POPULARITY
Hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, mkutano wa 24 wa Jukwaa la Kudumu la Watu wa jamii za asili (UNPFII) linaendelea kujadili utekelezaji wa Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu haki za watu wa asili na kubaini mbinu bora za kushughulikia changamoto zinazowakabili, ukileta pamoja washiriki kutoka maeneo mbalimbali kote duniani. Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa walipata fursa ya kuzungumza na baadhi yao.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika mkoa wa Mwanza kaskazini magharibi mwa Tanzania ambapo vijana wameshika hatamu kuboresha mustakabali wao. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani tunasalia hapa makao makuu.Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kudumisha Amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, MONUSCO, umeikaribisha kusainiwa kwa “Azimio la Kanuni” tarehe 25 Aprili 2025 mjini Washington, D.C chini ya usimamizi wa Wizara ya mambo ya nje ya Marekani, kati ya serikali za DRC na Rwanda kwa lengo la kulinda rai ana kutekeleza azimio la Baraza la Usalama namba 2773 (2025).Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestina UNRWA, Juliette Touma, akizungumza na waandishi wa habri mjini Geneva kwa njia ya video kutoka mji mkuu wa Jordan, Amman, wakati kuzingirwa kwa Ukanda wa Gaza kukikaribia kuingia mwezi wa pili amesema “Mzingiro wa Gaza ni muuaji wa kimya muuaji wa watoto, wazee, na watu walioko katika mazingira magumu zaidi. Mzingiro huu unamaanisha kwamba familia nzima, watu saba au wanane wanalazimika kushirikiana kopo moja la maharagwe au njegere”.Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO limezitaka nchi za Kaskazini Magharibi mwa Afrika kuongeza ufuatiliaji na kuchukua hatua za mapema kudhibiti makundi ya nzige wa jangwani. Hii ni baada ya nzige wakubwa na makundi madogo kutoka ukanda wa Sahel kuhamia maeneo ya kusini mwa Sahara, hasa katikati ya Algeria, magharibi mwa Libya, na kusini mwa Tunisia tangu Februari hadi Machi mwaka huu.Na katika mashinani fursa ni yake Maruping Onkemetse Mkurugenzi na Mwanzilishi wa Kituo cha Msaada wa Familia, shirika linaloongozwa na wanawake wa asili katika Wilaya ya Gantsi, kijiji cha Chobokwane nchini Botswana anayeshiriki mkutano unaoendelea hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa wa Jukwaa la Watu wa Asili akizungumzia alichojifunza hadi sasa.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya kibinadamu katika ukanda wa Gaza, na harakati za utekelezaji wa Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu haki za watu wa asili. Makala tunasalia hapa hapa makao makuu na mashinani tunakwenda nchini Burundi, kulikoni?Hali si hali huko Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli ambako wakimbizi wa ndani wanakabiliwa na hatari za kiafya ambako panya na wadudu kama vile viroboto na nzi wamesambaa kutokana na mlundikano wa taka na ukosefu wa huduma muhimu kama vile maji safi na salama.Hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, mkutano wa 24 wa Jukwaa la Kudumu la Watu wa jamii za asili (UNPFII) linaendelea kujadili utekelezaji wa Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu haki za watu wa asili na kubaini mbinu bora za kushughulikia changamoto zinazowakabili. Miongoni mwa shiriki wa jukwaa hilo nimwakilishii wa Shirika la Ereto Solidarity Funds ambaye amepata fursa ya kuzungumza na Sharon Jebichii wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa.Makala ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa ya Kitabu na Haki Miliki ambapo kila mwaka tarehe kama ya leo siku hii huadhimishwa ili kutambua nguvu ya vitabu kama daraja kati ya vizazi na vizazi na tamaduni mbalimbali. Anold Kayanda wa Idhaa hii amezungumza na mwandishi maarufu wa vitabu vya elimu, Uchumi na uhamiaji, Ernest Makulilo mkazi wa Marekani katika jimbo la Missouri.Na mashinani kupitia video iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO fursa ni yake Meena Poudel kutoka nchini Nepal, Kusini mwa Asia ambaye ni Katibu wa kikundi cha wanawake watumiaji wa msitu ambacho kinabadilisha takataka za misitu kuwa mbolea rafiki kwa mazingira huku pia wakijipatia kipato."Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Mkutano wa 24 wa Jukwaa la Kudumu la Watu wa jamii za asili (UNPFII) hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa linaendelea kujadili utekelezaji wa Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu haki za watu wa asili na kubaini mbinu bora za kushughulikia changamoto zinazowakabili. Miongoni mwa shiriki wa jukwaa hilo nimwakilishii wa Shirika la Ereto Solidarity Funds ambaye amepata fursa ya kuzungumza na Sharon Jebichii wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa. Anaanza kwa kujitambulisha
Karibu kusikiliza jarida la Umoja wa Mataifa ambapo hii leo tunaendelea na kuwasikia wadau waliohudhuria mkutano uliomalizika wiki iliyopita wa Kamisheni ya hali ya wanawake CSW69 unaotathmini Azimio la Beijing na Mpango wa Utekelezaji vilivyopitishwa mwaka 1995 katika mkutano wa 4 wa kimataifa wa wanawake huko Beijing China. Pia utapata fursa ya kusikiliza muhtasari wa habari na kujifunza kiswahili ambapo leo utapata ufafanuzi wa methali "NDOTO NJEMA HAIHADITHIWI"
Hii leo jaridani tunaangazia hatari za usitishwaji wa misaada kutoka marekani kwa waathirika wa viruzi vya Ukimwi, na ujumbe wa washiriki wa Mkutano wa CSW69 uliokunja chamvi Ijumaa wiki jana. Mashinani tunakupeleka nchini Tanzania, kulikoni?Shirika la Umoja wa Mataifa la kupambana na ukimwi UNAIDS leo limeonya kwamba kusitishwa kwa ufadhili wa Marekani sio tu janga kwa vita dhidi ya gonjwa hilo bali ni chachu ya vifo na ongezeko la maambukizi mapya. Flora Nducha amefuatilia onyo hilo lililotolewa leo mjini Geneva Uswisi na Mkurugenzi mtendaji wa UNAIDS Winnie Byanyima alipozungumza na waandishi wa habari.Wakati Mkutano wa Kamisheni ya Hali ya wanawake Duniani ulioleta pamoja wawakilishi wa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa na mashirika ya Umoja wa Mataifa pamoja na mashirka yasiyo ya kiserikali(NGOs) ulikunja jamvi ijumaa tarehe 21 Machi wiki jana tulipata kuzungumza na wawakilishi wa Shirika lisilo la kiserikali la Forum for Women Democracy Development and Justice, FODAJ ambalo linasaidia wasichana na wanawake waathirika wa ukatili wa kijinsia katika kaunti ya Kajiado nchini Kenya.Makala Anold Kayanda wa Idhaa hii baada ya kukamilika kwa Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake CSW69 uliofikia tamati mwishoni mwa wiki amezungumza na Dkt. Rose Reuben, Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanawake wa Vyombo vya Habari Tanzania (TAMWA) kuhusu tathimini yake ya hatua zilizopigwa katika miaka 30 tangu kuwekwa kwa Azimio la Beijing ili kumkomboa mwanamke.Na katika mashinani fursa ni yake Imani Ramadhani kutoka wilaya ya Kilolo, Iringa nchini Tanzania akieleza jinsi ambavyo maisha ya familia yake ilivyobadilika kupitia mradi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watotot UNICEF, uliofadhiliwa kwa ushirikiano na wadau wake unaolenga kuleta usafi enedelevu wa mazingira, ikiwa ni pamoja na vyoo safi na salama ili kupunguza hatari za kila mara za magonjwa yanayosababishwa na maji machafu. Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!
