POPULARITY
Hii leo jaridani tunaangazia haki za binadamu nchini Ukraine na upatikanaji wa elimu nchini Kenya. Makala tunakupeleka nchini Sudan Kusini, na amashinani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kulikoni?Tume Huru ya Umoja wa Mataifa ya Uchunguzi kuhusu Ukraine imehitimisha kwamba vikosi vya kijeshi vya Urusi vimetenda uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu, hasa mauaji, kupitia mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (drones) yaliyoelekezwa dhidi ya raia.Mradi wa "operesheni rejea shuleni" unaoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto UNICEF kwa ushirikiano na wizara ya elimu ya Kenya, shirika liliso la kiserikali la Hapag Lloyd na wadau wengine kwa kuzipa fedha familia zisizojiweza kuendesha shughuli za kiuchumi, umerejesha mautumaini ya elimu kwa mamia ya watoto katika Kaunti ya Kwale Pwani ya Kenya ambao waliacha shule sababu ya umasikini. Katika makala ikielekea siku ya walinda amani kesho Mei 29, tunamulika harakati za walinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini SUdan Kusini za kulinda raia na mwenyeji wako katika makala hii iliyoandaliwa kupitia video ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda amani Sudan Kusini, UNMISS ni Sharon Jebichii.Na katika mashinani huku machafuko yakiendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, wafanyakazi wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR wako mashinani mjini Goma na maeneo mengine yaliyoathirika ili kutoa msaada muhimu, ikiwa ni pamoja na kufanikisha nia ya wakimbizi wanaorejea nchini mwao Rwanda. Raab na Ruusi ni baadhi yao.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
Kuelekea siku ya walinda amani Mei 29, tunakwenda nchini Sudan Kusini kumulika walinda amani na ulinzi wa raia. Katika taifa hilo changa zaidi duniani walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Mongolia wanaohudumu kwenye Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo (UNMISS) walikuwa msaada mkubwa wakati kijiji cha Abiemnhom kaskazini mwa Sudan Kusini kilipovamiwa. Walinda amani hao walifika haraka kutoka kituo chao cha karibu na kutoa msaada wa kuokoa manusura na miili ya waliouawa. Je nini kilifanyika zaidi Sharon Jebichii anasimulia kwenye makala hii iliyotokana na video ya UNMISS.
संयुक्त राष्ट्र के अन्तरराष्ट्रीय शान्ति रक्षक दिवस पर मिलिए भारत की एक शान्तिरक्षक मेजर लिश्मिथा बारिक अयप्पा से, जो दक्षिण सूडान में सैन्य पर्यवेक्षक के रूप में तैनात हैं. उन्होंने यूएन हिन्दी की पूजा यादव के साथ ख़ास बातचीत में ना केवल अपनी ज़िम्मेदारियों और अनुभवों के बारे में जानकारी साझा की, बल्कि यह भी बताया कि वो कैसे वहाँ की स्थानीय जनता और समुदायों की मदद कर रही हैं — जागरूकता फैलाकर, शिक्षा के ज़रिए बदलाव लाकर...
The UN Security Council has urged an immediate halt to the fighting in South Sudan and renewed its peacekeeping mission, UNMISS, for another year. South Sudan has formally been at peace since a 2018 agreement ended a five-year civil war between forces loyal to President Salva Kiir and First Vice President Riek Machar. But recent tensions between Kiir and Machar threaten the fragile peace.
Ongezeko la magonjwa ya milipuko linaibua swala la kwa nini watalaam wa wanyama hawahusishwi kikamilifu katika mifumo ya afya ya binadaam Mpango wa one Health Approach unaonadiwa kwa sasa kwa mataifa ,unahimiza kuipa kipau mbele afya ya wanyama ,ili kuchangia siha njema ,usalama wa chakula na maendeleo endelevu .
Missão de Paz das Nações Unidas documentou aumento 24% no número de vítimas de atos violentos; relatório levanta preocupação com crescimento acentuado de raptos e casos de violência sexual; chefe da Unmiss pede investigações rápidas e responsabilização dos autores.
Hii leo jaridani tunaangazia wakimbizi wa ndani nchini Haiti, na mafunzo ya stadi za kujikimu kimaishwa kwa vijana Tambura Sudan Kusini. Makala inatupeleka nchini Uganda na mashinani nchini Kenya, kulikoni?Zaidi ya watu 20,000 wamekimbia makazi yao katika mji mkuu wa Haiti Port-au-Prince katika muda wa siku nne tu, ikiwa ni pamoja na watu wengine zaidi ya 17,000 wanaohifadhiwa katika makazi 15 ya wakimbizi wa ndani, kutokana na kuongezeka kwa ghasia za magenge ya uhalifu ambazo ziumevuruga kabisa minyororo muhimu ya usambazaji wa misaada na kulitenga jiji la Port-au-Prince limesema shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM.Vijana katika mji wa Tambura ulioko jimbo la Equatoria Magharibi nchini Sudan Kusini wanageuza mafunzo ya ufundi stadi kuwa nguvu ya amani na ustawi, mafunzo ambayo yalifanikishwa na ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, UNMISS.Katika makala Selina Jerobon kupitia video ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi anakupeleka Uganda kuona harakati za wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kujikwamua kiuchumi baada ya machungu waliyopitia nyumbani kwao.Mashinani tutaelekea nchini Kenya kusikia ni kwa jinsi gani jamii katika maeneo kame wanakabiliana na mabadiliko ya tabianchi.Mwenyeji wako ni Bosco Cosma, karibu!
