POPULARITY
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Kenya ambako wasichana juhudi za kusongesha Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) zimewezesha vijana wa kike kushiriki masomo ya Teknolojia ya Habari na Maewasiliano, TEHAMA na kujifunza stadi za teknolojia ili waweze kuedeleza biashara ya mtandaoni pamoja na matumizi mengine.Zaidi ya watu nusu milioni wameathiriwa na mafuriko makubwa katika mikoa ya kusini na kati ya Msumbiji, huku mvua kubwa ikiendelea kuvuruga usafiri, huduma za afya na njia za ugavi. Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Dharura, OCHA nchini humo, Paola Emerson, amewaambia waandishi wa habari huko Geneva, Uswisi kuwa majimbo ya Gaza, Sofala na Maputo ndiyo yaliyoathirika vibaya zaidi.Huko Mashariki ya Kati mapema leo Jumanne, vikosi vya Israel vimebomoa kwa tingatinga makao makuu ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA, huko Yerusalemu Mashariki eneo linalokaliwa kimabavu na Israel. Mkuu wa UNRWA, Philippe Lazzarini, amelieleza tukio hilo kama “shambulio lisilo na kifani dhidi ya Umoja wa Mataifa,”.Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, leo imesema imeanza kutekeleza mpango wa kurejesha kwa hatua mamlaka ya dola katika mji wa Uvira, mashariki mwa nchi hiyo, kufuatia kuondoka kwa kundi lenye silaha la AFC/M23. Serikali inasema vikosi vya usalama, polisi na huduma nyingine za serikali vinarejea ili kulinda raia, kulinda mali na kuleta utulivu katika eneo hilo.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mtaalam wetu ONNI SIGALA Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anafafanua maana ya neno “ KING'ANI”Mwenyeji wako ni Rashid Malekela, karibu!
Veronica Ulloa spent most of her life in rural Tehama County, California. She is now studying at California State University - Chico so she can return to her rural roots as a teacher.
The latest North State and California news on our airwaves for Wednesday, October 8, 2025.
The latest North State and California news on our airwaves for Thursday, June 5, 2025.
The latest North State and California news on our airwaves for Wednesday, May 14, 2025.
Kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na utamaduni UNESCO, sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano TEHAMA, au ICT inaendelea kutawala na kuunda fursa mpya, lakini wanawake bado wanakumbana na changamoto kubwa ya upungufu wa uwakilishi. Hata hivyo, wanawake wanavuka mipaka na sasa Bi. Joy, msichana kutoka Nairobi Kenya, ambaye ni mtaalamu katika teknolojia ya kidijitali, amekalia nafasi muhimu katika kubadili mtindo wa maisha kupitia elimu ya ICT. Katika mahojiano na washirika wetu Radio Domus, alizungumzia umuhimu wa kuhamasisha wasichana kujiunga na masomo ya teknolojia ili kutengeneza mustakabali mpya wa kidijitali, na kubadili dunia kwa njia ya kidigitali na usawa. Sharon Jebichii na Makala zaidi
Following citizen complaints, City of Chico staff have been looking into streets that need more lights, and where funding for lighting projects would come from. Also, Yuba, Sutter, and Tehama counties will not receive anticipated federal funds for levee maintenance and improvement projects, and California wildlife officials say beavers reintroduced to their native watersheds are working on restoring the wetlands.
It's been more than six months since the Park Fire swept through Butte and Tehama counties. Now, Chico State is using a nearly 8,000-acre property in the burn scar to create a prototype for sustainable wildfire recovery in California. Also, a team of Shasta High School students will see their work fly to the edge of space, and California lawmakers are working to combat federal deportation efforts. What does that mean for schools in the state?
Join podcast co-hosts and First 5 Executive Directors of First 5 Shasta and First 5 Tehama as they reflect on the year through data. Getting to know First 5 through data is a powerful way to monitor the effectiveness of early childhood programs and policies. Data helps identify needs, track progress, and make informed decisions about how to best support young children and their families.