Rekodi ni chache sana ya vitu ambavyo wanawake wamefanya hapa duniani, anasema Dkt. Rose Reuben, Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania anapozungumza na Anold Kayanda wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa wakati wa Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake, CSW69, jijini New York, Marekani.Mkutano huu muhimu kuhusu wanawake umefanyika kuanzia tarehe 10 hadi 21Machi 2025 na kuhudhuriwa na maelfu ya wanawake kutoka kote duniani naye Dkt. Rose Reuben akiwa mmoja wao.Kiongozi huyu wa waandishi wa habari nchini Tanzania anaona kwamba kuna hatua nyingi zimepigwa katika kipindi cha miaka 30 tangu kuwekwa kwa Azimio la Beijing ili kumkomboa mwanamke lakini bado kuna kazi kubwa ya kufanya.“Na hii kazi sipendi kujilaumu sana kwamba je, hakuna kitu ambacho kimefanyika?! Mambo yamefanyika mengi lakini masuala ya kijamii hayamaliziki kwa usiku mmoja kwasababu kila unapoamka jamii inabadilika kwa namna nyingine. Kwa hiyo tukitazama kwa mtazamo huo tunaona kwamba kuna kazi imefanyika.” Anasema Mkrugenzi huyo Mtendaji wa TAMWA.Kwake, mwandishi wa habari nguli, anaona moja ya maeneo ambayo ni muhimu yafanyiwe kazi ni kuzipa nafasi taarifa zinazohusu shughuli kubwa zinazofanywa na wanawake katika jamii kote duniani kwani licha ya wanawake kuwa na michango mikubwa katika mustakabali wa ulimwengu, taarifa zao hazipewi kipaumbele cha kutosha.“Mimi kwa mtazamo wangu naona wanawake wamefanya kazi nyingi lakini hazijarekodiwa. Rekodi ni chache sana.” Anasisitiza na kuongeza, “kwa hiyo tunatakiwa kuanza kurekodi vile vitu ambavyo vilifanywa na wanawake wale wa miaka 30 iliyopita lakini hata na hawa wanaokuja kizazi kipya.”Dkt. Rose Reuben anahamasisha pia vyombo vya habari kuangazia masuala mengine ambayo kwa namna moja amba nyingine yanaigusa jamii moja kwa moja na hiyo ni kusema yanamgusa mwanamke moja kwa moja kama vile mabadiliko ya tabianchi, tekonolojia, “na vitu vingine ambavyo vinaweza kuathiri usawa wa kijinsia na hali ya mwanamke duniani.”Aidha kiongozi huyo wa TAMWA anatoa wito kwa wanawake popote walipo kutumia nyenzo zinazopatikana katika jamii yao kuhakikisha wanapata taarifa, wanasambaza taarifa na kujipatia maarifa.
Wakati mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani CSW69 ukifikia ukingoni mshiriki kutoka Zanzibar Tanzania ameweleza Flora Nducha wa Idhaa hii ya Kiswahili kwamba Zanzibar imepiga hatua kubwa katika usawa wa kijinsia na utekelezaji kwa vitendo matakwa ya Azimio la Beijing la usawa wa kijinsia na hatua. Je wametekeleza vipi na hatua gani walizopiga? Ungana nao katika mahojiano haya.
Kutana na Francine Aka Epse Akaanghui Rais wa Chama cha wanasheria wanawake nchini Côte d'Ivoire huko Afrika Magharibi. Yeye anashiriki mkutano wa 69 wa Hali ya Wanawake duniani, CSW69 akisema taifa lake lina mengi ya kujivunia wakati huu wa kuadhimisha miaka 30 tangu kupitishwa kwa Azimio la Beijing na Jukwaa la Utekelezaji. Francine amezungumza na Assumpta Massoi katika makala hii.
Hii leo jaridani tunaangazia maadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake, na hali ya wanawake wajawaito nchini Ukraine. Makala tunakwenda nchini Tanzania na mashinani tunakupeleka nchini Kenya, kulikoni?Kuelekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake Machi 8, tathmini mpya ya Umoja wa Mataifa iliyowekwa wazi leo ikiangazia haki za wanawake miaka 30 baada ya Azimio la Beijing inaonesha uwepo wa maendeleo katika usawa wa kijinsia, kama vile sheria dhidi ya ubaguzi na sera jumuishi za kijinsia. Hata hivyo, ripoti hiyo inaeleza uwepo bado wa ubaguzi wa kijinsia uliojikita katika jamii, ukiendelea kuwazuia wanawake na wasichana kupata fursa.Zikiwa zimesalia siku mbili ya leo na kesho kufika tarehe 8 Machi Siku ya Kimataifa ya Wanawake, tunaendelea kuangazia hali ya wanawake duniani. Sharon Jebiichi anatupeleka Ukraine kutukutanisha na Mwakilishi wa muda wa Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu UNFPA nchini humo ambaye anaangazia madhila wanayokutana nayo wanawake wajawazito wa Ukraine.Katika makala Assumpta Massoi anakupeleka kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake kwenye mkoa mmoja ulioko katikati mwa Tanzania.Na mashinani kesho Dunia ikiadhimisa siku ya kimataifa ya wanawake duniani tunakwenda nchini Kenya kusikia ujumbe wa mwanaharakati wa wanawake kuhusu uswa wa kijinsia.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!
Mwaka 1995 huko Beijing, China kwenye mkutano wa nne wa kimataifa wa wanawake lilipitishwa Azimio la Beijing na Mpango wa Utekelezaji, ambalo pamoja na mambo mengine lililenga kusongesha haki za wanawake. Mwaka huu wa 2025 ikiwa ni miaka 30 baadaye, tathmini ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, inaonesha kuwa nchi zimesonga mbele katika usawa wa jinsia na uwezeshaji wanawake, kuanzia kuharamaisha ubaguzi kwenye ajira hadi mipango ya kuhimili tabianchi inayozingatia jinsia. Lakini bado kuna vikwazo vya kijamii, kiuchumi na kisiasa na ndio maana wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake mwaka huu wa 2025 kipaumbele ni kusongesha uwezeshaji, haki na usawa. Ni katika kumulika harakati hizo, Assumpta Massoi anakupeleka Singida nchini Tanzania kwenye maadhimisho yaliyoambatana na ujengeaji uwezo.
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambapo Umoja wa Mataifa kupitia miradi mbalimbali ikiwemo mradi wa Pamoja wa Kigoma, KJP nchini Tanzania, unaolenga kuhakikisha wanawake na wasichana wanajumuishwa kwenye mipango ya kuhimili na kukabili mabadiliko ya tabianchi, kwa kuwajengea uwezo.Kuelekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake Machi 8, tathmini mpya ya Umoja wa Mataifa iliyowekwa wazi leo ikiangazia haki za wanawake miaka 30 baada ya Azimio la Beijing inaonesha uwepo wa maendeleo katika usawa wa kijinsia, kama vile sheria dhidi ya ubaguzi na sera jumuishi za kijinsia. Hata hivyo, ripoti hiyo inaeleza uwepo bado wa ubaguzi wa kijinsia uliojikita katika jamii, ukiendelea kuwazuia wanawake na wasichana kupata fursa.Ripoti nyingine ya Umoja wa Mataifa iliyochapishwa leo ikiangazia Sudan imefichua vitendo vya watu kukamatwa kiholela, mateso, na unyanyasaji huko Khartoum vinavyotekelezwa na Vikosi vya wanamgambo wa Rapid Support Forces (RSF) na pia Jeshi la Serikali ya Sudan (SAF). Ripoti hiyo imearifu pia kuwa makumi ya maelfu ya watu wamewekwa katika mazingira duni tangu Aprili 2023.Kutokana na kupungua kwa ufadhili wa misaada ya kibinadamu duniani, Umoja wa Mataifa leo jijini Geneva, Uswisi kutenga dola milioni 110 ili kusaidia majanga yaliyopuuzwa katika nchi 10 barani Afrika, Asia, na Amerika Kusini, zikiwemo Niger, Somalia, Jamhuri ya Afrika ya Kati na Zambia.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia maana ya methali “MCHAWI AKIFICHUA MIRIMO YA WACHAWI HU UAWA”.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!