Vijana katika mji wa Tambura ulioko jimbo la Equatoria Magharibi nchini Sudan Kusini wanageuza mafunzo ya ufundi stadi kuwa nguvu ya amani na ustawi, mafunzo ambayo yalifanikishwa na ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, UNMISS.Shamrashamra zilitawala wakati vijana 61, wakiwemo wasichana 41 na wavulana 20 walipohitimu mafunzo ya ufundi stadi yenye lengo la kuwaondoa katika umaskini na pia kuwaepusha kutumikishwa katika mzozo unaoendelea nchini humo tangu Desemba 2013.Walifundishwa urembo wa nywele, kutengeneza sabuni, halikadhalika ushoni, mafunzo yaliyofadhiliwa na UNMISS na kutolewa na shirika la kiraia Star Trust Organization, linalohusika na kupunguza ghasia kwenye jamii kwa kuwajegena vijana uwezo.Miongoni mwao ni Suzan James, mama wa watoto wawili aliyejifunza urembo wa nywele na akiwa anamhudumia mteja wakati wa mafunzo anasema.“Ninashukuru mno, kwa sababu nimejifunza mambo mengi ambayo awali sikuyafahamu, lakini sasa ninaweza kufanya. Inanisaidia sana, na ninajivunia na nina furaha. Baada ya hili, nitaenda kufungua sehemu yangu mwenyewe ya urembo wa nywele ili kusaidia jamii.”Huyu ni Justin Alex yeye amejifunza ushoni na akiwa kwenye chereheni yake anasema.. “iwapo nitapekela hii cherehani nyumbani, nitaweza kufanya kazi na kusaidia familia yangu. Kama kijana tusikae nyumbani au tusifanye uhalifu mjini na kusababisha vifo kwa jamii zetu kwa sababu si jambo zuri. Kuanzia sasa tunahitajika kushiriki kwenye shughuli za kusaidia jamii, kama kupeleka hii cherehani nyumbani ili nisaidie jamii yangu.”Wahitimu wamepatiwa vifaa vya kuanzia kufanyie kile walichojifunza. Katika hafla ya utoaji wa vyeti UNMISS iliwakilishwa na afisa wake wa masuala ya ulinzi na ujumuishaji kwenye jamii Ibrahim Tahiru ambaye amesema..“Mradi huu unaweza kuleta amani, lakini pia mradi huu huu unahitaji amani ili uweze kuendelea. Bila amani hivi vitu vitakuwa bure. Kwa sababu wahitimu wanahitaji mazingira yenye amani ili waweze kutumia stadi zao kwa ajili ya kuboresha maisha yao na ya jamii zao. Mradi huu ni ishara ya nia yetu ya kuendelea kushirikiana na Sudan Kusini na kusaidia kufikia amani ya kudumu na kuondokana na umaskini.”Mamlaka za Tambura zina Imani kubwa na mradi huu kama asemavyo Kaimu Kamishna wa Tambura Moses Masisere.“Hakika, Tambura tumekuwa tukililia amani. Kwa hiyo kwa msaada huu tunaamini kuwa mafunzo kwa vijana zaidi kutawasaidia washiriki kwenye harakati za kiuchumi na kupunguza mauaji na uhalifu mwingine Tambura.”
COP29: UN envoy calls for countries to agree on new climate financing dealLebanon's food insecurity ‘set to worsen' amid ongoing conflict: WFPSouth Sudan election delay offers time for democracy to take root: top UN official
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoangazia uvuvi katika mji wa Kalokol karibu na fuo za Ziwa Turkana Kaskazini mwa Kenya. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwemo za mkutano wa WUF12 Cairo Misri, chanjo ya malaria Sudan, siku ya Tsunami, na mashinani.Mkutano wa 12 wa Jukwaa la Miji Duniani, WUF12 umeingia siku ya pili hii leo huko Cairo, Misri, ambako Ming Zing ambaye ni Mkurugenzi wa Miji, Mnepo na Ardhi kutoka Benki ya Dunia amezungumzia umuhimu wa kujumuisha wanawake na vijana katika mipango miji.Sudan imekuwa nchi ya 16 barani Afrika na ya kwanza katika Ukanda wa WHO wa Mashariki na Mediterania kuanzisha chanjo dhidi ya Malaria kwa watoto wasiozidi umri wa miezi 12. Chanjo imeanza kutolewa jana katika majimbo ya Gedaref na Blue Nile ambapo WHO na wadau wamesema mwaka 2025 na 2026 chanjo itapelekwa katika maeneo 129 nchini kote Sudan.Na leo ni siku ya kimataifa ya kuhamasisha umma kuhusu tsunami, ambayo ni mawimbi makubwa ya maji yatokanayo na tetemeko chini ya bahari. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres katika ujumbe wake anasema pamoja na kukumbuka waliopoteza maisha kwa tsunami miaka 20 iliyopita, tunaahidi tena kulinda zaidi ya watu milioni 700 duniani kote walio hatarini kukumbwa na Tsunami.Mashinani tutaelekea Sudan kusini kuangazia harakati za Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini humo, UNMISS za kuimarisha ulinzi wa wanawake katika migogoro na majanga.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!