On today's episode, Luke Milliron, UCCE farm advisor in Butte, Glenn and Tehama counties, discusses the free 2025 North Valley Nut Conference in January and its shift toward a business-focused curriculum for growers. Supporting the People who Support Agriculture Thank you to this month's sponsors who makes it possible to get you your daily news. Please feel free to visit their website. Dormex (Alzchem Group) - https://www.alzchem.com/en/brands/dormex/ California Walnut Conference - https://myaglife.com/california-walnut-conference/ North Valley Nut Conference - https://myaglife.com/north-valley-nut-conference/
Taylor Chalstrom sits down with Luke Milliron, UCCE farm advisor in Butte, Glenn and Tehama counties, to discuss the 2025 North Valley Nut Conference in January and its shift toward a business-focused curriculum for growers.
Forensic examination of CapRadio's finances is released. Updates on the Park Fire. Breaking down political developments on both the California and national stage. Finally, a new horror short film “MotherWound” will be produced in Sacramento soon. CapRadio Forensic Examination Releases Sacramento State has released the findings of a highly-anticipated forensic examination of Capital Public Radio's finances. The summary document spotlights years of financial mismanagement. Insight has been independently reporting on CapRadio's financial troubles, and will bring more reporting on the examination soon. You can follow ongoing coverage of financial issues at Capital Public Radio here. Park Fire Updates The Park Fire is now California's fourth-largest wildfire in history. The fire has burned over 400,000 acres across Butte, Shasta, Plumas, and Tehama counties after igniting on July 24. CAL FIRE Incident Commander Bill See and North State Public Radio reporter Alec Stutson provide the latest updates on the Park Fire, and how it has affected residents in communities like Paradise and Magalia that have faced devastating fires in the past several years. NSPR is a partner station to CapRadio. California Political Recap There have been several major political developments in the past several weeks on both the state and national stage. President Joe Biden dropped out of the presidential race and endorsed Vice President Kamala Harris, and several big names have jumped into California races for governor and lieutenant governor. Lara Korte, co-author of POLITICO's California Playbook joins insight to break down these latest shakeups. Local Horror Film 'MotherWound' Sacramento is well-known in the movie world, from Greta Gerwig directing Lady Bird and Barbie to a new Leonardo DiCaprio film shooting in downtown. Now, a new horror short film aims to highlight the Sacramento region, and pull together a local cast and crew later this year. Writer, director and producer Hana Holloway talks about the vision and inspiration behind her film MotherWound, and why she decided to make this an independent project.
Butte, Plumas, Shasta and Tehama counties have all been impacted by the fire and at least 100 structures have been destroyed so far.
California has strong, clean air and clean energy goals that are currently aligned with federal policy. Arguably, the state has never had so much climate momentum. And now, with Kamala Harris poised as the Democratic standard bearer, the Golden State could see one of its own in the White House. Harris has spent much of her career working on environmental and climate issues. A Harris administration could help the state meet its goals and perhaps give it additional momentum. But what might happen to the state goals under a second Trump presidency? Reporter: Danielle Venton, KQED Cal Fire is rushing crews to the latest rapidly growing wildfire in Northern California – this time forcing thousands of people from their homes in Butte and Tehama counties. The Park Fire has burned more than 45,000 acres. Reporter: Dan Brekke, KQED Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices
One from the Archives... Recorded live on May 18th, 2023 Two people making music on the fly… Bugs In The Basement creates improvised musical journeys from an array of vintage and handmade instruments to modern technologies. Recorded live from our basement studio in the Pacific Northwest, each week we experiment in the process of making exploratory music and soundscapes. Unmixed, unedited and unapologetic. www.bugsinthebasement.com
Tehama County is already seeing some homeless services enhanced with state grant money. But the arrival time remains unknown for $14 million the county was awarded unknown. Also, a new sobering center will soon be open in Chico, and the 1078 Gallery is hosting a fundraising event called “Bowls for Gaza” that aims to raise funds for Palestinians in need.
Con el propósito de potenciar su estrategia de canal en el mercado latinoamericano y fortalecer su presencia en la región, Tehama une fuerzas con Licencias OnLine, abriendo así también nuevas puertas para el crecimiento y la innovación en Latam.
