akiwa bado mdogo sana wakati biblia inasema kuwa tunaweza kuishi miaka 70 na tukiwa na nguvu miaka 80. Sasa kwa nini Yeye amekufa mapema sana”. Nikawaambia ni kwa sababu mnasoma mstari mmoja tu. Biblia inasema nitakushibisha kwa wingi wa siku. Unaweza ukaishi miaka zaidi ya 80 au ukaishi chini ya hiyo miaka. Anayesema nimeshiba sio yule mgawaji wa chakula bali ni yule anayekula. Nikawaambia kitu kingine kuwa maisha ya mtu ni kitabu kila siku ni ukurasa. Ndio maana biblia inasema Mungu anatangaza mwisho tangu mwanzo. Kwa hiyo ukiona umezaliwa basi ujue kuwa Mungu alifika mwisho ndipo akaruhusu ukazaliwa na ukaanza kitabu chako cha maisha. Kuna maisha ambayo ni sura maana unaona kabisa hapa kuna ukurasa umeisha hapa ila unajua si ukurasa tu bali ni awamu ya maisha imeisha. Kila mwanadamu anayo hiyo. Mungu amendika siku zetu na ndiyo maana mtunga zaburi anasema Mungu naomba nisaidie kuzijua siku zangu. Kuna vitabu vingine vina kurasa chache sana na ni vitabu vitamu sana. Mwandishi hakuwa na sababu ya kuandika kitabu kikubwa wakati alichokuwa anatakiwa kuandika kimeisha. Kuna vitabu vingine vina kurasa nyingi sana na ukisoma ukurasa wa kwanza na wa pili unakifunga kwa sababu hakina ladha kwa sababu kama ukiandika tu kwa ajili ya kujaza kurasa hata wewe mwenyewe hutarudia kukisoma. Hivyo hivyo hata Mungu pia haandiki tu maisha ya mtu kwa ajili ya kujaza siku. Nikawaambia wale rafiki zake Joshua kuwa kitabu chake kilikuwa ni kifupi sana lakini ni kitamu. Maana kuna vitabu vingine vikiisha unatazama kama kuna mwendelezo wake maana ni kitamu sana. Hicho kitabu hukiachi mahali bali utakiweka mfukoni. Kila baada ya muda utakuwa unakisoma. Yesu hakumaliza miaka 40, na kitabu chake ni kitamu sana mpaka leo tunasoma na hatuchoki kusoma. Hakuna kitu kibaya kama nikikuuliza sasa hivi kuwa ukifa sasa utaenda wapi?. Kama huna jibu lililonyooka ujue unamhitaji Yesu. Maana hutaweza kwenda mbinguni kwa sababu ya mahali unaposali. Hakuna dini iliyokufa kwa ajili ya mtu. Na usije ukajivunia matendo mema maana wakovu ni kipawa hakiji kwa njia ya matendo mema bali ni kwa njia ya imani. Kama unajiona una matendo mema kasimame mbele za Mungu aliye Hai na ndipo utajua kama uko salama!. Kumbuka Isaya alihuburi sura ya kwa hadi sura ya tano. Sura ya sita baada ya kufa kwa mfalme Uzia ndipo alisema mimi ni “mwenye dhambi na midomo michafu”. Sura zote tano hakuona bali sura ya sita ndipo anaona ana mapungufu kwa sababu Mungu alijifunua kwake. Miaka kadhaa tukiwa Tanga kwenye semina nilikuwa nafundisha habari za Jina la Yesu. Ilikuwa ni semina ya siku tano tulikuwa ndani ya jengo. Jengo lile lilikuwa la wenzetu wa imani ya kihindi wanaobudu ng’ombe wakatupa jengo lao tukafanyia semina. Siku ya pili niliitwa Dar es Salaam kwenye masuala ya uchumi. Wazo la kwanza lilonijia ni kutokwenda Mungu akaniambia nenda kwa sababu ile kazi nayo pia nimekupa unatakiwa uende. Nikamuuliza sasa semina ya kesho? akasema upako wa kesho uko juu ya mke wako. Hata kama ningebaki upako ulikuwa juu ya mke wangu maana ndiye aliyekuwa anatakiwa kufundisha. Basi nilienda Dar es Salaam maana kikao kilikuwa saa nane hadi saa kumi, nilipomaliza nikarudi Tanga. Nilipofika ilikuwa majira ya saa tano usiku nikakuta mji umetahatuki, nguvu za Mungu zimeshuka pale watu wamejazwa Roho Mtakatifu sana. Kuna mtoto mmoja alinena kwa siku tatu. Watu walikuwa hawafiki nyumbani wanalala njiani wananena kwa lugha hata wanashindwa kuongea. Ile hali ilitutia hofu sana maana tuliona madhaifu tuliyo nayo na vitu ambavyo Mungu anafanya havifanani kabisa. Mungu alifanya vitu vikubwa sana. Tulienda kumuuliza Mungu na alitujibu mwezi wa kumi tukiwa Kilombero kuwa uchafu unaonekana mahali ambapo kuna nuru. Neno la Mungu na Roho Mtakatifu ni nuru. Mahali ambapo kuna uchafu baada ya kumulikwa na nuru ndipo utaanza kupafanyia usafi. Paulo kadri alivyokuwa anaenda mbele za Bwana aliona udhaifu aliokuwa nao.