The Special Representative of UN Secretary General in South Sudan is calling on the country's citizens and political leaders to ensure lasting peace across the country. The UN Mission in South Sudan is marking United Nations Day in Eastern Equatoria state with a call for national authorities to provide services to millions of people affected by conflict, climate shocks and extreme food insecurity. Some Eastern Equatoria state residents say UNMISS should continue to support the country. Kaltuma Vanesa reports for VOA from Torit
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudan Kusini (UNMISS) umewaeleza wananchi wa Kaunti ya Nasir au Keich Kon iliyoko jimboni Upper Nile nchini Sudan Kusini kuwa ili waweze kurejeshewa huduma za misaada ya kibinadamu ni vyema wakafikia makubaliano ya kusitisha mapigano. UNMISS pamoja na wadau wengine wa misaada ya kibinadamu walifikia uamuzi wa kusitisha huduma zao katika kaunti ya Nasir kutokana nae eneo hilo kutofikika na pia ukosefu wa usalama uliosababishwa na mapigano ya mara kwa mara baina ya wanajamii wa kuanti hiyo, na pia mapigano na kaunti za jirani.Hata hivyo mwanzoni mwa mwezi huu wa Septemba kilifanyika kikao kilichowaleta pamoja wadau na wananchi baada ya kupatikana uongozi mpya wa kaunti hiyo ambapo katika kikao hicho, wadau wa misaada ya kibinadamu ikiwemo Umoja wa Mataifa waliombwa kurejesha operesheni zao hususan UNMISS, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula duniani (WFP) na wadau wa Sekta ya afya.Paul Ebikwo ni afisa wa masuala ya kiraia wa UNMISS na akawaeleza anaelewa wasiwasi wao.“Wasiwasi wenu ni wa halali, ni wa kweli, tunaelewa. Lakini mkiongeza mizozo ndani yake, mnafanya mambo kuwa mabaya zaidi, kwa hivyo hebu tufanye maamuzi ya kuachana, na kuweka kando migogoro na sote tufikirie jinsi ya kutatua maswala haya.”Bwana Ebikwo aliongeza kuwa suluhu zote za kuzuia ghasia lazima ziongozwe na wanajamii wenyewe huku akitoa wito kwa makundi ya vijana wanaotumia silaha kujiepusha na mapigano na kutafuta amani.Majadiliano yalihitimishwa kwa wote kukubaliana kuwa na dhamira ya pamoja ya kutafuta njia za kuleta jamii hususani vijana pamoja kwa ajili ya upatanisho na ujenzi wa amani ili kusaidia kurejesha utulivu na kuwezesha jamii katika kaunti ya Nasir kupata ahueni na maendeleo baada ya kuteseka kwa muda mrefu.
As December elections loom in South Sudan and humanitarian, economic, social and political crises persist, the UN Mission in the country, UNMISS, continually provides services to maintain a conducive environment.In an interview with UN News's Mehboob Khan, Force Commander Lieutenant General Mohan Subramanian has been speaking of previously volatile security situations and peacekeeping challenges in the world's youngest nation, that took months at a time to control.He explained the challenges the Mission anticipates during the election season, while noting plans to strengthen peacekeeping efforts, which includes enhancing the mission's footprint across South Sudan and ensuring accurate information reaches eager voters.
दक्षिण सूडान में यूएन शान्ति मिशन – UNMISS, देश में सिविल व राजनैतिक स्थिरता में मदद के लिए अपनी सेवाएँ दे रहा है, जिसमें वहाँ तैनात यूएन शान्तिरक्षकों का भी अहम योगदान है. वहाँ, 70 देशों से आए शान्तिरक्षकों के फ़ोर्स कमांडर हैं - लैफ़्टिनेंट जनरल मोहन सुब्रमण्यन, जो लगभग 15 हज़ार शान्ति रक्षकों का नेतृत्व कर रहे हैं. हमने लैफ़्टिनेंट जनरल मोहन सुब्रमण्यन के साथ हाल ही में, उनके मिशन के बारे में विस्तार से बातचीत की और पहला सवाल यही पूछा कि उन्हें फ़ोर्स कमांडर की यह ज़िम्मेदारी निभाते हुए, किस तरह की चुनौतियों और कठिनाइयों का सामना करना पड़ा है...