Hii leo jarida linamulika wasiwasi kuhusu hali ya watetezi wa haki za binadamu nchini DRC, wakati huu hali ya usalama si shwari mashariki mwa nchi; kuelekea siku ya wanawake duniani, Mkuu wa UN Women arejelea Azimio la Beijing; vilabu vya Dimitra nchini DRC vinavyosaidia wanawake na wanaume kuketi pamoja na kutatua changamoto zinazowakabilia; mashinani ni Ramadhani huko Gaza.Hali ya kibinadamu ikiendelea kuzorota mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mtaalamu Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na hali ya watetezi wa haki za binadamu, Mary Lawlor leo ametoa wito wa msaada wa dharura na wa vitendo kwa watetezi wa haki za binadamu katika eneo hilo. Anold Kayanda na taarifa zaidi.Kuelekea siku ya wanawake duniani itakayoadhimishwa mwishoni mwa wiki hii ambayo ni tarehe 8 mwezi Machi, Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya wanawake UN Women, Sima Bahous, amesisitiza kwamba ahadi zilizowekwa kwenye Azimio la Beijing miaka 30 iliyopita kuhusu haki za wanawake hazipaswi tu kukumbukwa bali zinahitaji kutekelezwa kikamilifu. Flora Nducha anafafanua zaidiMakala inakupeleka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC ambako mradi wa shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) ulioanzishwa kati ya mwaka 2008 hadi 2023 umeleta mabadiliko chanya ukiimarisha usawa wa kijinsia. Mwenyeji wako ni Sharon Jebichii.Ibrahim Al-Ghandour, mpalestina huyu akiwa eneo la Gaza mbele ya nyumba yake iliyogeuzwa kifusi kutokana na mashambulizi ya Israeli akielezea maoni yake ya mfungo unaoendelea wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Kuelekea siku ya wanawake duniani itakayoadhimishwa mwishoni mwa wiki hii ambayo ni tarehe 8 mwezi Machi, Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya wanawake UN Women, Sima Bahous, amesisitiza kwamba ahadi zilizowekwa kwenye Azimio la Beijing miaka 30 iliyopita kuhusu haki za wanawake hazipaswi tu kukumbukwa bali zinahitaji kutekelezwa kikamilifu. Flora Nducha anafafanua zaidiAkizungumza wiki hii mjini Geneva Uswisi katika majadiliano ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ya kuadhimisha miaka 30 ya Azimio la Beijing (#Beijing30), Bi. Bahous amebainisha umuhimu wa kuharakisha maendeleo ya usawa wa kijinsia akiwataka viongozi wa dunia kuchukua hatua thabiti ili kuhakikisha haki za wanawake zinapewa kipaumbele wakati wa changamoto zinazoendelea duniani.Amesema “Miaka 30 iliyopita dunia iliweka ahadi ya kusongesha fursa na utu wa wanawake na wasichana wote. Ahadi hiyo haikuwa maneno matupu kwenye karatasi, ilikuwa ramani ya njia na wito wa mshikamano . Na kwa miongo mitatu imechochea hatua, wasichana wengi sasa wako shule, wanawake wengi wako bungeni , kuna sheria nyingi zaidi zinawalinda wanawake dhidi ya ukatili, na mataifa mengi zaidi yanatambua usawa wa kijinsia ni lazima.”Licha ya mafanikio hayo yote Bi, Bahous amesema ndio kwanza mkoko unaalika maua kwani safari bado ni ndefu“Hebu tuwe wakweli hatujafika tunapopaswa kuwa. Haki za wanawake na wasichana zinashambuliwa, fursa za wanawake kupaza sauti zinazidi kupungua na endapo tutaendelea na kasi hii msichana aliyezaliwa leo atakuwa na umri wa miaka 39 kabla wanawake hawaja na viti vingi bungeni kama wanaume, atakuwa na umri wa miaka 68 kabla ndoa za utotoni hazijakomeshwa, na atakuwa na umri wa miaka 137 kabla umasikini uliokithiri kwa wanawake na wasicha haujatokomezwa. Hatuwezi kulikubali hili.”Mkuu huyo wa UN Women ameyahimiza mataifa yote kuchukua hatua sasa ili kuhakikisha ndoto za azimio la Beijing hazisalii kuwa ndoto bali maisha halisi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amepongeza na kutoa shukrani kubwa kwa uvumilivu na kujitolea kunakofanywa na walinda amani wa Kikosi cha Muda cha Umoja wa Mataifa nchini Lebanon UNIFIL, wakati wa ziara yake hii leo katika makao makuu kikosi hicho mjini Naqoura. Flora Nducha na taarifa zaidi Asante Assumpta Guterres ambaye yuko Lebanon tangu jana kwenye ziara ya mshikamano akizungumza na uongozi wa kikosi hicho cha UNIFIL na wafanyakazi, amewapongeza kwa ujasiri na juhudi zao katika mazingira magumu zaidi ya kazi ya kulinda amani duniani.Amesema “Hampo tu kwenye mstari wa Bluu wa Lebanon, mpo kwenye mstari wa mbele wa amani,”akitambua jukumu lao muhimu katika kudumisha utulivu licha ya mashambulizi na vitisho vya kiusalama.Katibu Mkuu ameelezea kuhusu mchango muhimu wa kikosi hicho katika kuzuia vurugu, kupunguza mvutano, kuruhusu upatikanaji wa misaada ya kibinadamu, na kuwalinda raia amesema “Kazi yenu imekuwa muhimu na ya kipekee katika kurejesha utulivu kusini mwa Lebanon na katika mstari wa Bluu.”Audio fileAmesisitiza umuhimu wa kufuata Azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa namba 1701, akitoa wito kwa pande zote kuheshimu usalama wa maeneo ya Umoja wa Mataifa na kuhakikisha usalama wa walinda amani ikiwemo msitari wa Bluu amba oni eneo tenganishi baina ya Israel na Lebanon.Mkuu huyo wa Umoja wa Mataifa ameonya kwamba “Mashambulizi dhidi ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa hayakubaliki kabisa, yanakiuka sheria za kimataifa, na yanaweza kuwa uhalifu wa kivita.”Pia alilaani uwepo wa vikundi vyenye silaha na ukiukwaji unaofanywa na vikosi vya ulinzi vya Israeli ndani ya eneo la kazi la UNIFIL.Akiangazia siku zijazo, Guterres ameelezea matumaini ya kipindi endelevu cha utulivu na maendeleo katika kutekeleza Azimio namba 1701, linalolenga kuimarisha amani na utulivu wa kudumu kati ya Lebanon na Israeli.Amehitimisha taarifa yake kwa kusema“Kwa pamoja, tunaweza kufanikisha fursa hii ya kipekee,” na kuahidi kuendelea kuunga mkono kikosi hicho na kushirikiana kwa karibu na nchi zinazochangia wanajeshi wa UNIFIL ili kuboresha uwezo wa kiutendaji na kuhakikisha usalama wa walinda amani.
Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake, Je wajua kwamba wanawake na wasichana 140 walifariki dunia kila siku duniani kote mwaka 2023 wakiwa mikononi mwa wapenzi wao au ndugu wa karibu, ikimaanisha kuwa mwanmake mmoja anauawa katika kila dakika 10. Na zaidi ya yote bara la Afrika linaongoza? Maudhui ya siku hii yanasema “Hakuna kisingizio” cha ukatili dhidi ya wanawake lama alioushuhudia Ester manusura kutoka Uganda, ambaye kwa miaka mingi amekuwa akifanyiwa ukatili na mpenzi wake anaema “Nilikuwa na umri wa miaka 15 aliponioa naye alikuwa na miaka 28wakati mwingine alikuwa akinivua nguo zote na kunilazimisha kukaa kwenye varandana nilikuwa nikichelewa kurudi ananitandika nje nyumba kila mtu kushuhudia Nilikuwa katika hali mbaya ya uchungu Mkubwa na kuvuja damu.”maadhimisho ya mwaka huu yanaambatana na ripoti iliyotolewa leo jijini New York, Marekani na mashirika ya Umoja wa Mataifa likiwemo lile la masuala ya wanawake, UN Women na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Dawa za kulevya na Uhalifu, (UNODC), inaangazia mwanga wa janga la mauaji ya wanawake na kutoa wito kwa hatua za dharura ili kukabili janga hilo.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres katika ujumbe wake wa siku hii inayoadhimishwa tarehe 25 mwezi Novemba kila mwaka, ikiashiria pia kuanza kwa siku 16 za kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake, zikiwa na kilele chake tarehe 10 mwezi Desemba, siku ya Haki za Binadamu duniani amesema “Janga la ukatili dhidi ya wanawake na wasichana linaaibisha ubindamu, dunia lazima iitikie wito huu. Tunahitaji hatua za dharura kwa ajili ya haki na uwajibikaji, na kusaidia uchechemuzi.”Mkurugenzi mtendaji wa UN Women Sima Bahous amesisitiza kuwa “Ukatili dhidi ya wanawake na wasichana si kwamba hauepukiki, unaweza kuzuilika. Tunahitaji sheria thabiti, ukusanyaji bora wa takwimu, uwajibikaji zaidi wa serikali, utamaduni wa kutovumilia, na kuongezeka kwa ufadhili kwa mashirika ya kupigania haki za wanawake na taasisi. Tunapokaribia kuadhimisha miaka 30 ya Azimio la Beijing na Jukwaa la Utekelezaji mwaka 2025, ni wakati wa viongozi wa dunia kuungana na kuchukua hatua kwa haraka, kujitolea na kuelekeza rasilimali zinazohitajika kumaliza mgogoro huu mara moja na kwa wote”Mauaji ya wanawake yanavuka mipaka, hali ya kiuchumi na kijamii, utamaduni. Hata hivyo kiwango au ukubwa wake unatofautiana.Kwa mujibu wa ripoti hiyo, bara la Afrika lilivunja rekodi ya kuwa na viwango vya juu vya wanawake kuuawa na wapenzi wao au mwanafamilia. Wanawake 21,700 waliuawa Afrika mwaka huo wa 2023, ikifuatiwa na bara la Amerika na kisha Oshenia.Mashirika ya UN Women na…
Leo ikiwa ni siku ya watoto duniani ikirejelea tarehe 20 Novemba mwaka 1954 kwa mara ya kwanza kabisa ilipoanzishwa na Umoja wa Mataifa ili kusongesha umoja na kujitambua miongoni mwa watoto duniani. Kisha siku hii ikaongezwa nguvu na Azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu Watoto duniani mwaka 1959 na hatimaye mwaka 1989 Baraza hilo lililopitisha Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto, CRC. Mkataba unatambua haki kuu nne za msingi za mtoto: Kuishi, Kuendelezwa, Kulindwa na Kushirikishwa. Hii leo shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limefanya maadhimisho ya kimataifa huko Copenhagen Denmark, na Madina Jubilate, Mchechemu wa UNICEF Tanzania kwa Tabianchi anaelezea alivyoshiriki.