As if the whole cryptocurrency thing wasn't ridiculous enough, enter Heather Morgan aka Razzlekhan. An entrepreneur and amateur rapper, she and her husband, Dutch, lived large. The source? Hacked bitcoin. Can't get enough of these clowns and their techno criming? Fear not, there are plenty of film and tv adaptations in the works. The grift lives on. See omnystudio.com/listener for privacy information.
Welcome back to another episode of Brands and Barbed Wire. Today we have a special opportunity to speak with 3 generations that have had a significant impact on the beef cattle business, both registered and commercial. We get to learn about ranching in California and the past, present and future of Tehama Angus Ranch. Bill, Kevin and Bryce welcome to Brands and Barbed Wire. To find out more about Tehama Angus Ranch go to www.tehamaangus.com Thanks to our sponsors B.R. Cutrer Ranch www.brcutrer.com, Ranch House Designs www.ranchhousedesigns.com and JMAR Genetics www.jmargenetics.com
A water main burst last June at 33 Tehama, a luxury apartment tower in San Francisco, forcing residents to evacuate. More than a year later, they haven't been able to return, and it's unclear when repairs will be complete. Tenants have been left in limbo, with residents of below-market-rate units hit especially hard. Reporter Rachel Swan picks up the ongoing saga of 33 Tehama with host Laura Wenus and discusses why this story is emblematic of the city's broader housing challenges. | Unlimited Chronicle access: sfchronicle.com/pod Got a tip, comment, question? Email us: fifth@sfchronicle.com Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices
Recorded live on May 18th, 2023 Two people making music on the fly… Bugs In The Basement creates improvised musical journeys from an array of vintage and handmade instruments to modern technologies. Recorded live from our basement studio in the Pacific Northwest, each week we experiment in the process of making exploratory music and soundscapes. Unmixed, unedited and unapologetic. www.bugsinthebasement.com
Matumizi salama ya mtandao kwa maendeleo, ni moja ya ajenda iliyojadiliwa kwa kina katika mkutano wa juma lililopita nchini Zimbabwe, kuhusu namna bara la Afrika linaweza kutumia teknolojia ya habari na mawasiliano, TEHAMA, kubadili uchumi wake na kurahisisha upatikanaji wa huduma za msingi kwa wananchi wa bara hilo kama vile afya na kilimo. Mtangazaji amezungumza na mbunge wa viti maalumu nchini Tanzania, Neema Lugangira, alipokuwa nchini Zimbabwe.
Matumizi salama ya mtandao kwa maendeleo, ni moja ya ajenda iliyojadiliwa kwa kina katika mkutano wa juma lililopita nchini Zimbabwe, kuhusu namna bara la Afrika linaweza kutumia teknolojia ya habari na mawasiliano, TEHAMA, kubadili uchumi wake na kurahisisha upatikanaji wa huduma za msingi kwa wananchi wa bara hilo kama vile afya na kilimo. Mtangazaji amezungumza na mbunge wa viti maalumu nchini Tanzania, Neema Lugangira, alipokuwa nchini Zimbabwe.
Taylor Chalstrom sits down with Sudan Gyawaly, UCCE area IPM advisor for Butte, Colusa, Yuba-Sutter, Glenn and Tehama counties, to discuss choosing pesticide sprays to prioritize when you can't afford them all.