इस साप्ताहिक बुलेटिन की सुर्ख़ियाँ...UNRWA के लिए दान सम्मेलन, 118 देशों ने जताई सहायता प्रतिबद्धता.दुनिया की जनसंख्या के बारे में आए कुछ दिलचस्प आँकड़े.सबसे अहम इनसानी ज़रूरतों – स्वास्थ्य और शिक्षा पर होता है बहुत कम धन ख़र्च.कम्प्यूटर और स्मार्ट फ़ोन जैसे डिजिटल उपकरणों, का पर्यावरण पर गम्भीर असर.दक्षिण सूडान में यूएन शान्ति मिशन में फ़ोर्स कमांडर जनरल मोहन सुब्रमन्यन के साथ एक ख़ास इंटरव्यू.
We want to UnMiss these Connections but it seems unlikely See omnystudio.com/listener for privacy information.
閣議に臨む岸田文雄首相ら、19日午前、首相官邸政府は19日、国連南スーダン派遣団司令部に派遣する自衛官を、現在の4人から6人に増員すると閣議決定した。 The Japanese government said Friday that it will send two more Self-Defense Forces personnel to the headquarters of the U.N. Mission in South Sudan, or UNMISS, in Juba.
Every team has its rhythm. Google’s Project Aristotle revealed the secret sauce to team effectiveness isn’t just about who is on the team but how they work together. This insight opens our discussion today on the UNmiss podcast. We’re exploring the art of balancing business outcomes with an inclusive working environment with our guest, Erika…
Freelancing is an art of balance. Tim Ferriss’ 4-Hour Workweek revolutionized the concept. It’s about working smarter, not harder – a mantra for the modern freelancer. This story isn’t just inspiring, it’s a practical guide to freedom. Welcome to the UNmiss podcast. I’m your host, Anatolii Ulitovskyi. Today, we’re diving into smart freelancing with Shea…
Growth online is an art and a science. Just look at Airbnb’s humble beginnings. From a small website to a global platform, their growth online is a story of strategic brilliance. This journey isn’t just inspiring; it’s a blueprint for success. Welcome to the UNmiss podcast. I’m Anatolii Ulitovskyi. Today, we’re joined by Raoul Didisheim,…
Employer branding is the heart of a company’s identity. Take Google’s story, for instance. Their focus on employee wellbeing and culture has made them a magnet for top talent. This success highlights the power of a strong employer brand. Welcome to the UNmiss podcast. I’m Anatolii Ulitovskyi. Today, Patrick De Pauw joins us to discuss…
AI is revolutionizing the customer experience. Remember Spotify's personalized playlists? Their AI-driven approach to understanding listener preferences was a game-changer in music streaming. It's a stellar example of using AI to enhance user engagement. Welcome to the UNmiss podcast. Today, we're joined by Noz Urbina, a pioneer in AI and omnichannel journey mapping. The Power…
Have you ever witnessed a speech that changed your perspective? Steve Jobs did just that in his 2005 Stanford commencement address. His powerful storytelling and authentic presence left an indelible mark, illustrating the profound impact of excellent public speaking. Today, I’m excited to explore the art of impactful public speaking with Flo Akinbiyi on UNmiss.…
Entrepreneurship is an art and a science. It's about turning vision into reality. Consider the story of Sara Blakely and her Spanx brand. Starting with just $5,000, she built a billion-dollar business. Her journey? A blend of bold decisions and strategic planning. Welcome to UNmiss podcast, hosted by me, Anatolii Ulitovskyi. Today, we’re diving deep…
Imagine increasing your conversion rate by 113%. Airbnb did just that. They focused on user experience and emotional connection, transforming their website into a customer-centric platform. This shift didn’t just improve usability; it skyrocketed their conversions and set a new standard in the industry. In today’s episode of UNmiss, I, Anatolii Ulitovskyi, am excited to…
The digital world is constantly evolving. Take Netflix's story, for example. Their shift from DVD rentals to streaming changed entertainment consumption globally. This is a classic case of digital technology reshaping everyday habits. Welcome to UNmiss podcast. I'm Anatolii Ulitovskyi. Today, Clo Willaerts joins us to explore the impact of digital technology on daily life,…
Startup marketing can be deceptively simple. Remember Dropbox? A simple referral program led to exponential growth. They focused on one clear goal: more users. This approach transformed their business. Welcome to UNmiss podcast. I'm your host, Anatolii Ulitovskyi. Today, we’re joined by Inbar Yagur, an expert in making marketing straightforward for startups. Setting Clear Marketing…
Data and AI are reshaping industries. Take Amazon’s journey, for example. Their use of data and AI in retail revolutionized customer experiences and operations. This transformation is not limited to tech giants. Welcome to UNmiss podcast. I’m Anatolii Ulitovskyi. Today, Deepak Shukla joins us to discuss data and AI's impact across various sectors. Innovating with…