Jana Jumapili ya Septemba 22 viongozi wa dunia walipitisha Mkataba wa Zama Zijazo. Mkataba huu unalenga kukabili changamoto za karne ya 21 kuanzia mizozo, mabadiliko ya tabianchi, haki za binadamu, hadi taarifa potofu na za uongo. Maeneo Matano makuu ni pamoja na maendeleo endelevu, amani na usalama duniani, sayansi na teknolojia, vijana na vizazi vijavyo na marekebisho ya usimamizi wa dunia, kipengele muhimu wakati huu ambapo taasisi za fedha za kimataifa na Umoja wa Mataifa wenyewe wameshindwa kuja na majawabu ya karne ya 21. Mkataba wa Kimataifa wa Kidijitali unaoelenga pamoja na mambo mengine usimamizi bora wa Akili Mnemba, pamoja na Azimio kwa ajili ya Vizazi Vijavyo linalotaka serikali za sasa kutilia maanani vizazi vijavyo zinapopitisha maamuzi yao ya leo, ni sehemu ya viambatanishi vya Mkataba huu wa Zama Zijazo. Assumpta Massoi ametaka kufahamu maoni ya vijana baada ya hatua hii, na ndio mada yetu kwa kina siku ya leo.
Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kulinda elimu isishambuliwe wakati wa mizozo kutokana na umuhimu wake kwa watoto na jamii, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema miaka ya karibuni imeshuhudia ongezeko kubwa la mashambulizi dhidi ya wanafunzi, walimu na shule duniani kote. Hivyo ndivyo alivyoanza ujumbe wake wa siku hii. Katibu Mkuu anasema kuanzia Gaza hadi Sudan, Myanmar, Ukraine, Colombia hadi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na kwingineko, vita inasababisha ukatili kwa binadamu, lakini kwa watoto na vijana waliokutwa katikati ya jinamizi la vita, gharama haiwezi kukokotolewa.Anasema ndio maana siku hii inatukumbusha jinsi vita inaharibu miili, akili na fikra za watoto na vijana. Kuanzia majeraha hadi vifo, kutekwa nyara, kulazimika kukimbia, ukatili wa kingono, kutumikishwa vijana na kupoteza fursa. Hatari ni kubwa sana.Anakumbusha kuwa elimu sio tu haki ya msingi ya binadamu, bali ni muhimu kwa ajili ya kutimiza haki nyingine zote za binadamu.Ni kwa mantiki hiyo anataka nchi ziwekeze kwenye elimu na zifanye juhudi zote kuhakikisha wakati wa mizozo elimu na maeneo ya kujifunza yanalindwa, zilinde wanafunzi na walimu na ziwawajibishe wale wote wanaoshambulia shule.Ametumia pia ujumbe huo kuzitaka nchi ziridhie na zitekeleze Azimio la Shule Salama, ziunge mkono Ubia wa Kimataifa wa Kuepusha Mashambulizi dhidi ya Shule na zishikamane na juhudi zote za kuhakikisha watoto na vijana wanaendelea kujifunza iwe wakati wa majanga au wakati majanga yanapokoma.Ametamatisha akisema hebu na tulishe elimu isishambuliwe, tulinde haki ya msingi ya elimu ambayo ni haki ya kila mtoto, kila mtu kokote kule.
In Kenya, there appears to be cracks within the opposition Azimio la Umoja One Kenya coalition led by Raila Odinga. Martha Karua, the leader of the National Rainbow Coalition – Kenya (NARC-Kenya) and Odinga's running mate during the 2022 presidential elections, says she's leaving the coalition. The Nation Kenya online quotes Karua as saying that staying in Azimio was no longer tenable due to prevailing political developments. Her announcement comes after President William Ruto appointed four members of Odinga's party to the reconstituted cabinet. Joseph Kioko, a Kenyan political analyst, tells VOA's James Butty, Karua's departure is inconsequential
On Daybreak Africa: African women athletes aim for Olympic medals in Paris. Plus, South African President Ramaphosa appoints the country's first female Chief Justice. Liberia commemorates its 177th independence anniversary Friday. Cracks appear in the opposition Azimio la Umoja One Kenya coalition as Martha Karua quits. The name game begins as Kamala Harris considers a running mate. For these and more, tune in to Daybreak Africa!
Maandamano dhidi ya serikali yameingiliwa na wahuni ambao nia yao ni kupora, kujeruhi na hata kuua na kuharibu. Jumatano wiki hii, wahuni pia wametatiza mkutano wa Azimio, wakisababisha purukushani na majeraha kwa wanahabari. Ni wakati wahuni hawa na wafadhili wao wakabiliwe vilivyo.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Hamas wasema wanakaribisha azimio la Umoja wa mataifa la hatua tatu kwelekea kwa sitisho la mapigano kati yao na Israeli
Mkutano wa COP28 uliafikia mataifa mbalimbali kuanza polepole kuachana na matumizi ya mafuta ya kisukuku, mataifa ya Afrika yakitoa wito wa mataifa yenye nguvu na yanayozalisha nishati hii kwa wingi kuwa mfano katika utekelezwaji wa hilo. Mwenyekiti wa shirika la vijana la Youth Survival Organization, YSO, linalojihusisha pia na mzingira, Humphrey Mrema kutoka nchini Tanzania, anaangazia jinsi mkutano wa COP28 ulivyokuwa na mambo yanayoweza kutekelezwa na nchi kufikia mwaka 2030 lakini pia mwaka 2050.
In this episode, Dr. Ken Opalo, a Georgetown University Professor provides a comprehensive analysis of Kenya's cost-of-living crisis. We unpack the underlying factors, assess government responses, and examine potential outcomes of current economic policies aimed at easing the cost of living. On the political front, blame games persist, with the opposition (Azimio) pointing fingers at the government. The Kenya Kwanza government on the other hand blames the global economic environment and the previous regime. We also delve into Kenya Kwanza's fiscal policies, which prioritize a populist agenda under the Bottom-Up Economic Transformation (BETA). These policies include the introduction of a Housing Levy and changes to income tax and VAT. In agriculture, the focus is on subsidizing production rather than consumption, with reductions in the cost of fertilizers and importation of edible oils and food commodities. Protests against some of these policies and increased taxation have persisted since the introduction of the Finance Bill. So, what is the way forward? Our guest underscores the need for effective governance and prudent economic policies to address the cost-of-living crisis and its associated challenges. You can read more about Dr. Ken Opalo's work by visiting the following link: https://kenopalo.substack.com/p/understanding-the-economic-foundations
Mkutano wa tabianchi jijini Nairobi, ulikusudiwa kuja na azimio la pamoja kuhusu msimamo wa bara hilo kuhusu kukailiana na mabadiliko ya tabianchi. Ahadi ya Dola Bilioni 23 iliahidiwa na wadau kutoka mataifa mbalimbali, kusaidia kupambana na mabadiliko ya tabia nchi, barani Afrika.