Punda haendi bila kiboko: Uhusiano baina ya adhabu ya viboko shuleni na nidhamu ya kubeba majukumu pamoja na ufanisi katika utendaji kazi ukubwani. Nini chanzo cha utendaji mbovu wa wafanyakazi serekalini na kwingineko? Je, ni kwa kiasi gani adhabu ya kiboko humfunza mtoto katika malezi? Sikiliza sehemu hii ya tatu uyajue hayo. https://archive.org/download/Episode3_20180312/Episode%20%233.mp3
Episode hii ya pili inazungumzia Mimba za utotoni. Mimba za utotoni ni swala tata kwenye jamii nyingi. Hali ikoje nchini Tanzania na duniani kwa ujumla? Mimba za utotoni zina uhusiano gani na balehe? Nini ni visababishi vya mimba za utotoni katika zama hizi? je, tuendelee na miiko ya kutokuongelea ngono hata kwa nia ya kuwanusuru... Continue Reading →
El episodio de hoy es un episodio especial grabado en directo desde Endelea Family Centre, un centro de desarrollo personal y familiar situado en la ciudad de Alicante. Pues bien, he querido aprovechar el lugar en el que nos encontramos, y el carisma especial de Edelea Family Centre con el acento que le pone a la familia para tratar el tema de los niños y su estatus como persona. Os invito a volver a este podcast la semana que viene y a comentar este episodio en iVoox y iTunes buscando Método Grow, a interactuar conmigo en mi twitter en @josevi_pec y a visitar mi página web donde encontraréis este episodio y todos los demás en www.josevibaeza.com
Katika siku ya leo polisi wapata taarifa za madai kutoka kwa watekaji nyara wa Profesa Omar ambao wanadai pesa ili kumwacha huru.Endelea..
Endelea kufuatilia mambo anayokumbana nayo Kwame katika harakati za kumwokoa Profesa Omar.
Mission Europe - Mission Berlin | Kujifunza Kijerumani | Deutsche Welle
Anna anapelekwa mwaka 1989 na anafika katika jiji ambalo lina kizaazaa cha kuanguka Ukuta. Anahitajika kupitia umati mkubwa wa watu ili apate kasha la chuma lililofichwa. Je atafanikiwa? Anna anapotaka kuondoka kuelekea mwaka 1989, waendesha pikipiki wanajitokeza. Mwanamke mwenye mavazi mekundu analiamuru kundi lake kumsaka Anna. Anamtaka Anna akiwa hai. Anna anaingia kwenye mtambo wa wakati na anarudi mjini Berlin mwaka 1989 wakati jiji hilo limezama kwenye shamrashamra za kuanguka ukuta. Lakini yuko katika lango la Brandenburg ambapo kila mtu anasherehekea. Anna anapaswa kwenda katika barabara ya Bernauer. Kwa dakika 30 zilizobaki, je anaweza kuharakisha kuuvuka umati wa mamilioni ya watu katika jiji hilo ambalo hapo awali lilikuwa limegawanyika?