AI isn’t just a trend. It’s a digital revolution. Netflix’s AI-driven recommendations led to a $1 billion increase in value from customer retention. A prime example of AI's potential in digital strategy. Welcome to the UNmiss podcast. I’m Anatolii Ulitovskyi. Today, Emanuel Petrescu joins us to discuss AI in digital marketing. AI Transforming Digital Marketing…
Speed is everything in the digital world. A leading e-commerce site increased its revenue by 27% after improving its site speed by just one second. This story highlights the critical impact of site speed on business success. Join us on UNmiss as we welcome Nikki Halliwell, an expert in optimizing site speed. Understanding Site Speed:…
Every SEO expert has a story. Think about the pioneers who navigated the early, wild web. Their experiments laid the groundwork for modern SEO. In this dynamic field, each journey is unique. Welcome to the UNmiss podcast. I'm Anatolii Ulitovskyi. Today, we’re joined by Az Respes, an SEO specialist. Embarking on the SEO Journey The…
AI is transforming our world. Just look at GPT-4’s impact. Its ability to write human-like text was a game-changer. In our ever-evolving tech landscape, such breakthroughs are pivotal. I’m Anatolii Ulitovskyi, your guide on this journey into AI’s future on the UNmiss podcast. Today, we’re thrilled to have Lee Gaul with us. Lee brings a…
AI is not just a buzzword. It’s a game changer in marketing and sales. Take the story of Netflix. Using AI, they saved $1 billion in 2017 by optimizing their recommendation engine. Incredible, right? I’m Anatolii Ulitovskyi, hosting today’s UNmiss podcast. Our guest is the illustrious Lilach Bullock. We’re delving into “How to Unite AI…
LinkedIn isn’t just a resume. It’s a storytelling platform. Think of Richard Branson. His LinkedIn presence is a mix of personal insights and professional triumphs. And it works wonders for his brand. I’m Anatolii Ulitovskyi, host of the UNmiss podcast. Today, we’re unraveling LinkedIn’s secrets with Adrian Gamoń. Adrian knows LinkedIn inside out. He’s a…
SEO has come a long way. Remember the days of keyword stuffing? Google’s algorithm has evolved, and so have SEO strategies. I’m Anatolii Ulitovskyi, and you’re tuning into the UNmiss podcast. Our guest today is Jim Hedger, a veteran in the SEO world. We’re talking about Technical SEO History and the Future of SEO. Jim…
Ever wondered how a simple tweak in your email strategy can skyrocket your business? I’ve seen it happen. A renowned online retailer increased email open rates by 40% using AI-driven personalization. Real results, real change. In this episode of UNmiss, we’re delving into the realm of email marketing and AI with Jimmy Kim. It’s a…
A colleague's tech blog languished unnoticed until he overhauled his approach, aligning with emergent content trends and Google’s algorithm updates. The result? A doubling of his traffic in mere months. Mordy Oberstein steps into UNmiss to teach how to do it right. The Evolution of Content Content trends are not what they used to be.…
A friend’s local bakery, once struggling, skyrocketed to a 7-figure business. Her secret? A strategic pivot in her business model and marketing approach. Reports show that only 1% of small businesses achieve this 7-figure milestone. Ola Abitogun, an expert in scaling businesses, joins us on UNmiss to unveil the ‘7 Secrets to 7 Figures’. Success…
Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambaye pia ni Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS), Nicholas Haysom ametahadharisha kwamba muda unazidi kuyoyoma kuelekea Sudan Kusini kufanya uchaguzi mkuu unaotarajiwa mwezi Desemba mwaka ujao wa 2024 lakini bado masuala muhimu ya kuufanya uchaguzi huo uende kama ulivyopangwa bila kuchelewa hayajakamilika."Ikiwa imesalia miezi 17 tu kwenye ratiba ya kuelekea uchaguzi wa mwaka 2024, narudia kile nilichokisema katika mkutano wa awali na waandishi wa habari, kwamba mwaka 2023 ni mwaka wa 'kutengeneza au kuvunja'," amesema Bwana Haysom mapema leo Agosti pili alipozungumza na vyombo vya Habari mjini Juba ambao ni mji mkuu wa nchi hiyo changa zaidi duniani. Ghasia miongoni mwa jamii za Sudan Kusini zinaendelea kuongezeka pamoja na shinikizo la kuongezeka kwa ufinyu wa rasilimali huku maelfu ya watu wakiendelea kuingia nchini humo wakikimbia mapigano katika nchi jirani ya Sudan. Kwa mujibu wa Bwana Haysom, miongoni mwa hatua muhimu ambazo inabidi