Jaridani leo tunakuletea mada kwa kina ikimulika harakati za kufanikisha kilimo hifadhi nchini Tanzania. Pia tunakuletea habari kwa ufupi zikiwemo ripoti ya UNICEFya wasichanan katika ICT, watoto katika mizozo nchini Sudan na chanjo kwa watoto katika ukanda wa Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini. Na katika jifunze Kiswahili hii leo tuko Tanzania kwenye Baraza la Kiswahili la Taifa BAKITA kupata ufafanuzi wa neno"NDUI".Hii leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya wasichana katika TEHAMA,shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linasema asilimia 90 ya wasichana vijana na barubaru hawatumii mtandao wa intaneti hasa katika nchi za kipato cha chini wakati wenzao wa kiume wana fursa karibu mara mbili ya kuwa mtandaoni, ndio maana maudhui ya mwaka huu ya siku hii ni “Ujuzi wa kidijitali kwa Maisha” ili kuchagiza wasichana na wanawake kushamiri katika sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati au STEM.Wakati makubaliano ya usitishaji uhasama yakikaribishwa nchini Sudan, mashirika ya Umoja wa Mataifa na ya kimataifa yameendelea kuonya kuhusu hatari inayowakabili watoto na kuathirika kwa mfumo wa afya. Shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF, taasisi iliyo ya kiserikali ya Worls Vision na Save the children wameelezea jinsi gani watoto walivyo katika hatari kubwa endapo muafaka huo wa kusitisha uhasama hautotekelezwa na kuheshimiwa na pande zote, huku shirika la afya la Umoja wa Mataifa duniani WHO likionya kuhusu kuendelea kwa mashambulizi dhidi ya miundombinu ya afya ikiwemo kukaliwa na wapiganaji hospital kadhaa mjini Kharthoum pamoja na maabara kuu.Na zaidi ya watoto milioni 4.3 katika ukanda wa Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini (MENA) hawajapokea hata chanjo moja ya surua kati ya mwaka 2019 hadi 2021 limeonya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF na kuongeza kwamba watoto wengine takriban milioni 3.8 walipata chanjo pungufu za donda koo, pepo punda na pertussis(DTP) katika kipindi hicho.Na katika jifunze Kiswahili leo tuko Tanzania kwenye Baraza la Kiswahili la Taifa BAKITA kupata ufafanuzi wa neno"NDUI".Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
A special bonus episode featuring a conversation between TIAH host, Whit Missildine and Candice DeLong, host of the brilliant podcast, Killer Psyche, discussing the spree killing in Rancho Tehama, the focus of our Point Blank series. We talk through the many questions surrounding Kevin Jansen Neal, the shooter, as we try to unpack and make sense of what happened. To hear more from Candice DeLong follow Killer Psyche wherever you listen to podcasts: Wondery.fm/TIAH_KPW Producers: Whit Missildine, Candice DeLong Content/Trigger Warnings: gun violence, murder, graphic bodily injury, explicit language Social Media: Instagram: @actuallyhappeningTwitter: @TIAHPodcast Connor SheetsTwitter: @ConnorASeets Website: www.thisisactuallyhappening.com Support the Show: Support The Show on Patreon https://www.patreon.com/happening Wondery Plus: All episodes of the show prior to episode #130 are now part of the Wondery Plus premium service. To access the full catalog of episodes, and get all episodes ad free, sign up for Wondery Plus at https://wondery.com/plus Shop at the Store: The This Is Actually Happening online store is now officially open. Follow this link: https://www.thisisactuallyhappening.com/shop to access branded t-shirts, posters, stickers and more from the shop. Transcripts: Full transcripts of each episode are now available on the website, thisisactuallyhappening.com ServicesIf you or someone you know is struggling with the effects of trauma or mental illness, please refer to the following resources: National Suicide Prevention Lifeline: 1-800-273-8255 National Alliance on Mental Illness: 1-800-950-6264National Sexual Assault Hotline (RAINN): 1-800-656-HOPE (4673)Crisis Text Line: Within the US, text HOME to 741741See Privacy Policy at https://art19.com/privacy and California Privacy Notice at https://art19.com/privacy#do-not-sell-my-info.
A shooting in the small Californian town of Rancho Tehama in 2017 continues to haunt both the families of the victims and those closest to the shooter. Whit Missildine, host of the This Is Actually Happening podcast, digs into the fallout of the shooting in his new limited series “Point Blank.” He joins Candice to talk about the psychology of the shooter, the warning signs from his past, and how this small community was changed forever.Listen to the 5 part series entitled "Point Blank" by following This Is Actually Happening on Amazon Music, or wherever you get your podcasts: www.amazon.com/TIAH_us_hfd_wiaa_41323See Privacy Policy at https://art19.com/privacy and California Privacy Notice at https://art19.com/privacy#do-not-sell-my-info.