On the episode we discuss " a return to the negotiation table" and the bipartisan talks after maandamano and other pertinent current issues in the nation.
This is a reaction to sentiments by Prof. Mutahi Ngunyi, who defected to Kenya Kwanza after the loss of his coalition Azimio in the 2022 election. Mutahi, defected and while at it, gave too many lies as his reason for defection. Mutahi, there is life in opposition. If indeed you believe in what you stand for, stick to your side and fight for those ideals.
Azimio Protests; Death And Destruction | The Global Digest S01E016
Baada ya jana Jumanne nia ya Baraza la Usalama kupitisha azimio ambalo ningeruhusu uvushaji misaada ya kibinadamu katika kivuko cha Bab al-Hawa kwenye mpaka wa Syria na Uturuki kaskazini-magharibi mwa Syria ili ikaokoe maisha ya wananchi wa nchi hiyo ambao wamekuwa kwenye zaidi ya miaka 12 ya vita kukwama kutokana na Urusi kupiga kura ya turufu kulipinga azimio hilo lingerefusha operesheni hiyo kwa miezi tisa mbele baada ya kufikia ukomo juzi tarehe 10 Julai, hofu sasa ni kuwa matokeo yake yatakuwa maumivu zaidi kwa wananchi wa Syria. Huyo ni Priscilla Gomes mmoja wa maafisa wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR akiwa huko kaskazini-magharibi mwa Syria anasema…kwa sasa yuko Atma, katika moja ya vituo vya jamii vinavyoungwa mkono na UNHCR. Priscilla Akieleza umuhimu wa misaada ya kibinadamu huko anasema, "Hapa, watoto na watu wazima ambao wameathiriwa na migogoro na tetemeko la ardhi wanaweza kupata huduma muhimu za ulinzi, ikiwa ni pamoja na ushauri wa kisheria, msaada wa kisaikolojia, na upatikanaji wa shughuli za jamii na mafunzo ya ufundi.” Takribani watu milioni 4.1, ambapo inakadiriwa milioni 2.7 ni wakimbizi wa ndani, wanaendelea kuhitaji msaada muhimu wa kuokoa maisha. Wakati Umoja wa Mataifa na wadau wake wametayarisha mpango wa mwendelezo wa utoaji misaada, pengo lililoletwa na kutopitishwa mwendelezo wa azimio la kuvusha misaada kutoka Türkiye hadi kaskazini-magharibi mwa Syria kunaweza kuongeza mateso ya wanadamu kwa haraka. Priscilla Gomes afisa huyu wa UNHCR akiwa bado kaskazini magharibi mwa Syria anahitimisha akisema, "Ni muhimu kutoa msaada wa haraka wa kuokoa maisha. Na ni muhimu pia kuunga mkono mwitikio katika muda wa kati na mrefu, kushughulikia mahitaji makubwa.
On Daybreak Africa: Raila Odinga, the leader of the main opposition party, Azimio la Umoja One Kenya, has called for a new anti-government protest Friday. The demonstration coincides with the formation of Saba Saba, or the July 7th Movement, against one-party rule in Kenya 33 years ago. Odinga says Friday's protest will be about government taxation without the consent of the people. Plus, Nigeria's electoral body begins a review of controversial elections amid court challenges. Anticipation builds in Liberia for Monday's speech by provocative political commentator and radio talk show host on the 2023 elections. The head of the United Nations Mission in South Sudan says the country is not ready for the 2024 elections.For this and more tune to Daybreak Africa!
Makala hii imeangazia mapigano na hali inavyoendelea nchini Sudan, na miito ya kusitishwa mapigano, muswada wa sheria unaopinga ushoga ulirejeshwa bungeni wiki hii, na kuanza kwa mazungumzo kati ya wajumbe wa muungano wa Upinzani wa Azimio nchini Kenya na wajumbe wa rais wa Kenya William Ruto nchini, tumeangazia yaliyojiri katika eneo la Afrika magharibi na kwengineko duniani
On this special episode we discuss the current state of affairs as Azimio coalition leader calls for Maandamano to continue alongside scheduled bipartisan talks & other matters.
Makala haya ya Wimbi la siasa, juma hili tunapigia darubini siasa za upinzani zinazoendelezwa nchini Kenya. Juma lililopita, kinara wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, alitangaza kuitisha maandamano ya nchi nzima ndani ya siku 14 zijazo, ikiwa matakwa ya muungano wao wa Azimio hayatatekelezwa ikiwemo kushusha gharama ya maisha kwa raia.
Vita ya Ukraine ikiwa inaingia mwaka wake wa pili, wawakilishi mbalimbali wa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa wametoa maoni yao kufuatia uamuzi kwa njia ya kura uliofanywa na Kikao Maalumu cha dharura cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kupitisha azimio jipya la kutaka amani ya haki na ya kudumu nchini Ukraine na kwamba Urusi bila masharti yoyote iondoe mara moja majeshi yake katika ardhi ya Ukraine. Umaalumu wa kikao hiki cha siku mbili kilichokamilika jana jijini, New York, Marekani ni kwa mujibu wa azimio lilipotishwa mwaka 1950 na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwamba Baraza hilo linaweza kushughulikia masuala ya kimataiafa yanayohusu amani na usalama pale ambapo Baraza la Usalama linakuwa limeshindwa kufanya hivyo. Kwa msingi huo kutokana na mara kwa mara Urusi kutumia kura ya turufu katika Baraza la Usalama kuzuia uamuzi wa kuibana, ndipo kikao hiki cha Baraza Kuu kikaitishwa kwa siku mbili Jumatano na Alhamis katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani ili nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa wapige kura kuiambia Urusi iondoke Ukraine.Awali kabla ya azimio kupigiwa kura, Vassily Nebenzia Waziri wa Mambo ya nje wa Urusi aliliambia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuwa kufanya uamuzi kwa kuangalia tu yaliyotokea Februari 24 mwaka jana 2022 ni jaribio la makusudi la nchi za Magharibi kuficha sababu za kweli za mzozo huo. Hata hivyo matokeo ya kura yakaonesha kuwa walioinga mkono Urusi ni nchi 7 tu, 31 zikionesha kutokuwa upande wowote huku 141 zikiliunga mkono Azimio. Vita ikome, Urusi iondoke Ukraine.Kwa upande wake Waziri wa Mambo ya nje wa Ukraine, Dmytro Kuleba, mara tu baada ya kupitishwa kwa azimio… anasema “nchi yangu imeridhika na matokeo na ujumbe uko wazi; Haijalishi ni nini Urusi inajaribu na jinsi inavyojaribu kudhoofisha utaratibu wa kimataifa, inashindwa kila mara.” Naye Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa aliwasisitizia wajumbe akisema, “uchokozi ni kinyume cha sheria. Kumvamia jirani ni kinyume cha sheria. Kujimegea kipande cha nchi nyingine ni kinyume cha sheria.” Miongoni mwa nchi 32 ambazo zimepiga kura isiyoonesha kama zinaunga mkono azimio au la pamoja na Burundi, Msumbiji, Ethiopia, Congo, Zimbabwe, Afrika Kusini, China, India na Pakistan. Na zile ambazo zimeiunga mkono Urusi kwa kulipinga azimio hilo la kumaliza vita Ukraine ni Belarus, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea, Eritrea, Mali, Nicaragua, Urusi yenyewe na Syria.
On Daybreak Africa: The former chairperson of Kenya's Independent Electoral and Boundaries Commission [IEBC], Wafula Chebukati, alleges that he was offered a bribe by the opposition Azimio la Umoja to alter the results of the 2022 presidential race. For this and more, stay tuned to VOA's Daybreak Africa!
Ikiwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Syria ikikariiba kuingia mwaka wa 12, azimio muhimu linalotegemewa katika kufikisha misaada ya dharura nchini humo linatarajiwa kufikia ukomo tarehe 10 mwezi huu wa Januari. Azimio hilo namba 2642 lilikuwa ni la miezi 6 tu ilhali maazimio tangulizi ya aina hiyo ya kuwezesha misaada ya kibinadamu kuingia Syria kupitia mpaka wa Uturiki na Syria upande wa Kaskazini- Magharibi yalikuwa ya mwaka mmoja mmoja. Wito umetolewa na pande mbalimbali duniani kwa azimio hilo la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liongezwe muda kwani ndio uhai na tegemeo kubwa kwa wasyria hivi sasa wakati ambao ni msimu wa baridi kali.Je ni kwa kiasi gani azimi hilo linategemewa? Tujiunge basi na Happiness Pallangyo wa Radio washirika UHAI FM kutoka Tabora Tanzania katika makala hii iliyoandaliwa na ofisi ya Umoija wa Mataifa ya kuratibu misaada ya kibinadamu OCHA.