zichukuliwe ni pamoja na hitaji la kuunda upya vyombo vitatu muhimu, ambavyo ni, Tume ya Kitaifa ya Marekebisho ya Katiba, Tume ya Kitaifa ya Uchaguzi, na Baraza la Vyama vya Kisiasa; kukamilisha mipango ya mpito ya usalama; kuendeleza mchakato wa kudumu wa kutengeneza katiba; na kuunda nafasi za kiraia na kisiasa ambapo kila raia ana uhuru wa kujadili na kujihusisha na uchaguzi wa kisiasa na kikatiba bila woga. "Kufanya uchaguzi tu hakutoshi - uaminifu, uwazi na ushirikishwaji wa mchakato ndio unaoleta uhalali. Hii ni pamoja na kwamba vyama vya siasa lazima viweze kujiandikisha na kufanya kampeni kwa uhuru; asasi ya kiraia kwa ajili ya elimu ya uraia na kuwa waangalizi wa mchakato. Inajumuisha vyombo vya habari vinavyoweza kuripoti kuhusu mchakato huo na kutoa nafasi kwa sauti na maoni mbalimbali kwa wapiga kura kufanya uamuzi sahihi,” amesema Mwakilishi huyo wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini. Aidha Bwana Haysom amesisitiza kuwa UNMISS itaendelea kuiunga mkono Sudan Kusini katika michakato ya uchaguzi na uundaji wa katiba kwa kushirikiana na wadau wa kikanda kama vile Muungano wa Afrika (AU) na mamlaka ya pamoja ya kitaifa kwa ajili ya maendeleo kwenye eneo la Pembe ya Afrika (IGAD).
With security and humanitarian crises mounting across much of Africa, the international community is making a mistake by not engaging fully with South Sudan, which is at the centre of an increasingly volatile region.That's the view of the head of the UN peacekeeping mission in the world's youngest nation, Nicholas Haysom, who told UN News that if a fresh crisis erupts there in combination with the military power struggle in neighbouring Sudan, it would be “catastrophic” for the whole Horn of Africa.Maoqi Li asked the head of UNMISS and UN Special Representative why he thought South Sudan was not getting the attention it deserved.
Mkuu wa Mpango wa umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudan Kusini UNMISS ambaye pia ni mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini humo Nicholas Haysom amefanya ziara maalum ya kutembelea visiwa vilivyopo katika kaunti ya Terekeka na kujionea utekelezaji wa miradi ya stadi za maisha inayoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO. Katika ziara hiyo maalum, Mkuu wa UNMISS aliambatana na wawakilishi wa FAO pamoja na Benki ya Dunia ambao ni miongoni mwa wahusika wa moja kwa moja wa kuendesha Mradi wa Kuimarisha Ustahimilivu wa Jamii ya Wavuvi -FICREP ambao unawajengea uwezo wananchi wa visiwani ambao kwa kiasi kikubwa wanajishughulisha na biashara ya Samaki. Mwakilishi wa FAO nchini Sudan Kusini Meshack Malo anasema malengo ya miradi yao ni kuziwezesha jumuiya za wavuvi kutengeneza mnyororo wa thamani na kuwa na biashara stahimilivu kwakutumia vyema uwepo wao katika ukanda wa mto Nile, “Unakuta kwamba changamoto walizonazo Wasudan Kusini na wakazi wa Terekeka ni kuongeza muda wa kuhifadhi samaki. Hapo awali walikuwa wakipata samaki asubuhi na ikifika jioni chochote kile ambacho hakijauzwa wanatupa. Kwa hivyo, tumeanzisha ukaushaji wa Samaki ili waweze kuchukua hadi miezi minane. Kwa teknolojia ya usindikaji tunatumai kuwa wananchi hawa wanaweza kupata thamani ya pesa.”Mbali na kuwapatia vifaa vya kuvulia pamoja na kusindika samaki, FAO inaendesha mafunzo ya kutunza na kuhifadhi Samaki, kutafuta masoko na kutengeneza uhusiano mwema. Vijana nao wanafundishwa kutengeneza mitumbwi ya kuvulia samaki ambayo inadumu na haiingizi maji.Miradi hii tayari imeanza kuwa na matokeo chanya, mfano wanawake wamewezeshwa kujenga mtandao wa kimataifa na kujikwamua kiuchumi, wamepelekwa katika ziara za kimasomo kwenye nchi za Kenya, Uganda na Ghana, ambako wamejifunza njia za gharama nafuu na zenye afya za kuendesha biashara zao suala lililo mfurahisha mwakilishi wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini Nicholas Haysom, “Nimepata uzoefu muhimu san,a sio tu kwa kutoka nje ya mji wa Juba na kuja kuangalia changamoto zinazowakabili wananchi wa kawaida wa Sudani Kusini, lakini kujionea mradi huu wenye mafanikio makubwa yamradi huu unaotekelezwa na Wasudan Kusini wa kawaida. Nadhani kuna utambuzi mpana kwamba huko Sudan Kusini hakuwezi kuwa na amani bila maendeleo, lakini tunajua kuwa hakuwezi kuwa na maendeleo bila amani. Kwa maana hii, kaunti hii inawakilisha jaribio la kweli, la kusitawisha amani, lakini pia mradi ambao matunda ya amani yanaweza kuhisiwa na watu wote.”Mkuu huyo wa UNMISS amehitimisha ziara yake kwakusema jumuiya zinazofanya maamuzi na kuyasimamia zinafanikiwa na kuwa mfano bora kwa jamii zote za nchini Sudan Kusini.