This episode of Big Blend Radio's 2nd Tuesday "Food, Wine & Travel" Show with IFWTWA features Dawnielle Tehama, the Executive Director of Willamette Valley Visitors Association, who discusses what there is to experience in beautiful Willamette Valley, Oregon.WATCH THIS PODCAST ON YOUTUBE: https://youtu.be/EAip0RfQzxoWillamette Valley follows the Willamette River north to south for over 150 miles from the Mt. Hood Territory east of Portland to just south of Eugene. It is a quilt of cities and towns that offer unique experiences for everyone, from rural enclaves that pop up between expanses of farms and fields, to serene college towns with historic inns and classic main streets, to cities alive with culture and heritage, including the state capital of Salem. It also has the largest concentration of wineries and vineyards in Oregon . More: https://willamettevalley.org/Special thank you to the International Food Wine & Travel Writers Association (IFWTWA) - https://www.ifwtwa.org/ Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.
Hii leo jaridani tunakuletea tunaangazia vurugu nchini Syria ambapo ni miaka 12 kamili tangu machafuko yalipozuka; na ripoti ya ILO inayosihi nchi zote duniani ziboreshe mazingira ya kazi ya watendaji hao. Makala tutaelekea nchini Bahrain na mashinani nchini Geneva, kulikoni?.Leo ni miaka 12 kamili tangu machafuko yalipozuka Syria na kusababisha vita inayoendelea tangu mwaka 2011 iliyosambaratisha nchi hiyo na mamilioni ya raia wake. Maelfu wamepoteza maisha, mamilioni wamekuwa wakimbizi ndani na nje ya nchi yao na majanga mengine ya kila uchao yanazidi kuwaondelea matumaini raia wa taifa hilo la Mashariki ya Kati.Baada ya janga la COVID-19 kufichua ni kwa kiasi gani jamii ilikuwa haipatii wafanyakazi muhimu thamani wanayotakiwa ikiwemo malipo ya kutosha na mazingira bora ya kazi, hii leo shirika la Umoja wa Mataifa la kazi duniani, ILO limetoa ripoti inayosihi nchi zote duniani ziboreshe mazingira ya kazi ya watendaji hao.Makala tunakupeleka nchini Bahrain katika mji mkuu wa nchi hiyo, Manama ambako mkutano wa 146 wa Umoja wa Mabunge Duniani ulioanza tarehe 11 mwezi huu wa Machi umehitimishwa leo tarehe 15. Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson ambaye ni Rais wa Kundi la Kijiografia na Kisiasa la Mabunge ya Afrika amezungumza na Anold Kayanda wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa kuhusu mambo kadhaa ikiwemo waliyoyajadili katika Mkutano huo.Na mashinani tunakupeleka Geneva, Uswisi kwa Neema Lugangira mshindi wa tuzo ya Umoja wa Mataifa ya mradi bingwa wa kutumia TEHAMA kuboresha afya na lishe miongoni mwa wazee.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Mkuu wa kikosi cha 6 cha Walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania wanaohudumu chini ya MINUSCA, Luteni Kanali Amini Steven Mshana amefungua na kukabidhi madarasa yatakayotumika kutoa elimu ya kompyuta na TEHAMA kwa ujumla kwa vijana wa eneo la mji wa Berberat na viunga vyake ili kuwapa ujuzi wawe na mchango chanya kwa jamii yao badala ya kujiunga na makundi ya waasi.Kapteni Mwijage Francis Inyoma ni Afisa Habari wa TANZBATT 6 anaripoti.