Makala hii imeangazia vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya waasi wa DRC, na pia hatua ya makundi ya waasi wa mashariki mwa DRC kusaini mkataba wa kusitisha vita, kinara wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga aanza mikutano yake ya kisiasa, Uganda yapokea shehena ya kwanza ya chanjo za majaribio dhidi ya virusi Ebola, Ufaransa na Senegal zilitiliana saini kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia, Marekani na Urusi zilibadilishana wafungwa..
Random listen today, find out what it means to be "Azimio-ed" also how to cope when your sim card has been blocked. --- Support this podcast: https://anchor.fm/conrad-gray4/support
This week on The Sound Kitchen you'll hear the answer to the question about Kenyan Raila Odinga's presidential aspirations. There's “On This Day”, the bonus question and the “Listeners Corner” with Michael Fitzpatrick, and lots of good music. All that, and the new quiz question, too, so click on the “Audio” arrow above and enjoy! Hello everyone! Welcome to The Sound Kitchen weekly podcast, published every Saturday – here on our website, or wherever you get your podcasts. You'll hear the winners' names announced and the week's quiz question, along with all the other ingredients you've grown accustomed to: your letters and essays, “On This Day”, quirky facts and news, interviews, and great music … so be sure and listen every week. Erwan and I are busy cooking up special shows with your musical requests, so get them in! Send your musical requests to thesoundkitchen@rfi.fr Tell us why you like the piece of music, too – it makes it more interesting for us all! Be sure you check out our wonderful podcasts! In addition to the breaking news articles on our site, with in-depth analysis of current affairs in France and across the globe, we have several podcasts which will leave you hungry for more. There's Paris Perspective, Africa Calling, Spotlight on France, and of course, The Sound Kitchen. We have an award-winning bilingual series – an old-time radio show, with actors (!) to help you learn French, called Les voisins du 12 bis. And there is the excellent International Report, too. As you see, sound is still quite present in the RFI English service. Keep checking our website for updates on the latest from our staff of journalists. You never know what we'll surprise you with! To listen to our podcasts from your PC, go to our website and click on the three horizontal bars on the top right, choose “Listen to RFI / Podcasts”, and you've got ‘em ! You can either listen directly or subscribe and receive them directly on your mobile phone. To listen to our podcasts from your mobile phone, slide through the tabs just under the lead article (the first tab is “Headline News”) until you see “Podcasts”, and choose your show. Teachers, take note! I save postcards and stamps from all over the world to send to you for your students. If you would like stamps and postcards for your students, just write and let me know. The address is english.service@rfi.fr If you would like to donate stamps and postcards, feel free! Our address is listed below. Another idea for your students: Br. Gerald Muller, my beloved music teacher from St Edward's University in Austin, Texas, has been writing books for young adults in his retirement – and they are free! There is a volume of biographies of painters and musicians called Gentle Giants, and an excellent biography of Dr. Martin Luther King, Jr., too. They are also a good way to help you improve your English - that's how I worked on my French, reading books which were meant for young readers – and I guarantee you, it's a good method for improving your language skills. To get Br. Gerald's free books, click here. Independent RFI English Clubs: Be sure to always include Audrey Iattoni (audrey.iattoni@rfi.fr) from our Listener Relations department in all your RFI Club correspondence. Remember to copy me (thesoundkitchen@rfi.fr) when you write to her so that I know what is going on, too. N.B.: You do not need to send her your quiz answers! Email overload! And don't forget, there is a Facebook page just for you, the independent RFI English Clubs. Only members of RFI English Clubs can belong to this group page, so when you apply to join, be sure you include the name of your RFI Club and your membership number. Everyone can look at it, but only members of the group can post on it. If you haven't yet asked to join the group, and you are a member of an independent, officially recognized RFI English club, go to the Facebook link above, and fill out the questionnaire !!!!! (if you do not answer the questions, I click “decline”). There's a Facebook page for members of the general RFI Listeners Club too. Just click on the link and fill out the questionnaire, and you can connect with your fellow Club members around the world. Be sure you include your RFI Listeners Club membership number (most of them begin with an A, followed by a number) in the questionnaire, or I will have to click “Decline”, which I don't like to do! There are four new members of the Naz RFI and Internet Fan Club in Faisal Abad, Pakistan, Rasheed Naz, president. A warm welcome to Razzaq Shahid, Master Mahboob Ahamad, Sayed Shakeel Haider Bukhari, and Rashid Qamar – I look forward to hearing about all your Club's activities with your increased membership, and of course, seeing your names on The Sound Kitchen quizzes and the bonus questions! This week's quiz: On 10 September, I asked you a question about an article written by RFI English journalist Zeenat Hansrod: “Kenya Supreme Court rules no foul play in 2022 elections and upholds Ruto's win”. Kenya held their presidential poll on 9 August; William Ruto of the United Democratic Alliance won 50.49 percent of the vote, narrowly defeating Raila Odinga from the Azimio party, who won 48.85 percent of the votes. As noted in the title of Zeenat's article, William Ruto's victory was upheld; he was inaugurated on 13 September as the country's fifth president. I asked you to tell me how many times Raila Odinga has run for president of Kenya. The answer is: five times. As he is now 77, we'll see if he runs again. Kenya's presidents serve for five years. In addition to the quiz question, there was the bonus question, this week for our gentlemen listeners: What would you do if you were a woman for a week, and what would your name be? The winners are: RFI Listeners Club member and faithful Sound Kitchen participant Jayanta Chakrabarty from New Delhi, India. Jayanta is also the winner of this week's bonus question. The other winners this week are RFI Listeners Club members Muhammad Nasyr from Katsina State, Nigeria; Sahadot Hossain from Kishoreganj, Bangladesh; Muhammad Shamim from Kerala State, India – Muhammad is also the president of the Golden Eagles RFI Club - and last but not least, RFI English listener Sajjad Hossain from Joypurhat, Bangladesh. Congratulations winners! Here's the music you heard on this week's program: “Because I did not conform” from Danses Grecques by Mikis Theodorakis, performed by the Maurice Béjart Ballet of XX century ensemble; Kenya's National Anthem, composed by Thomas Johnson Kuto Kalume; “The Flight of the Bumblebee” by Nicolai Rimsky-Korsakov; “The Cakewalk” from Children's Corner by Claude Debussy, performed by the composer, and “High Step” by Pepper Adams, performed by the Pepper Adams ensemble. Do you have a musical request? Send it to thesoundkitchen@rfi.fr This week's question ... you have to listen to the show to participate. After you've listened to the show, be sure to look at our website for articles about the Nobel prize winners, which will help you with the answer. You have until 31 October to enter this week's quiz; the winners will be announced on the 5 November podcast. When you enter, be sure you send your postal address with your answer, and if you have one, your RFI Listeners Club membership number. Send your answers to: english.service@rfi.fr or Susan Owensby RFI – The Sound Kitchen 80, rue Camille Desmoulins 92130 Issy-les-Moulineaux France or By text … You can also send your quiz answers to The Sound Kitchen mobile phone. Dial your country's international access code, or “ + ”, then 33 6 31 12 96 82. Don't forget to include your mailing address in your text – and if you have one, your RFI Listeners Club membership number. To find out how you can win a special Sound Kitchen prize, click here. To find out how you can become a member of the RFI Listeners Club, or to form your own official RFI Club, click here.
Uchaguzi wa spika wa Kenya katika Bunge la Kitaifa na Seneti unatazamwa huku Muungano wa Rais mteule William Ruto wa Kenya Kwanza una wagombea wawili wanaowania na Azimio la Umoja la Raila Odinga pia lina watu wawili wanaowania wadhifa wa Spika katika Bunge la Kitaifa.