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS umetoa wito wa kusitishwa mara moja kwa uhasama miongoni mwa wakimbizi wa ndani katika Kambi ya Umoja wa Mataifa ya Ulinzi wa Raia nchini humo kufuatia tukio la jana Alhamis ambapo watu kadhaa waliripotiwa kujeruhiwa na wengine kuuawa.Video iliyorekodiwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS) inaonesha gari la wagonjwa la Umoja wa Mataifa likisindikizwa na walinda amani likipita katika barabara ya vumbi katikati ya umati wa wakimbizi wa ndani katika eneo la Malakal nchini Sudan Kusini. Kila mmoja aliyefanikiwa kusalia na chochote katika anavyovimiliki, amekibebeba kichwani, mgongoni au mkononi. Jana muda wa mchana ghasia zilizuka kati ya jamii mbili za wakimbizi wa ndani ambazo zimehifadhiwa katika Kambi ya Umoja wa Mataifa ya Ulinzi wa Raia. UNMISS inasema vurugu hizo zilichochewa na tukio la kuchomana visu huku ripoti za awali zikitaja raia watatu kuuawa na wengine 20 kujeruhiwa hadi kufikia jana Alhamisi mchana. Kabla ya hapo, hiyo-hiyo jana Alhamis asubuhi, milio ya risasi ilitanda alfajiri katika mji mkuu wa jimbo la Upper Nile, Malakal, karibu na makazi ya UNMISS.Walinda amani wa UNMISS waliingia kazini haraka kwa kuwa hali ya wasiwasi imekuwa ikiendelea hapa tangu mwisho wa wiki iliyopita, wakati mzozo katika kituo cha maji uliongezeka haraka na kuwa mzozo kamili ambapo mtu mmoja mwenye umri wa miaka 32 aliuawa. Kwa kuwa kambi ya walinda amani iko karibu na kambi ya Umoja wa Mataifa ya ulinzi kwa raia, mara zote walinda amani wako chonjo kuchukua hatua ya haraka pindi tu wanapopokea taarifa ya vurugu. Wakati wa mapigano ya mwezi uliopita, wanajeshi na polisi walinda amani walitumwa mara moja ili kutuliza hali hiyo. Polisi na walinda amani wa kijeshi kwa sasa wanashika doria ndani ya eneo hilo na kuzunguka eneo la nje, kwa ushirikiano na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Sudan Kusini ili kuondoa hofu miongoni mwa jamii iliyokimbia makazi yao. Zaidi ya hayo, walinda amani matabibu katika hospitali ya UNMISS wanatoa huduma ya dharura kwa baadhi ya waliojeruhiwa. Kwa mujibu wa usajili wa kibayometriki wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM), kufikia Desemba mwaka jana 2022, baadhi ya watu 37,032 waliokimbia makazi yao wanajihifadhi katika Eneo la Ulinzi la Umoja wa Mataifa la Malakal.
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudan Kusini (UNMISS) umefanya warsha za majadiliano katika mji wa Torit na Magwi mashariki mwa mji mkuu Juba jimboni Equatorial Mashariki ili kujadili kuhusu utungaji katiba na michakato ya uchaguzi.Sudan Kusini kwa sasa inatayarisha katiba yake ya kudumu ambayo si tu ni muhimu bali pia ni sharti la kufanya uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliopangwa kufanyika mwakani, 2024. Makundi mbalimbali ya kijamii yaliyoshiriki katika majadiliano haya yaliyoratibiwa na UNMISS ni pamoja na wanawake, vijana, waliorejea kutoka ukimbizini, wakimbizi wa ndani, na viongozi wa kimila. Jessica Kalmas, mkimbizi aliyerejea ambaye sasa ni Msemaji wa Umoja wa Vijana, Equatoria Mashariki anasema, “Kunapaswa kuwa na uzingatiaji wanaorejea. Pia, suala la ukatili wa majumbani na kijinsia likomeshwe. Hili pia lijumuishwe kwenye katiba ya kudumu.”Masuala ambayo washiriki wameyapa uzito katika majadiliano yao ni nafasi sawa kwa wanawake katika maisha ya umma, kuhakikisha wasichana wote wana haki ya kupata elimu, na kukomesha desturi ya ndoa za kulazimishwa au za utotoni. Angel Omex, Mwanafunzi ni Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Sudan Kusini anaeleza, “Nimehudhuria huu mchakato wa kutengeneza katiba, na nina furaha kuwa sehemu yake. Na, kulingana na maoni yangu binafsi nadhani kinachopaswa kujumuishwa katika mchakato wa kutengeneza katiba ya kudumu ni suala la asilimia 35 ya jinsia. Wanawake wanatakiwa kupewa asilimia 35. Haifai kuwa kusema tu bali inapaswa kutekelezwa. Na sio tu kwamba wanaorejea kutoka ukimbizini ni muhimu sana, lakini pia wanapaswa kurejeshwa katika jamii na kusajiliwa.”Kwa pamoja, waliohudhuria walifikia mapendekezo kuhusiana na katiba ya kudumu na uchaguzi unaofuata, ikiwa ni pamoja na ushiriki wenye nguvu Zaidi wa vijana. UNMISS inashirikiana na mamlaka za serikali na Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Fedha na Mipango ili kuandaa warsha kama hizo kote Sudan Kusini.