Jaridani leo Ijumaa ya tarehe 23 ya mwezi Desemba mwaka 2022 tnakuletea habari za WHO na habari kuhusu machafuko jimboni Upper Nile nchini Sudan kusini. Makala tunakwenda nchini CAR na mashinani nchini Kenya.Shirika la afya la Umoja wa Mataifa duniani WHO limesema mwaka 2022 umegubikwa na changamoto lukuki za kiafya , kuanzia janga la COVID-19, Ebola, Mpoxy hadi vita vilivyokatili na kujeruhi wengi hata hivypo linasema kuna matumaini kwa mwaka ujao, yapi?Nchini Sudan Kusini mapigano ya kikabila kwenye jimbo la Upper Nile nchini humo yamesababisha vifo, ukimbizi wa ndani halikadhalika madhila zaidi kwa watoto ambao mustakabali wao unazidi kuwa mashakani huku nao wazee wakishuhudia machungu katika taifa hilo changa zaidi duniani.Makala tunaelekea nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR katika mji wa Berberat ambako walinda amani wa Umoja wa Mataifa Kikosi cha sita yaani TANZBATT 06 wamekabidhi mradi wa madarasa kwa ajili ya chuo cha kufundishia elimu ya TEHAMA kupitia kopyuta.Na tutaelekea katika kambi ya wakimbizi Kalobeyei nchini Kenya ambako tutasikia umuhimu wa kuwa na wanawake viongozi.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
In 2017 Kevin Neal who had mental issues and suspected his neighbors of dealing meth went on a shooting rampage in Ranch Tehama killing 5 people and injuring several others. --- This episode is sponsored by · Anchor: The easiest way to make a podcast. https://anchor.fm/app Support this podcast: https://anchor.fm/jeaneen-johnson/support
Today's episode is special! Join our book discussion of “The Deepest Well” by Dr. Nadine Burke Harris. This discussion features Anna Bauer of First 5 Butte County, Mary Ann Hansen of First 5 Humboldt County, Nicole Hinton of First 5 Modoc County, and as always Heidi Mendenhall of First 5 Tehama and Wendy Dickens of First 5 Shasta. Follow us on Instagram.com/championsfornorcalkids DM us on Instagram to get a free copy of The Deepest Well. We are giving away a few copies on a first come, first serve basis. Email Heidi: hmendenhall@first5tehama.com | Email Wendy: wdickens@first5shasta.org first5shasta.org | first5tehama.org
Nimeandaa mjumuisho wa mambo niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na hamasa niliyopata na hivyo nimeona vyema niweze kukushirikisha wenzetu walipo ili nasi tupate kupiga hatua zaidi.Ndugu yangu, sikuwahi kujua event ya developers kuwa na wahudhuliaji zaidi ya 3000, vyombo kuletwa na kontena la 40 futi. Yaani nina mengi kukubadilisha mtazamo lakini nikaelewa ndio maana makampuni makubwa ya TEHAMA duniani yana ofisi Kenya.DevFestDar RSVP: http://zipa.me/devfestdar Be a Speaker: https://sessionize.com/devfest-dar-es-salaam
Tunapoelekea kufungua vyuo, nimeona ni vyema kuwapa abc wanafunzi wa mwaka wa kwanza hasa katika kozi za TEHAMA.Nimeweka mambo matatu (3) muhimu ya kuzingatia, unaweza niachia maoni yako kule Twitter @yesayasoftware.Video version unaweza kuipata hapa: https://youtu.be/n0mmLeqDlmc
On this episode of Champions for Norcal Kids, join Wendy and Heidi as they chat with Pamela Newman, founder and publisher of North State Parent Magazine. North State Parent Magazine is an important resource for Shasta, Tehama, and surrounding counties. Learn more about Pamela's passion for hosting events that nurture families and her work at NSP Mag for the last 30 years. Visit northstateparent.com/ to view the magazine, and learn more. FOLLOW US ON INSTAGRAM @championsfornorcalkids Email Heidi: hmendenhall@first5tehama.com Email Wendy: wdickens@first5shasta.org first5shasta.org | first5tehama.org
Dawnielle Tehama is the Executive Director for the Willamette Valley Visitors Association. Learn more at: https://willamettevalley.org/