Katika kuadhimisha siku ya kimataifa ya watu wenye asili ya Afrika Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema pamoja na utajiri wa urithi wa utamanduni na mchango mkubwa unaotolewa na watu wenye asili ya Afrika katika jamii lakini bado wanakabiliwa na ubaguzi ulio ota mizizi. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Evarist Mapesa wa Redio washirika wetu SAUT FM Huu ni mwaka wa pili tangu kuanza kwa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya watu wenye asili ya Afrika ambapo katibu Mkuu Guterres amesema mwezi Desemba mwaka huu kutafanyika kikao cha kwanza cha Jukwaa la Kudumu la Watu Wenye Asili ya Kiafrika na kuhimiza watu wote kujiandaa kushiriki na kusukuma mbele kazi ya Jukwaa. Mkuu huyo wa Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa “ Duniani kote, mamilioni ya watu wenye asili ya Kiafrika bado wanashuhudia ubaguzi wa rangi uliokita mizizi na wa kimfumo. Ndiyo maana Umoja wa Mataifa unaendelea kutoa wito wa kuheshimiwa kikamilifu kwa haki zao za kibinadamu na uhuru wao wa kimsingi, kwa ajili ya kurekebisha mambo hayo yanapokiukwa, na kuomba msamaha rasmi na kulipwa kwa makosa makubwa ya utumwa na ukoloni.” Ameeleza pia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeomba kuwepo na kikosi kazi kitakacho simamia utekelezwaji kwa Ufanisi wa Azimio la Durban na Mpango wa Utekelezaji , kikosi kazi hicho kitaandaa rasimu ya tamko la Umoja wa Mataifa kuhusu kukuza na kuheshimu kikamilifu haki za binadamu za watu wenye asili ya Afrika. Amesisitiza kuwa jukwaa litachangia kazi hii muhimu sana na kwamba “ni muhimu kwa pamoja tuendelee kuongea kwa sauti kubwa na bila kukosa dhidi ya dhana yoyote ya ubaguzi wa rangi na kwamba tufanye kazi bila kuchoka ili kukomboa jamii zote kutoka kwa balaa ya ubaguzi wa rangi.”
Msikilizaji, mwishoni mwa mwezi Julai mwaka huu, Baraza kuu la Umoja wa mataifa, lilipitisha azimio kwamba kila mtu ana haki ya mazingira safi, yenye afya na endelevu. Azimio kama hili lilipitishwa 2021 na baraza hilo ambalo lilitoa wito kwa mataifa, mashirika na makampuni ya biashara kuongeza juhudi za kuhakikisha kuna mazingira yenye afya kwa wote.
Mrengo wakisiasa wa Azimio One Kenya unajiandaa kuwasilisha ombi lakubatilisha matokeo ya uchaguzi mkuu nchini humo.
Nchini Kenya, mwanasiasa wa muungano wa Azimio na mgombea mara tano wa urais Raila Odinga amewasilisha kesi katika mahakama ya juu kupinga ushindi wa mpinzani wake William Ruto katika uchaguzi wa Agosti 9. Nini maoni yako kuhusu hatua hii? Haya hapa baadhi ya maoni yako.
Nchini Kenya, mwanasiasa wa muungano wa Azimio na mgombea mara tano wa urais Raila Odinga amewasilisha kesi katika mahakama ya juu kupinga ushindi wa mpinzani wake William Ruto katika uchaguzi wa Agosti 9. Nini maoni yako kuhusu hatua hii? Haya hapa baadhi ya maoni yako.
Aliyekuwa mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu wa Kenya, Agosti 9, Raila Odinga, na muungano wake wa Azimio, wamewasilisha hoja 23 kwenye mahakama ya juu, kutaka ushindi wa Dr. William Ruto ubatilishwe, kwa madai kwamba uchaguzi na hesabu ya kura vilijaa udanganyifu. Anataka uchaguzi kurudiwa.
Ikiwa leo Agosti 9 ni siku ya Kimataifa ya watu wa jamii ya asili dunani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia ujumbe wake mahususi kwa siku hii, ametoa wito kwa ulimwengu kuzidisha zaidi sauti za wanawake wa jami ya asili kwani wana mchango mkubwa duniani. Taarifa Zaidi na Anold Kayanda. Ni Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia video ya ujumbe wake akianza kwa kueleza kinachoangaziwa katika Siku ya Kimataifa ya Watu wa asili Duniani ya mwaka huu, kwani kuhusu jukumu la wanawake wa jamii za asili katika kuhifadhi na kupitisha maarifa ya jadi kutoka kizazi hadi kizazi. “Wanawake wa jamii za asili ni watunzaji wa maarifa ya mifumo ya chakula na dawa asilia. Ni mabingwa wa lugha na tamaduni za asili. Wanalinda mazingira na haki za binadamu za watu wa asili.” Anaeleza Guterres. Bwana Guterres anatoa ushauri kwamba ili kujenga mustakabali ulio sawa na endelevu ambao haumwachi mtu nyuma, lazima dunia izipe nafasi zaidi sauti za wanawake wa jamii za asili na kwamba maarifa asilia ya kitamaduni yanaweza kuleta ufumbuzi kwa changamoto zetu nyingi. Akitoa mfano wa hivi karibuni wa namna alivyoshuhudia haya anayoyasema, Katibu Mkuu Guterres anakumbushia alipokuwa ziarani hivi karibuni nchini Suriname, kwamba alijifunza kwa kuona kabisa jinsi watu wa jami za asili wanavyolinda msitu wao wa mvua na bainuai yake tajiri. Kwa msingi wa hayo yote, Katibu Mkuu anatoa wito kwamba katika Siku hii ya Kimataifa, Nchi Wanachama wa Umoja wa Mataifa watekeleza Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Watu wa jamii za asili na kuendeleza maarifa asilia kwa manufaa ya wote.
Odinga anayepeperusha bendera ya muungano wa Azimio la Umoja One Kenya na viongozi wa mrengo huo pamoja na wafuasi wao, walikusanyika katika uwanja wa michezo wa Kasarani huku Ruto, anayewania kwa tiketi ya chama cha UDA chini ya muungano wa Kenya Kwanza akijiunga na wenzake kwenye uwanja wa Nyayo.
Zikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi Mkuu nchini Kenya, tunaendelea kukuarifu kinachoendelea kipindi hiki joto la kisiasa linapoendelea kupanda. Wageni wetu ni Ababu Namwamba kutoka muungano wa Kenya Kwanza, unaomuunga mkono mgombea urais William Ruto na Beatrice Elachi kutoka muungano wa mgombea mwingine Raila Odinga, kutoka muungano wa Azimio la Umoja.
Tumekukusanyia mengi, utasikia Kuongezwa kwa muda wa operesheni za pamoja kati ya Jeshi la DRC na lile la Uganda UPDF dhidi ya ADF mashariki ya DRC, Mwanasiasa mkongwe nchini Kenya Kalonzo Musyoka alirejea tena katika muungano wa kisiasa wa Azimio, baada ya kutangaza kujitoa, Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Macky Sall rais wa Senegal, alikutana na rais wa Urusi Vladmir Putin, wiki hii, sherehe za kumbukizi ya siku ya kuzaliwa malkia Elizabeth 2 pamoja na miaka 70 tangu achukue madaraka..uvamizi wa Urusi nchini Ukraine kufikia siku ya 100
Jaridani Mei 27, 2022 -Azimio la kulinda waandishi wa habari litekelezwe -Mashujaa watanzania wawili miongoni mwa waliotunukiwa medali ya Dag Hammarskjold Makala tunaangazia majukumu mengine yanyotekelezwa na walinda amani hususan nchini DRC Mashinani ni ujumbe wa Mkuu wa Operesheni za ulinzi wa amani, kwenye Umoja wa Mataifa, Jean-Pierre Lacroix. na wito wake kuelekea siku ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa inayoadhimishwa kila Mei 29.
Ikiwa leo Mei 27 ni mwaka wa saba kamili tangu Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupitisha Azimio namba 2222 la mwaka 2015 la kutambua kazi za waandishi wa habari, kuwalinda na kutaka waheshimiwe , Baraza hilo limesema vitendo vya vitisho na kuuawa kwa waandishi wa habari vimezidi kuongezeka katika siku za hivi karibuni.
Muungano wa Azimio la Umoja Kenya Moja Jumatano ulitangaza kwamba mchakato uliokuwa uanze wa kuwahoji wawaniaji wa nafasi ya naibu wa rais umesitishwa baada ya utata kuhusu mchakato huo kuibuka.
Joto la siasa nchini Kenya laendelea kuongezeka baada ya mseto wa Azimio kumuidhinisha Raila Odinga kuwa kinara wao katika uchaguzi mkuu 9 Agosti 2022.