Kwa wiki nne katika Chuo Kikuu cha Juba nchini Sudan Kusini, kulifanyika mashindano ya sanaa yakihusisha wanafunzi 20 kutoka chuo hicho. Maudhui yalikuwa ni Amani Yaanza Nami yakienda sambamba na miaka 75 ya operesheni za ulinzi wa amani kwenye Umoja wa Mataifa.Mashindano hayo yaliandaliwa kwa pamoja kati ya Chuo Kikuu Juba na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani Sudan Kusini, UNMISS. Washindi watatu, kazi zao za sanaa zitawekwa kwenye lango la ofisi ya Mkuu wa Operesheni za Ulinzi wa Amani za Umoja wa Mataifa Pierre Lacroix, iliyoko makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Je nani aliibuka mshindi? Ungana na Assumpta Massoi kwenye makala hii.
Hii leo jaridani tunaangazia ripoti ya UNFPA na ujasiriamali. Makala tunaelekea nchini Sudan Kusini na mashinaninchini Kenya, kulikoni?Hii leo shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu duniani UNFPA limetoa ripoti mpya ambayo imeshauri kuwa badala ya kuuliza jinsi watu wanavyozaliana, viongozi duniani wanapaswa kuuliza kama watu hasa wanawake, wanaweza kujiamulia wao na kwa uhuru kuhusu uzazi, swali ambalo jibu lake, mara nyingi sana, ni hapana.Jukwaa la Umoja wa Mataifa la ufadhili kwa ajili ya maendeleo 2023 FfD linaendelea kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa katika jaribio la kubadilisha mfumo wa fecha wa kimataifa na kurejesha ajenda ya maendeleo endelevu ya 2030 katika msitari unaotakiwa ikiwa imesalia miaka chini ya sabakifikia ukomo.tuelekee nchini Sudan Kusini ambako kumefanyika tamasha la utamaduni kwa amani lililondaliwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo UNMISS kwakushirikiana na serikali ya jimbo la Kaskazini la Bahr El Ghazal.Na katika mashini tutaelekea tutaelekea nchini Kenya kupat aujumbe kuhusu lugha ya Kiswahili.Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, Karibu!
Welcome to Unmiss, the podcast that helps you stay on top of the latest trends and best practices in marketing. In this episode, we have a special guest, Colin Lepiscopo, a seasoned marketer with over a decade of experience in the industry. Colin will share his expert tips and insights on accelerating your marketing career…
Welcome to Unmiss, the podcast that helps you stay up-to-date with the latest trends and best practices in marketing. In this episode, we have a special guest, Ari Applbaum, a seasoned marketing and branding expert with extensive experience scaling startups globally. Ari shares his expert tips and insights on how startups can effectively leverage branding…
In this episode of the Unmiss podcast, we’re joined by Vakis Rigas, an expert in marketing and trade. Throughout the conversation, Vakis shares valuable tips and insights on how to effectively market products in an overwhelming trade environment. Some of the topics covered in this episode include: – The challenges of marketing in a crowded…
In this episode of the Unmiss podcast, we welcome special guest Shaun Tomson, a world-champion surfer, best-selling author, and inspirational speaker. Throughout the episode, Shaun shares insights and tips on activating purpose and hope for a better life, drawing from his experiences and perspectives. Some of the topics covered in this episode include: – The…
Alfred Orono's childhood came to an abrupt end when he was recruited as a soldier in Uganda, when he was just 11 years old. Now Chief of Child Protection at the United Nations Mission in South Sudan (UNMISS), he draws on his own experience as a child soldier to help young people find a peaceful way forward. “I work with children who, when I look at them, I know exactly what's going on in their minds. I know how they feel. And I'm part of the solution to their problems.” Every year, thousands of children are recruited by warring parties around the world. Yet their troubles rarely end after the conflict is over. Having suffered violence, abuse, and exploitation, many struggle to rebuild their lives. In this episode, Alfred Orono reflects on his own experience, the hope it gives to former child soldiers, and on living life without regrets.