Gene Villeneuve is a software executive with over 25 years of experience running small to large teams at Tehama, Cognos, OLAP@Work, and IBM. Coaching, mentoring, endurance sports, and business are his passions. Gene is semi-retired and now offers advising or mentoring engagements with individuals or team. His passion for cycling has kept him levelheaded throughout his career and now offers more fulfillment now that he has more time to do the things he loves. Tune in to today's episode to learn about the risks that paid off and the discipline that has led Gene Villeneuve to be successful and now semi-retired and living his life to the fullest. Quotes: “That's how I got into cycling, that's always been a core aspect of my personality. Not only is it a way to de stress after a long day, but it just becomes something else, in addition to family and in addition to work, and it is something else, that's your own.” (2:16-2:43) “I think when it comes to the professional sort of things, it's always, the curiosity, the willingness to take risks and the third one is always be driven to help others be successful as well.” (6:40-6:57) “Where I became unique and different is, is that I became an enabler for those sellers. I would have people telling me you're actually on the phone or in people's offices trying to get those issues resolved within IBM, and other sales leaders didn't actually do that for us.” (14:38-15:18) Links: Gene Villeneuve LinkedIn Gene Villeneuve Website Empellor CRM LinkedIn Empellor CRM Website Empellor CRM Twitter
Katika kuadhimisha siku ya kimataifa ya wasichana katika tasnia ya Habari na teknolojia ya mawasiliano ICT muungano wa kimataifa wa mawasiliano ITU umesema fursa na usalama mtandaoni ambayo ndio maudhui ya siku ya mwaka huu ni ufunguo wa kukiingiza kizazi kijacho cha wasichana katika Habari na teknolojia ya mawasiliano.
Shasta College is a community college that serves the three counties of Shasta, Tehama, and Trinity in Northern California. In this episode of Talent Talk, Kate Mahar discusses the significant role the college has had on the surrounding rural community it serves. Kate is the Dean of Innovation and Strategic Initiatives and explains her role in scaling best practices for degree seeking students. As a Talent Hub, Shasta College provides a notable example of the benefits of long-standing efforts to better-serve adults learners. Kate explains the piloting of the ACE (Accelerated College Education) and Credit for Prior Learning as two programs in their shift in accommodating returning adult learners.
# 30 Join Wendy Dickens, Heidi Mendenhall, and Loreiana Santana as they discuss motherhood and important resources. wdickens@firs5shasta.org hmendenhall@first5tehama.com first5shasta first5tehama
When you ask emergency managers and city planners what they need to make their community more resilient to disaster, most have the same answer: money. Federal and state grants can help finance projects, but the requirements can be labor intensive and often require a financial match from the community. Carolyn Steffan from the City of Tehama in California stitched together funding from multiple sources—federal and state—to protect residents from flooding by elevating 39 homes in her city. Tune in to learn how she did it!
Host Cyrus Webb welcomes authors Tehama Lopez Bunyasi and Candis Watts Smith to #ConversationsLIVE to discuss their new book STAY WOKE.
In the first half hour Patricia interviews Tehama Lopez Bunyasi and Candis Watts Smith, co-authors of STAY WOKE: A Peoples Guide to Making All Black Lives Matter. They will discuss how racism works and how racial inequality shapes black lives. They will provide a clear vision of a racially just society and help to equip and empower people to become effective racial justice advocates and antiracists. In the second half hour Patricia interviews Suzanne Muller-Heinz, the owner of Loveablize. She is a speaker, coach, and author of the book Loveable, 21 Practices for Being in a Loving and Fulfilling Relationship. She will discuss dating, being lovable, healthy relationships, and how to select a healthy, fulfilling, and lasting relationship.
Record rain, heavy winds have pummeled the Carolinas. We take a look at the damage to farms in that area, and if there will be any impact on prices for the affected crops that are grown here in California. Here in the west, the drought situation is getting a bit worse, we'll tell you where. Yet another multi-million dollar settlement in a land-ripping Waters of the United States case in Tehama county was announced. This time, it was an out of state farm management firm that will be opening their wallets. What were the top 3 farm and ranch products from california last year? you think about that, we'll tell you later...on this week's KSTE Farm Hour. Let's get started!