Mashindano ya michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi kali yakianza Ijumaa ya tarehe 4 mwezi huu wa Februari mwaka 2022 huko nchini China, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametaka kila mtu kuzingatia azimio la sitisho la mapigano wakati wa mashindano hayo. Wanamichezo wa kiwango cha juu wakiwa tayari huko jijini Beijing China na viunga vingine ya taifa hilo la bara la Asia kwa ajili ya mashindano hayo ya olimpiki ya majira ya baridi kali, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres anakumbushia makubaliano yaliyopitishwa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mwezi Desemba mwaka jana ya kusitisha mapigano. Katika ujumbe wake Guterres anasema wanamichezo wanashiriki mashindano hayo kwa misingi ya maelewano, kujituma na bila kuoneana. “Misingi hii inatuvutia sote. Azimio la Olimpiki kuhusu sitisho la mapigano linatoa wito kwa pande zote kusitisha mapigano katika kipindi chote cha mashindano ya olimpiki.” Amesema Guterres. Kwa mujibu wa azimio hilo, nchi zinatakiwa kusiweko na mapigano siku 7 kabla ya kuanza kwa michezo hiyo hadi siku saba baada ya kumalizika kwa mashindano ya olimpiki ya majira ya baridi kwa watu wenye ulemavu, ambayo yatafikia ukomo tarehe 13 mwezi ujao wa Machi. Katibu Mkuu amesema mapigano yakisambaa na mivutano ikiongezeka, ombi la sitisho la mapigano linatoa fursa ya kuamliza tofauti na kusaka njia bora ya amani ya kudumu. “Tunavyohaha kutokomeza janga la COVID-19, hebu na tuungane kwa mustakabali salama zaidi, wenye ustawi na endelevu kwa kila mtu. Natoa wito kwa kila mtu kuzingatia mkataba wa Olimpiki wa sitisho la mapigano wakati wa mashindano ya olimpiki sambamba na yale ya walemavu. Kupitia nguvu ya michezo, na maadili ya Olimpiki, hebu na tujenge utamaduni wa amani.” Ametamatisha Guterres. Azimio hilo lililopatiwa jina Kujenga dunia yenye amani na bora zaidi kupitia michezo na maadili ya Olimpiki, lilipitishwa kwa kauli moja na lilikuwa limewasilishwa na mataifa 173.
Tunaangazia harakati za chama kikuu cha upinzani nchini Kenya Orange Democratic Movement (ODM), kutafuta uongozi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki, baada ya uchaguzi Mkuu mwezi Agosti. Raila Odinga, kiongozi wa chama hicho kilichoundwa mwaka 2005, ameshatangaza nia ya kuwania nafasi hiyo chini ya vuguvugu la kisiasa la Azimio la Umoja. Je, chama hiki kimejiandaa vipi, kuelekea Uchaguzi wa Agosti 9, 2022 ? Mgeni wetu leo, ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Edwin Sifuna.
Tarehe 22 mwezi huu wa Septemba viongozi wa nchi na serikali wanaohudhuria mjadala mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa watashiriki mkutano wa ngazi ya juu wakimulika miaka 20 tangu kupitishwa kwa azimio la Durban la kupinga aina zote za ubaguzi ikiwemo rangi na makundi mbalimbali kama vile watu wenye ualbino. Nchini Tanzania hatua zimechukuliwa na sasa kuna mazingira rafiki kwa watu hao kama anavyosimulia Stella Vuzo wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa, UNIC, nchini humo alipotembelea mkoani Mwanza.
Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kulinda maeneo ya shule dhidi ya mashambulizi, Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amekemea tabia ya makundi yanayopigana kuvamia maeneo ya shule, kukamata watu mateka na vikosi vya ulinzi kufanya maeneo ya shule kama sehemu zao za kuweka kambi za mapigano. Taarifa ya Leah Mushi (Pause) Akizungumza kwenye mkutano wa ngazi za juu ulioandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO pamoja na nchi ya Qatar, Guterres ameanza hotuba yake kwa kuchora taswira ya tukio shuleni akisema, “Fikiria wewe ni mwanafunzi umekaa darasani ukitamani kujifunza, au wewe ni mwalimu umejitolea kubadili kizazi kijacho kwa kuwapa maarifa. Halafu sasa fikiria ghafla unasikia milipuko, na mawazo yote yatakayo kujia baada ya tukio hilo au wakati wowote ukitaka kusoma.” Ameeleza hiyo sio taswira ya kufikirika kwani “Takwimu zilizotolewa kati ya mwaka 2015 na mwaka 2020 na muungano wa Kulinda elimu ulimwenguni, zimeripoti mashambulio ya aina hiyo ya makombora zaidi ya 13,000 yaliyotelekezwa kwenye shule, au vyombo vya kijeshi vya nchi wakitumia maeneo ya shule kurusha makombora wakielekezea wanaopigana nao.” Katibu Mkuu Guterres amesema shule ni sehemu za kutoa na kupokea ujuzi na lazima ziwe sehemu salama kwa kujifunzia kwa amani na usalama kwa kuwa elimu, inabadilisha maisha na kuleta maendeleo kwa mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla. Akizungumzia Azimio la shule salama, linalo kataza maeneo ya shule kutumika kama maeneo ya vita pamoja na kuainisha hatua zote za serikali zinapaswa kuchukuliwa kulinda shule na maeneo ya kujifunzia. Guterres amesema, mpaka sasa ni nchi 111 duniani ndio zimepitisha azimio hilo na kutoa wito kwa nchi zote duniani kuridhia nakulipitisha. Pia ametoa wito kwa nchi zilizo pitisha Azimio hilo kwenda mbali zaidi kwa kuweka será za kitaifa na sheria zinazolinda shule, wanafunzi na kuwachukulia hatua wakataohusika na vitendo viovu. Akihitimisha hotuba yake Katibu Mkuu huyo wa Umoja wa Mataifa amelaani vitendo vya kuvamia shule na kuteka wanafunzi na kuwalazimisha kuwa wapiganaji au wanawake na wasichana kukataliwa haki yao ya kupata elimu. Amewahimiza wahisani kusaidia mashirika ya Umoja wa Mataifa ya UNESCO na lile la kuhudumia watoto UNICEF ili nao waendelee na juhudi za kulinda elimu, wanafunzi na shule zilizoko katika sehemu hatari zaidi ulimwenguni kwani amesema kwa kuwa tukilinda elimu tunalinda kizazi kijacho.
Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani amesema atatoa amri ya kuachiwa huru kwa wafungwa 400 wa kundi la wanamgambo wa Taliban baada ya baraza la jadi la viongozi wa kikabila kuunga mkono hatua hiyo kama njia ya kufufua mazungumzo ya amani. Akizungumza wakati wa hotuba yake ya kufunga mkutano wa baraza hilo linalojulikana kama 'loya jirga' amesema atatia saini amri hiyo kama ilivyotakiwa na kundi la Taliban na baada ya viongozi hao wa kikabila kufikia mwafaka. Uamuzi huo utaondoa kikwazo cha mwisho kilichotatiza kusonga mbele kwa mazungumzo ya kusaka amani kati ya serikali mjini Kabul na kundi la Taliban. Ghani alilazimika kuitisha kikao cha baraza hilo baada ya kushindwa kutoa idhini ya kuachiwa wafungwa hao 400 ambao wengi wanatuhumiwa kwa makosa makubwa ya jinai ikiwemo kupanga mashambulizi yaliyowaua maelfu ya raia Afghanistan na wageni. Vilevile Serikali ya Afghanistan na kundi la wanamgambo la Taliban wanakaribia kuafikiana kuhusu mazungumzo ya amani baada ya wawakilishi wa makabila kuidhinisha kuachwa huru wafungwa 400 waliokitovu cha mvutano kati ya pande mbili. Azimio hilo limefikia mwishoni mwa mkutano wa siku tatu unaofahamika kama 'loya jirga' unaowakutanisha viongozi wa kikabila na wawakilishi wa makundi mengine, mkutano ambao wakati mwingine huitishwa ili kutafuta majibu ya masuala tata. Mjumbe mmoja wa mkutano huo amesema kwa lengo la kuondoa vizingiti vya kuanza kwa mazungumzo ya amani na kukomesha umwagaji damu, baraza hilo limeridhia kuachiwa huru kwa wafungwa 400 kama kundi la Taliban lilivyotaka. Orodha ya wafungwa hao inajumuisha wale wanaotuhumiwa kwa makosa makubwa ya jinai ikiwemo kushiriki kwenye mashambulizi yaliyowaua maelfu ya raia wa Afghanistan na wageni.